Sentence alignment for gv-amh-20140321-518.xml (html) - gv-swa-20140319-6896.xml (html)

#amhswa
1ኢትዮጵያዊቷ ጋዜጠኛ ርዕዮት ዓለሙ በእስር 1000 ቀን ሞላትMwandishi wa Habari wa Ethiopia Reeyot Alemu Amefungwa Jela kwa Siku 1,000
2መጋቢት 7/2006 ኢትዮጵያዊቷ ጋዜጠኛ ርዕዮት ዓለሙ የታሰረችበት 1000ኛ ቀን ነው፡፡ ከሽብርተኝነት ጋር በተያያዘ ጥፋተኛ ተብላ የአምስት ዓመት ፅኑ እስራት ከተበየነባት ጥር 2004 ጀምሮ በእስር ላይ ትገኛለች፡፡Machi 16, 2014 inakuwa ndiyo siku ya 1,000 ya kufungwa kwa mwandishi wa Ethiopia Reeyot Alemu. Anatumikia kifungo cha miaka mitano jela baada ya kutiwa hatiani katika mashitaka ya ugaidi mwezi Januari 2012.
3ታሳሪዋ ኢትዮጵያዊት ጋዜጠኛ ርዕዮት ዓለሙ:: ፎቶው በፌስቡክ ርዕዮት ዓለሙ እንድትፈታ ከሚወተውት ገጽ የተወሰደ ነው፡፡Mwandishi wa Ethiopia aliyefungwa Reeyot Alemu. Picha kupitia ukurasa wa Facebook wa kampeni ya Kuachiwa kwa Reyoot Alemu.
4ርዕዮት ዓለሙ፣ የእንግሊዝኛ ቋንቋ መምህር ስትሆን፣ የUNESCO-ጉሌርሞ ካኖ የዓለም የፕሬስ ነጻነት ሽልማት፣ የሔልማን/ሐሜት ሽልማት፣ እና የዓለም አቀፍ ሴቶች ሚዲያ ፋውንዴሽን በድፍረት የጋዜጠኝነት ሽልማት አሸናፊ ናት፡፡Reeyot, mwalimu wa Kiingereza, alipokea Tuzo ya UNESCO-Guillermo Cano ya Uhuru wa Habari Duniani, Tuzo ya Hellman/Hammett, na Tuzo ya Mwandishi Jasiri ya Mfuko wa Habari wa Kimataifa kwa Wanawake.
5Kwa mujibu wa Kamati ya Kulinda Waandishi (CPJ), serikali ya Ethiopia imehukumu waandishi na wanablogu huru wapatao 11 ikiwa ni pamoja na Reeyot na Eskinder Nega chini ya sheria ya kupambana na ugaidi tagu mwaka 2011.
6እንደ የጋዜጠኞች ጠባቂ ኮሚቴው (CPJ) መረጃ፣ ርዕዮት ዓለሙን እና እስክንድር ነጋን ጨምሮ የኢትዮጵያ መንግሥት 11 ነጻ ጋዜጠኞችን እና ጦማሪዎችን ከ2003 ጀምሮ በፀረ-ሽብርተኝነት ስም አስሯል፡፡ ከነዚህ ውስጥ የሶማሌ ብሔር አማፂ ቡድኖችን ደግፋችኋል በሚል 11 ዓመት እስር የተፈረደባቸው ሁለት ስዊድናውያን ጋዜጠኞች (አሁን በይቅርታ ተፈትተዋል) ይገኙበታል፡፡Katika waliofungwa ni pamoja waandishi wawili wa Sweden wanaotumikia kifungo cha miaka 11 kwa kudaiwa kukisaidia kikundi cha Waasi wa Kabila cha Kisomali. Katika posti hii ya blogu, mwanablogu BefeQadu Z Hailu alielezea hatari ya kufungwa inawakabili waandishi wa habari wa Ethiopia:
7በዚህ ጦማር ላይ፣ ጦማሪ በፍቃዱ ዘ ኃይሉ የታሰሩ ኢትዮጵያውያን ጋዜጠኞችን ፈተና ጽፏል፡-Kama lengo la kifungo ni kuwasahihisha waliohukumiwa, basi kusisitiza kusoma na elimu yapaswa kuwa ni nyenzo ya kufikia lengo hilo.
8የእስር ጥቅሙ ጥፋተኞችን ማረም ከሆነ ንባብ እና ትምህርት ይህንን ግብ ለማሳካት መሣሪያዎች መሆን ይኖርባቸዋል፡፡ በቃሊቲ ማረሚያ ቤት ግን ሁለቱም ተፈቅደዋል፣ ነገር ግን ከሽብርተኝነት ጋር በተያያዘ ለተፈረደባቸው ጋዜጠኞች በቃላሉ የሚፈቀዱ ነገሮች አይደሉም፡፡Katika gereza la Kality vyote hivyo vinaruhusiwa lakini si kirahisi kwa waandishi hawa na wengine waliohukumiwa kwa makosa yanayohusishwa na “ugaidi”. Wafungwa hawa hawaruhusiwi kupata vitabu.
9እነዚህ እስረኞች መጽሐፍ ማስገባት አይፈቀድላቸውም፡፡ እስክንድር እንደሚለው ‹‹በተለይ ‹ኢትዮጵያ› እና ‹ታሪክ› የሚሉ ሁለት ቃላትን አንድ ላይ የያዙ ቃላት እንዲገቡ አይፈቀድም፡፡›› እነ ርዕዮት፣ እነ ውብሸት ታዬ፣ በቀለ ገርባ እና ሌሎችም የታሰሩበት ክፍል ውስጥም እንዲያው ነው፡፡Eskinder anasema, “Hususani vitabu vile vyenye vichwa vya habari vinavyounganisha maneno ‘Ethiopia' na ‘Historia' haviruhisiwi”. Hali ni hiyo hiyo kwenye gereza aliko Reeyot Alemu na wengine kama Wubshet Taye, Bekele Gerba, na kadhalika.
10የአገር ውስጥ ነጻ ጋዜጦች እና መጽሔቶችም እንዲሁ እንዲገቡ አይፈቀድም፡፡ እስክንድር ይህን ሲያብራራልኝ ሌላው ቀርቶ የዜና ቲቪ ቻናሎች እነ ቢቢሲ እና አልጄዚራ እሱ እና ሌሎችም የታሰሩበት ዞን ውስጥ አይፈቀዱም፡፡Magazeti na majarida huru yanayochapishwa nchini humo hayaruhusiwi gerezani; Eskinder alinieleza zaidi kwamba hata cheneli za TV kama BBC na Aljazeera haziruhusiwi kutazamwa kwenye maeneo ambayo yeye na wenzake wamefugwa.
11ርዕዮት ዓለሙ፣ ከእስርቤቱ አለቆች ጋር ባደረገችው ብርቱ ትግል እና ሚዲያዎች ጉዳዩን ካወሩበት በኋላ የርቀት ትምህርት እንድትማር ተፈቅዶላታል፡፡ ነገር ግን ከኮሌጇ ቀጥታ ከሚላኩላት መጽሐፎች በቀር ማጠናከሪያ መጽሐፍት እንዲገባላት አልተፈቀደላትም፡፡Reeyot Alemu, baada ya mapambano magumu na utawala wa gereza na baada ya vyombo vya habari kufunua ukweli huo, sasa anaruhusiwa kupata masomo kwa njia ya masafa.
12የትዊተር ተጠቃሚዎች #ReeyotAlemu የሚለውን ሀሽታግ በመጠቀም ለታሰረችው ጋዜጠኛ ርዕዮት ዓለሙ ያላቸውን ድጋፍ አሳይተዋል፡፡ ከታች ጥቂቶቹን ትዊቶች እንመልከት፡-Ila, bado ni vigumu kwake kupata vitabu vya ziada ukiacha vile anavyotumiwa moja kwa moja kutoka chuoni.
13ዓለም ስለርሷ ይጨነቃል ብዬ ተስፋ አደርጋለሁ፡፡ ብዙ ዘመቻ ማየት እፈልጋለሁ፡፡!Watumiaji wa mtandao wa twita walituma twiti kwa kutumia alama habari #ReeyotAlemu kuonyesha mshikamano wao kwa mwandishi huyo aliyefungwa.
14MT”@LisaMisol: #Ethiopiaዊቷ ጋዜጠኛ #ርዕዮት ዓለሙ በእስር 1000ኛ ቀኗ፡፡Hapa chini ni baadhi ya twiti zilizotumwa: Naamini dunia inamjali pia!
15- vineetkhare (@vineetkhare) March 16, 2014Bado nasubiri kuona kampeni yoyote!
16#የኢሕአዴግ መንግሥት ድክመቱ እና ድንጉጥነቱ እንደርዕዮት ዓለሙ ባሉ ጋዜጠኞች ይጋለጣል፡፡ ትፈታ!Serikali ya Ethiopia inaendelea kuonyesha udhaifu na hofu wakati waandishi wa aina ya #ReeyotAlemu wanapowasha taa kuimulika.
17- MediaET (@MediaETHIOPIA) March 16, 2014Mwachieni huru
18#ርዕዮት ዓለሙ: ለምንድን ነው የ3ተኛው ዓለም አምባገነኖች ከሞት ይልቅ ጋዜጠኞችን የሚፈሩት?Kwa nini madikteta wa dunia ya tatu wanawaogopa sana waandishi wa habari kuliko hata kifo?
19የድክመት ምልክት ነው፡፡ ሐሳብ እና የሐሳብ ሰዎችን መፍራት!Ni dalili za udhaifu.
20- MediaET (@MediaETHIOPIA) March 16, 2014Wanaogopa maoni mapya na watu wenye maoni.
21ጋዜጠኛ ዛሬ በእስር ቤት 1000 ቀን ሞላት፡፡ ቤተሰቦቿ እንዳይጎበኟት ታግዳለች፡፡ @SJLambrinidis - ለምንድን ነው እነ @EU_Ashton ዝም የሚሉት?Siku ya 1,000 kwa Mwandishi ReeyotAlemu gerezani leo. Amenyimwa haki ya kutembelewa na familia yake.
22- Ana Gomes, MEP (@AnaGomesMEP) March 16, 2014Hivi kwa nini Umoja wa Ulaya iko kimya katika suala hili la Ashton?
23መጋቢት 7 #ርዕዮት ዓለሙ ከታሰረች 1000 ቀን ሞላት፡፡ ይህም የሚያሳየው ኢትዮጵያ የምትመራው በአምባገነንነት፣ በኢፍትሐዊነት እና በጭቆና መሆኑን ነው፡፡ @AnaGomesMEP @amnestyMachi 16 ni siku ya 1000 ya kifungo cha ReenyotAlemu na inaonyesha namna Ethipia inavyotawala kiimla, uonevu na kwa unyanyasaji
24- EPHREM SHAUL (@eph_sh) March 15, 2014Uandishi si ugaidi.
25ጋዜጠኝነት ሽብርተኝነት አይደለም፡፡ ሽልማት አሸናፊዋ #ርዕዮት ዓለሙ ትፈታ፡፡ የሕክምና አገልግሎት እንድታገኝ ይፈቀድላት፡፡ #health #women pic.twitter.com/UyzmniGrb6 - alex (@alexbiruk) March 16, 2014Mwachieni huru mwandishi Reeyot Alemu aliyetunukiwa tuzo kibao, mpeni huduma za afya [kama mwanamke]