Sentence alignment for gv-mlg-20140516-59936.xml (html) - gv-swa-20140517-7509.xml (html)

#mlgswa
1GV Face: Ho Famotsorana Ny Blaogeran'ny Zone 9 ao EthiopiaMazungumzo ya GV: Kupigania Kuachiliwa Huru kwa Wanablogu wa Ethiopia wa Zone 9
2Blaogera sy mpanoratra gazety sivy - mpikambana Global Voices ny efatra amin'izy ireo - ankehitriny no voafonja noho ny asany ao Ethiopia.Wanablogu tisa ikiwa ni pamoja na waandishi wa habari -wanne wao wakiwa ni wanachama wa Global Voices -wamnashikiliwa na mamlaka za Ethiopia kwa sababu ya kutekeleza majukumu yao.
3Iza mora ireo blaogeran'ny Zone 9 ?Je, hawa wanablogu wa Zone 9 ni akina nani?
4Inona no azon'ny mpanohana atao ho amin'ny famotsorana azy ireo?Je, wanaowaunga mkono wanaweza kufanya nini kushinikiza kuachiliwa kwao?
5Amin'ity andiany GV Face ity izahay dia miresaka amin'ny blaogera Ethiopiana sy mpikambana ao amin'ny Zone 9 antsoina hoe Endalk, miaraka amin'ny sakaizan'ny “PEN America Freedom to Write” [PEN Amerika, Fahalalahana Hanoratra], Deji Olukotun, sy amin'ny tonian-dahatsoratry ny Advox, Ellery Biddle, momba ity raharaha lehibe ity.Katika toleo hili la Mazungumzo ya GV, tunazungumza na mwanablogu wa Kiethiopia na mwanachama wa Zone 9 Endalk, sambamba na Deji Olukotun wa Shirika la PEN American Freedom To Write na mhariri wa Kitengo cha Utetezi cha GV kiitwacho Advox Ellery Biddle kuhusu umuhimu wa keshi hii.
6Fantaro bebe kokoa ity tantara ityHabari zaidi ya kesi ya wanablogu wa Zone 9:
7Nahoana no Mampatahotra Governemanta Ethiopiana ny mibilaogy 10 May 2014Ethiopia: Police Request More Time for Zone 9 Bloggers Investigation, May 14, 2014
8Mpisolovava Miangavy ny Vaomiera Afrikana, ny Ekspera Firenena Mikambana Hiditra an-tsehatra amin'ny raharaha Bilaogera Zone 9 3 May 2014Why Blogging is a Threat to the Ethiopian Government May 10, 2014 Advocates Ask African Commission, UN Experts to Intervene in Zone 9 Bloggers Case May 3, 2014
9FANAMBARANA: Miantso Ho Amin'ny Famotsorana Ny Mpanoratra Gazety Sivy Ao Ethiopia Ny Global Voices [mg], 2 May 2014TAMKO: Global Voices Yatoa mwito wa Kuachiliwa kwa Waandishi Tisa nchini Ethiopia, Mei 2, 2014
10Netizen Report: Famoretana ny Fahalalaham-Pitenenana ao Ethiopia, 30 Avrily 2014Taarifa za Waandishi wa mtandaoni: Ethiopia Yauminya Uhuru wa Kujieleza, Aprili 30, 2014
11Mpikambana Enina Aminà Bilaogy Itambaram-be Nosamborina Tao Ethiopia [mg], April 25, 2014Wanachama Sita wa Muungano wa Kublogu Wakamatwa nchini Ethiopia, Aprili 25, 2014