Sentence alignment for gv-mlg-20120804-36328.xml (html) - gv-swa-20120827-3576.xml (html)

#mlgswa
1Ny Rafitr'Anaran-Tokana Ao MyanmarMfumo wa Kipekee wa Kuwapa watoto Majina wa Nchini Myanmar (Burma).
2Raha misy olom-pirenena Myanmar milaza fa tsy manana anaram-pianakaviana izy, manontany foana matetika ny vahiny hoe nahoana.Pale mtu wa Burma anaposema kuwa hana jina la ukoo , wageni huwa wanashangaa ni kwa nini.
3Angamba iray amin'ireo firenena vitsy manerantany na farafahakeliny 90 isan-jaton'ny mponina ao Myanmar no tsy manana anaram-pianakaviana.Myanmar inaweza kuwa ni miongoni mwa nchi chache duniani ambamo hadi asilimia 90 ya watu wake hawana majina ya ukoo.
4Mety samy manana anarana samihafa ny fianakaviana iray ary samihafa tanteraka ihany koa ny halavan'ny anarana.Watu wa familia moja wanaweza kuwa na majina yasiyofanana kabisa na idadi ya maneno kwa kila jina inaweza kuwa na utofauti mkubwa kabisa.
5WhatIsMyanmar nanoratra ny fampiasana rafitra anarana tokana ao Myanmar:Mkazi mmoja wa Myanmar anaandika kuhusu utaratibu wao wa kuwapa watoto majina.
6Saingy ho anay, Myanmar, teny fotsiny ihany avy amin'ny tantara nosoratana tamin'ny teny anglisy ny anaram-pianakaviana.Anasema: Sisi wa-Myanmar, ni kama neno tu katika hadithi ziandikwazo kwa Kiingereza.
7Tsy mampino nefa tena marina!Amini usiamini!
8Tsy manana anaram-pianakaviana mihitsy izahay.Hatuna majina ya ukoo kabisa.
9Ary tsy misy toeran-kafa hanoratana anarana fanampiny amin'ny taratasy fenoina na fisoratana anarana AO MYANMAR.Na hakuna nafasi nyingine baada ya sehemu ya jina la kwanza katika fomu yoyote itakayotakiwa kujazwa majina hapa Myanmar.
10Mpivarotra ranom-boakazo fary ao Myanmar.Muuza juisi itokanayo na miwa kutoka Myanmar.
11Sary tao amin'ny pejy Flickr an'i Michael Foley, CC LicensePicha kutoka ukurasa wa Flirck wa Michael Foley iliyotumika chini ya mpango wa CC wa haki miliki.
12Ary nanazava ny fomba famenoan'ny olona avy ao Myanmar ny taratasy fisoratana anarana ahitana anarana sy fanampin'anarana:Na anaeleza namna ambavyo watu wa Myanmar wanavyojaza fomu zinazohitaji majina yote, yaani jina la kwanza na la ukoo:
13Rehefa mameno taratasy fisoratana anarana amin'ny aterineto, tsy manan-tsafidy afatsy ny mameno ny toerana hanoratana ny anaram-pianakaviana izahay, izay tsy maintsy fenoina.Lakini tunapojaza fomu kutoka kwenye mtandao wa intaneti, huwa hatuna njia mbadala zaidi ya kuweka majina ya ukoo kwa kuwa ni lazima kufanya hivyo.
14Ka inona ary no soratanay?Sasa, huwa tunajaza nini?
15Ho ahy manokana, teny roa voalohany amin'ny anarako aloha no soratako eo amin'ny anarana voalohany ary avy ny ambiny apetrako eo amin'ny anarana farany.Kwa upande wangu, huwa ninajaza maneno mawili ya kwanza kutoka katika jina langu kama jina la kwanza na neno la mwisho kama jina la ukoo.
16Hafahafa?Unafikiri hakuna mpangilio?
17Amin'izany, mety manontany ianao hoe firy ny litera isaky ny anarana?Vizuri, labda ungependa kufahamu kuna maneno mangapi kwa kila jina?
18Ny valin-teniko mazava dia hoe “arakaraka”.Kwa busara kabisa, jibu langu ni kuwa “inategemea”.
19Eny, arakaraky ny anarana nomen-dray aman-dreny na ny olona nisafidy ilay anarana.Ndio, inategemea na namna wazazi walivyo wabunifu au inategemea na yule anayempatia mtoto jina.
20Twobmad nilaza ny olana hatrehin'i Birmania any ivelany:Twobmad alizitaja changamoto anazokabiliana nazo mtu pale anaposhughulikia majina ya watu wa Myanmar:
21Sahirana foana aho rehefa tsy maintsy mameno ny anarana sy ny fanampin'anarana.Huwa ninachanganyikiwa kabisa pale ninapolazimika kuandika majina yote matatu, yaani jina la kwanza, la kati na la mwisho.
22Mipoitra ihany koa izany olana izany rehefa misy namana manontany ny anarana fiantso ahy.Hali hii pia hujitokeza pale ninapokuwa ugenini, yaani mbali na nchini mwangu, marafiki huwa wananiuliza ningependa waniite kwa jina gani.
23Sahirana kely ihany koa anefa izy ireo.Hakika, wao pia, huwa wanachanganyikiwa.
24Satria rehefa miantso ahy amin'ny “fanampin'anarako izy”, tsy toy izany ny fiantson'ny fianakaviako ahy na ny fiarahamonina manodidina ahy, izay miantso ahy amin'ny fanampin'anarako, hafahafa amiko kosa rehefa miantso ahy amin'ny anarana izay tsy mba fandreko sy mahazatra ahy ny namakoKwa sababu kama wakiniita kwa jina kwanza jina, sio tu kuwa hawaniiti kama nilvyokuwa naitwa katika familia yangu, lakini pia hata kwa jamii yangu iliyotangulia. Wangeweza kuniita jina langu la kwanza, lakini ningeona kama maajabu kama ningekuwa naitwa kwa jina ambalo sikuwahi kulisikia kamwe.
25Ba Kaung nanoratra lahatsoratra bilaogy momba ny fanomezana anarana ao Myanmar, izay mifandraika amin'ny finoana ara-panandroana :Ba Kaung aliandika makala katika blogu kuhusiana na namna ya utoaji wa majina kwa watu wa Myanmar ambapo katika maelezo yake, alihusisha pia na imani ya elimu ya nyota:
26Taona vitsy lasa izay, rehefa nahita ireo fanao ara-kolontsaina samihafa manerana izao tontolo izao aho, dia nahatsikaritra fa hafa mihitsy no sady tokana ny fomba amam-panao Birmana amin'ny fanomezana anarana tokana. Manamarika ny fikambanan'ny mampiavaka ilay olona sy ny kajikajy fanandroana amin'ny andro nahaterahan'ilay olona, andro amin'ny alimanaka birmana ny anarana .Miaka michache baadae, baada ya kushuhudia tamaduni mbalimbali duniani kote, niligundua kuwa utamaduni wa watu wa Burma wa kuwapa watoto majina ni wa kipekee kabisa kwani unajumuisha muunganiko wa kipekee wa tabia njema ya mtu huku jina likihusisha pia mahesabu ya elimu ya nyota ya mtu kwa siku ya wiki aliyozaliwa kwa kuzingatia kalenda ya mwaka itokanayo na mwezi wa wa-Barma.
27Nitantara momba ny tovona birmana “U” (tononina hoe òu) amin'ny “U Thant” ihany koa izy izay zava-dehibe ho an'ny Birmana saingy afangaron'ny vahiny matetika.Pia alizungumzia hatma ya lugha ya wa-Myanmar ambayo ni muhimu kwao na ambayo wakati mwingine imekuwa ikiwachanganya wageni, kwa mfano, “U” (inayotamkwa Oo) katika “U Thant“.
28Fanampin'izany, misedra olana lehibe ihany koa matetika ireo olona tsy manana anarana afatsy litera iray toy ny hoe “U”, “Ma”, “Daw”, sy ny sisa amin'ny fitadiavana anaram-pianakaviana, izay tsy tena anarany rehefa tononina:Kwa kuongezea, watu wenye majina yenye neno moja tu, mara nyingi huwa wanapata ugumu wakati wa kuelezea jina la familia, kama ilivyo kwa neno la kwanza kama “U”, Ma”, “Daw” na kadhalika, ambayo siyo majina yao kiuhalisia:
29Anisan'ny zava-dehibe ihany koa ny fanajana rehefa miantso ny anaran'ny mponina ao Myanmar.Kuonesha heshima pia ni jambo muhimu sana katika kutaja majina ya watu wa Myanmar.
30Alohan'ny hanononana ny anaran'olona iray, miarahaba aloha ho mariky ny fanajana, izay fiarahabana arakaraky ny taonan'ilay olona, ny fifaneraserana misy eo amin'ny roa tonta miresaka, sy ny karazana ( lahy sa vavy).Mtu anaweza kutambulishwa kwa jina lake kutanguliwa na maneno ya heshima kwa kutegemea na umri wake, aina ya uhusiano na jinsia.
31Sokajiana ho toy ny tsy fahalalam-pomba ny tonga dia miantso ny anaran'olona iray.Itachukuliwa kuwa ni jambo lisilo la heshima kumuita mtu jina kama ilivyo katika utaratibu wa kawaida wa kuongea.
32Rehefa miresaka amin'ny olona mbola tanora na mitovy taona aminao, ireto no ampiasaina alohan'ny hanononana ny anarany, “Ko” ampiasana amin'ny lahy.Kutamka majina ya vijana na ya rika, majina yao hutanguliwa na “Ko” ambayo hutumika kutambulisha wanaume, “Ma” hutumika kutambulisha wanawake na ndio utaratibu rasmi. “
33“Ma” ampiasana amin'ny vavy izay fiteny fahalalam-pomba.Maung” inatumika kama namna ya kuwatambulisha wanaume katika mfumo rasmi.
34“Maung” kosa no ampiasana amin'ny lahy izay fiteny mahalala fomba ihany koa.Majina ya watu wazima hutanguliwa na “U” or “Oo” ambayo hutumiwa kutambulisha wanaume katika mfumo rasmi.
35Rehefa miresaka amin'ny olon-dehibe kosa indray dia ireto no ampiasaina alohan'ny hanononana ny anarany, “U” na “Oo” amin'ny lahy izay fiteny mahalala fomba.
36“Daw” amin'ny vavy izay fiteny mahalala fomba.“Daw” hutangulizwa katika majina ya wanawake katika mfumo rasmi.
37Satria tsy manana anaram-pianakaviana ny olom-pirenena ao Myanmar, tsy mila manova ny anarany ihany koa ny vehivavy rehefa manambady, Dharana nanoratra hoe:Kwa kuwa hakuna majina ya kifamilia kwa watu wa Myanmar, wanawake hawana ulazima wa kubadilisha majina yao pindi wanapoolewa. Dharana anaandika:
38Ny fanononana tsara ny anaran'ireo mpiara miasa amiko no tanjoko fahatelo.Mradi wangu wa tatu umekuwa ni kujifunza namna ya kutamka kwa usahihi majina ya wenzangu.
39Miankina amin'ny andro anatin'ny andro izay nahaterahana ny anaran'ny olona Birmana ka izany no antony tsy isian'ny anaram-pianakaviana.Majina ya watu wa Myanmar hutegemea na siku ya wiki mtu aliyozaliwa na huwa hayana kipengele chochote cha majina ya kifamilia.
40Midika izany fa tazomin'nyvehivavy hatrany ny anarany feno na aoriana ny fanambadiana aza- zavatra iray tena mahafa-po ireo mpiara-miasa amiko vehivavy izanyHii inamaanisha kuwa, wanawake wataendelea kuwa na majina yao hata mara baada ya kuolewa- jambo ambalo wasichana wenzangu wananionea wivu
41Etsy andaniny, manaraka ny fomba fametahana anaram-pianakaviana kosa ny foko sasany ao Myanmar , ary ny taranaka Indiana sy ny Kristianina.Kwa upande mwingine, baadhi ya makabila ya Myanmar, wale wenye asili ya India na wakristo wanafuata utaratibu wa kuwa na majina ya kifamilia.
42Lionslayer nanazava fa manana anaram-pianakaviana ny olona vitsivitsy ao Myanmar:Lionslayer anaandika kuwa watu wachache sana wa Myanmar wana majina ya ukoo:
43Misy ireo olona sasany tia mitondra ny anaran-drainy araka ny rafitra Britanika. Aung San Suu Kyi ohatra zanaka vavin'i Aung San ary i Hayma Nay Win kosa zanaka vavin'i Nay Win.Baadhi ya watu wanapenda kutumia majina ya baba zao kwa kutumia utaratibu wa kuwapa watoto majina kwa mfumo wa Kiingereza Aung San Suu Kyi ni mtoto wa kike wa Aung San na Hayma Nay Win ni mtoto wa kike wa Nay Win.
44Mety mahita izany toe-javatra miavaka izany ianao.Hata hivyo ni nadra sana kuona utaratibu wa namna hii.
45Efa te-hanome anarana ny zaza voateraka arakaraky ny fanandroana ny mponina Birmana fa tsy anaran'olo-kafa intsony.Watu wa Burma huwa wanawapa majina watoto wao wachanga kwa kuzingatia unajimu kuliko kuwapa watoto majina kwa kuwa kuna fulani aliwahi kupewa jina hilo.
46Manana anaram-pianakaviana ny foko sasany ao Myanmar.Baadhi ya makabila ya Myanmar kuna majina ya kifamilia.
47Mitondra ny anaran-drainy na ny anaran-draibeny kosa ny Miozolomana sy ny Kristianina sasanyNa baadhi ya Waislamu na Wakristo pia huwapatia watoto majina kwa kuzingatia majina ya baba zao na babu zao.
48Nofeheziny hoe tokony hametraka rejistra na bokim-pianakaviana ny governemanta ao Myamnar satria sarotra ny mamantatra ny tetiarana:Alihitimisha kuwa, serikali ya Myanmar inapaswa kuweka utaratibu wa usajili kwa kuweka kumbukumbu za familia kwa kuwa ni vigumu kufuatilia chimbuko la familia ya mtu fulani:
49Misy lafy ratsiny ihany ny tsy fananana anaram-pianakaviana.Kuna madhara ya kutokuwa na majina ya familia.
50Satria sarotra ny mamantatra ny taranaka tany aoriana efa mihoatra ny taranaka 5. Tsy dia olana lehibe izany raha manana rejistra momba ny fahaterahana i Myanmar.Ni vigumu sana kutafuta chimbuko la mtu kwa zaidi ya vizazi vitano. Sio tatizo kubwa sana kama Myanmar itakuwa na ofisi inayoratibu familia za watu wa Myanmar.
51Antenaiko fa hametraka izany fanamby sy sampan-draharaha-pitadiavana [tetiarana] izany ny governemanta.Ni matumaini yangu kuwa serikali iataweka utaratibu huu pamoja na namna nzuri ya kupata taarifa hizi.
52Na dia izany aza, Tsy irery eto ambonin'ny tany isika amin'ny tsy fananana anaram-pianakaviana.Hata hivyo haijalishi kwa kuwa sio sisi tu katika ulimwengu tusio na majina ya kifamilia.
53Satria vao avy nahare aho fa maro amin'ny fokoAziatika sasany ihany koa no tsy manana anaram-pianakaviana.Siku za hivi karibuni nilijifunza kuwa kuna baadhi ya makabila ya Asia ambayo pia hayana majina ya kifamilia.