# | nld | swa |
---|
1 | Haïti: Ooggetuigenverslagen op Twitter na aardbeving | Baada Ya Tetemeko la Ardhi, Jumbe za Twita Kutoka kwa Walioshuhudia |
2 | Sinds de catastrofale aardbeving met een kracht van 7,0 op de schaal van Richter [en - alle links] die het eiland vanavond (12 januari) heeft getroffen, is “Haiti” een trending topic op Twitter. | Kutokana na janga la tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.0 ambalo limeikumba Haiti jioni ya leo (Januari 12), “Haiti” ni mada kuu hivi sasa kwenye huduma ya Twita. |
3 | Onder de enorme hoeveelheden retweets van verslagen in de reguliere media en tweets met gebeden en goede wensen voor het Caraïbische eiland zijn ook ooggetuigenverslagen van musicus en hotelhouder Richard Morse, die onder de naam @RAMHaiti twittert. Morse publiceerde zijn eerste tweet rond 6 uur ‘s avonds plaatselijke tijd: | Miongoni mwa lundo la jumbe zinazotumwa tena na tena za taarifa za habari kutoka za vyombo vya habari vikubwa na jumbe nyingine za twita zinazotuma sala au dua pamoja na salamu za heri kwa taifa hili la Karibea, pia kumekuwepo taarifa za mashahidi waliopo kwenye tukio kama vile mwanamuziki na mwendesha hoteli Richard Morse, ambaye anatwiti kwa jina la @RAMHaiti. |
4 | iedereen ok hier in het oloffson [zijn hotel] . .internet doet het !! geen telefoon ! hoop dat iedereen ok is. | Morse alituma ujumbe huu wa kwanza wa twita kwenye majira ya saa 12 jioni kwa saa za Haiti, akiripoti kuwa: |
5 | .veel grote gebouwen in PAP [Port-au-Prince, hoofdstad van Haïti] zijn ingestort ! | Tuko salama hapa oloffson [hoteli anayoiendesha] .. intaneti inapatikana!! Hakuna simu! |
6 | In een serie tweets die hij een uur later schreef, deed hij verder verslag: | Natumaini wote wako salama… majengo mengi makubwa hapa PAP [Port Au Prince, mji mkuu wa Haiti] yameporomoka! |
7 | Bijna alle lichten zijn uit in Port-au-Prince.. mensen schreeuwen nog steeds, maar het geluid neemt af nu het donker wordt. | |
8 | veel geruchten over welke gebouwen zijn ingestort.. | Mfululizo wa jumbe za twita zilizotumwa saa moja baadaye ziliripoti: |
9 | Het Castel Haiti achter het Oloffson is veranderd in een hoop puin…het was 8 verdiepingen hoog | Karibu kila taa imezimwa katrika mji wa Port au Prince… watu bado wanapiga mayowe lakini sauti zao zinafifia kadiri giza linavyotanda. |
10 | Onze gasten zitten buiten op de oprijlaan.. geen ernstige schade hier aan het Oloffson, maar veel grote gebouwen in de buurt zijn ingestort | |
11 | Ik heb gehoord dat delen van het Palace zijn ingestort. .de UNIBANK hier op Rue Capois is ingestort | kuna uvumi kuhusu majengo gani yaliyoanguka… jingo la Castel Haiti nyuma ya oloffson ni biwi la kifusi… lilikuwa jingo la ghorofa 8 kwenda juu |
12 | mensen dragen mensen op brancards langs Port-au-Prince is donker, met uitzondering van een paar branden | Wageni wetu wamekaa nje kwenye barabara ya gari… hakuna uharibifu mkubwa hapa Oloffson lakini majengo mengi makubwa yaliyo jirani yameanguka |
13 | Een groot ziekenhuis dat tegenover het Oloffson werd gebouwd, is ingestort | Nimeambiwa kuwa sehemu za kasri (ikulu) zimeanguka… UNIBANK hapa mtaa wa Capois imeporomoka |
14 | er beginnen auto's rond te rijden. | watu wanawaleta watu kwa machela |
15 | .ik zie lichten in de verte, bij de kade | Port au Prince iko kwenye giza isipokuwa kwa mioto michache |
16 | Later retweette Morse een tweet van @isabelleMORSE, die meldde: “veel vernielingen op Grand Rue (Ave Dessalines) Daniel Morel is ok. | |
17 | Politiebureau, kathedraal, teleco in de binnenstad, kerk van St Anne, allemaal vernietigd“. | Hospitali kubwa iliyokuwa inajengwa mkabala na Oloffson imeporomoka |
18 | Vlak na half acht ‘s avonds plaatselijke tijd schreef Morse: | magari yanaanza kuzunguka.. Ninaziona taa kwa mbali kuelekea dagoni |
19 | Telefoons beginnen weer te werken. .kreeg een telefoontje van iemand van wie het huis is ingestort, kind gewond maar ok. . | Baadaye, Morse alituma tena ujumbe wa twita @isabelleMORSE, ambaye aliripoti “uharibifu mkubwa kwenye mtaa wa Grand (Ave Dessalines) Daniel Morel's iko sawa, stesheni ya polisi, Downtown teleco, kanisa la Mtakatifu Anne yote yameangamia”. |
20 | Een paar mensen komen naar Oloffson. .wegen zijn geblokkeerd door omgevallen muren. | Mara baada ya saa 1 jioni kwa saa za Haiti, Morse aliandika kwamba: |
21 | .veel vernielingen op Grand Rue. | Simu zinaanza kufanya kazi. |
22 | Ik hoor dat het General-ziekenhuis is ingestort mensen hebben geneesmiddelen nodig. | Nimepokea simu kutoka kwa mtu ambaye nyumba yake iliporomoka, mtoto kaumia lakini salama. . |
23 | .voedsel, onderdak; geen idee hoe het met water zit; | Watu wachache wanaanza kujitokeza @Oloffson.. barabara hazipitiki kutokana na kuta zilizoanguka. |
24 | Om kwart voor acht ‘s avonds schreef hij: | .maangamizi makubwa katika mtaa wa Grand. |
25 | nog een naschok. | Nasikia hospitali kuu imeporomoka |
26 | .mensen gillen en worden hysterisch in de buurt van het stadion. | watu wanahitaji madawa na vifaa vya matibabu, chakula, malazi; sijui kuhusu hali ya maji |
27 | .veel mensen zingen en bidden | Kisha, kwenye majira ya saa 1:45 jioni: |
28 | En om twintig voor negen plaatselijke tijd: nog een naschok. | tetemeko jingine dogo.. watu wanapiga mayowe na kukimbia kuelekea uwanjani.. wanaimba na kusali sana katika makundi makubwa |
29 | .ietsje langer. .veel gegil in de binnenstad. | Na kwenye majira ya saa 2:40 usiku kwa saa za Haiti: |
30 | .dit gaat een lange nacht worden | tetemeko jingine dogo.. limechukua muda mrefu zaidi.. mayowe mengi mjini.. huu utakuwa usiku mrefu |
31 | Op Twitter verschijnen ook steeds meer foto's van burgers waarop de vernielingen te zien zijn, zoals de foto's hieronder, naar verluidt naar Twitter-gebruiker @marvinady gestuurd door journalist Carel Pedre van het Haïtiaanse radiostation Radio One. | Pia zinazotawala katika Twita ni picha za maangamizi na uharibifu zilizopigwa na raia kama hizi hapa chini, inadaiwa kuwa zilitumwa kwa mtumiaji wa Twita @marvinady na mwanahabari Carel Padre wa Radio One Haiti. |
32 | @LisandroSuero heeft ook foto's van de vernielingen geplaatst, waaronder deze: | @LisandroSuero pia ametuma picha za maangamizi, pamoja nah ii hapa chini: |