Sentence alignment for gv-bul-20120319-347.xml (html) - gv-swa-20120408-2736.xml (html)

#bulswa
1ДР Конго: видео материали подпомагат осъждането на Томас Лубанга за военни престъпленияCongo (DRC): Video zasaidia kumtia hatiani Thomas Lubanga kwa uhalifu wa kivita
2Този текст е базиран на информация, първоначално публикувана от WITNESS.Makala hii inatokana na maudhui yaliyochapishwa kwanza kupitia kampeni ya kukusanya ushahidi wa picha za video inayoitwa WITNESS.
3На 4 март 2012 Международния криминален съд призна Томас Лубанга, бивш бунтовнически лидер от източно Конго, за виновен за използване на деца във въоръжените конфликти - военно престъпление.Mnamo tarehe 14 Machi, 2012, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita ilimtia hatiani Thomas Lubanga, kiongozi wa zamani wa waasi huko Kongo Mashariki, kwa kuwatumia watoto katika mgogoro wa kivita - jambo linaloangukia miongoni mwa makosa ya kivita.
4Това е сериозно постижение за международното правораздаване, за жертвите в Демократична Република Конго (ДРК) и за видео активизма за промяна.Hii ni hatua kubwa muhimu katika historia ya utafutaji haki kimataifa, kwa wahanga walio nchini Kongo (DRC) na kwa mpango wa matumizi ya picha za video kwa ajili ya kuleta mabadiliko.
5В източно Конго, където гражданската война е взела повече от 4 милиона живота, често деца (повечето 6 годишни) са „набирани” от военни организации и учени да убиват.Huko Kongo Mashariki, ambapo vita vya wenyewe kwa wenyewe vimesababisha vifo vya zaidi ya watu milioni nne, watoto wadogo, wengine hadi miaka sita tu, walipatiwa mafunzo ya kijeshi na kufundishwa kuua.
6Предполага се, че деца, между 8 и 16 годишна възраст, са около 60 поцента от участващите в бойните действия в региона.Inakadiriwa kwamba watoto, wengi wakiwa kati ya miaka minane na 16, wanakaribia asilimia 60 ya wapiganaji katika eneo hilo.
7Пет минутно видео направено от WITNESS наречено “Длъжни да пазят” беше прожектирано в началото на съдебните заседания и според съдията е играло важна роля в крайната присъда, заедно с други визуални доказателства.Video ya dakika 5 inayoitwa “Wajibu wa Kulinda” iliyowekwa na kampeni ya kukusanya picha za video za ushahidi inayofahamika kama WITNESS ilionyeshwa katika hatua za awali za kuendesha mashitaka hayo, na ilisifiwa na jaji kwa kuwa sehemu muhimu katika matokeo ya kesi hiyo pamoja na ushahidi mwingine wa picha.
8Видеото разказва историята на Мафиле и Януари, две малки момичета набрани като участници в армията.Inasimulia tukio la Mafille na January, wasichana wawili ambao walipewa mfunzo ya kivita.
9Видеото разглежда влиянието и последствията на набирането на деца на семействата и на общността като цяло.Picha hizo za video zinaonyesha madhara yanayotokea katika familia na jamii kwa ujumla kutokana na kuwafunza watoto mambo ya kivita.
10Членът на WITNESS, Букени Уарузи, който е родом от източна ДРК и активист за човешките права, присъстваше в Хага, за да чуе присъдата.Mmoja wa wafanyakazi wa kampeni hiyo ya WITNESS, Bukeni Waruzi, anayetokea Kongo Mashariki, ambaye pia ni mtetezi wa muda mrefu wa haki za binadamu, alikuwa mjini The Hague kusikiliza hukumu hiyo.
11Той се включи в серия въпроси и отговори с журналисти след присъдата на 14 март, коментиращ и важността на видеото в делото.Alishiriki pia katika kipindi cha Maswali na Majibu na waandishi wa habari kufuatia hukumu hiyo mnamo Machi 14 akieleza pamoja na mambo mengine umuhimu wa picha za video katika uendeshaji mashitaka.
12Във видеото качено от WITNESS в YouTube на 13 март, ден преди обявяването на присъдата, Букени говори с Маделейн, бившо дете-войник от източна ДРК, която е демобилизирал, когато тя е на 15 и впоследствие е и осиновил.Katika video hii hapa chini, iliyowekwa na kampeni ya WITNESS katika You Tube mnamo tarehe 13 Machi, siku moja kabla ya hukumu, Bukeni anazungumza na Madeleine, mtoto aliyepata kuwa “askari” huko Kongo Mashariki, ambapo alifanya mbinu za kumwondoa msichana huko kutoka kwenye vikosi vya wapiganaji akiwa na umri wa miaka 15 na kisha kumwasili.
13През 2003 тя свидетелства пред ООН, за да сподели опита си като дете-войник.Mwaka 2007, alitoa ushuhuda wake kama askari mtoto mbele ya Umoja wa Mataifa.
14Букени и Маделейн обсъждат техните надежди за делото срещу Лубанга и се надяват справедливост да бъде въздадена за всички деца войници по света.
15Повече информация за Букени и работата на организацията WITNESS' относно децата войници, може да намерите тук.Bukeni na Madeleine wanajadili matumaini yao kufuatia matokeo ya shitaka la Lubanga na wanatumaini haki itachukua mkondo wake kwa askari watoto popote walipo.