Sentence alignment for gv-bul-20150429-3850.xml (html) - gv-swa-20150420-8735.xml (html)

#bulswa
1GV Face: Нарушаваме мълчанието на Пакистан за БелуджистанGVFace: Kuvunja Ukimya wa Pakistani Kuhusu Mapigano Yanayoendelea Jimbo la Balochistani
2Миналата седмица водещ частен университет в Пакистан беше принуден да отмени академична дискусия на тема човешки права в югозападната провинция Белуджистан, “поради държавна намеса“.Juma lililopita Chuo Kikuu maarufu cha binafsi nchini Pakistani kililazimika kuahirisha mjadala wa kitaaluma kuhusu haki za binadamu kwenye jimbo la kusini magharibi la Balochistan “kwa sababu ya kuingiliwa na serikali“.
3Белуджистан, пакистанската най-голяма, но най-рядко населена и бедна провинция, преживява петото си сепаратистко движение от 1947 насам.Balochistani, jimbo kubwa zaidi nchini Pakistani, lenye idadi ndogo zaidi ya watu na lenye umasikini mkubwa linashuhudia vuguvugu la tano la kujitenga tangu mwaka 1947.
4Публичните дискусии за войната в Белуджистан са редки.Majadiliano kuhusu vita vinavyoendelea Balochistani ni nadra.
5Националистите смятат, че мълчанието по случая е дълг към тяхната родина, а останалите се самоцензурират от страх пред мощната пакистанска армия.Watetezi wa utaifa wa nchi hiyo wanadhani kwamba kimya kwa hali ya mambo jimboni Balochistani ni wajibu wao, wengine wanajihadhari kwa hofu ya nguvu kubwa ya kijeshi iliyopo Pakistani.
6Малко обаче са тези, които знаят какво се случва в провинцията, тъй като медиите не засягат темата и не се правят достатъчно репортажи.Lakini wachache wanaelewa kile kinachoendelea kwenye jimbo hilo, kwa sababu habari zinazoandikwa kutoka kwenye jimbo hilo ni chache mno.
7В този епизод на GV Face, ние нарушаваме мълчанието за Белуджистан, като разговаряме с пакистански и белуджкски активисти и журналисти, които се осмеляват да говорят и отразяват нарушенията на човешките права в провинцията.Katika toleo hili la GV Face, tunavunja ukimya kuhusu jimbo la Balochistani kwa kuzungumza na wanaharakati na wanandishi wa Kipakistani na Kibalochi wanaothubutu kuzungumza na kuripoti kuhusu uvunjifu wa haki la binadamu kwenye jimbo hilo.
8Тези активисти и журналисти вървят по много тънка и опасна линия.Wanaharakati hawa na waandishi hawa wanafanya kazi kwenye mazingira yenye hatari.
9Мир Мохаммад Али Талпур (@mmtalpur), активист ветеран за човешки права, който е щял да участва в отменения разговор в Лахорския университет по мениджмънт науки се присъедини към нас.Mir Mohammad Ali Talpur (@mmtalpur), mwanaharakati mkongwe wa haki za binadamu alikuwa sehemu ya mjadala wa kitaaluma uliofutwa ataungana nasi.
10Гостуват и Фахад Десмук (@desmukh), който ръководи PakVoices- нов уебсайт, който докладва за общностите от бреговите райони на Белуджистан, Аднан Амир (@iadnanamir), който ръководи онлайн изданието Balochistan Point и Али Аркам (@aliarqam)- активист и репортер за списание Newsline.Tutakuwa na Fahad Desmukh (@desmukh), anayeongoza PakVoices, tovuti ya habari inayoripoti kuhusu jamii zinazoishi kwenye maeneo ya pwani ya jimbo la Balochistani, Adnan Amir (@iadnanamir), anayeongoza chapisho la mtandaoni liitwalo Balochistan Point, na Ali Arqam (@aliarqam), mwanaharakati na mwandishi wa gazeti la Newsline
11Фактите, свързани с конфликта в Белуждистан, трудно могат да бъдат потвърдени.Habari za kweli kuhusu mgogoro wa Balochistani ni ngumu kuthibitika.
12Но това, което със сигурност знаем е, че белуджкските активисти искат независимост от Пакистан, а военното разузнаване в страната се опитва да ги потисне понякога чрез “насилствени изчезвания”, без да са били съдени преди това.Kile tusichokijua ni kwamba wananchi wanaodai uhuru wa Balochistani kutoka Pakistani, na shughuli za kiintelejensia za kijeshi nchini humo zinajaribu kupunguza harakati hizi, wakati mwingine kupitia “kupotea kwa watu” kwa njia zilizo nje ya taratibu za kisheria.
13Според Комисията за човешки права на Пакистан, от 2001 телата на “изчезнали хора” от Белуджистан “са се появили мъртви” със следи от изтезавания.Kwa mujibu wa Tume ya Haki za Binadamu nchini Pakistani, tangu mwaka 2010, miili ya mamia ya Wabalochistani “waliopotea” wanasemekana kupoteza maisha wakiwa na majeraha ya kuteswa.
14Само през 2013, 116 тела са били намерени в провинцията, 87 от които са идентифицирани от семействата, обвиняващи пакистанските агенции за сигурност в това, че са отвлекли близките им.Mwaka 2013 pekee, miili 116 ilipatikana kwenye jimbo hilo, kati ya hiyo 87 ilitambuliwa na familia zilizotuhumu vyombo vya usalama nchini Pakistani kwa kuwaua wapendwa wao.
15Правителството продължава да настоява, че сепаратистите са финансирани от “външни хора”.Serikali inasema kwamba watu wanaotaka kujitenga wanalipwa na “vikosi vya nje ya nchi hiyo”.
16Множество сектантски и ислямистки милиции използват района и за тренировки по подбор на кадри за войните в Иран и Афганистан, граничещи с Белуджистан.Wanamgambo mbalimbali wa kidini na Kiislamu pia wanatumia eneo hilo kwa kuendesha mafunzo kwa ajili ya kuandaa wapiganaji wa vita nchini Irani na Afghanistani, nchi zote zikiwa kwenye mpaka wa Balochistan.
17Тези групи извършват атаки и вътре в страната.Makundi haya pia yameanzisha mashambulizi ndani ya Pakistani.
18Понякога групировките обединяват сили в търсене на пари и ресурси.Wakati mwingine vikundi hivi vinaunganisha nguvu katika jitihada za kutafuta fedha na raslimali nyingine.
19Като резултат от това, живеещите в Белуджистан са принудени да се защитават от няколко различни и опасни идеологии.Matokeo yake ni watu wanaoishi Balochistani kujilinda wenyewe dhidi ya itikadi mbalimbali za hatari.
20От 2001 насам, хиляди етнически шиити хазарейци, най-голямото малцинство в Белуджистан, са били убити от военни групировки.Tangu mwaka 2001, maelfu ya kabila la Shia Hazara, ambalo ni kubwa katika makabila madogo yanayopatikana kwenye jimbo la Balochistani, wameuawa na vikundi vya wanamgambo.
21Много други са били принудени да напуснат провинцията, която поколения наред е била техен дом.Wengi zaidi wamelazimisha kulihama jimbo hilo ambalo kwa vizazi vingi limekuwa ndiyo makazi yao.
22Някои белуджкски националистически групировки се опитват да изгонят от провинцията всички, които не са белуджи, както и пакистанската армия.Baadhi ya makundi ya Wabalochi yanayopigania taifa lao yanajaribu kuwafukuza raia wasio Wabalochi pamoja na vikosi vya kijeshi vya Pakistani nje ya jimbo.
23Военните конвои биват бомбардирани.Yapo matukio ya wanajeshi wanapigwa mabomu.
24На панджабските семейства, които десетилетия наред са живели в Белуджистан, сега е сложен етикет на нежелани “заселници”, стотици са били убити в атаки и хиляди са принудени да бягат от насилието.Familia za Punjabi zinazoishi kwenye jimbo la Balochistani kwa miongo mingi kwa sasa wamepachikwa majina ya vikundi vingine kama “walowezi” wasiohitajika, mamia wakiwa wameshauawa kwenye mashambulio na maelfu wakiwa wamelazimika kuyakimbia makazi yao kwa sababu ya ghasia.