Sentence alignment for gv-spa-20150820-295953.xml (html) - gv-swa-20150916-9016.xml (html)

#spaswa
1Cuidado con las elecciones más reñidas de la historia de TanzaniaFuatilia Uchanguzi wa Kihistoria Kuwahi Kutokea Nchini Tanzania
2Ex Primer Ministro de Tanzania y principal candidato a la presidencia de la oposición Edward Lowassa.Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania na Mgombea urais kwa tiketi ya Muungano wa vyama upinzani, Edward Lowassa.
3Foto de TZA One y publicada en Creative Commons.Picha na TZA One na imetolewa kwa masharti ya Creative Commons.
4Las elecciones generales del 25 de octubre en Tanzania serán las más reñidas de la historia del país después de que el enormemente popular ex Primer Ministro, Edward Lowassa, desertase del partido del gobierno para unirse al principal bloque de la oposición.Uchaguzi mkuu wa Octoba 25 nchini Tanzania utakuwa na ushindani mkali kuliko uchaguzi mwingine wowote uliowahi kufanyika katika historia ya nchi hiyo baada ya Waziri Mkuu mstaafu na mwenye umaarufu mkubwa, Edward Lowassa kuachana na chama tawala na kujiunga na umoja wa vyama vya upinzani.
5Lowassa desertó a finales de julio después de ser eliminado de la lista de aspirantes a la presidencia del partido del gobierno Chama Cha Mapinduzi (CCM).Lowassa alikihama chama tawala mapema mwisho wa mwezi Julai mara baada ya kuenguliwa kwenye orodha ya wawania kiti cha urais kupitia chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM).
6Anunció su intención de presentarse por el bloque de la oposición Chama Cha Demokrasia and Maendeleo (Chadema) poco después.Muda mfupi baadae, alieleza nia yake ya kujiunga na chama cha upinzani, Chama Cha Demokrasia and Maendeleo (Chadema).
7Lowassa afirma que perdió injustamente en su afán de convertirse en el candidato del partido del gobierno.Lowassa anadai kuwa hakutendewa haki na hivyo kukoseshwa nafasi ya kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama tawala.
8Ahora representa a una unión de cuatro partidos políticos luchando por la adopción de una nueva constitución.Kwa sasa, amekuwa mgombea pekee wa urais atakayeuwakilisha umoja wa vyama vinavyotetea kupatikana kwa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
9Dado que Lowassa dispone de un gran apoyo, especialmente de los jóvenes, esta es la primera vez en la historia de la política multipartidos que la oposición del país tiene una posibilidad real de ganar.Ikizingatiwa kuwa Lowassa anaungwa mkono na watu wengi, hususani vijana, hii ni mara ya kwanza katika historia ya siasa ya mfumo wa vyama vingi kwa upinzani nchini Tanzania kuwa na nafasi kubwa ya kushinda nafasi ya kiti cha Urais.
10Después de la deserción de Lowassa, varios miembros clave del partido del gobierno, incluyendo miembros del Parlamento, concejales y funcionarios regionales, le siguieron a Chadema.Baada ya kutoka chama tawala, wanachama wengine kadhaa wa kutoka chama tawala wakiwemo wabunge, madiwani na viongozi wengine wa mikoani nao walihamia kwenye chama kikuu cha upinzani, Chadema.
11Su cambio ha agitado los ánimos, sin embargo.Waziri Mkuu mstaafu mwingine, naye alihamia upinzani. Hata hivyo, kuhama kwake kumeleta mtikitisiko.
12Hasta hace poco, Chadema consideraba a Lowassa corrupto y sin principios.Hadi kipindi cha hivi karibuni, Chadema ilikuwa ikimuona Lowassa kama fisadi na mtu alisiyeoongozwa na misingi inayoeleweka.
13Chadema pidió que se fuese cuando fue implicado en un escándalo de corrupción que culminó con su dimisión en 2009.Chadema waliongoza mapambano ya kumtaka kuachia madaraka wakati alipotuhumiwa kuhusika kwenye kashfa ya ufisadi iliyomlazimisha achukue uamuzi wa kujiuzulu 2008.
14Él ha negado constantemente que su oficina estuviese implicada en aceptar comisiones por un importante contrato energético con la compañía americana Richmond Development.Mara zote amekuwa akikanusha kuwa ofisi yake ilihusika kupokea rushwa ili kuwezesha kupitishwa mkataba mkubwa wa uzalishaji umeme kutoka kwa kampuni ya Kimarekani ya Richmond Development.
15Algunos miembros de Chadema han abandonado el partido como protesta.Baadhi ya wanachama wa Chadema wameshangazwa na hatua ya chama hicho kumpokea na wamepinga kwa kukihama chama.
16Pero las posibilidades de Chadema puede que aumenten por la aparición de Juma Duni Haji como candidato a la vicepresidencia de Lowassa.Hata hivyo, umaarufu wa Chadema unaonekana kuongozeka mara baada ya kupitishwa kwa Juma Duni Haji kama mgombea mwenza wa Lowassa.
17Haji, que ha estado en la oposición en las elecciones presidenciales de Tanzania en el pasado, fue Ministro de Infraestructura y Comunicaciones hasta que Lowassa desertó.Haji, ambaye katika chaguzi za miaka kadhaa iliyopita amekuwa akigombea kwenye nafasi za kitaifa kwa tiketi ya vyama vya upinzani, alikuwa waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano hadi kipindi Lowassa anaihama CCM.
18La popularidad de Lowassa fue claramente destacada cuando su nombramiento fue aprobado por 1,5 millones de personas.Umaarufu wa Lowassa ulionekana dhahiri pale alipodhaminiwa na watu zaidi ya milioni 1.5 .
19Este video de YouTube de AyoTV muestra el día en que Lowassa fue nombrado:Vido ya You Tube ifuatayo inaonesha siku ambayo Lowasa alipochukua fomu ya kugombea urais:
20Lowassa hizo que Dar Es Salaam se detuviese.Lowassa alilifanya jiji la Dar Es Salaam kuzizima wakati alipokwenda kuchukua fomu ya kugombea urais.
21La única ocasión en que Dar Es Salaam había presenciado una multitud tan grande fue cuando el presidente de EE.UU. Barack Obama visitó el país en 2013.Wakati pekee ambao Dar es Salaam ilishuhudia umati mkubwa wa watu ni wakati wa ziara ya Raia wa Marekani Barack Obama alipozuru nchi hiyo mwaka 2013.
22Las redes sociales son un hervidero de emoción.Mitandao ya kijamii imekuwa na mijadala mikali yenye hamasa kubwa.
23Si las elecciones se realizasen en Twitter, el resultado sería tan bueno como se determina.Kama chaguzi zingefanyikia kwenye mtandao wa Twita, matokeo yangekuwa kama inavyotabiriwa.
24Santo Dios, nuestro grito se ha escuchado por fin.@EdwardLowassa Mungu mwema kilio chetu watz kwa muda mrefu hatimaye kimepata majibu.
25El momento de la liberación es ahora.Saa ya ukombozi ni sasa. Tar 25 Oct tupige kura wote.
26Votemos todos el 25 de octubre.- Amdan Mushalaba (@AMushalaba) August 15, 2015
27Albert Gasper Msando comparó a Lowassa con Robin Hood y El Chapo:Albert Gasper Msando alimfananisha Lowassa na Robin Hood na El Chapo:
28Lowassa es un Robin Hood masái.Lowassa ni Robin Hood wa Kimasai.
29O El Chapo tanzano.Au ni El Chapo wa kitanzania.
30Mira las manos que toca y no los dedos de los pies que pisó.Tazama mikono aishikayo na siyo vidole avikanyagiavyo
31Mwamfupe Anyisile aconsejó al partido del gobierno:Mwamfupe Anyisile alitoa ushauri kwa chama tawala:
32Ellos [el partido del gobierno] deberían prepararse psicológicamente para abandonar la Cámara Estatal en paz sin oponer resistencia.@EdwardLowassa wajiandae tu kisaikolojia kuitoa Ikulu kwa amani pasi na shurtisho lolote - Mwamfupe Anyisile (@Anyisile) August 15, 2015
33Given Edward deseó:Given Edward ana matarajio:
34Si las elecciones se celebran hoy, estoy bastante seguro de que Lowassa va a *colgar el teléfono*Kama uchaguzi utafanyika leo, nina uhakika kuwa Lowassa anashinda
354 Samaritan Lepers describió el carisma de Lowassa así:4 Samaritan Lepers aliielezea haiba ya Lowassa:
36Lowassa es ese tío que entra en tu ‘área' y de repente te olvidas de lo que estabas haciendo.Lowassa ni aina ya mtu ambaye “akikukuta” uliko, unasahau ulichokuwa unakifanya.
37Te mira y dice, “SÍGUEME.”Anakuangalia na kisha anakwambia, “NIFUATE”
38DirectoR NiCKLASS aludió a un estereotipo que asocia a los líderes de Chadema con un uniforme caqui:DirectoR NiCKLASS aligusia hisia zinazoambatana na wanachama wa Chadema kuvaa magwanda:
39Honorable Lowassa, los tanzanos están ansiosos por verle en uniforme caqui.@EdwardLowassa mheshimiwa, watanzania tuna ham kuu ya kukuona katika gwanda la kaki
40En respuesta al argumento de que Chadema no es lo suficientemente viejo para gobernar, el propio Edward Lowassa dijo:- DirectoR NiCKLASS (@NicklassM) August 5, 2015 Akijibu hoja kuwa Chadema bado hakijawa na uzoefu wa kutosha wa kuongoza nchi, Edward Lowassa alijibu mwenyewe kwa kusema:
41Aquellos que dicen que Chadema no puede gobernar porque aún es muy joven no entienden.Wanaosema CHADEMA haiwezi kuongoza, kwamba ni chama kichanga hawajitambui.
42TANU [el partido que ganó la independencia de Tanzania] gobernó el país cuando tenía 7 años, Chadema tiene 23 años.TANU ilikabidhiwa nchi ikiwa na miaka 7, CHADEMA ina miaka 23. - Edward Lowassa (@EdwardLowassa) August 4, 2015
43Isack Danford tuiteó:Isack Danford alitwiti:
44Desafío público.Uasi wa jamii.
45Cambios en proceso.Mabadiliko yanatokea.
46CCM debería irse por completo, no me gustan.CCM watoke kabisa, siwapendi na siwezi kudanganya
47Mwamfupe Anyisile reveló su preferencia de voto:Mwamfupe Anyisile alionesha atapigaje kura yake:
48Dejemos que @EdwardLowassa sea el quinto presidente tanzano.Mwacheni Lowassa awe rais wa Tano wa Tanzania
49Y Leylah Malweezy cree que Lowassa tiene respaldo divino:And Leylah Malweezy anaamini kuwa Lowassa anasaidiwa na nguvu za Mungu:
50Eres la verdadera elección de Dios, incluso te veo ya como presidente.@EdwardLowassa hakika wewe ni chaguo la mungu,yan naona kama tayari umeshakuwa raisi,mungu akijaalie uwe mwenye kushinda uchaguzi #lowasa won
51Que Dios te bendiga para ser el ganador.- Leylah Malweezy (@LMalweezy) August 15, 2015
52En un tono más ligero, George Roberts compartió una foto mostrando la elección única de Chadema de espacio publicitario:George Roberts aliweka picha inayoonesha namna ya kipekee ya Chadema ya kujitambulisha kwa wapiga kura:
53El partido de la oposición de Tanzania usando cada rincón de espacio disponible para alguna publicidad en la concentración de Chadema en Mbeya.Chama cha upinzani kikitumia kila njia ili kujitambulisha kwenye mkutano wao wa kampeni leo huko Mbeya
54Pero no todos apoyan a Lowassa y Chadema.Hata hivyo, siyo kila mmoja anayemuunga mkono Lowassa na Chadema.
55En respuesta a la observación de Musa Kilembo de que Lowassa ha creado un callejón sin salida para los votantes, Evarist Chahali dijo:Akijibu maoni ya Musa Kilembo, kwamba Lowassa amekubalika kwa wapiga kura, Evarist Chahali alisema:
56Yo también.Hata mimi pia.
57No sólo he luchado contra las injusticias del CCM, sino que también pagué un alto precio.Siyo tu kuwa nilikuwa ninapambana na maovu yafanywayo na CCM, lakini pia nilijitolea kwa dhati sana.
58Sin embargo, no tengo fe en Lowassa como alternativa.Hata hivyo, sina imani na Lowassa kama mbadala
59Suphian Juma no confía en Lowassa:Suphian Juma hamuamini Lowassa:
60La naturaleza nunca deja vacío, ¿cómo podemos estar seguros de que de verdad eres anti-CCM?Asili hata siku moja haiachi ombwe. Tuna hakika gani kuwa wewe upo kinyume kabisa na CCM?
61Mientras que Bernard Matungwa escribió:Bernard Matungwa aliandika:
62Dos objetivos principales para Chadema. Primero: Hacer del CCM un partido de la oposición.Malengo makuu mawili ya Chadema, La kwanza: Kufanya CCM kuwa chama cha upinzani.
63Segundo: ¡Saquear el país!La pili: Kuipora nchi!
64Terrible.Inatisha.
65¡Solamente terrible!Inatisha kabisa!
66Nathaniel Imani dio un codazo al pasado de Lowassa:Nathaniel Imani alidokeza kidogo kuhusiana na yaliyomkuta Lowassa kipindi cha nyuma:
67Si eres pecador y corrupto, cuando te unes a Chadema te conviertes en un santo.ukiwa mwenye dhambi fisadi mla rushwa ukija #chadema utakuwa mtakatifu eeeh - nathaniel imani (@nathanielimani) August 7, 2015
68Y Hamisi Kigwangalla confía en que el gobernante CCM resistirá la actual crisis:Pia, Hamisi Kigwangalla ana matumaini kuwa Chama tawala, CCM kitahimili mikikimiki ya sasa:
69La nueva gente dentro del CCM reformará el partido y el gobierno, y la oposición morirá de muerte natural.Watu wapya ndani ya CCM watakijenga tena chama na serikali, na hapo upinzani utajifia kifo cha asili