Sentence alignment for gv-mlg-20100127-4812.xml (html) - gv-swa-20100227-1263.xml (html)

#mlgswa
1Etiopia: miaro ny kaompaniam-pitaterana Etiopiana taorian'ny fianjeran'ny fiaramanidina ny mpitoraka bilaogyEthiopia: Wanablogu walitetea Shirika la Ndege la Ethiopia baada ya ajali ya ndege
2Niolomay niaro ny kaompaniam-pitaterana an'habakabaka an'ny fanjakana Etiopiana ny mpitoraka biloagy taorian'ny nianjeran'ny fiaramanidina iray tany akaikin'i Beiruth, fiaramanidina nitondra olona 90 ka maty avokoa izy rehetra.(Ilichapwa kwanza kwa Kiingereza tarehe 26 Januari 2010) Wanablogu waishio Ethiopia wameharakia kuitetea rekodi ya usalama wa safari za ndege za nchi hiyo siku ya Jumatatu baada ya ndege moja kuanguka karibu na Beirut, ikihofiwa kupoteza maisha ya watu wote 90 waliokuwepo.
3Owen Abroad nilaza fa “tena nalahelo” tamin'ny vaovao navoaka mikasika ny fitaterana an'habakabaka etiopiana Ethiopian Airlines izy, hoy izy:Owen Abroad alisema “alikasirishwa sana” na habari katika posti ya Shirika la Ndege la Ethiopia, akiongeza:
4Tena miavaka ny fiarovana ao amin'ny kaompaniam-pitaterana an'habakabaka etiopiana.Shirika la Ndege la Ethiopia lina rekodi ya nhali juu ya usalama.
5Matihanina ny mpiasa, mahalala fomba sady tena mahomby.Wafanyakazi wake ni wataalamu, wenye ari na wafanisi.
6Handeha ho any Addis avy aty UK aho izao amin'ny zoma ho avy izao ary hiaraka amin'ny fiaramanidina an'ny kaompania etiopiana, ary na dia eo aza iny loza iny dia tsy andriko izay handehanako.Nitasafiri kwa ndege kutoka Uingereza kwenda Addis siku ya Ijumaa kwa Shirika la Ndege la Ethiopia na, pamoja na balaa la leo, bado ninatarajia (safari).
7Miombon-kevitra ny mpaneho hevitra iray, ka nanoratra:Mtoa maoni kwenye blogu hiyo alikubaliana naye, akiandika:
8Efa mpandeha miaraka amin-dry zareo foana aho hatrizay ary tsy mbola nisy mihitsy ny fahatsiarovana ratsy.Nimesafiri nazo (ndege za Ethiopian Airlines) mara kadhaa, na sijawahi kukutana na uzoefu mbaya.
9Tena tsara be ny azy ny fanoloana daty handehanana raha mihoatra amin'ny kaompania hafa.Pia wana utaratibu mzuri wa kubadikili tarehe kuliko mashirika mengine ya ndege.
10Fanehoana tsy fahafaliana roa manoloana ny vaovao any UKKero mbili juu ya namna tukio hilo lilivyoripotiwa na vyombo vya habari nchini Uingereza
11Vantany vao nolazaina tamin'ny vaovao ny fianjerana dia notenenina tao fa nisy Britanika 2, Kanadiana 1 ary Frantsay 1 tao anaty fiaramanidina.Wakati ajali hiyo ilipotangazwa kwa mara ya kwanza katika vyombo vya habari, tuliambiwa kwamba kulikuwa na Waingereza wawili, raia wa Canada mmoja na raia wa Ufaransa mmoja.
12Izany hoe tsy notenenina / tsy noraharahiana ireo terantany hafa.Kiuwazi kabisa watu wa mataifa mengine si wa muhimu wala kuvutia hisia.
13Ny faharoa: nametrahana fanontaniana tsy an-kiato ny tompon'andraikitry ny fiarovana mikasika ny fiarovana amin'ny fitaterana an'habakabaka aty Afrika, ary voatery mamaly fanontaniana marobe mikasika ny kalitaon'ny fiarovana an'ny fiaramanidina etiopiana (indrindra ny taonan'ny fiaramanidina).Pili:- Mtaalamu wa safari za anga aliulizwa mara kadhaa kuhusu rekodi ya usalama wa Mashirika ya Ndege ya Afrika, na ilibidi ajibu maswali kadhaa kuhusu kiwango bora cha safari za anga za Shirika la Ndege la Ethiopia (hasa hasa umri wa ndege zenyewe).
14Ohatry ny tsy tsaroako hoe nametrahana fanontaniana tahaka izany ry zareo Frantsay taorian'ny nianjeran'ny fiaramanidina Air France tamin'ny herintaona.Sikumbuki maswali kama hayo kuulizwa bada ya kuanguka kwa ndege ya Shirika la Ndege la Ufaransa, Air France kiangazi kilichopita.
15Manoratra i Reuter mpifandray amin'i Barry Malone ao amin'ny Africa News Blog, mitondra ny lohanteny hoe “Tsy tokony hanaloka ny fandrosoana ny fianjeran'ny fiaramanidina etiopiana”:Mwandishi wa habari wa Reuters aliyeko Addis Barry Malone aliandika posti kwenye blogu ya shirika hilo iitwayo Africa News Blog yenye kichwa cha habari Kuanguka kwa ndege ya Kiethiopia kusipake matope habari za mafanikio:
16Raha vao henoko ny vaovao mikasika ny fianjeran'ny fiaramanidina etiopiana tamin'ny maraina dia nalahelo be ny foko satria tantara ratsy ho an'i Etiopia indrayizay.Habari za kuanguka kwa ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia zilipotapakaa asubuhi ya leo moyo wangu ulisinyaa kwa mawazo ya kuelezea habari nyingine mbaya kuhusu Ethiopia.
17Tena zavatra tsy tantin'ny Etiopiana izany satria ity kaompaniam-pitaterana an'habakabaka ity no mba hany zavatra mahomby any an-toerana ankoatry ny kere sy ny ady.Kwa hakika inakera sana kwa Waethiopia kwamba shirika la ndege ni moja ya mafanikio adimu ya kimataifa ya nchi hii inayofahamika kwa njaa na vita.
18Vao re ilay vaovao dia fantatro ny hamafin'ny fandrenesana izany teo amin'ireo mpiasan'ny kaompania.Habari zilipojitokeza nilifahamu mara moja namna gani wafanyakazi wa shirika hilo wangezichukulia.
19Tany amin'ny toerana nampiasaina ho foibe misy ny fanevan'ny kaompaniam-pitaterana an'habakabaka im-betsaka aho.Nimewahi kuwepo kwenye maeneo yanayofanya kazi kama makao makuu ya shirika la ndege linaloongoza Afrika mara kadhaa.
20Ny farany nadehanako tany, vao tamin'ny herinandro, dia nanao fanadihadihana tamin'ny CEO Girma Wake, nandao ilay toerana niaraka tamin'ny kafe etiopiana aho, fahatsiarovana tsara iny, ary tsapako fa mahalana aho no mahita olona tena tia sy mirehareha amin'ny asany sady ataony ho an'ny tanindrazany tahaka azy ireo.Mara ya mwisho ilikuwa juma lililopita nilipoongea na Mkurugenzi Mtendaji Girma Wake na nikaondoka na zawadi ya kahawa ya Ethiopia na picha niliyoipata ambayo ni nadra sana kuona watu wenye upendo na kujivunia kazi yao na kile inachokitenda kwa ajili ya nchi yao.
21Nazret.com manome vaovao farany rehetra mikasika ny fianjerana sy ny fivoaran'ny toe-draharaha. Andrew HeavensNazret.com inatoa habari za hivi karibuni kuhusu ajali hiyo kadri habari hii ilivyoendelea hadi leo.