Sentence alignment for gv-mlg-20140921-64305.xml (html) - gv-swa-20140926-8178.xml (html)

#mlgswa
1Inona avy no Mety Hahazoana ny Aretina Ebola Eto Madagasikara ary efa Misy Ve Rafitra Ara-Pahasalamana Iatrehana Izany ?Huduma za Afya nchini Madagaska Zinaweza Kukabiliana na Mlipuko wa Ebola? Popo anayepatikana Madagaska.
2Ramanavy eto Madagasikara - valam-bahoaka wikipédiaPicha: Wikipedia kwa matumizi ya umma
3Efa mihamitoetra ho vaindohan-draharaha eo amin'ny sehatra iraisampirenena hatrany ny valan'aretina Ebola.Vita dhidi ya mlipuko wa Ebola inaendela kugeuka kuwa dharura ya kimataifa.
4Mitombo haingana dia haingana ny isan'ny marary any amin'ny firenena telo efa misy azy any Afrika andrefana : Ginea, Liberia ary Sierra Leone.Idadi ya wahanga wa ugonjwa huo inaongozeka kwenye nchi tatu zilizoathiwa zaidi huko Afrika Magharibi: Guinea, Liberia na Sierra Leone. Wagonjwa kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha kwenye Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Najeria.
5Nanamarika ny Firenena Mikambana fa efa namono olona mihoatra ny 2 400 amin'ny 4 784 efa tratrany (tamin'ny 15/09) ity fanaviana mibabarà ratsy indrindra teo amin'ny tantara ity.Shirika la Afya Duniani linaripoti kwamba maradhi haya hatari zaidi kwenye historia ya homa inayosababishwa na virusi tayari imepoteza maisha ya watu zaidi ya 2,800 kati ya wagonjwa 5,833 kufikia tarehe 20 Septemba.
6Nandany ny drafi-pandaminana laharana faha-2177 hiatrehana ilay krizy ara-pahasalamana ny vaomieran'ny fandriampahaleman'ny Firenena Mikambana.Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefikia azimio 2177 la kupambana na janga hilo linalohatarisha afya ya jamii.
7Ny 18 septambra, firenena 131 no nandany ny didy mankatoa ny “hagoavan'ny valan'aretina Ebola mihoampampana eto Afrika” sy ny fananganana iraka manokana antsoina hoe UNMEER (United Nations Mission for Ebola Emergency Response = Iraky ny Firenena Mikambana Hamonjy ny Voina Ateraky ny Ebola ).Mnamo Septemba 18, nchi zipatazo 131 zilifadhili azimio hilo, linalotambua “kiwango kisichokubalika cha mlipuko wa Ebola barani Afrika ” na kueleza kuundwa kwa mpango maalum uitwao Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Kushughulikia masuala ya Ebola (UNMEER).
8Nanambara ny handefasana miaramila etazoniana 3000 ny filohan'i Etazonia Barack Obama satria heveriny fa misavoana mihitsy ny fitombon'ilay krizy.Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza kwamba anatuma vikosi 3,000 kwenda Afrika Magharibi, kwa lengo la kukabiliana na hali hiyo inayozidi kuwa mbaya, kufuatia kuenea kwa kasi kubwa kwa virusi vya ugonjwa huo.
9Manahy ny amin'ny mety hianahan'ny valan'aretina ho tonga any amin-dry zareo ny firenena afrikana hafa nefa tsy manana fitaovana ara-pahasalamana hiatrehana izany akory.Nchi nyingine Barani Afrika zina wasiwasi na uwezekano wa kuenea kwa maradhi hayo katika nchi zao, ingawa vifaa vya afya havionekani kuwa tayari kupambana na ugonjwa huo.
10Nisy fanadihadiana nanamafy fa misy firenena afrikana 15 ahiana ho mora tratrany satria mitovitovy toetra ara-pahasalamana amin'ireo firenena efa tratrany.Utafiti unaonesha kwamba nchi 15 ziko kwenye hatari sana ya kupata maradhi hayo , kwa sababu ya kuwa na mazingira yanayofanana na mazingira yaliyo kwenye nchi zilizoathirika.
11Ao anatin'izany i Madagasikara izay vao nahita sambo iray avy any Libéria sy ahiana hitondra ny tsimok'aretina Ebola niantsona tao amin'ny seranantsambon'i Toamasina.Hali ni hiyo hiyo nchini Madagaska, ambako mashua kutoka Liberia ikidaiwa kubeba watu wenye virusi vya Ebola hivi karibuni ilitua kwenye bandari ya Toamasina.
12Nisy fivoriana maika natao teto Antananarivo tamin'ny 5 aogositra ahafahana mandinika akaiky ny fepetra tokony horaisina.Mkutano wa dharura ulifanyika jijini Antananarivo tarehe 5 Agosti kutazama kwa karibu tahadhari zinazoweza kuchukuliwa.
13Tsy voaaron'ny loza tahaka itony ny firenena tahaka ny antsika, na dia lavidaviatra antsika ihany aza ny faritra iitaran'ny viriosyKatibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini Madagaska Philémon Tafangy alitambua hatari:
14hoy i Philémon Tafangy, seketera jeneralin'ny Minisiteran'ny fahasalamam-bahoaka eto Madagasikara.Nchi kama yetu haiko salama na hatari hii [Ebola], pamoja na umbali wetu na eneo liloathirika
15Vao nanamafy indrindra anefa ny Praiminisitra Kolo Roger fa efa vonona amin'ny fiatrehana amin'izany tranga izany ny rafitra ara-pahasalamana amin'ny fametrahana drafi-piatrehana ny tsy ampoizina eto an-toerana :Waziri Mkuu Kolo Roger, hata hivyo, ameeleza kwamba mifumo ya afya iko imara kushughulikia majanga hayo kama yatajitokeza na mpango wa dharura uko tayari
16Ahitana ny tranga rehetra mety hisy sy ny fepetra (sy fitaovana) ilaina hiatrehana indrindra fa ny valan'aretina mahatratra ny rà tahaka ny aretina ateraky ny viriosin'ny Ebola.Mpango huu unajumuisha maeneo na hatua zinazohitajika kwa ajili ya kupambana na magonjwa yanayoenezwa na virusi kama vile Ebola.
17Efitranon'ny hopitaly iray any Mandritsara, Madagasikara - CC BY 2.0Chumba cha Hospitali huko Mandritsara, Madagaska - CC BY 2.0
18Raha jerena anefa dia tsy afaka ny hiatrika ny fianahan'ny aretina haingana dia haingana akory ny fotodrafitrasa ara-pahasalamana eto Madagasikara.Lakini inaonekana kwamba miundo mbinu ya afya nchini Madagaska haitaweza kuhimili mlipuko wa maradhi hayo kama utatokea.
19Nisafidy ny tsy hiraharaha ny fanairan'ny manampahaizana ara-tsiantifika ny praiminisitra fa manankina ny fitokisany any amin'ny fanarahamaso ny seranana sy ny seranam-piaramanidina, ary nanamarika fa voaaro amin'ny alalan'ny tsy fisian'ny zotram-piaramanidina mifandray mivantana any amin'ireo faritra efa tratran'ny tsimok'aretina ny faritra ara-pahasalamana malagasy.Waziri Mkuu ameamua kupuuza tahadharani za wanasayansi, akitegemea zaidi taarifa za sehemu za udhibiti kwenye viwanja vya ndege, akisema kwamba mazingira ya afya ya umma nchini Madagaska yamelindwa kwa sababu ya kutokuwepo kwa ndege zinazoingia nchi humo kutoka kwenye maeneo yanayokabiliwa na mlipuko wa maradhi hayo.
20Nanantitra ny manampahaizana fa efa-mifindra amin'ny fomba samy hafa ny tsimok'aretina.Wanasayansi wanasema kwamba virusi vya Ebola huenea kwa namna tofauti.
21Nisy tokoa fandinihana nivoaka vao haingana nanazava ny mety ho fielezan'ny aretina avy any amin'ny tontolon'ny biby mankany amin'ny olombelona: mety hitondra ny aretina tsy ahitana izay fisehon'aretina izay akory ny fanihy (sy ny ramanavy) mpihinana voankazo, afa-mifindra monina sy mamindra aretina amin'ny biby hafa, amin'ny gidro na amin'ny biby mpikiky hafa ohatra.Kwa hakika, chapisho la hivi karibuni linaeleza namna gani ugonjwa unaweza kuenea kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu: popo walao matunda wanaweza kubeba virusi hivyo bila wao kuonesha dalili za maradhi hayo, na wanaweza kuhama na kueneza virusi hivyo kwenda kwa wanyama wengine, kama vile nyani na pimbi.
22Misy anefa ny mihinana gidro any ambanivohitra any.Wakati mwingine nyani huliwa na watu waishio porini nchini Madagaska.
23Raha tsy voatery hahazoana ny aretina Ebola ny fihinana azy, dia mety hahazoana ny aretina kosa ny eo am-pikarakarana ilay hena manta.Ingawa ulaji wa nyama si lazima uwe ni chanzo cha Ebola, uandaaji wa nyama mbichi ambazo zinaongeza uwezekano wa maambukizi.
24Miahiahy amin'ny fahafahan'ny firenena miatrika hanoherana ny mety ho fahatongavan'ny Ebola eto Madagasikara i Léa Ratsiazo avy eto Antananarivo raha mijery ny zava-nitranga vao haingana tao amin'ny hopitaly iray eto an-drenivohitra :Ilaym, mwanablogu anayeishi Antananarivo anayeandikia blogu ya DailyMg, anaeleza kwa nini wa-Malagasi wako kwenye hatari ya maambukizi ya virusi vya Ebola. Anaorodhesha sababu chache : 1) Baadhi ya Walagasi huwinda na kula popo na wanyama wengine 2) kwa sababu ya famadihana, a mila ya kuwafukua wafu kutoka kwenye makaburi yao.
25Léa Ratsiazo wa Antananarivo alihoji kwenye safu yake iliyoko kwenye jarida la Madagascar Tribune kuhusu uwezo halisi wa nchi hiyo wa kudhibiti uwezekano wa kuenea kwa Ebola nchini Madagaska, kufuatia matukio ya hivi karibuni kwenye hospitali iliyoko jijini Antananarivo:
26Aleo dia hinoana izay lazainy fa tamin'io toerana nanaovany ny fanambarana an-gazety io indrindra, nisy ekipam-bahiny mpandidy miasa ao amin'ny asa fanasoavam-bahoaka nanohitra izay nolazainy tsy nahy.Hiyo inahitaji kuamini kwa kiasi fulani, kwa sababu karibu wakati ule ule alipokuwa anatoa taarifa yake kwa waandishi wa habari, timu ya wapasuaji ya kigeni inayojihusisha na kazi za kibinadamu walisema jambo lililotofautiana na matamshi yake.
27Ekipa iray ahitana mpandidy 11 manao asam-panasoavana mitety firenena maro ka ao anatin'izany i Madagasikara.Hii ilikuwa ni timu ya wapasuaji 11, wanaofanya kazi za kibinadamu katika nchi mbalimbali duniani, ikiwemo Madagaska.
28Manao fandidiana maimaim-poana amin'ireo marary izay mila izany any amin'ny firenena tsidihiny amin'ny alalan'ny fiaraha-miasa amin'ny hopitaly ao an-toerana ry zareo ireo.Walifanya upasuaji bure kwa wagonjwa waliokuwa na uhitaji katika nchi walizozuru, kwa ushirikiano na hospitali za wenyeji.
29Nofidiana hanaovana izany fiaraha-miasa izany ny hopitaly HJRA eto Antananarivo, izay ivon-toeram-pitsaboana lehibe indrindra eto Madagasikara saingy noadinoin'ny tompon'andraikitra ao amin'ny HJRA izany fiaraha-miasa izany.Hospitali ya HJRA jijini Antananarivo, ambayo ni kituo kikuu cha afya nchini Madagaska, kilichaguliwa kwa ushirikiano huo, lakini maafisa wa HJRA walisahau kuwajulisha watu ukweli huu.
30Vokany : tsy nisy ny marary tonga.Matokeo yake, hakuna mgonjwa alijitokeza.
31Nisy ihany marary roa ao amin'ny HJRA nodidiana fa tsy 25 isan'andro araka ny efa niomanana.Madaktari hao wakaishia kupata wagonjwa wawili wa hospitali hiyo badala ya wagonjwa 25 kwa siku.
32Tezitra ry zareo ka nolazainy mazava tsara fa tsy hanao vakansy no hahatongavany fa hanampy ny hafa, ny zavatra kely indrindra tokony natao dia ny nanao ny filazana sy nanentana ny olona, ankoatra izany dia tsy azon-dry zareo ny antony iantohan'ny marary ny fanafody sy ny fitaovana rehetra handidiana.Wapasuaji hao walifedheheshwa, wakisema kwamba hawakuwa wamekuja kwa likizo, ila kuwasaidia wananchi kupata uelewa. Vile vile waliokuwa na wasiwasi kwamba wagonjwa waliokuwa wanahitaji kufanyiwa upasuaji walitakiwa kulipia dawa zote na vifaa vyote vilivyohitajika kwa ajili ya upasuaji.
33Voamariky ry zareo ihany koa fa tsy manana ny fitaovana fototra hanaovana fandidiana ara-pahasalamana tsotra indrindra ny HJRAKwa yongeza, ilionekana kwamba hospitali ya HJRA ilikuwa na upungufu mkubwa wa vifaa vya msingi kwa ajili ya shughuli za upasuaji.
34Le Mouvement des Citoyens Malagasy de Paris MCM (Muungano wa raia wa ki-Malagasi waishio Paris) kadhalika haukuelewa nani wa kumwamini kuhusiana na hatari ya mlipuko wa Ebola nchini Madagaska: Waziri Mkuu Kolo anayedai hakuna hatari yoyote au wanasayansi watafiti wanaoijumuisha Madagaska kwenye mataifa yenye hatari?
35Efa misy izany ny drafi-piatrehana ny tsy ampoizina eto Madagasikara fa ho hita eo raha voapetraka any amin'ny toerana misy azy ny fitaovana ahafahana mampiasa azy.Kwa hiyo, wakati mpango wa dharura upo, bado inahitaji kuangaliwa ikiwa Madagaska imeweza kuandaa raslimali zinazohitajika kuutekeleza mpango huo.