Sentence alignment for gv-mlg-20140730-62577.xml (html) - gv-swa-20140728-8008.xml (html)

#mlgswa
1Hisioka Hoan'ny Blaogeran'ny Zone9 Ao Ethiopia Izao Tontolo Izao Amin'ny 31 JolayDunia Yatwiti Kuwatetea Wanablogu wa ki-Ethiopia Waliokamatwa Julai 31
2Fanambatambarana sary tao amin'ny Tumblr Free Zone9.Bango la kuwatetea wanablogu ya Free Zone9.
3Nahazoana alalana ny sary.Picha zimetumika kwa ruhusa.
4Andao hiaraka amin'ny blaogeran'ny Global Voices manerantany hanao tweetathon (hazakazaka amin'ny sioka=tweet) amin'ny fiteny isan-karazany ho fanohanana ireo blaogera sy mpanoratra gazety folo miatrika vesatra fiampangana fampihorohoroana ao Ethiopia.Ungana na wanablogu wa Global Voices kwa ajili ya zoezi la kutwiti litakalofanyika duniani kote, katika lugha mbalimbali, kuwatetea wanablogu na waandishi kumi wanaokabiliwa na mashitaka ya ugaidi nchini Ethiopia.
5Mitaky ny rariny ho an'ireo lehilahy sy vehivavy ireo ny fikambanana Global Voices sy ireo tambajotra mpiara-dia aminay, izay niasa mafy avokoa mba hanitarana ny fanehoan-kevitra ara-politika sy ara-tsosialy amin'ny alalan'ny famahanam-bilaogy sy fanoratan-gazety ao Ethiopia.Jumuiya ya Global Voices na mtandao wa washirika wake wanadai haki kwa watu hawa, wote waliofanya kazi kwa bidii kupanua uwanja wa maoni ya kijamii na kisiasa nchini Ethiopia kupitia blogu na uandishi wa habari.
6Mihevitra izahay fa fanitsakitsahana ny zo manerantany ho amin'ny fahalalaham-pitenenana ny fisamborana azy ireo, ary tsy rariny ny vesatra iampangana azy ireo.Tunaamini kukamatwa kwao ni uvunjaji wa haki za kimataifa za kujieleza, na kwamba mashitaka yaliyofunguliwa dhidi yao si halali.
7Fantaro bebe kokoa ny tantaran'izy ireo sy ny fanentanana ho fanafahana azy ireo ao amin'ny Trial Tracker blog.Unaweza kujifunza kujifunza zaidi kuhusu hadithi yao na kampeni ya kuwatoa kwenye Zone9 Blogu ya Kufuatilia Shauri hilo.
8Manomboka amin'ny 4 aogositra 2014 ny fitsarana ireo blaogera ireo.Shauri la wanablogu hao limeanza mnamo Agosti 4, 2014.
9Manomboka amin'izay fotoana izay ary mihoatra izany dia mila ny fanohanana rehetra izay mety ho azony ry zareo.Mpaka wakati huo, na hata zaidi, watahitaji kuungwa mkono kadri inavyowezekana.
10Noho izany amin'ity alakamisy ity, isika blaogera, mpanoratra, mpikatroka ary manampahaizana manokana amin'ny tambajotra sosialy no hizara ity hafatra ity manerana ny tany, misioka amin'ny fitenin-drazantsika amin'ireo mpitondra ny fiaraha-monina, manampahefana ara-diplaomatika sy ao amin'ny governemanta, ary ny gazety be mpamaky mba hanairana ny saim-bahoaka amin'ity raharaha ity.Kwa hiyo Alhamisi hii, sisi kama jumuiya ya wanablogu, waandishi, wanaharakati na wataalam wa uandishi wa kiraia walioenea duniani kote watashiriki ujumbe huu kwenda duniani kote, ku-twiti katika lugha za asili kwa viongozi wa mitaa, serikali, maafisa wa kidiplomasia na hata vyombo vikuu vya habari ili kuwafanya wafahamu kinachoendelea. .
11Enina amin'ireo blaogera ao Addis Ababa voatazona.Wanablogu sita waliokamatwa jijini Addis Ababa.
12Sary nahazoana alalana.Picha imetumiwa kwa ruhusa.
13#FreeZone9Bloggers: Tweetathon Fitakiana ny famotsorana ireo Ethiopiana blaogera migadra#FreeZone9Bloggers: Zoezi la kuwtiti Kushinikiza kuachiliwa kwa wanablogu wa ki-Ethiopia
14Daty: Alakamisy 31 Jolay 2014Tarehe: Alhamisi, Julai 31, 2014
15Ora: 10am - 2pm - tsy maninona izay hasin'ora misy anao!Muda: Saa 4 asubuhi - 8 mchana - bila kujali unaishi wapi!
16Hashtag (diezy): #FreeZone9BloggersAlama habari: #FreeZone9Bloggers
17Mpampiatrano: Nwachukwu Egbunike (@feathersproject), Ndesanjo Macha (@ndesanjo), Ellery Roberts Biddle (@ellerybiddle)Waandaaji: Nwachukwu Egbunike (@feathersproject), Ndesanjo Macha (@ndesanjo), Ellery Roberts Biddle (@ellerybiddle)
18hiaraka aminay amin'ity alakamisy ity?Unahitaji kuungana nasi Alhamisi hii?
19Sa hanampy azy ireo hampiely ny teny?Au kusaidia kusambaza ujumbe?
20Ongeza jina na anuani yako ya Twita kwenye ukurasa wa mpango wa familia ya GV.
21Ampio ato amin'ny taratasim-pandrindranan'ny fikambanana ato ny anarana sy ny Twitter-nao.Mifano ya twiti: @Zone9ers wanastahili shauri la haki linaloheshimu viwango vya kimataifa
22Santionan- Tweets:/1g65ijg
23Misiaha mandra-pararin'ny rantsatananao ary mitakia rariny ho an'ireo blaogeran'ny Zone9 !Waachieni @Zone9ers…kwa sababu kublogu si jinai! “Tunablogu kwa sababu tunajali”
24Kukamatwa kwa Wanablogu nchini Ethiopia ni ukiukwaji wa Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu
25Kukamatwa kwa Wanablogu nchini Ethiopia ni ukiukwaji wa Makubaliano ya Kimataifa ya Haki na kiraia na kisiasa
26Twiti mpaka vidole vyako viume na dai haki kwa wanablogu wa Zone9!