# | mlg | swa |
---|
1 | GV Face: Ho Famotsorana Ny Blaogeran'ny Zone 9 ao Ethiopia | Mazungumzo ya GV: Kupigania Kuachiliwa Huru kwa Wanablogu wa Ethiopia wa Zone 9 |
2 | Blaogera sy mpanoratra gazety sivy - mpikambana Global Voices ny efatra amin'izy ireo - ankehitriny no voafonja noho ny asany ao Ethiopia. | Wanablogu tisa ikiwa ni pamoja na waandishi wa habari -wanne wao wakiwa ni wanachama wa Global Voices -wamnashikiliwa na mamlaka za Ethiopia kwa sababu ya kutekeleza majukumu yao. |
3 | Iza mora ireo blaogeran'ny Zone 9 ? | Je, hawa wanablogu wa Zone 9 ni akina nani? |
4 | Inona no azon'ny mpanohana atao ho amin'ny famotsorana azy ireo? | Je, wanaowaunga mkono wanaweza kufanya nini kushinikiza kuachiliwa kwao? |
5 | Amin'ity andiany GV Face ity izahay dia miresaka amin'ny blaogera Ethiopiana sy mpikambana ao amin'ny Zone 9 antsoina hoe Endalk, miaraka amin'ny sakaizan'ny “PEN America Freedom to Write” [PEN Amerika, Fahalalahana Hanoratra], Deji Olukotun, sy amin'ny tonian-dahatsoratry ny Advox, Ellery Biddle, momba ity raharaha lehibe ity. | Katika toleo hili la Mazungumzo ya GV, tunazungumza na mwanablogu wa Kiethiopia na mwanachama wa Zone 9 Endalk, sambamba na Deji Olukotun wa Shirika la PEN American Freedom To Write na mhariri wa Kitengo cha Utetezi cha GV kiitwacho Advox Ellery Biddle kuhusu umuhimu wa keshi hii. |
6 | Fantaro bebe kokoa ity tantara ity | Habari zaidi ya kesi ya wanablogu wa Zone 9: |
7 | Nahoana no Mampatahotra Governemanta Ethiopiana ny mibilaogy 10 May 2014 | Ethiopia: Police Request More Time for Zone 9 Bloggers Investigation, May 14, 2014 |
8 | Mpisolovava Miangavy ny Vaomiera Afrikana, ny Ekspera Firenena Mikambana Hiditra an-tsehatra amin'ny raharaha Bilaogera Zone 9 3 May 2014 | Why Blogging is a Threat to the Ethiopian Government May 10, 2014 Advocates Ask African Commission, UN Experts to Intervene in Zone 9 Bloggers Case May 3, 2014 |
9 | FANAMBARANA: Miantso Ho Amin'ny Famotsorana Ny Mpanoratra Gazety Sivy Ao Ethiopia Ny Global Voices [mg], 2 May 2014 | TAMKO: Global Voices Yatoa mwito wa Kuachiliwa kwa Waandishi Tisa nchini Ethiopia, Mei 2, 2014 |
10 | Netizen Report: Famoretana ny Fahalalaham-Pitenenana ao Ethiopia, 30 Avrily 2014 | Taarifa za Waandishi wa mtandaoni: Ethiopia Yauminya Uhuru wa Kujieleza, Aprili 30, 2014 |
11 | Mpikambana Enina Aminà Bilaogy Itambaram-be Nosamborina Tao Ethiopia [mg], April 25, 2014 | Wanachama Sita wa Muungano wa Kublogu Wakamatwa nchini Ethiopia, Aprili 25, 2014 |