Sentence alignment for gv-mlg-20150212-67493.xml (html) - gv-swa-20150210-8472.xml (html)

#mlgswa
1GV Face: Voaràra Ao Yemen tantanin'i Houthi Ny FihetsiketsehanaGV Face: Maandamano Yazuiliwa na Waasi wa Houthi Nchini Yemen
2Ao anatin'ny korontana ara-politika i Yemen, tsy manana filoha sy governemanta io firenena io hatramin'ny nakan'ny milisy Houthi ny fitondram-panjakana sy ny lapam-panjakana tao Sanaa renivohitra.Yemen iko kwenye mzozo wa kisiasa, bila kuwa na rais wala serikali, tangu waasi wa Houthi kuangusha taasisi za kiserikali na kuteka ikulu kwenye mji mkuu wa Sanaa.
3Tamin'ny 9 Febroary, namoaka antontan-taratasy miaraka amin'ny fangon'ny Ministeran'ny Atitany mandràra ny fihetsiketsehana rehetra ao Yemen izy ireo.Februari 8, waasi hao walitoa waraka kupitia Wizara ya Mambo ya ndani kupiga marufuku maandamano yoyote nchini Yemen.
4Fanapahan-kevitra vaovao ao amin'ny tanin'i Houthi: Voaràra ny hetsi-panoherana rehetra, mandray ny demokrasia vaovao i YemenMaamuzi ya nchi ya Hauthi: Maandamano hayaruhusiwi tena nchini Yemen. Karibu kwenye demokrasia mpya
5Tamin'ny famoahana ny “Fanambarana ny Lalàmpanorenana” nataon'ny Houthis, eo am-pametrapetrahana ny toerany ny fahefana vaovao.Kwa tangazo la “Azimio la Kikatiba” lilifanywa na wanamgambo hao wa Houthi, mabadiliko mapya ya kimadaraka yanatokea.
6Inona ny eritreretin'ny Yemenita?Wa-Yemeni wanafikiri nini?
7Wanakielewaje kipindi hiki cha mpito chini ya utawala wa wanamgambo wa Houthi na yepi ni matatizo yao makubwa?
8Ahoana no fahitan'izy ireo ny fotoanan'ny tetezamita eo ambany fitondran'ny Houthis ary inona no tena ahiahin'izy ireo?Tunaongea na wanaharakati kutoka Yemen We Baraa Shiban (@BShtwtr), Osama Abdullah (@PoliticsYemen), na@NoonArabia kwenye toleo hili la GVFace.
9Hiresaka amin'ireo mpikatroka avy ao Yemen isika ao anatin'ity andian'ny GVFace ity dia Baraa Shiban (@BShtwtr), Osama Alrawhani (@PoliticsYemen), Alhussain Albukhaiti (@HussainBukhaiti) ary @NoonArabia .Amira Alhussaini, mhariri wetu wa Afrika Kaskazini na Uarabuni, aliongoza majadiliano hayo akiwa nami. Tunasikitika kwa matatizo kadhaa ya kiteknolojia na usikivu usioridhisha wa sauti kwenye mazungumzo haya.
10Mandamina ny adihevitra miaraka amiko i Amira Alhussaini, tonian-dahatsoratry ny MENA.Mwanaharakati wa Houthi Hussaini Bukhaiti (@HussainBukhaiti) alipaswa kuungana nasi pia.
11Tulimkaribisha Bukhaiti, Osama na Baraa kuandika kwenye tovuti ya Global Voices kutusaidia kuelewa undani wa masuala yanayoikabili Yemen na matumaini yaliyopo kwa siku za usoni.