Sentence alignment for gv-ind-20090303-275.xml (html) - gv-swa-20090227-86.xml (html)

#indswa
1Sudan : Duka untuk Novelis Kenamaan dan Renungan pada ICCSudani: Maombolezo ya Mwandishi Maarufu wa Riwaya na Mahakama ya Kimataifa
2Setelah lama absen, sejumlah pengguna blog yang menarik dari Sudan, kembali ke blogosfer untuk memaki, berbagi pikiran pada peristiwa yang baru terjadi dan menumpahkan uneg-uneg.Baada ya kimya kirefu, wanablogu wa Kisudani, wamerejea kwenye ulimwengu wa blogu kuongea, na kushirikiana mawazo kuhusu matukio ya hivi karibuni. Mawazo hayo yanajumuishwa katika muhtasari huu pamoja na yale ya wanablogu tuliowazoea.
3Setelah luapan frustasi mengenai ketidakhigienisan Bandara Internasional Khartoum, Sudanese Optimist berduka atas meninggalnya novelis Sudan kenamaan dan terhormat, Al-Tayeb Saleh.Baada ya malalamiko kuhusu hali mbaya ya usalama wa afya kwenye Uwanja wa Ndege wa Khartoum, Msudani mwenye matumaini anaomboleza kifo cha mwandishi mashuhuri wa riwaya, Al- Tayeb Saleh.
4Sudan kehilangan seorang warga tercinta, yang telah memberikan kontribusi sangat besar pada kesusastraan Sudan dan Arab.Sudani imempoteza raia mpendwa, ambaye alichangia vikubwa kwenye fasihi ya Kisudani na ya Kiarabu.
5Karyanya yang paling berharga adalah novel “Season of Migration to the North” tahun 1996.Kazi yake iliyopata sifa zaidi ni ile ya riwaya ya mwaka 1966 “Msimu wa Kuhamia Kaskazini.”
6Novel tersebut, pada satu ketika, pernah dilarang di Sudan karena mengandung pencitraan seksual, tapi di lain pihak dinyatakan sebagai “novel arabik terpenting abad 20″ oleh Syrian-based Arab Literary Academy[En] Akademi Sastra Arab-basis Suria di Damaskus.Riwaya hiyo, kwa kipindi fulani, ilizuiliwa nchini Sudani kwa vile ilijumuisha lugha ya picha za ngono, hata hivyo imetambuliwa kama “Riwaya ya muhimu zaidi ya Kiarabu kwenye karne ya 20” na Chuo cha Fasihi cha Kiarabu kilichoko mjini Damascus, Siria.
7Awal tahun ini, The General Union for Sudanese Writer[En] Serikat Umum untuk Penulis Sudan, meminta Al Tayeb Saleh sebagai nominasi yang didahulukan untuk menang dalam Literature Noble Prize 2009[En] Penghargaan Nobel Sastra 2009.Mapema mwaka huu, Muungano wa Waandishi wa Sudani, waliomba Al Tayeb Saleh atunukiwe Nishani ya Fasihi ya Nobeli kwa mwaka 2009.
8Ras Babi Babiker juga berduka atas meninggalnya Saleh, dengan mengingatkan kita pada novel hebat yang membuat namanya terkenal dalam dunia sastra Arab modern.Ras Babi Babiker, kadhalika anaomboleza kifo cha Saleh kwa kutukumbusha ile riwaya iliyolikuza jina lake katika ulimwengu wa kisasa wa fasihi ya Kiarabu.
9Season of Migration to the North[En]-Musim Migrasi ke Utara (bahasa Arab : الشمال Mawsim al-Hiǧra ilā ash-Shamāl) adalah sebuah novel klasik Sudan pasca-kolonial.Msimu wa Kuhamia Kaskazini (Kwa Kiarabu: Mawsim al-Higra ila ash-Shamal) ni rawaya ya hali ya juu sana kuandikwa katika kipindi cha baada-ya-ukoloni na mwandishi Al-Tayyib Salih.
10Awalnya diterbitkan dalam bahasa Arab pada tahun 1966, dan sejak saat itu telah diterjemahkan dalam bahasa Inggris dan Perancis.Ilichapishwa kwanza kwa Kiarabu mnamo mwaka 1966, na imetafsiriwa katika Kiingereza na Kifaransa.
11Novel tersebut bercerita tentang seorang narator (tanpa nama), yang kembali ke desa asalnya di Sudan setelah mengenyam pendidikan selama tujuh tahun di Inggris.Riwaya hiyo inamfuatilia msimulizi (ambaye hakutajwa jina) katika safari yake ya kurejea kijijini alikozaliwa nchini Sudan baada ya kuishi Uingereza kwa miaka saba akitafuta elimu zaidi.
12Saat kedatangannya, ia secara kebetulan bertemu dengan seorang warga desa baru (“Mustafa Sa'eed”) yang tidak memujanya secara berlebih atas prestasinya seperti yang dilakukan warga kebanyakan, malah cenderung penyendiri.Alipowasili nyumbani, alikutana na mwanakijiji mpya (“Mustafa Sa'eed”) ambaye hababaishwi na mafanikio aliyoyapata (mhusika), na anaonyesha maya kwa kutojihusisha naye.
13Warga desa itu mengkhianati masa lalunya pada satu sore ketika mereka sedang mabuk dan menceritakan secara terperinci dengan nada iba dengan menggunakan bahasa inggris yang lancar, membuat sang narator dengan tekunnya mencari tahu identitas orang asing itu.Mwanakijiji huyo alifichua maisha yake ya nyuma usiku mmoja baada ya kulewa kwa kuimba mashairi katika Kiingereza sanifu, na kumuacha msimulizi wetu akishangaa baada ya kuugundua ukweli kuhusu mwanakijiji yule.
14Ternyata Mustafa adalah seorang pelajar pandai yang juga menempuh pendidikan di barat namun memiliki rasa kebencian yang amat sangat serta hubungan kompleks dengan identitasnya dan kenalannya di barat.Iliondokea kuwa Mustafa pia alikuwa ni msomi aliyesoma katika nchi za Magharibi lakini alikuwa amejawa na chuki na uhusiano wa ajabu na marafiki zake wa kutoka nchi za Magharibi.
15Cerita masa lalu Mustafa yang bermasalah di Eropa dan terutama perselingkuhannya dengan seorang wanita Inggris, yang membentuk inti novel.Hadithi ya maisha magumu ya Mustafa akiwa Ulaya na hasa uhusiano wake wa kimapenzi na mwanamke wa Kiingereza, ndiyo unachukua nafasi ya kati katika riwaya hiyo.
16Di lain pihak, sementara Drima berduka atas meninggalnya salah satu novelis besar di negaranya dengan sesama temannya yang juga pengguna blog, ia juga menulis di blognya analisa secara mendalam tentang konsekuensi-konsekuensi yang mungkin terjadi mengenai surat penangkapan ICC (International Criminal Court-Pengadilan Pidana Internasional) untuk presiden negaranya yang berbuat kekejaman terhadap kemanusiaan dan genosida.Wakati huo huo, Mwanablogu Drima pia aliomboleza kifo cha mwandishi huyo mashuhuri na wanablogu wenzake, kwa kuandika uchambuzi wa kina wa matokeo ya agizo la kumkamata rais wa nchi yake iliyotokana na tuhuma za mauaji ya kimbari na makosa dhidi ya wanaadamu iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
17ICC tidak bisa berbuat banyak dalam pelaksanaan surat penangkapan (jika memang dipermasalahkan) dan PBB yang seakan-akan mempunyai kekuasaan, tapi…ICC peke yake haiwezi kufanya lolote kutekeleza agizo hilo la kukamatwa (kama italitoa) na Umoja wa Mataifa ni chui asiye na meno, lakini…
18… melihat bahwa sekarang Susan Rice sebagai Duta Besar PBB untuk Amerika, Hillary sebagai Sekretaris Negara (omong-omong ia punya blog sendiri), dan admnistrasi Blue Donkey[En] Keledai Biru yang bertanggungjawab atas segalanya, kebijakan Amerika terhadap Sudan perlahan-lahan akan sangat berbeda dengan yang sebelumnya seperti beberapa bulan lalu ketika Bush masih berkuasa.… vile hivi sasa tunaye Susan Rice kama balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Hillary Clinton kama Katibu wa Mambo ya Nje (anayo blogu yake pia) na serikali ya punda wa kibuluu, sera ya Marekani kwa Sudani itaanza kuwa tofauti na ile iliyokuwepo miezi michache iliyopita wakati Bush alipokuwa madarakani.
19Surat penangkapan yang dikeluarkan ICC dalam konteks baru ini akan menjadi lebih berbobot, maka potensi keluarnya surat penangkapan dengan konteks baru tersebut kemungkinan besar lebih berguna sebagai alat untuk mendorong Omar al-Bashir untuk bertindak mendukung kedamaian di Darfur dan pengimplementasian CPA.Agizo la kukamatwa linayotolewa na ICC katika mazingira mapya litakuwa na uzito, hivyo kutolewa kwake kutakuwa na manufaa kama zana ya kumshinikiza Omar Al-Bashir kutengeneza mazingira yatakayoleta amani katika Darfur na kutekeleza mkataba wa Amani Sudani ya Kusini, CPA.
20Mimz, yang kembali ke blogosfer setelah lama absen, baru-baru ini juga menyebutkan surat penangkapan ICC dan petualangannya di Facebook.Mimz, ambaye amerejea katika ulimwengu wa blogu baada ya muda mrefu, hivi karibuni pia alizungumzia agizo hilo la ICC na mikasa yake binafsi katika Facebook.
21“Dang![“Dang!
22En] Gila!” bahkan tidak dapat menjelaskannya.Kabla sijaanza kueleza.
23Sudah hampir satu setengah tahun sejak saya di sini (menulis blog).Ni Karibu ya mwaka na nusu tangu nilipokuwa hapa kwa mara mwisho.
24Selama itu pula banyak kejadian.Na mambo mengi yametukia katika wakati huo.
25Berikut adalah sedikit cuplikan sorotan :Haya ni machache:
261. Saya menjadi anggota facebook. 2. Krisis ekonomi global tengah terjadi dan sedang berada di puncaknya.1. Nilijiunga na Facebook 2. Kuna matatizo ya kiuchumu ulimwenguni yanayoendelea, na yanazidi kukua.
273. Obama terpilih sebagai presiden Amerika Serikat. 4. Pasukan tentara Israel menyerang Gaza membunuh dan melukai ratusan orang.3. Obama alichaguliwa kuwa rais wa Marekani 4. Majeshi ya Israeli yaliivamia Gaza na kuua na kujeruhi mamia ya watu.
285. The International Criminal Court[En]-Pengadilan Pidana Internasional mengeluarkan surat penangkapan untuk Omer El-Bashir terhadap kejahatan perang. 6. Saya lulus.5. Mahakama ya Jinai ya Kimataifa imetoa agizo la kumkamata Omer El-Bashir kwa tuhuma za makosa katika vita.
297. Sami El-Haj telah dibebaskan dari Guantanamo Bay-Penjara Guantanamo. (Jelas banyak yang harus saya perbaiki).6. Nilifanya mahafali 7. Sami El-Haj aliachiwa huru kutoka Guantanamo Bay.
308. Gillian Gibbons ditangkap atas “kasus hujatan boneka beruang” di Khartum. 9. Pemberontakkan terjadi di Khartum dan menyerang semua orang.(bila ya shaka nina kazi kubwa ya kuhariri) 8. Gillian Gibbons alikamatwa kawa “makosa ya kukufuru ya Teddy Bear” mjini Khartoum 9. Waasi walifika Khartoum na kuwashambulia watu wote.
3110. Saya keluar dari facebook.10. Nilijitoa kwenye Facebook
32Apa saya sudah menyebutkan bahwa saya akhirnya lulus?Hivi nilishasema kwamba nilipata shahada?
33Hipster, pengguna blog dari Sudan yang tinggal di Arab, sekarang kembali aktif menulis blog.Hipster, mwanablogu wa Kisudani anayeishi UAE, pia amerejea na anablogu tena.
34Ia berbagi dengan kita sedikit pengalamannya tentang “Che Guevara” yang ia alami ketika tengah berkendara menuju tempat kerjanya.Anasimulia mkasa wake wa Ki-Che Guevara uliomkuta alipokuwa anaendesha kuelekea kazini.
35Kesal karena gangguan mendadak, saya membelalak pada kendaraan yang amat besar, yang kemudian akhirnya membuat saya menatap dengan takjub dan kagum pada warna-warna dan kata-kata yang menghiasi ban serap.Nilisita kutokana na maudhi ya ghafla, nikaliangalia lile gari baya, na kustaajabu kuona rangi na maneno yaliyopamba mfuko wa gurudumu la kipuri.
36Gambar wajah Che Guavara yang terkenal dan simbol kekacauan terpampang di antara kata-kata berhuruf tebal “T.N.T” dan “Al Maafia”.Sura ngumu inayojulikana ya Che Guevara ikiwa imebanwa katika maneno makubwa yanayosomeka “T.N.T” na “Al Maafia”.
37Membuat saya menunduk pada buku sampultipis saya “The Young Che : Memories of Che Guevara”[En]”Che Muda : Memori tentang Che Guevara”, yang tergeletak di kursi penumpang, memicu saya untuk berpikir mendalam dan bertanya-tanya ada apa dengan gerakan revolusioner ini yang telah menjadi bahan lelucon.Sikuweza kujizuia kuangalia nakala yangu ya Kitabu “Che Kijana: Kumbukumbu za Che Guevara”, kilichokuwa kimejiegesha kwenye kiti cha abiria, na kunifanya niwaze na kujiuliza ni jinsi gani mwanamapinduzi huyu amegeuka kuwa mzaha wa namna hii.
38Dengan pengetahuan saya yang sederhana, saya bertanya: Apa hubungannya “T.N.T” dan “Mafia” dengan Parjurit dari Amerika?Katika ufahamu wangu wa wastani, nauliza: Maneno “T.N.T” na “Maafia” yana uhusiano gani na mwanajeshi huyu wa bara la Marekani?
39Dan jika kalian bertanya apakah menulis blog adalah suatu bentuk terapi, kalian tidak sendiri.Na kama umeshawahi kujiuliza kama kublogu ni namna fulani ya matibabu ya akili, hauko peke yako.
40Path2Hope juga berpikiran seperti itu.Path2Hope anashiriki katika wazo hilo pia:
41Dan hal itupun terjadi, waduk yang menahan kemampuan saya untuk mencurahkan pikiran ke dalam tulisan pun pecah dan semuanya mendadak ingin tumpah.Na ikatokea, lile bwawa lililokuwa linazuia uwezo wa kuandika mawazo yangu kwenye karatasi likapasuka na kila kitu kikataka kumwagika mara moja.
42Banyak hal untuk ditulis, banyak pengalaman yang bisa dirasakan lantas kalian duduk di depan laptop[En] dan berpikir - siapa yang peduli?Mambo mengi ya kuandika, matukio mengi ya kuhusisha na unapoketi na tarakilishi yako ya mapajani na kujiuliza - ni nani anayejali?
43Semua orang mempunyai masalah masing-masing yang sedang dihadapi - dan saya rasa menulis blog benar-benar suatu bentuk terapi dan alasan untuk memanjakan diri.Kila mtu ana mapambano yake - na nadhani kublogu ni aina ya matibabu na kisingizio cha ubinafsi.
44Sementara JohnAkec, ia mengingatkan kita hari ini tentang situasi pendidikan di Sudan yang kian menyedihkan.Na kwa John Ackec, leo anatukumbusha juu ya hali ya kusikitisha ya elimu nchini Sudan.
45Dengan lebih dari 30 universitas di Sudan dan pembicaraan tentang penurunan standar akademis dan meningkatnya angka pengangguran di antara lulusan universitas di negara kita, membuat orang berpikir bahwa pendidikan universitas telah kehilangan kualitasnya dan sekarang tidak bernilai.Kukiwa na vyuo vikuu zaidi ya 30 nchini Sudan na kukiwa na maongezi ya kushuka kwa kiwango cha elimu na ongezeko la ukosefu wa ajira kati ya wale waliohitimu chuo kikuu, tunashawishika kuamini kuwa Vyuo Vikuu vimepoteza thamani yake na sasa vinakaribia kutokuwa na thamani yoyote.
46Tidak ada yang bisa lari dari kenyataan.Hakuna lililo mbali na ukweli.
47Dalam tulisan yang lebih ceria, Precious, mengucapkan untuk semuanya Selamat Hari Kasih Sayang.Katika furaha, Precious anawatakia kila mmoja siku njema ya wapendanao ya Matakatifu Valentino.
48Walaupun saya sudah tidak lagi percaya pada keromantisan dan cinta menggebu yang dulu saya idam-idamkan, dan walaupun saya sudah tidak lagi percaya akan ucapan palsu “Aku cinta kamu” dari lelaki, namun masih ada kemungkinan harapan untuk kalian.Japokuwa siamini tena katika mahaba na mapenzi mazito niliyokuwa nikiyatamani, na japokuwa siamini uongo wa wanaume wanaposema “nakupenda” wewe bado unaweza kuwa na matumaini kidogo.
49Jadi, saya dengan sungguh-sungguh dan tulus mengucapkan Selamat hari Kasih Sayang untuk kalian, pun jika kalian berstatus belum punya pacar, sedang berkencan, bertunangan, atau menikah.Haidhuru, Kwa dhati na taadhima nakutakia sikukuu yenye furaha ya Mtakatifu Valentino, ikiwa uko peke yako, una mpenzi, umechumbiwa au umefunga ndoa.
50Nikmatilah hari dan jangan biarkan oranglain meskipun itu seorang lelaki/perempuan, mengacaukan hari kalian!Furahia siku hiyo, na usimruhusu yeyote pamoja na yeye, akuharibie siku yako!