Sentence alignment for gv-nld-20140227-17567.xml (html) - gv-swa-20140226-6649.xml (html)

#nldswa
1Met nieuwe wet krijgen homo's levenslang in UgandaSheria Mpya Uganda: Mashoga Sasa Kukabiliwa na Kifungo cha Maisha Jela
2Activisten John Bosco (met handboeien) en Bisi Alimi (met spreuk) protesteerden op 10 december 2012 in Londen tegen de antihomowetgeving in Uganda.Wanaharakati John Bosco, (mwenye pingu mkononi) na Bisi Alimi (mwenye bango) wakiwa na mavazi ya kifungwa wakiandamana jijini London kupinga sheria mpya ya kupinga ushoga nchini Uganda tarehe 10, Decemba, 2012.
3Foto gemaakt door Reporter#20299.Picha kwa hisani ya Reporter#20299.
4Copyright Demotix.Haki miliki ya Demotix.
5De Ugandese president Yoweri Museveni heeft op 24 januari 2014 een controversiële antihomowet ondertekend.Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesaini muswada unaopiga marufuku ushoga na kuufanya kuwa sheria tangu Januari 24, 2014.
6Met deze wet kunnen homoseksuele handelingen in sommige gevallen bestraft worden met een levenslange gevangenisstraf.Sheria hiyo mpya itaadhibu vitendo vya ushoga kwa kifungo cha maisha jela katika baadhi ya masuala.
7Het parlement van Uganda nam de wet [en] op 20 december 2013 met een overweldigende meerderheid aan.Bunge la Uganda kwa kishindo kabisa lilipitisha muswada huo mnamo Desemba 20, 2013.
8In de wet is ook opgenomen dat mensen in de gevangenis kunnen komen als ze homoseksuele mensen niet aangeven bij de autoriteiten. En als iemand een Facebook- of Twitter-account gebruikt om aandacht te vragen voor homorechten staat daar een gevangenisstraf van maximaal zeven jaar op.Sheria hiyo inatoa adhabu ya kifungo jela kwa yeyote ambaye hatatoa taarifa za kuwapo kwa raia anayefanya vitendo vya kishoga kwa mamlaka za kiserikali na vile vile sheria hiyo inatoa hukumu kwa mtu yeyote kutumia mitandao ya kijamii kama Facebook na Twita kwa minajili ya kupigania haki za mashoga kitendo kinachotafsiriwa na sheria hiyo kuwa ni cha jinai na hukumu yake ni kifungo kisichozidi miaka saba jela.
9De Amerikaanse president Barack Obama en andere leiders van over de hele wereld hebben president Museveni gewaarschuwd [en] dat de wet een schending van de mensenrechten is.Rais wa Marekani Barack Obama na viongozi wengine duniani walimuonya Rais Museveni kuwa sheria hiyo ni uvunjifu wa haki za binadamu.
10Ugandese LGBT-activisten zeggen dat Uganda met deze wet een van de ergste plekken ter wereld wordt voor homoseksuele mensen.Wanaharakati wa asasi ya Uganda inayotetea haki za mashoga na wasagaji (LGBT) wanasema kuwa sheria hiyo inaifanya Uganda kuwa sehemu hatari zaidi kwa mashoga duniani.
11Veel mensen bespreken de wet in de sociale media, sommigen zijn voor de wet, anderen fel tegen.Watu wengi wamejadili suala hili kwenye mitandao ya kijamii, wengine wakiunga mkono hatua hiyo na wengine wakiipinga vikali.
12Op Twitter zegt Frank Mugisha [nl], leider van de organisatie Sexual Minorities Uganda en homoactivist, het volgende:Kiongozi wa Kundi la Watu Wenye Ujinsia Usiozoeleka na ambaye ni mwanaharakati wa haki za mashoga Frank Mugisha alitwiti:
13Mijn twitter & facebook zijn illegaal, de straf hierop is een boete van vijfduizend valutapunten of een gevangenisstraf van minimaal 5 jaar en maximaal 7 jaar of beideAkaunti ya Twita na ya Facebook ni kinyume cha sheria, faini ya sarafu 5,000 au kifungo jela hadi miaka mitano na kisichozidi miaka saba au vyote viwili kwa pamoja
14Love1Another schrijft:Love1Another akaandika:
15Amerika, jullie kunnen nu Uganda binnenvallen en doen wat jullie willen, het wetsvoorstel is nu een wet. #AntiGayBillMarekani, sasa mnaweza kuishukia Uganda na kufanya chochote mnachotaka, muswada sasa umekuwa sheria
16Wadda Mutebi veegt de vloer aan met degenen die tegen de wet zijn:Wadda Mutebi alitoa maneno makali kwa wanaopinga mswada huo:
17Homoliefhebbers, loop naar de hel.Nyie manaopiga kelele za kuutukuza ushoga, mkafie kuzimu.
18Jullie hebben het over jullie zogenaamde mensenrechten terwijl jullie heulen met satan. #antigaybillMtandelea kuzungumzia haki zenu za kijinga za binadamu wakati mkipumzika na ibilisi huko
19Jenny Hedstrom schrijft slechts:Jenny Hedstrom akaandika:
20Deprimerend.Inakatisha tamaa.
21President Museveni heeft vandaag de #AntiGayBill getekend #UgandaRais Museveni leo amesaini Muswada wa kupiga marufuku Ushoga
22John Paul Torach stelt vast dat de regering en oppositie hetzelfde denken over deze kwestie:John Paul Torach alibaini kuwa serikali na wapinzani walikuwa na lao moja kwenye suala hili:
23Het ondertekenen van de #antigaybill ging met veel lawaai gepaard, maar de stilte van de oppositie was nog oorverdovender… als ze het allemaal eens zijn… weet je dat je hebt verloren.
24Eriche White Walker vindt dat de religieuze leiders tekort zijn geschoten en de mensen niet voldoende moraal hebben bijgebracht:Tena kinachopiga kelele kuliko kusainiwa kwa muswada huu ni kimya cha wanasiasa wa upinzani…wakikubaliana wote…unajua umeshapoteza
25Wanneer de staat morele zaken gaat reguleren met wetten zijn de religieuze instellingen tekortgeschoten #antigaybillEriche White Walker alifikiri kuwa viongozi wa dini wameshindwa kuhimiza maadili kwa watu:
26“I am an African” is van mening dat iemands ideeën over seksualiteit niet van toepassing mogen zijn op het leven van andere mensen:Serikali inapoanza kuingilia mambo ya maadili kwa kutumia sheria maana yake viongozi wa taasisiza kidini wameshindwa kazi
27Ik begrijp niet dat er steun is voor de Ugandese antihomowet #Uganda‘s #antigaybill!“Mimi ni Mwafrika” alihoji kuwa mambo ya hisia za kijinsia ni ya kibinafsi na hayapaswi kuingiliwa:
28Hoe kun je je eigen ideeën over seksualiteit opleggen aan anderen.Siwezi kuelewa wanaounga mkono mswada huu!
29Niemand heeft gezegd dat je homo moet worden!Huwezi kuwalazimisha watu wengine wakubaliane na mtazamo wako wa mambo ya ujinsia.
30Stuart Grobbelaar zegt voor de grap dat Uganda wetten moet aannemen die scheiding verbieden en het huwelijk alleen nog toekennen aan mensen die nog maagd zijn:
31Hey #Uganda, goed gedaan met die #antigaybill En wanneer mogen we de wetten tegen scheiding, trouwen met een niet-maagd en bacon verwachten?Hakuna anayesema lazima uwe shoga! Stuart Grobbelaar kwa mzaha anasema Uganda ipitishe sheria itakayopiga marufuku talaka na kuhakikisha ndoa ifungwe kwa vijana bikra pekee:
32#antiDivorce #antiMarryANonVirgin #antiBaconMmefanya vizuri kupitisha sheria hiyo.
33De Ugandezen vragen zich nu af wat er gaat gebeuren in de betrekkingen met andere landen, met name westerse landen, die van mening zijn dat de wet de mensenrechten schendt.
34[Correctie: de titel was eerst, “Het is nu officieel een misdaad om homoseksueel te zijn in Uganda”.Hebu sasa, mniambie lini tutashuhudia miswada ya kupinga talaka, kupinga ndoa za wasio bikra?
35Dit wekte de indruk dat homoseksualiteit pas sinds het invoeren van de wet illegaal is in Uganda, terwijl het al illegaal was voordat deze meest recente wet werd aangenomen.]Wananchi wa Uganda sasa hawana hakika nini kitatokea kuhusiana na diplomasia ya mahusiano ya nchi hiyo na nyingine, hususani Magharibi, zinazoamini sheria hiyo inavunja haki za msingi za binadamu.