Sentence alignment for gv-spa-20091028-18790.xml (html) - gv-swa-20091019-383.xml (html)

#spaswa
1Somalia: ¿El gobierno está reclutando jóvenes kenianos para la guerra?Somalia: Je Serikali Inawaandikisha Vijana Wa Kikenya Kwa Ajili Ya Vita?
2Este es el primer resumen de los blogs somalíes de 2009.Huu ni muhtasari wa kwanza wa blogu za Kisomali mwaka 2009.
3Sí, ha pasado más de un año desde que me tomé una licencia, una larga licencia del blogueo pero ahora estoy de regreso para siempre.Naam, ni zaidi ya mwaka mmoja tangu nilipochukua likizo ya muda mrefu kutoka kwenye shughuli za kublogu lakini sasa nimerudi, moja kwa moja.
4Esta es la primera publicación y esperen más publicaciones sobre la blogósfera somalí.Hii ni makala ya kwanza na tarajieni makala zaidi zinazohusu ulimwengu wa blogu za Kisomali.
5El blogger Royale Somalia [ing] cuenta sobre a una joven médica somalí en Mogadishu quien se ha graduado el año pasado, él escribe:Mwanablogu Royale Somalia anatoa wasifu wa daktari mdogo wa kike jijini Mogadishu ambaye alimaliza masomo mwaka jana, anaandika:
6En diciembre de 2008, 20 estudiantes somalíes superaron enormes adversidades y se graduaron de la Facultad de Medicina en Mogadishu-el primer grupo en hacerlo en casi dos décadas en el fallido estado del Cuerno de África.Mwezi Desemba mwaka 2008, wanafunzi 20 walishinda vigezo vikubwa na kufuzu kutoka chuo cha uganga huko Mogadishu - kundi la kwanza kufanya hivyo katika takriban miongo miwili ndani ya nchi iliyoshindwa katika pembe ya Afrika.
7La Dra. Hafsa Abdurrahman Mohamed, 26, fue una de los que recibieron un diploma de la Universidad Benadir de la capital.Dr. Hafsa Abdurrahman Mohamed, 26, alikuwa ni mmoja wa waliopokea stashada kutoka katika Chuo Kikuu cha Benadir jijini humo.
8Luego de finalizar sus estudios, ella decidió trabajar para Médicos sin Fronteras (MSF), usando sus habilidades para ayudar a proveer asistencia médica gratuita en Somalia.Wakati anamaliza masomo yake aliamua kufanya kazi kwa Waganga Wasio na Mipaka/ Médecins Sans Frontières (MSF), kwa kutumia ujuzi wake ili kutoa huduma za bure za afya nchini Somalia.
9The East African Philosopher [ing] comenta sobre la visita del presidente somalí Sharif Ahmed a los EEUU y el cambio de política de EEUU al tratar con Sharif:Mwanafalsafa wa Afrika ya Mashariki anatoa maoni juu ya ziara ya Rais Sharif Ahmed nchini Marekani na mabadiliko ya sera ya serikali ya Marekani katika mahusiano yake na Sharif:
10En diciembre de 2006 Sheikh Sharif Sheikh Ahmed, actualmente presidente sólo de nombre del Gobierno Federal Transitorio de Somalia, estaba prófugo del ejército etíope, la CIA, y la Policía Montada de EEUU.Mwezi Desemba 2006, Sheikh Sharif Sheikh Ahmed, ambaye hivi sasa ni rais-kwa-jina-tu wa Serikali ya Mpito ya Shirikisho la Somalia, alikuwa analikimbia jeshi la Ethiopia, CIA, pamoja na wanamgambo wa Marekani.
11The East African Philosopher continúa:Mwanafalsafa wa Afrika ya Mashariki anaendelea:
12Durante esta semana Sheikh Sharif está en Minneapolis, Minnesota (hogar de esta loca mujer congresista) reuniéndose con Congresistas, el Gobernador, y el Alcalde de la ciudad.Wiki hii Sheikh Sharif yuko Minneapolis, MN (na nyumbani kwa mbunge mwendawazimu wa kike wa bunge la chini la Marekani) anakutana na wabunge, Gavana na madiwani/Meya.
13Un par de meses atrás tuvo una reunión con la Secretaria Clinton en Nairobi durante su viaje a África.Miezi miwili iliyopita alikuwa na mkutano na Katibu Clinton jijini Naorobi wakati wa ziara yake ya Afrika.
14Sheikh Sharif pasó de terrorista a Presidente en sólo dos años.Kutokea gaidi mpaka kuwa rais kwa Sheikh Sharif katika miaka miwili.
15Eso, amigos, debe ser la primicia.Jambo hilo, marafiki, ni lazima limetokea kwa mara ya kwanza.
16Para mí, dice mucho más sobre la terrible política exterior de EEUU que cualquier otra cosa.Kwangu mimi hili linaongea vikubwa kuhusu sera mbaya ya nchi za nje ya Marekani zaidi ya jingine lolote.
17El blog Kenya Somali [ing] dice que el gobierno somalí está reclutando jóvenes somalíes de Kenia:The Kenya Somali Blog anasema kuwa Serikali ya Somalia inawaandikisha vijana wa Kisomali kutoka Kenya:
18El gobierno respaldado por la ONU de Somalia ha reclutado a más de 170 jóvenes kenianos y ex militares para que lo ayuden a combatir a los rebeldes en el fallido estado del Cuerno de África, dijeron líderes locales del este de Kenia.Serikali ya Somalia inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imewaandikisha zadi ya vijana 170 wa Kikenya na wanamgambo wa zamani ili wakasaidie kupigana na waasi katika nchi iliyoshindwa ya pembe ya Afrika, viongozi walio katika maeneo ya mashariki ya Kenya wamesema.
19Mohamed Gabow, el Alcalde de Garissa, le dijo a Reuters que el alistamiento de kenianos de etnia somalí estaba siendo llevado a cabo en su país en la aldea de Bulla Iftin, en las afueras de su ciudad.Mohamed Gabow, Meya wa Garissa, aliiambia Reuters kuwa uandikishaji huo wa vijana wa Kikenya wenye asili ya Kisomali ulikuwa unafanywa katika nyumba moja kwenye kijiji cha Bulla Iftin, kilichopo pembezoni mwa mji wake.
20El reclutamiento no es un secreto.Uandikishaji huo sio siri.
21Aquellos involucrados no están preocupados.Wanaohusika hawaogopi.
22Están recorriendo todas las aldeas para anunciar el ejercicio,” dijo Gabow en una entrevista posterior el jueves.Wanakwenda vijijini kote kutangaza zoezi hilo,” Gabow alisema katika mahojiano siku ya Alhamis.