Sentence alignment for gv-ind-20090601-1178.xml (html) - gv-swa-20090525-158.xml (html)

#indswa
1Saudi Arabia: Akankah Flu A/H1N1 Mengancam Pelaksanaan Haji?Saudi Arabia: Je, mafua ya nguruwe yatatishia Hija?
2Setiap tahun jutaan umat Muslim menuju ke Mekah untuk melaksanakan Haji (ziarah), salah satu dari lima pilar dalam Islam.Kila mwaka mamilioni ya Waislamu husafiri kwenda Maka kuhiji, moja ya nguzo tano za Uislamu.
3Akankah musim Haji tahun ini terancam oleh virus A/H1N1?Je, msimu wa hija ya mwaka huu utatishiwa na homa ya mafua ya nguruwe?
4Para blogger berkomentar.Wanablogu wanayo maoni ya kusema.
5Dalam CrossRoads Arabia, John Burgess menjelaskan:Kwenye blogu ya CrossRoads Arabia, John Burgess anaeleza:
6Seorang peneliti Saudi Arabia tentang hukum Shariah menemukan bahwa terdapat sebuah preseden untuk melarang Umrah (mereka yang tidak wajib, ‘kurang' melaksanakan naik haji) yang datang dari wilayah yang diserang oleh virus A/H1N1.Mtafiti wa Kisaudi katika sheria za Kiislamu (Sharia) amegundua kuwa kuna uwezekano wa kuwazuia baadhi ya mahujaji (wale ambao walishahiji kabla yaani, mahujaji wa ‘kurudia') hasa wanaotoka maeneo ambayo kwa sasa yanatishiwa na mlipuko wa mafua ya nguruwe.
7Saya menduga bahwa opini ini dikembangkan dalam antisipasi pelaksanaan naik Haji, yang akan berlangsung di akhir November.Nina hisi kwamba wazo hili linakuja sasa kwa sababu ya Haji ambayo itafanyika mwishoni mwa mwezi Novemba.
8Naik Haji adalah suatu kewajiban, dimana setiap Muslim diwajibkan untuk melaksanakan haji setidaknya satu kali dalam hidupnya, jika memungkinkan.Hija ni wajibu wa msingi, ambao kila Mwislamu hutakiwa kuutimiza angalau mara moja katika maisha yake, inapowezekana.
9Kekhawatiran serupa diangkat beberapa tahun lalu, ketika flu burung (H5N1) mengancam.Hali kama hii ilijitokeza miaka michache iliyopita, ambapo homa ya mafua ya ndege (H5N1) ilikuwa tishio.
10Seorang terpelajar dari Saudi Arabia meminta pelaksanaan Haji untuk dibatalkan jika terjadi wabah yang parah, akan tetapi usul tersebut ditolak oleh yang lain.Msomi mmoja wa Kisaudi alitoa wito wa kuifuta Hija ikiwa mlipuko ungekuwa mkubwa zaidi, lakini pendekezo hilo lilizimwa na wenzake.
11Alasannya adalah bahwa pelaksanaan Haji tidak pernah dibatalkan dengan alasan kesehatan publik dan dengan melakukan hal tersebut berarti menentang Islam.Hoja ilikuwa kwamba Hija haijawahi kufutwa kwa minajili tu ya kiafya na kwamba kufanya hivyo kungekuwa kuukiuka Uislamu.
12Sebaliknya, mereka yang sakit secara moral diwajibkan untuk tidak melaksanakan Haji.Badala yake, wale walio wagonjwa, kimaadili hutakiwa kutokuitimiza hija yao.
13Penyakit menular dan Haji adalah teman secara sejarah.Magonjwa yaambukizwayo yana historia ndefu na Hija.
14Terdapat banyak catatan mengenai wabah penyakit, dari sampar ke kolera, membunuh ribuan orang di Mekkah, Madinah, dan Jeddah selama bertahun-tahun.Zipo kumbukumbu nyingi za milipuko ya magonjwa kama kipindupindu na maafa ya maelfu huko Maka, Madina na Jedah kwa miaka mingi sasa.
15Baru menjelang akhir abad 19 karantina [210-halaman PDF] yang dipaksakan secara ketat berhasil menghentikan penyebaran penyakit-penyakit itu dari wilayah, kembali ke rumah Haji.Ni kuelekea karne ya 19 ndipo ambapo sheria za kutenga wagonjwa zilianza kutumika ili kukomesha ueneaji wa magonjwa katika eneo hilo takatifu, hadi manyumbani mwa mahujaji.
16Karantina dan pelaksanaan pemeriksaan medis yang ketat dapat melindungi haji dan hal itu mungkin cukup.Sheria hizo pamoja na kutiliwa mkazo kwa mchujo wa kiafya kwa mahujaji unaelezwa kuweza kusaidia kuwalinda mahujaji.
17Hanya waktu yang dapat berbicara.Muda utahitajika kuona ikiwa hili linawezekana.
18Flu A/H1N1, sebelumnya flu burung, akan menjadi sebuah non-isu.Mafua ya nguruwe, kama ilivyokuwa kwa mafua ya ndege hapo awali, yanaweza kuja kuwa jambo lisilo na uzito unaoonekana hivi sasa.
19Jika hal ini tidak terjadi, bagaimanapun, akan bagus jika masyarakat mulai berpikir tentang hal ini.Isipokuwa hivyo, hata hivyo, ni vyema watu wakaanza kulitafakari kuanzia sasa.
20Middle East Institute's Editor's Blog menambahkan:Blogu ya Middle East Institute's Editor's Blog inaongeza:
21Hal ini menjadi semakin aneh.Jambo hili linazidi kuwa jipya kila uchao.
22Mufti besar Mesir menyarankan kaum intelek Muslim untuk menerbitkan fatwa kolektif [maklumat agama] untuk menunda pelaksanaan haji karena flu A/H1N1.Mufti mkuu wa Misri anapendeza wanazuoni wa Kiislamu kutangaza fatwa [tamko la kidini] kuahirisha Hija kwa sababu ya mafua ya nguruwe.
23Versi Arab terdapat disini.Fatwa yenyewe inapatikana hapa kwa Kiarabu.
24Pikirkan - Saya tahu saya terus mengulanginya - belum terdapat kasus di Mesir.Tilia maanani -ninajua na naendelea kurudia hili -hapajawahi kuwapo suala kama hili katika Misri.
25Bahkan, menurut laporan WHO per kemarin, kasus yang dikonfirmasi terdapat di seluruh Timur Tengah hanya terdapat di Israel (tujuh kasus).Kusema kweli, kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), maambukizo yaliyothibitishwa katika Mashariki ya Kati yote ni Israel (wagonjwa saba).
26Dan WHO mengatakan, “WHO tidak menyarankan pembatasan perjalanan berkaitan dengan wabah virus A(H1N1).”Na Shirika hilo la Afya Duniani (WHO) linasema “ Shirika halijashauri kusitishwa kwa safari kwa sababu ya mlipuko wa virusi vya mafua ya nguruwe.”
27Hal lainnya: pelaksanaan haji berlangsung di November.Ndio, na suala jingine: Hija haijafika, ni mpaka mwezi wa Novemba.
28Apakah saya salah disini?Hivi kuna kitu nitakuwa nakosea hapa?
29Pernahkah pelaksanaan haji ditunda karena alasan kesehatan, sepanjang sejarah Islam?Je, katika historia ya Uislamu, hivi imewahi kutokea Hija ikaahirishwa kwa sababu tu za kiafya?
30Saya tidak tahu, tapi saya mengharapkan kamu setidaknya memerlukan satu orang yang terjangkit untuk bisa membenarkan hal tersebut.Sijui, lakini ninatarajia kuwa tungehitaji walau mgonjwa mmoja ili kuhalalisha uamuzi huu.
31(Bukan saja tidak terdapatnya kasus di Timur Tengah, kecuali Israel, dan tidak terdapatnya kasus sama sekali di Indonesia, Malaysia, Pakistan - negara-negara Muslim.)(Si tu kwamba hakuna taarifa za ugonjwa Mashariki ya Kati, isipokuwa Israel, lakini pia hakuna mgonjwa yoyote Indonesia, Malayasia, Pakistani - ndio hata kokote waliko Waislamu)