Sentence alignment for gv-pol-20100408-2161.xml (html) - gv-swa-20100321-1356.xml (html)

#polswa
1Uganda: Zamieszki studenckie, płonie KampalaUganda: Wanafunzi Wacharuka, Kampala Yawaka Moto
2Dwie tragedie nawiedziły we wtorek Kampalę, stolice Ugandy. Grupa studentów z Uniwersytetu Makerere wywołała zamieszki w odpowiedzi na zastrzelenie ich dwóch kolegów.Jumanne, majanga mawili tofauti yaliikumba Kampala, mji mkuu wa Uganda: wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Makerere walifanya ghasia baada ya wanafunzi wenzao wawili kupigwa risasi.
3Poza tym Grobowce Kasubi, będące na liście światowego dziedzictwa UNESCO i jednocześnie miejsce pochówku króla jednej z najliczniejszych grup etnicznych Ugandy, spłonęły doszczętnie.Na makaburi ya Kasubi, ambayo ni sehemu ya Urithi wa Dunia ya UNESCO na eneo la kaburi la mfalme wa moja ya makabila makubwa zaidi ya Uganda, liliteketea kwa moto.
4Zamieszki na Uniwersytecie MakerereGhasia Chuo Kikuu cha Makerere
5Według ugandyjskiej prasy, zamieszki na Uniwersytecie Makerere, największej uczelni w Ugandzie, rozpoczęły się po tym jak dwóch studentów zostało zastrzelonych a jeden raniony przez ochronę w poniedziałkową noc podczas spotkania dotyczącego wyborów studenckich.Kwa mujibu wa magazeti ya Uganda, ghasia katika Chuo Kikuu cha Makerere, chuo kikuu kikubwa zaidi nchini Uganda, zilianza baada ya wanafunzi wawili kupigwa risasi na mmoja kujeruhiwa vibaya na mlinzi wa usalama usiku wa Jumatatu wakati wa mkutano kuhusu uchaguzi wa wanafunzi.
6The Daily Monitor podaje dwie wersje zdarzeń:Gazeti la Daily Monitor linaripoti maelezo mawili tofauti ya tukio hilo:
7Jak podaje policja, wielu studentów zgromadziło się w domu akademickim, żeby uczestniczyć w ostatnim fazie wyborów studenckich, kiedy strażnik, podejrzewając jednego ze studentów o próbę zniszczenia pojazdu na parkingu, otworzył ogień.Polisi wanasema kuwa wanafunzi wengi walikusanyika katika hosteli kwa ajili ya hatua za mwisho za kampeni ya uchaguzi wa wanafunzi wakati mlinzi aliyeshuku kuwa mmoja wa wanafunzi hao alikuwa ana nia ya kuiharibu gari iliyokuwa kwenye maegesho alifyatua risasi.
8Wcześniej sugerowano, ze zastrzelenie dwóch studentów z Kenii było efektem starcia, do którego doszło pomiędzy zwolennikami Simon'a Kamau, jednego z kandydatów, a wyborcami John'a Taylor'a z NRM (New religious movement - Nowe ruchy religijne).Ripoti za awali zinasema kuwa mashabiki wa Simon Kamau, mmoja wa washindani katika kinyang'anyiro cha urais, walipambana na wale wa John Taylor wa NRM, na kusababisha kupigwa risasi kwa wanafunzi hao wa ki-Kenya.
9Ugandyjska gazeta The New Vision sugeruje, ze strzelanina to wynik konfliktu pomiędzy jednym z kandydatów a zwolennikiem jego przeciwnika:Gazeti la New Vision linasema kuwa kupigwa risasi kulitokana na kutokukubaliana kati ya mgombea na mmoja wa mashabiki wa mgombea mwingine:
10Kiedy grupa miała opuszczać miejsce spotkania, doszło do konfrontacji z Nyongesa'em, jednym z dwóch Kenijczyków należącym do obozu John'a Kamau.Wakati kundi hilo lilipojiandaa kuondoka, lilibabatizwa na Nyongesa ambaye inaaminika kuwa yumo katika kambi ya John Kamau, mmoja wa WaKenya wawili waliokuwa kwenye mbio za uchaguzi.
11Rzekomo próbował on uderzyć [kandydat John] Teira ławką kiedy grupa zlekceważyła jego żądania opuszczenia akademika.Inasemekana kuwa alijaribu kumpiga [mgombea John] Teira kwa benchi wakati kundi hilo lilipokataa amri yake ya kuondoka hapo kwenye hosteli.
12Wywołane tą sytuacją zamieszanie było, jak zeznają świadkowie, przyczyną otworzenia ognia w kierunku studentów.Ugomvi mdogo ulizuka, ambao kwa mujibu wa mashahidi, ulisababisha mlinzi kufyatua risasi ambayo iliwapiga wanafunzi watatu.
13W odpowiedzi na śmierć swoich kolegów studenci przemaszerowali we wtorek w akcie protestu przez teren Uniwersytetu Makerere, niosąc transparenty i trumnę.Wanafunzi walijibu mapigo siku ya Jumanne kwa kuandamana kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Makerere huku wamebeba mabango na jeneza ili kupinga mauaji hayo.
14Obie gazety donoszą, że w związku z brutalnym przebiegiem protestów policja użyła gazu łzawiącego by rozpędzić tłumy.Magazeti yote mawili yanaripoti kuwa maandamano hayo yaligeuka na kuwa ghasia na kwamba polisi walitumia mabomu ya machozi ili kuwasambaratisha watu.
15Ole Tangen Jr., dziennikarz mieszkający w Kampali, był jednym z pierwszych, który pisał na swoim blogu o zamieszkach.Mwandishi wa habari, Ole Tangen Jr, anayeishi mjini Kampala alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kublogu juu ya ghasia za Makerere.
16Zastanawiał się on dlaczego studenci nie skorzystali z portali społecznościowych, by przekazać informacje o tym co dzieje się w Kampali:Alijiuliza ni kwa nini wanafunzi wengi hawatumii mitandao ya uanahabari wa kijamii kusambaza habari:
17Zeszłej nocy, dwóch studentów Uniwersytetu Makerere zostało zastrzelonych przez ochroniarza, co spowodowało wybuch dzisiejszych zamieszek w okolicach uniwersytetu.Jana usiku wanafunzi wawili wa Makerere walipigwa risasi na mlinzi wa usalama mwenye silaha jambo ambalo lilipelekea ghasia zilizosambaa sana katika maeneo ya chuo kikuu leo.
18Ciekawe, ze nikt nie wpadł na pomysł by za pomocą Twittera rozpowszechnić historię.Hata hivyo hakuna aliyekumbuka kutumia Twita ili kupasha habari juu ya habari hii.
19Przeszukanie Twittera za pomocą zapytania #Makerere zaowocowało tylko odnalezieniem codziennych raportów informacyjnych.Utafutaji katika Twita kwa kutumia alama ya #Makerere kwa siku nzima uliishia bila jibu lolote zaidi ya ripoti za habari hiyo.
20Jak to możliwe, ze studenci - w szczególności polityczni aktywiści - nie korzystają z ogólnie dostępnych form przekazu.Inakuwaje hawa wanafunzi - hasa wanafunzi walio hai kwenye siasa - hawatumii vyombo vya habari vya kijamii ambavyo vinapatikana.
21Czy chodzi o wysokie koszty połączenia do Internetu?Je ni kutofahamu kuhusu Twita? Au ni gharama kubwa za Intaneti?
22Co było tego powodem?Ni nini kinachosababisha hivi?
23Brak wyników dla zapytania “makerere” potwierdza słowa Tangen'a. Większość wyników dotyczyła artykułów informacyjnych.Utafutaji katika twita wa neno “makerere” kwa kiasi kikubwa ulikubaliana na dai hilo, huku jumbe nyingi za twita zikiwa na makala za magazeti.
24Jednak nielicznym użytkownikom Twittera z Kampali udało się skomentować całe zdarzenie:Na pia, baadhi watumiaji wa Twita huko Kampala waliwza kuongezea mazingira:
25@arthurnakkaka (18 godzin temu): Słychać strzały.@arthurnakkaka (masaa 18 yaliyopita): Risasi zinapigwa.
26A może to gaz łzawiący?Au ni mabomu ya machozi?
27#Makerere#Makerere
28@arthurnakkaka (18 godzin temu): Studenci krzyczą i uciekają.@arthurnakkaka (masaa 18 yaliyopita): Wanafunzi wanapiga mayowe na kukimbia.
29Sytuacja się pogarsza #MakerereHali inakuwa mbaya #Makerere
30@aspindler2 (18 godzin temu): Demonstracje na uniwersytecie Makerere w Kampali uganda po zastrzeleniu dwóch studentów zeszłej nocy przez ochroniarza.@aspindler2 (masaa 18 yaliyopita): Maandamano katika Chuo Cha Makerere Kampala Uganda baada ya wanafunzi 2 kupigwa risasi na mlinzi wa usalama jana usiku.
31Policja używa gazu łzawiącego by rozgonić tłumPolisi wanapiga mabomu ya machozi kutawanya watu
32@mirembe_maria (14 godzin temu): Protest na Uniwersytecie Makerere pozostawił dwóch zabitych i jednego w stanie krytycznym, jaka będzie reakcja rządu?@mirembe_maria (masaa 14 yaliyopita): Maandamano ya Chuo kikuu cha makerere yamewaacha watu 2 wamefariki na mmoja katika hali mbaya, je ni njia ipi serikali itatumia kwenda mbele baada ya yote haya?
33Spalone Grobowce KasubiMakaburi ya Kasubi Yaungua Moto
34Jak wiadomo, spłonięcie Grobowców Kasubi, miejsca pochówku królów ugandyjskiego królestwa Buganda, nie jest powiązane z zamieszkami studentów.Jumanne usiku, katika tukio lisilo na uhusiano na hili, makaburi ya Kasubi, eneo la makaburi ya wafalme wa kabila la Baganda, liliteketea kwa moto.
35Głośno w mediach jest ostatnio o obecnym królu ugrupowania Buganda w związku z jego konfliktami z prezydentem Ugandy, Yoweri Musevenie'm.Mfalme wa sasa wa Baganda amekuwa katika habari hivi karibuni kutokana na mapambano yake na rais wa Uganda, Yoweri Museveni.
36We wrześniu 2009 roku napięcia pomiędzy przywódcami doprowadziły do krwawych zamieszek w Kampali, które wzbudziły obawy obywateli o pokojowe stosunki w kraju.Mwezi Septemba 2009, hali mbaya ya uhusiano kati yao ilipelekea ghasia mbaya katika Kampala, na raia wanahofia kwamba moto huu unaweza kusababisha ghasia nyingine baadaye.
37Ugandyjski bloger 27th Comrade pisze:Mwanablogu wa Uganda 27th Comrade anaandika:
38Zazwyczaj w przypadku takich obiektów dochodzi do podpalenia.Kwa kawaida huwa ni njama za makusudi sehemu kama hii inapoungua moto.
39Grobowce są pokryte strzechą z trawy, co powoduje szybkie zajęcie budynków ogniem.(paa) Imejengwa kwa nyasi, kwa hiyo moto utaangamiza kabisa.
40Niektórzy piep*** mądrale obok mnie skandują “Rząd”! Ja powiedziałbym “Opozycja”!Tayari, baadhi ya mapunguani Karibu yangu wameshaanza kusema “Serikali!”
41Ale podejrzewam, że jest to bardziej sprawa nieostrożnego obchodzenia się z ogniem przez pracowników.Mimi pengine nitasema “Upinzani!” lakini nahisi inawezekana kabisa ni mfanyakazi ambaye hakuwa makini na moto.
42Zobaczmy, co podadzą media.Hebu tusubiri habari.
43Bloger i dziennikarz Rosebell pisze:Mwanablogu na mwandishi wa habari Rosebell anaandika:
44Stosunki miedzy rządem prezydenta Museveni a królestwem Bugandy są dalekie od ideału. To nasuwa podejrzenia, ze kryją się za tym nieuczciwe działania.Uhusiano kati ya serikali ya Rais Museveni na Ufalme wa Buganda uko mbali na (uhusiano) waridi na hilo limekwishatoa mazingira yenye rutuba kwa wengi kufikiria kuwa kulikuwa na mchezo wa dhambi.
45Wydaje się, ze wiele osób oczekiwało, że zamieszki wybuchną o świcie.Watu wengi wanatarajia ghasia kulipuka alfajiri.
46Liczymy tylko, że zostanie podjęte śledztwo mające za zadanie wyjaśnić sprawę spłonięcia grobowców jak również, że obejdzie się bez ofiar w ludziach lub utraty ich własności.Tunatumaini kuwa kutakuwa na uchunguzi wa kina juu ya kuungua kwa makaburi hayo na kwamba hakuna atakayepoteza maisha na mali.
47To kluczowy moment dla przywódcy Bugandy.Huu ni wakati muhimu kwa uongozi wa Buganda.
48Grobowce Kasubi były dziedzictwem ważnym dla całego kraju. Mam nadzieję, że polityczne konflikty między stronami nie wpłyną na ich podejście do sprawy.Makaburi ya Kasubi pia ni urithi kwa nchi kwa hiyo natumaini pande zote zitalishughulikia suala hili kwa uangalifu wa hali juu.
49Ugandyjczycy na Twitterze są w równym stopniu zaniepokojeni:Waganda walio kwenye Twita nao pia wana hofu:
50@daphnzempire (6 godzin temu): grobowce kasubi stoją w ogniu…mój Boże dokąd my zmierzamy@daphnzempire (masaa 6 yaliyopita): makaburi ya kasubi yanawaka moto.. Mungu wangu tunaelekea wapi
51@Kakazi (6 godzin temu): Grobowce Kasubi spłonęły dwie godziny temu…szczerze modle się by to nie było podpalenie.@Kakazi (masaa 6 yaliyopita): Makaburi ya Kasubi yachomwa moto kama masaa 2 yaliyopita.. Ninasali kwa dhati kwamba haikuwa kwa makusudi!!
52Wielka strata dla naszego dziedzictwa…Hasara kubwa kwa urithi wetu..:-(
53@mugumya (6 godzin temu): Obawiam się, że zniszczenie grobowców Kasubi w Kampali może doprowadzić jutro do zamieszek@mugumya (masaa 6 yaliyopita): Ninahofia kunaweza kutokea aina fulani ya machafuko kesho baada ya makaburi ya kasubi kuteketea mjini Kampala
54Lauren, Amerykanka mieszkającą wcześniej w Kampali, wspomina wielokrotne wizyty w grobowcach z przyjaciółmi:Lauren, Mmarekani ambaye aliwahi kuishi Kampala, anakumbuka jinsi aliwapeleka wageni kutembelea makaburi hayo:
55Grobowce Kasubi są dla mnie więcej niż ważnym miejscem kulturowym czy historycznymi obiektami.Makaburi ya Kasubi kwangu ni zaidi ya majengo muhimu ya utamaduni na historia.
56Mieszkając w Ugandzie sąsiadowaliśmy z grobowcami.Wakati tulipokuwa tunaishi Uganda, yalikuwa jirani zangu.
57Nasze mieszkanie mieściło się u podnóża wzgórza Kasubi, więc mijaliśmy grobowce każdego dnia w drodze do i z centrum Kampali.Nyumba yetu ilikuwa chini ya bonde la kasubi, tuliyapita Makaburi hayo kila siku tukienda na kurudi kutoka Kampala mjini.
58Wielokrotnie zabieraliśmy tam naszych gości by pokazać im grobowce jak również przybliżyć im dzieje ludu Bugandy, ich historie i kulturę.Tuliwapek\leka wageni wengi kuyaangalia Makaburi hayo na kujifunza zaidi juu ya kabila la Buganda, historian a utamaduni wake.
59Uwielbiałam mijać strażników grobowców, którzy ubrani w tradycyjne szaty w kolorze szafranu, opierając się o wielkie drzewo, czekali by powitać następną grupę zwiedzających.Siku zote nilipenda kupita mbele ya walinzi wa makaburi; waliovalia mavazi ya kitamaduni ya rangi ya chungwa iliyokoza na kuegemea mti mkubwa ulikuwa mbele, walisubiri bila kuchoka ili kusalimu wageni wanaofuatia. Makaburi ya Kasubi Oktoba 2008.
60Picha kwa hisani ya Lauren