Sentence alignment for gv-nld-20130715-16054.xml (html) - gv-swa-20130715-5502.xml (html)

#nldswa
1Iran: Kan de nieuwe president de juiste deuren openen?Iran: Je, Ufunguo wa Rais Mpya “Utafungua” Tatizo Lolote?
2Een sleutel vormde het symbool voor Rouhani's campagne.Alama ya kampeni za Rouhani ilikuwa ni Ufunguo.
3Foto via MashreghnewsPicha kupitia Mashreghnews
4Het campagnesymbool van de nieuwgekozen president Hassan Rouhani [nl] was een sleutel.Alama ya Rais mteule Hassan Rouhani ilikuwa ni ufunguo.
5Nu vragen Iraanse netburgers zich af of Rouhani in staat zal zijn om daadwerkelijk deuren te openen.Kwa sasa, raia wa mtandaoni wa Iran wanajadili kama Rouhani ataweza kufungua kila kufuli.
6Rouhani beloofde een regering van ‘hoop en wijsheid' en duizenden Iraniërs vierden [nl] zijn overwinning en hopen op een betere toekomst.Rouhani aliahidi kuleta serikali “yenye tumaini na iliyo makini” na hivyo, maelfu ya watu wa Iran walisherehekea ushindi wake wakitegemea mustakabali mzuri wa maisha ya baadae.
7In het blog van Omid Dana lezen [fa] we:Kwenye blogu ya Omid Danaameandika:
8Welk slot zal de sleutel van Rouhani openen?Ufunguo la Rouhani utafungua kufuli gani?
9Mostafa Tajzadeh [en] (een hervormer die gevangen zit) zegt dat het vrijlaten van politieke gevangen niet in de handen van Rouhani ligt.Mostafa Tajzadeh [ mwanamapinduzi aliyefungwa gerezani] anasema kuwa, kuwaachilia huru wafungwa wa kisiasa ni jambo ambalo halipo mikononi mwa Rouhani.
10Zegt Khatami niet dat we geen hoge verwachtingen moeten hebben?Khatami hakusema kuwa tupunguze kiwango cha matarajio yetu?
11Mensen zeggen vaak, en met goede reden, dat de sleutel naar nucleaire onderhandelingen, betrekkingen met de VS en de crisis in Syrië in handen is van de Hoogste Leider… [nl] En met dat in gedachten kunnen we vaststellen dat Rouhani alleen de sleutels van zijn huis en kantoor in bezit heeft.Mara nyingi watu wanasema, kwa malengo mazuri, namna ya kuelekea kwenye muafaka wa matumizi ya nyuklia, uhusiano na Marekani pamoja na mgogoro wa Syria vipo ndani ya uwezo wa Rais… pamoja na yote haya kusemwa, funguo za Rouhani ni za kufungulia milango ya nyumba yake au ofisi yake tu.
12Jaleboon schrijft [fa]:Jaleboon anaandika:
13Sommige mensen, zoals like Omid Dana, vragen zich af welke sloten Rouhani kan openen.Baadhi ya watu, kama ilivyo kwa Omid Dana, anauliza ni makufuli gani anavyoweza kuyafungua Rouhani.
14Het antwoord is dat hij het slot heeft geopend van de verkiezingen die met de crisis van 2009 ongeldig waren geworden.Jibu ni kuwa, ameshafungua kufuli la uchaguzi uliokuwa batili kufuatia mgogoro wa mwaka 2009.
15Meerdere netburgers benoemen problemen en sloten die Rouhani met zijn sleutel zou kunnen openen.Watumiaji kadhaa wa mtandao wa intaneti wametaja matatizo ambayo wanafikiri kuwa ufunguo wa Rouhani unaweza kuyafungua.
16Mahsa tweeted [fa]:Mahsa tweeted:
17Ik zit niet te wachten op de vrijheid om al dan niet een sluier te dragen. Ik wacht op de dag dat er minder inflatie en werkeloosheid is en de dag dat kansarme mensen geen drugs meer hoeven te verkopen..Bila kujali uhuru umefichwa au la, ninachohitaji ni kuona siku moja kuwa mfumuko wa bei za bidhaa na kukosekana kwa ajira vinapungua ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa watu wa hali ya chini hawajihusishi na uuzaji wa madawa ya kulevya..
18Negar Mortazavi zette op Twitter [en]:Negar Mortazavi alitwiti:
19Bronnen uit de omgeving van #Rouhani zeggen dat hij van plan is om speciale gezanten naar bepaalde landen te sturen om de verbroken betrekkingen te herstellen en een nieuwe start te maken met Teheran.“Vyanzo vya habari vilivyo karibu na #Rouhani vinasema kuwa, Rais huyu mteule amepanga kutuma wawakilishi maalum katika nchi kadhaa kwa lengo la kurejesha uhusiano mzuri pamoja na kuanzisha ukurasa mpya na nchi ya Tehran.
20Er wordt ook gevraagd of Rouhani het Iraanse internet kan verbeteren en een eind kan maken aan de internetcensuur.Wakati huohuo, kampeni kadhaa zinamtaka Rouhani kuboresha mtandao wa intaneti wa Iran ikiwa ni pamoja na kukomesha uchujaji wa taarifa katika mtandao wa intaneti.
21In een campagne op Facebook [fa] wordt Rouhani gevraagd een einde te maken aan het filteren van Facebook, en een groep bloggers en cyberactivisten heeft een brief aan de nieuwgekozen president geschreven [fa] waarin ze hem vragen om de snelheid van het internet te verhogen.Kampeni ya Facebook ilimtaka Rouhani kukomesha uchujaji wa taarifa katika mtandao wa Facebook, na kikundi cha wanablogu na wanaharakati wa sayansi ya mfumo wa mawasiliano na udhibiti wake walimwandikia barua Rais mteule wakimtaka aongeze kasi ya mtandao wa intaneti.
22Ze klagen ook over censuur en herinneren Rouhani eraan dat hij het internet zelf ook gebruikte om zijn campagne aan de man te brengen.Pia, walilalamikia kuchujwa kwa taarifa za mtandaoni na pia walimkumbusha Rouhani kuwa alitumia mtandao wa intaneti katika kufanikisha kampeni yake.