Sentence alignment for gv-spa-20100208-23776.xml (html) - gv-swa-20100227-1262.xml (html)

#spaswa
1Mientras Liberia se estabiliza, la juventud habla de sexoKadri Liberia inavyotulia, vijana waanza kuzungumzia ngono
2“Quiero que todos los demás niños nacidos en Liberia- y en el mundo- lleven sus vidas sin pena y se llenen de amor, como yo”, escribe Mahmud Johnson en el blog del grupo sobre VIH/SIDA orientado a jóvenes del Foro Global 40.“Ninataka watoto wengine wote waliozaliwa Liberia -na duniani kote-kuishi maisha makamilifu yasiyo na maumivu na yaliyojawa na maua ya upendo, kama yangu,” anaandika Mahmud Johnson kwenye blogu ya vijana kuhusu VVU/UKIMWI kwenye jukwaa la Global 40.
3El es un ex co-anfitrión de 18 años en el espacio radial “Hablemos de sexo” que aborda temas relacionados al VIH/SIDA y anticoncepción.Ana umri wa miaka 18 mtangazaji mwenza wa zamani wa kipindi cha redio kwa vijana nchini Liberia, “Na Tuzungumzie Ngono”, ambacho kinachoshughulika na masuala yanayohusiana na maambukizi ya VVU/UKIMWI na kuzuia mimba zisizotarajiwa.
4Liberia atraviesa gradualmente la transición de casi 15 años de guerra civil intermitente finalizada en el 2003 a un desarrollo a gran escala.Taratibu Liberia inapitia hatua kwa hatua kutoka kwenye karibu miaka 15 ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vilimalizika mwaka 2003 na kusonga mbele kuelekea kwenye maendeleo.
5Las barreras que permanecen aún son grandes.Vizingiti vilivyobaki ni vikubwa.
6Casi 250,000 personas perdieron la vida en la guerra, y muchos fueron exiliados a países vecinos ya sea en Europa o Estados Unidos.Karibu watu 250,000 waliuawa wakati wa vita, na malaki kadhaa walikimbilia nchi jirani au Ulaya na Marekani kama wakimbizi.
7Los efectos de la guerra en la Juventud Los efectos de la guerra en niños han sido bien documentados.Madhara ya vita kwa vijana Madhara ya vita kwa vijana yamewekwa vizuri kwenye kumbukumbu.
8Cuando el conflicto empezó, diferentes grupos militares enlistaban niños soldados.Mapigano yalipoanza, vikundi mbalimbali vya kijeshi vilitafuta wanajeshi kutoka kwenye rika la watoto.
9Tal vez entre los 20,000 niños, se hayan reclutado a menores de 6 años, generalmente a la fuerza.Pengine watoto wengi kiasi cha 250,000, wengine wadogo wa miaka 6, waliandikishwa, mara nyingi kwa nguvu.
10“Los obligaron a matar a sus amigos, familiares e incluso a sus padres, a violar y a ser violados, a servir como esclavos sexuales y prostituirse, a trabajar, a consumir drogas, a convertirse al canibalismo, a torturar y saquear comunidades”, dice el reporte de la Comisión de la Verdad y Reconciliación de Liberia (TRC).“Walilazimishwa kuwaua rafiki zao na wanafamilia wao ikiwa ni pamoja na wazazi, walibaka na kubakwa, walitumika kama watumwa wa ngono na Malaya, walifanya kazi nguvu, walitumia madawa ya kulevwa, walijihusisha na ulaji wa nyama za binadamu, utesaji na kuiibia jamii”, inasema taarifa ya tume ya Ukweli na Maridhiano ya Liberia. Wanawake na wasichana waliteseka sana.
11Las mujeres y muchachas también han sufrido mucho.Tume hiyo ilipokea karibu visa 7,000 vya ngono ya nguvu.
12La TRC recibió casi 7,000 casos reportados de violencia sexual la mayoría de ellos, pertenecían a muchachas entre 15 y 19 años.Wasichana na wanawake wa umri wa miaka 15 mpaka 19 walikuwa kundi kubwa zaidi lililoathirika na visa hivyo vilivyotaarifiwa.
13A pesar de siete años de paz, las consecuencias negativas se siente como una fuerte catarata sobre Liberia.Pamoja na miaka saba ya amani, habari mbaya bado zinaweza kutmiminika kutoka Liberia kama maporomoko ya maji.
14Tres de cuatro liberianos viven con menos de un dolar al día; y sólo la mitad de los niños en la población pueden asistir a la escuela; en la capital Monrovia, cincuenta por ciento de las pensiones de hogar se han clasificado como seguros de alimentos.Waliberia watatu kati ya kumi wanaishi chini ya dola moja kwa siku, nusu tu ya watoto wa nchi hii wanahudhuria shule; asilimia hamsini ya kaya katika mji mkuu wa Monrovia wanaangukia kwenye kundi lenye uhakika wa chakula.
15El pronóstico económico sigue deprimente y el proceso de repatriación de jovenes - alguno de ellos ex niños soldados - a la economía continúa causando problemas de gobierno.Mwelekeo wa uchumi hauleti matumaini na vijana wanaorejea nchini mwao-baadhi yao wakiwa ni wanajeshi watoto wa zamani - katika uchumi unaoendelea kusababisha matatizo kwa serikali.
16Esto puede ser bastante conflictivo especialmente porque la mitad de la población de Liberia tiene menos de 20 años.Hili linaweza kusumbua sana hasa kwa sababu nusu ya idadi ya watu Liberia ni wenye umri chini ya miaka 20.
17En el blog Ceasefire Liberia, en el proyecto de Rising Voices, Stephen R.Katika blogu ya Ceasefire Liberia, mradi wa Rising Voices, Stephen R.
18Johnson escribe:Johnson anaandika:
19Los jovenes de Liberia enfrentan el reto de ganar una educación capaz de entregarles el derecho de explotar sus habilidades y conocimientos para volverse productivos en el mercado laboral actual.Vijana wa Liberia wanakabiliwa na changamoto nyingi katika kupata elimu ambayo itawapatia amana ya ujuzi na ufahamu kuwa wazalishaji katika soko la leo la ajira.
20Como resultado, la transición de escuela al trabajo es con frecuencia menos exitosa y los jovenes terminan ya sea desempleados o subcontratados en sectores informales rurales o urbanos.Matokeo yake, mpito kutoka shule kwenda kazini mara nyingi zaidi huwa bila mafanikio na vijana wanaishia kuwa ama wasio na kazi au wenye kazi duni zisizo rasmi katika maeneo ya vijijini, mijini midogo na mijini.
21Aún así, el país y su gente están determinados en dejar todo esto atrás.Bado, nchi hiyo na watu wake wameazimia kuiacha nyuma historia yao.
22La economía del país ha crecido y el gobierno viene modernizando su estructura.Uchumi wa nchi hiyo umekuwa ukikua na serikali inaimarisha miundombinu.
23Grupos como la YMCA entrena a ex combatientes para ser insertados en el mercado laboral y posteriormente logren emprender su propio negocio.Makundi kama YMCA yamekuwa yakiwafunza wapiganaji wa zamani kwa ajili ya ajira au kuanza biashara zao wenyewe.
24Pobreza y decisiones difíciles Sin embargo, los contínuos problemas económicos han creado un efecto negativo en otras áreas.Umasikini na maamuzi magumu Hata hivyo, matatizo yanayoendelea ya uchumi yamesababisha madhara mengi katika maeneo mengine.
25La pobreza ha forzado a muchas mujeres a tomar decisiones dificiles en cuanto a sus vidas sexuales, dice Jerry B.Umasikini umewalazimisha wanawake kufanya maamuzi magumu na ya hatari kuhusiana na maisha yao ya kimapenzi, anasema Jerry B.
26Tarbol Jr, de la Federación de Jovenes de Liberia.Tarbolo Jr, kutoka Umoja wa Vijana wa Liberia.
27Dijo que la combinación ha ayudado intensamente en la propagación de transmisión de VIH/SIDA en areas urbanas de Liberia.Anasema mchanganyiko huu umesaidia kukuza kiwango cha maambukizi ya VVU/UKIMWI katika maeneo ya mijini nchini Liberia.
28Si esta situación continua, la enfermedad afectará principalmente a la generación de jovenes, que es uno de los recursos más importantes en Liberia.Kama hali hii itaendelea, ugonjwa huu utaathiri vibaya kizazi kipya, anasema, ambacho ni moja ya vyanzo vikuu vya Liberia.
29La relación entre supervivencia económica y violencia sexual tiene un legado en Liberia.Uhusiano kati ya kujikimu kiuchumi na ngono za nguvu vina kumbukumbu ndefu nchini Liberia.
30Un estudio de UNFPA en el año 2008 sobre las mujeres del Condado Lofa en Liberia demostró que durante la guerra nueve de diez mujeres no tenían sustento para vivir, 96% no tenía hogar y casi el 75% había perdido un familiar.Utafiti wa UNFPA wa mwaka 2008 kwa wanawake wa jimbo la Lofa nchini Liberia uligundua kwamba wakati wa vita, wanawake tisa kati ya kumi walipoteza njia zao zinazowawezesha kuishi, asilimia 96 walipoteza malazi na karibu asilimia 75 waliwapoteza ndugu zao.
31Más de la mitad de las mujeres sufrieron de violencia sexual, y de esas mujeres la mitad de ellas se prostituían de alguna manera.Zaidi ya nusu ya wanawake walikuwa waathirika wa ngono za nguvu, na kati ya hao, nusu waliripotiwa kutoa ngono kama namna ya kupata upendeleo wa namna fulani.
32Información errónea sobre VIH/SIDA Pauline Wleh, una consejera de salud en el centro de la YMCA en Monrovia, dice que lo que la juventud de Liberia necesita es educación sexual.Imani potofu za VVU/UKIMWI Paulie Wleh, muuguzi mnasihi wa Kituo cha vijana cha YMCA mijini Monrovia, anasema kitu kimoja ambacho Waliberia vijana leo wanakihitaji ni elimu kuhusu afya ya ngono.
33Habló con un vocero de Merlin, una ONG internacional que brinda servicios de salud en situaciones frágiles.Alizungumza na mwandishi wa Merlin, AZISE ya kimataifa inayojenga huduma za afya katika mazingira magumu.
34Los años de conflicto aquí cambiaron nuestro sistema escolar y trajó abajó los servicios de salud, es así que los jóvenes hoy en dia saben poco sobre VIH/SIDA.“Miaka ya migogoro hapa iliharibu mfumo wetu wa zamani wa elimu na kubomoa huduma za afya ndio maana vijana leo wanajua kidogo sana kuhusu VVU/UKIMWI.
35Debido a la falta de información, existen muchos estigmas y conceptos equivocados sobre el SIDA ahora.Kwa sababu ya kutokuwa na uelewa, kuna unyanyapaa wa hali ya juu na mikanganyiko kuhusiana na UKIMWI sasa.
36Los jóvenes tienen mucho miedo de hablarle a sus padres y no se puede acceder a la información.Vijana wanaogopa kuzungumza na wazazi wao na hakuna upatikanaji wa taarifa.
37Pero pueden discretamente verme entre partidos de baskelball o después de un paseo al laboratorio de cómputo y hacer algunas preguntas, acceder a los servicios y recibir consejería.Lakini wanaweza kunijia wenyewe wakati wa michezo ya mpira wa kikapu au baada ya ziara ya kutembelea maabara ya tarakilishi kuniuliza maswali, kupata huduma na ushauri. ”
38Dice que ciertos cambios en las actitudes se han hecho apreciables.Anasema mabadiliko mengine katika dhana yamekuwa dhahiri.
39“En los dos años que el centro tiene operando, he visto miles de jóvenes pero sólo he dado 291 exámenes de VIH.“Katika kipindi cha miaka miwili tangu kituo kifunguliwe, nimeona maelfu ya vijana lakini kati yao 291 walipata vipimo vya VVU.
40Aunque la gente está hábida a hablarme, pocas veces se convencen de tomar el test de VIH porque tienen miedo.”Ingawa watu wanahitaji sana kuongea nami, ni nadra sana kushawishika kuchukua vipimo vya VVU kwa sababu wanaogopa.”
41La mayoría de quienes toman el test dicen “en un rato regreso”, o más honestamente, “no quiero saber mi condición, porque no quiero preocuparme”.Wengi wao wanaochagua kutokupima afya zao, wanadai ‘watakuja siku nyingine,' au kwa ukweli zaidi ‘sipendi kujua hali yangu, kwa sababu sitaki kuhofu.'
42La Lucha por concientizar Esta elusión social es para lo que programas como “Hablemos de sexo” están diseñados a contrarrestar.Vita vya uelewa Ukwepaji huu wa jamii ni kile kilichofanya vipindi kama “Na tunzungumze kuhusu ngono” vibuniwe kuwaelimisha kinyume chake.
43El show semanal de 30 minutos fundado en parte por UNFPA, brinda a sus radioyentes 30 minutos de información y conversación referente a sexualidad y educación reproductiva, todo ello dirigido a gente joven.Kipindi hicho cha kila wiki cha urefu wa dakika 30, kwa ufadhili wa UNFPA, kinawapa wasikilizaji wake dakika 30 za taarifa na mazungumzo kuhusu ngono na masuala ya afya ya uzazi, vyote vikiwa vimelengwa kwa vijana.
44Cada programa es creado y escrito por cuatro jóvenes conductores, quienes controlan toda la programación, incluyendo investigación, libreto y ejecución de cada episodio.Kila kipindi kinatafitiwa na kuandikwa na watangazaji wanne, wanaodhibiti utaratibu mzima, ikijumuisha utafiti, kuandika na kuigiza kila kipande.
45“Mi trabajo como co-anfitrión del programa me hizo ver las realidades actuales que enfrenta mi juventud liberiana en la lucha contra el VIH”, escribe Mahmud Johnson.“Kazi yangu kama mtangazaji mwenza wa kipindi cha ‘Na tuzungumze kuhusu ngono' imenipa ufahamu wa namna ya kufanya kazi kwenye uhalisia unaokabiliwa na vijana wenzangu wa Kiliberia katika vita dhidi ya VVU,” Mahmud Johnson anaandika.
46Dice que no se puede separar los problemas económicos de Liberia de los problemas de salud sexual.Anasema huwezi kutenganisha matatizo ya kiuchumi ya Liberia na masuala yanayohusu afya ya ngono.
47Mientras que el equipo de reportaje del programa viaja a comunidades y ciudades lejanas para educar a la juventud sobre el VIH, tomé conciencia, primero, de los temas económicos y tradicionales que muchas personas enfrentan, y como esos temas contribuyen a la propagación del VIH en Liberia.Kama timu ya kivuko ya kipindi hicho kwa kawida hutembelea kwenye maeneo ya makondeni na vijiji kwa ajili ya kipindi kuwafundisha vijana kuhusu VVU, nimeelewa sasa, kwa uzoefu wangu wenyewe, kuhusu masuala ya kiuchumi na kiutamaduni wanayokabiliana nayo watu wengi, na namna masuala hayo yanayochangia kusambaza virusi vya UKIMWI nchini Liberia.
48También tomé conciencia de algunos mitos extraños que los jóvenes creen referentes a la forma de contagio del VIH y su tratamiento.Nimeelewa pia imani potofu ambazo vijana wanazikumbatia kuhusu usambazaji virusi vya UKIMWI na matibabu yake.
49Un gran porcentaje de la población juvenil en Liberia tiene practicamente ningún conocimiento sobre la transmisión y prevención del VIH y este fenómenos se debe en cierta parte a la taza espiralada de anafabetismo en el país.Asilimia kubwa kabisa ya vijana nchini Liberia haina ufahamu kuhusu uambukizaji na kukabiliana na VVU, na dhana hii imetokana si kwa sehemu ndogo, na kiwango kinachotisha cha ujinga (wa kutokujua kusoma na kuandika.)
50Incluso los jóvenes que reciben educación tiene información mínima sobre VIH, además los temas de salud reproductiva no se enseñan en las escuelas liberianas.Hata vijana wanaokwenda shule wana taarifa kidogo sana kuhusu VVU, kama mfano masuala ya afya ya uzazi hayafundishwi kabisa katika shule za Liberia.
51Es por tal que abundan muchos mitos entre la juventud de Liberia sobre VIH y otras infecciones de transmisión sexual, como la que dice que fumar marihuana previene el VIH.Matokeo yake, imani potofu zinawafunika vijana kuhusu VVU na magonjwa mengine yanayoenezwa kwa ngono, zaidi ni imani kwamba kuvuta bangi kunazuia maambuzi ya VVU.
52Por estos mitos potencialmente peligrosos, el equipo del programa radial ha desarrollado el segmento “Mito vs. Realidad”, en el que (en el lenguaje coloquial liberiano) desmentimos los muchos mitos en una base semanal.Kwa sababu ya imani hizi zenye hatari, kipindi cha redio kilianzisha sehemu ya “Imani zikipambanishwa na Ukweli wa mambo”, ambapo (katika lugha ya mtaani ya Kiliberia) tunazizungumzia imani hizo kwa mtindo wa kila wiki.
53El show ofrece un medio útil para que la gente joven aprenda sobre el virus.Kipindi kinatoa nafasi muhimu kwa vijana kujifunza kuhusu virusi.
54Y, por supuesto, hablen de sexo.Na, bila ya shaka, kuzungumzia ngono.
55Hoy, el programa HDS se transmite en toda Liberia, y usará otro canales de refuerzo como folletos, novelas, programas fuera de locación, discusiones en foros grupales, y entrenamiento de voceros para propagar el mensaje sobre transmisión de VIH y anticoncepción.Leo, kipindi cha redio cha “Na tuzungumze kuhusu ngono” kinarushwa kote nchini Liberia, na kinatumia namna nyinginezo za kusisitiza kama vile vipeperushi, maigizo, maonyesho ya barabarani, majadilioano ya makundi lengwa, na elimu rika kusambaza ujumbe kuhusu maambukizi ya VVU na namna ya kuepuka mimba zisizotarajiwa.
56El show es tan popular que la gente ha usado el show para hacer bromas en respuesta a la reciente escacez de huevos de gallina en el mercado de Liberia: ¡Los pollos de Liberia ahora escuchan “Hablemos de sexo” y practican sexo seguro! soy consciente de que no todos los jóvenes en Liberia escucharán o captarán el mensaje de salud que se transmite a través del programa, pero si al menos la vida de una persona cambia en el proceso, sería un éxito para mi como pionero en la conducción de “Hablemos de sexo”.Kipindi hiki ni maarufu kiasi kwamba Walaiberia wengi hata wamekitumia kipindi kutania juu ya upungufu wa hivi karibuni wa wayai ya kuku katika masoko ya Liberia: Kuku wa Liberia sasa wanasikiliza kipindi cha “Na tuzungumze kuhusu Ngono!” na wanafanya ngono salama! Ninajua uhalisia kwamba si kila kijana nchini Liberia atafanyia kazi jumbe zinazotolewa kwenye kipindi.
57Lakini hata kama maisha ya mtu mmoja tu yatabadilika katika mchakato huo, hilo litakuwa ni fanikio kwangu kama mtangazaji mhanga wa kipindi cha “Na tuzungumze kuhusu Ngono.”