Sentence alignment for gv-mlg-20120413-32017.xml (html) - gv-swa-20120430-2888.xml (html)

#mlgswa
1Tonizia: Fihetseham-po Samihafa Tamin'ny Fisovohana Ny Mailaky Ny PraiminisitraTunisia: Miitikio Tofauti Kufuatia Kuingiliwa kwa Barua Pepe za Waziri Mkuu
2Niditra an-tsokosoko tamin'ny mailaky ny praiminisitra Toniziana Hamadi Jebali tamin'ny 8 Aprily teo ny Anonymous Tonizia (izay milaza fa sampan'ny vondrona mpisovoka (hackers) Anonymous).Mnamo Aprili 8 “Anonymous Tunisia” kikundi kisichotambulisha majina ya wanachama wao nchini Tunisia (ambacho kinadai kuwa na uhusiano na kikundi cha watu “wasiojitambulisha” ) waingiliao mawasiliano ya watu kiliingilia mawasiliano the ya barua pepe ya waziri mkuu wa Tunisia Hamadi Jebali.
3Hetsika tafiditra amin'ilay hetsika goavana ” Operation Tunisia Back” (Miverina i Tonizia) io Hetsika Avelao i Toniziako “Operation Touche pas à ma Tunisie” io.Vuguvugu hilo lilipewa jina la utani la (“Achana na Tunisia yangu”) ambayo ni sehemu ya kampeni kuu iitwayo “Operesheni Rejeza Tunisia”.
4Fangon'ny Anonymous ToniziaNembo ya Tunisia isiyojitambulisha
5Ny ampitson'ny revolisiona taona 2011, mpikambana ao amin'ny Anonymous manerantany no nikendry ny tranonkala maromaro an'ireo governemanta, izany dia tafiditra amin'ilay hetsika hoe Operation Tunisia.Katika mkesha wa mapinduzi mwaka 2011 wanachama wa kikundi hicho cha “wasiojitambulisha” waliotawanyika duniani kote walishambulia tovuti kadhaa za serikali katika kile kilichoitwa Operation Tunisia.
6Nanafika ny Islamista Toniziana tamin'ny aterineto ihany koa Anonymous vao haingana.
7Ankehitriny, namoaka mailaka miisa 2,725 tao amin'ny aterineto ny Anonymous, izay mailaky ny antokon'ny fitondrana Ennahda ao Tonizia, anisan'izany ny mailaky ny praiminisitra.Mmoja wao hivi2,725 emails wanachama wa chama tawala cha nchi hiyo cha Ennahda mtandaoni, ikiwa ni pamoja na mawasiliano ya waziri mkuu.
8Niparitaka nanerana ny pejy Facebook ny nomerao findain'ireo olo-panjakana ambony ao amin'ny governemanta.Namba za simu zinazomilikiwa na maafisa nyeti wa serikali tangu wakati huo zimekuwa zikisambazwa katika kurasa za facebook.
9Talanjona tanteraka tamin'izany ny governemanta ary mbola tsy naneho ny heviny hatramin'izao.Serikali imekamatwa pabaya na mpaka sasa haijaweza kujibu chochote.
10Nandritra izany, nizarazara ihany ny hevitry ny mpiserasera mikasika ny fahombiazan'ity hetsika ity.Wakati huo huo, raia watumiao mtandao wamegawanyika kuhusu ufanisi wa hatua hiyo.
11Bassem Meddeb nisioka am-pivitrihana momba ny fitadiavana ireo mailaka an-tapitrasany:Bassem Meddeb katika hali ya kusisimuka, alituma ujumbe kupitia mtandao wa twita kuhusu kuperuzi maelfu ya barua pepe:
12Nampiditra antsika ho toy ny mpitsikilo ihany ny #Anonymous!Mwisho # Kikundi cha wasiojitambulisha kimetuajiri kama wachunguzi!
13#jbelileaks#jbelileaks
14Hmid Ben Jemmaa naneso hoe :Hmida Ben Jemmaa aliandika kwa kejeli:
15Taorian'ny #JbeliLeaks, nanapa-kevitra hifanerasera amin'ny alalan'ny… voromailala ny birao politikan'ny Ennahda.Baada ya #JbeliLeaks, kitengo cha siasa cha (chama cha) Ennahda kimeamua kuwasiliana kwa kupitia …njiwa waishio nyumbani
16Fangon'ny Hetsika "Tonizia Back"Nembo ya Operesheni Rejesha Tunisia
17Na dia izany aza, misy ireo mpisiokantserasera sasany tsy mankasitraka ny hetsika fisovohana.Hata hivyo, baadhi ya watumiaji wa twita walipingana na zoezi hilo la kuingilia mawasiliano ya watu.
18Hmid Ben Jemmaa nanoratra fa miampanga ny fanafihana izy, ka nanipika izy hoe:Hmida Ben Jemmaa aliandika akipinga mashambulizi hayo, na kuongeza::
19Làlana tsy azo hiampitàna ny fitsabahan'ny vahiny amin'ny raharaha anatin'ny firenentsikaKuingiliwa katika masuala yetu ya ndani ni kuvuka mipaka
20Nanontany izay mba tombotsoa azon'ny hetsika Anonymous ny Mpianatra ho dokotera Amine Ghrabi, nisioka izy hoe:Mwanafunzi wa Utabibu Amine Ghrabi alihoji mantiki ya Zoezi hilo linalofanywa na “watu wasiojitambulisha” na kutuma ujumbe:
21Mitodika kely amin”ireo nandany ny Alahady marainany noho ny fitadiavana mailak'ilay voamarina ho tsy haninontsihaninona! #JbeliLeaksWazo dogo kwa wale wote waliharibu asubuhi zao za Jumapili hii kwa kuperuzi barua za watu ambao tuna hakika hawako timamu!
22Alkimia nisioka hoe:Alkimia alituma ujumbe huu:
23Tena te-hahita loza amin'atambo ao #JbeliLeaks ve ianao?Hivi kweli mnataka kutafuta janga katika kampeni ya #JbeliLeaks?
24Ary nampiany hoe:Na akaongeza:
25Nandrahona ny Islamista ny Anonymous tao anatin'ny volana vitsivitsy.Kundi hili limekuwa likiwatishia Waislam wenye msimamo mkali kwa miezi michache iliyopita.
26Tsy mba fetsy ny praiminisitra raha toa ka tsy namafa ny mailakany[waziri mkuu] hangekuwa na werevu kama asingefuta barua zake zote kwenye anuani yake ya barua pepe
27Mpianatra Imed Laaridh, mpanohana an'ny Ennahda, nisioka fa mety hamaly ny praiminisitra:Mwanafunzi Imed Laaridh, anayeunga mkono chama tawala cha Ennahda, alituma ujumbe kwamba angegoma:
28Mety hanomboka ny fifampisovohana.Labda tumeanza awamu ya kwanza ya kuingiliana mawasiliano yetu.
29Hita ny handaniana ny fotoana… #TnPolitics #JbeliLeaksNi jambo la kutufanya tupate cha kufanya…
30Avy amin'ny Anonymous Tonizia ity lahatsary manaraka [amin'ny teny frantsay] ity.Video ifatayo [Fr] iliwekwa na kikundi hicho.
31Mpikambana ao amin'ny Anonymous milaza momba ny fivoahan'ny mailaky ny praiminisitra, sy ny mbola hamoahana tahirinkevitra marobe amin'ny manaraka:Mwanachama wa kundi hilo anazungumza kuhusu kuvuja kwa barua za waziri mkuu, na makarabrasha yanayotarajiwa zaidi muda mfupi ujao: