Sentence alignment for gv-mlg-20091103-4052.xml (html) - gv-swa-20091106-554.xml (html)

#mlgswa
1Fampidirana ny Threatened Voices [feo voarahona]Kutambulisha Sauti Zinazotishwa
2Tsy mbola nisy hatramin'izay hamaroan'olona voarahona na voagadra noho ny zavatra nosoratany tamin'ny aterineto.Haijawahi kutokea hapo kabla kwamba watu wengi kiasi hicho wametishwa au kutupwa gerezani kwa sababu ya maneno wanayoandika kwenye mtandao.
3Koa satria moa nitombo aoka izany ny olo-tsotra no nampiasa ny aterineto hanehoany ny heviny sy ifandraisany amin'ny hafa, dia maro ihany koa ny mpitondra fanjakana no nanamafy ny fanaraha-maso, nanasivana, fitoriana eny amin'ny fitsarana ary ny fanorisorenana.Kwa kuwa wanaharakati wengi na raia wa kawaida wameongeza sana utumiaji wa Intaneti ili kutoa maoni yao na kuwasiliana na wengine, serikali nyingi pia zimeongeza ufuatiliaji wa kichunguzi, kujipenyeza, uchukuaji wa hatua za kisheria na unyanyasaji.
4Ny tena henjana indrindra amin'ny maro dia ny fisamborana ny mpamaham-bolongana noho ny resaka politika nosoratany an-tserasera sy/na an-toeran-kafa, ary misy aza indrisy ny mitarika hatrany amin'ny fahafatesana.Matokeo mabaya zaidi ya vitendo hivyo yanapata hasa msukumo wa kisiasa na hivyo kusababisha ukamataji wa wanablogu na waandishi wengine wa mtandaoni kutokana na shughuli zao za mtandaoni na nje ya mtandao, katika baadhi ya matukio ya kusikitisha hata vifo vimetokea.
5Mahatratra ny 45%-n'ny mpiasan'ny fampitam-baovao mameno ny fonja ankehitriny no mpanao gazety an-tserasera sy mpamaham-bolongana avokoa.Waandishi wa habari wa mtandaoni na wanablogu wanawakilisha asilimia 45 ya wanahabari walio magerezani duniani kote.
6Ankehitriny, namoaka vohikala vaovao antsoina hoe Threatened Voices [feo voarahona] indray ny Global Voices Advocacy [Global Voices mpisolovava] ho entina manara-maso ny fanapenam-bava an-tserasera.Leo, kitengo cha utetezi cha Global Voices, kinazindua tovuti mpya inayoitwa Threatened Voices, yaani, Sauti Zinazotishwa ili kusaidia kufuatilia unyamazishaji wa uhuru wa kujieleza wa mtandaoni.
7Mampiseho ny sarintanin'izao tontolo izao sy ny fivoarana misy ka hanampy amin'ny fitopaza-maso ny trangam-pandrahonana sy fisamborana mety hahazo ny mpamaham-bolongana manerantany izy io, ary ho ivon-tsehatra fanangonam-baovao avy aminn'y fikambanana sy mpikatroka tena mavitrika, ka tafiditra ao ny Vaomiera miaro ny mpamaha-bolongana, Fikambanana Arabo miaro ny Zon'olombelona eo amin'ny vaovao, Mpanangom-baovao tsy voasakan-tsisintany[Reporters Sans Frontieres], Human Rights Watch[Mpiaro ny Zon'olombelona], CyberLaw Blog, Amnesty International, Komity mpiaro ny mpanao gazety, Global Voices Advocacy.Inaonyesha ramani ya dunia na mwingiliano wa saa unaosaidia kuonyesha taarifa za vitisho na ukamataji unaofanywa dhidi ya wanablogu duniani kote, na ni mhimili mkuu wa kukusanyia taarifa kutoka katika asasi na wanaharakati walioamua kujitoa muhanga kwelikweli, zikiwemo Committee to Protect Bloggers (Kamati ya Kuwalinda Wanablogu), The Arabic Network for Human Rights Information (Mtandao wa Kiarabu wa Haki za Binadamu kwa Taarifa), Wanahabari Wasio na Mipaka, Shrika la Kuchunguza Haki za Binadamu, Blogu ya Sherika za Mitandao, Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu, Kamati ya Kulinda Waandishi wa Habari, Kitengo cha Utetezi cha Global Voices.
8Mpamaham-bolongna inona ary Aiza?Mwanablogu yupi, wapi?
9Maro ny antony mahasarotra ny mikaro-baovao miresaka mpanoratra an-tserasera sy mpamaham-bolongana voarahona sy voasambotra.Kupata taarifa sahihi kuhusu wanablogu na waandishi wa mitandaoni waliokamatwa ni jambo gumu kwa sababu mbalimbali.
10Voalohany, sarotra dia sarotra ny mamantatra azy noho ny tsiambaratelo manodidina ny fanasivanana an-tserasera sy ny fangejana.Kwanza, usiri unaotawala udhibiti wa mtandaoni na ukandamizaji unafanya taarifa sahihi liwe jambo gumu sana.
11Tsy misy herinandro izay tsy andrenesana mpanao gazety an-tserasera hafa na mpikatroka voasambotra amina firenena tahaka an'i Ejipta na Iran, saingy zavamiafina tanteraka matetika ny anton'ny fisamborana sy ny antsipiriany.Hakuna wiki inayopita bila kuwepo habari za kukamwatwa kwa mwandishi au mwanaharakati mwingine wa mtandaoni katika nchi kama vile Misri au Irani, lakini undani na sababu mara nyingi hugubikwa na utata usioelezeka.
12Faharoa, mbola mifangaroharo be hatramin'izao ny famaritana ny antsoina hoe “mpamaham-bolongana”.Pili, bado kuna mkanganyiko kuhusu ufafanuzi wa “Mwanablogu” ni nani.
13Mihamaro dia mihamaro ny mpanao gazety matihanina no mikisaka mankany amin'ny gazety an-tserasera sy mamaham-bolongana fa any nomisy fahafahana kokoa, ka manasaritaka ny famaritana napetraka teo aloha.Wanahabari mahiri wanazidi kuhamia katika matumizi ya vyombo vya habari vya mtandaoni na blogu ili kutafuta uhuru zaidi, hivyo kufanya ufafanuzi uliokuwepo hapo kabla kuingia ukungu.
14Ary maro amin'ireo antsoina hoe cyber-dissidents any Shina, Tonizia, Vietnam, na Iran no tsy manana bolongana ho azy manokana.Na wengi kati ya wale wanaoitwa watukutu wa mitandaoni huko Uchina, Tunisia, Vietinamu, au Irani, hawana blogu zao binafsi.
15Misy ihany koa ny fotoana noho ny zavatra natao amin'ny fiainana andavanandro no isamborana ilay mpamaham- bolongana fa tsy amin'izay navoakany an-tserasera.Katika nyakati nyingine, wanablogu hukamatwa kwa sababu ya shughuli zao zilizo nje ya mtandao, kuliko yale waliyoyachapishwa kwenye mtandao.
16Io fisavoritahana io no manasarotra ho an'ny mpiaro ny fahalalaham- pitenenana an-tserasera amin'ny fametrahana teti-panorona mahomby sy ahazoana fiaraha-miasa matotra hiarovana ny mpamaham-bolongana sy ny mpitolona an-tserasera, fa efa tena zava-dehibe aloha ny manandrana aloha.Mkanganyiko huu mara nyingine umefanya iwe vigumu kwa watetezi wa uhuru wa kujieleza wa mtandaoni kuja na mkakati na ushirikiano wa kuwatetea wanablogu na wanaharakati wa mtandaoni, lakini haikutokea kuwa ni muhimu zaidi kujaribu.
17Andao hiara-miasaTushirikiane
18Mitarika ny vondrona mpanoratra, tonia sy mpandika teny izahay ato amin'ny Global Voices , mampahalala anay amin'izay mety hisiana fihoaram-pefy rehetra mikasika ny fahalalaham-pitenenana sy ny zon'olombelona.Katika Global Voices tunawashirikisha waandishi, wahariri, na watafsiri, ambao hutufahamisha kuhusu ukiukwaji wa uhuru wa kujieleza na haki za binadamu.
19Kendrentsika ny hanakaikezana ny olona rehetra mety hanam-baovao mikasika izany miaraka amin'ny Threatened Voices.Kwa kuanzisha Threatened Voices tunakusudia kufungua mchakato wa kutolea taarifa hata kwa mtu mwingine zaidi aliye na taarifa fulani.
20Miantso izay rehetra manana havana, namana, mpiray tanindrazana izay efa nahazo fandrahonana izahay mba hametraka ao sy hilaza ny vaovao farany y mombamomba ireo izay nanjavona na voasambotra, mba ahafahanay mikaroka loharanom-baovao hafa, hanamarina, sy hametraka rohy an-tserasera natokana mba hanafahana azy ireny.Tunatoa wito kwa wale wote ambao rafiki, ndugu, wenzao, au wapiganaji wenzao wametishwa kwa namna moja au nyingine ili kusaidia kutengeneza na kutoa taarifa mpya kuhusu wale waliopotea au waliokamatwa, ili kwamba tutafute vyanzo zaidi ili kuthibitisha na kuunganisha na kampeni za mtandaoni zinazolenga kuhakikisha wanaachiwa huru.
21Amin'ny alalan'io fomba io, dia manantena izahay hahalala bebe kokoa hoe oviana, taiza ary tamin'ny fomba inona na nanao ahoana no nahatonga ny mpamaham-bolongana ho voahosihosy ny zony any amin'ny firenentsamihafa any, mba hahafahana mizara ny vaovao amin'ny mpanao gazety, mpikaroka, ary ny mpikatroka, sy hananganantsika aterineto ahafahan'ny rehetra mampihatra ny zony hiteny amin-kahalalahana, ary mba tsy hanadinoana ireo mpamaham-bolongana any am-ponja.Katika mchakato, tunataraji kujifunza zaidi kuhusu ni lini, wapi na kwa kiasi gani wanablogu wanatendewa vibaya katika nchi mbalimbali, ili tuweze kuwashirikisha taarifa hizi waandishi wa habari, watafiti, na wanaharakati, na kujaribu kupigania uwepo wa Intaneti ambamo kila mmoja anaweza kutumia uhuru wake wa kujieleza, na mahali ambapo wanablogu walio magerezani hawasahauliwi.
22Aelezo maneratany.Saidia kueneza neno.
23Tweet-eo [siaho an-tserasera], iresaho amin'ny bolongana ary ankotrio ny mombamomba anao ao amin'ny facebook hilaza ny Threatened Voices!Twiti, blogu na toa taarifa mpya kwenye facebook kuhusu Sauti Zinazotishwa!