Sentence alignment for gv-nld-20091023-3670.xml (html) - gv-swa-20091024-441.xml (html)

#nldswa
1Activisme en moederschap in AziëUanaharakati na Umama Barani Asia
2Wat offert een vrouw op voor de zaak waar ze zich voor inzet?Je, mwanamke anatoa sadaka zipi ili kupigania jambo analiamini?
3Welke invloed heeft het op haar kinderen als ze wordt vervolgd?Je, watoto wake wanaathiriwa vipi na mateso yanayoelekezwa kwake?
4In dit artikel wordt kort stil gestaan bij het leven van vrouwelijke activisten in Azië die ook moeder zijn.Makala hii inachambua kwa kifupi maisha ya wanawake wanaharakati katika Asia ambao pia ni ma-mama (wazazi).
5Irene Fernandez is een activiste die zich inzet voor vrouwen- en migrantenrechten in Maleisië.Irene Fernandez ni mwanamke na mwanaharakati anayepigania haki za wahamiaji nchini Malaysia.
6Meer dan tien jaar liep er een aanklacht wegens ‘strafrechtelijke laster' [en - alle links] (deze aanklacht is inmiddels ingetrokken) tegen Irene omdat ze een nota had gepubliceerd waarin ze de regering opriep onderzoek te doen naar vermeende wreedheden in migrantenkampen in het land.Kwa zaidi ya miaka kumi, Irene amekuwa akikabiliwa na mashtaka ya ‘uhalifu wa kuvunjia heshima” (ambayo kwa sasa yamefutwa) baada ya kuchapisha memoranda akiihimiza serikali ya Maylasia kuchunguza tuhuma za mateso yanayofanywa katika kambi za wakimbizi nchini humo.
7Irene is niet alleen activiste, wat haar in 2005 de Right Livelihood Award opleverde, maar ze is ook moeder van drie kinderen, Camverra Jose Maliamauv, Tania Jo en Katrina Jorene, en van een aantal pleegkinderen.Licha ya kuwa mwanaharakati, jambo ambalo limempatia tuzo ya Right Livelihood mwaka 2005, Irene pia ni mama wa watoto watatu, Camverra Jose Maliamauv, Tania Jo na Katrina Jorene, mlezi wa watoto wengine kadhaa.
8Het is moeilijk voor te stellen wat er in het hoofd van een activiste als Irene omgaat als ze aan haar kinderen denkt.Ni vigumu kufikiri kuhusu yale yanayopita kwenye vichwa vya wanaharakati kama Irene, hasa pale anapowawaza watoto wake.
9Toen ze tijdens haar eerste rechtszaak in 2003 werd veroordeeld, zou ze hebben gezegd:Wakati alipokuwa akisomewa hukumu mwanzoni mwa mashtaka mwaka 2003, Irene aliripotiwa kusema:
10Ik wil dat mijn kinderen en de kinderen van iedereen waarmee ik samenwerk als hoofd van Tenaganita in een maatschappij leven die vreedzaam is en waarin we niet bang hoeven te zijn voor staatsgeweld.Nataka watoto wangu na watoto wa watu wote ninaofanya kazi nao kama kiongozi wa Tenaganita kufurahia na kuishi katika jamii iliyo na amani, ambapo hatuogopi misukosuko inayosababishwa na dola.
11De rol van Irene als moeder kan misschien het beste worden weergegeven door de ogen van haar dochter, Katrina Jorene, die op The Micah Mandate (een christelijk blog dat zich inzet voor het algemeen belang) schreef:Pengine dhima ya Irene kama mama inaelezwa vizuri zaidi katika macho ya binti yake, Katrina Jorene, ambaye aliandika katika blogu inayoitwa Micah Mandate (blogu ya Kikristu inayolenga kuamsha utetezi wa umma):
12Hulde aan mijn moeder die mij heeft geleerd om altijd waakzaam te zijn in het leven en om duidelijk en tot vervelens toe vast te houden aan de waarheid en aan wat eerlijk, waar en goed is.Ninampongeza mama yangu ambaye alinilea niwe mstahimilivu katika maisha na kuwa wazi na king'ang'anizi wa kutafuta ukweli na katika haki, kweli na haki.
13Hulde aan de talloze helden in mijn leven, vooral mijn familieleden en de familie van Tenaganita [de organisatie waar Irene Fernandez leiding aan geeft].Ninawapongeza mashujaa wasio na idadi ambao nimekuwa nao maishani mwangu, hasa wanafamilia yangu na familia ya Tenaganita [Taasisi anayoongoza Irene Fernandez].
14Hulde aan iedereen die zich al deze jaren in stilte, onvermoeibaar en met zo veel zorg heeft ingezet voor het welzijn van anderen.Ninawapongeza wote waliofanya kazi kimya kimya, pasipo kuchoka na kwa umakini mkubwa kwa miaka yote hii ili kupigania manufaa ya umma mpana zaidi.
15Het lijkt erop dat Irene's voorbeeld ervoor heeft gezorgd dat in ieder geval één van haar kinderen het activistenstokje van haar heeft overgenomen.Yaelekea mafunzo ya Irene yamemvuta walau mmoja wa watoto wake kuchukua mrengo wa uanaharakati kama alivyo yeye mwenyewe.
16Katrina schrijft nu artikelen waarin ze pleit voor rechten en bescherming van minderheden.Hivi sasa Katrina huandika makala mbalimbali zinazohusiana na haki na utetezi wa walio wachache katika jamii.
17In tegenstelling tot Katrina Jorene hebben Alexander en Kim Aris, de zonen van Aung San Suu Kyi, winnares van de Nobelprijs voor de Vrede, helaas niet langer dan tien jaar de gelegenheid gehad om van hun moeder te leren.Tofauti na ilivyo kwa Katrina Jorene, kwa bahati mbaya, Alexander na Kim Aris, watoto wa mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Aung San Suu Kyi, hawakupata bahati ya kujifunza kutoka kwa mama yao kwa zaid ya muongo mmoja sasa.
18Suu Kyi's passie voor Myanmar was zo sterk dat ze ervoor koos om bijna veertien jaar in huisarrest door te brengen in een villa aan een meer in Yangon, uit angst dat de militaire junta haar het land niet meer in zou laten als ze Myanmar zou verlaten.Mapenzi ya Bibi Suu Kyi kwa nchi yake ya Myanmar yamekuwa makubwa kiasi kwamba ametumikia kifungo cha nyumbani kwa takribani miaka kumi na nne katika nyumba iliyo kandokando ya ziwa huko Yangon, ambapo amechagua kuishi kwa kuhofia kwamba huenda utawala wa mabavu wa kijeshi hautamruhusu tena kurudi ikiwa atatoka.
19Womensphere, een blog door en voor vrouwen, schrijft:Blogu inayohusu wanawake ya Womensphere inaandika:
20Michael Aris, de Britse echtgenoot [van Suu Kyi] en wetenschapper in Oxford, is in 1999 op 53-jarige leeftijd overleden aan kanker.Mume wa Bibi Suu Kyi, aliyekuwa raia wa Uingereza na mkufunzi katika Chuo Kikuu cha Oxford, Michael Aris, alifariki kwa kansa mwaka 1999 akiwa na umri wa miaka 53.
21Ze kon niet bij hem zijn terwijl hij stervende was - de junta weigerde hem een inreisvisum te verlenen en ze was bang dat, als ze Birma zou verlaten, ze het land niet meer binnen mocht.Mama huyu hakuweza kumwona mumewe wakati alipokuwa anafariki - serikali ya kijeshi ilimkatalia mume huyo viza ya kuingia nchini, wakati kwa upande wake mama huyo naye alihofia kutoka Burma, kwamba pengine asingeruhusiwa kurudi tena nchini humo.
22Ze heeft haar zonen, die inmiddels mannen van in de dertig zijn, al tien jaar niet meer gezien.Kwa hiyo hajakutana na watoto wake wawili, ambao hivi sasa wana umri wa zaidi ya miaka thelathini, kwa zaidi ya muongo mmoja sasa.
23Er is weinig geschreven over (of door) Alexander of Kim.Kuna machache sana yaliyoandikwa juu ya (au kuandikwa na) Alexanderson au Kim.
24Maar in 1991 accepteerde de oudste zoon van Suu Kyi, Alexander, in Oslo de Nobelprijs voor de Vrede in haar naam.Hata hivyo, mnamo mwaka 1991, mtoto mkubwa wa Bibi Suu Kyi, Alexander, alipokea tuzo ya Amani ya Nobel huko Oslo kwa niaba ya mama yake.
25Ook in dit geval begrijpen we Suu Kyi als moeder misschien beter door de ogen van haar kind:Hapa tena, tunaweza kutumia lensi za mtoto huyu ili kupata kumwelewa vema zaidi Bibi Suu Kyi kama mama:
26Als haar zoon zou ik echter willen toevoegen dat ik persoonlijk geloof dat ze door haar eigen toewijding en persoonlijke offer een waardig symbool is geworden dat staat voor de benarde situatie van alle inwoners van Birma.Nikizungumza kama mtoto wake, ningependa kuongeza kwamba mimi binafsi naamini kwamba kwa kujitolea kwake na kutoa sadaka yake binafsi, ametokea kuwa alama yenye thamani ambapo kupitia kwake, mateso ya watu wote wa Burma yametambulika.
27En niemand moet die situatie onderschatten. …Na, hakuna aliye na haki ya kuyapuuza mateso hayo.
28We moeten ook niet vergeten dat [haar] eenzame strijd, die zich afspeelt in een streng beveiligd, omheind huis in Rangoon, deel uitmaakt van een veel grotere, wereldwijde strijd voor de bevrijding van de menselijke geest van politieke tirannie en psychologische onderwerping.… Pia tukumbuke kwamba, mapambano yake akiwa katika upweke wake huku akiwa chini ya ulinzi mkali katika makazi yake ya huko Rangoon ni sehemu ya mapambano mapana zaidi, ulimwengu kote, katika kutafuta kuikomboa roho ya kibinadamu kutoka katika tawala za kimabavu za kisiasa na manyanyaso ya kisaikolojia.
29Hoewel mijn moeder vaak wordt omschreven als een politiek dissident die via vreedzame middelen naar democratische veranderingen streeft, moeten we niet vergeten dat haar zoektocht in wezen spiritueel is.… Ingawa mama yangu anaelezwa mara nyingi kama mpigania haki za kisiasa na ambaye anajaribu kwa njia za amani kuleta mabadiliko ya kidemokrasia, hatuna budi kukumbuka kwamba mapambano yake, kimsingi, ni ya kiroho.
30Ik hoop dat mijn moeder snel dit gevoel zal kunnen delen en u zelf direct kan toespreken, in plaats van via mij.… Ni matumaini yangu kwamba hivi karibuni mama yangu ataweza kuwashirikisha hisia zake na kuzungumza moja kwa moja yeye mwenyewe badala ya kuzungumza kupitia kwangu.
31Ondertussen worden veel activistenmoeders in Azië nog steeds vervolgd.Wakati huo huo, wanawake wengi wanaharakati barani Asia wanaendelea kukabili mateso.
32Zo werd Fan Guijuan, wiens huis zou zijn verwoest als gevolg van het Shanghai World Expo-project, gearresteerd in Peking en teruggestuurd naar Shanghai, waar ze meteen in detentie werd geplaatst.Kwa mfano, Fan Guijuan, ambaye nyumba yake iliamriwa kubomolewa sababu ya Mradi wa Shangai World Expo, alikamatwa huko Beijing na kurejeshwa Shanghai, na kisha kuwekwa kizuizini.
33Haar zoon heeft als gevolg van de verwoesting van het huis geen onderdak meer.Mtoto wake wa kiume hana mahali pa kuishi, kwa sababu ya bomoabomoa hiyo.
34En op de Filipijnen vecht Dr Edita Burgos, moeder van Jonas Burgos, voor gerechtigheid voor haar zoon, een activist, die desaparecido (“verdwenen”) zou zijn.Wakati huohuo, huko Ufilipino, Dkt Edita Burgos, ambaye ni mama wa Jonas Burgos, anapigania haki ya mtoto wake huyo mwanaharakati, ambaye inasemekana “ametoweka“.
35Dr Burgos is voorzitter van Desaparecidos (Families of Desaparecidos for Justice, Familieleden van Verdwenen Personen voor Gerechtigheid), een organisatie die zich inzet voor gerechtigheid voor de vele mensen die zijn verdwenen, iets wat veel zou zijn voorgekomen tijdens het regime van Arroyo.Dkt Burgos ni mwenyekiti wa chama cha haki za Familia za watu Waliotoweka, yaani asasi inayotafuta haki za watu waliopoteza maisha yao pasipo kujulikana, jambo ambalo linasemekana ni kielelezo cha utawala wa Arroyo.
36Tegenwoordig zijn humanitaire activistenmoeders in Iran steeds vaker mondiale iconen voor wereldwijde mensenrechtenkwesties.Hivi sasa, huko Irani, akina mama wanaharakati wa haki za binadamu, wanazidi kuwa alama za ulimwengu katika kupigiania haki za binadamu ulimwenguni kote.
37Met een stil publiek protest strijden de ‘Mourning Mothers of Iran' (Rouwende Moeders van Iran), die in Teheran bekend staan als de ‘Mothers of Laleh' (Moeders van Laleh), vreedzaam voor gerechtigheid voor hun overleden of gevangen gezette kinderen.Katika mgomo baridi wa kimyakimya ulioshirikisha umma, ‘Akina Mama Wanaoomboleza wa Irani‘, ambao wanajulikana huko Tehran kama “Akina Mama wa Laleh”, kwa njia za amani wanatafuta haki kwa ajili ya watoto wao waliokufa au waliofungwa.
38“Een moeder is voor de rest van haar leven moeder.”“Mama ni mama ili mradi tu aishi.”