Sentence alignment for gv-mkd-20100712-6869.xml (html) - gv-swa-20100713-1515.xml (html)

#mkdswa
1Нигерија: Кој го предомисли претседателот – Фејсбук или ФИФА?Naijeria: Nani Amemfanya Rais Abadili Msimamo — Facebook au FIFA?
2Нигерија не е држава која е позната по своите отворени лидери.Nigeria si nchi inayofahamika kuwa na viongozi wanaowasiliana na umma.
3Високите политичари ретко кога се занимаваат со изборното тело, а чести се и поплаките дека гласот на народот останува нечуен.Wanasiasa wa ngazi za juu hujishughulisha kwa nadra sana kuwasiliana na wapiga kura wao, na mara nyingi kuna malalamiko kwamba sauti za watu huwa hazipewi nafasi.
4Но, можеби ново-воспоставениот претседател Гудлак Џонатан може да го смени тоа: пред неколку недели тој си отвори свој профил на Фејсбук, а по два дена ја повлече својата контроверзна одлука откако стотици обожаватели на неговиот ѕид објавија пораки на разочарување.Lakini Rais aliyethibitishwa hivi karibuni, Goodluck Jonathan anaelekea kubadili mtindo huu: wiki chache zilizopita alifungua anwani yake ya Facebook, na siku mbili baadaye alibadili uamuzi uliokuwa umejaa utata mwingi baada ya washabiki wengi walioudhiwa na uamuzi wake kuandika maoni yao makali kwenye ukurasa wake wa Facebook.
5Ваквата одлука следуваше по мизерната изведба на националниот фудбалски тим на Нигерија за време на светското првенство.Uamuzi huo ulihusu uchezaji duni ambao ulionyeshwa na Timu ya Taifa ya Nigeria katika mashindano ya Kombe la Dunia.
6Откако беа елиминирани од првенството, Џонатан најави дека тимот ќе биде суспендиран две години додека да се спроведат плановите за искоренување на корупцијата.Mara baada ya timu hiyo kutupwa nje ya mashindano, Jonathan alitangaza kwamba timu hiyo ingefungiwa kwa muda wa miaka miwili wakati ambapo mipango ingewekwa ili kukabili ufisadi.
7„Нигерискиот фудбал има структурален проблем“ кажа за дневниот печат комуникацискиот советник на претседателот.““Tatizo la soka la Nigeria ni la kimfumo,” mshauri wa Rais wa masuala ya mawasiliano alieleza vyombo vya habari.
8„Треба да се повлечеме од сите меѓународни фубалски натпревари за да можеме да ставиме ред дома. ““Ipo haja ya kujitoa katika mashindano yote ya soka ya kimataifa ili tuweze kurekebisha mambo.”
9Но многу обожаватели беа незадоволни од ваквата новост, жалејќи се дека суспензијата беше неправедна.Lakini mashabiki wengi hawakupendezwa na taarifa hizo, walilaumu kwamba kufungiwa huko kwa timu halikuwa jambo sahihi.
10На 5 јули, Џонатан ја повлече својата одлука, поставувајќи ја следнава порака на неговиот ѕид на Фејсбук:Mnamo tarehe 5 Julai, Jonathan alibadili uamuzi wake, na alituma ujumbe huu kwenye ukurasa wake wa Facebook:
11Ги прочитав вашите коментари и ги земав предвид при укинување на владината одлука за суспендирање на Нигерија од меѓународниот фудбал.Nimesoma maoni yenu na nimeyazingatia katika uamuzi wa serikali kubadili kusimamishwa kwa timu ya taifa ya Nigeria katika mashindano ya kimataifa ya soka.
12Денес имав средба со NFF [Националната фудбалска федерација на Нигерија] каде го искажав моето разочарување, како и на оние кои се изразија на оваа страница, по што ме уверија дека ќе следуваат позитивни промени …Nimekutana na NFF [Shirikisho la Taifa la Soka la Nigeria] leo na kuwafikishia kusikitishwa kwangu na kule kwa Wanigeria wengine kama kulivyoonyeshwa katika ukurasa huu na wamenihakikishia kwamba kutakuwa na mabadilio mazuri …
13Но, дали ваквата промена на ставот кај Џонатан навистина е одговор на фрустрацијата искажана од граѓаните на Фејсбук?Lakini je ni kweli kwamba kubadilika huku kwa moyo wa Jonathan kulitokana na maoni ya raia waliopaaza sauti zao zenye hasira katika Facebook?
14ФИФА, меѓународното тело кое раководи со фубалот, исто така негодуваше околу суспензијата, и на претседателот му даде една недела повторно да ја разгледа ваквата одлука.FIFA, ambayo ndiyo Shirikisho linaloongoza masuala ya soka ulimwenguni, nalo halikuwa limekubaliana na uamuzi wa kufungiwa timu hiyo, na ilitoa muda wa wiki moja kwa Raiskuubadili.
15Џонатан се одлучи да го врати тимот токму на рокот што му го постави ФИФА, што натера многумина да се посомневаат дека всушност моќната фудбалка организација - а не нигерискиот народ - е таа која што го предомисли претседателот.Uamuzi wa Jonathan wa kufuta uamuzi wake wa awali uliangukia katika siku ile iliyokuwa kikomo cha muda aliopewa na FIFA, na jambo hili limewaacha wengi wakijiuliza endapo ilikuwa ni kwa msukumo wa wa shirikisho hilo lenye nguvu - wala si msukumo wa maoni ya watu - uliomfanya abadili uaumuzi wake.
16SolomonSydelle пишува:SolomonSydelle anaandika:
17Ова дава впечаток дека Џонатан потклекнал под притисокот на една меѓунардона спортска организација.Jambo hili sasa linaonyesha kwamba Jonathan amefyata mkia kutokana na msukumo wa shirikisho hili la kandanda.
18Ваквото гледиште може да му наштети на Џонатан на кого му остануваат уште неколку месеци власт до следните избори… Исто така, збрката помеѓу Џонатан и ФИФА покрева прашања за однесувањето на фубалската агенција која што се спротивстави на одлуката на лидерот на еден индиректен начин.Mtazamo huo unaweza kumwangusha Jonathan ambaye hivi sasa bado ana miezi michache ya kukalia kiti cha urais kabla ya uchaguzi mkuu wa rais … Zaidi ya hilo, mgogoro huu kati ya JOnathan na FIFA unaibua maswali kuhusu tabia ya wakala hii ya soka, ambayo imeitishia hata uamuzi wa kiongozi wa taifa kwa njia ya mzunguko.
19Џонатан не е првиот шеф на држава кој се приклучил на социјалните мрежи.Jonathan si kiongozi wa kwanza kujiunga na mtandao wa kijamii katika Intaneti.
20Во април Хуго Чавез од Венецуела фамозно се приклучи на Твитер; Себастијан Пињера од Чиле твитува, како и целиот негов кабинет.Kiongozi wa Venezuela, Hugo Chavez, alijiunga na Twitter mwezi April; Rais wa Chile, Sebastián Piñera, naye pia hutumia Twitter, na si yeye tu bali ni pamoja na baraza lake zima la mawaziri.
21Но, останува прашањето дали лидерите ќе ги користат платформите како Твитер и Фејсбук да комуницираат со нивните гласачи - или само како уште еден начин на објавување на однапред утврден распоред.Labda hapa swali kubwa ni kama viongozi wataendelea kutumia majukwaa kama Twitter na Facebook kuwasiliana na wapiga kura wao - au kama njia moja zaidi ya kueneza agenda ambayo tayari wamekuwa nayo.
22Нигерија се доближува до годината за избори кога се очекува Џонатан повторно да се кандидира; популарните чекори како приклучување на Фејсбук или враќањето на Super Eagles може да биде само тактика за однапред да ја добие поддршката за наредните избори.Nigeria inakaribia kuingia kwenye uchaguzi mkuu na inabashiriwa kwamba Jonathan ana mpango wa kugombea, kwa hiyo njia hizi za kisiku hizi kama kujiunga na Facebook na kuifunguliwa tena Super Eagles huenda zikawa tu ni janja yake ya kutaka kujipatia uungaji mkono mkubwa zaidi kabla ya uchaguzi.
23„Зар не е ова само уште една игра на зборови?“Je, hii si njia nyingine ya kucheza na maneno?
24Зар не е ова само уште една тактика како да им се ласка на Нигеријците“ напиша My pen and my paper .Je, hii si njia nyingine ya kujaribu kuwahadaa Wanigeria?” aliandika My pen and my paper.
25Повлекувањето на одлуката на претседателот ми изгледа само како расфрлање на зборови само колку да се зборува нешто.Kwa Rais kubadili uamuzi wake inaonekana kwangu kama jaribio la kugeuzageuza maneno ili mradi tu mtu asikike kwamba ameongea.
26Можеби.Pengine.
27Времето ќе покаже дали Џонатан само манипулирал за негов политички бенефит - или навистина го послушал барањето на народот.Wakati utaonyesha kama Jonathan anafanya mbinu tu kwa ajili ya maslahi ya kisiasa - au kama anasikiliza kweli maombi ya wananchi wake.
28Nigeria is not a country known for having responsive leaders.Nigeria is not a country known for having responsive leaders.
29High-level politicians rarely engage members the electorate, and it's commonly complained that the leaders are deaf to the voices of their people.High-level politicians rarely engage members the electorate, and it's commonly complained that the leaders are deaf to the voices of their people.
30But newly-confirmed President Goodluck Jonathan may be changing that: a few weeks ago he opened a facebook account, and two days later reversed a controversial decision after hundreds of disappointed reactions were posted on his wall.But newly-confirmed President Goodluck Jonathan may be changing that: a few weeks ago he opened a facebook account, and two days later reversed a controversial decision after hundreds of disappointed reactions were posted on his wall.
31The decision in question was the suspension of Nigeria's national football team after their dismal performance at the World Cup.The decision in question was the suspension of Nigeria's national football team after their dismal performance at the World Cup.
32After the team was eliminated from the tournament, Jonathan announced they would be suspended for two years [so that the Nigerian governing body could be revamped and purged of corruption].After the team was eliminated from the tournament, Jonathan announced they would be suspended for two years [so that the Nigerian governing body could be revamped and purged of corruption].
33But many fans were displeased with the news, complaining that the suspension was unfair.But many fans were displeased with the news, complaining that the suspension was unfair.
34On xx Jonthan reversed the decision, posting the following message on his facebook wall:On xx Jonthan reversed the decision, posting the following message on his facebook wall:
35But was his reversal really a result of citizens voicing their frustration on facebook?But was his reversal really a result of citizens voicing their frustration on facebook?
36FIFA, the international body governing football, also disagreed with Jonathan's decision, and gave him a week to reverse it.FIFA, the international body governing football, also disagreed with Jonathan's decision, and gave him a week to reverse it.
37FIFA has a strict policy against political intervention, and {XXX}FIFA has a strict policy against political intervention, and {XXX}
38President Jonathan's decision to reinstate the team fell exactly on the deadline set by FIFA, leading many to wonder if it was the powerful football organization - rather than the Nigerian people - that made Jonathan change his mind.President Jonathan's decision to reinstate the team fell exactly on the deadline set by FIFA, leading many to wonder if it was the powerful football organization - rather than the Nigerian people - that made Jonathan change his mind.
39SolomonSydelle writes:SolomonSydelle writes:
40This now gives the impression that Jonathan bowed under pressure to an international sporting organization.This now gives the impression that Jonathan bowed under pressure to an international sporting organization.
41That perception can be harmful for Jonathan who only has a few months in office before presidential elections… Furthermore, the snafu between Jonathan and FIFA raises questions about the behavior of the football agency, which challenged the decision of a sovereign leader in an avoidable way.That perception can be harmful for Jonathan who only has a few months in office before presidential elections… Furthermore, the snafu between Jonathan and FIFA raises questions about the behavior of the football agency, which challenged the decision of a sovereign leader in an avoidable way.
42Jonathan is not the first head of state to join the world of social networking, Hugo Chavav famously joined twitter in xxx and was followed by xxx.Jonathan is not the first head of state to join the world of social networking, Hugo Chavav famously joined twitter in xxx and was followed by xxx.
43But the question remains whether leaders will use such platforms to interact with their constituents - or merely as one more way to disseminate spread an already fixed agenda.But the question remains whether leaders will use such platforms to interact with their constituents - or merely as one more way to disseminate spread an already fixed agenda.
44Nigeria is approaching an election year and it is anticipated that Jonathan will want to stand as the candidate for the PDP, the country's ruling party since the transition to civilian government in [1999].Nigeria is approaching an election year and it is anticipated that Jonathan will want to stand as the candidate for the PDP, the country's ruling party since the transition to civilian government in [1999].
45Popular moves like joining facebook and reinstating the Super Eagles may merely be a ploy to win over support in advance of the election.Popular moves like joining facebook and reinstating the Super Eagles may merely be a ploy to win over support in advance of the election.
46“Is this not another play of words? is this not another design to flatter Nigerians?” wrote My pen and my paper.“Is this not another play of words? is this not another design to flatter Nigerians?” wrote My pen and my paper.
47For Mr. President to go back on his decision looks to me like an attempt to throw his words around for the sake of speaking.For Mr. President to go back on his decision looks to me like an attempt to throw his words around for the sake of speaking.
48He could just have stuck to his decision, let FIFA be FIFA and let Nigeria be Nigeria.He could just have stuck to his decision, let FIFA be FIFA and let Nigeria be Nigeria.
49Nigeria is a sovereign Nation.Nigeria is a sovereign Nation.
50It's FIFA that has something to loose, not Nigeria.It's FIFA that has something to loose, not Nigeria.