Sentence alignment for gv-nld-20101208-9214.xml (html) - gv-swa-20101211-1839.xml (html)

#nldswa
1Een 14-jarige Maleisische bruidBi Harusi wa Miaka 14 Huko Malaysia
2Onlangs werd gemeld [en - alle links] dat een gearrangeerd huwelijk tussen een 14-jarig meisje en een 23-jarige leraar heeft geleid tot een ‘oproep tot een nieuw debat over kinderhuwelijken'.Hivi karibuni ilitolewa taarifa kwamba ndoa ya kupangwa kati ya msichana mwenye umri wa miaka 14 na mwalimu mwenye umri wa miaka 23 ‘ilianzisha wito wa mjadala mpya juu ya ndoa za watoto wadogo'.
3Volgens de Maleisische shariawet, die geldt voor moslims, moeten moslims jonger dan 16 jaar toestemming vragen aan de shariarechtbank om in het huwelijk te treden.Chini ya sheria ya Syariah ya Malaysia, ambayo i8na mamlaka juu ya Waislamu, Waislamu walio chini ya umri wa miaka 16 wanatakiwa kupata idhini ya mahakama ya Syariah kabla ya ndoa kuruhusiwa.
4In dit geval had de rechtbank het paar toestemming gegeven om te trouwen.Katika shauri hili, mahakama ilitoa ruksa kwa watu hao wawili kufunga ndoa.
5Glenda Larke vindt kinderhuwelijken hetzelfde als pedofilie, ook als het huwelijk legaal is: Een 14-jarig schoolmeisje is geen volwassene.Glenda Larke anaamini kwamba ndoa za watoto hazina tofauti na ngono batili kati ya watu wazima na watoto, hata kama ni kwa mujibu wa sheria.
6Ze is geen vrouw, ook al is ze al ongesteld.Mtoto wa shule mwenye umri wa miaka 14 siyo mtu mzima.
7Ze is nog een kind.Si mwanamke kamili, hata kama ameshaanza kupata hedhi.
8Ze kijkt op naar volwassenen.Bado ni mtoto mdogo.
9Volgens haar religie en haar cultuur moet ze de ouderen om haar heen gehoorzamen, en dan vooral haar ouders.Anafuata uongozi wa watu wazima. Dini yake na utamaduni wake unauelekeza kutii wakubwa wake, hasa wazazi wake.
10Ze is goedgelovig en kwetsbaar.Hajaerevuka na hana kinga.
11Een 23-jarige man die met haar trouwt - een man met een opleiding, niet zomaar een ongeschoolde kerel uit een maatschappij waar nog steeds het negentiende-eeuwse idee heerst dat kinderen op hun twaalfde moeten gaan werken en op hun veertiende moeten trouwen - is gewoon een pedofiel.Mwanaume mwenye mika 23 mbaye anamuoa - mwanaume mwenye elimu, ambaye si mtu fulani asiyejua kusoma ambaye jamii yake bado imejikita katika fikra ya karne ya 19 kwamba watoto wanapaswa kuanza kufanya kazi wakiwa na umri wa miaka 12 na kuolewa wakiwa na miaka 14 - kwa ujumla na wazi, ni mfanya ngono na watoto wadogo.
12B.Joe is van mening dat de shariarechtbank en de ouders van het meisje de rechten van kinderen en minderjarigen schenden:B.Joe anaona kwamba haki za watoto na vijana chini ya umri wa miaka 18 hazifuatwi na mahakama ya Syariah pamoja na wazazi wa msichana huyo.
13En het idiote van de hele zaak is dat het huwelijk is goedgekeurd door de shariarechtbank - hoe zit het met de bescherming van de rechten van minderjarigen?Na sehemu inayochekesha katika makubaliano yote haya ni kwamba ndoa hiyo ilipitishwa na mahakama ya Syariah - je nini kimezitokea kinga za vijana chini ya umri wa ridhaa?
14Waarom konden de ouders niet een paar jaar wachten tot hun minderjarige dochter zelf een beslissing kon nemen?Kwa nini wazazi hawakuweza kusubiri kwa miaka mingine michache mpaka hapo mtoto Yule atakapoweza kufanya uamuzi yeye mwenyewe?
15Ook Un:dhimmi vindt dat het moreel onjuist is:Un:dhimmi pia anaamini kuwa jambo hili ni kosa kimaadili.
16Uit de ene na de andere studie blijkt dat meisjes die op zo'n jonge leeftijd worden gedwongen seksueel actief te zijn niet alleen schade oplopen aan hun nog niet volledig ontwikkelde voortplantingsorganen, maar ook blijvende psychologische trauma's oplopen.Tafiti baada ya tafiti zinaonyesha kuwa wasichana wanaofanyishwa vitendo vya ngono katika umri wa mapema hivyo hupata madhara si tu katika mfumo wao wa uzazi ambao bado unakua, lakini pia hupata athari za kisaikolojia za muda mrefu.
17Fyzal nam echter een neutraler standpunt in over de kwestie:Hata hivyo, Fyzal alichukua msimamo usiofungamana na upande wowote katika suala hili.
18In dit geval is er toestemming gevraagd aan de shariarechtbank.Katika hali hapo juu ridhaa ya mahakama ya Syariah ilipatikana.
19Dat betekent dat we vertrouwen moeten hebben in onze shariarechters - zij moeten alle omstandigheden afwegen voordat ze toestemming geven.Na ina maana kwamba tunapaswa kuwa na imani katika Mahakimu wa Syariah - ni lazima walizingatia mazingira yote kabla ya kutoa ridhaa.
20Deze toestemming is volgens mij verleend omdat de rechters er vertrouwen in hadden dat de man voor het meisje kan zorgen en dat het meisje goed kan opgroeien onder de verantwoordelijkheid van deze man. Als de rechters hier twijfels over hadden gehad, dan hadden ze geen toestemming gegeven.Ridhaa kama hiyo, ninaamini, ilitolewa na mahakimu wakiwa na imani kwamba mwanaume Yule atamuangalia vyema msichana na msichana huyo atakua vizuri chini ya uangalizi wa mwanaume huyo. Ikiwa mahakimu wangetia shaka, ridhaa ya namna hiyo isingetolewa.
21Ik vind dan ook dat, als het om huwelijken van moslimmeisjes jonger dan 16 jaar gaat, we de shariarechtbanken hun werk moeten laten doen.Kwa hiyo, nawasilisha kuwa katika masuala ya ndoa kati ya wasichana wa Kiislamu walio chini ya umri wa miaka 16, tuziachie mahakama za Syariah zifanye kazi yake.
22Zij weten wanneer ze toestemming moeten geven en wanneer ze deze moeten weigeren.Wanafahamu ni wakati gani wa kutoa ruksa na wakati gani wa kutotoa ruksa.
23Maar ik vind ook dat er een open discussie nodig is tussen de overheid en de shariadeskundigen over hoe met deze kwestie moet worden omgegaan.Lakini nina mtazamo kuwa majadiliano ya wazi bado yanatakiwa kati ya serikali na wataalamu wa Syariah ili kutatua suala hili.