# | mlg | swa |
---|
1 | Palestina: Voatafika Indray i Gaza | Palestina: Gaza yashambuliwa, watu 12 wauwawa na wengine wengi kujeruhiwa |
2 | | Usiku kucha wa Machi 9 hadi asubuhi ya Machi 10, 2012, ndege za kivita za Israeli zilifanya mashambulizi kwa kuchagua maeneo kwenye Ukanda wa Gaza, na kuua takribani watu 12 na kuacha wengine 20 wakiwa majeruhi. |
3 | Ny alin'ny 9 Martsa hifoha 10 Martsa, Voromby mpiady Isiraelianina no nidaroka baomba manerana an'i Gaza, ka niteraka fahafatesan'olona 12 farafahakeliny izany, ary 20 no naratra. | Mchana wa Machi 9, Zuheir al-Qaysi, katibu mkuu wa chama cha (PRC) Popular Resistance Committees , aliuawa pamoja na msaidizi wake Abu Ahmad Hanani kutokana na mashambulizi hayo ya Israel kwenye Jiji la Gaza. |
4 | Ny atoandron'ny 9 Martsa, Zuheir al-Qaysi, sekretera jeneralin'ny Popular Resistance Committees (PRC), no nisy namono nandritra ny fanafihan'i Isiraely ny tanĂ nan'i Gaza, nisy namono ihany koa ny lefitr'i AbuHanani Ahmad. | Hanani alitokea Nablus kwa asili na alihamishiwa Gaza kama mmoja wa wafungwa walioachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa miezi michache iliyopita. |
5 | Teratany avy ao Naplouse i Hanani no nafindra tao Gaza, iray tamin'ireo gadra noafahana tamin'ny alalan'ny fifanekena hifanakalo gadra, volana vitsy lasa izay. | Katika kujibu mashambulizi, vikundi vya ulinzi vya ki-Palestina vilivyo kwenye Ukanda wa Gaza vililipua mabomu kuelekea Israel, bila kudhuru mtu yeyote. |
6 | Ho setrin'izany, vondrona mitam-piadiana Palestiniana ao amin'ny toby Gaza no nitifitra balafomanga an'i Isiraely, tsy nisy ny aina nafoy na ny naratra. | Israel ilijibu mapigo kwa mashambulizi makali ya angani yaliyoilenga Gaza na kuacha maiti wapatao kumi na wawili kwa mara moja. |
7 | Niverina namely tamin'ny alalan'ny voromby indray i Isiraely ka nahavoa an'i Gaza sady namela maritiora 12 , nofantarin'ny Ma'an News Agency ho Muhammad al-Ghamry, Fayiq Saad, Muatasim Hajjaj, Ubeid Gharabli, Muhammad Hararah, Hazim Qureiqi, Shadi Sayqali, Zuheir al-Qaysi, Mahmoud Hanani, Muhammad Maghari, tiMahmoud Najim ary Ahmad Hajjaj. | Majina yao yalitajwa na Shirika la Habari la Ma'an kuwa ni pamoja na: Muhammad al-Ghamry, Fayiq Saad, Muatasim Hajjaj, Ubeid Gharabli, Muhammad Hararah, Hazim Qureiqi, Shadi Sayqali, Zuheir al-Qaysi, Mahmoud Hanani, Muhammad Maghari, Mahmoud Najim, na Ahmad Hajjaj. |
8 | Ny tati-baovao sasany miteny ankehitriny fa 15 no maty. | Ripoti nyingine zinataja kuwa watu kumi na watano walipoteza maisha yao. |
9 | Fandarohana ny tanĂ nan'i Gaza City by Israeli fighter jets. | Mji wa Gaza ukipigwa mabomu na madege ya kijeshi ya Israel. |
10 | Sary avy amin'ny mpisera Twitter @journeytogaza. | Picha ya Mtumiaji wa twita aitwaye @journeytogaza |
11 | Mpiserasera ao Gaza nitatitra momba ny fanafihana tao amin'ny Twitter: | Watumiaji wa Mtandao waishio Gaza waliitikia mashambulizi hayo kwenye Twita: |
12 | @MaathMusleh 15 no namoy ny ainy tao Gaza hatramin'izao AZA MANAHY fa Palestiniana avokoa izy ireo!! | @MaathMusleh: Watu 15 wameuawa mjini Gaza mpaka sasa, hakuna SHAKA watakuwa ni wa-Palestina!! |
13 | #GazaUnderdAttack | #GazaUnderAttack |
14 | @ectomorfo Mivavaha ho an'ny mponina ao Gaza. | @ectomorfo: Ombea watu wa Gaza. |
15 | Tsy misy jiro, vitsy ny dokotera, ary tsy misy gazy. | Hakuna umeme, kuna dawa kidogo, hakuna gesi. |
16 | Ary amin'izao fotoana izao dia voadarok'i #Israel baomba hatraiza hatraiza ry zareo. | Na sasa wanapigwa mabomu kutokea pande zote na #Israel. |
17 | #GazaUnderAttack | #GazaUnderAttack |
18 | @Omar_Gaza 18 tsy nahenoana nipoaka! | @Omar_Gaza: Dakika 18 bila milipuko! Kimya cha tahadhari? |
19 | Fahanginana mampiahiahy? tapitra ve? sa mbola tokony hitazona ny fisefoako aho? | Yamekwisha? Au niendelee kubana pumzi zangu kwa woga? |
20 | #GazaMassacre #GazaUnderAttack | #GazaMassacre #GazaUnderAttack |
21 | @najlashawa tsy haiko ny mbola hanoratako hoe MAFY [fipoaka] ilay izy! | @najlashawa:sijui nimewezaje kuendelea kuchapa maandishi haya. Sauti ilikuwa KUBWA! |
22 | #GAzaUnderAttack | #GAzaUnderAttack |
23 | @imNadZ Tongasoa eto #Gaza. izay fipoahana no masoandro mihiratrany. ary F16 ny vorony. | @imNadZ: Karibu #Gaza. Ambapo mwanga wake unatokana na mabomu. |
24 | Tonga indray izao fandarohana baomba izay amin'izao fivoaran'ny toe-draharaha ao amin'ny faritra sy ny fifandraisana ara-politika izao. | Ndege zinazotumika ni aina ya F16. Shambulio hili linakuja wakati wa kuhamisha ushirika wa kimaeneo na kisiasa. |
25 | Tamin'ny herinandro lasa teo, ho fanazavan-kevitra amin'ny mety isian'ny ady ataon'ny Amerikana sy Isiraeliana, Nanao fanambarana ny mpitarika roa ambony indrindra ao amin'ny Hamas fa tsy hiditra an-tsehatra sy tsy hanohana an'i Iran amin'izay mety ho fanafihana ataon'i Isiraeliana. | Juma lililopita, kwa kuongezeka kwa uwezekano wa vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, maafisa wawili wa juu wa Hamas walitangaza kwamba Hamasi haitajihusisha na itaiunga mkono Iran ikitokea Israel itashambulia. |
26 | Nanambara ihany koa ny Hamas fa manohana ny vahoaka Syriana amin'ny ady ataony amin'i Assad. | Hamas pia walitangaza kuwaunga mkono watu wa Syria katika mapambano yao dhidi ya Assad. |