Sentence alignment for gv-nld-20140727-17895.xml (html) - gv-swa-20140705-7829.xml (html)

#nldswa
1De grote vraag in Tunesië: stemmen of niet stemmenNchini Tunisia, Swali ni Ikiwa ni Lazima Kupiga Kura au Kugomea Uchaguzi
2Het logo van de verkiezingen van 2014, via de Facebook-pagina van de onafhankelijke verkiezingscommissieNembo ya uchaguzi wa 2014, kupitia ukurasa wa Facebok wa tume huru ya uchaguzi
3Nu de Tunesische verkiezingen dichterbij komen, discussiëren netizens over de vraag of het de moeite waard is om te gaan stemmen bij de aanstaande parlements- en presidentsverkiezingen.
4De Tunesische parlementsverkiezingen vinden plaats op 26 oktober, en de eerste ronde van de presidentsverkiezingen is gepland op 23 november.Uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo utafanyika Oktoba 26 wakati duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais imepangwa kufanyika Novemba 23.
5Maar niet iedereen is even enthousiast over de stembusgang later dit jaar.Hata hivyo, si kila mmoja anasisimka kukaribia uchaguzi huo baadae mwaka huu.
6Degenen die niet willen gaan stemmen, zeggen vaak dat ze ontevreden zijn over de prestaties van de politieke elite gedurende de afgelopen drie jaar. Ze vinden dat de verkiezingen van 2011 ‘niets hebben veranderd'.Wale wasiopenda kupiga kura mara nyingi huzungumzia kutokuridhishwa kwao na utendaji wa kada ya wanasiasa katika miaka mitatu iliyopita, wakitumia hoja kuwa uchaguzi wa mwaka 2011 ‘hakuleta tija wala mabadiliko yoyote'.
7In oktober 2011 kozen [en] de Tunesiërs een nationale grondwetgevende vergadering (ANC) die de taak had om een concept voor een nieuwe grondwet [en] op te stellen nadat dictator Zine el Abidine Ben Ali was verjaagd.Mwezi Oktoba 2011, Watunisia walipiga kura kuchagua Bunge la Katiba la Taifa (NCA) ambalo lilipewa jukumu la kutunga katiba mpya baada ya kung'olewa madarakani kwa dikteta Zeine el Abidin Ben Ali.
8De islamistische partij Ennadha kreeg 40 procent van de stemmen.Chama chenye mrengo wa Kiislam, Ennahdha kilipata asilimia 40 ya kura zilizopigwa.
9Zoals veel anderen vroeg Nymeria zich af:Kama wengine wengi, Nymeria alishangazwa:
10Wat moet ik doen bij #TnElec? Ik vind geen enkele partij goed en blanco stemmen tellen niet mee :/ #TunisiaNitafanya nini kwenye uchaguzi ujao> Sipendi chama chochote na najua kura isiyochagua chama chochote itaharibika
11Op 24 juni postte [fr] Twitter-gebruiker Papillon, die zo'n 13.000 volgers heeft, de volgende vraag:Mnamo Juni 24, mtumiaji wa twita Papillon, ambaye ana wafuasi 13,000 alibandika [fr] swali lifuatalo:
12Niemand van degenen die oproepen om te gaan stemmen kan deze vraag beantwoorden, die toch simpel is: waarom was stemmen op 23 oktober [2011] nuttig?Hakuna yeyote kati ya hawa wanaowatia moyo [wengine] kupiga kura wanaweza kujibu swali hili, ambalo ni rahisi sana: je, uchaguzi wa Oktoba 23 [2011] ulileta faida gani?
13Blogger Saber Arabasta, die ongeveer 12.000 volgers heeft, antwoordde [fr]:Mwanablogu Saber Arabasta, mwenye wafuasi 12,000 alijibu [fr]:
14Weten wat het politieke evenwicht in het land is, een andere regering, een andere president, een grondwet opstellenNi kujua uwiano wa nguvu za kisiasa katika nchi hii, kubadilisha serikali, kubadilisha rais, kutunga katiba basi
15In een andere tweet [fr] voegde hij toe:Akaongeza kwenye twiti nyingine [fr]:
16Debatten over wetten, debatten over de begroting, beslissen over een verkiezingsproces en overgangsjustitie, andere diplomatie.Kujadili sheria, kujadili bajeti, kuamua kuhusu zoezi la uchaguzi na kutolewa kwa haki ya mpito na kubadilika kwa diplomasia.
17Gebruiker Chikh Magon vroeg [fr]:Mtumiaji Chikh Magon aliuliza [fr]:
18Ik heb een tegenvraag: waarom zou het nuttig zijn om de verkiezingen te boycotten?Ninawarudishia swali kwenu: kugomea kupiga kura kutasaidia nini?
19Op Facebook schreef [fr] journalist en blogger Haythem El Mekki:Kwenye mtandao wa Facebook, Mwandishi wa habari na Mwanablogu Haythem El Mekki aliandika [fr]:
20Aan degenen die voor boycotten en niet stemmen zijn: ik zou jullie graag volgen en steunen, maar dan moeten jullie me wel vertellen wat jullie concreet en praktisch in gedachten hebben… Welk resultaat willen jullie bereiken met die boycot?Kwenu nyote mnaoshabikia kugomea au kuacha [kupiga kura], ningependa sana kuwafuata na kuwaunga mkono lakini hebu mniambie nini hasa mmekipanga kwa maana ya uhalisia na ufanisi…mtarajia kuona matokeo gani kwa kugomea kura?
21Behalve dan dat we het moeten doen zonder de stemmen van de mensen die meer dan wie dan ook verandering willen… Ik ben net zo ontevreden over de politieke elite als jullie, meer zelfs, maar ik zie alleen maar nihilisme in jullie benadering, die ik destructief en kinderachtig vind… Kunnen jullie me overtuigen van het tegendeel?Ukiacha kuwanyima haki wale wanaotamani kuona mabadiliko kuliko mtu yeyote…mimi binafsi siridhishwi na tabaka la wanasiasa kama ambavyo siridhishwi na ninyi, tena zaidi. Lakini ninachokiona kwenu ni ubeuzi tu kwenye mbinu mnayotumia ambayo kwangu naiona kama isiyo na faida yoyote na ni ya kitoto…mnaweza kunishawishi kinyume chake?
22Het commentaar [ar] van Bechir Bizertino:Bechir Bizertino alitoa maoni [ar]:
23Leg jij om te beginnen maar aan ons uit hoe er iets kan veranderen in het land als we bij de verkiezingen stemmen op een van de vuile partijen die ons worden opgedrongen.
24Wat mij betreft: ik boycot de verkiezingen omdat mijn stem op een van de bestaande vuile partijen geen zin en geen waarde heeft, omdat de hele politieke elite alleen maar luistert naar buitenlandse ambassadeurs en niet naar de mensen die ze hebben gekozen… door te boycotten geef ik ze in ieder geval geen legitimiteit en kunnen ze ook niet doen alsof.Awali ya yote, umetueleza, namna ambavyo kushiriki uchaguzi kuchagua vyama vya hovyo tunavyoletewa kutabadili nchi. Kwangu, ninagomea uchaguzi kwa sababu kura yangu kwa chama chochote cha hovyo hakuna faida yoyote wala thamani yoyote kwa sababu tabaka lote la wanasiasa linasikiliza mabalozi wa kigeni na wala si watu waliowachagua…kwa kugomea uchaguzi, angalau siwapi uhalali wowote na kuwafanya wajifanyie mambo yao wenyewe bila kuigiliza kuwa [niliwasaidia]
25Zenova Gamha Fehmi postte dit commentaar [fr]:Zenova Gamha Fehmi alibandika maoni haya [fr]:
26Ik vind dat je moet stemmen, op welk partij dan ook.Kwa maoni yangu, ni jukumu letu kupiga kura kwa chama chochote.
27Als we over vijf jaar nog steeds niet tevreden zijn, stemmen we op een andere, enzovoort. Zo werkt het spelletje.Kwa muda wa miaka mitano, kama tutaendelea kutokuridhika, tunaweza kupiga kura kwa chama kingine tofauti na kadhalika, ndivyo mambo yanavyopaswa kwenda.
28Stemmen is een verplichting ten opzichte van degenen die zijn gestorven om ons dat recht te geven.Kupiga kura ni jukumu letu kwa wale wote walioyatoa maisha yao wakafa kwa ajili ya kutuletea haki.
29Verwacht geen wonder na de verkiezingen. Tunesiërs willen graag alles meteen hebben, en dat is onmogelijk!Msitarajie miujiza baada ya uchaguzi, Watunisia wana tabia ya kutaka kila kitu kwa haraka bila kungoja, jambo ambalo haliwezekani
30Intussen is de onafhankelijke verkiezingscommissie van het land (ISIE) een campagne gestart waarin Tunesiërs worden opgeroepen zich vóór 22 juli te registreren als ze hun stem willen uitbrengen.Wakati huo huo, tume huru ya uchaguzi ya nchi hiyo (ISIE) ilizindua kampeni ya kuwasihi Watunisia kujiandikisha kabla ya tarehe 22 Julai, kama wanataka kupiga kura kwenye uchaguzi ujao.
31Wie zich niet registreert, kan niet stemmen.Wale wote ambao hawatakuwa wamejiandikisha hawataweza kupiga kura.
32De campagne is gericht op de ongeveer 4 miljoen stemgerechtigden die zich niet hadden geregistreerd voor de verkiezingen voor de grondwetgevende vergadering in oktober 2011.Kampeni hiyo inawalenga wapiga kura wenye sifa wapatao milioni 4 ambao hawakujiandikisha kwenye uchaguzi wa Oktoba 2011 wa kuchagua bunge la katiba.
33In 2011 bleef naar schatting 50% van de kiesgerechtigden thuis. De verkiezingscommissie en maatschappelijke organisaties zijn bang dat de opkomst dit jaar nog lager zal zijn omdat het volk in toenemende mate ontevreden is over de politieke partijen.Kufuatia kujitokeza watu wachache sana waliokadiriwa kuwa asilimia 50 tu mwaka 2011, tume ya uchaguzi na makundi ya asasi za kiraia yana wasiwasi kwamba katika uchaguzi wa mwaka huu watu wachache zaidi watajitokeza hasa baada ya kukatishwa tamaa na yanayofanywa na vyama vya siasa.