Sentence alignment for gv-mlg-20140228-58184.xml (html) - gv-swa-20140227-6696.xml (html)

#mlgswa
1Nipoahan'ny Baomba Fanindroany Ny Tranon'ny Lehiben'ny Mpanohitra Zimbaboeana Tendai BitiNyumba ya Kiongozi wa Upinzani Nchini Zimbabwe, Tendai Biti Yalipuliwa Mara ya Pili
2Minisitry ny Teti-bola teo aloha tao Zimbaboe, Tendai Biti.Waziri wa zamani wa Fedha wa Zimbabwe Tendai Biti.
3Sary avy amin'ny Chatham House, navoaka tamin'ny alalan'ny Creative Common.Picha imetolewa chini ya leseni ya Creative Commons na Chatham House.
4Voalaza fa nisy nanapoaka baomba ny tranon'ny minisitry ny Teti-bola teo aloha tao Zimbaboe, Tendai Biti ny marainan'ny 25 Febroary 2014, araka ny nambaran'ireo mpiserasera Twitter sy trano fampahalalam-baovao.Nyumba ya Waziri wa zamani wa Fedha wa Zimbabwe Tendai Biti ilidaiwa kulipuliwa alfajiri ya Februari 25, 2014, watumiaji wa Twita na vyombo vingine vya habari vilitangaza.
5Iray amin'ireo mpikambana lohandohany ao amin'ny Hetsiky ny mpanohitra hoan'ny Fanovana Demaokratika izy ary anisan'ny mpitsikera mafy ny filoha Robert Mugabe.[Biti] ni mmoja wa wanachama tegemeo wa chama cha Upinzani cha MDC [Movement for Democratic Change] na mkosoaji mkubwa wa Rais Robert Mugabe.
6Sekretera Jeneralin'ny Hetsika Hoan'ny Fanovana Demaokratika tarihan'ny Praiminisitra teo aloha Morgan Tsvangirai i Biti.Biti ni katibu mkuu wa MDC, kinachoongozwa na Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Morgan Tsvangirai.
7Efa nisy nanapoaka baomba ny tranony tamin'ny taona 2011.Nyumba yake ililipuliwa mwaka 2011. Hakuna watuhumiwa walikamatwa mpaka sasa.
8Tsy mbola nisy fisamborana olona ahiahiana tamin'izany hatramin'izao.Tendai Biti's house has reportedly been bombed … again
9Voalaza fa nisy nanapoaka baomba … indray ny tranon'i Tendai Biti- Nqaba Matshazi (@nqabamatshazi) February 25, 2014 Nyumba ya Tendai Biti inasemekana kulipuliwa…kwa mara nyingine
10Nipoahan'ny baomba ny tranon-dasantsin'i Biti ao HarareNyumba ya Biti iliyoko Harare imelipuliwa kwa petroli
11Mampalahelo ratsy sy fahadalana izany rehetra izany.Inahuzunisha vibaya na ni ukichaa, vyote kwa pamoja.
12Tsy maka na iza na iza aho.Sina upande wa kutetea.
13Bob [Filoha Robert Mugabe] mihinana poakatsaka (popcorn) sy mamazivazy momba ny herisetra politika .Bob [rais Robert Mugabe] anakula bata na kufanya utani kuhusu ghasia hizi za kisiasa
14mety nahita irika tamin'ny mofomamy mahazatra amin'ny tsingerintaona nahaterahana tao anaty tavoahangy izy ireo [nankalaza ny tsingerintaona nahaterahany ny filoha Mugabe tamin'ny 21 Febroary 2014] sy kapoaka nampiasaina hanamboarana baombaWanaweza kukuta mabaki ya keki maarufu ya kusherehekea siku ya kuzaliwa [rais Mugabe alisherehekea siku yake ya kuzaliwa Februari 21, 2014] kwenye chupa za vikopo vilivyotumika kutenengeneza mabomu
15Manana ny anjara “hooligan” ny antokon'ny mpanohitra eto amintsika, saingy andraikitry ny sampam-piarovana ny Fanjakana ny resaka baomba solitany.Vyama vyetu vya upinzani haviwezi kukwepa lawama kwa kuwa na vikundi vya wahuni, lakini mabomu ya petroli hayawezi kutoka kwingine kokote isipokuwa kwneye vyombo vya usalama vya dola.
16Na dia maro aza ny olona toa miahiahy ny governemanta, nilaza ny mpisera Twitter iray, tinashe chirape fa ny mpanohitra ao Amin'ny Hetsika Hoan'ny Fanovana Demaokratika ihany no nahavita izany (MDC):Inagwa watu wengi wanaonekana kuitilia mashaka serikali, mtumiaji mmoja wa mtandao wa Twita, tinashe chirape, alipendekeza kuwa [huenda] ilikuwa ni kazi ya chama cha upinzani cha MDC chenyewe:
17Manjaka indray ve ny herisetra ao amin'ny MDC (Hetsiky ny Mpanohitra Hoan'ny Fanovana Demaokratika)?Hivi ghasia ndio zimeanza ndani ya MDC [chama cha upinzania cha Movement for Democratic Change]?
18Napoakan'i Tsvangirai [lehiben'ny MDC) ny tranon'i Biti mba ..Tsvangirai [Kiongozi wa MDC] tuliza hali ya mambo kwneye chama chako
19Mpisera iray nilaza fa sandoka ny vaovao momba ny fipoahana:Another user said the news of the bombing is fake:
20Diso! tavoahangy natsipy tao am-bavahady tamin'ny fandalovan'ny ankizyUongo! Ni chupa tu imetupiwa getini na mtoto wa mtaani aliyekuwa anapita