Sentence alignment for gv-mlg-20140330-58769.xml (html) - gv-swa-20140325-7006.xml (html)

#mlgswa
1Nomelohin'i Ejypta Ho Faty Ireo Mpomba Ny Mpirahalahy Miozolomana 529Misri Yawahukumu Kifo Wafuasi 529 wa Muslim Brotherhood
2Milina fanapahan-doha noforonin'i @Ternz mba hanampiana an'i Ejypta hamono ho faty ireo mpomba ny mpirahalahy Miozolomana.Mashine maalumu ya kunyongea iliyobuniwa na @Ternz kuisaidia Misri kuwanyonga wafuasi 529 wa Muslim Brotherhood
3Nomelohin'i Ejypta ho faty ireo mpanohana ny mpirahalahy Miozolomana miisa 529 androany 24 marsa, noho ny fandraisan'izy ireo anjara taminà fikomiana feno herisetra tao Minya, tao Ejypta, tamin'ny volana Aogositra tamin'ny taon-dasa.Leo, [tarehe 24 Machi] imewahukumu kifo wafuasi 529 wa chama cha Muslim Brotherhood kwa kuhusika na vitendo vya ghasia huko Minya, kaskazini mwa Misri, mwezi Agosti mwaka jana.
4Nipoaka ny fikomiana taorian'ny famoretana ireo fihetsiketseham-panohanana ny filoha voahongana Mohammed Morsi, lehiben'ny Mpirahalahy Miozolomana, ka mpanohana an-jatony no namoy ny ainy tamin'izany.Ghasia hizo zililipuka kufuatia kung'olewa madarakani kwa rais wa zamani wa nchi hiyo Mohammed Morsi, ambaye alikuwa kiogozi wa kundi hilo la Muslim Brotherhood leader, na kusababisha mamia ya wafuasi huo kupoteza maisha yao.
5Polisy manampahefana iray no namoy ny nandritra ny rotaka tao Minya - heloka izay naha-voampanga ireo 529.Ghasia za Minyah zilisababisha kufa kwa afisa mmoja wa polisi - kosa la jinai ambalo ndilo lililosababisha kushitakiwa kwa washikiwa wote.
6Noraisina am-pahatezerana na am-pifaliana ilay didim-pitsarana , iray amin'ireo fanamelohana goavana ho faty eo amin'ny tantara maoderina,tao Ejypta ka miompana amin'ny sehatra politika no niavian'ireo fanehoan-kevitra.Nchini Misri, hukumu hiyo, moja ya hukumu kubwa kabisa ya kifo kuwahi kutolewa katika historia ya leo, ililaaniwa au kuungwa mkono, kutegemeana na mtazamo wa kisiasa wa aliyetoa maoni.
7Mampahafantatra izany eto ny Mada Masr.Mada Masr alikuwa na orodha ya miitikio hapa.
8Nilaza ilay bilaogera Ejypsiana Zeinobia fa ity didim-pitsarana ity, izay tokony andrasana hivoaka amin'ny 28 Aprily ny didim-pitsarana farany, no namaky ny zavabita vaovao manerantany.Mwanablogu wa Misri Zeinobia anasema hukumu hii, ambayo hukumu ya mwisho kabisa inategemewa kusomwa tarehe 28 Aprili, imevunja rekodi mpya ya dunia.
9Hoy izy nanazava :Mwanablogu huyo anaeleza:
10Isika no manana isa avo indrindra manerantany amin'ny aretina HVC [Hépatite C], isika no manana taha ambony indrindra manerantany amin'ny herisetra ara-nofo, ary ankehitriny isika no tompondaka amin'ny fanamelohana ho faty faobe navoakan'ny fitsarana taminà raharaham-pitsarana tokana!!Tunayo idadi kubwa ya wagonjwa wa kansa ya damu [Hepatitis C] duniani, tuna idadi kubw aya udhalilishaji wa kijinsia duniani na leo tumevunja rekodi kwa kuwa na hukumu ya kifo kwa watu wengi kwa mpigo kuwahi kutolewa mahakamani katika kesi moja!!!
11Miresaka momba ny didim-pitsarana manatantara navoakan'ny fitsarana heloka bevava hoan'ireo voampanga 529 tao Minya aho, eny iray amin'ireo vaovao izay resahan'izao tontolo izao.Ninazungumzia kuhusu hukumu ya kihistoria ya mahakama iliyotolewa na mahakama ya jinai ya Minya dhidi ya washitakiwa 529, ndio ile ambayo duniani yote inaizungumzia.
12Zeinobia nanampy hoe:Zeinobia anaongeza:
13Hiresaka momba ny zava-nitranga aho :Nitazungumzia ukweli usiohitaji mjadala hapa :
14Voampanga 529 no nomelohina ho faty ary 15 afaka madiodio tamin'ny raharaha famoretana tao Rabaa nandritra ny fotoam-pitsarana tao Minya .washitakiwa 529 wamehukumiwa kifo na wengine 15 wakionekana hawana hatia kufuatia kesi ya Minya.
15139 no notànana tamin'izany raharaha izany, ny ambiny kosa noafahana rehefa nandòa vola na koa nitsoaka.Wengine 139 walishikiliwa kwenye kesi hiyo wakati waliobaki ama waliachiwa kwa dhamana au kwa utaratibu.
16Voampanga 51 ihany no nanatrika ny fotoam-pitsarana satria tsy omby ireo voampanga marobe ny efi-pitsarana.Washitakiwa 51 walihudhuria mashitaka hayo mahakamani kwa sababu hapakuwa na sehemu ya kuwawezesha wote kusimama mahakamani kwa wakati mmoja.
17Nanomboka tamin'ny Asabotsy ny fotoam-pitsarana ary nifarana tamin'ny Alatsinainy.Mashitaka hayo yalianza siku ya Jumamosi na kukamilika siku ya Jumatatu.
18Nitaky fanovàna mpitsara ireo mpisolovavan'ireo voampanga saingy nolavina izany fitakian'izy ireo izany.Wanasheria wa washitakiwa waliomba kubadilishiwa jaji lakini ombi lao lilitupiliwa mbali.
19Tsy nahazo alalana hiaro ny mpanjifany ireo mpisolovavan'ireo voampanga “tsy tonga nanatrika ny fotoam-pitsarana” !!Wanasheria waliokuwa wanawatetea “washitakiwa wasiokuwepo” hawakuruhusiwa kuwatetea washitakiwa !!!
20Voampanga ho namono ny Sheriff lefitry ny polisy, Mostafa El Attar avy ao amin'ny Tobin'ny polisy Matay ireo voampanga 529 !!Washitakiwa 529 wametuhumiwa kuwaua msaidizi wa kituo cha polisi cha Matay Sheriff Mostafa El Attar!!
21Ity no fanamelohana ho faty gaovana indrindra teo amin'ny tantaran'ny fitsarana Ejypsiana.Hii ndio hukumu kubwa zaidi kwa watu wengi kuwahi kutolewa kwa wakati mmoja katika historia ya mahakama za Misri.
22Mpanao gazety monina ao Ejypta, Bel Trew nanontany hoe:Mwandishi wa Misri Bel Trew anashangaa:
23Tsy mety takatry ny saiko ny fomba hanapahana ny lohan'ireo olona 529.Siwezi kufikiri itakavyokuwa wakati wa kuwanyonga watu 529.
24Raha 5 minitra isan'olona, mandritra ny 44 ora mahery ny famonoana tsy mihatoKama ilichukua dakika 5 tu kumnyonga mtu mmoja kwa maana hiyo yatahitajika masaa 44 mfululisho kuwanyonga hawa jamaa
25Nanome vahaolana ilay Ejypsiana @Ternz, izay niaiky fa vao roa herinandro izy izay no nanomboka nanao sary: milina famonoana avo-lenta.Na Mmisri @Ternz, anayekubali kuwa ndio kwanza kaanza kuchora katuni wiki mbili zilizopita, amekuja na suluhisho: Mashine ya kisasa ya kunyongea.
26Hoy izy nanazava [ar]:Anaeleza[ar]:
27Raha nipetrapetraka hanokatra ny saiko, nanontany tena hoe: Ahoana no fomba hanompoako tsara ny fireneko?Wakati nikiwa nimepumzisha akili, nikajiuliza: Ninawezaje kulitumikia taifa langu vyema?
28Ahoana no hahazoako tombotsoa sy hanampiana azy?Ninawezaje kuliletea faida taifa langu na kulisaidia?
29Avy eo noraisiko ny penina ary nanao sarinà milina ilain'i Ejypta amin'ity tranga ity ahoKwa hiyo nikachukua kalau na kubuni mashine ambayo Misri inaihitaji wakati huu
30Ka ity ny sanganasany:Na hapa unaweza kuona ubunifu wake:
31Ity ny fandraisana anjara avy aty amiko, ho fanatanterahana tsara ilay didim-pitsarana fanamelohana ho faty, mino aho fa mahaliana ireo manam-pahefana ity fitaovana ity.Kama mchango wangu kwa taifa langu katika kufanikisha hukumu ya kifo kwa ufanisi, ninatumaini kuwa kifaa hiki kitawavutia maafisa.
32Milina fafamonoana hiaka farany izy ity.Hii ni mashine ya kisasa ya kunyongea
33Nandritra izany, mpanao gazety monina ao UK Inigo Gilmore namehy hoe:Wakati huo huo, mwandishi anayeishi Uingereza, Inigo Gilmore anahitimisha:
34Mila ireo mpizaha tany hiverina i Ejypta, satria managadra ireo mpanao gazety tahaka ny biby izany ary miampanga olona 100 hafa mba homelohina ho faty aminà saritsarim-pitsaranaMisri inataka watalii warudi, wakati inawabana waandishi mithili ya wanyama; inahukumu mamia ya watu kifo kwa mashitaka bandia?