Sentence alignment for gv-epo-20140728-1585.xml (html) - gv-swa-20140718-7937.xml (html)

#eposwa
1Zambio: Prezidanto provis pruvi sian laboremon per fejsbukaj fotoj sed malsukcesis konvinki kelkajn homojnRais wa Zambia Ajaribu Kuthibitisha Kuwa Yuko ‘Fiti’ kwa Picha Hizi za Facebook.
2[Ĉiuj ligiloj kondukas al anglalingvaj paĝoj.Baadhi Hawajashawishika
3Originala artikolo aperis en la 16-a de julio, 2014.]
4Prezidanto Michael Sata parolanta laŭraporte en la kabineta kunveno tuj post reveno el Israelo, kie li estis en hospitalo.Rais Michael Sata akisemekana kuhutubia kikao cha Baraza la Mawaziri mara aliporudi kutoka Israel alikokuwa amelazwa hospitali.
5Ĉi tio estas unu el la fotoj, kiuj estis senditaj al amaskomunikiloj kaj ankaŭ aperigitaj en fejsbuka paĝo de la prezidanto.Hii ni picha mojawapo iliyotumwa kwa vyombo vya habari na ilionekana pia kwenye ukurasa wa Facebook wa rais.
6La teamo de Michael Sata, la prezidanto de Zambio, publikigis fotojn, laŭsupoze de la kabineta kunveno, al lokaj amaskomunikiloj kaj en Fejsbuko. La celo estis forigi suspektojn de homoj, ke la gvidanto ne fartas bone nek estas laboranta.Timu ya Rais wa Zambia, Michael Sata ilipotoa picha hizo zinazosemekana kuwa ni za kikao cha baraza la Mawaziri kwa vyombo vya habari vya nchi hiyo na kuzichapisha kwenye ukurasa wa Facebook, lengo lilikuwa kumaliza madai kwamba kiongozi huyo ni mgonjwa na hajawa akifanya kazi.
7Sed kontraŭ la celo, la fotoj plie kaŭzis kritikojn. Kelkaj homoj dubas, ĉu vere okazis la kunveno, ĉar nenie troviĝas registritaj sonoj nek filmoj, kiuj povas pruvi okazigon de la kunveno.Badala yake, picha hizo zilikuwa mithili ya mafuta yaliyoongezwa kwenye moto unaowaka, kiasi kwamba baadhi hata wanathubutu kuhoji uhalisi wa mkutano huo kwa sababu hapakuwa na kipande cha rekodi ya sauti na video kuthibitisha madai hayo.
8La afero komenciĝis, kiam Sata forlasis Zambion senanonce en la 20-a de junio, 2014.Mambo yalianza wakati Sata alipoondoka nchini kimya kimya mnamo Juni 20, 2014.
9La retejo Zambian Watchdog [Gardohundo de Zambio] malkaŝis la vojaĝon, raportante, ke la prezidanto alvenis al Israelo kaj estas en hospitalo.Tovuti ya Zambian Watchdog ilitoboa siri hiyo, ikiripoti kuwa rais alikuwa amewasili nchini Israel na alikuwa amelazwa hospitali.
10Ĉefproparolisto de la registaro tiam konfirmis la vojaĝon kaj tamen diris, ke Sata prenas working holiday [feriojn kun laboro] en Israelo.Msemaji mkuu wa serikali alilazimika kuthibitisha safari hiyo, lakini alisema Sata alikuwa mapumzikono nchini Israel.
11La sekreteco pri la vojaĝo rezultigis procedan fuŝon, kiu estis tuj trovita de civitanoj.Usiri unaozunguka safari hiyo uligeuka kuwa kosa kubwa lililosababisha maneno yasiyothibitishwa ambayo kwa haraka yalisambaa kwenye vijiwe vya mazungumzo.
12Kelkajn tagojn post la ekvojaĝo de Sata, la ceremonia gardistaro kaj la standardo de prezidanto, oranĝkolora flago kun blazono, ankoraŭ okupis siajn lokojn ĉe la palaco de prezidanto en la centra regiono de la ĉefurbo, kvankam ili kutime estas forigitaj dum lia foresto.Siku kadhaa baada ya safari ya Sata, ulinzi na itifaki ya kirais na bendera ya rais yenye nembo ya taifa, vyote ambavyo vilipaswa kuondolewa wakati rais asipokuwepo, viliendelea kuwepo ikulu ya rais kwenye wilaya ya kati ya jiji hilo.
13Kiam ĉirkaŭ unu monato pasis, zambianoj ne sciis, ĉu la prezidanto, kiu ŝajnis malsana en la lastaj monatoj, jam revenis Zambion aŭ ne.Takribani mwezi mmoja baadae, wa-Zambia hawakuwa wanajua lolote kuhusu ikiwa rais wao, ambaye kwa miezi iliyopita alionekana kuwa mdhaifu, alikuwa amerudi ama la.
14Zambia Reports [Raportoj de Zambio] kaj Sakwiba Sikota, advokata politikisto, raportis, ke la lasta afiŝo en Fejsbuko de la prezidanto estis datita je la 6-a de junio - notinda afero pro tio, ke la paĝo kutime estis ĝisdatigata regule.Zambia Reports na mwanasheria aliye mwanasiasa pia Sakwiba Sikota alihoji bandiko la mwisho kwenye mtandao wa Facebook wa rais kuwa limekuwepo tangu tarehe 6 Juni -inatia shaka kwa sababu ukurasa huo umekuwa ukihuishwa mara kwa mara.
15La Zambia Reports skribis pri la paŭzo en la fejsbuka afiŝado jene:Zambia Reports iliandikwa kuhusu kukosekana habari mara kwa mara kwenye ukurasa huo wa rais:
16Ŝajnas, ke ĉiuj rezignis afiŝadon por eviti respondecon.Inaonekana kila mmoja ametelekeza posti zake na hatimizi wajibu.
17Ĉu ne estas ironia afero, ke la fejsbuka paĝo de la prezidanto neniam estis ĝisdatigita ekde la 6-a de junio, kvankam antaŭe ĝi estis ĝisdatigata tre ofte, preskaŭ ĉiun horon ĉiutage?Si jambo la kawaida kwamba bada ya ‘kuufurikisha' ukurasa wa facebook kwa habari za karibu kila saa tena kila siku kwenye ukurasa wa Rais wa Facebook, hapajakuwepo na habari zozote tangu Juni 6
18Pri la paŭzigita ĝisdatigo de Fejsbuko de Sata, Sikota opiniis sarkasme jene:Kuhusu kukosekana kwa mabandiko kwenye ukurasa wa Facebook wa Sata, Sikota anabaini kwa hali ya masihara:
19En la vivo troviĝas certaj aferoj, kiuj estas tiel dolĉaj, ke vi neniam povos satiĝi de ili.Kuna mambo kwenye maisha ambayo ni matamu sana kiasi kwamba huwezi kuyachoka.
20Mi supozas, ke ni ĉiuj memoras unuan gustumon de mielo kaj aliaj plezuroj.Nadhani sote tunakumbuka tulivyoonja asali kwa mara ya kwanza na mengineyo mazuri.
21Unu el tiuj dolĉaj aferoj aŭ plezuroj estas ĉiutaga manĝaĵo, kiu nin nutris kaj al kiu ni alkutimiĝis, kaj estas tiu de aminda kaj afabla s-ro prezidanto Michael Sata.Moja ya jambo tamu na zuri ni chakula cha mara kwa mara tulichokuwa tukilishwa na kukizoea ni kile cha mhe rais Michael Sata, mtu wa watu na mpenda watu.
22Kiu povos forgesi tiujn regulajn ĝisdatigojn, varmajn kaj tre personajn, en la fejsbuka paĝo de Lia Moŝto?Nani anaweza kusema kasahau zile habari motomoto na za kibinafsi zilizokuwa kwenye ukurasa wa Facebook wa Mheshimiwa?
23Plej bona ekzemplo, kiu igis nin sekvi lian agadon, estas afiŝo de la 4-a de aprilo en la kuranta jaro, kies enhavo estas, “Bonan matenon al amikoj, nun mi komencis mian vojaĝon por reveni hejmen post la sukceso en Pinta Konferenco inter Eŭropa Unuiĝo kaj Afriko en Bruselo, Belgio.Nyingi zilikuwa ni kama ile iliyotufahamisha kuhusu kila anakokwenda, iliyowekwa April 4 mwaka huu iliyosomeka, “Habari za asubuhi marafiki, nimeanza safari ya kurudi baada ya mkutano wenye mafanikio wa ushirikiano kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika uliofanyika Brussels, Ubeligiji.
24Mi forlasis Bruselon por reveni al Lusako tra Amsterdamo.Nimeshaondoka Brussels kuja Lusaka kupitia Amsterdam.
25Fartu bone kaj ĝuu la semajnfinon.Kaeni vyema na furahieni mwisho mwema wa wiki.
26MCS [Michael Chilufya Sata] - la 4-an de aprilo, 2014.”MCS [Michael Chilufya Sata] -04/04/14″
27Du tagojn poste, fotoj laŭsupoze de la kabineta kunveno okazigita en la 14-a de julio, estis senditaj al amaskomunikiloj kaj ankaŭ afiŝitaj en Fejsbuko por informado pri progresantaj landoskalaj projektoj.Siku mbili baadae, picha zinazosemekana kuwa za kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Julai 14 zilziotumwa kwenye vyombo vya habari na kuchapishwa kwenye mtandao wa Facebook ziligeuka kuwa mradi wa nchi nzima.
28Muvi, loka televida stacio, kaj BBC [Brita Dissenda Korporacio (angle: British Broadcasting Corporation)] dubis pri la okazigo de la kunveno.Kituo cha runinga cha, Muvi, na hata BBC walionesha mashaka na kikao hicho.
29Chola Mukanga, bloganto, rifuzis uzi la fotojn en sia retejo Zambian Economist [Ekonomiisto de Zambio] dirante:Mwanablogu Chola Mukanga, kwenye blogu yake ya Zambian Economist aligoma kuzitumia picha hizo, akisema:
30Malfeliĉe, Zambian Economist ne povas certigi la verecon de tiuj tri fotoj, kiuj laŭ nia kompreno estas haveblaj en aliaj retejoj.Kwa bahati mbaya, blogu ya Zambian Economist haijaweza kuthibitisha uhalisi wa picha hizo tatu, ambazo tunaelewa ziko kwenye tovuti nyingine.
31Simple ni ne havas registritajn sonojn nek filmojn, kiuj kongruas kun la fotoj.Ni kwamba hatuna rekodi ya sauti wala video zinazothibitisha picha hizo.
32Sekve, se ni kundividus tiujn fotojn kaj fiksus la etikedon “oficialaj fotoj” sur ilin, ni estus senrespondecaj, ĉar ni senatente misgvidus la publikon.Kwa hiyo itakuwa ni kutokuwa makini kwetu kuonesha picha hizo na kuzipachika alama ‘rasmi' kwa sababu hiyo inaweza kuupotosha umma.
33En Tvitero civitanoj grave traktis la foreston de Sata:Kwenye mtandao wa Twita, raia walipima uzito wa kukosekana kwa Sata:
34Do, ĉu ŝajnas, ke #Zambia ankoraŭ demandas je #whereisthepresident [kie estas la prezidanto], malgraŭ la hieraŭa publikigo de la fotoj de “Prezidanto Sata prezidas kabinetan kunvenon”?Kwa hiyo inaonekana pamoja na kuchapishwa kwa picha za Rais Sata akiongoza kikao jana #Zambia bado inauliza yuko wapi rais?
35Alia tvitera uzanto demandis sin, kial nenia informo haveblas:Mtumiaji mwinine alishangaa kwa nini alipokuwa nje ya nchi hapakuwa na habari zilizokuwa zinakuja:
36Kiagrade la prezidanteco estu kovrita en mistero?Kwa kiwango gani rais anapaswa kuzungukwa na usiri?
37La kolero estas kulpigebla:Hasira ni hatia:
38Ĉi tiu registaro tute kredas, ke la voĉdonantoj estas ĉiom akceptemaj.Serikali hii inawachukulia wapiga kura kirahisi.
39Sed Sata kaj liaj kamaradoj devas klarigi sin al la homoj en Zambio, ne inverse.Sata na baraza lake wanawajibika kwa watu wa Zambia na si kinyume chake
40Dum la foresto de Sata, aktivulo Brebner Changala petis la Superan Kortumon, ke ĝi devigu la kabineton starigi medicinan konsilion por ekzameni Sata kaj juĝi, ĉu li taŭgas por daŭre funkcii kiel estro de la ŝtato.Kuhusu kutokuwepo kwa Sata, mwanaharakati Brebner Changala aliiomba Mahakama Kuu kulilazimisha Baraza la Mawaziri kuunda jopo la madaktari kuchunguza afya ya Sata na kubaini ikiwa anafaa kuendelea na kazi kama Mkuu wa Nchi.
41La peto estis malakceptita, sed Changala denove sendis sian peton.Ombi hilo lilitupiliwa mbali lakini Changala alirudisha tena ombi hilo hilo Mahakamani.
42Kelkajn tagojn antaŭ la laŭsupoza kabineta kunveno, Business Day [Komerca Tago], retejo de Sud-Afriko, kronikis kelkajn neanoncitajn vojaĝojn de Sata eksterlanden, kiujn la oficejo de la prezidanto kaj aliaj koncernatoj de la registaro eŭfemisme nomis working holidays.Siku chache baadae kabla ya kinachodaiwa kuwa kikao hicho, jarida la Afrika Kusini la Business Day lilionyesha mtiririko wa safari za siri za Sata nje ya nchi, ambazo ziliitwa na ofisi ya Rais na maafisa wengine wa serikali kuwa ni likizo la kikazi.
43Per unu rigardeto al la kritikoj en socia medio, oni divenos, ke la eŭfemismo ne efikas.Kwa kupitia kwa haraka ukosoaji wa habari hiyo kwenye mitandao ya kijamii, inaonekana kuwa kilichokuwa kikisemwa na maafisa hao wa serikali kilikuwa kinafanya kazi.