Sentence alignment for gv-spa-20131212-211087.xml (html) - gv-swa-20131210-6366.xml (html)

#spaswa
1Sólo el fútbol divide a TanzaniaSoka pekee huigawa Tanzania
2El Estadio Nacional Benjamin Mkapa en Dar es Salaam, Tanzania.Uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa Dar es SalaamTanzania.
3Foto de Omar MohammedPicha na Omar Mohammed
4Dar es Salaam, Tanzania - En cuanto a rivalidades futbolísticas, hay pocas en África más intensas que la existente entre el Simba Sports Club y el Young Africans [en] (conocido localmente como Yanga).Dar es Salaam, Tanzania - Unapozungumzia upinzani wa soka, ni mara chache hapa Afrika utakutana unaoshinda ule wa kati ya simba na Yanga (known locally as Yanga).
5Ambos de la capital comercial del país, Dar es Salaam, son los dos equipos más grandes y antiguos de Tanzania.Zote zinatoka kwenye mji ambao unaaminika kuwa ndiyo kitovu cha biashara, Dar es Salaam, ndizo timu mbili kubwa na kongwe nchini Tanzania.
6Han ganado el mayor número de títulos, se han jactado de las mayores aficiones y en sus plantillas encontrarás la mejor colección de talentos de la nación.Wameshinda idadi kubwa ya vikombe, wanajivunia idadi ya mashabiki wengi, na kwenye vikosi vyao utakuta wachezaji bora wenye vipaji wanavyowakilisha taifa.
7Cuando se encuentran estos dos clubs, Dar es Salaam se transforma.Timu hizi mbili zinapokutana, Dar es Salaam inabadilishwa.
8Una corriente de electricidad atraviesa la ciudad.Ni kama umeme wa aina Fulani unapita jijini.
9Es sutil, pero el movimiento de la energía es palpable, con la famosa crispación de Dar subiendo nuevos niveles.Ni hafifu, lakini nguvu yake inaonekana, na uchangamfu wa jiji la Dar ukiongezeka kwa kiasi fulani.
10Tanzania se ha sentido considerablemente orgullosa de su irrefutable unidad.Tanzania imekuwa ikijivunia umoja wa watu wake ambao hauwezi kuingiliwa.
11Primero somos tanzaneses, antes de cualquier afiliación étnica, religiosa o tribal.Sisi ni Tanzania kwanza, kabla ya rangi, dini au ukabila.
12Pero el día del derby en Dar es Salaam, la ciudad se parte en dos clanes.Lakini siku ya watani wa jadi wanapokutana Dar es Salaam hugawanyika katika pande mbili.
13La gente del famoso equipo rojiblanco del Simba SC o el verdiblanco equipo del Yanga.Watu huvalia mavazi maarufu yenye rangi nyekundu na nyeupe kwa wapenzi wa Simba au kijani na njano kwa wapenzi wa Yanga.
14De las esquinas de las calles salen mástiles que llevan los escudos de los equipos, marcando la afiliación de cada vecindario.Kila kona za mitaa utaona bendera zikiwa na nembo za timu husika, ilimradi tu kuwachanganya wapizani.
15Los coches enarbolan las banderas que reflejan la lealtad de sus conductores.Magari nayo yanabandikwa vipeperushi vya moja ya timu kuonesha ushabiki wa dreva.
16La bandera con el majestuoso león es Simba; la antorcha superpuesta sobre un mapa de África es Yanga.Yenye picha kubwa ya mnyama Simba ni ya timu ya Simba na ile ya mwenge unaonekana ndani ya ramani ya Afrika ni Yanga.
17El día del partido no existe la neutralidad en Dar.Na siku ya pambano lenyewe, hakuna kitu kinachoitwa kutokuwa na upande jijini Dar.
18Me corre por las venas el rojoNinachuruzika damu nyekundu
19Soy un seguidor de Simba.Mimi ni shabiki wa Simba.
20Siempre lo he sido y siempre lo seré.Siku zote nimekuwa na nitaendelea kuwa hivyo.
21Mi conexión con el club es muy fuerte.Mahusiano yangu na Simba yapo imara.
22Mi padre, Mohammed Hadi Tamimi, jugaba en el equipo a finales de los 60 y a principios de los 70, cuando se conocía como Sunderland.Baba yangu, Mohammed Hadi Tamimi, aliichezea timu hii mwishoni mwa miaka ya 60 hadi mwanzoni mwa miaka ya 70 wakati huo ikiitwa Sunderland.
23Y, cuando era pequeño, me despertaba el día del derby, cogía mis cosas del Simba y mis tíos me llevaban sobre sus hombros al partido.Nilipokuwa kijana mdogo, nilikuwa nikiamka mapema siku ya pambano na watani wetu, nakuchukua kisanduku changu cha Simba na mjomba wangu hunibeba kwenye mabega yake na tunaelekea uwanjani.
24“Un día, todos serán seguidores del Simba SC.”““ siku moja, kila mtu atakuwa mfuasi wa simba.”
25Foto de Omar MohammedPicha na Omar Mohammed
26Mis recuerdos de aquellas tardes están repletos con dolores de cabeza.Kumbukumbu zangu kwa hizo siku imejawa na maumivu ya moyo.
27Recuerdo sobre todo las derrotas y el sentimiento de desesperación que le seguía.Nakumbuka mechi nyingi tulizofungwa, na hali ya kukata tamaa iliyofuata.
28Un jugador en particular fue una espina en el equipo de Simba.Mchezaji mmoja kwenye Simba ndio alikuwa ni tatizo.
29El tal Sued “Scud” jugó en el Yanga en los 90 y su especialidad consistía en marcar en contra de Simba.Said Sued “Scud” aliyeichezea Yanga miaka ya 90 na utaalamu wake ulikuwa ni kuifunga simba.
30Tenía algo de sobrepeso y no jugaba mucho pero, cuando llegaba el derby, era casi inevitable que marcaría el gol de la victoria, con un golpe estruendoso apropiando el mote “Scud”.Kwa kiasi alikuwa na uzito uliopitiliza kwa hiyo hakuwa akicheza mara mara, lakini inapotokea siku anacheza ilikuwa kama haizuiliki kwamba ataifungia timu yake, na mashambulizi hatari yaliyomfanya ajitengenezee jina la “Skadi”.
31Cuando crecí, mi devoción por el Simba se debilitó de algún modo.Kwa kadri ninavyozidi kukua, kujitoa kwangu kwa ajili ya simba kumepungua kwa kiasi fulani.
32En los últimos años diez años, he asistido a no más de tres derbis de Dar.Miaka kumi iliyopita nilipata kuhudhuria si zaidi ya mechi tatu za Simba na Yanga.
33Pero, recientemente, empecé a seguir el progreso de mi antiguo equipo otra vez y, el sábado pasado, tras una larga interrupción, decidí ir y ver el último encuentro entre los antiguos archirrivales.Lakini siku za karibuni nimeanza kufuatilia maendeleo ya timu yangu ya kale na tena jumapili iliyopita baada ya kukosekana kwa muda mrefu, niliamua kwenda kutazama mechi hii ya watani wa jadi.
34Un clásico desde hace añosNi ya kiwango tangu zamani zile
35Llegué, con unos amigos, al fantástico Estadio Nacional Benjamin William Mkapa, con una capacidad de 60.000 espectadores sobre una hora antes de las 16:00h del comienzo.Niliwasili, pamoja na baadhi ya rafiki zangu, katika uwanja mkubwa wenye uwezo wa kubeba watu 60,000 -Uwanja wa Taifa wa Benjamin William Mkapa yapata saa moja kabla ya saa kumi kamili mpira kuanza.
36La atmósfera ya estaba electrificada, con los dos grupos de seguidores intentando gritar más alto que el otro.Hali ya hewa ilishakuwa ya kuchangamsha, kukiwa na vikundi viwili vya mashabiki pinzani wakiimbiana.
37Un partido previo entre los juveniles se estaba desarrollando.Wakati huo mechi ya timu za vijana ya timu hizo ilikuwa inaendelea.
38Cuando tomé mi asiento, sentí un principio de ansiedad.Nilivyochukua tu kiti changu nikaona hisia za wasiwasi zinaniingia.
39Simba estuvo entrando en el juego como el equipo más en forma.Simba ilikuwa inakuja uwanjani wakiwa na hali nzuri kimchezo.
40Aún imbatible y liderando la liga, habían ganado cinco de sus últimos ocho partidos.Bado hawajafungwa na wanaongoza ligi, walikuwa wameshinda mechi tano kati ya nane walizocheza.
41Yanga, por otro lado, ya había sufrido su primera derrota de la temporada, pero con cuatro victorias y tres empates, estaban en cuarta posición, solo le separaban de los líderes de la liga tres puntos.Yanga, kwa upande mwingine walishaonja machungu ya kufungwa mechi moja msimu huu, lakini kushinda mechi nne na sare tatu, walikuwa nafasi ya nne, pointi tatu nyuma ya vinara wa ligi.
42Grupo de jugadores del Simba antes del saque inicial.Wachezaji wa Simba wakipiga dua kabla ya kuanza mechi.
43Foto de Omar MohammedPicha na Omar Mohammed
44Pero, cuando comenzó el partido, fue el Yanga el que salió del vestuario en una forma arrolladora.Lakini wakati mechi imeanza, ilikuwa ni yanga waliotoka getini katika hali ya unyonge.
45Manejaron el balón con paso firme y fluidez y controlaron el tiempo a lo largo de la primera parte.Walikaa na mpira kwa umakini na uangalifu na kutawala kipindi chote cha kwanza.
46Simba parecía inseguro de sí mismo, sin idea de qué tácticas debían seguir.Simba kama vile hawakuwa na uhakika na wanachokifanya, bila kujua wazi mbinu wanazotakiwa kutumia.
47Estaban apáticos, luchando para mantener la posesion, recurriendo a balones largos que inevitablemente los condujeron a llevar el balón fuera, que los condujo a jugar a la defensiva.Hawakuwa na nguvu kabisa, walihangaika mno kumiliki mpira, na badala yake kutegemea pasi ndefu mchezo ambao uliyopelekea kupoteza mipira, hii ikawaweka katika hali ya kucheza kwa kujilinda.
48La estrella de la primera parte fue indudablemente el número 10 del Yanga, Mrisho Ngasa.Shujaa wa kipindi cha kwanza bila shaka alikuwa namba 10 wa Yanga, , Mrisho Ngasa.
49Un exjugador del Simba que estuvo causando a su antiguo equipo todo tipo de problemas.Mchezaji huyu wa zamani wa Simba, alikuwa anaisababishia timu yake ya zamani kila aina ya usumbufu.
50Con el partido en el bolsillo, entre el medio campo y la zona de ataque, sus movimientos lejos del balón causaron estragos en el corazón de la defensa del Simba.Akicheza kati ya viungo na ushambuliaji, mwendo wake na mpira uliwachanganya kabisa nafasi ya ulinzi ya Simba langoni.
51Cuando él tuvo el balón, su paz simplemente aterrorizó a la defensa del Simba.Akiwa na mpira mwenendo wake uliwavuruga wabeki wanne wa nyuma wa Simba.
52En quince minutos de partido, él vio recompensados sus esfuerzos.Dakika ya 15 tu ya mchezo alizawadiwa kwa juhudi zake.
53El balón giró desde la izquierda, esquivó al defensa del Simba e irrumpió en la trayectoria de Ngasa. Ngasa lo tiró dentro de la red para darle al Yanga una merecida ventaja.Mpira uliorushwa kutoka kushoto ulimtoroka beki wa Simba na kutua kwenye njia ya Ngasa ambaye aliunyoosha nyavuni kuiandikia Yanga bao stahili la kuongoza.
54Mrisho Ngasa, quien se lo puso difícil a la defensa del Simba en la primera parte, celebra la inauguración del marcador por el Yanga en el derby de Dar.Mrisho Ngasa, aliyeifanya kazi ya mabeki wa Simba kuwa ngumu katika kipindi cha kwanza, akishangilia bao lake la kwanza kwa Yanga katika mpambano wa Dar.
55Foto cortesía de Lenzi ya MichezoPicha ya Lenzi ya Michezo.
56Las cosas mejoraron aún más para el Yanga en el minuto 35.Mambo yaliendelea kuwa mazuri kwa Yanga katika dakika ya 35.
57Después que el Simba no pudiera despejar un gran tiro en su área pequeña, Hamid Kiiza del Yanga tiró, para darle a su equipo una ventaja de 2-0.Baada ya Simba kushindwa kuondoa mpira uliorushwa ndani ya sita ya lango la Simba na kumkuta Hamis Kiiza aliyeusukuma na kuipa timu yake uongozi wa 2-0.
58Y junto antes del descanso, el Yanga volvió a marcar.Na punde tu kabla ya mapumziko, Yanga wakafunga tena.
59Después de interceptar un pase errante, el mediocampista Didier Kavumbangu dribleó a un defensa del Simba antes de tirar a Kiiza, quien metió su segundo gol en el partido.Baada ya pasi ndefu iliyounganishwa na kiungo Kavumbangu aliyemzunguka mlinzi wa Simba kabla ya kumtengenezea Kiiza, aliyeukata mpira huo na kufunga goli lake la pili kwenye mchezo huo.
603-0, Yanga.3-0, Yanga.
61Estaba formándose una masacre.Yalikuwa kama mauaji.
62Simba no tuvo ni idea de lo que les golpeó.Simba hawakuwa na wazo ni kitu gani kimewaangusha.
63Cuando pitó el árbitro para el descanso, los jugadores parecieron aliviados.Mwamuzi alipopiga filimbi kuashiria ni mapumziko, wachezaji wakahisi kupumua.
64Sus seguidores estaban consternados.Wapenzi wao walikuwa wameduwaa.
65Algunos decidieron que habían visto demasiado y abandonaron el estadio.Wengine waliona kwamba walichokiona kinatosha wakaamua kuondoka.
66Aquellos que casi lo hicieron estuvieron a punto de perderse una de las mejores volteadas en la historia del derby de Dar.Waliofanya hivyo walikuwa wakose ujio mkubwa katika historia ya mechi ya watani wa jadi.
67Poco después del comienzo de la segunda parte, el Simba hizo dos cambios.Mapema baada ya kuanza kwa kipindi cha pili Simba wakafanya mabadiliko mawili.
68Los mediocampistas William Lucian y Said Ndemla entraron por los decepcionantes Haroun Chanongo y Abdulhalim Humuod.Viungo William Lucian na Said Ndemla wakaingia kumsaidia Haroun Chanongo aliyelemewa na Abdulhalim Humuod.
69Los dos jóvenes sustitutos transformaron rápidamente el partido.Kuingia kwa washambuliaji wawili makinda kulibadilisha kabisa mchezo.
70De repente, el mediocampo del Simba corría más rápido, empujaba y jugaba más que en el primer tiempo, tomando el control del juego.Ghafla viungo wa Simba, wakachangamka, haraka haraka tofauti na kipindi cha kipindi kwanza, wakauchukua na kuutawala mchezo.
71Lucian y Ndemla, en particular, inyectaron paz a los delanteros del Simba y muy pronto ayudaron a su equipo a acortar distancias con un gol.Hasa Lucian na Ndemla, waliongezea nguvu safu ya ushamuliaji ya Simba na mapema iwezekanavyo ikawasaidia Simba kuanza kupunguza magoli.
72Luego, en el minuto 54, el Yanga no aguantó un arriesgado disparo del Simba que encontró al delantero Bertram Mombeki en la posición para lanzar un cañonazo al fondo del arco, dando a su equipo algo de esperanza.Kisha, katika dakika ya 54, Yanga walishindwa kuizuia presha kutoka kwa washambuliaji wa Simba na kusababisha mshambuliaji wa Simba Bertram Mombeki kwenye nafasi ya kupiga mpira juu ya nyavu, hii kidogo ikaipa timu yake matumaini.
73Pocos minutos después, un saque de esquina lanzado por Ramadhan Singano fue dirigido fuertemente hacia dentro de la red por el defensa central ugandés Joseph Owino y, de repente, el marcador señaló 3-2, y así tuvimos el partido en nuestras manos.Dakika chache baadae,kona iliyochongwa na Ramadhan Singano iliunganishwa kwa nguvu na beki wa kati wa Uganda Joseph Owino na ghafla ikawa 3-2, sasa mpira ukawa kwenye mikono yetu.
74Los seguidores del Yanga parecían sin aire y nerviosos, mientras que los del Simba empezaron a creer que era posible voltear el partido.Wapenzi wa Yanga wakaonekana kukosa pumzi na kuishiwa nguvu wakati wale wa Simba wakiamini kwamba kurudi kwao inawezekana ikawa kweli.
75El ruido en el estadio era ensordecedor, con los gritos de “¡Vamos, Simba!”Kelele ndani ya uwanja zilikuwa za juu, zikisisitiza ‘Twende Simba!''
76Pero el Yanga no estaba terminado aún.Lakini Yanga walikuwa bado hawajamaliza.
77Ngasa, más tranquilo en el segundo tiempo, atravesó directo hacia el gol en cierto momento, pero su lento disparo fue parado por el portero del Simba, Abel Dhaira.Ngasa sasa akiwa mpole kipindi cha pili, aliliwania goli la wazi, lakini awamu hii shuti lake liliokolewa na kipa wa Simba Abel Dhaira.
78A Ngasa le iba a pesar perder la oportunidad.Ni wazi kabisa kwamba Ngassa aliijutia nafasi hiyo.
79A cinco minutos del final del partido, el Simba consiguió un tiro libre a la derecha, cerca del borde de la portería del Yanga.Dakika tano kabla ya mpira kumalizika, Simba wakapata adhabu ndogo kutokea winga ya kulia, karibu na ndani ya lango la Yanga.
80El pase cruzado fue acogido por Gilbert Kaze de una forma maravillosa, quien fue el responsable del empate, mandando a la mitad rojiblanda del estadio a la locura.Krosi hiyo yenye matokeo ilitengenezwa na Gilbert Kaze, aliyegonga kichwa safi na kuisawazishia simba kusababishia rangi nyeupe na nyekundu nusu ya uwanja kuzizima.
81La volteada del Simba se completó.Kurudi kwa simba kukawa kumekamilika.
82- Resultado final del derby de Dar.Matokeo ya mwisho katika pambano hilo.
83Foto de Omar MohammedPicha na Omar Mohammed
84Fue un cambio radical impresionante, la primera vez en la historia del derby en la que un equipo había sido capaz de conseguir tal proeza.Ulikuwa ni mgeuko wa kushtua, mara ya kwanza katika historia ya timu hizi kukutana kwamba wameweza kumaliza kwa matokeo hayo.
85El partido terminó con un 3-3.Mechi iliisha kwa bao 3-3.
86Pocos minutos después, luego que el árbitro pitara el final del partido, algunos jugadores del Simba colapsaron en el campo, sin creer demasiado lo que ya le habían quitado.Dakika chache baadae, baada ya mwamuzi kupiga kipenga kuashiria pambano kuisha, baadhi ya wachezaji wa simba walianguka uwanjani, wasiamini kilichotokea.
87Aquellos que pudieron levantarse, abrazaron a sus oponentes, con la idea de que acababan de formar parte de un clásico inolvidable, uno que perdurará ampliamente en la memoria de sus seguidores.Walioweza kusimama waliwadhihaki washindani wao, wakiwasema kwamba wamekuwa ni sehemu ya mechi hiyo kubwa isiyosahaulika na ambayo itadumu kwenye kumbukumbu za mashabiki wao.
88Omar Mohammed es un periodista de Tanzania que vive en Dar es Salaam.Omar Mohammed ni mwandishi wa habari Mtanzania anayeishi Dar es Salaam.
89Tuitea en @shurufu.Anatwiti katika @shurufu.