Sentence alignment for gv-mlg-20120614-34248.xml (html) - gv-swa-20120617-3155.xml (html)

#mlgswa
1Korea Atsimo: Fandrindràm-piterahana Niteraka Resaka BeKorea ya Kusini: Mabadiliko ya Sheria kuhusu Uzazi wa Mpango Yaibua Mjadala Mkali
2Ny 7 May 2012 dia nanambara ny sampandraharaha Koreana misahana ny Sakafo sy ny Fanafody fa ny fanafody fampiasa maika ho fisorohana ny vohoka, fantatra amin'ny hoe morning-after pills, na ‘Pilina raisina ny ampitson'iny' dia ho azo jifaina malalaka.Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Korea ilitangaza mnamo tarehe 7 mwezi Mei, 2012,kuwa dawa za kupanga uzazi za dharura zinazojulikana kama dawa za mara baada ya kujamiiana (morning-after pills) zitaanza kununuliwa bila hata ya kupata ushauri wa daktari.
3Na izany aza, ireo pilina atelina ho fisorohana vohoka izay namidy malalaka teo aloha dia ilàna taratasim-panafody. Ho an'ny tanora dia mbola ilaina hatrany ny taratasim-panafody ho an'ireo pilina fampiasa maika.Hata hivyo, mabadiliko haya yamesababisha dawa zisizo za dharura za kupanga uzazi [ambazo hapo awali zilitumiwa bila ulazima wa ushauri wa daktari] kuhitaji kwanza ushauri wa daktari kabla ya kutumiwa.
4Niteraka resabe teny anivon'ny aterineto ireto fiovàna tampoka teo amin'ny fepetra fomba fahazoana fanafody ireto.Pamoja na hayo, ushauri wa kitaalamu kuhusu njia za uzazi wa mpango za dharura kwa vijana umeonekana kuwa bado utahitajika.
5Na dia mbola misy aza ny resaka mandeha eny anivon'ny vondrom-piarahamonin'ny mpitsabo momba ny risika sy ny maha-mahomby na tsia an'ireny fanafody fampiasa maika ho fisorohana vohoka ireny, maro amin'ireo Koreana mpampiasa ny aterineto no naneho ny tsy fitovian-keviny amin'izao fiovàna henjana izao.Mabadiliko haya ya ghafla kuhusiana na kanuni zinazoongoza matumizi ya dawa, yameibua mijadala mikali katika mtandao. Wakati bado kukiwa na mijadala endelevukuhusiana na madhara na manufaa ya njia hii ya dharura ya kuzuia mimba miongoni mwa watabibu, watumiaji wengi wa mtandao wa intaneti wa Korea wamekwishaonesha kutoridhishwa na mabadiliko haya.
6Araka izay voatanisa ao amin'ny lahatsoratra vaovaon'ny Hangyoreh [ko], nanakiana ilay fanapahan-kevitra ireo fikambanana mpiaro ny zon'ny vehivavy sy ireo vehivavy tanora tsy mbola manambady, fanapahana izay mamadika ireo fanafody fisorohana vohoka efa mahazatra ho lasa sarotra dia sarotra.Kama ilivyokaririwa katika gazeti la Hangyoreh [ko]mashirika ya kutetea haki za wanawake na haswa wanawake vijana ambao hawajaolewa, yamekwishapinga uamuzi huu kwa kuwa gharama za dawa za kuzuia mimba zilizopendekezwa haziendani na hali halisi.
7Pilina fisorohana vohoka.Vidonge vya kuzuia mimba.
8Sary an'ilay mpampiasa Flickr, Beppie K (CC BY-NC-SA 2.0).Picha na Flickr user Beppie K (CC BY-NC-SA 2.0).
9@redparco , mpampiasa Twitter, dia mampahatsiahy [ko] ny olona mikasika ny fitsaratsarana mahazo ireo vehivavy tsy manambady tonga manatona mpitsabo ara-pananahana ao anatin'ny fiarahamonina Koreama Atsimo, izay mbola somary mpifikitra amin'ny fomban-drazana sy mandray ny lehilahy ho loham-pianakaviana :Mtumiaji wa Twita, @redparco aliwakumbusha [ko] wale wasiokubaliana na suala la wanawake wa jamii ya watu wa Korea ya Kusini ambao hawajaolewa [wanaoenda kwa wataalamu wa kitabibu wa magonjwa ya wanawake] kuwa ni watu wasiotaka mabadiliko na ni wa mfumo dume.
10Raha toa ry zareo [sampandraharaha misahana ny Sakafo sy ny Fanafody] te-handray ny tranga Eoropeana ho ohatra, dia tokony hataon-dry zareo izay hampahalalaka ny fahafahana manao fizahana ara-pananahana sy mahazo ireo fanafody fisorohana vohoka - tahaka izay atao any amin'ireo firenena Eoropeana ireo.Mtumiaji huyu wa twita alisema; Wanapotaka [Mamlaka ya Usimamizi wa Chakula na Dawa] kufananisha na hali ilivyo Ulaya, basi wanapaswa kwanza kuhakikisha kuwa kuna huduma za kutosha za wataalamu wa magonjwa ya wanawake na upatikanaji mzuri wa dawa za kupanga uzazi kama inavyofanyika katika nchi hizo za ulaya.
11Farafahakeliny ry zareo mba tokony hametraka rivo-piarahamonina sosialy izay hahazoan'ireo vehivavy tsy manambady aina tsara rehefa mba mamonjy mpitsabo ara-pananahana haka fanafody fitelina ho fisorohana vohoka.Angalao wanapaswa kuandaa mazingira ambayo yatawafanya wanawake wa Korea kuwa huru kuonana na wataalamu wa magonjwa ya wanawake ili kupata ushauri kuhusiana na dawa za kuzuia mimba za kumeza”.
12Niala avy any i @marisusa [ko] niaraka taminà tohan-kevitra nitovitovy tamin'izay :@marisusa came up [ko] alikuwa na wazo linalofanana na la mchangiaji aliyetangulia.
13Ny pilina raisina ny ampitson'iny, na ‘morning-after pill‘ dia tahaka ny fanomezan-tsiny ny vehivavy amin'izay nitranga ihany.Alisema:: “Dawa za dharura za uzazi wa mpango ni kama kuwalaumu wanawake kwa kile kilichotokea.
14Ary dia mety hisy ny fanararaotana amin'ny fampiasana azy amin'izay fijery izay.Na kuna dalili kuwa zingalikuwepo dharau za namna hiyo”.
15ThinkThink, taorian'ny nanasàny namana hafa hanatevin-daharana adihevitra iray, dia naminavina [ko] hoe ilay fiovàna tampoka teo amin'ny politika ity dia manaraka lalan-kevitra amin'ny fikatsahana tombony betsaka ho an-tena fa tsy ny ho fitsinjovana ny fahasalaman'ny daholobe akory.ThinkThink,baada ya kualika watumiaji wengine wa mtandao katika mjadala, aligundua [ko] kuwa kubadilika ghafla kwa sheria hii kumechochewa na kutaka faida kubwa zaidi kuliko kuthamini huduma za afya kwa jamii.
16Shin Jae-eun dia nanamarika avy hatrany teo ambanin'ny lahatsoratr'ilay mpampiasa aterineto hoe :Shin Jae-eun alitoa mawazo yake kufuatia mawazo ya mtumiaji mwingine wa mtandao. Alisema:
17Rehefa lasa tsy maintsy ilàna taratasim-panafody ny fanafody [fitelina] fisorohana vohoka, ireo olona matahotra ny mason'ny hafa dia tsy ho sahy hamonjy [mpitsabo ara-pananahana] an-kalalahana - izay hiafara amin'ny fitomboan'isan'ny fanalàn-jaza sy ny tsy fahombiazan'ny fandrindràm-pterahana […] Manohitra azy io tanteraka aho.“ Wakati ambapo dawa za kumeza za mpango wa uzazi zinapokuwa ni lazima kwanza kupata ushauri wa wataalamu kabla ya kutumia, watu walio na woga haitakuwa rahisi kwao kuonana na wataalamu [wa magonjwa ya wanawake] ambapo hali hii inaweza kusababisha kuongezeka kwa matukio ya utoaji mimba na hatimaye kuzuia mimba likawa jambo lililoshindikana.
18Raha ny ankamaroan'ireo mpampiasa aterineto mampitandrina momba ny loza mety hateraky ny pilina fampiasa maika ho fisorohana vohoka, indraindray manondro azy ireny ho toy ny ‘baomba hormonaly', ilay mpampiasa Twitter, @__mangmang kosa nibitska hoe [ko]:Binafsi sikubaliani na mpango huu kabisa. Wakati watumiaji wengi wa mtandao wakionya kuhusu madhara ya dawa za kupanga uzazi za dharura, wakati mwingine wakizitafsiri kama ‘dawa hatari kwa homoni.
19Raha ny marina, ilay pilina fampiasa maika ho fisorohana vohoka - araka ny anarany rahateo - dia pilina “fampiasa anaty hamehana”, noho izany dia tsy misy zavatra tokony tsy hahamety ny famarotana azy malalaka.', Mtumiaji mmoja wa Twita @__mangmang alisema [ko]: “Dawa za muda mfupi za kupanga uzazi, kama jina lenyewe linavyotanabaisha ni kidonge cha “dharura”, kwa hiyo hakuna ubaya kwa utaratibu huu wa kununua bila hata ya ushauri wa daktari.
20Kanefa, rehefa navadika ho tsy maintsy ilàna taratasim-panafody ny pilina fitelina ho fisorohana vohoka, dia tena henjana izany, azo lazaina ho tsy vitan'ny tanora intsony, sy ny vehivavy miaina any amin'ny faritra kely ivelan'ny tanàn-dehibe sy anaty vondrom-piarahamonina madinika ny hividy ilay pilina [lavitry ny mason'ny olona].Hata hivyo, ikiwa dawa za kumeza za uzazi wa mpango zitakuwa katika mfumo wa kuhitaji kwanza ushauri wa daktari, haitakuwa rahisi na haitowezekana kabisa kwa vijana na wanawake wanaoishi nje ya miji na wale wa jamii ya hali ya chini kununua kidonge [bila mashaka yoyote]
21Ery ankilan'ireo vondrona mpiaro ny zon'ny vehivavy, ny fiangonana Katolika dia manohitra ilay fanapahan-kevitra.Mbali na makundi ya kutetea haki za wanawake, Kanisa Katoliki nalo linapinga uamuzi huu.
22Ny fiangonana Katolika ao amin'ny faritanin'i Chungcheong aza dia nanao hetsi-panoherana teo anoloan'ny tranoben'ny Sampandraharaha misahana ny Sakafo sy ny Fanafody, nampitandrina fa ilay pilina [fampiasa maika ho fisorohana vohoka] dia mety hanimba ny maoralin'ny olona sy hanome lesona ratsy mikasika ny lanjan'ny aina, indrindra fa ho an'ireo adolantsento - tohan-kevitra iray tsy lanin'ireo mpampiasa Twitter marobe.Kanisa Katoliki katika jimbo la Chungcheong waliitisha maandamano mbele ya jengo la Mamlaka ya Chakula na Dawa wakionya kuwa [dawa za dharura za kuzuia mimba] vidonge hivi vinaweza kuathiri imani za watu na kuwapa mafundisho ya kuwapotosha kuhusiana na thamani ya maisha hususani kwa vijana- mtazamo ambao watumiaji wengi wa twita hawautilii maanani
23@symadam5 nibitsika hoe [ko]:@symadam5 alisema [ko]:
24Ry zareo Katolika izay manamafy fa ny fanaovana izay hampahalalaka ny fanjifàna pilina fampiasa maika ho fisorohana ny vohoka dia hampiroborobo ny fahasimban'ny ara-maoraly sy handrisika ny fanalàn-jaza - fa efa tsy mitehan-tany intsony ve ry zareo e ?Hao wakatoliki wanaodai kuwa dawa za dharura za kupanga uzazi kuweza kutumiwa bila ya kupata ushauri wa daktari kunaweza kuhamasisha kupotea kwa maadili na kuhamasisha utoaji mimba- wameshindwa kuupata uhalisia?
25Ny tahan'ny fanalàn-jaza tsy araka ny lalàna sy ny tahan'ny fananganan-jaza iraisam-pirenena dia efa faran'izay ambony be sahady eto amin'ity firenena ity.Kiwango cha utoaji mimba ambao si halali tayari upo juu sana katika nchi hii na hata kimataifa.
26Karazana fomba fisaina manidintsidina toy inona ity an-dry zareo ity e?Wana fikra zisizo na mashiko kwa kiasi gani?
27Raha tsy afaka mahazo pilina fitelina ho fisorohana vohoka ny olona iray, dia tokony ho afaka mandray ny pilina fampiasa maika izy - izay no antony iantsoana azy hoe fisorohana ‘maika'.Kama mtu akishindwa kutumia njia ya kumeza vidonge vya kuzuia mimba, basi hana budi kutumia vinginevyo - na hii ndio maana inaitwa njia ya kupanga uzazi ya “dharura”.
28Dia efa fanitàrana tafahoatra kosa ny filazana fa azo adika ho fanalàn-jaza ny fandraisana ilay pilina ao anatin'ny 72 ora.Ni upotoshaji kusema kuwa kutumia kidonge cha uzazi wa mpango ndani ya saa 72 kuwa ni utoaji mimba
29Ity fanovàna tamin'ny politika mikasika ny fisorohana vohoka ity dia tokony hanomboka hanan-kery amin'ny fiandohan'ny taona ho avy.Sera hii mpya ya njia za uzazi wa mpango inategemewa kuanza kutumika rasmi mapema mwaka ujao.