# | nld | swa |
---|
1 | 14-jarig journalistje gedood tijdens verslaglegging onlusten in Syrië | Mwandishi Habari za Kiraia wa Miaka 14 Auawa Akiripoti Mapigano Nchini Syria |
2 | Omar Qatifaan was 14 jaar toen hij op 21 mei 2013 werd vermoord terwijl hij verslag deed van de botsingen tussen het Syrische leger en het rebellenleger. Dat gebeurde in Daraa al-Ballad, een gebied in het zuiden van Syrië, vlak bij de grens met Jordanië. | Omar Qatifaan, Mwanaharakati wa Habari mwenye umri wa miaka 14, aliuawa Mei 21, 2013 wakati alipokuwa anaripoti mapigano kati ya Jeshi la Syria na waasi wanaopinga serikali ya nchi hiyo kusini mwa al-Ballad eneo la Syria karibu na mpaka na Jordan. |
3 | Het project voor jongeren en media Syrian Documents [en] berichtte over zijn dood en het Syrische nieuwsblog YALLA SOURIYA [en, ar] noemde hem de ‘Ziel van Syrië'. | Nyaraka kuhusu Syria zilizotolewa na Mradi wa vyombo vya habari vya vijana ziliripoti kuhusu kifo chake, na blogu ya habari nchini humo YALLA SOURIYA ilimwita kijana huyo kuwa “Roho wa Syria”. |
4 | Bij de conflicten in Syrië zijn, net als bij de andere Arabische opstanden, steeds meer burgers die verslag doen van de nog altijd durende gevechten tussen pro-regeringsgroepen en anti-regeringstroepen in het land. | Mgogoro wa Syria, kama vile Mapinduzi mengine yaliyozikumba nchi za Kiarabu, zimesababisha kuongezeka kwa waandishi wa habari za kiraia wanaoripoti kutoka katika kwenye uwanja wa vita kuhusu mgogoro unaoendelea kati ya majeshi yanayounga mkono serikali na yale ya waasi. |
5 | Veel van hen zijn gevangen genomen, gemarteld en zelfs vermoord tijdens hun activiteiten om het verhaal van de revolutie [en] aan de wereld te vertellen. | |
6 | Ook kinderen hebben tijdens de conflicten een vreselijke prijs betaald. | Wengi wamekuwa kizuizini, kuteswa, na hata kuuawa wakiwa katika jitihada za kuutangazia ulimwengu habari za mapinduzi. |
7 | Er zijn al duizenden kinderen overleden [en] door het geweld. | Watoto pia wameumia kupindukia wakati wa vita, na maelfu wakiuawa wakati wa ghasia hadi wakati huu. |
8 | Media-activist Omar Qatifaan was 14 jaar oud toen hij werd vermoord terwijl hij verslag deed van een gevecht in Daraa, Syrië. | Mwanaharakati wa Vyombo vya Habari Omar Qatifan alikuwa na umri wa miaka 14 alipouawa akiwa anaripoti habari za vita huko Daraa, Syria. |
9 | Foto van Twitter-account van @RevolutionSyria | Picha kutoka akaunti ya twita @RevolutionSyria |
10 | Een andere media-activist maakte een video van Qatifaan nadat hij was vermoord. | Mwanaharakati mwingine wa vyombo vya habari alirekodi video ya Qatifaan mara tu alipouawa. |
11 | De beelden zijn op YouTube gezet door SyrianDaysOfRage [SCHOKKENDE BEELDEN]: | Video hiyo iliwekwa kwenye YouTube na SyrianDaysOfRage: [NI VIDEO INAYOTISHA]: |