# | aym | swa |
---|
1 | Siria: Alepon ch’axwäwipat arsuta | Syria: Kutwiti Kutokea Vitani Jijini Aleppo |
2 | | Mwandishi wa Habari Jenan Moussa amerudi mjini Aleppo, nchini Syria, akitwiti tajiriba yake kadri vita kati ya vikosi vinavyopinga serikali na vile vinavyoiunga mkono serikali inavyozidi kushika kasi. |
3 | Yatiyaw yatiyi Jenan Moussa Aleporu Siria sat markaru kutt'awayi, sarnaqäwipanakat akjam sas arsuski- markasti ch'axwäw taypinkaskiwa. | Twiti za Moussa ni za kawaida na za kibinafsi sana, zikiwapa wasomaji wake picha kamili ya maisha yalivyo kwa wale walio kwenye uwanja wa vita. |
4 | Yaqhipasti qillqirinakar uñacht'yasipkiwa kunas jakäwipacha. Moussa unch'ukiskiwa: | Moussa, ambaye ni ripota wa kituo cha televisheni za kiarabu Al Aan TV, kilichopo jijini Dubai, Jamhuri ya Falme za Kiarabu, anasema: |
5 | @jenanmoussa: Wali askis #Aleppo kutt'aniñaxa ukar jikisiña masixanakampi. | @jenanmoussa: Ni jambo kubwa sana kurudi Allepo, kukutana na rafiki zangu. |
6 | Markax nayruruts juk'amp khusaxiwa ukjamarus jaqinakax ch'axwaw taypin sarnaqir yatitaxapxiwa. | Jiji linaonekana kuwa na nafuu zaidi kuliko ilivyokuwa mara ya mwisho nikiwa hapa. Watu wameshazoea vita. |
7 | Alepun arum manq'asiñax chikant'asiñawa jiwayirinakamp chica: | Chakula chake cha jioni, jijini Aleppo, anakipata akisikia sauti za mabomu yakidondoka jirani na aliko: |
8 | @jenanmoussa: #Aleppo ukan manq'añax pachaxiwa. | @jenanmoussa: Ni wakati wa chakula cha jioni hapa Aleppo. |
9 | Pollo a la mejicana ukaw utji, ukhamarus jaylliwix jayllintaskaniwa. | Tunakula kuku wa ki-Mexico wakati tukisikia sauti za mabomu yakidondoka kwa mbali, |
10 | Uka markan mä aruma makiptatapatxa. | Baada ya usiku huo akiwa jijini, Moussa anashangaa: |
11 | Moussa jiskt'asiwa: | @jenanmoussa: Habari za asubuhi kutoka Aleppo. |
12 | @jenanmoussa: Aski urukipan #Aleppo markatpacha. | Sikuweza kulala mpaka saa 12 alfajiri. |
13 | 6 am pachakamax janiw ikiñ atkayati. | Kila wakati ninafunga macho yangu ninapatwa na hisia kuwa mabomu yanaanguka. |
14 | Sapa kuti nayr ch'irmthapkt ukhax bombanakas willirtkasp ukham amuyayata. | Mungu, watu wanawezaje kubaki na akili zao hapa? Jijini Aleppo, anatembelea mahali ambako kombora lilianguka siku zipatazo 45 zilizopita. |
15 | Dios, kunjamas jaqinakaxa? | Anatwiti: |
16 | Alepo markana, uka sitio ukjar saram kawkhanti 45 uru nayraqatax mä misil Scud ukax jaquqtk uka uñjañataki. | @jenanmoussa: Mapema leo nilienda kwenye eneo ambako kombora la SCUD lilidondoka siku zipatazo 45 zilizopita hapa Aleppo. |
17 | Tuitea: | Miili sita bado haijapatikana. |
18 | @jenanmoussa: Jichharmanthix mä misil SCUD jalqtawykäna ukjaru sarawaytwa. | Jenan Moussa akiwa Aleppo, mahali ambako kombora la Scud lilianguka siku 45 zilizopita. |
19 | Kunati Suxta jaqinakaw t'una ut allthaptat taypinakana chhaqatapxi. | Picha imewekwa na @jenanmoussa kupitia mtandao wa Twita. |
20 | @jenanmoussa: Alepon uñjaraktwa mä awkin wali jachatapa, jupax t'una patxan qunt'ataw thaqaski, kunati pä phuchitapa ukar warmipampiw allintat uñjasiwayapxi. | @jenanmoussa: Jijini Aleppo nilimwona baba amekaa kwenye jabali, akitiririkwa na machozi. Alikuwa bado anatafuta miili ya mabinti zake wawili na mkewe |
21 | Jenan Moussa en Aleppo, en el lugar donde un misil Scud cayó 45 días antes. | @jenanmoussa: Wakati nikiwa nae, baba huyo alipata malapa ya mwanae na nywele kidogo (za kike) chini ya jabali hilo. |
22 | Foto compartida por @jenanmoussa en Twitter | ‘Labda ni mke wangu' aliniambia |
23 | @jenanmoussa: Kunawrasati jupampiskata ukjax mä pichu ñik'uta t'una taypit jiki, ukat situwa Inas warmixachi” | |
24 | Moussa tatax wali k'uchhikiskiwa jan walt'awin utjatapatsa: | Pamoja na hali ngumu, Moussa anafanya utani kidogo: |
25 | @jenanmoussa: Aleponkir Activistanakax wal laruyapxitu. | @jenanmoussa: Wanaharakati hapa Aleppo hunicheka. |
26 | Avwispachax nayakiw mirq'ta “flac jacket” jark'asiri jan walt'awinakat isi. | Mara nyingine mimi huwa ni mtu pekee anayevaa nguo ya kuzuia risasi nyumbani. |
27 | Jupanakax yatitaxapxiwa ch'axwaw taypina. | Watu wote wameshazoea milio ya bunduki. |
28 | Ukatx jan jayp'ux manq'ataw ikxapxani: | Na anaenda kulala bila kupata chakula cha jioni: |
29 | @jenanmoussa: Janiw jichharmax manq'asipkti ukjamarus janiw jarispkti. | @jenanmoussa: Hatujala chakula cha jioni usiku huu. Hatujaoga. |
30 | Kunati janiw anch aka Alepo markan munaskiti. | Hilo si hitaji la msingi katika mji kama Aleppo. |
31 | Aski arumakipan taqpachani. | Usiku mwema kwenu nyote. |