Sentence alignment for gv-nld-20120104-12658.xml (html) - gv-swa-20120125-2497.xml (html)

#nldswa
1Tunesië: 2011 in foto's uit burgermediaTunisia: Mwaka 2011 katika Picha za Mitandao ya Kijamii
2Deze post maakt deel uit van onze speciale berichtgeving over de Tunesische revolutie van 2011.Makala hii ni sehemu ya habari zetu maalumu za Mapinduzi ya Tunisia 2011.
32011 was een zeer bijzonder jaar voor Tunesië - een historisch jaar dat in het geheugen van alle Tunesiërs gegrift zal blijven.Mwaka 2011 haukuwa wa kawaida kwa nchi ya Tunisia - mwaka wa kihistoria ambao utaingia katika kumbukumbu za kila m-Tunisia.
4Wat begon als een spontane wanhoopsdaad in de vergeten en gemarginaliseerde regio Sidi Bouzid liep uit in een volksopstand die door het land zou razen, die het 23-jarige regime van Zine el-Abidine Ben Ali omver zou werpen en die het gezicht van de hele regio zou veranderen doordat het ene Arabische land na het andere de vurige revolutie oppikte.Kile kilichoanza kama kitendo cha mlipuko wa ubeuzi (kukata tama) kilichoanzia katika eneo lililosahauliwa na lililotengwa la Sidi Bouzid, kiligeuka kuwa maasi makubwa ambayo yangeikumba nchi hiyo, kuuangusha utawala wa miaka 23 wa Zeine el Abidine Ben Ali, na kubadili kabisa sura ya eneo hilo baada ya nchi za Kiarabu moja baada ya nyingine zikiambukizwa joto hilo la mapinduzi.
5Een bloedig begin van het jaarMwaka ulianza kwa mauaji
6Dode jonge Tunesische man in Tala (centrumwesten van Tunesië), 10 januari 2011.Kijana wa ki-Tunisia aliyepoteza maisha yake mjini Tala (Magharibi ya Kati ya Tunisia), Januari 10, 2011.
7Foto van Nawaat.Picha kutoka Nawaat.
8Het jaar begon bloedig en gewelddadig.Mwaka ulianza kwa mauaji na vurugu.
9De autoriteiten beantwoordden de roep van de demonstranten om “werkgelegenheid, vrijheid en nationale waardigheid” met kogels en traangas. Meer dan 300 demonstranten werden gedood en nog veel meer raakten gewond.Tawala husika zilijibu madai ya waandamanaji ya “ajira, uhuru, na heshima ya taifa” kwa kutumia risasi za moto, mabomu ya machozi, mauaji ya zaidi ya waandamanaji 300 na kujeruhi wengine wengi zaidi.
10De dag dat de voormalige president naar Saoedi-Arabië vluchtteSiku ambayo rais wa zamani alikimbilia Saudi Arabia
11Foto door Talel Nacer, copyright Demotix (14/01/2011).Picha kwa hisani ya Talel Nacer, haki miliki Demotix (14/01/2011)
12Op 14 januari 2011 verzamelden duizenden demonstranten zich buiten het gebouw van het ministerie van Binnenlandse Zaken in de hoofdstad Tunis.Mnamo Januari 14, 2011, maelfu ya waandamanaji walikusanyika nje ya jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani lililoko katika mji mkuu wa Tunis.
13De demonstranten scandeerden “Binnenlandse Zaken is een terroristisch ministerie” en “Ben Ali Dégage” (Wegwezen Ben Ali).Waandamanaji waliimba “Wizara ya Mambo ya Ndani ni Wizara ya Ugaidi”, na “Ben Ali Dégage” (Ben Ali Toka).
14De vreedzaam begonnen demonstratie eindigde toen de politie de demonstranten met geweld uit elkaar joeg.Maandamano ambayo yalianza kwa amani, yaliisha kwa polisi kuwatawanya waandamanaji kwa nguvu.
15Later diezelfde dag vluchtte Ben Ali naar Jeddah in Saoedi-Arabië.Baadae siku hiyo hiyo, Ben Ali alikimbilia Jeddah, Saudi Arabia.
16Politie gebruikt op 14 januari traangas om demonstranten buiten het ministerie van Binnenlandse Zaken uiteen te drijven.Polisi wakitumia gesi kuwatawanya waandamanaji nje ya Wizara ya Mambo ya Ndani tarehe 14 Januari.
17Foto door Wassim Ben Rhouma via Flickr (CC BY-NC-ND 2.0).Picha ya Wassim Ben Rhouma kupitia mtandao wa Flickr (CC BY-NC-ND 2.0).
18De dictator is weg. En de dictatuur?Dikteta ameondoka, lakini vipi kuhusu udikteta?
19Protest tegen interim-regering onder leiding van Mohamed Ghannouchi, een bondgenoot van Ben Ali, op 25 februari.Maandamano dhidi ya serikali ya mpito inayoongozwa na Mohamed Ghannouchi, mshirika wa karibu wa Ben Ali, tarehe 25.
20De volgende dag diende Ghannouchi zijn ontslag in.Siku moja baadae, Ghannouchi alijiuzulu.
21Foto door Kahled Nciri.Picha kwa hisani ya Kahled Nciri.
22De Tunesiërs wilden alle banden met het verleden doorsnijden, en de strijd om democratie in Tunesië [en] stopte niet toen Ben Ali het land was ontvlucht.Wa-Tunisia walikuwa makini kukata mifungamano yoyote na utawala ulioangushwa, vita kwa ajili ya demokrasia nchini Tunisia, haikumzuia Ben Ali kuikimbia nchi. .
23Het Kasbah-plein [en] waar het kabinet zetelt, werd het episch centrum van sit-ins en demonstraties. Het doel was het afzetten van de zo gehate voormalige regeringspartij (nu opgeheven), de RCD (Le Rassemblement Constitutionnel Démocratique, Constitutionele Democratische Vergadering), die werd geassocieerd met corruptie en onderdrukking.Kasbah square,lilipo jengo la Baraza la Mawaziri, likawa shabaha ya waandamanaji na wale wengine waliokuwa wamekaa, ambayo ilitafuta namna ya kukiangusha chama tawala cha kilichokuwa kimechukiwa sana (sasa kimesambaratishwa), RDC (yaani kwa vifupisho vya Kifaransa Le Rassemblement Constitutionnel Démocratique, kwa Kiswahili Mkutano wa Kikatiba na Kidemokrasia), ambacho kilihusishwa na ufisadi na unyanyasaji.
24Eerste democratische verkiezingenUchaguzi wa kwanza wa Kidemokrasia
25Kiezers staan in de rij om hun stem uit te brengen.Wapiga kura wakiwa wamejipanga kwa ajili ya kupiga kura.
26Foto door Erik (@kefteji).Picha kwa hisani ya Erik (@kefteji).
2723 oktober 2011 was een keerpunt voor Tunesië.Mnamo Oktoba 23, 2011, ndipo ilipowadia siku ya mageuzi kwa ajili ya Tunisia.
28Kiezers wachtten urenlang om hun volkvertegenwoordigers te kiezen [en] bij de eerste vrije en eerlijke verkiezingen van de Arabische Lente.Wapiga kura walisubiri kwa saa kadhaa ili kuwachagua wabunge, , katika uchaguzi wa kwanza ulio huru na haki kwa kile kinachoitwa Maasi ya Uarabuni.
29Opkomst van islamistenKuibuka kwa Waislamu wenye msimamo mkali
30Op het bord staat: "Gelijkheid en gerechtigheid voor alle Tunesiërs".Bango linasomeka: “Usawa na haki kwa wa-Tunisia wote”.
3121 november 2011, bij een demonstratie buiten het parlementsgebouw.Mnamo Novemba 21, 2011, katika maandamano nje ya jengo la bunge.
32Foto door Soukaina W Ajbetni Rouhi via Facebook.Picha kwa hisani ya Soukaina W Ajbetni Rouhi kupitia Facebook.
33De islamistische partij Ennahdha kreeg 41 procent van de stemmen en 89 van de 217 zetels in de grondwetgevende vergadering.Chama chenye mrengo wa Kiislam Ennahdha kilishinda kwa asilimia 41 ya kura zilizopigwa, na kujinyakulia viti 89 kati ya viti 217 vya bunge la uwakilishi.
34Voor liberalen vormt de opkomst van islamisten in Tunesië een bedreiging voor de seculiere waarden van de staat en voor de vrouwenrechten in Tunesië, die worden gezien als de modernste in de Arabische regio.Kwa waliberali, kuibuka kwa makundi ya Waislamu wenye msimamo mkali nchini Tunisia, ni tishio kwa tunu zisizo za kidini za nchi hiyo, na haki za wanawake wa ki-Tunisia, unaoaminika kuimarika zaidi katika eneo la Uarabuni.
35Moncef Marzouki - nieuwe President van de RepubliekMoncef Marzouki - Rais Mpya wa Jamhuri
36Moncef Marzouki, nieuwe president van Tunesië.rais mpya wa Tunisia.
37Foto door Hamideddine Bouali, copyright Demotix (13/12/11)Picha kwa hisani ya Hamideddine Bouali, haki miliki Demotix (13/12/11)
38Op 12 december koos de nationale grondwetgevende vergadering mensenrechtenactivist Moncef Marzouki, die onder het regime van Ben Ali gevangen werd genomen en werd verbannen, tot de nieuwe president van de Republiek Tunesië.Moncef Marzouki, Mnamo Desemba 12, bunge la taifa la kikatiba lilimchagua mwanaharakati wa haki za kibinadamu Moncef Marzouki, ambaye aliwahi kuwekwa jela, na kulazimishwa kuishi uhamishoni wakati wa utawala wa Ben Ali, kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Tunisia..
39Met het einde van het jaar in zicht zijn er in Tunesië nog steeds demonstraties en sit-ins voor democratie, werkgelegenheid en waardigheid, terwijl er in de nationale grondwetgevende vergaderingen verhit wordt gedebatteerd en een interim-regering onder leiding van Hamadi Jebali [en] (van Ennahdha) aan het werk gaat.Wakati mwaka ukielekea kumalizika, waandamanaji na wale waliokuwa wakikaa mahali pamoja kushinikiza demokrasia, ajira, na heshima yanaendelea nchini Tunisia, kwa namna mijadala mikali ikifanyika kwenye bunge la nchi hii, na serikali ya mpito inayoongozwa na Hamadi Jebali (kutoka chama cha Kiislam cha Ennahdha) wakichukua majukumu yao. Jiandae kwa habari zaidi kuhusu Tunisia kwa mwaka 2012.
40Blijf lezen voor meer berichten over Tunesië in 2012.Makala haya ni sehemu ya habari zetu maalumu za Mapinduzi ya Tunisia 2011.