Sentence alignment for gv-mlg-20140705-61417.xml (html) - gv-swa-20140708-7847.xml (html)

#mlgswa
1Leo Ny Fahasahiranana Ara-toekarena Ao Amin'ny Fireneny, Manomboka Ny Hetsika Fibodoany Ry Zareo GhaneanaBaada ya Kuchoshwa na Kudorora kwa Uchumi, Wa-Ghana Waanzisha Harakati
2Teratany Ghaneana mandray anjara amin'ilay hetsika #OccupyFlagStaffHouse.Wanachi wa Ghana wakishiriki katika harakati za #OccupyFlagStaffHouse.
3Sary an'i Victoria Okeye.Picha na Victoria Okeye.
4Fampiasàna nahazoana alàlana.Imetumiwa kwa ruhusa.
5Nifamory teo akaikin'ny birao fiasàn'ny filoha ry zareo Ghaneana, tao anatin'ny fanentanana iray nomeny anarana hoe #OccupyFlagStaffHouse mba hanohitra ny kolikoly sy ny fahantrana ara-toekaren'ny fireneny ary hanery ny governemanta hanao zavatra mikasika izany.Kundi la raia wa Ghana walikusanyika karibu na Ikulu ya Rais kama sehemu ya kampeni yao #OccupyFlagStaffHouse yenye lengo la kupinga rushwa pamoja na hali tete ya uchumi ikiwa ni sehemu ya harakati zao za kuishinikiza serikali katika kukabiliana na matatizo haya.
6Natao tamin'ny 1 Jolay 2014 ilay diabe am-pilaminana nokarakaraina tao anatin'ny dimy andro latsaka, andro iray fialantsasatra nanamarihana ny faha-54 taona naha-repoblika an'i Ghana taorian'ny fitondran'ny Britanika mpanjanaka azy.Matembezi haya ya amani yaliyoratibiwa katika muda wa siku zisizozidi tano, yalitokea mnamo tarehe 1 Julai, 2014, siku ya mapumziko inayoadhimishwa tangu Ghana ilipokuwa jamhuri kufuatia utawala wa Kijerumani.
7Tamin'ny 28 Jona, natomboka tamin'ny OccupyGhana tao amin'ny Facebook ilay hetsika, ary ny 1 Jolay dia mpanjohy efa maherin'ny 3.000 no azony hanohana ilay hetsi-panoherana.Harakati hizi zilianzishwa katika mtandao wa Facebook kwa jina la OccupyGhana siku ya tarehe 28 Juni, na hadi kufikia Julai 1, ilikuwa na wafuatiliaji zaidi ya 3,000 waliokuwa wakiunga mkono maandamano haya.
8Ankehitriny, efa maherin'ny 6.000 ny mpanjohy azy.Kwa sasa ina zaidi ya waungaji mkono 6,000.
9Izao no mitranga taorian'ireo andianà fanehoankevitra mahery vaika nanoherana ny governemanta noho ilay fampihenan-danja haingana ny “cedi” ,satria nohamafisiny ny lalàna momba ny vola vahiny ao amin'ny firenena ary nohalefahany tamin'ny volana lasa, ary ny tsy fahampian'ny solika nitarika filaharana be efa ho herinandro teny amin'ireo tobin-tsolika.Harakati hizi zinakuja kufuatia mfululizo wa maandamano dhidi ya serikali kutokana na kupungua kwa haraka kwa thamani ya fedha ya Ghana kwani serikali iliongeza vikwazo katika taratibu za fedha za kigeni na mwezi uliopita ikavilegeza tena, hali iliyopelekea kupungua kwa nishati na hivyo kusababisha misururu mirefu ya watu katika vituo vya mafuta, hali iliyodumu kwa takribani wiki moja.
10Ny teboka nampitsimbadika ny raharaha dia rehefa injay voalaza fa nanome 3 tapitrisa dolara amerikana tolo-botsotra maimaim-poana ny governemanta ho an'ny Black Stars talohan'ny lalao nifanandrinany tamin'i Portiogaly ho fiadiana ny Amboara Erantany, lalao izay nahalavo azy ireo.Hali ilikuwa mbaya zaidi pale serikali iliposemekana kupeleka kiasi cha dola milioni 3 za Marekani kwa ajili ya kikosi cha taifa cha mpira wa miguu Ghana Black Stars kabla ya mechi yao ya kombe la dunia dhidi ya Ureno, ambapo Ghana ilipoteza mchezo huo.
11Nandrahona ny hitokona ireo mpilalao raha toa ka tsy naharay ny volany talohan'ny lalao.Wachezaji walitishia kususia mchezo huo kama wasingepewa kiasi hicho cha fedha kabla ya mchezo huo.
12Ny fahatsapana ankapobeny taorian'iny tranga iny dia ny hoe tsy noraharahian'ny governemanta ny vahoaka, nampiakatrakatra ny feo tany anaty fampielezampeo tany, ny fahitalavitra sy ireo sehatra media sosialy.Mtazamo wa jumla wa tukio hili ni kuwa, serikali haikuwajali watu wake, udhalilishaji uliokithiri katika kupitia redio, televisheni na majukwaa ya mitandando ya kijamii.
13Nandritra ny andro vitsy nialoha ilay hetsi-panoherana, ny vondrona OccupyGhana dia nampakatra hafatra nanazava ny tsy fahafaham-pon-dry zareo amin'ny governemanta sy ny fanjakàna momba ny zavatra rehetra ao amin'ny firenena.Katika siku za kukaribia maandamano, kundi la OccupyGhana liliweka jumbe zilizokuwa zikielezea kutokuridhishwa na serikali pamoja na namna hali ya mambo ilivyo nchini mwao. Tarehe 29 Juni, kundi hili liliandika katika ukurasa wa Facebook:
14Ny 29 Jona, nanoratra tao amin'ny Facebook ilay vondrona hoe :Jioni hii niliona magari ya polisi yakijazwa mafuta na hata kuchukua na ya ziada.
15Nahita fiara tsy mataho-dàlan'ny polisy aho io hariva io namatratra sy naka ny tahirin-tsolika. Hitako ny endrik'ireo mpamily fiarakaretsaka izay miasa sy mandoa ary mila mamerina trosa nefa miady mafy mba hahazo solika.Niliziona nyuso za waendesha magari ya kukodisha wakiwa wanaapaswa kufanya kazi na kupeleka fedha kwa waajiri wao, na pia wanaotakiwa kurudisha mikopo, wanahaha ili kupata mafuta na pia kutoa mikopo kwa ajili ya kununulia nishati
16Hitako ireo mpiasa very hevitra izay nandao ny tokantrano tamin'ny 5 ora maraina mba handeha hiasa ary mody amin'ny 8 ora alina nefa zara raha nahazo tambiny tamin'ny asany, miandry tsy mahatombin-tsiraka milahatra miaraka amin'ny dàbany.Niliwaona wafanyakazi waiojawa hofu walioondoka makazini kwao saa 11 asubuhi na kisha kurejea saa 2 usiku, na kupewa ujira mdogo, wakiwa na hofu, wanaonekana wakiwa na galoni zao kwenye misururu
17Avy eo hitako ireo zokiolona arahan-jazakely tany ivelany izay mila solika hitondràna ny rainy mba hoentina hizaha fahasalamana, manontany tena hoe aiza no misy tsy mety,Na ndipo nilipowaona wapenzi walio na watoto wao ughaibuni waliokuwa wanahitaji mafuta kwa ajili ya kumpeleka baba yao kwenye matibabu, wakiwa na butwaa kuwa tatizo la kukosekana kwa mafuta lilitoka na nini.
18Ireo mpivarotra mofo, voamaina, “kofi” ilay lehilahy mpivarotra tsy afaka akory haka fiarakaretsaka hitondra ny entany, ireo izay mitolona mafy isa-tsegondra mba ho velona,Wauza mikate, wauza maharage, wachuuzi wa kahawa ambao hawakuweza kupata magari ya kukodisha kwa ajili ya kubeba mizigo yao.
19Avy eo aho nahita olona toa ahy sy ianao, mpikirakira Facebook, ireo tanora avy amin'ny saranga antonony mahay ny zavatra rehetra, izay manofahofa tànana miarahaba ireo mahantra mpifanolo-bodirindrina aminay isaky ny maraina ary fiarahabana manambony tena hoe “Manao ahoana ianao” ?Ndipo nilipowaona watu kama wewe na mimi, watumiaji wa Facebook, tabaka la vijana wa umri wa kati, wanaowasalimu majirani zetu walio masikini kwa kuwapungia mikono huku wakitoa salamu ya majivuno, “hamjambo”?
20Miasa saina amin'izao fotoana izao momba izay hahafahanao mividy solika, na mandoa iry anto-bola iry, na itsy findramam-bola nividianana fiara itsy.Unajawa hofu ya namna utakavyonunua nishati, au namna ya kurudisha deni, au namna ya kufanyia matengenezo lile gari la mkopo…
21@BlitzAmbassador, Ghaneana mpiangaly gadon-kira Rap ary monina any Etazonia, manana mpanjohy maherin'ny 19.000, nibitsika hoe:Mwanamuziki wa mahadhi ya kufoka aliye na makazi yake huko Marekani @BlitzAmbassador aliye na wafuatiliaji zaidi ya 19000, alitwiti:
22Raha mba afaka namindra tena avy aty lavitra ho any Ghana mantsy aho amin'izao fotoana izao …..
23# #OccupyFlagStaffHouse. reraky ny tsy fahalavorarian'ny fahaiza-mitarika ny vahoaka.Watu wamechoshwa na uongozi ulioonekana kushindwa.
24Nizara sary iray ahitàna ireo mpanao hetsi-panoherana i @AnnyOsabutey, ilay nahazo ny Lokan'ny Mpanao Gazety An'Onjampeo Afrikana nokarakarain'ny CNN:Mshindi wa uanahabari wa radio katika tuzo za CNN Africa @AnnyOsabutey aliweka picha ya waandamanaji:
25rakitsary iray tsara voatra avy amin'ny # OccupyFlagStaffHousePicha zilizoandaliwa vizuri kutoka #OccupyFlagStaffHouse
26Taorian'ilay hetsi-panoherana, niditra tamin'ny Twitter ny Filoha Ghaneana, John Dramani Mahama, mba hanome toky ny vahoaka fa tsy hanao be marenina amin'ny fitarainan-dry zareo:Kufuatia maandamano haya, Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliandika katika mtandao wa twita na kuwahakikishia wananchi kuwa madai yao yamesikiliwa na yatafanyiwa kazi:
27Tsy adinoko fa iray amin'iireo vokatsoa goavana indrindra avy amin'ny fahaizana mitarika ny fahaizana mihainoBado sijasahau kuwa, miongoni mwa mambo ya msingi kabisa katika uongozi ni kuwa na uwezo wa kusikiliza watu
28Tiako ny manome toky anareo fa hanangana fiovàna isika.Ninataka kuwahakikishia kuwa tutafanya mabadiliko.
29Hamorona ilay endrika firenena hampirehareha antsika izay havela ho lovain'ny taranaka mandimby.Tutaijenga nchi ambayo tutajivunia kuviachia vizazi vijavyo.
30Firenentsika ity, fonenantska, ary isika Ghaneana rehetra dia mendrika ny hanana fahafahana miaina, miasa sy manabe ny taranany eto amin'ny maha-izy azy sy amim-pireharehàna.Hii ni nchi yetu, Hii ni nchi yetu, nyumbani kwetu, na pia watu wote wa Ghana wana stahili haki ya kuishi, kufanya kazi na kulea familia zetu kwa utu na kwa kujivunia.
31Fihetseham-po mahafinaritra, saingy fiovàna tena izy -tsy bitsika - no hidika fa tena mihaino marina tokoa rangahy io.Ni maoni mazuri, lakini yapaswa kuwa mabadiliko ya kweli- na sio kuwa maneno matupu- hii itamaanisha kuwa tunajali.