Sentence alignment for gv-pol-20130930-20324.xml (html) - gv-swa-20130924-5712.xml (html)

#polswa
1Pisarz Global Voices wspomina przyjaciół zabitych w ataku na centrum handlowe w NairobiMwandishi wa Global Voices Awakumbuka Marafiki Waliouawa Kwenye Shambulio la Nairobi
2Shurufu jest tanzańskim dziennikarzem z Dar es Salaam.Shurufu ni mwandishi wa Tanzania anayeishi Dar es Salaam.
3Tweetuje pod nazwą @shurufu [ang.].Anatwiti kupitia@shurufu.
4Proszę przeczytać jego post pod tytułem: Relacja z ataku w Nairobi w mediach społecznościowych. [ang.]Pia waweza kusoma posti yake Namna shambulizi la Westgate jijini Nairobi lilivyobainikia kupitia Mitandao ya Kijamii.
5W czasie pisania tego artykułu, liczba zabitych w brutalnym ataku na centrum handlowe Westgate w Nairobi wynosiła 69 osób, z liczbą ponad 200 rannych.Wakati wa kuandikwa kwa posti hii, idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la kikatili kwenye kituo cha kibiashara jijini Nairobi ilifikia 69, wakati wengine 200 wakijeruhiwa.
6Uzbrojeni wojownicy wkroczyli do jednego z najbardziej znanych, zarówno wsród obcokrajowców jaki i średniej klasy Kenijczyków, domów handlowych w mieście , i zapoczątkowali najbrutalniejszy atak, jaki ten kraj widział od czasu zbombardowania ambasady USA w 1998 roku.Wanajeshi wenye silaha walivamia jengo hilo, moja wapo ya maeneo maarufu zaidi jijini humo linalotembelewa na raia wa kigeni na wa-Kenya wa tabaka la kati, na kufanya shambulizi la kikatili zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo tangu kulipuka kwa bomu katika jengo la Ubalozi wa Marekani mwaka 1998.
7Wśród zabitych znalazł się słynny ghański poeta Kofi Awoonor [ang.].Miongoni mwa waliouawa ni pamoja na Mshairi anayeheshimika, raia wa Ghana Kofi Awoonor.
8Zabito również popularną dziennikarkę radiową, Ruhilę Adati.Mwingine ni mtangazaji maarufu, Ruhila Adatia.
9Podobno [ang.Inasemekana alikuwa mjamzito.
10] była w ciąży. Ja również straciłem przyjaciół w ataku na Westgate: Ross Langdon i Elif Yavuz, parę, która spodziewała się swojego pierwszego dziecka.Mimi, vilevile, nimepoteza marafiki katika shambulio hilo la Westgate: Ross Langdon na Elif Yavuz, wenzi waliokuwa wakimtarajia mtoto wao wa kwanza.
11Mieszkali w Dar es Salaam, ale chcieli, aby dziecko urodziło się w Nairobi, ze względu na tutejszą, miejską opiekę medyczną.Waliishi Dar es Salaam lakini walikuwa Nairobi kwa ajili ya kujifungua kwa sababu ya kuziamini zaidi huduma za afya jijini humo.
12Elif zrobiła doktorat na wydziale Zdrowia Publicznego Uniwersytetu Harvard.Elif alimaliza PhD yake katika Shule ya Afya ya Jamii ya Chuo Kikuu cha Harvard.
13Przeprowadziła się do Dar es Salaam, aby pracować dla Fundacji Clintona.Alihamia Dar es Salaam kufanya kazi katika Mfuko wa Clinton.
14Oto ona, na spotkaniu z prezydentem Bilem Clintonem podczas jego sierpniowej wizyty do Tanzanii.Hapa chini, akikutana na Rais Bill Clinton wakati wa ziara yake nchini Tanzania mwezi Agosti:
15Elif Yavuz spotyka się z byłym prezydentem USA Billem Clintonem podczas jego wizyty do Tanzanii w sierpniu 2013 roku.Elif Yavuz akikutana na Rais wa zamani Bill Clinton wakati wa ziara yake nchini Tanzania mwezi Agosti 2012.
16Zdjęcie udostępnione przez stronę Facebooka Pani Yavuz.Picha kupitia ukurasa wa Facebook wa Yavuz .
17Elif była inteligentna, dowcipna, rozbrajająco urocza i radosna.Elif alikuwa na akili, anayejua kutumia maneno vizuri, mchezi na mtu wa kufurahia kuwa nae.
18Byłaby wspaniałą matką.Angekuwa mama mwema ajabu.
19Jej partner Ross miał typowo australijskie poczucie humoru i apetyt na życie, charakterystyczne dla ludzi „z nizin”. Był również niezwykle utalentowanym architektem oraz współzałożycielem świetnie prosperującego międzykontynentalnego studio projektów, Regional Associates [ang.].Rafiki yake wa kiume Ross alikuwa na bashasha na ucheshi wa ki-Australia na mwenye furaha ya maisha kama ilivyo kawaida ya watu wakarimu na wanyenyekevu kutoka Australia.
20Oto on na zeszłorocznej konferencji TEDxKraków [ang.Alikuwa mbunifu wa majengo mwenye kipaji cha ajabu.
21], opowiadający o tym, co nazywał architekturą kameleona:Alishiriki kuanzisha kituo cha kimataifa cha ubunifu wa majengo, kinachooitwa Regional Associates.
22Nie mógł się doczekać kiedy zostanie ojcem.Hapa anazungumzia kile alichokiita ubunifu wa Kinyonga katika mkutano wa TEDxKraków wa mwaka jana:
23Nie ma już z nami Rossa i Elif.Alikuwa akitarajia kuwa Baba. Lakini Ross na Elif wametutoka.
24Trudno wytłumaczyć, dlaczego te dwie cudowne istoty, i profesor Awoonor, i Pani Adatia, i Mbugua, i Wahito, i wszystkie inne niewinne dusze musiały umrzeć w centrum handlowym Westgate. Słowami [ang.Ni vigumu kueleza kwa nini watu hawa wema ajabu kiasi hiki pamoja na Profesa Awoonor na Bi. Adatia, wakiwa na Mbugua na Wahito na roho zote zisizo na hatia zilizopotea katika Shambulio la Westgate.
25] pisarza Teju Cole (@tejucole) [ang. ], niech ich szlachetne dusze spokojnie przepłyną do nowego świata.Katika maneno ya mwandishi Teju Cole (@tejucole), mroho zao zipumzike kwa amani katika ulimwengu mpya.
26Przeczytaj również: Relacja z ataku w Nairobi w mediach społecznościowych. [ang.]Soma pia: Namna shambulizi la Westgate jijini Nairobi lilivyobainikia kupitia Mitandao ya Kijamii.