Sentence alignment for gv-epo-20140721-1498.xml (html) - gv-swa-20140710-7877.xml (html)

#eposwa
1Libano: Ebur-borda junulino estis puŝfaligita de sur la sesa etaĝo post kiam ŝi postulis sian salajronMwanamke wa Ivory Cost Aangushwa Kutoka Ghorofa ya Sita kwa Kudai Mishahara yake
2Koaci.com [france] kun sidejo en Ebur-Bordo enmanigis al si informon, ke oni trovis eburbordan junulinon mortinta. Laŭinforme ŝi verŝajne kverelis kun sia dunganto pri salajropago kaj estis puŝfaligita de sur la sesa etaĝo de apartamentaro.Koaci.com aliye na maskani yake huko Ivory Coast aligundua kuwa msichana wa Ivory coast alikutwa na mauti kwa kile kinachosadikiwa kuwa alitupwa kutoka ghorofa ya 6 kutokana na ugomvi kati yake na mwajiri wake, ugomvi unaosadikiwa kusababishwa na mwajiri wa msichana huyo kutokumpa mishahara yake.
3Carolle Feby raportas en Koaci.com jene [france]:Carolle Feby anataarifu katika mtandao wa Koaci.com kuwa [fr]:
4Oni trovis ĉirkaŭ 20-jaraĝan eburbordan junulinon mortinta en Bejruto, Libano. Laŭ la informo ŝi postulis sian salajron kaj estis puŝfaligita de sur la sesa etaĝo de konstruaĵo.Msichana wa Ivory Coast mwenye miaka inayokadiriwa kufikia 20 alikutwa amefariki kwa kile kilichoripotiwa kuwa alisukumwa na kuanguka kutoka ghorofa ya 6 pale alipokuwa akidai mshahara wake huko Beirut, Lebanon.
5Ĉi tiu raporto estis sendita al Koaci.com de iu kameruna junulino, al kiu malkaŝiĝis la fakto pere de ŝia fratino, kiu estis najbaro de la viktimo.Taarifa hii ilitolewa katika mtandao wa Koaci.com na msichana mmoja wa Cameroon kutokana na ushuhuda alioutoa dada yake ambaye ni jirani wa msichana aliyefariki.
6Laŭ la najbaro, kies nomo ne estas malkaŝebla, la juna viktimo estis puŝfaligita de sur la sesa etaĝo de la konstruaĵo en Asharfir - rimarko: ŝi eble celis “Achrafieh” -, unu el la kvartaloj de Bejruto en Libano, marde la 1-an de Julio.Kwa mujibu wa jirani yake, ambaye jina lake limehifadhiwa, msichana huyo alisukumwa na kuanguka kutoka ghorofa ya 6 ya jengo lililopo huko Asharfir - Agalizo: Bila shaka alikuwa anamaanisha Achrafieh -, jirani na jiji la Beirut huko Lebanon siku ya Jumanne tarehe 1 Julai.
7Ŝi postulis sian salajron kaj la viro, rifuzinte pagi ĝin, verŝajne puŝfaligis ŝin pro kolerego.Alikuwa akidai mshahara wake, mwanamume huyo alikataa, na ndipo kwa hasira, alimsukuma msichana huyo.
8Ĉi tiu juna enmigrinto, laŭ la informo, forlasis Ebur-Bordon antaŭ kelkaj jaroj por labori en Libano kiel hejma laboranto. Ĉi tio estas ordinara scenaro por junulinoj en Ebur-Bordo.Msichana huyu aliyeishi nje ya nchi yake kwa miaka mingi, habari zinasema kuwa alitoka Ivory Coast miaka kadhaa iliyopita kwa ajili ya kufanya kazi za ndani nchini Lebanon, jambo ambalo limekuwa la kawaida kabisa kwa wasichana wa Ivory Coast.
9Malfeliĉe, rakontoj kiel ĉi tio ne estas maloftaj en Libano.Matukio ya aina hii kwa bahati mbaya yamekuwa ya kawaida sana nchini Lebanon.
10Antaŭ kelkaj monatoj grupo da afrikaj virinoj estis sukcese resenditaj al sia lando el Libano, post kiam Koaci.com malkaŝis la fakton, ke ili estis turmentitaj.Miezi michache iliyopita, mara baada ya Koaci.com kuweka bayana kuwa kundi moja la wanawake wa kiafrika kunyanyaswa walifanikiwa kurudishwa nchini mwao salama kutoka Lebanon.
11Ĉi tiu afero bedaŭrinde estas ordinara okazaĵo en Libano kaj aliaj arabaj landoj, kiuj utiligas la sistemon de Kafala aŭ “patronado.”Kwa habati mbaya, matukio haya yamekuwa ya kawaida sana nchini Lebanon pamoja na nchi nyingine za kiarabu wanaotunmia mfumo wa Kafala, au mfumo wa ‘Ufadhili'.
12Klarigas Human Rights Watch [Observado de Homaj Rajtoj] en sia raporto 2014 pri Libano [angle]:Kama inavyofafanuliwa na shirika la kutetea haki za binadamu katika taarifa ya mwaka 2014 ya Lebanon:
13Enmigrintaj hejmlaborantoj estas ekster la laborjuro. Ili obeas severajn regulojn bazitajn sur la dunganto-specifa patronado - la sistemo de Kafala -, kiu elmetas laborantojn al la risko de ekspluatado kaj kruela traktado.Sheria ya kazi haiwahusu wahamiaji wanaofanya kazi za ndani na badala yake wanakabiliwa na taratibu kali za uhamiaji chini ya mfumo wa mwajiri-mfadhili mahususi- mfumo wa kafala- mfumo unaowaweka wafanyakazi katika hatari ya kukandamizwa na kudhalilishwa.
14Dume, Charbel Nahhas, la eksministro de la Ministerio pri Laboro, anoncis en januaro 2012, ke li forigos la sistemon de Kafala, kaj en 2013 Salim Jreissati, la sekva ministro, malsukcesis tion plenumi aŭ prezenti leĝon, kiu protektos laŭtakse 200 000 enmigrintajn hejmlaborantojn en la lando.Wakati waziri wa Kazi aliyemaliza muda wake, Charbel Nahhas Januari 2012 alitangaza kuwa angeangalia uwezekano wa kufutilia mbali mfumo wa kafala,mwaka 2013, waziri wa kazi, Salim Jreissati alishindwa kufanya hivyo au kuweka sheria ambayo ingewalinda zaidi ya wafanyakazi wa ndani wanaokadiriwa kufikia 200,000 nchini humo.
15En julio la Kriminala Tribunalo kondamnis iun dunganton al du monatoj da malliberigo, trudis al ŝi punmonon kaj postulis de ŝi pagi kompenson por la damaĝo al la enmigrinta hejmlaboranto, al kiu ŝi ne pagis salajron dum kelkaj jaroj.Mwezi Julai, mahakama ya makosa ya jinai ilimuhukumu mwajiri mmoja kifungo cha miezi sita gerezani, kutozwa fidia, na kutakiwa kulipa fidia ya uharibifu pamoja na kulipa mishahara ya mfanya kazi wake wa ndani ambaye hakuwa amemlipa kwa miaka kadhaa.
16Enmigrintaj hejmlaborantoj, kiuj akuzas siajn dungantojn pro ilia kruela traktado, tamen daŭre alfrontos obstaklojn de la juro kaj riskojn de malliberigo kaj forpelo pro la severa sistemo de vizo.Matukio ya wahamiaji wanaofanya kazi za ndani kuwashitaki waajiri wao kwa kuwadhalilisha yanazidi kushika kasi, hata hivyo, wanakabiliwa na changamoto za kisheria na hatari ya kuwekwa gerezani na kurudishwa makwao kutokan na mfumo kandamizi wa taratibu za uhamiaji.