Sentence alignment for gv-mlg-20120718-35626.xml (html) - gv-swa-20120731-3549.xml (html)

#mlgswa
1Bus Mpizaha tany Isiraeliana Voatafika Tany BolgariaBasi la Watalii Raia wa Israeli Lashambuliwa Nchini Bulgaria
2Farafahakeliny fito no maty tamin'ny fanafihana tanora Isiraeliana tao amin'ny bus ho an'ny mpizaha tany tao amin'ny seranam-piaramanidin'i Burgus tao Bolgaria.Watu wapatao saba wameuawa katika shambulio lililofanywa dhidi ya kijana raia wa Israeli katika basi lililokuwa limebeba watalii karibu na uwanja wa ndege wa Burgus nchini Bulgaria.
3Milaza ny tatitra fa nataona mpitondra baomba manao vivery ny ainy ny fanafihana, izay na teo akaikin'ny bus na tafiditra tao anaty bus.Ripoti zinadai kuwa shambulio hilo inawezekana lilifanywa na kijana aliyekuwa amevaa bomu la kujitoa muhanga, ambaye huenda alikuwa kando ya basi ama aliingia ndani ya basi.
4Araka an'i nrg, nijoro teo anoloan'ny bus iray ny vehivavy mpanao vivery ny ainy iray ary napoakany ny baomba.Kwa mujibu wa nrg, mwanamke huyo aliyejitoa muhanga alisimama mbele ya mojawapo ya mabasi hayo na kulilipua bomu hilo.
5FANAVAOZAM-BAOVAO: @BarakRavid:HABARI MPYA: @BarakRavid:
6Nifampiresaka ny Minisitry ny Raharaham-bahiny Bolgara ny Minisitry ny Raharaham-bahiny Lieberman ka notenenin'itsy voalohany ny vokatry ny famotorana fa baomba niafina tao amin'ny fitoeran'entan'ny bus no niteraka ny fipoahanaWaziri wa Mambo ya Nje wa Bulgaria alizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje Lieberman na kumwambia kuwa uchunguzi uligundua kwamba mlipuko huo ulisababishwa na bomu lililokuwa limefichwa kwenye buti la basi.
7Nambaran'ny Praiminisitra Isiraeliana Bibi Netanyahu fa “mampitodika any Iran ny marika rehetra” ka hamaly bontana i Isiraely.Waziri Mkuu wa Israeli Bibi Netanyahu alitoa tamko kwamba “dalili zote zinaelekeza kuwa Irani inahusika na mpango wa shambulio hilo” na kwamba Israeli itajibu kwa ukali.
8@ruslantrad:@ruslantrad:
9bTV mampiseho ny sary fanafihana ny mpizaha tany Isiraeliana tao BolgariabTV ikionyesha picha za shambulio dhidi ya watalii wa Israeli huko Bulgaria
10Niteny i Shoshi, Isiraeliana vavy nanatri-maso ny fipoahana:Shoshi, raia wa Israeli aliyeshuhudia mlipuko huo alisema:
11Nandalo ny fifindra-monina izahay ary niditra tao amin'ny bus #4 teo ivelan'ny seranana.Tulipita uhamiaji na tukaingia kwenye basi namba 4 nje ya uwanja wa ndege.
12Nametraka ny entanay izahay ary roa minitra taoriana nirehitra ny bus #2.Tuliweka mizigo yetu, na baada ya dakika mbili basi namba 2 liliripuka na kushika moto.
13Nampitsoahina tany amin'ny efitra voaaro izahay.Kwa haraka sisi wengine tulikimbizwa kwenye chumba salama.
14Nanampy azy ny zananilahy:Mwanae wa kiume aliongezea:
15Tsy maintsy nitsambikina niala ny bus ny sisa velona mba tsy hanitsaka vatan'olombelona.Watu walionusurika kwenye basi iliwalazimu kuruka miili iliyotawanyika nje ya basi ili wasiikanyage.
16Nahita ny bus izahay, nisy Isiraeliana naka sary azy.Tuliliona basi hilo, raia mmoja wa Israeli alipiga picha ya tukio hilo.
17Nahita ny fitoeran'entany nipoaka izahay.Tuliona buti lake likilipuka.
18Nalefa haingana tany amin'ny faran'ny efitra (seranana) izahay.Tulikimbilia kwa haraka kwenye jengo la abiria.
19Ao amin'ny pejy Facebook-ny, ny minisitry ny raharaham-bahiny Avigdor Liberman no nanoratra:Katika ukurasa wake wa Facebook, Waziri wa Mambo ya Nje Avigdor Liberman aliandika:
20Vao nifampiresaka tamin'ny minisitry ny raharaham-bahiny Boligara, Nikolay Mladenov, momba ny fipoahana aho.Hivi sasa nimezungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Bulgaria, Nikolay Mladenov kuhusu mlipuko huo.
21Mizotra mankany amin'ny toerana i Mladenov ary hanome ny vaovao farany ho ahy rehefa tonga any.Mladenov anaelekea eneo la tukio na atanipa taarifa kamili kuhusu yanayoendelea atakapofika hapo.
22Milaza ny sioka avy amin'i @MokedNews:Twiti kutoka @MokedNews inadai:
23Iray amin'ny maty tamin'ny fanafihana boligara - Boligara mpitarika mpizaha tany iray izay tafaraka tamin'ny mpizaha tany Isiraeliana raha nisy ny fipoahana.Mmoja wa waliouawa katika shambulio hilo nchini Bulgaria, ni mwongozaji wa watalii wa ki-Bulgaria aliyekuwa na watalii hao raia wa Israeli mlipuko ulipotokea.
24(loharanom-baovao: TV Boligara)(Chanzo: Televisheni ya Bulgaria)
25Fitantarana mivantana “tena tsara dia tsara” ao amin'ny bilaogy fitantarana an'ny Haaretz amin'ny teny Hebreo (betsaka kokoa ny fanavaozam-baovao) sy amin'ny teny Anglisy.Habari zaidi za moja kwa moja kwenye blogu ya Haaretz inayoandikwa kwa lugha yaki-Ebrania (habari zaidi za yanayojiri) na kwa lugha yaki-Ingereza .
26Sioka arahina raha hanaraka mivantana ny vaovao farany: @BarakRavid - solontena diplaomatika, gazety Haaretz @ruslantrad - bilaogera Syriana-Boligara sy mpanadihady ny faritra Afovoany Atsinanana Afrika Avaratra @MokedNews - mpamahana vaovao IsiraelianaTwiti za kufuatilia habari za moja kwa moja: @BarakRavid - Mwandishi wa kidiplomasia, gazeti la Haaretz @ruslantrad - Mwanablogu wa Syria-Bulgaria na Mchambuzi wa Mashariki ya Kati na Afrika ya Kaskazini @MokedNews - Kikusanya habari za Israeli