Sentence alignment for gv-jpn-20100725-2026.xml (html) - gv-swa-20100727-1576.xml (html)

#jpnswa
1タイ:首相の携帯メール事件Thailand: Vurugu Zinazotokana na Ujumbe Mfupi wa Maneno wa Waziri Mkuu
22008年12月18日に、数100万人ものタイの携帯ユーザーが、新たに就任した首相アピシット・ウェチャチャワ(Abhisit Vejjajiva)から以下のようなテキストメッセージを受け取った。
3「私は新しい首相です。 タイを危機から救うため、あなたを招待します。Mnamo Disemba 18, 2008, mamilioni ya wateja wa simu za viganjani wa Thailand walipokea ujumbe huu kutoka kwa Waziri Mkuu mpya Abhisit Vejjajiva:
4わたしからのコンタクトに興味がある方は、9191 にあなたの5桁の郵便番号を送信してください。(“Mimi, Waziri Mkuu mpya, ninakualika kushiriki kuitoa Thailand kwenye mgogoro.
53バーツ)」 ユーザーが返信すると、アピシット首相から以下のサウンドクリップが携帯に届く。Kama unapenda kuwasiliana na mimi, tafadhali tuma tarakimu zako 5 kwenye namba 9191 (3 Baht)”.
6「わたくしアピシット・ウェチャチャワは、市民の皆さんが苦しんでおり、ストレスを感じていると知っています。Kama mwenye simu akijibu ujumbe huo, sauti ya Waziri Mkuu Abhisit itatumwa kwa mwenye namba ya simu, ikisema:
7国を救うため、わたしの知識と能力すべてを出し切ることに専念するつもりです。“Mimi, Abhisit Vejjajiva, Waziri Mkuu, nimeona kwamba ninyi raia wenzangu mnateseka, na mko kwenye shinikizo kubwa.
8しかし、タイの人々がみなで力を合わせてくれないとうまくいきません。Kwa hiyo, nitajipanga kuelekeza maarifa na uwezo wangu wote ili kuisaidia nchi.
9わたしにチャンスをください。」 首相からの携帯メールLakini siwezi kufaulu kama watu wa Thai hawana mshikamano.
10民主党の役員によると、テキストメッセージの送信はアピシット自身の考えであり、タイの財務大臣であるコーン・ジャーティカワニットが調整したという。
11申し立てによると、コーンはタイの3大携帯キャリアである AIS・DTAC・True に電話をし、ユーザーへメッセージを送信するために協力を求めたとのことだ。
12協力のためのミーティングはアピシット・ウェチャチャワが正式に首相に就任する一日前の12月16日に開かれた。Kwa hiyo, nawaomba nyote mnipe fursa.”
135桁の郵便番号を送信する理由は返信した人々の人口統計を評価するためである。Ujumbe
14ユーザーの情報はデータベースに格納される。 テキストメッセージを同意なしに送信することは消費者のプライバシーの権利の侵害だと考えられると、消費者権利活動家であるサリー・オンソムワンは述べている。Kutuma ujumbe mfupi wa maneno kwa mtu pasipo kupata ridhaa yake ni jambo linalotazamwa kama ukiukwaji wa haki za faragha za wateja, alieleza mtetezi wa haki za walaji Saree Ongsomwang.
15また、サリーは、アピシットは消費者権利の侵害を避けるために、テレビや他の公的なコミュニケーションの発信手段を通じて人々とコンタクトを取るべきだとも発言している。Yeye alisema kwamba Abhisit hana budi kuendeleza mawasiliano yake na hadhira kupitia televisisheni na njia nyingine za mawasiliano ya ummaili kuepuka kutovunja haki za walaji.
16サリーは遠距離通信消費者保護団体の委員でもあり、タイの遠距離通信法のもとでは、携帯電話のキャリアは承諾を得ずにユーザーのリストを公開してはならないと加えた。 首相と民主党の利益のため、携帯キャリア3社が無料で問題のメッセージをユーザーに送信したことで、法的にも政治的にも厄介なことになった。Saree, ambaye ni mmoja wa wajumbe wa kamati ya Taasisi ya Utetezi wa Walaji katika Mawasiliano ya Simu, aliongeza kwamba sheria inayosimamia mawasiliano ya simu nchini Thailand, kampuni zinazotoa huduma ya simu za mkononi haziruhusiwa kuweka hadharani orodha ya wateja wao pasipo kwanza kupata ridhaa yao.
171999 年の反汚職法(2007 年に改正)は、州の役人は閣僚も含めて、3,000 バーツを超える贈り物や利益を受け取ってはならないと定めている。Pale makampuni hayo matatu yalipotuma ujumbe huo wenye utata kwa wateja wao, pasipo kutoza malipo, kwa niaba ya Waziri Mkuu au Chama Cha Demokrasia, jambo hilo lilileta migogoro ya kisheria na kisiasa. Kwa mujibu wa Sheria ya Kupiga Vita Ufisadi ya mwaka 1999 (iliyorekebishwa mwaka 2007), watumishi wa umma, ikiwa ni pamoja na mawaziri, , hawaruhusiwi kupokea zawadi au takrima inayoziti Bhat 3,000.
18首相のテキストメッセージを送るのは1000万バーツを超える金額がかかったと推定されている。 タイ貢献党の広報担当官プロンポン・ノッパリット(Prompong Nopparit)は、アピシットは法廷で裁かれるべきだと主張し、国立反腐敗委員会(NACC)にこの件の調査を要請している。Inakadiriwa kwamba utumaji wa ujumbe huo wa Waziri Mkuu unagharimu zaidi ya Baht milioni 10. Kwa maana hiyo, Abhisit anaweza kupelekwa mahakamani kujibu mashitaka ya kuvunja sheria hiyo, ndivyo alivyojenga hoja msemaji wa Chama cha Pheu Thai, Prompong Nopparit, ambapo aliihimiza Tume ya Kudhibiti Rushwa ya Taifa (NACC) kuanzisha uchunguzi wa kesi hiyo.
19憲法に従うと、アピシットとコーンが有罪と判定されると、彼らは弾劾され、どんな政治的な役職にもつけないことになる。Endapo Abhisit na Korn watapatikana na hatia, watavuliwa madaraka yao na kupigiwa marufuku kushika nafasi yoyote ya kisiasa kwa mujibu wa Katiba ya nchi.
20当時のインターネット上のコメントはさまざまであった。Maoni yaliyotumwa kwenye mtandao wa intaneti yalikuwa tofautitofauti kwa wakati ule.
21全体として、多くの人は、プライバシーと個人情報の侵害であり首相はメディアで PR しすぎであると同意した。Kwa ujumla, wengi walikubaliana kwamba ukiukwaji wa haki za faradha za walajio pamoja na siri za taarifa binafsi, pamoja na Waziri Mkuu kufanya mambo mengi ili kujijengea sifa binafsi kupitia vyombo vya habari.
22しかし、同時に、善意から出たことだから、OK だとみなされるべきであり、国のために働くチャンスを与えられるべきだと感じてもいた。Lakini wakati huohuo wengi wanafikiri pia kwamba nia yake ilikuwa njema, kwa hiyo hakuna shida, na kwamba apewe nafasi ili kuitumikia nchi.
23Yahoo!Baadhi ya maoni kupitia Yahoo! Answers:
24Answers のコメントを引用する。Non noN: “Nafikiri ni njia nyepesi ya kukusanya takwimu, maana ilidai kwanza sanduku la barua la mtu.
25Non noN: 「よくある調査じゃないかな、郵便番号を要求するというのは。Kwa hiyo, wanaweza kujua ni kutoka wilaya zipi, majimbo gani, ambapo majibu yanarejeshwa na kwa hiyo wanaweza kutathmini hali ya mambo.
26そうすればどの地区や行政区分からの返信か調べて状況を分析できるだろう。 個人的には良いことだと思うし、タイの全域に協調してほしいと期待してる。」Binafsi, nafikiri ni jambo jema na ninataka kuona mshikamano kila mahali nchini Thailand.”
27Nicky:「3バーツは誰がもらうんだろう?Nicky: “Je, nani anapata hiyo Baht 3?
28拒否できないかな?Je, naweza kujitoa?
29僕のメモリはほとんど一杯なんだ。Nafasi yangu ya kuhifadhi kumbukumbu karibu imejaa.
30古いモデルだから。」Ni ya muundo wa kizamani.”
31‘A-Mei':「マーケティングの行き過ぎだと思う。」‘A-Mei': “Nafikiri hii inavuka mipaka ya kujitangaza.” Tanapon: “Ndiyo, inavuka mipaka.
32Tanapon:「そうだね、やりすぎだ。Lakini hebu tumpe nafasi, ajithibitishe kwamba yeye anastahili kwa kazi zake.
33でも、チャンスは与えなくちゃ。Pengine ni bora hivyo kuliko sisi huku kubaki tunapambana.”
34彼の業績で証明できるように。 お互いに争うよりその方がいい。」NH: “Nafikiri, kama imefanyiwa kazi vema, matokeo yatakuwa mazuri.”
35NH:「よい結果が出るならば、それはいい考えだと思う。」
362001年7月16日に、NACC はまたもやこの件の審議を延期した。 最終判断を下す日程はまだ定めていない。Mnamo Julai 16, 2010, NACC imeahirisha tena kupitisha uamuzi juu ya kesi hiyo, na haijapanga tarehe nyingine ya kutoa uamuzi wa mwisho.