Sentence alignment for gv-nld-20151027-20183.xml (html) - gv-swa-20151026-9135.xml (html)

#nldswa
1Het verhaal over een Ethiopisch meisje dat vecht tegen ontvoering en over haar advocaten die haar leven reddenFilamu ya Difret Inayosimulia Mila ya ‘Kumteka’ Mwanamke Kulazimisha Ndoa Nchini Ethiopia
2Tizita Hagere (rechts) speelt de rol van de 14-jarige Hirut Assefa in ‘Difret.'Tizita Hagere (kulia) akicheza nafasi ya Hirut Assefa mwenye umri wa miaka 14 kwenye filamu ya ‘Difret.'
3Credit: Truth Aid Media.Haki Miliki: Truth Aid Media.
4Dit artikel en radioverslag gemaakt door Joyce Hackel [en - alle links] en Julia Barton voor The World verscheen oorspronkelijk op PRI.org op 22 oktober 2015 en wordt hier opnieuw gepubliceerd als onderdeel van een overeenkomst om de inhoud van het artikel te delen.Makala haya pamoja na taarifa ya redioni yameandaliwa na Joyce Hackel akishirikiana na Julia Barton kwa ajili ya kipindi cha The World kilichosikika awali kwenye tovuti ya PRI.org mnamo Oktoba 22, 2015, na imechapishwa tena hapa kama sehemu ya makubaliano ya kushirikiana maudhui.
5Het woord “Difret” heeft veel betekenissen in het Amhaars, de officiële taal in Ethiopië: het kan zowel “durven” betekenen als “moed hebben”, maar ook “verkracht worden”.Neno “Difret” lina maana nyingi katika lugha ya ki-Amariki inazungumzwa nchini Ethiopia: linaweza kumaanisha ‘kuthubutu' na ‘kuwa na ujasiri,' lakini vile vile laweza kuwa na maana ya ‘kufanyiwa ukatili.'
6Listen to this story on PRI.org »Listen to this story on PRI.org »
7Net zoals de titel “Difret” staat ook de film voor veel zaken: het is een fictief verhaal gebaseerd op een waargebeurd verhaal van moed en verandering; het is een van de enige films uit Ethiopië die op 35 mm-film geschoten is. Angela Jolie Pitt is de executive producer en gaf de film op die manier veel erkenning.Kama lilivyo jina lake, filamu ya “Difret” inawakilisha masuala mengi: ni kazi ya sanaa inayosimulia mkasa wa kweli unaohusu ujasiri na mabadiliko yanayoongozwa na msichana; ni filamu pekee iliyoandaliwa nchini Ethiopia kwa picha ya milimeta 35l na tayari imepata heshima kubwa kwa kuandaliwa na mtayarishaji maarufu wa filamu, Angelina Jolie Pitt.
8Maar de film vertelt vooral het verhaal van een traditioneel gebruik via de ervaringen van een bang meisje gevangen in een wervelwind waar ze geen controle over had.Lakini zaidi ya yote, filamu hiyo inasimulia mila za ndoa za asili nchini Ethiopia kwa kutumia mkasa wa kweli uliompata msichana mmoja nchini humo.
9“Difret” is gebaseerd op het verhaal van Aberash Bekele - Hirut in de film - een meisje dat ontvoerd werd door mannen te paard buiten haar dorp op het platteland in Ethiopië.Filamu ya “Difret” inajenga masimulizi yake kwenye tukio la Aberash Bekele - anayetumia jina la Hirut kwenye filamu - msichana aliyekamatwa na wanaume na kutoroshwa kijijini kwa kutumia farasi ili akaolewe.
10Het gebeurde op de eerste dag dat ze naar groep 7 ging.Wakati anatekwa na wanaume hao, msichana huyo alikuwa ndio kwanza ameingia darasa la tano shuleni kwake.
11Haar ontvoerder, die haar vaders goedkeuring om met haar te trouwen niet kreeg, staat erop dat hij nu het recht heeft om met haar te trouwen volgens de traditie die gekend is als telefa.Mwanaume aliyemteka -aliyeshindwa kupata ruhusa ya baba wa binti huyo ili aweze kumwoa -anatumia utekaji kama njia ya kulazimisha ndoa na msichana huyo kwa mujibu wa mila inayofahamika kama telefa nchini Ethiopia.
12Maar ze vecht terug waarbij ze hem per ongeluk doodt.Hata hivyo, msichana huyo anapambana, na kwa bahati mbaya anafanikiwa kumwua mwanaume huyo.
13Ze riskeert de doodstraf tot advocaat Meaza Ashenafi besluit om voor haar op te komen.Matokeo yake, msichana huyo anajikuta akikabiliwa na hukumu ya kifo mpaka pale mwanasheria Meaza Ashenafi anapoingilia kati kumsaidia.
14Het resulterende rechtszaaldrama nam het land in 1996 in beslag.Kurindima kwa kesi hiyo mahakamani kulivuta hisia za watu wengi nchini humo mwaka 1996, wakati mkasa huo ulipotokea.
15“Mensen begonnen opnieuw over ontvoering te praten,” herinnert Meaza Ashenafi zich nu.“Kwa mara nyingine, watu walianza kuzungumzia mila hiyo ya kumteka mwanamke,” Meaza Ashenafi anakumbuka.
16“Het was een feit, vooral in het zuiden van het land, dat vrouwen al jarenlang ontvoerd werden.“kumteka mwanamke lilikuwa suala lnalokubalika, hususani kusini mwa nchi hiyo, wanawake walikuwa wakitekwa kwa miaka mingi.
17Daar bestond geen twijfel over.Hapakuwa na yeyote aliyethubutu kuhoji mila hiyo.
18Maar deze zaak bracht een discussie en dialoog rond dit traditionele gebruik op gang.”Lakini kesi hii ilifungua mjadala mkali dhidi ya mila hii potofu.”
19Ashenafi had pas twee jaar eerder de Women Lawyer's Association (advocatenvereniging voor vrouwen) opgericht om op te komen voor vrouwenrechten volgens de toen nieuwe grondwet van Ethiopië.Ashenafi alikuwa ndio kwanza ameanzisha Umoja wa Wanasheria Wanawake miaka miwili iliyopita kwa lengo la kupigania haki za wanawake kwa mujibu wa katiba mpya ya Ethiopia.
20A scene uit “Difret” toont de ontvoering van het hoofdpersonage.Sehemu ya filamu hiyo ikionesha tukio la kutekwa kwa mwanamke kwa njia ya farasi.
21Credit: Truth Aid MediaHaki Miliki: Truth Aid Media
22“Difret” speelde gedurende zes weken in uitverkochte zalen in Addis Abeba.Filamu ya “Difret” imeoneshwa kwenye kumbi za filamu mjini Addis Ababa kwa majuma sita.
23Toen de filmmakers de film in het buitenland wilden uitbrengen, zonden ze de film naar Jolie, een bekende verdediger van vrouwenrechten in Afrika.Watengeneza filamu walipotaka kuipeleka nje ya nchi, walimtumia Jolie, wakili maarufu wa haki za wanawake barani Afrika.
24“Een Afrikaanse film in een vreemde taal heeft een hele weg voor de boeg om tot bij het publiek te geraken,” geeft filmmaker Mehret Mandefro toe.“Filamu hiyo ya kigeni kutoka barani Afrika ina kazi ngumu mbeleni kwa maana ya kupata watazamaji,” mtayarishaji wa filamu Mehret Mandefro anakiri.
25“Dus heeft haar steun ons echt geholpen om mensen te bereiken die we, denk ik, anders nooit konden bereiken.”“Kwa hiyo kupata ushirikiano wake kumetusaidia sana…kukutana na watu ambao hatukudhani kama tungeweza kuwapata.”
26Ondanks de steun van een bekend persoon en het succes van “Difret” zeggen Ashenafi en Mandrefo dat hun werk niet gedaan is: ze schatten dat minstens 20 procent van de huwelijken in het zuiden van Ethiopië opgedrongen is door een of andere vorm van telefa.Pamoja na kupata msaada wa watu maarufu na mafanikio ya filamu ya “Difret,” Ashenafi na Mandrefo wanasema kazi yao bado haijakamilika: wanakadiria kwamba si chini ya asilimia 20 ya ndoa kusini mwa Athiopia zinatokana na mila inayofanana na telefa.
27“Dit moet stoppen,” zegt Ashenafi.“Mila hii lazima itokomezwe,” Ashenafi anasema.
28“Dit mag helemaal niet worden getolereerd.”“Mila hii haivumiliki kwa vyovyote.”
29Wat het hoofdpersonage van de film zelf betreft, zegt Mandrefo dat ze een moeilijk leven had. Na de rechtszaak mocht ze niet meer terugkeren naar haar dorp of familie.Kuhusu malengo makuu ya filamu yenyewe, Madrefo anasema amekuwa na maisha magumu baada ya kesi yake, hakuruhusiwa kurudi kijijini kwake wala kuungana na familia.
30Ze ging naar een kostschool en besloot later om haar naam te veranderen en Ethiopië te verlaten.Alijiunga na shule ya bweni, na baadae akaamua kubadili jina lake na kuhama nchi.
31Maar onlangs is ze teruggekeerd en zet zich in voor telefa in de hoop dat ze meisjes een dergelijke beproeving kan besparen.Hata hivyo, hivi karibuni alirudi nyumbani na kuendeleza harakati za kupambana na mila hiyo ya telefa, alitumaini kuwakinga wasichana na mikasa kama aliyokumbana nayo.