# | nld | swa |
---|
1 | Kerken aangevallen in het zuiden van Egypte | Makanisa Yashambuliwa Nchini Misri |
2 | David Degner deelt [en] foto's van de kerken die zijn aangevallen en in brand gestoken in Mallawi, in de provincie Minya in het zuiden van Egypte. | David Degner aweka picha kutoka makanisa yaliyoshambuliwa na kuchomwa katika sehemu iitwayo Mallawi, Minya, Misri ya Juu hapa. |
3 | Hij schrijft: | Anaandika: |
4 | Vrijdag werden twee kerken in Mallawi, een dorpje in de provincie Minya, aangevallen en in brand gestoken. | Siku ya Ijumaa makanisa mawili katika kijiji cha Mallawi, jimbo la Minya, yalishambuliwa na kuchomwa moto. |
5 | Na de aanval op de pro-Morsy sit-in, waarbij meer dan 600 mensen om het leven kwamen, verzamelden aanhangers van Morsy zich na het vrijdaggebed en bestormden twee kerken en een paar winkels van christenen in het dorp Mallawi en staken ze in brand. | Baada ya mashambulizi dhidi ya wafuasi wa Morsy ambapo zaidi ya watu 600 walifariki, wafuasi wa Morsy walikusanyika baada ya swala ya Ijumaa wakavamia na kuchoma makanisa mawili, na baadhi ya maduka yanayomilikiwa na wakristo katika kijiji cha Mallawi. |
6 | Verder werden het museum van Mallawi, banken, winkels en 10 andere kerken in Minya aangevallen en geplunderd. | Watu walikuwa katika makundi pia walishambulia na kuiba vitu kwenye chumba cha makumbusho kijijini humo, na benki, maduka na makanisa mengine 10 jimboni humo. |
7 | Hij deelt ook deze video, waarop te zien is hoe de Evangelische kerk in Mallawi in brand staat: | Anaweka video hii, inayoonyesha Kanisa la Kiinjili, kijijini humo likiwaka moto: |