# | nld | swa |
---|
1 | GV Face: wereldwijde verslaggeving over Syrië | GV Face: Mitazamo Tofauti Kuhusu Habari za Mgogoro wa Syria |
2 | Als je verslag doet van de crisis in Syrië, in hoeverre wordt die verslaglegging dan gekleurd door waar je bent? | Ni namna gani habari zinazozungumzia mgogoro wa Syria zinategemeana na mahali uliko? |
3 | En wat betekent dat voor de Syriërs? | Na hiyo ina maana gani kwa raia wa Syria? |
4 | Dit en meer hebben we in een Google Hangout besproken op maandag 23 september 2013, 11am EST/3pm UTC in onze tweede editie van GV Face. | Tulijadili suala hili na mengine mengi kwa kutumia zana ya majadiliano ya Google Hangout Jumatatu ya Septemba 23, 2013, saa 3 alasiri UTC katika toleo letu la pili la GV Face. |
5 | Berichten in de VS of het Verenigd Koninkrijk doen vermoeden dat het regime van president Assad chemische wapens heeft gebruikt om in de afgelopen maand meer dan duizend mensen te vermoorden in Syrië. | Taarifa katika nchi za Marekani au Uingereza zinadai kuwa silaha za maangamizi zilitumiwa na utawala wa Rais Assad kuwaua watu zaidi ya elfu moja nchini Syria mwezi uliopita. |
6 | Intussen zeggen Russische verslaggevers dat ‘alles in orde' is in Damascus. | Wakati huo huo, vyombo vya habari vya Urusi vinasema, “hali ni shwari” mjini Damascus. |
7 | En de pers in Iran bericht dat de chemische aanval door ‘rebellen' was uitgevoerd in een poging de druk voor een internationale interventie te verhogen. | Vyombo vya Habari vya Iran vinadai shambulio la kemikali lilifanywa na “waasi” katika juhudi za kutaka kuongeza shinikizo la kimataifa kuingilia kati. |
8 | Terwijl de Amerikaanse regering militair ingrijpen in Syrië overweegt, vroeg president Putin het Amerikaanse volk in de New York Times om hun wapens weg te houden uit het door oorlog verscheurde land. | Wakati serikali ya Marekani ifikiri kuishambulia Syria kijeshi, Rais wa Urusi akiwa New York amewasihi watu wa Marekani kufutilia mbali mpango wao wa kuipiga nchi hiyo ambayo tayari imeshaharibiwa mno na vita. |
9 | Video's waarop Iraanse militaire activiteit op Syrisch grondgebied lijkt plaats te vinden, zijn viral gegaan in de sociale media. | Video zinazoonyesha dalili ya hatua za kijeshi zinazochukuliwa na Iran nchini Syria zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii. |
10 | Onder de deelnemers aan onze Hangout was ook auteur van GV Syrië, Leila Nachawati, ze is oprichter van Syria Untold, een online verhalenproject dat zich toelegt op geweldloze opstand in Syrië; onze editor van RuNet Echo, Kevin Rothrock, vertelde over de uitspraken van Putin en Mc Cain en hoe die op het Russische internet werden ontvangen; Amira Al Hussaini, onze MENA Editor, had het over burgermedia en maistream mediaberichten over Syrië in het Midden-Oosten en Noord-Afrika; Solana Larsen, onze Managing Editor sprak over de rol die burgermedia kunnen spelen bij de berichtgeving over Syrië in de mainstream media; Ellery Biddle, onze Advocacy Editor, vertelde hoe de oproepen tot Amerikaanse interventie wordt geïnterpreteerd door Amerikaanse netizens; en Ivan Sigal, onze Executive Director, legde uit waardoor verslaglegging over Syrië overal ter wereld op een verschillende manier vorm krijgt. | Washiriki wa mazungumzo yetu hayo ya mtandaoni walikuwa ni pamoja na mwandishi wa Gv Syria, Leila Nachawati, Mwanzilishi wa Syria Untold, mradi wa kupashana habari mtandaoni uliojikita kwenye mapinduzi ya amani yanayofanywa na wananchi wa Syria; Mhariri wetu wa RuNet Echo Kevin Rothrock aliyezungumza kuhusu Putin na Mc Cain OpEds na namna wanavyotazamwa na mitandao ya Urusi; Amira Al Hussaini, Mhariri wetu wa Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, aliyegusia habari zilizikuwa zinaandikwa na vyombo vya habari vya kiraia na vyombo vikuu vya habari ndani ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini; Solana Larsen, Mhariri Mtendaji alizungumzia kuhusu wajibu wa vyombo vya habari vya kiraia katika taswira inayojengwa na vyombo vikuu vya habari kuhusu Syria, Ellery Biddle Mhariri wa Utetezi aliyezungumza namna wito wa kuiomba Marekani kuingilia kati mgogoro huo inavyotafsiriwa na raia wa Marekani mtandaoni na Ivan Sigal Mkurugenzi Mtendaji aliyetoa maoni yake kuhusu namna habari za Syria zinavyoumbwa kuwa vile zilivyo duniani kote. |
11 | Voor achtergrondinformatie over de internationale verslaglegging over de crisis in Syrië kun je terecht op onze pagina met Special Coverage. | Kupata habari za kimataifa zilizojikita kwenye Mgogoro wa Syria, unaweza kupitia ukurasa wetu maalumu. |