Sentence alignment for gv-mlg-20120731-36294.xml (html) - gv-swa-20130411-3664.xml (html)

#mlgswa
1Bahrain: Tsy Mandray Anjara Amin'ny Lalao OlaimpikaBahrain: ‘Kususia michezo ya Olimpiki’
2Ny zanaka lahin'i Mpanjaka ao Barhain, ny Printsy Nasser Bin Hamad Al Khalifa no mpitarika voalohany momba ny fanatanjahatena ao Bahrain; tsy nofidiana ara-demokratika fa notendrena tahaka ireo fianakaviany, izay eo amin'ny fahefana.Makala haya ni sehemu ya makala zetu maalum michezo ya Olimpiki London 2012 na Maandamano Bahrain 2011/12 Mwana wa mfalme wa Bahrain, Nasser Bin Hamad Al Khalifa ni mwanamume aliyemstari wa mbele kwenye michezo Bahareni; hakuchaguliwa kidemokrasia bali aliteuliwa kama wengine kwenye familia yao, walioko madarakani.
3Nahazo laza ity tovolahy ity taorian'ny fikomiana tamin'ny 14 Febroary tamin'ny taon-dasa, raha nampijaly mafy ireo mpanao fanatanjahatena Bahrainita nanatevin-daharana ireo mpanao fihetsiketsehana nandritra ny fitokonana goavana tamin'ny fitakiana ho amin'ny fiovana tao amin'ny firenena.Kijana huyu alipata umaarufu baada ya mieleka mnano Februari 14 mwaka jana, ilipodaiwa kuwa aliwatesa wanamichezo wengi wa Bahrain, waliojiunga na ranki za waandamanaji katika maandamano makubwa wakidai mabadiliko ya kisiasa nchini humo.
4Nampiasa Twitter i Nasser nandritra ny fitokonana, ary nisioka tamin'ny anarany manokana, nandrahona ny hamaly faty ireo izay manohitra ny fitondrana izy.Nasser alitumia twita wakati wa myanyuko, akitwiti kwa kutumia jina lake halisi, akitishia kulipiza kwa wale wanaopinga utawala.
5Raha nanomboka nitaky ny fanesorana azy tsy handray anjara amin'ny Lalao Olaimpika ny hetsika, nofafany avokoa ny siokany avy eo.Wakati kampeni zilipoanza kutoa wito wa kuondolewa kwake kwenye mashindano ya Olimpiki jijini London, alifuta twiti zake.
666,254 no mpanaraka azy ary aotra ny tweet-ny.Wafuasi 66,254 na twiti sifuri.
7Nofafany avokoa ny siokany rehetra tamin'ny volana lasa teo raha natahotra ny ho voaraoka any Londra izy noho ny filazana fampijaliana nataony.Twiti zote zilifutwa mwezi jana wakati mkuu huyo alipoogopa kupigwa marufuku kutoka London kwa madai ya mateso.
8Tamin'ny volana Novambra lasa teo, namorona hetsika lehibe ny ESPN mba hijerena indray ny olana mikasika ireo mpanao fanatanjahatena nogadraina sy nampijaliana ao Bahrain. Amin'ity lahatsary ity, nilaza ireto atleta fa tsy manana anjara toerana ao amin'ny ekipany intsony izy, noho ny fanagadrana azy, sy ny fanalàna baraka azy ireo ho toy ny mpamadika, noharatsiana ny finoan'ny Shiita, ary nampijalian'ilay printsy mafy izy ireo.Novemba mwaka uliopita, ESPN ilizua rabsha kwa kupitia upya swala la kukamatwa na kuwateza wanamichezo wa Bahrain. katika kanda ya video, wanamichezo hao walilalamika kuhusu kupoteza nafasi zao kwenye timu zao, kukamatwa kwao, kufedheheshwa kwa ukali kama wasaliti, kukana imani yao ya Shia, na kuteswa na mkuu huyo mwenyewe.
9Sambory ny mpampijalyAkamatwe mtesaji huyo
10Tamin'ny fety fanokafana ny Olaimpika, nisioka ity sarin'i Nasser Bin Hamad miaraka amin'ny minisitry ny Raharaham-bahiny ao Barhain ity ilay mpikatroka Jamila Hanan (@JamilaHanan):Katika sherehe za ufunguzi wa michezo ya Olimpiki, mwanaharakati Jamila Hanan (@JamilaHanan) alitwiti picha hii ya Nasser Bin Hamad akiwa na Waziri wa kigeni wa Bahrain:
11Tsy tononina anarana: Ity lehilahy miaraka amin'ny kravaty mena ity.@JamilaHanan: Mtu aliye mbele upande wa kulia na tai nyekundu.
12VIP ao amin'ny #Olympics. Mpampijaly olona izy.Mtu muhimu sana katika #michezo ya Olimpiki.
13Anisan'ireo atleta.Mtesaji wa wanariadha.
14Printsy Nasser ao #Bahrain.Mkuu Nasser wa #Bahrain.
15Naneho hevitra ny olom-pirenena Bahrainita:Bahrainu Citizen ilitoa maoni:
16@Bahrainycitizen: Voarohirohy aminà fampijaliana ireo gadra i Nasser Bin Hamad kanefa navela hanatrika ny fety fanokafana ny #Olympics izy@Bahrainycitizen: Nasser Bin Hamad alihusika yeye mwenyewe kuwatesa waliokamatwa na hivi leo ameruhusiwa kuhudhuria sherehe ya ufunguzi #Michezo ya Olimpiki
17Mpisiokantserasera Kenneth Lipp nanamarika hoe:Tweep Kenneth Lipp alibainisha:
18@kennethlipp: Reko fa nanatrika ny Olaimpika ny fianakavian'ny mpanjaka ao Bahrain. Misy firenena mandroso afaka misambotra azy ireo izao dieny izao .@kennethlipp: Naskia familia ya kifalme ya Bahrain ni wahudumu katika michezo ya Olimpiki, nchi yoyote yenye ustaarabu ingewakamata mara moja.
19Mpikatroka Iraniana Khalid Ibrahim nisioka hoe:Mwanaharakati wa Iraqi Khalid Ibrahim alitwiti:
20@khalidibrahim12: Tsy misy isalasalana fa manohitra ny etika sy ny fitsipika rehetra napetraka amin'ny #Olympics ny fanasana ilay mpampijaly olona ao #Bahrain izay nasain'ny governemantan'i #Uk.@khalidibrahim12: Bila shaka kumwalika mtesaji # Bahrain kupitia serikali ya # Uingereza ni kupingana na maadili na kanuni ambapo zimetumika kuanzisha #michezo ya Olimpiki.
21Solon'izany, Bahrainita mpikatroka ny zon'olombelona Maryam Alkhawaja (zanaka vavin'ilay mpanohitra gadra politika Abdulhadi Alkhawaja) niantso ho amin'ny tsy fankasitrahana ny Olaimpika:Katika kurudi, mwanaharakati wa haki za binadamu Maryam Alkhawaja (binti wa takwimu jela upinzani Abdulhadi Alkhawaja) alitoa wito kwa ajili ya kugomea michezo ya Olimpiki:
22@MARYAMALKHAWAJA: RT raha manaiky ianao: Tsy mankasitraka ny lalao #olympics2012 aho satria na dia eo aza ny zava-misy, dia mbola navelan'ny fanjakana #UK hanatrika ny #Olympics ihany ilay mpampijaly olona ao #Bahrain@MARYAMALKHAWAJA: RT kama unakubali: Ninagomea#michezo ya Olimpiki2012 kwa sababu licha ya kutolewa ushahidi, #Uingereza na#Olimpiki iliwaruhusu watesaji wanaodaiwa kuhudhuria.
23Tsy misolotena anay ireo mpanao fanatanjahatenaWanariadha hawa hawatuwakilishi sisi
24Telo amin ‘ireo atleta solotena avy ao Bahrain mandray anjara amin'ny Olaimpika ihany no tena teratany Bahrainita.Ni wanariadha watatu tu wa Bahrain ambao wazazi wao ni wa Bahrain.
25Sary!: @Ali_Milanello tao amin'ny Twitter.Picha kwa niaba ya @Ali_Milanello kwenye twita.
26Antony iray hiantsoana amin'ny tsy hankatòavana ny Lalao Olaimpika ihany koa ny isan'ireo atleta tsy teratany Barhainita.Sababu nyingine ya wito wa kugomea michezo ya olimpiki ni baadhi ya wanariadha umenawiri katika kikosi.
27Nandritra ny fanokafana ny lalao, marobe ireo Bahrainita nisioka momba ireo atleta tsy teratany sy tsy manana fifandraisana amin'i Bahrain ankoatra ireo izay tena olom-pirenena Bahrainita misolotena ny firenena amin'ny lalao sy nokaramaina amin'izany.Wakati wa sherehe za ufunguzi, Wa-Bahareni wengi walitwiti kwamba hao wanariadha wameomba uraia na hawana uhusiano wowote na Bahrain isipokuwa kuwakilisha nchi katika michezo kwa kulipwa fedha tu kwa ajili hiyo.
28Miteraka adihevitra ao Bahrain ny olana momba ny hoe nahoana ireto atleta ireto no nasolo ireo atleta Bahrainita “tsy tiana” sy ny momba ny ” politika fanomezana fizakana ho olom-pirenena” izay efa fanaon'ny governemanta hatrizay mba hampitombo ny mpanohana azy sy ny hampiasa azy ireo ho ao anatin'ny mpitandro ny filaminana.Suala hili ni tata katika Bahrain ukizingatia jinsi wale wanariadha huja kuchukua nafasi “zisizohitajika” wanariadha Bahraini na kwa sababu ya ‘kisiasa uraia' ambayo imekuwa kwa muda mrefu inatekelezwa na serikali ya kupanua wigo wake wa wafuasi na kuwaajiri katika vikosi vya usalama.
29Taminà fanehoan-kevitra, Bahrainita Ala'a Al Shehabi nisioka hoe:Katika Maoni yake, Bahraini Ala'a Al Shebabi Alitwiti:
30@alaashehabi: Tsy misy fifaliana raha ny fahitantsika ny ekipan'i #Bahrain #Olympics miaraka amin'ireto Bahrainita hafa (tsy tena Bahrainita)-malahelo ny fontsika noho ireo atleta 20 nogadraina@alaashehabi: Hakuna furaha tunapotazama # Bahrain # michezo ya Olimpiki ya timu na moja inayoonekana kuwa ya Bahraini mioyo yetu inazama zaidi ya wanariadha 20 walioswekwa jela.
31Bilaogera Bahrainita Amira Al-Hussaini nanoratra feno esoeso hoe:Na Kejeli, Mwanablogu wa Bahraini Amira Al Hussaini aliandika:
32@JustAmira: Teraka tao Ethiopia sy Kenya avokoa ny ankamaroan'ireo ekipa avy ao #Bahrain #Olympics.@JustAmira: Karibu wachezaji wetu wote #Bahrain #timu ya michezo ya Olimpiki yote imeundwa na wachezaji waliozaliwa nchini Ethiopia na Kenya.
33Tsy fantany fa manana fiarahamonina Bahrainita midadasika izahay any.Sikutambua tulikuwa na idadi kubwa ya jamii Bahraini hapo!
34Hoy ihany koa izy nanoratra:Pia aliongezea:
35@JustAmira: Mahafinaritra ho an'i #Bahrain raha misy fifaninanana #teargassing (fandefasana baomba mandatsa-dranomaso) ao amin'ny #Olympics@JustAmira: Ingekuwa bora kwa #Bahrain kama kungekuwa na mashindano kwa# vilipua machozi katika#michezo ya Olimpiki
36Mpisiokantserasera mpanohana ny fitondrana @ATEEKSTER nitsikera ireo mpanohitra ny fitondrana:Vile vile, mtumiaji twita anayeishabikia serikali @ ATEEKSTER [ar] aliandika kukosoa waandamanaji kupambana na serikali:
37@ATEEKSTER: Tsy misy fanatanjahatena ho an'ny “fitorahana Molotov” ny Lalao Olaimpika ratsy loatra, raha tsy izany tokony ho azontsika ny medaly volamena amin'izany.@ATEEKSTER: Ni vibaya Olimpiki haina michezo kwa ajili ya “Molotov kutupa”, tunaweza kuwa mshindi wa medali ya dhahabu katika hilo.
38Tala namaly azy ka nilaza hoe:Tala alijibu, akimwambia:
39@Taltool11: ahoana indray ny momba ilay lalao mampiasa bala tena izy mba hijerena raha maty ianao rehefa mitifitra aho@Taltool11: Ingekuwaje tungekuwa na mchezo wa kutumia risasi za moto ili kuona kama wewe kufa wakati ninapo fyatua risasi