Sentence alignment for gv-aym-20130128-5245.xml (html) - gv-swa-20130102-4585.xml (html)

#aymswa
1Yaqha tawaqux phiskasita ukat Bangladesh markan jiwayata ukhamawaBangladeshi: Msichana Mwingine Mzawa Abakwa na Kisha Kuuliwa.
2Kwa mara nyingine tena msichana mzawa ameuliwa mara baada ya kufanyiwa ukatili kwa kubakwa katika kijiji cha Borodalupara, Kawkhali Upazila ya wilaya ya Rangamati.
3Mä pampankir tawaqux mayampiw khaysa aldea Borodalupara, kawkhali, distritu Rangamatiña phiskasita jiwayata uñstawayi.Khomaching Marma (14) ambaye ni mhanga wa kitendo hiki, alikuwa ni mwanafunzi wa darasa la nane.
4Jiwayata khomachingMamax tunka pusini maranikinwa. Jupaxa uctavu kursunkir yatiqirinwa.Mwili wake ulikutwa katika miteremko ya milima takribani yadi 200 hadi 300 kutoka nyumbani kwake.
5Mä qullu k´uchuta, utapat kimsa patak mitrun t´aqaxtataru uka imill wawan amayapax jikisiwayi.Mara ya mwisho alionekana akielekea kwenye msitu wa karibu na nyumbani kwake kuchukua mifugo ya familia yake kutoka malishoni.
6Rina Dewan Facebook [bn] uksanw uka kipka yatiw uñt'ayi:Rina Dewan aliandika katika ukurasa wake wa Facebook [bn] akieleza sababu za kufanyika kwa kitendo hiki cha kikatili:
7Khä chika kilomentro Nallyachari Uttor Matha jisk´a markat Thomaching amayapax jikisiwayi.Kuna mlowezi mmoja katika kijiji ajulikanaye kwa jina la Nallyachari Uttor Matha aishie takribani umbali wa nusu ya kilometa kutoka sehemu ilipokutwa maiti ya Thomaching.
8Kunati nayrapachanx mä waranqa llatunk tunka kimsaq´all tunka qallta mara qalltkipan jiliri irptiri tata Marmas markapat aka jisk`a markankir jaqinakar ananukuwayatayna.Kwenye miaka ya 1980 hivi, serikali iliwaondoa wakazi wazawa wajulikanao kama Marmas kutoka kwenye ardhi yao na kisha kuwakaribisha watu wa Kutoka Bengali.
9Jichhasti aka colonunkirinakax mä jach´pach uraq Borodalupara mayipxi.Kwa sasa wahamiaji hao wanataka kujimilikisha sehemu kubwa ya Borodalupara.
10Siku chache zilizopita, baadhi ya wanavijiji wa Marma walipanda tangawizi kwenye mashamba yao lakini wahamiaji hao waliharibu mazao yao na kusababisha hali ya amani kupotea.
11Ukat, mayurukiw Marma jaqinakax jengibre quqanak colununkir jaqinakan uraqipanakar alintawayapxi, ukatsti colunkir jaqinanakax uka achun jank'akiw jiwthapiwayapxi ukjamarus jach'a ch'axwañaruw uchasiwayapxi.Imekwishafahamika kuwa kuna mgogoro wa ardhi uliopo kati ya mjomba wa Thomaching Marma na wahamiaji wa Bengali. Kwa hiyo, inadhaniwa kuwa alibakwa na kisha kuuliwa kama namna ya kulipiza kisasi.
12La violencia contra las mujeres indígenas ha aumentado recientemente.Uonevu dhidi ya wanawake wazawa umeongezeka siku za hivi karibuni.
13Imagen de A M Ahad.Picha na A M Ahad.
14Copyright Demotrix.Haki miliki Demotrix.
15Aka qhipqhipa urunakar walja warminakaw phikasita ukar jiwayata uñstawayapxi, kunatix nayrurukiw mä imllwawx phikasita uñstawayi.Ukatili dhidi ya wanawake wazawa umeongezeka siku za hivi karibuni. Miezi michache iliyopita, msichana mwingine alibakwa na kisha kuuliwa.
16Jupax kintu cursunkir yatiqiqirinwa.Alikuwa ni mwanafunzi wa darasa la tano.
17Harikishore chakma yatiyaw yatiyirix (en) mä qawqha jakhuwinaka aka jisk´a markata tawakonakar phiskasitakäna jichha articulur Prothom Alo [bn] jasachawayi.Mwandishi wa habari Hari kishore Chakma, anatoa baadhi ya takwimu zinazoonesha matukio ya kubakwa kwa wanawake wazawa katika makala ya gazeti la kila siku la Prothom Alo [bn]:
18Mpaka mwezi wa Novemba mwaka jana, wasichana na wanawake 20 wazawa walibakwa katika wilaya tatu za mlimani.
19Pasiri lapak phaxsina, jisk'a markankat, pätunka warminakaw jiwayat kimsa distritu qullunak uksan uñstawayapxi.Na kwa sasa, jina la Thomaching Marma linajumuishwa kwenye orodha hii inayoendelea kukua.
20Jichasti Thomaching Maman qillqatapanaruw qillqkatasiwayi.Mwaka 2011, wanawake 10 wazawa walibakwa.
21Yaqhipa organizacionrs jaqinakat yatxatirinakax Kapaeng arsuwayiwa akjam sasa.Kapaeng ambalo ni shirika la kutetea haki za binadamu lilitoa takwimu hizi.
22Aka pä waranqa tunka payam maransti, phisqa tunk mayam warminakaw phiskasit uñjasiwayapxi. kha pasiri pä waranqa tunka mayan maransti utjarakinawa kimsa tunk mayan warminak jan walt´atapxatapa, uka pachparakiw pasiri khuri pä waranqa kimsaqall maramx pusi warminakarakiw phiskasita ukar jiwayasiñax uñstawayapxi.Kwa mujibu wa shirika hili, wanawake wazawa 51 walikuwa wahanga wa matukio haya kwa mwaka huu. Mwaka 2011 matukio kama haya yalikuwa 31 na manne tu mwaka 2008.
23Aka jan walt´äwinakax Markan phiñasiwinakap sartawayi, ukjamarus taqpacha Dhaka Chittagong sylhet markankir jaqinakar unxtasiwayañatak tantachasiwayapxi.Ukatili huu wa ubakaji na mauaji kwa mara nyingine tena umeshaeneza hasira na vurugu nchini kote.
24Uka pachparakiw internautanakas wali phiñasita phiñasiñanakap arsusiwayapxi.Mazungumzo yalikwisha kupangwa katika miji ya Dhaka, Chittagong na Sylhet.
25Protesta en Dhaka contra la violación y asesinato de la jóven indígena.Raia wa mtandaoni nao wameshaonesha hasira yao na pia kuandamana.
26[“Que ahorquen al violador y asesino. ”]Maandamano huko Dhaka ya kupinga ubakaji na mauaji ya msichana mzawa.
27Imagen de Firoz Ahmed.Picha na Firoz Ahmed.
28Copyright DemotixHaki miliki Demotix
29Mithun chakmajummo akjam saw facebook ukar qillqkarawayarakitayna jiwasanakax jan chuymanjam kullakasan amayapjam thayarataptanwa.Mithun Chakma Jummo aliandika katika ukurasa wake wa Facebook: Kama tu jinsi ilivyo kwa mwili baridi wa dada yetu usioweza kufanya lolote, je, nasi pia tumekuwa hivyo?
30Indianakasti märatukiw marchir jiwayatanakat tupunakar mistuptan, uka pacharakiw imphal justician utjañap mayiwayi.India waliandamana vikali kabisa kupinga ubakaji wa magenge. Mjini Imphal , watu walipaza sauti zao ili kutafuta haki dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia wa msichana.
31Kunatakis wakispacha unsxtasiwinakasasti aka t´akuxtatsti utasanakuruxay kutt´xapchiñanixa, sasa.Maandamano yetu yawe kwa lengo gani? Kwa jambo moja tu?
32Adivasi Aodhikar Andolon [en] (CHT) qillqt'iwa:Halafu tuwe kimya na tuliopooza tena! Adivasi Aodhikar Andolon (CHT) aliandika:
33Yatiyäwinakan uñjta, kunams Delhi warmix k´añasku manqhita wali unxtasiwayi, aka warmimp chikachasiñax wali kusapunispawa. pachparakiw yatiyaw yatiyirinakax wal mayxachasipxi.Kwenye habari, niliona India wakinguruma katika maandamano wakipinga ubakaji katika magenge katika gari la abiria la Delhi. Ilifurahisha kuona umoja wao.
34Ukat aka uñjasinxa jiliri p´iqinchir indio tatax wali jank´akiw juchani jaqinakar taripir utar apayi.Vyombo vya habari pia vipo upande wao. Serikali ya India ililazimishwa kuwatia nguvuni wahusika wa vitendo hivi vya kikatili.
35Jichakiw kaysa aldea Borodalupana kawkhali distrito de Rangamatina mä imill wawa phiskasita jiwayata uñstawayi.Siku za hivi karibuni, msichana mzawa alibakwa na kisha kuuliwa katika kijiji cha Borodalupara huko Kawkhali upazila katika wilaya ya Rangamati.
36Ukat, janiw pallapallanakax mayni juchansa jist´antawaykiti.Hata hivyo, Polisi wameshindwa hata kumtia nguvuni angalau mhusika mmoja.
37Kama ilivyo kwa tukio hili, mamia ya akina dada zetu na mama zetu wazawa wamebaki kuwa wahanga wa kubakwa na mauaji kwa muda mrefu.
38Ukarjamaw walja kullakasanakasa warminakasasa phiskasita jiwayata jiqhatasipxi.Blogger Anik aliandika: Ukatili huu unanijengea taswira ya Bangladeshi katika akili yangu.
39Blogger Anik [bn] amuyt'iwa:Taswira ya wabakaji na wauaji.
40Aka jan walt´äwinakax p´iqijar jan walinaka Bangladesh market amuyayitu.Ni jambo la kikatili kwa wabakaji na wauaji kufanya ukatili huu katika makazi yetu muda wote.
41Jicha nayax phiskasiripkaspasa ukar jiwayiripkaspasa jaqinakax ukhajam amuyta.Hakuna uhakika kuwa, miongoni mwao ghafla hawatajisahau na kasha kutoa misimamo yao.