Sentence alignment for gv-spa-20140903-252272.xml (html) - gv-swa-20140905-8067.xml (html)

#spaswa
1ISIS publica un nuevo video de decapitación, supuestamente del periodista estadounidense Steven SotloffISIS Yaonesha Video ya Mauaji ya Mwandishi Steven Sotloff
2El Estado Islámico de Irak y Siria ha publicado un segundo video en el que supuestamente muestra la decapitación del periodista estadounidense Steven Sotloff.Dola ya kiislam ya nchini Iraq na Syria imeweka tena hadharani video nyingine ya mauaji ya kutisha inayoonesha kukatwa kichwa kwa mtu anayedhaniwa kuwa ni mwandishi wa habari wa Marekani, Steven Sotloff.
3Fotografía publicada en redes sociales.Picha hii ilisambazwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii
4Ha aparecido un segundo video de decapitación de un periodista estadounidense a manos del Estado Islámico de Irak y Siria (ISIS), la organización derivada de Al Qaeda que ha tomado el control de un tercio de Siria y la cuarta parte de Irak.Video ya pili ikoneshayo mauaji ya kukatwa kichwa mwandishi wa habari wa Marekani, mauaji yaliyofanywa na dola ya Kiislam ya Raq na Syria(ISIS), dola iliyo na chimbuko lake kutoka kwenye kundi la Al Qaeda, kundi lililofanikiwa kutawala theluthi moja ya nchi ya Syria na robo ya nchi ya Iraq.
5El video de tres minutos supuestamente muestra la decapitación de Steven Sotloff, cuyo trabajo en las zonas de conflictos del Medio Oriente lo había llevado a Bahréin, Siria, Egipto, Libia y Turquía.Video hii ya dakika tatu inadaiwa kuonesha kukatwa kichwa kwa Steven Sotloff, ambaye amekuwa akifanya kazi sehemu hatari katika maeneo mbalimbali ya Mashariki ya Kati kama vile Bahrain, Syria, Egypt, Libya na Uturuki.
6Sotloff desapareció en agosto del año 2013 mientras reporteaba en Siria.Sotloff hakuonekana kuanzia mwezi wa Agosti mwaka jana akipasha habari kutoka Syria.
7Este espantoso video es el segundo después de la decapitación del reportero gráfico James Wright Foley, quien había permanecido desparecido en Siria por 636 días hasta que ISIS publicó un video de su asesinato el 19 de agosto de 2014.Video hii ya kutisha inakuja mara baada ya ile ya kuchinjwa kwa mwandishi wa kimarekani wa habari katika picha, James Wright Foley, ambaye hakuonekana nchini Syria kwa siku 636, kabla ya video iliyoonesha mauaji yake kuwekwa hadharani na ISIS mnamo August, 19.
8Sotloff fue identificado en el video de Foley junto a una advertencia de que él sería el próximo.Sotloff alitambulishwa katika video ya Foley, angalizo likitolewa kuwa, yeye ndiye atakayefuatia.
9Ahora se dice que en este video aparece un tercer secuestrado, David Haines del Reino Unido.Kwa mara nyingine tena, mateka mwingine, David Haines, raia kutoka Uingereza, inasemekana amejitokeza katika video hii.
10El periodista avecindado en Washington Zaid Benjamin tuiteó a sus más de 45 mil seguidores:DC-based journalist Zaid Benjamin aliye na masjani yake huko DC, atwiti kwa mashabiki wake wanaofikia 45. 5K:
11La misma voz que aparecía en la decapitación de Foley dice que David Haines del Reino Unido será el siguiente.Sauti ya mtu yule yule aliyejitokeza wakati wa mauaji ya Foley yatanabaisha kuwa, David Haines kutoka Uingereza ndiye atakayefuata. - Zaid Benjamin (@zaidbenjamin) Septemba 2, 2014
12ISIS dice en la decapitación de Steven Sotloff que los países deben alejarse de cualquier alianza con los EEUU#ISIS yatoa onyo kupitia video ya kukatwa kichwa kwa Steven Sotloff kuwa, mataifa mengine kamwe yasiiunge mkono Marekani. - Zaid Benjamin (@zaidbenjamin) Septemba 2, 2014
13Según NBC News, Haines, un ex militar británico, dejó la milicia para trabajar en ONG, a los cuales proveía servicios de seguridad.Kwa mujibu wa NBC News, Haines, aliyekuwa mmoja wa wanajeshi wa Uingereza, aliachana na jeshi na kufanya kazi na mashiririka yasiyo ya kiserikali, ambapo alifanya kazi za kulinda usalama.
14Conmoción La noticia conmocionó a muchos.Mshituko Wengi waliipokea habari hii kwa mshituko.
15La bloguera kurdo-británica Ruwayda Mustafah, con más de 41 mil seguidores en Twitter, quedo sin palabras:Ruwayda Mustafah, ambaye ni Mkurdi Mwingereza, akiwa na watu 41K wanaomfuatilia katika mtandao wa Twita, alishikwa na butwaa:
16Se afirma que ISIS decapita a Steven Sotloff -¿Qué podría decir uno?#ISIS yatoa taarifa ya kumkata kichwa Steven Sotloff -Ni nani angeweza kusema?
17La mayor condena moral se ve patética frente a ISISKukemewa vikali kumeonekana kupuuzwa na #ISIS - Ruwayda Mustafah (@RuwaydaMustafah) Septemba 2, 2014
18Emile Hokayem, mchambuzi wa masuala ya Mashariki ya Kati katika Taasisi ya Kimataifa ya Mafunzo mkakati, alitoa ufafanuzi katika ukurasa wake wa Twita ulio na wafuatiliaji 15k akisema kuwa kuzagaa kwa video za kutisha za namna hii zikionesha madhambi yafanywayo na ISIS inazifanya jamii za Mashariki ya Kati kuchukulia matukio haya kuwa ni kawaida.
19Emile Hokayem, analista de Medio Oriente del Instituto Internacional de Estudios Estratégicos (Reino Unido), explica a sus 15 mil seguidores de Twitter que la difusión de los espantosos videos de los crímenes de ISIS insensibilizan a las sociedades del Medio Oriente:Mideast analyst at the International Institute for Strategic Studies, explains to his 15K followers on Twitter saying the widespread of such horrific videos showcasing ISIS' crimes desensitize Middle Eastern societies:
20Un gran peligro se cierne sobre las sociedades del Medio Oriente: la insensibilización mientras las atrocidades se multiplican y se vuelven parte de la ‘normalidad' cotidiana.Changamoto inayowakabili watu wa Mashariki ya Kati:Big danger hovering over Middle Eastern societies: Kadiri ya matukio ya kikatili yanavyoongezeka, Kupuuzwa kwa matukio haya kunachukuliwa kawaida katika maisha ya kila siku.
21QEPD Steven.Pumzika kwa amani Steven.
22También explica que ISIS está empecinado en hacer públicos estos videos como parte de su estrategia del “terror”.- Emile Hokayem (@emile_hokayem) September 2, 2014 Aliendelea kufafanua kuwa, ISIS ipo makaini kusambaza video hizi ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa “kuwatisha” watu.
23La diferencia entre las atrocidades de ISIS y Assad no es su escala o su naturaleza sino su publicidad.Tofauti kati ya ukatili wa ISIS/Assad sio kwenye uasili bali katika kujitangaza: Kwa upande wa ISIS, makakati wao ni kutisha; Assad anahitaji mapingamizi.
24Para ISIS, la estrategia es el terror.- Emile Hokayem (@emile_hokayem) September 2, 2014
25Assad necesita la ambigüedad/negación.Washirika wake watuma salamu zao za rambirambi
26Los colegas rinden homenaje En Twitter, muchos describen a Sotloff como un periodista valiente.Katika kurasa za Twita, wengi wamuelezea Sotloff kuwa ni mwandishi wa habari aliyekuwa makini.
27El reportero gráfico Mazen Mahdi de Bahréin destaca:Mwandishi wa habari katika picha, Mazen Mahdi kutoka Bahrain aeleza:
28No había querido hablar mucho de Steven Sotloff, pero cualquiera que haya trabajado con él sabría que él era un periodista intrépido… QEPDTangu mapema, sikupenda sana kusema jambo kumhusu Steven Sotloff, lakini kwa yeyote aliyewahi kufanya kazi naye alitambua kuwa Steven Sotloff alikuwa mwandishi asiye kuwa na hofu kabisa.
29Y agrega:Pumzika kwa amani.
30Intencionalmente, Steven Sotloff hizo que los idiotas de ISIS se molestaran en corroborar.- Mazen Mahdi (@MazenMahdi) September 2, 2014 Anaongeza:
31Ellos habrían sabido que él estaba muy interesado en los verdaderos reclamos de la gente.Kama wajinga hawa wa #isil, wangalijaribu kumfahamu Steven Sotloff, wangalitambua kuwa alikuwa akihabarisha masaibu halisi yanayowakumba watu. - Mazen Mahdi (@MazenMahdi) September 2, 2014
32La periodista Portia Walker lamenta su pérdida:Mwandishi wa habari, Portia Walker alalama kufuatia kifo cha mwandishi huyu:
33Pensando en ti, Steven.Ninakuwaza Steven.
34Un gran escritor, valiente periodista y buen amigo.Mwandishi mashuhuri, mpasha habari makini, na rafiki mwema.
35El úlitmo encuentro de Lauren Bohn con Sotloff fue en El Cairo.- Portia Walker (@portia_walker) Septemba 2, 2014
36La periodista multimedia, quien reside actualmente en Estambul, recuerda:Kwa mara ya mwisho, Lauren Bohn alikutana na Sotloff jijini Cairo.
37En un humeante café de El Cairo, tecleando en su portátil, compartiendo contactos y con una sonrisa amplia.Mwandishhi wa habari huyu asiye na mipakaThe multi-media journalist, ambaye kwa sasa yupo Istanbul, anakumbusha kuwarecalls:
38Katika mgahawa waAt a smoky cafe jijini Cairo, akiwa anachapa katika vitufe vya simu yake, tapping on his keyboard, akitupa mawasiliano yake pamoja na tabasamu zurisharing contacts + smiling widely.
39La última vez que vi a Steven.Hii ilikuwa ndio mara yangu ya mwisho kumuona Steven.
40Un alma maravillosa.Ni kumbukumbu ya kipekee.
41QEPD.Pumzika kwa amani.
42Jeb Boone, periodista del Global Post, conoció a Sofloff en Yemen.- Lauren Bohn (@LaurenBohn) Septemba 2, 2014 Na mwaandishi wa Global Post, Jeb Boone alikutana na Sofloff nchini Yemen.
43Él recuerda cómo las personas los confundían:Anakumbuka namna watu walivyokuwa wakishindwa kuwatofautisha:
44Conocí a Steven en Yemen.Nilikutana na Steven nchini Yemen.
45La gente pensaba que éramos la misma persona porque ambos éramos gordos y blancos.Watu walishindwa kututofautisha kwa kuwa sote tulikuwa wanene na weupe.
46Muy gracioso.Ilifurahisha kwa kweli.
47Descansa en paz, amigo.Pumzika kwa amani rafiki.
48#ISISmediaBlackout (Apagón Mediático ISIS)- Jeb Boone (@JebBoone) Septemba 2, 2014
49Al igual que con el video de Foley, muchos están llamando a un apagón mediático contra ISIS.#KuzuiwakwavyanzovyahabarivyaISIS Kama ilivyokuwa kwa video ya Foley, wengi wanashinikiza habari za ISIS kuzuiwa.
50En vez de compartir el video de la decapitación de ISIS, hacen el llamado a recordar a Sotloff en mejores tiempos.Badala ya kusambaza video ya ISIS ya mauaji ya kumkata mtu kichwa, watu wanawataka watu waomboleze kifo cha Sotloff kwa kumkumbuka kwa mazuri aliyoyafanya wakati wa uhai wake.
51Entre ellos se encuentra Zach Green, quien dice:Miongoni mwao ni Zach Green, ambaye anasema: Video ya
52No compartan el video de la decapitación de ISIS, éso es lo que ellos quieren.- Zach Green (@140elect) September 2, 2014 Tangu kuandikwa kwa Twiti hii, imeshasambazwa mara 800.
53Apagón Mediático ISIS. QEPD Steven Sotloff.Kutoka Libya, Ismael atoa mchango wake:
54Esta publicación ha sido compartida unas 800 veces al momento de escribir este artículo.#ISISmediaBlackout pic.twitter.com/8rynuislyS - Ismael (@ChangeInLibya) September 2, 2014
55Desde Libia, Ismael presta su apoyo:Boone aongeza:
56[Nota en el sitio web de LiveLeak] “LiveLeak no mostrará ningún video de decapitaciones del Estado Islámico.”Siwezi kuamini kuwa usambazaji wa video hizi bado unaendelea lakini haifai kwa mtu kuwaunga mkono ISIS kwa kusambaza video hizi.
57Boone agrega:Pumzika kwa amani Sotloff.
58No puedo creer que esto siga ocurriendo pero no debemos empoderar a ISIS publicando sus materiales de RRPP.- Jeb Boone (@JebBoone) Septemba 2, 2014 Na kutoka Lebanon, Elie Fares aelezea:
59QEPD Steven Sotloff. Y desde el Líbano, Elie Fares explica:Usiwape kile wanachokihitaji: Siyo kwa kusikiliza & wala kutazama ukatili wao wenye lengo la kutisha watu.
60No les den lo que quieren: oídos para escuchar y ojos para temer su brutalidad.#ISISMediaBlackout pic.twitter.com/9H7Zf9q6dQ - Elie Fares (@eliefares) Septemba 2, 2014
61¿Qué ocurrirá ahora?Kipi kinafuata?
62Para Joshua Hersh, corresponsal del Huffington Post en Medio Oriente, avecindado en Nueva York, no se están tomando suficientes medidas para detener las atrocidades de ISIS:Joshua Hersh, mwandishi wa habari anayeripotia Huffington Post Middle East aliye na maskanni yake New York, anasema kuwa, kuna juhudi hafifu kabisa katika kukabiliana na ukatili unaofanywa na ISIS:
63ISIS parece ser el único grupo en el mundo que cree que Obama está emprendiendo medidas agresivas contra ISIS.Inaonekana kuwa ISIS ndilo kundi pekee duniani linaloamini kuwa Obama atumia njia za kimabavu kukabiliana na ISIS. - Joshua Hersh (@joshuahersh) Septemba 2, 2014
64Entretanto…Wakati haya yakiendelea..
65La siria Razan Saffour nos recuerda que los periodistas musulmanes no son inmunes a ISIS.Raia wa Syria, Razan Saffour anatukumbusha kuwa, hata waandishi wa habari wa Kiislam hawasalimiki wawapo mikononi mwa ISIS.
66Hace 2 meses, ISIS ejecutó al periodista sirio musulmán Bassam Raies.Wiki mbili zilizopita, ISIS walimuua mwanahabari mwislam wa Syria, Bassam Raies. Jumuia za kimataifa wala hazikulaani kitendo hicho.
67Al mundo no le importó un pepino.#Syria pic.twitter.com/Obms6gTiuK - Razan Saffour (@RazanSpeaks) Septemba 2, 2014