Sentence alignment for gv-nld-20100713-7597.xml (html) - gv-swa-20100715-1524.xml (html)

#nldswa
1Uganda: Bloggers reageren op explosiesUganda: Wanablogu Washtushwa na Milipuko ya Mabomu
2Voetbalfans kwamen gisteravond overal ter wereld bijeen in cafés en restaurants om de finale van het Wereld Kampioenschap voetbal te zien.Mashabiki wa soka kote ulimwenguni walikusanyika kwenye kumbi za baa na migahawa ili kushuhudia mechi ya fainali za Kombe la Dunia usiku wa Jumapili iliyopita.
3In Uganda werden deze feestelijkheden onderbroken toen er bommen ontploften in twee populaire uitgaansgebieden in de hoofdstad Kampala.Nchini Uganda usherehekeaji huu ulikatishwa pale milipuko ya mabomu iliposambaratisha maeneo mawili maarufu kwa sherehe za mpaka majogoo jijini Kampala, mji mkuu wa nchi hiyo.
4De media in Uganda hebben tot nu toe melding [en-alle links] gemaakt van 40 doden, terwijl tientallen mensen gewond zijn geraakt door de explosies.Mpaka sasa vyombo vya habari nchini Uganda vimeripoti vifo zaidi ya 70, huku dazeni kwa dazeni wakiwa wamejeruhiwa vibaya kutokana na milipuko hiyo.
5De Ugandese politie suggereerde dat de Somalische militante groepering al-Shabaab achter de aanslagen zit.Polisi wa Uganda wameeleza kwamba huenda milipuko hiyo imefanywa na kikosi cha wapiganaji wa Ki-Somali cha Al-Shabab.
6Eén van de leiders van de groep heeft onlangs opgeroepen tot aanvallen op Uganda, dat troepen levert aan de vredesstrijdkrachten van de Afrikaanse Unie in Somalië.Mmoja wa makamanda wa juu wa kikosi hicho hivi karibuni alitaka Uganda ishambuliwe kwa kuwa imepeleka wanajeshi wake katika kikosi cha kulinda amani nchini Somalia.
7De groepering heeft zich goedkeurend over de aanslagen uitgelaten, maar zij heeft de verantwoordelijkheid niet opgeëist.Kundi hilo limepongeza kutokea kwa milipuko hiyo lakini hakikusema kama kinahusika nayo ama hapana.
8Slachtoffers van de twee dodelijke bomexplosies in Kampala wachten op behandeling in het Mulago Ziekenhuis.Waathirika wa milipuko miwili ya kutisha ya mabomu jijini Kampala wakisubiri kupatiwa huduma katika Hospitali ya Mulago.
9Foto van Trevor Snapp.Picha ilipigwa na Trevor Snapp.
10Met toestemming van de fotograaf gebruikt.Picha hii imetumiwa kwa ruhusa ya aliyeipiga
11Ugandese blogger Gay Uganda schrijft [en]:Mwanablogu wa Uganda Gay Uganda anaandika:
12Uganda aangevallen.Uganda imeshambuliwa.
13Echt, de menselijkheid is aangevallen.Kwa kusema kweli ni ubinadamu ndiyo ulioshambuliwa.
14Wie heeft de brutaliteit om blij te zijn over een degelijke gruweldaad?Je, nani anaweza kuthubutu kuwa na furaha kufuatia ukatili mkubwa kama huu?
15Klaarblijkelijk zijn de Somalische opstandelingen blij.Mpaka sasa ni wapiganaji wa Ki-Somali ndiyo wanaofurahia.
16Want zij vechten tegen de strijdkrachten van de Afrikaanse Unie in Somalië, die hun ervan hebben weerhouden een islamitische staat met sharia-wetgeving op te richten. ….Wanafurahi kwa sababu wanapambana na vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somali, vikosi hivyo vimewazuria wapiganaji hao kuanzisha dola la Kiislamu lenye kuongozwa na Sharia ya Kiislamu. ….
17Wat ik zie zijn kameraden, mensen die niets anders doen dan een voetbalwedstrijd bekijken, die gedood en verminkt zijn uit naam van idealen waarover ze misschien niet eens hebben nagedacht, acties die zij niet in het minst kunnen beïnvloeden.Ninachokiona ni raia wenzangu, binadamu ambao kikubwa walichokuwa wanakifanya ni kutazama mechi ya kandanda ambapo wengi wao wameuawa na wengine kujeruhiwa, wamefanyiwa hivyo kwa fikra na njozi ambazo pengine wala hawakuwahi kuziwazia, yaani vitendo ambavyo wala hawawezi kuvitawala au kuwa na ushawishi navyo.
18Ernest Bazanye maant tot voorzichtigheid om te snel conclusies te trekken over wie de bommen hebben laten afgaan:Ernest Bazanye anatahadharisha kwamba pengine watu wasifanye haraka kuhukumu kwamba nani hasa alitega na kulipua mabomu hayo, bado ni mapema mno:
19Het is nog te vroeg om te zeggen wie er verantwoordelijk is en waarom, zelfs als er in het buitenland wordt gefluisterd dat het zelfmoordterroristen van Al-Shahaab zijn, de Somalische terreurorganisatie.Ni mapema mno kusema nani anahusika na kwa nini, hata kama kuna minong'ono huko nje ya nchi kwamba kitendo hicho cha kuua watu kwa mabomu kilifanywa na kundi la Al-Shahab, ambalo ni kundi la magaidi huko Somalia.
20Van lieverlee zouden we wel moeten weten dat de waarheid niet zo snel boven water komt en elke conclusie zou nu voorbarig zijn.Bila shaka mpaka sasa tumeshakomaa vya kutosha kuelewa kwamba kwa kawaida ukweli hauji haraka hivyo, kwamba bado ni mapema mno.
21Trevor Snapp, een documentaire fotograaf die in Kampala woont, was in het Mulago Ziekenhuis, waar vele slachtoffers na de explosies naartoe werden gebracht. Hij schrijft:Trevor Snapp, ambaye ni mpiga picha mtengeneza makala za maoni na anayeishi Kampala, alikwenda Hospitali ya Mulago, mahali ambapo waathirika wengi wa mabomu hayo walipelekwa mara baada ya milipuko. anaandika:
22Familieleden liepen door elkaar bij de opnamereceptie terwijl artsen en lichamen onder het bloed haastig de operatiekamer in en uit gingen.Wanafamilia walimiminika kuelekea sehemu ya mapokezi wakati ambapo madaktari na miili iliyojaa damu walikimbizwa na kutolewa katika chumba cha upasuaji.
23In de gang bij de operatiekamer lag het lichaam van een man op de vloer: bloed vloeide uit zijn hoofd, het was onmogelijk te zeggen of hij dood was of nog leefde.Katika ukumbi wa kuelekea chumba cha upasuaji kulikuwa na mwili umelala sakafuni, damu zilikuwa zikimiminika kutoka kichwani, ilikuwa vigumu kusema kama alikuwa bado yungali hai au alikwishakufa.
24Een paar meter verderop had het personeel een provisorisch mortuarium gemaakt van een kleine voorraadkast, 6 lichamen lagen op de tegels, van sommigen was de kleding weggeblazen.Hatua chache kutoka hapo, katika chumba kidogo cha kuhifadhia vifaa vya madaktari, wahudumiaji walipageuza kuwa mahali pa kuhifadhia miili ya watu, kulikwa na miili 6 iliyokuwa imelazwa sakafuni, baadhi ya maiti nguo zikiwa zimechanwachanwa na nguvu ya milipuko.
25Ze waren allemaal jong.Miili yote ilikuwa ya vijana.
26Veel bloggers zijn geschokt dat de bomaanslagen in Kampala plaatsvonden, wijd en zijd bekend als één van de veiligste hoofdsteden van Afrika.Wanablogu wengi wameshtushwa kwamba milipuko hiyo imetokea Kampala, jiji ambalo linafahamika kwamba ni moja ya majiji makuu yaliyo salama zaidi barani Afrika.
27Joshua Goldstein, een voormalig Global Voices auteur die in Kampala woonde, beschrijft de locaties waar de explosies zich voordeden:Joshua Goldstein, a mwandishi wa zamani wa Global Voices ambaye aliwahi kuishi Kampala, anaelezea maeneo mawili ambapo milipuko ilifanyika:
28Kampala's Rugby Club is een ruime bar, naast het veld gelegen, waar veel van de studenten uit Kampala met hun vrienden rondhangen.Klabu ya Mchezo wa Rugbi ya Kampala ni Baa iliyo na eneo kubwa la wazi, iko pembezoni mwa kiwanja, mahali hapa wanapenda sana kuja wanafunzi wa vyuo ambao huja hapo kurandaranda na marafiki zao.
29Als Uganda een studentenclub zou hebben gehad, zouden ze hier hun feesten hebben gegeven.Kama Uganda ingekuwa na makundi fulani ya kiitikadi basi hapa ndiyo mahali ambapo wangefika kufanya sherehe zao.
30Hier drinkt de elite Nile Special, een biersoort, met op de achtergrond reggae and hip hop.Hapo ni mahali ambapo watumiaji hujipatia vinywaji vyao maalumu vya Nile huku wakisindikizwa na muziki wa mbali wa rege pamoja na hip hop.
31In het weekend kijkt dit gezelschap rugby, de kragen omhoog geslagen om de zon tegen te houden. ….Katika siku za mwisho wa juma ni makundi ya watu wa aina hiyohiyo ambao huja kutazama ragbi,huku kola zao zikiwa zimenyanyuliwa juu ili kujikinga na jua. ….
32Aan de andere kant van de stad is ‘Ethiopian Village', vlak bij de Amerikaanse ambassade, midden in het centrum van Kabalagala, het Las Vegas van Kampala.Upande mwingine wa jiji kuna Kijiji Cha Ki-Ethiopia, upande wa chini wa mtaa kuna Ubalozi wa Marekani, hapa ni katikati kabia ya Kabalagala, ambayo inaweza kuitwa ndiyo Las Vegas ya Kampala.
33Het restaurant, het meest prestigieuze van de stuk of zes Ethiopische restaurants binnen een straal van 500 meter, is gelegen op de kruising van Ggaba Road en Tank Hill Road.Mgahawa, upo upande wa juu wa kiasi cha nusu dazeni au zaidi kidogo ya mighahawa ya Ki-Ethiopia ndani ya kiasi cha mita 500, ipo katikati ya makutano ya Barabara ya Ggaba na ile ya Tank Hill.
34‘s Middags brengen dissidente Ethiopische journalisten in ballingschap de tijd door met het kauwen op miraa en het bespreken van het dagelijkse nieuws.Nyakati za Mchana waandishi wa habari wa Ki-Ethiopia waliokimbia kwao hupoteza wakati wao kwa kutafuna miraa na kubadilishana habari za matukio ya siku hiyo.
35‘s Nachts wordt de buurt verlicht door de cafés en dansfeesten.Nyakati za usiku, eneo lote huchangamka kwa mwanga wa taa zinazotoka kwenye baa na mitoko ya usiku.
36Sleek schrijft:Sleek anaandika:
37Om het een beetje in perspectief te krijgen, wil ik naar voren brengen dat, tot nu toe, Kampala één van die plekken was waar je om 03:00 ‘s nachts van de ene kant van de stad naar de andere kon lopen.Kutoa picha kamili kwa tukio hili zima, nitasema kwamba mpaka sasa, Kampala imekuwa moja ya sehemu zile ambazo mtu anaweza kutembea mpaka hata saa 9 usiku kutoka upande mmoja wa mji hadi mwingine.
38En dat we het soort mensen zijn die klagen over de stijgende brandstofprijzen, hoge loonbelasting, onmogelijke gesprekskosten voor de mobiele telefoon…gewoon de zeer hoge kosten van het levensonderhoud.Na kwamba sisi ni aina ile ya watu ambao hulalamikia kuongezeka kwa bei za mafuta, kodi zilizo juu za Lipa Kadiri Unavyopata, gharama za juu ya upigaji simu … kwa ujumla ni gharama zilizo juu ya maisha.
39Maar buiten dat alles, gaan we nog steeds naar die nieuwe tent en betalen we UGX 5,000 (ongeveer €2,20) voor een biertje.Lakini pamoja na hayo bado mtu anamudu kwenda sehemu ya burudani na kulipa walau Shilingi za Uganda 5,000 ili kujipatia bia.
40En we zijn met zovelen dat je je een weg naar de bar moet worstelen om wat te drinken te bestellen.Na huwa tunajazana kwenye sehemu hizo mpaka mtu unapata shida kupita ili kujinunulia kinywaji.
41En dat is de gemiddelde uitgaansgelegenheid.Na hapo tunazungumzia nyakati zile ambazo watu hujazana wa kiwango cha wastani.
42En dan hoor je over bomaanslagen…Na kisha mara unasikia milipuko ya mabomu …