Sentence alignment for gv-nld-20140514-17763.xml (html) - gv-swa-20140513-7454.xml (html)

#nldswa
1Doe mee aan de #FreeZone9Bloggers Tweetathon op 14 meiUngana na Kampeni ya #FreeZone9Bloggers Twita Mei 14
2De Nigeriaanse bloggers Blossom Nnodim (@blcompere) en Nwachukwu Egbunike (@feathersproject), en Global Voices-editor Ndesanjo Macha (@ndesanjo) uit Tanzania houden een tweetathon om de negen bloggers en journalisten [Engels - alle links] te steunen die eind april in Ethiopiƫ werden gearresteerd en op dit moment gevangen zitten. Je kunt hieraan meedoen!Ungana na wanablogu wa Naijeria Blossom Nnodim (@blcompere) na Nwachukwu Egbunike (@feathersproject), pamoja na mhariri wa Global Voices Ndesanjo Macha (@ndesanjo) kutoka Tanzania kwenye kampeni ya kutuma twiti barani Afrika kuwaunga mkono wanablogu na waandishi tisa waliokamatwa mwishoni mwa mwezi Aprili na kwa sasa wanashikiliwa nchini Ethiopia.
3Global Voices en ons netwerk van vrienden en bondgenoten eisen de vrijlating van deze mannen en vrouwen.
4Deze negen mensen hebben met behulp van hun blog of via de traditionele journalistiek allemaal hun best gedaan om meer ruimte te krijgen voor sociale en politieke commentaren.Jumuiya ya Global Voices na mtandao wa marafiki na washirika wetu tunadai kuachiwa kwao, kwa kuwa walifanya kazi kwa bidii katika kupanua fursa ya uchambuzi wa kijamii na kisiasa nchini Ethiopia kupitia uandishi wa kiraia na ule wa kawaida.
5Wij zijn van mening dat hun arrestatie een schending is van het universele recht tot meningsuiting.Tunaamini kukamatwa kwao ni kuvunja haki yao ya kimataifa ya uhuru wa kujieleza, pamoja na haki ya kutokukamatwa bila utaratibu.
6Bovendien worden ze zonder enige vorm van proces vastgehouden.Unaweza kupitia habari hii na kampeni ya kuachiliwa kwao hapa.
7Hier kun je meer over hen lezen en vind je informatie over de campagne voor hun vrijlating.
8Woensdag 14 mei willen we vanaf 14:00 uur West-Afrikaanse Tijd beginnen met tweeten met maatschappelijke leiders, regeringsmensen, diplomaten en de mainstream media. Op deze manier willen we iedereen op de hoogte brengen van deze arrestaties.Jumatano hii, kuanzia saa 8 mchana za Afrika Magharibi, tunapanga kutwiti kwa viongozi wa kijamii, serikali na wanadiplomasia, na vyombo vikuu vya habari (kwa kutumia anuani zao za twita) ili kufanya suala hili lisikike zaidi.
9We willen het bij iedereen onder de aandacht brengen.Tunawahamasisha wanablogu na watumiaji wa mitandao ya kijamii barani Afrika kutuunga mkono -lakini kila mmoja anakaribishwa!
10We willen vooral mede-bloggers en socialmediagebruikers in Afrika vragen om mee te doen, maar ieder ander is ook welkom!
11#FreeZone9Bloggers: Een tweetathon om de vrijlating van Ethiopische bloggers te eisen#FreeZone9Bloggers: Zoezi la kutuma twiti Kudai Kuachiliwa kwa Wanablogu wa Ethiopia Waliokamatwa
12Datum: woensag 14 mei 2014Tarehe: Jumatano, Mei 14, 2014
13Tijd: 14:00 - 17:00 uur West-Afrikaanse tijd (klik hier om je eigen tijdszone te vinden)Muda: Saa 8 - 11 jioni Kwa saa za Afrika Magharibi/ Saa 10 - 1 Jioni Kwa saa za Afrika Mashariki (bofya hapa kujua itakuwa saa ngapi nchini kwako)
14Hashtag: #FreeZone9BloggersAlama Habari: #FreeZone9Bloggers
15Organisatoren: Blossom Nnodim (@blcompere), Nwachukwu Egbunike (@feathersproject), Ndesanjo Macha (@ndesanjo)Waratibu: Blossom Nnodim (@blcompere), Nwachukwu Egbunike (@feathersproject), Ndesanjo Macha (@ndesanjo)
16Doe mee, tweet tot je vingers pijn doen en eis de vrijlating van de Zone 9 bloggers!Ungana nasi Jumatano hii - twiti mpaka vidole vyako viume na dai kuachiliwa huru kwa wanablogu wa Zone 9!
17Tweeps die je kunt gebruiken (klik hier voor meer mogelijkheden)Twiti unazoweza kutumia (bonyeza hapa kuchagua zaidi)