Sentence alignment for gv-pol-20140716-22032.xml (html) - gv-swa-20140704-7835.xml (html)

#polswa
1Bahrajński blogger i satyryk Takrooz zatrzymanyMwanablogu wa Kibahraini Takrooz Akamatwa
2Bahrajńskie Ministerstwo Spraw Wewnętrznych ogłosiło zatrzymanie kolejnego internauty, któremu rzekomo zostały postawione zarzuty “nawoływania do nienawiści wobec reżimu”.Wizara ya Mambo ya Ndani ya Bahrain imetangaza kumkamata mtumiaji mwingine tena wa mtandao, anayedaiwa kutakiwa kujibu mashitaka ya “kuchochea chuki dhidi ya utawala.”
3Mikrobloger satyryk o pseudonimie Takrooz został aresztowany w trakcie powrotu z Tajlandii, na lotnisku Bahrain International Airport, oświadczyło Ministerstwo 18 czerwca, 2014 roku, wstrzymując się od podania imienia aresztowanego.Mwanablogu huyo mwenye mtindo wa kutumia utani katika kuwasilisha ujumbe wake, mwenye jina la utani Takrooz, alikamatwa kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Bahrain, wakati akirtudi kutoka Thailand, ilisema taarifa ya Wizara hiyo iliyotolewa Juni 18, 2014, bila kuanika jina lake halisi.
4Dzień później wielu Bahrajńczyków wręcz kipiało ze złości na Twitterze, twierdząc, że zatrzymanie Takrooza było bezcelowe i posłużyło jedynie do pokazania prawdziwej twarzy rządu, który tłumi internetowe głosy opozycji.Siku moja kabla, Wabahrain wengi walikuwa na hasira kwenye mtandao wa twita, wakisema kuwa kukamatwa kwake kumefanyika bila sababu na hapakuwa na kingine isipokuwa kuonyesha rangi halisi za serikali dhidi ya sauti kuu za upinzani katika mtandao wa intaneti.
5Od 14 lutego 2011 roku, kiedy rozpoczęły się protesty przeciwko rządowi, zostało aresztowanych wielu internautów, m.in.Watumiaji kadhaa wa mtandao wameshakamatwa na utawala huo tangu maandamano ya kupinga serikali yaanze nchini Bahrain mnamo Februari 14, 2011.
6: Mahmood Al-Yousif, Mohamed Almaskati oraz autor Global Voices Mohamed Hassan.Miongoni mwao ni Mahmood Al-Yousif, Mohamed Almaskati na mwandishi wa Global Voices Mohamed Hassan.
7Bahrajn jest uważany za “wroga Internetu” według tegorocznego raportu Reporters without Borders oraz klasyfikuje się na drugim miejscu jeśli chodzi o liczbę aresztowanych dziennikarzy w 2013 roku (Committee to Protect Journalists).Bahrain inaonekana kuwa adui wa Mtandao wa Intaneti kwa mujibu wa Taarifa ya 2014 ya shirika la Reporters without Borders [waandishi wasio na mipaka] na imeshikilia nafasi ya pili kwa idadi ya waandishi wa habari waliokamatwa nchini humo kwa mwaka 2012 kwa mujibu wa Kamati ya Kulinda Waandishi wa Habari.
8Posiadając niemalże 18 000 obserwatorów na Twitterze i 100 000 wiadomości, Takrooz był czynnym głosem, obrazującym ataki rządu na aktywistów.Karibu ya wafuatialiaji wa mtandao wa twita 18,000 na twiti zenye jina la Takrooz zipatazo 100,000 zimekuwa sauti hai zinazoilaani serikali kwa kupambana na wanaharakati.
9Bahrain Watch, grupa badawcza, doniosła, że na koncie Takrooza niejednokrotnie był prowadzony przez bahrjański rząd ukierunkowany nadzór.Asasi ya Bahrain Watch, inayojihusisha na utafiti na uwazi, ilisema kuwa anuani ya twita ya Takrooz inasemekana kuwa shabaha ya kufuatiliwa na serikali ya Bahraini.
10Jego wiadomości, w języku arabskim, obejmują obrazę pracowników organów ochrony porządku publicznego, treść antykorupcyjną, a także codzienne troski przeciętnego Bahrajńczyka.Kwenye twiti zake, kwa lugha ya Kiarabu, zinajikita kwenye uvunjifu wa sheria unaofanywa na watu, kupambana na vitendo vya ufisadi na masuala ya kila siku ya raia wa kawaida wa Bahraini.
11Następnego dnia użytkownik Twittera @M_Alshaikh opublikował zdjęcie arabskiego, codziennego raportu w sprawie aresztu Takrooza:Siku iliyofuata mtumiaji wa twita aitwaye @M_Alshaikh alichapisha picha ya habari za Gazeti moja la kila siku la Kiarabu kuhusu kukamatwa kwa Takrooz:
12Rządowa gazeta opublikowała na pierwszej stronie artykuł na temat zatrzymania Takrooza #Bahrain @TakroozGazeti la serikali limechapisha makala kuhusu kukamatwa kwa Takrooz kwenye ukarasa wake wa kwanza #Bahrain @Takrooz
13Prawnik Hanan Alaradi @hananalaradi przedstawiła swoje wątpliwości w sprawie aresztu:Mwanasheria Hanan Alaradi @hananalaradi alitwiti akihoji kinachoendelea baada ya kukamatwa na Takrooz:
14Czy właściciel konta @Takrooz zostanie wypuszczony za kaucją jak inni prorządowi użytkownicy @mnarfezhomJe, mtumiaji wa anuani hii @Takrooz ataachiwa kwa dhamana lama watumiaji wengine wa twita wanaoishabikia serikali @mnarfezhom
15Wcześniej, Bahrajn zatrzymał Mnarfezhoma - prorządowego użytkownika Twittera - który został wypuszczony za kaucją i obecnie oczekuje na proces.Hapo awali, Bahrain ilimkamata mtumiaji wa mtandao wa twita anayeishabikia serikali, Mnarfezhom, ambaye aliachiwa kwa dhamanaon, akisubiri mashitaka.
16Mnarfezhom jest obciążony czterema różnymi zarzutami o obrażanie i zniesławianie ludzi, atakując ich godność i reputację, a także o urażanie bahrajńskich rodzin, używając nieprzyzwoitych wyrażeń. Wiadomości te pisał na Twitterze i Instagramie, używając nazw: Al Raqeeb, Ahfad Al Waleed, Ahfad Omar i Mnarfezhom.Mnarfezhom anatuhumiwa kutumia majina manne tofauti kuwatukana na kuwadhalilisha watu, akiwavunia heshima na hadhi yao na kudhalilisha familia za Wabahraini kwa kutumia maneno ya kuudhi kupitia mitandao ya kijamii ya Twita na Instagram kwa kutumia majina manne tofauti Al Raqeeb, Ahfad Al Waleed, Ahfad Omar na Mnarfezhom.
17Wielu wściekłych użytkowników Twittera zaczęło zwracać uwagę na to, że takie zatrzymania są bezcelowe.Watumiaji wengi wa mtandao wa twita waliokuwa na hasira walihamasihwa kutwiti baada ya kukamatwa kwa Takrooz wakisema kuwa vitendo vya ukamataji havina sababu ya msingi.
18@Lair_Vulnerable zauważył:@Lair_Vulnerable alibainisha:
19#Bahrajnie, kiedy aresztujecie .. rebelianta, tweetera, fotografa, etc .. robicie z niego symbol, głupcy, więc będzie silniejszy.#Bahrain unapokamata…muasi, mtumiaji wa twita, mpiga picha nk…unamtengenezea alama ya ushujaa nyie wajinga na atakuwa imara zaidi.
20Jestem następnym Takroozem.Mimi ni Takrooz anayefuata
21Oficjalne źródła mówią, że Takrooz przyznał się do prowadzenia konta i czeka na proces w sprawie nawoływania do nienawiści wobec reżimu.Vyanzo rasmi vinasema Takrooz amekiri kutumia anuani hiyo na kwamba atafunguliwa mashitaka kwa kuchochea chuki dhidi ya utawala.