Sentence alignment for gv-ind-20090223-164.xml (html) - gv-swa-20090226-76.xml (html)

#indswa
1Mesir: Reaksi Para Bloger Atas Aksi Pemboman KairoMisri: Wanablogu Wafuatilia Milipuko ya Mabomu Mjini Kairo
2Seorang warga Perancis tewas dan sekitar 20 orang luka-luka menyusul ledakan bom di luar Masjid Al Hussein di Khan Al Khalili, salah satu area tujuan wisata populer di Kairo.Mtalii wa Kifaransa ameuwawa na watu wapatao 20 wamejeruhiwa wakati bomu lilipolipuka nje ya msikiti wa Al Hussein uliopo katika eneo la utalii la Khan Al Khalili mjini Kairo mapema leo.
3Ketika seluruh dunia mencoba memahami apa yang sebenarnya terjadi di sana, para bloger Mesir telah dengan gesit bertukar informasi, kabar teraktual, analisa dan merantaikan pesan keprihatinan.Na wakati dunia ilipokuwa inaanza kufahamu ni kipi kilichokuwa kinatokea, wanablogu wa Misri waliingia kazini haraka, wakipashana habari za yanayotukia, taarifa, uchambuzi na hofu zao.
4Berawal dengan munculnya pesan Twitter yang mengabarkan adanya “sebuah ledakan terjadi di kafetaria di Al Azhar” yang ditulis oleh Zenobia.Yote yalianza wakati Zenobia alipotundika ujumbe katika ukurasa wa Twita akiripoti kuwa “Kumetokea mlipuko wa aina fulani kwenye mgahawa uliopo Al Azhar.”
5Tak lama kemudian konfirmasi muncul dari Arabawy yang mengatakan bahwa: “Sebuah ledakan terjadi di Jalan el-Mashhad el-Husseini, Kairo.”Dakika chache baadaye Arabawy alifuatia na ujumbe mwingine uliothibitisha: “Mlipuko katika mtaa wa el-mashhad el-Husseini mjini Kairo.”
6Beberapa hari menjelang disetujuinya Undang-Undang Anti-Terorisme oleh parlemen, sebuah ledakan terjadi di wilayah Azhar!
7Moftasa merupakan pengguna Twitter Mesir pertama yang melontarkan dugaannya mengenai hubungan antara peristiwa pemboman dan undang-undang baru anti-terorisme yang kontroversial, yang akan didiskusikan pada parlemen Mesir beberapa hari lagi.Moftasa ndiye alikuwa wa kwanza kuuhisi uhusiano wa milipuko na sheria mpya ya kuzuia-ugaidi, ambayo itajadiliwa katika siku chache zijazo kwenye bunge la Misri.
8RUU anti-terorisme tersebut memperoleh banyak tentangan.Rasimu ya sheria hiyo imekumbana na vipingamizi vikubwa.
9Belum ada konfirmasi resmi dari pihak berwajib, namun Zeinobia berusaha untuk mengumpulkan data dan fakta dari berbagai surat kabar dan saluran TV , dan merangkumnya secara komprehensif.Hakuna lililothibitishwa mpaka sasa, na uvumi unaenea; hata hivyo, Zeinobia alijaribu kukusanya habari kama zinavyotokea kutoka vyanzo tofauti vya magazeti na idhaa za televisheni katika muhtasari.
10Bloger Arabist, yang berada di dekat lokasi dan mendengar dua bunyi ledakan, menulis:Mwanablogu Arabist, ambaye alikuwa Karibu na eneo na kuusikia mlipuko huo yeye mwenyewe, aliandika:
11Aku mendengar berita adanya bom meledak di komplek kota tua abad pertengahan Kairo dekat Khan al-Khalili, sebuah daerha tujuan wisata utama.Nimesikia taarifa za mabomu yanayolipuka katika mji mkongwe wa Kairo Karibu na Khan al-Khalili, sehemu maarufu kwa watalii.
12Aku akan terus memantau situasi dan menceritakan laporan terbaru yang muncul.Nitawapasha kadri habari zitakapopatikana.
13Aktual 1: Al Jazeera melaporkan 11 orang tewas, 3 warga Mesir, 3 warga Jerman, 1 warga Perancis, 16 terluka, meninggalnya seorang warga Perancis dan berita lainnya masih menanti konfirmasi.Habari mpya: Al Jazeera inaripoti vifo 11, Wamisri watatu, Wajerumani watatu, Mfaransa mmoja, 16 wamejeruhiwa, Mfaransa mmoja amefariki, haya na mengineyo bado hayajathibitishwa.
14Aktual 2: Beberapa aktivis melontarkan pendapat adanya kaitan antara insiden yang terjadi dengan rencana peresmian UU Darurat oleh perlemen…Habari mpya 2: Tayari wanaharakati wanasema kuwa tukio hili limetukia Karibu sana na mwezi ujao ambapo Sheria ya Dharura itajadiliwa Bungeni…
15Aktual 3: 4 orang tewas (berkewarganegaraan Jerman dan Perancis), 12 terluka, turis dari berbagai negara.Habari mpya 3: Wanne wamefariki (Wajerumani na Wafaransa) 12 wamejeruhiwa, wa mataifa mbalimbali.
16moftasa menautkan foto dari tempat kejadian perkara pada Twitter.Halafu moftasa alibandika kiungo cha picha kutoka kwenye eneo la mlipuko kwenye Twita.
17Bloger Msfour, warga negara Amerika yang tinggal di Kairo merupakan meminta para pengguna Twitter untuk mencantumkan tag #cairobomb, Arabawy mengajak para bloger untuk menggunakan tag delicious : El-HusseinExplosion untuk mensortir semua link yang masuk ke dalam URL yang sama.Wakati Msfour, mfanyakazi wa Kimarekani anayeishi Kairo, alikuwa wa kwanza kuwataka wanablogu wanaotumia Twita kutumia kielelezo cha #cairobomb, Arabawy ndiye alikuwa wa kwanza kuwataka wanablogu watumie kielelezo jumuishi cha delicious: El-HusseinExplosion ili kukusanya viunganishi vyote chini ya anwani pepe moja.
18Yassary Masry [Ar], Carl, Msfour, Maree, Rob, SandMonkey dan Grey wool Knickers merupakan beberapa bloger pertama yang menulis tentang insiden ini dalam blog masing-masing, dengan tujuan untuk memberi penghiburan bagi teman-teman dan keluarga mereka, atau untuk mendiskusikan ada tidaknya hubungan antara pemboman dengan undang-undang anti-terorisme.Wanablogu Yassary Masry [Ar], Carl, Msfour, Maree, Rob, SandMonkey pamoja na Grey wool Knickers walikuwa ni miongoni mwa wanablogu wa kwanza kuandika kuhusu tukio hilo, ama kuwafariji marafiki na familia au kujadili uhusiano wa milipuko ya mabomu na sheria ya kuzuia ugaidi.
19Grey wool Knickers menuliskan posting pendek yang menghubungkan antara insiden terakhir dengan peristiwa pemboman akhir-akhir ini. :Grey wool Knickers aliandika ujumbe mfupi unaohusianisha matukio ya mwisho yaliyotokea Misri, akijaribu kuyaunganisha na milipuko ya hivi karibuni:
20Seperti yang dikemukakan oleh beberapa orang, insiden ini terjadi di saat yang mencurigakan, terutama dengan adanya rencana perpanjangan Keadaan Darurat Negara (yang telah dimulai sejak Perang Arab- Israel tahun 1967, dan dihentikan sejenak pada masa pemerintahan Presiden Sadat).Kama watu kadhaa wanavyoona, matukio haya yametokea katika wakati wa kushuku, tukizingatia kwamba Sheria ya Dharura (iliyokuwepo tangu mwaka 1967 wakati wa vita vya Waarabu-na-Waisraeli, vilivyositishwea kwa muda wakati wa utawala wa Rais Sadat) ilitaka kuanzishwa tena.
21Pemerintahan Mubarak telah berjanji selama bertahun-tahun untuk menciptakan sebuah Undang-Undang Anti-Terorisme yang akan menggantikan Hukum Darurat, yang setidaknya akan melindungi warga dibawah Konstitusi Mesir.Serikali ya Rais Mubarak imekuwa ikiahidi kwa miaka mingi kuanzisha sheria ya kuzuia ugaidi ambayo ingechukua nafasi ya sheria za kijeshi, ambayo ingewapa raia angalau kinga kidogo kwenye katiba ya Misri.
22Rezim ini untuk sementara dapat mengembalikan Peraturan Darurat guna melakukan berbagai hal yang dikehendakinya, pembaca di negeri ini mungkin mengenal aksi penculikan Philip Rizk dan Diaa Gad, dua contoh.Utawala wa sasa unao uwezo wa kurejesha Sheria ya Dharura na kutenda inavyotaka, kama wasomaji watakavyogundua katika kutekwa kwa Philip Rizk na Diaa Gad, kati yaw engine wengi.
23Dengan adanya perubahaan yang terjadi di administrasi Amerika Serikat dan Israel, juga bertumbuhnya kelompok-kelompok pemberontakan yang vokal, kuat dan saling terkait, baik di dalam negeri maupun di sepanjang perbatasan dengan Gaza, sepertinya Mubarak yang kini mulai menua menjadi semakin tak sabaran juga semakin kehabisan pilihan untuk terus mempertahankan kekuasaan, sehingga strategi penekanan dijadikan pilihan.Huku kukiwa na matarajio ya mabadiliko katika serikali za Marekani na Israeli - pamoja na makundi ya upinzani yenye sauti na yaliyo mitandao ya ndani na ile inayovuka mipaka na kuingia Gaza - inaonekana kuwa utawala unaozeeka wa Mubarak unaanza kuingiwa na kihoro na kujikuta una machaguo machache ya kuendeleza mshiko wake madarakani isipokuwa kwa kutumia mikakati ya kuongeza hali ya vuguvugu.
24Aku rasa pembebasan narapidana politik Ayman Nour baru-baru ini harus disikapi sebagai langkah panik dari para petinggi diktatorial negeri.Nafikiri kuachiwa kwa mfungwa wa kisiasa Ayman Nour hivi karibuni kunaweza kuwa ni ushahidi wa mchechetu unaozikumba ngazi za juu za utawala huu wa kiimla.
25Untuk perkembangan berita, simak delicious feed ini.Ili kupata habari kama zinavyotukia, angalia ukurasa huu wa delicious.
26Hingga saat posting ini ditulis, telah terkonfirmasi bahwa seorang perempuan Perancis berusia 21 tahun tewas, dan sekitar 20 orang dari berbagai negara terluka.Mpaka wakati makala hii ilipokuwa ikiandikwa imethibitishwa kwamba msichana wa Kifaransa mwenye umri wa miaka 21 ameuwawa, na watu wengine wapatao 20 wa mataifa mbalimbali wamejeruhiwa.
27Nalun, belum terungkap pihak manakah yang bertanggung jawab atas peledakan ini.Hata hivyo, bado ni mapema mno kurukia hitimisho la ni nani aliyehusika na milipuko.
28Foto-foto dapat dilihat di blog Ahmed AbdelFatah dan pembaca dapt melihat langsung aktivitas bloger Mesir pada Twitter disini.Picha zinaweza kupatikana katika blogu ya AbdelFatah na wasomaji wanaweza kuwafuatilia wanablogu wa Misri kwenye twita hapa.