Sentence alignment for gv-mlg-20121216-43073.xml (html) - gv-swa-20121231-4497.xml (html)

#mlgswa
1Ny Perla Avy Amin'ny Media Momba an'i AfrikaHabari za Upotoshaji Kuhusu Afrika Katika Vyombo vya Habari vya Kimataifa
2Nisy ny fanatsotsorana momba an'i Afrika nifandrohy tamin'ny fanentanana #Kony2012 nataon'ilay ONG Invisible Children [Ankizy Tsy Hita].Kampeni ya kumkamata #Kony2012 iliyoanzishwa na AZISE ya Watoto Wasioonekana kwa hakika ilibeba mambo yaliyorahisishwa mno kuhusu Afrika.
3Nisy fanentanana hafa natao avy eo ho fanitsiana ny kinendry.Hii ilisababisha kubuniwa kwa kampeni nyingine #WhatILoveAboutAfrica iliyokusudiwa kurekebisha hitilafu hizo.
4Afisin'ny Le poster de la campagne Kony 2012.Bango la Kampeni ya akamatwe Kony 2012.
5Domaine publicKwa matumizi ya umma
6Efa tsy ampahafantarina intsony [en] ny fanombatombanan'ny fampahalalam-baovao momba an'i Afrika na dia efa nihena dia nihena aza ny fahadisoana tao anatin'ny taona vitsivitsy farany.Makadirio ya vyombo vya habari yasiyosahihi kuhusu Afrika ni hali iliyozoeleka - hata kama makosa yamekuwa yakipungua kwa miaka michache iliyopita.
7Tsy mandehandeha fotsiny amin'izao ny filazalazana ny kaontinanta any amin'ny fampitam-baovao, araka ny fanavazavan'ny profesora Charles Moumouni:Tafsiri mbaya ya bara hili inayooneshwa na vyombo vya habari si jambo dogo, kama Profesa Charles Moumouni anavyoeleza [fr]:
8Tsy zava-baovao sady tsy zava-maningana ny fanehoana ratsy an'i Afrika.Picha mbaya ya Afrika inayochorwa katika vyombovya habari vya Magharibi si jambo geni wala la ajabu.
9Efa niteraka fahasahiranan-tsaina hatramin'ny taona 1970, indrindra tao anatin'ny adi-hevitra momba ny Rafi-baovao manerantanin'ny fampahalalam-baovao sy ny serasera.Limekuwa suala la mjadala tangu miaka ya 1970, hususani katika mikhtadha ya mijadala kuhusu Utaratibu wa Mawasiliano na Habari katika Dunia Mpya (New World Information and Communication Order, NWICO).
10Fa mbola manahirantsaina kokoa ny sary aelin'ny fampahalalam-baovao tandrefana ka mampisy fiantraikany ratsy eo amin'ny ezaka fampandrosoana an'i Afrika.Lakini sura ya Afrika ambayo kwa sasa inaendelezwa na vyombo vya habari vya Magharibi ni suala linaleta wasiwasi kwa sababu inaathiri jitihada za maendeleo ya Afrika.
11Nefa tsy afa-tsiny amin'izany mihitsy ihany koa ny fampahalalam-baovao Afrikana.Vyombo vya habari vya Afrika vyenyewe, hata hivyo, kwa sasa havina kinga dhidi ya ukosoaji wa aina hii.
12Maro ny fandraisana an-tanana niseho masoandro taona vitsivitsy izay mba hanatsarana ny fahamarinan'ny zavatra lazain'ny fampahalalam-baovao ao Afrika.Kuna miradi kadhaa imeibuka, kwa miaka ya hivi karibuni, kusaidia kuboresha umakini wa vyombo vya habari vya Afrika.
13Ny African Media Initiative na ny Media Monitoring Africa no ohatra roa amin'izany.African Media Initiative (Mradi wa Vyombo vya Habari vya ki-Afrika) na Media Monitoring Africa (Ufuatiaaji wa Vyombo vya Habari Afrika) ni mifano miwili.
14Indreto ny fehin'ny perla, fahadisoana na tsy fahamarinan'ny fampitam-baovao momba an'i Afrika sy nataon'ny mpampita vaovao Afrikana :Hapa ni muhtasari wa watu maarufu, makosa na kutokuwepo umakini katika habari zinazopewa nafasi katika vyombo vya habari vya dunia kuhusu Afrika na katika vyombo vya habari vya Afrika vyenyewe:
15Hoy ny fampitam-baovao momba an'i AfrikaHabari za Afrika katika vyombo vya habari vya Afrika
16Canada - “Miditra ny ivon'ny aizin'i Afrika i Stephen Harper”Kanada - RDC: “Stephen Harper aingia katika moyo wa giza la Afrika”
17Izany no lohatenin'ny CBC news tamin'ny fahatongavan'ny praiminisitra Kanadiana tany RDC nandritra ny vovonan'ny Francophonie. Na dia nanondro ny bokin'i Joseph Conrad, Heart of Darkness (An'ivon'ny aizina) ny lohateny, dia mampahatsiahy ihany koa ny fijery lany andro sy manivaisa an'i Afrika mainty, izay mbola raisina ho tany haolo sy mampidi-doza.Kichwa hiki cha habari kilipachikwa kwa makala yaCBC news kuhusu ziara ya waziri mkuu wa Kanada nchini Kongo DRC wakati wa mkutano mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Nchi Zingumzazo Kifaransa Ingawa kicha kicho cha habari kinarejea kitabu cha Joseph Conrad, Moyo wa Giza, lakini pia kinaamsha picha iliyopitwa na wakati, iliyoanza kwisha ya kuiona Afrika kama bara la lisistarabika na hatari.
18Nampiany:Makala inaongeza:
19Io no Firenena voaozona indrindra misy eto an-tany.Ni nchi ya hovyo katika uso wa dunia.
20Amin'n fandrenesana izany, dia tahaka ny hanome medaly ny praiminisitra Harper noho ny fahasahiany nandeha tany RDC.Makala hiyo inaifanya ionekane kuwa waziri mkuu Harper alisitahili kutunukiwa medali kwa uajsiri wake wa kuitembelea Kongo DRC.
21Israëly - “Tsy mpanolana ny Afrikanina atsimon'i Sahara”Israel - “Waafrika wa Kusini mwa Jangwa la Sahara si wabakaji”
22Slate Afrique manazava fa hafakely ny zavamisy mifandraika amin'io lohateny io :Slate Afrique inaeleza mukhtadha wa asili ya kichwa hiki cha habari [fr]:
23Tsy mpanolana ny mainty.Weusi si wabakaji.
24Izany ny hafatra tian'ny Afrikana atsimon'i Sahara mitady fialokalofana any Isiraely ampitaina.Huu ni ujumbe ambao watafuta hifadhi kutoka eneo la Kusini mwa jangwa la Sahara wanataka usikike nchini Israeli.
25Ry zareo manko no tondroin'ny vahoaka Isiraelianina taorian'ny fanolanana nalaza an-gazety, izay nahavoampanga mpitady fialokalofana Eritreana efatra tany Isiraely?Maoni ya wengi nchini Israeli yanawanyooshea kidole watafuta hifadhi wa Kusini mwa Jangwa la Sahara baada ya kesi iliyotangazwa sana iliyowahusisha wa-Iritrea.
26Mba hanoherana ny fanilikilihana ny mainty dia nisy ivon-toerana manampy ireo mpiasa vahiny nanampy Afrikana vitsivitsy hanoratra “taratasy misokata ho an'ny vahoaka Isiraelianina”, hoy ny tatitra nataon'ny gazety mivoaka isan'andro Isiraelianina Haaretz tamin'ny 20 meyJarida la kila siku la Israeli Haaretz liliripoti mnamo Mei 20 kuwa kupambana na unyanyapaa wa watu weusi, kituo cha kuwasaidia wafanyakazi wa kigeni kimewasaidia Waafrika kuandaa “barua ya wazi kwa watu wa Israeli”.
27France - Fifangaroan'i Guadeloupe sy Madagasikara tao amin'ny I-téléUfaransa- Mkanganyiko kati ya Guadeloupe na Madagascar kwa ajili ya I-télé
28Niara-nipoaka tamin'ny vanim-potoana nampafana indrindra ny krizy politika teto Madagasikara ny fifanandrinana tany Guadeloupe teo amin'ny LKP sy ny mpitandro ny filaminana.Mapambano katika Guadeloupe kati ya Liyannaj Kont Pwofitasyon [zingatia: hiki ni chombo cha wafanyakazi na harakati za kijamii] na majeshi ya ulinzi yalipambana na mgogoro mkubwa wa kisiasa nchini Madagaska.
29Nifanakaiky tokoa ka nahatonga ny i-télé nanafangaro ny sary tamin'ity sary fanadihadiana manaraka ity:Matukio mawili yalikuwa karibu sana kwa wakati, kwa ukweli, kuwa I-télé (kituo cha televisheni nchini ufaransa) kilikusanya picha ambazo maelezo yake yanakinzana na matukio ya Guadeloupe na yale ya Madagaska [fr]:
30Etazonia momba an'i RDC: “Kamboty, voaolana sy tsy noraharahiana”Marekani - Kingo DRC: “Wameachwa yatima, wamebakwa na wamepuuzwa”
31Izany no lohatenin'ny lahatsoratra [en] avy amin'ny mpanao gazety Nicholas Kristof momba ilay zaza 9 taona tratran'ny fanolanana itambarambe tany RDC.Hiki nikichwa cha makala kilichoandikwa na mwandishi Nicholas Kristof kuhusu mtoto wa miaka 9 ambaye alikuwa mhanga wa kubakwa na kundi la watu nchini Kongo DRC.
32Araka ny nanazavan'i Laura Seay tamin'ny dika an-tsoratra ao amin'ny Slate Afrique, niteraka olana eo amin'ny fomba fiasa ity lahatsoratra ity :Kama Laura Seay anavyoeleza katika tafsiri ya tovuti ya Slate Afrique, makala hii inaibua masuala kadhaa ya kimaadili [fr]:
33Taorian'ny adihevitra maherihery, namoaka setriny tao amin'ny bilaoginy i Kristof nampanantenany fa ts hanao izany intsony, sady nitsipaka ny tsikera milaza fa mampidi-doza ny zaza izy tamin'ny filazana ny anarany.Baada yamijadala kadhaa ya kulazimisha, Kristof alituma maoni katika blogu yake ambapo aliahidi kutokufanya hivyo tena -baada ya muda mfupi alipinga madai kwamba alimhatarisha mtoto kwa kumtambulisha.
34Nekeny anef fa mandika ny politikan'i Times ny nanaovany pirinty ny anarany, na dia nahazo alalana avy amin'ny vehivavy iray miantoka ny zaza aza izy.Alitambua, hata hivyo, kuwa kuchapisha jina la mtoto kulikiuka sera ya jarida laThe Times, hata kama alipata ruhusa kutoka kwa mwanamke anayebeba jukumu la kumlea mtoto.
35Sarotra ny hieritreritra tonian'ny fanoratana, na iza izy na iza, hamela izao romborombo izao maina raha tandrefana no lasibatry ny mpametaveta zazakelyNi vigumu kufikiri mhariri mtendaji angeruhusu “blanda” hiyo kuonekana kwenye makala inayohusu mtoto wa kimagharibi aliyeathirika na udhalilishaji.
36Ny gazety AfrikanaVyombo vya Habari vya Afrika
37Afrika Atsimo - niharan'ny fanolanana voatonona ankolaka nandritra ny tatitra tamin'ny oktobra 2012Afrika Kusini - Mhanga wa ubakaji atambulishwa kwa kificho katika ripoti ya mwezi Oktoba
38Musa Rikhotso nitatitra fa [en]:Musa Rikhotso anaripoti kuwa :
39Nisy lahatsoratra tao amin'ny Sapa nitondra ny lohateny hoe ” Naheny ny sazin'ilay nanolana ny zana-badiny” (The Star, 10/10/2012, pajy 7).habari iliyotokea Sapa ikiwa na kichwa cha habari, “Hukumu yapunguzwa kufuatia kubakwa kwa binti wa kambo” (The Star, la tarehe 10/10/2012, uk.
40Nanonona lehilahy avy any Limpopo izay nanena ny gadra mandrapahafaty ho 15 taona noho ny fanolanany ny zana-badiny 15 taona ny lahatsoratra; tamin'ny fanaovana izany anefa dia tsy voaaron-dry zareo ny momba ilay niharan'ny fanolanana.7). Makala inamtaja mwanaume wa Limpopo, ambaye hukumu yake ilipunguzwa kutoka kifungo cha maisha kuwa mwaka mmoja kwa kumbaa bintiye wa kambo mwenye umri wa miaka 15; kwa kufanya hivyo, jarida hilo likishindwa kulinda utambulisho wa wa mhanga wa ubakaji.
41Sénégal - “Des Sénégalais rapatriés de Côte d'Ivoire se défoulent sur Wade” - Nanamparan'ny senegaley maromaro nampodiana avy any Côte d'Ivoire ny heriny i Wade
42Nandritra ny nahamafy indrindra ny krizy tany Côte d'Ivoire, hoy ny lohatenin-gazety Walfadjiri- Mangiran'andro Fiposahan'ny Masoandro “Nanamparan'ny Senegaley nampodiana avy any Côte d'Ivoire ny heriny i Wade”:Senegali - “Wasenegaliwatimuliwa kutoka Ivory Coast” Wakati mgogoro wa Ivory Coast ukiwa uko katika joto lake, jarida la Walfadjiri-l'Aurore lilikuwa na kichwa cha habari “wa-Senegali wametimuliwa kutoka Ivory Coast wamalaumu [Rais]Wade“:
43Pejy 2 an'ny gazety any sénégal miresaka ny krizin'i Côte d'Ivoire- Valam-bahoakaUkurasa wa 2 wa gazeti la kila siku la Senegali likiwa na makala kuhusu mgogoro wa Ivory Coast- wazi kwa matumizi ya umma
44Nilaza ny Le Post fa fahadisoana io satria :Jarida la Le Post linaeleza kuwa hayo yalikuwa ni makosa [fr] kwa sababu:
45Satria mitsikera ny fitondrana ho tsy “nampodiana” ireo lehilahy sy vehivavy ireo fa nody avy tamin'ny ezaky ry zareo ihanywatu hawa na wanawake waliikosoa serikali kwa sababu hawakufukuzwa bali walitakiwa kurudi nchini mwao kwa njia zao wenyewe.