Sentence alignment for gv-mlg-20140309-58479.xml (html) - gv-swa-20140310-6825.xml (html)

#mlgswa
1Tsy Hita Ny Nanjavonan'ilay Fiaramanidina Maleziana Nitondra Mpandeha 239Ndege ya Malaysia Haijulikani Ilipo Ikiwa na Abiria 239
2Zotra an'habakabakaba Maleziana.Ndege ya Shirika la Ndege ya Malaysia.
3Sary Flickr avy amin'i planegeezer (CC License)Picha ya Flickr na planegeezer (CC License)
4Nitatitra ny fampahalalam-baovao iraisampirenena tamin'ny Asabotsy 8 Martsa fa zotra an'habakabaka Maleziana hiainga ho any Shina no tsy hita popoka.Siku ya Jumamosi ya Machi 8, mashirika ya habari duniani kote yaliripoti kuwa ndege ya Shirika la ndege la Malaysia iliyokuwa angani kuelekea China imepotea.
5Sidina MHO370 avy ao Kuala Lumpur ho any Beijing no tsy afa-nifandray intsony tamin'ny mpanaramaso ny fitaterana an'habakabaka, ka tsy mbola mahafantatra ny toerana mety misy ny fiaramanidina hatramin'izao ny zotra an'habakabaka sy ireo manampahefana.Ndege hiyo MH370 ilikuwa ikitokea Kuala Lumpur kwenda Beijing ilipoteza mawasiliano na waongoza ndege, ambapo shirika la ndege pamoja na mamlaka zinazohusika zikishindwa kufahamu kwa hakika iliko ndege hiyo.
6Nitondra mpandeha 227 sy mpiasan'ny zotra an'habakabaka 12 ny fiaramanidina.Ilikuwa na abiria 227 na wafanyakazi 12 wa ndege
7Araka ny filazan'ny gazety The Guardian, tapaka fifandraisana tamin'ny radara tao amin'ny lalana an'habakaka vietnamiana ilay fiaramanidina.Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, ndege hiyo ilipoteza mawasiliano na kifaa cha kuongozea ndege ikiwa kwenye anga la Vietnam.
8Tsy nitsahantra nandefa vaovao mikasika ny zava-mitranga ilay zotra an'habakabaka hatrany ny manampahefana, anisan'izany ny fanambaran'ny filoha tale jeneraliny Ahmad Jauhari Yahya:Shirika la ndege hiyo limekuwa likiandika kwenye ukurasa wake wa Facebook kutoa habari kuhusu mwenendo wa mambo, ikiwa ni pamoja na tamko lililotolewa na Mkurugenzi wake Mkuu Ahmad Jauhari Yahya:
9Malahelo izahay milaza fa tapaka tanteraka ny fifandraisanay amin'ny sidina MH370 izay niala tao Kuala Lumpur tamin'ny 12.41 androany vao maraina ho an'i Beijing.Tunasikitika sana kuwa tumepoteza mawasiliano yote na ndege namba MH370 iliruka kutoka Kuala Lumpur saa 6.41 usiku wa manane ikielekea Beijing.
10Tokony higadona ao amin'ny seranam-piaramanidina iraisampirenena ao Beijing ny voromby amin'ny 6ora sasany (ora ao an-toerana [Beijing]).Ndege hiyo ilikuwa itue kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Beijing saa 12.30 asubuhi kwa saa za Beijing.
11Nilaza ny mpanara-maso ny fitaterana an'habakabaka Subang fa tsy afa-nifandray taminy intsony androany tamin'ny 2:40 maraina (ora ao Malezia).Kituo cha Kuongozea ndege cha Subang kilitoa taarifa kuwa kimepoteza mawasiliano saa 8.40 usiku (kwa saa za Malaysia) leo.
12Nandeha Boeing B777-200 ny sidina MH370Ndege MH370 ilikuwa aina ya Boeing B777-200.
13Nitondra mpandeha mitotaly 239 miaraka amin'ireo mpiasa an'habakabaka ny fiaramanidina - ka mpandeha 227 (zaza 2), ary mpiasa an'habakabaka 12. Mizaka zom-pirenena 13 samihafa ireo mpandeha.Ndege hiyo ilikuwa imebeba jumla ya watu 239 na wafanyakazi -hiyo ikiwa ni abiria 227 (watoto 2), na wafanyakazi 12. Abiria walikuwa wa mataifa 13 tofauti.
14Miara-miasa amin'ireo manampahefana izay efa nandefa ny ekipany mpanao fikarohana sy mpamonjy voina hitady ny toerana misy ilay fiaramanidina ny Zotra Maleziana ankehitriny.Shirika la Ndege la Malaysia kwa sasa linafanya kazi kwa karibu na mamlaka ambao wanaendelea na zoezi la utafutaji na uokoaji kujaribu kujua ndege hiyo iko wapi.
15Eo am-piantsoana ireo havana sy namana akaikin'ireo mpandeha sy mpiasa an'habakabaka ny ekipanay amin'izao fotoana izaoTimu yetu kwa sasa inawapigia simu warithi wa abiria na wafanyakazi.
16Nilaza ny Fanambarana an-gazety hafa avy amin'ny zotra an'habakabaka fa 18.365 ora ny fitambaran'ny sidina vitan'ilay Zaharie Ahmad Shah.Taarifa nyingine kwa vyombo vya habari iliyotolewa na shirika hilo la ndege limemtambua rubani wa ndege hiyo kuwa ni Captain Zaharie Ahmad Shah, ambaye ana masaa 18,365 ya kurusha ndege kwenye mkanda wake.
17Maro ireo naneho ahiahy sy tebiteby tao amin'ny Twitter:Kwenye mtandao wa Twita, watu wengi wameonyesha wasiwasi na hofu:
18Efa imbetsaka nandray sidina ny Zotra Maleziana @MAS, anisan'izany ny iray amin'ireo fiaramanidiny 777-200 avy ao KL ho an'i Shanghai.Flown Malaysia Airlines @MAS many times, including one of their 777-200s from KL to Shanghai. Thoughts with all at this hard time.
19Miombo-po amin'ny rehetra amin'izao fotoan-tsarotra izao.- Peter McGinley (@PeterMcGinley) March 8, 2014
20Misy vaovao milaza fa nisy fiaramanidina Maleziana iray nianjera saingy mbola tsy nisy fanambarana ofisialyKuna taarifa kuwa ndege ya Malaysia imeanguka lakini hakuna taarifa rasmi za kuthibitisha hilo
21Ny fanjavonan'ity sidina zotra an'habakabaka Maleziana mihitsy no mahantonga ahy matahotra rehefa mitaingina fiaramanidina-JonathanNdege ya Shirika la ndege la Malaysia iliyopotea ndicho hasa kinachonifanya niogope kusafiri kwa ndege
22Manantena am-pitaintainana fa tsy nianjera ny zotra an'habakabaka Maleziana ary avotra soa aman-tsara ireo mpandeha 239 ao anaty vorombyNaweza kujiapiza kuwa ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia haijaanguka na watu 239 walio kwenye ndege hiyo wako salama na wanaendelea vizuri
23Vaovao mampivarahontana hoan'ny indostrian'ny zotra an'habakabaka sy ireo olona tao anatin'ny fiaramanidina!Habari za kusikitisha kuhusiana na tasnia ya usafiri wa anga na wale waliokuwepo kwenye ndege hiyo!
24BBC News- tsy afaka nifandray tamin'ilay fiaramanidina hisidina ho an'i Beiing intsony ny zotra an'habakabaka MalezianaKwa mujibu wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC), Shirika la Ndege la Malaysia limepoteza mawasiliano na ndege yao iliyokuwa ikisafiri kuelekea Beijing
25Naneho hevitra haingana manoloana ity loza ity ihany koa tao amin'ny Twitter ny praiminisitra Maleziana, Najib Razak:Tukio hilo limemfanya Waziri Mkuu wa Malaysia, Najib Razak kujibu kupitia mtandao wa Twita:
26Miombom-pò sy mivavaka hoan'ny fianakavian'ireo olona ao anatin'ny sidina #MH370.Mawazo na maombi yangu yako na familia za wanaosafiri na ndege #MH370.
27Nangataka aho mba handray izay fepetra rehetra azo raisina.Tumeagiza hatua zote zinazowezekana zichukuliwe
28Nitatitra ny Reuters amin'izao fotoana izao fa nianjera tao amin'ny ranomasina Atsimon'i Shina ny fiaramanidina, saingy mbola tsy nisy fanambarana ofisialy amin'izao fotoana hanoratana izao.Shirika la Habari la Reuters sasa limeripoti kuwa ndege hiyo ilianguka kwneye Bahari za China Kusini, hata hivyo, hakuna tangazo rasmi lililotolewa wakati wa kuandikwa kwa makala haya.