# | mlg | swa |
---|
1 | GV Face: Voaràra Ao Yemen tantanin'i Houthi Ny Fihetsiketsehana | GV Face: Maandamano Yazuiliwa na Waasi wa Houthi Nchini Yemen |
2 | Ao anatin'ny korontana ara-politika i Yemen, tsy manana filoha sy governemanta io firenena io hatramin'ny nakan'ny milisy Houthi ny fitondram-panjakana sy ny lapam-panjakana tao Sanaa renivohitra. | Yemen iko kwenye mzozo wa kisiasa, bila kuwa na rais wala serikali, tangu waasi wa Houthi kuangusha taasisi za kiserikali na kuteka ikulu kwenye mji mkuu wa Sanaa. |
3 | Tamin'ny 9 Febroary, namoaka antontan-taratasy miaraka amin'ny fangon'ny Ministeran'ny Atitany mandràra ny fihetsiketsehana rehetra ao Yemen izy ireo. | Februari 8, waasi hao walitoa waraka kupitia Wizara ya Mambo ya ndani kupiga marufuku maandamano yoyote nchini Yemen. |
4 | Fanapahan-kevitra vaovao ao amin'ny tanin'i Houthi: Voaràra ny hetsi-panoherana rehetra, mandray ny demokrasia vaovao i Yemen | Maamuzi ya nchi ya Hauthi: Maandamano hayaruhusiwi tena nchini Yemen. Karibu kwenye demokrasia mpya |
5 | Tamin'ny famoahana ny “Fanambarana ny Lalàmpanorenana” nataon'ny Houthis, eo am-pametrapetrahana ny toerany ny fahefana vaovao. | Kwa tangazo la “Azimio la Kikatiba” lilifanywa na wanamgambo hao wa Houthi, mabadiliko mapya ya kimadaraka yanatokea. |
6 | Inona ny eritreretin'ny Yemenita? | Wa-Yemeni wanafikiri nini? |
7 | | Wanakielewaje kipindi hiki cha mpito chini ya utawala wa wanamgambo wa Houthi na yepi ni matatizo yao makubwa? |
8 | Ahoana no fahitan'izy ireo ny fotoanan'ny tetezamita eo ambany fitondran'ny Houthis ary inona no tena ahiahin'izy ireo? | Tunaongea na wanaharakati kutoka Yemen We Baraa Shiban (@BShtwtr), Osama Abdullah (@PoliticsYemen), na@NoonArabia kwenye toleo hili la GVFace. |
9 | Hiresaka amin'ireo mpikatroka avy ao Yemen isika ao anatin'ity andian'ny GVFace ity dia Baraa Shiban (@BShtwtr), Osama Alrawhani (@PoliticsYemen), Alhussain Albukhaiti (@HussainBukhaiti) ary @NoonArabia . | Amira Alhussaini, mhariri wetu wa Afrika Kaskazini na Uarabuni, aliongoza majadiliano hayo akiwa nami. Tunasikitika kwa matatizo kadhaa ya kiteknolojia na usikivu usioridhisha wa sauti kwenye mazungumzo haya. |
10 | Mandamina ny adihevitra miaraka amiko i Amira Alhussaini, tonian-dahatsoratry ny MENA. | Mwanaharakati wa Houthi Hussaini Bukhaiti (@HussainBukhaiti) alipaswa kuungana nasi pia. |
11 | | Tulimkaribisha Bukhaiti, Osama na Baraa kuandika kwenye tovuti ya Global Voices kutusaidia kuelewa undani wa masuala yanayoikabili Yemen na matumaini yaliyopo kwa siku za usoni. |