Sentence alignment for gv-nld-20120718-14140.xml (html) - gv-swa-20120731-3549.xml (html)

#nldswa
1Aanslag op bus met Israëlische toeristen in BulgarijeBasi la Watalii Raia wa Israeli Lashambuliwa Nchini Bulgaria
2Ten minste zeven mensen zijn gedood bij een aanslag op een touringcar met Israëlische jongeren [en] op het vliegveld van de Bulgaarse stad Burgas.Watu wapatao saba wameuawa katika shambulio lililofanywa dhidi ya kijana raia wa Israeli katika basi lililokuwa limebeba watalii karibu na uwanja wa ndege wa Burgus nchini Bulgaria.
3Volgens onbevestigde berichten zou de aanval een zelfmoordaanslag zijn. De dader zou naast de bus hebben gestaan of in de bus zijn gestapt.Ripoti zinadai kuwa shambulio hilo inawezekana lilifanywa na kijana aliyekuwa amevaa bomu la kujitoa muhanga, ambaye huenda alikuwa kando ya basi ama aliingia ndani ya basi.
4Volgens de Israëlische website nrg [he] werd de bom geactiveerd door een vrouwelijke dader die bij de voorkant van een van de bussen stond.Kwa mujibu wa nrg, mwanamke huyo aliyejitoa muhanga alisimama mbele ya mojawapo ya mabasi hayo na kulilipua bomu hilo.
5UPDATE: @BarakRavid [en]:HABARI MPYA: @BarakRavid:
6De Bulgaarse minister van BZ heeft de Israëlische minister van BZ Lieberman meegedeeld dat uit onderzoek is gebleken dat de explosie werd veroorzaakt door een bom die in de bagageruimte van de bus was verborgenWaziri wa Mambo ya Nje wa Bulgaria alizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje Lieberman na kumwambia kuwa uchunguzi uligundua kwamba mlipuko huo ulisababishwa na bomu lililokuwa limefichwa kwenye buti la basi.
7De Israëlische premier Bibi Netanyahu verklaarde dat “alles op betrokkenheid van Iran wijst” [he] en dat Israël hard zal terugslaan.Waziri Mkuu wa Israeli Bibi Netanyahu alitoa tamko kwamba “dalili zote zinaelekeza kuwa Irani inahusika na mpango wa shambulio hilo” na kwamba Israeli itajibu kwa ukali.
8@ruslantrad [en]:@ruslantrad:
9bTV toont foto's van aanslag op Israëlische toeristen in BulgarijebTV ikionyesha picha za shambulio dhidi ya watalii wa Israeli huko Bulgaria
10Shoshi, een Israëlische die getuige was van de explosie, vertelde [he]:Shoshi, raia wa Israeli aliyeshuhudia mlipuko huo alisema:
11We gingen door de douane op het vliegveld en stapten buiten in bus nummer 4. We borgen onze bagage op en na twee minuten vloog bus nummer 2 in brand.Tulipita uhamiaji na tukaingia kwenye basi namba 4 nje ya uwanja wa ndege. Tuliweka mizigo yetu, na baada ya dakika mbili basi namba 2 liliripuka na kushika moto.
12We werden geëvacueerd naar een beveiligde ruimte.Kwa haraka sisi wengine tulikimbizwa kwenye chumba salama.
13Haar zoon voegde hieraan toe:Mwanae wa kiume aliongezea:
14Overlevenden moesten uit de bus springen om te voorkomen dat ze op de lichamen zouden stappen.Watu walionusurika kwenye basi iliwalazimu kuruka miili iliyotawanyika nje ya basi ili wasiikanyage.
15We zagen de bus, een Israëliër nam er een foto van.Tuliliona basi hilo, raia mmoja wa Israeli alipiga picha ya tukio hilo.
16We zagen hoe de bagageruimte explodeerde.Tuliona buti lake likilipuka.
17We werden snel teruggevoerd naar de terminal.Tulikimbilia kwa haraka kwenye jengo la abiria.
18Minister van Buitenlandse Zaken Avigdor Lieberman schreef op zijn Facebook-pagina [he]:Katika ukurasa wake wa Facebook, Waziri wa Mambo ya Nje Avigdor Liberman aliandika:
19Ik heb net met de Bulgaarse minister van Buitenlandse Zaken Nikolay Mladenov over de ontploffing gesproken.Hivi sasa nimezungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Bulgaria, Nikolay Mladenov kuhusu mlipuko huo.
20Mladenov is op weg naar de plaats van de aanslag en houdt me op de hoogte van de ontwikkelingen zodra hij daar aankomt.Mladenov anaelekea eneo la tukio na atanipa taarifa kamili kuhusu yanayoendelea atakapofika hapo.
21@MokedNews [he] schrijft in een tweet:Twiti kutoka @MokedNews inadai:
22Een van de doden bij de Bulgaarse aanslag is een Bulgaarse gids die op het moment van de aanslag bij de Israëlische toeristen was.Mmoja wa waliouawa katika shambulio hilo nchini Bulgaria, ni mwongozaji wa watalii wa ki-Bulgaria aliyekuwa na watalii hao raia wa Israeli mlipuko ulipotokea.
23(bron: Bulgaarse tv)(Chanzo: Televisheni ya Bulgaria)
24Volg het uitstekende live verslag op Haaretz in het Hebreeuws (regelmatige updates) of in het Engels.Habari zaidi za moja kwa moja kwenye blogu ya Haaretz inayoandikwa kwa lugha yaki-Ebrania (habari zaidi za yanayojiri) na kwa lugha yaki-Ingereza .
25Volg deze twitteraars voor live updates: @BarakRavid - diplomatiek correspondent van de krant Haaretz [en] @ruslantrad - Syrisch-Bulgaarse blogger & MENA-analist [en] @MokedNews - Israëlische nieuwsfeed [he]Twiti za kufuatilia habari za moja kwa moja: @BarakRavid - Mwandishi wa kidiplomasia, gazeti la Haaretz @ruslantrad - Mwanablogu wa Syria-Bulgaria na Mchambuzi wa Mashariki ya Kati na Afrika ya Kaskazini @MokedNews - Kikusanya habari za Israeli