Sentence alignment for gv-pol-20110408-5503.xml (html) - gv-swa-20110428-2025.xml (html)

#polswa
1Egipt: Basboussa na prezydenta!Misri: Basboussa kwa Urais!
2Ten artykuł jest częścią relacji specjalnych z Protesty w Egipcie 2011.Makala hii ni sehemu ya habari maalumu tunazowaletea kuhusu Mapinduzi ya Misri ya Mwaka 2011.
3„Bothania Kamel, która dotychczas prowadziła kilka programów telewizji egipskiej, ogłosiła późnym wieczorem w piątek na Twitter, że planuje startować w przyszłych wyborach prezydenckich. Będzie pierwszą kobietą, która ogłosiła swoją kandydaturę na najwyższe stanowisko w Egipcie”, Manar Ammar [ang.]” “Mtangazaji habari wa zamani wa televisheni ya Misri na mwanaharakati Bothaina Kamel alitangaza kwenye ukurasa wake wa twita usiku wa Ijumaa [ar] saa za Cairo kwamba ana mipango ya kugombea urais kwenye duru inayofuata ya uchaguzi, na kumfanya awe mwanamke wa kwanza kutangaza nia ya kutaka kuingia kwenye ofisi kuu nchini Misri”, Manar Ammar
4W ten sposób wiadomość Bothaina Kamel o startowaniu w wyborach prezydenckich w Egipcie została zrelacjonowana przez Manar Ammar.Hivi ndivyo Manar Ammar alivyoripoti habari za Bothaina Kamel kugombea kwenye uchaguzi wa Urais wa Misri.
5Kamel (@basboussa1) otrzymała od użytkowników Twitter mieszane komentarze. @FaresADL [arab.Kamel (@basboussa1) amepokea miitikio mchanganyiko kutoka kwa watumiaji wa twita.
6] nie mógł uwierzyć, dlatego też napisał do Kamel z zapytaniem czy ta wiadomość jest potwierdzona, czy może to tyko plotka:Mtumiaji wa Twita @FaresADLhakuweza kuamini habari hiyo, kwa hiyo akamwandikia Kamel akishangaa kama habari hizo zilikuwa zimethibitishwa ama zilikuwa ni uvumi tu:
7@FaresADL: @basboussa1 na prawdę startujesz w wyborach prezydenckich?@FaresADL: @basboussa1 ni kweli kabisa unagombea uraisi?
8Feministka, Fatma Emam zareagowała na wiadomość następująco:Fatma Eman, ambaye ni mtetezi wa usawa wa mwanamke aliandika kuhusu habari hizo:
9@fatmaemam: Bothina Kamel pierwsza i jedyna kobieta kandydatka na prezydenta w #Egypt, śledź ją na @basboussa1, w solidarności z #prawakobiet #jan25@fatmaemam: Bothina Kamel mgombea mwanamke wa kwanza na wa pekee nchini #Egypt , mfuatilie hapa @basboussa1 , katika mshikamano #womenrights #jan25
10Zdjęcie z profilu Bothaina Kamel na Facebook; W trakcie demonstracji w czasie Światowego Dnia Przeciwko Korupcji.Picha iliyochukuliwa kwenye ukurasa wa facebook wa Bothaina Kamel; akishiriki maandamano wakati wa maadhimisho ya Siku ya Vita Dhidi ya Rushwa duniani
11Lara (@FarawlaLawra) uznała to za dobrą wiadomość, bez względu na to czy na nią zgłosuje:Lara (@FarawlaLawra) aliiona habari hiyo kuwa nzuri, bila kujali ikiwa ameshawishika kumpigia kura ama la:
12@FarawlaLawra: @basboussa1 jestem dumna i zadowolona z tego, że startujesz - to krok ku otwarciu naszego społeczeństwa na równość praw. (Nawet jeśli nie zagłosuję na Ciebie)@FarawlaLawra: @basboussa1 ninajisikia fahari na furaha unagombea -ni hatua moja mbele kuifungua jamii kuelekea kwenye haki sawa (hata kama ninaweza nisikupigie kura wewe)
13Mahmoud Salem, vel @Sandmonkey, również wyraża swoje poparcie:Mahmoud Salem, anayefahamika pia kama @Sandmonkey, pia aliandika kumuunga mkono:
14@Sandmonkey: @basboussa1 ana ma3aky ya rayessah 3ala fekra. jak dotąd masz mój głos.@Sandmonkey: @basboussa1 ana ma3aky ya rayessah 3ala fekra. mpaka hapo kura yangu umepata
15W tym materiale użytkownika moushebl1, dodany 3 kwietnia 2011, Kamel ogłasza swoje założenia wyborcze [arab.].Katika video hii iliyopandishwa kwenye YouTube na mtumiaji moushebl1 tarehe 3 Aprili, 2011, Kamel anatangaza mipango yake ya kugombea Urais [ar].
16Część ludzi krytycznie wypowiadało się w sekcji komentarzy pod filmikiem na temat jej startu w wyborach.Watu kadhaa walitoa maoni juu ya video hiyo hapo juu kupingana na nia yake ya kugombea Urais.
17MyHamosa: Jestem przeciwko temu by nami rządziła kobieta.MyHamosa: Sikubaliani sisi kutawaliwa na mwanamke
18Algeriangirls123: Nie wydaje mi się, by nawet uzyskała minimum głosów wymagane do startowania w wyborach!Algeriangirls123: Sidhani kama hata ataambulia kura za chini kabisa zinazotakiwa ili kuingia kwenye uchaguzi!
19Radwa El-Shami zakwestionowała dużą ilość kandydatów startujących w wyborach prezydenckich w Egipcie:Radwa El-Shami alihoji sababu zilizo nyuma ya idadi kubwa ya wagombea wanaoutaka Urais nchini Misri:
20Liczba ta wzrasta i na prawdę zaczynam kwestionować intencje i motywacje każdej z osób, która chce wejść na tron Egiptu.Idadi inaongezeka na nimeanza kujiuliza kwa makini dhamira na nia za kila mtu anayetaka kupanda kwenye kiti cha enzi cha Misri.
21Co raz więcej wygląda to, tak jakbym ja nie mógł/mogła służyć krajowi, dopóki nie jestem na szczycie hierarchii, dopóki nie jestem prezydentem.Inaonekana zaidi kana kwamba siwezi kuitumikia nchi yangu bila kushika nafsi za juu za utawala, bila ya kuwa rais. Ninakiri kwamba ninahoji pia wale wenye uchu wa madaraka na sifa binafsi.
22Przyznaję, że również zastanawiam się na tym, kto pragnie władzy i prestiżu: pytam dlaczego Shafiq startuje w wyborach (co najmniej 10 z 45 milionów Egipcjan, którzy mają prawo głosu nie zagłosowało na niego jako premiera!); dlaczego Mortada Mansour wyobraża sobie, że może być prezydentem (zamierza rządzić nami groźbami i podniesionym głosem); dlaczego Bothaina Kamel chce być prezydentem (feminizm?); dlaczego niektórzy przypochlebiają Naguib Sawiris by był częścią tego wszystkiego (stąd i z owąd dochodzą wiadomości, ale on osobiście powiedział, że Baradei jest jego ulubioną postacią); i również pytam jakie jest stanowisko dr AlBaradei po tym jak tłumy zaakceptowały kiepskie poprawki w konstytucji, w wyniku których odmawia on prezydentury.Ninahoji kwa nini Bw. Shafiq anagombea urais (wakati kiasi cha wa-Misri milioni 10 kati ya milioni 45 wenye sifa na haki ya kupiga kura walimkataa kama waziri mkuu!); kwa nini Dk. Amr Khaled anafikiria kugombea urais (bado haijathibitishwa); Jema gani Sheikh Hassan anafikiria kuwa itaifanyia Misri kama rais (kuna uvumi kuwa naye anawania urais); kwa nini Bw. Martada Mansour anajidhania kuwa anaweza kuwa rais (je atatutawala kwa vitisho na kupayuka?); kwa nini Bi. Bothaina Kamel anataka kuwa rais (ni harakati za usawa wa mwanawake?); kwa nini wapo watu wanamshawishi Bw. Naguib Sawiris kuwa sehemu ya harakati za uraisi (habari kutoka hapa na pale, lakini yeye mwenyewe alisema Baradei ni mtu anayempenda); na ninauliza pia ni upi msimamo wa Dk. AlBaradei baada ya umma kukubali mabadiliko yenye kilema ya katiba ambapo yeye aligoma kuwa rais?
23Radwa pisze dalej:Halafu Radwa aliendelea:
24Nie wiem czy jestem jedyną osobą, która pesymistycznie zapatruje się na tą sytuacji, jako farsę; i właśnie dla tego piszę.Sijui kama mimi ni mtu pekee ninayeikatia tamaa hali hii na kuiona kama kituko, na hii ndiyo sababu ninaandika. Ninapazia sauti kuguswa kwangu kwa sababu ninahitaji uhakikisho.
25Wyrażam swoje zaniepokojenie ponieważ potrzebuję jakiejś gwarancji.Ninaomba maoni yenye weledi na ujuzi; Ninatafuta mtu atakayeongea kwa mantiki.
26Proszę o opinię opartą na rozległych i dogłębnych informacjach; szukam kogoś, kto mówi do rzeczy.Makala hii ni sehemu ya habari maalumu tunazowaletea kuhusu Mapinduzi ya Misri ya Mwaka 2011..