# | mlg | swa |
---|
1 | An-jatony Ireo Namoy Ny Ainy & Mbola Karohina Noho Ny Fianjeranà Tranobe Tao Savar | Bangladesh: Jengo Laporomoka, Mamia Wauawa kwenye Vifusi |
2 | | Jengo la ghorofa tisa lililokuwa na idadi kubwa ya watu wanaotengeneza nguo liliporomoka huko Savar, nje kidogo ya mji mkuu Dhaka na kuua watu 142 na kujeruhi takribani watu elfu moja, hali iliyopelekea kuibua umakini wa hali ya usalama kwa sekta ya viwanda nchini Bangladesh. |
3 | Tamin'ny 24 Aprily 2013 maraina, tranobe misy rihana sivy no nianjera tao Savar, tanàna manodidina ny renivohitr'i Bangladesh, ao Dhaka. | Zaidi ya watu elfu moja inaaminiwa bado wamenaswa kwenye kifusi cha jengo hilo. |
4 | | Watengenezaji sita wa nguo walikuwa wakiendelea na kazi katika ghorofa ya tatu hadi ya nane ya jengo hilo huko Savar na watu wasiopungua elfu tano walikuwa ndani ya jengo lililokuwa na msongamano mkubwa wa watu wakati lilipoanguka asubuhi ya tarehe 24, Aprili 2013. |
5 | Olona maherin'ny 142 no namoy ny ainy, olona an'arivony teo kosa no naratra ary an'arivony ireo mbola karohina ao anaty korontan-trano-rava. | Tukio hili linakuja miezi mitano baada ya tukio jingine la moto ambalo liliua zaidi ya watu 100, wengi wao wakiwa ni wanawake katika kiwanda kingine cha nguo kilichokuwa na msongamano mkubwa wa watu kijulikanacho kama “Mitindo ya Tazreen”. |
6 | Ahitana orinasan-damba manomboka ao amin'ny rihana faha-3 hatrao amin'ny rihana faha-8. | Tangu kutokea kwa tukio hilo, kumekuwa na ongezeko kubwa la umakini wa usalama wa wafanyakazi pamoja na kutokuwa na muitikio usioridhisha itokeapo dharura katika viwanda. |
7 | Olona teo amin'ny dimy arivo teo no tao anatin'ity tranobe ity tamin'ny fotoana nitrangan'ny loza. | Wafanyakazi wa kiwanda cha nguo wamekuwa wakinung'unika dhidi ya ujira mdogo wanaopewa. |
8 | Bangladesh no mpanamboatra fitafiana vita faharoa amin'ny fahabetsahana aorian'i Shina. | Bangladesh ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa nguo zilizo tayari kuvaliwa baada ya China. |
9 | Tao anatin'izay andro vitsy lasa izay, nitombo ny ahiahy mikasika ny fiarovana mpiasa, tsy ampy ny rafitra fisorohana sy famonoan'afo, eo koa ny grevin'ny mpiasa noho ny karama kely, sns. | Wauzaji wa rejareja wa kimataifa kama vile Walmart, H&M, Sears, GAP, Tommy Hilfiger na mitindo mingine maarufu huagiza nguo zao kutoka Bangladesh zikiwa na kibandiko cha”Imetengenezwa Bangladesh”, ambayo ni sifa kubwa kwa nchi hii. |
10 | Volana vitsy lasa izay, namono olona maherin'ny 110 ny afo nirehitra tao amin'ny tranobe misy rihana sivy an'ny orinasa Tazreen Fashion Ltd ao Ashulia (jereo ny tatitra ao amin'ny Global Voices [mg]). | Mwanablogu na mwandishi Arafatul Islam anafikiri kuwa, sifa ya aina hii ipo hatarini: Wafanyakazi wanakufa kwa moto wa viwanda, wafanyakazu wanakufa kwa kuangukiwa na majengo… wimbi la watu kufa linaongezeka. |
11 | Ny zava-niseho taorian'ny fianjeran'ilay tranobe misy rihana sivy tao Savar, ambanivohitry Dhaka. | Nilizoea kununua nguo zenye kibandiko “Imetengenezwa Bangladesh” kwa kujivunia. Kwa sasa ninaona damu kwenye kibandiko hicho, ninasikia kilio cha wafu. |
12 | Sary avy amin'i Firoz Ahmed. | muonekano wa jengo la ghorofa tisa lililo anguka huko Savar, nje ya jiji la Dhaka. |
13 | Copyright Demotix (24/4/2013) | Picha na Firoz Ahmed. |
14 | Naneho ny hatezerany tao amin'ny media sosialy ireo mpiserasera manoloana ny loza miverimberina eny amin'ny orinasan'ny fanenoman-damba. | Haki miliki na Demotix (24/4/2013) Watumiaji wa mtandao wameonesha katika mitandao ya kijamii hali ya kufedheheshwa kufuatia matukio haya yanayojirudiarudia katika viwanda vya nguo. |
15 | Vehivavy avokoa ny ankamaroan'ny mpiasa amin'ity sehatra ity. | Katika sekta hii, wanawake ndio wengi zaidi. |
16 | Bilaogera Vashkar Abedin nanoratra tao amin'ny Facebook: | Mwanablogu Vashkar Abedin katika ukurasa wa Facebook anaandika: |
17 | Ah rahavavy! | Ah dada! |
18 | Manjaitra fotsiny ny fahafatesanao… | Washona kifo chako tu… |
19 | Joydeep Dey Shaplu tsy nahafey ny hatezerany tao amin'ny Facebook: | Joydeep Dey Shaplu hawezi kutawala hasira yake katika ukurasa wa Facebook: |
20 | Tsy misy olona velona ao anatin'ireto vatana mangatsiaka ireto. | hakuna atakayekuwa hai miongoni mwa miili hii ya watu waliokufa. |
21 | Matotoa avokoa isika.. raha tsy izany, tsy navelantsika hitranga ny fahafatesana betsaka tahaka izao.. | Sisi ni mizimu.. vinginevyo tusingeweza kuacha idadi kubwa hivi ya watu wafariki.. |
22 | Nahitana tresaka (triatra) ny rindrin'ilay tranobe ny andro alohan'ny loza. Nakatona avy hatrany ireo orinasa tao [bn]. | Ushahidi unaonesha kuwa, kulikuwa na ufa kwenye jengo hilo siku moja kabla ya tukio. viwanda vilifungwa haraka sana. |
23 | Saingy tsy noraharahin'ilay tompon'ny tranobe izany fambara fianjerana izany ka mbola nosokafany ihany ny orinasa tamin'ny 24 Aprily 2013 ary noterena hiverina hiasa ireo mpiasa. | [bn]. Lakini dalili za kuanza kuanguka hazikutiliwa maanani na mmiliki wa jengo hilo kwani alilifungua kw ajili ya biashara mnamo tarehe 24 Aprili na wafanyakazi walilazimishwa kurudi kazini. |
24 | Tsy manaiky izany fanapahan-kevitra tsy voahevitra avy amin'ny mpitantana izany i Sumeema Yasmin Sumi: | Sumeema Yasmin Sumi hawezi kukubaliana na maamuzi haya yasiyokuwa makini kutoka kwa wamiliki: |
25 | Olona marobe araka izany no noterena nankany amin'ny fahafatesana. | Watu wengi sana walisabishiwa kifo. |
26 | Tsy ekeko izao tsy fisian'ny fandraisan'andraikitra avy amin'ny mpitantana izao | Siwezi kukubalian na hali hii ya kutokuwajibika kulikooneshwa na wamiliki wa jengo hili. |
27 | Lucky Akter, iray amin'ireo mpikatroka mpitarika ny hetsika #Shahbag nandahatra lahatsoratra tao amin'ny bilaogy Somehwhereinblog izay mitondra ny lohateny hoe “Aza Misaona, Fa Fihetsiketsehana atao”: | Lucky Akter, mmoja wa wanaharakati waandamizi wa #maandamano ya Shahbag aliandika kwenye Somehwhereinblog katika makala iliyokuwa na kichwa cha habari”Hakuna maombolezo, bali maandamano”: |
28 | Efa ela no nofoanana ny fanandevozana. | Utumwa ulishasitishwa miaka mingi iliyopita. |
29 | Saingy hitantsika fa niverina amin'ny endriny hafa izany fanandevozana izany. | Lakini tunaona kuwa, utumwa umerudi tena kwa namna mpya. |
30 | Efa fantatra fa mety hahafaty, nahoana no mbola noterena hiditra ao amin'ny faritry ny fahafatesana ireo mpiasa? | Vinginevyo, kama ilifahamika kuwa kulikuw na hatari ya watu kutopoteza maisha, iliwezekanaje hadi watu hawa wakalazimishwa kuingia kwenye hatari ya kifo? |
31 | Nahoana no nasaina hiverina hiasa indray izy ireo mba hahazo tombony? | Slavery has been abolished long ago. |
32 | Niara-niasa an-tsitrapo ny mpiasa mpamonjy voina sy ny olo-tsotra mba hamonjy ireo niharam-boina. | |
33 | Sary avy amin'i Firoz Ahmed. Copyright Demotix (24/4/2013) | But we see that slavery has returned in a new form. |
34 | Avy amin'ny indostrian'ny fanenoman-damba ny ankamaroan'ny vola miditra amin'ny fanondranan'entana ao Bangladesh. | Otherwise knowing that there is a death-risk, how come these laborers were forced to enter the death-zone? |
35 | Tamanna Sultana nanoratra tao amin'ny Facebook: Menatra aho! | Je, walirubuniwa kurudi kazini kwa kuahidiwa kifuta jasho? |
36 | An-jatony hatrany ireo maty, izay taolan-tehezan'ny toekarena ao amin'ny firenena, ary tsy misy olona miraharaha akory. | Wanajeshi na raia wa kujitolea wanafanya kazi pamoja katika kuwaokoa watu walionasa kwenye kifusi cha jengo hilo. |
37 | Ary mbola mitohy hatrany izany. | Picha na Firoz Ahmed. |
38 | Toa izay mahasoa ny mpanankarena sy ny matanjaka ihany no imasoantsika. | Haki miliki na Demotix (24/4/2013) |
39 | Toa tsy mba voampanga amin'ny heloka vitany nahatonga ireo loza goavana ireo tomponà orinasa sy ireo tompon'andraikitra. | Sehemu kubwa ya fedha za kigeni za Bangladesh zinatokana na viwanda vya nguo zilizo tayari kutumiwa moja kwa moja. |
40 | Apurbo Shohag naneho ny hatezerany tao amin'ny Facebook: | Tamanna Sultana anaandika katika ukurasa wa Facebook: Ninajionea aibu! |
41 | Ao amin'ity firenena ity, tonga mora foana ny fahafatesana. | Hao walio uti wa mgongo wa nchi wanakufa kwa mamia, na hakuna anayejali. |
42 | Satria ny ain'olombelona no zavatra mora indrindra. | Na hili linarudiwa mara kwa mara. |
43 | Tsy ny loza niseho androany tao Savar ihany, fa efa nandre imbetsaka isika taorian'ireo loza teo aloha fa hoentina eo anatrehan'ny fitsarana ireo tompon'andraikitra, anisan'izany ireo tomponà orinasa. | Inaonekana kama vile tunawajali sana matajiri na wenye nguvu tu. Wamiliki wa viwanda au hao wanaohusika ni nadra sana kuhukumiwa kwa kushindwa kutoa huduma stahiki kulikopelekea uharibifu mkubwa kiasi hiki. |
44 | Kanefa mbola tsy hitantsika misazy ihany izy ireo. | Apurbo Shohag anaonesha ghadhabu yake katika Facebook: |
45 | Mbola hiseho hatrany izao loza izao. Miavosa hatrany ny isan'ireo vatana mangatsiaka | Katika nchi hii, kifo kinaweza kumkuta mtu kirahisi sana. |
46 | Maro ireo mbola tototry ny korontan-trano-rava. Sary avy amin'i Firoz Ahmed. | Kwa kuwa jambo rahisi kabisa ni uhai wa mtu. |
47 | Copyright Demotix (24/4/2013) Wallmart, H&M, Sears, GAP, Tommy Hilfiger sy marika maro hafa malaza no manondrana ny entany (akanjo) vita Bangladesh, izay mitondra mari-tsoratra famantarana “Vita Bangladesh”, reharehan'ny firenena. | Siyo tu uharibifu huu wa leo wa Savar, tumeshasikia mara nyingi sana ukiachia maafa haya ya kuporomoka kwa viwanda kwani hao wanaohusika ikiwa ni pamoja na wamiliki watafikishwa mahakamani. |
48 | Arafatul Islam, bilaogera sady mpanao gazety mihevitra fa simba tanteraka izany rehareha izany: | Lakini hatuoni wakiadhabiwa. Kwa hiyo majanga haya yanajitokeza mara kwa mara. |
49 | Maty ny afo ateraky ny orinasa ireo mpiasa, maty noho ny fianjeran'ny tranoben'ny orinasa ny mpiasa.. mihalava ny filaharan'ireo maty. | Miili ya watu waliokufa inajirundika kwa idadi kubwa kabisaThe bodies pile up in greater numbers. |
50 | Zatra nividy fitafy rehareha “Made in Bangladesh” aho taloha. | Watu wengi bado wanazikwa kwenye vifusi vya zege. |
51 | Ankehitriny, rà no hitako amin'izany mari-pamantarana izany, mahare ny hiakan'ny fahafatesana. | Picha na Firoz Ahmed. Haki miliki na Demotix (24/4/2013) |
52 | Namoaka didy andro fisaonana [bn] amin'izao loza mahatsiravina izao ny governemanta. | Serikali imetangaza Siku ya maombolezo [bn] kufuatia idadi kubwa ya watu kupoteza maisha. |
53 | Nisy ny antso natao tao amin'ny Facebook ho fanomezan-drà, ka maro ireo nirohotra tao Savar sy teny rehetra teny mba hanome rà. | Kulikuwa na maombi kupitia Facebook ya kuchangia damu, na wengi walijitokeza kuchangia damu huko Savar na kwingineko. |
54 | Filaharana tao amin'ny kianjan'i Shabag ho fanomezan-drà ireo olona naratra nandritra ny fianjeran'ny tranobe tao Savar. | uchangiaji wa damu unaendelea katika eneo la wazi lililozungukwa na majengo la Shahbag kwa ajili ya kuwasaidia watu waliojeruhiwa kufuatia jengo lililoporomoka huko Savar. |
55 | Sary: pejy Facebookn'ny Hetsika Shahbag. | Picha kwa hisani ya Ukurasa wa Facebook wa Harakati za Shahbag. |
56 | Nalefa tao amin'ny Twitter ny vaovao farany: | Taarifa zaidi zilikuwa zinatumwa katika mtandao wa Twita: |
57 | @ShahbagInfo: Mila RA Rh NEGATIVE ao #Shahbag; kitapon-drà 700 no voahangona, 500 nalefa tao Dhaka Medical College & Enam Medical College. | @ShahbagInfo: damu yenye Rh hasi inahitajika #Shahbag; Mifuko 700 ya damu imekusanywa hapa, 500 imetumwa katika hospitali ya chuo cha Dhaka na kwenye kambi; Hospitali ya chuo cha Enam. |
58 | #Savar | #Savar |
59 | Mpilatsaka an-tsitrapo ao Bangladesh nametraka an-tsarintany ireo mpilatsaka an-tsitrapo tao amin'ny Facebook mba hanampy amin'ny hetsika famonjena. | Wanaojitolea kwa ajili ya Bangladesh crowdsourced volunteers kupitia mtandao wa Facebook kwa ajili ya kusaidia michakato ya uokoaji. |
60 | Maro ireo sary azo jerena ao amin'ny lahatsoratr'ilay Bilaogera Bishkhoy. | Picha zaidi kuhusian na janaga hili zinapatikana katika makala hii iliyoandaliwa na Mwanablogu Bishkhoy. |