Sentence alignment for gv-mlg-20140428-59403.xml (html) - gv-swa-20140426-7265.xml (html)

#mlgswa
1SARIPIKA: Fihetsiketsehan'ny Mpianatra Iraniana Nandritra Ny Kabarin'ireo Politisiana Mpandala Ny MahazatraVIDEO: Wanafunzi wa Iran Wavuruga Hotuba ya Mgombea Urais wa Chama Tawala
2Nihiaka teny filamatry ny mpanohitra ny vondrona mpianatra iray ao amin'ny Oniversiten'i Amirkabir ao Tehran, Iran ary nilanja sorabaventy sy nanofahofa sainam-pirenena Iraniana nandritra ny kabary nataon'ilay kandida mpandala ny nentin-drazana resy tamin'ny fifidianana filoham-pirenena sady lehiben'ny fifampiraharahana ara-nokleary teo aloha, Saeed Jalili, tamin'ny 14 Avrily 2014.Kikundi cha wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Amirkabir kilichopo Tehran nchini Iran, kiliimba kauli mbiu za kuunga mkono Upinzani, huku wakibeba mabango na kupeperusha bendera ya Iran wakati wa hotuba ya mgombea aliyeshindwa mhafidhina ambaye alikuwa mpatanishi mkuu wa nguvu za nyuklia Saeed Jalili mnamo Aprili 14, 2014.
3Hiakam-Panohanana an'i Mir Hussein Mousavi sy Mehdi Karroubi, lehiben'ny Hetsika Maintso (Green Movement) izay nanozongozona ny firenena taorian'ny nahalany indray an'ny filoha Mahmoud Ahmadinejad tamin'ny taona 2009 ireo hiaka natao ireo.Nyimbo hizo zenye maneno yanayotumiwa na wapinzani zilikuwa zinamwuunga mkono Mir Hussein Mousavi na Mehdi Karroubi, ambao ni viongozi wa maandamano ya Green Movement yalifanikiwa sana nchini humo kufuatia kuchaguliwa kwa mara nyingine kwa kishindo kwa Rais Mahmoud Ahmadinejad mwaka 2009.
4Nolazain'ireo mpanao fihetsiketsehana fa feno hosoka ny valim-pifidianana tamin'izany ka an-tapitrasany ireo nidina an-dalambe mba hanaisotra an'i Ahmadinejad.Waandamanaji waliyachukulia matokeo hayo kuwa ya kuchakachuliwa, na mamiliano waliandamana kumtaka Ahmadinejad aachie madaraka.
5Saingy nanomboka nanao famoretana faobe tamin'ny hetsika nanomboka ny 2010 ireo manampahefana, ka notànana tsy mahazo mivoaka ny trano iambenana azy i Moussavi sy i Karroubi, kandida roa nirotsaka hofidiana filoham-pirenena, ary tahaka izany koa ny vadin'i Moussavi, Zahra Rahnavar tamin'ny 14 Febroary 2011.Hata hivyo, vyombo vya dola vilianza kupambana kwa nguvu na vuguvugu hili mapema mwaka 2010, na Mousavi pamoja na Karroubi, ambao wote ni wagombea wa urais, ikiwa ni pamoja na mke wa Mousavi aitwaye Zahra Rahnavard ambao kwa pamoja waliwekwa chini ya ulinzi na kuzuiliwa kutoka nyumbani kuanzia Februari 14, 2011.
6Hoy ny hiakan'ireo mpianatra eny amin'ny Oniversite AmirKabir hoe: «Hoan'ny praiminisitr'i imam ny safidinay”, izay manondro an'i Moussavi, izay praiminisitra tamin'ny taona 1980 hatramin'ny taona 1988 nandritra ny fitondran'i Ruhollah Khomeini, mpitarika faratampony.Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Amirkabir waliimba, “Kura zetu tunampa Waziri Mkuu wa Imam,” wakimaanisha Mousavi, ambaye alikuwa waziri mkuu kuanzia mwaka 1980 mpaka 1988 wakati ambao Ruhollah Khomeini alikuwa madarakani kama kiongozi mkuu wa nchi hiyo.
7Nandritra fotoana izany, nihiaka hoe “miala i Etazonia” ireo mpianatra mpandala ny nentim-paharazana (kaonservativa) Basiji nipetraka tao amin'ny voalohan-daharana.”Wakati huo huo, wanafunzi wahafidhina wa Basiji waliokuwa wamekaa kkwenye viti vya mbele, na wanaomwuunga mkono Jalili, nao walianza kuimba “unaanguka na Marekani.”
8Hita amin'ny fiafaran'ity lahatsary Youtube ity izy ireo, raha toa ka ireo mpianatra mpomba ny mpanohitra no hita voalohany amin'izany:Wanaweza kuonekana mwishoni mwa video hii ya YouTube, inayoanza na kuwaonyesha wanafunzi wanaounga mkono Upinzania:
9Ny lohahevitra lehibe nataon'i Jalili dia ny zava-bitany ara-nokleary tamin'ny firenena.Mada kuu ya hotuba ya Jalili ilikuwa ni mafanikio ya kinyuklia ya nchi hiyo.
10Nisioka i Alireza Taba fa niharan'ny sazy eny amin'ny oniversite ny sasany tamin'ireo mpianatra nanao fihetsiketsehana avy eo:Alireza Taba alitwiti kwamba baadhi ya wanafunzi hao waliokuwa wanaandamana walikutana na adhabu ya utawala wachuo baada ya hapo:
11Farafahakeliny, mpianatra sivy nanao fihetsiketsehana nandritra ny kabarin'i Jalili no nampanantsoina tao amin'ny komity misahana ny fitsipi-pipehezana sy ny fanasaziana.Takribani wanafunzi tisa walioandaman wakati wa hotuba ya Jalili waliitwa na kamati ya nidhamu.
12Hanif Z.Kashani nitatitra hoe:Hanif Z.Kashani aliripoti:
13Nahatsindry ny “Antokon'ny Nokleary” sy ny mpianatra Basiji ary ny hiakany ka nampivoaka an'i Saeed Jalili ny mpianatraWanafunzi wanapinga “Chama Cha Nyuklia”, nyimbo zao zilimtoa Saeed jalili
14Tao amin'ny Twitter, nisioka momba ny fihetsiketsehana i amirHP:Kwenye mtandao wa twita, mtumiaji amirHP alitwiti kuhusu maandamano hayo:
15Tonga tamin'ny hetsika andron'ny angovo i Jalili saingy ireo teny filamatra manohana an'i Mousavi no teny filamatra tena nanjakazaka tao.Jalili alikuja kwa ajili ya maaadhimisho ya siku ya nyuklia lakini nyimbo za vibwagizo vya watu wanaomwuunga mkono Mousavi ndio zimetawala
16Mpisera Asame nanoratra hoe:َUser Asame wrote:
17Tsy maninonaizay eo na [ ny filoha Iraniana ankehitriny] Hassan [Rouhani] na Hussein [Moussavi], mitohy hatrany ny hetsika.Haijalishi kama ni [Rais wa sasa wa Iran] Hassan [Rouhani] au Hussein [Mousavi], lakini vuguvugu linaendelea.