Sentence alignment for gv-jpn-20150520-36327.xml (html) - gv-swa-20150408-8631.xml (html)

#jpnswa
1ケニア:ガリッサ大学襲撃の犠牲者を悼む--147は単なる数字ではないWatu 147 Waliouawa Garissa Ni Zaidi ya Takwimu
2独立系新聞社デイリー・ネーション(@DailyNation)によるガリッサ襲撃犠牲者の写真特集の一面。 ツイッター上で公開されたもの。Picha ya gazeti huru la Daily Nation (@DailyNation) ikiwa na picha za wahanga wa shambulio la Garissa, iliyosambaa kwenye mtandao wa Twita.
3少なくとも147人が武装組織アルシャバーブに殺害されたという、ガリッサ大学襲撃事件に関し、国内外のメディアの報道に厳しい批判が浴びせられている。 襲撃者の氏名は幅広く公開されているのに対し、犠牲者はたいてい、147名という、単なる数字に矮小化されているからだ。Habari zilizochukua nafasi ya mbele kwenye vyombo vya habari vya kimataifa na vile vya ndani ya nchi kuhusiana na shambulio la kigaidi lililofanywa na wanamgambo wa Al-Shabaab kwenye Chuo Kikuu cha Garissa, lililosababisha vifo vya watu 147, zimepata ukosoaji mkali.
4これに対しケニアのネット民は、この野蛮な襲撃事件の犠牲者たちに名前と顔を与えようと努力してきた。
5アフリカ・イズ・ア・カントリーというブログへの投稿で、ケニアの作家ビニャバンガ・ワイナイナは「失った国民ひとりひとりをきちんと弔うことができない国なら、ケニアは国とは呼べない」と言っている。Wakati majina ya washambuliaji yakichapishwa sana, wahanga wa tukio hilo wamekuwa wakitajwa kwa tarakimu pekee: 147. Katika kujaribu kufanya tofauti, wananchi wa Kenya mtandaoni wamefanya jitihada kubwa za kutangaza majina na sura za marehemu waliopoteza maisha yao kufuatia shambulio hilo.
6私はムペケトニで亡くなった人たちの氏名や年齢が知りたい、写真が見たい。 選挙後暴動(訳注:2007年大統領選挙投票結果を巡る部族対立)の流れで殺された人たち。Akiblogu kwenye blogu iitwayo Afrika ni Nchi, mwandishi wa Kenya Binyavanga Wainaina alisema Kenya “haitakuwa taifa kama hatutaweza kupeana heshima zinazostahili kwa raia wanaopoteza maisha yao”:
7忘れるのはよくない。 私たち民衆の意識が呼び覚まされるのは、こうした行為を通じてだ。Ninataka kuona majina na umri na picha za wale wote waliopoteza maisha yao kwenye shambulizi la Mpeketoni.
8私たちは自分自身に向き合う覚悟ができていない、膨れ上がる痛みに耐えられないのだ、という論法がある。Wle waliouawa wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi.
9その論法は痛みをないがしろにさせるも同然ではないか。Nataka habari zilizokamilika.
10ひとりのケニア人が、運営を任されていた教育機関を奪い取り、不毛の干からびた場所にしているというのに。Kusahau si jambo jema. Ni kupitia matendo haya, ubinadamu wetu unahuishwa.
11そのあげく、ゾンビのように舞い戻り、輪ゴムでゾンビを撃つおもちゃのように新たな姿で、再びどこかを支配しているというのに。( 訳注:主犯格として指名手配されている男はイスラム学校の元校長)Siasa za kusema hatuko tayari kuwajitazama, uchungu mkubwa, ni siasa zinazoturuhusu kupuuza pale m-Kenya anapoharibu taasisi aliyoipewa kuiongoza, na kuiharibu vibaya, kisha kurudi tena, akiwa mithili ya roboti, aina mpya ya roboti kutawala sehemu nyingine tena.
12彼はこう続ける。Aliendelea:
13私は、3百万のナイロビ市民が街にあふれ出て、殺された私たちの子どものために泣き、歌い、抱き合う姿が見たい。Ninataka kuona wakazi milioni tatu wa Nairobi wakiingia mtaani kulia, kuimba na hata kukumbatiana kwa sababu watoto wetu wameuawa.
14ほとんど自分の世界にこもって暮らす人ばかりだと思うのは、もうやめたい。Ninataka kuacha kujisikia kwamba tunaishi kwa uhuru wa ndani ya nafsi zetu.
15自分を励ます言葉など、もう2度と聞きたくない。Nataka kuacha kusikia neno kujiwezesha kwa mara nyingine.
16オリー・オコロー・ムワンギは、アフリカの文化で犠牲者の名前が重要とされる理由を、ツイッター上で解説している。Kwenye mtandao wa Twita, Ory Okolloh Mwangi alieleza kwa nini ni muhimu katika utamaduni wa Kiafrika kuwataja kwa majina wahanga:
17名付けと命名儀式はアフリカ文化では一大事。Kumtaja marehemu kwa jina lake ni jambo kubwa kwenye utamaduni wa Afrika.
18それは過去世、現世、来世を表す。Ni kitendo cha kuyapa maisha maana inayostahili iwe kabla, hivi sasa na kwa siku zijazo.
19だから我々は一人ひとりを名前で呼ぶ。Na tutawaja kwa majina mmoja baada ya mwingine.
20犠牲者に人間味を与えようと、#147notjustanumber (単なる数字じゃない147名)のハッシュタグをつけて、彼らの名前と写真を投稿しているツイッターユーザーもいる。 追悼、エリザベス・ニャンガローラ。Ili kuweza kuwafanya wahanga kupata hadhi ya ubinadamu, baadhi ya watumiaji wa mtandao wa Twita wame-twiti alama habari ya #147notjustanumber yenye maana ya #147sitarakimutu ili kujaribu kuwataja marehemu kwa majina yao pamoja na picha:
212012年セント・アンドリュース・カンガ女子高卒。Apumzike kwa amani Elizabeth Nyangarora.
22この子はトビアス、ガリッサ襲撃で死んだ。Alihitimu mwaka 2012 Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mt. Andrew
23私たちにとって彼は数字ではなく、息子であり、兄弟であり、友であった。Huyu ni Tobias, aliuawa kwenye shambulio la Garissa; kwetu yeye si tarakimu, ni mwana, kaka, rafiki
24追悼、アイビー・ベティー・ワンジク(シコ)1年生。Apumzike kwa amani Ivy Betty Wanjiku (Shiko) mwanafunzi wa mwaka wa kwanza aliyeuawa kwenye shambulio la Garissa Angela ‘Ka/Jojo' Kimata Githakwa.
25アンジェラ・『カ/ジョジョ』・キマタ・ギタクワ、カリマ女子高校の2011年卒業アルバムより。
26思い出は永遠に心の中に。Alimaliza Shule ya Sekondari ya Wasichana Karima mwaka 2011
27どうか彼らの略歴と写真を送り続けてください。Tutaendelea kuwakumbuka mioyoni mwetu daima.
28襲撃者はニュースの見出しを飾りその名を永遠に残すのに、犠牲者は単なる統計として忘れ去られる。Tafadhali endelea kutuma wasifu na picha zao
29それは人の命であり、統計的数値ではない、と@Reclvseは書いた。Magaidi wanapoandikwa sana na majina yao yakionekana kuendelea kuwa hai, wahanga wa ugaidi wao wanasahaulika kama tarakimu tu
30ケニアの人たちがガリッサ襲撃犠牲者の名前を出して話をし、#147notjustanumber(単なる数字じゃない147名)を確かめ合ってる。@Reclvse aliandika kwamba hatua hii inahusiana na na uhai wa binadamu na sio tarakimu:
31良いやり方だと思う。 人の命、それは統計的数値じゃない。Ninapenda namna wa-Kenya wanavyotaja majina na kusimulia wasifu wa wahanga wa shambulio la Garissa kuhakikisha kwamba hawabaki kuwa tarakimu pekee.
32@lunarnomadは、このハッシュタグの隠れた狙いについてこう話した。Marehemu hawa ni binadamu, sio takwimu tu
33メディアが流すガリッサ関連の血まみれたイメージにうんざりしたから、#147notjustanumberをチェックして銃弾の背後の人間を見てるの。@lunarnomad alizungumzia kuhusu lengo la kampeni hiyo:
34Mary Njeri Mburuはツイートする。Nimechoka kuona picha za marehemu wakitapakaa damu kufuatia shambulio la Garissa.
35ウェストゲート(ショッピングモール)襲撃事件のときみたいに、ガリッサ襲撃犠牲者の死亡記事も新聞社が無料で配ってくれればいいのに。Angalia alama habari ya #147sitarakimutu ili kuona binadamu walioathirika na risasi hizo Mary Njeri Mburu alitwiti:
36ユーニスはケニアのことわざを、別の#KenyanLivesMatterというハッシュタグをつけて投稿した。Ninaamini magazeti yataruhusu matangazo ya bure ya vifo kwa wahanga wa shambulio la Garissa kama walivyofanya baada ya lile la Westgate
37米国の#BlackLivesMatter運動(訳注:「黒人の命が重要だ」の意、2014年黒人差別への抗議メッセージに使われた)のもじりである。Eunice aliweka mithali ya ki-Kenya, kwa kutumia alama habari tofauti- #KenyanLivesMatter [Maisha ya wa-Kenya yana thamani], sawa sawa na kampeni ya #BlackLivesMatter nchini Marekani:
38暴力に頼るものは理性を恐れる--ケニアのことわざから。Mtu atumiaye nguvu anaogopa kutumia akili.
39私の想いはあなたと共に。~Methali ya ki-Kenya.
40校正:Yoko KawakamiTuko pamoja katika kipindi hiki kigumu