Sentence alignment for gv-aym-20140514-6536.xml (html) - gv-swa-20140507-7365.xml (html)

#aymswa
1Pusi yänak #FreeZone9Bloggers p’iqinchäwir mayacht’asiñatakiNjia 4 Unazoweza Kuzitumia Kujiunga na Kampeni ya #FreeZone9Bloggers
2Collage del Tumblr de Zone 9. Imágenes seleccionadas de zoneniner.tumblr.com.Picha ya bango la Zone 9 Tumblr. Imetolewa wenye mtandao wa zoneniner.tumblr.com.
3Befeqadu Hailu, Abel Wabela, Atnaf Berahane, Mahlet Fantahun, Zelalem Kibret, ukhamarak Natnael Feleke (‘Zone 9′ taypin yanapt'asir blogueronaka) ukata, Asmamaw Hailegeorgis, Tesfalem Waldyes ukhamarak Edom Kassaye yatiyirinakax 25, 26 urunak saraqkipan qasawi phaxit aka 2014 maran Addis Ababa markan katuntatapxäna.Befeqadu Hailu, Abel Wabela, Atnaf Berahane, Mahlet Fantahun, Zelalem Kibret, na Natnael Feleke (wote wakiwa n wanachama wa mkusanyiko wa wanablogu wa Zone 9) na waandishi wa habari Asmamaw Hailegeorgis, Tesfalem Waldyes pamoja na Edom Kassaye walikamatwa mnamo Aprili 25 na 26, 2014 jijini Addis Ababa.
4Ukch'atatxa Maekelawi cárcelaruw sit'antatapxi, jan kuna arxatirin ukhamarak janiw wila masinakapampis uñjañ munapkiti.Tangu wakati huo, wamewekwa kizuizini kwenye mahabusu ya Maekelawi huku wakinyimwa haki ya kuonana na wanasheria. Vile vile hawaruhusiwi kuonana kabisa na familia zao.
52012 maratxa, ‘Zone 9′ taypin yanapt'asir blogueronakax markachirin amuyup p'arxtayäw laykuw irnaqapxi, ukhamarak markachirinaktuqita, políticonakatuqita Etiopía markan khiti yatiyir jilanakat ukham amuyump sarantkapki ukanakamp mayacht'asis yatiyäwtuqin aski amuyunakamp k'umikipapxarakïna.Tangu mwaka 2012, wanablogu hao wa Zone 9 wamekuwa wakifanya kazi kubwa ya kuwezesha ushirikishwaji wa kiraia pamoja na uchambuzi wa kina kuhusu masuala ya kijamii na kisiasa nchini Ethiopia, wakifanya kazi sambamba na waandishi (ambao nao wamekamatwa) waliokuwa karibu nao ili kufikisha harakati hizo kwenye magazeti.
6Katuntäwip ukhamarak sit'antäwipax libre expresión ukatuqitx janipuniw askikiti, kunjamti artículo 6 de la Carta Africana de Derechos Humanos y de los Pueblos ukan qillqataki ukarjamaxa.Kukamatwa kwao kimsingi ni uvunjwaji wa haki za kimataifa zinazomlinda raia kujieleza, na haki yao ya kutokuteswa wakiwa chini ya ulinzi, kama Ibara ya 6 ya Makubaliano ya Afrika inavyotamka kuhusiana na masuala ya Haki za Binadamu na Makundi ya watu.
7Global Voices tama, masinaka (amigos) ukanakax llätunka warminak antutatañapaw sasinw mayipxi. Akaw uka kampañan yanipt'asiñ munasma ukxat qhananchawixa:Jumuiya ya Global Voices na mtandao wetu wa marafiki na washirika tunadai kuachiliwa kwa ndugu zetu hao ambao idadi yao ni tisa.