Sentence alignment for gv-mlg-20130719-50216.xml (html) - gv-swa-20130718-5525.xml (html)

#mlgswa
1India : Ankizy Ampolony Namoy Ny Ainy Noho Fihinana Sakafo Misy Poizina Tany An-tsekolyIndia: Chakula Chenye Sumu Chaua Watoto 24
2Ankizy roa amby roapolo anelanelan'ny efatra ka hatramin'ny 12 taona avy amin'ny sekolim-panjakana ambaratonga fototra ao amin'ny fanjakana Indiana ao Bihar no namoy ainy noho ny fihinanana sakafo voapoizina ny atoandron'ny 16 Jolay 2013.Mnamo tarehe 16 Julai, 2013, watoto 22 walio na umri kati ya miaka minne na 12 katika shule moja ya msingi ya serikali katika jimbo la Bihar nchini India, walipoteza maisha mara baada ya kula chakula cha mchana kinachoamikiwa kuwa kilikuwa na sumu.
3Avy ao an-tanàna ambanivohitra mahantra ao Chapra ny maro amin'ireo ankizy naiditra hopitaly ary mbola ratsy dia ratsy ny fahasalaman'izy ireo.Wengi wao wakiwa ni wakazi wa kijiji masikini cha Chapra, walilazwa hospitalini kufuatia hali zao kuwa mbaya sana.
4Nahiana ho nisy poizim-biby ireo sakafo.Chakula walichokula kinaaminika kuwa kilikuwa na dawa ya kuulia wadudu.
5Ity no loza ratsy indrindra tamin'ny famàhanana sakafo misy poizina any an-tsekoly.Janga hili limekuwa tukio baya kabisa lililotokana na uzembe wa wazi kwa chakula cha mchana cha wanafunzi hao kuchanganyikana na sumu.
6Tamin'ny loza hafa manokana tao amin'ny distrikan'i Madhubani ao Bihar ohatra, mpianatra 15 no narary avy hatrany rehefa avy nisakafo atoandro.Katika tukio lingine huko Bihar katika wilaya ya Madhubani, wanafunzi 15 waliugua mara baada ya kula chakula cha mchana.
7Tao Gaya-Bihar kosa, ankizy iray no namoy ny ainy rehefa avy nihinana sakafo atoandro tao an-tsekoly.Huko Gaya-Bihar, mwanafunzi mmoja alipoteza maisha baada ya kula chakula cha mchana.
8Ary taminà loza hafa tao Dhule ao amin'ny distrikan'i Maharashtra, ankizy 31 no naiditra hopitaly rehefa avy nisakafo atoandro .Na katika tukio jingine huko Dhule katika wilaya ya Maharashtra, watoto 31 walilazwa hospitalini mara baada ya kupata chakula cha mchana.
9Ankizy mpianatra ao amin'ny sekoly Hindi iray tohanan'ny governemanta ara-bola ao Mumbai, India, 2012.Mwanafunzi wa shule ya Kihindi inayofadhiliwa na serikali nje kidogo ya Mumbai, India, 2012.
10Sary avy amin'ny mpanoratra.Picha na mwandishi wa makala hii.
11Ny fandaharan'asa famahananana sakafo atoandro, nanomboka tamin'ny taona 1960 no tantara taloha indrindra tao India izay natao handrisihana ireo saranga sahirana mba handefa ny zanany any an-tsekoly.Utaratibu wa chakula cha mchana, ulioanza miaka ya 1960, ni miongoni mwa taratibu za siku nyingi sana nchini India ulio na lengo la kuwapa moyo familia masikini kuwapeleka watoto wao shuleni.
12Ankoatra ny fampianarana, natao handrisihana mba hisoratra anarana any an-tsekoly ny fanomezana sakafo isaky ny mpianatra.Mbali na elimu, kutolewa kwa chakula kwa kila mwanafunzi, imekuwa kama hamasa kwa ajili ya kuwavutia wanafunzi kuandikishwa mashuleni.
13Na dia izany aza, hatramin'ny niandohan'ny fandaharan'asa famahanana sakafo, niseho hatrany ny vaovao fanodikodinan-tsakafo natokana ho an'ny ankizy.Hata hivyo, tangu kuanza kwa utaratibu huu, kumekuwa na taarifa za wazi za ubadhirifu wa chakula kilichokusudiwa kwa wanafunzi.
14Nilaza ohatra ny vaovao tamin'ny taona 2006 fa tsy nahazo ny anjara sakafony nandritra ny 18 volana ireo ankizy tao amin'ny sekoly ambaratonga fototra tao Darjeeling .Kwa mujibu wa taarifa za habari za mwaka 2006, ilionekana kuwa, wanafunzi wa shule za misingi za Darjeeling walikabiliana na upungufu wa chakula kwa muda wa miezi 18.
15Araka ny efa nampoizina, nanjary nivadika resaka politika ny olana.Kama ilivyotarajiwa, jambo hili limechukuliwa kisiasa.
16Nanambara ny antoko politikan'ny fitondrana fa teti-dratsy nataon'ny mpanohitra hamelezana azy izany.Chama kilichopo madarakani kilidai kuwa upinzani umejihusisha katika njama za kuwateka watu kimtizamo.
17Voalaza fa mpanao politika malaza ny vadin'ilay talen-tsekoly izay tompon'andraikitra tamin'ny famatsiana ireo sakafo any an-tsekoly.Mume wa mkuu wa shule anaelezwa kuwa na ushawishi mkubwa wa kisiasa na ndiye aliyekuwa msambazaji wa chakula shuleni hapo.
18Nahatezitra ny maro tao amin'ny habaka tambajotra sosialy ny tsirambina ataon'ny governemanta.Serikali kushindwa kutilia mkazo tukio hili, umewaghadhabisha watu wengi katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
19Mpisera Twitter monina ao India, Vikram Singh (@cynicalvs) nanoratra hoe:Mtumiaji wa Twita aliye na makazi yake nchini India, Vikram Singh (@cynicalvs) aliandika:
20@cynicalvs: Nahoana no matin'ny fihinanana sakafo atoandro ireo ankizy?@cynicalvs: watoto wanawezaje kufariki baada ya kula chakula cha mchana?
21Kanefa sakafo io.Ni chakula.
22Misy olona tokony hotsaraina noho ny famonoan'olona.Kunamtu anapaswa kushitakiwa kwa kosa la mauaji.
23#chappra#chappra
24Raha vao tonga teny amin'ny hopitaly ireo mpanao gazety mba hitatitra ny zava-misy, ratsy dia ratsy ny fandraisana an-tanana ireo ankizy marary.Mara baada ya waandishi wa habari kuanza kutembea mahospitalini kwa ajili ya kutoa taarifa za tukio hili, matumizi mabaya ya madaraka yaliendelea kujitokeza.
25Picha katika mfumo wa video za mtandaoni ziliwaonesha watoto walionusurika wakiwa mamelala kila mmoja karibu na mwenzakeAs soon as journalists began reaching hospitals to report on the situation, more mismanagement came to surface.
26Nisy lahatsary nandeha mivantana nampiseho ireo ankizy hany velona mivangongo ao anatinà birao iray ary omena ranon-tsira.The streamed video images showed surviving children laid next to each other kwa kubanana kwenye dawati huku wakigawiwa maji ambayo ni myeyusho wa chumvi na maji.
27Nahita i Milind Khandekar, lehiben'ny famoahan-dahatsoratra ao amin'ny ABP News (@milindkhandekar) fa:Milind Khandekar, ambaye ni mhariri mkuu wa kampuni ya uhabarishaji ya the managing editor of ABP News (@milindkhandekar), alitoa maoni yake:
28@milindkhandekar: Mampiseho ireo ray aman-dreny mampiasa taratasy hikopahana ireo zanany niditra hopitaly ity lahatsary avy amin'i Chappra ity.@milindkhandekar: picha kutoka Chappra zinawaonesha ndugu wa watoto waliolazwa hospitali wakiwapepea watoto wao kwa makaratasi.
29Modelim-pandrosoana ao Bihar ve izao?Huu ndio ‘mfano mzuri wa maendeleo ya Bihar'?
30Nitarika avy hatrany ireo mpiserasera ao amin'ny media sosialy hiady hevitra momba ny tsirambina sy avonavona ataon'ny mpanao politika Indiana ity loza ity.Mapema kabisa, tukio hili liliwapelekea watumiaji wa mitandao ya kijamii kujadili hali ya dharau na kiburi iliyooneshwa na wanasiasa wa India.
31Abhijit Majumder, mpanao gazety avy ao Delhi (@abhijitmajumder), nisioka hoe:Abhijit Majumder, ambaye ni mwandishi wa habari kutoka Delhi (@abhijitmajumder), alitwiti:
32@abhijitmajumder: Tsy manavakavaka ny mpanao politikanay.@abhijitmajumder: Wanasiasa wetu hawabagui.
332G ho an'ny mpanankarena na NREGA, sakafo atoandro ho an'ny mahantra indrindra, norobàna tsy misy anavahana avokoa ny sakafo rehetra.2G kwa wale wanaojiweza au NREGA, chakula cha adhuhuri kwa mafukara, wote wanadanganywa kwa mvuto sawa.
34# Chhapra#Chhapra
35Mpianatra ao amin'ny sekoly Hindi manodidina an'i Mumbai misakafo ao an-tokontany tsy misy seza sy lovia.Wanafunzi wa shule ya Kihindi nje kidogo ya Mumbai wakipata chakula wakiwa wamekaa chini pasipo kuwa na viti wala bakuli.
36Mpianatra hafa kosa mampiseho boaty tiffin ary mitaraina momba ny haratsin'ny sakafo.Mwanafunzi mwingine akionesha kibobo chenye chakula cha adhuhuri huku akilalamika kuhusu ubora wa chakula hicho.
372012. Sary avy amin'ny mpanoratra.2012. Picha na Mwandishi wa makala hii.
38Niresaka sompirana momba ny fisolokiana vao haingana tahaka ny 2G sy ny NREGA, izay nandeha amina miliara dolara ary nahatonga ahiahy teo amin'ny fomba fiasan'ny governemanta Indiana i Majumder.Majumder, alirejelea matukio ya udanganyifu yaliyotokea hivi karibuni, kama yale ya2G na NREGA, ambayo yaligharimu mabilioni ya dola na kupandikiza hali ya kukosa imani kubwa kwa namna serikali ya India inavyotimiza majukumu yake.
39Mpanao gazety hafa monina ao Delhi, Raghavendra Verma (@r_verma), naneho hevitra momba ny fihetsika ankapoben'ireo mpampianatra ao amin'ny sekoly tantanin'ny fanjakana:Mwandishi mwingine wa habari ambaye makazi yake ni Delhi, Raghavendra Verma (@r_verma), alitoa maoni yake kuhusu namna ambavyo walimu wanavyozichukulia shule zinazomilikiwa na serikali. :
40@r_verma: Manome sakafo atoandro ho an'ny mpianatra ireo mpampianatra tahaka ny hoe manao asa soa izy ireo.@r_verma: walimu huwapatia watoto chakula cha adhuhuri kana kwamba wamejitolea sana na kwa upendeleo mkubwa.
41#Chhapra#Chhapra
42Fazal Abbas (@fazlabas), mpisera Twitter monina ao Mumbai, nizara vinavina tantara mikasika ny adihevitra resahina:Fazal Abbas (@fazlabas), ambaye ni mtumiaji wa Twita aishiye Mumbai, alitoa historia kuhusiana na tukio hili:
43@fazlabas: Mitovy amin'ny filohantsika voalohany ihany i Chhapra, niverina 50 taona taty aoriana ny Dr. Rajendra Prasad.@fazlabas: Chhapra ni kama ilivyokuwa kwa Rais wetu wa kwanza Dk. Rajendra Prasad aliyefariki miaka 50 iliyopita.
44Matin'ny fampianarana ny ankizy.Watoto wanafariki kwa ajili ya elimu.
45Kiran Bedi (@thekiranbedi), manam-boninahitra taloha avy ao Delhi fantatra amin'ny asa soa sy ady amin'ny kolikoly ataony ao India, nisioka hoe:Kiran Bedi (@thekiranbedi), ambaye ni askari mstaafu kutoka Delhi, ambaye anajulikana kwa utendaji kazi uliotukuka na mmoja wa wapinga rushwa nchini India, alitwiti:
46@thekiranbedi: Miteraka fanafintohinana sy tsy ara-pahadiovana ny sakafo atoandro any amin'ny toerana maro.@thekiranbedi: Mlo wa adhuhuri, ni wenye majungu na usio katika hali ya usafi.
47Mandany fotoana mahandro sakafo ihany koa ireo mpampianatra!Pia, walimu wanapoteza tu muda wao kupika chakula hicho!
48Maninona raha voankazo sy voanio no omena?Kwa nini wasiwagawie matunda na njugu?
49Manamafy ny fitantaran'i Bedi ity porofon-tsary eto ambony ity.Maelezo ya Bedi yanaunga mkono ushahidi wa picha uliotangulia kutolewa.
50Tsy i Bihar, sekoly tantanin'ny governemanta manerana an'i India ihany no mety ahitana tantara goavana momba ny tsirambina sy ny fitantanana ratsy hotantaraina.Sio tu Bihar, miongoni mwa shule zinazomilikiwa na serikali nchini India zilizoweza kuwa na mengi ya kujadiliwa kuhusiana na kutotilia maanani mambo na usimamizi mbovu.
51Raha mikasika ity raharaha ity, mailaka ery ny governemanta Indiana nanambara onitra 2 lakhs (eo amin'ny 3,367 dolara Amerikana) ho an'ny fianakaviana niharam-pahoriana.Kwa jinsi shauri hili lilivyo, serikali ya India ilipaswa haraka sana itangaze fidia ya lakhs 2 (takribani dola za kimarekani 3,367) kwa familia za wahanga.
52Efa an-dalana ny fikarohana ny antony marina nahatonga ny fanapoizinana ny sakafo - raha afohezina, araka ny fomban'ny eny amin'ny biraom-panjakana mahazatra [ie: mbola ho ela vao hiravona].Uchunguzi wa ni kwa namna gani chakula hiki kilichanganyika na sumu bado unaendelea-kwa ufupi, mchakato mrefu wa kiuchunguzi unafuata.
53Hiaiky ny helony ve ireo tompon'andraikitra?Je, waliohusika watawajibishwa.