Sentence alignment for gv-spa-20130511-187157.xml (html) - gv-swa-20130515-4964.xml (html)

#spaswa
1Bangladesh: Rescatan mujer de los escombros de fábrica tras 17 díasMwanamke Aokolewa Kwenye Kifusi Baada ya Siku 17
2El mismo día que el número de muertos por el colapso de una fábrica de nueve pisos en Savar en las afueras de Dhaka, capital de Bangladesh, llegó a 1.055 [en], ahora el derrumbe de un edificio que se llevó más víctimas [en] desde los ataques terroristas del 11-S, una trabajadora llamada Reshma Begum fue encontrada viva [en] luego de estar atrapada en los escombros por 17 días.Siku ifananayo na ile iliyogharimu maisha ya watu mara baada ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa tisa huko Savar pembezoni mwa mji mkuu wa Banglasesh, Dhaka idadi ya vifo imeongezeka hadi 1,055, hadi sasa hili ndilo jingo lililowahi kuporomoka na kuua idadi kubwa zaidi ya watu tangu lilipotokea shambulizi la kigaidi mnamo tarehe 9/11, mfanyakazi mmoja mwanamke ajulikanaye kwa jina la Reshma Begum amekutwa akiwa hai baada ya kuzuiwa na vifusi vya jengo hilo kwa siku 17.
3Begum trabajaba en el segundo piso del edificio como costurera.Begum alikuwa akifanya kazi ya ushonaji katika ghorofa ya pili ya jengo hilo.
4Cuando el edificio colapsó, la mujer de 24 años quedó atrapada en una mezquita bajo el sótano y sobrevivió 416 horas allí al respirar a través de una tubería y escarbar en busca de galletas en las mochilas de sus compañeros muertos.Jingo lilipoporomoka, mwanamke huyo wa miaka 24 alizuiwa ndani ya msikiti uliokuwa sakafu ya ardhi na aliweza kustahimili kwa masaa 416 kwenye vifusi kwa kupumua kupitia kwenye bomba pamoja na kutafuta biskuti kwenyee vibegi vido vya mgongoni vya wenzake waliokuwa wameshapoteza maisha.
5En los primeros días luego de que la estructura cediera el 24 de abril de 2013, 2.428 personas fueron rescatadas del edificio colapsado.Katika siku chache za kwanza mara baada ya jingo hilo kuporomoka mnamo Aprili 24, 2013, watu 2,428 wameshaokolewa kutoka katika vifusi vya jengo hilo.
6La esperanza de que se encuentren otros sobrevivientes entre los escombros es cada vez menor.Tumaini la kuwapata watu wengine wakiwa hai katika vifusi vya jengo hilo linazidi kufifia.
7Rescatistas de Bangladesh sacan a la costurera Reshma de los escombros de un edificio colapsado en Savar luego de diecisiete días. Imágen de Rehman Asad.Waokoaji wa Bangladeshi wakimuokoa mfanyakazi wa kiwanda cha kutengenezea nguo ajulikaye kwa jina la Reshma kutoka kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka baada ya kufunikwa kwa vifusi vya jengo hilo kwa siku 17. picha na Rehman Asad.
8Copyright Demotix (10/5/2013)Copyright Demotix (10/5/2013).
9Begum le dijo a una agencia de noticias:Begum aliwaambia mawakala wa habari :
10Sobreviví principalmente por tomar agua.kwa kiasi kikubwa niliweza kuishi kwa kunywa maji.
11Quedé atrapada apenas el edificio colapsó.Nilibanwa mara tu baada ya jengo kuporomoka.
12Enseguida me refugié en el salón de oraciones.Haraka nilielekea kwenye chumba kwa ajili ya maombi kama mkimbizi.
13En distintos momentos, los rescatistas arrojaron agua dentro.Waokoaji walikuwa wakitupa chupa za maji ndani ya chumba hicho mara kwa mara.
14Pude llenar dos botellas y sobreviví con eso todos estos días.Niliweza kupata chupa mbili za maji ambazo ndizo zilizonifanya nikawa hai kwa siku zote hizi.
15La supervivencia milagrosa de Begum ha causado conmoción en muchos.Kuepuka kifo huku kwa miujiza kwa Begum kuliibua hisia kali miongoni mwa wtu wengi.
16Al escuchar las buenas noticias, el bloguero Ashraf Shishir (@ashrafshishir) escribió:Baada ya kusikia habari hizi nzuri, mwanablogu Ashraf Shishir (@ashrafshishir) aliandika:
17@ashrafshishir (Ashraf Shishir): Lloré como un niño luego de tantas veces.@ashrafshishir (Ashraf Shishir): Nililia kama mtoto kwa muda mrefu.
18¡Reshmi o Reshma ha sido rescatada viva!..Reshmi au Reshma ni hivi punde tu ameokolewa akiwa hai!..
19La trabajadora de desarrollo Shahana Siddiqui (@shahanasiddiqui) [en] trató de no llorar de felicidad.Muundaji wa nguo, Shahana Siddiqui (@shahanasiddiqui) alijitahidi kutoililia furaha.
20Tuiteó:Alitwiti:
21@shahanasiddiqui: ¡Me aguanto las lágrimas mientras leo sobre el rescate milagroso de Reshma!@shahanasiddiqui: Niliacha kutoa machozi yangu mara baada ya kusikia kuokoka kimiujiza kwa Reshma!
22Tiempos de alegría, tiempos de orgullo #Bangladesh #savar.Ni wakati wa furaha, ni muda wa kujisikia fahari.
23Soldados y rescatistas investigan el área de los escombros en Plaza Rana donde encontraron a Reshma viva bajo los escombros.Wanajeshi na waokoaji wakiangalia sehemu Rishma alipokuwa amezuiwa na kifusi cha jengo la Rana Plaza, mahali walipompata akiwa hai.
24Imágen de Firoz Ahmed.Picha na Firoz Ahmed.
25Copyright Demotix (10/5/2013)Copyright Demotix (10/5/2013)
26La baronesa Sayeeda Hussain Warsi (@SayeedaWarsi) [en], primer ministra de estado de asuntos exteriores y de mancomunidad del Reino Unido, respondió luego de oír sobre la noticia del rescate de Reshma:Baroness Sayeeda Hussain Warsi (@SayeedaWarsi), waziri mwandamizi wa Uingerezera anayehusika na mambo ya nje na ushirikiano wa makoloni ya Uingereza alitoa maoni yake mara baada ya kusikia habari za kuokolewa kwa Reshma:
27@SayeedaWarsi: Escenas extraordinarias y esperanzadoras de una joven mujer rescatada 17 días después del derrumbe del edificio en #Savar.@SayeedaWarsi: ni zaidi ya ajabu; tukiio la kutia moyo kwa mwanamke mdogo kuokolewa baada ya siku 17 kupita tokea jengo la Savar kuporomoka.
28Un rayo de esperanza en medio de la tragedia.Mwale wa matumaini katikati ya janga.
29Asif Touhid [en], un experto en marketing, escribió en Facebook:Asif Touhid, mtaalamu wa mauzo, aliandika katika Facebook:
30Reshma … Querida hermana, tu audacia en mantenerte viva me inspiró y revivió mi fe en mi gente. El periodista Kamrul Hasan (@_Kamrul_Hasan_) [bn] le agradeció a todos los rescatistas que trabajaron duro para sacar a Begum con vida:Reshma … dada mpendwa,Dear sister, ushupavu wako wa kuishi kwenye vifusi kwa siku zote hizo kumenipa hamasa na kurejesha imani kwa watu wangu. blockquote> Mwandishi wa habari Kamrul Hasan (@_Kamrul_Hasan_) aliwashukuru waokoji wote kwa juhudi zao walizozionesha kwa kumuokoa Begum akiwa hai:
31@Kamrul_Hasan: ¡Incluso esto es posible!@Kamrul_Hasan: kumbe hili linawezekana!
32Felicidades Reshma, por favor sigue con vida y salud.Hongera sana reshma, uishi maisha marefu na mazuri.
33Muchas gracias al ejército de rescatistas de Bangladesh por sus esfuerzos.Shukrani za pekee kwa jopo la waokoaji wa kijeshi kwa juhudi walizoweka.
34Se cuestionó el rol de los medios ya que arrinconaron a Begum apenas fue rescatada y trataron de entrevistarla.Jukumu la vyombo vya habari lilihojiwa pale walipohamia kwa Begum na kujaribu kumhoji.
35El periodista Tanvir Ahmed [bn] urgió a sus colegas en Facebook:Mwandishi wa habari Tanvir Ahmed aliwahoji waandishi wenzake katika ukurasa wa Facebook:
36Por favor, confórmense con entrevistar a rescatistas y a miembros del equipo médico.Tafadhali mridhike na mahojiano na waokoaji pamoja na jopo la madaktari.
37No se molesten en preguntar cómo sobrevivió tantos días.Msijisumbue kuuliza jinsi alivyoweza kuishi kwenye vifusi kwa siku zote hizo.
38¿Por qué su ropa no está gastada?Kwa nini nguo zake hazikutatuka?
39En vez de constestar estas preguntas, necesita atención médica inmediata.Badala ya kujibu maswali yote haya, anahitaji huduma ya haraka ya matibabu. blockquote>
40Parientes de trabajadores desaparecidos o muertos se mantienen optimistas aun 17 días después del incidente.Ndugu wa waliokuwa fanyakazi katika kiwanda cha nguo waliopotea au kufariki wameendelea kuwa na matumaini ya kuwapata ndugu zao siku 17 baada ya tukio hili.
41Imagen de Shafiur Rahman.Picha na Shafiur Rahman.
42Copyright Demotix (10/5/2013)Copyright Demotix (10/5/2013)
43La industria de adornos de confección es la mayor exportadora de Bangladesh, así que para muchos el colapso del edificio es una representación negativa de la imagen de Bangladesh.Biashara ya nguo zilizokuwa tayari ndio chanzo kikubwa kabisa cha pato la nje kwa nchi ya Bangladesh, kwa hiyo, kwa mtazamo wa wengi, kuanguka kwa jengo hilo kunachorwa kuwa ni taswira hasi ya nchi ya Bangladesh.
44Al tener esto en cuenta, Abu Maksud [bn] hizo a Begum la cara de Bangladesh en una publicación en Facebook:Kwa kulizingatia hili, Abu Maksud alimchukulia Begum kama taswira ya Bangladesh katika makala aliyoiweka katika ukurasa wa Facebook:
45Bangladesh sobrevivió bajo los escombros 17 días. Hermana Reshma - has regresado de un agujero de muerte.Bangladesh iliweza kuishi kwenye kifusi kwa siku 17. Dada Rishma- umenusurika na kifo.
46Has demostrado que Bangladesh incluso sobrevive bajo escombros.Umeonesha kuwa hata Bangladesh inaweza kuishi kwenye vifusi.
47Zafar Sobhan [bn], editor del Dhaka Tribune, concluyó en una entrevista con el sitio web australiano News.com.au:Zafar Sobhan, mhariri wa Jukwaa la Dhaka, alitoa mjumuisho katika mahojiano na mtandao wa habari wa News.com.au:
48Reshma representa lo mejor de Bangladesh, la resistencia de la nación al enfrentar dificultades increíbles, su coraje, su fuerza, su determinación a nunca rendirse sin importar las probabilidades.Reshma anawakilisha ubora wa Bangladesh, ustawi wa nchi ya Bangladesh unaambatana na magumu yasiyoelezeka, utiaji moyo wake, uimara wake, uthabiti wake wa kutokukata tamaa pamoja na changamoto nyingi. blockquote>