Sentence alignment for gv-jpn-20140519-28067.xml (html) - gv-swa-20140319-6896.xml (html)

#jpnswa
1エチオピア人ジャーナリスト リーヨット・アレム氏の収監から1000日Mwandishi wa Habari wa Ethiopia Reeyot Alemu Amefungwa Jela kwa Siku 1,000
2(記事中のリンク先はすべて英語のページです) 2014年3月16日、エチオピア人ジャーナリストであるリーヨット・アレム氏が収監されて1000日が経過した。Machi 16, 2014 inakuwa ndiyo siku ya 1,000 ya kufungwa kwa mwandishi wa Ethiopia Reeyot Alemu.
3彼女は2012年1月にテロ行為で有罪となり、5年の実刑に処されている。 収監中のエチオピア人ジャーナリスト、リーヨット・アレム氏。Anatumikia kifungo cha miaka mitano jela baada ya kutiwa hatiani katika mashitaka ya ugaidi mwezi Januari 2012.
4写真はFree Reyoot Alemu campaignのFacebookページから転載Mwandishi wa Ethiopia aliyefungwa Reeyot Alemu. Picha kupitia ukurasa wa Facebook wa kampeni ya Kuachiwa kwa Reyoot Alemu.
5英語教師であるアレム氏は、国連教育科学文化機関(ユネスコ)のギョレモ・カノ世界報道自由賞や、ヘルマン・ハメット賞、国際女性メディア財団の勇気あるジャーナリズム賞を受賞している。Reeyot, mwalimu wa Kiingereza, alipokea Tuzo ya UNESCO-Guillermo Cano ya Uhuru wa Habari Duniani, Tuzo ya Hellman/Hammett, na Tuzo ya Mwandishi Jasiri ya Mfuko wa Habari wa Kimataifa kwa Wanawake.
6ジャーナリスト保護委員会(CPJ)によると、2011年からエチオピア政府による包括的な反テロリズム法に基づき、アレム氏やエスキンダー・ネガ氏を含む11人の民間ジャーナリストやブロガーが有罪を宣告されている。 その中には、ソマリ族の反政府グループを支援した疑いで11年の実刑に処された2人のスウェーデン人ジャーナリストも含まれる。Kwa mujibu wa Kamati ya Kulinda Waandishi (CPJ), serikali ya Ethiopia imehukumu waandishi na wanablogu huru wapatao 11 ikiwa ni pamoja na Reeyot na Eskinder Nega chini ya sheria ya kupambana na ugaidi tagu mwaka 2011.
7BefeQadu Z Hailu氏はブログで、収監中のエチオピア人ジャーナリストたちの窮状を説明している。(Katika waliofungwa ni pamoja waandishi wawili wa Sweden wanaotumikia kifungo cha miaka 11 kwa kudaiwa kukisaidia kikundi cha Waasi wa Kabila cha Kisomali.
8訳注:5月14日現在、このブログは閲覧できない状態になっている)Katika posti hii ya blogu, mwanablogu BefeQadu Z Hailu alielezea hatari ya kufungwa inawakabili waandishi wa habari wa Ethiopia:
9もし収監の目的が彼らを矯正することであるとすれば、読書や教育の奨励がその目的を達成するための一つの方法となるだろう。 カリティ刑務所においてはそのどちらも許可されている。Kama lengo la kifungo ni kuwasahihisha waliohukumiwa, basi kusisitiza kusoma na elimu yapaswa kuwa ni nyenzo ya kufikia lengo hilo.
10ただし、ジャーナリストやその他の「テロリズム」に関して有罪とされた受刑者については、それらは簡単には許可されていない。Katika gereza la Kality vyote hivyo vinaruhusiwa lakini si kirahisi kwa waandishi hawa na wengine waliohukumiwa kwa makosa yanayohusishwa na “ugaidi”.
11これらの受刑者には、書籍を入手することが許されていない。Wafungwa hawa hawaruhusiwi kupata vitabu.
12エスキンダー・ネガ氏いわく、「特にタイトルに『エチオピア』『歴史』という単語の組み合わせが含まれる本は持ち込むことができない」。Eskinder anasema, “Hususani vitabu vile vyenye vichwa vya habari vinavyounganisha maneno ‘Ethiopia' na ‘Historia' haviruhisiwi”. Hali ni hiyo hiyo kwenye gereza aliko Reeyot Alemu na wengine kama Wubshet Taye, Bekele Gerba, na kadhalika.
13リーヨット・アレム氏やその他Wubshet Taye氏、Bekele Gerba氏の収監棟においても同様だ。 民間のローカル新聞や雑誌も同様に持ち込みが許可されていない。Magazeti na majarida huru yanayochapishwa nchini humo hayaruhusiwi gerezani; Eskinder alinieleza zaidi kwamba hata cheneli za TV kama BBC na Aljazeera haziruhusiwi kutazamwa kwenye maeneo ambayo yeye na wenzake wamefugwa.
14ネガ氏によると、BBCやアルジャジーラのようなテレビニュースチャンネルさえ、彼らが収監されていたゾーンでは視聴が許されていないという。 リーヨット・アレム氏は、刑務所管理者との苦闘やメディアによる報道の後、現在は通信教育を受けることが許されている。Reeyot Alemu, baada ya mapambano magumu na utawala wa gereza na baada ya vyombo vya habari kufunua ukweli huo, sasa anaruhusiwa kupata masomo kwa njia ya masafa.
15しかし、大学から直接彼女に送られてくる他に、追加の書籍を手に入れることはいまだ難しい状況である。Ila, bado ni vigumu kwake kupata vitabu vya ziada ukiacha vile anavyotumiwa moja kwa moja kutoka chuoni.
16Twitterユーザーはハッシュタグ#ReeyotAlemuを使ったツイートを通じて、収監中のアレム氏への支援を表明している。Watumiaji wa mtandao wa twita walituma twiti kwa kutumia alama habari #ReeyotAlemu kuonyesha mshikamano wao kwa mwandishi huyo aliyefungwa.
17いくつかのツイートを紹介する。Hapa chini ni baadhi ya twiti zilizotumwa:
18世界の人々が彼女についても知ってくれますように!Naamini dunia inamjali pia!
19 今後の支援活動に期待!Bado nasubiri kuona kampeni yoyote!
20MT”@LisaMisol:エチオピア人(#Ethiopia)ジャーナリストのリーヨット・アレム氏(#ReeyotAlemu)の収監から1000日が経過
21エチオピア人民革命民主戦線(エチオピア政府)はリーヨット・アレム氏のようなジャーナリストを極端に恐れ、その弱さと被害妄想癖を露呈している。
22彼女の解放を #EPRDF #Ethiopia #ReeyotAlemuSerikali ya Ethiopia inaendelea kuonyesha udhaifu na hofu wakati waandishi wa aina ya #ReeyotAlemu wanapowasha taa kuimulika.
23リーヨット・アレム(#ReeyotAlemu):第三世界の独裁者たちはなぜジャーナリストたちを死よりも恐れるのか。Mwachieni huru Kwa nini madikteta wa dunia ya tatu wanawaogopa sana waandishi wa habari kuliko hata kifo?
24それは弱さの表れだ。Ni dalili za udhaifu.
25思想におびえ、意見を持つ人々を恐れているのだ!Wanaogopa maoni mapya na watu wenye maoni.
26エチオピア(#Ethiopia)-ジャーナリストのリーヨット・アレム氏(#ReeyotAlemu)が収監されて1000日を迎えた。
27家族との面会は許されなかったという。Siku ya 1,000 kwa Mwandishi ReeyotAlemu gerezani leo.
28@SJLambrinidis -@EUのアシュトン外相はなぜ沈黙を守っているのだろう?Amenyimwa haki ya kutembelewa na familia yake.
293月16日はリーヨット・アレム氏(#ReeyotAlemu)の収監から1000日となり、独裁、不正と抑圧がエチオピア(#ethiopia)を支配しているのは明白となった。
30@AnaGomesMEP @amnestyHivi kwa nini Umoja wa Ulaya iko kimya katika suala hili la Ashton?
31エチオピア(#Ethiopia):ジャーナリズムはテロではない。 多くの賞を獲得しているジャーナリストのリーヨット・アレム氏の解放を。Machi 16 ni siku ya 1000 ya kifungo cha ReenyotAlemu na inaonyesha namna Ethipia inavyotawala kiimla, uonevu na kwa unyanyasaji
32彼女に女性としてのヘルスケアを。Uandishi si ugaidi.
33#journalism #ReeyotAlemu #health #womenMwachieni huru mwandishi Reeyot Alemu aliyetunukiwa tuzo kibao, mpeni huduma za afya [kama mwanamke]
34校正:Rie Tamaki、Naoko Mori