Sentence alignment for gv-mlg-20130630-49591.xml (html) - gv-swa-20130702-5368.xml (html)

#mlgswa
1Manafika Ny Fonenan'Ireo Shiita Ao Ejipta Ny Salafista, Efatra No MatyMisri: Wasalafi Washambulia Makazi ya Washia, Wanne Wauawa
2Mpikambana Ejiptiana efatra ao amin'ny antokom-pivavahana Shiita no namoy ny ainy tao Ejipta androany tamin'ny fanafihan'ireo Salafista ny fiangonan'izy ireo, taorian'ny fihantsiana nataon'izy ireo tamin'ny Shiita nandritry ny roa herinandro.Watu wanne nchini Misri ambao ni wafuasi wa imani ya Shia wameuawa nchini humo hii leo mara baada ya nyumba waliyokuwa wanakutania kushambuliwa na Waislam wenye msimamo mkali , hali iliyotokana na uchochezi dhidi ya watu wa imani ya Shia.
3Araky ny filazan'ireo tatitra maro isan-karazany, nodorana sy notafihana ny fiangonan'ny Shiita tany Giza sy Kairo.Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari, nyumba ambayo washia waliyokuwa kikikutania huko Giza, jijini Cairo, ilishambuliwa na kuchomwa moto.
4Ny Al Badil News dia mitatitra ny fijoroana vavolombelon'ny avy tao amin'ny tranom-paty izay milaza [ar] fa novonoina ny iray tamin'ireo olona maty ireo ary ny telo ambiny naratra mafy ny lohany.Kwa mujibu wa habari kutoka Al Badil, mtu mmoja alikaririwa kutoka kwenye chumba cha kuhifadhia maiti[ar] ambaye alisema kuwa, mmoja kati ya watu waliouawa kwa kuchinjwa na wengine watatu walijeruhiwa vibaya vichwani mwao.
5Nahatonga fahatezerana tanaty aterneto izany tranga mahatsiravina izany.Tukio hili la kuhuzunisha liliibua hasira kwa watumiaji wa mtandao wa intaneti.
6Nandrakitra izany famonoan'olona izany i Hazem Barakat, nizara sary sy lahatsarin'ilay fanafihana feno rà mandrika (Tandremo : lahatsary Grafika) anaty aterneto.Hazem Barakat aliandaa waraka wa tukio hili la kinyama, aliweka picha za watu walioonekana kutokwa na damu nyingi pamoja na kuweka video inayoonesha shambulio hili (Warning: Graphic video) mtandaoni.
7Nilaza izy tao amin'ny Twitter, fa norahonana izy tamin'ny famoahana iny tranga natrehiny maso iny.Katika ukurasa wa Twita, anasema kuwa alitishwa kwa kuweka mtandaoni tukio hili alilolishuhudia.
8Hoy izy nanampy [ar] :Anaongeza [ar]:
9@7azem122 : Vonona hijoro vavolombelona eo anoloan'ny Mpampanoa lalàna aho ary hilaza amin'ny antsipirihany ny zava-nitranga ary holazaiko ny hoe ny mpitarika fivavahana no nitarika ireny vono olona ireny@7azem122: nipo tayari kuthibitisha kwa mwendesha mashitaka wa umma na nitasema kwa kina kile kilichotokea na nitataja wazi kuwa makasisi ndio waliochochea mauaji haya.
10Nitangorona teo amin'ilay lalan-kely ahitana ny fiangonan'ireo Shiita novonoina tao Kairo ny olona androany.watu wakiwa wamejikusanya katika barabara nyembamba karibu na nyumba ambayo washia hao walipouawa leo huko jijini Cairo.
11Sary nozaraina tao amin'ny Twitter avy amin'i @7azem122Picha iliwekwa katika mtandao wa Twita na @7azem122
12Hoy izy nanohy : @7azem122 : Efa roa herinandro lasa izay no nanomboka ny fihantsiana natao tamin'ireo Shiita nanerana ny Moske ary androany no nanatanterahan'izy ireo ny teti-dratsiny.@7azem122: Uchochezi dhidi ya watu wa imani ya Shia ulianza wiki mbili zilizopita katika misikiti yote na siku ya leo wamekamilisha mpango wao.
13Tena alika mihitsy ireo Pretra ireo.Makasisi hao ni watoto wa Mbwa.
14Vonoin'izy ireo hatramin'ny zazakelyWaliwatumia watoto kwenye mauaji haya ya kikatili.
15Dimy ora talohan'izay, nibitsika izy :Masaa matano yaliyopita aliTwiti:
16@7azem122 : Nanomboka nandrava ny tafotranon'ireo Shiita ny Salafista.@7azem122: Waislam wenye msimamo mkali wameanza kuvunja paa la nyumba walipo watu wa imani ya Shia.
17Tena tranga tsy fahita mihitsy.Tukio hili, kama vile ni la kusadikika, lakini ndio hali halisi.
18Nijery fotsiny ireo polisy raha nahita ilay trano fivorian'ny Shiita ao Ejipta notafihan'ireo Salafista, hoy Hazem Barakat (@7azem122)Hazem Barakat anasema kuwa, polisi hawakutimiza wajibu wao kufuatia Salafists kushambulia nyumba waliyokuwa wakikutania waumini wa Shia huko Misri (@7azem122)
19Nolazainy ihany koa fa ny polisy, anatin'izany ireo mpitandro ny filaminana, dia nijery fotsiny tamin'ny nitrangan'ilay raharaha.Pia aliwatuhumu askari polisi pamoja na maafisa wengine kuwa walifahamu fika tukio lile na pia walishuhudia mauaji yale.
20Noraisin'ny mpampiasa aterineto tamim-pahatezerana ilay tranga.Tukio hili liliwaghadhabisha watumiaji wengi wa mtandao wa intaneti.
21Dr Bassem Youssef, mpandrangitra, dia nandefa bisika manao hoe :Mwandishi wa Tashtiti, Daktari Bassem Youssef anatwiti:
22@DrBassemYoussef : An'ny Shiita ny anio ; rahampitso an'ny Sufi, ary avy eo an'ny Copte, alohan'izany an'ny Bahai.@DrBassemYoussef: Leo ni kwa waumini wa Shia; kesho itakuwa Sufi, na kisha waumini wa Kopti, na kabla yake Bahai.
23Avy eo dia an'ny Silamo izay tsy manaiky ny hampiarahanareo ny Sharia (Fampianarana Silamo) amin'ny foto-pisainanareo, ary avy eo mety ho olona iray izay tsy tianareo ny fomba fijerinyKisha itakuwa ni zamu ya waislam ambao hawakubaliani na namna usimamiavyo sheria ya sharia (mafundisho ya kiislam) ikilinganishwa na msimamo wako na kisha itakuwa zamu ya mtu ambaye hapendezwi tu na muonekano wake.
24Nizara hevitra mitovy amin'izay ilay mpitoraka blaogy Ejiptiana, Zeinobia :Mwanablogu wa Misrir Zeinobia alitoa mawazo yafananayo na yaliyotangulia kusemwa:
25@Zeinobia : Androany izany dia an'ny Shiita, fa rahampitso mety ho ny mpiray vodirindrina aminao izay tsy mitovy hevitra aminao amin'ny sehatra politika sy rafi-pahalalana.@Zeinobia: na leo ikiwa ni kwa waumini wa shia, kesho itakuwa kwa jirani yako ambaye mmetofutiana kisiasa na kiweledi.
26Nanontany toa izao i Ahmed Abou Hussein :Ahmed Abou Hussein anauliza:
27@abouhussein7 : Rehefa milaza aminareo ny mpitarika anareo [Ny Filoha Mohamed Morsi] hoe tsy mpino ny mpanao hetsi-panoherana ary mpaniratsira ny Shiita, aza gaga raha misy mamono izy ireo.@abouhussein7: Kasisi wako [Rais Mohamed Morsi] anasema kuwa, waandamanaji ni wapagani na kuwa waumini wa Shia ni wafuska na hivyo usishangae wanapouawa.
28Morsi a, tsy ny fahaverezan'ny fahamarinana intsony no fanontaniana mipetraka.Morsi, swali siyo labda umeshapoteza uhalali kama Rais.
29Ny fanontaniana mipetraka dia ny hoe : impiry no very ny fahamarinanareo ?Swali ni kuwa, ni mara ngapi umeshapoteza uhalali kama Rais?
30Gaga Ahmad Khalil ny amin'ny fomba fandraisan'ny olona ilay vono olona :Ahmad Khalil anashangazwa na jinsi watu wanavyoyachukulia mauaji:
31@ahmad_khalil : Namono Shiita efatra ny Salafista.@ahmad_khalil: Wakereketwa wa harakati za Kiislam wameshawaua waumini wanne wa Shia.
32Ny tena mahagaga dia ny fahitana fa misy amin'ireo manameloka iny tranga iny no milaza fa ny fandatsahan-drà Silamo dia Haram [Fady amin'ny Silamo].Kinachoshangaza ni kuwa kuna baadhi ya watu ambao miongoni mwao ndio wanaolaani kitendo hiki na kwa upande mwingine watu hawa wanaamini kuwa kumwaga damu ya Muislam ni Haramu (yaani hairuhusiwi katika Uislam).
33Toy ny hoe ny fandatsahan-drà Kristiana dia Halal (azo ekena amin'ny Silamo].Yaani ni kama vile, kumwaga damu ya Mkristo ni halali (yaani inaruhusiwa katika Uislam).
34Naharikoriko ny olon-drehetra ny hevitra mpanavakavaka toy izanyMawazo ya kimadhehebu ya aina hii yamemtesa kila mmoja.
35Sherif Azer dia nanamarika [ar] :Sherif Azer aandika [ar]:
36@sherif_azer : Be loatra ny tranga sy fanambarana nisy mikasika ny fotoan-dasa, nanomanana iny heloka natao tamin'ny Shiita tao Ejipta iny.@sherif_azer: kuna matukio mengi na kauli zilizotokea kipindi fulani kilichopita yaliyokuwa sehemu ya matayarisho ya tukio la kushambuliwa kwa waumini wa Shia huko Misri.
37Ny tsy fiomanana ny amin'ny mety hisian'ny tranga toy izany dia heloka ihany koaMatayarisho ya tukio hili hayachukuliwi kama ni kosa la jinai.
38Ary dia nanontany tena i Adel Salib hoe maninona ny olona no taitra tamin'ny fandrenesana ilay fanafihana Shiita tao Ejipta raha toa ka talohan'izany aza ireo polisy ireo hita nanafika - ary namono - “Coptes” Ejiptiana :Na Adel Salib anashangaa ni kwa nini watu wanapatwa na mshituko kufuatia kushambuliwa kwa waumini wa Shia huko Misri wakati kabla ya hapo polisi waliwashambulia na kuwaua wakristo wazawa wa Misri:
39@Adel_Salib : Misy olona gaga raha nandre fa nijery fotsiny ny polisy tamin'ny fotoana nisian'ilay famonoana Shiita iny, raha toa ka roa volana lasa izaydia nanafika Katedraly iray ireo polisy.@Adel_Salib: mtu fulani anaweza kushangazwa kuwa polisi walikuwa wakishuhudia wakati waumini wa Shia walipokuwa wakiuliwa, wakati kwa upande mwingine miezi miwili iliyopita, polisi walishambulia Parokia.
40Nisy namosavy ve ianareo sa tena dondrona ?Umelaaniwa au ni upumbavu?
41Sary tao amin'ilay bitsika nalefan'i Mohammed Saber, mpiasa ao aminà Televiziona Ejiptiana iray izay nankalaza ilay famonoana Shiita tao Ejipta. sary nozarain'i @Gemyhood tao amin'ny Twitterpicha iliyopigwa kutoka kwenye Twiti iliyowekwa na Mohammed Saber, ambaye ni mtangazaji na msimamizi wa matangazo katika Televisheni ya Misri akisherehekea mauaji ya waumini wa Shia waishio Misri.
42Nanampy toy izao Ali:Picha imewekwa na @Gemyhood katika mtandao wa Twita
43@ali4592000 : Tezitra ve ianao fa nisy namono ny Sonita Silamo tany Birmania ary faly ny amin'ny fandorana sy ny fanosihosena ny fatin'ireo Shiita?@ali4592000: una hasira kuwa waumini wa kiislam wa Sunni wanauawa huko Burma na kuwa na furaha kuwa waumini wa kiislam wa Shia wanachomwa moto wakiwa hai nchini Misri na kisha miili yao kunajisiwa?
44Tokony hanatona mpitsabo biby mahay ianaoUnapaswa kumtafuta daktari mzuri wa wanyama.
45Rawah Badrawi dia nizara ny tantara sasantsasany :Rawah Badrawi ashirikisha historia fulani:
46@RawahBadrawi : Ny Shiita no nanorina an'i Kaira ry dondrona a. Izy ireo no nanangana ny hatsasaky ny vakok'i Kaira, isan'izany ny Al Azhar.@RawahBadrawi: Kairo ilijengwa na watu wa Shia enyi watu msiostaarabika. Walianzisha nusu ya maeneo ya Urithi wa Kairo ikiwa ni pamoja na Al Azhar.
47Nofintinin'ilay Blaogera Yemenita, Noon Arabia, toy izao izany :Naye mwanablogu wa Yemeni, Noon Arabia anahitimisha:
48@NoonArabia : Miverina amin'ny andron'ny Jahiliyya [tsifahalalàna] isika.@NoonArabia: We are returning to the age of Jahiliyya [ignorance].
49Tsy misy idiran'ny Silamo ny rà mandrika any Ejipta, Libanona ary SyriaUislam hauna hatia kwa watu wanaouawa huko Misri, Lebanon na Syria.
50Mazava ho azy fa tsy ny olon-drehetra no mihoron-koditra amin'iny fanafihana iny.Kwa kweli, siyo kila mmoja aliyeshitushwa na shambulizi hili.
51Ilay Blaogera Mohamed Beshir dia nizara bitsika iray nalefan'i Mohammed Saber, mpanolotra iray ao amin'ny Fahitalavitra Ejiptiana, izay nankalaza iny fahafatesana Shiita iny ary nanao antso ny amin'ny tokony hisian'ny vono olona misimisy kokoa.Mwanablogu Mohamed Beshir aweka Twiti ya mtangazaji wa Televisheni ya Misri ajulikanaye kwa jina la Mohammed Saber, ambaye anasherehekea mauaji ya waumini wa Shia na kutaka wengine zaidi wa shia wauawe.
52@Gemyhood : Izy dia mpanolotra ao amin'ny Televiziona Ejiptiana [fanjakana] izay faly ny amin'ny famonona ireo Shiita@Gemyhood: Huyu ni mtangazaji wa Televisheni ya Taifa ya Misri akifurahia mauaji ya waumini wa Shia