Sentence alignment for gv-mlg-20130412-47621.xml (html) - gv-swa-20130413-4846.xml (html)

#mlgswa
1Syria: Misioka Avy Eny AleppoSyria: Kutwiti Kutokea Vitani Jijini Aleppo
2Tafaverina ao Aleppo, Syria ilay mpanao gazety Jenan Moussa, ary nisioka izay zava-niainany, mbola mihamafy hatrany anefa ny ady eo amin'ny mpitandro ny filaminana mpanohana sy mpanohitra ny governemanta.Mwandishi wa Habari Jenan Moussa amerudi mjini Aleppo, nchini Syria, akitwiti tajiriba yake kadri vita kati ya vikosi vinavyopinga serikali na vile vinavyoiunga mkono serikali inavyozidi kushika kasi.
3Vaovao sy miavaka ireo siokan'i Moussa, mampahafantatra ireo mpamaky mikasika ny fiainan'ireo izay ao anatin'ny ady.Twiti za Moussa ni za kawaida na za kibinafsi sana, zikiwapa wasomaji wake picha kamili ya maisha yalivyo kwa wale walio kwenye uwanja wa vita.
4Moussa, mpanangom-baovaon'ny Al Aan TV, avy any Dubai, Emirà Arabo Mitambatra, nanoratra hoe:Moussa, ambaye ni ripota wa kituo cha televisheni za kiarabu Al Aan TV, kilichopo jijini Dubai, Jamhuri ya Falme za Kiarabu, anasema:
5@jenanmoussa: Mahafinaritra fa tafaverina eto #Aleppo & tafahoana amin'ireo namako rehetra aho.@jenanmoussa: Ni jambo kubwa sana kurudi Allepo, kukutana na rafiki zangu.
6Toa nihatsara ny teto an-tanàna raha oharina tamin'izaho farany teto.Jiji linaonekana kuwa na nafuu zaidi kuliko ilivyokuwa mara ya mwisho nikiwa hapa.
7Efa zatra ady ny vahoaka.Watu wameshazoea vita.
8Mahare ireo tifitra tafondro mandritra ny sakafo hariva aty Aleppo:Chakula chake cha jioni, jijini Aleppo, anakipata akisikia sauti za mabomu yakidondoka jirani na aliko:
9@jenanmoussa: Fotoana fisakafoanana hariva izao aty #Aleppo.@jenanmoussa: Ni wakati wa chakula cha jioni hapa Aleppo.
10Akoho nahandro Meksikana no sakafonay izao ary mahare tifitra tafondro avy lavitra izahay.Tunakula kuku wa ki-Mexico wakati tukisikia sauti za mabomu yakidondoka kwa mbali,
11Rehefa avy natory nandritra ny alina tao an-tanàna, hoy i Moussa nanontany:Baada ya usiku huo akiwa jijini, Moussa anashangaa:
12@jenanmoussa: Miarahaba avy aty #Aleppo.@jenanmoussa: Habari za asubuhi kutoka Aleppo.
13Tsy nahita tory aho hatramin'ny 6 maraina.Sikuweza kulala mpaka saa 12 alfajiri.
14Isaky ny manakipy ny masoko aho, mieritreritra baomba milatsaka.Kila wakati ninafunga macho yangu ninapatwa na hisia kuwa mabomu yanaanguka.
15Andriamanitra ô! inona no ataon'ireo vahoaka mba tsy hikoropaka?Mungu, watu wanawezaje kubaki na akili zao hapa?
16Tao Aleppo, nitsidika toerana nisianà daroka balafomanga izy.Jijini Aleppo, anatembelea mahali ambako kombora lilianguka siku zipatazo 45 zilizopita.
17Hoy izy nisioka:Anatwiti:
18@jenanmoussa: Androany vao maraina, nitsidika toerana iray nahitana balafomanga nianjera 45 andro lasa izay, tao #Aleppo aho.@jenanmoussa: Mapema leo nilienda kwenye eneo ambako kombora la SCUD lilidondoka siku zipatazo 45 zilizopita hapa Aleppo.
19Olona 6 no mbola tsy hita ary karohina ao anaty korontam-baton'ny trano rava.Miili sita bado haijapatikana.
20Jenan Moussa ao Aleppo, tao amin'ny toerana nianjeranà balafomanga Scud, 45 andro lasa izay.Jenan Moussa akiwa Aleppo, mahali ambako kombora la Scud lilianguka siku 45 zilizopita.
21Sary nozarain'i @jenanmoussa tao amin'ny TwitterPicha imewekwa na @jenanmoussa kupitia mtandao wa Twita.
22@jenanmoussa: Tao #Aleppo, ,nahita raim-pianakaviana nipetraka tambonin'ny vato aho, ary mitomany izy.@jenanmoussa: Jijini Aleppo nilimwona baba amekaa kwenye jabali, akitiririkwa na machozi.
23Mbola eo am-pitadiavana ireo zanany vavy 2 mahafatifaty & vadiny izyAlikuwa bado anatafuta miili ya mabinti zake wawili na mkewe
24@jenanmoussa: Niaraka taminy aho raha nahita ila-kiraro an'ankizy sy singam-bolo izy (volom-behivavy) tao anatin'ireo potika vato sy birika.@jenanmoussa: Wakati nikiwa nae, baba huyo alipata malapa ya mwanae na nywele kidogo (za kike) chini ya jabali hilo.
25Angamba mety an'ny vadiko ity ho izy nilaza tamiko.‘Labda ni mke wangu' aliniambia
26Na dia eo aza izany toe-javatra izany, be vazivazy hatrany i Moussa:Pamoja na hali ngumu, Moussa anafanya utani kidogo:
27@jenanmoussa: Ihomezan'ireo mpikatroka eto #Aleppo aho.@jenanmoussa: Wanaharakati hapa Aleppo hunicheka.
28Izaho ny hany tokana mitafy akanjo aro-bala ato an-trano.Mara nyingine mimi huwa ni mtu pekee anayevaa nguo ya kuzuia risasi nyumbani.
29Efa zatra ny tabataban'ny ady izy ireo.Watu wote wameshazoea milio ya bunduki.
30Nandeha natory tsy nisakafo hariva izy avy eo:Na anaenda kulala bila kupata chakula cha jioni:
31@jenanmoussa: Tsy nisakafo hariva izahay androany.@jenanmoussa: Hatujala chakula cha jioni usiku huu.
32Ary tsy nandro ihany koa.Hatujaoga.
33Tsy dia ilaina izany aty an-tanàna tahaka an'i #Aleppo.Hilo si hitaji la msingi katika mji kama Aleppo.
34Tafandria mandry ianareo rehetra.Usiku mwema kwenu nyote.