Sentence alignment for gv-aym-20100916-599.xml (html) - gv-swa-20100731-1560.xml (html)

#aymswa
1Níger: Ch’ujtat Manq’at PisinkañaNiger: Njaa ya Kimya Kimya
2Sahelenan manq'a pistäwi, janiw yatiyatakiti, jichhapachax Nigeranx 2.5 millones jaqinakaw manq'at pist'añan aynacht'atapxi.Janga la njaa ambalo kwa kiasi kikubwa haliripotiwi ipasavyo huko Sahel limechukua sura kubwa ya kutisha kufuatia kiasi cha watu milioni 2.5 nchini Naija hivi sasa kuathirika na uhaba wa chakula.
3Programa Mundial de las Naciones Unidas para a Alimentación satax WFP, yanapt' jiljatayañ akhamat amtatäna, markachirinakar jark'aqañataki, Nigeran bloggers satanakax 2005 maran manq'at pist'awix utji, ukat amuyt'apxi aka marax maymaratsipans jallun jani puritapawa.Mpango wa Kimataifa wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umeamua kuongeza hatua za dharura Wanablogu nchini Naija wanatafakari janga jingine la chakula baada ya lile la mwaka 2005, baa la njaa la mwaka huu ambalo ni matokeo ya upungufu wa mvua mwaka jana.
4Hombres ante el Desierto de Sahel de Nawal_ con licencia CC en FlickrWaume wakielekeza nyuso zao katika Jangwa la Sahel imepigwa na Nawal _kwa leseni ya Creative commons kwenye Flickr
5D.D.
6Evariste Ouédraogox ukjan qillqt'awayi, politikunakax Nigeranx manq'at pist'añ uchañ amtpxapuni [fr]:Evariste Ouédraogo aliandika yafuatayo kuhusu namna wanasiasa wanavyojaribu mara zote kupindisha mabaa ya chakula nchini Naija kwa namna ambayo huwaweka wao katika mwanga mzuri zaidi [Kifaransa]:
72005ni maranxa, Jilïr irpirinakax tentado ukhamapunipxanwa, ukat juk'a urunakarux Nayrïr Ministropax (PM) Mundial ukaruw yanap mayiwayi, manq'at pisinkatapalayku.Mwaka 2005, mamlaka yalijaribu kupenyeza mawazo ya ushawishi kwamba tishio la njaa lilikuwa ni uvumi tu ulioenezwa bila ya aibu [..] Siku chache baadae, waziri mkuu, katika hali ya kujipinga hoja mwenyewe, bado aliomba msaada wa jumuiya ya kimataifa kwa sababu ya …njaa.
8[…] Jichhurux chiqäki ukax yatxatiwa: Nigeran tunka uru makiptkipanx Jilïr p'iqinchirin televisióntuqi arsuwayatapat yatipta, “manq'at pisinkañax waranqa waranqa nigerunakaruw yanqhachi”.Mwaka 2010, ukweli unajitokeza tena: siku 10 baada ya mabadiliko ya utawala nchini Naija, tunasikia kutoka kwa mkuu wa utawala wa kijeshi kwenye luninga kwamba njaa inatishia mamilioni wa wananchi wa Naija kutoka mikoa yote ya nchi hiyo.
9400.000 tonelada ukhawa pisiqtawixa.Uhaba wa chakula ulikadiriwa kuwa tani 400 000.
10Mamadou Tandja arsuwiparux janiw chiqäkiti.Kinyume kabisa cha kauli iliyotolewa na Mamadou Tandja ambaye alikuwa anakerwa na habari za hali mbaya ya chakula.
11Grioo.com ukax nigerunakax kamsapxisa jall ukxat jach'at arsusaw jiskt'i. “Kawkharus Uranio aljatax sarï?Grioo.com inauliza kwa sauti kubwa swali gumu lakini lililo bayana kwamba Wanaija wengi wanashangazwa kuhusu: ““fedha zilizopatikana kutoka kwenye biashara ya madini ya Uranium zilikwenda wapi?”
12[fr]”” [Kifaransa]:
13Ex-jefe de Estado de Niger ukatx AREVA ukan ch'amañcht'atanakap arst'apxañäni, uranio explotación amtat turkakipawita. [..] Janiw yatiyaskaniti, walja markachirinakan qullayasiwi, uma, ukat yaqhanakampitak qulqinakax irtatañapawa.Na tukumbuke shinikizo kati ya wakuu wa nchi wa zamani nchini Naija na viongozi wa eneo la Areva kuhusu kupitiwa upya kwa mikataba ya kuchimba Uranium […] Hatutaweza kupingana vya kutosha na mbio hizi zinazosaidia magenge ya watu wenye kazi za ofisini kufakamia hazina za umma ambazo zinapaswa kuchangia katika kuwasaidia raia ambao wanakosa chakula, maji na huduma za afya ya msingi.
14Ukatx qhuyanakat qulqix utjki ukax waljaniruw jan yanapt'kiti.Kiasi cha fedha kutoka kwenye rasilimali za madini kamwe hakiwasaidii walio wengi ambao hawana sauti.
15Ukatx aka milenio qalltaruw uka jan walt'awinakax tukusxañapa.Vioja vya Kiafrika ambavyo havitushtui tena. Hata hivyo, kashfa hii inapaswa kuisha sasa katika mwanzo wa Milenia mpya.
16Africanas uksa markanakan qhuyat qulqinakax utjki ukax janiw yanapkiti sas sañax utji.Inaonekana kana kwamba utajiri wa madini unaleta dhiki tu kwa idadi kubwa ya Waafrika.
17Ukatx ukjampunispaw cereales yapuchañanakar sartayañataki.Itakuwa hivyo mpaka vyanzo vyote vitakapokoma kutumika kuwa mashamba ya kulimia.
18Kathryn Richards at Care satax manq'at pisinkañ pachatx mä qawqha amuyunak arst'awayi.Kathryn Richards at Care anatushirikisha mawazo machache na ushuhuda wa “majira ya njaa” kadri idadi kubwa ya watu wa vijijini wanavyojikuta wakiwa kwenye uhitaji mkubwa wa mifugo ya kuchunga::
19Ukhamax patatuqin markachirinakax uywa uywañatak yanapt' mayiñankapxiwa:Naija ni nchi ya vinyume.
20Niger markax uranio, petróleo yänakaniwa, ukatx markapax wali pisinkiriwa. [..]Tajiri katika madini na mafuta yaliyogunduliwa siku za hivi karibuni lakini watu wake ni masikini wa kutisha. [..]
21Manq'anakax wali jila chaniniw qhathunx utji, ukatx juk'anikiw añlt'asipxi.Chakula kinapatikana katika soko -lakini kwa bei iliyopaa sana ambayo ni watu wachache tu wanaweza kuimudu.
22Wila masinakax juk'a chanrukiw uywanakpx aljasipxi, manq'a alasiñataki.Familia zinauza mifugo yao kwa bei ya chini ili kununua chakula.
23Mayni aljirix Mohammed Gusnan satawa: “Ch'amawa, uywa uywachirinakjamax wali k'uchipxayätwa.Mohammed Gusnam alikuwa mmoja wa watu hawa: “ Ni vigumu . Kama wafugaji tulikuwa kama wana wa mfalme, wenye kiburi.
24Jichhax uywa uywañ uraqix chhaqtaskiwa, ukatx aldean ataskatapxtawa.Sasa ardhi ya kuchungia inapotea na tumekwama huko kijijini.
25Aldeax mä mutuñ utakaspas ukhamaw nayatakixa”.Kijiji ni kama gereza kwangu.”
26Jaysäwi, jichha manq'at piskañaxa, 2005 marat sipans jank'akiwa.Mwitiko wa sasa wa janga la chakula, hata hivyo, unaonekana kuwa na kasi kubwa zaidi kuliko ilivyokuwa mwaka 2005.
27Cyprien Fabre, Comisión Europea de Ayuda Humanitaria ECHO sat jefex aknïr yant'aw churi:Cyprien Fabre, kiongozi wa kitengo cha eneo maalumu wa Tume ya Ulaya ya Misaada ya Kibinadamu (ECHO) anatoa tathmini ifuatayo [fr]:
28Mecanismos temprano de alerta satax walja jan walt'ayat markanakan yanapt'añatakiw sarantaski.Viamshi na miundo ya kutoa misaada inafanya kazi katika nchi nyingi zilizoathirika na mafungu ya fedha yalitengwa kwa utendaji kazi kama ipasavyo.
29Qulqinakax jank'a churatawa.Operesheni zinaendelea katika nchi za Naija, Burkina-Faso na Mali.
30Neger, Burkina, Faso ukatx Mali markanakanx askinjamaw sarantaski.Chadi inahitaji mawakala zaidi kwa ajili ya ufanisi wa zoezi la utoaji misaada.
31Chad ukax walja actores ukanakaw muni.Bado mashirika mengi yanaamini kwamba vitendea kazi bado vinawasili kwa uchelevu sana.
32Walja tantachawinakaw yanapanakax k'achat puski sas sapxi. 1) yanapnakax chiqpachaw puriski 2) yant'asiwix juk'amp jaya markanakaruw puri.Mashirika hayo yanabainisha sababu mbili za uchelevu huo: 1) kuhakikisha kwamba wafadhili wanakuja na fedha za ufadhili na 2) changamoto za kuifikia idadi kubwa zaidi ya watu katika maeneo yasiyofikika kirahisi.
33Waljaninakaw uka desembolsux jank'akispa, chiqpachaspa sas lup'ipxi juk'apachanak manqaapayañsipansa sasa.Wengi wanafikiri kwamba kutoa fedha taslimu inaweza kuwa ni njia ya haraka na ya ufanisi zaidi katika kipindi kifupi kuliko kutuma (misaada hiyo kwa namna ya) chakula [Kifaransa]:
34Aruskipawinxa, marka markachirinakamp juk'amp jaqinakamp kunax achuwinakaw chhaqti sas sapkan ukanakaxa, jathanakwa munapxta sapxiwa, maysatxa qhathu jak'ankirinakax achüwin chhaqtawiw utjaspa sasaw sapxäna.Wakati wa mazungumzo na wanajamii hizo, watu wengi walisema kwamba wangependelea kupata fedha taslimu badala ya mbegu za nafaka. Jamii zilizokuwa zimepoteza mazao mengi au wale wanaoishi mbali na masoko wanachagua mbegu za nafaka; wale wenye uwezekano wa kufika kwenye magulio hawajapoteza sana ama wanayo ardhi isiyotosha, hupendelea kupata fedha taslimu.