Sentence alignment for gv-ind-20100521-3127.xml (html) - gv-swa-20100409-1422.xml (html)

#indswa
1Maroko: Benarkah Umat Kristen Disudutkan?Moroko: Je, Wakristu Wako Hatarini?
2Di awal bulan Maret, para pengamat media memberitakan bahwa kurang lebih 20 pekerja sosial beragama Kristen dideportasi [en] dari negeri yag mereka sebut rumah kedua mereka.Mapema mwezi Machi mwaka huu, watazamaji walishuhudia jumla ya wafanyakazi wa muda mrefu katika kituo cha Kikristo cha kulelea watoto yatima wapatao 20 wakifukuzwa kutoka katika nchi ambayo wanaiona kama nyumbani.
3Insiden tersebut serta insiden-insiden sesudahnya akhirnya menjadi perdebatan mengenai kondisi umat Kristen di kerajaan Maroko.Tukio hilo pamoja na mengine kadhaa yaliyofuatia yamezusha mjadala kuhusiana na imani ya Kikristu katika ufalme huo.
4Menurut stastik resmi 98,7 - 99% populasi menganut agama Islam (1% selebihnya menganut agama Kristen dan 0,2% beragama Yahudi). Statistik tersebut mengikut sertakan WNA asal Eropa yang menetap di Maroko.Takwimu rasmi za kiserikali nchini Moroko zinaeleza kwamba asilimia kati ya 98.7 - 99 za jumla ya watu nchini humo ni Waislamu (waliobaki ni kama asilimia 1 ambayo ni Wakristo na asilimia 0.2 ambao ni Wayahudi), takwimu hizo zinajumuisha pia Wazungu wanaoishi Moroko.
5Negara melarang aktivitas misionaris, begitu juga dengan berpindah ke agama selain Islam.Kuinjilisha ni kosa kama ilivyo kwa mtu kuacha Uislamu na kuingia katika dini nyingine.
6Namun, umat Kristen berkewarganegaraan asing masih diperbolehkan beribadah dengan bebas, dan sejumlah Gereja yang sebagian besar didirikan oleh pemerintah Kolonial Prancis masih terus digunakan.Hata hivyo, wageni wanaruhusiwa kuishi imani yao kwa uhuru, na kuna makanisa kadhaa bado, yaliyo mengi ni yale yaliyojengwa enzi za ukoloni wa Wafaransa.
7Sebaliknya, populasi umat Yahudi di kerajaan ini hampir keseluruhannya penduduk lokal, mereka juga dibebaskan beribadah sesuai dengan kepercayaan mereka.Kwa kulinganisha na kundi hilo lililopita, Wayahudi wa nchi hiyo ni wale walio wenyeji kabisa wa hapo, hawa nao wanaruhusiwa kuishi imani yao kwa uhuru.
8Meskipun kebebasan beribadah dijamin oleh negara, sepertinya akhir-akhir ini pemerintah semakin bersikeras dalam menghadapi aksi misionari, baik aksi nyata maupun tuduhan tak berdasar.Pamoja na kutoa uhuru huo, inaonekana kwamba siku za karibuni serikali inachukua hatua kali dhidi ya uinjilishaji, uwe ule wa waziwazi au unaodhaniwa kufanyika.
9The Moroccan Dispatches menuliskan kisah insiden yang baru saja terjadi [en] yang melibatkan seorang Pendeta Katolik berkewarga negaraan Mesir:The Moroccan Dispatches inatukumbusha tukio moja la hivi karibuni la kule Misri ambapo Padre mmoja Mkatoliki alifukuzwa kutoka katika nchi hiyo:
10Misionaris telah ada di Maroko selama bertahun-tahun, tugas utama mereka adalah membuat warga berpindah dari agama Islam.Wainjilisti wamekuwa wakifanya kazi kwa miaka mingi nchini Moroko na lengo lao kubwa limekuwa ni kuwaongoa Waislamu.
11Umat Katolik telah ada jauh lebih lama dari mereka (para misionaris), namun mereka tidak pernah terlibat dalam aktivitas misionaris.Wakatoliki wamekuwepo kwa muda mrefu zaidi, lakini kwa makusudi kabisa hawakutaka kujihusisha na uinjilishaji wa moja kwa moja.
12Sungguh mengejutkan bahwa seorang Pendeta Katolik di tangkap dan dideportasi selepas aksi razia minggu lalu.Kwa hiyo lilikuwa tukio la kushangaza kwamba Padre Mkatoliki alikamatwa na kisha kufukuziwa mbali na tukio la hivi karibuni la ushughulikiaji wanaoinjilisha.
13Narablog yang sama juga mengisahkan pesan yang dia terima dari sebuah gereja di kota Casablanca:Mwanablogu anatutumia ujumbe aliopokea kutoka kwa padri wa Kikatoliki anayefanya kazi Moroko:
14Mnamo Jumapili tarehe 7 mwezi Machi, dakika tano kabla ya kuanza misa; askari polisi wa jiji la Larache waliingia kwenye nyumba yetu ya watawa na kumkamata mmoja wa watawa, Rami Zaki, ambaye ni raia wa Misri na ambaye bado yuko katika hatua zake za awali za malezi na aliyekuwa anaishi na sisi kwa mwaka mmoja.
15Hari Minggu tanggal 7 Maret, lima menit sebelum Misa di mulai, polisi dari kota Larach memasuki biara dan menangkap salah satu Pater kami yang bernama Rami Zaki, Pater muda berkewarganegaraan Mesir yang menetap bersama dengan kami selama setahun.Aliamriwa kuondoka na polisi wale, wala hakupewa fursa ya kuchukua chochote, wala hakuelezwa kwa nini alikuwa akikamatwa … …Pale Rami alipopakiwa kwenye ndege, alinyang'anywa pasi yake ya kusafiria ambayo ilikabidhiwa kwa rubani ambaye naye aliikabidhi pamoja na Rami kwa polisi kule jiji la Kairo.
16Dia diperintahkan untuk ikut dengan para polisi dan tidak diperkenankan mengambil barang apapun, apalagi diberi penjelasan akan penangkapannya…Alishikiliwa na polisi wa Kairo kwa muda wa saa saba kabla hajaruhusiwa kupiga simu kwenye nyumba ya watawa wenzake.
17…Rami diperintahkan menumpang sebuah pesawat, sementara Paspornya disita dan dihibahkan kepada pilot pesawat yang kemudian menyerahkan dia kepada pihak kepolisian Kairo.Tangu Jumapili asubuhi alipokamatwa mpaka mchana wa Jumanne alipoachiwa - jumla ya saa 50 - Rami alinyimwa haki zake za kimsingi kama binadamu na askari polisi wa Moroko na wale wa Misri.
18Katika makala nyingine, mwanablogu anaeleza kwamba umma nao umejiunga katika msako huo, akitoa mfano wa tukio la hivi karibuni ambapo msalaba uling'olewa kutoka katika eneo ambapo umekuwa kwa miaka mingi sana:
19Dia ditahan oleh pihak kepolisian Kairo selama tujuh jam dan diinterogasi sebelum akhirnya diperkenankan menelpon Ordonya.Hapa ndipo ambapo msalaba ulikuwepo huko Meknés Kwenye makala yake ya hivi karibuni, mwanablogu huyo anatathmini makala ya TelQuel kuhusiana na matukio hayo, na anaeleza hivi:
20Sejak hari Minggu dia ditangkap hingga jari Selasa siang dia dibebaskan - total 50 jam - hak asasi Rami dilecehkan oleh Polisi Maroko dan Polisi Mesir.Katika makala kuu, inaonyesha kwamba raia wengi wa Moroko huongokea Ukristo zaidi kwa sababu ya vyombo vya habari vya Kiarabu kuliko shughuli za wamisionari wageni.
21Dalam pos lainnya, sang narablog juga menceritakan bagaimana warga turut andil dalam razia yang mengakibatkan rusaknya Salib simbol agama yang telah terpatri bertahun-tahun lamanya:Jambo hili linaendana na yale ambayo nimewahi kuyashuhudia: raia wengi wa Moroko wamewahi kufanya mazungumzo kuhusu duni na wamisionari Wakristo lakini hakuna walioongoka.
22Dinding tempat sebuah patung Salib tua yang dihancurkan di Meknes Di tempat Medina (kota tua) Meknes ini tadinya terpatri sebuah patung Salib.Wapo walioutetea Uislamu huku wakivuta bangi ili mradi tu wawaponde Wakristo, uzoefu huu unaokupa picha kuhusu namna gani raia wa Moroko wanavyoelewa Uislamu wao.
23Para penganut Katolik mendidik warga Maroko kemahiran berbahasa dan pendidikan kejuruan di gedung ini, mereka (umat Katolik) tidak pernah melakukan aksi misionari namun mereka juga terkena imbas sentimen anti Kristen yang terjadi menyusul pendeportasian umat Kristen.Mtazamo huu kuhusu wamisionari wageni, bila shaka, unaondolewa mbali msingi wa hoja za matukio ya hivi karibuni ya kuwafukuza wageni wengi. Ili kuhitimsha, mwanablogu anaeleza kuhusu namna vyombo vya habari vilivyoathiriwa na usakaji huo na anaomboleza:
24Minggu lalu, sebuah patung Salib di hancurkan hingga berkeping-keping.Baadhi ya vyombo vya habari vinavyoikosoa serikali vimefungiwa.
25Kabar baiknya, warga Maroko yang belajar di perguruan tersebut mengajukan diri mereka sebagai sukarelawan untuk membuat kembali simbol keagamaan yang dihancurkan tersebut.Jambo kama hilo linaweza kutokea kwa Tel Quel pia. Lakini, kadiri vitakavyoendelea kuwepo ndiyo kadiri hiyohiyo ambapo kutakuwa na mijadala ya kutafakarisha kuhusu matukio ya hivi karibuni.