Sentence alignment for gv-amh-20120909-60.xml (html) - gv-swa-20120827-3848.xml (html)

#amhswa
1ታንዛኒያ፣ ኢትዮጵያ፤ መለስ ዜናዊ ከመቃብር ውስጥ ትዊት እያደረጉ ነውTanzania, Ethiopia: Meles Zenawi ‘Atuma Twiti’ Kutoka Kilindi cha Kaburi
2የኢትዮጵያ ጠቅላይ ሚኒስትር መለስ ዜናዊ ሞት፣ የሰኞ ዕለት የመንግስት ኃላፊዎች ማረጋገጫ በታንዛኒያ የሚገኙ የማሕበራዊ አውታር ተጠቃሚዎችን አነቃንቋል፡፡ በተለይ የአቶ መለስ ትዊተር አካውንት ነው ከሚባለው መልስ ማግኘት ከተጀመረ በኋላ ነገርዬው ተጋግሎ ነበር፡፡Taarifa rasmi iliyotoka Jumatatu ya Wiki iliyopita kuhusu kifo cha Waziri Mkuu wa Ethiopia Meles Zenawi, ziliibua mishtuko miongoni mwa watumiaji wa zana za habari za kiraia nchini Tanzania, hasa baada ya twiti kuanza kutumwa kutokea anuani ya Twita iliyoaminika kuwa rasmi ya Zenawi mwenyewe.
3ነገሩ ወዲህ ነው፣ የታንዛኒያ ፓርላማ አባል ዢቶ ዙቤሪ ካብዌ የሚከተለውን በትዊተር ላይ ጻፉ፡-Mjadala ulianza pale Zitto Zuberi Kabwe, ambaye ni Mbunge nchini Tanzania, alipotwiti ujumbe huu:
4@zittokabwe: በጠቅላይ ሚኒስትር #መለስ ዜናዊ ሞት ለ#ኢትዮጵያ ሕዝብ የተሰማኝ ሐዘን ጥልቅ ነው፡፡ ስለዴሞክራሲያዊት አቢሲኒያ ዕድገት ተስፋ አደርጋለሁ፡፡@zittokabwe: Natuma salamu zangu za rambirambi kwa wananchi wa #Ethiopiakufuatia kifo cha Waziri Mkuu #MelesZenawi. Ni matumaini yangu kwamba kutakuwa na muendelezo wa kidemokrasi huko Abbysinia.
5ሱዛን ማሺቤ መልስ ሰጠች:Susan Mashibe alijibu:
6@iMashibe: @zittokabwe አሁን እውነት ሆነ ማለት ነው?@iMashibe: @zittokabwe Je, ni kweli kwamba jambo hili limetokea kwelikweli safari hii?
7Cc @SwahiliStreetCc @SwahiliStreet
8እናም ስዋሂሊ ስትሪት መደምደሚያ ሰጠ:And Swahili Street alihitimisha:
9@iMashibe በኢቴቪ ተነግሯል.@iMashibe Imetangazwa kupitia ETV.
10አሁን ተረጋግጧል @zittokabweNi taarifa rasmi @zittokabwe
11ቻምቢ ቻቻጌ ከተባበሩት መንግስታት የኢኮኖሚክ ኮሚሽን ለአፍሪካ (UNECA) ‘የመለስ ዜናዊ ስንብት ለአፍሪካ ወጣት መሪዎች‘ (በእንግሊዝኛ) የሚል ጦማር ጽፎ በኑቬምበር 16፣ 2006 በሌሎች ተጽፎ የነበረ ጽሑፍ በትዊተር አጋራ፡፡Chambi Chachage alitwiti makala ya blogu yenye kichwa cha habari ‘Salamu za Meles Zenawi za Kuwaaga Viongozi Vijana wa Afrika‘ kutoka Kamisheni ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA) tarehe 16 Novemba 2006, ambayo pia ilitumwa kama twiti na watumiaji wengine.
12ከዚያ በኋላ ድንገት@PMMelesZenawi (መለስ ዜናዊ) ጣልቃ ገቡ፤ ከሞት በኋላ ለታንዛኒያው የፓርላማ አባል ዢቶ ካብዌ መልስ መስጠት ጀመሩ፡Na kisha ghafla @PMMelesZenawi aliingilia kati, ikiwa ni bayana kabisa kwamba ‘alituma jumbe za twiti baada ya kifo chake' akimlenga Mbunge wa Tanzania Zitto Kabwe:
13@PMMelesZenawi: @zittokabwe እባክዎ ከኔ የተሻለ ይሁኑ፡፡ እዚህ ቀልድ የለም፤ ዋጋዬን ልከፍል እየተዘጋጀሁ ነው http://www.ethiopianreview.net/index/?@PMMelesZenawi: @zittokabwe Uwe kiongozi bora kuliko nilivyokuwa mimi. Huku juu hakuna utani, ninajiandaa kulipa kwa ajili ya makosa yangu http://www.ethiopianreview.net/index/?
14p=42267p=42267
15መለስ ዜናዊ @PMMelesZenawi - ከሞት በኋላ.Meles Zenawi @PMMelesZenawi - akitwiti baada ya kifo chake.
16ምንጭ: ከትዊተር ላይ የተወሰደChanzo Twitter Screen Shot
17ይህ 29,000 ላለው ለዢቶ ካብዌ የተጻፈ ትዊት መወያያ ርዕስ ከፍቷል፡፡ ግምቱ @PMMelesZenawi በተቀናቃኛቸው ተጠልፎ ይሆን የሚል ነበር፡፡Twiti hii kwa Zitto Kabwe, ambaye ana zaidi ya wafuasi 29,000, ilisambabisha mizozo, ikifanya watu waanze kudadidi ikiwa anwani ya @PMMelesZenawi ilikuwa imeibwa na wapinzani wake?
18@zittokabwe: @hmgeleka ይህ አካውንት እውነተኛ ወይም የቅርብ ጊዜ አይመስለኝም @pmmeleszenawi@zittokabwe: @hmgeleka anwani hii haionekani kuwa ya kweli hasa kwa sababu ya ujumbe huu @pmmeleszenawi
19ዢቶ ዙብሪ ካብዌ ይህንን ገምተው ቀጠሉ፡Zitto Zuberi Kabwe naye alihitimisha, na kisha aliendelea kusema:
20@zittokabwe: @AnnieTANZANIA በ@PMMelesZenawi ትዊት የተደረገልኝ እውነተኛ አይደለም፡፡ ተዉት በቃ፣ አካውንቱ በተቀናቃኛቸው ተጠልፏል፡፡@zittokabwe: @AnnieTANZANIA alitwiti kwa @PMMelesZenawi si akaunti halali. Zipuuzeni jumbe zinazotumwa nayo.
21ኦማር ኢሊያስ መልስ ሰጠ:Akaunti imeibwa na wapinzani wake
22@omarilyas: ይህ አካውንት መጀመሪያውንም የውሸት ነበር፡፡ @PMMelesZenawi - ልክ እንደ @Julius_S_Malema @zittokabwe ሁሉ አስመስሎ ለቀልድ የተሰራ ነው፡፡Omar Ilyas naye aliiunga mkono: @omarilyas: Akaunti hii daima imekuwa si iliyo ya kweli toka mwanzo @PMMelesZenawi - ni aina ya watu wenye majivuno kupita kiasi kama yule jamaa anayeitwa @Julius_S_Malema @zittokabwe
23ይህ በእንዲህ እንዳለ፣ በመለስ ዜናዊ ብሔራዊ ውርስ ዙሪያ ሙግቱ ችሎታቸውን ከማድነቅ ጀምሮ እስከ መለስ ዜናዊ ዴሞክራት አይደሉም የሚለው መደምደሚያ ድረስ ተጋግሎ ቀጥሏል፡-Hata hivyo, mjadala kuhusu yale atakayokumbukwa nayo Meles Zenawi unaendelea kuunguruma kutoka wale wanaomhusudu Meles kwa uwezo wake ‘kufikia malengo katika kazi yake' hadi kwenye uvumi kwamba Meles hakuwa mwanademokrasia:
24@Htunga: @zittokabwe መለስ ግን የምር ማን ነው?@Htunga: @zittokabwe Hivi, huyu Meles ni nani hasa?
25ኢትዮጵያውያኖች እየተራቡ እና በጭነት መኪናዎች ላይ ታፍነው እየሞቱ አያለሁ፡፡ በ2010 በመሳሪያ ሲጨፈጨፉም አይቻለሁ፡፡Ninawaona Waethiopia wakikabiliwa na njaa na kufa kwenye malori … Nakumbuka pia kuuwawa kwa watu kwa kupigwa risasi mwaka 2010.
26@zittokabwe: @Htunga በኔሬሬ ጊዜ ታንዛኒያዎችስ እየተራቡና እየሞቱ አልነበረም?@zittokabwe: @Htunga Je, Watanzania hawakuwa wakikabili njaa na kufa wakati wa Nyerere?
27ነገር ግን በመርሆቹ መሰረት እናከብረዋለን፡፡ መለስም ያው ነው፡፡Lakini tunamkumbuka na kumhusudu kwa sababu alikuwa mtu wa kanuni. Ni hivyo hivyo hata kwa Meles'
28@zittokabwe: @PMMelesZenawi ከስህተተታቸው ባሻገር #መለስ ዜናዊ የኔ አርአያ ሆነው ይቀጥላሉ፡፡ ነፃነትን መልሶ የማግኘት መብት አለህ #ደርግ ወይም ኢሳይያስ@zittokabwe: @PMMelesZenawi Pamoja na makosa yake, #MelesZenawi anabaki kuwa mfano bora kwangu wa kuigwa. Mnao uhuru wa kumrejesha #TheDerg au Isaias
29የውሸቱ (ምናልባትም የተጠለፈው) የ@PMMelesZenawi የትዊተር አካውንት፣ ከላይ ያየነውን ክርክር ከማስነሳቱም በላይ ብዙ የአፍሪካ መሪዎች እና ታዋቂ ሰዎች የትዊተር አካውንታቸውን እውነተኝነት አለማረጋገጣቸውን እንደጥያቄ አስነስቷል፡፡Anwani ile bandia ya Twita (inayohisiwa kuwa iliibwa) @PMMelesZenawi iliyosababisha kuibuka kwa mjadala huo hapo juu, vilevile inaibua swali kwamba kwa nini viongozi wengi wa umma na wanasiasa barani Afrika hawataki kuthibitisha anwani zao za Twita.
30ከዚህ በፊት እንደተነገረው፣ ትዊተር እንዲህ ዓይነት አካውንቶችን ማረጋገጫ እንዲያስቀምጥ ሲጠየቅ ወይ ለረዥም ጊዜ መልስ ሳይሰጥ ይቆያል አሊያም ደግሞ ከናካቴው መልስ ሳይሰጥ ይቀራል፡፡Kwa taarifa zilizopo, mara nyingi Twita huchukua muda mrefu sana, au pengine haijishughulishi kabisa kujibu maombi ya kuthibitisha anwani fulani fulani.
31Twita ni maarufu sana nchini Tanzania kama chombo cha kubadilishana maoni na kuendesha mjadala na pia jukwaa la kutoa habari za papo kwa papo, au hivi punde.
32በታንዛንያ ከፍተኛ ዝነኝነት ያገኘው ትዊተር አመለካከቶችን እና ክርክሮችን ያስተናግዳል፣ ለሰበር ዜናዎችም እንደማስተላለፊያ ምንጭ እየሆነ ነው፡፡ በተቃራኒው ግን፣ ትዊተር ልክ አሁን በ@PMMelesZenawi አካውንት እንደሆነው ሁሉ በቀላሉ ሊጭበረበሩበት ይችላል፡፡ የምንጮችን እውነተኝነት በተመለከተ መደነጋገር እና ጥርጣሬን ይይዛል፡፡Twita, hata hivyo, inaweza kutumiwa vibaya kama ilivyokuwa kwa hii ya @PMMelesZenawi na pia inaweza kuleta vurugu na hisia mbaya kuhusu usahihi na kuaminika kwa chanzo cha taarifa fulanin. Anwani nyingine za Twita zilizo bandia, zilizoibwa au korofi za Waafrika kwa sasa ni: @Hailemdesalegne, @Julius_S_Malema, @kabwezitto, @alfredmutua na @MwaiKibaki
33ሌሎች የውሸት፣ ምናልባት የተጠለፉ ወይም ደግሞ ለቀልድ በውሸት የተፈጠሩ የአፍሪካ ትዊተር ማንነቶች ውስጥ እነዚህኞቹ ይገኛሉ:@Hailemdesalegne, @Julius_S_Malema, @kabwezitto, @alfredmutua እና @MwaiKibaki መለስ ዜናዊ እ.Meles Zenawi alikuwa Rais wa Ethiopia kutoka mwaka 1991 hadi 1995 na baadaye alikuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo kutoka mwaka 1995 baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu mwaka ule.
34ኤ.
35አ. ከ ከ1991 እስከ 1995 የኢትዮጵያ ፕሬዚደንት እና በ1995 በተካሄደው ጠቅላላ ምርጫ የኢትዮጵያ ጠቅላይ ሚኒስትር ነበሩ፡፡Waziri Mkuu katika nchi hiyo ndiyo nafasi yenye nguvu kabisa katika uendeshaji wa masuala yote muhimu.