Sentence alignment for gv-pol-20100114-1294.xml (html) - gv-swa-20100114-1098.xml (html)

#polswa
1Haiti: Po trzęsieniu ziemi naoczni świadkowie donoszą na TwitterzeBaada Ya Tetemeko la Ardhi, Jumbe za Twita Kutoka kwa Walioshuhudia
2‘Haiti' to trend na Twitterze z powodu strasznego trzęsienia ziemi 7.0 stopnia, jakie doświadczyła ta wyspa dziś wieczorem (12 stycznia).Kutokana na janga la tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.0 ambalo limeikumba Haiti jioni ya leo (Januari 12), “Haiti” ni mada kuu hivi sasa kwenye huduma ya Twita.
3Pośród wielu re-tweetów doniesień mediów oraz tweetów wyrażających modlitwę i ciepłe życzenia dla tej wyspy na Karaibach znajdują się również doniesienia muzyka i hotelarza Richarda Morse'a, który wysyła tweety jako@RAMHaiti.Miongoni mwa lundo la jumbe zinazotumwa tena na tena za taarifa za habari kutoka za vyombo vya habari vikubwa na jumbe nyingine za twita zinazotuma sala au dua pamoja na salamu za heri kwa taifa hili la Karibea, pia kumekuwepo taarifa za mashahidi waliopo kwenye tukio kama vile mwanamuziki na mwendesha hoteli Richard Morse, ambaye anatwiti kwa jina la @RAMHaiti.
4Morse opublikował swój pierwszy tweet około 18.00-tej czasu lokalnego, donosząc:Morse alituma ujumbe huu wa kwanza wa twita kwenye majira ya saa 12 jioni kwa saa za Haiti, akiripoti kuwa:
5my jesteśmy ok w oloffson'ie [jego hotelu] .Tuko salama hapa oloffson [hoteli anayoiendesha] .. intaneti inapatikana!! Hakuna simu!
6.mamy Internet !! nie mamy telefonów ! mam nadzieję, że wszyscy są w porządku.
7.wiele budynków w [Port-au-Prince, stolicy Haiti] leży w gruzach !Natumaini wote wako salama… majengo mengi makubwa hapa PAP [Port Au Prince, mji mkuu wa Haiti] yameporomoka!
8W serii tweetów wysłanych godzinę później donosi:Mfululizo wa jumbe za twita zilizotumwa saa moja baadaye ziliripoti:
9Prawie wszystkie światła są nieczynne w Port au Prince.. ludzie nadal krzyczą, lecz hałas cichnie w miarę jak zapada zmrok.
10Wiele plotek o tym, które budynki się zawaliły…..
11Castel Haiti za Oloffson'em jest kupą gruzów. .a miał 8 pięterKaribu kila taa imezimwa katrika mji wa Port au Prince… watu bado wanapiga mayowe lakini sauti zao zinafifia kadiri giza linavyotanda.
12Nasi goście siedzą przy wjeździe.. nie ma poważnego zagrożenia tutaj przy Oloffson'ie ale wiele budynków w okolicy zawaliło siękuna uvumi kuhusu majengo gani yaliyoanguka… jingo la Castel Haiti nyuma ya oloffson ni biwi la kifusi… lilikuwa jingo la ghorofa 8 kwenda juu
13Powiedziano mi, iż zapadły się fragmenty Pałacu..Wageni wetu wamekaa nje kwenye barabara ya gari… hakuna uharibifu mkubwa hapa Oloffson lakini majengo mengi makubwa yaliyo jirani yameanguka
14UNIBANK tu na Rue Capois zawalił sięNimeambiwa kuwa sehemu za kasri (ikulu) zimeanguka… UNIBANK hapa mtaa wa Capois imeporomoka
15ludzie przynoszą ludzi na noszachwatu wanawaleta watu kwa machela
16Port au Prince w ciemności poza kilkoma ogniskamiPort au Prince iko kwenye giza isipokuwa kwa mioto michache
17Zawalił się wielki szpital zbudowany naprzeciw OloffsonaHospitali kubwa iliyokuwa inajengwa mkabala na Oloffson imeporomoka
18Samochody zaczynają jeździć.magari yanaanza kuzunguka..
19.widzę światła w oddali w stonę przystaniNinaziona taa kwa mbali kuelekea dagoni
20Później Morse re-tweetował @isabelleMORSE, która donosi, iż “ jest wiele zniszczeń na Grand Rue (Ave Dessalines) Daniel Morel jest ok. Policja, Katedra, podmiejska telekomunikacja, kościół Św.Baadaye, Morse alituma tena ujumbe wa twita @isabelleMORSE, ambaye aliripoti “uharibifu mkubwa kwenye mtaa wa Grand (Ave Dessalines) Daniel Morel's iko sawa, stesheni ya polisi, Downtown teleco, kanisa la Mtakatifu Anne yote yameangamia”.
21Anny zniszczone“. Tuż po 19:30 czasu lokalnego, Morse pisał:Mara baada ya saa 1 jioni kwa saa za Haiti, Morse aliandika kwamba:
22Telefony zaczynają działać.Simu zinaanza kufanya kazi.
23.zadzwonić ktoś, komu zawalił się dom, dziecko jest ranne ale w porządku.Nimepokea simu kutoka kwa mtu ambaye nyumba yake iliporomoka, mtoto kaumia lakini salama. .
24Kilka osób pokazało się w @ Oloffson' ie.Watu wachache wanaanza kujitokeza @Oloffson.. barabara hazipitiki kutokana na kuta zilizoanguka.
25.drogi są zablokowane spadającymi ścianami..maangamizi makubwa katika mtaa wa Grand.
26.wiele zniszczeń na Grand Rue.Nasikia hospitali kuu imeporomoka
27Dzoszły mnie słuchy, iż szpital Generalny się zapadł.watu wanahitaji madawa na vifaa vya matibabu, chakula, malazi; sijui kuhusu hali ya maji
28Ludzie potrzebują leków…jedzenia, noclegu; nie wiem, jaka jest sytuacja z wodą;
29Potem, koło 19:45: kolejne trzęsienie.Kisha, kwenye majira ya saa 1:45 jioni:
30.ludzie krzyczą i szaleją poniżej obok stadionu…wiele osób śpiewa i modli siętetemeko jingine dogo.. watu wanapiga mayowe na kukimbia kuelekea uwanjani.. wanaimba na kusali sana katika makundi makubwa
31I koło 20:40pm czasu lokalnego: kolejny wstrząs.Na kwenye majira ya saa 2:40 usiku kwa saa za Haiti:
32.trochę dłuższy.
33.dużo krzyków w śródmieściu. .zapowiada się długa noctetemeko jingine dogo.. limechukua muda mrefu zaidi.. mayowe mengi mjini.. huu utakuwa usiku mrefu
34Również na Twitterze roznoszą się zdjęcia zniszczeń tak jak te poniżej, wysłane do użytkownika Twittera @marvinady przez dziennikarza Radia One z Haiti Carela Pedre'a .Pia zinazotawala katika Twita ni picha za maangamizi na uharibifu zilizopigwa na raia kama hizi hapa chini, inadaiwa kuwa zilitumwa kwa mtumiaji wa Twita @marvinady na mwanahabari Carel Padre wa Radio One Haiti.
35@LisandroSuero również publikuje fotografie zniszczeń, w tym to poniżej:@LisandroSuero pia ametuma picha za maangamizi, pamoja nah ii hapa chini: