Sentence alignment for gv-mlg-20131215-55671.xml (html) - gv-swa-20131210-6406.xml (html)

#mlgswa
1#52ThingsAboutTanzania Ho Fankalazàna ny Faha-52 Taonan'ny Fahaleovantena#Mambo52KuhusuTanzania katika Kusherekea Miaka 52 ya Uhuru
2Nankalaza ny faha-52 taonan'ny fahaleovantenany niala tamin'ny Britanika i Tanzania tamin'ny 9 desambra 2013.Tanzania bara ilisherehekea miaka 50 ya uhuru wake kutoka kwa Waingereza tarehe 9 Desemba, 2013.
3Fantatra taloha tamin'ny anarana Tanganyika, tamin'ny tanibe nitambatra tamin'ny nosy Zanzibar ny firenena tamin'ny 26 aprily 1964 ka nanangana ny Tanzania.Zamani ikiitwa Tanganyika, baayae iliungana na visiwa vya Zanzibar tarehe 26 April, 1964 kutengeneza nchi inayoitwa Tanzania.
4Tamin'ny fankalazàna ny faha-52 taonan'ny fahaleovantena ny mpisera Twitter sasantsasany no nanangana ny diezy #52ThingsAboutTanzania (zavatra 52 momba an'i Tanzania) hifampizarana zavatra sy tarehimarika mahaliana momba ny firenena :Katika kusheherekea miaka 52 ya uhuru, watumiaji kadhaa wa mtandao wa Twita walitumia alama ishara ya #52ThingsAboutTanzania (yaani #Mambo 52KuhusuTanzania) kushirikishana takwimu na uhalisia kuhusu nchi yao: Julius Nyerere “Baba wa Tanzania” alitafsiri kitabu cha Shakespeare kiitwacho “The Merchant of Venice; Julius Ceaser” kwa Kiswahili.
5Julius Nyerere, ny “Rain'i Tanzania”, no nandika ny piesin'i Shakespeare “Ilay Mpivarotr'i Venizy & Jolio Kaisara (Sezara)” ho amin'ny teny swahili.Mlima Kilimanjaro, mlima mrefu kuliko yote Afrika, na mrefu kuliko milima yote iliyosimama yenyewe bila kuwa kwenye safu za milima, ukiwa Moshi, Tanzania.
6Tendrombohitra Kilimanjaro, tendrombohitra avo indrindra ao Afrika, sy tendrombohitra avo indrindra mijoro samirery manerantany, ao Moshi, Tanzania.Picha imewekwa na Muhammad Mahdi Karim (www.micro2macro.net) chini ya Leseni ya GNU Free Documentation.
7Sary navoakan'i Muhammad Mahdi Karim (www.micro2macro.net), GNU Free Documentation License.Mlima mrefu kuliko yote duniani usio kwenye safu za milima ni Mlima Kilimanjaro
8Ny Tendrombohitra avo indrindra mijoro samirery manerantany dia ny Tendrombohitra KilimanjaroWimbo wa Disney “The Lion King” ulipambwa na Hifadhi ya Wanyama ya Serengeti. #52ThingsAboutTanzania
9Nakàna aingam-panahy avy amin'ny valan-javaboaharim-pirenena Tanzaniana ao Serengeti ilay Sarimiaina Malaza an'i Disney “Ny Liona Mpanjaka”.Wimbo wa Disney “The Lion King” ulipambwa na Hifadhi ya Wanyama ya Serengeti. - Uncle Fafi (@Tanganyikan) December 9, 2013
10Ny Tanzanite [vato sarobidy tsy fahita avy ao Tanzania] dia anarana nomena avy amin'i Tanzania Fanjakana Atsinanan'i Afrika niaviany.Tanzanite [vito vya thamani vinavyopatikana Tanzania] yameitwa kwa jina la nchi ya Afrika Mashariki iitwayo Tanzania mahali ambapo ndiko yanaykotoka.
11Tiffany's no namorona ny anarana.Jina hilo lilibuniwa na Tiffany.
12Fozam-boanio, fozantany goavana indrindra manerantany . Sary navoaka tamin'ny alalan'ny Creative Commons, avy amin'ilay mpisera Flickr, Drew Avery.Kaa aitwaye Coconut crab, kaa mkubw akuliko wote aishiye nchi kavu duniani kote, Picha imewekwa mtandaoni kwa leseni ya Creative Commons na mtumiaji wa mtandao wa Flickr aitwaye Drew Avery.
13Zanzibar, Tanzania no fonenan'ny fozam-boanio.Zanzibar, Tanzania ni makazi ya kaa aitwaye coconut crab.
14Fozµa lehibe indrindra manerantany (sy toa iray amin'ireo matsiro indrindra)Ni kaa mkubwa kuliko wote duniani (& na anasemekana kuwa mmoja wa kaa watamu sana) #52ThingsAboutTanzania
15Firenena 10 isan-karazany ankehitriny no miteny ny teny KiSwahili izay avy ao Tanzania, ary anisan'izany ny Nosy Komoro.- KijanaMokiwa (@stevpm) December 9, 2013 Kiswahili kimeanzia Tanzania na hivi sasa kinazungumzwa na nchi kumi tofauti ikiwemo visiwa vya Comoro
16Vavam-bolokano Ngorongoro, toerana natokan'ny UNESCO ho lovan'izao tontolo izao, ary iray amin'ireo zavaboahary fito mahagaga indrindra ao Afrika, miorina ao Arusha, Tanzania.Hifadhi ya Ngorongoro, eneo ambalo kwa mujibu wa UNESCO ni Urithi wa Dunia na moja wapo ya maajabu saba ya asili ya dunia barani Afrika, lipo Arusha, Tanzania.
17Sary navoakan'i Thomas Huston tamin'ny alalan'ny GNU Free Documentation License.Picha imewekwa mtandaoni na Photo Thomas Huston chini ya leseni ya GNU Free Documentation.
18Ny vavam-bolokano maty Ngorongoro, ao Tanzania, no vavam-bolokano feno midadasika indrindra manerantany.Bonde la Hifadhi ya Ngorongoro, nchini Tanzania, ni bonde kubwa kuliko yote duniani.
19Tanzania no manana Tendrombohitra faharoa lehibe indrindra manerantany (Kilimanjaro)Tanzania inayo mlima wapili kwa ukubwa duniani (Kilimanjaro)
20Ny volan'i Tanzania dia ny shilling tanzanianaSarafu ya Tanzania ni Shilingi ya Tanzania
21Ny Valan-javaboaharim-pirenena ao amin'ny Farihin'i Manyara, Tanzania, no akanin'ireo liona hany mpihani-kazo manerana izao tontolo izao.Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara, nchini Tanzania, ni makazi ya simba wakweao mitini wasiopatikana kwingineko kote duniani
22Liona mpihani-kazo ao Tanzania.Simba apandae miti nchini Tanzania.
23Sary navoaka tamin'ny alalan'ny Creative Commons avy amin'ilay mpisera Flickr Tracey Spencer.Picha iliwekwa kwa matumizi ya matandaoni chini ya leseni ya Creative Commons na mtumiaji wa mtandao wa Flickr Tracey Spencer.
24Ny karandohan'olona ela indrindra hita teto ambonin'ny tany dia tao Olduvai Gorge ao Tanzania no nahitana azy.Fuvu la kale zaidi duniani kuwahi kugundulika liligunduliwa kwenye Bonde la Olduvai nchini Tanzania
25Ny Valan-javaboahary Amani (Atsinanan'i Tanzania) no toerana tokana ambonin'ny tany ahitana ny violety Afrikanina mitsimoka hoazy eny rehetra eny.Mbuga ya Wanyama ya Amani (Mashariki mwa Tanzania) ni sehemu pekee duniani ambapo Maua yenye asili ya Afrika yaoteshwayo majumbani huota mwituni.
26Iray amin'ireo olo-malaza Afrikanina hajaina indrindra, Julius Nyerere (1922 - 1999), mpanao politika manana fitsipi-pitondrantena sy haranita-tsaina miavaka.Mtu maarufu anayeheshimika sana duniani, Julius Nyerere (1922-1999) alikuwa mwanasiasa wa kanuni na mwenye kipaji cha akili nyingi
27Ny Hazo Mpingo antsoina na Andramainty , fahita mahazatra ao Tanzania, no hazomafy lafo vidy indrindra manerantany.Mti wa Mpingo, wenye rangi nyeusi, unaopatikana sana Tanzania, ni moja wapo wa miti iliyo ghali zaidi duniani