Sentence alignment for gv-ind-20100122-2737.xml (html) - gv-swa-20100114-1098.xml (html)

#indswa
1Pasca Gempa Haiti: Saksi Mata Melaporkan Kejadian Lewat TwitterBaada Ya Tetemeko la Ardhi, Jumbe za Twita Kutoka kwa Walioshuhudia
2Sebagai hasil dari gempa dahsyat berkekuatan 7.0 skala ricther yang menimpa negara kepulauan malam ini (12 Januari), “Haiti” saat ini menjadi topik terhangat di Twitter.Kutokana na janga la tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.0 ambalo limeikumba Haiti jioni ya leo (Januari 12), “Haiti” ni mada kuu hivi sasa kwenye huduma ya Twita.
3Di antara rantai siulan massal laporan media utama dan siulan yang menyampaikan doa serta harapan bagi negara Karibia ini, seorang musisi sekaligus pengusaha perhotelan Richard Morse juga memberikan laporan saksi mata lewat akun Twitternya @RAMHaiti. Morse menuliskan pesan awalnya sekitar pukul 18:00 (waktu setempat) yang melaporkan demikian:Miongoni mwa lundo la jumbe zinazotumwa tena na tena za taarifa za habari kutoka za vyombo vya habari vikubwa na jumbe nyingine za twita zinazotuma sala au dua pamoja na salamu za heri kwa taifa hili la Karibea, pia kumekuwepo taarifa za mashahidi waliopo kwenye tukio kama vile mwanamuziki na mwendesha hoteli Richard Morse, ambaye anatwiti kwa jina la @RAMHaiti.
4Kami baik-baik saja di Oloffson (hotel miliknya). .internet masih jalan! tidak ada telepon.. banyak bangunan besar di PAP (Port-au-Prince, ibukota Haiti) hancur!Morse alituma ujumbe huu wa kwanza wa twita kwenye majira ya saa 12 jioni kwa saa za Haiti, akiripoti kuwa:
5Serangkaian siulan Twitter dikirim satu jam kemudian yang melaporkan:Tuko salama hapa oloffson [hoteli anayoiendesha] .. intaneti inapatikana!!
6Hampir semua listrik di Port au Prince mati..Hakuna simu!
7Orang-orang masih berteriak namun kebisingan perlahan-lahan menghilang bersama kegelapan yang hadir.Natumaini wote wako salama… majengo mengi makubwa hapa PAP [Port Au Prince, mji mkuu wa Haiti] yameporomoka!
8Banyak gosip beredar tentang bangunan mana yang telah hancur..Mfululizo wa jumbe za twita zilizotumwa saa moja baadaye ziliripoti:
9Castel Haiti di belakang Oloffson sudah menjadi tumpukan puing.. bangunan itu berlantai 8Karibu kila taa imezimwa katrika mji wa Port au Prince… watu bado wanapiga mayowe lakini sauti zao zinafifia kadiri giza linavyotanda.
10Tamu kami duduk-duduk di jalan masuk .. tidak ada kerusakan yang parah di Oloffson tapi banyak gedung besar di dekat sini ambrukkuna uvumi kuhusu majengo gani yaliyoanguka… jingo la Castel Haiti nyuma ya oloffson ni biwi la kifusi… lilikuwa jingo la ghorofa 8 kwenda juu
11Aku diberitahu kalau sebagian Istana negara telah hancur.. UNIBANK di sini yang terletak di jalan Capois juga hancurWageni wetu wamekaa nje kwenye barabara ya gari… hakuna uharibifu mkubwa hapa Oloffson lakini majengo mengi makubwa yaliyo jirani yameanguka
12Orang-orang sedang mengangkut korban dengan tanduNimeambiwa kuwa sehemu za kasri (ikulu) zimeanguka… UNIBANK hapa mtaa wa Capois imeporomoka
13Port au Prince gelap gulita kecuali di tempat beberapa kebakaran yang sedang terjadiwatu wanawaleta watu kwa machela Port au Prince iko kwenye giza isipokuwa kwa mioto michache
14Rumah sakit besar yang sedang dibangun di seberang Oloffson telah hancurHospitali kubwa iliyokuwa inajengwa mkabala na Oloffson imeporomoka
15Mobil-mobil mulai beredar.. aku melihat lampu-lampu di kejauhan menuju dermagamagari yanaanza kuzunguka.. Ninaziona taa kwa mbali kuelekea dagoni
16Kemudian Morse mengirim ulang pesan dari akun @isabelleMORSE yang melaporkan bahwa “banyak kehancuran di Grand Rue (Avenue Dessalines) Daniel Morel masih baik-baik saja.Baadaye, Morse alituma tena ujumbe wa twita @isabelleMORSE, ambaye aliripoti “uharibifu mkubwa kwenye mtaa wa Grand (Ave Dessalines) Daniel Morel's iko sawa, stesheni ya polisi, Downtown teleco, kanisa la Mtakatifu Anne yote yameangamia”.
17Kantor Polisi, Katedral, telekomunikasi di pusat kota, Gereja St. Anne semua hancur lebur“.Mara baada ya saa 1 jioni kwa saa za Haiti, Morse aliandika kwamba:
18Tepat setelah pukul 19:30 waktu setempat, Morse menuliskan bahwa:Simu zinaanza kufanya kazi.
19Telepon mulai kembali berfungsi.. terima telepon dari seseorang yang rumahnya hancur, anaknya terluka tapi masih baik-baik saja..Nimepokea simu kutoka kwa mtu ambaye nyumba yake iliporomoka, mtoto kaumia lakini salama. .
20Beberapa orang datang ke Oloffson.. jalan-jalan masih terblokir oleh dinding-dinding yang runtuh.. banyak sekali kehancuran di Grand Rue.Watu wachache wanaanza kujitokeza @Oloffson.. barabara hazipitiki kutokana na kuta zilizoanguka. .maangamizi makubwa katika mtaa wa Grand.
21Aku dengar rumah sakit Umum juga telah hancurNasikia hospitali kuu imeporomoka
22Orang-orang butuh persediaan medis.. makanan, tempat tinggal; aku belum tahu mengenai situasi air;watu wanahitaji madawa na vifaa vya matibabu, chakula, malazi; sijui kuhusu hali ya maji
23Kemudian, sekitar pukul 19:45:Kisha, kwenye majira ya saa 1:45 jioni:
24Gempa susulan yang lain .. orang-orang menjerit dan panik lalu turun menuju stadion .. kebanyakan bernyanyi dan berdoa dalam jumlah besartetemeko jingine dogo.. watu wanapiga mayowe na kukimbia kuelekea uwanjani.. wanaimba na kusali sana katika makundi makubwa
25Sekitar pukul 20:40 waktu setempat:Na kwenye majira ya saa 2:40 usiku kwa saa za Haiti:
26Gempa susulan lain .. sedikit lebih lama .. banyak teriakan dari pusat kota .. ini akan menjadi malam yang panjangtetemeko jingine dogo.. limechukua muda mrefu zaidi.. mayowe mengi mjini.. huu utakuwa usiku mrefu
27Banyak juga tersebar foto-foto kehancuran gempa Haiti di Twitter yang diambil oleh warga sekitar seperti foto di bawah ini, dilaporkan terkirim oleh pengguna Twitter @marvinady oleh Carel Pedre, seorang wartawan Radio One di Haiti.Pia zinazotawala katika Twita ni picha za maangamizi na uharibifu zilizopigwa na raia kama hizi hapa chini, inadaiwa kuwa zilitumwa kwa mtumiaji wa Twita @marvinady na mwanahabari Carel Padre wa Radio One Haiti.
28@LisandroSuero juga mengirimkan foto-foto kehancuran gempa Haiti, termasuk salah satunya di bawah ini:
29Silakan kunjungi halaman Liputan Khusus Gempa Haiti di situs Global Voices.@LisandroSuero pia ametuma picha za maangamizi, pamoja nah ii hapa chini: