Sentence alignment for gv-mlg-20130706-49922.xml (html) - gv-swa-20130706-5427.xml (html)

#mlgswa
1Mifandona Manerana an'i Ejipta ny Mpanohana sy Mpanohitra an'i MorsiMisri: Wafuasi wa Morsi Wapambana na Waandamanaji Wanaompinga Morsi
2Ity lahatsoratra ity dia ao anatin'ny fitantarana manokana Ejipsiana Manongana an'i MorsiMakala haya ni sehemu ya habari zetu maalamu Wamisri Wamwangusha Morsi
3Nitranga androany 6 jolay 2013 ny fifandonana nahiana indrindra eo amin'ny mpanohana ny Mpirahalahy Miozolomana sy ny mpanao fihetsiketsehana niantsony ny hanonganana ny filoha ejipsiana teo aloha Mohamed Morsi.Mapambano yaliyotarajiwa kati ya wafuasi wa Muslim Brotherhood na waandamanaji waliotaka rais wa zamani wa Misri Mohamed Morsi aondoke yametokea leo [June 6, 2013].
4Tantarain'ny fantsona fahitalavitra ao amin'ny firenena sy iraisampirenena ny toe-javatra.Ilikuwa kama mchezo wa kuigiza na ulionekana moja kwa moja kwenye televisheni, na ulirushwa kwa moja kwa moja na vituo vya televisheni vya ndani na vile vya kimataifa.
5Farafahakeliny 17 ny olona maty ary mihoatra ny 400 ny mpanao fihetsiketsehana naratra nandritra ny fifandonana manerana an'i Ejipta androany, izay maro amin'ny ao tambajotra sosialy no milaza azy ho “nandrasana” sy “tsy fahita.”Watu wasiopungua 17 waliuawa na zaidi ya waandamanaji 400 wakijeruhiwa katika mapigano nchini kote Misri leo, tukio ambalo mitandao mingi ya kijamii inalielezea kama “lililotarajiwa” na “linalosikitisha.”
6Misioka i Ayman Mohyeldin, masoivoho ivelan'ny NBC News monina ao Ejipta:Ayman Mohyeldin, mwandishi wa kigeni wa kituo cha televisheni cha NBC News anayeishi Misri, anatwiti:
7@AymanM: Thousands of pro-morsi protestors moving across October 6 bridge towards tahrir.@AymanM: Maelfu ya wafuasi wa Morsi waliandamana wakipita daraja la Octoba 6 wakielekea tahrir.
8Military helicopter flying above pic.twitter.com/SMbqFvQKAoHelkopta ya kijeshi iliruka angani pic.twitter.com/SMbqFvQKAo
9Mpanohana an'i Morsi an'arivony no niampita ny tetezan'i 6 oktobra mizotra ho any tahrir.Mapambano ya mwanzo katika njia iliyoko pembezoni mwa mto Nile.
10Misidina ambonin'izy ireo ny angidimbin'ny tafika irayPicha imewekwa kwenye mtandao wa twita na @SherineT
11Manampy ny masoivohon'i Al Jazeera ao Kairo Sherine Tadros:Mwandishi wa kituo cha televisheni cha Al Jazeera wa Cairo Sherine Tadros anaongeza:
12Korontana tanteraka eto Maspero.@SherineT: Ghasia tupu hapa Maspero.
13Milliers contre milliers.Maelfu wanapambana na maelfu.
14Batailles de rue.Vita vya mtaani.
15Blessés allongés sur le solWatu waliojeruhiwa wamelala chini
16Ao Maspero no misy ny radio sy ny televizionam-panjakana ejipsiana ao afovoan'i Kairo, izay metatra maromaro miala ny kianja Tahrir, izay mbola hanohizan'ny mpanao fihetsiketsehana anti-Morsi ny fankalazana ny fionganan'i Morsi.Maspero ni jengo la televisheni na redio ya taifa ya Misri lililoko katikati ya Cairo, na liko mita kadhaa kutoka viwanja vya Tahrir, amahali ambapo waandamanaji wanaompinga Morsi wanaendelea na sherehe za kuondoka kwa Morsi.
17Nanmarika i Andy Carvin:Na Andy Carvin anabainisha:
18Sary tsy fahita eto aje amin'izao fotoana izao - olona am-polony mitora-bato, izay azavain'ny “laser” maitso tsirairay ireovatoireo ikendrena ny ery andaniny@acarvin: Video ya kusikitisha inaonyeshwa kwenye kituo cha al jazeera hivi sasa -ikiwaanesha jamaa kadhaa wakirusha mawe, kila mmoja akimwulika kwa toshi ya kijani ili kupata shabaha kwa wapinzani wao
19Izay rehetra izany dia ny ao Kairo ihany.Haya hayatokei ndani ya Cairo pekee.
20Ivelan'i Kairo dia misy ihany koa ny gidragidra.Nje ya Cairo, mapigano wameripotiwa.
21Mnoratra i Mostafa Hussein:Mostafa Hussein anaandika:
22Gidragidra an-dalambe ao Alexandria amin'izao fotoana izao.@moftasa: Vita vya mtaani vinaendelea mjini Alexandria.
23Araho mivantana ao amin'ny Al ArabiyaHabari zinaonyeshwa kwenye televisheni ya Al Arabiya.
24Mpanohana an'i Morsi niampita ny tetezan'ny 6 Oktobra androany maraimbe.Maelfu ya wafuasi wa Morsi wakivuka daraja la Oktoba 6 mapema leo.
25Saripika nozarain'i @AymanM ao amin'ny TwitterPicha imewekwa kwenye mtandao wa twita na @AymanM
26Nanampy i Mohamed Fadel Fahmy:Mohamed Fadel Fahmy anaongeza:
27Mpanao gazety iray ao Suez vao niantso ahy nilaza fa misy fifndonana mafana eo amin'ny tafika sy ny mpanohana an'i Morsi.@Repent11: Mwandishi wa habari akiwa Suez amenipigia sasahivi akisema kuna mapigano ya kutisha yanaendelea kati ya jeshi na waandamanaji wanaomwunga mkono Morsi.
28Feom-basy sy maratra maro.Milio ya risasi inasikika na kuna majeruhi wengi.
29Nanontany i Ahmed Mwaheb, avy any Ismailia [ar]:Na Ahmed Mwaheb, kutoka Ismailia, anauliza [ar]:
30@AhmedMwaheb: Aiza ny tafika?@AhmedMwaheb: Liko wapi jeshi?
31Misy gidragidra an-dalambe eto Ismailia ary manana ny karazam-pitovam-piadiana rehetra ny Mpirahalahy MiozolomanaKuna vita vya mitaani hapa Ismailia na wafuasi wa Muslim Brotherhood wa kila aina ya silaha
32Ny fifandonana izay nandrasana sy nahian'ny maro dia nitranga roa andro taorian'ny nanonganan'ny miaramila an'i Morsi, kandidàn'ny Mpirahalahy Miozolomana, izay lasa filoha herintaona taty aoriana [mg] taorian'ny fihetsiketsehana goavana nitaky ny hialany sy hamaranana ny fitondran'ny mpirahalahy ao EjiptaMapigano hayo, yaliyotarajiwa na yanayoogopwa na wengi yametokea siku mbili baada ya Morsi, mgombea wa chama cha Muslim Brotherhood aliyeshinda urais mwaka mmoja ulippita, kung'olewa madarakani na jeshi kufuatia maandamano makubwa yakimtaka ajiuzulu kumaliza utawala wa chama cha Muslim brotherhood nchini Misri.
33Maro ny manondro ny miaramila, ny fitondrana taloha ary ny Mpirahalahy Miozolomana ho anton'ny fifandonana.Lawama nyingi zinaelekezwa kwa jeshi, utawala wa zamani na chama cha Muslim Brotherhood kwa mapigano hayo.
34Nanamarika i Philip Rizk:Philip Rizk anasema:
35Tafika/ fitondrana taloha + mpirahalahy no tompon'antoka tamin'ny fifampitifirana takaikin'i tahrir.@tabulagaza: Jeshi/itawala wa zamani pamoja la Muslim Brotherhood wanastahili kubeba lawama kwa mapigano haya mabaya ya kutumia bunduki yanayoendelea karibu na tahrir.
36Mitombo ny fifankahalana eo amin'ny andaniny sy ny ankilanyChuki inaongezeka kwa pande zote kwa kila risasi inayorushwa
37Namehy i Mohammed Maree:Na Mohammed Maree anahitimisha:
38@mar3e: Tsy manana hoavy intsony ny Mpirahalahy Miozolomana.@mar3e: Muslim Brotherhood hawatakuwa na mustakabali mzuri tena.
39Ny ra nandriaka no handroaka azy ireo amin'ny fiainana politikaDamu inayomwagiga ndiyo imekisambaratisha chama hicho na kinajizika chenyewe kwenye medani za siasa
40Mbola mitohy ny gidragidra amin'izao fotoana anoratana izao.Mapigano yanaendelea wakati makala haya yakiandikwa.