Sentence alignment for gv-ind-20130526-5218.xml (html) - gv-swa-20130526-4985.xml (html)

#indswa
1Arab Saudi Mengeksekusi Lima Pria Yaman, Jenazah Dipamerkan di Ruang PublikSaudi Arabia Yawanyonga Raia Watano wa Yemeni na Kutundika Miili Yao Hadharani
2Lima warga Yaman terdakwa kasus pembunuhan dan perampokan dihukum mati di Saudi Arabia dan jenazah mereka dipamerkan di muka umum di Barat Laut kota Jizan.Watu Watano wa Yemeni waliokuwa wametiwa hatiani kwa mauaji na ujambazi walinyongwa kwa kukatwa vichwa vyao nchini Saudia Arabia na miili yao kutundikwa hadharani katika mji wa Jizan ulio kusini magharibi mwa nchi hiyo.
3Pemancungan para lelaki, yang menurut berita merupakan anggota sebuah geng, membawa jumlah eksekusi Arab Saudi tahun ini menjadi 47 orang.Kunyongwa kwa watu hao, waliosemekana kuwa sehemu ya genge la majambazi, limefanya idadi ya watu walionyongwa nchini humu mwaka huu kufikia 47.
4Pembunuhan, perampokan bersenjata, penyeludupan narkoba, pemerkosaan, dan pemurtadan merupakan pelanggaran-pelanggaran terberat di bawah hukum Syariah kerajaan Islam tersebut.Mauaji, ujambazi wa kutumia silaha, usafirishaji wa madawa ya kulevya, ubakaji, na kufuru za kidini ni makosa yanayoongoza chini ya sharia ya dini inayotumika katika nchi hiyo ya Kiislamu.
5Yaman juga mengakui hukuman mati dan berada di posisi enam di dunia dalam hal eksekusi mati, menurut Amnesty International.Nchi ya Yemen pia inayo hukumu ya kifo na inashikilia nafasi ya sita duniani kwa idadi ya hukumu hizo, kwa mujibu wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International.
6Sedangkan Arab Saudi berada di posisi keempat setelah Cina, Iran, dan Irak.Saudi Arabia iko kwenye nafasi ya nne, nyuma ya China, Iran na Iraq.
7Amerika Serikat berada di ranking kelima.Marekani ni ya tano.
8Foto-foto dari lima jenazah yang tergantung di tambang yang tertambat di dua buah truk crane beredar di Twitter dan Facebook tanggal 21 Mei 2013, menimbulkan kemarahan di hati para pengguna, termasuk warga Yaman yang merasa terusik dan murka akibat eksekusi yang menimpa teman-teman sebangsa mereka.Picha za miili ya watu watano ikining'inia kwenye kamba juu ikiwa imefungwa kwenye winchi zilisambazwa kwenye mitandao ya twitter na facebook tarehe 21, 2013 zikiwasikitisha watumiaji wengi, ikiwa ni pamoja na raia wa Yemeni walioogopeshwa na kukerwa na picha za miili ya raia wenzao.
9Lima pria Yaman dieksekusi dan secara pamerkan di muka umum di jalan-jalan Arab Saudi.Wa-Yemeni watano walinyongwa na kutundikwa hadharani kwenye mitaa ya Saudi Arabia.
10Foto via @Bintbattuta87Picha ya @Bintbattuta87
11Di Twitter, seorang dosen dan editor Arab Saudi, Bayan (@BintBattuta87) menulis kecemasannya:Kwenye mtandao wa Twita, profesa na mhariri nchini Saudi Arabia, Bayan (@BintBattuta87) aliandika kwa mshangao:
12@BintBattuta87: Mengerikan: Foto 5 pria yang dihukum mati hari ini, jenazah mereka menggantung di jalan-jalan #Saudi.@BintBattuta87: INATISHA: Picha za watu watano walionyongwa leo, miili yao ikiwa imening'inizwa sasahivi kwenye mitaa ya #Saudi.
13Fuck this country, wallah. pic.twitter.com/LwztwvfpABUpuuzi uliopitiliza, wallah. pic.twitter.com/LwztwvfpAB
14Dia menambahkan:Akaongeza:
15@BintBattuta87: Mengerikan: #KSA: Warga duduk-duduk memandang jenazah para terhukum.@BintBattuta87: INATISHA: #KSA: Watu wamekaa wakikodolea macho miili ya marehemu hao.
16Tak seorangpun mengutuk peristiwa ini?!Hakuna mtu anasimama kulaani vitendo hivi?!
17Inilah yang membunuhku: pic.twitter.com/za72LMdNDQHicho ndicho kinachoniua mimi: pic.twitter.com/za72LMdNDQ
18Haykal Bafana (@Bafana3), seorang pengacara Yaman yang tinggal di Yaman, menyiulkan foto peristiwa itu dan berkomentar:Haykal Bafana (@Bafana3), mwanasheria wa ki-Yemeni aishie Yemen, alitwiti picha ya tukio hilo na akawa na maoni haya:
19@Bafana3: Beginilah cara Arab Saudi menghukum mati perampok bersenjata.@Bafana3: Hivi ndivyo Saudi Arabia inavyowanyonga majambazi.
205 pria #Yaman dieksekusi kemarin.Wanaume watano wa ki-Yemeni wamenyongwa jana.
21#KSA https://www.facebook.com/haykal.bafana/posts/469019226511426 … pic.twitter.com/0NcWDxYBHc#KSA https://www.facebook.com/haykal.bafana/posts/469019226511426 … pic.twitter.com/0NcWDxYBHc
22Foto close up lima jenazah pria yang dieksekusi di Arab Saudi.Picha ya karibu ya watu watano walionyongwa nchini Saudi Arabia.
23Foto via @Bafana3.Picha kupitia @Bafana3.
24Sana2 Al-Yemen (@Sanasiino), seorang jurnalis Yaman yang tinggal di Inggris Raya, menunjukkan:Sana2 Al-Yemen (@Sanasiino), mwandishi wa habari wa Yemeni anayeishi Uingereza, alitanabaisha:
25@Sanasiino: Saudi menghukum mati 5 warga Yaman di Jizan & memamerkan jenazah mereka untuk dilihat oleh dunia.@Sanasiino: Saudi imewanyonga wa-Yemeni watano huko Jizan; na kuwaning'iniza ili dunia yote iwaone.
26Inilah orang-orang yang menguasai Tanah Suci kita pic.twitter.com/JP6QpnzXsEHawa ndio watu wanaotawala katika Nchi Takatifu pic.twitter.com/JP6QpnzXsE
27Jurnalis dan mantan editor Timteng surat kabar The Guardian, Brian Whitaker (@Brian_Whit), menyiulkan sebuah tautan dalam pos terbarunya:Mwandishi na mhariri wa zamani wa Mashariki ya Kati kwa Jarida la The Guardian Brian Whitaker (@Brian_Whit) alitwiti kiungo cha makala aliyokuwa ametoka kuiandika:
28@Brian_Whit: Arab Saudi meningkatkan hukuman mati mereka.@Brian_Whit: Unyongaji Uliokubuhu Saudi Arabia.
29Jenazah-jenazah tak berkepala dipamaerkan http://bit.ly/YYULRz (http://al-bab.com)Miili isiyo na vichwa yaanikwa hadharani http://bit.ly/YYULRz (http://al-bab.com)
30Dalam posnya, dia mengamati bagaimana jejaring mempengaruhi persepsi atas Saudi Arabia di seluruh dunia:Katika makala hiyo, mwandishi alionyesha namna mtandao wa intaneti unavyoathiri taswira ya Saudi Arabia duniani kote:
31Ide dibelakang eksekusi umum dimaksudkan untuk memunculkan efek takut bagi yang lain, meskipun tidak jelas bahwa itulah tujuan akhir mereka.Wazo nyuma ya unyongaji wa hadharani jinsi hii ni kuwafanya wengine waogope kufanya vitendo hivyo hivyo, ingawa haijulikani kama ni kweli watu wanaogopa kufanya uovu kwa kutazama miili ya wenzao.
32Namun belakangan ini, berkat Internet, bukan cuma warga Saudi saja yang dapat melihat hal ini, kejadian ini memperkeras persepsi internasional bahwa kerajaan terebut barbar.Lakini siku hizi, kwa sababu ya mtandao wa intaneti, si raia wa nchi hiyo tu wanaoona picha za miili hiyo na hiyo inaongeza nguvu madai ya jumuiya za kimataifa kwamba nchi hiyo ya Kifalme ni ya kikatili.
33Menguti Amnesty International, dia menambahkan: .Akiinukuu Amnesty International, shirika la kutetea haki za binadamu anaongeza: .
34Amnesty International mengatakan:Amnesty International linasema:
35“Pihak bewajib di Saudi Arabia secara rutin melanggar standar-standar internasional mengenai sidang yang adil dan perlindungan pelaku, yang seringkali ditolak untuk direpresentasikan pengacara dan tidak diberi tahu mengenai perkembangan proses hukum atas mereka.“Mamlaka za Saudi Arabia mara kwa mara zimekiuka viwango vya kimataifa vinavyoongoza mashitaka ya haki na kuhakikisha usalama wa watuhumiwa, ambao mara nyingi wananyimwa haki ya kuwakilishwa na wanasheria wala haki ya kujulishwa mwenendo wa mashitaka yanayowakabili.
36“Mereka dapat didakwa semata-mata atas dasar ‘pengakuan' yang diperoleh setelah terdakwa disiksa dan diperlakukan buruk.”“Wanaweza kuhukumiwa kwa kutumia ushahidi wa “kukiri” unaopatikana kwa kuwatesa au vitendo vingine vya kinyama.”
37Narablog Yaman Afrah Nasser (@Afrahnasser), yang tinggal di Swedia, menantang Yaman untuk berbicara lantang mengenai hukuman mati warga negaranya:Mwanablogu wa Yemeni Afrah Nasser (@Afrahnasser), ambaye anaishi Sweden, aliitaka Yemen ilaani unyongaji wa kikatili uliofanywa kwa raia wake:
38@Afrahnasser: Saya menantang Mr. Hadi atau siapapun dari Kemenlu #Yaman untuk meluncurkan pernyataan yang mengutuk eksekusi #Saudi terhadap 5 orang Yaman! http://afrahnasser.blogspot.com/2013/05/saudi-excutes-five-yemeni-men.html?@Afrahnasser: Ninamwomba Mhe. Hadi au yeyote kutoka kwenye wizara ya ushirikiano wa kimataifa ya #Yemen kutoa tamko la kulaani kunyongwa kwa watu watano wa ki-Yemeni kitendo kilichotekelezwa na #Saudi!. http://afrahnasser.blogspot.com/2013/05/saudi-excutes-five-yemeni-men.html?