Sentence alignment for gv-bul-20120604-2331.xml (html) - gv-swa-20120603-2963.xml (html)

#bulswa
1Кения: Взрив разтресе Найроби, придоби популярност в TwitterKenya: Habari za Mlipuko Jijini Nairobi Zatawala Mijadala ya Twita
2Всички препратки са към текстове на английски, освен ако е обозначен друг език. Експлозия разтърси една от главните улици на Найроби, Мои Авеню, миналия понеделник следобед.Mlipuko unaodhaniwa kuwa ni bomu umesababisha madhara katika moja ya barabara kuu za Nairobi, Moi avenue, katika mji mkuu huo wa Kenya mchana wa Jumatatu.
3Първоначалните изследвания показват, че взрива е изникнал заради електрическа неизправност в тази зона.Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba mlipuko huo ulitokana na hitilafu ya umeme kwenye eneo hilo.
4Началникът на полицията в Кения опроверга слуховете за бомбени атаки, свързани с Ал-Шабаб (бълг.).Kamishna wa polisi wa nchi hiyo amekanusha tetesi kwamba mlipuko huo umetokana na shambulio la bomu linalohusishwa na kikundi cha kigaidi cha Al-Shabaab.
5В страната има редица бомбени и гранатни атаки заради военните й нападения в Сомалия срещу Ал-Шабаб, наречени “Операция Линда Нчи” (“Операция Защита на страната” на суахили).Kenya imekumbwa na mfululizo wa mabomu tangu majeshi ya nchi hiyo yaingie Somalia kupambana na kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab kwa kile kiichoitwa “Operesheni Linda Nchi”.
6В Twitter, интернет гражданите използваха хаш-таговете #NairobiBlast (#НайробиВзрив) и #MoiAvenueBlast (#МоиАвенюВзрив), за да обсъдят трагедията и споделят информация.Kwenye mtandao wa twita, watumiaji wamekuwa wakijadili tukio hilo na kubadilishana taarifa kupitia alama ya #NairobiBlast na #MoiAvenueBlast.
7Мястото на взрива в Найроби.Eneo la mlipuko jijini Nairobi.
8Снимка, споделена в Twitpic от @JoeWMuchiri.Picha imewekwa kwenye mtandao wa twitpic na @JoeWMuchiri
9Моля, стойте настранаTafadhali kaa mbali:
10@__RamzZy__: Освен ако не сте от пресата, ако си нямате работа, моля стойте настрана от мястото на произшествието.@__RamzZy__: Kama wewe si mwandishi wa habari, kama huna shughuli inayokulazimu kuwa karibu na eneo la tukio, kaa mbali.
11Оставете полицията и спасителната служба да си вършат работата.Waache polisi na timu za uokoaji kufanya kazi zao.
12#MoiAvenueBlast#MoiAvenueBlast
13@cobbo3: Опасно е за хората да се събират на ул. Мои и Кимачи след #MoiAvenueBlast.@cobbo3: Ni hatari kwa watu kukusanyika kwenye mtaa wa Moi na Kimathi baada ya mlipuko huo.
14Ако е терористична атака, обикновено след първата бомба следва втората, която да удари тълпите.Ikiwa mlipuko huo ni shambulio la kigaidi, mara nyingi bomu la pili laweza kulipuka kuangamiza maelfu
15Отговорност на медиитеWajibu wa vyombo vya habari:
16@jaydab: @mckenziecnn, очакваме да видим и чуем какво ще кажете за #nairobiblast.@jaydab: @mckenziecnn, tunasubiri kuona na kusikia mtakachosema kuhusu mlipuko huu.
17Съобщавайте фактите такива каквито са и не преувеличавайте.Tujuzeni hali ilivyo na sio kutia chumvi.
18@CyrusNjoroge: Когато социалните медии се приземиха в града, всички ние станахме “експерти”.@CyrusNjoroge: Vyombo vya habari vya kiraia vilipotua mjini, sote tumekuwa “wataalam”.
19Никога не чакаме фактите.Wala hatujisumbui kusubiri kusikia ukweli wa mambo.
20#Nairobiblast#Nairobiblast
21@saddiqueshaban: Искрено се надявам, че @MediaCouncilK интензивно наблюдава медиите по време на докладването им за #nairobiblast.@saddiqueshaban: Ninatarajia kwa dhati baraza la habari @MediaCouncilK linafuatilia kwa makini yanayofanywa na vyombo vya habari kipindi hiki wanaporipoti tukio hili #nairobiblast.
22Отговорността е задължителна.Uwajibikaji ni kitu cha lazima
23@Kevin2Tek: #NairobiBlast е актуален по света.@Kevin2Tek: Alama inayotumika kujadili tukio la mlipuko huo, #NairobiBlast, sasa inatawala gumzo la mtandao wa twita duniani kote.
24Моля, гледайте какво туитвате, не всявайте паника и не разпространявайте лъжи!Tafadhali kuwa makini na kile unachotuma kwenye mtandao huo, usisambaze hofu au kujadili uongo!
25Каква е причината за взрива?Nini kimesababisha mlipuko?:
26@iAMneshynsky: хората трябва да спрат да си правят изводи и да говорят, че това е атака на Ал-Шабаб.@iAMneshynsky: watu wasikimbilie kufanya mahitimisho na kuhisi ni shambulio la al shabaab…chochote kinawezekana katika tukio hilo #NairobiBlast
27Може да бъде абсолютно всичко #NairobiBlast @careywinnie: Господи, надявам се, че приятелите ми са добре, както и всички останали!!@careywinnie: Mungu wangu, ninadhani maafiki zangu wapenzi wa filamu wako salama na wote wanaoishi maeneo hayo!!
28#NairobiBlast #moiavenue какво, по дяволите, се случи?#NairobiBlast #moiavenue wtf happened?
29@jowac50: RT #NairobiBlast Шефът на полицията Матю Айтиър каза, че експлозията е причинена от електрическа неизправност. - Репортажи@jowac50: RT #NairobiBlast RT #NairobiBlast Mkuu wa Polisi Mathew Iteere anasema mlipuko ulisababishwa na hitilafu ya umeme -kwa mujibu wa taarifa mbalimbali
30@Fionaakumu: Думите “взрив” и “експлозия” трябва да бъдат преразгледани.@Fionaakumu: Maneno “mabomu” na “milipuko” yanaihitaji kuangaliwa upya.
31Откога са станали синоними?Tangu lini maneno haya yakawa na maana inayofanana?
32#MoiAvenueBlast#MoiAvenueBlast
33Безотговорността на правителствотоKuokuwajibika kwa serikali:
34@tonybkaranja: Наистина ни трябва план за бедствия, който да не е само на лист хартия. #nairobiblast@tonybkaranja: Tunahitaji sana mpango wa kudhibiti majanga ambao hautakuwa tu kwenye makaratasi #nairobiblast
35@MisterAlbie: Отново липсата на готовност и неосъзнаването на бедствието са големия ни проблем. #Firehydrants etc #MoiAvenueBlast@MisterAlbie: Kwa mara nyingine tabia yetu ya kutokuwa na ufahamu sahihi na maandalizi dhidi ya matukio kama haya yanatugharimu #Firehydrants #MoiAvenueBlast
36@TeamKonshens1: Само показва колко некомпетентни са екипите за спешно реагиране!!@TeamKonshens1: Inaonyesha namna mwitikio wa vikosi vya Dharura ulivyo duni!
37Изглежда като филм на живо по телевията!Inaonekana kama filamu kwenye runinga!
38#NairobiBlast#NairobiBlast
39@iCabway: #MoiAvenueBlast ни напомня защо пожарогасните инсталации ТРЯБВА да бъдат наложени в тези проблемни времена.@iCabway: #MoiAvenueBlast tukio hili linatukumbusha ulazima wa kuwa na mfumo unaoaminika wa maji yakuzimia moto katika kizazi hiki chenye matatizo.
40Африканските градове са безнадеждни в този аспект.Miji ya ki-Afrika haina habari na umuhimu wa kuchukua tahadhari.
41Грабеж по време на трагедиятаWizi katikati ya Janga::
42@iAMneshynsky: Грабители правят това, което правят най-добре, на Мои Авеню #NairobiBlast@iAMneshynsky:Wezi wanafanya kile wanachoweza kwenye mtaa wa Moi Avenue #NairobiBlast
43@rmunene: Кенийци “източват” обувки и дрехи от сергии на мястото на произшествието.@rmunene: Wa-Kenya wanasomba viatu na nguo kutoka kwenye maduka ya eneo la tukio.
44#nairobiBlast #KTNLiveStream#nairobiBlast #KTNLiveStream
45Некомпетентността на полициятаUdhaifu wa kiutendaji wa Polisi:
46@ArybaStacks: Не знам защо полицията все още допуска хора по Мои Авеню… ами ако има втори взрив?@ArybaStacks: Sijui kwa nini polisi bado wanaruhusu watu kwenda eneo la tukio…itakuwaje kama kuna mlipuko mwingine?
47#MoiAvenueBlast#MoiAvenueBlast
48@Mwanikih: Ченгетата влошават ситуацията, опитвайки се насила да евакуират тълпите.@Mwanikih: Polisi wanafanya hali hii ambayo tayari ni mbaya kuwa mbaya zaidi kwa kutumia nguvu kuwatawanya watu.
49Сега хората крещят: “Mlikua wapi?”Sasa hivi watu wanapiga kelele “Mlikuwa wapi?”
50(Къде бяхте?) #NairobiBlast#NairobiBlast
51От кенийската полиция съобщиха, че 27 от ранените във взрива са били на лечение.Jeshi la Polisi la Kenya limesema kwamba watu wapatao 27 wamejeruhiwa na mlipuko huo na wanaendelea na matibabu.