# | mlg | swa |
---|
1 | Nandresy Ho Filoha Indray i Robert Mugabe Na Lazaina Ho Nisy Hala-bato Aza | Zimbabwe: Robert Mugabe Ashinda Uchaguzi, Atuhumiwa Kuiba Kura |
2 | Nibata ny fandresena tamin'ny fifidianana filoham-pirenena tao Zimbabwe ny Filoha Robert Mugabe tamin'ny Asabotsy 31 Jolay 2013, nandresy izy nanoloana ilay mpifanandrina aminy akaiky, Morgan Tsvangirai, praiminisitra teo aloha nandritra ny governemanta niaraha-nitantana. | Rais Robert Mugabe ameshinda uchaguzi wa Rais nchini Zimbabwe ulifanyika Jumamosi ya Julai 31, 2013, akimbwaga mshindani wake wa karibu, waziri mkuu wa zamani katika serikali ya umoja wa kitaifa Morgan Tsvangirai. |
3 | Ity no fifidianana milamina voalohany hatramin'ny nitsanganan'ny governemanta niaraha-nitantana teo amin'ny antokon'i Mugabe, Zanu PF sy ny antokon'i Tsvangirai, Antoko ho amin'ny Fanovana Demokratika (MDC). | Uchaguzi huo umekuwa wa amani kwa mara ya kwanza tangu kuanzishw akwa serikali ya pamoja kati ya chama cha Zanu PF cha Mugabe na chama kikuu cha upinzani kinachoongozwa na Tsvangirai kiitwacho Movement for Democratic Change (MDC). |
4 | Natsangana ny fitondrana niaraha-mitantana taorian'ilay fifidianana nihoso-drà sy nampifamaly tamin'ny taona 2008. | Serikali ya pamoja ilianzishwa kufuatia uchaguzi uliopita wa mwaka 2008 ulisemekana kuvurugwa mno na kusababisha umwagaji wa damu. |
5 | Hanohy hitondra ny firenena mandritra ny dimy taona manaraka indray i Mugabe, 89 taona sy efa teo amin'ny fitondrana nandritra ny 33 taona. | Mugabe, mwenye umri wa miaka 89 na ambaye amekuwa madarakani kwa miaka 33, ataendelea kuitawala nchi hiyo kwa miaka mingine mitano. |
6 | Nanaiky ny fandresen'i Mugabe ireo mpanara-maso ny fifidianana avy ao amin'ny Vondrona Afrikanina (UA) sy ny Vondrona ho amin'ny Fampandrosoana ny Atsimon'i Afrika (SADC) na dia teo aza ny fanambarana avy amin'ny mpanohitra fa feno hosoka goavana ny fifidianana. | Waangalizi wa uchaguzi huo kutoka Umoja wa Afrika (AU) na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Afrika ya Kusini (SADC) wameunga mkono uchaguzi wa Mugabe pamoja na madai ya udanganyifu mkubwa yanayotolewa na upinzani. |
7 | Na dia izany aza, Botswana no hany firenena Afrikanina tokana nitaky ny hanaovana fanamarinana mahaleotena ny vali-pifidianana. | Botswana, hata hivyo, ni nchi pekee ya Afrika iliyotoa wito wa ukaguzi huru wa uchaguzi huo. |
8 | Nisy tamin'ireo mpikambana ao amin'ny SADC no nanasokajy ny fankatòavany tamin'ny alalan'ny fanambarana fa malalaka “fa tsy voatery ho marina” ny fifidianana. | Baadhi ya wnaachama wa SADC wamethibitisha kuyaunga mkono matokeo hayo kwa kudai kuwa uchaguzi ulikuwa huru “lakini si lazima uwe wa haki.” |
9 | Ny Filoha Robert Mugabe no filoha zoky olona indrindra ao Afrika. | Rais Robert Mugabe ni mtawala mzee kuliko wote barani Afrika. |
10 | Sary avy amin'ny Governemanta Federaly Amerikana, azo ampiasain'ny daholobe. | Picha imeruhusiwa kutumiwa na umma na serikali ya Marekani. |
11 | Tontosa ihany fifidianana na dia teo aza ny hetsi-panoherana nataon'ireo mpiara-mitantana amin'i Mugabe sy ny olom-pirenena Zimbabweana taorian'ny fanambarany samy irery fa hanatanteraka fifidianana ny firenena ny datin'ny 31 Jolay 2013. | Uchaguzi ulifanyika pamoja na maandamano kutoka kwa washirika wa muungano wa Mugabe na raia wa Zimbabwe baada ya *Mugabe) kujitangazia mwenyewe kuwa Julai 31, 2013 ndiyo tarehe ya uchaguzi. |
12 | Namela an'i Robert Mugabe hanatontosa fifidianana tamin'ny 31 Jolay ny Fitsarana momba ny Lalampanorenana rehefa neken'i Jealousy Mawarire, talen'ny Foibem-pifidianana sy ny Demokrasia ao Atsimon'i Afrika (CEDSA) ny fangatahana. | Mahakama ya Katiba ilimwamuru Robert Mugabe kuitisha uchaguzi tarehe 31 Julai kufuatia kufanikiwa kwa maombi ya Jealousy Mawarire, mkurugenzi wa Kituo cha Uchaguzi na Demokrasia kwa eneo la Afrika ya Kusini (CEDSA). |
13 | Nampiasaina ny teny ifankafantarana #ZimElections, #ZimbabweDecides, #ZimDecides ary ny #ZimbabweElections, nanehoan'ireo mpisera Twitter avy amin'ny faritra samihafa manerantany hevitra momba ny fandresen'i Mugabe . | Kwa kutumia alama habari #ZimElections, #ZimbabweDecides, #ZimDecides na #ZimbabweElections, watumiaji wa Twita kutoka sehemu mbalimbali za dunia walitoa maoni yao kuhusiana na ushindi wa Mugabe. |
14 | Zambiana monina ao Angletera sy mpanorina ny Radio CrossFire, Mueti Moomba (@Muwmeight) nanontany ireo izay nifidy an'ity filoha 89 taona, antitra indrindra ity: | Mzambia anayeishi Uingereza na mwanzilishi wa CrossFire Radio, Mueti Moomba (@Muweight) alishangaa nani alimpigia kura mtawala huyo mzee wa miaka 89: |
15 | Alohan'ny hatoriako, miantso ireo #zimbabwean rehetra aho, iza amin'ireo salama saina aminareo no nifidy lehilahy eo am-baravaran'ny fahafatesana? ka ny zimbabweana no manapa-kevitra ry tongotro ô! | Kabla sijalala ninawaomba #wazimbabwe wote, ambao kwa akili zao timamu walimpigia kura mzee anayechungulia kaburi? #zimbabwedecides my foot |
16 | Mpandraharaha ara-tsosialy Zimbabweana, Sir Nigel (@SirNige) tsy very fanantenana: | - mueti moomba (@Muweight) August 3, 2013 |
17 | Nampahatsiahivina ahy indray fa misy ny zavatra azoko/azontsika atao aorian'ny #ZimElections (fifidianana ao Zimbabwe), dia ny mandray anjara ao amin'ny fizotran'izany manomboka izao # 263Chat #Twimbos | Mjasiria mali wa kijamii wa Zimbabwe Sir Nigel (@SirNige) hakukata tamaa: Nilikumbushwa kwa mara nyingine tena kwmaba yapo mambo ninayo/tunayoweza kufanya baada #Uchaguzi wa Zimbabwe yaani kushiriki kwenye mchakacho kuanzia SASA #263Chat #Twimbos |
18 | Andiva (@AndyAndiva) avy ao Kenya nanome tsiny ny mpanohitra MDC ho nandray anjara amin'ny fifidianana feno hosoka: | - Sir Nigel (@SirNige) August 6, 2013 Andiva (@AndyAndiva) kutoka Kenya anakilaumu chama cha upinzani cha MDC kwa kushiriki uchaguzi uliovurugwa: |
19 | Naninona ny MDC no nandray anjara tamin'ny fifidianana nefa mahafantatra tsara hatramin'ny voalohany fa feno hosoka izany? | kwa nini MDC walishiriki kwneye uchaguzi huo wakijua kuwa ulikuwa umevurugwa tangu mwanzo? |
20 | # Zimbabwedecides | #Zimbabwedecides |
21 | Mpanoratra Afrikanina tatsimo sady mpanolo-kevitra momba ny marika [vokatra na orinasa] Thebe Ikafaleng (@ThebeIkafaleng) nilaza momba an'i Tendai Biti, Sekretera Jeneralin'ny MDC, fa mivazivazy tamin'ireo izay nilaza fa tsy mampiraika ny mpanohitra ny fisian'ireo olona roa tapitrisa ao amin'ny lisi-pifidianana: | - Andiva (@AndyAndiva) August 3, 2013 mwandishi wa Afrika Kusini na mshauri wa matangazo Thebe Ikafaleng (@ThebeIkafaleng) alimnukuu Tendai Biti, Katibu Mkuu wa MDC, aliwakejeli wale waliokuwa wakihoji uwepo wa watu milioni mbili waliokwisha kufa katika daftari la wapiga kura haukuathiri upinzani: |
22 | “Manaiky izy ireo fa misy olona roa tapitrisa efa maty voasoratra ao amin'ny lisi-pifidianana, saingy satria efa maty izy ireo, ka tsy afaka mifidy intsony.” | “Wanakiri kuwa kuwa watu milioni mbili waliokufa katika daftari la wapiga kura, lakini ‘kwa sababu wamekufa, hawawezi kupiga kura'.” |
23 | Tendai Biti. | Tendai Biti. |
24 | # ZimbabweDecides. | #ZimbabweDecides. |
25 | Zim Elections (@ZimElections) nampiseho ny maha-olana goavana ireo mpifidy efa maty: | - Thebe Ikalafeng (@ThebeIkalafeng) July 31, 2013 Uchaguzi wa Zimbabwe (@ZimElections) umeonyesha ukubwa wa tatizo la wapiga kura mfu: |
26 | Olona efa maty ny 75% tamin'ireo karatra 59 hita teny amin'ny biraom-pifidianana ao an-tanàndehiben'i Chegutu nanomboka tamin'ny Alarobia herinandro lasa teo. | asilimia 75 ya vitambulishi vya mpiga kura vilivyogunduliwa katika vituo vya kupigia kura kwenye mji wa Chegutu tangu Jumatano ya wiki iliyopita ni vya watu waliokwisha kufa siku nyingi. |
27 | #ZimElections | #ZimElections |
28 | rakim allah (@LDaviano) naneho hevitra mikasika ity olana “mpifidy efa maty” ity: | - ZimElections2013 (@Zimelections13) August 6, 2013 |
29 | Mandratra fo ny mahita fa maro kokoa ny olona maty nifidy noho ny olona velona #zimelections | rakim allah (@LDaviano) alitoa maoni kwenye suala hilo hilo la “wapiga kura wafu”: |
30 | | Inaweza kushangaza sana kuwa na watu wengi waliokufa wakipiga kura zaidi ya wale walio hai - rakim allah (@LDaviano) August 6, 2013 |
31 | Al Jazeera's Azad Essa (@azadessa) nitsikera ny fijerin'ny Vondrona Afrikanina ny fifidianana: | Azad Essa wa Al Jazeera(@azadessa) alihoji tathmini ya Umoja wa Afrika kwa uchaguzi huo: |
32 | 9700 no isan'ireo birao fandatsaham-bato. | Kuna vituo 9700 vya kupigia kura. |
33 | 350 no notsidihan'ny Vondrona Afrikanina. | AU [Umoja wa Afrika] walitembelea vituo 350. |
34 | Isa ampy azo ekena hitondrana fitsarana ve izany? | Je, hiyo ni sampuli inayokubalika kufanya uamuzi? |
35 | #zimelections | #zimelections |
36 | Mpanao gazety mpanao fanadihadiana sady mpaka sary, Stanley Kwenda (@stanleykwanda) nanamarika fa mety nampatahotra ireo mpifidy tsy mahay mamaky sy manoratra ny fahitàna ireo polisy: | - Azad Essa (@azadessa) August 3, 2013 Mwandishi wa Habari za Uchunguzi na Mtengenezaji wa filamu Stanley Kwenda (@stanleykwanda) alibainisha kuwa ushiriki wa polisi inawezekana uliwatisha wapiga kura wasio na uelewa: |
37 | Mety mampatahotra ireo mpifidy tsy mahay mamaky sy manoratra ny fanatrehan'ireo polisy sy manampahefana nanampy azy ireo nandritra ny fifidianana #Zimbabwedecides | #Zimbabwedecides kuhusishw akwa polisi kama & maafisa wa uchaguzi katika kuwasaidia wapiga kura wasio na uelewa inawezekana kuliwatisha wapiga kura hao - stanley kwenda (@stanleykwenda) August 2, 2013 |
38 | Mpandraharaha Afrikanina Tatsimo Another_craig (@Another_craig) nisioka ilay vaovao momba ilay miaramila 135 taona “nandatsa-bato” tamin'ny fifidianana: | mfanya biashara wa Afrika Kusini Another_craig (@@Another_craig) alitwiti kuhusu taarifa ya mwanajeshi mwenye miaka 135 “aliyepiga kura” katika uchaguzi huo: |
39 | Toa hoe, miaramila efa antitra 135 taona tena nifidy nandritra ny #Zimelections tamin'ny herinandro lasa. | Kwa hiyo, inawezekana, mwanajeshi mzee wa miaka 135 kweli akapiga kura kwenye uchaguzi huo wiki iliyopita. |
40 | Izany no tombotsoa amin'ny fahazarana miasa. | Oh, ndio faida ya zoezi hili huru. |
41 | Namaly an'i @Another_craig, mpandraharaha Afrikanina Tatsimo i Sello Rabele (@sellorabs) ary nanoratra fa te-ho miaramila izy rehefa lehibe: | - Craig (@Another_craig) August 6, 2013 Akimjibu @Another_craig, mjasiria mali wa Afrika Kusini Sello Rabele (@sellorabs) alindaika kwamba anatamani kuwa mwanajeshi akikua: |
42 | @Another_craig @chrishartZA #Zimelections te ho lasa miaramila aho rehefa lehibe, maherin'ny 130 taona, izany no izy | @Another_craig @chrishartZA #Zimelections Ninataka kuwa mwanajeshi nikikua, yaani nikifikisha miaka 130 |
43 | Tsy nahagaga an'i Arnold chamunogwa (@chamunogwa) intsony fa hala-bato ataon'ny antokon'ny fitondrana. | - Sello Rabele (@sellorabs) August 6, 2013 arnold chamunogwa (@chamunogwa) hakuonyesha kushangaa kuwa chama tawala kimeiba kura. |
44 | Gaga tamin'ny zavatra hafa izy: | Alishangazwa na suala jingine kabisa: |
45 | | Haishangazi kwamba ZPF kiliiba kura lakini inashangaza kwamba MDC ndiyo imeshangazwa na kiwango cha wizi wa kura katika uchaguzi huo #Zimbabwedecides |
46 | Tsy mahagaga intsony raha nangala-bato ny ZPF saingy mahavariana kosa raha gaga amin'ny hagoavan'ny hoso-pifidianana ny MDC #Zimelections #Zimbabwedecides | - arnold chamunogwa (@chamunogwa) August 2, 2013 Akuzike Polela (@Mulengi) kutoka Zambia alibainisha kwamba Morgan Tsvangirai ana rafiki mmoja wa ki-Afrika: |
47 | Akuzike Polela (@Mulengi) avy ao Zambia nanamarika fa manana namana Afrikanina iray i Morgan Tsvangirai: | Botswana inaongea neno tofauti kuhusu uchaguzi wa Zimbabwe. |
48 | Naniva-pitenenana i Botswana nandritra ny fifidianana Zimbabweana. | Morgan ana rafiki MMOJA wa Kiafrika mpaka sasa. |
49 | Mana-namana Afrikanina IRAY i Morgan hatreto. | - Akuzike Polela (@Mulengi) August 6, 2013 |
50 | Zimbabwean Kudzai (@shuestrait) te hahita ireo Zimbabweana monina ao amin'ny firenena misafidy izay tsara ho an'ny fireneny: | Zimbabwean Kudzai (@shuestrait) ningependa kuwaona wa-Zimbabwe wanaoishi nchini humo wakiamua kile kilicho chema kwa ajili ya nchi yao: |
51 | Ny Zimbos [Zimbabweana] ihany no mahafantatra izay tsara ho an'ny Zimbabweana .. | Ni wa-Zimbabwe pekee wanaojua kile kilichochema kwa wa-Zimbabwe.. |
52 | Mponina Zimbabweana fa tsy ny olona am-pielezana na sekreteram-panjakana sasany avy any Etazonia na Angletera .. | Wakaazi wa Zimbabwe na sio watu wanaoishi nje na baadhi ya mawaziri kutoka Marekani au Uingereza.. |
53 | # ZimDecides | #ZimDecides |
54 | Kenyan David Ogara (@david_ogara) nanao fehi-teny somary masiaka momba ny fifidianana ao Afrika: | - kudzai (@shuestrait) August 5, 2013 Mkenya David Ogara (@david_ogara) alifanya hitimisho chungu kuhusu uchaguzi wa Afrika: |
55 | | Kwa hiyo MUGABE mwenye miaka 89 ni Rais mteule wa Zimbabwe…. |
56 | MUGABE 89 taona no filoha voafidy tao Zimbabwe ….. tsy misy dikany ny fifidianana filoham-pirenena ao Afrika …… | .uchaguzi wa Rais hauna maana yoyote kwa Afrika…… - David Ogara (@david_ogara) August 2, 2013 |