Sentence alignment for gv-mlg-20100714-7228.xml (html) - gv-swa-20100731-1560.xml (html)

#mlgswa
1Niger : Misoko mangina ny hanoananaNiger: Njaa ya Kimya Kimya
2Janga la njaa ambalo kwa kiasi kikubwa haliripotiwi ipasavyo huko Sahel limechukua sura kubwa ya kutisha kufuatia kiasi cha watu milioni 2.5 nchini Naija hivi sasa kuathirika na uhaba wa chakula.
3Miteraka ahiahy be ihany ny tsy fahampian'ny fitateram-baovao momba ny olana ara-tsakafo any Sahel ho an'ny olona 2,5 tapitrisa any Niger izay voakasiky ny fahalanian'ny sakafo hohanina.Mpango wa Kimataifa wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umeamua kuongeza hatua za dharura Wanablogu nchini Naija wanatafakari janga jingine la chakula baada ya lile la mwaka 2005, baa la njaa la mwaka huu ambalo ni matokeo ya upungufu wa mvua mwaka jana. Waume wakielekeza nyuso zao katika Jangwa la Sahel imepigwa na Nawal _kwa leseni ya Creative commons kwenye Flickr
4Milaza hanamafy ny fandaharan'asany hiarovana ireo vahoaka ahiana ho tratran'izany ny PAM (Programme Alimentaire Mondial).D. Evariste Ouédraogo aliandika yafuatayo kuhusu namna wanasiasa wanavyojaribu mara zote kupindisha mabaa ya chakula nchini Naija kwa namna ambayo huwaweka wao katika mwanga mzuri zaidi [Kifaransa]:
5Milaza ny fisian'ny krizy hafa ara-tsakafo ankoatra ny tamin'ny 2005 ny mpitoraka bilaogy any Niger, olana ara-tsakafo ankehitriny vokatry ny tsy fahampian'ny rotsak'orana tamin'ny taon-dasa.Mwaka 2005, mamlaka yalijaribu kupenyeza mawazo ya ushawishi kwamba tishio la njaa lilikuwa ni uvumi tu ulioenezwa bila ya aibu [..] Siku chache baadae, waziri mkuu, katika hali ya kujipinga hoja mwenyewe, bado aliomba msaada wa jumuiya ya kimataifa kwa sababu ya …njaa.
6Mwaka 2010, ukweli unajitokeza tena: siku 10 baada ya mabadiliko ya utawala nchini Naija, tunasikia kutoka kwa mkuu wa utawala wa kijeshi kwenye luninga kwamba njaa inatishia mamilioni wa wananchi wa Naija kutoka mikoa yote ya nchi hiyo.
7Olona manatrika ny tany hain'i Sahel nalefan'i Nawal_ nahazoana alalana araka ny CC ao amin'ny FlickrUhaba wa chakula ulikadiriwa kuwa tani 400 000. Kinyume kabisa cha kauli iliyotolewa na Mamadou Tandja ambaye alikuwa anakerwa na habari za hali mbaya ya chakula.
8Grioo.com inauliza kwa sauti kubwa swali gumu lakini lililo bayana kwamba Wanaija wengi wanashangazwa kuhusu: ““fedha zilizopatikana kutoka kwenye biashara ya madini ya Uranium zilikwenda wapi?”
9Email” [Kifaransa]:
10Na tukumbuke shinikizo kati ya wakuu wa nchi wa zamani nchini Naija na viongozi wa eneo la Areva kuhusu kupitiwa upya kwa mikataba ya kuchimba Uranium […] Hatutaweza kupingana vya kutosha na mbio hizi zinazosaidia magenge ya watu wenye kazi za ofisini kufakamia hazina za umma ambazo zinapaswa kuchangia katika kuwasaidia raia ambao wanakosa chakula, maji na huduma za afya ya msingi.
11Kiasi cha fedha kutoka kwenye rasilimali za madini kamwe hakiwasaidii walio wengi ambao hawana sauti.
12MpanoratraLova RakotomalalaVioja vya Kiafrika ambavyo havitushtui tena.
13Hata hivyo, kashfa hii inapaswa kuisha sasa katika mwanzo wa Milenia mpya.
14Inaonekana kana kwamba utajiri wa madini unaleta dhiki tu kwa idadi kubwa ya Waafrika.
15Itakuwa hivyo mpaka vyanzo vyote vitakapokoma kutumika kuwa mashamba ya kulimia.
16Kathryn Richards at Care anatushirikisha mawazo machache na ushuhuda wa “majira ya njaa” kadri idadi kubwa ya watu wa vijijini wanavyojikuta wakiwa kwenye uhitaji mkubwa wa mifugo ya kuchunga::
17Nandika LilaNaija ni nchi ya vinyume.
18Tajiri katika madini na mafuta yaliyogunduliwa siku za hivi karibuni lakini watu wake ni masikini wa kutisha. [..]
19Chakula kinapatikana katika soko -lakini kwa bei iliyopaa sana ambayo ni watu wachache tu wanaweza kuimudu.
20Familia zinauza mifugo yao kwa bei ya chini ili kununua chakula.
21Mohammed Gusnam alikuwa mmoja wa watu hawa: “ Ni vigumu .
22Kama wafugaji tulikuwa kama wana wa mfalme, wenye kiburi.
23Sasa ardhi ya kuchungia inapotea na tumekwama huko kijijini.
24Kijiji ni kama gereza kwangu.”
25Mwitiko wa sasa wa janga la chakula, hata hivyo, unaonekana kuwa na kasi kubwa zaidi kuliko ilivyokuwa mwaka 2005.
26Cyprien Fabre, kiongozi wa kitengo cha eneo maalumu wa Tume ya Ulaya ya Misaada ya Kibinadamu (ECHO) anatoa tathmini ifuatayo [fr]:
27Viamshi na miundo ya kutoa misaada inafanya kazi katika nchi nyingi zilizoathirika na mafungu ya fedha yalitengwa kwa utendaji kazi kama ipasavyo.
28Operesheni zinaendelea katika nchi za Naija, Burkina-Faso na Mali.
29Chadi inahitaji mawakala zaidi kwa ajili ya ufanisi wa zoezi la utoaji misaada.
30Bado mashirika mengi yanaamini kwamba vitendea kazi bado vinawasili kwa uchelevu sana.
31Mashirika hayo yanabainisha sababu mbili za uchelevu huo: 1) kuhakikisha kwamba wafadhili wanakuja na fedha za ufadhili na 2) changamoto za kuifikia idadi kubwa zaidi ya watu katika maeneo yasiyofikika kirahisi.
32Wengi wanafikiri kwamba kutoa fedha taslimu inaweza kuwa ni njia ya haraka na ya ufanisi zaidi katika kipindi kifupi kuliko kutuma (misaada hiyo kwa namna ya) chakula [Kifaransa]:
33Wakati wa mazungumzo na wanajamii hizo, watu wengi walisema kwamba wangependelea kupata fedha taslimu badala ya mbegu za nafaka.
34Jamii zilizokuwa zimepoteza mazao mengi au wale wanaoishi mbali na masoko wanachagua mbegu za nafaka; wale wenye uwezekano wa kufika kwenye magulio hawajapoteza sana ama wanayo ardhi isiyotosha, hupendelea kupata fedha taslimu.