Sentence alignment for gv-spa-20130712-195493.xml (html) - gv-swa-20130710-5462.xml (html)

#spaswa
1Familias sauditas conmemoran el ”Tercer día de los detenidos”Saudi Arabia: Familia za Wanaoshikiliwa Gerezani Zaandamana
2Las familias de los detenidos sauditas conmemoraron el “Tercer día de los detenidos” para protestar contra la detención arbitraria de sus familiares que están detrás de los barrotes desde hace años sin acceso a un juicio justo.Familia za watu wanaoshikiliwa gerezani nchini Saudi Arabia zaingia siku ya tatu ya kupinga kushikiliwa bila utaratibu maalum kwa wapendwa wao, ambao wamekuwa mahabusu kwa miaka kadhaa sasa bila ya kusomewa mashitaka yoyote.
3El día 7 de julio fue así llamado por los grupos de defensa anónimos @e3teqal [detenidos] y @almonaseron [partidarios].Siku hii ya tarehe 7 Julai, iliitishwa na makundi ya mawakili yasiyofahamika, ambayo ni @e3teqal [chini ya ulinzi] na @almonaseron [waungaji mkono].
4Arabia Saudita es una de las pocas monarquías absolutas que quedan en el mundo y tiene una muy mala reputación en el área de derechos humanos, que incluye la detención arbitraria de mas de 30.000 personas.Saudi Arabia ni moja ya nchi chache duniani ambazo bado zipo chini ya mfumo wa utawala wa kifalme na ina rekodi isiyoridhisha kuhusu haki za binadamu ikiwa ni pamoja na kushikilia gerezani zaidi ya watu 30,000 bila sababu maalum.
5En diferentes lugares del reino las familias de los detenidos pusieron fotos y carteles pidiendo la liberación de sus parientes.Sehemu mbalimbali za dola hiyo, familia za watu wanaoshikiliwa wananing'iniza picha na ishara kama namna ya kushinikiza ndugu zao waachiwe huru.
6Hicieron videos y distribuyeron volantes para dar publicidad a la causa.Waliandaa video na vipeperushi vilivyojaribu kuelezea sababu ya kuandamana kwao.
7A diferencia del primer [en] y segundo ‘Día de los detenidos', esta vez los puentes fueron custodiados [ar] por las fuerzas de seguridad para asegurarse que nadie cuelgue carteles en ellos.Tofauti na siku ya kwanza na ya pili ya kuwatetea watu walioshikiliwa gerezani, safari hii madaraja yalikuwa yakilindwa na askari ili kuzuia watu wasibandike vipeperushi katika madaraja hayo.
8También las murallas que tuvieran cualquier tipo de expresiones pidiendo la liberación de los prisioneros fueron rápidamente pintadas.Aidha, kuta zote zilizoonekana kuwa na ishara yoyote ya kushinikiza kuachiwa kwa wafungwa, zilifutwa mara moja.
9La familia que recibió mayor atención fue la de Abdullah Al-Ayaf, quien está en prisión desde hace seis años.Familia iliyotiliwa mkazo zaidi ilikuwa ni ile ya ndugu Abdullah Al-Ayaf. Al-Ayaf amekuwa gerezani kwa miaka sita sasa.
10Fue juzgado y absuelto pero permanece en prisión.Kesi yake ilisikilizwa na hakukutwa na hatia lakini bado anashikiliwa gerezani.
11Su retrato fue colgado en Qassim, frente a su domicilio.Picha yake ilitundikwa nje ya nyumba yao huko Qassim.
12Su casa fue rápidamente rodeada de policías y por vehículos de la Mabahith (policía secreta).Ghafla, nyumba hiyo ilizingirwa na askari pamoja na Mabahith ( magari ya polisi kanzu).
13Un miembro de la Mabahith habló a Maha Al-Dhuhaian [ar] - la esposa de Al-Ayaf - durante el día y la maldijo.Mmoja wa watu wa kundi la Mabahith aliongea wakati wa mchana na Maha Al-Dhuhaian ambaye ni mke wa Al-Ayaf, mtu huyo aliishiakumtukana mama huyo.
14Mas tarde, un policía vino a hablar con ella para pedirle que sacara la fotografía. Elle le relató lo sucedido con el miembro de la Mabahith.Baadae, afisa wa polisi aliongea na mama huyo akiamuru picha hiyo iondolewe. mama huyo pia, alielezea alichofanyiwa na askari kanzu aliyemtukana.
15“No creo que ningún miembro de las fuerzas de seguridad dijera tales cosas,” respondió el oficial de policía.“Sifikiri kama afisa wa usalama yeyote angeweza kutamka maneno yale” afisa wa polisi alimjibu.
16Agregó: “La foto es la única razón de que estemos aquí, es mejor para usted que la saque.”“Picha hiyo ndiyo iliyotufanya tufike hapa, ni vyema ukaiondoa” afisa wa polisi aliongeza.
17“La foto significa que quiero que mi marido esté de vuelta.“Picha hii inamaanisha kuwa, ninahitaji mume wangu atolewe gerezani.
18No me envíe sus matones. La foto permanecerá” le respondió.Usiniletee majambazi hapa. picha yenyewe yajieleza” mama huyo anamuambia askari.
19La conversación fue grabada en video [ar] por Yasser [ar] hijo de Al-Dhuhaian y Al-Ayaf.Majibizano haya yaliyo katika video yalirekodiwa na Yasser, Al-Dhuhaian pamoja na mtoto wa kiume wa Al-Ayaf.
20El oficial le pregunta si está grabando y Yasser responde “Sí.”Ofisa alimuuliza Yasser kama alikuwa anachukua video na Yasser alimjibu, “ndio, ninachukua video”.
21El oficial de inmediato hace un llamado por teléfono mientras la madre le dice “¿está llamando por mi hijo?Ofisa huyu alipiga simu ya haraka huku mama yake na Yasser akimuambia, “wapiga simu kutoa taarifa juu ya mwanangu kuchukua video?
22No lo haga.Usifanye hivyo.
23Yo le dije que grabe esto.”Mimi ndiye niliyemuamuru kufanya hivi”
24http://www.youtube.com/watch?gl=US&hl=en&client=mv-google&v=eKDgJGYZdkchttp://www.youtube.com/watch?gl=US&hl=en&client=mv-google&v=eKDgJGYZdkc
25Tan pronto como el video fue subido a YouTube se transformó en viral.Mara tu baada ya video hiyo kuwekwa katika mtandao wa Youtube, ilishambuliwa na virusi.
26Los tuiteros sauditas iniciaron una etiqueta pidiendo que los miembros de la Mabahith fueran responsables de calumnia.Watumiaji wa Twita wa nchini Saudi Arabia walianzisha kiungo ishara wakimtuhumu mtu wa Mabahith kuwa ndiye anayehusika na kashfa hiyo.
27Al atardecer [ar], oficiales de policía amenazaron a Saleh, hermano de Yasser, diciendo que estrellarían sus coches si no les daba el ID (NdT: identificación) de Yasser.Ilifahamika kuwa, Maafisa wa polisi walimtishia Saleh ambaye ni kaka yake na Yasser kuwa, kama hatawapatia kitambulisho chaYesser, wangeharibu magari yake.
28Maha Al-Dhuhaian tuiteó:Maha Al-Dhuhaian alitwiti:
29La gente está haciendo oraciones del amanecer (NdT: la primera de las cinco oraciones diarias hechas por quienes practican la fe musulmana) mientras la policía está en mi puerta pidiendo que entregue a mis hijos o estrellarán nuestro auto.Wakati watu wakisali sala ya mapambazuko, polisi walishafika mlangoni kwangu wakinitaka niwatoe watoto wangu vinginevyo wangeharibu gari letu.
30¿De qué seguridad están hablando?Ni ulinzi gani huo wanaouongelea?
31Al día siguiente, el 8 de julio, llegó la policía a rodear la casa pidiendo nuevamente que la familia entregara al hijo que hizo el video.Siku iliyofuata, yaani Julai 8, polisi walifika tena na kuizingira nyumba wakishinikiza kujitokeza kwa mtoto aliyechukua video ya mahojiano.
32Al mismo tiempo un empleado del Ministerio del Interior llamó a la familia pidiéndoles borrar [ar] el video y prometiéndoles que tendrían lo que querían.Wakati huohuo, mfanyakazi kutoka wizara ya mambo ya ndani alipiga simu akiitaka familia iifute video hiyo na kuahidi kuwa wangetimiziwa kile walichokuwa wanakihitaji.
33La última vez que hablé con Yasser me dijo:Mara ya mwisho kuongea na Yasser, aliniambia kuwa:
34“Mi padre será liberado tarde o temprano.“Baba yangu ataachiliwa siku za hivi karibuni.
35No hago esto por mi padre.Sifanyi hivi kwa ajili ya baba yangu.
36No soy un héroe, pero el camino es oscuro.Mimi siyo shujaa, lakini njia ina kiza.
37Por lo tanto, si nosotros no nos quemamos ¿quien iluminará el camino?”Na hivyo, kama siyo sisi wa kuleta mwanga, ni nani mwingine atakayetuangazia njia? blockquote>