Sentence alignment for gv-nld-20130924-16369.xml (html) - gv-swa-20130924-5712.xml (html)

#nldswa
1Global Voices-auteur herdenkt in Nairobi vermoorde vriendenMwandishi wa Global Voices Awakumbuka Marafiki Waliouawa Kwenye Shambulio la Nairobi
2Shurufu is een Tanzaniaanse journalist die is gestationeerd in Dar es Salaam.Shurufu ni mwandishi wa Tanzania anayeishi Dar es Salaam.
3Hij twittert op @shurufu.Anatwiti kupitia@shurufu.
4Lees ook zijn artikel How the Nairobi Mall Attack Unfolded on Social Media.Pia waweza kusoma posti yake Namna shambulizi la Westgate jijini Nairobi lilivyobainikia kupitia Mitandao ya Kijamii.
5Op het moment van schrijven stond het aantal dodelijke slachtoffers van de brute aanslag in winkelcentrum Westgate in Nairobi op 69, het aantal gewonden overstijgt de 200.Wakati wa kuandikwa kwa posti hii, idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la kikatili kwenye kituo cha kibiashara jijini Nairobi ilifikia 69, wakati wengine 200 wakijeruhiwa.
6Het winkelcentrum is populair bij buitenlanders en rijke Kenianen. Gewapende militanten bestormden het winkelcentrum en voerden de dodelijkste aanslag in het land uit sinds de Amerikaanse ambassade in 1998 werd gebombardeerd.Wanajeshi wenye silaha walivamia jengo hilo, moja wapo ya maeneo maarufu zaidi jijini humo linalotembelewa na raia wa kigeni na wa-Kenya wa tabaka la kati, na kufanya shambulizi la kikatili zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo tangu kulipuka kwa bomu katika jengo la Ubalozi wa Marekani mwaka 1998.
7Onder de doden is de gelauwerde Ghanese dichter Kofi Awoonor [en - alle links].Miongoni mwa waliouawa ni pamoja na Mshairi anayeheshimika, raia wa Ghana Kofi Awoonor.
8Ook de bekende omroepster Ruhila Adatia werd gedood, ze was volgens de berichten in verwachting.Mwingine ni mtangazaji maarufu, Ruhila Adatia. Inasemekana alikuwa mjamzito.
9Ik ben ook vrienden verloren in de aanslag op Westgate: Ross Langdon en Elif Yavuz, een stel dat hun eerste kindje verwachtte.Mimi, vilevile, nimepoteza marafiki katika shambulio hilo la Westgate: Ross Langdon na Elif Yavuz, wenzi waliokuwa wakimtarajia mtoto wao wa kwanza.
10Ze woonden in Dar es Salaam, maar waren in Nairobi voor de bevalling, omdat ze de voorkeur gaven aan de medische voorzieningen in Nairobi.Waliishi Dar es Salaam lakini walikuwa Nairobi kwa ajili ya kujifungua kwa sababu ya kuziamini zaidi huduma za afya jijini humo.
11Elif had een PhD gehaald aan Harvard University, faculteit Gezondheidszorg.Elif alimaliza PhD yake katika Shule ya Afya ya Jamii ya Chuo Kikuu cha Harvard.
12Ze verhuisde naar Dar es Salaam om voor de Clinton Foundation te gaan werken.Alihamia Dar es Salaam kufanya kazi katika Mfuko wa Clinton.
13Hier zie je haar, met voormalig president Bill Clinton die in augustus in Tanzania was:Hapa chini, akikutana na Rais Bill Clinton wakati wa ziara yake nchini Tanzania mwezi Agosti:
14Elif Yavuz ontmoet voormalig president Bill Clinton tijdens zijn bezoek aan Tanzania in augustus 2013.Elif Yavuz akikutana na Rais wa zamani Bill Clinton wakati wa ziara yake nchini Tanzania mwezi Agosti 2012.
15Foto via Ms. Yavuz's Facebook-pagina.Picha kupitia ukurasa wa Facebook wa Yavuz .
16Elif was intelligent, grappig, ontwapenend charmant en het was heerlijk om in haar gezelschap te zijn.Elif alikuwa na akili, anayejua kutumia maneno vizuri, mchezi na mtu wa kufurahia kuwa nae.
17Ze zou een geweldige moeder zijn geweest.Angekuwa mama mwema ajabu.
18Haar vriend Ross had de prettige humor en levenslust die zo kenmerkend zijn voor Aussies.Rafiki yake wa kiume Ross alikuwa na bashasha na ucheshi wa ki-Australia na mwenye furaha ya maisha kama ilivyo kawaida ya watu wakarimu na wanyenyekevu kutoka Australia.
19Hij was een ongelooflijk getalenteerd architect.Alikuwa mbunifu wa majengo mwenye kipaji cha ajabu.
20Hij was mede-oprichter van de succesvolle intercontinentale ontwerpstudio, Regional Associates.Alishiriki kuanzisha kituo cha kimataifa cha ubunifu wa majengo, kinachooitwa Regional Associates.
21Hier spreekt hij over wat hij kameleonarchitectuur noemde, dit was afgelopen jaar op TEDxKraków:Hapa anazungumzia kile alichokiita ubunifu wa Kinyonga katika mkutano wa TEDxKraków wa mwaka jana:
22Hij keek ernaar uit om vader te worden.Alikuwa akitarajia kuwa Baba.
23Maar Ross en Elif zijn er niet meer.Lakini Ross na Elif wametutoka.
24Het is niet uit te leggen waarom deze twee fantastische mensen en professor Awoonor en Ms. Adatia, en Mbugua en Wahito en al die andere onschuldige mensen die de dood vonden in Westgate moesten sterven.Ni vigumu kueleza kwa nini watu hawa wema ajabu kiasi hiki pamoja na Profesa Awoonor na Bi. Adatia, wakiwa na Mbugua na Wahito na roho zote zisizo na hatia zilizopotea katika Shambulio la Westgate.
25Ik hoop dat zij in vrede rusten.Katika maneno ya mwandishi Teju Cole (@tejucole), mroho zao zipumzike kwa amani katika ulimwengu mpya.
26Lees ook: How the Nairobi Mall Attack Unfolded on Social Media.Soma pia: Namna shambulizi la Westgate jijini Nairobi lilivyobainikia kupitia Mitandao ya Kijamii.