Sentence alignment for gv-epo-20140713-1470.xml (html) - gv-swa-20140707-7856.xml (html)

#eposwa
1Ramadano gustas je arestoj en EgiptujoMfungo wa Ramadhani Wawaingiza Watu Matatani kwa Kula Daku Usiku Nchini Misri
2@Shahdan_shosh kundividas ĉi tiun foton de 11 junuloj arestitaj pro kune prenita Sahur - manĝo antaŭ sunleviĝo por prepari sin fasti la sekvan tagon dum la islama monato de ramadano. ( Fonto: Tvitero)@Shahdan_shosh aliweka picha hii ya vijana 11 waliotiwa mbaroni kwa kosa la kukutanika kupata daku - chakula kinacholiwa usiku kwa ajili ya kuendelea na fungo wa siku inayofuata wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu (Chanzo: Mtandao wa Twita)
3Unu jaro pasis post kiam la egipta eksprezidanto Mohamed Morsi estis forpelita, kaj la nova reĝimo jam ricevis multe da kritikoj [angle] pro sia malrespekto de homaj rajtoj, ĉefe pro arbitra arestado.Mwaka umepita tangu kung'olewa madarakani kwa rais wa Misri Mohamed Morsi na serikali mpya tayari inakosolewa vikali kwa uvunjifu wa haki za binadamu ikiwa ni pamoja na kukamatwa kiholela kwa raia.
4Pli konkrete, nova leĝo pri kunveno en Egiptujo [angle] kaŭzis koleron inter egiptoj.
5Multaj el ili provis kontraŭi la leĝon [angle] kaj nur trovis sin arestitaj. Inter ili estas ankaŭ kelkaj aktivuloj kiel Alaa Abd El Fattah [angle], kiun oni lastjare kondamnis al 15 jaroj da malliberigo pro lia senpermesa organizado de protesto.Sheria mpya ya Misri ya kudhibiti mikusanyiko ndiyo hasa imewasha hasira kali miongoni mwa Wamisri, wengi wakijaribu kupinga sheria hiyo lakini hatimaye kujikuta wakikamatwa wao wenyewe, ikiwa ni pamoja na baadhi ya wanaharakati maarufu kama vile Alaa Abd El Fattah, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela mwezi uliopita, kwa ajili ya kuandaa maandamano pasipo kibali.
6Iun tagon frue en la monato de ramadano, la sankta monato de fasto por islamanoj, polico abrupte atakis domon, kie grupo de 11 junuloj havis festenon por Sahur (antaŭfasta manĝo antaŭ sunleviĝo dum fastado), ŝajne pro ilia malobeo al la leĝo pri kunveno.Kwa siku za kwanza za mwezi wa Ramadhani, mwezi mtukufu wa kufunga kwa Waislamu, vikosi vya polisi vilivamia makazi ya watu na kuwakuta vijana 11 wakipata daku (chakula cha usiku kinacholiwa na Waislamu kabla ya kuendelea na mfungo kwa siku inayofuata), shughuli ambayo inapofanywa na kundi la watu, huonekana kukiuka sheria ya mkutano kama baadhi yao walivyobashiri.
7Retanoj komencis pepi je la krad-etikedo #معتقلي_السحور [arabe], kiu signifas “arestitoj de Sahur.”Raia mtandaoni walianzisha alama ashiria #معتقلي_السحور [ar], ambayo tafsiri yake ni wafungwa wa daku.
8Ahmad Abd Allah skribis en sia fejsbuka muro jene [arabe]:Ahmad Abd Allah aliandika kwenye ukurasa wake wa Facebook yafuatayo [ar]:
911 homoj havis antaŭfastan manĝon en la domo de unu el ili.Watu kumi na moja walikuwa wakipata daku usiku katika moja ya nyumba zao.
10La Ministerio pri Internaj Aferoj arestis ilin pro ilia kontraŭleĝa kunveno… liberigu la arestitojn de Sahur.Wizara ya Mambo ya Ndani iliwakamata kwa tuhuma za kufanya mkutano haramu … waachilie huru wafungwa wa daku
11Mohamed Hazem, uzanto de Tvitero, pepis el Damanhur subtenante siajn amikojn:Mtumiaji Twita Mohamed Hazem, kutoka Damnhour, alitwi kuwaunga mkono marafiki zake:
12Mi ne scias, ĉu mi kriu pro masakro farita de la respublika defendotrupo, aŭ pro miaj 11 amikoj arestitaj.Sijui kama mimi nilie kwa sababu ya mauaji yaliyofanywa na walinzi wa serikali au shauri ya rafiki zangu 11 walioko kizuizini
13Li sarkasme pepis poste:Kwa kejeli baadaye alitwiti:
14Ĉu la prokuroro rigardos fromaĝon kaj olivon kiel atestojn de la kontraŭleĝa ago, aŭ insistos, ke ili estas benzinboteloj?Je, Wakili wa Serikali atatumia ushahidi wa vyakula vya maharage na mizaituni waliyokutwa nayo?
15Kaj Shahdan tvitere aperigis foton de la 11 arestitoj kaj skribis:Na Shahdan-shosh alitwiti picha ya wafungwa hao 11 na kubainisha :
16Ilia krimo: Sahur en grupo.Kosa lao hasa ni hili: Kundi la suhoor.
17Ili estis arestitaj kun foul (faboj), kikerbuloj kaj jogurto en sia posedo.Walikamatwa na (maharage) machafu, falafel na jibini katika nyumba waliyokutwa.
18Aktivulo Wael Abbas pepis al siaj 265 000 sekvantoj:Mwanaharakati Wael Abbas alitwiti kwa wafuasi wake 265000:
19Mi probable nuligos mian ĉiujaran festenon por Iftar [postfasta manĝo post sunsubiro dum ramadano] por respekti la novan leĝon pri protestoItanibidi pengine mimi kuachana Iftar [chakula maarufu cha swaumu] yangu ya kila mwaka kutii sheria mpya ya maandamano)
20Li aldonis:Aliongezea:
21Ĉiuokaze duono el ili, kiujn mi lastjare invitis al postfasta manĝo, nun estas aŭ en malliberejo, aŭ en ekzilo, aŭ en forkuradoHata hivyo, nusu ya wale ambao mimi niliwaalika kwa ajili ya Iftar mwaka jana wako jela, uhamishoni au ni watuhumiwa wa makosa ya jinai)
22Pasintjare la reĝimo de Morsi intencis trudi similan leĝon, kiu malpermesis kunvenon. Sed la leĝo ne vidis lumon pro forta protesto de internaciaj organizoj.Mwaka jana, serikali ya Morsi ilijaribu kulazimisha matumizi ya sheria kama hiyo inayozuia mikusanyiko ambayo hata hivyo, haikufaulu baada ya kilio kutoka mashirika ya kimataifa.
23La egipta blogo “WIKI THAWRA” [arabe], kiun administras la Egipta Centro por Ekonomia kaj Socia Rajtoj, asertis, ke almenaŭ 80 homoj mortis en malliberejo dum la pasinta jaro, kaj ke pli ol 40 000 homoj estis arestitaj aŭ akuzitaj inter julio 2013 (fino de la registaro de Morsi) kaj meza majo 2014.Blogu ya Misri WikiThawra [ar], ambayo inaendeshwa na Kituo cha Misri cha Uchumi na haki za Kijamii inadai kuwa watu wasiopungua 80 wamefariki wakiwa chini ya ulinzi katika kipindi cha mwaka mmoja na zaidi ya watu 40,000 wamewekwa kizuizini au wako kwenye mashitaka katika kipindi cha mwenzi Julai 2013 (kuiondoa serikali ya Morsi) na katikati ya Mei 2014.