Sentence alignment for gv-mlg-20120818-36697.xml (html) - gv-swa-20120721-3493.xml (html)

#mlgswa
1Afganistana: Mpianatra Eny Amin'ny Lisea Nahita Raikipohy MatematikaAfghanistan: Mwanafunzi wa Sekondari Agundua Kanuni ya Hisabati
2Ity misy fiovana raha toa ianao ka tsy zatra namaky irony tantaram-pahombiazana mikasika ny fanabeazana any Afganistana irony.Kama hujazoea kusoma habari za mafanikio ya kielimu katika nchi ya Afganistani, habari hii ni ya kukubadilisha mtazamo wako.
3Nilaza ny Foiben'ny Siansa tao Kabul tamin'ny 30 Jona 2012 fa Khalilullah Yaqubi, mpianatra iray avy amin'ny lisea avy any amin'ny Faritanin'i Ghazni no nahita samirery ny raikipohy matematika azo ampiasaina hamahàna ny olana fitadiavana isa iray tsy fantatra amin'ny fampimiràna ambaratonga faharoa ‘.Mnamo tarehe 30 Juni, 2012, Kituo cha Sayansi katika mji wa Kabul, kilitangaza kuwa Khalilullah Yaqubi, mwanafunzi wa shule ya sekondari kutoka katika Jimbo la Ghazni, kwa juhudi zake mwenyewe aligundua kanuni ya kimahesabu inayoweza kutumika katika kukokotoa milinganyo ya kwadratiki ya mtajo mmoja ya ukomo wa kipeo cha pili.
4Mpianatra amin'ny dingana faha-iraikambinifolo ao amin'ny Lisea Al-Beruni High School any Nawabad, any amin'ny manodidina ny tanànan'i Ghazni i Khalilullah.Khalilullah ni mwanafunzi wa darasa la 11 (sawa na kidato cha tano Afrika Mashariki) katika shule ya sekondari ya Al-Beruni iliyo katika mitaa ya Nawabad nje kidogo ya jiji la Ghazni.
5Hoy i Khalilullah miresaka mikasika ny raikipohy:Akiongea kuhusu kanuni hiyo, Khalilullah anasema:
6Mbola tsy hitako tany anaty boky mihitsy ity raikipohy ity taloha.Sijawahi kuiona kanuni hii katika kitabu chochote.
7Tsy nanana fototra mihitsy aho, na koa naka tàhaka tamin'ny aterineto.Wala sijawahi kutumia chanzo chochote, au kufanya udanganyifu wowote kwa kutumia mtandao wa intaneti.
8Ezako izaho samirery izy ity.Hizi ni kutokana na jitihada zangu mwenyewe.
9Afaka mamaha olana amina ambaratonganà fampimiràna isika amin'ny alalan'ity raikipohy ity (sic).Kupitia kanuni hii, tunaweza kukokotoa maswali mbalimbali ya milinganyo (sic).
10Nandray tsara ny vaovao ho famantarana ny fivoaran'ny sehatra fampianarana Afgana ny mpampiasa Twitter sasany.Baadhi ya watumiaji wa Twita wamezipokea habari hizi kama ishara ya maendeleo ya sekta ya elimu nchini Afganistani.
11Nibitsika toy izao ohatra i Mulex:Kwa mfano, Mulex alitwiti:
12Hay!Loo!
13Vaovao hafakely avy any Afganistana.Habari za kushangaza kutoka Afghanistani.
14Famantarana ny fivoaran'ny rafi-pampianaran'izy ireo.Ni ishara ya maendeleo kwa mfumo wa elimu yao.
15Nanoratra toy izao ny mpampiasa Twitter hafa, i Jasur Ashurov (‘mpifindra-monina naka toerana avy any Asia Afovoany'), :Mtumiaji mwingine wa Twita, Jasur Ashurov (‘mkazi asiye mzawa kutoka Asia ya Kati aliandika:
16Tsy mahazo vaovao tsara lalandava avy any #Afganistana izany ianao.Si rahisi sana kupata habari nzuri kutoka nchini Afghanistani.
17Izany no tena mahafaly ahy mamaky azy ity.Ndio maana nimekuwa na furaha sana baada ya kusoma habari hii.
18Hoy izy nanampy [ru] sy nanova kely ny tenin'ilay Rosiana siantifika sady Poeta:Akifupisha maneno aliyowahi kuandika Jasur Ashurov, mwanasayansi na mshairi wa Kirusi ,Jasur Ashurov aliongeza [ru]:
19…afaka miteraka ny Newton-ny sy ny Platos-ny azy irery ny tanin'ny Afghan……… ardhi ya Afghanistani inaweza kuwazaa Newtoni wake na akina Plato wenye akili….
20Misongadina manokana ny fahombiazan'ny mpianatra raha oharina amin'ny hasarotan'ny zava-misy atrehan'ny sehatry ny sekoly any amin'ny faritanin'i Ghazni.Mafanikio haya ya mwanafunzi huyu yameonekana pamoja na hali ngumu inayoikabili sekta ya elimu katika jimbo la Ghazni.
21Nanakatona sekoly maro tany amin'ilay faritany ny mpikambana sy mpandala ny Taliban.Wanachama wa ikkundi cha kigaidi cha Kitalebani wameshafunga shule nyingi katika jimbo hilo.
22Na izany aza, vao haingana dia mponina teo amin'ny 400 tamin'ny iray tamin'ireo distrikan'ny faritany no nivadika tamin'ny vondron'ny fondamentalista ka nahavita nanokatra sekoly 81 tamin'ireo 83 teo amin'ny faritra.Hata hivyo, siku za hivi karibuni, takribani wakazi 400 wa kutoka moja ya wilaya za jimbo hili walitofautiana na kundi lililojitenga na kufanikiwa kufungua tena shule 81 kati ya shule 83 katika eneo hilo.
23Amin'ny ankapobeny, nisy fivoarana ny seha-pampianarana any Afganistana hatramin'ny nialan'ny Taliban tamin'ny 2001.Kwa ujumla, kumekuwa na maboresho katika sekta ya elimu nchini Afghanistan tangu mwaka 2001,Talebani ilipoondolewa madarakani.
24Sekoly eo amin'ny 5.000 eo no voatsangana (pdf) manerana ny firenena nanomboka ny 2003. Na izany aza, mbola maro amin'ireo sekoly ireo no tsy ampy fitaovam-pampianarana manaraka ny toetrandro ary manana olana eo amin'ny tsyfahampian'ny mpampianatra tsara ofana.Zaidi ya shule 5,000 zimeshajengwa (pdf) nchi nzima tangu mwaka 2003. hata hivyo, shule nyingi bado zinakosa zana za kisasa za kufundishia na kukabiliana na upungufu mkubwa wa walimu walio na sifa stahiki.
25Fanampin'izany, vao haingana no nisy maro ireo sekolin-jazavavy notafihan' ny fondamentalista izay manohitra ny fianarana ho an'ny vehivavy eo amin'ny firenena.Kwa upande mwingine, shule nyingi za wasichana siku za hivi karibuni zilishambuliwa na watu waliojitenga wanaopinga elimu kwa wanawake nchini Afganistani.
26Manoritra ny rafi-pampianarana any Afganistana toy izao manaraka izao i Dilawar Sherzai eo amin'ny Outlook Afghanistan:Katika gazeti la Outlook Afghanistan, Dilawar Sherzai anaelezea mfumo wa elimu wa Afghanistani kama ifuatavyo:
27Iray amin'ireo firenena maro izay tsy manome ny lanja tokony ho izy ny sehatra fampianarana ny firenentsika Afganistana.Nchi yetu ya Afghanistani ni miongoni mwa nchi ambazo sekta ya elimu haijapewa msisitizo stahiki.
28Antony iray amin'izany ny fikorontanan-dava tsy miato manempotra ny fiarahamonina.Moja ya sababu kubwa imekuwa ni mwendelezo wa kutokuwa na utulivu wa kisiasa, jambo linaloizidi uwezo jamii.
29Ny ady sy ny disadisa - eto amin'ny firenena, eo amin'ny faritra ary iraisam-pirenena - izay mampiasa ny tanin'i Afghan ho toy ny lampihazo (teatra) ho azy ireo ka nahatonga ny sehatra fampivoarana ara-tsosialy sy fampianarana ho sempotra tena sempotra.Vita na migogoro -ya kitaifa, ya kikanda na hata kimataifa- ambayo imekuwa ikiitumia ardhi ya Afghanistani kama kiwanja cha vita imesababisha maendeleo kudorora kwa kiasi kikubwa katika nyaja za kijamii na za kielimu.
30Azo isaina ny hamaroan'ny ady sy ny korontana manelingelina ny fametrahana rafi-pampianarana mahomby nanomboka tamin'ny fananiham-bohitra nataon'ny Sovietika tamin'ny 1979.Kuanzia mapinduzi ya Kisovieti ya mwaka 1979, mtu anaweza kuhesabu maelfu ya mapigano na usumbufu uliozuia kuanzishwa kwa mfumo wa elimu wa kuridhisha.
31Ny olana, ny tena fototra raha zohina, dia ny teboka ifantohan'ny sain'ny olona kokoa fa tsy ny rafi-pampianarana loatra.Matatizo, ambayo ni ya kiasili zaidi, yamekuwa ndio yanayozingatiwa sana na watu kuliko mfumo wa elimu.
32Na dia eo aza ireny hasarotana maro ireny, maro ireo Afgana no tafita lasa manam-pahaizana, indraindray aza dia nampiana-tena aza.Pamoja na changamoto zote hizi, watu wengi wa Afghanistan wamefanikiwa kupata elimu, na wakati mwingine wakijisomesha wenyewe.
33Tamin'ny Desambra 2011, mponina iray manan-talenta avy any Ghazniiray hafa koa, izay tsy manana fiofànana na fitaovana manokana, no nampanidina fiaramanidina izay namboariny avy amin'ny alalan'ny fikirakirana fitaovana avy amina posiposy sy fiara Toyota efa niasa teo an-tokotaniny.Mwaka 2011, mkazi mwingine wa Ghazni aliye na kipaji, bila hata ya kupata mafunzo yoyote au vifaa maalum, alipaisha ndege aliyoiunda kwa kutumia mabaki ya mkokoteni wa matairi mawili unaokokotwa na binadamu na pia kwa kutumia mabaki ya gari aina ya Toyota iliyokuwepo katika bustani yake.
34Nanampy tamin'ity lahatsoratra ity ihany koa i Alexander Sodiqov.Alexander Sodiqov pia alitoa mchango wake katika kuandaa makala hii.