Sentence alignment for gv-nld-20100921-8340.xml (html) - gv-swa-20100925-1714.xml (html)

#nldswa
1Iran: Gevangen genomen blogger Hossein Derakhshan (“Hoder”) riskeert doodstrafIrani: Huenda Mwanablogu Aliyefungwa, Hossein Derakhshan (”Hoder”), Akakabiliwa na Hukumu ya Kifo
2Global Voices heeft uit betrouwbare bron vernomen dat de openbare aanklager van Teheran de doodstraf zal eisen tegen de gevangen genomen Iraanse blogger Hossein Derakhshan [en] (ook bekend onder de naam “Hoder”).Chanzo cha kuaminika kimeifahamisha Global Voices kwamba mwendesha mashtaka huko Tehran analenga kuhakikisha kwamba mwanablogu aliyefungwa Hossein Derakhshan (anayefahamika pia kama “Hoder”) anapewa adhabu ya kifo.
3De rechter die de zaak leidt, Salavati, heeft nog geen uitspraak gedaan.Jaji anayesimamia kesi hiyo, anayeitwa Salavati, bado hajatoa uamuzi katika kesi hiyo.
4Derakhshan wordt beschuldigd van “collaboratie met vijandige staten, het creëren van propaganda tegen het islamitische regime, belediging van de religieuze eerbiedwaardigheid en het creëren van propaganda voor antirevolutionaire groeperingen”.Derakshan anashitakiwa kwa “kushirikiana na dola adui, kupiga propaganda dhidi ya utawala wa Kiislamu, kudhihaki utakatifu wa kidini, na kuandaa propaganda kwa ajili ya vikundi vinavyopinga mapinduzi.”
5Hij werd 22 maanden geleden gearresteerd en zijn proces is in juni 2010 begonnen [en].Alikamatwa miezi 22 iliyopita, na kesi yake ilianza kusikilizwa mwezi Juni mwaka huu wa 2010.
6De redenen voor Hoder's arrestatie [en] bij zijn terugkeer naar Iran vanuit Canada in 2008 zijn nog steeds onduidelijk, maar volgens velen zouden zijn twee (met veel publiciteit omringde) reizen naar Israël wel eens de belangrijkste reden kunnen zijn.The Sababu zilizosababisha kukamatwa kwa Hoder mara ya kwanza mara tu aliporejea nchini Irani akitokea Kanada mwaka 2008 bado hazifahamiki, lakini wengi walihisi kwamba safari mbili (zilizotangazwa sana kupitia vyombo vya habari) alizofanya kwenda Israeli huenda zikawa ndiyo sababu.
7Derakhshan heeft een Canadees paspoort, maar Iran erkent dubbele nationaliteiten niet en de regering staat afkeurend tegenover bezoeken aan Israël.Derakhshan ana pasi ya Kanada, lakini Irani bado haitambui uraia wa nchi mbili, na kutembelea Israeli ni jambo ambalo linaichukiza sana na serikali ya nchi hiyo.
8Wat in dit geval verwarrend is, is dat Hoder wereldwijd bekendheid heeft gekregen als vooraanstaand Iraans blogger en activist voor het recht op vrije meningsuiting (in 2004 en 2005 heeft hij ook voor Global Voices [en] geschreven).Jambo linalochanganya zaidi ni kwamba Hoder alipata umaarufu duniani kote kama mwanablogu anayeongoza huko Irani na mwanaharakati wa uhuru wa kujieleza (aliwahi hata kublogu kwa ajili ya Global Voices kati ya mwaka 2004 na 2005).
9Na een koersverandering begon hij positief te schrijven over het beleid van president Mahmoud Ahmedinajhad ten opzichte van de Verenigde Staten, nucleaire wapens, Israël en zelfs intolerantie tegenover publiekelijk geuite afwijkende meningen van mensenrechtenactivisten.Baadaye alibadili mbinu na kuandika habari zinazosifu sera za Rais Mahmoud Ahmedinejad hususan kwa msimamo wake dhidi ya serikali ya Marekani, silaha za nyuklia, Israeli, na hata kutovumilia upinzani wa umma unaofanywa na wanaharakati wa haki za binadamu.
10In april 2009 publiceerde de Iraanse president Ahmadinejad een brief waarin hij opriep om de zaak van Hossein Derakhshan snel en correct af te handelen.Mwezi Aprili mwaka 2009, Rais wa Irani, Ahmedinejad, aliandika barua akitaka kesi ya Hossein Derakshan ishughulikiwe haraka na kwa kuzingatia sheria.
11De Canadese regering heeft geen publieke uitspraken gedaan over de zaak van Derakhshan.Serikali ya Kanada bado haijatoa msimamo wake hadharani kuhusu kesi ya Derakhshan.
12Een blog met de titel Free Hoder [en] werd kort na zijn arrestatie in 2008 opgericht door activisten voor vrije meningsuiting op internet.Mara baada ya kukamatwa kwake mwaka 2008, wanaharakati wa uhuru wa kujieleza wa mtandaoni walianzisha blogu ya Kudai Hoder Aachiewe Huru.
13Op Twitter publiceerde [en] Sanam Dolatshahi het nieuws over een mogelijke doodstraf en ook een website in het Perzisch, getiteld Kamtarin, maakte er melding van en merkte op dat, ondanks eerdere geruchten dat hij werd vastgehouden vanwege “spionage” in Israël, dit blijkbaar niet de reden is [fa] waarom de openbare aanklager de doodstraf eist tegen Derakhshan.Kupitia Twita, Sanam Dolatshahi alituma twitakuhusu habari za uwezekano wa kuwepo na adhabu ya kifo, vilevile kuna tovuti moja ya Uajemi inayojulikana kama Kamtarin ambayo nayo imetaja uwezekano huo, ikizingatiwa kwamba licha ya minong'ono iliyokuwepo hapo kabla kwamba Derakshan alikamatwa kwa “ujasusi” nchini Israeli , lakini ni wazi kwamba hii si moja kati ya makosa ambayo kwayo mwendesha mashtaka anataka itolewe adhabu ya kifo.
14In een blog dat is opgezet door de familie van Derakhshan, Edalat Baraye Hossein Derakhshan (Gerechtigheid voor Hossein Derakhshan), is nog niets over dit onderwerp gemeld.Katika blogu iliyoanzishwa na familia ya Derakshan, Edalat Baraye Hossein Derakhshan(ikiwa na maana ya Haki kwa ajili ya Hossein Derakshan) bado hakuna taarifa mpya zinazohusiana na taarifa hii.
15Het laatste artikel op het blog van de familie is van 15 augustus en hierin staat dat de rechtszaak tegen Hossein een aantal weken geleden is afgerond [fa]:Makala ya mwisho kuchapishwa kwenye blogu hiyo ni ile ya tarehe 15 Agosti, na ambayo ilieleza kwamba kesi ya Hossein ilimalizika wiki kadha za nyuma [Fa]:
16We wachten op de uitspraak.Bado tunasubiri hukumu.
17Hij heeft niet eens een week vakantie gekregen om naar huis te komen… Het is de tweede ramadan die hij niet thuis doorbrengt… Hij zei dat het eten in de gevangenis beter is geworden sinds de vorige ramadan… Zijn moeder maakt zich grote zorgen… Men zegt dat God deze maand gebeden sneller verhoort… Vergeet alsjeblieft onze Hossein niet.Hajapata hata likizo ya wiki moja kutoka gerezani kuja nyumbani … Hii ni Ramadhani ya pili ambayo hajakuwa nyumbani … Alitueleza kwamba ubora wa chakula kule gerezani umeongezeka kidogo tangu Ramadhani iliyopita … Mama yake ana wasiwasi sana … Inasemekana kwamba katika mwezi huu Mungu hujibu dua kwa urahisi zaidi … Tafadhali msimsahau Hossein wetu.
18De Iraanse blogger Z8tun vatte de situatie van twee jaar geleden samen [fa]:Mwanablogu wa Irani anayejulikana kama Z8tun alihitimisha [fa]hali halisi ya mambo yapata miaka miwili iliyopita:
19“Er zijn andere Iraniërs opgepakt die een bezoek hebben gebracht aan Israël, maar die werden na een paar uur ondervraging vrijgelaten.“Raia wengine wa Irani wamewahi kukamatwa kwa kuingia nchini Israeli, lakini waliachiwa saa chache baada ya mahojiano.
20Sommige mensen denken dat Derakhshan, die de afgelopen jaren een aanhanger van de regering van president Ahmadinejad is geworden, is gearresteerd omdat hij een aantal religieuze leiders in het land heeft beledigd.Wapo wanaodhani kwamba Derakshan, ambaye katika miaka ya karibuni alitokea kuwa mwungaji mkono wa serikali ya Rais Ahmedinejad, alikamatwa kwa sababu aliwakashifu viongozi wa kidini nchini humu.
21Zelf heeft hij in westerse media gezegd dat, in tegenstelling tot meerdere getuigenissen van gevangen gezette bloggers, niemand in Iran de gevangenis in gaat voor wat ze op hun blog schrijven.”Yeye mwenyewe ameeleza kupitia vyombo vya habari vya nchi za Magharibi, licha ya kuwepo kwa ushahidi mwingi wa wanablogu waliotupwa gerezani, kwamba hakuna anayekwenda jela nchini Irani kwa sababu ya yale wanayochapisha kwenye blogu zao.”
22De Islamitische Republiek heeft de afgelopen jaren hard opgetreden [en] tegen de blogosfeer en verschillende andere bloggers zijn in Iran tot gevangenisstraffen veroordeeld, waaronder de mensenrechtenactivist Shiva Nazar Ahari [en].Katika miaka ya karibuni, Jamhuri hii ya Kiislamu imetumia nguvu kuvunjilia mbali ulimwengu wa blogu, na wapo wanablogu kadha kwenye magereza ya Irani akiwemo mwanaharakati wa haki za binadamu Shiva Nazar Ahari.
23Op 18 maart 2009 [en] was Omid Reza Mir Sayafi de eerste blogger die onder verdachte omstandigheden overleed in een Iraanse gevangenis.Mnamo tarehe 18 Machi mwaka 2009, Omid Reza Mir Sayafi alikuwa mwanablogu wa kwanza kuuwawa katika mazingira ya kutatanisha katika gereza nchini Irani.