Sentence alignment for gv-spa-20130611-191152.xml (html) - gv-swa-20130601-5055.xml (html)

#spaswa
1Mozambique: trabajadores del área de la salud en huelgaWafanyakazi wa Sekta ya Afya Nchini Msumbiji Wagoma Kudai Maslahi
2Francisco J.Francisco J.
3P.P.
4Chuquela [pt, en], un colaborador del periódico @Verdade, asociado de Global Voices en Mozambique, informó este caso para Global Voices.Chuquela, anayefanya kazi na mshirika wa Global Voices @Verdade Newspaper nchini Msumbuji, aliripoti habari hii kwa ajili ya Global Voices
5Los profesionales de la salud en Mozambique han estado en huelga por diez días, lo que ha provocado el cese de las actividades en varios servicios de salud del país.Wafanyakazi wa sekta ya afya nchini Msumbiji wamekuwa katika mgomo uliodumu kwa siku kumi na kusababisha kusimama kwa huduma katika vitengo vingi vya kutoa huduma za afya kote nchini humo.
6La disputa con el gobierno se basa en demandas de aumentos en los salarios y de uniformidad, como también de un reajuste en los precios de las salas de urgencia en todos los hospitales del país.Mgogoro wao na serikali umetokana na madai yao ya kuboreshewa maslahi na mazingira ya kazi pamoja na kurekebishwa kwa gharama za chumba cha wagonjwa mahututi katika mahospitali yote nchini humo.
7Es la segunda huelga del sector de la salud que ocurre en el país durante el año 2013, pero, esta vez, la protesta de los doctores ha involucrado a más profesionales de la salud y, hasta el momento, se ha extendido por dos semanas.Huu ni mgomo wa pili katika sekta hiyo kufanyika nchini humo kwa mwaka 2013, isipokuwa tu wakati huu mgomo wa madaktari umepanua wigo wake na kujumuisha wataalamu zaidi wa afya na umeendelea kwa juma la pili sasa.
8El descontento alcanzó su punto máximo el domingo en la noche, 26 de mayo de 2013, cuando el presidente de la Asociación Médica de Mozambique [pt], Dr. Jorge Arroz, fue arrestado por la policía bajo la acusación de sedición (incitación del descontento o rebelión en contra del gobierno).Hisia za hasira zilipanda Jumapili usiku, Mei 26, 2013 wakati Rais wa Associação Medica de Moçambique, Daktari Jorge Arroz, alipokamatwa na polisi akishitakiwa kwa makosa ya uchochezi (kitendo cha kuonyesha kutoridhika au uasi dhidi ya serikali).
9La liberación de Arroz unas horas después fue impulsada por una movilización popular masiva frente a la estación de policía, junto con la presencia de los medios de comunicación y la intervención de abogados.Kuachiliwa huru kwa Arroz saa chache baadaye kulichochewa kwa kiasi kikubwa na uhamasishaji mkubwa wa watu mbele ya kituo cha polisi ikichangiwa pia na kuwepo kwa vyombo vikuu vya habari na hatua ya wanasheria kuingilia kati.
10Tomás Queface, un estudiante de sociología, escribió en su blog [pt] Política y Tecnología cómo los mozambiqueños cuestionaron inmediatamente en los medios sociales las razones tras la detención de Arroz y comentaron la falta de libertad de expresión en el país.Tomás Queface, mwanafunzi wa sosholojia, alitoa muhtasari kwenye blogu yake [pt] aiitayo Política e tecnologia jinsi wananchi wa Msumbiji walipohoji haraka sana kwenye vyombo vya habari vya kijamii sababu ya Arroz kutiwa kizuizini na kutoa maoni juu ya ukosefu wa uhuru wa kujieleza nchini humo.
11La mañana del lunes 27 de mayo, los profesionales de la salud se reunieron en el Cineteatro Gilberto Mendes, sosteniendo platos vacíos en las manos.Siku ya Jumatatu asubuhi, Mei 27, wataalamu wa afya walikutana katika jengo la Cineteatro Gilberto Mendes, huku wameshika sahani tupu kwenye mikono yao.
12Fotografía de Canal Moz.Picha kwa hisani ya Canal Moz.
13Contrainformación del gobiernoSerikali yadhibiti habari
14Los analistas creen que el arresto de Arroz ha provocado un aumento en la participación [pt] de profesionales de la salud en la huelga.Wachambuzi wanaamini kwamba kukamatwa kwa Arroz kulichochea ushiriki [pt] wa wafanyakazi zaidi wa afya katika mgomo huo.
15“Los informes [en] sobre el porcentaje de huelguistas que están participando varían entre el 90 y el 5 por ciento de la fuerza laboral médica”, comunicó The Stream de Al Jazeera el 28 de mayo.Taarifa kuhusu asilimia ya wafanyakazi walioshiriki mgomo ni kati ya asilimia 90 hadi 95 ya wafanyakazi wote wa afya”, kipindi cha The stream cha Aljazeera kiliripoti tarehe 28 Mei.
16El 28 de mayo, un ciudadano informó [pt] que los profesionales de la salud se estaban reuniendo en el Hospital Central de Beira.Mei 28, raia alitoa taarifa kwamba wataalamu wa afya walikuwa wanakutana katika Hospitali ya Beira ya kati.
17Katika wiki ya kwanza ya mgomo, wakati msemaji wa Wizara ya Afya akisema kuwa vitengo vyote afya vilirejea hali ya kawaida, waandishi wa habari za kiraia na wale wa kujitegemea walisema kuwa kulikuwa vikwazo vingi katika baadhi ya vitengo vikubwa vya matibabu.
18Los ciudadanos y los periodistas en Maputo enviaron sus denuncias desde varios hospitales y servicios de salud: las consultas estaban retrasadas y los pacientes eran recibidos y examinados por estudiantes, doctores de las fuerzas armadas, extranjeros y organizaciones internacionales como la Cruz Roja.Raia na waandishi wa habari mjini Maputo walituma ripoti zao kutoka hospitali kadhaa na vitengo vya afya: kulikuwa na kuchelewa kwa ushauri wa kitabibu, na wagonjwa walikuwa wanapokewa na kupimwa na wanafunzi, madaktari wa kijeshi, wageni na mashirika ya kimataifa kama vile Shirika la Msalaba Mwekundu.
19Otros profesionales, quienes normalmente ocupan posiciones de liderazgo fuera de los centros de salud, estaban realizando servicios más especializados.Wataalamu wengine, ambao kwa kawaida huchukua nafasi ya uongozi wa nje vitengo, walikuwa wanafanya huduma fulani mahususi.
20Actos de intimidaciónVitendo vya vitisho
21Los directores de hospitales intentaron movilizar a los profesionales de la salud para que volvieran a trabajar, pero no tuvieron éxito.Wakurugenzi wa hospitali walijaribu kuhamasisha wataalamu wa afya kufanya kazi, lakini hawakufanikiwa.
22Una grabación de audio [pt], compartida [pt] en Facebook el 21 de mayo por la Asociación Médica de Mozambique, dio a conocer amenazas e intimidaciones a los profesionales de la salud por parte del director del mayor hospital de Mozambique:Rekodi ya sauti [pt] iliyotumwa na Chama cha Madaktari cha Msumbiji katika Mtandao wa Facebook mnamo Mei 21 imefunua kitendo cha Mkurugenzi wa hospitali kubwa Msumbiji akiwatisha wataalamu wa afya:
23…el día en que el Ministerio de Salud comience a usar toda la máquina [represión] que tiene detrás, llorarán…… siku ambayo Wizara ya Afya itaanza kutumia mashine [za kutesa] ambazo zipo, mtalia…
24El 22 de mayo, la Policía de la República de Mozambique (PRM) y la Fuerza de Intervención Rápida (FIR) prohibieron el ingreso al jardín Nangade, un espacio público en la capital de Mozambique donde los profesionales de la salud pretendían reunirse.Mei 22, Polisi wa Jamhuri ya Msumbiji (PRM) Wakifuatana na Jeshi la Rapid Intervention (FIR) walizuia watu kuingia kwenye bustani ya Nangade, eneo wazi katika mji mkuu wa Msumbiji, ambako wafanyakazi wa afya walipanga kukutania hapo.
25Ingreso al parque Nangade bloqueado por la policía.Zuio la kuingia kwenye bustani ya Nangade likisimamiwa na polisi.
26Ya que la huelga continúa, ¿qué está ocurriendo con la salud?Mgomo unaendelea, vipi kuhusu afya?
27Mientras el Ministerio de Salud permanece incapaz de resolver el problema de los doctores, las enfermeras y los funcionarios, las condiciones de los servicios médicos se vuelven más y más precarias.Wakati Wizara ya Afya bado haijaweza kutatua tatizo la madaktari, wauguzi na watumishi, hali ya huduma ya afya inazidi kuwa mbaya zaidi.
28En un blog en vivo creado por @Verdade para reunir las denuncias de los ciudadanos sobre la huelga en el sector de la salud, hay testimonios sobre la falta de higiene [pt], de medicamentos y de otras necesidades básicas.Katika blogu inayokusanya habari za moja kwa moja iliyotengenezwa na @ Verdade kukusanya habari za kiraia kuhusu mgomo katika sekta ya afya, kuna shuhuda za ukosefu wa usafi, madawa, na mahitaji mengine ya msingi.
29En la mañana del 28 de mayo, un ciudadano informó [pt] a través de un mensaje de texto:Asubuhi ya Mei 28, mtandao wa raia uliripoti kupitia SMS:
30En una reunión de servicio esta mañana en el Hospital Central de #Maputo, “no hay ropa, vendas, anestésicos.Katika huduma ya mkutano leo asubuhi katika Hospitali Kuu ya Maputo, “hakuna mavazi, bandeji, dawa za ganzi.
31Es imposible trabajar así”.Ni vigumu kufanya kazi katika mazingira kama haya.”
32Los pacientes ingresados por TB en el Hospital General de Mavalane, en la capital del país, no han recibido medicamentos desde el primer día de la huelga.Wagonjwa waliolazwa kwa sababu ya ugonjwa wa kifua kikuu katika Hospitali kuu ya Mavalane katika mji mkuu wa nchi hiyo hawajapata dawa tangu siku ya kwanza ya mgomo.
33La Asociación Médica de Mozambique y la Comisión de Profesionales de la Salud reiteraron que la huelga sólo se detendrá cuando el gobierno deje de intimidar a los profesionales de la salud y a los otros funcionarios que se unieron a la causa, y cuando cumplan con las peticiones.Chama cha Madaktari cha Msumbiji na Tume ya Watumishi wa Afya walisisitiza kwamba mgomo utasitishwa tu endapo serikali itaacha kuwatishia wataalamu wa afya na wafanyakazi wengine ambao walijiunga na mgomo huo, na pia ikiwa madai yao yatatimizwa.
34Los trabajadores del área de la salud protestan por la forma en que se están realizando los ajustes salariales, contrario a lo establecido en un memorándum [pt] acordado entre la asociación y el gobierno en enero.Wafanyakazi wa afya wanapinga jinsi marekebisho ya mshahara yanavyofanywa, katika ukiukaji wa mkataba wa maridhiano kati ya chama hicho na serikali mwezi Januari.
35El gobierno, a través del director nacional de la gestión estratégica de los recursos humanos de la Secretaría de la Función Pública, dijo que ellos ya han alcanzado la capacidad límite en términos de disponibilidad del ajuste salarial.Serikali, kupitia mkurugenzi wa kitaifa wa uongozi wa kimkakati wa rasilimali-watu katika Wizara ya Utumishi wa Umma, alisema kwamba tayari imefikia kikomo katika uwezo wake wa kulipa marekebisho ya mshahara.
36Además, el Ministerio de Salud acusó a la asociación de no estar abierta al diálogo.Wizara ya Afya ilishtaki chama kwa kutokuwa wazi katika mazungumzo.
37Sin embargo, @Verdade tiene copias de la correspondencia oficial intercambiada entre la asociación y el Ministerio de Salud, donde se puede leer, en una carta del 21 de mayo, que los profesionales de la salud expresan su disposición a continuar con las negociaciones, en respuesta a una carta del Ministerio.Lakini @ Verdade ina nakala ya mawasiliano rasmi yaliyokuwepo kati ya chama na Wizara ya Afya ambapo yeyote anaweza kusoma, katika barua ya tarehe Mei 21, kwamba wataalamu wa afya waelezea uwazi wao wa muendelezo wa mazungumzo, katika kujibu barua kutoka kwa Wizara.