Sentence alignment for gv-mlg-20110406-15908.xml (html) - gv-swa-20110412-2055.xml (html)

#mlgswa
1Cote d'Ivoire : Mandia ny Ora Farany ny Fitondrana Gbagbo ao AbidjanCôte d'Ivoire: Abijani kwenye masaa ya kudhoofu kwa utawala wa Gbagbo
2Nafana aoka izany ny roa andro farany teo amin'ny fivadihan'ny tantara ho an'i Côte d'Ivoire.Makala hii ni miongoni mwa makala zetu maalumu kuhusu Vurugu za mwaka 2011 nchini Ivory Coast.
3Ireo tafika mahatoky an'i Alassane Dramane Ouattara, Filoha nahazo fankatoavana iraisam-pirenena ao Côte d'Ivoire, sy Guillaume Soro, praiminisitra, dia nanao fanafihana tao Atsimo sy Andrefan'ny firenena, ary tonga tao an-tanàna Douékoué izy ireo tao anatin'ny telo andro latsaka ary nipaka tao Yamoussoukro ny 30 martsa.Siku mbili zilizopita zimekuwa na utajiri wa misuguano na mivutano nchini Côte d'Ivoire. Vikosi vinavyomtii Alassane Dramane Ouattara, Rais wa nchi hiyo anayetambulika kimataifa, na Guillaume Soro, Waziri Mkuu wa Ouattara, vilianza mashambulizi kuelekea Kusini na Magharibi mwa nchi hiyo.
4Niditra tao Abidjan ireo Tafika Repoblikana ao Cote d'Ivoire, renivohitra ara-toekaren'i Côte d'Ivoire misy ny Filoha ankehitriny Laurent Gbagbo, izay nandà ny tsy hiala tamin'ny 10 desembra 2010 taorian'ny fahareseny tamin'ny fifidianana Filoham-pirenena, ary mbola mety mipetraka ao izy.Katika siku zisizozidi tatu, walifanikiwa kuikamata miji ya Douékoué na kufika Yamoussoukro tarehe 30 Machi. Forces Républicaine de Côte d'Ivoire (Jeshi la Jamhuri ya Côte d'Ivoire) liliingia Abijani, mji mkuu wa nchi hiyo ambako Rais aliyepo madarakani Laurent Gbagbo, aliyegoma kuachia madaraka tangu Desemba mwaka jana (2010) baada ya kushindwa kwenye uchaguzi wa Rais, anaweza kuwa huko.
5Ireo mpiserasera amin'ny aterineto Ivoiriana nilazalaza ny toe-javatra, ary indreto vaovao fohifohy tamin'ny resadresaka natao. Mampatahotra ireo gadra ao MACAJamii ya mtandaoni ya Côte d'Ivoire inayo maoni katika matukio hayo, na ifuatayo ni picha ya haraka ya majadiliano machache:
6Cocoloposo nanoratra tao amin'ny Twitter:Hofu ya wafungwa wa gereza la MACA
7La MACA (Maison d'Arrêt et de Correction d'Abidjan na fonjaben'i Abdijan) no fonjan' i d'Abidjan.Maison d'Arrêt et de Correction d'Abidjan (MACA) nigereza la Abijani.
8Taorian'izany fanambarana izany, dia nanomboka natahotra ireo mpiserasera amin'ny aterineto satria nahazo fitaovam-piadiana ireo gadra :Kufuatia habari kwamba wafungwa wameachiliwa huru, Léon Guéré (@Cocoloposo) aliandika kwenye twita tarehe 31 Machi:
9Abidjannais225 namaly an'i Cocoloposo:Habari za hivi punde: Gereza la MACA limefunguliwa, wafungwa wametoroka
10Maika: vaky ny MACA ary nandositra ny gadra. Hamarino azafady!Kufuatia tangazo hili, watumiaji wa mtandao walianza kuhofia kwamba wafungwa hawa wanaweza wakapewa silaha:
11Tena matotra izany.@Abidjannais225, akimjibu @Cocoloposo, alisema:
12Mikasa hanao fanankorontanana ny LMP [antokon'i Laurent Gbagbo]Thibitisha tafadhali!
13Mpitolona mpiserasera iray “K.”Hii ni hatari.
14(@Sanders225) no nanamafy tamin'io andro fa gadran'ny MACA, sy avy amin'ny fonga roa hafa koa no nomena fahafahana.Chama cha Laurent Gbagbo kinataka kutuletea balaa katika nchi hii
15Fotoana fohy taty aoriana, fampahalalam-baovao Reuters no nilaza ihany koa fa mihoatra ny 5000 ireo gadra noafahana tao AbidjanMwanaharakati wa mtandoni “K” (@Sanders225) alithibitisha siku hiyo hiyo kwamba wafungwa wa gereza la MACA, na wengine wa kutoka kwenye magereza mengine mawili wameachiwa.
16Nanamafy i Sanders225 fa nahazo fahafahana ireo gadra ao MACA, sy tao amin'ny fonja roa hafa:Baada ya muda, taarifa ya habari kwenye Shirika la Habari la Reuters ikasema wafungwa wanaofikia 5000 wameachiwa mjini Abijani.
17MACA, BASSAM sy i Tiassale voamarina ny amin'ireo gadraYuko Wapi Laurent Gbagbo?
18Nanamarina ny fampahalalam-baovao koa ny vaovao farany maika (dépêche d'agence) avy eo. Aiza i Laurent Gbagbo ?Guillaume Soro, waziri mkuu alitangaza kwamba Laurent Gbagbo alikuwa amepewa mpaka saa 1 usiku (saa za GMT) tarehe 31 Machi, 2011 awe amejiuzulu.
19Guillaume Soro, praiminisitra, nanambara fa manana hatramin'ny 19 ora GMT amin'ny 31 Martsa 2011 i Laurent Gbagbo mba hametra-pialana.Hii ilisababisha miitikio mikali kwenye alama ya twita ya habari kuhusu Côte d'Ivoire ambayo ni, #civ2010:
20Niha-nitombo ireo fihetsika miendrika esoeso tao amin'ny Twitter momba ny zava-nitranga tao Cote d'Ivoire, #civ2010:Dakika kumi na tano kabla ya kukamilika kwa saa aliyopewa Gbagbo kujiuzulu, @Malko7 alianza kuhesabu dakika zilizobaki kwa njia ya twita:
21Fahefakadiny sisa alohan'ny daty farany nomena, nanoratra i@Malko7:Saa 1- bado dakika 15
22Ora-15 minitra Tonga ny ora farany, Attou_225 nihoraka hoe :Na muda ulipofika, Marie L'Ange (@Attou_225) alitoa maoni:
23Tonga ny oraaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!Muda umeeeeeeeefikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
24@Nnenna nanampy hoe :Nnenna akatuma twita:
25Amin'ny 7 ora katroka aty amiko izao.Hapa ni saa 1 usiku.
26Inona no hitranga?Nini kinaendelea?
27Nandritra izany fotoana izany, fifandonana feno herisetra no niseho tao amin'ny Radio Televisiona Ivoiriana, hatramin'ny omaly teo ambanin'ny fifehezan'ny mpanohana an'i Gbagbo.Wakati huo huo, mapambano makali yalianza kupigwa Radio Télévision Ivoirienne. Kituo hicho kilikuwa bado kinadhibitiwa na wafuasi wa Gbagbo mpaka jana yake.
28Teo anelanelan'ny amin'ny 9 ora hariva sy amin'ny 10: 40 ora hariva, nalefa niverimberina ny horonan-tsary mitovy: Laurent Gbagbo sy ny vadiny Simone, miaraka amin'ireo akaiky azy no mitafatafa ao an-jaridainan'ny trano fonenan”ny Filoha ao Cocody.Kati ya saa 3 usiku (GMT) na saa 4:40 (GMT), picha moja ya video ilirushwa kwa kurudia rudia: Laurent Gbagbo na mkewe Simone, wamezungukwa na walinzi wao wa karibu wakiwa na majadiliano katika bustani ya Makazi ya Rais mtaa wa Cocody.
29Toa sahiran-tsaina i Laurent Gbagbo, ary hita fa tsy mahazo ny tena zava-miseho marina ao Abidjan i Simone vadiny, araka ny hita ao amin'io lahatsary io, nalefan'i abidjannetTV tamin'ny aterineto, sy ny YouTube amin'ny tranokala misy ny fampahalalam-baovao ivoiriana:Laurent Gbagbo anaonekana amesongwa na mambo, na Simone haonekani kuelewa hali ya mambo ilivyo mjini Abijani, kama ilivyooneshwa kwenye video hii iliyowekwa na abidjannetTV, anuani ya You Tube ya wavuti ya habari ya nchi hiyo:
30Nijanona tamin'ny 22ora40 GMT ihany ny famantarana nataon'ny la RTI , araka ny hita amin'ity sary nozarain'i @batelier59 ity:Matangazo ya RTI mwishowe yalikatika saa 4:40 usiku (saa za GMT) kama ilivyooneshwa kwenye picha hii iliyowekwa na Olivier Vauluisant (@batelier59):
31Fara fandefasana ny famantarana nataon'ny RTI cc Batelier59 tamin'ny TwitpicMwisho wa matangazo ya Luninga ya Taifa (RTI) picha iliyowekwa na Batelier59
32Araka ny hevitr'i SenamBeheton tao amin'ny Twitter, naseho ireo sary ireo nandritra ny fifehezan'ny FRCI an'i Ouattara ny fahitalavim-panjakana:Kwa mujibu wa Senam Beheton (@SenamBeheton) kwenye twita, picha hizi zilionyeshwa wakati vikosi vya Ouattara vikichukua udhibiti luninga hiyo ya Taifa: Mabwana wakubwa huenda wamefika.
33Mety efa tonga angamba ireo tompony.Muda wa mchezo umeisha?
34Kituo cha Sky News kiliripoti tarehe 1 Aprili kwamba Laurent Gbagbo na mke wake wanaweza kuwa bado wako kwenye kasri lao la Cocody, huku wamezungukwa na vikosi vya Ouattara.
35Baadaye siku hiyo hiyo toleo jingine lilitoka likibainisha kwamba Laurent Gbagbo na mkewe Simone wameondoka kwenye makazi ya Rais kuelekea kwenye kasri la rais lililoko eneo la uwanda wa juu [Fr], Abidjan.
36Tapitra ny fakana aina?EdithBrou aliandika kwenye twita:
37Araka ny vaovao vao haingana, mety mbola ao amin'ny trano fonenany foana i Laurent Gbagbo sy ny vadiny, nohodidin'ny FRCI an'i Ouattara.makazi ya rais na redio, huko uwanda wa juu na makazi binafsi ndivyo vimebaki tegemeo pekee la Gbagbo kwa mujibu wa mwanadiplomasia aliyezungumza na #AFP
38Loha-laharana i Côte d'IvoireCôte d'Ivoire ni mada inayoongoza kwenye twita
39Narahina akaiky tamin'ny Twitter ireo zava-nitranga farany tao Côte d'Ivoire , ka #civ2010 sy i Laurent Gbagbo no loha-laharana ao Frantsa :Matukio ya hivi karibuni nchini Côte d'Ivoire yalifuatiliwa kwa karibu kwenye twita, ambako #civ2010 na Laurent Gbagbo ndizo zilikuwa mada zinazoongoza nchini Ufaransa: