# | hun | swa |
---|
1 | Tudósítás közben vesztette életét egy 14 éves civil újságíró Szíriában | Mwandishi Habari za Kiraia wa Miaka 14 Auawa Akiripoti Mapigano Nchini Syria |
2 | 2013. május 21-én megölték Omar Qatifaant, egy 14 éves médiaaktivistát, miközben a szíriai kormányerők és a lázadó Szabad Szíriai Hadsereg közötti összecsapásokról tudósított az ország déli, Jordániával határos részén fekvő Daraa al-Ballad körzetéből. | Omar Qatifaan, Mwanaharakati wa Habari mwenye umri wa miaka 14, aliuawa Mei 21, 2013 wakati alipokuwa anaripoti mapigano kati ya Jeshi la Syria na waasi wanaopinga serikali ya nchi hiyo kusini mwa al-Ballad eneo la Syria karibu na mpaka na Jordan. |
3 | Halálát a Syrian Documents [en] ifjúsági médiaprojekt jelentette, a YALLA SOURIYA [en] szíriai blogoldal pedig őt “Szíria lelkének” nevezte. | Nyaraka kuhusu Syria zilizotolewa na Mradi wa vyombo vya habari vya vijana ziliripoti kuhusu kifo chake, na blogu ya habari nchini humo YALLA SOURIYA ilimwita kijana huyo kuwa “Roho wa Syria”. |
4 | A szíriai konfliktus, ahogy a többi arab tavasz felkelés is, hozzájárult a civil újságírás polgárháborús, helyszíni tudósításainak elterjedéséhez. Többeket a civil újságírók közül őrizetbe vettek, megkínoztak és meg is öltek, miközben próbálták a forradalom történetét [en] a világ elé tárni. | Mgogoro wa Syria, kama vile Mapinduzi mengine yaliyozikumba nchi za Kiarabu, zimesababisha kuongezeka kwa waandishi wa habari za kiraia wanaoripoti kutoka katika kwenye uwanja wa vita kuhusu mgogoro unaoendelea kati ya majeshi yanayounga mkono serikali na yale ya waasi. |
5 | Maguk a gyerekek is rettenetes árat fizettek a konfliktus során, hiszen idáig több ezernyi [en] fiatal vesztette életét. | Wengi wamekuwa kizuizini, kuteswa, na hata kuuawa wakiwa katika jitihada za kuutangazia ulimwengu habari za mapinduzi. Watoto pia wameumia kupindukia wakati wa vita, na maelfu wakiuawa wakati wa ghasia hadi wakati huu. |
6 | Omar Qatifaan médiaaktivista 14 éves volt, amikor megölték, miközben Daraaban, Szíriában egy ütközetről tudosított. | Mwanaharakati wa Vyombo vya Habari Omar Qatifan alikuwa na umri wa miaka 14 alipouawa akiwa anaripoti habari za vita huko Daraa, Syria. |
7 | A fotó a @RevolutionSyria Twitter profilról származik. | Picha kutoka akaunti ya twita @RevolutionSyria |
8 | Egy másik aktivista felvett egy videót Qatifaanról azután, hogy megölték. | Mwanaharakati mwingine wa vyombo vya habari alirekodi video ya Qatifaan mara tu alipouawa. |
9 | A képsort YouTube-ra SyrianDaysOfRage [en] felhasználó töltötte fel [GRAPHIC VIDEO]: | Video hiyo iliwekwa kwenye YouTube na SyrianDaysOfRage: [NI VIDEO INAYOTISHA]: |