# | bul | swa |
---|
1 | Кения: Взрив разтресе Найроби, придоби популярност в Twitter | Kenya: Habari za Mlipuko Jijini Nairobi Zatawala Mijadala ya Twita |
2 | Всички препратки са към текстове на английски, освен ако е обозначен друг език. Експлозия разтърси една от главните улици на Найроби, Мои Авеню, миналия понеделник следобед. | Mlipuko unaodhaniwa kuwa ni bomu umesababisha madhara katika moja ya barabara kuu za Nairobi, Moi avenue, katika mji mkuu huo wa Kenya mchana wa Jumatatu. |
3 | Първоначалните изследвания показват, че взрива е изникнал заради електрическа неизправност в тази зона. | Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba mlipuko huo ulitokana na hitilafu ya umeme kwenye eneo hilo. |
4 | Началникът на полицията в Кения опроверга слуховете за бомбени атаки, свързани с Ал-Шабаб (бълг.). | Kamishna wa polisi wa nchi hiyo amekanusha tetesi kwamba mlipuko huo umetokana na shambulio la bomu linalohusishwa na kikundi cha kigaidi cha Al-Shabaab. |
5 | В страната има редица бомбени и гранатни атаки заради военните й нападения в Сомалия срещу Ал-Шабаб, наречени “Операция Линда Нчи” (“Операция Защита на страната” на суахили). | Kenya imekumbwa na mfululizo wa mabomu tangu majeshi ya nchi hiyo yaingie Somalia kupambana na kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab kwa kile kiichoitwa “Operesheni Linda Nchi”. |
6 | В Twitter, интернет гражданите използваха хаш-таговете #NairobiBlast (#НайробиВзрив) и #MoiAvenueBlast (#МоиАвенюВзрив), за да обсъдят трагедията и споделят информация. | Kwenye mtandao wa twita, watumiaji wamekuwa wakijadili tukio hilo na kubadilishana taarifa kupitia alama ya #NairobiBlast na #MoiAvenueBlast. |
7 | Мястото на взрива в Найроби. | Eneo la mlipuko jijini Nairobi. |
8 | Снимка, споделена в Twitpic от @JoeWMuchiri. | Picha imewekwa kwenye mtandao wa twitpic na @JoeWMuchiri |
9 | Моля, стойте настрана | Tafadhali kaa mbali: |
10 | @__RamzZy__: Освен ако не сте от пресата, ако си нямате работа, моля стойте настрана от мястото на произшествието. | @__RamzZy__: Kama wewe si mwandishi wa habari, kama huna shughuli inayokulazimu kuwa karibu na eneo la tukio, kaa mbali. |
11 | Оставете полицията и спасителната служба да си вършат работата. | Waache polisi na timu za uokoaji kufanya kazi zao. |
12 | #MoiAvenueBlast | #MoiAvenueBlast |
13 | @cobbo3: Опасно е за хората да се събират на ул. Мои и Кимачи след #MoiAvenueBlast. | @cobbo3: Ni hatari kwa watu kukusanyika kwenye mtaa wa Moi na Kimathi baada ya mlipuko huo. |
14 | Ако е терористична атака, обикновено след първата бомба следва втората, която да удари тълпите. | Ikiwa mlipuko huo ni shambulio la kigaidi, mara nyingi bomu la pili laweza kulipuka kuangamiza maelfu |
15 | Отговорност на медиите | Wajibu wa vyombo vya habari: |
16 | @jaydab: @mckenziecnn, очакваме да видим и чуем какво ще кажете за #nairobiblast. | @jaydab: @mckenziecnn, tunasubiri kuona na kusikia mtakachosema kuhusu mlipuko huu. |
17 | Съобщавайте фактите такива каквито са и не преувеличавайте. | Tujuzeni hali ilivyo na sio kutia chumvi. |
18 | @CyrusNjoroge: Когато социалните медии се приземиха в града, всички ние станахме “експерти”. | @CyrusNjoroge: Vyombo vya habari vya kiraia vilipotua mjini, sote tumekuwa “wataalam”. |
19 | Никога не чакаме фактите. | Wala hatujisumbui kusubiri kusikia ukweli wa mambo. |
20 | #Nairobiblast | #Nairobiblast |
21 | @saddiqueshaban: Искрено се надявам, че @MediaCouncilK интензивно наблюдава медиите по време на докладването им за #nairobiblast. | @saddiqueshaban: Ninatarajia kwa dhati baraza la habari @MediaCouncilK linafuatilia kwa makini yanayofanywa na vyombo vya habari kipindi hiki wanaporipoti tukio hili #nairobiblast. |
22 | Отговорността е задължителна. | Uwajibikaji ni kitu cha lazima |
23 | @Kevin2Tek: #NairobiBlast е актуален по света. | @Kevin2Tek: Alama inayotumika kujadili tukio la mlipuko huo, #NairobiBlast, sasa inatawala gumzo la mtandao wa twita duniani kote. |
24 | Моля, гледайте какво туитвате, не всявайте паника и не разпространявайте лъжи! | Tafadhali kuwa makini na kile unachotuma kwenye mtandao huo, usisambaze hofu au kujadili uongo! |
25 | Каква е причината за взрива? | Nini kimesababisha mlipuko?: |
26 | @iAMneshynsky: хората трябва да спрат да си правят изводи и да говорят, че това е атака на Ал-Шабаб. | @iAMneshynsky: watu wasikimbilie kufanya mahitimisho na kuhisi ni shambulio la al shabaab…chochote kinawezekana katika tukio hilo #NairobiBlast |
27 | Може да бъде абсолютно всичко #NairobiBlast @careywinnie: Господи, надявам се, че приятелите ми са добре, както и всички останали!! | @careywinnie: Mungu wangu, ninadhani maafiki zangu wapenzi wa filamu wako salama na wote wanaoishi maeneo hayo!! |
28 | #NairobiBlast #moiavenue какво, по дяволите, се случи? | #NairobiBlast #moiavenue wtf happened? |
29 | @jowac50: RT #NairobiBlast Шефът на полицията Матю Айтиър каза, че експлозията е причинена от електрическа неизправност. - Репортажи | @jowac50: RT #NairobiBlast RT #NairobiBlast Mkuu wa Polisi Mathew Iteere anasema mlipuko ulisababishwa na hitilafu ya umeme -kwa mujibu wa taarifa mbalimbali |
30 | @Fionaakumu: Думите “взрив” и “експлозия” трябва да бъдат преразгледани. | @Fionaakumu: Maneno “mabomu” na “milipuko” yanaihitaji kuangaliwa upya. |
31 | Откога са станали синоними? | Tangu lini maneno haya yakawa na maana inayofanana? |
32 | #MoiAvenueBlast | #MoiAvenueBlast |
33 | Безотговорността на правителството | Kuokuwajibika kwa serikali: |
34 | @tonybkaranja: Наистина ни трябва план за бедствия, който да не е само на лист хартия. #nairobiblast | @tonybkaranja: Tunahitaji sana mpango wa kudhibiti majanga ambao hautakuwa tu kwenye makaratasi #nairobiblast |
35 | @MisterAlbie: Отново липсата на готовност и неосъзнаването на бедствието са големия ни проблем. #Firehydrants etc #MoiAvenueBlast | @MisterAlbie: Kwa mara nyingine tabia yetu ya kutokuwa na ufahamu sahihi na maandalizi dhidi ya matukio kama haya yanatugharimu #Firehydrants #MoiAvenueBlast |
36 | @TeamKonshens1: Само показва колко некомпетентни са екипите за спешно реагиране!! | @TeamKonshens1: Inaonyesha namna mwitikio wa vikosi vya Dharura ulivyo duni! |
37 | Изглежда като филм на живо по телевията! | Inaonekana kama filamu kwenye runinga! |
38 | #NairobiBlast | #NairobiBlast |
39 | @iCabway: #MoiAvenueBlast ни напомня защо пожарогасните инсталации ТРЯБВА да бъдат наложени в тези проблемни времена. | @iCabway: #MoiAvenueBlast tukio hili linatukumbusha ulazima wa kuwa na mfumo unaoaminika wa maji yakuzimia moto katika kizazi hiki chenye matatizo. |
40 | Африканските градове са безнадеждни в този аспект. | Miji ya ki-Afrika haina habari na umuhimu wa kuchukua tahadhari. |
41 | Грабеж по време на трагедията | Wizi katikati ya Janga:: |
42 | @iAMneshynsky: Грабители правят това, което правят най-добре, на Мои Авеню #NairobiBlast | @iAMneshynsky:Wezi wanafanya kile wanachoweza kwenye mtaa wa Moi Avenue #NairobiBlast |
43 | @rmunene: Кенийци “източват” обувки и дрехи от сергии на мястото на произшествието. | @rmunene: Wa-Kenya wanasomba viatu na nguo kutoka kwenye maduka ya eneo la tukio. |
44 | #nairobiBlast #KTNLiveStream | #nairobiBlast #KTNLiveStream |
45 | Некомпетентността на полицията | Udhaifu wa kiutendaji wa Polisi: |
46 | @ArybaStacks: Не знам защо полицията все още допуска хора по Мои Авеню… ами ако има втори взрив? | @ArybaStacks: Sijui kwa nini polisi bado wanaruhusu watu kwenda eneo la tukio…itakuwaje kama kuna mlipuko mwingine? |
47 | #MoiAvenueBlast | #MoiAvenueBlast |
48 | @Mwanikih: Ченгетата влошават ситуацията, опитвайки се насила да евакуират тълпите. | @Mwanikih: Polisi wanafanya hali hii ambayo tayari ni mbaya kuwa mbaya zaidi kwa kutumia nguvu kuwatawanya watu. |
49 | Сега хората крещят: “Mlikua wapi?” | Sasa hivi watu wanapiga kelele “Mlikuwa wapi?” |
50 | (Къде бяхте?) #NairobiBlast | #NairobiBlast |
51 | От кенийската полиция съобщиха, че 27 от ранените във взрива са били на лечение. | Jeshi la Polisi la Kenya limesema kwamba watu wapatao 27 wamejeruhiwa na mlipuko huo na wanaendelea na matibabu. |