Sentence alignment for gv-aym-20140520-6545.xml (html) - gv-swa-20140527-7467.xml (html)

#aymswa
1Chile markanx yatiqirinakax unxtasipxiwa, jupanakax reforma educativa mayipxiWanafunzi Waandamana Nchini Chile Kudai Mageuzi ya Kielimu Maandamano Jijini Santiago de Chile.
2Protestas en Santiago de Chile.Picha na mtumiaji wa Flickrr NOtodoesARTE.
3Imagen del usuario de Flickr NOtodoesARTE.CC BY-NC-ND 2.0.
4CC BY-NC-ND 2.0.[Viungo vyote vinaelekeza kwenye kurasa zilizo kwenye lugha ya Kihispania.]
5Michelle Bachelet jilïr irpir irpxarkipanx aka 8 uru aka llamayu pxasitx nairïr kutiw yatichaw tuqitx unxtasiwix utjawayi.Maandamano ya kwanza kudai elimu wakati wa utawala wa sasa wa Rais Michelle Bachelet yalifanyika Mei, 8, 2014, yakiwa na ruhusa.
6Uka unxtasiwinx aknïr tamanakaw chikanchasipxäna Confederación de Estudiantes de Chile (Confech), Asamblea Coordinadora de Estudiantes Secundarios (ACES), Coordinadora Nacional de Estudiantes Secundarios (Cones), Movimiento de Estudiantes de Educación Superior Privada (Mesup), Organización de Federaciones de Educación Superior Privada (Ofesup) ukatx Asociación de Funcionarios del Ministerio de Educación (Andime) taqi ukanakw chikancasiwapxi.Maandamano yalihudhuriwa na makundi kadhaa. Kuyataja kwa uchache ni pamoja na Shirikisho la Wanafunzi la Chile (Confech), Mkutano wa Taifa wa Wanafunzi wa Sekondari (ACES), Mratibu wa Taifa wa Wanafunzi wa Sekondari (Cones), Vuguvugu la Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Mesup), Muungano wa Mashirikisho ya Sekta Binfafsi ya Elimu ya Juu (Ofesup) na Chama cha Maafisa wa Wizara ya Elimu (Andime).
7Jupanakax mayipxiwa, inak yatichaw (educación gratuita) ukhamarak aski yatichaw utjañapa.Maandamano yalidai elimu inayotolewa kwa usawa na bure pamoja na ushirikishwaji wa moja kwa moja kwenye mageuzi ya elimu yanayoendelea hivi sasa.
8Diario La Tercera ukax akham yatiyawayi:Gazeti la La Tercera liliandika:
9Yatiqirinakan sartasiwipa: Ma anatasiwikaspas ukhama?Maandamano ya wanafunzi, nini hakiendi sawa sawa hapa?
10Pdta de la Feuc ukax akham sasin si yatiqirinakax “reforma ukan chikancht'asiñ munapxi” http://t.co/kkESMigWrCRais wa Feuc anasema wanafunzi wanadai “kushirikishwa kwenye mageuzi”.. Maandamano yalifanyika wakati huo huo kwenye mji mkuu wa Santiago sambamba na maeneo mengine ya nchi hiyo.
11- La Tercera (@latercera) May 8, 2014Ushiriki na uwepo wa idadi nzuri ya wanafunzi ulikuwa bayana:
12Uka unxtasiwix capital, Santiago, markan utji:Inapendeza kuona kuwa maandamano ya wanafunzi yalikuwa makubwa jijini Santiago na kwenye maeneo mengine.
13uka unxtasiwix masiba ukhamakiwa#Santiago #ChileTumeungana pamoja kwa ajili ya elimu pya itakayoijenga Chile mpya.
14- René Naranjo S. (@renenaranjo) May 8, 2014Maelfu ya vijana walishiriki kwenye maandamano ya kwanza ya wanafunzi yaliyofanyika mwaka huu mwezi Machi huko Concepción.
15Waranqa yatiqirinakaw unxtasipxi #Concepción http://t.co/Tu0LiT2jIT vía @biobio - Radio Villa Francia (@rvfradiopopular) April 24, 2014Kulikuwa na maandamano kwenye miji mingine kwenye maeneo ya mashambani pia, kama vile Iquique, Valparaíso, jiji ambalo ndiko liliko Bunge la Taifa, na Valdivia.
16Uka unxtasiwix aknir markanakaw utjawayiIquique, Valparaíso, sede del Congreso Nacional, ukat Valdivia taqi uka markanakana. Yaqhip markanakan uka k'ask'a qullanakamp yanqhatachataw uñjasipxana.K abahati mbaya, kwenye baadhi ya maeneo maandamano yalikabiliwa na usumbufu wa hapa na pale, hasa uliosababishwa na watu wengine wasiokuwa wanafunzi na ambao hawakuwa na maslahi yoyote kwenye madai hayo.
17Naschla Aburman, presidenta de la Feuc, uñt'awayiwa ukanakax janjamaw walikiti sasina. Twitter apanaqirinakax arst'apxiwa:Naschla Aburman, rais wa Feuc, aliviita vitendo hivyo vya usumbufu kama “matukio machache” na kusema kwamba vitendo hivyo havikuwa wajibu wa waandaaji.
18AHORA: Intendente @orrego “janiw kuna incidente ukas utjkiti” uka unxtasiwinxa.Watumiaji wa Twita walitoa maoni yao kuhusu ukweli huo, wakisambaza picha na taarifa kuhusu matukio hayo:
19- Mauricio Bustamante (@tv_mauricio) May 8, 2014SASA: Gavana Orrego anasema, “hapakuwa na matukio yoyote” wakati wa maandamano ya wanafunzi.
20Universidad Central uka unxtasiwix walja qullqi willtaw apani sasina http://t.co/FzRaeoNUa8 pic.twitter.com/bFNv4ACkKL
21- Cooperativa (@Cooperativa) May 8, 2014Hata hivyo, kulikuwa na “watu waliokuwa wamepangwa kufanya vurugu” katika maandamano hayo.
22General Ricardo Solar jupax 101 yatiqiriw katuntata sasina. - La Tercera (@latercera) May 8, 2014Chuo Kikuu cha Central kilitoa taarifa kuwa kulikuwa na matukio ya uharibifu wa mali zenye thamani ya pesos milioni 20 [kama dola za Marekani 36,000] baada ya maandamano ya wanafunzi.
23@romina_ms @CNNChile Romina, nayax yatiqiritwa, ukat uka unxtasiwirux ch'amanchtt'wa.Jenerali Ricardo Solar anasema kuwa idadi ya watu waliokamatwa baada ya maandamano ya wanafunzi inafikia 101.
24- Rodrigo Gacitúa G (@RGacitua_G) May 8, 2014Romina, mimi ni mwanafunzi, na ninaunga mkono maandamano ya amani, lakini haya makundi yalipangwa.