# | mlg | swa |
---|
1 | #52ThingsAboutTanzania Ho Fankalazàna ny Faha-52 Taonan'ny Fahaleovantena | #Mambo52KuhusuTanzania katika Kusherekea Miaka 52 ya Uhuru |
2 | Nankalaza ny faha-52 taonan'ny fahaleovantenany niala tamin'ny Britanika i Tanzania tamin'ny 9 desambra 2013. | Tanzania bara ilisherehekea miaka 50 ya uhuru wake kutoka kwa Waingereza tarehe 9 Desemba, 2013. |
3 | Fantatra taloha tamin'ny anarana Tanganyika, tamin'ny tanibe nitambatra tamin'ny nosy Zanzibar ny firenena tamin'ny 26 aprily 1964 ka nanangana ny Tanzania. | Zamani ikiitwa Tanganyika, baayae iliungana na visiwa vya Zanzibar tarehe 26 April, 1964 kutengeneza nchi inayoitwa Tanzania. |
4 | Tamin'ny fankalazàna ny faha-52 taonan'ny fahaleovantena ny mpisera Twitter sasantsasany no nanangana ny diezy #52ThingsAboutTanzania (zavatra 52 momba an'i Tanzania) hifampizarana zavatra sy tarehimarika mahaliana momba ny firenena : | Katika kusheherekea miaka 52 ya uhuru, watumiaji kadhaa wa mtandao wa Twita walitumia alama ishara ya #52ThingsAboutTanzania (yaani #Mambo 52KuhusuTanzania) kushirikishana takwimu na uhalisia kuhusu nchi yao: Julius Nyerere “Baba wa Tanzania” alitafsiri kitabu cha Shakespeare kiitwacho “The Merchant of Venice; Julius Ceaser” kwa Kiswahili. |
5 | Julius Nyerere, ny “Rain'i Tanzania”, no nandika ny piesin'i Shakespeare “Ilay Mpivarotr'i Venizy & Jolio Kaisara (Sezara)” ho amin'ny teny swahili. | Mlima Kilimanjaro, mlima mrefu kuliko yote Afrika, na mrefu kuliko milima yote iliyosimama yenyewe bila kuwa kwenye safu za milima, ukiwa Moshi, Tanzania. |
6 | Tendrombohitra Kilimanjaro, tendrombohitra avo indrindra ao Afrika, sy tendrombohitra avo indrindra mijoro samirery manerantany, ao Moshi, Tanzania. | Picha imewekwa na Muhammad Mahdi Karim (www.micro2macro.net) chini ya Leseni ya GNU Free Documentation. |
7 | Sary navoakan'i Muhammad Mahdi Karim (www.micro2macro.net), GNU Free Documentation License. | Mlima mrefu kuliko yote duniani usio kwenye safu za milima ni Mlima Kilimanjaro |
8 | Ny Tendrombohitra avo indrindra mijoro samirery manerantany dia ny Tendrombohitra Kilimanjaro | Wimbo wa Disney “The Lion King” ulipambwa na Hifadhi ya Wanyama ya Serengeti. #52ThingsAboutTanzania |
9 | Nakàna aingam-panahy avy amin'ny valan-javaboaharim-pirenena Tanzaniana ao Serengeti ilay Sarimiaina Malaza an'i Disney “Ny Liona Mpanjaka”. | Wimbo wa Disney “The Lion King” ulipambwa na Hifadhi ya Wanyama ya Serengeti. - Uncle Fafi (@Tanganyikan) December 9, 2013 |
10 | Ny Tanzanite [vato sarobidy tsy fahita avy ao Tanzania] dia anarana nomena avy amin'i Tanzania Fanjakana Atsinanan'i Afrika niaviany. | Tanzanite [vito vya thamani vinavyopatikana Tanzania] yameitwa kwa jina la nchi ya Afrika Mashariki iitwayo Tanzania mahali ambapo ndiko yanaykotoka. |
11 | Tiffany's no namorona ny anarana. | Jina hilo lilibuniwa na Tiffany. |
12 | Fozam-boanio, fozantany goavana indrindra manerantany . Sary navoaka tamin'ny alalan'ny Creative Commons, avy amin'ilay mpisera Flickr, Drew Avery. | Kaa aitwaye Coconut crab, kaa mkubw akuliko wote aishiye nchi kavu duniani kote, Picha imewekwa mtandaoni kwa leseni ya Creative Commons na mtumiaji wa mtandao wa Flickr aitwaye Drew Avery. |
13 | Zanzibar, Tanzania no fonenan'ny fozam-boanio. | Zanzibar, Tanzania ni makazi ya kaa aitwaye coconut crab. |
14 | Fozµa lehibe indrindra manerantany (sy toa iray amin'ireo matsiro indrindra) | Ni kaa mkubwa kuliko wote duniani (& na anasemekana kuwa mmoja wa kaa watamu sana) #52ThingsAboutTanzania |
15 | Firenena 10 isan-karazany ankehitriny no miteny ny teny KiSwahili izay avy ao Tanzania, ary anisan'izany ny Nosy Komoro. | - KijanaMokiwa (@stevpm) December 9, 2013 Kiswahili kimeanzia Tanzania na hivi sasa kinazungumzwa na nchi kumi tofauti ikiwemo visiwa vya Comoro |
16 | Vavam-bolokano Ngorongoro, toerana natokan'ny UNESCO ho lovan'izao tontolo izao, ary iray amin'ireo zavaboahary fito mahagaga indrindra ao Afrika, miorina ao Arusha, Tanzania. | Hifadhi ya Ngorongoro, eneo ambalo kwa mujibu wa UNESCO ni Urithi wa Dunia na moja wapo ya maajabu saba ya asili ya dunia barani Afrika, lipo Arusha, Tanzania. |
17 | Sary navoakan'i Thomas Huston tamin'ny alalan'ny GNU Free Documentation License. | Picha imewekwa mtandaoni na Photo Thomas Huston chini ya leseni ya GNU Free Documentation. |
18 | Ny vavam-bolokano maty Ngorongoro, ao Tanzania, no vavam-bolokano feno midadasika indrindra manerantany. | Bonde la Hifadhi ya Ngorongoro, nchini Tanzania, ni bonde kubwa kuliko yote duniani. |
19 | Tanzania no manana Tendrombohitra faharoa lehibe indrindra manerantany (Kilimanjaro) | Tanzania inayo mlima wapili kwa ukubwa duniani (Kilimanjaro) |
20 | Ny volan'i Tanzania dia ny shilling tanzaniana | Sarafu ya Tanzania ni Shilingi ya Tanzania |
21 | Ny Valan-javaboaharim-pirenena ao amin'ny Farihin'i Manyara, Tanzania, no akanin'ireo liona hany mpihani-kazo manerana izao tontolo izao. | Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara, nchini Tanzania, ni makazi ya simba wakweao mitini wasiopatikana kwingineko kote duniani |
22 | Liona mpihani-kazo ao Tanzania. | Simba apandae miti nchini Tanzania. |
23 | Sary navoaka tamin'ny alalan'ny Creative Commons avy amin'ilay mpisera Flickr Tracey Spencer. | Picha iliwekwa kwa matumizi ya matandaoni chini ya leseni ya Creative Commons na mtumiaji wa mtandao wa Flickr Tracey Spencer. |
24 | Ny karandohan'olona ela indrindra hita teto ambonin'ny tany dia tao Olduvai Gorge ao Tanzania no nahitana azy. | Fuvu la kale zaidi duniani kuwahi kugundulika liligunduliwa kwenye Bonde la Olduvai nchini Tanzania |
25 | Ny Valan-javaboahary Amani (Atsinanan'i Tanzania) no toerana tokana ambonin'ny tany ahitana ny violety Afrikanina mitsimoka hoazy eny rehetra eny. | Mbuga ya Wanyama ya Amani (Mashariki mwa Tanzania) ni sehemu pekee duniani ambapo Maua yenye asili ya Afrika yaoteshwayo majumbani huota mwituni. |
26 | Iray amin'ireo olo-malaza Afrikanina hajaina indrindra, Julius Nyerere (1922 - 1999), mpanao politika manana fitsipi-pitondrantena sy haranita-tsaina miavaka. | Mtu maarufu anayeheshimika sana duniani, Julius Nyerere (1922-1999) alikuwa mwanasiasa wa kanuni na mwenye kipaji cha akili nyingi |
27 | Ny Hazo Mpingo antsoina na Andramainty , fahita mahazatra ao Tanzania, no hazomafy lafo vidy indrindra manerantany. | Mti wa Mpingo, wenye rangi nyeusi, unaopatikana sana Tanzania, ni moja wapo wa miti iliyo ghali zaidi duniani |