Sentence alignment for gv-spa-20150602-287588.xml (html) - gv-swa-20150531-8855.xml (html)

#spaswa
1Segunda mezquita chiíta atacada por el ISIS en Arabia SauditaISIS Yashambulikia Kwa Mara Nyingine Msikiti wa Shia Nchini Saudi Arabia
2En Global Voices Checkdesk, proyecto de colaboración entre Meedan Checkdesk, herramienta en línea de verificación de noticias, y Global Voices Online, Joey Ayoub hace una lista de las reacciones iniciales sobre el bombardeo de una segunda mezquita chiíta en Dammam, en la provincia oriental de Arabia Saudita, por segundo viernes consecutivo.kwenye dawati lakuthibitisha habari la Global Voices, mradi unaoendeshwa kwa ushirikiano kati ya Meedan Checkdesk, zana ya mtandaoni ya kufuatilia habari, na Global Voices Online, Joey Ayoub anaonesha miitikio ya awali kabisa kuhusu kupigwa bomu kwa msikiti wa pili wa Shia huko Dammam, Jimbo la Mashariki mwa Saudi Arabia, siku ya Ijumaa.
3En el atentado suicida que la rama saudita de ISIS, Walayat Najd, ha reivindicado, murieron tres personas y unas 10 personas han resultado heridas.Watu watatu wameuawa kwenye shambulio hilo la kujitoa mhanga, na Walayat Najd, tawi la ISIS nchini Saudi Arabia, limedai kuhusika, na watu kumi wamejeruhiwa.
4El 22 de mayo del 2015 una bomba suicida estalló en una mezquita llena en Al Qadir, en Qatif, matando al menos 21 personas, incluido un niño, y dejó 120 heridos en el peor ataque en una década en Arabia Saudita.Mnamo Mei 22, mtu aliyekuwa na bomu alijilipua kwenye msikiti wenye watu wengi huko Al Qadih, kwenye jimbo la Qatif, na kuua watu wasiopungua 21, ikiwani pamoja na mtoto, na kujeruhi wengine 120, kwenye shambulio baya kuwahi kuonekana katika kipindi cha miaka kumi nchini Saudi Arabia.
5En noviembre, ocho personas fueron asesinadas en Al-Hasa, también en la provincia oriental, cuando hombres armados atacaron un centro comunitario chiíta donde se realizaba una ceremonia.Mwezi Novemba, watu nane waliuawa huko Al Ahsa, kwenye jimbo la Mashariki, baada ya wanamgambo kushambulia kituo cha kijamii kinachomilikiwa na Shia, mahali ambapo sherehe ya kidini ilikuwa ikiendelea.