Sentence alignment for gv-mlg-20150504-69298.xml (html) - gv-swa-20150419-8681.xml (html)

#mlgswa
1Milaza Inona -Momba Antsika Sy Ny Tambajotra Sosialy Ny Fandraràna Ny Zavakanton'ny Fitanjahana?Kudhibitiwa kwa Sanaa ya Michoro ya Uchi Kuna Maana Gani Kwetu na Mitandao ya Kijamii?
2Varavaran-kely ahitàna an'i Sucre.Dirisha lenye madhari inayoelekea Sucre.
3Sary nalain'i Erika Ordosgoitti.Picha na Erika Ordosgoitti.
4Ny Fitanjahana, iray amin'ireo lohahevitra tranainy indrindra sy tena miverimberina be eo amin'ny tontolon'ny Zavakanto, no nitondra ho amin'ny fampiantoana kaonty Facebook betsaka nandritra ny taona maro.Michoro ya uchi, moja wapo ya mada za muda mrefu zaidi na zinazoendelea kuwa na umaarufu katika ulimwengu wa sanaa, imesababisha kusimamishwa kwa akaunti nyingi za mtandao wa facebook katika kipindi cha miaka kadhaa.
5Iray amin'ireo ohatra tsy ela akory izay ary notaterina be ny kaontin'i Jerry Saltz, mpitsikera zavakanto avy amin'ny Gazety boky New York Magazine.Mfano wa hivi karibuni na uliotangazwa kwa kiasi kikubwa ni ule wa akaunti ya Jerry Saltz, msanii anayetumia sanaa kukosoa kupitia Jarida la New York.
6Ny volana lasa teo, naato ny kaontiny satria nizàra sary izay nolazaina fa tsy mendrika izy, raha araka ny famaritana ny fepetra fampiasàna ilay tambajotra.Mwezi uliopita, akaunti yake ilifungiwa kwa sababu aliweka michoro inayosemekana kuwa haina maadili, kwa mujibu wa vigezo na masharti ya mtandao huo.
7Eo amin'ny tontolon'ny media dizitaly, midika fitanjahana ny hoe tsy mendrika/tsy mifanaraka.Kwenye mitandao ya kidijitali, ‘kutokuwa na maadili' mara nyingi humaanisha uchi au ngono.
8Ny an'i Saltz izao, nosokajiana ho mihantsy sy mamoafady mihitsy ilay sary navoakany, araka ny nambaran'ny ArtsBeat, ilay blaogin'i New York Times.Kwa kilichomkuta Saltz, michoro ilisemekana kuwa na taswira ya ngono, kwa mujibu wa blogu ya New York Times inayoitwa ArtsBeat.
9Kanefa dia mason-tsivana nitovy tamin'izay no nampiatoana sary maro, manomboka amin'ny amin'ny sarinà reny mampinono hatramin'ny asan'ireo artista maneho loha-nono, maha lehilahy, ary indrindra ny mahavehivavy.Lakinikigezo hicho hicho kimetumika kuhakiki aina mbalimbali za michoro na picha, kuanzia ile ya akina mama wanaoonekana kunyonyesha mpaka kwa wasanii ambao kazi zao zinaonesha chuchu, sehemu za siri za kiume, na hata zile za kike.
10Ny taovam-pananahan'ny vehivavy dia toy ny zavatra rehetra ihany, fa kosa tsy azo resahana anaty aterineto, eny fa na dia ny amin'ilay raharaha ho famerenana ilay hosodoko “Ny Fiantombohan'Izao tontolo izao an'i Gustave Courbet 1866 aza.Via vya kike vinaonekana kuwa ndiyo michoro inayoongoza kupigwa marufuku kwenye mitandao ya kijamii, hata kwenye sanaa ya mchoro maarufu wa Gustave Courbet wa mwaka 1866 unaojulikana kama The Origin of the World. [Asili ya Ulimwengu].
11Ilay Venezoeliana Erika Ordosgoittiosgoitti, izay mpanakanto mpanao fampisehoana mifantoka voalohany indrindra amin'ny vatan'ny vehivavy dia ohatra iray hafa amin'ireo olona nisedra fanamby isan-karazany noho ny namoahany ny asatanany maneho fitanjahana tao amin'ny media sosialy.Msanii wa sanaa za maonesho wa Venezuela Erika Ordosgoitti, ambaye kazi zake zinajikita zaidi kwenye maeneo ya mwili wa mwanamke, ni mfano mwingine wa mtu aliyekumbana na changamoto nyingi kwa sababu ya kuchapisha kazi zake za sanaa zenye kuonesha sehemu za siri kwenye mitandao ya kijamii.
12Anatin'ireo asa hafa navoakany, efa in-dimy nosivanin'ny Facebook ihany koa ilay sariny mitanjaka.Miongoni mwa kazi nyingine, Facebook imefuatilia mchoro wa mwili wake mwenyewe ukiwa uchi kwa mara tano sasa.
13Dikasarin'ny tatitra iray momba ny votoaty mamoafady tao amin'ny Facebook milaza fa mamoafady tao ka nofafana ny sarin'i Erik.Picha ya taarifa kuhusu maudhui ya kingono kwenye mtandao wa Facebook ikisema kwamba picha ya Erika imelalamikiwa na hivyo, imefutwa.
14Nozarain'i Erika Ordosgoitti.Imewekwa kwenye mtandao na Erika Ordosgoitti.
15Ny lahatsoratra etsy ambony, manazava ny antony namafàna ilay sary, dia mivaky hoe :”Naverinay nodinihina ilay sary izay lazaina fa mahakasika ny fitanjahana na mamoafady.Maandishi hayo hapo juu, yanaeleza sababu za Fecebook kufuta picha hiyo na yanasomeka hivi: “Tumeikagua picha iliyolalamikiwa kwa kuonesha utupu au kuwa na maudhui ya kingono.
16Koa satria mandika ny Fitsipiky ny Tolotray, dia nesorina izany.Kwa sababu inakiuka Msharti na Vigezo vyetu, picha hiyo imeondolewa.
17Misaotra tamin'ny fampahafantarana.Asante sana kwa kutujulisha.
18Efa nampahafantarinay i Erika Ordos fa nofafàna ilay sary navoakany, fa tsy nolazainay kosa hoe iza no nametraka ny fitoriana.Tumemjulisha Erika Ordos kwamba tumefuta picha yake, lakini hatukumfahamisha nani aliwasilisha malalamiko.
19Tsy hamoaka velively ny mombamomba ilay olona nanao fitarainana ny Facebook.”Facebook haina utaratibu wa kuweka wazi jina la mtu anayelalamikia maudhui.”
20Nangatahan'ny Global Voices i Ordosgoitti hilaza amintsika momba izay zavatra niainana niaraka tamin'ireo sehatry ny tambajotra sosialy.Global Voices ilimwuliza Ordosgoitti atusimulie uzoefu wake kuhusu kufuatiliwa kwa kazi zake kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii kwa lengo la kumdhibiti.
21Ka tamin'izany no nanombohanay nandinika mikasika ny fomba anamoran'ireo mpandrindra ny rafitra ary ny mpampiasa azy ny sivana.Kuanzia hapo, tumeanza kufikiri namna watumiaji na wasimamizi wa mifumo ya mtandao wanavyoweza kuwezesha ufuatiliaji huu.
22Ity lahatsoratra ity dia fiantombohan'ireo lahatsoratra maro mbola hivoaka hiresaka ireo fomba samihafa hiatrehana ny fanivànana ny Zavakanto, miainga amin'ny tantaran'i Erika Ordosgoitti sy ireo Artista maro voafehin'ny fitsipika mifehy ny tolotra ary ny lalànan'ny fiarahamonina.Makala hii itakuwa ya kwanza katika mfululizo wa machapisho yatakayojadili namna mbalimbali za kushughulikia suala la kudhibitiwa kwa sanaa hii, kwa kutumia masimulizi ya Erika Ordosgoitti na wasanii wnegine waliobanwa na masharti na vigezo vya mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na makubaliano ya kijamii.
23Ny fampirantiana farany nataon'i Ordosgoitti, mitondra ny lohahevitra hoe Comida de moscas (Sakafo ho an'ny Lalitra ), nomaneho hevitra maro mikasika ilay sivana nihatra taminy ary niezaka ny nikaroka.Maonesho ya hivi karibuni ya Ordosgoitti, yaliyokuwa na jina la Comida de moscas (Chakula cha Nzi), yalikuwa ni mtazamo kuhusu ufuatiliwaji aliokumbana nao na namna alivyoweza kufanya kazi zake.
24Tandremo : ity sary manaraka ity dia ahitàna fiteny mivantambantana/mahery setra.Tahadhari: Picha inayooneshwa hapa chini ina maudhui yenye lugha kali.
25Nandritra ireo taona voalohandohany, niparitaka be tety anaty aterneto ilay pejy.Katika mwaka wa kwanza, ukurasa wangu ulikuwa maarufu mno mtandaoni.
26Nakaton'izy ireo isaky ny mihetsika ny kaontiko, bahanany aho ary nomeny fampitandremana, kanefa mbola fanahiniako notohizina nakarina ihany ny asako.Kila mara waliufunga ukurasa wangu, kunizuia kuitumia akaunti yangu na wakati mwingine kunionya, lakini bado niliendelea na kazi zangu kwa makusudi.
27Naharay ompa maro sy fandrahonana ho faty aho.Nilitukanwa sana na hata wakati mwingine kupata vitisho vya kuuawa.
28Lahatsary sy fanehoan-kevitra manivaiva voarain'i Ordosgoitti tamin'ireo mpampiasa aterineto.Video ikiwa na maneno yenye matusi aliyoyapata Ordosgoitti kutoka kwa watumiaji wa mtandao wa intaneti.
29Sary nozarain'ilay artista ary nahazoana alalana ny famoahana azy.Picha iliyotumiwa ni ya msanii na imechapishwa kwa ruhusa.
30Sendra ny toy izany ihany koa ilay Venezoeliana artista, Eliseo Solis Mora, tsy ela akory izay.Msanii wa Venezuela Eliseo Solis Mora alijikuta kwenye hali kama hiyo si muda mrefu uliopita.
31Nakaton'ny Facebook ny kaontiny noho ny nizarany ny sariny- mitanjaka aty anoloana izay ampahany aminà fampisehana zavakanto.Alifungiwa na Facebook kwa kuchapisha mchoro wenye sura yake-ukionesha sehemu za mbele za uchi wake ambao ni sehemu ya kazi zake za sanaa ya maonesho.
32Hoy izy nanoratra :Anaandika:
33Mpanelanelana iray saro-takarina ny tambajotra amin'izao androntsika izao.Mitandao ya kijamii siku hizi imekuwa jukwaa gumu kulitumia.
34Noraràna aho noho ny sariko.Nimefungiwa kwa sababu ya picha zangu.
35Tao amin'ny Facebook, nampakatra ny sarin'i Esther Ferrer aho dia nobahanan-dry zareo.Kwenye mtandao wa Facebook, niliweka picha za Esther Ferrer na wakanifungia.
36Mbola nitranga ihany izany tamin'ilay sary nitanjaka natokako ho an'i Ai Weiwei.Imetokea tena kwa mchoro niliokuwa nimeuchapisha kwa heshima ya Ai Weiwei.
37Tao amin'ny Instagram, nofafan'izy tamin'izao fotsiny ny sary iray nisy nanao tatitra.Kwenye mtandao wa Instagram, picha yoyote inayolalamikiwa hufutwa mara moja.
38Mijanona ho tsy fantatra anarana ireo mpitoryWalalamikaji habaki kuwa siri
39Milaza i Ordosgoitti fa matetika bahanana na sivanina ireo artista noho ny fitarainana voaray avy amin'ireo mpampiasa afaka mahita ny kaontiny.Ordosgoitti anasema wasanii hufungiwa au kufuatiliwa shauri ya malalamiko yanayotoka kwa watumiaji wengine wa mtandao wanaoona mashapisho yao.
40Manana Kaonty fito samihafa ao amin'ny Facebook aho.Nimewahi kuwa na akaunti kama saba tofauti za mtandao wa facebook.
41Amin'izao, kaonty roa sisa no velona : Kaonty ofisialy ary kaonty iray fanolo, matetika ny iray amn'ireo no voabahana, noho izany, ampiasaiko ny iray hialako amin'izany.Kwa sasa nina akaunti mbili: moja rasmi na nyingine ni mbadala, na mara nyingi moja wapo hufungiwa, kwa hiyo ninatumia nyingine kukabiliana na hali hiyo.
42Ambaran'ilay artista fa tsy rariny sady mitanila ny fampiharana io fepetra fanivànana io.Msanii huyo anasema vigezo vya kufuatiliwa havizingatiwi sana na havitumiki kwa usawa.
43Nomarihany ihany koa fa tsy misy fanamelohana atrehan'ireo mpampiasa aterineto mametraka fitoriana tsy rariny ireo :Anabainisha kwamba watumiaji wanaotoa malalamiko yasiyo na maana hawaadhibiwi:
44Facebook no tokony homena tsiny voalohany raha ity endrika fandraràna ity satria manome vahana ny fitoriana miafina ny politika apetrany.Mtandao wa Facebook ndio wa kwanza kabisa kulaumiwa kwa mtindo huu wa kufuatilia watumiaji wake kwa sababu sera zao zinalinda malalamiko yanayoficha jina la mlalamikaji.
45Amiko dia tena tsy rariny io politika io, satria tsy manome ahy fahafahana hahalala ny olona mitory ahy sy ny antony anaovany izany […].Ninaamini sera hii haina haki, kwa sababu hainipi fursa ya kujua nani ananiharibia na kwa sababu gani […].
46Isaorany ireo mpampiasa mametraka fitoriana, na tsy fantanyakozy aza hoe marina na tsia izany.Wao humshukuru mtumiaji anayelalamika, bila hata kujua kama alichokilalamikia kina mantiki.
47Raha toa ka mba mazava ihany ny fepetra fampiasàna azy, tsy toy izany kosa ny antony anaovana ny sivana, satria amin'izao fotoana izao (ary tsy tahàka izao foana tany aloha), vinavinaina fa ny tena tanjon'izy ireo dia ny hanàla ny sary mamoafady sy ny sary vetaveta rehetra, politika izay mety hipàka hatrany amin'ny sary Siantifika sy Artistika.Ingawa masharti ya kutumia yako wazi sana, sababu zinazoweza kutumiwa kwa ufuatiliaji haziko wazi, kwa sababu siku hizi (na imekuwa hivi siku zote) inaaminiwa kwamba nia kufuta kabisa picha za ngono au zenye maudhui ya kimapenzi, sera ambazo inaweza kuhusisha hata picha za kisayansi au za sanaa.
48Kanefa ahoana ny hanavahanareo ny sary mamoafady amin'ny sary artistika ?Lakini unawezaje kutofautisha picha za ngono na zile za sanaa?
49Ny fanapahan-kevitry ny Facebook hiaro ny mombamomba ireo izay mitory ny sary dia maneho finiavana hitazona ireny toe-draharaha ireny ho lasa fifandirana eo amin'ny samy mpampiasa aterineto.Uamuzi wa mtandao wa Facebook kuficha utambulisho wa wale wanaolalamikia picha unatoa taswira ya kufanya mambo haya kuleta migogoro kwa watumiaji wa mtandao huo.
50Nefa koa maneho fanamby vaovao, araka ny filazan'ireo artista.Lakini pia inaleta changamoto mpya, kama wasanii wanavyoonesha.
51Solís Mora, izay nisedra sivana ihany koa ny sary navoakany, dia nilaza fa tsy ara-demokratika ny mason-tsivana amin'ny fanivànana ireo sary artistika aty anaty tambajotra :Solís Mora, ambaye picha za mwili wake zimekuwa zikifuatiliwa kwa lengo la kudhibiti kazi zake, anaona vigezo vya kufuatilia picha za sanaa kwenye mitandao ya kidigitali haikuzi demokrasia:
52… manana fahafahana kokoa ireo olo-malaza.…watu maarufu wana uhuru zaiidi.
53Ny porofo mivaingana izao dia ilay sary hosodoko ahitàna an'i Kim Kardashian mampiseho ny fitombenany, izay avy dia niparitaka manerana ny tambajotra sosialy.Ushahidi wa hili ni picha inayomwonesha Kim Kardashian akionesha makalio yake iliyosambaa sana kwenye mitandao ya kijamii.
54Misy zavatra mahaliana voamarikao rehefa manokatra ny Instagram ianao : misy sary mitanjatanjaka zaraina isan'andro ahitàna “J'aime” an'arivony raha toa kosa ireo asa taokanto tonga diabahanana tsotra izao…Kuna jambo la kufikirisha unapofungua mtandao wa Instagram: kuna picha za kingono zinazochapishwa kila siku zenye maelfu ya watu wanaoweka alama ya kuvutiwa nazo wakati kazi za sanaa zikizuiwa bila mjadala…
55Vao haingana i Solís Mora no nizara fampitandremana vao voarainy-na koa fanambaràna-tao amin'ny rindriny Facebook :Hivi karibuni Solís Mora alichapisha tahadhari -au ilani-kwenye ukurasa wake wa Facebook:
56Raha ato amin'ito kaonty ito, izay heverina fa sehatra iray iasàna, no anehoako sariko mitanjaka ka tsy tianareo ry mpamaky isany, aza tiavina izy fa miovà pejy fotsiny…Ny hafatro izany, na ianao namako, na namana anaty aterineto, dia ny hoe mba miezaha mahatakatra fa Artista manana ny fahalalahako mamorona anie aho, ary ny asehoko eto dia zavakanto.Kama kwenye akaunti hii, ambayo inatumika kama zana ya kazi zaidi, ninaonesha mwili wangu ukiwa uchi na kama wewe, mpendwa msomaji wangu, usingependa kuona picha hizo, funga ukurasa…ninashauri, kwamba kama wewe ni rafiki yangu au mtu tunayewasiliana mtandaoni, jaribu kuelewa kwamba mimi ni msanii mwenye uhuru kamili w akiubunifu na kwmaba ninachokionesha hapa ni sanaa.
57Tahaka i Ordosgoitti, Mora koa dia nahazo fampitandremana ary nahazo fandrahonana ho faty noho ny asany.Kama ilivyo kwa Ordosgoitti, Mora amekuwa akidhalilishwa na hata kupata vitisho vya kifo kwa sababu ya kazi zake.
58Aminy, ny sivana avy amin'ny ivom-pampianarana kolotoraly dia zavatra atrehany isan'andro, fa ny faneriterena amin'ny fahalalahany artistika aty anaty aterneto, hoy izy, no miha mitombo hatrany hatrany :Kwake, ufuatiliaji unaofanywa kwa lengo la kudhibiti kazi zake kutoka kwenye taasisi za utamaduni limekuwa ni jambo ambalo amejifunza kushughulika nalo, lakini vikwazo kwa uhuru wa kazi zake za sanaa mtandaoni, anasema, vinaendelea kuongezeka:
59Tsy mijanona eo amin'ny resaka tatitra fotsiny ihany ny olana-fa ny tena olana dia ny tsy fahampian'ny fahalalahana.Tatizo ni zaidi ya kulalamikiwa-tatizo halisi ni kukosekana kwa uhuru.
60Na izany aza, tiako ny maheno olona miresaka fitanjahana, na dia efa resaka tranainy eo amin'ny tontolon'ny zavakanto aza io…Hata hivyo, ninapenda kusikia watu wakizungumzia sanaa ya uchi, hata kama ni mada ya zamani sana kwenye ulimwengu wa sanaa…