Sentence alignment for gv-mlg-20130621-49245.xml (html) - gv-swa-20130616-5251.xml (html)

#mlgswa
1“Fitorevahana Ho An'ny Fahalalahana” Niara-natao Taminà Tanàna Saodiana MaroMaandamano ya Kudai Uhuru Yafanyika Kwenye Miji ya Saudi Arabia.
2Andiany madinidinika fa maro nahitàna vehivavy Saodiana no nanao “Fitorevahana ho an'ny Fahalalahana” nanerana ireo tananà Saodiana maro ny 10 Jona 2013, izay nataon'ireo vondrona mpisolovava tsy mitonona anarana @almonaseron [ireo mpanohana] hitakiana ny famoahana ireo havany nogadraina.Makundi madogo ya wanawake wa Saudi Arabia, kwa wakati mmoja waliitisha “maandamano ya kudai uhuru” katika maeneo mbalimbali ya majiji ya Saudi Arabia mnamo Juni 10, 2013. Maandamano hayo yaliratibiwa na kikundi kisichofahamika cha mawakili @almonaseron [ Waunga mkono], lengo likiwa ni kushinikiza kuachiwa huru kwa ndugu zao waliofungwa gerezani.
3Ary valin'izany, maherin'ny 140 ireo mpanao hetsi-panoherana, lehilahy sy vehivavy, nosamborin'ny miaramila Saodiana nandritra izay roa andro lasa izay.Matokeo yake ni kuwa, kwa kipindi cha siku mbili zilizopita, zaidi ya waandamanaji 140, wanawake kwa wanaume walitiwa nguvuni na maofisa wa polisi wa Saudi Arabia.
4Loharanom-baovao avy amin'ireo tsy miankina mpiaro ny zon'olombelona no nilaza fa efa maherin'ny 30 000 ireo olona notanàna tsy ara-dalàna [ar], maro amin'izy ireo no niharan'ny fiasamborana faobe, taorian'ny “ady amin'ny fampihorohoroana” 9/11. Tsy misy didy fampisamborana akory nisamborana ireo olona voatàna ireo ary tsy nahazo maka mpisolovava na niakatra fitsarana.Vyanzo huru vya utetezi wa haki za binadamu vinasema kuwa, kuna mahabusu wanaokadiriwa kufikia 30,000 [ar], wengi wakiwa ni wale waliotiwa nguvuni wakati wa “vita ya ugaidi ya 9/11 . Wanaoshikiliwa walitiwa nguvuni bila ya hati ya kimahakama ya kuwakamata na hawakuwahi kuwa na mawasiliano yayote na wanasheria na wala kuhojiwa.
5Voararan'ny lalàna ny manao hetsi-panoherana ao Arabia Saodita ka mety ho hihidy any am-ponja am-bolana maro mihitsy ireo mpandray anjara raha sendra tratra.Maandamano yanapingwa vikali nchini Saudi Arabia kiasi kwamba wanaoshiriki katika maandamano, pindi wanapokamatwa, hukabiliwa na adhabu ya kutumikia jela kwa miezi mingi.
6Kanefa izany tsy nahasakana ny fianakavian'ireo voasambotra tsy hankahatra ilay fandraràna amin'ny fiarahana vitsivitsy, efa im-betsaka.Hata hivyo, pamoja na karipio hili, kamwe haikuwazuia ndugu wa wafungwa hao kuitisha maandamano katika makundi madogo madogo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
7Tamin'ny 4 :55 hariva, ora ao an-toerana, nanambara ny fiantombohan'ilay hetsika i @almonaseron ary nandefa bitska hoe [ar] :Majira ya saa10:55 jioni, @almonaseron alitangaza kuanza kwa maandamano, na alitwiti [ar]:
8@almonaseron : Vao nanomboka izao ilay fitorevahana ho an'ny fahalalahana : vehivavy avy amin'ny faritra maro niaraka [nivondrona] taminà fotoana mitovy.@almonaseron: mikutano kwa ajili ya kudai uhuru imeanza hivi punde: wanawake katika maeneo mbalimbali wanakutana kwa wakati mmoja.
9Tokony hanatevina laharana azy ireo izao ankehitriny izao ny havan'ireo voasambotra.Ndugu wa watu wanaoshikiliwa, hawana budi kuungana nao haraka iwezekanavyo.
10Tao Riyadh, andiam-behivavy, izay ny ankamaroan'izy ireo dia fianakavian'i Suliman al-Roushodi, mpitarika ilay fikambanana Saodiana Mpiaro ny Zo Sivily sy ara-Politika, no nitangorona nanoloana ilay Fikambanana Nasionaly Ho An'ny Zon'olombelona izay vatsian'ny governemanta vola, toerana efa nanaovan'izy ireo hetsi-panoherana ihany tamin'ny volana Febroary.Huko Riyadh, kikundi cha wanawake, baadhi yao wakiwa ni miongoni mwa ndugu wa Suliman al-Roushodi, ambaye ni kiongozi wa Jumuia ya Haki za Kisiasa na Kiraia ya Saudi Arabia, walikusanyika mbele ya jengo la Utaifa na Haki za Binadamu lenye ufadhili wa serikali, mahalipofanyia maandamano mapema mwezi Februari .
11Ny zanany vavy, Bahia al-Roushodi, ny iray tamin'ireo mpanao hetsi-panoherana, nahazo sazy mihantona efatra volana an-tranomaizina taorian'izay hetsika farany natao izay.Miongoni mwa waandamanaji hao, alikuwapo mtoto wa Bahia al-Roushodi, ambaye alihukumiwa kifungo cha miezi minne mara baada ya maandamano hayo.
12Vetivety dia voahodidina fiaran'ny polisy efa ho 30 isa [ar] izy ireo, dia nosamborina ny mpamilin-dry zareo[ar] ary nahazo baiko ny tsy mahazo mihetsika eo .Haukupita muda, walizingirwa na zaidi ya magari 30 ya polisi [ar], na na kisha dereva wao kutiwa nguvuni [ar] na wote walizuiwa kuondoka.
13Iray amin'iireo lalàmbe ao Riyadh, King Fahad Road, no nakaton' ny polisy nandritra ny ora mahabe ny mpifamoivoy mba ho hamoretana amin'ilay fitorevahana.Moja ya barabara kuu za jiji la Riyadh, Barabara ya Mfalme Fahad, ilifungwa na polisi wakati wa pilika pilika nyingi ili kuweza kukabiliana na mikutano ya waandamanaji.
14Tamin'ny 6:20, iray tamin'ireo mpanao hetsi-panoherana, vadin'i al-Roushodi, nandefa bitsika hoe :Mnamo saa 12:20 jioni, mmoja wa waandamanaji, ambaye ni mke wa, al-Roushodi, alitwiti:
15@omamar1 : Nosamborin-dry zareo izahay, ary nosamboriny koa ny anadahiko.@omamar1: walitutia nguvuni, na pia walimtia nguvuni kaka yangu.
16Ireo fianakavian'ireo vehivavy voasambotra nifamory nanoloana ny fonja nambara fa nitànana azy ireo .ndugu wa waandamanaji wanawake waliokamatwa wakiwa wamekusanyika mbele ya gereza lililotaarifiwa kuwa ndiko walikokuwa wameshikiliwa.
17Sary nozarain'i @fatma_mesned tao amin'ny TwitterPicha imewekwa na @fatma_mesned katika ukurasa wa Twita
18Tamin'ny 11:44 alina, nifamory nanoloana ilay fonja nambara fa nitazonana ireo havany ny fianakavin'ireo vehivavy voasambotra. Nandefa bitsika toy izao i Fatima al-Mesned, zafikelin'i al-Roushodi, :Mnamo saa 5:44 usiku, ndugu wa waandamanaji wanawake waliokamatwa wakiwa wamekusanyika mbele ya gereza lililotaarifiwa kuwa ndiko walikokuwa wameshikiliwa, mjukuu wa kike wa al-Roushodi, Fatima al-Mesned alitwiti:
19@fatma_mesned : Ho an'ireo izay maniry hitaky [ny famotsorana] ireo mpanao hetsi-panoherana : eto anoloan'ny fonjan'i al-Malez izahay izao, sampana natao ho an'ny vehivavy.@fatma_mesned: kwa wale wanaoshinikiza kuachiwa huru kwa waandamanaji: kwa sasa tupo mbele ya gereza la al-Malez, upande wa wanawake.
20Tohano ireo mpanohana ireo gadrantsika.Waunge mkono wale waliowaunga mkono wenzetu waliofungwa jela.
21Tao Buraydah, vehivavy maro no nivory nanoloana ny “Grand Court”, ary tsy vehivavy irery ihany no tonga nanatevina laharana ilay hetsika taoriana kelin'izay.Huko Buraydah, wanawake walikusanyika mbele ya mahakama kuu ya Jiji, na kwa muda mfupi wanawake wengi waliungana na wenzao kwenye mkutano huo wa kudai uhuru.
22Tamin'ny 5 :52 hariva ireo miaramila Saodiana no nihodidina ireo mpanao hetsika [ar].Majira ya saa11. 52 jioni, wanausalama wa Saudi Arabia waliwazingira waandamanaji [ar].
23Raha iny niezaka nizara rano ho an'ny mpanao hetsika iny ny tovolahy iray, dia nohazain'ny polisy sady nosamborina[ar].Pale kijana mdogo alipojaribu kuwapa maji waandamanaji, alikimbizwa na wanausalama na kisha kutiwa nguvuni [ar].
24Polisy miafina manao fitafiana sivily no nanome baiko ireo vehivavy hiala no sady nanao ramatahora tamin'izy ireo, kanefa tsy nety niala teo izy ireo raha tsy votsotra ny havany (lahatsary[ar]).Askari kanzu waliovalia nguo za kiraia waliwaamuru wanawake hao waondoke na kisha kuwatishia, lakini walikataa kuondoka hadi pale ndugu zao watakapoachiliwa huru (video [ar]).
25Niha-nitombo ny isan'ireo vehivavy mpanao hetsi-panoherana mandra-pisian'ilay fisamborana an-kerisetra natao azy ireo.Idiadi ya wanawake waliokuwa wakiandamana iliongezeka hadi pale polisi walipotumia nguvu kuwatia nguvuni waandamanaji.
26Tamin'ny 8:24 alina, i @almonaseron nandefa bitsika hoe :Mapema saa 2.24 usiku, @almonaseron alitwiti:
27@almonaseron : Vehivavy maro no noterena hiakatra anaty fiarabe [an'ny polisy] .@almonaseron: wanawake walilazimishwa kuendesha mabasi ya polisi.
28Ny andro manaraka io, 11 Jona, tamin'ny 5 ora hariva, andianà vehivavy sy lehilahy maro ny nifamory hanohitra ilay fisamborana nitranga ny andro talohan'io.Siku iliyofuata, Juni 11, saa 11 jioni, kundi lililokuwa na wanaume na wanawake lilikusanyika kupinga kukamatwa kwa waandamanaji kulikotokea siku iliyotangulia.
29Minitra vitsy monja, dia voahodidin'ireo mpitandro filaminana manokana izy ireo [ar], voadaroka [ar] ary voasambotra.Ndani ya dakika kadhaa, walizingirwa na maafisa usalama wa dharura [ar], beaten [ar] na kisha kukamatwa.
30Nisy fifamoriana madinidinika hafa natao tany Mecca, Aljouf ary Hial.Mikusanyiko mingine midogo ilifanyika huko Mecca, Aljouf na Hial.