# | aym | swa |
---|
1 | Siria markan jan walt'aw utjki ukan jamuqanakapa | Uharibifu Nchini Syria Katika Picha Makala hii ni sehemu ya habari zetu maalum kuhusiana na Mgogoro wa Syria 2011/12. |
2 | Aka post ukax Siria markan 2011/12 ukan jan waltäwinak utjki ukxatawa. | Wapiga picha wa Syria kutoka katika maeneo mbalimbali ya nchi wanafichua, kutuma sehemu mbalimbali na kuweka kumbukumbu ya machafuko katika picha zinazoonesha uharibifu uliotokea. |
3 | | Pamoja na ufinyu wa vitendea kazi vya utoaji habari, habari zinazotoka Syria zinaonesha hali ya kutisha inayowakabili wananchi wa tabaka la chini kabisa na huku wakishuhudia nchi yao inavyoraruliwa na kuachwa vipande vipande. |
4 | Seria markan Fotógrafunakaxa, Siria markan jan walt'äwinak utjki ukxat jamuqanak apst'asin uñtayapxi. Yatiyäw yatiyirinak taypix juk'akiw yatisi. | Pamoja na kuwa hakuna nyenzo za kuweza kuonesha picha hizo zinapatikana wapi wala idadi ya wahanga, zifuatazo ni baadhi ya picha chache zinazoonesha namna miundo mbinu na makazi ya watu yalivyo athiriwa. |
5 | Uka jamuqanakax kunjamas jan walt'äwinakax utji uka uñt'ayañatakiwa. | Miongoni mwa mamia ya wapiga picha, Yazan Homsy ametushirikisha matukio ya uharibifu wa makazi. |
6 | Walja futugrafos uñt'atanakaw uñt'ayapxi, Yazan Homsy uka Homs ukan jan walt'ayatw uñt'ayi. | Anajitambulisha kama: @YazanHomsY: Yazan Homsy, mtoto wa jiji la Homs, mwanaharakati katika mageuzi ya Syria kutoka katika eneo la Khalidya . |
7 | Ukatx akham qillqt'i: | Mapinduzi mpaka mafanikio au kufa kishahidi. |
8 | @YazanHomsY: Yazan Homsy,ukax Homs ukan yuqapawa, revolución seria markan activistapa Khalidya. | Alituma picha zake katika ukurasa wake wa Facebook, akielezea uharibifu wa majengo katika jiji la Homs. |
9 | Revolución victoria ja ukax martirio uka jikxatañkama. | Zifuatazo ni picha zake mbili miongoni mwa picha alizonazo, zilizotumiwa kwa ruhusa. |
10 | Jupan Facebookapanw uñt'ayi Homs uka marakan jach'a utanak allthaptki uka. | Homs: siku 139 za kuzingirwa kwa majengo 14 jijini Homs. |
11 | Akan pä jamuqax taqi iyawsatamp uñt'ayatawa. Homs: markanx 139 urunx 14 jach'a utanakaw jan walt'ayata uñjasïna. | Ni miezi sita na wanajeshi wa Assad walitumia kila aina ya milipuko na mabomu ya kutupa katika kuharibu maeneo mbalimbali ya jiji la Homs yaliyokuwa yamezingirwa. |
12 | Fuente: Facebook ukana Yazan Homsi. | Chanzo: Ukurasa wa Facebook wa Yazan Homsi . |
13 | Iyawsawimp apnaqata. | Imetumiwa kwa ruhusa. |
14 | Homs markan nayra qhathupa kunawsati bombardeat ukhamarak phichhantatäk ukhata. | Soko la zamani jijini Homs baada ya kulipuliwa kwa bomu na kuunguzwa. |
15 | 13/06/2012. Fuente: Facebook uksana Yazan Homsi jupata. | 06/13/2012. Chanzo: Yazan Homsi Ukurasa wa Facebook wa Yazan Homsi. |
16 | Iyawsawimp uñt'ayata. | Imetumiwa kwa ruhusa. |
17 | Sirio markan yatiyäwipa, Syrian News Network S.N.N [ar] uka pachparakiw uñt'ayaskäna kunayman yatiyäwinak yatiyasa ukhamarak jamuqanak uñt'ayasa. Siria: Alepo, Homs ukat Damasco markanakata. | Mtandao wa Habari wa Syria S.N.N [ar] pia umekuwa tayari wakati wote kuweka picha kwenye mtandao huo zikionesha uharibifu katika majiji muhimu matatu ambayo ni Aleppo, Homs na Damascus Zifuatazo ni baadhi ya picha kutoka katika mtandao huo: |
18 | Akana, walja jamuqanaka: Siria - Homs - 21/10/2012 - fuerzas de Al Assad uksat bombardeas jan walt'ayata- Fotografía de Mohammed Ibrahim - SHAAM NEWS NETWORK | periodista de SNN (108). | Syria - Homs - 10/21/2012 - Uharibifu uliotokana na majeshi ya Al Assad kutupa mabomu - Picha na Mohammed Ibrahim - MTANDAO WA HABARI WA SHAAM | Muwasilisha habari (108) SNN . |
19 | Uksat iyawsawimp apanaqata. | Imetumiwa kwa ruhusa. |
20 | Siria - Homs - 21/10/2012 - fuerzas de Al Assad uksat jan walt'ayata- Fotografía de Mohammed Ibrahim - SHAAM NEWS NETWORK | periodista de SNN (102). | Syria - Homs - 10/21/2012 - Uharibifu uliotokana na majeshi ya Al Assad kutupa mabomu - Picha na Mohammed Ibrahim - MTANDAO WA HABARI WA SHAAM | Muwasilisha habari (102) SNN . |
21 | Uksat iyawsawimp apnaqata. | Imetumiwa kwa ruhusa. |
22 | Siria - Homs - 21/10/2012 - fuerzas de Al Assad uksan bombardeas jan walt'ayata - Fotografía de Mohammed Ibrahim - SHAAM NEWS NETWORK | periodista de SNN (39). | Syria - Homs - 10/19/2012 -Uharibifu uliotokana na majeshi ya Al Assad kutupa mabomu - Picha na Mohammed Ibrahim - MTANDAO WA HABARI WA SHAAM | Muwasilisha habari (39) SNN . |
23 | Uksat iyawsawimp apnaqata. | Imetumiwa kwa ruhusa. |
24 | Siria - Alepo - nayra casco - 13/10/2012 - bombardeo ukamp jan walt'ayata (12). | Syria - Aleppo - Jiji la kale - 13/10/2012 - Uharibifu na moto kufuatia kutupwa kwa bomu katika msikiti (12) wa Umayyad. |
25 | Fuente: SHAAM NEWS NETWORK | SNN uksat iyawsawimp apnaqata. | Picha kutoka Mtandao wa habari wa SHAAM| SNN Imetumiwa kwa ruhusa |
26 | Siria - Alepo - 23/09/2012 - aéreo ukat explosiones ukanakamp jan waltyata. | Syria - Aleppo - 09/23/2012 - Uharibifu uliotokana na kutupwa kwa bomu la kushtukizwa pamoja na kombora zito. |
27 | Fuente: SHAAM NEWS NETWORK | SNN uksat iyawsawimp apnaqata | Picha kutoka Mtandao wa habari wa SHAAM| SNN Imetumiwa kwa ruhusa |
28 | Siria - Damasco - Tadamon - 07/09/2012 - uksan Destrucción fuerzas de Assad uksat bombardeo ukamp jan walt'ayata (6). | Syria - Damascus - Tadamon - 07/09/2012 - Uharibifu katika maeneo ya karibu yaliyotokana na mabomu yaliyotupwa na majeshi ya Assad (6). |
29 | Fuente: SHAAM NEWS NETWORK | SNN uksat iyawsawimp apnaqata | Picha kutoka Mtandao wa habari wa SHAAM| SNN Imetumiwa kwa ruhusa |
30 | Siria - Damasco - Erbeen - 29/10/2012 - Uksan jach'a utar (Edificio) bombardeo ukamp jan walt'ayata, Fuerzas de Assad uksan walja civil pallapallanaka. | Syria - Damascus - Erbeen - 29/10/2012 - Jengo lililoharibiwa kufuatia majeshi ya Assad kutupa mabomu kwa wakazi waishio jijini humo. |
31 | Fuente: SHAAM NEWS NETWORK | SNN. | Picha kutoka Mtandao wa Habari wa SHAAM| SNN. |
32 | Iyawsawimp apanaqata. | Imetumiwa kwa ruhusa. |
33 | Aka qillqatax Siria markan 2011/12 ukan jan walt'áwinakax utjki ukxatawa. | |