Sentence alignment for gv-aym-20120814-4594.xml (html) - gv-swa-20130421-3786.xml (html)

#aymswa
1Irán: Kunawsati uraq khathatix jan walt'ayki, ukhax “televisión ukanx yaqha yatiyäwinakakw yatiyi”Iran: Wakati Matetemeko yanaua, “Televisheni Zinafundisha Sala” Makala haya yamechapishwa kwa kuchelewa kutokana na sababu za kiufundi.
2Iran markan Provincia de Azerbaiyán Oriental uksanx pä uraq khathatiw jan walt'aykataynati, 11 uru llumpaqa phaxsit aka 2012 marata, 250 jiwataw utji ukatx niya 1,800 usuchhjatarakiw utji.Tunaomba radhi kwa kuichelewesha. Matetemeko makubwa mawili ya ardhi yalilitikisa eneo la kaskazini magharibi nchini Iran, Mashariki jimbo la Azarbaijan mnamo Jumamosi (Agosti 11, 2012), na kuua watu 250 na kujeruhi karibu 1800.
3Uka uraq khathatix 6.4° ukat 6.3° ukhanw khathatawayatayna,ukatx walja jan walt'aw uñst'ayawayi.Matetemeko ya ardhi kipimo cha 6.4 na 6.3 katika ukubwa, na kusababisha uharibifu mkubwa na mateso.
4Iraníes ukankirinakax internet uksaw jan walt'añan jikxatasipk ukanakar wilamp yanaptañatak mayt'asax arst'apxi.Wa-Irani waliingia kwenye mtandao wa intaneti ili kuwaombolezea wahanga na kuomba watu kujitolea damu na msaada.
5Ukapachparakiw iraní ukan television nacional utjiki ukatakiw wal phiñasipxatayna, religioso ukxat aruskpachax uka uraqi khathatiw utjk uka jan walt'äwinakats yatiyaskaspa sasina.Pia walionyesha hasira zao kwa televisheni ya kitaifa ya Iran, ambayo hutangaza vipindi vya dini, badala ya kutoa taarifa kwa watazamaji kuhusu matetemeko ya ardhi na jinsi ya kusaidia.
6Fuente: Campaña Internacional por los Derechos Humanos en Irán.Chanzo: Kampeni ya Kimataifa ya Haki za Binadamu nchini Iran
7Damavandiyeh sutinisti qilqt'iwa [fa]:Damavandiyeh aliandika [fa]:
8Walja jaqinakaw escombro manqhanakankasipki.Watu wengi bado wako chini ya kifusi katika vijiji.
9Iaran markanx janiw privad canales ukanakax utjiti, ukat estadon canalanakapx religiosos uka wakichäwinakatakw yatiyaspki, jaqinakar yanapt'añatak yanap maykpachaxa.Vituo vyote vinavyo endeshwa na taifa [katika Iran hakuna kituo cha kibinafsi] vina tangaza vipindi vya dini, badala ya kuwaita watu kusaidia.
10Irán markan Azerbaiyán Oriental sutin jilïr irpirix “Día del Juicio' ukwa aka uraq khathatix amtayistu sakiw satayna.Mwakilishi wa Iran Koingozi Mkuu katika Mashariki ya Azarbaijan alisema tetemeko hili linatukumbusha “Siku ya Hukumu ‘.
11Green City yapxat'iwa [fa]:Green City aliongeza [fa]:
12Jaqinakax escombronakamp q'ala allxatatapxiwa, ukat wal yanap munapxi,[Dua'a Jawshan Al Kabir] ukatw religioso wakichäwinakatw telivisionanakax yanapi.Watu wako chini ya kifusi wanaohitaji msaada lakini vituo vya televisheni vya Iran vinatangaza vipindi vya dini [Dua'a Jawshan Al Kabir] na mmoja wao ni kuonyesha “Chini na Marekani' [kaulimbiu]…
13“Abajo Estados Unidos' [lema]… ukxatw uñacht'ayi.Aandishe alitafakari juu ya janga hilo,akishangaa kwa nini kamwe hawajifunzi na makoza ya uzoefu:
14Aandishe ukasti jan walt'äwinakxatw amuyt'i [en] akham jiskt'asisina kunats sapa marax ukham jan walt'äwinakt yatiyapacha sasina: Taqiniw ukanakx makiptapxatayna….kunats nayrür uraq khathatinakat jan amuyasna….p'inqapuniw uka k'arinakan telivision ukar saratapaxa, ukanx nayraruw mistasñan sasinw arusipxi.Kila mmoja wetu anaweza kuwa amefika katika eneo hilo… kwa nini hatuwezi kujifunza somo lolote kutokana na matetemeko ya awali … aibu kwa waongo wanaokuja kwenye Televisheni na majadiliano juu ya mafanikio yao ya kuongeza upinzani kwa majengo ya kukabiliana na matetemeko ya ardhi katika Iran.
15Bidad ukax niya kipka yatiyaw uñt'ayaraki [fa]:Bidad anaonyesha [fa] hisia zile zile:
16Jawsañanakas q'ala khuchhuqatawa, chikatpach provinciaw jan walt'äwinki, telivision ukasti religion uka ayunu ukatakw arusisipki, uka uraq khathatit aruskpachaxa.Mawasiliano yote ya simu yameingiliwa, mkoa nusu umeharibiwa na mazungumzo yote kwa televisheni ni kuhusu masuala ya dini kama vile kufunga badala ya kuhabarisha watu kuhusu tetemeko la ardhi.