# | mkd | swa |
---|
1 | 5 жртви од терористички напад во Бамако додека Мали се обидува да го одржи мирот | Shambulio la Kigaidi Laua Watu Watano Mjini Bamako |
2 | Скриншот од видео: полициски сили во Бамако, Мали по терористичкиот напад | Picha ya majeshi ya polisi mjini Bamako, Mali baada ya shambulio la kigaidi |
3 | | Shambuliko la kigaidi lilitekelezwa kwenye mgahawa jijini Bamako, makao makuu ya Mali, limechukua maisha ya watu watano usiku wa siku ya Ijumaa mnamo Machi, 6. Shambulio hilo lilifanyika usiku wa maneno kwenye mkahawa unaoitwa took Terrasse kwenye mitaa ya Bamako na watu zaidi ya kumi wamejeruhiwa vibaya. |
4 | Терористички напад во ресторан во Бамако, главниот град на Мали, ги одзема животите на 5 луѓе во петокот вечерта, 6 март. | Washukuiwa wawili wamekamatwa na wanaendelea kuhojiwa na vyombo vya ulinzi na usalama. |
5 | Нападот се случи околу полноќ во ресторан наречен Ла Тераса во центарот на Бамако, a неколкумина се сериозно повредени. | Afisa wa polisi aliripoti kwamba watu hao wawili walikuwa na silaha kali pamoja na mavazi ya kijeshi. Mtu mmoja alilipua bomu kwenye mkahawa. |
6 | Двајца осомничени се во притвор и се испрашуваат од безбедносните сили. | Raia wawili wa watatu, Mfaransa mmoja na raia mwingine wa Ubelgiji waliuawa. |
7 | Локален полицаец изјавил дека двете индивидуи биле вооружени и со качулки. | Mwanablogu mmoja aliweka video inayoonesha vikosi vya polisi waliokuwa wakifanya uchunguzi kwenye eneo la tukio: |
8 | | Mchangiaji wa Global Voices Marc- André Boisvert aliandika kwenye mtandao wa twita kwamba shambulio kama hilo halikuwa linaepukika, kwa sababu Mali bado inajitahidi kurudisha hali ya amani kwenye ukanda huo wa Kaskazini: |
9 | Едниот влегол во ресторанот и отворил оган. | Sote tulijua tukio hili lingetokea mjini Bamako. |
10 | Тројца жители на Мали, еден Французин и еден Белгиец настрадале. | Sote tunajua shabaha ilikuwa kuwalenga wapiga kelele. |
11 | Локален блогер прикачи видео на кое се гледа како доаѓаат полициските сили да го истражат местото на злосторот: | Lakini bado tunashangazwa Philippe Paoletta, mkazi wa Bamako, anakubaliana na Marc-André: |
12 | Придонесувачот за Глобал војсис Marc- André Boisvert напиша на Твитер дека ваквите напади биле неизбежни, земајќи предвид дека Мали се уште се обидува да го одржи мирот во северниот регион: | Kila moja alijua yaliyotokea yangetokea wakati fulani hapa Bamako. Hata hivyo hiyo haifanyi hali hiyo isiwe ya kushangaza. |
13 | Филипе Паолета, жител на Бамако, се согласува со Marc-André: | Mwenyezi Mungu aziweke pema roho za marehemu |
14 | Нашите мисли се со жртвите на нападот. | Tunawatakia majeruhi wa shambulio kupona kwa haraka. |