Sentence alignment for gv-mlg-20120805-36379.xml (html) - gv-swa-20120805-3669.xml (html)

#mlgswa
1Afrika Atsimo: Mankalaza Ny Medaly Volamena Voalohany Tao Anatin'ny 8 Taona Ny Mpiserasera Amin'ny AterinetoAfrika ya Kusini: Yasherehekea Medali ya Kwanza ya Dhahadu Baada ya Miaka 8
2Ampahany amin'ny tatitra manokana ataonay amin'ny Lalao Olympika 2012 any Londona ity.Hii ni sehemu ya makala zetu maalumu kuhusu mashindano ya Olympiki ya 2012 jijini London .
3Fankasitrahana no azon'ilay mpilomano Afrikana Tatsimo Cameron van der Burgh izay nandrombaka ny medaly volamena voalohany ho an'i Afrika Atsimo taorian'ny faharesena nahamenatra ny firenena tamin'ny lalao olympika 2008 tany Beijing.Pongezi nyingi zimekuwa zikimimika kwa muogeleaji wa Afrika Kusini Cameron van der Burgh ambaye amechukua medali ya kwanza ya dhahabu baada ya nchi hiyo kupata matokeo mabaya katika mashindano ya Olimpiki ya mwaka 2008 yaliyofanyika jijini Beijing.
4Azony ny medaly volamena tamin'ny Alahady teo rehefa nandresy tamin'ny 100m savarano, na ‘brasse' sy nanamontsana fotoana tsara indrindra eran-tany ho 58.46 segondra.Alishinda medali hii ya dhahabu siku ya jumapili baada ya kuibuka mshindi katika uogeleaji wa mita 100 kwa kuweka rekodi ya dunia kwa kuogelea kwa muda wa sekunde 58.46.
5Izy no mpilomano Afrikana Tatsimo lehilahy voalohany nahazo ny medaly volamena.Pia, yeye ndiye muogeleaji wa kwanza mwanaume kutoka Afrika ya kusini kushinda medali ya dhahabu katika mashindano ya Olimpiki.
6Izany no nahazoany anaram-bositra hoe ‘Golden Boy' na ‘Zazalahy Volamena' sy nalaza tamin'ny Twitter.Hii imemfanya Cameron van der Burgh, kupewa jina la utani ‘Golden Boy' na pia ushindi wake kutawala majadiliano katika mtandao wa Twita.
7Ny Voice of the Cape FM na ny feon'ny Cape FM mitantara ny fandreseny:Redio ya Voice of the Cape inauelezea ushindi wake :
8Hafaliana nanerana an'i Afrika Atsimo tamin'ny Alahady hariva rehefa nandrombaka ny medaly volamena voalohany ho an'ny firenena amin'ny lalao Olympika 2012 atao any Londona ilay mpilomano Cameron van der Burgh, tsy nandresy tamin'ny famaranana lomano 100m ‘brasse' fotsiny fa mbola nanamontsana ny zava-bita tsara indrindra eran-tany ihany koa.Kulikuwa na furaha katika maeneo yote ya Afrika ya Kusini siku ya Jumapili Usiku wakati muogeleaji Cameron van der Burgh alipofanikiwa kunyakua medali ya kwanza ya dhahabu kwa nchi ya Afrika ya Kusini katika mashindano ya Olimpiki ya mwaka 2012 mjini London, sio tu kwamba amekuwa mshindi katika upigaji mbizi wa mita 100, lakini pia ameweka rekodi mpya ya dunia.
9Niditra tao amin'ny Twitter i Cameron naneho ny hafaliany :Cameron katika mtandao wake wa Twita, alionesha furaha yake:
10@Cameronvdburgh: Tompon-daka Olaimpika aho ! manaja ny bitsikareo.@Cameronvdburgh: mimi ni bingwa wa olimpiki:) kama mlivyosema katika kurasa zenu za twita.
11Fihetseham-po safononoka ! toy ny hoe efa azoko ny fiainako rehetra nefa http://instagr.am/p/Nsg12grbC3/Hisia zilizopitiliza! Kama tu jinsi maisha yangu yalivyokuwa, lakini http://instagr.am/p/Nsg12grbC3/
12Tompndaka Olaimpika aho Sary avy amin'i @Cameronvdburghmimi ndiye bingwa wa mashindano ya Olimpiki!
13Nataon'ny gazety Afrikana Tatsimo maro lohateny lehibe io tantara io: Fanehoan-kevitra avy amin'ny tontolon'ny bilaogy Afrikana Tatsimo :Picha kwa idhini ya @Cameronvdburgh Magazeti mengi ya Afrika ya Kusini yaliuza sana kwa habari hii kugonga vichwa vya habari: Miitikio kutoka kwa wanablogu wa Afrika Kusini: :
14Jason Von Berg mitantara ny fotoana niarahany niasa taminy :Jason Von Berg anaelezea kipindi ambacho alifanya naye kazi:
15Nanana tombony aho tamin'ny nifaneraserako tamin'i Cameron sy niarahako niasa taminy tamin'ny tetikasa vitsivitsy ao amin'ny tena hainy toy ny masoivohon'ny Audi ary mamelà ahy ianareo hiteny fa izy dia iray amin'ireo bandy mahafinaritra manodidina ahy.Niliwahi kupata bahati ya kukutana na Cameron na kufanya nae kazi katika miradi kadhaa yeye akiwa kama balozi wa Audi, na ninachoweza kukuambia ni kuwa, Cameron ni miongoni mwa watu wazuri sana. Hivyo usiku wa jana kumuona Cameron akishinda taji la Olimpiki inamuelezea vizuri zaidi.
16TENA TSARA Cammy ilay trondro !SAFI SANA Cammy unayeogelea kama samaki!
17HURRICANEVANESSA tsy naharitra nandefa sarin'i Cameron :HURRICANEVANESSA alijisikia kuweka hadharani picha ya Cameron:
18Hitantsika eto ny talentan' Atoa Cameron van der Burgh, vao haingana.Tulitambua mapema kipaji cha ndugu Cameron Van der Burgh.
19Nahazo ny Medaly Volamenan'ny Fiboridanana ho an'ny Issue Nacked 2011 an'i Marie Claire izy eto.Hapa, yeye ni mshindi wa medali ya dhahabu kwa kukaa utupu katika suala lile la Marie Claire la utupu la mwaka 2011.
20Ao anatin'ny fanampiana ireo alika kely mpirenireny very fa hita indray io.Ilikuwa na lengo la kuwasaidia mbwa wadogo wanaotangatanga, makinda.
21Fanehoan-kevitra avy amin'ny tontolon'ny Twitter avy any Afrika Atsimo :Maoni ya watumiaji wa Twita wa Afrika Kusini::
22@PebblesProject: @Cameronvdburgh Ianao no mahery fonay.@PebblesProject: @Cameronvdburgh Wewe ni shujaa wetu.
23Ny firenena iray manontolo dia mirehareha noho ianao.Umeifanya nchi nzima kujisikia fahari sana.
24@swanniem: @Cameronvdburgh ireharehanay ny fanànana anao halina ary ny volamena no lokonao@swanniem: @Cameronvdburgh ulitufanya tujisikie fahari sana usiku wa jana na hakika rangi yako ni kama ya dhahabu
25@verashni: Tiako hamafisina fa Cameron van der Burgh dia avy any Pretoria.@verashni: ningependa kuweka wazi kuwa Cameron van der Burgh anatokea Pretoria.
26Marina zany, ny tanàna misy ahy.Huu ndio ukweli, ni jiji ninalotokea.
27Ilay iray izay ihomehezan'ny Afrikana Tatsimo mandakariva…..Ni jiji ambalo watu wengi wa Afrika Kusini huwa wanalidharau….
28@Abramjee: Tena tsara Cameron Van Der Burgh. Nataonao nirehareha Afrika Atsimo.@Abramjee: umefanya vizuri Cameron, umefanya Afrika ya Kusini ijivunie.
29Medaly voalohany ho antsika !Medali yetu ya kwanza!
30Azontsika ny Volamena.Tumeshinda dhahabu.
31@Team_SA_2012 @OlympicsSA @lead_sa @rykneethling@Team_SA_2012 @OlympicsSA @lead_sa @rykneethling
32@djcleo1: AFRIKA ATSIMO nahazo ny medaly volamena tamin'ny LALAO OLAIMPIKA CAMERON VAN DER BURGH sady nanamontsana ny fotoana tsara indrindra vita eran-tany #ProudSouthAfrican@djcleo1: Afrika ya Kusini imeshinda medali ya dhahabu katika mashindano ya Olimpiki kupitia kwa CAMERON VAN DER BURGH na kuweka rekodi mpya ya dunia #JivunieMwafirkayakusini
33Ampahany amin'ny tatitra manokana ataonay amin'ny Lalao Olympika 2012 atao any Londona ity.