Sentence alignment for gv-mlg-20130712-50078.xml (html) - gv-swa-20130712-5473.xml (html)

#mlgswa
1Fifidianana Ao Kambodza: Latsa-Bato Ao Amin'ny FacebookKuelekea uchaguzi wa Kambodia: Matumizi ya Mtandao wa Facebook
2Mampiasa Facebook am-pahavitrihana ireo mpiserasera Kambojiana mba hiresahana, hiadian-kevitra sy hizara vaovao momba ny fifidianana solombavambahoaka atao amin'ny 28 Jolay.Watumiaji wa mtandao wa intaneti nchini Kambodia wanatumia mtandao wa Facebook kwa kiwango kikubwa katika kujadili, kuendesha midahalo na kushirikishana mambo mapya yanayohusu chaguzi za kitaifa zinazotarajiwa kufanyika tarehe 28 Julai, 2013.
3Mandritra izany, mampitombo ny fisiany ao amin'ny tambajotra sosialy malaza koa ireo antoko politika mba hisarihana ireo tanora mpifidy.Wakati huohuo, vyama vya siasa pia vinatumia mtandao huu ulio maarufu zaidi katika kuwashawishi vijana wadogo wanaotarajiwa kupiga kura.
4Niaiky ny fahadisoany tamin'ny fanambarany vao haingana i Moses Ngeth, mpikatroka sady mpiaro ny zon'olombelona nilaza fa resaka fialam-boly ihany no mahavariana ireo mpisera Facebook Kambojiana:Moses Ngeth, ambaye ni mwanaharakati na wakili wa masuala ya haki za binadamu, alikiri kosa lake kufuatia tamko lake la hivi karibu kuwa, watumiaji wa Facebook nchini Kambodia wautumia mtandao huu kwa minajili ya burudani tu:
5Volana maro lasa izay, nanatontosa resadresaka taminà media aho izay nilazako fa mampiasa facebook hialàna voly sy ho amin'ny tombotsoany manokana fotsiny ihany no ataon'ireo tanora.Miezi kadhaa iliyopita nilifanya mahojiano na vyombo vya habari na kusema kuwa, vijana wnatumia Facebook kwa ajili ya burudani tu na mambo yao binafsi.
6Hatramin'ny niandohan'ny fampielezan-kevitra amin'ny fifidianana filoham-pirenena anefa, noporofoin'ireo tanora tao amin'ny Facebook fa diso hevitra aho; ENY, miaiky aho fa nanao fanehoan-kevitra diso.Tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu, vijana wanaotumia mtandao wa Facebook walithibitisha kuwa mawazo yangu hayakuwa sahihi; na ni kweli ninakiri kuwa, tamko langu halikuwa sahihi.
7Nahita ny fitomboan'isan'ireo tanora mampiasa tambajotra sosialy ho amin'ny fanovana aho.Nimeona idadi endelevu ya vijana wanaotumia Facebook kwa ajili ya kutafuta mabadiliko.
8Ho an'ireo tanora mahery fo miaro ny zony mba hifidy izay ho filohany, raiso ny fialan-tsinikoKwa wale vijana wote makini ambao wamesimama kidete na kwa uwazi katika kutumia haki yao ya kumchagua kiongozi wao, ninawaomba msamaha
9Printsesy Norodom Arunrasmey, zanaka vavin'ny mpanjaka, Norodom Sihanouk izay efa odimandry ary filohan'ny antoko fitondran'andriana, miarahaba ireo mpanohana azy mivory ao amin'ny Kianjan'ny Fahalalahana ao Phnom Penh.Malkia Norodom Arunrasmey, ambaye ni mtoto wa hayati Mfalme Norodom Sihanouk na kiongozi wa chama cha Kifalme akiwapungia mkono wafuasi wake waliokusanyika katika Bustani ya Uhuru (Freedom Park) huko Phnom Penh.
10Sary avy amin'i Thomas Cristofoletti, Copyright @Demotix (7/3/2013)Picha naThomas Cristofoletti, Copyright @Demotix (7/3/2013)
11Niombon-kevitra tamin'i Moses i Rachna Im mpanao gazety ao amin'ny RFI amin'ny teny Khmer sy bilaogera vehivavy tanora tamin'ny valin-teniny tao amin'ny Facebook:Rachna Im, ambaye ni mwandishi wa habari wa RFI katika lugha ya Khmer na ambaye ni mwanablogu chipukizi mwanamke alikubaliana na Moses katika ujumbe alioujibu na kwa kuutuma kwa mwandishi wa makala hii:
12Fomba vaovao no nampiasàna ny Facebook.Mtandao wa Facebook umekuwa ukitumiwa kwa namna mpya na ya kipekee kabisa.
13Vao haingana, nampiasain'ireo mpiserasera, indrindra ireo tanora ny media sosialy ho sehatra hanehoan'izy ireo hevitra ara-politika […] Araka ny efa nomarihako, fomba tsara hampiasana media sosialy izany - mba hihainoana ny hevitry ny hafa sy hanehoana fa malalaka ny fitenenana ao Kambodza, na dia tsy malalaka tanteraka aza fa kely fotsiny.Watumiaji na hususani vijana, siku za hivi karibuni wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii kama nmna ya kutolea maoni yao yanayohusu siasa. Kama nilivyobaini, hii ni namna nzuri ya kutumia mitandao ya kijamii-katika kuhakikisha mawazo ya mtu yanasikika na pia inaonesha hali nzuri ya uhuru wa kujieleza nchini Kambodia, siyo sana, lakini kwa kiasi fulani, hali inaridhisha..
14Na dia izany aza, nampatsiahy ireo mpiserasera Kambojiana mandray anjara amin'ny adihevitra politika i Rachna mba hanaja ireo fijery sy hevitra samihafa:Hata vivyo, Rachna aliwakumbushas watumiaji wa mtandao wa intaneti wanaoshiriki kwenye midahalo ya kisiasa kuheshimu hali ya mgongano wa mawazo:
15Miafara amin'ny fitenenan-dratsy ny hafa anefa izany noho ny fananana hevitra mifanohitra […] Mihevitra izy ireo fa manana fahalalahana hanohana antoko - kanefa tsy manaja ny fahalalahan'ny hafa hanohana antoko hafa.Mara nyingi huwa wanaishia kuwatukana wengine pale kunapotokea mgongano wa kimawazo. Wanaamini kuwa wana uhuru wa kukiunga mkono chama fulani-lakini hawaheshimu haki ya watu wengine ya kukiunga mkono chama kingine.
16Matetika tsy mino ireo zavatra alefa amin'ny Facebook aho hatramin'ny nahafantarako fa ny ratsan-tanana no nandefa izany fa tsy ny atidoha.Wakati mwingine huwa ninashangazwa sana na baadhhi ya mambo yanayowekwa kwenye Facebook, kwani huwa ninajiuliza kitu hicho kimewekwa tu bila hata ya kutumia akili.
17Nankasitraka ireo tanora tamin'ny fanehoan'izy ireo ny heviny i Rachna ary nanantena fa hanatsara ny fiarahamonina izany indrindra ny fahalalaham-pitenena ao Kambodza.Zaidi, Rachna aliwapongeza vijana kwa basara zao katika kutoa maoni yao na kuamini kuwa utaratibu huu utaiimarisha jamii na haswa haswa katika suala la uhuru wa kujieleza nchini Kambodia.
18Nanomboka nitarika adihevitra politika i Chantra Be, mpandrindra ny tambajotra sosialy ao amin'ny Open Institute sy mpikarakara hetsika malaza BarCamp ao Kambodza izay fantatra amin'ny tsy fitiavana miresaka politika.Chantra Be, msimamizi wa mfumo mtandao wa kijamii wa Asasi Huru na mtaalamu wa kuratibu matukio ya BarCamp huko Cambodia na ambaye anajulikana kwa kutokupenda kuzungumzia masuala ya siasa, siku za hivi karibuni alianzisha mjadala wa kisiasa.
19Taminà resadresaka niarahana taminy, nanazava ny antony nitiavany resaka politka tampoka i Chantra:Katika maojiano na mwandishi wa makala hii, Chantra alielezea ni kwa nini kwa ghafla alihamasika kwenye mambo ya siasa:
20Ho ahy manokana, tsy tia politika aho, ary tsy mirona aminà antoko.Binafsi sipendi siasa, na mimi siyo mwanachama wa chama chochote.
21Tiako ny mijanona eo afovoany.Ninapenda kuwa vuguvugu.
22Olom-pirenena manan-jo hifidy sy hizara ny hevitro aho.Mimi ni raia niliye na haki ya kupiga kura na kutoa maoni yangu.
23Namaky zavatra maro tao amin'ny Facebook aho izay nanohina ny foko ny momba ny toe-javatra eto KambodzaNimesoma mambo mengi kuhusiana na hali ya sasa ya Kambodia katika mtandao wa Facebook yaliyonigusa.
24Vao haingana, nanontany mikasika ny andraikitr'ireo mpanolotsaina 164 an'ny fitondrana i Chantra raha manoro hevitra tsara ny governemanta araka ny tokony izy ry zareo mikasika ny fahasalamana, fampianarana, ny fitsarana, ny fampiasambola ary ny fampiasana ny harena voajanahary.Hivi karibuni, Chantra alihoji jukumu la washauri 164 wa chama kilicho madarakani kama wameshaishauri kwa makini serikali katika mambo fulani kama vile ya afya, elimu, mahakama, uwekezaji na mali asili. Sovichet Tep, ambaye ni mwanafunzi wa shule ya upili na miongoni mwa wanablogu wadogo kabisa nchini Cambodia, pia, aligundua hali ya kuongezeka kwa umuhimu wa uanahabari wa kijamii nchini mwake:
25Sovichet Tep, mpianatry lisea sy bilaogera tanora indrindra ao amin'ny firenena, nanamarika ny fivoaran'ny media sosialy ao amin'ny firenena ihany koa:[…] upashanaji wa habari umekuwa wa haraka sana sito tu mara baada ya kuanza kwa chaguzi[…].
26[…]Nanjary nanjaka sy nalaza ny fizaram-baovao, tsy tamin'ny fiandohan'ny fifidianana ihany […] Raha ny fitadidiko, efa nanomboka tany amin'ny tapaky ny taona 2011 izany raha nanomboka nizara vaovao tsy mivoaka amin'ny fampahalalam-baovaom-panjakana tahaka ny fahitalavitra sy ny onjam-peo ireo mpiserasera Facebook. Na dia izany mbola tanora loatra i Sovichet ka mbola tsy afaka mifidy, mihevitra izy fa ny fizaram-baovao amin'ny alalan'ny aterineto no manampy azy handray fanapahan-kevitra amin'ny fifidianana hoavy:Kwa kumbukumbu zangu, utaratibu huu ulianza tangu katikati au mwisho wa mwaka 2011 pale watumiaji wa Facebook walipoanza kupashana habari ambazo watu hawakuwa wakizipata kupitia vyombo vya habari vilivyozoeleka kama vile televisheni na na redio. blockquote> Pamoja na kuwa Sovichet bado hajafikia umri wa kupiga kura, anaamini kuwa, utaratibu wa kupashana habari kupitia mtandao wa intaneti utamsaidi kufikia maamuzi sahihi kwa uchaguzi unaofuata:
27Na dia mbola tanora loatra aza aho hifidy (saingy efa afaka mifidy amin'ny fifidianana manaraka), nampianatra ahy mazava momba ny toe-draharaha politika ankehitriny ny media sosialy ka afaka miomana tsara aho hifidy izay antoko fantatro sy antenaiko fa mety ho an'ny fiarahamonintsika.Pamoja na kuwa mimi bado ni mdogo kiasi cha kushindwa kupiga kura (lakini nimeshakuwa na maamuzi sahihi ya kupiga kura kwenye uchaguzi unaofuata), mitandao ya kijamii kwa hakika imenifundisha mengi kuhusiana na hali ya kisiasa iliyopo hivi sasa na hivyo kuweza kujiandaa kuchagua chama ambacho ninafikiri na kuamini kuwa kitakuwa na manufaa kwa jamii yetu.