Sentence alignment for gv-aym-20150420-7134.xml (html) - gv-swa-20150422-8742.xml (html)

#aymswa
1“Hackear la educación” ukax kun sañs muni?Nini Tofauti ya Kusoma na Kuelimika?
2Pedro Muller yatiqañ utat tukuyapat amuyt`i, mä yatiqañ utax janiw aka markatak amtatakiti.Pedro Muller anatafakari kuhusu matatizo yanayoukabili mfumo wa shule, taasisi anayosema ilimaanisha mazingira tofauti ya kihistoria.
3Kwa kusema hayo, anabainisha umuhimu wa dhana hizi mbili zinazofanana lakini zikimaanisha nyakati mbili tofauti: “Kusoma” na “kuelimika”:
4Ukhamat pä amuyt`aw “yatiqaña” ukat “yatichasiwi” qhananchi:TKuelimika kunaenda mbali zaidi ya kukariri majina kadhaa na kuyasahau siku inayofuata.
5Yatiqañax janiw p`iqir apantañakiti jan ukax jaqha lurawinakam ch`amanchañawa; jist`asa amuyt`asa lurasa ukham p`iqir irnaqayaña ukat sum yatiqañanak yatiskna.Kuelimika ni kuwa na udadisi na kuhoji yale yaliyofichika nyuma ya kinachoonekana kuwa mazoea, ni kuwa na ujuzi, kuutumia uwezo wa kufikiri tofauti, fikra mbadala tunazoweza kuziita “kufikiri nje ya boksi”. Kuelimika ni kujifunza kuwa mbunifu na mgunduzi.
6Jiwasax jaqi taypin sum yatiqtan mä amtat aphtap lurtan amta lurtan amuyt`aw lurtan ukham kunayman yatiqanak sump yatiqtan.Tunajifunza vizuri kwenye makundi; ni sehemu ya asili yetu kujadili, kufikiri na kutafakari mada mahususi na kufanya mahitimisho. Inasemekana kwamba namna nzuri ya kuelimika ni kujifunza.
7Tukuyañataki, pedrox mä video uñtawir invisttu, ukan Logan LaPlante mä aruskipt'amp “hackear la educación” jan ukax “hackschooling” amyt`ayawayistu, ukan yatiqañ jaqi taypin ukat sumpin qhañanchi:Muller anawakaribisha wasomaji wake kutazama video ifuatayo iliyo katika Kiingereza, ambako Logan LaPlante anazungumzia dhana ya “kuidua elimu” au “dukuaelimu”, anayosema ni mchakato wa kujifunza kwa kikundi, kwa mtindo wa kujaribu na, zaidi, umuhimu wa ubunifu.
8Akhan jumax Pedron quillqap juk`amp aka Twitter tuqin ullart'arakisma. 23 achuqa phaxsit 2015 maran qhañanchasiwayi.Endelea kusoma makala ya Muller hapa, au mfuatilie kwenye mtandao wa Twita.