Sentence alignment for gv-ind-20100126-2828.xml (html) - gv-swa-20100126-1168.xml (html)

#indswa
1Lebanon: 90 penumpang diperkirakan tewas dalam musibah jatuhnya pesawat Ethiopian AirlinesLebanoni: Watu 90 Wanahofiwa Kufariki Baada ya Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia Kuanguka Baharini
2Ucapan belasungkawa mengalir di Twitter, setelah sebuah pesawat milik Ethiopian Airlines jatuh di Laut Mediterania beberapa menit setelah lepas landas dari Beirut, Lebanon.Rambirambi zilimiminika kwenye Twita baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia kuanguka kwenye (bahari ya) Mediterani dakika chache baaday ya kupaa ikitokea Beirut, Lebanoni.
3Seluruh penumpang yang berjumlah 90 orang diperkirakan tewas setelah pesawat tersebut tersambar petir dan terbakar kala terbang saat badai petir berlangsung.Watu wote 90 waliokuwemo wanahofiwa kuwa wamekufa baada ya ndege hiyo kushika moto katika kimbunga cha radi na kuangukia baharini.
4Pesawat itu kemudian jatuh ke laut. @tsepeaces merantaikan siulan seorang saksi mata yang mengatakan:@tsepeaces anatuma tena ujumbe wa twita wa mtu aliyeshuhudia tukio na kusema:
5RT @patrickgaley: SAksi bernama Naame “Kami melihat ledakan dilangit bak matahari, hal itu berlangsung selama beberapa detik dan menghilang ke dalam kegelapan”#ET409RT @patrickgaley: Shahidi Naame “Tuliona mlipuko kama jua angani, ulikuwa pale kwa sekunde chache halafu ukatokomea kwenye giza” #ET409
6Dia juga menyiulkan:Pia anaandika ujumbe huu wa twita:
7Pesawat tersebut sesaat berubah menjadi bola api - inilah kata-kata yang menakutkan :-/ #ET409 Semoga mereka beristirahat dalam damai!Ndege ile ilikuwa kama mpira wa moto kwa sekunde chache - hayo ni maneno yanayojirudia :-/ #ET409 Na Wapumzike Kwa Amani!
8Wartawan Daily Star dan narablog Huffington Post Patrick Galey mengutip seorang pria Lebanon yang kehilangan 10 orang temannya yang menumpang pesawat tersebut:Mwanahabari wa gazeti la Daily Star na mwanablogu wa Huffington Post Patrick Galey anamnukuu mwanaume mmoja wa Lebanoni ambaye amepoteza marafiki 10 waliokuwemo kwenye ndege hiyo:
9Fouad Shihab memiliki 10 orang teman yang menumpang pesawat tersebut: “Aku berencana untuk menumpang pesawat yang sama, lihatlah apa yang terjadi.Fouad Shihab, marafiki 10 kwenye ndege: Nilitakiwa niwepo kwenye ndege ile na angalia kilichotokea.
10Semua temanku tewas.”Marafiki zangu wote wamekufa.”
11Dalam siulan sebelumnya, dia menulis:Katika ujumbe wa awali wa twita, anaandika:
12Baru kembali dari Bandara Rafiq Hariri, suasana yang mengerikan.Ndiyo kwanza nimerudi kutoka uwanja wa ndege wa Rafiq Hariri, yanayoonekana huko yanatisha.
13Tidak ada informasi, sempat berbicara dengan seseorang yang kehilangan seluruh keluarganyaHakuna taarifa, nimeongea na watu waliopoteza familia nzima
14Hichame Assi (@hiconomics) menulis:Hichame Assi (@hiconomics) anaandika:
15Amat sedih mendengar tentang #ET409… Aku harap kemudahan diberikan pada seluruh keluarga dan kerabat (korban).Ni masikitiko makubwa kusikia kuhusu #ET409… Natumaini (msiba) utakuwa bila ya uchungu kwa kadri inavyowezekana kwa ndugu na marafiki wote.
16Allah Yer7am (Semoga Tuhan mengasihani mereka)Allah Yer7am (Mungu uwahurumie)
17Georges Azzi, yang mengikuti liputan di TV, amat terkesan dan menulis siulan berikut:Georges Azzi, ambaye amekuwa akifuatilia habari hii kwenye televisheni, hakuvutiwa na akaandika:
18Lebanon:terlalu banyak stasiun TV= terlalu banyak #liputan #et409 yang akhirnya menjadikan berita lebih sensasional dan terkesan fiktif nan #gagalLebanoni: idhaa nyingi za televisheni = muda mrefu hewani #habari za #et409 zinaelekea kwenye udaku na hadithi za kubuni #fail
19Samer, pemilik akun @meetsamer, juga menyatakan kekecewaannya terhadap media Lebanon, katanya:Samer, anayetwiti kama @meetsameer, pia alieleza kuchukizwa kwake na vyombo vya habari na kusema:
20Media Lebanon tidak sopan dan tidak memiliki etika, mereka mengacu penumpang yang hilang sebagai “orang mati” #ET409 #LebanonVyombo vya habari vya Lebanoni havina ustaarabu au aina yoyote ya maadili, tayari vinawaita watu ambao hawajapatikana kama “waliokufa” #ET409 #Lebanon
21Amer Tabsh (@arzleb) juga berpendapat sama, tulisnya:Amer Tabsh (@arzleb) anaelezea hisia kama hizo na anaandika:
22Analisis LBC (Perusahaan Penyiaran Lebanon) mengenai insiden #ET409 sangat bodoh dan salah #gagalUchambuzi wa LBC (Shirika la Habari la Lebanoni) wa #ET409 ni wa kipumbavu na potofu #fail
23Dia juga merantaikan nomor telepon saluran siaga untuk informasi dan pertanyaan mengenai musibah yang terjadi:Pia anatoa namba ya simu ya maelezo na maswali juu ya ajali:
24Saluran siaga (hotline) 71207326 untuk informasi dan pertanyaan oleh anggota keluarga korban/Saluran siaga 1701 untuk informasi temuan tubuh korban musibah #ET409 #LebanonNamba ya dharura 71207326 kwa ajili ya taarifa & maswali kwa familia za waliodhurika/namba ya dharura 1701 ili kutoa habari za mabaki na miili inayoonekana #ET409 #Lebanon
25SEmentara itu, Tala merasa terkejut oleh berita dan siulan:Wakati huo huo, Tala amestushwa na habari hii na kutwiti:
2625 jenazah berhasil diselamatkan dari air , 2 diantaranya anak-anak.Miili 25 imechukuliwa kutoka majini, 2 kati yake ilikuwa ni ya watoto.
27Dan mereka nyaris tidak dapat mengidentifikasi semuanya.Na bado hawajaweza kuitambua.
28R.I.P #ET409Pumzikeni kwa Amani #ET409
29Wartawan CNN Cal Perry juga menyiulkan satu pesan yang berkata:Cal Perry wa CNN pia alikuwa anandika jumbe za twita na katika ujumbe mmoja anasema:
30Hari yang menyedihkan #et409 - Besok kami akan berusaha untuk meluncur ke tepi laut.Siku ya masikitiko #et409 - kesho tutajaribu kwenda pwani.
31Malam ini laporan langsung dari bandara.Hii ndio habari ya usiku wa leo kutokea uwanja wa ndege.
32PM Hariri berusaha sekuat tenaga untuk menghibur (anggota keluarga para korban)Waziri Mkuu Hariri anajaribu kwa nguvu zote kufariji
33Nathan Redd dalam duka yang mendalam, berkata:Nathan Redd yumo katika uchungu na anaandika:
34Aku sungguh tidak dapat berkonsentrasi melakukan apapun hari ini.Siwezi kabisa kuwa makini katika kitu chochote leo.
35#ET409 merupakan satu-satunya hal di benakku.#ET409 ndio jambo pekee kwenye akili yangu leo.
36Hatiku hancur.Moyo wangu umevunjika.
37Dan @nightS merangkum kejadian hari itu dengan berkata:Na @nightS anatoa muhtasari wa siku kwa kusema:
38Sebuah hari yang menyedihkan dan teramat buruk #ET409Ni siku mbaya na ya masikitiko :( #ET409