Sentence alignment for gv-mlg-20120905-37844.xml (html) - gv-swa-20120828-3863.xml (html)

#mlgswa
1Sodàna: Noafahana Ilay Mpikatroka Twitter Taorian'ny Roa Volana Nidirany Am-ponja.Sudani: Mwanaharakati Mtumia Twita Aachiwa Huru Makala hii ni sehemu ya habari zetu maalumu kuhusu Sudani Yaendesha Mapinduzi.
2Nanao hetsika mihery vaika ny Sampam-pitsikilovana Nasionaly sy ny Sampam-piarovana Sodànezy (NISS) tamin'ny tapaky ny volana Jiona 2012. Nisambotra mpanao fihetsiketsehana, mpikatroka, mpikambana sy mpitarika antoko mpanao politika ary olom-pirenena mpahay lalàna tao amin'ny toerana fanaovana fihetsiketsehana, oniversite, toerana ankalamanjana sy tranon'olona maro izay manaraka ny hetsi-panoherana ny NISS.Shirika la Ujasusi na Usalama wa Taifa la Sudani (NISS) lilijimwaga mitaani na kuendesha kampeni kubwa ya kamatakamata, ambapo liliwakamata maelfu ya waandamanaji, wanaharakati, wanachama wa vyama vya upinzani vya kisiasa na viongozi na hata raia wanaoitii sheria waliokutwa maeneo ya maandamano, vyuo vikuu, maeneo ya umma na hata kwenye nyumba za watu, kufuatia maandamano ya kupinga utawala ulio madarakani yaliyoanza katikati ya mwezi Juni.
3Na dia izany aza, vao nanomboka nangina ny fihetsiketsehana tao anatin'ny roa volana mahery, noafahan'ny NISS ireo olona notànana; manamarika ny fanafahana ireo olona marobe notànana ny 17 Aogositra.Hata hivyo, baada ya kutulia kwa maandamano hayo zaidi ya miezi miwili tangu yaanze #SudanRevolts, Shirika la Ujasusi limeanza kuwaachia mahabusu. Tarehe 17 Agosti, 2012, ilikuwa siku ambayo kwayo mahabusu wengi waliachiwa.
4Anisan'ireo noafahana ilay mpikatroka Twitter Usamah Mohamed Ali izay nosamborina nandritra ny fihetsiketsehana tao Khartoum tamin'ny 22 Jiona.Miongoni mwa walioachiwa ni pamoja na mwanaharakati anayetumia Twita Usamah Mohamed Ali ambaye alikamatwa katika eneo la tukio la maandamano jijini Khartoum mnamo tarehe 22, 2012.
5Mpisera Twitter Sodaney nosamborina nandritra ny fihetsiketsehana i Usamah Mohamed Ali.Usamah Mohamed Ali ni mwanaharakati wa nchini Sudani anayetumia Twita na ambaye alikamatwa wakati wa maandamano.
6Nitantara ny zava-niainany nandritra ny famonjana azy izy teo am-pivoahana ny fonja.Anatuma twiti kuhusu aliyoyaona gerezani baada ya kuachiwa kwake
7Iray volana taorian'ny fisamborana an'i Usamah, nanoratra bilaogy manazava ny fitazomana azy tany am-ponja i MimzMwezi mmoja tangu kukamatwa kwa Usamah, Mimz aliandika makala kwenye bloguakizungumzia kutiwa kwake mahabusu.
8Ny ampitson'ny fanafahana azy, ni-tweet teny roa [TELO] tsotra izy ary nanamafy tamin'ireo mpanaraka azy fa efa noafahana:Siku moja baada ya kuachiwa kwake, alituma twiti ya maneno mawili tu; lakini aliwathibitishia wafuasi wake kwamba alikuwa ameachiwa huru:
9@simsimt: Mitohy ny tolona.@simsimt: Mapambano yanaendelea.
10Nampiany hoe:Aliongeza:
11@simsimt: Mankasitraka ireo rehetra nanentana ny mahakasika ahy aho!@simsimt: Ninawashukuru sana wote walionitia moyo!
12Hafatra tamin'ny sioka, lohahevitra & fanohanana nitondra fampaherezana ho ahy isaky ny mamaky izany!Twiti, mada & amp; ujumbe wa kuungwa miono ulinitia donge kooni mara nyingi tu nilipokuwa nikizisoma!
13Herinandro taty aoriana, Usamah nanoratra andianà sioka fohy mitantara ny zava-niaretany nandritra fisamborana azy.Wiki moja baadaye, Usamah aliandika mfululizo wa twiti fupifupi akielezea hali iliyokuwepo wakati wa kukamatwa kwake.
14Hoy izy nanomboka izany:Alianza kwa kusema:
15@simsimt: Tsy misy fanazavana amin'ny antsipirihany aloha hatramin'izao, nanatona nisambotra ahy ny polisy #NISS nanao fanamiana sivily raha mbola teo am-pisiokana aho #SudanRevolts@simsimt: Bila kutoa undani sana wa mambo kwa sasa, nilikamatwa na jasusi aliyekuwa kwenye mavazi ya kiraia wa #NISS ambaye alinifuata wakati nikiandika twiti. #SudanRevolts
16@simsimt: Tadidiko mazava tsara fa nanoratra momba ny fanafihana goavana nataon'ny #NISS izay manakana ny fitantarana ny fihetsiketsehana aho.na: @simsimt: Nakumbuka wazi kabisa kwamba nilikuwa nikiandika kuhusu juhudi kubwa zilizofanywa na #NISS kuzuia ingizwaji kwenye rekodi wa aina yoyote wa maandamano hayo.
17#SudanRevolts#SudanRevolts
18Nanazava I Usamah fa tsy nanaiky nanome ny tenihiditra tamin'ny findainy izy, ka niteraka ny fahaviniran'ireo manampahefana tao amin'ny NISS:Usamah alieleza kwamba alikataa kutoa nywila (neno la siri) la simu yake, jambo lililowakasirisha maofisa wa Shirika la Ujasusi la NISS:
19@simsimt: Mihidy ny findaiko, ary izaho ihany no manana ny tenihiditra aminy, nanjary loza ho ahy anefa izany satria fanararaotam-pahefana maro, fijaliana & fanadihadiana no niharetako #SudanRevolts@simsimt: Kufunga simu yangu, ambayo inatumia nywila, baadaye ilikuja kuwa kichocheo cha kutendewa vibaya sana, kuteswa n.k.; mahojiano ambayo nimeyastahimili #SudanRevolts
20Hoy ihany koa izy nilaza:akieleza:
21@simsimt: Raha tao anatin'ilay fiaran'ny #NISS izay nijanona teo amin'ny faritry ny fihetsiketsehana aho, noterena foana hamelona sy hanome ny tenimiafina amin'ny findaiko.@simsimt: Nilipopelekwa kwenye gari (pick up) la #NISS lililokuwa limeegeshwa katika eneo la maandamano, niliamriwa mara kadhaa kufungua simu yangu. #SudanRevolts
22#SudanRevoltsNa:
23@simsimt: Nolaviko hatrany anefa izany.@simsimt: Nilikataa katakata.
24Rehefa tsy hitan'izy ireo intsony izay atao, naiditra tanaty fiara manokana an'ny #NISS aho hoentina any Bahri.Baadaye waliamua kuachana nami, lakini baadaye walinipakia peke yangu kwenye gari lao hilo, huku wakiwa wamenifunga macho, hadi kwenye ofisi za #NISS huko Bahri.
25#SudanRevolts#SudanRevolts
26Nitantara ny fampijaliana ara-tsaina sy ara-batana niaretany nandritra ny fihazonana azy izy:Kisha anaeleza kuhusu mateso ya kihisia na kimwili aliyoyapitia wakati akiwa kizuizini:
27@simsimt: Tao amin'ny tranoben'ny #NISS, tabataba, vono marary sy karazana fandrahonana maro no niaretako nandritra ny 4 na 5 ora teo, mba hampandeha ny findaiko #SudanRevolts@simsimt: Katika jengo la #NISS, nilistahimili karibu saa 4 au 5 za kutukanwa, kupigwa na vitisho vya kila aina ili tu nifungue simu yangu #SudanRevolts
28@simsimt: Norahonana aho/ novetavetaina/fampijaliana imbetsaka nandritra izany andro izany.@simsimt: Nilitishiwa kufanyiwa vitendo vya ngono, mara nyingi tu katika siku hiyo.
29Nampijaly ahy na dia manam-pahefana ambony tao amin'ny#NISS aza indray maka.Wakati fulani hadi na ofisa wa ngazi za juu wa #NISS.
30#SudanRevolts#SudanRevolts
31Nanamarika ihany koa izy hoe:Alieleza kwamba:
32@simsimt: Niaritra vono mahery vaika teo amin'ny lohako aho, satria raha mbola teny amin'izy ireo ny findaiko, naharay antso avy any Etazonia aho.@simsimt: Nilistahimili vipigo vikali kichwani kwangu kwa jiwe, kwa sababu simu yangu waliyokuwa wanaishikilia ilipigiwa simu kutoka Marekani.
33#SudanRevolts#SudanRevolts
34@simsimt: Nikiakiaka tamiko toy izao ilay mpampijaly romotra toy ny adala “mpitsikilo ianao, MPITSIKILO, MPITSIKILO!” sady namono ahy koa!@simsimt: Mtesaji aliyekuwa sasa kama aliyechanganyikiwa alikuwa akitukana na kupaza sauti akisema “Wewe ni jasusi, JASUSI, JASUSI!” huku akinipa kipigo!
35#SudanRevolts#SudanRevolts
36Nanazava ihany koa izy fa tsy navelan'ilay manam-pahefana ambony ao amin'ny NISS natory mihitsy:Alieleza kwamba maofisa wa NISS walihakikisha kwamba hapati hata lepe la usingizi:
37@simsimt: Rehefa tsy hitan'izy ireo intsony izay natao tamiko, tsy navelan'ilay manam-pahefana ambony teo anoloako hatory aho.@simsimt: Hadi hapo walipoamua kuachana na mimi, niliamrishwa na ofisa aliyekuwa mbele yangu, kunyimwa usingizi.
38#SudanRevolts#SudanRevolts
39Nofehezin'i Usamah hoe:Usamah alihitimisha kwa kusema:
40@simsimt: Fantatro avokoa ireo tompon'andraikitra ao amin'ny #NISS izay nampijaly ahy.@simsimt: Ninaituhumu #NISS kwa kila jambo baya nililotendewa.
41Tadidiko ny tavan'ireo manam-pahefana nampijaly sy nanararaotra ahy.Ninazikumbuka vizuri sura za watesi wangu na walionitembea vibaya.
42#SudanRevolts#SudanRevolts