# | mlg | swa |
---|
1 | Voahelingelin'ny Fitsidihan'ny Praiminisitra Pakistaney ny Fiainana ao Quetta | Shughuli Husimama kwa Muda Waziri Mkuu wa Pakistan Anapotembelea Jiji la Quetta |
2 | Fitohanan'ny fiara ao amin'ny araben'i Zarghoon ao Quetta, Pakistana. | Foleni ya magari kwenye barabara ya Zarghoon jijini Quetta, Pakistan. |
3 | Sary avy amin'ny PPIimages tamin'ny 1 Aogositra 2011. | Picha ya PPIimages tarehe 1 August 2011. |
4 | Copyright Demotix. | Copyright Demotix. |
5 | Nosoratan'i Adnan Aamir ho an'ny The Balochistan Point ity lahatsoratra ity. | Makala haya yaliandikwa na Adnan Aamir kwa tovuti ya The Balochistan Point. |
6 | Navoaka indray ato amin'ny Global Voices noho ny fifanarahana fifampizarana votoaty. | Imechapishwa kwa mara nyingine Global Voices kwa makubaliano ya kushirikiana maudhui. |
7 | Niato ny fiainan'ireo mponina maro, mpianatra, marary sy ny mpivezivezy ao an-tanànan'i Quetta raha tonga tao an-drenivohi-paritanin'i Balochistan ny Praiminisitr'i Pakistan tamin'ny herinandro lasa. | Maisha na shughuli za kawaida zilisimamishwa kwa raia wengi, wanafunzi, wagonjwa na wasafiri wa jiji la Quetta city, pale Waziri Mkuu wa Pakistani na ujumbe wake walipozuru kwenye makao makuu ya jimbo la Balochistan juma lililopita. |
8 | Araka ny vinavina sasany, an-hetsiny ireo voakasika mivantana sy ankolaka isaky ny fanapahana ny arabe ho fiarovana olona tena manan-danja na VIP ao Quetta, tanàna ahitana mponina 1 tapitrisa. Fanindiminy izao ny fiarovana VIP no niteraka fitohanana tao an-tanàna tao anatin'ny taona. | Kwa mujibu wa makadirio, mamia ya maelefu ya raia wanaathirika moja kwa moja au kwa namna moja au nyingine kila barabara zinapofungwa kwa sababu za usalama wa watu maarufu wanapozuru Quetta, jiji lenye wakazi milioni 1. Hii ni mara ya tano maafisa wa usalama wanafunga njia kwa ajili ya kuwapisha watu maalumu kwenye jiji hilo ndani ya mwaka huu. |
9 | Tonga tao Quetta vao maraina ny Praiminisitra Nawaz Sharif mba handray anjara amin'ny fivoriana ara-politika eo amin'ny samy antoko “All Parties Conference (Kaonferansa hoan'ny Antoko Rehetra). | Waziri Mkuu Nawaz Sharif aliwasili Quetta asubuhi kushiriki mkutano wa vyama vya siasa uitwao “Mkutano wa Vyama Vyote vya Siasa “. |
10 | Notontosaina ny fivoriana taorian'ny vono olona tamin'ny bus Mastung tao Balochistan, izay mpandeha Pasthun 22 no novonoin'ireo mpitolona mitam-piadiana tao anatin'ny fanafihana ara-poko. | Mkutano huu uliitishwa baada ya tukio la mauaji ya kwenye basi la Mastung jijini Balochistan, ambapo wanamgambo waliwaua abiria 22 wa Pashtun kwenye shambulio linalosemekana kusukumwa na chuki za kikabila. |
11 | Tapaka avokoa ny arabe lehibe rehetra tao Quetta manodidina ny Tranon'ny Governora, toerana nanaovana ny fivoriana noho ny antony ara-piarovana. | Barabara zote za Quetta zilizo karibu na Makazi ya Gavana, mahali ambapo mkutano huo ulifanyika, zilzifungwa kwa sababu za kiusalama. |
12 | Tao anatin'ny taona vitsivitsy, rehefa misy mpanao politika goavana na olona manan-danja mitsidika an'i Quetta, tapaka avokoa ny arabe lehibe rehetra ary tsy azo andehanana. | Katika kipindi cha miaka michache iliyopita, imekuwa kawaida kila mwanasiasa au mtu maarufu alipotembelea Quetta, barabara zote kufungwa na usafiri wa kawaida kuzuiliwa. |
13 | Voatery mandeha tongotra 3 kilaometatra ireo mpivezivezy miainga manodidina ny tanàna hihazo ny afovoan-tanàna noho ny lalana tapaka. | Wasafiri kutoka nje ya jiji waliokuwa wanaingia mjini walilazimika kutembea umbali wa kilometa mbili hadi tatu ili kufika walikokuwa wakienda kwa sababu barabara zote zilikuwa zimefungwa. |
14 | Tsy mahazo miditra ao afovoan-tanàna ireo fitateram-bahoaka ary ajanona eo amin'ny fanapahan-dalana tapaka ireo mpandeha. | Usafiri wa umma haukuruhusiwa kuingia katikati ya jiji na wasafiri walishushwa karibu na vizuizi. |
15 | Voatery tsy maintsy miandry mandritra ny ora marobe ireo marary sy olona hihazo ny iray amin'ireo hopitaly lehibe ao an-tanàna alohan'ny hidirana ao amin'ny toerana, izay eo akaiky ny Tranon'ny Governora. | Wagonjwa na watu waliokuwa wakielekea kwenye hospitali kubwa ya jiji hilo iitwayo Sandmen iliwabidi kuvumilia mateso ya kusubiri masaa kadhaa kabla ya kuingia hospitalini, iliyopo karibu kabisa na Makazi ya Gavana. |
16 | “Niala tao an-tanànako ao amin'ny distrikan'i Kalat aho mba hihazo an'i Quetta noho ny zavatra maika tsy maintsy vonjeko saingy noho ny fanakatonana ny arabe, tsy ho afaka ho tonga ara-potoana any amin'ny toerana tokony alehako aho,” hoy i Murtaza Baloch tamin'ny Balochistan Point. | “Nilisafiri kutoka kijijini kwangu wilayani Kalat kuja Quetta nikimleta mtu kwa dharura lakini kwa sababu ya kufungwa kwa barabara sitaweza kufika ninakokwenda kwa wakati,” Murtaza Baloch, aliuambia mtandao wa The Balochistan Point. |
17 | Hoy koa izy: “Tsy maintsy hiverina ao Quetta aho indray andro ary mahatonga rarintsaina (fahasorenana) ho ahy izany.” | Aliongeza, “sasa itanibidi kurudi Quetta siku nyingine na huu ni usumbufu mkubwa kwangu.” |
18 | Noteren'ny mpitantana ny tanàna hikatona ireo sekoly telo lehibe ao an-tanàna, ny Sekoly Saint François Grammar, ny Sekoly St. Joseph Convent ary ny Sekoly Fo Masin'i Jesoa. | Shule tatu kubwa jijini hapo Mt. Francis, Mt. Joseph na Sacred Heart zote zilitangazwa kufungwa na mamlaka za jiji. |
19 | Manamorona ny lalana ampiasain'ny praiminisitra ireo sekoly ireo. | Shule hizo ziko kwenye barabara inayotumiwa na waziri mkuu. |
20 | “Isaky ny mitsidika ny tanàna ny Praiminisitray, tsy mianatra ny zanako vavy satria mikatona ny sekolin'izy ireo,” hoy i Saleem Haider, mponin'i Quetta. | “Kila Waziri Mkuu akitembea mji huu, binti yangu hupoteza siku moja ya shule kwa sababu shule yao hufungwa kwa siku hiyo,” alisema Saleem Haider, mkazi wa Quetta. |
21 | Tamin'ny andro nitsidihan'ny praiminisitra, Muhammad Siddique, nilaza ny tompona fiara iray nihitsoka tao anatin'ny fitohanan'ny fifamoivoizana fa tokony ho ferana ao an- tanàna misy ny faritra miaramila tsara aro ireo fivoriana lehibe sy fivezivezen'ny VIP. | Siku hiyo ya ziara ya waziri mkuu, Muhammad Siddique, mmliki wa gari lililokuwa kwenye foleni alisema mikutano muhimu na safari za watu maarufu zibaki kuwa kwenye maeneo ya kijeshi la jiji hilo. |
22 | “Raha miahiahy ireo mponin'i Quetta ny praiminisitra sy ny governemanta Balochistan,” hoy i Siddique “dia tokony hanatontosa ny fivorian'izy ireo ao amin'ny Faritra tsara aro ao Quetta mba hialàna amin'ny rarintsaina.” | “Kama waziri mkuu na serikali ya Balochistan wanawajali kidogo tu wakazi wa Quetta,” Siddique alisema, “basi wafanye mikutano yao kwenye maeneo ya kijeshi ya Quetta na kutuepusha na matatizo yasiyo ya lazima.” |