Sentence alignment for gv-mlg-20130517-48430.xml (html) - gv-swa-20130511-4953.xml (html)

#mlgswa
1Nampisinda Vetivety ny Tsy Fitovian-kevitra Ara-politika Ao Pakistan Ny Ratra Nahazo An'i Imran KhanPakistan: Imran Khan Aanguka na Kuumia Akiwa Kwenye Jukwaa la Kampeni
2Mpilalao cricket (fanatanjahantena baolina kapohina amin'ny kibay) manana ny lazany, niofo ho mpanao politika i Imran Khan, nahasarika tanora marobe sy mpifidy avy ao andrenivohitra ny fampielezan-keviny mampanantena “Pakistana Vaovao” tamin'ny famoriam-bahoaka nokarakarainy ho entina hiatrehana ireo fifidianana ankapobeny ao amin'ny firenena, saingy fotoana fohy alohan'ny hanaovany kabary, nianjera 15 metatra avy eny amiin'ny kalesy mpampakatra izy ka tapaka telo ny vanin-taolany sy ny taolan-tehezany .Aliyekuwa mchezaji maarufu wa kriketi na kisha kuamua kuwa mwanasiasa Imran Khan, ambaye kampeni yake yenye tumaini kubwa la kupata “Pakistani Mpya” imeshavuta makundi makubwa ya vijana pamoja na wapiga kura wa mijini kwenye mikutano yake katika harakati za kuelekea kwenye uchaguzi mkuu , alivunjika vifupa vitatu vya uti wa mgongo pamoja na mbavu baada ya kuanguka kutoka kwenye winchi iliyokuwa katika kimo cha futi 15 mda mfupi kabla ya kuhutubia.
3Nentina haingana tany amin'ny hopitaly Shaukat Khanum Memorial i Khan, izay tonga nanatrika ny famoriam-bahoaka tao an-tanànan'i Lahore.Khan, aliyekuwa katika mkutano katika jiji la Lahore, alikimbizwa haraka kwenye Hospitali ya Kumbukumbu ya Shaukat Khanum.
4Ora fohy taorian'ny nampidirana azy hopitaly, nahatsiaro tena izy ary afaka nanao kabary politika mahery vaika tamin'ireo mpanao gazety tonga nitsidika azy.Ndani ya masaa machache ya kulazwa hospitalini, alipata tena fahamu na kuweza kutoa hotuba ya kisiasa yenye mashiko kwa waandishi wa habari waliokuwa pembeni mwa kitanda chake.
5Andro vitsy taorian'ny fifidianana nampifanditra vao haingana tao amin'ny firenena tamin'ny 11 Mey 2013, nitranga izao loza nahazo an'i Khan izao tamin'ny ora farany amin'ny fampielezan-kevitra.Kwa kuzingatia uchaguzi huu ulio na ushindani mkubwa unaotarajiwa kufanyika Mei 11, 2013, siku chache zijazo, kuanguka ghafla kwa Khan kunatokea wakati wa harakati za mwisho za kampeni.
6Izy no lehiben'ny antoko Pakistan Tehreek-e-Insaf (PTI, Hetsiky ny Pakistan ho an'ny Fahamarinana), antoko vaovao izay ho mpifanandrina matotra ho an'ny vahoaka mandritra ireo fifidianana hoavy.Yeye ndiye anayekiongoza chama cha Pakistan Tehreek-e-Insaf (PTI), mwanasiasa mgeni ambaye anaweza kuwa mgombea shupavu atakayewawakilisha watu kwenye chaguzi za hivi karibuni.
7Saingy ny tena mahaliana dia nampisinda ny olana ara-politika mahery vaika mampizarazara ao amin'ny firenena ity loza ity, satria nanadino ny tsy fitovizan-kevitra ireo mpifanandrina politika, tsikera, sy mpanohitra ary nirary fahasalamana ho an'i Khan.Lakini, jambo kubwa kabisa ni kuwa, tukio hili linaonesha ishara ya kuwepo kwa hali ya umoja pamoja na kuwepo kwa mpasuko hatari wa kisiasa uliotapakaa nchini kote kwani washindani, wakosoaji na wapinzani wanaweka tofauti zao kando na kumtakia Khan siha njema.
8Imran Khan nianjera teo amin'ny lampihazo.Imran Khan aanguka kutoka kwenye winchi.
9Sary avy amin'ny PTI UK pejy FacebookPicha kwa hisani ya PTI Ukurasa Maalum wa Facebook wa Uingereza
10Nosoloina ity loza ity avokoa ireo lohatenim-baovao hafa tamin'ny fahitalavitra ary tsy niandry ela ihany koa ny tao amin'ny media sosialy nampahafantatra ny tranga.Habari hii kwa haraka kabisa ilibadilisha vichwa vya habari vingine kwenye vituo vya televisheni na pia mitandao mingi ya kijamii ghafla ilihanikizwa na habari hii.
11Nandray fitenenana ho firarian-tsoa sy fahasalamana ho an'i Imran Khan ireo olona avy amin'ny firehana ara-politika isan-karazany, manomboka amin'ireo mpifanandrina goavana aminy, Nawaz Sharif sy Shahbaz Sharif, hatramin'ireo olo-malaza manerantany tahaka an'i Brin Lara.Watu mbalimbali kuanzia washirika wake wa kisiasa, washindani wake wakubwa Nawaz Sharif na Shahbaz Sharif hadi watu maarufu duniani kama vile Brian Lara walimwombea Imran Khan kupona haraka.
12Mpilalao “cricket” Brian Lara (@BrianLara) nisioka tamin'ny kaontiny tamin'ny 8 Mey 2013:Mchezaji wa kriketi wa kutoka Indies ya Magharibi, Brian Lara (@BrianLara) alitwiti katika ukurasa wake mnamo tarehere 8 May, 2013:
13@BrianLara: Naratra nandritra ny famoriam-bahoaka i Imran Khan, nianjera teny amin'ny lampihazo izy… Tsy dia atahorana ny toe-pahasalamany Misaotra an'Andriamanitra!!@BrianLara: Imran Khan aliumia wakati wa mkutano kwa kuanguka kutoka jukwaani… balaa limemuepuka, Asante mungu!
14Mirary fahasalamana haingana ho anao ry lehilahy mahery fo.Upone kwa haraka ndugu uliye muhimu.
15Tohizo ny tolona amin'izay tianao ahatongavana.Endelea kukipigania kile unachokiamini.
16Lehiben'ny Ligy Miozolomana Pakistaney Nawaz (PML-N) i Shahbaz Sharif nanoratra tao amin'ny pejy facebook-ny:Kiongozi wa Pakistan Muslim League Nawaz (PML-N), Shahbaz Sharif aliandika kwenye ukurasa wake wa Facebook:
17Vao avy nitsidika an'i Imran Khan tany amin'ny hopitaly ary nampita azy ireo firariantsoa avy amin'i Mian Nawaz Sharif… Alhumdulillah, mirary fahasalamana mashaaAllah… Vavaka ho azy sy ny fianakaviany!!!Si muda mrefu nimetoka hospitalini kumjulia hali Imran Khan na kufikisha salamu za kumtakia siha njema kutoka kwa Mian Nawaz Sharif…Alhumdulillah yeye hajambo na anaendelea vizuri mashaaAllah… tunamwombea yeye na familia yake!!!
18Naneho fihetseham-po tahaka izany ihany koa i Maryam Nawaz Sharif (@MaryamNSharif), zanaka vavin'ny lehiben'ny PML-N, Nawaz Sharif:Maryam Nawaz Sharif (@MaryamNSharif), mtoto wa kike wa kiongozi wa chama cha PML-N, Nawaz Sharif, pia alitoa hisia zake:
19@MaryamNSharif: Nandre ny vaovao mampalahelo nandritra ny fampielezan-kevitra.@MaryamNSharif: Alipata bahati mbaya wakati kampeni zikiendelea.
20Vavaka sy firarian-tsoa ary fahasalamana ho an'i Imran Khan Sahib.Tunamuombea na kumtakia kila lenye kheri Imran Khan Sahib apone haraka; awe na siha njema kabisa.
21Olona an-jatony no tonga nitangorona tao ivelan'ny hopitaly Shaukat Khanum izay itsaboana an'i Imran Khan.mamia ya watu wakiwa wamekusanyika nje ya Hospitali ya Shaukat Khanum, hospitali aliyokuwa anapatiwa matibabu Imran Khan.
22Sary avy amin'i Saad Sarfraz Sheikh.Picha na Saad Sarfraz Sheikh.
23Copyright Demotix (8/5/2013)Haki miliki (8/5/2013)
24Hoy ny Dr. Tahirul-Qadri (@TahirulQadri), izay nitarika vahoaka marobe sesehena hanohitra ny governemanta ankehitriny ao amin'ny Antokom-bahoaka Pakistan (PPP) nilaza:Dr. Tahirul-Qadri (@TahirulQadri), ambaye siku za hivi karibuni aliongoza kundi kubwa la watu kukipinga Chama cha Watu wa Pakistan (PPP) chama cha serikali inayomaliza muda wake, alisema:
25@TahirulQadri: Miray fo sy saina tanteraka ho an'ny filohan'ny PTI, Imran Khan mba ho sitrana haingana izy.@TahirulQadri: huruma ya moyo wangu ni kwa mwenyekiti wa PTI, ndugu Imran Khan kwa kujeruhiwa.
26Hivavaka ho an'ny fahasalamany aho.Ninamuombea awe na siha njema.
27Rehman Malik (@SenRehmanMalik), minisitry ny atitany teo aloha tamin'ny governemanta PPP ankehitriny, nisioka hoe:Rehman Malik (@SenRehmanMalik), aliyekuwa Waziri wa mambo ya ndani katika serikali inayoondoka madarakani ya chama cha Watu wa Pakistan (PPP), alitwiti:
28@SenRehmanMalik: Hivavaka aho mba ho salama haingana i Imran Khan.@SenRehmanMalik: Ninamuombea Imran Khan apone haraka.
29Hitahy azy anie Allah mba ho salama haingana izy.Mwenyezi Mungu amjalie Baraka za kupona haraka.
30Tao Punjab, nifamaly tsy an-kitsitsy ara-politika tamin'ny Ligin'ny Miozolomana Pakistana (PML-N) ny antokon'i Khan. Na dia teo aza anefa izany, mbola naneho ny alahelony noho ny loza niseho ny lehiben'ny PML-N, Nawaz Sharif ary nanapa-kevitra tsy hanao fampielezan-kevitra iray andro, ho fanehoana firaisankina amin'i Khan.Huko Punjab, chama cha Khan kinakabiliana na hali ngumu ya ushindani wa kisiasa dhidi ya chama cha Pakistan Muslim League (PML-N). pamoja na hali hii, kiongozi wa PML-N, Nawaz Sharif, alionesha kuguswa kwake na tukio hili na hivyo kuamua kusitisha kampeni za chama chake kwa siku moja kama namna ya kuonesha hali ya umoja kati yake na Khan.
31Maro ireo nilaza fa nampiray ny firenena mizarazara ny loza nahazo an'i Khan.Wengi wameeendelea kusema kuwa, kwa kuanguka kwake, Khan ameliunganisha tena taifa.
32Nanoratra i Hammad Siddiqui (@hammads) fa mampiseho ny loza fa efa matotra ireo mpanao politika Pakistaney:Hammad Siddiqui (@hammads) aliandika na pia kudokeza kuwa, wanasiasa wa Pakistan wameerevuka kisiasa:
33@hammads: Altaf Bhai no voalohany nampihemotra ny kabariny ary nivavaka ho an'i Imran Khan -Narahin'ny NS avy eo, mampiseho fahamatorana ara-politika izany # GetwellSoonIK@hammads: Altaf Bhai ndiye aliyekuwa wa kwanza kusitisha hotuba yake na kumuombea Imran Khan - akifuatiwa na NS, hii inaonesha kupevuka kisiasa # UpatenafuuharakaIK
34Niteraka firaisam-po sy fanohanana marobe ny antoko politikan'i Khan ny loza nahazo azy, maro ireo nilaza fa mety hivadika ho fitiavana sy fanohanana ny antokony ny loza niseho.Tukio hili pia limechochea idadi kubwa ya watu kukihurumia na kukiunga mkono chama cha siasa cha Khan, huku wengi wakitabiri kuwa, hali hii inaweza kuwa kuwa msaada mkubwa kwa chama cha Khan.
35Hassan Belal Zaidi (@mightyobvious_), mpanoro hevitra media, nanatontosa lahatsoratra mitondra ny lohateny hoe “Nianjera ho Fitahiana (Fall to Grace)” tao amin'ny Pak Votes. Hoy i Zaidi nanoratra:Hassan Belal Zaidi (@mightyobvious_), mshauri wa vyombo vya habari,” Anguka Kutoa baraka” za Kura za watu wa Pakistan . katika makala hii, Zaidi aliandika:
36Ny marina dia, mety i Imran no handresy amin'ity indray mitoraka ity.Ukweli ni kuwa, Imran anaweza kuibuka mshindi katika chaguzi hizi.
37Efa henoko sahady amin'ny halavirana an'arivony ny fandresen'ity mpilalao cricket ity.Ninaweza kunusa harufu ya ushindi maili chache hivi kwa mcheza kriketi huyu.
38Angamba fandresena mafonja, fa tsy faharesena, ho an'ny antoko vao manomboka, tena fandresena mihitsy no ho azony.Unaweza usiwe ushindi wa kishindo, inawezekana usiwe ushindi wa moja kwa moja, lakini kwa chama kipya, bila mashaka yoyote, utakuwa ni ushindi mkubwa.
39Mino fotsiny aho fa (ialàna tsiny ny kilalaon-teny) antso fanaraina ilain'ny maro eto amin'ny firenentsika ny dòna nahazo no lohany.Ninatumai kuwa, kugongwa huku kichwani, utakuwa ni wito wa kuamshwa ambao watu wengi katika nchi yetu wanauhitaji.
40Tsy manohana ny antokony Pakistan Tehreek-e-Insaaf aho, na hifidy azy.Siungi mkono chama cha Pakistan Tehreek-e-Insaaf, na wala sitawapigia kura yangu.
41Saingy mirary ny antokony sy ny lehibeny aho mba hahomby amin'izay ataony.Lakini nakitakia chama chao na kiongozi wao mafanikio mema.
42Raha maro ireo mitsikera ny firehana ankavanana ataon'i Imran Khan, nanasongadina indray ny fianjerany fa nanetsi-po ara-politika ny firenena i Khan, indrindra ny tanora.Wakati, watu wengi walimkosoa Imran Khan kuwa ameegemea siasa za mrengo wa kulia, kuanguka kwa bahati mbaya, kumeonesha tena uthibitisho kuwa taifa limeamshwa tena kisiasa na hususani kwa vijana.
43Na inona na inona nolazaina sy efa vita, fanovana tsara amin'ny fisokafan'ny demokrasia ny fanentanana tahaka izao.Na yote yakishasemwa na yakaisha, muhamasisho wa aina hii ni mabadiliko yanayohitajika sana kwenye demokrasia inayokua.