Sentence alignment for gv-mlg-20150526-70417.xml (html) - gv-swa-20150522-8821.xml (html)

#mlgswa
1FANAMBARANA: Global Voices Miantso ho amin'ny Fiarovana ny Blaogeran'i BangladeshTAMKO: Global Voices Yatoa Wito wa Kuimarishwa kwa Usalama wa Wanablogu wa Bangladesh
2“Iza indray no manaraka?”“Nani atafuata?” michoro ya wanablogu wa Bangladesh waliouawa.
3Tantara fohy momba ireo bilaogera maty ao Bangladesh nataon'i MadhuMondol.Kwa hisani ya MadhuMondol.
4Ny Global Voices dia miantso ny hifantohan'ny firaisamonina iraisampirenena amin'ny zava-manjò ny mpamaham-bilaogy any Bangladesh.Jumuia ya Global Voices yaitaka jamii ya kimataifa kutupia jicho hali tete ya usalama inayowakabili wanablogu wa Bangladeshi.
5Misy maty voavono ireo bilaogera, ary maro hafa no efa voatafika, iharan'ny fandrahonana ho faty ary hontsokontsonin'ireo mpitarika ara-pivavahana manana fotokevitra henjana noho ny zavatra nosoratany.Wanablogu wameshauawa, na wengine wengi wamesha shambuliwa, wakijikuta kwenye vitisho vya kuuawa na pia kutengwa na wahafidhina kutokana na mambao wanayoaandika.
6Tamin'ity taona ity fotsiny, dia bilaogera telo no nisy namono eny imasom-bahoaka.Kwa mwaka huu peke yake, wanablogu watatu waliuawa mbele ya hadhara.
7Ny anaran'ireo mpamaham-bilaogy sy ny hafa nahazo fandrahonana dia hita ao amin'ny lisitry ny olona 84 natolotry ny mpitondra fivavahana silamo mpandala ny nentin-drazana ho an'ny komity manokan'ny governemanta, iampangana ny mpamaham-bilaogy ho “tsy mino ny fisian'Andriamanitra” sy nanoratra manohitra ny finoana silamo.Majina ya wanablogu hawa pamoja na wengine walio katika hatari hii yalionekana kwenye listi ya watu 84 iliyowasilishwa kwenye kamati maalum ya serikali na kikundi cha viongozi wa Kiislam kilichowatuhumu wanablogu hawa kwa kujihusisha na “upagani” pamoja na kuandika mambo yanayopingana na Uislam.
8Namaly tamin'ny fanakanana ireo tranonkala mpitsikera sy ny fisamborana ireo mpamaham-bilaogy sy mpitari-pivavahana mitandro ny marina, nandritra ny fotoana nampamaivay ny hetsika #shahbag tamin'ny 2013 ny governemanta.Kufuatia tuhuma hizi kwa wanablogu hawa, Serikali iliamuru kufungwa kwa tovuti makini na kukamatwa kwa wanablogu pamoja na viongozi kwa kutumia sheria ya dini wakati ambapo maandamano ya #shahbag ya 2013 yalipokuwa wameshika hatamu.
9Misy ireo seha-baovao malaza sasantsasany, anisan'izany ireo blaogy avy amin'ny elatra havanana, nampiely ny hevitra fa ny blaogera rehetra no tsy mino an'Andriamanitra “manohintohina ny fahatsapana” ara-pivavahan'ny Bangladeshis.Baadhi ya vyombo vya habari, zikiwemo blogu maarufu za mrengo wa kulia, zimediriki hata kusambaza maneno kuwa wanablogu wote ni wapagani ambao “wamekuwa wakipotosha imani” ya waumini wa dini nchini Bangladesh.
10Mitovy zo amin'ireo olom-pirenena hafa ao Bangladesh ireo atheista.Wapagani wana haki sawa na raia wengine wa nchini Bangladesh.
11Ao amin'ny lalàm-pirenena, izay olona rehetra “minia” na “mamely ambadika” ny “fahatsapana ara-pivavahana” dia azo toriana eny amin'ny Fitsarana.Kwa mujibu wa sheria ya nchi, mtu yeyote aliye na madhumuni “thabiti” au “kushukiwa” “kudhuru hisia za kiimani” anaweza kuhukumiwa.
12Fa valin-kafatra mampihoron-koditra kosa ny herisetra sy ny famonoan'olona ataon'ireo mpanao andrimaso ary fanitsakitsahana ankitsirano ny lalànan'i Bangladesh.Lakini machafuko yatokanayo na kujichukulia sheria mkononi pamoja na mauaji kunakotokana na tuhuma za kukashifu ni jambo lisilovumilika kabisa na ni dhahiri kuwa ni ukiukwaji wa sheria za Bangladesh.
13Na dia izany aza dia zavatra kely monja ny ataon'ny governemanta lahikan'i Bengladesh hanoherana ireo fanafihana na hitondra eny amin'ny fitsarana ireo mpamono olona.Hata hivyo, serikali ya kidini ya Bangladesh hadi sasa imeweka juhudi hafifu sana za kukemea mashambulizi haya au kuwafikisha wauaji kwenye vyombo vya sheria.
14Tsy misolovava na manao izany herisetra izany ireo blaogera ireo.Wanablogu hawa hawakuwa wakiunga mkono au kujihusisha kwenye machafuko hayo.
15Nanoratra ny fahasarotana sy ny fitongilanana ara-politika misy matetika ao Bangladesh ry zareo ary ny mahazavadehibe ny fanandratana ny zon'olombelona.Walikuwa wakiandika kwa maoni yao kuhusiana na hali tete ya kisiasa ya Bangladesh pamoja na umuhimu wa kuweka kipau mbele haki za binadamu.
16Nampihatra ny fahalalahany maneho hevitra ry zareo, izay asandratry ny lalampanorenan'ny firenena sy ny fampianaran'ny zon'olombelona iraisampirenena izay mahampikambana an'i Bangladesh.Walikuwa wakitumia haki yao ya uhuru wa kujieleza, whuku wakilindwa na katiba ya taifa lao pamoja na Sheria ya kimataifa ya haki za binadamu ambayo Bangladesh ni mwanachama.
17Global Voices dia fikambanan'ny blaogera, mpikatroka, mpanoratra, ary mpandikatenin-dahatsoratra avy amin'ny firenena 137.Global Voices ni jumuia ya wanablogu, wanaharakati, waandishi, na watafisi kutoka katika nchi 137.
18Fototry ny iraka ampanaovina anay ny zon'olombelona manerantany hiteny malalaka.Haki ya binadamu ya kimataifa ya uhuru wa kujieleza ndiyo kipau mbele chetu katika dira yetu.
19Miteny ireo tantara tsy tsara tatitra avy amin'ny vazantany efatry ny planeta izahay ary miaro ny zon'ny rehetra hiresaka malalaka tsy misy tahotra.Tunasambaza habari zisizopewa kipaumbele kutoka katika katika pande zote za dunia pamoja na kutetea haki ya kila mmoja ya kujieleza kwa uhuru bila ya hofu.
20Misy namana sy mpiara-miasa amin'ny fikambanan'ny Global Voices amin'ireo olona 84 ao anatin'ny lisitra ireo.Miongoni mwa wanablogu hao, watu 84 katika listi hii ni marafiki na wachangiaji wa jumuia ya Global Voices.
21Misy ihany koa ireo blaogera sy mpikatroka an-tserasera tsy anaty lisitra saingy ahiana ny ain'izy ireo noho ny zavatra nosoratany na fahazotoan'izy ireo.Pia, wapo wanablogu pamoja na wanaharakati wa mtandaoni ambao hawapo katika listi hiyo, lakini wapo katika hali hatarishi kutokana na uandishi na uanaharakati wao.
22Feno fanahiana izahay amin'ny fiarovana ireo blaogera Bangladeshi ireo na ireo ao an-tanindrazany na ireo any ivelany.Kwa kila hali, tunahusika moja kwenye usalama wa wanablogu wa Bangladesh waliopo ndani na nje ya nchi hii.
23Melohinay ny famonoana ny blaogera tahaka an'i Ananta Bijoy Das, Ahmed Rajib Haider, Washiqur Rahman ary Avijit Roy ary miantso ny manampahefana izahay hanome antoka fa ho entina eny amin'ny fitsarana ireo tompon'andraikitra amin'ny famonoan'olona.Tunawalaani waliofanya mauaji ya Ananta Bijoy Das, Ahmed Rajib Haider, Washiqur Rahman na Avijit Roy na pia tunazitaka mamlaka husika kuwachchukulia hatua za kisheria wale wote waliohusika kutimiza mauaji hayo.
24Ary miantso ireo mpiara-dia aminay ao amin'ny fikambanana iraisampirenena miaro ny zon'olombelona izahay hanatevin-daharana amin'ny antso ataonay, sy hanao izay hiantohana ny fiarovana ireo ahiana ny ain'izy ireo.Na pia, tunawaomba washirika wetu wote wa jamii ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kutuunga mkono ikiwa ni pamoja na kusaidia kuimarisha usalama wa watu wote walio katika mazingira hatarishi.