Sentence alignment for gv-nld-20091214-4363.xml (html) - gv-swa-20091215-873.xml (html)

#nldswa
1Tunesië: Student in gevangenis na interviews met mediaTunisia: Mwanafunzi Atupwa Gerezani kwa Kuhojiwa na Chombo cha Habari
2Op 22 oktober 2009 verdween de 24-jarige Tunesische student Mohamed Soudani nadat hij interviews had gegeven aan Radio Monte Carlo International en Radio France International.Mwanafunzi raia wa Tunisia, Mohamed Soudani, 24, alitoweka mnamo tarehe 22 Oktoba 2009 nchini humo baada ya kufanya mahojiano na Redio Monte Carlo International na Redio France International.
3Soudani was 18 dagen lang vermist totdat de politie zijn familie ervan op de hoogte stelde dat hij gevangen zit in de Murnaguiya-gevangenis, ongeveer 15 km van de hoofdstad Tunis.Soudani alikuwa ametoweka kwa muda wa siku 18 mpaka pale Polisi wa Tunisia walipowasiliana na familia yake kuwataarifu kwamba kijana huyo alikuwa ametupwa katika gereza la Murnaguiya, kiasi cha kilometa 15 kutoka katika mji mkuu wa Tunis.
4Volgens bronnen heeft de politie de familie van Soudani ook verteld dat hij tijdens zijn detentie zonder juridische bijstand terecht had gestaan en veroordeeld was vanwege “verstoring van de openbare orde”; hij werd veroordeeld tot vier maanden gevangenisstraf.Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, polisi pia waliiarifu familia ya Soudani kwamba alikamatwa na kupelekwa mahakamani na kupatikana na hatia ya kosa la “kuwa na mwenendo mbaya” wakati wa kuwa kwake kizuini pasipo msaada wa mwanasheria na hivyo kuhukumiwa kifungo cha miezi minne gerezani.
5Ze kregen ook te horen dat hij inmiddels in hoger beroep was gegaan tegen zijn straf.Familia yake pia walikuja kufahamu baadaye kwamba kijana huyo alikuwa amekata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.
6Toen Soudani op 6 december voor de rechter stond, ontkende hij schuldig te zijn aan de aanklachten die tegen hem ingediend waren en verklaarde hij dat hij agressief gemarteld was tijdens zijn buitengerechtelijke detentie.Alipopelekwa mahakamani mnamo tarehe 6 Desemba, Soudani alikana mashtaka yaliyotolewa dhidi yake na kueleza kwamba aliteswa vibaya sana wakati alipokuwa ametupwa kizuizini kinyume cha sheria.
7Zijn advocaten vroegen om een verdaging zodat ze de zaak konden bestuderen, en ze verzochten om vrijlating op borgtocht.Wanasheria wake waliomba muda wa kuipitia upya kesi yake na kutaka aachiwe kwa dhamana.
8Het verzoek om borgtocht werd afgewezen en de rechtszaak werd verdaagd tot 14 december 2009.Ombi hilo la kuachiwa kwa dhamana lilikataliwa na kesi kuahirishwa mpaka 14 Desemba 2009.
9Soudani werd geïnterviewd over zijn vroegere activiteiten als studentenleider in de studentenvakbond van Tunesië.Soudani alihojiwa kuhusu shughuli zake wakati alipokuwa kiongozi wa wanafunzi katika Umoja Unaowaunganisha Wanafunzi wa Tunisia.
10Hij was afgelopen jaar met vier andere studenten betrokken bij de 56 dagen durende hongerstaking [en] waarmee ze hun recht om terug naar school te gaan opeisten.Mwaka jana alishiriki katika mgomo wa kula uliodumu kwa muda wa siku 56 akiwa na wanafunzi wengine wanne wakidai haki ya kurejeshwa shuleni.
11Ze hebben ook een dagelijks blog [en] bijgehouden waarin ze hun ervaringen tijdens de hongerstaking opschreven; dat blog werd in Tunesië gecensureerd.Vijana hao pia wameandika makala mbalimbali kwenye blogu kuhusu mgomo wao wa kula wakieleza uzoefu wao wa siku hadi siku, na blogu hiyo imekuwa ikithibitiwa sana nchini Tunisia.
12Er zijn een Facebook-groep [en] en een blog [en] opgericht om Mohamed Soudani te ondersteunen in de ontberingen die hij nu meemaakt.Ukurasa wa Facebook na blogu vimezinduliwa ili kumuunga mkono Mohamed Soudani katika kipindi hiki kigumu anachokipitia.
13Nasser Weddady heeft geholpen met dit bericht.Nasser Weddady amesaidia kuandika makala hii.