Sentence alignment for gv-ind-20090416-832.xml (html) - gv-swa-20090414-110.xml (html)

#indswa
1India: Pemilu dan Hak PerempuanWanawake na Uchaguzi Nchini India
2Pos ini adalah bagian dari Global Voices Liputan Khusus Pemilu India 2009.Makala hii ni moja ya Makala Maalum za Global Voices Kuhusu Uchaguzi Mkuu wa India wa 2009.
3Demokrasi terbesar dunia , India, akan menyelenggarakan pemilu dalam beberapa minggu mendatang.Demokrasi kubwa zaidi duniani, India, itafanya uchaguzi mkuu utakaoanza katika wiki chache zijazo kutoka sasa.
4Di negara yang berpenduduk lebih dari satu milyar, pemilu hanya merupakan saat “pilih atau rugi” bagi banyak kelompok, partai politik dan masyarakat umum.Katika nchi yenye watu zaidi ya bilioni, uchaguzi mkuu ni wakati wa “kujenga au kuvunja” kwa makundi yenye maslahi, kwa vyama vya siasa na kwa watu wa kawaida.
5Bagaimana hidup mereka akan berlangsung dalam lima tahun ke depan bergantung pada hari itu.Kutokana na ukweli kwamba maisha yao kwa miaka mitano ijayo yataamuliwa siku ya uchaguzi.
6Warna cerah para perempuan pedesaan India yang tengah berkumpul dengan sukarela demi mobilisasi sosial dan pembangunan desa mereka.Upinde wa rangi za akina mama wa vijijini waliokusanyika kama wahamasishaji wa kujitolea kwenye vijiji vyao.
7Foto oleh pengguna Flickr mckaysavage atas ijin creative commons.Picha na Mtumiaji wa Flickr Mckaysavage na imetumika chini ya hatimiliki huru za jamii.
8Perempuan India, yang telah lama ditolak hak sah mereka di rumah, tempat kerja, maupun guna memiliki kuasa atas diri sendiri, juga akan berperan besar dalam pemilu mendatang.Wanawake wa India, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakinyimwa nafasi yao ya haki majumbani, kazini na katika hatamu za uongozi wana dau kubwa katika uchaguzi ujao.
9Kemampuan membaca dan menulis para perempuan di negri (berdasarkan sensus 2001) sampai pada 53. 63% dibandingkan dengan 75.Wanawake wanaojua kusoma na kuandika nchini (kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2001) ni asilimia 53 tu ikilinganishwa na asilimia 75 kwa wanaume, hata hivyo wanawake wa India hawajatengwa kabisa kutoka katika mchakato wa kisiasa.
1026% pada pria, tapi perempuan India tidak terlalu terisolasi dari proses politik.Kiwango cha ushiriki wao kinaongezeka na vyama vingine mashuhuri vina viongozi wanawake.
11Level partisipasi mereka meningkat dan beberapa partai terkenal memiliki perempuan sebagai pemimpinnya.
12Meskipun semakin banyak perempuan yang sadar akan hak suara mereka dan berpartisipasi dalam level politik lokal, sebuah laporan memberitakan bahwa tahun ini lebih sedikit perempuan yang kecil kemungkinan terpilih sebagai anggota parlemen di negri tersebut.Japokuwa wanawake wengi wanaanza kuwa na ufahamu wa haki zao za kupiga kura na wanashiriki katika siasa kwenye ngazi za chini, ripoti hii inaeleza kwamba inavyoelekea mwaka huu ni wanawake wachache zaidi watakaochaguliwa katika bunge la nchi.
13Pengenalan Undang-Undang Hak Perempuan dalam Lok Sabha ke-14 mendorong para perempuan untuk bisa masuk dalam partai-partai besar kali ini, namun seleksi kandidat akhir masih didominasi oleh pria.“Kuwasilishwa kwa Muswada wa Viti Maalum vya Wanawake katika kikao cha 14 cha Baraza la Wawakilishi (Lok Sabha) kumewafanya wanawake waanze kuwania tiketi kwenye vyama vikubwa, lakini uteuzi wa wagombea kwenye vyama hivyo unaonyesha kwamba siasa za uchaguzi nchini India bado ni hifadhi ya wanaume.
14Termasuk partai Ketua Sonia Gandhi, hanya sembilan tokoh perempuan di antara 90-dan kandidat Lok Sabha yang sejauh ini diumumkan oleh Kongres dan daftar BJP dengan 232 kandidat, hanya terdapat 21 perempuan.Pamoja na mkuu wa chama Sonia Gandhi, ni wanawake tisa tu katika orodha ya wagombea 90-na-ushee wa Baraza la Wawakilishi waliotangazwa na chama cha Congress mpaka hivi sasa na katika orodha ya wagombea 232 wa chama cha BJP kuna wanawake 21 tu.
15Front Kiri, yang telah menuduh baik BJP dan Kongres tentang kurangnya niat berpolitik pada undang-undang hak perempuan, hanya melihat dua perempuan di antara 42 kandidat di benteng Bengal Barat, yang sebelumnya berjumlah lima dari pemilihan tahun 2004.Chama cha Mrengo wa Kushoto, ambacho kimevishutumu vyama vya BJP na Congress kwa kutokuwa na nia ya kisiasa kuhusiana na sheria ya viti maalum vya wanawake, imewateua wagombea wawili tu wanawake kati ya wagombea 42 kwenye ngome yao ya jimbo la Bengali ya Mashariki, idadi hii ni ya chini zaidi ya wale watano ambao kiliwasimasha katika uchaguzi wa mwaka 2004.”
16Samiya Anwar, seorang pemilih perempuan, menulis tentang pemilihan yang akan berlangsung berpusat di kota asalnya Hyderabad:Samiya Anwar, mpiga kura wa kike, anaandika kuhusu uchaguzi ujao, na anauangalia kwa makini mji anaotoka wa Hyderabad:
17Ada lebih banyak isu mengenai perempuan daripada tentang pria yang harus dibahas.“Kuna masuala mengi yanayowahusu wanawake zaidi ya yale yanayowahusu wanaume ambayo yanapaswa kuangaliwa.
18Ya kan?Au siyo?
19Pertama, jaminan keamanan dari daerah perempuan itu berasal.Kwanza, ni usalama wa wanawake katika jamii wanamoishi.
20Banyak perempuan di Kota Tua (di Hyderabad) tidak percaya polisi.Wanawake wengi katika mji mkongwe (wa Hyderabad) hawawaamini polisi.
21Mereka mengalamai kekerasan rumah tangga dan fisik namun tidak mengeluh.Wanapitia mateso ya ndani ya nyumba pamoja na kupigwa bila ya kulalamika.
22Kita memerlukan sistem dimana para perempuan berani menghadapi polisi.Tunahitaji mfumo ambao utawafanya wanawake waweze kuongea na mapolisi bila ya woga.
23Isu-isu seperti kekurangan air, seringnya mati listrik, kecelakaan jalanan dan siksaan fisik pada perempuan di tempat kerja seharusnya yang pertama dipikirkan.Masuala kama vile ukosefu wa maji, kukatika kwa umeme kila mara, ajali za barabarani na unyanyasaji dhidi ya wanawake makazini ni lazima yapewe kipaumbele.”
24Masalah kasta adalah masalah besar selama pemilihan di India.Utamaduni wa matabaka ni suala kubwa wakati wa uchaguzi nchini India.
25Seperti yang pernah dikatakan seseorang “Penduduk India tidak mengkastakan pilihannya tapi memilih berdasarkan kasta”, politik yang membedakan penduduk berdasarkan kastanya dan mengeksploitasi mereka sebagai “suara penting” adalah suatu praktik umum.Kama alivyowahi kusema mtu mmoja “Wahindi hawapigi kura bali wanapigia kura matabaka”, siasa za kuwatenganisha watu kwa kadri ya matabaka yao na kuwatumia kama “benki za kura” ni utaratibu wa kawaida.
26Joshua Meah memblog sistem kasta dan perempuan dalam dunia politik di India dalam Washington Note, berkata: India, kt. benda.Joshua Meah akiblogu kuhusu utamaduni huo wa matabaka na wanawake katika siasa kwenye blogu ya Washington Note anasema:
27(mungkin mempunyai potensi sebagai kata sifat juga?): negara dimana segala hal yang berlawanan paling tidak mengandung sedikit kebenaran.“Nchini India ambako kinyume cha kila kitu huwa ndio ukweli.
28Ini negara yang sama yang memproduksi banyak politisi perempuan kuat jauh sebelum Amerika mengangkat subyek ini secara terang-terangan - Indira Gandhi dalam hal ini.Hii ni nchi ambayo imetengeneza wanawake kadhaa wanasiasa wenye nguvu kubwa, kitambo kirefu kabla hata Marekani haijaanza kulitaja somo hilo - Indira Gandhi ni mfano mmojawapo.
29Bahkan saat ini, Ketua Uttar Pradesh, kota dengan populasi terpadat di India dan rumah bagi 130 juta orang, diketuai oleh perempuan asal dalit (kasta terendah India).Hata hivi sasa, Mkuu wa Uttar Pradesh, Jimbo lenye watu wengi zaidi nchini India na makazi ya watu milioni 130 linaongozwa na mwanamke anayetokea kwenye tabaka la Dalit (tabaka la chini kabisa).
30Perkembangan demokrasi India dalam hal pergerakan terhadap persamaan sosial telah dalam beberapa hal membuat kagum dan pada saat bersamaan kecewa.Maendeleo ya demokrasi nchini India katika maana ya kuelekea usawa wa jamii kwa namna fulani yamekuwa ni ya kuvutisha pumzi na kadhalika kukatisha tamaa.”
31Vinod Sharma juga membahas soal “suara penting” melalui percakapan khayalan antara tiga sosok wanita kuat- Mayawati (Ketua Menteri Uttar Pradesh) yang adalah seorang dalit (kasta rendah), Maneka Gandhi (menantu perempuan Indira Gandhi) dan seorang tokoh sosial yang kuat dan aktivis hak binatang, dan Sonia Gandhi (ipar perempuan terasingkan Maneka) dan Kongres partai tertinggi.Vinod Sharma pia analijadili suala la “benki ya kura” kwa kutumia majadiliano ya kubuni kati ya wanawake watatu wenye nguvu - Mayawati (Waziri Mkuu wa jimbo la Uttar Pradesh) ambaye ni wa tabaka la “Dalit” (tabaka la chini), Maneka Gandhi (mkwe wa Indira Gandhi) ambaye ni mwanaharakati za haki jamii, haki za binaadamu na za wanyama na Sonia Gandhi (wifi aliyetengwa wa Maneka) ambaye pia ni mkuu wa chama cha Congress.
32Berikut adalah kutipannya:Ifuatayo ni nukuu:
33Sonia: Partai Kongres adalah partai nasional dengan sejarah yang hebat.“Sonia: Chama cha Congress ni chama cha kitaifa chenye historia tukufu.
34Mayawati: Dan tanpa masa depan.Mayawati: Na kisicho na mustakabali.
35Sonia: Jangan berkata begitu.Sonia: Usiseme hivyo.
36Tolong.Tafadhali.
37Itu menyakitkan.Inaumiza.
38Kami yakin untuk maju kembali dengan kekuatan sendiri.Tunao uwezo wa kuchukua madaraka tena peke yetu (bila kuingia kwenye mseto na vyama vingine).
39Mayawati: Benarkah?Mayawati: Kweli?
40Dengar, saya tak peduli siapapun yang berasal dari keluarga Gandhi atau raja atau maharaja.Angalia, Sijali ikiwa kuna mtu katokea kwenye familia ya Gandhi au raja au maharaja.
41Bila Anda atau anak Anda mengancam suara penting saya dengan cara apapun, saya akan menjebloskan kalian berdua di balik jeruji.Kama wewe au mwanao akitishia benki yangu ya kura kwa njia yoyote ile, nitawatupa nyote jela.”