Sentence alignment for gv-aym-20130426-5787.xml (html) - gv-swa-20130413-4846.xml (html)

#aymswa
1Siria: Alepon ch’axwäwipat arsutaSyria: Kutwiti Kutokea Vitani Jijini Aleppo
2Mwandishi wa Habari Jenan Moussa amerudi mjini Aleppo, nchini Syria, akitwiti tajiriba yake kadri vita kati ya vikosi vinavyopinga serikali na vile vinavyoiunga mkono serikali inavyozidi kushika kasi.
3Yatiyaw yatiyi Jenan Moussa Aleporu Siria sat markaru kutt'awayi, sarnaqäwipanakat akjam sas arsuski- markasti ch'axwäw taypinkaskiwa.Twiti za Moussa ni za kawaida na za kibinafsi sana, zikiwapa wasomaji wake picha kamili ya maisha yalivyo kwa wale walio kwenye uwanja wa vita.
4Yaqhipasti qillqirinakar uñacht'yasipkiwa kunas jakäwipacha. Moussa unch'ukiskiwa:Moussa, ambaye ni ripota wa kituo cha televisheni za kiarabu Al Aan TV, kilichopo jijini Dubai, Jamhuri ya Falme za Kiarabu, anasema:
5@jenanmoussa: Wali askis #Aleppo kutt'aniñaxa ukar jikisiña masixanakampi.@jenanmoussa: Ni jambo kubwa sana kurudi Allepo, kukutana na rafiki zangu.
6Markax nayruruts juk'amp khusaxiwa ukjamarus jaqinakax ch'axwaw taypin sarnaqir yatitaxapxiwa.Jiji linaonekana kuwa na nafuu zaidi kuliko ilivyokuwa mara ya mwisho nikiwa hapa. Watu wameshazoea vita.
7Alepun arum manq'asiñax chikant'asiñawa jiwayirinakamp chica:Chakula chake cha jioni, jijini Aleppo, anakipata akisikia sauti za mabomu yakidondoka jirani na aliko:
8@jenanmoussa: #Aleppo ukan manq'añax pachaxiwa.@jenanmoussa: Ni wakati wa chakula cha jioni hapa Aleppo.
9Pollo a la mejicana ukaw utji, ukhamarus jaylliwix jayllintaskaniwa.Tunakula kuku wa ki-Mexico wakati tukisikia sauti za mabomu yakidondoka kwa mbali,
10Uka markan mä aruma makiptatapatxa.Baada ya usiku huo akiwa jijini, Moussa anashangaa:
11Moussa jiskt'asiwa:@jenanmoussa: Habari za asubuhi kutoka Aleppo.
12@jenanmoussa: Aski urukipan #Aleppo markatpacha.Sikuweza kulala mpaka saa 12 alfajiri.
136 am pachakamax janiw ikiñ atkayati.Kila wakati ninafunga macho yangu ninapatwa na hisia kuwa mabomu yanaanguka.
14Sapa kuti nayr ch'irmthapkt ukhax bombanakas willirtkasp ukham amuyayata.Mungu, watu wanawezaje kubaki na akili zao hapa? Jijini Aleppo, anatembelea mahali ambako kombora lilianguka siku zipatazo 45 zilizopita.
15Dios, kunjamas jaqinakaxa?Anatwiti:
16Alepo markana, uka sitio ukjar saram kawkhanti 45 uru nayraqatax mä misil Scud ukax jaquqtk uka uñjañataki.@jenanmoussa: Mapema leo nilienda kwenye eneo ambako kombora la SCUD lilidondoka siku zipatazo 45 zilizopita hapa Aleppo.
17Tuitea:Miili sita bado haijapatikana.
18@jenanmoussa: Jichharmanthix mä misil SCUD jalqtawykäna ukjaru sarawaytwa.Jenan Moussa akiwa Aleppo, mahali ambako kombora la Scud lilianguka siku 45 zilizopita.
19Kunati Suxta jaqinakaw t'una ut allthaptat taypinakana chhaqatapxi.Picha imewekwa na @jenanmoussa kupitia mtandao wa Twita.
20@jenanmoussa: Alepon uñjaraktwa mä awkin wali jachatapa, jupax t'una patxan qunt'ataw thaqaski, kunati pä phuchitapa ukar warmipampiw allintat uñjasiwayapxi.@jenanmoussa: Jijini Aleppo nilimwona baba amekaa kwenye jabali, akitiririkwa na machozi. Alikuwa bado anatafuta miili ya mabinti zake wawili na mkewe
21Jenan Moussa en Aleppo, en el lugar donde un misil Scud cayó 45 días antes.@jenanmoussa: Wakati nikiwa nae, baba huyo alipata malapa ya mwanae na nywele kidogo (za kike) chini ya jabali hilo.
22Foto compartida por @jenanmoussa en Twitter‘Labda ni mke wangu' aliniambia
23@jenanmoussa: Kunawrasati jupampiskata ukjax mä pichu ñik'uta t'una taypit jiki, ukat situwa Inas warmixachi”
24Moussa tatax wali k'uchhikiskiwa jan walt'awin utjatapatsa:Pamoja na hali ngumu, Moussa anafanya utani kidogo:
25@jenanmoussa: Aleponkir Activistanakax wal laruyapxitu.@jenanmoussa: Wanaharakati hapa Aleppo hunicheka.
26Avwispachax nayakiw mirq'ta “flac jacket” jark'asiri jan walt'awinakat isi.Mara nyingine mimi huwa ni mtu pekee anayevaa nguo ya kuzuia risasi nyumbani.
27Jupanakax yatitaxapxiwa ch'axwaw taypina.Watu wote wameshazoea milio ya bunduki.
28Ukatx jan jayp'ux manq'ataw ikxapxani:Na anaenda kulala bila kupata chakula cha jioni:
29@jenanmoussa: Janiw jichharmax manq'asipkti ukjamarus janiw jarispkti.@jenanmoussa: Hatujala chakula cha jioni usiku huu. Hatujaoga.
30Kunati janiw anch aka Alepo markan munaskiti.Hilo si hitaji la msingi katika mji kama Aleppo.
31Aski arumakipan taqpachani.Usiku mwema kwenu nyote.