Sentence alignment for gv-mlg-20130924-52082.xml (html) - gv-swa-20130924-5712.xml (html)

#mlgswa
1Mpanoratra Global Voices Mahatsiaro Ireo Namana Novonoina Tamin'ny Fanafihana Tsenam-barotra Tao NairobiMwandishi wa Global Voices Awakumbuka Marafiki Waliouawa Kwenye Shambulio la Nairobi
2Mpanao gazety Tanzaniana monina ao Dar es Salaam i Shurufu.Shurufu ni mwandishi wa Tanzania anayeishi Dar es Salaam.
3Misioka ao amin'ny @shurufu izy.Anatwiti kupitia@shurufu.
4Vakio ihany koa ny lahatsorany Ahoana ny Nivoahan'ny Fanafihana Tsenambarotra tao Nairobi Tamin'ny Tambajotra Sosialy [en].Pia waweza kusoma posti yake Namna shambulizi la Westgate jijini Nairobi lilivyobainikia kupitia Mitandao ya Kijamii.
5Tamin'ny fotoana nanoratana dia teo amin'ny 69 ny isan'ny maty ary mihoatra ny 200 ny isan'ny naratra tamin'ilay fanafihana an-terisetra ny tsenambarotra Westgate Mall tao Nairobi.Wakati wa kuandikwa kwa posti hii, idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la kikatili kwenye kituo cha kibiashara jijini Nairobi ilifikia 69, wakati wengine 200 wakijeruhiwa.
6Nirodorodo tao amin'ny tsenambarotra, iray amin'ny toerana malaza indrindra ho an'ny vahiny sy ny kenyana saranga antonony, ireo mpikatroka mitam-piadiana ary nanao ny fanafihana nahafatesana olona be indrindra tao amin'ny firenena hatramin'ny fidarohana baomba ny ambasadin'i Etazonia tamin'ny 1998.Wanajeshi wenye silaha walivamia jengo hilo, moja wapo ya maeneo maarufu zaidi jijini humo linalotembelewa na raia wa kigeni na wa-Kenya wa tabaka la kati, na kufanya shambulizi la kikatili zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo tangu kulipuka kwa bomu katika jengo la Ubalozi wa Marekani mwaka 1998.
7Anisan'ny maty tamin'izany ilay poeta Ghaneana malaza Kofi Awoonor.Miongoni mwa waliouawa ni pamoja na Mshairi anayeheshimika, raia wa Ghana Kofi Awoonor.
8Anisan'ny maty tamin'izany ihany koa ilay mpiteny malaza amin'ny onjampeo, Ruhila Adatia.Mwingine ni mtangazaji maarufu, Ruhila Adatia.
9Voatati-baovao ho bevohoka moa izy.Inasemekana alikuwa mjamzito.
10Namoy namana ihany koa aho tamin'ilay fanafihana tao Westgate: i Ross Langdon sy i Elif Yavuz, olon-droa miaraka izay teo ampiandrasana ny fahaterahan'ny zanak'izy ireo voalohany.Mimi, vilevile, nimepoteza marafiki katika shambulio hilo la Westgate: Ross Langdon na Elif Yavuz, wenzi waliokuwa wakimtarajia mtoto wao wa kwanza.
11Nonina tao Dar es Salaam ry zareo saingy nihevitra ny hiteraka tany Nairobi satria ny tao no tian-dry zareo kokoa ny fikarakarana ara-pahasalamana.Waliishi Dar es Salaam lakini walikuwa Nairobi kwa ajili ya kujifungua kwa sababu ya kuziamini zaidi huduma za afya jijini humo.
12Efa nahafeno ny PhD tao amin'ny Oniversiten'i Harvard Sekolin'ny Fahasalamam-bahoaka i Elif.Elif alimaliza PhD yake katika Shule ya Afya ya Jamii ya Chuo Kikuu cha Harvard.
13Nifindra tao Dar es Salaam hiasa tao amin'ny Clinton Foundation [Fanaovana Asa Soa Clinton].Alihamia Dar es Salaam kufanya kazi katika Mfuko wa Clinton.
14Eto izy tafahaona tamin'ny Filoha Bill Clinton nandritra ny fitsidihany an'i Tanzania tamin'ny volana Aogositra:Hapa chini, akikutana na Rais Bill Clinton wakati wa ziara yake nchini Tanzania mwezi Agosti:
15Elif Yavuz nandritra ny fihaonany tamin'ny filohan'i Etazonia teo aloha President Bill Clinton nandritra ny fandalovany tao Tanzania tamin'ny Aogositra 2013.Elif Yavuz akikutana na Rais wa zamani Bill Clinton wakati wa ziara yake nchini Tanzania mwezi Agosti 2012.
16Sary avy amin'ny Facebookn-dRtoa Yavuz.Picha kupitia ukurasa wa Facebook wa Yavuz .
17Lalin-tsaina, kinga ary sariaka sy nitondra fifaliana ho an'ny manodidina i Elif.Elif alikuwa na akili, anayejua kutumia maneno vizuri, mchezi na mtu wa kufurahia kuwa nae.
18Mety ho reny tena mahafinaritra tokoa izy.Angekuwa mama mwema ajabu.
19Manana ny fomba fampihomehezana sy fomba fiaina Aostraliana mampiavaka ireo olona ‘avy any amin'ny fototra' kosa ny sipany Ross.Rafiki yake wa kiume Ross alikuwa na bashasha na ucheshi wa ki-Australia na mwenye furaha ya maisha kama ilivyo kawaida ya watu wakarimu na wanyenyekevu kutoka Australia.
20Manantaletana ikoizana amin'ny fanaovana maritrano ihany koa izy.Alikuwa mbunifu wa majengo mwenye kipaji cha ajabu.
21Niara-nanorina tamim-pahombiazana ny studio iarahana kaontinanta roa antsoina hoe Regional Associates ihany koa izy.Alishiriki kuanzisha kituo cha kimataifa cha ubunifu wa majengo, kinachooitwa Regional Associates.
22Teto izy no niresaka momba ny lazainy hoe maritrano Tanalahy tao amin'ny TEDxKraków tamin'ny herintaona:Hapa anazungumzia kile alichokiita ubunifu wa Kinyonga katika mkutano wa TEDxKraków wa mwaka jana:
23Efa nanantena mafy ny ho dada mihitsy izy.Alikuwa akitarajia kuwa Baba.
24Saingy lasa ry Ross sy ry Elif.Lakini Ross na Elif wametutoka.
25Sarotra ny hanazava hoe fa nahoana no lasa ireny olona mahafinatria ireny sy ry Profesora Awoonor ary ry ramatoa Adatia, sy ry Mbugua sy ry Wahito ary ireo olona tsy manantsiny hafa izay lavo tao amin'ny Tsenambarotra Westgate.Ni vigumu kueleza kwa nini watu hawa wema ajabu kiasi hiki pamoja na Profesa Awoonor na Bi. Adatia, wakiwa na Mbugua na Wahito na roho zote zisizo na hatia zilizopotea katika Shambulio la Westgate.
26Handry Am-piadanana anie izy ireo.Katika maneno ya mwandishi Teju Cole (@tejucole), mroho zao zipumzike kwa amani katika ulimwengu mpya.
27Vakio ihany koa: Ahoana ny Nivoahan'ny Fanafihana Tsenambarotra tao Nairobi Tamin'ny Tambajotra Sosialy [en].Soma pia: Namna shambulizi la Westgate jijini Nairobi lilivyobainikia kupitia Mitandao ya Kijamii.