# | nld | swa |
---|
1 | Centraal-Afrikaanse Republiek, “We hopen nog steeds op een vreedzaam samenleven” | Katika Jamhuri ya Afrika, ”Bado Tuna Matumaini ya Kuishi Pamoja kwa Amani” |
2 | Rebellen in de Centraal-Afrikaanse Republiek. | Waasi katika Jamhuri ya Afrika. |
3 | CC License-BY-2. | CC Leseni-NA-2. |
4 | 0 Terwijl de oorlog tussen de rebellen van de Seleka en het nationale leger van de Centraal-Afrikaanse Republiek nog steeds voortwoedt, neemt de spanning in het kleine stadje Bossangoa toe. | 0 Kama mapigano baina ya waasi wa Sékéla na jeshi la taifa la Jamhuri ya Afrika ya Kati vinaendelea, mvutano katika mji wa Bossangoa. |
5 | De inwoners vrezen voor excessen bij de georganiseerde strijd die christenen en moslims met elkaar leveren. | Wenyeji wanahofia kwamba migogoro inaweza kumwagika katika mapigano ya wazi kati ya jumuiya ya kikristo na Waislamu. |
6 | Sommigen blijven echter hopen op een vreedzame afloop, zoals de iman van de grootste moskee:[lien - fr] | Baadhi bado kushikilia tumaini kwa upatanisho angalau, kama Iman wa msikiti wa mji wa chini [fr]: |
7 | Het is ons land, wij zijn hier ook geboren. | Hii pia ni nchi yetu, sisi tulizaliwa hapa. |
8 | Maar onze christelijke broeders beschouwen ons nog steeds als vreemdelingen. | Lakini nje ndugu wakristo bado wanatuona kama wageni. |
9 | Ze geven ons de schuld van hun ellende en wij begrijpen dat niet. | Wanafikiri sisi ndio sababu ya huzuni zao na hatujui kwa nini. |
10 | Wij willen ook vrede. | Sisi pia bado tuna matumaini kwa amani .. |
11 | De humanitaire crisis in het land wordt van dag tot dag ernstiger. | Mgogoro wa kibinadamu katika nchi unazidi kuwa mbaya siku hadi siku. |
12 | Hippolyte Donossio meldt dat de rebellen afgelopen weekend 150 mensen hebben gedood en duizenden huizen in brand gestoken hebben. | Hippolyte Donossio anaripoti kuwa watu 150 waliuawa na maelfu ya nyumba kuteketezwa na waasi mwishoni mwa wiki. |