Sentence alignment for gv-mlg-20130627-49476.xml (html) - gv-swa-20130621-5269.xml (html)

#mlgswa
1Hatezerana Naterak'Ilay Fanafihana Nihatra Tamin'Ireo Mpifindra Monina Tao MaleziaRaia wa Myanmar Wachukizwa na Mashambulizi Dhidi ya Wahamiaji Wenzao Nchini Malasia.
2Toa mihanaka manerana ireo firenena rahavavy ilay adim-poko tao Myanmar.Vurugu za kikabila nchini Mynmar inaonekana kusambaa hata katika nchi za jirani.
3Misy sasany amin'ireo Bodista Myanmar izay nifindra monina tao Malaysia no voatafika tao anatin'ny herinandro maromaro lasa izao, heverin'ny olona maro fa mifandraika amin'ilay disadisa ara-poko sy ara-pivavahana misy ao Myanmar izany.Baadhi ya wahamiaji wa Mynmar wa jamii ya budha wanaoishi nchini Malasia wiki chache zilizopita walishambuliwa tukio ambalo wengi wanaamini kuwa tukio hilo linahusiana na mvutano wa kimakabila na kidini unaoendelea nchini Mynmar.
4Araka ny Eleven Media, 6 no maty ary 12 ireo naratra nahiditra hopitaly nandritra ilay fanafihana feno herisetra natao tamin'ireo teratany avy any Myanmar mipetraka ao Malezia nanomboka ny 30 May hatramin'ny 8 Jona.Kwa mujibu wa Eleven Media, watu 6 walifariki na wengine 12 walikimbizwa hospitalini kutoka na majeraha waliyoyapata wakati wa mashambulizi makali yaliyotokea kati ya Mei 30 na Juni 8 dhidi ya raia wa Mynamar wanaoishi nchini Malasia.
5Nandà ny fisian'io vaovao io ny Masoivohon'i Myanmar ao Malezia, ka nahatezitra mafy ireo Birmana mpisera ety anaty aterneto.Ubalozi wa Myanmar nchini Malasia mapema ilitoa habari ambazo ziliwaghadhabisha sana watumiaji wengi wa mtandao wenye utaifa wa Mynmar.
6Ye Htut, ilay visy-Minisitra ao amin'ny Ministeran'ny Serasera ao Myanmar dia nanazava [my] ilay tatitra :Ye Htut, ambaye ni naibu wa Waziri katika Wizara ya Mawasiliano alifafanua[ yangu] taarifa hiyo:
7Mamaky ny vaovao ety anaty Aterineto (izahay) mikasika ny fifandonana nitranga teo akaikin'ilay Monastera Myanmar ao KamPung sy Selayang sy nilazàna hoe misy vitsivitsy amin'ireo olona avy any Myanmar no namoy ny ainy.(Sisi) tulisoma habari hiyo katika mtandao wa intaneti kuhusiana na vurugu karibu na nyumba ya watawa huko KamPung pamoja na Selayang na kwamba baadhi ya watu wa Mynmar walipoteza maisha.
8Nanontany avy hatrany ny Ambasadin'i Myanmar tao Malezia (izahay) mikasika io olana io, tamin'ny 5 ora hariva, ary avy eo tamin'ny 8 ora alina tamin'ny alalan'ny Ministry ny Raharaham-bahiny.Mara moja, tuliuuliza ubalozi wa Mynmar huko Malasia kuhusiana na tukio hilo mapema majira ya saa 11 jioni na tuliwauliza tena saa saa 2 usiku kupitia Wizara ya Mambo ya ndani.
9Ary nilaza ny Masoivoho fa diso izany fanambaràna izany. […]Balozi alituambia kuwa habari hizi zilikuwa ni za uongo […]
10Nametrahan'ireo tearatany avy ao Myanmar raozy 11 isa teo anoloan'ny Masoivohon'i Malezia ao Yangon ho fanomezam-boninahitra ireo mpifindra monina avy ao Myanmar namoy ny ainy tao Malezia.Raia wa Myanmar akiweka maua waridi ya rangi nyekundu 11 mbele ya Ubalozi wa Malasia hukoYangon kwa heshima ya raia wa Mynmar waliouawa huko Malasia.
11Sary - Facebook-n'i Ye Moe.Picha - Ukurasa wa Facebook wa Ye Moe.
12Naneho [my] ny hatezerany mikasika ilay valintenin'ny Masoivoho i Wai Lin Oo :Wai Lin Oo alionesha [my] kusikitishwa kwake na majibu ya Ubalozi:
13Tena zava-mitranga amin'izao ora itenenana izao izany !Ni dhahiri kuwa kuna matukio haya!
14Raha te hino izany tenin'ny Masoivoho izany ianareo, manomàna sidina ho ao Myanmar hitondràna ireo vata-mangatsiaka ireo hody.Kama unataka kuthibitisha maneno ya ubalozi, andaa safari ya kwenda Mynmar kuchukua miili ya watu waliopoteza maisha.
15Fang Ran koa dia nanamafy[my] hevitra iray mitovy amin'izany ihany.Fang Ran alikazia nilichotangulia kukisema.
16Mijaly ny olona.Watu wanateseka.
17Mpandainga fotsiny ireo olona ao amin'ny Masoivoho izay tsy mivoaka aty ivelany ireo akory.Ni wadanganyaji tu ambao hata hawezi ktoka nje ya ubalozi.
18Ary mametra haba ambony dia ambony aminay izy ireo.Na wanatutoza kodi kubwa.
19Tsy hitako izay teny hilazàna ny fomba fibetrohan'izy ireo (ny olona mba mangataka fialokalofana ao amin'ny Masoivoho). […] Rahoviana vao afaka ny hametraka ny fitokisantsika amin'ny governemanta Myanmar isika ?Siwezi hata kutamka kwa jinsi ambavyo mara nyingi wamekuwa wakiwakaripia (raia ambao hufika hapo ubalozini kwa lengo la kutafuta usalama)[…] Ni lini tutaweza kuitegemea serikali ya Mynmar?
20Tena mahakivy.Kwa kweli inakatisha tamaa sana.
21Aiza ho aiza ny fanajàna ny zon'olombelon'ireo teratany avy ao Myanmar ?[ …] Nampitaha[my] izany izay ho fihetsiky ny governemanta any amin'ny firenena hafa i Myo Set raha sendra tojo olana toa izany :Heshima ya usawa wa haki za binadamu kwa watu wa Myanmar iko wapi? blockquote> Myo Set alilinganisha namna serikali nyingine wanavyokabiliana na hali kama hizi zinazolikumba taifa la Mynamar:
22Raha nisy namono tao Myanmar ny Japone iray ny taona 2007, dia nisy Ministra Japone iray tonga avy hatrany nankany mihitsy.Mjapani mmoja alipouawa nchini Mynmar mwaka 2007, waziri wa Japani aliiingilia kati mara moja.
23Tamin'ny fotoana nisianà olana tao amin'ilay Koreana tomponà Orinasa iray tamin'ireo mpiasa tao Myanmar, dia lasa niditra an-tsehatra ny Masoivohon'i Korea.Pale wafanyakazi wa Mynmar walipokuwa na kutokuelewana na Mkorea mmoja ambaye alikuwa ni mmiliki wa kiwanda fulani, Ubalozi wa Korea mara moja uliingilia kati shauri hilo.
24Nofotsian'i Korea Avaratra teny amin'ireo trano fivarotam-boky tao Myanmar ilay boky mikasika n'Ingahy Kim Jong Ill. Henatra izany!Korea ya Kaskazini waliviondoa vitabu vya Kim Jong wa III haraka sana kutoka katika maktaba mbalimbali nchini Myanmar. Nni aibu gani hii!
25Nidina nijery taty Myanmar i Etazonia rehefa nisy ny olana Yettaw.Marekani walifika haraka Myanmar pale tu lilipotokea suala laYettaw.
26Antsika indray izao ?Msimamo wetu?
27Ao Malezia, Tratran'ny fahatapahàna lalan-drà ny vavan'ilay Masoivoho.Huko Malasia, mdomo wa Balozi ulipatwa na ganzi.
28Sembana ny Minisitry ny Serasera ary tsy malemy ny governemantan'i Myanmar.Wizara ya Mawasiliano imepatwa na kilema na serikali ya Myanmar imepooza.
29“We are Birmanase” na hoe Birmana isika, pejin'ny fiarahamonina iray anaty Aterineto an'ireo teratany avy ao Myanmar manerana izao tontolo izao no nametra-panontaniana mikasika ny fahanginan'ireo fikambanana tsy miankina na ONG sy ireo filazam-baovao maro manoloana ny tsy rariny hiaretan'ireo Bodista ao Malezia :Sisi ni Raia wa Barma , ukurasa wa jumuia ya raia wa Myanmar waishio pande zote za dunia ulihoji ukimya wa mashirika binafsi na vyombo vya habari kufuatia udhalilishaji wanaokabiliana nao watu wa jamii ya budha nchini Malasia:
30Tamin'ny fotoana nisian'ny korontana tao an-tananàn'i Meikhtilar tao Myanmar, ny filazambaovao (manerantany) sy ireo fikambanana Iraisam-pirenena (toy ny) Firenena Mikambana, Human Rights Watch (dia nitatitra) mikasika izany ary nisy mihitsy aza ireo nanatavy (ilay resaka), nanasokajy azy io ho famongorana foko, novonoina tamin-kerisetra ireo Silamo tao Myanmar, na zavatra mitovitovy amin'izany…. Kanefa maninona izy ireo ankehitriy no tsy ahitan-teny mikasika io raharaha famonoan'olona ao Malezia mikendry ireo Bodista avy ao Myanmar io?Wakati vurugu zilipotokea huko katika mji wa Meikhtilar nchini Myanmar, vyombo vya habari vya kimataifa na mashirika ya kimataifa kama vile Umoja wa Kimataifa, shirika la Haki za Binadamu yaliripoti matukio haya na pia baadhi yao walipotosha hali halisi ya mambo, wengine wakisema ni mpango wa kufutilia mbali makabila fulani, mauaji ya halaiki, waislamu ya Myanmar wanauawa kikatili na mambo vyanayofanana na hayo….. lakini ni kwa nini kumekuwa na ukimya uliopitiliza kuhusiana na mauaji ya kikatili yaliyotokea nchini Malasia yanayowalenga wabudha wa Myanmar.
31Bodista Birmana firy no andrasan'izy ireo hatao sorona vao hamoaka (ilay raharaha) eny amin'ny gazety sy ny fahitalavitra ?Wabudha wa Myanmar wajitoe mhanga kwa kiasi gani ili hali wanayokabiliana nayo ifahamike na kuchukuliwa hatua stahiki?
32Azafady indrindra Mba asehoy ilay lazaina fa ZO dradradradrainareo matetika rehefa te hanala baraka ireo Bodista Birmana amin'ny gazety sy ny fahitalavitra manerana izao tontolo izao ianareoTafadhali onesha kile kinachofahamika kama HAKI ambacho kila mmoja wenu amekuwa akikitumia popote uonapo wabudha wa Myanmar wakifedheheshwa popote pale katika maandiko au kwa picha
33Ny 4 Jona, rehefa niakatra ny feo ary nihamafy ny fanafihana, izay ny governemantan'i Myanmar vao namoaka “Aide Memoire” tao amin'ny Masoivohon'i Malezia, ho manainga ny governemanta Maleziana hanao fanadihadiana avy hatrany mikasika ilay raharaha ary hampihatra ny lalàna velona amin'ireo olona tompon'antoka tamin'izany.Mapema Juni 4, kadiri hali hii ilivyozidi kupigiwa kelele, mashambulizi nayo ndivyo nayo yalivyozidi kushika kasi, Serikali ya Myanmar ilitoa tamko la kidiplomasia kwa balozi wa Malasia nchini Myanmar likiitaka serikali ya Malasia kufanyia uchunguzi matuko haya haraka iwezekanavyo na kuwachukulia hatua za kisheria watu wote watakaohusika na matukio haya.
34Ny 6 Jona, nanao fanambarana ny tao Malezia fa 900 ireo teratany Myanmar nosamborina nandritra ilay fanadiovana nataon'ny mpitandro filaminana.Manamo tarehe 6 Juni, serikali ya Malaysia ilitaarifu kuwa raia 900 wa Myanmar walishikiliwa wakati wa msako wa kiulinzi.
35Miomana ny[my] handefa solontena manokana ho any Malezia ny governemanta ao Myanmar.Serikali ya Myanmar inajiandaa kupeleka jopo la wataalam nchini Malasia.
36Koa satria betsaka ireo mpifindra monina Myanmar tsy manana ny akory fahafahana hiditra hopitaly nohon'ny ratra mahazo azy, dia nanome fanampiana ho an'ireo niharam-boina ny “Malaysia Kampung Free Funeral Service Social Team” (Kampung FFSS), fikambanana avy ao Malezia .Kwa kuwa baadhi ya wahamiaji wa Myanmar hawezi kumudu gharama za matibabu, Timu ya Huduma za bure za Mazishi ya Kampung nchini Malasia (Kampung FFSS) ilitoa msaada kwa wahanga.
37I U Aung Ko Win, filohan'ny Kanbawza Bank izay sady mitantana ilay orinasam-pitanterana am-piaramanidina Myanmar Airways International (MAI) dia nanome fanampiana [my] mitentina $50,000 dolara Amerikana ary nampidina ny saran'ny tapakila fandehanana fiaramanidina MAI Malezia-Myanmar hatramin'ny 50% ho an'ireo mpifindra monina te-hiverina any Myanmar.U Aung Ko Win, ambaye ni Rais wa Benki ya Kanbawza ambaye pia ni mmiliki wa Shirika la Ndege la Kimataifa la Myanmar (MAI) alichangia dola za Kimarekani 50,000 na kutoa tiketi za ndege kwa punguzo la asilimia 50 kwa safari ya Malasia-Myanmar ili kuwarahisishia wahamiaji wote wanaotaka kurudi nchini Myanmar.
38i U Zaw Zaw, mpanefoefo fanta-daza iray, izay Filohan'ny Federasionan'ny Baolina Kitra ao Myanmar koa no nanambara fa [my] hanome tapakilam-piaramanidina miisa 1000 atolotra ireo rehetra te-hiverina hody any Myanmar, miampy vola $20 000 dolara Amerikana ho an'ilay fikambanana FFSS Kampung.Tajiri mwingine mashuhuri sana, U Zaw Zaw, ambaye ni Rais wa Shirikisho la Soka la Myanmar alitangaza kuwa atachangia tiketi 1,000 za ndege kwa wote wanaohitaji kurudi nchini Myanmar, pamoja na kuchangia dola za kimarekani 20,000 Kampung FFSS.
39Maro amin'ireo mpampiasa Facebook no nanova ho mainty ny sary teo amin'ny mombamomba azy ho fisaonana ireo teratany Myanmar maty tao Malezia.Watumiaji wengi wa mtandao katika mtandao wa Facebook walibadilisha picha zao na katika taarifa zao na kuweka picha nyeusi kuomboleza vifo ya raia wa Myanmar vilivyotokea huko Malasia.