Sentence alignment for gv-mlg-20090121-1520.xml (html) - gv-swa-20090126-49.xml (html)

#mlgswa
1Faritra Arabo: Fanehoan-kevitra @ fitokanana an'i ObamaMENA: Maoni Wakati Wa Kuapishwa Obama
2Androany (20 janoary) no fotoana manan-tantara eto Etazonia hanaovan'i Barack Obama fianianana amin'ny maha-prezidà faha-44 azy.Tukio la kihistoria limetokea Marekani leo wakati Barack Obama alipoapishwa kuwa rais wa 44.
3Raha nihanihena ny fanohanana an'i Obama any @ tontolo arabo nandritra izay volana vitsy nanginany sy nanginan'ny governemantany nandritra ny fahafihan'ny Isiraely tany Gaza izay, dia mbola manana zavatra maro hotenenina kosa ny mpamaham-bolongana manerana an'i Moyen Orient sy Afrika Avaratra.Wakati kuungwa mkono kwa Obama kati ya Waarabu kumekuwa kukipungua katika miezi michache iliyopita kufuatia uteuzi wake wa baraza la mawaziri na ukimya wake kuhusu mashambulio ya Israeli huko Gaza, wanablogu wa Mashariki ya Kati na Afrika ya Kaskazini wanayo mengi ya kusema.
4A Syrian in London moa efa mizara amintsika nandritra ny herinandro vitsivitsy izay ny fizotran'ny fanafihana ataon'Isiraely, ary dia nomarihany:Bloga A Syrian in London anaorodhesha matukio ya wiki chache zilizopita wakati wa mashambulizi ya Israeli, halafu anaeleza:
5Hapajatokea mwingine tangu Kennedy, na wengine wanasema hakuna rais mwingine wa Marekani aliyewahi kuwa na mvuto pamoja na matumaini makubwa, kutoka duniani kote, kwenye mabega yake.
6“NIfidy ny fanantenana isika handresy ny tahotra, fampiraisana ny tanjona hanosihosy ny ady sy ny fifandirana.”Katika hotuba yake ya kuapishwa, Rais obama alisema: “tumechagua matumaini dhidi ya hofu, umoja wa nia dhidi ya migogoro na kutoelewana”
7“Tonga eto isika hanambara ny fampiatoana hatreo ny teny maharary sy ny fanantenana poak'aty, hanajanona amin'izay ny menomenona sy hanifika ny firehan-kevitra, izay nanakenda hatry ny ela ny politika”.“tumetoa tamko la kumaliza manung'uniko yasiyo na maana na ahadi za uongo, visingizio na imani zilizopitwa na wakati, ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikinyonga siasa yetu.”
8“Eto amin'ny filazana indray fahalehibiazan'ny firenentsika, fantatsika fa tsy atolotra velively izany fahalehibiazana izany.“Katika kutilia mkazo ukuu wa taifa letu, tunaelewa kwamba ukuu si haki yetu ya kupewa hivi hivi tu.
9Tsy maintsy rombahina io.”Ni lazima tuupiganie.”
10“Ariantsika ho toy ny diso ny fampisafidianana ny filaminantsika sy ny idealintsika”” chaguo ama la usalama wetu au maadili yetu, ni la uongo na tunalikataa”
11Sahintsika ve ny hanala baraka ny maty?“Je tunathubutu kuomboleza wafu?
12Sahintsika ve ny hanantena hiaina?“Je tunaweza kuwa na matumaini kwa wale wanaoishi?
13Jar of Juice, mpamaham-bolongana mipetraka any Dubai, no mahatsapa fa misy banga ihany amin'ny kabarin'i Obama:Bloga Jar of Justice aliyeko Dubai, anadhani kwamba hotuba ya Obama ilikuwa na mapungufu:
14Pamoja na kufikiri kwamba hotuba ya Obama ilikuwa nzuri - hakusita pale aliposema ‘Waislamu” lakini alijitahidi sana kuonekana mkweli pale “alipomshukuru” yule mpumbavu ambaye hatutamzungumzia tena baada ya leo - nafikiri kulikuwa na jambo muhimu lililokosekana kwenye htukio hili…
15… saingy maminavina aho fa tsy hifotetaka “hanamarina” ilay adala i Obama afa-tsy noho ny teny sy fihetsika diplaomatika atao mandritra ny kabary.… lakini ninahisi kuwa Obama hatajishusha na kumhusisha yule mjinga zaidi ya ishara tu ya kidplomasia kwenye hotuba yake.
16Mpamaham-bolongana Maraokana Laila Lalami, izay monina any Etazonia ary niaiky fa nifidy an'i Obama, no hita ho manam-panantenana ary faly fa tonga ny andron'i Obama:Bloga wa Kimoroko Laila Lalami, ambaye ni mkazi wa marekani ambye anakiri kumpigia kura Obama, kidogo ana matumaini zaidi na kuridhika kuwa siku ya Obama imewadia: Nimeridhika kwamba siku ya Obama imewadia.
17Valo taona lasa izay dia nifidy an'i Ralph Nader aho satria tsy hitako loatra izay tena mahasamihafa ny demaokraty sy ny repoblikana amin'ny adihevitra lehibe.Miaka minane iliyopita, nilimpigia kura Ralph Nader kwa sababu nilifikiri kuwa hapakuwa na tofauti kubwa kati ya vyama vya Democrat an Republicanm kwenye masuala muhimu.
18Saingy taorian'ny saritaka tany Florida, sy ny fanapahan-kevitry ny Fitsarana an-tampony, ary ny fitotonganan'ny fomba fitondran'ny filoha tamin'izany dia nahazo tsoa-kevitra aho: Tsy mitovy avokoa ny mpanao politika rehetra.Lakini baada ya upuuzi uliotokea Florida, maamuzi ya Mahakama ya Rufaa, na urais dhaifu uliofuatia, nilijifunza somo moja: Si kweli kuwa wanasiasa wote wako sawa.
19Fa dia misy ny tsy manantalenta mihitsy, tsy mahay misaina, tsy manana famindram-po hany ka lasa fanesoeso any am-birao.Kuna wengine ambao hawana vipaji, hawaguswi na busara zilizo wazi, ambao hawana huruma kiasi kwamba wanaifanya ofisi ya rais kuwa ni kitu cha mzaha.
20Mieritreritra ny tenako ho tsy mino ny fisian'ny olona tsara aho ka hanantena loatra izay tena fahasamihafana eo amin'ny politikam-panjakana saingy mbola mirehidrehitra kosa aho amin'ity fiovana iray ity, dia momba an'i Barack Obama sy ny fisotroan-drononon'i George W.Nadhani hivi sasa situmaini kama kutakuwa na tofauti kubwa katika sera za serikali, hata hivyo bado ninajawa na shauku kwenye haya mabadiliko, kwa Barack obama, na kwa kuondoka kwa George W.
21Bush.Bush.
22Mbola manao fanentanana aok'izany moa ireo mpankasitraka an'i Obama ho filoha any Maraoka mba ho any Rabat no hanaovan'ny filoha Obama kabary ivelan'i Etazonia voalohany indrindra.Washabiki wa Kimoroko wa Obama bado wanaendelea kupiga kampeni ya kumtaka rais Obama atoe hotuba yake ya kwanza nje ya nchi nchini Moroko.