# | mlg | swa |
---|
1 | Tonizia: Fihetseham-po Samihafa Tamin'ny Fisovohana Ny Mailaky Ny Praiminisitra | Tunisia: Miitikio Tofauti Kufuatia Kuingiliwa kwa Barua Pepe za Waziri Mkuu |
2 | Niditra an-tsokosoko tamin'ny mailaky ny praiminisitra Toniziana Hamadi Jebali tamin'ny 8 Aprily teo ny Anonymous Tonizia (izay milaza fa sampan'ny vondrona mpisovoka (hackers) Anonymous). | Mnamo Aprili 8 “Anonymous Tunisia” kikundi kisichotambulisha majina ya wanachama wao nchini Tunisia (ambacho kinadai kuwa na uhusiano na kikundi cha watu “wasiojitambulisha” ) waingiliao mawasiliano ya watu kiliingilia mawasiliano the ya barua pepe ya waziri mkuu wa Tunisia Hamadi Jebali. |
3 | Hetsika tafiditra amin'ilay hetsika goavana ” Operation Tunisia Back” (Miverina i Tonizia) io Hetsika Avelao i Toniziako “Operation Touche pas à ma Tunisie” io. | Vuguvugu hilo lilipewa jina la utani la (“Achana na Tunisia yangu”) ambayo ni sehemu ya kampeni kuu iitwayo “Operesheni Rejeza Tunisia”. |
4 | Fangon'ny Anonymous Tonizia | Nembo ya Tunisia isiyojitambulisha |
5 | Ny ampitson'ny revolisiona taona 2011, mpikambana ao amin'ny Anonymous manerantany no nikendry ny tranonkala maromaro an'ireo governemanta, izany dia tafiditra amin'ilay hetsika hoe Operation Tunisia. | Katika mkesha wa mapinduzi mwaka 2011 wanachama wa kikundi hicho cha “wasiojitambulisha” waliotawanyika duniani kote walishambulia tovuti kadhaa za serikali katika kile kilichoitwa Operation Tunisia. |
6 | Nanafika ny Islamista Toniziana tamin'ny aterineto ihany koa Anonymous vao haingana. | |
7 | Ankehitriny, namoaka mailaka miisa 2,725 tao amin'ny aterineto ny Anonymous, izay mailaky ny antokon'ny fitondrana Ennahda ao Tonizia, anisan'izany ny mailaky ny praiminisitra. | Mmoja wao hivi2,725 emails wanachama wa chama tawala cha nchi hiyo cha Ennahda mtandaoni, ikiwa ni pamoja na mawasiliano ya waziri mkuu. |
8 | Niparitaka nanerana ny pejy Facebook ny nomerao findain'ireo olo-panjakana ambony ao amin'ny governemanta. | Namba za simu zinazomilikiwa na maafisa nyeti wa serikali tangu wakati huo zimekuwa zikisambazwa katika kurasa za facebook. |
9 | Talanjona tanteraka tamin'izany ny governemanta ary mbola tsy naneho ny heviny hatramin'izao. | Serikali imekamatwa pabaya na mpaka sasa haijaweza kujibu chochote. |
10 | Nandritra izany, nizarazara ihany ny hevitry ny mpiserasera mikasika ny fahombiazan'ity hetsika ity. | Wakati huo huo, raia watumiao mtandao wamegawanyika kuhusu ufanisi wa hatua hiyo. |
11 | Bassem Meddeb nisioka am-pivitrihana momba ny fitadiavana ireo mailaka an-tapitrasany: | Bassem Meddeb katika hali ya kusisimuka, alituma ujumbe kupitia mtandao wa twita kuhusu kuperuzi maelfu ya barua pepe: |
12 | Nampiditra antsika ho toy ny mpitsikilo ihany ny #Anonymous! | Mwisho # Kikundi cha wasiojitambulisha kimetuajiri kama wachunguzi! |
13 | #jbelileaks | #jbelileaks |
14 | Hmid Ben Jemmaa naneso hoe : | Hmida Ben Jemmaa aliandika kwa kejeli: |
15 | Taorian'ny #JbeliLeaks, nanapa-kevitra hifanerasera amin'ny alalan'ny… voromailala ny birao politikan'ny Ennahda. | Baada ya #JbeliLeaks, kitengo cha siasa cha (chama cha) Ennahda kimeamua kuwasiliana kwa kupitia …njiwa waishio nyumbani |
16 | Fangon'ny Hetsika "Tonizia Back" | Nembo ya Operesheni Rejesha Tunisia |
17 | Na dia izany aza, misy ireo mpisiokantserasera sasany tsy mankasitraka ny hetsika fisovohana. | Hata hivyo, baadhi ya watumiaji wa twita walipingana na zoezi hilo la kuingilia mawasiliano ya watu. |
18 | Hmid Ben Jemmaa nanoratra fa miampanga ny fanafihana izy, ka nanipika izy hoe: | Hmida Ben Jemmaa aliandika akipinga mashambulizi hayo, na kuongeza:: |
19 | Làlana tsy azo hiampitàna ny fitsabahan'ny vahiny amin'ny raharaha anatin'ny firenentsika | Kuingiliwa katika masuala yetu ya ndani ni kuvuka mipaka |
20 | Nanontany izay mba tombotsoa azon'ny hetsika Anonymous ny Mpianatra ho dokotera Amine Ghrabi, nisioka izy hoe: | Mwanafunzi wa Utabibu Amine Ghrabi alihoji mantiki ya Zoezi hilo linalofanywa na “watu wasiojitambulisha” na kutuma ujumbe: |
21 | Mitodika kely amin”ireo nandany ny Alahady marainany noho ny fitadiavana mailak'ilay voamarina ho tsy haninontsihaninona! #JbeliLeaks | Wazo dogo kwa wale wote waliharibu asubuhi zao za Jumapili hii kwa kuperuzi barua za watu ambao tuna hakika hawako timamu! |
22 | Alkimia nisioka hoe: | Alkimia alituma ujumbe huu: |
23 | Tena te-hahita loza amin'atambo ao #JbeliLeaks ve ianao? | Hivi kweli mnataka kutafuta janga katika kampeni ya #JbeliLeaks? |
24 | Ary nampiany hoe: | Na akaongeza: |
25 | Nandrahona ny Islamista ny Anonymous tao anatin'ny volana vitsivitsy. | Kundi hili limekuwa likiwatishia Waislam wenye msimamo mkali kwa miezi michache iliyopita. |
26 | Tsy mba fetsy ny praiminisitra raha toa ka tsy namafa ny mailakany | [waziri mkuu] hangekuwa na werevu kama asingefuta barua zake zote kwenye anuani yake ya barua pepe |
27 | Mpianatra Imed Laaridh, mpanohana an'ny Ennahda, nisioka fa mety hamaly ny praiminisitra: | Mwanafunzi Imed Laaridh, anayeunga mkono chama tawala cha Ennahda, alituma ujumbe kwamba angegoma: |
28 | Mety hanomboka ny fifampisovohana. | Labda tumeanza awamu ya kwanza ya kuingiliana mawasiliano yetu. |
29 | Hita ny handaniana ny fotoana… #TnPolitics #JbeliLeaks | Ni jambo la kutufanya tupate cha kufanya… |
30 | Avy amin'ny Anonymous Tonizia ity lahatsary manaraka [amin'ny teny frantsay] ity. | Video ifatayo [Fr] iliwekwa na kikundi hicho. |
31 | Mpikambana ao amin'ny Anonymous milaza momba ny fivoahan'ny mailaky ny praiminisitra, sy ny mbola hamoahana tahirinkevitra marobe amin'ny manaraka: | Mwanachama wa kundi hilo anazungumza kuhusu kuvuja kwa barua za waziri mkuu, na makarabrasha yanayotarajiwa zaidi muda mfupi ujao: |