Sentence alignment for gv-mlg-20120829-37663.xml (html) - gv-swa-20120827-3848.xml (html)

#mlgswa
1Tanzania, Etiopia: Meles Zenawi ‘Mibitsika’ Avy Any Am-PasanaTanzania, Ethiopia: Meles Zenawi ‘Atuma Twiti’ Kutoka Kilindi cha Kaburi
2Ny fanambarana ofisialy tamin'ny Alatsinainy ny fahafatesan'ny Praiminisitra Etiopiana , dia niteraka resaka tamin'ny mpampiasa haino aman-jery sosialy tany Tanzania, indrindra fa taorian'ny nanombohan'ny bitsika niseho tao amin'izay noheverin'ny maro ho kaonty Twitter ofisialin'i Zenawi.Taarifa rasmi iliyotoka Jumatatu ya Wiki iliyopita kuhusu kifo cha Waziri Mkuu wa Ethiopia Meles Zenawi, ziliibua mishtuko miongoni mwa watumiaji wa zana za habari za kiraia nchini Tanzania, hasa baada ya twiti kuanza kutumwa kutokea anuani ya Twita iliyoaminika kuwa rasmi ya Zenawi mwenyewe.
3Nanomboka ny zava-drehetra rehefa nandefa ity bitsika ity Zitto Zuberi Kabwe , mpikambana iray ao amin'ny Parlemanta TanzanianaMjadala ulianza pale Zitto Zuberi Kabwe, ambaye ni Mbunge nchini Tanzania, alipotwiti ujumbe huu:
4@zittokabwe: Mamangy amin'ny fahoriana ny vahoakan'ny #Ethiopia aho tamin'ny nahafatesan'ny Piraiminisitra #MelesZenawi Manantena fivoarana demokratika Abbysinia@zittokabwe: Natuma salamu zangu za rambirambi kwa wananchi wa #Ethiopiakufuatia kifo cha Waziri Mkuu #MelesZenawi. Ni matumaini yangu kwamba kutakuwa na muendelezo wa kidemokrasi huko Abbysinia.
5Susan Mashibe dia namaly hoe :Susan Mashibe alijibu:
6@iMashibe: @zittokabwe Tena marina io amin'ity indray mitoraka ity ?@iMashibe: @zittokabwe Je, ni kweli kwamba jambo hili limetokea kwelikweli safari hii?
7Cc @SwahiliStreetCc @SwahiliStreet
8Ary nofaranan'i Swahili Street hoe :And Swahili Street alihitimisha:
9@iMashibe Nolazaina tao amin'ny ETV.@iMashibe Imetangazwa kupitia ETV.
10Efa ôfisialy izany @zittokabweNi taarifa rasmi @zittokabwe
11Nobitsihin'i Chambi Chachage ny lahatsoratra iray tanaty bilaogy, mitondra ny lohateny hoe : ‘Meles Zenawi's Farewell to Young African Leaders‘ Ny Fara Veloma Napetrak'i Meles Zenawi Ho an'ireo Tanota Afrikana Mpitondra, avy amin'ny United Nations Economic Commission for Africa (UNECA) na Komisiona ara-Toekaren'ny Firenena Mikambana ho an'i Afrika tamin'ny 16 Novambra 2006, izay naverin'ny sasany nobitsihina.Chambi Chachage alitwiti makala ya blogu yenye kichwa cha habari ‘Salamu za Meles Zenawi za Kuwaaga Viongozi Vijana wa Afrika‘ kutoka Kamisheni ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA) tarehe 16 Novemba 2006, ambayo pia ilitumwa kama twiti na watumiaji wengine.
12Ary tampoka teo dia niditra i @PMMelesZenawi, tahàka ny hoe ‘nibitsika taorian'ny fahafatesana' ho an'ilay Tanzaniana Zitto Kbwe mpikambana ao amin'ny Solombavam-bahoaka :Na kisha ghafla @PMMelesZenawi aliingilia kati, ikiwa ni bayana kabisa kwamba ‘alituma jumbe za twiti baada ya kifo chake' akimlenga Mbunge wa Tanzania Zitto Kabwe:
13@PMMelesZenawi: @zittokabwe Azafady meteza ho tsaratsara kokoa noho izaho fahiny.@PMMelesZenawi: @zittokabwe Uwe kiongozi bora kuliko nilivyokuwa mimi.
14Tsy fahafinaretana ny eto Eo am-piomanana ny handoa ny sarany amin'ny sasany amin'io aho izao http://www.ethiopianreview.net/index/?Huku juu hakuna utani, ninajiandaa kulipa kwa ajili ya makosa yangu http://www.ethiopianreview.net/index/?
15p=42267p=42267
16Meles Zenawi @PMMelesZenawi - mibitsika taorian'ny fahafatesana.Meles Zenawi @PMMelesZenawi - akitwiti baada ya kifo chake.
17Loharano : sary avy ao amin'ny TwitterChanzo Twitter Screen Shot
18Ity bitsika ho an'i Zitto Kabwe izay misy mpanaraka maherin'ny 29.000 ity dia niteraka savorovoro, niteraka honohono - nojirihan'ny mpanohitra ve ny kaonty @PMMelesZenawi ?Twiti hii kwa Zitto Kabwe, ambaye ana zaidi ya wafuasi 29,000, ilisambabisha mizozo, ikifanya watu waanze kudadidi ikiwa anwani ya @PMMelesZenawi ilikuwa imeibwa na wapinzani wake?
19@zittokabwe: @hmgeleka Toa tsy tena ilay kaontin'i @pmmeleszenawi vao haingana ity@zittokabwe: @hmgeleka anwani hii haionekani kuwa ya kweli hasa kwa sababu ya ujumbe huu @pmmeleszenawi
20Zitto Zuberi Kabwe dia namarana sady nanohy :Zitto Zuberi Kabwe naye alihitimisha, na kisha aliendelea kusema:
21@zittokabwe: @AnnieTANZANIA tsy tena izy ny bitsika avy amin'i @PMMelesZenawi .@zittokabwe: @AnnieTANZANIA alitwiti kwa @PMMelesZenawi si akaunti halali.
22Tsinontsiniavo izy ireo.Zipuuzeni jumbe zinazotumwa nayo.
23Kaonty nojirihan'ireo fahavalonyAkaunti imeibwa na wapinzani wake
24Omar Ilyas dia nanohana an'io :Omar Ilyas naye aliiunga mkono:
25@omarilyas: Diso hatrany am-boalohany ity kaonty ity @PMMelesZenawi -karazana hala-tàhaka sahala amin'ilay iray an'i @Julius_S_Malema @zittokabwe@omarilyas: Akaunti hii daima imekuwa si iliyo ya kweli toka mwanzo @PMMelesZenawi - ni aina ya watu wenye majivuno kupita kiasi kama yule jamaa anayeitwa @Julius_S_Malema @zittokabwe
26Na izany aza, ny adihevitra momba ny lova navelan'i Meles Zenawi dia nitohy, miainga amin'ny fiderana ny fahaiza-manaon'i Meles ‘manatanteraka ny asa ‘ ka hatramin'ny fahalàlan'ny rehetra fa tsy demokraty Meles :Hata hivyo, mjadala kuhusu yale atakayokumbukwa nayo Meles Zenawi unaendelea kuunguruma kutoka wale wanaomhusudu Meles kwa uwezo wake ‘kufikia malengo katika kazi yake' hadi kwenye uvumi kwamba Meles hakuwa mwanademokrasia:
27@Htunga: @zittokabwe Iza marina Meles ?@Htunga: @zittokabwe Hivi, huyu Meles ni nani hasa?
28Mahita Etopiana noana sy andala-pahafatesana ao anaty fiara be aho… tadidiko ihany koa ilay fitifirana tamin'ny 2010.Ninawaona Waethiopia wakikabiliwa na njaa na kufa kwenye malori … Nakumbuka pia kuuwawa kwa watu kwa kupigwa risasi mwaka 2010.
29@zittokabwe: @Htunga moa ve tsy noana sy maty ny Tanzaniana tamin'ny andron'i Nyerere?@zittokabwe: @Htunga Je, Watanzania hawakuwa wakikabili njaa na kufa wakati wa Nyerere?
30Nefa nankalazaintsika izy noho ny foto-keviny.Lakini tunamkumbuka na kumhusudu kwa sababu alikuwa mtu wa kanuni.
31Toa izany koa Meles'Ni hivyo hivyo hata kwa Meles'
32@zittokabwe: @PMMelesZenawi raha tsy eritreretina ny hadisoany,#MelesZenawi dia fakan-tahaka amiko.@zittokabwe: @PMMelesZenawi Pamoja na makosa yake, #MelesZenawi anabaki kuwa mfano bora kwangu wa kuigwa.
33Malalaka ianareo hamerina an'i #TheDerg na IsaiasMnao uhuru wa kumrejesha #TheDerg au Isaias
34Ny kaonty diso (heverina ho voajirika) @PMMelesZenawi, izay nahatonga io adihevitra eo ambony io, dia niteraka ihany koa ny fanontaniana ny antony tsy nahavitan'ireo mpanao politika maro any Afrika hanana ny kaontiny Twitter voamarina.Anwani ile bandia ya Twita (inayohisiwa kuwa iliibwa) @PMMelesZenawi iliyosababisha kuibuka kwa mjadala huo hapo juu, vilevile inaibua swali kwamba kwa nini viongozi wengi wa umma na wanasiasa barani Afrika hawataki kuthibitisha anwani zao za Twita.
35Araka ny tatitra, amin'ny tranga maro dia maka fotoana lavabe ny Twitter, na tsy mamaly mihitsy tsotra izao ny fangatahana fanamarinana kaonty.Kwa taarifa zilizopo, mara nyingi Twita huchukua muda mrefu sana, au pengine haijishughulishi kabisa kujibu maombi ya kuthibitisha anwani fulani fulani.
36Tena malaza ho fitaovam-pifanakalozam-pijery sy adihevitra ary vovonana hamakiana ny vaovao farany ny Twitter any Tanzania.Twita ni maarufu sana nchini Tanzania kama chombo cha kubadilishana maoni na kuendesha mjadala na pia jukwaa la kutoa habari za papo kwa papo, au hivi punde.
37Na dia izany aza, ny Twitter dia mora araraotina tahaka ny nitranga tamin'ny @PMMelesZenawi, ary afaka ihany koa miteraka fisavoritahana sy fisalasalàna raha mikasika ny fahamarinana sy ny fahazahoana antoka amin'ny loharanom-baovao.Twita, hata hivyo, inaweza kutumiwa vibaya kama ilivyokuwa kwa hii ya @PMMelesZenawi na pia inaweza kuleta vurugu na hisia mbaya kuhusu usahihi na kuaminika kwa chanzo cha taarifa fulanin.
38Ny hadisoana hafa, fijirihana na fangalarana endrika Twitter Afrikana amin'izao fotoana izao dia ny :@Hailemdesalegne, @Julius_S_Malema, @kabwezitto, @alfredmutua ary @MwaiKibakiAnwani nyingine za Twita zilizo bandia, zilizoibwa au korofi za Waafrika kwa sasa ni: @Hailemdesalegne, @Julius_S_Malema, @kabwezitto, @alfredmutua na @MwaiKibaki
39Filohan'i Etiopia nanomboka ny 1991 ka hatramin'ny 1995 i Meles Zenawi ary lasa Praiministr'i Etiopia tato aoriana, tamin'ny 1995 taorian'ny fifidianana faobe tamin'io taona io.Meles Zenawi alikuwa Rais wa Ethiopia kutoka mwaka 1991 hadi 1995 na baadaye alikuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo kutoka mwaka 1995 baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu mwaka ule. Waziri Mkuu katika nchi hiyo ndiyo nafasi yenye nguvu kabisa katika uendeshaji wa masuala yote muhimu.