Sentence alignment for gv-aym-20130220-5477.xml (html) - gv-swa-20130612-5178.xml (html)

#aymswa
1Nigeria markan yapuchirinakatakit Teléfonos móviles ukax inaki?Simu za Bure Kwa Wakulima wa Nigeria?
22012 mara tukuykasaxa, Nigeriano Yapuchäw Apanaqirix (Ministerio de Agricultura) apnaqkay jawsañanak inak kampun jakir yapuchirinakar churañatak amtäwip uñacht'ayi.Mwisho wa mwaka wa 2012, Wizara ya Kilimo ya Nigeria ilitangaza mipango yake ya kutoa Simu za Mkono bure kwa wakulima vijijini.
3Aka yatiyäwina [en]:Kulingana na ripoti hii:
4Ibukun Idusote, Secretaria Permanente del Ministerio Federal de Agricultura, Federal Yapuchäw Apanaqirix (Ministerio Federal de Agricultura) tunka waranq waranqanak apnaqkay jawsañanak munasp saspänwa, N60 mä waranq waranqan waranqapaspaw chanipaxa, China-mpit EE. UU-mpituqita, taqpach marka kampun jakirinakar inak churañataki.Idusote Ibukun, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika serikali ya Shirikisho la Nigeria, aliripotiwa akisema kuwa Wizara hiyo lingetafuta fedha za kununua simu za Mkono zipatazo milioni kumi zenye thamani ya N60 bilioni, kutoka China na Marekani kwa ajili ya kuzisambaza bure kwa wakulima vijijini nchini kote.
5Nigeriana blog ukan mayj mayja amuyunak uñstayi.Mpango huo uliibua gumzo katika ulimwengu wa blogu za Nigeria.
6Kikiowo Ileowo [en] Ileowo kawkits apsu marka apnaqirix jakhthapïw (estadística) jiskt'i - kunatix 10 waranq waranqanak apnaqkay jawsañanak 10 waranq waranqanak yapuchirinakatak qhananchphana - akata:Kikiowo Ileowo anauliza mahali ambapo serikali ilitoa takwimu - kwamba Simu za Mkono milioni 10 zilihitajika kwa wakulima milioni 10:
7Jiskt'awix akawa … 10 waranq waranqanak yapuchirinakaxa kawkinkisa?swali ni … wakulima milioni 10 wako wapi hasa?
816.074.295 jan irnaqäwinakanix pallapallanakatat jan ukax 51.181.884 irnaqäwininakatacha?Je, wao ni wale kutoka jeshi la Wanijeria 16, 074, 295 wasiokuwa na ajira au kutoka kwa 51, 181, 884 walioajiriwa.
9Nayrïrichix, kunapinis Nigeria markanx achuy jani mä manq'a achüw tamachäwir tukuñataki?Kama jibu ni wale wasiokuwa na ajira, ni nini hasa wanazalisha ambacho hakijaiifanya Nigeria kuwa kitovu cha uzalishaji wa chakula?
10Jichhaxa, Nigeria-n walja manq'anak achüwix mecanizada yapuchäwimpiw lurasi kunatix ampar apnaqäwix juk'akiwa.Sasa, elewa kwamba sehemu kubwa ya uzalishaji wa chakula nchini Nigeria hufanyika kwa njia ya kilimo kinachotumia mashine inayotumia idadi ndogo ya wafanya kazi.
11“Yapuchirinaka” khitinakarut Irpirix jawsañanak churañ munix yapuchäwit jakirinak utanakpanak manq'añatak achuyapxi.‘Wakulima' ambao Mheshimiwa Rais anataka kutoa simu za Mkono kwao ni wakulima ambao huzalisha chakula kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya chakula majumbani mwao.
12Nayax utaj qhipäjan mä panqaranak achuyt, ukampix mä ‘Jona-phone' qatukiristi?Nina bustani nyuma ya nyumba yangu; je hiyo inanifanya nikidhi vigego vya kupokea ‘Simu za Jonathani'?
13Janiw kuna amuys uñjkt Irpirix yapuchaw irpirimp taqi nigerianon amuyunakar aka wali aski amuymp ñanqhachasp kunatix Uganda, Kenia ukhamarak India markanakax ukham amuyunakampiw wal nayrar sartayi.Sioni sababu kwa nini rais kwa kushirikiana na waziri wake wa Kilimo wangeweza kutusi akili za Wanigeria wote kwa kufanyia maigizo wazo zuri kama hili ambalo limebadilisha nchi kama Uganda, Kenya na India.
14Ukatatx jawsañanak chanipx askichapxiwa [en]:Kumekuwa na marekebisho juu ya gharama halisi ya simu:
15… Yapuchäw Irpirixa, Dr. Akinwunmi Adesina, Secretaria Permanente del Ministeriow yatiyäw askicht'i, kullaka Ibukun Odusote ukaxa, marka apnaqir waranq waranqan waranqap N60 chaniruw jawsañanakax alatän sanwa, ukat jawsañanak yapuchirinakar churätan público-privada yanapt'äwimp sasaw qhananchi.… Waziri wa Kilimo, Dk Akinwunmi Adesina, amesahihisha maelezo ya ripoti ya Katibu Mkuu wa Wizara, Bi Ibukun Odusote, iliyosema kuwa simu za Mkono zingeweza kununuliwa na serikali kwa gharama ya N60 bilioni, maelezo yake ni kwamba Simu za Mkono zitatolewa kwa wakulima kupitia ushirikiano wa Umma na Sekta Binafsi …
16Dr. Akinwumi Adesina, Nigeria markan Yapuchäw Irpiri DrDr. Akinwumi Adesina, Waziri wa Kilimo wa Nigeria
17Dr. Adesina, Yapuchäw Sullka Irpirixa, amtaw jark'añatakiw sayt'asi.Dk Adesina, Waziri wa Kilimo aliutetea mradi huo.
18Yatiyäwin yatiyäwix siwa [en]:Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari anasema:
19Kunawrsati Yapuchäw Irpirjam willka kuti phaxsin 2011 maran purktxa, mä ñanqha fertilizantenak tamamp jan wakiskirimpiw jikista. Marka apnaqirix (gobierno) ancha walja qulqimp jikxatas ukhamarak churas yanapt'at fertilizante qulqi tukjataskäna, ukampirus 11% juk'aruw fertilizantenak yapuchirinkax jikxatapxäna.Wakati mimi nilifika kwenye bodi ya Kilimo kama waziri wa kilimo mnamo Julai 2011, serikali ilikuwa inatumia kiasi kikubwa cha fedha kwenye manunuzi ya moja kwa moja na usambazaji wa mbolea ya ruzuku, lakini chini ya 11% ya wakulima waliipata hiyo mbolea.
20Mä qawqha marka apnaqirin fertilizantenak jikxatatax janipiniw imjasïwinakar churatäkanti.Kiasi fulani cha mbolea iliyolipiwa na serikali haikuwa ikifikishwa katika maghala.
21Mä qawqha churat fertilizantenakax juk'amp laq'aninw fertilizantet sipanxa, ukhamats walja marka apnaqirin yanapt'at fertilizante-nakax marka qurpachäwinakanak jak'anak qhatu chaniruw alxasiki.Kiasi fulani cha mbolea hiyo kilikuwa na mchanga mwingi kuliko mbolea wakati sehemu kubwa ya mbolea hiyo ya ruzuku ya serikali ilivushwa nje ya mipaka yetu na kupelekwa katika nchi jirani ambapo iliuuzwa kwa bei halisi ya soko.
22Aka askichäw tecnologíamp pampachata, fertilizantenak ñanqhachäwimp churäw tukt'ayiwa [en]:Suluhisho hili la kiteknolojia, yeye anadai lilimaliza tatizo la rushwa kwenye usambazaji mbolea:
23Pusi tunka mara fertilizante-nak tama ñanqhachäw 90 urunak saraqkipan irpirit utt'ayasitat tukt'aytana.Tulimaliza ufisadi uliodumu kwa miongo minne katika sekta ya mbolea ndani ya siku 90 baada ya kuingia ofisini kama waziri.
24¿Kunjams lurtana?Tulifanikiwaje?
25Jiwasax kampun jakir yapuchirisanakar GES (Growth Enhancement Support, jan ukax juk'amptayawir yanapt'äw jiltäwiru) chiqanch apantäwimp qasiw phaxsin 2012 maran yanapt'at fertilizantenak ukhamarak wali suma jathanak churtana.Tuliweza kufanya mbolea na mbegu za ruzuku zenye viwango vya juu zipatikane kwa wakulima wetu wa vijijini na kuanzisha GES (Msaada wa Uwezeshaji wa Kuimarisha) mwezi Aprili ya 2012.
26GES chiqanchax chiqakiw apnaqkay jawsañanak apnaqäwimp yapuchirinakar (fertilizantenakampir jathanakampir) mantäwinak churi.Mpango wa GES huwezesha kupatikana kwa mbolea na mbegu kwa wakulima moja kwa moja kwa kutumia simu za Mkono za wakulima.
27Mä plataforma electrónica (e-wallet) uñstaytan kawkinti taqpach markan yapuchirinakamp yapuchäw alxirinakamp ukhamarak achüw alxañ utanipx ukaruw qilqantana.Tumetengeneza jukwaa la kielektroniki (mkoba-pepe) ambako tuliwasajili wakulima na wafanyabiashara wa mazao ya kilimo wanaomiliki maduka yanayouza pembejeo za kilimo kote nchini.
28Jichhakamax 4.2 waranq waranqanak yapuchirinak ukhamarak niya 900 yapuchäw lakintirinakw qilqantata.Hadi sasa tumeweza kuwasajili wakulima milioni 4.2 na pia wafanyabiashara wa mazao ya kilimo 900.
29Sullka Irpirix (ministro) walja nigerianonak yapuchirinakax janiw qilqañs ullañs yatipkiti, ukampirus apnaqkay jawsañanak atipxaniw apnaqañ amuyi [en]:Waziri anadhani kwamba ingawa wakulima wengi Nigeria hawajui kusoma na kuandika lakini wana uwezo wa kutumia simu ya mkononi:
30Mä qawqha jaqinakax yapuchirisanakax t'arapxiw ukhamarak janiw atipkit apnaqañ apnaqkay jawsañanak amuyapxi.Baadhi ya watu wanadhani kwamba wakulima wetu hawana elimu na hovyo hawawezi kutumia simu za mkononi.
31Uka amuyux janiw qhananchkit chiqatapa.Ushahidi haukubaliani na madai hayo.
32GES chiqanchankasaxa, yapuchirinakax arupampipin alakipäwinak lurapx apnaqkay jawsañanak apnaqasa.Chini ya mpango wa GES, tuliwezesha wakulima kufanya miamala ya kibiashara kwa kutumia lugha zao za kiasili kwa kutumia simu za mkononi.
33Apthapit yatiyäwinakatx yapuchirinak apnaqkay jawsañanak apnaqatap mimar mara fertilizante-nakamp jathanakamp churayasiñatakixa, jawsañanakamp alakipäwinak luratax GES chiqancha uñakipasax 4.9 waranq waranqanakaw lurataxa.Kutokana takwimu tulizozikusanya kwa kuangalia namna wakulima wanavyotumia simu za mkononi kupata mbolea na mbegu kwa mwaka jana, tuligundua kwamba idadi ya miamala iliyofanywa kwa njia ya simu katika mpango wa GES ilifikia 4,900,000.
34Akanakatxa, 1.2 waranq waranqanakaw ingles aruna, 620.000 Pidgin-nana, 2.2 waranq waranqanakaw Hausa, 854.000 Yoruba ukhamarak 344 Igbo.Kati ya hizi, milioni 1.2 ilikuwa katika Kiingereza, 620,000 ilikuwa katika ki-Pidgin, milioni 2.2 ilikuwa katika Kihausa, na 854,000 ilikuwa katika ki-Yoruba na 344 ilikuwa katika ki-Igbo.
35Aka yatioyäwinakataxa, janiw kuna payachasiñas utjkiti kunatix yapuchirinakax apnaqkay jawsañanak yatipxiw apnaqaña.Kutokana na takwimu hizi, hatuna shaka kwamba wakulima wetu wanao uwezo wa kutumia simu za mkononi.
36Tecnología, Dr Adesina jupatakix [en], janiw utjkanit jan manq'a uthawix aka uraq jithiw q'al marka chäqanak pichsuwitats amuy tuküwipar yanapt'awiyiwa:Teknolojia, kwa mujibu wa Dk Adesina, imesaidia ubashiri wake kwamba hakutakuwa na ukosefu wa chakula hata baada ya mafuriko kukumba baadhi ya maeneo ya nchi:
37Uraq jithiwitatxa, wali mulljasïwiw markan uthäna… nayax janiw mulljaskti.Wakati mafuriko yalipotokea, kulikuwa na taharuki katika nchi … mimi sikubabaika kabisa.
38Jiwasax jichhax tecnología apnaqtan jiwasan amtawis kunkachayañataki.Tulitumia teknolojia ya kisasa kuongoza uamuzi wetu.
39Remoto sensore-nakamp jamuqanakamp satélite-tpach apnaqtan, uraq jithiwix kawkhankäns ukas suma uñakipataw ukat mä 1.17% yapuchat uraqikiw uraq jithiwit t'unsutän yatitaxänwa.Kwa kutumia teknolojia ya kujua maeneo na matumizi ya picha za satelaiti, tulichora picha za kiwango cha mafuriko na kufahamu kuwa si zaidi ya asilimia 1.17 ya eneo lililolimwa lilikuwa limeathirika na mafuriko.
40Jiwasar k'umirinakax janiw ukhamakit uka uraqpachar uñast'ayañ munapxäna, manq'a jan uthawix uthapinirjamawa.Wapinzani wetu walitaka dunia kuamini kinyume, kwamba ukosefu wa chakula usingekwepeka.
41Pantjasipxanwa.Walikuwa wamekosa.
42Jichhaxa, uraq jithiwit phisqa phaxsixiw, janiw manq'a jan uthawix utjkiti.Leo hii, miezi mitano baada ya mafuriko, hatuna ukosefu wa chakula.
43Ukampirusa, mä qawqha internautanakax jiskt'anakaniskapxkakiwa.Hata hivyo, baadhi wana-mtandao bado wana maswali yasiyojibiwa. Olusola Adegbeti anauliza:
44Mtu anaweza kuuliza, ingawa ni swali lisilohitaji jibu, kama ununuzi na usambazaji wa Simu za Mkono za GSM kwa mamia ya wakulima walioenea katika urefu na upana wa nchi hiyo kubwa, ni muhimu zaidi kuliko changamoto ya masuala yanayoikumba sekta ya kilimo ya Nigeria wakati huu?
45Olusola Adegbeti jiskt'iwa [en]:Hisia zako kuhusiana na suala hili ni nzuri kama langu.
46Ukhamaxa, myanix jiskt'añpapiniwa, retórica jiskt'awiskchisa, alaw ukahmara taqpach Nigeria markankir yapuchirinakar GSM jawsañanak jichhakam nigeriano achüw tamatak jach'a jan walt'awipiniti.Nikirejelea swala hili, ni rahisi kusema kwamba mtu hana haja ya hekima ya Solomoni au ufahamu unabii wa Isaya kwa kuongozwa katika mwelekeo kuwa kunayo masuala mengi ambayo tangu kitambo yameikumba sekta ya kilimo.
47Uka uñakipasaxa, wali askiw saña janiw kuna Salomón amuyun jan ukax Isaías arjir amuyuniñäkit jan walt'awinakamp kunkachayasiñatak ukapachat achüw tamar wal wajchachi, kunjamas yapuchaña uraqir jan utjkasa, jan ñanqahachäwin ukhamarak qhisphit qulqi mayt'aw tamanakax utjkit yapuchirinak ukhamat achuyir maquinarianakamp comercial-amp jikxatañpatak kawkiti taqi markar wali thurt'ayir, tecnología jan jasak jikxataña ukhamarak wakiskir estructura de soporte agroquímica maran yapuchäwitak ukhamarak walja marataki jan uthasaxa, kunjamas uywa uywäwixa…Masuala kama vile kama ukosefu wa upatikanaji rahisi wa ardhi ya kilimo, ukosefu wa taasisi za kuaminika na zisizo na mianya ya rushwa ili kuwawezesha wakulima kupata mashine za kisasa zinazohitajika kwa ajili ya kilimo cha kibiashara ambacho kwa kawaida huwa ndio uti wa mgongo wa kila taifa, ukosefu wa upatikanaji rahisi wa teknolojia zinazohitajika katika kilimo na mfumo wa kuwezesha kupatikana kwa dawa za kilimo kwa ajili ya kilimo endelevu kwa mwaka mzima pamoja na ufugaji …. Jarida la Sun linauliza kama kweli wakulima wanahitaji Simu mpya za Mkono, wakati tayari wana namna moja au nyingine ya vyanzo vya habari?
48The Sun [en] jiskt'iw machaq apnaqkay jawsañanakax yapuchirinakaytakix wakiskiripiniti, kunawrsati mä amuyunijapx jan ukax yaqha yatiyäwinakanijapxi:Ni wazi pia kuwa Simu ya Mkono si njia bora ya kufikia wakulima ambao wengi wao wanaishi katika maeneo ya vijijini.
49Jawsañatakix janirakiw wali khusa yapuchirinakar puriñatakïkiti kunatix niya taqpachäniw markat jayan jakapxi.Vituo vya habari vya vijiji na redio ni njia bora zaidi.
50Kampun yatiyäwinakaxa, utt'at yatiyäw uñacht'äwinak ukhamarak uxurinak juk'amp askinakawa.Kuna njia ambazo serikali inaweza kukuza uzalishaji wa kilimo katika nchi, kuliko utoaji wa simu.
51Ukhamarak wali aski chiqa amyunakaw utj aka jawsañanak churäw sasax kawkirinakampit marka apnaqirix laphi achüw markan sarantayaspa.Muhimu zaidi, serikali haina haja ya kununua simu kwa ajili ya wakulima kwa sababu wale kati yao ambao wanaweza kutumia simu hizo, tayari wanazo.
52Juk'amp askipinixa, marka apnaqirix janiw yapuchirinakataki jawsañanak alañpäkit kunatix khitinakati jawsañanak apnaqxapjixa, jawsañanakapxiwa.Kwa vile Simu za Mkono huuzwa kwa bei ya chini kama kati ya N2000 na N3000 nchini Nigeria, mkulima yeyote anaitwa mkulima anaweza kumudu simu, na zaidi huenda anayo tayari.
53Aljañ jawsañanakamp markan kunjamas N2000 ukhamarak N3000 juk'a chanirukix, kawkir yapuchiris mä ssutinïñ munsapax atispaw jikxataña, sutininakaxpachawa.Kama hawana, kitu ambacho serikali inahitaji kufanya ni kuwapa uwezo wa kuweza kujimudu ili waweze kununua chombo hicho cha msingi.
54Jan ukhamäkchixa, marka apnaqirix aka aski yänak churañpawa.Disu Kimor anadhani kwamba mradi huu una harufu ya ujanja ujanja:
55Disu Kimor [en] jan wakiskir amtjamaw amuyi: Uraqpacharuw aka jan wakiskir amtanakax laruyan kawkinti jiwasax señamp aruskipäw juyckhunakar yatichañ muntana.Miradi ya ujanja ujanja kama hii itaimarisha mtazamo wa uliosambaa duniani kote kuwa wa-Nigeria ni vichekesho tufundoshao kipofu lugha ya ishara.
56Kawkir markas kunjamas Nigeria markaxa, nayrar achüw tama sarantayañ munchixa, marka apnaqiriw yapuchirinakar manq'a achüñatak yanapt'añpa sapakut irnaqäw utjañpataki, suma yatxatäwimp ukhamarak nayrar sarantäwimpi, umanïñampi, combustible juk'a qulqiruk jikxatañamp ukhamarak ampar irnaqäwimpi, (jan ñanqahachasa) achüw maquinariamp kunakampit wakisk yänakampi yanapasa.Nchi yoyote inayoendelea kama Naijeria inayotaka kuendeleza sekta ya kilimo, italenga kuifanya serikali iingilie kati kusaidia wakulima kuongeza uzalishaji wa chakula, kuboresha utafiti na maendeleo, maji, kuhakikisha gharama ya chini ya mafuta na kazi, ( bila rushwa) pia ruzuku kwa kilimo vifaa na miundombinu ya msingi.
57Disu tukuyiwa [en]:Disu anahitimisha:
58Mä uruxa, qharürunakaw aka markat organismos gubernamentalenak niya qhispit ukhamarak políticonak irpirinaka taripäni (juzgar), kawkirinakanti qunqurit markar sarayañ munir jan ukax lunthatsuñatak ukhamarak taqi markachirin qulqip tukjañ llakisïwinakanixa.Siku moja, vizazi vijavyo vitahukumu vigogo na wanasiasa wa nchi hii ambao kazi kubwa ni kuitafuna nchi au kutumia vibaya fedha za umma zinazohitajika sana.