Sentence alignment for gv-mlg-20140705-61431.xml (html) - gv-swa-20140704-7835.xml (html)

#mlgswa
1Nosamborina i Takrooz, Bilaogera Bahrainita MpanarabyMwanablogu wa Kibahraini Takrooz Akamatwa
2Nanambara fisamborana mpiserasera iray hafa indray izay voampanga ho “nitarika fankahalàna ny fitondrana” ny minisiteran'ny atitany ao Bahrain.Wizara ya Mambo ya Ndani ya Bahrain imetangaza kumkamata mtumiaji mwingine tena wa mtandao, anayedaiwa kutakiwa kujibu mashitaka ya “kuchochea chuki dhidi ya utawala.”
3Bilaogera mpanaraby mpandefa lahatsoratra fohy, fantatra amin'ny solon'anarana hoe Takrooz no nosamborina tao amin'ny Seranam-piaramanidina iraisam-pirenena ao Bahrain, raha niverina avy any Thaïlandy, hoy ny minisitera tamin'ny fanambarana tamin'ny 18 Jiona 2014, izay tsy nanonona ny anarany.Mwanablogu huyo mwenye mtindo wa kutumia utani katika kuwasilisha ujumbe wake, mwenye jina la utani Takrooz, alikamatwa kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Bahrain, wakati akirtudi kutoka Thailand, ilisema taarifa ya Wizara hiyo iliyotolewa Juni 18, 2014, bila kuanika jina lake halisi.
4Bahrainita marobe no niditra Twitter ny ampitso mba hiampanga ny fisamborana, ary nilaza fa tsy ilaina izany satria tsy misy dikany ary nampiseho mazava ny tena lokon'ny governemanta ihany koa amin'ny fanampenana izay feo manohitra antserasera.Siku moja kabla, Wabahrain wengi walikuwa na hasira kwenye mtandao wa twita, wakisema kuwa kukamatwa kwake kumefanyika bila sababu na hapakuwa na kingine isipokuwa kuonyesha rangi halisi za serikali dhidi ya sauti kuu za upinzani katika mtandao wa intaneti.
5Marobe ireo mpiserasera efa nosamborin'ny fitondrana nanomboka tamin'ny fihetsiketseham-panoherana ny governemanta tao Bahrain tamin'ny 14 Febroary 2011.Watumiaji kadhaa wa mtandao wameshakamatwa na utawala huo tangu maandamano ya kupinga serikali yaanze nchini Bahrain mnamo Februari 14, 2011.
6Anisan'izany i Mahmood Al-Yousif, Mohamed Almaskati ary ilay mpanoratra ato amin'ny Global Voices Mohamed Hasan.Miongoni mwao ni Mahmood Al-Yousif, Mohamed Almaskati na mwandishi wa Global Voices Mohamed Hassan.
7Sokajiana ho fahavalon'ny aterineto i Bahrain araka ny filazan'ny tatitra 2014 avy amin'ny “Reporters without Borders ary mitana ny laharana faharoa amin'ny fanagadrana mpanoratra gazety isan'olona tamin'ny taona 2013 araka ny tatitra avy amin'ny Komity Mpiaro ny Mpanoratra gazety.Bahrain inaonekana kuwa adui wa Mtandao wa Intaneti kwa mujibu wa Taarifa ya 2014 ya shirika la Reporters without Borders [waandishi wasio na mipaka] na imeshikilia nafasi ya pili kwa idadi ya waandishi wa habari waliokamatwa nchini humo kwa mwaka 2012 kwa mujibu wa Kamati ya Kulinda Waandishi wa Habari.
8Feo mavitrika amin'ny fiampangana ny famoretana ataon'ny governemanta amin'ireo mpikatroka i Takrooz, izay manana mpanjohy eo amin'ny 18 000 sy sioka 100.000, ary anisan'ny kaonty tena kendren'ny ezaka fanarahamaso ataon'ny governemanta ao Bahrain.Karibu ya wafuatialiaji wa mtandao wa twita 18,000 na twiti zenye jina la Takrooz zipatazo 100,000 zimekuwa sauti hai zinazoilaani serikali kwa kupambana na wanaharakati. Asasi ya Bahrain Watch, inayojihusisha na utafiti na uwazi, ilisema kuwa anuani ya twita ya Takrooz inasemekana kuwa shabaha ya kufuatiliwa na serikali ya Bahraini.
9Mitantara ny fihoaram-pefy ataon'ny polisy, vaovao momba ny ady amin'ny kolikoly sy ireo olana andavanandron'ny Bahrainita saranga antonony ireo siokany.Kwenye twiti zake, kwa lugha ya Kiarabu, zinajikita kwenye uvunjifu wa sheria unaofanywa na watu, kupambana na vitendo vya ufisadi na masuala ya kila siku ya raia wa kawaida wa Bahraini.
10Ny ampitso, namoaka sary misy ny fitantaran'ny gazety Arabo mpivoaka isan'andro mikasika ny fisamborana an'i Takrooz ilay mpisera @ M_Alshaikh:Siku iliyofuata mtumiaji wa twita aitwaye @M_Alshaikh alichapisha picha ya habari za Gazeti moja la kila siku la Kiarabu kuhusu kukamatwa kwa Takrooz:
11Namoaka lahatsoratra momba ny fisamborana an'i Takrooz tao amin'ny pejy voalohany ny gazetin'ny governemanta.Gazeti la serikali limechapisha makala kuhusu kukamatwa kwa Takrooz kwenye ukarasa wake wa kwanza #Bahrain @Takrooz
12Mpisolo vava Hanan Alaradi @hananalaradi nisioka nanontany ny nisamborana azy:Mwanasheria Hanan Alaradi @hananalaradi alitwiti akihoji kinachoendelea baada ya kukamatwa na Takrooz:
13Ho avotsotra amin'ny alalan'ny fandoavana onitra tahaka ireo mpisera Twitter mpanohana ny governemanta @Mnarfezhom ve ilay tompon'ny kaonty @TakroozJe, mtumiaji wa anuani hii @Takrooz ataachiwa kwa dhamana lama watumiaji wengine wa twita wanaoishabikia serikali @mnarfezhom
14Efa nisambotra mpisera Twitter, Mnarfezhom, mpanohana ny governemanta i Barhain, izay navotsotra tamin'ny alalan'ny fandoavana onitra, eo am-piandrasana ny fitsarana azy.Hapo awali, Bahrain ilimkamata mtumiaji wa mtandao wa twita anayeishabikia serikali, Mnarfezhom, ambaye aliachiwa kwa dhamanaon, akisubiri mashitaka.
15Kaonty efatra miavaka manevateva sy manala-baraka olona, manohintohinana ny voninahitra sy ny lazan'izy ireo, manaraby ny fianakaviana Bahrainita amin'ny fampiasana teny tsy mendrika ao amin'ny kaonty media sosialy Twitter sy Instagram amin'ny alalan'ny anarana Al Raqeeb, Ahfad Al Waleed, Ahfad Omar sy Mnarfezhom no niampangana an'i Mnarfezhom.Mnarfezhom anatuhumiwa kutumia majina manne tofauti kuwatukana na kuwadhalilisha watu, akiwavunia heshima na hadhi yao na kudhalilisha familia za Wabahraini kwa kutumia maneno ya kuudhi kupitia mitandao ya kijamii ya Twita na Instagram kwa kutumia majina manne tofauti Al Raqeeb, Ahfad Al Waleed, Ahfad Omar na Mnarfezhom.
16Maro tamin'ireo mpisera Twitter tezitra no nandefa sioka taorian'ny fisamborana an'i Takrooz ary nilaza fa tsy misy dikany ny fisamborana tahaka izao.Watumiaji wengi wa mtandao wa twita waliokuwa na hasira walihamasihwa kutwiti baada ya kukamatwa kwa Takrooz wakisema kuwa vitendo vya ukamataji havina sababu ya msingi.
17@ Lair_Vulnerable nanamarika hoe:@Lair_Vulnerable alibainisha:
18#Bahrain, rehefa misambotra… mpikomy, mpisera twitter, mpaka sary sns .. manao azy ho sarihoatra (saimboly) ianao, manitsaka ianao fa hihamahery izy.#Bahrain unapokamata…muasi, mtumiaji wa twita, mpiga picha nk…unamtengenezea alama ya ushujaa nyie wajinga na atakuwa imara zaidi.
19Izaho no Takrooz manaraka.Mimi ni Takrooz anayefuata
20Nilaza ny loharanom-baovao ofisialy fa efa niaiky ho nitantana ilay kaonty ilay mpiserasera nosamborina ary hoentina eo anatrehan'ny fitsarana izy noho ny fitarihana fankahalàna ny fitondrana.Vyanzo rasmi vinasema Takrooz amekiri kutumia anuani hiyo na kwamba atafunguliwa mashitaka kwa kuchochea chuki dhidi ya utawala.