Sentence alignment for gv-aym-20140518-6519.xml (html) - gv-swa-20140426-7265.xml (html)

#aymswa
1Uñacht’aw waraqt’awi: Irani yatiqirinakax tuqisiwapxanw kunapachatix pulitikus aruskipawinakax utjkana, ukaxa.VIDEO: Wanafunzi wa Iran Wavuruga Hotuba ya Mgombea Urais wa Chama Tawala
2Mä qutu yatiqirinakaw Irán Teherán universidadtuqinx Amirkabir [ar] jach'a qillqsunanak apat'asit wali arnaqt'asis mâ aruskipawinx jikxatasipxana, akax mä jan walt'awitanwa aka presidente chhijllawtuqinxa Saeed Jalilipä waranq maran tunka pusin ur saraqkipan abril phaxita.Kikundi cha wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Amirkabir kilichopo Tehran nchini Iran, kiliimba kauli mbiu za kuunga mkono Upinzani, huku wakibeba mabango na kupeperusha bendera ya Iran wakati wa hotuba ya mgombea aliyeshindwa mhafidhina ambaye alikuwa mpatanishi mkuu wa nguvu za nyuklia Saeed Jalili mnamo Aprili 14, 2014.
3Kuntix arnaqasipkanx amuyt'awinak yanapt'arakinwa a Mir Hussein Mousavi y Mehdi Karroubi, ch'axwaw p'iqinchirinaka ch'uxña unxtasiwix mark p'iqinchir chhijllañatakix [en] markaruw jan walt'ayawaykiti Mahmoud Ahmadinejad tatax pä waranq llatunkan maranxa. markachirinakax chhijllawinakarux janiw askikiw sawapkiti, jan ukasti fraudi ukaw utjawana Ahmadinejad.Nyimbo hizo zenye maneno yanayotumiwa na wapinzani zilikuwa zinamwuunga mkono Mir Hussein Mousavi na Mehdi Karroubi, ambao ni viongozi wa maandamano ya Green Movement yalifanikiwa sana nchini humo kufuatia kuchaguliwa kwa mara nyingine kwa kishindo kwa Rais Mahmoud Ahmadinejad mwaka 2009. Waandamanaji waliyachukulia matokeo hayo kuwa ya kuchakachuliwa, na mamiliano waliandamana kumtaka Ahmadinejad aachie madaraka.
4Marka nayraru irpirinakax mä masiva campaña qallantawapxi [en] akax khitinakapxans pä waranq tunka maranx ukanaktuqi, Mousavi, Karroubi, panpach jilata ukhamaraki de Mousavi Zahra Rahnavard warmipa jupanakax [en] utapar jist'antatapxanwa, pä waranq tunka mayan marana tunka pusin ur achuqa phaxsit saraqkipana.Hata hivyo, vyombo vya dola vilianza kupambana kwa nguvu na vuguvugu hili mapema mwaka 2010, na Mousavi pamoja na Karroubi, ambao wote ni wagombea wa urais, ikiwa ni pamoja na mke wa Mousavi aitwaye Zahra Rahnavard ambao kwa pamoja waliwekwa chini ya ulinzi na kuzuiliwa kutoka nyumbani kuanzia Februari 14, 2011.
5Amirkabir uksa jach'a yatiqañ utanx yatiqirinakax wali jach'at art'asipxana “nanakan chipuwijanakax nayriri ministro iran jupatakiwa” Mousavi, jupax 1980 ukatx 1988 uka maranxnayrir mark irptirinwa, ukampirus, maysatuq partirtuqitx yatiqirinakax nayraqattuqir qunt'atapxanwa, jupanakax yanapt'apxanw Jalili jupa jilataru, ukampirus arnaqasipxanw akhamaraki “aynacha Estados Unidos”, jupanakarux aka aynach waraqt'awin uñjaraksna:Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Amirkabir waliimba, “Kura zetu tunampa Waziri Mkuu wa Imam,” wakimaanisha Mousavi, ambaye alikuwa waziri mkuu kuanzia mwaka 1980 mpaka 1988 wakati ambao Ruhollah Khomeini alikuwa madarakani kama kiongozi mkuu wa nchi hiyo. Wakati huo huo, wanafunzi wahafidhina wa Basiji waliokuwa wamekaa kkwenye viti vya mbele, na wanaomwuunga mkono Jalili, nao walianza kuimba “unaanguka na Marekani.”
6Jalilirin tama arux akarakinwa nucleares jikxatawinaka [en].Wanaweza kuonekana mwishoni mwa video hii ya YouTube, inayoanza na kuwaonyesha wanafunzi wanaounga mkono Upinzania:
7Alireza Taba tuiteó [ar] mä qawqha yatiqirinakax unxtasiwinkapxanwa, jupanakaxsuma sarnaqaw yach'a yatiqañ uta ch'axwapxanwa.Mada kuu ya hotuba ya Jalili ilikuwa ni mafanikio ya kinyuklia ya nchi hiyo.
8llatunkan yatiqirinakaruw comité tuqir jawsayawapxatana kunalaykutix Jalilituqi aruskipapxana. Hanif Z.Kashani informó [en]:Alireza Taba alitwiti kwamba baadhi ya wanafunzi hao waliokuwa wanaandamana walikutana na adhabu ya utawala wachuo baada ya hapo:
9Yatiqirinakax Nuclear phunchhawitakiw jank'acht'asiwapxi ukhamarakiw jaylliwinakas ukatx arnaqasiwinakas Jalili jupa tataru jan walt'ayawakiti ukhamaraki Basiji yatiqirinakarusa jan walt'ayawaykiti.Takribani wanafunzi tisa walioandaman wakati wa hotuba ya Jalili waliitwa na kamati ya nidhamu. Hanif Z.Kashani aliripoti:
10Via @Shimazadi IránWanafunzi wanapinga “Chama Cha Nyuklia”, nyimbo zao zilimtoa Saeed jalili
11Usuario amirHP uka sartasiwxat tuytiyataynawa [en] :Kwenye mtandao wa twita, mtumiaji amirHP alitwiti kuhusu maandamano hayo:
12Jalili tatax nuclear ur amtaskix ukhax jutatanawa, jach'a qillqantawinakaw Mousavi jupatuqir yanapt'atkamanwa.Jalili alikuja kwa ajili ya maaadhimisho ya siku ya nyuklia lakini nyimbo za vibwagizo vya watu wanaomwuunga mkono Mousavi ndio zimetawala
13Usuario Asame qillqataynawa [en]:َUser Asame wrote:
14- اسامه (@O_s_a_m_e_h_h_p) April 15, 2014Haijalishi kama ni [Rais wa sasa wa Iran] Hassan [Rouhani] au Hussein [Mousavi], lakini vuguvugu linaendelea.