Sentence alignment for gv-mlg-20130709-50023.xml (html) - gv-swa-20130712-5484.xml (html)

#mlgswa
1Al Jazeera Voampanga Ho Mitati-Baovao “Mitongilana” Ao EjiptaAl Jazeera Yatuhumiwa Kutangaza “Habari za Upendeleo”
2Ity lahatsoratra ity dia ao anatin'ny pejy manokana Ejipsiana Nanongana an'i MorsiMakala haya ni sehemu ya Habari zetu Maalumu za Wamisri Wamng'oa Morsi
3Nifantohan'ny maso ny Al Jazeera tao Ejipta amin'izay lazain'ny maro fa fitantarana “mitongilana” nataony nandritra sy taorian'ny fanonganana ny filoha ejipsiana teo aloha Mohamed Morsi tamin'ny 4 jolay. Voampanga ho nifamato-dra tamin'ny Mpirahalahy Miozolomana ka nanao ho mpitondrateniny ity fantsona miorina ao Qatar ity.Al Jazeera iko kwenye wakati mgumu nchini Misri kwa kile kinachoelezwa na wengi kuwa ni “upendeleo” wake katika kutangaza habari zake wakati na baada ya kuondolewa madarakani kwa rais wa zamani wa Misri Mohamed Morsi mnamo Julai 4. Kituo hicho cha televisheni kilichopo nchini Qatar kinatuhumiwa kuegemea upande wa wafuasi wa Muslim Brotherhood na kugeuka kuwa mdomo wa kikundi hicho.
4Taorian'ny nandroahan'ny Tafika an'i Morsi tamin'ny asany, dia nitsaha-ketrika avy hatrany ny mivantan'ny Al Jazeera tao Ejipta, Al Jazeera Mubasher.Baada ya Morsi kuondolewa madarakani na Jehsi, matangazo ya moja kwa moja kutoka Misri ya kituo hicho cha Al Jazeera, yaitwayo Al Jazeera Mubasher, ghafla yalikatika.
5Nanambara ny tambajotra hoe:Kituo hicho kilitangaza:
6Nitsahatra niaraka tamin'ny fantso-pahitalavitra hafa maro ny Al Jazeera mivantana avy eto Ejipta.Matangazo ya moja kwa moja ya Al Jazeera kutoka Misri yameondolewa hewani pamoja na vituo vingine vya televisheni.
7Ny tatitra avy amin'ireo masoivohonay no nilaza fa nitranga izany nandritra ny fampitana ny mivantana ka nakorontan'ny mpitandro ny filaminana ny trano fanorenana ary nosamboriny ny mpanolotra, ny nasaina ary ny mpamokatra ny fandaharana.Habari kutoka kwa waandishi wetu zinasema wakati matangazo ya moja kwa moja yakiendelea wanajeshi walivamia jengo na kumkamata mtangazaji, wageni waliokuwepo na watayarishaji wa kipindi hicho.
8Roa andro taoriana ny mpampanoa lalàna tao afovoan-tanànan'i Kairo namoaka didy fampisamborana ny tale vaovaon'ny fantsona Abdel Fattah Fayed.Siku mbili baadae mwendesha mashitaka wa eneo la Downtown jijini Cairo alitoa hati ya kukamatwa kwa mkurugenzi wa habari wa kituo hicho Abdel Fattah Fayed.
9Voampanga ho “manohintohina ny filaminam-bahoaka sy ny fandriampahaleman'ny firenena amin'ny alalan'ny famoaham-baovao mamelon'ady (mamelon'afo) i Fayed.”Fayed anashitakiwa kwa “kuhatarisha amani miongoni mwa raia na usalama wa taifa kwa kutangaza habari za kichochezi.”
10Notazonina roa andro izy ary navotsotra rehefa handoa “onitra”.Alishikiliwa kwa siku mbili na baadae aliachiwa kwa dhamana.
11Ary androany nisy ny fialana faobe nataon'ny mpiasa miisa 22 ao amin'ny ekipa noho ny filazan'izy ireo ho “fitatera-baovao tsy mifandraika amin'ny zava-mitranga marina ao Ejipta.”Siku ya Julai 8, wafanyakazi 22 wa kituo hicho walijiuzulu kwa kile walichodai kuwa “matangazo yalikuwa hayaonyeshi matukio halisi ya hali ya mambo nchini Misri.”
12Ny tatitra hafa [ar] no milaza fa 26 ny mpiasa ejipsiana niala, ka ao anatin'izany ny mpiasa efatra miasa any amin'ny foibe ao Doha.Habari nyingine [ar] zinasema wafanyakazi 26 raia wa Misri wamejiuzulu, wakiwemo wanne wanaofanya kazi kwenye ofisi kuu iliyoko Doha.
13Mpanao gazety iray, Wesam Fadhel nitatitra ny fialany ao amin'ny sata Facebook [ar].Mmoja wa watangazaji, Wesam Fadhel inasemekana kuwa aliacha kazi kupitia posti yake kwenye mtandao wa Facebook [ar].
14Toy izao ny nosoratany:Ujumbe wake unasomeka:
15Niala tao amin'ny Al Jazeera aho androany.Ninaacha kazi Al Jazeera leo.
16Mandainga ankitsirano mihitsy io.Kituo hiki kinadanganya mchana kweupe.
17Nampiseho ny sarin'i Tahrir mbola mangadihady taloha ry zareo ary milaza fa vao teo no nalaina dia ataon-dry zareo eo mandritra ny ora maro izany.Wanaonyesha picha za video zilizopigwa zamani kutoka kwenye viwanja vya Tahrir na kusema eti zimepigwa muda mfupi uliopita na kuzirudia rudia kwa masaa kadhaa hewani.
18Raha nanontany an'i Ahmed Abu Al Mahasen ny antony hanaovana izany aho dia nolazainy fa tsy misy idirako izany (fa tokony ny asako ihany no tohizako).Nilipomwuliza Ahmed Abu Al Mahasen sababu ya kufanya hivyo alinijibu nisiingilie mambo yasiyonihusu.
19Maka sary mivantana ao Tahrir ny Al Jazeera amin'izao fotoana izao.Kamera za Al Jazeera ziko Tahrir sasa hivi.
20Mampalahelo fa nieritreritra niasa tao amin'ny toerana noheveriko ho ananana fitokisana aho saingy [mahatsapa ankehitriny] fa ny fitokisana azy dia mifototra amin'ny fijoroana ara-politika.Nafadhaika, nimewahi kufanya kazi kwenye sehemu niliyodhani ina weledi lakini [sasa nimetambua] weledi wake unategemeana na hali ya kisiasa.
21Ao amin'ny Twitter i Elijah Zarwan no namoaka hevitra:Kwenye mtandao wa Twita, Elijah Zarwan anatoa maoni yafuatayo:
22Nametra-pialana ny ekipa Al-Jazeera Ejipta taorian'ny ‘tati-baovao mitongilana': Ny fialana tamin'ny 1 jona no mety ho fampisehoana herim-po@elijahzarwan: Mfanyakazi wa Al-Jazeera Misri ameacha kazi kwa sababu ya “habari za upendeleo”: Angeacha kazi tarehe 1 June angekuwa ushujaa http://tinyurl.com/mjculx8
23Ary nanampy i Nezar AlSayyad:Na Nezar AlSayyad anaongeza:
24Lasa toy ny Fox News ho an'ny Repoblikana fondamentalista ao Etazonia hatry ny taona maro ny fantsona Al Jazeera ho an'ny Islamista ao Ejipta tao ho ao.@nezar: Kituo cha Jazeera kwa muda wa hivi karibuni kimekuwa cha Kiislamu kama ambavyo Fox News kimekuwa cha wahafidhina wa Republican nchini Marekani kwa miaka mingi.
25Tany amin'ny fivoaran-draharaha hafa i Rawya Rageh, mpitatitr'i Al Jazeera ao Kairo, nisioka sarin-taratasy fandrahonana nalatsaka teo ivelan'ny biraon'ny Al Jazeera's Cairo tao Kairo androany:Katika hali isiyoeleweka sawia, Rawya Rageh, mwandishi wa Al Jazeera jijini Cairo, anatwiti picha za vipeperushi vya kutishia vilivyotupwa nje ya ofisi za Al Jazeera jijini Cairo leo:
26Taratasy fandrahonana nalatsaka teo ivelan'ny biraon'ny Al Jazeera tao Kairo.Kipeperushi cha vitisho kilichotupwa nje ya ofisi ya Al Jazeera, Cairo.
27Saripika nozarain'i @RawyaRageh tao amin'ny twitter.Picha imewekwa kwenye mtandao wa twita na @RawyaRageh
28Sombin-taratasy fandrahonana nalatsaka akaikin'ny biraon'ny AlJazeera tao Kairo - tanana mihosin-drà sy tsipika ‘lainga sy lainga hafa' #Ejipta@RawyaRageh: Threatening leaflets dropped near AlJazeera's offices in Cairo - bloodied hand & line ‘lies & other lies' #Egypt
29Mamono firenena ny fakantsary mandainga, hoy ny fivakin'ny trakitra natsipy teo ivelan'ny biraon'ny Al Jazeera tao Kairo.“Kamera inayodanganya ni maafa ya taifa” ndivyo kinavyosomeka kipeperushi kilichotupwa nje ya ofisi ya Al Jazeera jijini Cairo.
30Saripika nozarain'i @RawyaRageh ao amin'ny TwitterPicha imewekwa kwenye mtandao wa twita na @RawyaRageh
31“Mety mahafaty olona iray ny bala, mamono firenena ny fakantsary mandainga” hita ao amin'ny trakitra nalatsaka teo akaikin'ny biraon'ny AlJazeera@RawyaRageh: ‘Risasi yaweza kumwua mtu, lakini kamera iliyojaa uwongo ni maafa kwa taifa' kinasema kipeperushi kimoja karibu na ofisi za Al Jazeera #Misri