# | mlg | swa |
---|
1 | Vehivavy Iray Avotra Rehefa Tafahitsoka 17 Andro Tany Ambaninà Orinasa Rava Tao Bangladesh | Mwanamke Aokolewa Kwenye Kifusi Baada ya Siku 17 |
2 | Tamin'ilay andro niakaran'ny isan'ny maty ho 1.055 nandritra ny firodananà orinasa manana rihana sivy tany Savar (any ivelan'ny Dhaka, renivohitr'i Bangladesh), dia nisy vehivavy mpiasa antsoina hoe Reshma Begum kosa hita velona taorian'ny nahavoafandrika azy tanatin'ilay trano rava nandritra ny 17 andro, firodananà tranobe nahafaty olona be indrindra hatramin'ireo fanafihan'ny mpampihorohoro ny 9/11. | Siku ifananayo na ile iliyogharimu maisha ya watu mara baada ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa tisa huko Savar pembezoni mwa mji mkuu wa Banglasesh, Dhaka idadi ya vifo imeongezeka hadi 1,055, hadi sasa hili ndilo jingo lililowahi kuporomoka na kuua idadi kubwa zaidi ya watu tangu lilipotokea shambulizi la kigaidi mnamo tarehe 9/11, mfanyakazi mmoja mwanamke ajulikanaye kwa jina la Reshma Begum amekutwa akiwa hai baada ya kuzuiwa na vifusi vya jengo hilo kwa siku 17. |
3 | Mpandraharaha amin'ny zaitra no asan'i Begum tao amin'ny rihana faharoan'ilay tranobe. | Begum alikuwa akifanya kazi ya ushonaji katika ghorofa ya pili ya jengo hilo. |
4 | Raha nirodana ilay tranobe, voafandrika tao anatinà mosquée tao anatin'ny fototr'io tranobe io ilay vehivavy 24 taona ary nijanona tao 416 ora, niaina tamin'ny alalan'ny fantson-drano sy fikarohana bisikitra tany anatin'ny kitapon'ireo mpiara-miasa maty. | Jingo lilipoporomoka, mwanamke huyo wa miaka 24 alizuiwa ndani ya msikiti uliokuwa sakafu ya ardhi na aliweza kustahimili kwa masaa 416 kwenye vifusi kwa kupumua kupitia kwenye bomba pamoja na kutafuta biskuti kwenyee vibegi vido vya mgongoni vya wenzake waliokuwa wameshapoteza maisha. |
5 | Tanatin'ireo andro vitsy taorian'ny nirodanany ny 24 Aprily 2013, olona 2.428 no avotra avy ao anatin'io tranobe nirodana io. | Katika siku chache za kwanza mara baada ya jingo hilo kuporomoka mnamo Aprili 24, 2013, watu 2,428 wameshaokolewa kutoka katika vifusi vya jengo hilo. |
6 | Haingana dia haingana ny fihenan'ny fanantenana hahita olona velona hafa tao anivon'io trano rava io. | Tumaini la kuwapata watu wengine wakiwa hai katika vifusi vya jengo hilo linazidi kufifia. |
7 | Ireo Bangladeshi mpamonjy voina manavotra an'i Reshma ilay mpanamboatra akanjo avy tao amin'ny sisa tavelan'ilay trano rava tany Savar taorian'ny 17 andro. | Waokoaji wa Bangladeshi wakimuokoa mfanyakazi wa kiwanda cha kutengenezea nguo ajulikaye kwa jina la Reshma kutoka kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka baada ya kufunikwa kwa vifusi vya jengo hilo kwa siku 17. picha na Rehman Asad. |
8 | Sary an'i Rehman Asad. | Copyright Demotix (10/5/2013). |
9 | Copyright Demotix (10/5/2013). | Begum aliwaambia mawakala wa habari : |
10 | Nilaza taminà masoivoho mpampiely vaovao iray i Begum: | kwa kiasi kikubwa niliweza kuishi kwa kunywa maji. |
11 | Ny fisotroko rano no tena nahavotra ahy. | Nilibanwa mara tu baada ya jengo kuporomoka. |
12 | Voafandrika avy hatrany aho vantany vao nirodana ilay tranobe. | Haraka nilielekea kwenye chumba kwa ajili ya maombi kama mkimbizi. |
13 | Nandeha haingana tany amin'ny efitra fivavahana aho hialofako. Nandatsaka rano imbetsaka tao ireo mpanavotra aina. | Waokoaji walikuwa wakitupa chupa za maji ndani ya chumba hicho mara kwa mara. |
14 | Afaka nanangona roa tavoahangy aho ary naharitra nandritra ireo andro ela ireo. | Niliweza kupata chupa mbili za maji ambazo ndizo zilizonifanya nikawa hai kwa siku zote hizi. |
15 | Nampihetsika ny fon'ny maro ny fahagagana nahavotra an'i Begum. | Kuepuka kifo huku kwa miujiza kwa Begum kuliibua hisia kali miongoni mwa wtu wengi. |
16 | Nanoratra ny mpitoraka bilaogy Ashraf Shishir (@ashrafshishir) raha nandre izany vaovao tsara izany: | Baada ya kusikia habari hizi nzuri, mwanablogu Ashraf Shishir (@ashrafshishir) aliandika: |
17 | @ashrafshishir (Ashraf Shishir): Nitomany toa zaza aho taorian'izay ela izay. | @ashrafshishir (Ashraf Shishir): Nililia kama mtoto kwa muda mrefu. |
18 | Avotra soa aman-tsara i Reshmi na Reshma!.. | Reshmi au Reshma ni hivi punde tu ameokolewa akiwa hai!.. |
19 | Niezaka ny tsy hitomany noho ny hafaliany ilay mpiasa eo amin'ny sehatry ny fampivoarana Shahana Siddiqui (@shahanasiddiqui). | Muundaji wa nguo, Shahana Siddiqui (@shahanasiddiqui) alijitahidi kutoililia furaha. |
20 | Nibitsika izy hoe: | Alitwiti: |
21 | @shahanasiddiqui: Mitana ny ranomasoko tsy hilatsaka aho raha mamaky mikasika ny fanavotana mahagaga an'i Reshma! | @shahanasiddiqui: Niliacha kutoa machozi yangu mara baada ya kusikia kuokoka kimiujiza kwa Reshma! |
22 | Fotoam-pifaliana, fotoana fireharehana #Bangladesh #savar. | Ni wakati wa furaha, ni muda wa kujisikia fahari. |
23 | Mikaroka eo amin'ilay lempona fisavàna anatin'ny sisan'ny Rana Plaza ny miaramila sy ireo mpanavotra aina, izay nahitan'izy ireo an'i Reshma velona tao ambanin'ireo faharavana. | Wanajeshi na waokoaji wakiangalia sehemu Rishma alipokuwa amezuiwa na kifusi cha jengo la Rana Plaza, mahali walipompata akiwa hai. |
24 | Sary an'i Firoz Ahmed. | Picha na Firoz Ahmed. |
25 | Copyright Demotix (10/5/2013) | Copyright Demotix (10/5/2013) |
26 | Baroness Sayeeda Hussain Warsi (@SayeedaWarsi), minisitra lehibe misahana ny raharaham-bahiny sy ny fananana iombonana ao Angletera, dia namaly rehefa avy nandre ireo vaovao momba ny fanavotana an'i Reshma: | Baroness Sayeeda Hussain Warsi (@SayeedaWarsi), waziri mwandamizi wa Uingerezera anayehusika na mambo ya nje na ushirikiano wa makoloni ya Uingereza alitoa maoni yake mara baada ya kusikia habari za kuokolewa kwa Reshma: |
27 | @SayeedaWarsi: Sehatra tsy fahita & mampitraka mampiseho vehivavy tanora avotra 17 andro taorian'ny nirodanan'ny tranobe tao #Savar. | @SayeedaWarsi: ni zaidi ya ajabu; tukiio la kutia moyo kwa mwanamke mdogo kuokolewa baada ya siku 17 kupita tokea jengo la Savar kuporomoka. |
28 | Tara-panantenana eo anivon'ny lozabe. | Mwale wa matumaini katikati ya janga. |
29 | Asif Touhid, manampahaizana amin'ny raharaham-barotra, nanoratra tao amin'ny Facebook: | Asif Touhid, mtaalamu wa mauzo, aliandika katika Facebook: |
30 | Reshma … Ry anabavy malala, nanome aingam-panahy ahy ny fikirizanao hiaina ary namerina indray ny finoako ny vahoakako. Nisaotra ireo mpamonjy aina rehetra izay niasa mafy mba hamoahana an'i Begum tao velona i Kamrul Hasan (@_Kamrul_Hasan_), mpanao gazety : | Reshma … dada mpendwa,Dear sister, ushupavu wako wa kuishi kwenye vifusi kwa siku zote hizo kumenipa hamasa na kurejesha imani kwa watu wangu. blockquote> Mwandishi wa habari Kamrul Hasan (@_Kamrul_Hasan_) aliwashukuru waokoji wote kwa juhudi zao walizozionesha kwa kumuokoa Begum akiwa hai: |
31 | @Kamrul_Hasan: Azo atao tsara na aizany aza! | @Kamrul_Hasan: kumbe hili linawezekana! |
32 | Arahabaina ry Reshma, mirary anao hiaina sy ho salama. | Hongera sana reshma, uishi maisha marefu na mazuri. |
33 | Saotra be dia be ho an'ny ekipan'ny miaramila mpamponjy aina ao Bangladesh noho ny ezak'izy ireo. | Shukrani za pekee kwa jopo la waokoaji wa kijeshi kwa juhudi walizoweka. |
34 | Nampametraka fanontaniana ny anjara asan'ny media raha nanantona ilay navotana [Begum] izy ireo ary niezaka ny hanadihady azy. | Jukumu la vyombo vya habari lilihojiwa pale walipohamia kwa Begum na kujaribu kumhoji. |
35 | Nanentana ny mpiara-miasa aminy ny mpanao gazety Tanvir Ahmed tao amin'ny Facebook: | Mwandishi wa habari Tanvir Ahmed aliwahoji waandishi wenzake katika ukurasa wa Facebook: |
36 | Miangavy anareo ho faly amin'ny vaovao omen'ireo mpamonjy aina sy ny ekipa mpitsabo. | Tafadhali mridhike na mahojiano na waokoaji pamoja na jopo la madaktari. |
37 | Aza misahirana manontany azy ny fomba naharetany niaina nandritra izay andro maro izay. | Msijisumbue kuuliza jinsi alivyoweza kuishi kwenye vifusi kwa siku zote hizo. |
38 | Maninona no tsy tonta ny fitafiany? | Kwa nini nguo zake hazikutatuka? |
39 | Tsy ny famaliana izany fanontaniana izany no ilainy, fa ny fitsaboana faingana dia faingana. | Badala ya kujibu maswali yote haya, anahitaji huduma ya haraka ya matibabu. blockquote> |
40 | Mbola tsy kivy ny fianakavian'ireo mpiasa tsy hita na maty na 17 andro taorian'ilay loza aza. | Ndugu wa waliokuwa fanyakazi katika kiwanda cha nguo waliopotea au kufariki wameendelea kuwa na matumaini ya kuwapata ndugu zao siku 17 baada ya tukio hili. |
41 | Sary an'i Shafiur Rahman. | Picha na Shafiur Rahman. |
42 | Copyright Demotix (10/5/2013) | Copyright Demotix (10/5/2013) |
43 | Ilay orinasa mpamokatra akanjo tonga dia vonona no mpanondrana goavana indrindra mampidi-bola ao Bangladesh, araka izany dia endrika ratsy ho an'i Bangladesh ny faharavan'io tranobe io eo imason'ny maro. | Biashara ya nguo zilizokuwa tayari ndio chanzo kikubwa kabisa cha pato la nje kwa nchi ya Bangladesh, kwa hiyo, kwa mtazamo wa wengi, kuanguka kwa jengo hilo kunachorwa kuwa ni taswira hasi ya nchi ya Bangladesh. |
44 | Raha mitahiry izany ao an-tsainy, nametraka an'i Begum ho endrik'i Bangladesh i Abu Maksud ao anatinà lahatsoratra ao amin'ny Facebook: | Kwa kulizingatia hili, Abu Maksud alimchukulia Begum kama taswira ya Bangladesh katika makala aliyoiweka katika ukurasa wa Facebook: |
45 | Avotra i Bangladesh 17 andro taorian'ilay firodanana. Ranabavy Reshma - niverina avy any anatin'ilay lavaka lalina ianao. | Bangladesh iliweza kuishi kwenye kifusi kwa siku 17. Dada Rishma- umenusurika na kifo. |
46 | Nampiseho ianao fa mbola avotra i Bangladesh eny fa na dia anaty faharavanà aza. | Umeonesha kuwa hata Bangladesh inaweza kuishi kwenye vifusi. |
47 | Zafar Sobhan, tonian-dahatsoratry ny Dhaka Tribune, nanao izao teny famaranana izao taminà fanadihadiana niaraka tamin'ny vohikala Aostraliana News.com.au: | Zafar Sobhan, mhariri wa Jukwaa la Dhaka, alitoa mjumuisho katika mahojiano na mtandao wa habari wa News.com.au: |
48 | I Reshma no maneho ny tsara indrindra avy amin'i Bangladesh, ny faharetan'ny firenena manoloana ny mafy tsy hita eritreretina, ny fahasahiany, ny herim-pony, ny fikirizany tsy ho very fanantenana na inona na inona sakantsakana. | Reshma anawakilisha ubora wa Bangladesh, ustawi wa nchi ya Bangladesh unaambatana na magumu yasiyoelezeka, utiaji moyo wake, uimara wake, uthabiti wake wa kutokukata tamaa pamoja na changamoto nyingi. blockquote> |