Sentence alignment for gv-nld-20090408-623.xml (html) - gv-swa-20090410-106.xml (html)

#nldswa
1Iran: Het nieuwe jaar begint met een boodschap van ObamaIrani: Mwaka Mpya Waanza na Ujumbe Kutoka Kwa Obama
2Dit jaar begon het Iraanse nieuwjaar met een verrassende boodschap van de Amerikaanse president Barack Obama, gericht aan het Iraanse volk en, voor het eerst, aan de leiders van de Islamitische Republiek. Obama riep op tot een nieuw begin voor beide landen.Mwaka huu, sherehe za mwaka mpya wa Ki-Irani zilianza na ujumbe usiotarajiwa kutoka kwa rais wa Marekani Barak Obama, uliolekezwa kwa watu wa Irani na kwa mara ya kwanza, kwa viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu, ujumbe huo ulitoa rai ya kuanza upya kati ya nchi hizo mbili.
3Enkele bloggers hebben op deze boodschap gereageerd en sommigen zien het begin van een nieuw tijdperk na dertig jaar geruzie en gekibbel tussen de twee landen.Wanablogu kadhaa wametoa maoni kuhusu ujumbe huo, na wengine wanaanza kuziona zama mpya baada ya zaidi ya miaka 30 ya misukosuko kati ya mataifa haya mawili.
4Mohammad Ali Abtahi, voormalig vice-president van Iran, vindt de boodschap van Obama erg belangrijk en zegt [en]:Mohammad Ali Abtahi, makamu wa rais wa zamani, anadhani ujumbe wa Obama ni wa muhimu sana na anaandika:
5…hij gebruikte de naam “Islamitische Republiek Iran” en hij feliciteerde bovendien het land en de leiders van Iran.Kwa jina la jamhuri ya Kiislamu ya Irani, pia nawapongeza taifa la Irani na viongozi wake.
6Dit is ongetwijfeld een historische kans.Bila ya shaka hii ni fursa ya kihistoria.
7We kunnen het belang van de Verenigde Staten voor de huidige situatie van Iran niet negeren.Hatuwezi kudharau umuhimu wa Marekani katika hali ya sasa ya Irani.
8Ongetwijfeld kunnen we het spoor van Amerikaanse leiders in alle Iraanse dossiers niet negeren, ten minste niet voor wat betreft het economische aspect via embargo's die aan Iran zijn opgelegd.Bila ya shaka hatuwezi kupuuza nyayo za Marekani katika kila majalada ya wasifu wa Irani hasa yale ya kiuchumi hata kama ni kwa uchache, kutokana na vikwazo vilivyowekwa dhidi ya taifa la Irani.
9Een boodschap met felicitaties kan de belangrijkste politieke, economische en historische kans zijn, vandaag en met een nieuwe Amerikaanse regering.Kutuma ujumbe wa pongezi kunaweza kuwa ni fursa muhimu kisiasa, kiuchumi na kihistoria, leo hii na hata baada ya kubadilishwa serikali ya Marekani.
10Als wij dit negeren, kan dit de situatie voor ons bovendien gevaarlijker maken dan het presidentschap van Bush, want Obama kan politieke leiders en de publieke opinie tegen Iran mobiliseren.Kadhalika kupuuza kunaweza kuifanya hali izidi kuwa ya hatari zaidi ya ilivyokuwa wakati wa utawala wa Bush kwa sababu Obama anaweza kukusanya viongozi wa kisiasa na maoni ya wananchi dhidi ya Irani.
11Blogger en journaliste Masih Alinejad schrijft [fa] over waarom de Iraanse nationale televisie de boodschap van Obama niet uitzond.Mwanablogu ambaye pia ni mwanahabari Masih Alinejad anaandika [fa] kuhusu sababu zilizoifanya Idhaa ya Taifa ya Televisheni kutotangaza ujumbe wa Obama.
12Ze zegt:Anaongeza:
13Als Obama net als Bush had gesproken en Iran als een bedreiging zou beschouwen, dan zou de Iraanse nationale televisie het verschillende keren hebben uitgezonden.kama Obama angeongea kama Bush na kuitathmini Irani kama tishio, Idhaa ya Televisheni ya Taifa ingetangaza mara kadhaa.
14De blogger herinnert eraan dat de beroemde speech van Bush, waarin hij zei dat Iran deel uitmaakte van de as van het kwaad, verschillende keren werd uitgezonden door de nationale televisie.Mwanablogu huyu anatukumbusha ile hotuba ya mashuhuri ya Bush ambayo aliita Irani mwanachama wa kundi la waovu ilitangazwa mara kadhaa kwenye televisheni ya taifa.
15Zandegieh Sagi noemt [fa] de boodschap van Obama zeer positief en iets wat het Iraanse volk verdient.Zandgieh Sagi ameuita [fa] ujumbe wa Obama kama ujumbe chanya na jambo ambalo linawastahili watu wa Irani.
16De blogger zegt dat het eerste wat de Iraanse regering kan doen, het gebruiken van passende politieke taal is.Mwanablogu huyu anasema kuwa jambo la kwanza ambalo serikali ya Irani inaweza kulifanya ni kutumia lugha inayofaa kisiasa.
17In View from Iran lezen [en] we:Katika blogu ya In View from Iran tunasoma:
18Er zijn een heleboel maatregelen die de Amerikaanse regering kan nemen om vertrouwen te creëren.Kuna hatua nyingi ambazo serikali ya Marekani inaweza kuzichukua ili kujenga imani.
19Die hebben niet allemaal te maken met de bereidheid van de Iraanse regering om een dialoog te beginnen met de VS.Siyo zote ambazo zitategemea nia ya serikali ya Irani ya kuanzisha mazungumzo na Marekani.
20Ik vind de nieuwjaarsboodschap van Obama positief, maar we hebben meer nodig.Nauona ujumbe wa Obama wa mwaka mpya kama ujumbe chanya, lakini tunahitaji zaidi ya hilo.
21Mmoeeni schrijft [fa] dat de Iraanse president de Amerikaanse leiders in de VS kon beledigen doordat het nieuws over de boodschap van Obama niet door de Iraanse televisie werd uitgezonden.Mmoeeni anaandika [fa] kwamba wakati televisheni ya Irani haikutangaza habari zinazohusu ujumbe wa Obama, rais wa Irani aliweza kuwatukana viongozi wa Marekani huko Marekani.
22De blogger voegt hier met een ironische ondertoon aan toe dat Ahmadinejad vervolgens zegt dat er absolute vrijheid is in Iran.Mwanablogu huyo anaongeza, kwa kejeli, kwamba Ahmedinejad atasema kwamba kuna uhuru wa kweli nchini Irani.
23Iraans nieuwjaar De Iraniërs vieren Noroez op de eerste dag van de lente als het traditionele Iraanse nieuwjaar.Sherehe za Mwaka Mpya Wairani walisherehekea Norouz (Nowruz) kunako siku ya kwanza ya msimu wa kuchipuka mimea.
24Sommige Iraniërs gooien dan bloemen op de graftombe van Cyrus de Grote, de stichter van het eerste Perzische Rijk, in Pasargadae (foto aan het begin van het artikel).Katika dhifa hii, baadhi ya Wairani huweka maua kwenye kaburi la Cyrus Mkuu, mwanzilishi wa ufalme wa kwanza wa Persia katika Pasargad (pichani juu).
25Op de website Save Pasargad staat [fa] dat de autoriteiten van de Islamitische Republiek geen voorzieningen hebben gecreëerd voor de bezoekers van deze historische plaats, maar dat de afgelopen paar jaar meer mensen naar Pasargadae zijn gekomen om het nieuwjaar te vieren.Kwenye tovuti ya Okoa Pasargad imeandikwa [fa] kwamba utawala wa jamhuri ya Kiislamu hausaidii wageni wanaozuru sehemu hii ya kihistoria, lakini katika miaka ya hivi karibuni watu wengi wamekuwa wakizuru ili kuusherekea mwaka mpya huko Pasargad.