# | nld | swa |
---|
1 | Gaan de VS en Iran samen op huwelijksreis? | Je, Kutakuwa na Fungate kwa Marekani na Irani? |
2 | De presidenten van Iran en de VS: Hassan Rouhani en Barack Obama. | Marais wa Iran na Marekani: Hassan Rouhani na Barack Obama. |
3 | Via Iran-emrooz.net | Kupitia Iran-emrooz.net |
4 | Een week na het historische telefoongesprek tussen de nieuwe president van Iran, Hassan Rouhani, en Barack Obama zijn er op vrijdag 4 oktober 2013 in Teheran nog altijd Iraniërs die het bekende “Dood aan Amerika” scanderen [en] en de Amerikaanse en Israëlische vlag verbranden. | Wiki moja tu baada ya tukio la kihistoria la kupigiana simu kati ya rais mpya wa Iran, Hassan Rouhani, na Barack Obama, bado kuna minong'ono miongoni mwa wa-Irani kuhusu “Kufa kwa Marekani” na kuchoma bendera za Marekani na Israeli baada ya swala ya Ijumaa mjini Tehran Oktoba 4, 2013. |
5 | Toch zijn er ook Iraniërs die hopen dat het telefoongesprek een eerste stap naar ontdooiende betrekkingen is en dat de sancties van de VS ooit opgeheven zullen worden. | Bado, baadhi ya wa-Iran wanatarajia kuwa simu hiyo ilikuwa ni hatua nzuri katika kuimarisha mahusiano ambayo yangeweza kufanya vikwazo vya Marekani viongozwe. |
6 | Anderen verwerpen iedere vorm van dialoog met de ‘de Grote Satan”, de naam die de Verenigde Staten vaak krijgen in de officiële toespraken in Iran. | Wengine hawakufurahia mazungumzo hayo na “Shetani Mkuu,” jina ambalo Marekani huitwa kila hotuba rasmi za Iran zinapotolewa. |
7 | Ook president Rouhani denkt hierover na, hij zou twee opiniebureaus hebben gevraagd om “uit te zoeken” hoe Iraniërs over de betrekkingen tussen Iran en de VS denken. | Katika kuonyesha kuwa mada hii imo kwenye kichwa kwa Rais Rouhani, ameripotiwa kuyaomba mashirika mawili ya kura ya maoni “kutafiti” kile wa-Irani wanachofikiri kuhusu mahusiano ya Marekani na Irani. |
8 | Intussen delen netizens hun eigen ideeën over het volgende hoofdstuk in het lange verhaal [en] van de twee landen. | Wakati huo huo, watumiaji wa mtandaoni walitoa maoni yao kuhusu matukio hayo kati ya nchi hizo mbili. |
9 | Een Iraanse burger heeft een video van zichzelf op YouTube gezet waarin hij spottend het voorstel doet om nog drie extra vragen aan de enquête van Rouhani toe te voegen: | Mwananchi mmoja wa Iran aliweka video yake kwenye mtandao wa YouTube, ikipendekeza kuwa Rouhani aongeze maswali ya ziada kwenye utafiti wake: |
10 | - “Hoeveel mensen willen een islamitische republiek?” - “Hoe denken zij over sociale en politieke vrijheid?” - “U [president Rouhani] zei dat er geen fraude heeft plaatsgevonden tijdens de controversiële presidentsverkiezingen van 2009; zullen we eens vragen hoe de Iraniërs daarover denken?” | - “Watu wangapi wanahitaji utawala wa Jamhuri ya Kiislamu?” - “Wanafikiri nini kuhusu uhuru wa kijamii na kisiasa?” - “Wewe [Rais Rouhani] umesema hapakuwa na udanganyifu katika uchaguzi wa rais 2009 uliokuwa na malalamiko mengi, hebu tuwaulize wa-Iran wanafikiri nini kuhusu jambo hilo” |
11 | Zarebin schrijft [fa] in zijn blog dat de enquête zo zal worden opgezet dat het in het straatje van de hoogste leider [nl] past. | |
12 | Als hij de betrekkingen met de VS wil verbeteren, is dat terug te zien in de enquête. | Zarebin anaandika [fa] katika blogu yake kuwa utafiti huo utahandisiwa kwa namna yoyote ambayo Kiongozi Mkuu atataka. |
13 | Als hij dat niet wil, is dat ook terug te zien in de enquête. | Kama anataka kukarabati mahusiano na Marekani, hivyo utafiti utaonyesha hilo. |
14 | “We zitten gewoon in de val. | “Tumetengwa namna gani. |
15 | Alles is de mening van de Leider, met een enquête om dat te verbergen.” | Kila kitu ni maoni ya Kiongozi huyo na utafiti ni kujaribu kuthibitisha hicho hicho.” |
16 | Wel of niet praten | Tusema au Tusiseme |
17 | Firoozeh zette op Twitter: | Firoozeh alitwiti: |
18 | In onderlinge betrekkingen, al dan niet diplomatisch, moeten we nooit iets willen overhaasten. | Katika uhusiano wowote, uwe wa kidiplomasia au usio wa kidiplomasia, lazima twende kwa makini. |
19 | Blogger Khabrnegar1351 staat aan de kant van het Iraanse regime, hij schrijft [fa] dat Iran zoveel macht heeft dat de VS “Iran beschouwt als supermacht” en dat ze “de betrekkingen met Teheran willen verbeteren uit angst.” | Akiungana na utawala wa Kiislamu, mwanablogu Khabrnegar1351 anaandika[fa] kuwa Iran imekuwa na nguvu kiasi cha Marekani “kuitazama Iran kama taifa lenye nguvu duniani” na “itakusudia kujenga mahusiano na Tehran kwa woga tu.” |
20 | Een andere blogger, Ahestan, helpt ons herinneren aan de anti-Amerikaanse leer van ayatollah Khomeini [nl], de grondlegger van de islamitische republiek. Ahestan zegt [fa] “De echte winnaar van het telefoongesprek tussen Obama en Rouhani is Obama.” | Mwanablogu mwingine, Ahestan, anatukumbusha mafundisho ya mpinzani wa Marekani Ayatollah Khomeini, mwasisi wa taifa hilo la ki-Islamu anayesema [fa], “Mshindi halisi wa mazugumzo ya Obama-Rouhani ni Obama.” |
21 | Deze blogger zegt dat het telefoongesprek vooral als doel had om de miljoenen moslims die de leer van de imam [Khomeini] volgen te laten zien dat Iran bereid is te onderhandelen met “de Grote Satan”. | Mwnaablogu huyu anasema lengo kuu la simu hiyo lilikuwa kuwaonyesha mamilioni ya Waislamu wanaofuata mafundisho ya Imam huyo [Khomeini] kwamba Iran iko tayari kuzungumza na “Shetani Mkuu.” |