Sentence alignment for gv-nld-20150407-19155.xml (html) - gv-swa-20150408-8631.xml (html)

#nldswa
1De 147 slachtoffers van de aanslag in Garissa zijn meer dan alleen een getalWatu 147 Waliouawa Garissa Ni Zaidi ya Takwimu
2Een screenshot van de onafhankelijke krant Daily Nation (@DailyNation) met foto's van de slachtoffers van de aanslag in Garissa, gedeeld op Twitter.Picha ya gazeti huru la Daily Nation (@DailyNation) ikiwa na picha za wahanga wa shambulio la Garissa, iliyosambaa kwenye mtandao wa Twita.
3Er is veel kritiek [en] op de manier waarop internationale en lokale media verslag hebben gedaan van de aanslag op Garissa University College, waarbij ten minste 147 mensen werden doodgeschoten [en] door leden van de terreurgroep Al-Shabaab.Habari zilizochukua nafasi ya mbele kwenye vyombo vya habari vya kimataifa na vile vya ndani ya nchi kuhusiana na shambulio la kigaidi lililofanywa na wanamgambo wa Al-Shabaab kwenye Chuo Kikuu cha Garissa, lililosababisha vifo vya watu 147, zimepata ukosoaji mkali.
4Terwijl de namen van de terroristen overal worden genoemd, zijn de slachtoffers gereduceerd tot een getal: 147.Wakati majina ya washambuliaji yakichapishwa sana, wahanga wa tukio hilo wamekuwa wakitajwa kwa tarakimu pekee: 147.
5In reactie hierop proberen Kenianen namen en gezichten te geven aan de slachtoffers van dit barbaars geweld.Katika kujaribu kufanya tofauti, wananchi wa Kenya mtandaoni wamefanya jitihada kubwa za kutangaza majina na sura za marehemu waliopoteza maisha yao kufuatia shambulio hilo.
6Blogger Binyavanga Wainaina schrijft [en] op zijn blog Africa is a Country dat “Kenia als land de plicht heeft om elke burger te herdenken die we verliezen”:Akiblogu kwenye blogu iitwayo Afrika ni Nchi, mwandishi wa Kenya Binyavanga Wainaina alisema Kenya “haitakuwa taifa kama hatutaweza kupeana heshima zinazostahili kwa raia wanaopoteza maisha yao”:
7Ik wil de namen, leeftijden en foto's zien van de mensen die in Mpeketoni zijn omgekomen.Ninataka kuona majina na umri na picha za wale wote waliopoteza maisha yao kwenye shambulizi la Mpeketoni.
8Van de mensen die zijn gedood tijdens de gewelddadigheden na de verkiezingen.Wle waliouawa wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi.
9Ik wil de verhalen horen.Nataka habari zilizokamilika.
10Vergeten is niet goed.Kusahau si jambo jema.
11Dit is wat onze burgers opnieuw doet ontwaken.Ni kupitia matendo haya, ubinadamu wetu unahuishwa.
12De politiek die zegt dat we er niet klaar voor zijn om onszelf, de realisatie van onze pijn, onder ogen te zien, is dezelfde politiek die ons werkeloos doet toekijken als een Keniaan het instituut dat hij hoort te leiden ontmantelt, tot op de laatste bouwsteen, en dan terugkeert als een machteloze zombie die ergens anders weer iets gaat leiden.Siasa za kusema hatuko tayari kuwajitazama, uchungu mkubwa, ni siasa zinazoturuhusu kupuuza pale m-Kenya anapoharibu taasisi aliyoipewa kuiongoza, na kuiharibu vibaya, kisha kurudi tena, akiwa mithili ya roboti, aina mpya ya roboti kutawala sehemu nyingine tena.
13Hij schrijft verder:Aliendelea:
14Ik wil dat drie miljoen Naïrobiërs huilend, zingend en elkaar omhelzend de straat op gaan omdat onze kinderen zijn gedood.Ninataka kuona wakazi milioni tatu wa Nairobi wakiingia mtaani kulia, kuimba na hata kukumbatiana kwa sababu watoto wetu wameuawa.
15Ik wil niet langer het idee hebben dat we vooral binnen leven en alleen om ons privéleven geven.Ninataka kuacha kujisikia kwamba tunaishi kwa uhuru wa ndani ya nafsi zetu.
16Ik wil nooit meer het woord “self-empowerment” horen.Nataka kuacha kusikia neno kujiwezesha kwa mara nyingine.
17Ory Okolloh Mwangi legt op Twitter uit waarom het belangrijk is in de Afrikaanse cultuur om de slachtoffers een naam te geven:Kwenye mtandao wa Twita, Ory Okolloh Mwangi alieleza kwa nini ni muhimu katika utamaduni wa Kiafrika kuwataja kwa majina wahanga:
18Namen en naamgevingsceremonies zijn heel belangrijk in de Afrikaanse cultuur.Kumtaja marehemu kwa jina lake ni jambo kubwa kwenye utamaduni wa Afrika.
19Ze verwijzen naar het verleden, het heden, de toekomst.Ni kitendo cha kuyapa maisha maana inayostahili iwe kabla, hivi sasa na kwa siku zijazo.
20En daarom geven we ze één voor één een naam.Na tutawaja kwa majina mmoja baada ya mwingine.
21Om de slachtoffers een gezicht te geven, gebruiken sommige Twitter-gebruikers de hashtag #147notjustanumber om hun namen en foto's te delen:Ili kuweza kuwafanya wahanga kupata hadhi ya ubinadamu, baadhi ya watumiaji wa mtandao wa Twita wame-twiti alama habari ya #147notjustanumber yenye maana ya #147sitarakimutu ili kujaribu kuwataja marehemu kwa majina yao pamoja na picha:
22R.I.P. Elizabeth Nyangarora.Apumzike kwa amani Elizabeth Nyangarora.
23In 2012 eindexamen gedaan aan St Andrews Kanga Girls High.Alihitimu mwaka 2012 Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mt. Andrew
24#147notjustanumber #TheyHaveNames Dit is Tobias, hij is een van de slachtoffers van de #GarissaAttack.Huyu ni Tobias, aliuawa kwenye shambulio la Garissa; kwetu yeye si tarakimu, ni mwana, kaka, rafiki
25Voor ons is hij geen nummer, hij is onze zoon, broer, vriend. #147notJustANumberApumzike kwa amani Ivy Betty Wanjiku (Shiko) mwanafunzi wa mwaka wa kwanza aliyeuawa kwenye shambulio la Garissa
26R.I.P. Ivy Betty Wanjiku (Shiko), eerstejaarsstudente #GarissaAttack #147NotJustANumber cc @Maskani254Angela ‘Ka/Jojo' Kimata Githakwa.
27Angela ‘Ka/Jojo' Kimata Githakwa #147notjustanumber #TheyHaveNames, eindexamenklas 2011 van de Karima Girls' High SchoolAlimaliza Shule ya Sekondari ya Wasichana Karima mwaka 2011
28#147notjustanumber Ze blijven voor altijd in ons hart.Tutaendelea kuwakumbuka mioyoni mwetu daima.
29Blijf hun verhalen en foto's opsturenTafadhali endelea kutuma wasifu na picha zao
30De aanvallers halen de kranten en hun namen leven voort, maar hun slachtoffers zijn slechts een getal dat vergeten wordt.Magaidi wanapoandikwa sana na majina yao yakionekana kuendelea kuwa hai, wahanga wa ugaidi wao wanasahaulika kama tarakimu tu
31#147notjustanumber @Reclvse schreef dat het om levens gaat, niet om getallen:@Reclvse aliandika kwamba hatua hii inahusiana na na uhai wa binadamu na sio tarakimu:
32Ik vind het mooi om te zien hoe Kenianen namen noemen & verhalen vertellen over de slachtoffers van de aanslag in Garissa om er zeker van te zijn dat ze #147notjustanumber.Ninapenda namna wa-Kenya wanavyotaja majina na kusimulia wasifu wa wahanga wa shambulio la Garissa kuhakikisha kwamba hawabaki kuwa tarakimu pekee.
33Het zijn levens, geen getallen.Marehemu hawa ni binadamu, sio takwimu tu
34@lunarnomad legt het idee achter de hashtag uit:@lunarnomad alizungumzia kuhusu lengo la kampeni hiyo:
35Ik heb er genoeg van dat ik alleen maar bloedige foto's in de media zie van #Garissa.Nimechoka kuona picha za marehemu wakitapakaa damu kufuatia shambulio la Garissa.
36Bekijk #147notjustanumber als je de mensen achter de kogels wilt zien.Angalia alama habari ya #147sitarakimutu ili kuona binadamu walioathirika na risasi hizo
37Mary Njeri Mburu twitterde:Mary Njeri Mburu alitwiti:
38Ik hoop dat de kranten gratis overlijdensberichten plaatsen voor de slachtoffers van de aanslag in Garissa, net als na de aanslag in Westgate.Ninaamini magazeti yataruhusu matangazo ya bure ya vifo kwa wahanga wa shambulio la Garissa kama walivyofanya baada ya lile la Westgate
39#147notjustanumber #GarissaAttack Eunice deelde een Keniaans spreekwoord onder een andere hashtag, #KenyanLivesMatter, een variant op de #BlackLivesMatter-beweging in de Verenigde Staten:Eunice aliweka mithali ya ki-Kenya, kwa kutumia alama habari tofauti- #KenyanLivesMatter [Maisha ya wa-Kenya yana thamani], sawa sawa na kampeni ya #BlackLivesMatter nchini Marekani:
40Wie geweld gebruikt is bang om te praten.Mtu atumiaye nguvu anaogopa kutumia akili.
41~Keniaans spreekwoord.~Methali ya ki-Kenya.
42Mijn gedachten zijn bij jullie. #KenyanLivesMatter #GarrisaAttackTuko pamoja katika kipindi hiki kigumu