Sentence alignment for gv-nld-20120324-13481.xml (html) - gv-swa-20120415-2739.xml (html)

#nldswa
1Mali: Burgers geschokt door onverwachte militaire coupMali: Raia Washtushwa na Mapinduzi ya Kijeshi
2Rebellerende soldaten hebben verklaard dat ze de macht in Mali hebben overgenomen [en] nadat ze het gebouw van de staatstelevisie en het presidentieel paleis hebben ingenomen.Wanajeshi waasi wametangaza kwamba wametwaa madaraka nchini Mali , baada ya kukiteka kituo cha televisheni ya taifa pamoja na ikulu ya nchi hiyo.
3Ze beweren dat de regering van president Amadou Toumani Touré hun troepen onvoldoende steunde in de steeds gewelddadiger strijd met Toeareg-rebellen in het noorden van het land [en] die zich dreigen af te scheiden van Mali.Wanadai serikali ya Rais Amadou Toumani Touré imeshindwa kutoa ushirikiano kwa vikosi vyake kijeshi katika mapambano dhidi ya waasi wa Tuareg kaskazini mwa nchi hiyo ambao wanataka kujitenga kutoka nchi hiyo.
4Veel burgers zijn verbijsterd dat deze coup zo kort voor de geplande verkiezingen van 29 april 2012 plaatsvindt en er wordt gespeculeerd over allerlei theorieën.Raia wengi wamepatwa na mshtuko iweje mapinduzi yafanyike kipindi cha mwezi mmoja tu kabla ya uchaguzi uliokuwa umepangwa kufanyika tarehe 29 Aprili, 2012?
5Capitaine Sanogo, de leider van de coup in Mali. Via @Youngmalian.Bila shaka kulikuwa na nadharia nyingine za kueleza tukio hilo na hatua hiyo ya kijeshi.
6Capitaine Sanogo is de leider van het nieuwe National Committee for the Restoration of Democracy and State (CNRDR), dat beweert het land te zullen regeren gedurende de overgangsperiode tot de verkiezingen in april.Kiongozi wa Mapinduzi nchini Mali Kapteni Sanogo kupitia @Youngmalian Kapteni Sanogo ndiye kiongozi wa Kamati ya kijeshi ya Taifa ya Kurejesha Demokrasia na Nchi (CNRDR) ambao wanasema wataongoza serikali ya mpito mpaka uchaguzi utakapofanyika.
7Een woordvoerder van het comité, luitenant Kanoré, zei dat ze niet van plan zijn de macht in handen te houden, ook al hebben ze de bestaande overheidsinstellingen ontbonden.Msemaji wa kamati hiyo, Lieutenant Kanoré alisema kwamba ingawa wamesimamisha katiba na kuvunja taasisi zilizopo, hawana kusudio la kung'ang'ania madaraka.
8Er wordt nog steeds gevochten tussen soldaten die de coup steunen en soldaten die trouw zijn gebleven aan president Touré.Mapigano kati ya wanajeshi wanaounga mapinduzi hayo na wale wanaomwunga mkono Rais Toure bado yangali yakiendelea.
9Sommige politici en hooggeplaatste officieren zouden in Bamako, de hoofdstad van Mali, zijn gearresteerd.Baadhi ya wanasiasa na maafisa wa ngazi za juu wameripotiwa kuwekwa kizuizini mjini Bamako, makao makuu ya nchini hiyo.
10Malinese burgers zijn nogal geschokt door de gebeurtenissen.Raia wengi wa Mali wameshtushwa kwa kiasi kikubwa na mwelekeo wa matukio.
11Dit zijn een paar reacties op de machtsovername door de gewapende muiters [fr en en]. @TheSalifou: Ik vrees voor mijn land…#MaliHapa ni baadhi ya miitikio baada ya kufahamu kuwa wanajeshi waasi walikuwa wametwaa madaraka [fr na ing]:
12@Anniepayep: Echt, een schande RT @juliusessoka In Afrika is het ene probleem nog niet opgelost, of je rolt alweer in het volgende conflict #mali@Anniepayep: Kweli, Aibu RT@juliusessoka barani Africa, mnatoka hotelini kuja kuishia mtaroni #mali
13@Abdou_Diarra: De Malinese president Amadou Toumani Touré zou het goed maken en bevindt zich volgens een getrouwe soldaat op een veilige locatie #Mali@Abdou_Diarra: Rais wa Mali Amadou Toumani Touré anasemekana kuwa mzima mwenye afya njema na yu mahali salama kwa mujibu wa wanajeshi watiifu #Mali
14@Youngmalian ATT (Malinese president) was democratisch gekozen door het volk en zijn mandaat liep in juni ten einde.@Youngmalian ATT (Rais wa Mali) alichaguliwa kidemokrasia na watu na madaraka yake yalikuwa yaishie mwezi Juni.
15Welk recht hebben de soldaten om in naam van het volk op te treden? #MaliWanajeshi wana haki gani ya kuchukua hatua kwa niaba ya watu wa #Mali
16@ibiriti: democratie is niet alleen maar om de zoveel tijd verkiezingen houden om de ene incompetente regering met de andere te vervangen. er moeten wel resultaten zijn@ibiriti: demokrasia haimaanishi tu ni mipangilio ya uchaguzi ili kubadili watu wasio na uwezo na kuwaweka wengine. Ni lazima itoe huduma
17@philinthe_: Banken + benzinestations gesloten in #Bamako #Mali.@philinthe_: Benki na vituo vya mafuta vilifungwa mjini #Bamako #Mali.
18Gepraat met taxichauffeurs die dubbel tarief rekenen.Ninaongea na madereva teksi wanataka kulipwa mara dufu ya nauli inayofahamika.
19Minibusje kost nog steeds CFA 100-150 [15-22 eurocent]Kwenda Sotrama bado ni kati ya sarafu za Mali CFA 100-150
20@temite: Wat er ook gebeurt, de verliezer is in ieder geval de eenheid, de broederlijke band tussen volken & culturen #Mali@temite: Chochote kitakachotokea, kitakachoathirika hakikosi kuwa ni umoja, umoja wa kidugu baina ya watu na utamaduni #Mali
21Er doen allerlei complottheorieën de ronde over de reden waarom de coup slechts een paar weken voor de geplande verkiezingen is gepleegd [fr]:Mpango wa siri unaonekana wazi kufuatia mapinduzi kufanyika majuma machache tu kabla ya uchaguzi ambao tayari umeshapangwa [fr]:
22@diatus2: De coup in #Mali was te verwachten omdat ATT (Malinese president) niets aan de situatie met de Toeareg-rebellen deed, zodat hij een derde mandaat kon krijgen@diatus2: Mapinduzi nchini #Mali yalitarajiwa kwa sababu ATT (Rais wa Mali) alikuwa anaruhusu hali hiyo kwa kulea waasi wa Tuareg (wakaazi wa kaskazini mwa nchi hiyo) kwa hiyo alikuwa akijiandalia mapinduzi yeye mwenyewe
23@Giovannidjossou:#ATT (Malinese president) doet niets tegen de terroristen in het noorden van Mali omdat deze problemen hem een excuus zouden geven om de verkiezingen uit te stellen tot volgend jaar juni!@Joe_1789: Ninalaani: Mapinduzi haya ambayo yalipangwa na wanajeshi walioziasi Nchi zizungumzao Kifaransa barani Afrika, dhidi ya Mali na Rais wake aliyechaguliwa kidemokrasia
24@Joe_1789: Ik spreek een openlijke beschuldiging uit: deze coup werd gepland door gewapende bandieten die verraders zijn van Franstalig Afrika, tegen Mali en hun democratisch gekozen presidentUkurasa wa Twita wa Ofisi ya Rais wa Mali haukuwa na taarifa mpya tangu Machi 21 ilipokanusha kuangushwa kwa serikali hiyo [fr]:
25Op het Twitter-account van de Malinese president zijn geen nieuwe berichten meer verschenen sinds 21 maart, toen de machtsovername werd tegengesproken [fr]:@PresidenceMali: Tamko Rasmi la kukanusha uvumi: Waziri wa Ulinzi hajaumizwa wala kuwekwa kizuizini.
26@PresidenceMali: Officiële ontkenning: de minister van Defensie is niet gewond of gearresteerd.Yupo mezani kwake akiendelea na majukumu yake ya kila siku Email
27Hij zit aan zijn bureau en houdt zich bezig met zijn dagelijkse takenImeandikwa naLova Rakotomalala Imetafsiriwa na Christian Bwaya@bwaya