# | mlg | swa |
---|
1 | Refodrefotra sy poa-basy tao amin'ny lapa Dolmabahçe ao Istanbul | Mlipuko na Milio ya Risasi Katika Kasri la Dolmabahçe huko Instanbul |
2 | Milamina tsara ny ao ivelan'ny Lapa Dolmabahçe. | Muonekano wa nje wa kuvutia wa Kasri la Dolmabahçe. |
3 | Sary avy amin'i Jack Hennessy. | Picha na Jack Hennessy. |
4 | Lahatsoratra fiarahamiasa nosoratan'i Jack Hennessy ary nivoaka voalohany tao amin'ny Global Student Square ity lahatsoratra ity. | Hii ni makala ya ushirika iliyoandikwa na Jack Hennessy na kuchapishwa kwa mara ya kwanza na Global Student Square. |
5 | Navoaka eto indray rehefa nahazoana alàlana. | Imechapishwa tena kwa ruhusa. |
6 | Lehilahy roa voalaza fa mitam-piadiana no voasambotra taorian'ny refodrefotra sy poa-basy nanakoako ny lapa Dolmabahçe ao Istanbul, toerana manintona ny mpizahatany sy biraon'ny praiminisitra Tiorka Ahmet Davutoglu. | Washukiwa wawili waliokuwa na bunduki wameshakamatwa mara baada ya kutokea kwa mlipuko ulioambatana na kurushiana risasi kwenye Kasri la Dolmabahçe,jijini Instanbul ambalo ni kivutio kikuu cha watalii na palipo na makazi ya Waziri Mkuu wa Uturuki, Ahmet Davutoglu. |
7 | Raiki-tahotra ny vahoaka ary nandositra tamin'ny alalan'ny vavahady nankany amin'ny arabe ny olona raha nanipy grenady mankarenin-tsofina sy nanao tifi-basy maromaro ireo mpanafika roa, izay nolazaina fa nikendrena ireo polisy manamboninahitra miambina ny toeran'ny vanim-potoana Ottoman. | Watu walipatwa na taharuki huku wakikimbia na kuruka mageti na kisha kuingia mitaani pale wavamizi wawili walipotupa bomu la mkono pamoja na kuvurumisha mizunguko kadhaa ya risasi, shambulizi linalodhaniwa kuwa liliwalenga maafisa wa polisi waliokuwa wameweka doria katika eneo la Ottoman-era. |
8 | Nobahanan'ny polisy avy hatrany ny fidirana ao amin'ny toerana. | Hata hivyo, polisi walifanikiwa kukabiliana mapema na wavamizi hao. |
9 | Nitatitra ny Associated Press fa polisy manamboninahitra iray no naratra kely. | Associated Press lilitaarifu kuwa, polisi mmoja alijeruhiwa kidogo katika tukio hilo. |
10 | Na dia tsy misy vondrona nitonona ho tompon'andraikitra tamin'ny fanafihana aza, araka ny voalazan'ny Associated Press, dia nitatitra kosa ny sampam-baovaom-panjakana fa mpikambana ao amin'ny Mandan'ny Tafi-panafahana Revolisioneram-bahoaka , na DHKP-C ireo mpanafika. | Pamoja na kuwa hakuna kundi lolote lililotangaza kuhusika katika tukio hilo, kwa mujibu wa Associated Press Anadolu, moja ya vyombo vya habari vinavyomilikiwa na serikali lilitaarifu kuwa, washambuliaji hao walikuwa ni wanachama wa chama cha Kijeshi cha Wanaharakati wa Ukombozi wa Kimapinduzi, au DHKP-C. |
11 | Nitatitra ihany koa ny Guardian fa ny sampam-pahalalam-baovao Tiorka no nanonona loharanom-baovaon'ny polisy milaza fa ny DHKP-C no tao ambadiky ny fanafihana. | The Guardian pia lilitaarifu kuwa vyombo vya habari vya Uturuki viliwakariri maofisa wa polisi walioelezea kuwa DHKP-C ndio waliohusika kwenye shambulio hilo. |
12 | Iray amin'ireo tsangambato goavana sisa tavela tamin'ny Fanjakana Ottoman ny lapan'ny Dolmabahçe ao Istanbul. | Dolmabahçe linabaki kuwa moja ya Makasri muhimu sana yaliyosalia ya Ngome ya Ottoman jijini Istanbul. |
13 | Maty tao tamin'ny taona 1938 ny mpamorona an'i Torkia maoderina, Mustafa Kemal Atatürk. | Mbunifu wa Uturuki ya kisasa, Mustafa Kemal Atatürk, alifariki akiwa kwenye Kasri hili mwaka 1938. |
14 | Ahitana fampiratiana ho an'ny mpizaha-tany ny lapa, na dia misy itoeran'ny sampan-draharaham-panjakana hafa, anisan'izany ny biraon'ny praiminisitra Tiorka, aza ny faritra hafa. | Kasri hili ni eneo muhimu kwa ajili ya watalii, pamoja na kuwa maeneo mengine yanatumiwa na taasisi za serikali ikiwa ni pamoja na makazi ya Waziri Mkuu wa Uturuki. |
15 | Nitranga tao anatin'ny fihenjanan'ny ady ao Torkia ny loza, satria vao nanafika ireo mpikomy Kiorda ao avaratr'i Iraka sy ny Fanjakana Islamika ao Syria indray ny Filoha Reccip Tayyip Erdogan sy ny Antokony Fampandrosoana ny ny rariny (AKP). | Tukio hili linakuja kipindi ambacho kumekuwa na mvutano mkali nchini Uturuki, kwani Rais aliyepo madarakani, Reccip Tayyip Erdogani pamoja na Chama cha Utafutaji Haki (AKP) wakiwa wameonesha kwa mara nyingine chuki dhidi ya wanamgambo wa Kikurdi waliopo huko kaskazini mwa Iraki pamoja na wanamgambo wa Dola ya Kiislam nchini Syria. |
16 | Sary: Google maps | Image: Google maps |
17 | Tamin'ny Alarobia ihany koa, miaramila valo no namoy ny ainy tamin'ny fipoahana baomba tao amoron-dalana tao Siirt, faritra atsimo-atsinanan'i Tiorka manamorona an'i Syria sy Iraka. | Pia, siku ya Jumatano, wanajeshi watano waliuawa kufuatia mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa pembezoni mwa barabara huko Siirt, eneo la Kusini mwa Uturuki linalopakana na nchi za Siria na Iraki. |
18 | Araka ny voalazan'ny BBC, ireo PKK mpikomy no voalaza fa nahavita ny fanafihana . | Kwa mujibu wa BBC, shambulio hilo linadhaniwa kuwa lilitekelezwa na wanamgambo wa PKK. |
19 | “Atahorana mafy ny toe-draharaha ao Tiorkia,” hoy i Eyup Kabogan, 27 taona, mpiasan'ny bara ao amin'ny Hotely Pierre Loti ao Sultanahmet, afovoan'i Istanbul, eo amin'ny dimy kilaometatra atsimon'ny lapa. | “Uturuki ipo katika hali kuu ya tahadhari,” alisema, Eyup Kabogan, aliye na umri wa miaka 27, mfanyakazi katika hoteli ya Pierre Loti iliyopo Sultanahmet, katikati mwa Jiji la Istanbul takribani kilometa 5 Kusini mwa Kasri hili. |
20 | “Na dia ny tenako aza tsy maintsy mitandrina amin'izay rehetra alehako rehefa mandeha eny an-dalambe.” | “Kwa sasa, ninapaswa kuchukua tahadhari kila mtaa ninaopita.” |
21 | “Kiorda aho aloha,” hoy i Kabogan ary nampiany hoe: “saingy fantatro fa misy fomba hafa hanovana zavatra (ara-politika).” | “Hata hivyo, mimi ni Mkurdi,” anasema Kabogan, anaongeza, “lakini ninajua kuna namna nyingine ya kubadili hali ya mambo (kisiasa).” |
22 | Tokony hihataka lavitra amin'ny faritra be olona sy ny tobin'ny polisy ny mpizaha-tany, hoy i Kabogan nampitandrina, na dia nilaza aza izy fa “tsy mikendry mpizaha-tany ireo vondrona mpampihorohoro fa ny mpitandro ny filaminana.” | Kabogan alionya kuwa, watalii wanapaswa kuwa mbali na mikusanyiko mikubwa ya watu pamoja na kutokuwepo karibu na vituo vya polisi, pamoja na kuwa alitanabaisha kuwa, makundi ya waasi “hayawalengi watalii, bali maafisa wa usalama.” |
23 | Ao anatin'ny korontana ny tontolo ara-politikan'i Torkia taorian'ny fikasan'i Davutoglu hanangana governemanta iaraha-mitantana izay tsy nahomby tamin'ny herinandro lasa. | Hali ya siasa za Uturuki ipo katika misukosuko kufuatia kushindikana kwa jaribio la Davutoglu la wiki jana la kuunda serikali ya mseto. |
24 | Tamin'ny Talata, nomeny fahefana i Erdogan hanangana governemanta vaovao mialoha ny fifidianana antenainy hotontosaina amin'ny Novambra. | Siku ya Jumanne, alitoa mamlaka kwa Rais Erdogan ya kuunda serikali mpya kabla ya chaguzi zinazotarajiwa kufanyika mwezi November. |
25 | “Tsy hitako izay holazaina (momba ny fanafihana androany),” hoy Berk Çoker, 21 taona, Tiorka sy mpianatra ao amin'ny Oniversiten'i Stanford. | “Sijui hata niseme nini (kufuatia shambulizi la leo),” alisema Berk Çoker, aliye na umri wa miaka 21, ambaye ni mturuki na kinda aliyepo Chuo Kikuu cha Stanford. |
26 | Mpianatra informatika i Coker ary mikasa hiverina hody an-tanindrazana aorian'ny fianaran'asa misahana rindrambaiko ao amin'ny Helodranon'i San Francisco amin'ity asara ity. | Coker, ambaye ni mtaalamu wa Sayansi ya Kompyuta, alikuwa na mipango ya kurejea nchini mwake mara baada ya kumaliza mafunzo yake ya ujasiriamali wa uhandisi wa vitumizi vya kompyuta, uliokuwa unafanyikia eneo la San Francisco Bay katika kipindi cha majira haya ya joto. |
27 | “Araka ny voaporofon'ny fanafihana sy ny tsy fahombiazan'ny fiaraha-mitantana, somary henjana ny toe-draharaha ara-politika ao Tiorkia, mahatonga azy ho firenena tsy azo antoka hoan'ny mpitsidika,” hoy i Coker. | “Kama inavyodhihirishwa kwa mashambulizi pamoja na kutofikia makubaliano ya serikali ya mseto, hali ya kisiasa bado ni tete sana, kiasi cha kuifanya nchi hii isiwe salama kuizuru,” Coker alisema. |
28 | Ho valin'ny herisetra tsy mitsaha-mitombo, hoy ny Telegraph, nanagadra olona maherin'ny 2500 ahiahiana ho mpikambana ao amin'ny ISIS, PKK sy DHKP-C ny governemantan'i Erdogan. | Kufuatia machafuko yanazozidi kushamiri, kwa mujibu wa gazeti la The Telegraph, serikali ya Erdogan imeshawatia nguvuni zaidi ya washukiwa 2,500 wa makundi ya IS, PKK na DHKP-C. |