Sentence alignment for gv-mlg-20121114-40649.xml (html) - gv-swa-20121113-4378.xml (html)

#mlgswa
1Iharan'ny Fanararaotana Ireo Ankizy Eny An-dalambe Ao BangladeshWatoto wa Mitaani Bangladesh Wakabiliwa na Unyanyasaji
2Raha mihitsoka mandritra ny minitra vitsy anatin'ny fitohanana ao andrenivohitr'i Bangladesh, Dhaka ianao, dia mety hahita ankizy mihazakazaka mamonjy ny varavarakelin'ny fiaranao.Pale inapotokea umekwama kwa dakika chake katika taa za barabarani katika mji mkuu wa Bangladeshi Dhaka, bila shaka utaona watoto wakijazana kwenye madirisha ya gari lako.
3Mitondra voninkazo ny sasany amin'ireo ankizy; ny sasany kosa mihazona boky ao anatin'ny sandriny, ny hafa milanja fehezana gazety ary ny hafa mitondra vatomamy ary ho amidy avokoa izany rehetra izany.Miongoni mwao kuna wale watakaokuwa wamebeba maua; wengine marundo ya vitabu, wengine magazeti na hata wapo wale wanaouza pipi.
4Miezaka mafy izy ireo mandresy lahatra sy manintona ireo mpandalo mba hividy ny entambarotra.Wote wanafanya kila linalowezekana kuwavutia wasafiri barabarani ili wauze bidhaa zao.
5Fahita isan'andro ao amin'ny araben'i Dahka izany toe-javatra mampalahelo izany.Sura hii ya kuhuzunisha inatawala mitaa mingi ya jiji la Dhaka.
6Fantatra amin'ny anarana hoe Pothoshishu ireo ankizy eny an-dalambe.Katika jiji hili watoto hao hujulikana kwa jina la Pothoshishu.
7Eny amin'ny arabe no toerana ahazoan'izy ireo vola.Ni huko mitaani ndiko wanakojipatia riziki.
8Tombanana eo amin'ny 400.000 eo ny fitambaran'ny ankizy eny an-dalambe ao Bangladesh.Jumla ya watoto hao wa mitaani nchini Bangladeshi inakadiriwa kuwa laki nne (karibu nusu milioni).
9Monina irery ao an-tanànan'i Dhaka ny antsasa-manilan' ireo ankizy.Karibu nusu ya idadi hiyo wanaishi katika jiji la Dhaka peke yake.
10Ankizy vavikely avokoa ny maro an'isa amin'izy ireo.Miongoni mwao, walio wengi ni wasichana.
11Ireo ankizy vavikely eny an-dalambe indrindra matetika no iharan'ny fanararaotana sy ny fanandevozana.Watoto hawa wa kike wanakabiliwa na unyanyasaji na vitendo vingine vya dhuluma dhidi yao.
12Ankizy vavikely eny an-dalambe: Ny fivarotana voninkazo no fiveloman'i Mili sy Brishti.Wasichana wa mitaani Mili na Brishti wanajitafutia riziki kwa kuuza maua.
13Sary: Firoz Ahmed.Picha na Firoz Ahmed.
14Copyright Demotix (21/1/2012)Hakimiliki Demotix (21/1/2012)
15Tamin'ny volana Martsa 2012, namoaka fanadihadiana mitondra ny lohateny hoe “fifandraisana ara-tsosialin'ireo ankizy vavikely eny an-dalambe ao an-tanànan'i Dhaka, Bangladesh” [pdf ]i Unnayan Onneshan .Mwezi Machi, 2012 Unnayan Onneshan alichapisha ripoti iliyopewa kichwa cha habari “social connection of the street girls in the context of Dhaka city, Bangladesh” [pdf] yaani ‘Uhusiano wa kijamii wa wasichana wa mitaani katika muktadha wa jiji la Dhaka, Bangladeshi.
16Mampiseho ny fanadihadiana amin'izany fa mivarotra voninkazo ny ankamaroan'ny zazavavy eny an-dalambe (37,50%) mba hivelomany.Utafiti unaonyesha kwamba wengi kati ya wasichana hao wa mitaani (37. 50%) hujipatia riziki kwa kuuza maua.
17Noterena hivaro-tena ny 18,80% amin'ireo zazavavy ireo, 6,25 % kosa miasa amin'ny orinasa mpamokatra akanjo, 6,25% lasa mpangataka, ary ny 12,50% lasa mpivarotra ary ny 6,25% mpivarotra gazety mandehandeha.Asilimia 18.80 kati yao hulazimishwa kujihusisha na ukahaba, asilimia 6.25 hufanya kazi katika viwanda vya nguo, asilimia 6.25 huwa ombaomba, asilimia 12.50 hufanya kazi za kuuza duka na asilimia 6.25 ni wachuuzi wa magazeti.
18Mampidi-bola kely dia kely Tk. 101-299 ($1. 25-$3.75) isan'andro ny antsasa-manilan'ireo ankizy vavikely.Karibu nusu ya wasichana hawa wana kipato cha kujikimu tu kipatacho kama Tk. 101-299 (dola za Marekani 1.25 hadi 3.75, kama Tsh2,000 - Tsh5,000).
19Tk. 300 (US$3. 75) na mihoatra kosa ny vola miditra isan'andro amin'ny 43,75 %n'ireo ankizy vavikely.Kipato cha kila siku cha asilimia 43.75 ya wasichaa ni Tk. 300 (dola $3.75, sawa na Tsh5,000) na zaidi.
20Kanefa izy ireo ihany no toa hita fa manam-bitana, satria misy 6,25 % amin'ireo ankizy vavy eny an-dalambe no mahazo vola latsaky ny Tk. 100 ($1.25) isan'andro.Lakini hao ni wale ambao wana bahati sana, kwa sababu asilimia 6.25 ya wasichana wa mitaani hupata chini ya Tk. 100 (dola 1.25, sawa na Sh2,000) kwa siku.
21Tsy mba mahazo fitsaboana maimai-poana na toeram-pitsaboana avy amin'ny governemanta ny 45% amin'ireo ankizy vavy kely.Karibu asilimia 45 ya wasichana hawa hawapati hudma zozote za afya katika vituo vya afya vya serikali.
22Ary ankizy vavy 3 ao anatin'ny 10 no tsy mba nandia fianarana sy tsy mba noraisina hianatra taminà sekolim-pampianarana.Wasichan 3 kati ya 10 hawajawahi kupata elimu ya aina yoyote katika taasisi zinazohusika na elimu.
23Mora iharan'ny fanararaotana toy ny ara-nofo, ny vono olona, ny setrasetra sy ny fanendahana ny fananany ny ankamaroan'ireo vehivavy ao Bangladesh.Wakawake wengi nchini Bangladeshi wako kwenye hatari ya kufanyiwa dhuluma kama vile ubakaji, kuuwawa, kuchezewa, mahari na hata kumwagiwa tindikali.
24Miharitra izany loza mety hitranga izany isan'andro ireo ankizy eny an-dalambe mirenireny sy mandany ny fahazazany eny amoron'ny araben'i Dhaka.Lakini watoto wa mitaani wasio na makazi katika jiji la Dhaka wanakabiliana na hatari hizi kila siku.
25Nalaina avy amin'ilay fanadihadiana ity sary ity, izay mampiseho antontan'isa mikasika ny herisetra mihatra amin'ireo zazavavy eny an-dalambe:Kielelezo hiki kimechukuliwa kutoka kwenye ripoti iliyotajwa hapo juu, inayoonyesha takwimu za ukatili wanaofanyiwa wasichana wa mitaani:
26Antontan'isa mikasika ny herisetra mihatra amin'ireo zazavavy eny an-dalambeTakwimu kuhusu vitendo vya ukatili dhidi ya wasichana wa mitaani
27Neelkabyo nanoratra mikasika ny toe-javatra mampalahelo iainan'ireo zazavavy eny an-dalambe ao Addar Asor forum:Neelkabyo anaandika kuhusu hali ilivyo mbaya inayowakabili wasichana wa mitaani hapa Jukwaa la Addar Asor:
28Sarotra ny miantoka ny fiarovana ny zanaka vavintsika ao anatin'ny tokantranontsika manokana, mampihorokoditra tanteraka ny mieritreritra ireo ankizivavikely 25,7% mivelona eny an-dalambe.Pale inapokuwa vigumu kuhakikisha usalama wa mabinti zetu katika nyumba zetu wenyewe, suala la kufikiri kuhusu asilimia 25.7 ya wasichana wanaoishi mitaani kwa hakika ni la kuogofya sana.
29Nizam Kutubee nanoratra tao amin'ny bilaogy Prothom Alo:Nizam Kutubeeanaandika kupitia Prothom Alo Blog:
30Vao haingana no nisy adihevitra maro mikasika ny lalàna momba ny fanararaotana ara-nofo.Hivi karibuni kumekuwepo na majadiliano mengi kuhusu sheria za kudhibiti vitendo vya ukatili vya ngono.
31Saingy tsy mba nisy olona nihevitra sy niresaka mikasika ny fiarovana ireo zazavavy eny an-dalambe.Lakini hakuna anayelipa uzito suala la usalama wa wasichana wa mitaani.
32Miharitra hatrany ny fanararaotana ara-nofo izy ireo satria tsy maintsy eny an-dalambe no matory ary tsy mba manam-piarovana mihitsy.Hawa daima hufanyiwa dhuluma za kingono kwa sababu huwalazimu kulala mitaani pasipo kuwa na ulinzi wowote.
33Tsy mba misy olona rototra amin'ny toe-javatra mahazo ireo zazavavy ny ao amin'ny manampahefana.Lakini hakuna mtu serikalini anayeonekana kujali kuhusu watoto hao. Kuishi pasipo na makazi rasmi katika eneo la wazi.
34Monina eny an-dalambe.Picha na Auniket.
35Sary: Auniket. Copyright Demotix (6/4/2012).Hakimiliki ya Demotix (6/4/2012).
36Bilaogera Maa nitanisa tononkira tamin'ilay hira Bangla malaza mba hisarihana ny saina manoloana izao olana izao sy hitaky tokantrano azo antoka feno fiarovana ho an'ireo ankizy ireo:Mwanablogu Maa alichukua vipande vya wimbo maarufu wa KiBangla ili kujaribu kuweka wazi suala hili na kuomba kwamba watoto hawa wapatiwe makazi salama:
37Avelao hiposaka amin'ireo saha maitso ny masoandro, ho fialokalofana am-pilaminana anie izao tontolo izaoHebu jua jipya liyaangazie malisho haya ya kijani, hebu ulimwengu na uwe mahali salama pa kuishi
38Ho tontolo lavitry ny loza ho an'ny ankizy anie izao tontolo izao, betsaka loatra ve ny zavatra angatahiko? …Hebu tuufanye ulimwengu uwe mahali salama kwa watoto, je, hili ni jambo kubwa sana ninaloliomba? …