Sentence alignment for gv-mlg-20150416-69267.xml (html) - gv-swa-20150417-8672.xml (html)

#mlgswa
1Tsy Azo Idiran'ny Afrikana Hafa ve i Afrika Atsimo ?Afrika Kusini Imejitenga na Waafrika Wengine?
2Sary nalaina avy amin'ny “video” Youtube nalefan'ny Ren TV mampiseho fanafihana natao tamin'ny olom-pirenena Etiopiana iray.Picha ya video ya You tube iliyowekwa na A Ren TV ikionesha kushambuliwa kwa raia wa Ethiopia.
3Ny fanafihana vao nitranga tao Kwa-kwa-Zulu Natal sy tao Durban dia vokatry ny fanehoan-kevitry ny Mpanjaka “Zulu” Goodwill Zwelithini.Mashambulizi ya hivi karibuni huko Kwa-Zulu Natal na Durban yanahusishwa na kauli iliyotolewa na mfalme wa Zulu Goodwill Zwelithini.
4Heritreretina fa izy no nilaza tamin'ny vahiny ny tokony hodian'izy ireo any amin'ny tany niaviany.Inasemekana kuwa aliwataka wahamiaji warudi makwao.
5Ny fanafihana dia nahitana daroka, vono olona ary fandrobana magazay sy fananan'ny vahiny.Mashambulizi hayo yalihusisha watu kupigwa, kuuawa, kuchomwa moto, wizi madukani pamoja na wizi wa mali za wahamiaji.
6Olona dimy no maty, anisan'izany ny zazalahy iray 14 taona izay voatifitra ny alatsinainy teo.Watu watano wameshauawa, miongoni mwao akiwamo mvulana wa miaka 14 aliyeuawa siku ya jumatatu.
7Mihoatran'ny 1.000 ny vahiny nitsoaka ny fonenany.Zaidi ya wahamiaji 1,000 wameyakimbia makazi yao.
8Manameloka ireo vahiny ny Afrikanina Tatsimo sasan-tsasany amin'ny fakana ny asa sy ny orinasa izay tokony ho azy ireo, ary mirona any amin' ny asa famonoana olonaBaadhi ya watu wa Afrika Kusini wanawatuhumu wahamiaji kuwachukulia nafasi zao za kazi, biashara, pamoja na kujihusisha na uhalifu. Kati ya mwaka 2000 na 2008, takribani watu 67 walipoteza maishakwenye shambulio dhidi ya wahamiaji.
9Teo anelanelan'ny taona 2000 sy 2008, tsy latsaky ny 67 ny olona maty tamin'ny fanafihana fankahalana vahiny.Mnamo Mei 2008, mfululizo wa machafuko ulisababisha watu 60 kupoteza maisha.
10Tamin'ny volana may 2008, olona 4 no maty tao Johannesburg tamina fanafihana sahala amin'izany.Mapema mwezi wa Januari mwaka huu, watu wanne walipoteza maisha huko Johannesburg kutokana na matukio ya aina hii.
11Tamin'ny fampiasana ny “hashtags” #XenophobicSA sy #AfrophobicSA ny Afrikana Tatsimo sy ny tsy Afrikana Tatsimo dia nandray avy hatrany ny Twitter mba hanehoany ny rikorikony sy ny fahatafintohinany amin'ny herisetra asehon'ny Afrikana Tatsimo ary ny tsy fandraisana andraikitry ny governemanta Afrikana Tatsimo. Nakaka Ronald, a technology adviser from Tanzania, wrote:Kwa kutumia viungo habari#XenophobicSA na #AfrophobicSA raia wa Afrika Kusini na wale wasio wa Afrika Kusini kwa haraka kupitia mtandao wa Twitter walionesha kuchukizwa na kushtushwa na ukatili uliofanywa na raia wa Afrika Kusini pamoja na Serikali ya Afrika Kusini kushindwa kuchukua hatua kufuatia tukio hili.
12Ny “#blackconsciousness philosophy & sacrifice” an'ny Steve Biko dia naverina tsy misy antony mazava tao amin'ny #AfrophobicSA & #XenophobicSA pic.twitter.com/cjXuxKyWCFNakaka Ronald, mshauri wa masuala ya Kitekinolojia kutoka Tanzania aliandika: Falsafa ya kujitolea ya - Nakaka Ronald (@rnakaka) April 15, 2015
13(Ny fahatsiarovantenan'ny mainty dia hetsika politika sy filozofika mba hanovana ny fisainan'ny mainty hoditra, izay natsangan'i Steve Biko, maherifo niady tamin'ny “Apartheid” tao Afrika Atsimo.)( Utambuzi wa Mwafrika ni harakati za kisiasa na kifalsafa zilizolenga kumkomboa mwafrika kifikra, harakati zilizoanzishwa na shujaa aliyepinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini Steve Biko.)
14Nanontany ny Afrikana Tatsimo i Oyinlola, poety sy mpanoratra monina any Irlande :Oyinlola, mshairi na mwandishi aishiye Ireland, alikuwa na swali kwa watu wa Afrika Kusini:
15Miarahaba anareo Afrikana Tatsimo, mba tsapanareo ve fa misy mpiray fihaviana aminareo koa any amin'ny firenena Afrikana hafa ?Enyi watu wa Afrika Kusini, mnafahamu kweli kuwa wapo raia wenu wanaoishi katika nchi nyingine za Afrika?
16#SouthAfrica #XenophobicSA Nanontany i Ghadafi Ghadafi ao Kenya :Ghadafi Ghadafi kutoka Kenya naye aliuliza:
17Inona no maha samihafa azy ireo amin'ny fotsy hoditra namono sy nanantona ny mainty sy ny fotsy izay nanery ny “apartheid” taminy ? #XenophobicSANinyi mna tofauti gani na wakoloni waliowanyonga hadi kuwaua waafrika au wale wakoloni waliokuwa wakiwabagua waafrika kwa sababu ya rangi yao?
18Ny mpampiasa Tweeter Keniana iray hafa, Nyawira Njoroge, dia nanoratra.Mtumiaji mwingine wa Twitter, Nyawira Njoroge, aliandika:
19Izaho dia nieritreritra foana fa toy any amiko aho, na aiza na aiza eto Afrika.Nimekuwa nikifikiri kuwa ninaweza kuishi sehemu yoyote ya Afrika bila tatizo lolote.
20Mazava tsara fa tsotra loatra aho.Ni dhahiri kuwa nilikuwa najidanganya
21#XenophobicSA Raha namaly ny filazana hoe ny vahiny dia maka ny asan'ny tompontany, nanome soso-kevitra i Abi Mwachi, dokotera mpitsabo monina ao Mombasa, Kenya :Akijibu madai kuwa wahamiaji wanachukua nafasi za kazi za wazawa, Abi Mwachi, daktari wa magonjwa ya binadamu huko Mombasa, Kenya, alitoa mapendekezo:
22Ny fomba tsotra indrindra ahazoana ny asa tazonin'ny vahiny dia ny fandehanana any an-tsekoly ; fa tsy any amin'ny fivarotana antsilava.Njia rahisi kabisa ya kupata kazi ifanywayo na mhamiaji ni kwenda shule na siyo kuchukua silaha
23#XenophobicSA #xenophobicattacks Namarana azy i Joan Mumbua fa i Afrika dia hijanona foana ho kontinanta andalam-pandrosoana :Joan Mumbua alihitimisha kuwa Afrika litabaki kuwa bara la ulimwengu wa tatu:
24Hoatran'ny maha sahirana an'i Kenya amin'ny ady atao amin'ny fampihorohorona no maha sahirana an'ny #XenophobicSA amin'ny fampihorohorona ireo namany Afrikana.Wakati Kenya ikitumia muda wao mwingi kupambana na ugaidi, XenophobicSA wao wanatumia muda wao mwingi kuwakatili waafrika wenzao.
25Hijanona ho kontinanta andalam-pandrosoana isika !Tutaendelea kuwa bara la ulimwengu wa tatu!
26“Nkt”Nkt
27Mandritr'izany fotoana izany, i James Chikonamombe, olom-pirenena Zimbabwean monina any Etazonia, dia nahita ny fanafihana ho toy ny mampiharihary ny tsy fahombiazan'ny “Pan Africanism” (politika filozofika izay mamporisika ny firaisankinan'ny samy Afrikana) :Kwa upande mwingine, James Chikonamombe, raia wa Zimbabwe anayeishi Amerika, anayaona mashambulizi haya kama ushuhuda wa kushindwa kwa dhana ya umajumui wa Afrika (falsafa ya kisiasa inayosisitiza mshikamano miongoni mwa Wafrikaa):
28Ny Pan-Africanism (na dia efa voafaritra mazava aza) dia ny varotra henjana indrindra ho an'ny Foko Afrikana (na dia efa voafaritra mazava aza).Umajumui wa Afrika (kwa tafsiri yoyote iwayo) ni jambo gumu kueleweka kwa Waafrika wanaobaguana(kwa tafsiri yoyote iwayo)
29#XenophobicSA Mikasika ny fanalàna vao haingana ny tsangambaton'ilay mpanjanatany Cecil Rhodes tao amin'ny Oniversiten'i Cape Town ao Afrika Atsimo, nandefa “tweet” i Ashley Mendelowitz :Akirejelea tukio la hivi karibuni la kuondolewa kwa sanamu ya kikoloni ya Cecil Rhodes katika Chuo Kikuu cha Cape Town nchini Afrika ya Kusini, Ashley Mendelowitz alitwiti:
30Iray andro ny eso-teny amin'ny fanalàna ny tsangambaton'ny mpanjanatany ary ny namana Afrikana ho lasa #XenophobicSAMatokeo ya kuondoa sanamu za kikoloni kumefuatiwa na watu wa Afrika Kusini kuwaondosha waafrika wenzao
31Nandefa “tweet” ho an'ny Afrikana Tatsimo sy ny mpitondra politika ao an-toerana ilay mpanao gazety Afrikana Tatsimo Maseko :Mwandishi wa habari wa Afrika Kusini, Nomsa Maseko aliwaandikia watu wa Afrika Kusini na viongozi wa Kisiasa wa nchi hiyo:
32Nankaiza ireo mpitarika politika ao Afrika Atsimo, ny mpitondra fivavahana ary ny mpitarika tanora ? Fahasahina ara-tsaina ?Viongozi wa kisiasa wa Afrika Kusini wapo wapi?, viongozi wa dini na viongozi wa vijana? hamasa ya maadili ipo wapi? kuna mikakati yoyote?
33Omeo ny laha-dinika ?
34#XenophobicSA #AfrophobicSA Ny mpampiasa “Tweeter” iray hafa dia nampitaha ireo mpanafika amin'ny vondrona mitam-piadiana Al Shabaab sy Boko Haram :Mtumiaji mwingine wa Twitter aliwafananisha washambuliaji na wanamgambo wa vikundi vya Al Shabaab na Boko Haram:
35Tsy misy maha samihafa ny Al-Shabaab, ny Boko Haram ary ny olona tomponandraikitra tamin'ny fandoroana velona ireo ankizy.Hakuna tofauti kati ya Al-Shabaab, Boko Haram na watu waliowachoma moto watoto wakiwa hai
36#XenophobicSA Nampitandrina ny mpampiasa serasera sosialy ilay poety Zimbabweana Larry Kwirirayi mba tsy hanely vaovao tsy marina :Mshairi wa Zimbabwe, Larry Kwirirayi aliwatahadharisha watumiaji wa mitandao ya kijamii dhidi ya kusambaza taarifa zisizo sahihi:
37Mandritry ny fisehoan-javatra mahatsiravina ao SA, tandremo ny mety hiverenan'ny fampiasan-kery mahery vaika ao SA ary “acting” tahaka ny mahazatra. #XenophobicSAWakati kinachotokea Afrika ya Kusini kinasikitisha, kuwa mwangalifu katika kusambaza picha za zamani za machafuko nchini Afrika Kusini& wakizifanya kama vile ni za hivi karibuni
38I Afrika Atsimo dia tahaka an'i Egypta, nosoratan'i James Chikonamombe :Afrika Kusini ni kama ilivyo Misri, James Chikonamombe aliandika:
39#XenophobicSA: Tahaka an'i Egypta, i Afrika Atsimo dia “ao anatin'i” Afrika fa tsy “any ivelan'i” Afrika.Kama ilivyo kwa Misri, Afrika ya Kusini “ipo” Afrika lakini “imejitenga” na Afrika.
40Izany zavamisy mapalahelo, misaotra ny 300 taona nanaovana fangejana ara-tsaina.Huu ni ukweli unaouma, asante kwa miaka 300 ya utumwa wa kifikra.
41Tamin'ny fandefasana “tweet” avy any Afrika Atsimo, nanamarika ny olona iray mpomba ny Afrika tsy misy sisin-tany :Akitwiti tokea Afrika ya Kusini, mfuasi wa Afrika isiyo na mipaka aliweka bayana:
42Ireo fanafihana nohon'ny tsy fitiavana vahiny ireo dia tsy misy ifandraisany amin'ny olona miditra antsokosoko amin'ny sisin-tany, isika dia tsy manao afa tsy ny mankahala ny Afrikana hafa #XenophobicSAMashambulizi dhidi ya wahamiaji hayahusiani na watu wanaovuka mpaka wa nchi kinyume na utaratibu, kinachotkea ni kulazimishwa kuwachukia Waafrika wenzetu
43Nifampidinika i Mukula sy Caroline Keren ny amin'ny hoe ahoana no nanaovan'ny Afrikana hafa sorona tamin'ny fanafahana an'i Afrika Atsimo :Mukula na Caroline Kere walijadili namna waafrika walivyojitolea kuhakikisha Afrika ya Kusini inajipatia uhuru wake:
44“@Mukulaa” nanao toy izany koa isika fony tany amin'ny “lycée”, nanome vola 50 “shillings”, #AfrophobicSA kokoa mihoatran'ny #XenophobicSA , mankahala ny Afrikana HAFA izy ireo…Tulipokuwa elimu ya upili, tulijitolea, tulichanga sh 50, hii ni zaidi ya XenophobicSA,wanawachukia Waafrika wenzao …
45Amin'izay lafiny izay ihany, nilaza i AKA :Akijazia kilichotangulia kusemwa, AKA alisema:
46Nandritry ny “Apartheid”, ireo “vahiny” ireo ihany no nampiantrano ny mpiady ho an'ny fahafahantsika…Wakati vita dhidi ya ubaguzi wa rangi, walikuwa ni hawahawa wahamiaji waliowahifadhi wapigania uhuru wetu…
47Nanamarika ny mpampiasa “Twitter” sasany fa ny orinasa fananan'ny mpifindra monina fotsy hoditra dia tsy notafihana.Baadhi ya watumiaji wa Twita walikumbushia ukweli kuwa biashara za wahamiaji wazungu hazikushambuliwa.
48Nanontany i Tatenande avy ao Namibia :Tatenande wa kutoka Namibia aliuliza:
49Firy ny magazay fananan'ny vahiny fotsy hoditra no norobaina ? #XenophobicSANi maduka mangapi yanayomilikiwa na wageni wa kizungu yameshaporwa?
50Na izany aza, nandresy lahatra i Wadzanai Thembani :Hata hivyo, Wadzanai Thembani alihoji: Wapendwa, mambo yanapaswa kubadilika
51Ry havana @BBCAfrica @africarenewal @DA_News @allafrica #XenophobicSA #Xenophobia #Africa tokony hiova ny fandehan-javatra pic.twitter.com/f2E9aWC7tK