Sentence alignment for gv-mlg-20150823-73333.xml (html) - gv-swa-20150826-9011.xml (html)

#mlgswa
1Te-Hahita Ny Tanàna Afrikàna Afaka Voalohany Tao Amerika Ve?Unataka Kuuona Mji Huru wa Kwanza wa Kiafrika Barani Amerika?
2Mandehàna Ao MeksikaNenda nchini Mexico
3Sary vongan'i Gaspar Yanga.Sanamu ya Gaspar Yanga.
4Sary avy amin'i Erasmo Vasquez Lendechy tao amin'ny Wikipedia.Picha na Erasmo Vasquez Lendechy kupitia Wikipedia.
5Nampiasàna ny lisansa Creative CommonsImetumiwa kwa makubaliano ya Hati miliki ya Creative Commons
6Nivoaka voalohany tao amin'ny bilaogy Lupitanews ity lahatsoratra ity.Makala hii kwa mara ya kwanza ilichapishwa kwenye blogu ya Lupitanews.
7Antsoina hoe Yanga izy io.Inaitwa Yanga.
8Any afovoan'ireo zavamaniry mikitroka ao atsimo atsinanan'i Veracruz, fanjakana iray manamorona ny Helodranon'i Meksika, ny tanànan'i Yanga no porofo mivaingan'ny fisiana sy fonenan'ireo Afrikana tao Meksika.Katikati ya uoto uliofungamana huko Kaskazini mwa Veracruz, jimbo linalopakana na Ghuba ya Mexico, mji wa Yanga ni kiashiria cha uwepo wa makazi ya Waafrika huko Mexico.
9Teny amin'ny làlanay ho any Port of Veracruz, niato tao Yanga izahay ary nahita tany fambolena feno caña sy katsaka manodidina ilay faritra, izay manankarena koa amin'ny voly kafe; ny toetrandro fahita amin'ny tany mafàna dia manasa anao hivoaka haka alokaloka tsy ho tratry ny tara-masoandro.Tukiwa tunaelekea kwenye bandari ya Veracruz, tulisimama mjini Yanga ambapo tuliona mashamba ya kilimo yaliyosheheni caña pamoja na mahindi kila mahali, pia yalionekana mashamba makubwa ya kahawa; hali ya hewa ya kitropiki inakufanya uendelee kukaa nje ili kuliota jua.
10Milaza i Yanga fa izy no tanàna Afrikana afaka voalohany indrindra tany Amerika, nambara amin'ny 31 Oktobra 1631.Yanga inaaminika kuwa ndio mji huru wa kwanza wa Waafrika huko Amerika ulioanzihwa rasmi Oktoba 3, 1631.
11Amin-pireharehana no izaràn'ireo Afro-Meksikàna ny tantaran'i “El Yanga,” izay toa printsy nandevozina avy amin'ny foko Yang-Bara any Gabon, nanampy ireo andevo ho afaka teo ambanin'ny Espaniola tany amin'ny manodidina ny 1570 tany.Waafrika-Wa-Kimexico wanajivunia kuwa sehemu ya simulizi ya “El Yanga,” aliyejulikana dhahiri kama Mfalme aliyekuwa mateka kutoka katika kabila la Yang-Bara la Gabon, ambaye aliwasaidia watumwa kuwa huru kutoka kwa Waspaniola kwenye miaka ya 1570.
12Asehon'ny iray amin'ireo toerana malalaka ao an-tanàna ny sary vongany, manolotra an'i El Yanga ho toy ny olona feno fahasahiana, sy rehareha.Moja ya eneo la soko imewekwa sanamu yake, inamtambulisha El Yanga kama mmoja wa watu wajasiri na wa kujivunia.
13Ny toerana tena fototra, ny portales, ary ny fiangonana tena fantatra dia tsy misy hafa amin'ireo fahita any amin'ny tanàna Meksikàna maro, miantso anao hamindra milamina anaty fitoniana.Masoko makuu, malango pamoja na kanisa kuu hufafana kabisa na yale yaliyopo kwenye miji mingine ya Mexico na ambayo huleta hamasa ya utulivu na matembezi ya raha yasiyo na bugudha.
14Milamina ao Yanga ary manapariaka fahelàna velona.Mji wa Yanga ni wa amani na unatoa imani kwa ustawi mkubwa wa wakazi.
15Taonjato ary olona maro no niaina sy maty teto, angamba tsy taitra amin'ny tantara, fa mbola mandrafitra kosa ny tantara aza ry zareo.Karne nyingi na watu wengi wameishi na wameshakufa wakiwa hapo, Many centuries and people have lived and died there, pengine hii ikiwa ni dhahiri katika historia, lakini bado wao wenyewe wanaendelea kuweka historia.