Sentence alignment for gv-aym-20150607-7287.xml (html) - gv-swa-20150530-8830.xml (html)

#aymswa
1África markan arst'at arunakapaLugha za Pili Zinazoongozwa Kuzungumzwa Zaidi Afrika
2Osborne tatax Universidad Olivet Nazarene ukan sitio web tuqinw mä mapa “Uraqpacha payïr jila arsut arunakapa” sasinw qillqt'i.Don Osborne anajadili habari iliyowekwa kwenye tovuti ya Chuo Kikuu cha Olivet Nazarene ikionesha ramani ya “Lugha za pili kuzungumzwa zaidi duniani.”
3Mapan jan walt'äwix uñstk uka uñt'ayi:Anaeleza matatizo makuu kutokana na habari hiyo:
4Nayraqatax “Kawkïr markans oficial uñt'at arukï ukapuniw arst'ataxa”.Suala la kwanza ni kudhani kwamba “lugha inayozungumzwa zaidi kwenye nchi yoyote huwa wazi; mara nyingi, ni lugha ya taifa husika.”
5África markanx Mali, aruw arst'ata, perfil lingüístico ukax aka blog ukanw arunakax uñt'ayata- bambara arux francés arut sipans jiplapach arst'atawa.Barani Afrika hali ni tofauti, kama kusema “lugha inayozungumzwa zaidi” maana yake ni kuhesabu idadi ya wazungumzaji.
6Oficial arux sañ muniwa, África markan arst'at arupa, ukhamakipanstï uka sitio ukanx pä markan arunakapaw jan utjkiti: •Sur de África uksanx 11 aruw utji ukankax oficiales ukham uñt'atawa (sitio Olivet ukanx - zulú - aru uñt'ayi).Kwa mfano nchini Mali, ambapo hali ya lugha iliangaziwa kwenye blogu hii katika kutazama uzungumzaji wa lugha - Kibambara kinaonekana kuwa lugha maarufu kuliko hata lugha rasmi ya Kifaransa. Lugha rasmi si kigezo kinachoaminika katika kupima umaarufu wa lugha barani Afrika, zaidi ya mukhtadha (muhimu) wa matumizi rasmi na umaarufu wake.
7UKa arux wali arst'atapuniwa.Kwa mifano ya nchi hizo mbili, kuna masuala mawili yanajitokeza:
8Xhosaspero jupax oficiales arunakax janiw apnaqatakit sasinw saraki.•Afrika Kusini inazo lugha 11 rasmi (tovuti ya Olivet imetaja Kizulu pekee kuwa lugha rasmi).
9•Ruanda ukanx kimsa arunakaw utji ukanakax oficiales ukham uñt'atarakiwa, ukax aknïr arunakawa: kiñaruanda, francés ukat inglés, República Centro Africana uksanx pä aruw arst'ata: sango ukat francés.Kwa hiyo moja wapo ya lugha rasmi inakuwa lugha ya pili kuzungumzwa. Pengine lugha hiyo inaweza kuwa ki-Xhosa kama inavyooneshwa, lakini mtazamo wa kutumia lugha rasmi kama kigezo hauonekani kufanya kazi katika mazingira haya.
10•Rwanda ina lugha tatu rasmi (Kinyarwanda, Kifaransa, na Kiingereza), na Jamhuri ya Afrika ya kati inazo mbili (Ki-Sango na Kifaransa).
11Uk sitio ukanx aka pä arux janiw uñjaskiti, kunats jan ukankpacha ukampirus aka arux walja arst'asirinakaniwa, suajili arux “payïri” aruwa Ruanda markan arst'atawa,indigenas arunakax República Centro Africana uksanw utji - ukam`pirus aka arunakatx janiw khitis qhananchkchistuti.Kwa sababu tovuti haijazingatia lugha hizi rasmi katika kujadili lugha za pili zinazozunguzwa zaidi, imejikuta ikidai kwamba Kiswahili ni lugha ya pili kuzungumzwa zaidi nchini Rwanda, na kwamba lugha za asili ndizo zinazotumika zaidi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati - jambo ambalo halitoi taswira halisi.
12Akan payïr aruskipäwinaka.Soma sehemu ya pili ya hoja zake hapa.