# | mlg | swa |
---|
1 | Namoy ny Ainy Noho Ny Daroka Baomba Mikendry Ny Hazara Ilay Mpikatroka Pakistaney Khudi Ali | Mwanaharakati wa Pakistani Khudi Ali Auawa Katika Mlipuko wa Bomu |
2 | Olona 82 no namoy ny ainy nandritra ny daroka baomba namely faritra iray be mponina indrindra ahitana foko Miozolomana Shiita Hazara, tao an-tanàna Atsimo-Andrefan'i Quetta, tamin'ny 10 Janoary 2013. | Mnamo Januari 10, 2013 katika jiji la Quetta lililopo Kaskazini Mashariki mwa nchi ya Pakistani, watu 82 walipoteza maisha kwenye milipuko ya mabomu yaliyolenga eneo ambalo kimsingi lina idadi kubwa ya watu wa jamii ya Waislamu wa Shia jamii ya Hazara. |
3 | Namoy ny ainy nandritra ny fanafihana faharoa i Irfan Khudi Ali, mpikatroka mazala momba ny zon'olombelona izay tsy sasatry ny nanasongadina ny fanenjehana ny Shiita Hazara ao Pakistan | Irfan Khudi Ali, mwanaharakati mashuhuri wa haki za binadamu ambaye bila kuchoka aliweka wazi uonevu wa kikabila unaofanywa kwa waShia wa Hazara nchini Pakistan, alifariki katika shambulio lililofuata. |
4 | Fiandrasana ny fatin'i @khudiali tao Islamabad. | Kukesha kwa ajili ya @khudiali nchini Islamabad. |
5 | Avy amin'i @ali_abbas_zaidi ny sary. | Picha na @ali_abbas_zaidi |
6 | Tao amin'ny Twitter, voalaza fa tafatsoaka tamin'ny daroka baomba voalohany tao Quetta i Ali: | Katika ukurasa wa Twita, Ali alitaarifu kuwa, aliponea chupuchupu kwenye tukio la mlipuko mabomu wa kwanza huko Quetta: |
7 | @khudiali : #Quetta, andeha hody tany aminy i Ali rehefa tafala tamin'ny daroka baomba nahafatesana olona 11. | @khudiali : #Quetta, nilikuwa ninaelekea nyumbani na ndipo nikaponea chupuchupu kwenye mlipuko wa bomu lililoua watu 11. |
8 | Maria Memon nisioka hoe: | Maria Memon alitwiti: |
9 | Namoy ny ainy i Ali tamin'ny fipoahan'ny baomba faharoa androany alina. | Ali hakuweza kuepuka kwenye mlipuko wa pili wa mabomu. Pumzika kwa amani. |
10 | Mandria am-piadanana @khudiali RT @khudiali #Quetta, andeha hody izy rehefa tafala tamin'ny daroka baomba voalohany nahafatesana olona 11 | @khudiali RT @khudiali #Quetta, alikuwa akielekea nyumbani na aliponea chupuchupu kwenye mlipuko wa mabomu ulioua watu 11 |
11 | Niteraka fanomezam-boninahitra ny tolona nataony ny famonoana azy ary nanavao [indray] ny fihetsiketsehana manohitra ny famonoana ireo Shiita ao Pakistana. | Kifo chake kimeamsha heshima ya juhudi zake na kupelekea kuamsha tena maandamano kuhusu mauaji ya watu wa Shia nchini Pakistani. |
12 | Tatitra momba ny zava-nitranga tao an-toerana izay mikasika ny fandosiran'ireo Hazara ny fanenjehana azy ireo ny sioka farany nalefan'i Ali : | Mara ya mwisho Ali alipoTwiti alituma taarifa kutoka katika eneo la machafuko iliyoelezea kuhama kwa watu wa jamii ya Hazara kulikotokana na unyanyasaji wa kiitikadi: |
13 | @khudiali Fianakaviana #Hazara #Machh,Khuzdir tsy naharitra noho ny vono olona miseho & nifindra toerana. | @khudiali #Familia za Hazara za #Machh,Khuzdir hatimaye imejikuta kwenye hali tete ya mauaji ya halaikifinally succumbed to the genocidal pressure&moving out. |
14 | Andro mampalahelo ho an'ny fahasamihafana ao #Balochistan. | Siku mbaya itokanayo na utofauti wa asili #Balochistan. |
15 | Irfan Ali, nandritra ny fihetsiketsehana manohitra ny herisetra manavakavaka tao Islamabad, Septambra 2012. | Irfan Ali wakati wa maandamano ya kupinga vurugu za kidini huko Islamabad mnamo Septemba 2012. |
16 | Tao amin'ny pejy Facebook-n'ny Fikamban'ny Tanora Pakistaney. | Kutoka katika ukurasa wa Facebook wa Umoja wa Vijana wa Pakistan. |
17 | Nanomboka tamin'ny taona 2001, ireo Miozolomana Shiita Hazara ao Quetta foana no kinendrin'ireo vondrona milisy. Vitsy an'isa eo anivon'ny vitsy an'isa, ny famonoana ireo Shiita Hazara no anisan'ireo tranga tsy misy mitantara mihitsy amin'ireo tranganà herisetra ao Pakistan | Tangu mwaka 2001, waislam wa Shia wa Hazara kutoka Quetta - kwa kawaida wamekuwa wakitafutwa na makundi ya kijeshi. wakiwa kama kundi la watu wachache miongoni mwa kundi la watu wa tabaka la chini, mauaji ya Hazara Shia ni miongoni mwa matukio ya kikatili yasiyotolewa taarifa kabisa nchini Pakistan. |
18 | Nandrakitra ny famonoana ireo Shiita Hazara ao Pakistana ny Hazara.net, anisan'izany ny isan'ireo fanafihana sy ny isan'ireo olona namoy ny ainy hatramin'izao. | Hazara.net inaonesha takwimu za kumbukumbu ya mauaji ya watu wa Hazara ya Shiite nchini Pakistan, ikijumuisha idadi ya mashambulizi na idadi ya watu waliouawa hasi sasa. |
19 | Araka ny tarehimarika voalazan'ny habaka, Shiita Hazara 1100 no efa namoy ny ainy tao Pakistan nanomboka ny taona 1999. | Kwa mjibu wa takwimu katika katika tovuti hiyo, jumla ya watu 1100 wa jamii ya Hazara Shiite wameshauliwa nchini Pakistan tangu mwaka 1999. |
20 | Matetika miatrika ny fahatezeran'ireo Pakistaney ny fampahalalam-baovao rehefa tsy mampahafantatra na mitantara ny zava-nitranga tamin'ny fanafihana na raha mitantara aza izy ireo, dia voatsikera noho ny fampiasana teny “sekta” rehefa antokom-pinoana vitsy an'isa manokana no kinendry. | Vyombo vya habari mara nyingi vimekuwa vikikabiliana na changamoto pale vinaposhindwa kuweka bayana kiini cha mashambulizi, na wnapofanya hivyo, wanalaumiwa kutumia ‘udhehebu' pale dhehebu fulani linaposhambuliwa. |
21 | Tamin'ny ezaka hidradradradrana ny zava-misy sy ny fanerena natao tamin'ireo tompon'andraikitry ny fampiharana ny lalàna sy ny governemanta, adihevitra mafana no niseho tao amin'ny media sosialy izay mikasika ny fikendrena hamono ireo Shiita, nampiasaina tamin'izany ny tenifahatra #shiakillings sy ny #shiagenocide tao amin'ny Twitter. | Katika juhudi za kupigia kelele na kuongeza nguvu kwa mashirika ya kuhakikisha sheria zinasimamiwa pamoja na serikali, kumekuwa na mjadala endelevu katika vyombo vya habari vya kiraia kufuatia mauaji ya kukusudia yanayoelekezwa kwa watu wa Shiite, mjadala unaoendeshwa kupitia viungo ishara #mauaji ya Shia na #mauaji ya kimbari ya shia katika Twita. |
22 | Nampiasa ny media sosialy ireo mpikatroka Hazara taloha mba hisarika ny sain'ireo fampahalalam-baovao iraisam-pirenena hitantara sy hitatitra ny zava-misy. | Kwa kipindi kilichopita, wanaharakati wa Shia, walitumia mitandao ya kijamii ili kupata kuungwa mkono na vyombo ya habari vya kimataifa ili habari zao ziweze kutangazwa. |
23 | Hoy koa ilay mpanao gazety hajaina Mohammad Hanif nanoratra: | Mwandishi wa habari anayeheshimika sana, Mohammad Hanif anaandika: |
24 | @mohammedhanif: toa tahaka ny efa akaiky ny fankasitrahana eto, fa ny fiantsona ny fanafihana antokom-pivavahana, ho fanafihana antokom-pivavahana no tena anton'ny fanafihana antokom-pivavahana | @mohammedhanif: inaonekana kutakuwa na muafaka siku za hivi karibuni kuwa kuita ni mashambulizi ya kidhehebu ni chanzo kikubwa cha mashambulizi ya kimadhehebu. |
25 | @zainabimam: Tsara, Faisal Qureshi (mpilalao) tamin'ny seho maraina amin'ny antsipirihany mikasika ny fahitan'ny Shiita ny finoana. | @zainabimam: Kazi nzuri, Faisal Qureshi (muigizaji) kwa kipindi cha asubuhi kuhusu imani ya watu wa Shia. |
26 | Sahisahy tokoa izy. | Ameonesha ujasiri. |
27 | Fisaorana avy aty amin'ny #Shia. | Shukrani kutoka #Shia. |
28 | #Pakistan | #Pakistan |
29 | @adyadeel: Tokony hifarana ny #ShiaGenocide (fandripahana ny Shiita), tokony handray fepetra azo tsapain-tanana ny governemanta mba hanehoany fa te-hanavotra marina ny fiainan'ireo Shiita tsy manan-tsiny izy | @adyadeel: #mauaji ya halaiki ya Shia lazima yaishe. Serikali lazima ichukue hatua stahiki ilikuonesha kuwa wako makini katika kuokoa maisha ya watu wa Shia wasio na hatia. |
30 | Bilaogera Omar Biden nanoratra lahatsoratra fohy na fanomezam-boninahitra mampihetsi-po ho an'i Irfan Khudi Ali tao amin'ny bilaoginy: | Mwanablogu Omar Biden, aliandika makala fupi ya heshima kuhusu Irfan Khudi Ali katika blogu yake: |
31 | Andro iray tamin'ireo andro marobe nihoson-drà ny omaly tao an-drenivohitr'i Balochistan, Quetta. | Jana ilikuwa ni miongoni mwa siku nyingi za umwagaji damu kwa mji mkuu wa Balochistan ambao ni, Quetta. |
32 | Vao maraina dia efa nahare baomba nipoaka ny mponina tao an-tanàna, napetraka tao anatin'ny fiaran'ny Mpiandry Sisintany ao Bacha Khan Chowk ireo baomba. | Mapema asubuhi ya leo, wakazi wa jiji wametoka kusikia sauti ya mlipuko wa mabomu ambayo yalitegwa kwenye gari la mgambo wanaolinda mpakani huko Bacha Khan Chowk. |
33 | Olona 12 no namoy ny ainy vokatr'izany fipoahana izany. | Mlipuko huo ulipelekea watu 12 wasio na hatia kuuawa. |
34 | Niteraka korontana tanteraka teo amin'ireo mponina ny fandevenana ireo vatana mangatsiaka. | Kwa hakika, ilisababishaIndeed, it created helter-skelter kati ya wakazi kuzika miili ya watu waliofariki. |
35 | Tsy mandeha ao Pakistana ny fitsipika “leo”, eny fa na ao Quetta aza. | Bado, kanuni ya zaidi-halafu-itoshe haitumiki nchini Pakistani, angalao siyo huko Quetta. |
36 | Taorian'ny elanelan'ora fohy fotsiny, niatrika vono olona hafa indray ny tao amin'ny Làlana Alamdar, sisintany be mponina Shiita Hazara indrindra, mbola tetikady tahaka ilay fipoahana tamin'ny maraina ihany no nampiasaina tamin'izany. | Baada ya masaa machache, barabara ya Almadar, makazi muhimu ya watu wa Shia Hazara, ilishuhudiwa mauaji makubwa ya kinyama, na tena kwa kutumia mbinu ileile iliyotumika kwenye mlipuko wa asubuhi. |
37 | Saingy nanomana “Mardanawar” amim-pahasahiana kosa tamin'ity fotoana ity, fipoahana roa mitaky loza tsy hay adinoina (…) | Hata hivyo, hii “Mardanawar”, lililotegwa kwa muda maalum, kwa ujasiri kabisa, mlipuko pacha uliosababisha uharibifu usiosahaulika (…) |
38 | Niteraka aina nafoy marobe izany loza feno habibiana izany. | Matukio ya kikatili yamegharimu idadi kubwa ya watu kwa hakika. |
39 | Ary anisany namoy ny ainy tamin'izany, ny namana mahafinaritra, mpikatroka ny zon'Olombelona -Irfan Ali Khudi. | Hali iliyopelekea pia kifo cha rafiki aliyekubalika, mwanaharakati wa haki za binadamu-Irfan Ali Khudi. |
40 | Voalaza fa tonga tao Quetta i Irfan Ali Khudi, 33 taona mba “hampiofana ireo tanora mpikatroka momba ny filaminana ”. | Kama inavyodaiwa, Irfan Ali Khudi mwenye umri wa miaka 33, alifika Quetta ili aweze “kutoa mafunzo kwa wanaharakati wanaochipukia”. |
41 | Na dia mbola te hanoratra ny fihetseham-poko aza aho, tsy vitako intsony ny mamarana ity lahatsoratra ity… | Pamoja na kuwa nililenga kuandika mawazo yangu, ninaiacha makala hii bila kuimalizia… |
42 | Tsy vao voalohany amin'ny tranga tahaka izao ny andron'ny rà mandriaka ao Quetta, araka ny filazan'i Omar, ary mety tsy ho farany ihany koa. | Siku ya damu Quetta, kama Omar anavyoiita, siyo ya kwanza ya aina yake na inaweza isiwe ya mwisho. |
43 | Nahatezitra ny maro ny tsy firaharahiana, indrindra hatramin'ny nanakanana ny fikambanana Sonita mahery fihetsika Lashkar-e-Jhangvi izay nanao ny fanafihana ka mbola tsy tratra hatramin'izao. | Hali ya kutokuwa na maelewano imewakasirisha wengi, haswa hswa tokea kikundi cha kijeshi kilipofutwa, Lashkar-e-Jhangvi, waliotangaza kuhusika na mashambulizi, bado hawajakamatwa. |
44 | @sehartariq : Nahoana isika no mahatsiaro fiombonam-pò miaraka amin'ny Miozolomana ao Gaza fa tsy miaraka amin'ny Miozolomana ao #Pakistan izay iray tantara & iray tanindrazana aminay #shiagenocide | @sehartariq : kwa nini tunawaonea huruma Waislamu wa Gaza kuliko Waislamu wa #Pakistan ambao tuna historia moja na vinasaba vinayofanana; uraia #mauaji ya halaiki ya shia |
45 | @zzzAsad : Ireo mpivahiny Shiita ao anaty fitatera-bahoaka matetika no tena kendren'ireo mpivavaka mahery fihetsika #LeJ #ShiaGenocide | @zzzAsad : Watu wa Shia mara nyingi huwa wanaviziwa na wanamgambo wenye mrengo wa kidini pindi wanaposafiri kwa mabasi kwenda kuhiji. |
46 | @FahidJaved : Ianareo mpivaro-kena mpandatsa-drà #LeJ, vonoy aho #WeAreAllHazara. | #LeJ #ShiaGenocide @FahidJaved : Wewe muuaji #LeJ uliye katili, niue mimi#WeAreAllHazara. |
47 | Hazara avokoa ny Pakistaney rehetra, izahay tsirairay avy. | Kila mtu wa Pakistani ni wa jamii ya Hazara, kila mmoja wetu. |
48 | Firy no hovonoinareo? | Mtawaua wangapi? |
49 | Firy ny bala anananareo? | Mna risasi ngapi? blockquote> |
50 | @Naseer_Kakar : Vaovao farany tao #Quetta: nafindra any amin'ny hopitaly miaramila avokoa ireo niharam-boina rehetra satria niharan'ny fandrahonan'ny #LeJ tao amin'ny Hopitalim-bahoaka ireo mpitsabo. | @Naseer_Kakar : Mapema katika #Quetta: Wahanga wote waehamishiwa katika hospitali ya kijeshi kutokana madaktari kutishwa na #LeJ katika hospitali za umma. |
51 | #Balochistan #blasts | #Balochistan #blasts |
52 | @AhmadShuja : Mandria am-piadanana @khudiali. | @AhmadShuja : RIP @khudiali. |
53 | Nalatsak'izy ireo ny ainao, saingy mitoetra ny herim-ponao sy ny aingam-panahinao. | Walikuua lakini hamasa na ari uliyokuwa nayo inaendelea kubaki. |
54 | #LeJ #Quetta | #LeJ #Quetta |
55 | @ZakirChangezi : Nilaza momba an'i #KhudiAli “Maty ny vahoakako Shiita. | @ZakirChangezi : Quoting #KhudiAli “Watu wangu wa Shia wanaangamia. |
56 | Raha maty aho, te ho faty noho ny ezaka hanampy azy ireo”. | Kama initakufa, ninataka kufa huku nikijaribu kuwaokoa” #RIPKhudiAli |
57 | #RIPKhudiAli Nandà tsy handevina ireo havany maty ny fianakaviana ary nanambara fa hanohy hanao sit-in izy ireo raha tsy mandray andraikitra haingana manoloana ny vono-olona ny tafika. | Familia za wahanga zilikataa kuzika miili ya ndugu zao na wametangaza kuwa wataendelea na maandamano ya kupinga unyanyasaji wa kikabila hadi hapo jeshi litakapochukua hatua ya kukomesha mauaji haya ya kinyama. |
58 | Mampiseho ireo Hazara an'arivony mipetraka anaty orana miaraka amin'ireo vatana mangatsiaka lavo nandritra ny daroka baomba tao Quetta ity sary narakitra tao amin'ny Twitter ity. | Picha hii iliyopakiwa katika ukurasa wa Twita inawaonesha maelfu ya watu wa Hazara wakiwa wameketi huku wakinyeshewa mvua huku kukiwa pia na miili ya watu waliopoteza maisha katika mauaji ya halaiki wakati wa milipuko ya Quetta. |
59 | @ammar_faheem : Nikarakara sit-in tao amin'ny lalàna Almadar ireo mpanao fihetsiketsehana Shiita miaraka amin'ireo nofo mangatsiakan'ny martiora tamin'ny daroka baomba omaly #ShiaGenocide | @ammar_faheem : Waandamanaji wa Shia protesters stage sit in on Quetta's katika barabar ya alamdaar wakiwa na miili ya watu waliokufa katikaa milipuko ya mabomu iliyotokea jana#ShiaGenocide |
60 | @AdnanSarparrah : Mitohy ny Sit-in ataon'ireo fiarahamonina Shiita saingy tsy hamaha olana ny fanankinana an'i #Quetta amin'ny tafika, efa voafehin'ny tafika (FC) sahady tsinona i Quetta | @AdnanSarparrah : Maandamano yanayofanywa na watu wa Shia ya kupinga unyanyasaji wa kikabila yanaendelea lakini kukabidhiSit-in by the Shia community continues but handing over #Quetta kwa jeshi haitakuwa njia muafaka, Quetta tayari ipo chini ya uangalizi wa Jeshi (FC) |
61 | Nandray anjara fitenenana tamin'ny hetsika Tedx tao an-tanànan'i Rawalpindi i Ali, herinandro vitsy lasa izay, jereo ato kabariny manana angovo. | Ali aliongea katika tukio la Tedx huko katika jiji la Rawalpindi mapema wiki chache zilizopita, tazama hapa hotuba yake iliyo na hamasa kubwa |
62 | Natokan'i Ali tamin'ny fanasongadinana ny mafy mahazo ireo Hazara ny ankamaroan'ny fiainany, ho an'ireo izay mahafantatra azy na ireo tsy mahafantatra azy, nanjary modelin'ny tolona ho amin'ny rariny ho an'ny Fiarahamonina Hazara ao Pakistan izy. | Ali alitumia muda wake mwingi kuelezea hali ngumu wanayopitia watu wa Hazara, kjwa wale waliotokea kumfahamu na wale ambao hawakumfahamu, amekuwa ni mfano wa kuigwa katika harakati za kutafuta amani kwa jamii ya watu wa Hazara nchini Pakistani. |
63 | Satria mbola mitohy ao anatin'ny hatsiaka sy ny orana ny sit-in , ary mandà handevina ny havany ireo fianakaviana, handray andraikitra ve ireo manampahefana mba hampitsahatra ny fandatsahan-drà? | Wakati maandamano hayo yakiendelea, katika hali ya baridi na mvua, huku familia zikikataa kuzika miili ya ndugu zao, je serikali itachukua juhudi za dhati za kukomesha mauaji haya ya Halaiki? |
64 | Hatreto, tokony ho ren-tany sy ren-danitra ny tantaran'i Ali. | Hadi wakati mwingine, habari ya Ali inapaswa kusikika. |