Sentence alignment for gv-mlg-20130103-44024.xml (html) - gv-swa-20130108-4615.xml (html)

#mlgswa
1Taona Vaovao Fa Fanao Tranainy Ao BahrainMwaka Mpya na Mienendo ya Zamani Nchini Bahrain
2Raha nankalaza ny taona vaovao tamin'ny alalan'ny afomanga sy fety isan-karazany ny firenena manerana izao tontolo izao, fandrahonana manokana avy amin'ny manampahefana kosa no niandry ireo mpanao fihetsiketsehana Bahrainita.Makala hii ni sehemu ya makala zetu maalumu kuhusu Maandamano nchini Bahrain 2011/2012. Wakati nchi mbalimbali ulimwenguni kote zikiukaribisha mwaka mpya kwa fataki na shamra shamra, serikali ya Bahraini iliandaa utaratibu wa aina yake kwa waandamanaji nchini humo.
3Mba hanamarihana ny fanombohan'ny taona vaovao, nandefa fanambarana ny Sampam-pahalalam-baovaom-panjakana ao Bahrain mba hankalaza ny zava-bita tamin'ny taon-dasa, hoy izy:Katika kuuanza mwaka mpya, Vyombo vya Habari nchini Bahrain vilitoa tamko la kusherehekea mafanikio ya mwaka uliopita linalosema:
4Mijanona tsy mihozongozona sy tsy voaloton' ireo fanambarana diso aparitaka amin'ny alalan'ny “mégaphone” eo amin'ny sehatra iraisam-pirenena ny Fanjakana tompon-dakan'ny zon'olombelona sy manana endrika tsara.Dola iliyoweka historia ya taswira ya kung'ara ya kutokuwa na chembe ya doa katika haki za binadamu inaendelea kuwa imara na isiyotikiswa kwa dhahania za uongo na zisizo na maana zinazosambazwa kwa uhasama kupitia vipaza sauti wakati wa dhifa mbalimbali za kitaifa.
5Tao anatin'izany fotoana izany anefa dia korontana sesehena no niainan'ny Bahrainita ny andron'ny taombaovao.Wakati huo huo, watu wa Bahrain walishuhudia siku ya kwanza ya mwaka mpya kwa changamoto mbalimbali.
6Soa ihany, voatahirin'ireo mpiserasera ny sasany tamin'izany ary nandefa izany tamin'ny aterineto izy ireo, mampiseho amin'izao tontolo izao ny “fanambarana diso” ataon'ny governemanta fa “tompon-dakan'ny fanajana ny zon'olombelona” ny firenena.Kwa bahati nzuri, baadhi yao taarifa zao zilishakusanywa na watumiaji wa mtandao wa intaneti na hivyo kutumia tovuti kuuonesha ulimwengu “kumbukumbu nzuri ya usawa wa haki za binadamu usio na chembe ya doa” na “madai ya uongo” yanayosemwa na serikali.
7Bilaogera @chanadbh nisioka rohy tamina lahatsary ary nandefa fanehoan-kevitra mandrabiraby:Mwanablogu @chanadbh alitwiti kiungo cha video na kuambatanisha maoni yanayokinzana moja kwa moja na kauli za serikali:
8@chanadbh: Notafihan'ny polisy tamin'ny biriky ny fiara nijanona tao #Bahrain , noho ny fiarovan-tena tokoa http://www.youtube.com/watch?@chanadbh: #Polisi wa Bahrain washambulia kwa matofali gari lililokuwa limeegeshwa, lengo lilikuwa ni kujilinda lakini http://www.youtube.com/watch?
9v=HraRTyuvpOY …v=HraRTyuvpOY …
10Mampiseho polisy misahana ny rotaka mitoraka biriky amina fiara mijanona ao an-tanàna kelin'i Jurdab ny lahatsary.Video inaonesha polisi akifanya vurugu kwa kulirushia tofali gari lililokuwa limeegeshwa katika kijiji cha Jurdab.
11Dr Abdulhadi Khalaf, mpampianatra eny amin'ny oniversite izay noesorina taminy vao haingana ny maha-olom-pirenena Bahrainita azy, nizara lahatsary hafa ary naneho hevitra hoe:Daktari Abdulhadi Khalaf, mwenye elimu ya uzamivu, ambaye siku za hivi karibuni alivuliwa uraia wa Bahrain, alipakia video nyingine na alichangia kama ifuatavyo:
12@Abdulhadikhalaf: Miezaka mamaky varavarana ny jiolahimboton'ny Minisiteran'ny ny Atitany****izany no nahatonga ireo jiolahim-boto marobe naratra?@Abdulhadikhalaf: Wizara ya mambo ya ndani iliyo katili inajaribu kuvunja mlango**** ndio maana kuna idadi kubwa ya majeruhi miongoni mwa waonevu?
13@AHRAR_MURQOBAN, kaonty Twitter natokana handefasana vaovao avy ao an-tanànan'i Sitra, nandefa lahatsary misy voina mitovitovy amin'izany.@AHRAR_MURQOBAN, Ukurasa wa Twita uliotolewa maalum kwa ajili ya kupakia habari za kijiji kilichopo Sitra, ilipakia video inayoonesha matukio aina hii.
14Toa tahaka ny miteny Ourdou ireo mpitandro ny filaminana ato amin'ity lahatsary ity:Katika video hii, maafisa wa polisi wanaonekana wakiongea katika lugha ya Urdu:
15@AHRAR_MURQOBAN: Miomana hananika trano ireo mpikarama an'ady - Sitra@AHRAR_MURQOBAN: Maafisa wa polisi wanaoweka maslahi yao mbele wakijiandaa kufanya shambulizi la kushitukiza katika nyumba huko Sitra
16Tsy avy amin'ny zavona ny manjavozavo ao amin'ny lahatsary - fa noho ny baomba mandatsa-dranomaso matevina natsipy tao an-tanàna kely be olona isan'andro.Hali ya kutokuonekana vizuri siyo ya ukungu, ni matokeo ya mabomu ya kutoa machozi kutupwa mara kwa mara vijijini.
17Mpikatroka ny zon'olombelona Maryam Alkhawaja nizara lahatsary ihany koa izay mampiseho ireo mpitandro ny filaminana manipy zavatra any amin'ireo vehivavy - tahaka ny tsy misy antony mazava loatra:Mwanharakati wa kutetea haki za binadamu ajulikaye kwa jina la Maryam Alkhawaja pia alipakia video inayowaonesha maafisa wa polisi wakiwanyunyizia wanawake pilipili bila ya kujua haswa lengo ni lipi.
18@MARYAMALKHAWAJA: Nanapiritika vovo-tsakay tsy amin'ny antony tany amin'ireo vehivavy ny mpitandro ny filaminana RT@: 1-1-13 http://youtu.be/0wokYBRrxpMTaarifa zilisema: @MARYAMALKHAWAJA: Maafisa wa polisi wakiwanyunyizia wanawake pilipili usoni mwao bila sababu@: 1-1-13 http://youtu.be/0wokYBRrxpM
19Mpisera Twitter Mahmood Alshaikh nisioka lahatsary hafa mampiseho fa tsy misy fahafatesana noho ny soa tsy ho voasazy ao Bahrain:Mtumiaji wa Twita, Mahmood Alshaikh alitwiti tena video nyingine inayoonesha kuwa hakuna jambo zuri linalofanyika bila kufuatiwa na adhabu nchini Bahrain:
20@M_Alshaikh: Bahrain - Sitra [Nosy ao Atsinanan'i Bahrain] : Tanora nohazaina rehefa niezaka namonjy fianakaviana niharan'ny fahasemporana 1 1 2013@M_Alshaikh: Bahrain - Sitra [Kisiwa kilichopo upande wa mashariki mwa Bahrain] : Vijana wakifukuzwa baada ya kujaribu kuwaokoa watu wa familia moja waliokuwa wamekosa hewa 2013 1 1
21Nanambara tao amin'ny tatitra navoakany, tamin'ny taon-dasa, ny mpivaro-panafody [na dokotera] mpandala ny zon'olombelona [@P4HR]Mwaka uliopita, Wanafizikia wa Haki za Binadamu, walieleza katika [@P4HR] taarifa yao kuwa:
22Izao avy ny ratran'ny mpanao fihetsiketsehana nodinihan'ny Mpivaro-Panafody [na dokotera] mpandala ny zon'olombelona izay nahitana mangana sy faharovitana teny amin'ny loha, hatoka, tongotra noho ny donan'ny kapoaka natifitry ny mpitandro ny filaminana akaiky tany amin'izy ireo.Waandamanaji waliojeruhiwa ambao wachunguzi wa Wanafizikia wa Haki za Binadamu (PHR) waliowafanyia uchunguzi waligundua kuwa walikuwa wanasumbuliwa na majera yaliyotokana na kupigwa, mipasuko ya ngozi vichwani, kukosa sehemu fulani za miili yao, mikono na miguu, hii inatokana na maguruneti ya chuma wanayotupiwa katika umbali mfupi na maafisa wa polisi na kuwalipukia.
23Ohatra mazava tamin'izany ny sioka nalefan'ny tambajotra Fampahalalam-baovao 14 Feb, tambajotra voatokana amin'ny famoaham-baovao ao Bahrain, tamin'ny taom-baovao:Mfano halisi wa lizungumzwalo hapo juu liliwekwa katika ukurasa wa twita na 14 Feb Media Network, mtandao uliojishughulisha zaidi na kusambaza habari za Bahrain siku ya mwaka mpya:
24@Feb14Media: Bahrain | Manama : tifitra mahitsy nipaka tany amin'ny mpanao fihetsiketsehana@Feb14Media: Bahrain | Manama : a straight shot hits a protester
25Lahatsary mazava kokoa sy mitovy izany nalefa tao amin'ny tambajotra talohany ihany koa:Video nyingine ifananayo na iliyotangulia lakini yenye kuonekana vizuri zaidi ilipakiwa mapema na mtandao huo:
26@Feb14Media: Sitra - Sufala [Tanàna kely ao amin'ny nosy Sitra] : tifitra mahitsy nankany amin'ny lohan'ny mpanao fihetsiketsehana 1/1/2013@Feb14Media: Sitra - Sufala [Kijiji katika kisia cha Sitra] : Risasi iliyomlenga moja kwa moja muandamanaji1/1/2013
27Angamba nampianarina tsy hanavakavaka mihitsy ny mpitandro ny filaminana, na dia ity ankizy kely ity (fanehoan-kevitra milaza fa efa-taona izy) aza tsy navahana tamin'ny fifaliana fankalazana ny Taom-baovao - tamin'ny fomba Bahrainita.Maafisa wa polisi ni lazima wafundishwe kuwa hawapaswi kunyanyasa, na hata unyanyasaji wa rika kama ilivyotokea kwa motto huyu mdogo ( maoni yanasema mvulana huyu alikuwa na umri wa miaka minne) ambaye hakuweza kuepushwa kutoka kwenye furaha ya kusherehekea mwaka mpya-kwa mfumo wa serikali ya Bahrain.
28Nanazava i Moawen:Moawen anafafanua:
29@Moawen: Nandefa baomba mandatsa-dranomaso ny polisy misahana ny rotaka izay nahavoa ankizy kely http://youtu.be/4eQmT_M7_is mitohy ny fanitsakitsahana ny zon'ny ankizy:@Moawen: Polisi wenye vurugu wakiliwasha moshi wa kutoa machozi yaliyomzingira mototo mdogo http://youtu.be/4eQmT_M7_is ni muendelezo wa uvunjaji wa haki za watoto:
30Mpanao gazety Dima Khatib nizara sary izay mampiseho mazava ny loza niseho:Mwandishi wa habari, Dima Khatib naye alipakia picha iliyoonesha vizuri zaidi tukio hili:
31@Dima_Khatib: Bahrain… tonga indray!@Dima_Khatib: Bahrain… tena !
32RT @mohmdashoor: mety mba nahita ity zava-nitranga tamin'ny omaly ity ve ianao? baomba mandatsa-dranomaso pic.twitter.com/DW7lD5GlRT @mohmdashoor: dalili yoyote kuwa uliona hili tokea jana? Mototo wa miaka minne kuwashiwa moshi wa kutoa machozi pic.twitter.com/DW7lD5Gl
33Sary mampiseho ireo ankizy kely tratran'ny baomba mandatsa-dranomaso, sary nalefan'ny @14febonlinePicha inayoonesha jinsi motto mdogo alivyowashiwa moshi wa kutoa machozi, picha iliwekwa na @14febonline
34Nampiasa ny kaontiny Twitter, namoaka valinteny ofisialy momba ireo zava-nitranga tamin'ny Taom-baovao ny Minisitry ny Atitany, hoy ny fanambarany:Ikitumia ukurasa wake wa Twita, Wizara ya Mambo ya Ndani ilitoa mrejesho rasmi wa matukio yaliyotokea siku ya mwaka mpya, ilisema:
35@moi_bahrain: Sekretera mpanampy misahana ny raharaha ara-pitsarana: tsy ara-dalàna ny antso natao tao amin'ny habaka mba hanao famoriam-bahoaka amin'ny Talata amin'ny 3 ora sasany hariva ao amin'ny faritra samihafa ao Bahrain@moi_bahrain: Msaidizi wa Naibu Katibu wa masuala ya sheriaAssistant Undersecretary of Legal Affairs: aliziambia tovuti mbalimbali kuwa kuitisha mikutano saa tisa na nusu usiku siku ya jumanne katika maeneo mbalimbali ya Bahrain ni kinyume na sheria
36@moi_bahrain: Arovan'ny lalàmpanorenana ny Famoriam-bahoaka & fahalalaham-pitenenana ka ireo izay te hampiasa izany zo izany dia tokony hanaraka tsara ny lalàna@moi_bahrain: Mikutano ya wazi na washenzi; Haki ya kujieleza inalindwa na katiba pamoja na washenzi; wale wanaotaka kufaidika kutokana na sheria hii wanapaswa kufuata sheria.
37@moi_bahrain: Raisina ny fepetram-piarovana sy ny lalàna manoloana ireo mpandika lalàna mba hiarovana ny filaminana@moi_bahrain: Ulinzi na taratibu za sheria zitachukua mkondo wake dhidi ya wavunja sheria ili kuimarisha usalama
38Tamin'ny fiafaran'ny fanambarana, izay efa nambara tany amin'ny fiandohan'ity lahatsoratra ity, hoy ny Sampam-pahalalam-baovaom-panjakana Bahrainita nilaza:Mwisho wa maelezo yaliyotajwa mwanzoni mwa makala hii, Wakala wa Habari wa Bahrain alieleza: Kwa kujiamini na kwa uhakika, Dola ya Bahrain inapiga hatua kuelekea katika mafanikio makubwa kabisa kwa mwaka 2013.
39Manantena ny Fanjakan'i Bahrain fa tena hanana hoavy mamiratra amin'ny 2013.Binafisi nina matumaini kuwa, hili litafanikiwa.
40Ho ahy manokana, mino aho fa ho marina izany.Makala hii ni sehemu ya makala zetu maalumu kuhusiana na maandamano nchini Bahrain 2011/2012.