Sentence alignment for gv-jpn-20140929-30899.xml (html) - gv-swa-20140705-7831.xml (html)

#jpnswa
1エジプト、燃料価格を78%も引き上げMisri Yapandisha Bei ya Mafuta Hadi Asilimia 78
2燃料価格を2倍以上に引き上げる通達の写し( @AhmedKheir のツイートより)Nakala ya agiz la kupandisha bei ya mafuta kwa zaidi ya mara mbili nchini Misri.
3燃料の値上げを受け、エジプトのネットユーザー達は息巻いている。Chanzo cha Picha: @AhmedKheir kwenye mtandao wa Twita
4燃料価格が上がれば、交通機関も、食べ物も、様々なサービスもコスト増を免れられないと言う。 ツイッターに2200人のフォロワーを持つカイロ在住のAhmed Kheirは次のようにツイートした。Watumiaji wa mtandao nchini Misri wamepandwa na hasira kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta, hatua ambayo wanaamini itasababisha kupanda kwa gharama za usafiri, chakula na hata huduma nyinginezo.
592オクタンガソリン、40%値上げ 80オクタンガソリン、78%値上げ マイクロバスや輸送機関に使われているディーゼルは、63%値上げ 富裕層が使う95オクタンガソリンは、7%値上げ #social_justiceKwa mujibu wa Ahmed Kheir, mtumiaji wa mtandao wa Twita kutoka Cairo, mwenye wafuatiliaji 2,200: Mafuta ya Oktane 92 yamepanda kwa asilimia Mafuta ya Oktane 80 yamepanda kwa asilimia 78 Dizeli, inayotumiwa na mabasi madogo madogo na usafiri mwingineo, imepanda kwa asilimia 63 Oktane 95, inatumiwa na kada ya matajiri wa nchi hiyo, imepanda kwa asilimia 7 #haki_jamii
6ロイター通信も同じ数字を 報じた。 報道によれば、値上げの理由はエジプト政府が「エネルギーに関わる補助金を削減し、財政赤字解消に向けた負担軽減を図る」ためだという。Takwimu hizo zimerudiwa tena kwenye taarifa ya shirika la habari la Reuters, inayosema kwamba bei zimeongezwa kwa kile kinachosemekana kuwa serikali ya Misri inajaribu kufuta ruzuku kwa nishati ili kupunguza mzigo kwenye bajeti yake yenye nakisi kubwa.”
7別のツイートで、Ahmed Kheirは次のように書いている。Katika twiti nyingine, Kheir anabainisha: Wameongoza bei ya mafuta kwa zaidi ya nusu ya bei ya awali, bila Bunge.
8政府は議会の無いうちに石油価格を2倍以上値上げしてしまった。 議会が休んでいるうちに、秘密裏に決定を下してしまった。Walichukua maamuzi kwa siri tena kwenye siku ya mapumziko.
9これでは盗人の行いと同じではないか。Vitendo hivi vyote hufanywa na wezi tu.
10ツイッターで500名のフォロワーを持つPeter Ramezは、この値上げに関してエジプトのアブデルファタフ・シシ新大統領を批判し、次のように述べた。Peter Ramez, mwenye wafuatiliaji 500 kwenye mtandao wa twita, anamlaumu rais mpya wa Misri Abdelfattah El Sisi, kwa ongezeko hilo, akisema:
11ガソリンを40%以上も値上げするなんて、馬鹿じゃないのか?Ongezeko la asilimia 40 kwa bei ya mafuta nyie wadhalimu?
12 新大統領には天罰が下りますように。Haki ya Mungu ikutane nanyi.
13呪われて当然だ。Mnastahili kila aina ya laana mtakazozipata
14これに加え、Ahmed Fathi El Badryは次のようにコメントした。
15こんな決定が下った今となっては大統領を熱意をもって支持することに価値があるとは到底思えないね。Na Ahmed Fathi El Badry anaongeza:
16この決定は本当に、政治的、社会的な自殺行為だ。Hivi kweli mnadhani upendo wa watu kwenu utamaanisha chochote baada ya uamuzi huu?
17その他にも、ユーモアを交えて怒りをあらわにするユーザが相次いだ。Hatua hii ni kifo chenu wenyewe cha kisiasa na kijamii
188万3000名のフォロワーを持つ、Shay Sokar Bara(ユーザー名)は、次のようにツイートした。
19(前大統領のムハンマド)モルシ政権のときも反発しようがなかったよ。Wengine walichagua kutumia utani kueleza kuchanganyikiwa kwao.
20補助金はなくなるし電気はこないし、有り金は政府に寄付させられているようなものだし。Shay Sokar Bara, mwenye wafuasi 83,000 kwenye mtandao wa twita, anasema:
21今回も一文無しで、ノーと言って牢屋へ入るのもごめんだしね。 別のツイートでは、こんなことも書いている。Sikuasi dhidi ya [rais wa zamani Mohamed] Morsi kwa kuengeza ruzuku au kupunguza bei ya umeme au kutoa kwa hisani [fedha zangu kwa serikali].
22エジプトでは皆ガソリンスタンドに行列を作って、値上げ前にタンクいっぱいガソリンを買うのだと言っている。Sina chochote na wala sitaki kwenda jela kwa kugoma
23我々はなんと賢明な国民なのだろう。Katika twiti nyingine, anabainisha:
24まるでそのタンクに詰めた燃料は永遠になくならないとでも言うようだ。 また、Hesham Mansourのジョークはこうだ。Wamisri wamejipanga kwenye vituo vya kuuzia mafuta na kila mmoja anasema wanajaza matanki yao ya akiba kabla bei hiyo haijaanza kupanda.
25ガソリン値上げは政府の作戦だ。Sisi ni taifa la werevu.
26燃料と電気を値上げしておけば、市民には焼身自殺する金も残らないという寸法だ。Ni kama vile mafuta kwenye matanki ya akiba hayatakaa yaishe
27このツイートで思い起こされるのは、2010年12月にアラブの春の発端となった事件だ。Na Hesham Mansour anatania: Kuongezeka kwa bei ya mafuta ni ongezeko la kimkakati.
28チュニジアの果物売りモハメド・ボアジジが自らの身体に火を付けた。Baada ya kuongeza bei ya mafuta na umeme, serikali inataka raia wake wakose kabisa fedha za kujilipua kwa moto
29このMansouraの見せている映像は既にガソリンが品切れとなったガソリンスタンドに車が長蛇の列を作っている様子を映し出している。 エジプトの未来は、どうなるのだろうか。Twiti hii inatukumbusha tukio lililosababisha mapinduzi ya Kiarabu, mwezi Desemba 2010, wakati mchuuzi wa matunda wa Kitunisia Mohammed Bouazizi kujilipua kwa moto.
30校正:Yoshiki OdaWakati huo huo, video hii kutoka kwa Mansoura inanyesha foleni ndefu za magari kwenye kituo cha kuuzia mafuta, ambavyo vimeanza kukosa mafuta hayo: Nini mustakabali wa Wamisri?