Sentence alignment for gv-mlg-20140309-58471.xml (html) - gv-swa-20140309-6813.xml (html)

#mlgswa
1Mitsinjaka Sady Faly I KoetyKuwait Inacheza Dansi na Inayo Furaha
2Ravo i Koety fa manana ny kinovany azy manokana amin'ilay hira an-dahatsary “Happy” an'i Pharrell.Kuwait inaonesha furaha yake kupitia video iliyobuniwa upya ya wimbo wa Pharrell unaofahamika kwa jina la Furaha.
3Ny lahatsary eto ambany, izay manasongadina ny fandraisana anjaran'ireo olom-pirenena sy mponina maherin'ny 150, dia hevitra avy amin'ny tale Taibah AlQatami ary novokarin'ilay mpilalao horonantsarimihetsika Mohammed Al Saeed.Video hiyo hapo juu, inayowajumuisha wakazi na raia zaidi ya 150, ni matokeo ya ubunifu wa muongozaji wa filamu, Taibah AlQatami, na video kuandaliwa na mtayarishaji wa filamu ajulikanaye kwa jina la Mohammed Al Saeed.
4Araka ny filazan'ny @Loft965:Kwa mujibu wa @Loft965:
5Ny fikasana dia ny hanavao ilay hira “Happy” an'i Pharrell anaty hafatra mahomby hoan'ny faritra amin'ny alalan'ny fangalàna horonantsary aminà toerana voafaritra ao an-tanàna ary koa ny hampidirana indray ny t-shirt “Afaho I Koety” izay notafiana nandritra ny Adin'ny Helondrano tamin'ny vahoaka nitaky ny fahafahan'ny fireneny.Lengo lilikuwa ni kuandaa upya wimbo wa Pharell, “furaha” ili uwasilishe ujumbe wa hali halisi ya Kuwait kwa kuchukua picha kutoka katika maeneo maalum ya jiji ikiwa ni pamoja na kutambulisha tena “Fulana za Kuwait” za bure zilizovaliwa wakati wa vita ya Ghuba ya Uajemi wakati raia walipokuwa wakidai uhuru wa nchi yao.
6Ireo tanora ankehitriny no manohy ny hetsi-pahafahana amin'ny fanaparihana zavatra tsara sy fankalazàna ny fahalalaham-pitenenana.Kwa sasa, vijana wa Kuwait wanadumisha hali ya amani kwa kuonesha kupendezwa na kusherehekea uhuru wa kutoa maoni yao.
7Noafahan'ny mandatehezana notarihin'i Etazonia i Koety tamin'ny Febroary 1991, taorian'ny fananiham-bohitra Irakiana naharitra valo volana.Muungano ulioongozwa na Marekani, ulifanikisha kuipatia uhuru nchi ya Kuwait mapema mwezi Februari, 1991, miezi nane mara baada ya kuvamiwa na nchi ya Iraq.
8Tao amin'ny Twitter, Nasser AlQatami nanamarika hoe:Katika ukurasa wake wa Twita, Nasser AlQatami anasema:
9Olona 54000 no nijery ary mbola mitohy ny fanisana!Imetazamwa mara 54,000 na bado inaendelea kutazamwa.
10Andeha hotohizana handroso!Tuendeleze libeneke!
11Tsindrio ny: http://t.co/IgGFm8IMVc. #HappyQ8Bofya: http://t.co/IgGFm8IMVc
12Huda Aldakheel kosa nilaza hoe:Huda Aldakheel anasema:
13Mandihy miaraka amin'ilay lahatsary mandritra ny alina ny #HappyQ8.Nimekuwa nikicheza kwa kuangalia video hii usiku kucha.
14Misaotra anao, mahavariana @Nasque; Huda Saleh Aldakheel (@ HudaSSD) 7 Marsa 2014Asante sana, inapendeza.