Sentence alignment for gv-nld-20131007-16489.xml (html) - gv-swa-20131007-5909.xml (html)

#nldswa
1Vijf dingen waar de burgers van Brunei over moeten pratenMasuala Matano ambayo Raia wa Brunei Wanahitaji Kuyajadili
2Teah Abdullah noemt [en] vijf dingen waarover de burgers in Brunei zouden moeten praten: taalgebruik, incest, toegeeflijkheid, het grote aantal hamburgertenten en de te grote afhankelijkheid van de regering.Teah Abdullah anaorodhesha masuala matano ambayo raia wa Brunei citizens wanahitaji kuyajadili: Kuimarisha lugha halisi, ngono baina ya ndugu wa damu, maisha ya anasa, ulaji unaozidi kiwango wa “baga” [aina ya mandazi yenye nyama], utegemezi uliopitiliza kwa serikali.
3Over het laatste zegt ze:Anafafanua kwenye suala la mwisho:
4…onze regering maakt een belangrijk deel uit van ons alledaagse leven, maar onze afhankelijkheid van de regering is een probleem, omdat het lijkt alsof we onze eigen problemen niet kunnen oplossen.…serikali ni sehemu muhimu katika maisha yetu ya kila siku, lakini kuitegemea sana ni tatizo kwa sababu inakuwa kama hatuwezi kutatua matatizo yetu binafsi.
5We creëren extra spanning omdat we de regering al onze probleempjes laten oplossen.Tunajiongezea matatizo kwa kutegemea kuwa serikali itatatua matatizo madogo yanayotusibu kwenye maisha yetu.