Sentence alignment for gv-nld-20130925-16374.xml (html) - gv-swa-20131001-5824.xml (html)

#nldswa
1Centraal-Afrikaanse Republiek, “We hopen nog steeds op een vreedzaam samenleven”Katika Jamhuri ya Afrika, ”Bado Tuna Matumaini ya Kuishi Pamoja kwa Amani”
2Rebellen in de Centraal-Afrikaanse Republiek.Waasi katika Jamhuri ya Afrika.
3CC License-BY-2.CC Leseni-NA-2.
40 Terwijl de oorlog tussen de rebellen van de Seleka en het nationale leger van de Centraal-Afrikaanse Republiek nog steeds voortwoedt, neemt de spanning in het kleine stadje Bossangoa toe.0 Kama mapigano baina ya waasi wa Sékéla na jeshi la taifa la Jamhuri ya Afrika ya Kati vinaendelea, mvutano katika mji wa Bossangoa.
5De inwoners vrezen voor excessen bij de georganiseerde strijd die christenen en moslims met elkaar leveren.Wenyeji wanahofia kwamba migogoro inaweza kumwagika katika mapigano ya wazi kati ya jumuiya ya kikristo na Waislamu.
6Sommigen blijven echter hopen op een vreedzame afloop, zoals de iman van de grootste moskee:[lien - fr]Baadhi bado kushikilia tumaini kwa upatanisho angalau, kama Iman wa msikiti wa mji wa chini [fr]:
7Het is ons land, wij zijn hier ook geboren.Hii pia ni nchi yetu, sisi tulizaliwa hapa.
8Maar onze christelijke broeders beschouwen ons nog steeds als vreemdelingen.Lakini nje ndugu wakristo bado wanatuona kama wageni.
9Ze geven ons de schuld van hun ellende en wij begrijpen dat niet.Wanafikiri sisi ndio sababu ya huzuni zao na hatujui kwa nini.
10Wij willen ook vrede.Sisi pia bado tuna matumaini kwa amani ..
11De humanitaire crisis in het land wordt van dag tot dag ernstiger.Mgogoro wa kibinadamu katika nchi unazidi kuwa mbaya siku hadi siku.
12Hippolyte Donossio meldt dat de rebellen afgelopen weekend 150 mensen hebben gedood en duizenden huizen in brand gestoken hebben.Hippolyte Donossio anaripoti kuwa watu 150 waliuawa na maelfu ya nyumba kuteketezwa na waasi mwishoni mwa wiki.