Sentence alignment for gv-mlg-20120609-34069.xml (html) - gv-swa-20120612-3104.xml (html)

#mlgswa
1Ejipta: Voatafika Ny Diabe Mitaky Ny Hamaranana Ny Fanohintohinana Ara-PananahanaMisri: Maandamano ya Kukomesha Udhalilishaji wa Kijinsia Yavamiwa
2Nampalahelo fa notafihana andian-dehilahy teo amin'ny Kianja Tahrir ny diabe mitaky ny hampitsaharana ny fanafintohinana [fikitikitihana tsy mahazo alalana] ny vehivavy tamin'ny 8 jona 2012.Maandamano yaliyokusudia kudai kusitishwa kwa vitendo vya kubughudhiwa yaligeuka kuwa shubiri baada ya wanawake waliokuwa wanahusika nayo kushambuliwa na kikundi cha wanaume wenye hasira katika viwanja vya Tahrir leo (June 8, 2012).
3Mitantara ny zavamisy ao amin'ny Twitter ny nanatri-maso.Watu walioshuhudia tukio hilo walielezea maoni yao kupitia twita.
4Mpanao gazetin'ny Associated Press Sarah El Deeb, izay nanatrika, no mitantara izay nitranga tamin'ny alalan'ireto siokantsera manaraka ireto:Mwandishi wa habari aliyeshuhudia tukio hilo Sarah El Deeb, anaelezea kilichotokea kupitia twiti hii:
5@seldeeb: Andian-dehilahy no nanafika ny mpanao diaben'ny #EndSH nikendry ny handrava sy hidaroka ny mpanao fihetsiketsehana.@seldeeb: Udhalilishaji kwenye maandamano hayo ulifanywa na wanaume wengi -lengo lilikuwa kuyavunja, kuwatukana na kuwadhalilisha washiriki
6@seldeeb: Nanosika ireo mpanafika ny lehilahy tao amin'ny Diabe #EndSH saingy maro loatra ny mpanafika ka voasintosintona ny vehivavy sasantsasany@seldeeb: Wanaume waliokuwa kwenye maandamano walijihami dhidi ya wavamizi lakini idadi yao ilikuwa kubwa na baadhi ya wanawake walibanwa
7@seldeeb: Nikoropaka noho ireto andian'olona ny teo amin'ny manodidina ka nanakatona ny toeram-barotra fa mahery setra loatra ry zalahy#EndSh. mba nisy fivarotana iray nampialoka ihany tamin'ny farany@seldeeb: Watu kwenye eneo la tukio walifanywa kituko na wavamizi hao na wengine wakafunga maduka yao kwa sababu ya hali kuonekana kutokuwa shwari.
8@seldeeb: Nilaza ny nanatri-maso sasantsasany fa efa nihogahoga an-dry zavavy ireo olona nihodidina ny mpanao diabe nialoha ny fanafihana #EndSH
9Hotapahina anie ny tananao.Mwishowe duka moja likatoa hifadhi
10Tsia amin ny fikitikitihana vehivavy tsy mahazo alalana, hoy ny fivakin ny sora-baventy iray nandritra ny fihetsiketsehana.@seldeeb: Baadhi ya mashuhuda wanasema watu waliozunguka maandamano hayo walikuwa wakiwatukana wasichana waliokuwa wanaandamana kabla mapigano hajayaanza
11Sary nozaraina Twitter hoy Sarah El DeebMikono yenu ikatwe.
12Nitohy sy nihamafy nandritra ny volana nisian'ny fihetsiketseham-panoherana ny fanohintohinana ny vehivavy.Tunasema hapana kwa udhalilishaji wa kijinsia, linasomeka bango moja kwenye maandamano.
13Milaza ny zavamisy i Amira Howeidy:Picha imewekwa kwenye mtandao wa twita na Sarah El Deeb
14@amirahoweidy: Fomba fanao noforonin'ny Antoko Nasionaly Demokratikan'i Mubarak tamin'ny 2005 ny manohintohina ny vehivavy mpanao fihetsiketsehana@amirahoweidy: kuwadhalilisha kijinsia waandamanaji wa kike kulivyoanza kutokea wakati wa chama cha NDP cha Mubarak tangu mwaka 2005
15Manontany i Turk4Syria raha efa nisy ny nosamborina noho ny fanafintohinana vehivavy ka mamaly izany i Mohamed Yahia:Turk4Syria anauliza kama kuna mtu amewekwa ndani kwa kuwadhalilisha wanawake na Mohamed Yahia anajibu:
16@MohammedY: @Turk4Syria tsy mbola nisy mihitsy.@MohammedY: @Turk4Syria hakuna aliyekamatwa.
17Efa mahazatra loatra ary maro ny mpanao azy sady eken'ny eo amin'ny fitondrana ny mitandroka ny vehivavy mpanao fihetsiketsehana #EndSHImepangiliwa kiufundi kiasi kwamba wengi wanahisi ghasia hizi zilianzishwa na wale walio madarakani kuwatisha waandamanaji wa kike
18Manolo-kevitra i Sherine Thabet [ar]:Sherine Thabet anapendekeza[ar]:
19Toy izao hatrany no averimberiko amin'ny rehetra: tsy hihaino na iza na iza ny mpanafintohina.Sentensi ninayoirudia kila mahali ninapoongea na kila mtu ni: wadhalilishaji hawatasikiliza tena.
20Tsy mety beazina ny mpanafintohina.Wadhalilishaji hawataelimika.
21Ilaina ny mampanjavona ny mpanafintohina ka ny fomba tokana hanaovana izany dia ny hanilihan'ny fiaraha-monina azy ireny.Wanapaswa kutoweka na njia pekee ya kufanya hivyo ni pale jamii itakapowakataa.
22Izay no izy.Ndivyo inavyopaswa kuwa.
23Ary manao fehin-teny i Deena Adel:Na Deena Adel anahitimisha:
24@deena_adel: Azontsika atao ve azafady ny mampiasa ity fahatezerana indray momba ny fanafintohinana ara-pananahana ity ka mandray dingana mivaingana hiadiana aminy? #EndSH@deena_adel: Je, tunaweza kutumia hali hii ya kuongezeka kwa hasira baada ya udhalilishaji huu ili kuchukua hatua za kupambana nao?
25Misy fihetseham-po hafa hita amin'ny alalan'ny fampiasana tenifototra #EndSH ao amin'ny Twitter.Miitikio zaidi inapatikana kupitia alama hii #EndSH kwenye mtandao wa twita.