Sentence alignment for gv-mlg-20110411-16052.xml (html) - gv-swa-20110428-2025.xml (html)

#mlgswa
1Ejipta: Basboussa ho filoha!Misri: Basboussa kwa Urais!
2“Mpanolotra fandaharana tamina fahitalavitra Ejipsiana sady mpikatroka i Bothaina Kamel izay nanambara tamin'ny kaonty Twitter-ny indray Zoma hariva [ar] ora any Le Caire fa mikasa ny hirotsaka hofidiana ho filoha ravehivavy amin'ny fifidianana ho avy io, ary mametraka azy ho vehivavy voalohany indrindra nanambara ny firotsahany hofidiana ho amin'ny andraikitra ambony indrindra any Ejipta”, Manar AmmarMakala hii ni sehemu ya habari maalumu tunazowaletea kuhusu Mapinduzi ya Misri ya Mwaka 2011. ” “Mtangazaji habari wa zamani wa televisheni ya Misri na mwanaharakati Bothaina Kamel alitangaza kwenye ukurasa wake wa twita usiku wa Ijumaa [ar] saa za Cairo kwamba ana mipango ya kugombea urais kwenye duru inayofuata ya uchaguzi, na kumfanya awe mwanamke wa kwanza kutangaza nia ya kutaka kuingia kwenye ofisi kuu nchini Misri”, Manar Ammar
3Toy izany no nanambaran'i Manar Ammar ny vaovaon'ny firotsahan'i Bothaina Kamel hofidiana ho filoham-pirenena ejipsiana.Hivi ndivyo Manar Ammar alivyoripoti habari za Bothaina Kamel kugombea kwenye uchaguzi wa Urais wa Misri.
4Nifamahofaho ihany ny hevitra azon'i Kamel (@basboussa1) avy amin'io vaovao io.Kamel (@basboussa1) amepokea miitikio mchanganyiko kutoka kwa watumiaji wa twita.
5Tsy nampino an'i @FaresADL izany ka nanoratra tamin'i Kamel izy hanamarina ny fisian'izany na resaka tsahotsaho fotsiny izany:Mtumiaji wa Twita @FaresADLhakuweza kuamini habari hiyo, kwa hiyo akamwandikia Kamel akishangaa kama habari hizo zilikuwa zimethibitishwa ama zilikuwa ni uvumi tu:
6@FaresADL: @basboussa1 Hirotsaka ho filoha tokoa ve ianao?@FaresADL: @basboussa1 ni kweli kabisa unagombea uraisi?
7Milaza ny momba ny vaovao ihany koa i Fatma Emam izay feminista:Fatma Eman, ambaye ni mtetezi wa usawa wa mwanamke aliandika kuhusu habari hizo:
8@fatmaemam: Bothina Kamel no vehivavy voalohany sady tokana hirotsaka ho filoha any #Egypt , araho ao amin'ny @basboussa1 izy, ho fiaraha-mientana #womenrights #jan25@fatmaemam: Bothina Kamel mgombea mwanamke wa kwanza na wa pekee nchini #Egypt , mfuatilie hapa @basboussa1 , katika mshikamano #womenrights #jan25
9Saripika nalaina tamin-ny kaonty Facebook an'i Bothaina Kamel; nandritra ny fandraisana anjara andro manerantany iadiana amin-ny kolikoly.Picha iliyochukuliwa kwenye ukurasa wa facebook wa Bothaina Kamel; akishiriki maandamano wakati wa maadhimisho ya Siku ya Vita Dhidi ya Rushwa duniani
10Hitan'i Lara (@FarawlaLawra) ho vaovao tsara izy ity, na mbola tsy nilaza ny hifidy na tsia azy aza:Lara (@FarawlaLawra) aliiona habari hiyo kuwa nzuri, bila kujali ikiwa ameshawishika kumpigia kura ama la:
11@FarawlaLawra: @basboussa1 Faly sy mirehareha tokoa aho amin'ny firotsahanao izay manokatra ny fitovian-jo eo amin'ny fiaraha-monina. (na dia mety tsy hifidy anao aza aho)@FarawlaLawra: @basboussa1 ninajisikia fahari na furaha unagombea -ni hatua moja mbele kuifungua jamii kuelekea kwenye haki sawa (hata kama ninaweza nisikupigie kura wewe)
12Mahmoud Salem, na i @Sandmonkey, kosa manoratra ho fanohanana:Mahmoud Salem, anayefahamika pia kama @Sandmonkey, pia aliandika kumuunga mkono:
13@Sandmonkey: @basboussa1 ana ma3aky ya rayessah 3ala fekra [miara-dalana aminao aho sefo]. Hatramin'izao aloha dia azonao ny vatoko.@Sandmonkey: @basboussa1 ana ma3aky ya rayessah 3ala fekra. mpaka hapo kura yangu umepata
14Ao amin'ity lahatsary navoakan'ny mpisera YouTube moushebl1 tamin'ny 3 Aprily 2011 ity, no ahitana an'i Kamel manambara ny firotsahany hofidiana ho filoham-pirenena [ar].Katika video hii iliyopandishwa kwenye YouTube na mtumiaji moushebl1 tarehe 3 Aprili, 2011, Kamel anatangaza mipango yake ya kugombea Urais [ar].
15Ny sasany dia manohitra ny firotsahany ho filoham-pirenena ao amin'io lahatsary eo ambony io.Watu kadhaa walitoa maoni juu ya video hiyo hapo juu kupingana na nia yake ya kugombea Urais.
16MyHamosa: Toheriko ny itondran'ny vehivavy antsikaMyHamosa: Sikubaliani sisi kutawaliwa na mwanamke
17Algeriangirls123: Mieritreritra aho fa tsy hahazo ny isam-bato ilaina mba hirotsahana akory aza izy!Algeriangirls123: Sidhani kama hata ataambulia kura za chini kabisa zinazotakiwa ili kuingia kwenye uchaguzi!
18Manontany Radwa El-Shami ny anton'izao fahamaroan'olona hirotsaka hofidiana hofiloha any Ejipta izao:Radwa El-Shami alihoji sababu zilizo nyuma ya idadi kubwa ya wagombea wanaoutaka Urais nchini Misri:
19Mitombo hatrany ny isa ka lasa manontany lalina aho ny amin'izay kasaina na hery manetsika ny tsirairay hiakatra eo amin'ny seza fiandrianan'i Ejipta. tahaka ny hoe tsy afa-manompo ny fireneko aho raha tsy eo amin'ny faratampon'ny an-tanan-tohatra no fijeriko azy, raha tsy hoe izaho no filoha.Idadi inaongezeka na nimeanza kujiuliza kwa makini dhamira na nia za kila mtu anayetaka kupanda kwenye kiti cha enzi cha Misri. Inaonekana zaidi kana kwamba siwezi kuitumikia nchi yangu bila kushika nafsi za juu za utawala, bila ya kuwa rais.
20Ekeko tokoa fa te-hahalala izay mitady hery sy voninahitra aho Manontany tena aho nahoanaAtoa Shafiq nomirotsaka ho filoha (raha kely indrindra dia 10 tapitrisa amin'ny Ejipsiana 45 tapitrisa manan-jo hifidy no mitsipaka azy ho praiminisitra!); Nahoana noheverina ho mirotsaka ho filoha ny Dr. Amr Khaled (mbola tsy voamarina); inona ny tsara eritreretin'i Sheikh Hassan hataony ho an'i Ejipta (malaza ny tsaho fa hirotsaka ho filoha izy); Nahoana Atoa Mortada Mansour no mihevitra fa mety ho izy no filoha (fa angaha hitondra antsika amin'ny fampitahorana sy ny feo besony izy); nahoana Rtoa Bothaina Kamel no te-ho filoha (feminisma?); nahoana ny sasany no mandambolambo an'Atoa Naguib Sawiris mbahandray anjara koa (vaovao avy etsy sy eroa saingy heveriko manokana fa Baradei no ho be mpifidy indrindra); ary mieritreritra aho hoe ahoana ny hataon'ny Dr. AlBaradei raha manaiky ity fanitsiana lalampanorenana mandringa izay laviny tsy hanaovany filoha ity ny besinimaro.Ninakiri kwamba ninahoji pia wale wenye uchu wa madaraka na sifa binafsi. Ninahoji kwa nini Bw. Shafiq anagombea urais (wakati kiasi cha wa-Misri milioni 10 kati ya milioni 45 wenye sifa na haki ya kupiga kura walimkataa kama waziri mkuu!); kwa nini Dk. Amr Khaled anafikiria kugombea urais (bado haijathibitishwa); Jema gani Sheikh Hassan anafikiria kuwa itaifanyia Misri kama rais (kuna uvumi kuwa naye anawania urais); kwa nini Bw. Martada Mansour anajidhania kuwa anaweza kuwa rais (je atatutawala kwa vitisho na kupayuka?); kwa nini Bi. Bothaina Kamel anataka kuwa rais (ni harakati za usawa wa mwanawake?); kwa nini wapo watu wanamshawishi Bw. Naguib Sawiris kuwa sehemu ya harakati za uraisi (habari kutoka hapa na pale, lakini yeye mwenyewe alisema Baradei ni mtu anayempenda); na ninauliza pia ni upi msimamo wa Dk. AlBaradei baada ya umma kukubali mabadiliko yenye kilema ya katiba ambapo yeye aligoma kuwa rais?
21Nanohy avy eo Radwa:Halafu Radwa aliendelea:
22Tsy fantatro aloha raha izaho irery no manana fomba fijery matroka amin'ity raharaha ity ho mampihomehy, ka izay no nahatonga ahy hanoratra.Sijui kama mimi ni mtu pekee ninayeikatia tamaa hali hii na kuiona kama kituko, na hii ndiyo sababu ninaandika. Ninapazia sauti kuguswa kwangu kwa sababu ninahitaji uhakikisho.
23Nolazaiko ny ahiahiko satria mila antoka aho.Ninaomba maoni yenye weledi na ujuzi; Ninatafuta mtu atakayeongea kwa mantiki.
24Mitady izay manankevitra tsara sy mahara-baovao tanteraka aho; mitady olona hiteny am-piheverana tsara aho.Makala hii ni sehemu ya habari maalumu tunazowaletea kuhusu Mapinduzi ya Misri ya Mwaka 2011..