# | ind | swa |
---|
1 | Lebanon: 90 penumpang diperkirakan tewas dalam musibah jatuhnya pesawat Ethiopian Airlines | Lebanoni: Watu 90 Wanahofiwa Kufariki Baada ya Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia Kuanguka Baharini |
2 | Ucapan belasungkawa mengalir di Twitter, setelah sebuah pesawat milik Ethiopian Airlines jatuh di Laut Mediterania beberapa menit setelah lepas landas dari Beirut, Lebanon. | Rambirambi zilimiminika kwenye Twita baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia kuanguka kwenye (bahari ya) Mediterani dakika chache baaday ya kupaa ikitokea Beirut, Lebanoni. |
3 | Seluruh penumpang yang berjumlah 90 orang diperkirakan tewas setelah pesawat tersebut tersambar petir dan terbakar kala terbang saat badai petir berlangsung. | Watu wote 90 waliokuwemo wanahofiwa kuwa wamekufa baada ya ndege hiyo kushika moto katika kimbunga cha radi na kuangukia baharini. |
4 | Pesawat itu kemudian jatuh ke laut. @tsepeaces merantaikan siulan seorang saksi mata yang mengatakan: | @tsepeaces anatuma tena ujumbe wa twita wa mtu aliyeshuhudia tukio na kusema: |
5 | RT @patrickgaley: SAksi bernama Naame “Kami melihat ledakan dilangit bak matahari, hal itu berlangsung selama beberapa detik dan menghilang ke dalam kegelapan”#ET409 | RT @patrickgaley: Shahidi Naame “Tuliona mlipuko kama jua angani, ulikuwa pale kwa sekunde chache halafu ukatokomea kwenye giza” #ET409 |
6 | Dia juga menyiulkan: | Pia anaandika ujumbe huu wa twita: |
7 | Pesawat tersebut sesaat berubah menjadi bola api - inilah kata-kata yang menakutkan :-/ #ET409 Semoga mereka beristirahat dalam damai! | Ndege ile ilikuwa kama mpira wa moto kwa sekunde chache - hayo ni maneno yanayojirudia :-/ #ET409 Na Wapumzike Kwa Amani! |
8 | Wartawan Daily Star dan narablog Huffington Post Patrick Galey mengutip seorang pria Lebanon yang kehilangan 10 orang temannya yang menumpang pesawat tersebut: | Mwanahabari wa gazeti la Daily Star na mwanablogu wa Huffington Post Patrick Galey anamnukuu mwanaume mmoja wa Lebanoni ambaye amepoteza marafiki 10 waliokuwemo kwenye ndege hiyo: |
9 | Fouad Shihab memiliki 10 orang teman yang menumpang pesawat tersebut: “Aku berencana untuk menumpang pesawat yang sama, lihatlah apa yang terjadi. | Fouad Shihab, marafiki 10 kwenye ndege: Nilitakiwa niwepo kwenye ndege ile na angalia kilichotokea. |
10 | Semua temanku tewas.” | Marafiki zangu wote wamekufa.” |
11 | Dalam siulan sebelumnya, dia menulis: | Katika ujumbe wa awali wa twita, anaandika: |
12 | Baru kembali dari Bandara Rafiq Hariri, suasana yang mengerikan. | Ndiyo kwanza nimerudi kutoka uwanja wa ndege wa Rafiq Hariri, yanayoonekana huko yanatisha. |
13 | Tidak ada informasi, sempat berbicara dengan seseorang yang kehilangan seluruh keluarganya | Hakuna taarifa, nimeongea na watu waliopoteza familia nzima |
14 | Hichame Assi (@hiconomics) menulis: | Hichame Assi (@hiconomics) anaandika: |
15 | Amat sedih mendengar tentang #ET409… Aku harap kemudahan diberikan pada seluruh keluarga dan kerabat (korban). | Ni masikitiko makubwa kusikia kuhusu #ET409… Natumaini (msiba) utakuwa bila ya uchungu kwa kadri inavyowezekana kwa ndugu na marafiki wote. |
16 | Allah Yer7am (Semoga Tuhan mengasihani mereka) | Allah Yer7am (Mungu uwahurumie) |
17 | Georges Azzi, yang mengikuti liputan di TV, amat terkesan dan menulis siulan berikut: | Georges Azzi, ambaye amekuwa akifuatilia habari hii kwenye televisheni, hakuvutiwa na akaandika: |
18 | Lebanon:terlalu banyak stasiun TV= terlalu banyak #liputan #et409 yang akhirnya menjadikan berita lebih sensasional dan terkesan fiktif nan #gagal | Lebanoni: idhaa nyingi za televisheni = muda mrefu hewani #habari za #et409 zinaelekea kwenye udaku na hadithi za kubuni #fail |
19 | Samer, pemilik akun @meetsamer, juga menyatakan kekecewaannya terhadap media Lebanon, katanya: | Samer, anayetwiti kama @meetsameer, pia alieleza kuchukizwa kwake na vyombo vya habari na kusema: |
20 | Media Lebanon tidak sopan dan tidak memiliki etika, mereka mengacu penumpang yang hilang sebagai “orang mati” #ET409 #Lebanon | Vyombo vya habari vya Lebanoni havina ustaarabu au aina yoyote ya maadili, tayari vinawaita watu ambao hawajapatikana kama “waliokufa” #ET409 #Lebanon |
21 | Amer Tabsh (@arzleb) juga berpendapat sama, tulisnya: | Amer Tabsh (@arzleb) anaelezea hisia kama hizo na anaandika: |
22 | Analisis LBC (Perusahaan Penyiaran Lebanon) mengenai insiden #ET409 sangat bodoh dan salah #gagal | Uchambuzi wa LBC (Shirika la Habari la Lebanoni) wa #ET409 ni wa kipumbavu na potofu #fail |
23 | Dia juga merantaikan nomor telepon saluran siaga untuk informasi dan pertanyaan mengenai musibah yang terjadi: | Pia anatoa namba ya simu ya maelezo na maswali juu ya ajali: |
24 | Saluran siaga (hotline) 71207326 untuk informasi dan pertanyaan oleh anggota keluarga korban/Saluran siaga 1701 untuk informasi temuan tubuh korban musibah #ET409 #Lebanon | Namba ya dharura 71207326 kwa ajili ya taarifa & maswali kwa familia za waliodhurika/namba ya dharura 1701 ili kutoa habari za mabaki na miili inayoonekana #ET409 #Lebanon |
25 | SEmentara itu, Tala merasa terkejut oleh berita dan siulan: | Wakati huo huo, Tala amestushwa na habari hii na kutwiti: |
26 | 25 jenazah berhasil diselamatkan dari air , 2 diantaranya anak-anak. | Miili 25 imechukuliwa kutoka majini, 2 kati yake ilikuwa ni ya watoto. |
27 | Dan mereka nyaris tidak dapat mengidentifikasi semuanya. | Na bado hawajaweza kuitambua. |
28 | R.I.P #ET409 | Pumzikeni kwa Amani #ET409 |
29 | Wartawan CNN Cal Perry juga menyiulkan satu pesan yang berkata: | Cal Perry wa CNN pia alikuwa anandika jumbe za twita na katika ujumbe mmoja anasema: |
30 | Hari yang menyedihkan #et409 - Besok kami akan berusaha untuk meluncur ke tepi laut. | Siku ya masikitiko #et409 - kesho tutajaribu kwenda pwani. |
31 | Malam ini laporan langsung dari bandara. | Hii ndio habari ya usiku wa leo kutokea uwanja wa ndege. |
32 | PM Hariri berusaha sekuat tenaga untuk menghibur (anggota keluarga para korban) | Waziri Mkuu Hariri anajaribu kwa nguvu zote kufariji |
33 | Nathan Redd dalam duka yang mendalam, berkata: | Nathan Redd yumo katika uchungu na anaandika: |
34 | Aku sungguh tidak dapat berkonsentrasi melakukan apapun hari ini. | Siwezi kabisa kuwa makini katika kitu chochote leo. |
35 | #ET409 merupakan satu-satunya hal di benakku. | #ET409 ndio jambo pekee kwenye akili yangu leo. |
36 | Hatiku hancur. | Moyo wangu umevunjika. |
37 | Dan @nightS merangkum kejadian hari itu dengan berkata: | Na @nightS anatoa muhtasari wa siku kwa kusema: |
38 | Sebuah hari yang menyedihkan dan teramat buruk #ET409 | Ni siku mbaya na ya masikitiko :( #ET409 |