Sentence alignment for gv-ind-20130610-5230.xml (html) - gv-swa-20130606-5066.xml (html)

#indswa
1Dua Pemuda Saudi Ditangkap Dengan Tuduhan “Menghina Agama”Vijana wa Kisaudi Wakamatwa Wakituhumiwa ”Kukashifu Dini”
2Dua pemuda Saudi ditahan di ibukota Riyadh oleh Komite untuk Mempromosikan Moral dan Pencegahan Maksiat (CPVPV) dibawah tuduhan menghina agama.Vijana wawili wa ki-Saudi walikamatwa katika mji mkuu wa Riyadh na Kamati ya Kukuza Maadili na Kuzuia Maovu (CPVPV) kwa madai ya kukashifu dini.
3Bader Al-Rasheed @BAlrasheed dan Abdullah Al-Bilasi @3bdlla berbagi kisah mereka di Twitter.Bader Al-Rasheed @BAlrasheed na Abdullah Al-Bilasi @3bdlla walisimulia yaliyowapata kwenye mtandao wa twita.
4Menurut Al-Rasheed, keduanya sedang duduk-duduk di depan sebuah tempat minum kopi ketika mobil CPVPV melintas guna mengingatkan orang-orang untuk meninggalkan area itu dan melaksanakan doa petang.Kwa mujibu wa Al-Rasheed, walikuwa wamekaa nje ya mkahawa wakati gari la CPVPV lilipokuwa likipita kwa kuwaamuru watu kuondoka eneo hilo waende kwenye swala ya jioni.
5Dia berargumen dengan anggota CPVPV mempertanyakan apakah duduk-duduk di tempat umum pada waktu doa merupakan tindakan yang melanggar hukum.Alisema yeye alibishana na mtumishi mmoja wa CPVPV kama kuketi katika maeneo ya umma wakati wa saa za swala ilikuwa kosa.
6Al-Rasheed kemudian menyiulkan [ar]:Al-Rasheed baadaye alitwiti [ar]:
7“@BAlrasheed: Karena itu kali pertamanya aku mendengar tentang hukum tersebut dan heya' (panggilan informal anggota CPVPV) terkadang berlaku sesuka mereka, aku mendatangi mobil mereka dan bertanya: apakah ada hukum yang melarang duduk-duduk di tempat umum pada waktu sembayang?”“@BAlrasheed: Kwa sababu ilikuwa ni mara ya kwanza mimi kusikia sheria hii na ‘heya'(neno la mtaani wanalooitwa CPVPV) mambo holela wakati mwingine, nilikwenda katika gari lao na kuuliza: kuna sheria inayopiga marufuku kukaa katika maeneo ya umma wakati sala?”
8Petugas mengatakan bahwa hal itu haram, namun Al-Rasheed memotong dengan mengatakan:Jibu la mwajiriwa huyo lilikuwa kwamba ni haramu (imezuiliwa kidini), lakini Al-Rasheed aliingilia kati akisema:
9“@BAlrasheed: Jangan katakan padaku apa yang agama katakan, adakah hukum yang melarang?“@BAlrasheed: Usiniambie dini inavyosema, je kuna sheria?
10Agama merupakan pilihan pribadi.Dini ni suala la uamuzi binafsi.
11Kepada hukumlah aku harus patuh.”Ni sheria tu ndiyo ninalazimika kutii.”
12Menurut Al-Rasheed, si petugas tersinggung dan meminta tanda pengenalnya dan milik temannya.Kwa mujibu wa Al-Rasheed, mtumishi huyo alikasirika na akadai kitambulisho chake na cha rafiki aliyekuwa naye.
13Kemudian, anggota CPVPV mulai mengancam mereka, mengatakan bahwa petugas kepolisian akan bertindak.Kisha, mtumishi huyo wa CPVPV alianza kuwatishia na kuchochea maafisa wa polisi kuchukua hatua dhidi yao.
14Tak lama kemudian, mobil CPVPV lainnya dan sebuah mobil polisi datang dan membawa mereka ke pos polisi al-Sulaimaniyah.Dakika chache baadaye, gari lingine la CPVPV na gari la polisi lilikuja kuwakamata na kuwapeleka katika kituo cha polisi cha al-Sulaimaniyah.
15Al-Bilasi membicarakan kondisi sel yang tidak manusiawi: “sel itu amat kecil dan padat.Al-Bilasi alisimulia kuhusu hali ya mbaya na unyama katika selo:.. “.
16Di sana tidak ada tempat tidur atau matras,” katanya.Ilikuwa ndogo na yenye msongamano mkubwa.
17“Kami tidur di lantai.Hakukuwa na vitanda vyovyote au magodoro,” alisema “Tulilala sakafuni.
18Aku tanya seorang petugas untuk membiarkanku tidur di selasar tapi dia malah menyumpahiku,” tambahnya.Nilimwomba afisa magareza kuniruhusu nilale koridoni lakini yeye alinitukana tu, ” anaongezea.
19Minggu berikutnya, mereka kembali dibawa, diborgol, ke Kantor Investigasi dan Penuntutan.Asubuhi iliyofuata, walichukuliwa, wakiwa wamepigwa pingu mkononi, kupelekwa kwa Ofisi ya Upelelezi na Mashtaka.
20Setibanya di sana, mereka digiring ke sebuah ruangan kecil dimana mereka menunggu selama berjam-jam sebelum akhirnya mereka dipanggil satu persatu untuk diinterogasi.Baada ya kuwasili hapo, walipelekwa kwa chumba kidogo ambapo walisubiri kwa masaa kadhaa kabla ya wao kuitwa kivyao kwa ajili ya mahojiano.
21Si interogator mengatakan pada Abdullah bahwa anggota CPVPV dan petugas kepolisian “tidak sepantasnya dibantah, tapi dipatuhi”.Mpelelezi alimwambia Abdullah kwamba mtumishi wa CPVPV na maafisa wa polisi “si watu wa kubishana nao bali kuwatii.”
22Mimpi buruk mereka berakhir setelah orangtua mereka membayar jaminan mereka, meskipun interogator menganggap hal yang terjadi “sebuah kesalahpahaman”.Jinamizi lao lilifikia mwisho wakati walipoachiliwa baada ya wazazi wao kuwawekea dhamana ingawa mpelelezi aliliita tukio hilo kuwa ni “kutokuelewana.”
23Polisi syariah tidak puas dengan hal ini dan menuntut agar mereka didakwa.Polisi wa kidini hawakuridhishwa na kudai kwamba watu hao wawili washitakiwe.
24Lebih konyol lagi, al-Bilasi dan al-Rasheed melaporkan sebuah cerita aneh yang melibatkan laki-laki Libanon yang mereka jumpai di pos polisi al-Sulaimaniyah yang ditangkap karena “senyuman yang melanggar agama”.Kichekesho zaidi, al-Bilasi na al-Rasheed waliripoti simulizi la mwaka kuhusu raia wa Lebanon waliyemkuta katika kituo cha polisi cha al-Sulaimaniyah ambaye alikamatwa kwa “tabasamu lisiloruhusiwa kidini”!
25@balrasheed: Salah satu cerita aneh yang kami jumpai pada saat penahanan kami datang dari seorang pria Libanon yang ditahan selama lima hari.@balrasheed: Moja ya mambo ya ajabu zaidi kukutana nayo selo ilikuwa ni mfanyabiashara wa Lebanon ambaye alihukumiwa kifungo cha siku tano.
26Kejahatannya: “senyum yang melanggar syariah.”Kosa lake: “Tabasamu lisiloruhusiwa na Sharia.”
27Insiden ini terjadi tanggal 25 Maret 2013.Tukio hilo lilitokea tarehe 25 Machi, 2013.