Sentence alignment for gv-jpn-20130828-23761.xml (html) - gv-swa-20130705-5397.xml (html)

#jpnswa
1オバマ大統領 アフリカ歴訪:中国を巻き返せ
2原文の掲載日は2013年7月4日であり、記事内容は当時の状況を反映している。Obama Barani Afrika: Vita ya Kibiashara na China?
3現在、2013年6月26日から7月3日にかけてオバマ大統領がアフリカを訪問、セネガル、南アフリカ、タンザニアの順に歴訪している。Rais Obama ametembelea bara la Afrika kwa ziara iliyokuwa imepangwa kati ya tarehe 26 mpaka Julai 3, 2013. Hivi karibuni alikuwa nchini Afrika Kusini baada ya kutembelea Senegali na baadae Tanzania.
4多くの評論家が今回のオバマのアフリカ歴訪をサハラ以南アフリカ諸国における中国の経済進出 [fr]に対してアメリカが巻き返しを図るためのミッション [en]だと位置づけている。Wachambuzi wengi wanaoiona safari hiyo kama mpango wa kushindana , kama jaribio la Marekani kupambana na mafanikio ya kiuchumi ya China [fr] katika nchi za Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara.
52010年以降、中国は アフリカの最大の貿易パートナー [fr]である。Tangu 2010, China imekuwa mshirika mkuu wa kibiashara barani Afrika [fr], ingawa kwa miaka minne iliyopita, wakati wa ziara ya Obama nchini Ghana, Marekani ilikuwa katika nafasi hiyo.
6しかしながら、オバマ大統領がガーナを訪れた4年前では、米国は現在の中国の地位にいたのだ。Hotuba ya Obama akiwa Ghana miaka minne iliyopita iliwaacha wa-Afrika na wasiwasi na palikuwa na uwanja mdogo sana unaofanana.
74年前に行なわれたガーナでのオバマ大統領のスピーチは 多くのアフリカ人に疑いを抱かせ [en]、アフリカ・アメリカ間に共通の関心がないことをみせた。Katika video ifuatayo, mwandishi wa Global Voices Abel Asrat anayeandikia ukurasa wa Global Voices kwa ki-Ahmari alitoa maoni yake kuhusu sera ya Obama kwa bara la AFrika kama ilivyo leo:
8下のビデオは、グローバル・ボイス寄稿者 Abel Asrat が グローバル・ボイス アムハラ語版に投稿したものである。 今日のオバマの対アフリカ政策についてAsratの見解を語っている。Kwenye mtandao wa Twita, wasiwasi wa sababu hasa ya ziara ya Obama barani Afrika ulionekana katika alama ishara ya Wolof #ObamaTakh yenye maana ya “Kwa sababu ya Obama” na “Shukrani kwa Obama” - iliyoanza kutumika siku kadhaa kabla ya kuwasili kwa Obama mjini Dakar.
9ダカールにオバマ大統領が到着する数日前から [fr]Twitter上で出現し出したハッシュタグ ウォロフ語 #ObamaTakh は、オバマ大統領の今回の訪問目的に対する人々の疑いを反映している。Baada ya kuwasili kwake katika ardhi ya Senegali haya yalikuwa maneno yake ya kwanza yaliyotawala mitandao ya kijamii. Kisha hisia zikabadilika, wakati @LebouPrincess, M-Senegali aishiye Washington DC, aliposisitiza kwenye mtandao wa Twitaon:
10#ObamaTakhは、”オバマだから” または ”オバマのおかげで” を意味する。Kilichokuwa kinasisimusha zaidi kuliko kuwasili kwa dege la Air Force One ilikuwa ni kurejea alama habari #kebtu, (twiti katika lugha ya Wolof) lol guemoulene dara [unatembea sana] #ObamaTakh.
11オバマ大統領がセネガルの地を踏んだ訪問当初まで、“オバマだから” はソーシャルネットワーク上で著しく使用されたフレーズ [fr]であった。 しかし、ワシントンD.C.在住のセネガル人@LebouPrincessがTwitter上で強調したようにこのムードは一変した。Siku iliyofuata Obama aliweza kwa kiasi fulani kuwasogeza wa-Senegali upande wake kwa kuyataja mapigano ya wa-Senegali wakati wa majadiliano yake na Rais Macky Sall na akisema maneno kadhaa katika lugha ya ki-Wolof: Nio Far (Sisi ni washirika),Teranga (ukarimu) na Jerejef (Asante).
12何がエアフォースワンの到着よりも驚かせたかと言えば、#kebtulol (ウォロフ語のツィート)の変化だ。lol guemoulene dara [話の分かる人]#ObamaTakhKiini cha mazungumzo kati ya marais hao kilikuwa ni mgogoro wa Mali, usafirishaji wa madawa ya kulevya na masuala ya kiuchumi [fr]: Rais wa Marekani, Barack Obama, alitangaza siku ya Alhamisi jijini Dakar kwamba utawala wake kwa sasa “unatafiti mbinu za kujihuisha” katika AGOA (Sheria ya Ukuaji na Fursa Afrika), sheria ya Kimarekani inayotawala masuala ya ukuaji na fursa barani Afrika.
13翌日のマッキー・サル大統領との懇談中にオバマ大統領は セネガル相撲 [en]を話題にしたり、ウォルフ語Nio Far (私たちはパートナー) Teranga (温かいもてなし) Jerejef (ありがとう)を言うことで、多少ではあるがセネガル人をオバマ側に引きつけることができた。Wakati wa mkutano wa pamoja na waandishi wa habari akiwa na mwenyeji wake wa Senegali, Macky Sall, siku moja baada ya kuwasili kwa ziara ya siku tatu nchini humo, Mkuu huyo wa nchi wa Marekani alionyesha kwamba alikuwa ameuomba uongozi wake kuihuisha AGOA. AGOA ni mpango wa pamoja unaojikita katika mipango ya kibiashara inayosainiwa na bunge la Marekani, ukiruhusu msamaha wa kodi na kuruhusu uingizaji wa bidhaa zaidi ya 6,400 kutoka katika nchi mahususi kusini mwa Jangwa la Sahara.
14両大統領の会談での中心的な議題はマリ紛争、麻薬取引と 経済問題 [fr]であった。Cha zaidi, Rais Obama alieleza kwa mara nyingine shauku ya utawala wake kufanya kazi ya kukuza mahusiano ya kibiashara baina ya nchi yake na Senegali.
15この木曜日に出されたダカールでのオバマ大統領発表によると、米政権は現在、アフリカ成長機会法(AGOA:African Growth and Opportunity Act)について「延長の道を探っている」段階であると発表した。Nchini Senegali na kwingineko, sehemu ya mkutano huo wa marais hao na waandishi wa habari iliyozua gumzo, ni pale Barack Obama, kwa uhuru kabisa na kwa namna fulani ya uungwaji mkono na mwenzake wa Senegali, alipogusia masuala ya haki za watu wenye mahusiano ya jinsia moja, mashoga na wasagaji katika bara la Afrika.
163日間訪問予定のセネガルに到着した翌日、マッキー・サル大統領との共同記者会見でオバマ大統領は米政権にAGOAの更新作業を着手するよう依頼したとコメントした。
17アフリカ成長機会法とは、アメリカ議会で制定された片務的な貿易特恵で、サブサハラ・アフリカの対象国からの輸入品について関税免除と6400品目以上についての無枠処置である。Sabine Cessou kwenye Rue89 anaeleza namna maswali yalivyochaguliwa [fr] wakati wa mkutano huo na waandishi wa habari :
18さらに、オバマ大統領は米政権が米国とセネガルの貿易関係の発展に強い意欲があることを再度強調した。The questions from the 300 journalists were screened beforehand.
19米国・セネガル両大統領によって行なわれた記者会見の中で、セネガルとその他各地で一番話題となった瞬間は、自由に確信を持つオバマ大統領がセネガル大統領に対し、アフリカの同性愛者の権利について話題を持ち出した時である。
20Sabine Cessou はRue89で 質問がどのように審査されたか説明している [fr]。
21300人のジャーナリストによる質問は事前に審査をかけられた。 結果、セネガル人、アメリカ人ジャーナリスト双方二名ずつが問題の質問を聞く許可を与えられた。The process allowed for two Senegalese journalists and two american ones to ask the tough questions.
22マッキー・サルの回答はセネガル保守派を失望させなかった [fr]。Macky Sall's response did not disappoint Senegalese traditionalists [fr]:
23元々この問題は社会で解決すべき課題である。Kwa dhati kabisa, hili ni swala la jamii.
24全ての国で固定化されたモデルを持つことは無理であろう。Isingekuwa rahisi kuwa na mfumo unaofanana kwa kila nchi.
25宗教や伝統が異なるように文化もそれぞれ異なる。Utamaduni ni tofauti, kama zilivyo dini na mila.
26同性愛を処罰としない国でさえ、全ての人の意見が一致するわけではない。Hata katika nchi ambazo zimeuhalalisha ushoga, bado hazifanani kwa mambo kadhaa.
27セネガルは寛容な国であり、同性愛者だから働かないなど誰一人として口にする者はいない。Senegali ni nchi ya kuvumiliana: hakuna mtu anaambiwa hatafanya kazi kwa sababu tu ni shoga.
28しかしながら、同性愛を合法化するまでには至っていない。Hata hivyo, hatuko tayari kuuhalalisha ushoga.
29これは同性愛者の権利を尊重した、現時点においての我々の判断である。Huo ndio uchaguzi wetu kwa sasa, wakati huo huo tukiheshimu haki zao.
30我々はホモフォーブ(同性愛、同性愛者に偏見を持つ者)ではない。Hatuna chuki kwa mashoga nchini Senegali. Jamii lazima ishughulikie masuala haya bila shinikizo.
31社会は(外部から)圧力をかけられることなく、時間をかけこのような問題を解決すべきだ。 記者会見の前日、アメリカ・テキサス州でKimberly McCarthy の死刑が執行された。Nchini Marekani, Kimberly McCarthy alinyongwa jana yake jijini Texas, na maneno yake ya kushutumu hukumu ya kifo yalijenga mfanano: rais wa Senegali alimwambia mwandishi wa habari aliyekuwa akimhoji kwamba nchi kadhaa bado zinakubaliana na hukumu ya kifo -bila kuitaja Marekani - ingawa hukumu hiyo imefutwa nchini Senegali (na mara ya mwisho mtu kuhukumiwa kifo ilikuwa mwaka 1967) na hata hivyo, nchi hiyo imekuwa makini kutohubiri suala hilo kwa wengine.
32サル大統領の死刑制度に対する辛辣な意見は全ての人を納得させた。 セネガルで死刑は廃止(最後の死刑執行は1967年)されているが、未だに死刑制度を採用する国があることをアメリカの国名を挙げずセネガル大統領は述べた。Wakati @hpenot_lequipe, mwandishi wa jarida la kifaransa l'Equipe, alikuwa na maoni haya kwenye twita:
33また、セネガル大統領は、アメリカ大統領とは対照的に他国を配慮した自国の考えを説こうとせずにこれを記者に対し述べた。Mbadilishano mzuri baina ya Obama na Macky Sall.
34フランスの新聞l'Equipeのジャーナリスト @hpenot_lequipeはTwitterでこう述べている。Kwa mara ya kwanza, rais wa Kiafrika asiyetetereka mbele ya Marekani. Heshima kwako.
35オバマとマッキー・サルのやりとりは非常に興味深い。Na kutoka kwa @Toutankhaton, mwanachama wa waafrika waishio Paris:
36今回ばかりはアフリカの大統領がアメリカに屈していない。 尊敬。Heko @macky_sall kwa majibu yake mazuri kwa @BarackObama!
37そして、パリの@Toutankhaton は次のようにtweetしている。Hukumu ya kifo dhidi ya ndoa za jinsia moja! #obamatakh
38ブラボー @macky_sall (ミッキー・サル)の@BarackObama(ブラク・オバマ)に対する素晴らしい対応!
39死刑 vs 同性愛婚!Ifuatayo ni video ya mkutano na waandishi wa habari iliyowekwa na Xalimasn kutoka Senegali:
40#obamatakhhttp://youtu.be/W_O4ay69OFg
41下のビデオは、セネガルの Xalimasn が投稿したその時の記者会見の模様である。Photos from Obama's visit can be viewed on the Facebook page of the Dakar Echo.
42http://youtu.be/W_O4ay69OFgNchini Afrika Kusini, mapokezi yake hayakuonekana kuwahamasa kubwa, kama mwanablogu wa mambo ya nje wa jarida la Washington Post Max Fisher anavyoeleza:
43Dakar EchoのFacebookページでオバマ訪問時の写真を閲覧可能。 ワシントンポストの外交問題専門のブロガーMax Fisher が指摘したように、南アフリカでのオバマ大統領に対する歓迎ぶりは薄かった [en]。Kwa kiasi kikubwa kwenye miaka ya 1980, Marekani na Uingereza zilionekana machoni mwa baadhi ya Waafrika Kusini, kama nchi zilizokaa kimya pasi na sababu, zikivumilia serikali ya ubaguzi wa rangi.
441980年代、イギリスとアメリカをアパルトヘイト政策を容認する国として見ていた南アフリカ人がおり、それには理由があった [en]。
45”アパルトヘイト国家” のイスラエルを支持するオバマ大統領を南アフリカのオバマ評論家たちがなぜ 非難する [en]のかこの歴史からわかるであろう。Hiyo inaweza kusaidia kueleza kwa nini wakosoaji wengi wa Obama nchini Afrika Kusini wanamkosoa kwa kuiunga mkono “nchi ya ubaguzi wa rangi” ya Israeli.
46また、オバマの評論家たちは米国による無人機(ドローン)攻撃とキューバのグアンタナモ湾収容キャンプも引き合いに出している。
47校正:Yoko KawakamiMakundi kadhaa yanatoa mifano wa mashambulizi ya kivita yanayofanywa na Marekani na mahabusu ya Guantanamo, Cuba.