# | mlg | swa |
---|
1 | Bahrain: Iza no naheno ny fanapoahana baomba ary iza no niharany? | Bahrain: Nani Aliyesikia Milipuko ya Bomu na Nani ni Waathirika? |
2 | Ity lahatsoratra ity dia ampahany amin'ny tatitra manokana ataonay momba ny Tolona Bahrain 2011/12. | Makala haya ni sehemu ya Habari zetu maalum za Maandamano ya Bahrain 2011/12. |
3 | | Wakuu wa serikali huko Bahrain walitangaza leo kuwa wafanyakazi wawili wa kigeni wameuawa na mtu wa tatu akijeruhiwa vibaya katika milipuko mitano tofauti ya mabomu katika maeneo ya Gudaibiya na Adliya, katika mji mkuu wa Manama. |
4 | Nilaza ireo manamboninahitra ao Bahrain androany fa mpiasa vahiny roa no maty ary ny fahatelo naratra mafy nandritra ny fanapoahana baomba dimy samihafa tany amin'ny faritr'i Gudaibiya sy Adliya, any amin'ny renivohitra Manama. | Kwenye mtandao wa twita, habari zilipokelewa na wasiwasi na mashaka pamoja na wito wa kupatikana kwa ufumbuzi wa kisiasa kumaliza machafuko katika nchi, kufuatia maandamano kuenea dhidi ya serikali ambayo yalianza Februari 14, 2011. Mwandishi wa habari Adel Marzooq alitwiti akiwa uhamishoni [ar]: |
5 | Tao amin'ny Twitter, tamin'ahiahy ihany no nandraisana izany vaovao izany niaraka tamin'ny antso ho an'ny vahaolana ara-politika mba hampitsaharana ny korontana any amin'ny firenena, taorian'ireo tolona manohitra ny fitondràna izay nanomboka tamin'ny 14 Febroary 2011. | @adelmarzooq: Milipuko mitano isiyo halisi na tangazo kwamba Wa-Asia wameuawa sio taratibu. Wao wanataka kupunguza lawama za kimataifa kwa uamuzi wa kupiga marufuku maandamano na mikutano ya kampeni na kuifanya ionekane kuwa ni kitendo cha ugaidi |
6 | Nandefa tweet tany an-tsesitany i Adel Marzooq, mpanao gazety [ar]: | @ahmdhabib: Kama milipuko ilikuwa ikiwalenga wageni, wao ni wengi katika vijiji na hakuna mtu aliwashambulia wakiwa kule. |
7 | @adelmarzooq: Tsy kisendrasendra ny fipoahana dimy noforonina sy ny fanambaràna fa nisy Aziatika maty. | Sasa kuna sababu gani kwenda kwa Adliya na Umm Al Hassam [maeneo ya mji mkuu Manama]? |
8 | Te-hanalefaka ireo fanamelohana iraisam-pirenena noho ny fanapahan-kevitra handrara ny tolona sy famoriam-bahoaka izy, ka namadika izany ho fanamelohana noho ny fampihorohoroana | @MANSOOR_ALJAMRi: Tunatumaini kwamba Wizara ya Mambo ya Ndani itatangaza katika mkutano wa vyombo vya habari majina na uraia wa wale waliouawa na kujeruhiwa. Ni haki ya vyombo vya habari kujua maelezo. |
9 | Manontany Ahmed Habib : | Asanteni |
10 | @ahmdhabib: Raha nikendry teratany vahiny ireo fipoahana, misy tanàna maro be ireo nefa tsy nisy nanafika azy tany. | @ALSHAF3EE: Je, kuna habari kuhusu Wa-Asia ambao waliofuatiliwa na doria ya polisi siku chache zilizopita? |
11 | Ka inona ny antony nandehanana tany Adliya sy Umm Al Hassam [faritry ny renivohitra Manama]? | Kuna harufu mbaya inayotukosesha amani siku hizi Hussain Yousif, mpinzani wa kisiasa anayeishi uhamishoni, anaongeza: |
12 | | @hussain_info: Watu wana haki ya kujua kilichotokea kwenye uchunguzi wa gari ya Wizara ya Mambo ya Ndani ambayo iliwafuatilia Wa-Asia kati ya Ekeri na Maameer kwani muuaji anafahamika wazi |
13 | Ary Mansour Al Jamri, tonian'ny famoahan-daahatsoratra ao amin'ny gazety Al Wasat, dia manoratra: | Na Sayed Ahmed Al Alawi anatia zaidi shaka: |
14 | @MANSOOR_ALJAMRi: Manantena izahay fa holazain'ny Minisitry ny Atitany amin'ny valan-dresaka ho an'ny mpanao gazety ny anarana sy zom-pirenen'ireo maty sy naratra. | @SAalalawi: Mtu aliyeonyeshwa kuwa ndiye aliyeuawa katika mlipuko alikufa kwa sababu alipiga teke bomu lililotengenezwa kienyeji. Ilikuwaje mlipuko uathiri shingo yake wala si miguu yake, tumbo na kifua. |
15 | Zon'ny fampielezam-baovao ny ahafantatra ny antsipiriany. Misaotra anao | Hii ni moja ya bomu lisilo la kawaida |
16 | Mamaly i Sabeeka Al Shamlan, sady maneso ihany: | Sabeeka Al Shamlan alijibu mapigo, kwa kusema: |
17 | @Sabeeka_A: Tafaverina hatrany amin'ny voalohany indray. | @Sabeeka_A: Tumerudi kwenye sifuri tena. |
18 | Andraso aloha, iza moa no niteny hoe efa nanainga avy teo isika? | Oh subiri, nani ambaye alisema sisi hata tumepiga hatua? |
19 | Avy eo izy manontany [ar]: | Na kisha anauliza [ar]: |
20 | @Sabeeka_A: Nisy olona naheno ireo fipoahana ve? | @Sabeeka_A: Kuna mtu yeyote aliyesikia milipuko? |
21 | Nandre tamin'ny sofiny roa mihitsy? | Kwa masikio yao wenyewe? |
22 | Aza mamaly ity fanontaniana ity raha tsy naheno ny fipoahana tamin'ny sofinao ianao | Usijibu swali hili kama wewe hujasikia milipuko, kwa masikio yako mwenyewe |
23 | Somary lasa lalina kokoa i Noor Bahman: | Noor Bahman anachukua hatua zaidi: |
24 | @noorbahman: Mamono ny olona nokendrena ny baomba nefa koa manimba ny ampahany amin'ny faritra nisy ny lasibatra. | @noorbahman: Bomu humwua mwathirika hapo hapo na pia kuharibu kabisa uwiano wa eneo la jirani mwathirika alipokuwepo. |
25 | Dia manontany i Salma : | Na Salma anauliza: |
26 | @salmasays: Eh.. | @salmasays: Eh .. |
27 | Lasa aiza ny fampielezam-baovao malalaka sy mahaleo tena rehefa tena ilaina.. | Viko wapi vyombo vya habari vilivyo huru wakati tunapovihitaji viwepo.. |
28 | Efa lalim-pototra izany fahatezerana izany. | Uchochezi huu una mizizi ndani zaidi. |
29 | Manamarika i Eyad Ebrahim [ar]: | Eyad Ebrahim anaeleza [ar]: |
30 | @eyade: Mandainga daholo ny rehetra ary tsy mino na iza na iza aho - na ny governemanta, na ny mpanohitra, na iza na iza. | @eyade: Kila mtu hudanganya na mimi simwamini mtu yeyote - sio serikali, si upinzani, hakuna mtu yeyote. |
31 | Manao antso ho an'ny vahaolana ara-politika i Murad Alhayki. | Murad Alhayki anatoa mwito wa suluhisho la kisiasa. |
32 | Milaza izy: | Yeye anasema: |
33 | @muradalhaiki: Arakaraka ny hanemorana ny vahaolana ara-politika no mahasarotra ny raharaha sy ny famahàna azy. | @muradalhaiki: Kadri ufumbuzi wa kisiasa unavyozidi kucheleweshwa, na ndivyo masuala yanavyozidi kuwa magumu na ndivyo inavyozidi kuwa vigumu kuyatatua. |
34 | Miantso fahendrena ny ràn'olona | Damu ya watu ni wito kwa matumizi ya hekima |
35 | | Makala haya ni sehemu ya Habari zetu maalum ya Maandamano ya Bahrain 2011/12. |