Sentence alignment for gv-mlg-20130720-50314.xml (html) - gv-swa-20130721-5532.xml (html)

#mlgswa
1Vehivavy Mpanohana an'i Morsi Maty Nisy Namono Tao MansouraWanawake Watatu Wauawa katika Maandamano ya Kumtetea Morsi
2Farafahakeliny vehivavy telo no maty tany Mansoura raha notafihan'andian-“jiolahimboto” halina ny fihetsiketsehana iray ho fanohanana ny filoha ejipsiana teo aloha Mohamed Morsi.Wanawake wasiopungua watatu wameuawa kwa kushambuliwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi huko Mansoura wakati wa maandamano ya kupinga kung'olewa madarakani kwa aliyekuwa Rais wa Misri Mohamed Morsi.
3Ampolony ihany koa no voatatitra ho naratran'ny tifi-basy sy tsindron'antsy.Inmeripotiwa pia kuwa, zaidi ya makumi mawili ya watu walijeruhiwa kwa risasi na visu.
4Mihoraka ny bilaogera Ejipsiana Zeinobia:Mwanablogu wa Misri, Zeinobia aonesha kushitushwa na tukio hili:
5Oadray lety e! vehivavy 37 taona sy zazavavy 13 taona mpanohana an'i Morsi no maty tao Mansouraoh, upumbavu, mwanaamke wa miaka 37 na msichana wa miaka 13 waliiokuwa miongoni mwa wafuasi wa Morsi wameuawa huko #Mansoura
6Ary nanampy i @egyrevolution12 [ar]:- Zeinobia (@Zeinobia) July 19, 2013
7Manomboka aorian'ny vavaka ny fihetsiketsehan'ny Ikhwan ao Mansoura ary vehivavy araka ny fahita mahazatra ny atsasaky ry zareo.Na @egyrevolution12 anaongeza [ar]: Maandamano ya Ikhwan huko Mansoura huanza mara baada tu baada ya sala na nusu yao huwa ni wanawake.
8Fianakaviana manontolo/ Tsy azo leferina ny fanafihana azy ireo.Wote wanaowashambulia hawawezi kuvumiliwa kamwe.
9Tohina amin'ireo mahita avaly amin'ny famonoana vehivavy i Ibrahim Elgarhi.Ibrahim Elgarhi anashangazwa na wote wanaowahurumia wauaji.
10Nanoratra izy:Anaandika:
11Aleo amidy ny soatoavintsika dia mangina amin'ny famonoam-behivavy.Tuuze thamani yetu na kufumbia macho mauaji ya wanawake.
12Andao hanao zavatra tsy mifanaraka amin'ny feon'ny fieritreretantsika ary hiteny hoe fa inona no andehanan'ireny (vehivavy ireny) any (amin'ny fihetsiketsehana).Hebu tupingane na dhamira zetu na tutafakari kile kilichowafanya wanawake hawa waungane na wenzao kwenye maandamano
13Tamin'ny 30 Jona, nidina an-dalambe ny Ejipsiana hitaky ny hialan'ny filoha Mohamed Morsi, kandidàn'ny Mpirahalahy Miozolomana (MB).Tarehe 30 Juni, raia wa Misri waliandamana wakishinikiza kuondoka madarakani kwa kiongozi wa Chama cha Kindugu cha Kiislam (Muslim Brotherhood0na Rais wa Misri Mohamed Morsi.
14Tamin'ny 3 Jolay, tapaka hatreo ny fitondrana nandritra ny herintaona an'i Morsi ary fitondrana vonjimaika no mitondra any Ejipta amin'izao fotoana izao.Juni 3, Serikali ya Morsi iliondoshwa madarakani na kupelekea nchi hiyo hadi sasa kuongozwa kwa serikali ya mpito.
15Nanomboka hatreo ny mpanohana an'i Morsi no nanao fihetsiketseha-panoherana ary mitaky ny hiverenany eo amin'ny fitondrana.Tangu kuondolewa madarakani, wafuasi wa Morsi wamekuwa wakifanya maandamano kushinikiza arudishwe madarakani.