# | pol | swa |
---|
1 | Palestyna: Gaza znowu pod ostrzałem | Palestina: Gaza yashambuliwa, watu 12 wauwawa na wengine wengi kujeruhiwa |
2 | W nocy z 9 na 10 marca, izraelskie samoloty wojenne zaatakowały cele w Strefie Gazy , w wyniku czego co najmniej 12 utraciło życie, a 20 zostało rannych. | Usiku kucha wa Machi 9 hadi asubuhi ya Machi 10, 2012, ndege za kivita za Israeli zilifanya mashambulizi kwa kuchagua maeneo kwenye Ukanda wa Gaza, na kuua takribani watu 12 na kuacha wengine 20 wakiwa majeruhi. |
3 | Po południu, 9 marca, Zuhair al-Kaisi, sekretarz generalny Ludowych Komitetów Oporu [en] wraz ze swym asystentem Abu Ahmadem Hananim, zostali zamordowani podczas izraelskiego nalotu na miasto Gazę. | Mchana wa Machi 9, Zuheir al-Qaysi, katibu mkuu wa chama cha (PRC) Popular Resistance Committees , aliuawa pamoja na msaidizi wake Abu Ahmad Hanani kutokana na mashambulizi hayo ya Israel kwenye Jiji la Gaza. |
4 | Hanani pochodzący z Nablusu został deportowny do Gazy w ramach wymiany więzniów [en] do której doszło kilka miesięcy temu. | Hanani alitokea Nablus kwa asili na alihamishiwa Gaza kama mmoja wa wafungwa walioachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa miezi michache iliyopita. |
5 | W odwecie, palestyńskie ugrupowania oporu ze Strefy Gazy odpaliły rakiety w stronę Izraela. Ataki te nie spowodowały żadnych ofiar. | Katika kujibu mashambulizi, vikundi vya ulinzi vya ki-Palestina vilivyo kwenye Ukanda wa Gaza vililipua mabomu kuelekea Israel, bila kudhuru mtu yeyote. |
6 | Izrael odpowiedział ostrym ostrzałem, który potrząsnął Gazą prowokując śmierć 12 męczenników, zidentyfikowanych przez Agencję Prasową Ma'an jako Muhammad al-Ghamry, Fayiq Saad, Muatasim Hajjaj, Ubeid Gharabli, Muhammad Hararah, Hazim Qureiqi, Shadi Sayqali, Zuheir al-Qaysi, Mahmoud Hanani, Muhammad Maghari, Mahmoud Najim i Ahmad Hajjaj. | Israel ilijibu mapigo kwa mashambulizi makali ya angani yaliyoilenga Gaza na kuacha maiti wapatao kumi na wawili kwa mara moja. Majina yao yalitajwa na Shirika la Habari la Ma'an kuwa ni pamoja na: Muhammad al-Ghamry, Fayiq Saad, Muatasim Hajjaj, Ubeid Gharabli, Muhammad Hararah, Hazim Qureiqi, Shadi Sayqali, Zuheir al-Qaysi, Mahmoud Hanani, Muhammad Maghari, Mahmoud Najim, na Ahmad Hajjaj. |
7 | W chwili obencnej, niektórzy dziennikarze twierdzą[en] , że zginęło 15 osób. | Ripoti nyingine zinataja kuwa watu kumi na watano walipoteza maisha yao. |
8 | Nalot na miasto Gaza wykonywany przez izraelskie samoloty myśliwskie. | Mji wa Gaza ukipigwa mabomu na madege ya kijeshi ya Israel. |
9 | Zdjęcie użytkownika Twittera @journeytogaza. | Picha ya Mtumiaji wa twita aitwaye @journeytogaza |
10 | Netizeni z Gazy odpowiedzieli na ostrzał na Twitterze: | Watumiaji wa Mtandao waishio Gaza waliitikia mashambulizi hayo kwenye Twita: |
11 | @MaathMusleh: 15 ośób zamordowanych w Gazie do chwili obecnej. Nieważne, to tylko Palestyńczycy!! | @MaathMusleh: Watu 15 wameuawa mjini Gaza mpaka sasa, hakuna SHAKA watakuwa ni wa-Palestina!! |
12 | #GazaUnderAttack | #GazaUnderAttack |
13 | @ectomorfo: Módlcie się za mieszkańców Gazy. | @ectomorfo: Ombea watu wa Gaza. |
14 | Brak świateł, mało lekarstw, brak gazu. | Hakuna umeme, kuna dawa kidogo, hakuna gesi. |
15 | Teraz są oni ostrzeliwani ze wszystkich stron przez Izrael #Israel #GazaUnderAttack | Na sasa wanapigwa mabomu kutokea pande zote na #Israel. #GazaUnderAttack |
16 | @Omar_Gaza: 18 minut bez wybuchów! | @Omar_Gaza: Dakika 18 bila milipuko! Kimya cha tahadhari? |
17 | Ostrożne milczenie? skończyło się? czy powinienem nadal wstrzymywać oddech?? | Yamekwisha? Au niendelee kubana pumzi zangu kwa woga? |
18 | #GazaMassacre #GazaUnderAttack | #GazaMassacre #GazaUnderAttack |
19 | @najlashawa: nie wiem jak ja wciąż piszę było GŁOŚNO ! | @najlashawa:sijui nimewezaje kuendelea kuchapa maandishi haya. Sauti ilikuwa KUBWA! |
20 | #GAzaUnderAttack | #GAzaUnderAttack |
21 | @imNadZ: Witajcie w #Gazie. | @imNadZ: Karibu #Gaza. |
22 | Gdzie promieniami słonecznmi są wybuchy. | Ambapo mwanga wake unatokana na mabomu. |
23 | Gdzie ptaki to F16. | Ndege zinazotumika ni aina ya F16. |
24 | Nalot ten miał miejsce w momencie zmian układów regionalnych i politycznych. | Shambulio hili linakuja wakati wa kuhamisha ushirika wa kimaeneo na kisiasa. |
25 | W zeszłym tygodniu, w świetle narastającej perspektywy Amerykańsko-Izraelskiej wojny przeciwko Iranowi, dwójka przedstwicieli Hamasu oznajmiła[en], iż nie bedą oni angażować się, ani wspierać Iranu , w przypadku ataku na Izrael. | Juma lililopita, kwa kuongezeka kwa uwezekano wa vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, maafisa wawili wa juu wa Hamas walitangaza kwamba Hamasi haitajihusisha na itaiunga mkono Iran ikitokea Israel itashambulia. |
26 | Hamas zadeklarował również poparcie społeczeństwa syryjskiego w ich walce przeciwko Assadowi. | Hamas pia walitangaza kuwaunga mkono watu wa Syria katika mapambano yao dhidi ya Assad. |