Sentence alignment for gv-spa-20150522-286300.xml (html) - gv-swa-20150522-8821.xml (html)

#spaswa
1DECLARACIÓN: Global Voices hace un llamado por la seguridad de los blogueros de BangladeshTAMKO: Global Voices Yatoa Wito wa Kuimarishwa kwa Usalama wa Wanablogu wa Bangladesh
2“¿Quién será el próximo?”“Nani atafuata?” michoro ya wanablogu wa Bangladesh waliouawa.
3Bosquejo de los blogueros asesinados en Bangladesh por MadhuMondol.Kwa hisani ya MadhuMondol.
4La comunidad de Global Voices reclama atención internacional para la alarmante situación de los blogueros en Bangladesh.Jumuia ya Global Voices yaitaka jamii ya kimataifa kutupia jicho hali tete ya usalama inayowakabili wanablogu wa Bangladeshi.
5Los blogueros han sido asesinados, y muchos han sufrido ataques, amenazas de muerte o han sido condenados al ostracismo por religiosos de línea dura a causa de sus escritos.Wanablogu wameshauawa, na wengine wengi wamesha shambuliwa, wakijikuta kwenye vitisho vya kuuawa na pia kutengwa na wahafidhina kutokana na mambao wanayoaandika.
6Solo este año, tres blogueros han sido asesinados en público.Kwa mwaka huu peke yake, wanablogu watatu waliuawa mbele ya hadhara.
7Los nombres de estos blogueros y de víctimas de amenazas integran la lista de 84 personas que fue presentada ante un comité especial del gobierno por un grupo de clérigos musulmanes conservadores que acusaron a los blogueros de ser “ateos” y de escribir contra el Islam.Majina ya wanablogu hawa pamoja na wengine walio katika hatari hii yalionekana kwenye listi ya watu 84 iliyowasilishwa kwenye kamati maalum ya serikali na kikundi cha viongozi wa Kiislam kilichowatuhumu wanablogu hawa kwa kujihusisha na “upagani” pamoja na kuandika mambo yanayopingana na Uislam.
8Los funcionarios del gobierno respondieron bloqueando sitios web críticos y arrestando a blogueros y líderes de la derecha religiosa, durante el auge de las protestas de #Shahbag de 2013.Kufuatia tuhuma hizi kwa wanablogu hawa, Serikali iliamuru kufungwa kwa tovuti makini na kukamatwa kwa wanablogu pamoja na viongozi kwa kutumia sheria ya dini wakati ambapo maandamano ya #shahbag ya 2013 yalipokuwa wameshika hatamu.
9Algunos medios, entre otros destacados blogs de derecha, incluso han difundido la idea que todos los blogueros son ateos que “hieren los sentimientos” de los bangladesíes que profesan una religión.Baadhi ya vyombo vya habari, zikiwemo blogu maarufu za mrengo wa kulia, zimediriki hata kusambaza maneno kuwa wanablogu wote ni wapagani ambao “wamekuwa wakipotosha imani” ya waumini wa dini nchini Bangladesh.
10Los ateos tienen los mismos derechos que los demás ciudadanos en Bangladesh.Wapagani wana haki sawa na raia wengine wa nchini Bangladesh.
11Según la ley nacional, toda persona que tenga la intención “deliberada” o “maliciosa” de “herir sentimientos religiosos” puede ser procesada.Kwa mujibu wa sheria ya nchi, mtu yeyote aliye na madhumuni “thabiti” au “kushukiwa” “kudhuru hisia za kiimani” anaweza kuhukumiwa.
12Pero los casos de violencia paramilitar y los asesinatos por presuntos insultos constituyen una respuesta horrenda y una atroz violación de las leyes bangladesíes.Lakini machafuko yatokanayo na kujichukulia sheria mkononi pamoja na mauaji kunakotokana na tuhuma za kukashifu ni jambo lisilovumilika kabisa na ni dhahiri kuwa ni ukiukwaji wa sheria za Bangladesh.
13Pese a esto, el gobierno laico de Bangladesh ha hecho bastante poco para desalentar los ataques o para someter a los asesinos a la justicia.Hata hivyo, serikali ya kidini ya Bangladesh hadi sasa imeweka juhudi hafifu sana za kukemea mashambulizi haya au kuwafikisha wauaji kwenye vyombo vya sheria.
14Estos blogueros no defendían ni cometían ese tipo de violencia.Wanablogu hawa hawakuwa wakiunga mkono au kujihusisha kwenye machafuko hayo.
15Ellos escribían acerca del complejo y a menudo tendencioso clima político de Bangladesh y sobre la importancia de defender los derechos humanos.Walikuwa wakiandika kwa maoni yao kuhusiana na hali tete ya kisiasa ya Bangladesh pamoja na umuhimu wa kuweka kipau mbele haki za binadamu.
16Ellos ejercían su derecho a la libre expresión, consagrado en la constitución nacional y la doctrina internacional de derechos humanos a la que Bangladesh se ha adherido.Walikuwa wakitumia haki yao ya uhuru wa kujieleza, whuku wakilindwa na katiba ya taifa lao pamoja na Sheria ya kimataifa ya haki za binadamu ambayo Bangladesh ni mwanachama.
17Global Voices es una comunidad de blogueros, activistas, autores, y traductores de 137 países.Global Voices ni jumuia ya wanablogu, wanaharakati, waandishi, na watafisi kutoka katika nchi 137.
18El derecho humano universal a la libre expresión es fundamental para nuestra misión.Haki ya binadamu ya kimataifa ya uhuru wa kujieleza ndiyo kipau mbele chetu katika dira yetu.
19Contamos las historias menos reportadas de todo el mundo y defendemos el derecho de todos a expresarse libremente y sin temor.Tunasambaza habari zisizopewa kipaumbele kutoka katika katika pande zote za dunia pamoja na kutetea haki ya kila mmoja ya kujieleza kwa uhuru bila ya hofu.
20Entre las 84 personas de la lista están amigos y colaboradores de la comunidad de Global Voices.Miongoni mwa wanablogu hao, watu 84 katika listi hii ni marafiki na wachangiaji wa jumuia ya Global Voices.
21Existen también blogueros y activistas que no están en esta lista, pero que están en peligro debido a sus escritos y a su activismo.Pia, wapo wanablogu pamoja na wanaharakati wa mtandaoni ambao hawapo katika listi hiyo, lakini wapo katika hali hatarishi kutokana na uandishi na uanaharakati wao.
22Estamos sumamente preocupados por la seguridad de los blogueros bangladesíes tanto dentro como fuera del país.Kwa kila hali, tunahusika moja kwenye usalama wa wanablogu wa Bangladesh waliopo ndani na nje ya nchi hii.
23Condenamos los asesinatos de los blogueros Ananta Bijoy Das, Ahmed Rajib Haider, Washiqur Rahman y Avijit Roy y exhortamos a las autoridades para que garanticen que los responsables de estos asesinatos sean sometidos a la justicia.Tunawalaani waliofanya mauaji ya Ananta Bijoy Das, Ahmed Rajib Haider, Washiqur Rahman na Avijit Roy na pia tunazitaka mamlaka husika kuwachchukulia hatua za kisheria wale wote waliohusika kutimiza mauaji hayo.
24Y le pedimos a nuestros aliados en la comunidad internacional de derechos humanos que se sumen a nuestro llamado, y que colaboren para garantizar la seguridad de quienes se encuentran en peligro.Na pia, tunawaomba washirika wetu wote wa jamii ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kutuunga mkono ikiwa ni pamoja na kusaidia kuimarisha usalama wa watu wote walio katika mazingira hatarishi.