Sentence alignment for gv-spa-20140520-238300.xml (html) - gv-swa-20140419-7203.xml (html)

#spaswa
1El grupo yihadista Boko Haram y su mortífera campaña en NigeriaKikundi cha Boko Haram Chaendeleza Vitendo Vya Kigaidi Nchini Nigeria
2Una nube de humo y fuego sale del estacionamiento del cuartel de policía en Abuja, Nigeria.Majuma ya hivi karibuni, kundi la Boko Haram limeendeleza kampeni yake ya kutekeleza mauaji kwa kuwachinja raia wa Nigeria wasio na hatia.
3Boko Haram se atribuyó la autoría de la bomba suicida. Imagen de Ayemoba Godswill, Derechos Reservados Demotix (29/4/2013).Juma lililopita, kundi hili liliua wanafunzi zaidi ya 12 waliokuwa wakisafiri kwenda kufanya mtihani wa awali kwa ajili ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu katika jimbo la Borno.
4Nigeria está en pie de guerra con Boko Haram, el movimiento islámico yihadista con presencia en el noreste de Nigeria, el noreste de Camerún y Níger, responsable de miles de muertes en los últimos años.Kundi la Boko Haram pia linahusishwa na mlipuko wa bomu katika kituo cha mabasi uliotokea katika mji wa Nyanya uliopo katika jiji la Abuja, mlipuko uliopelekea zaidi ya watu 70 kupoteza maisha.
5En las últimas semanas, el grupo ha intensificado su campaña de masacrar a nigerianos inocentes.
6En abril, sus miembros asesinaron a más de una decena de estudiantes [en] que iban en camino a rendir su examen de admisión universitaria en el estado de Borno.Siku chache zilizopita, kundi hili liliwateka nyara wasichana wanaokadiriwa kufikia 100 wa sekondari ya wasichana inayomilikiwa na serikali iliyopo Chibok, takribani kilometa 130 magharibi mwa Maiduguri kaskazini mashariki mwa Nigeria.
7Se sospecha que Boko Haram está detrás de la explosión de una bomba en una estación de buses en Nyanya, en la capital Abuja [en], que dejó más de 70 muertos.Picha hapa chini inaonesha mlipuko mkubwa kuwahi kutokea katika historia ya nchi ya Nigeria. Boko Haram walidai kuhusika na ulipuaji wa bomu hilo:
8Hace unos días, el grupo secuestró a un centenar de niñas [en] de la Escuela Gubernamental Femenina de Secundaria de Chibok, ubicada a aproximadamente 130 kilómetros al oeste de Maiduguri, en el noreste de Nigeria.Moshi na moto vikivuma kutoka kwenye maegesho ya magari katika makao makuu ya polisi Abuja, Nigeria. Picha na Ayemoba Godswill, copyright © Demotix (29?
9El año pasado, Boko Haram abrió fuego [en] contra alumnos del Colegio de Agricultura en el estado de Yobe, y acribilló [en] a decenas de estudiantes de entre 18 y 22 años mientras dormían en el internado.4? 2013). Wiki iliyopita, Boko Haram waliwafyatulia risasi wanafunzi katika chuo cha kilimo kilichopo katika jimbo la Yobe, waliwaua kwa risasi makumi mawili ya wanafunzi waliokuwa na umri wa kati ya miaka 18 na 22 waliokuwa wamelala katika bweni lao.
10En este artículo [en] se puede encontrar un historial detallado de las masacres perpetradas desde 2012 por la organización.A Mfululizo wa mauaji yaliyotekelezwa kuanzia mwaka 2012 umefafanuliwa vizuri katika makala haya.
11Muchos cibernautas nigerianos, conmocionados por los últimos crímenes, han culpado al presidente Goodlck Jonathan del deterioro de la seguridad en el país:Watumiaji wengi wa mtandao nchini Nigeria wameshitushwa sana na ukatili huu wa hivi karibuni, wamemlaumu sana Rais Goodluck Jonathan kwa kutokomeza hali ya utulivu nchini:
12Mientras el gobierno federal y sus oficiales de seguridad se perfeccionan en los discursos de condolencias, Boko Haram sigue creciendo…Wakati serikali kuu na maafisa wake wa usalama wakiwa ni mahiri kabisa wa kuandika hotuba nzuri za kuomboleza, kundi la BOKO HARAM linaendelea tuu kujiimarisha.
13Otros piensan que el presidente no hace lo suficiente:Wengine wanafikiri kwamba Rais hajaweza kufanya kile alichopaswa kukifanya:
14Boko Haram hace lo que quiere mientras el presidente está ocupado en sus tontos discursos de campaña.@toluogunlesi alimmwagia sifa mshauri wa Masuala ya Ulinzi wa nchi Kanali Sambo Dasuki:
15¡La irresponsabilidad, la bellaquería es increíble! @toluogunlesi felicitó al Consejero de Seguridad Nacional de Nigeria, el coronel Sambo Dasuki:Ashukuriwe ndugu Dasuki kwani mwezi uliopita alizindua mkakati mzuri kabisa wa kukabiliana na magaidi.
16Hay que decirlo: Dasuki desplegó una estrategia antiterrorista impresionante el mes pasado [marzo 2014].Hii ni kama tu uwasilishaji wa mawazo yake ungeweza kuokoa maisha.
17Si solo las presentaciones salvaran vidas. Henry Bature Okelue se pregunta quién financia a Boko Haram:Ni nani anayewawezesha kifedha Boko Haram, aliuliza Henry Bature Okelue:
18Espero que algún día el gobierno anuncie el desenmascaramiento del financista y autor intelectual detrás de Boko Haram.Ni matumaini yangu kuwa, siku moja serikali itatujulisha ni nani anayewafadhili kifedha na kuratibu mikakati ya Boko Haram.
19Estados de Nigeria donde opera Boko Haram.Majimbo ya Nigeria ambayo Boko Haram huendeshea shughuli zao.
20Imagen publicada bajo licencia Creative Commons por Bohr, usuario de Wikipedia.Picha ilitumiwa kwa mamlaka ya Creative Commons na mtumiaji wa Wikipedia, Bohr.
21Un usuario de Twitter llamó a masacrar a todos los miembros de Boko Haram:Mtumiaji mmoja wa Twita alipendekeza wanachama wote wa Boko Haram wachinjwe:
22El asesinato es la única solución aceptable en este caso. Se debería matar a cada miembro de Boko Haram.Adhabu ya kifo ndio njia pekee ya kutatua tatizo hili. kila mwanachama wa Boko Haram hana budi kuuawa kwa kuchinjwa.
23Horror por el asesinato y angustia por las víctimas:Ni hofu kubwa kwa mauaji na huzuni kuu kwa wahanga:
24Aún no logro entender cómo es que Boko Haram secuestró a 200 niñas de una escuela, me sigue dando vueltas.Nashindwa kuelewa ni kwa namna gani boko haram waliweza kuwateka nyara wasichana 200 wakiwa shuleni, hali hii bado inanitatiza.
25El secuestro de 100 niñas por Boko Haram es una abominación.Kitendo cha BokoHaram kuwateka nyara wasichana 100 girls ni cha kuchukiza mno.
26Goodluck Jonathan debe declarar una guerra abierta contra Boko Haram ahora.Goodluck Jonathan lazima sasa atangaze vita rasmi dhidi ya BokoHaram.
27Borrarlos del mapa.Wafutiliwe mbali kabisa.
28@onigabby1 se pregunta si Nigeria aún existe:@onigabby1 anajiuliza kama Nigeria bado ipo:
29¿Nigeria sigue siendo Nigeria?Hivi Nigeria bado ni Nigeria?
30¿O es la República Federal de Boko Haram?Au ni shirikisho la jamhuri ya boko haram.
31Mis condolencias para las víctimas de la explosión. ¿Cuál es la solución?:Ninawapa pole sana wahanga wote wa mlipuko wa bomu uliotokea.
32@9ja_travel: ¿La solución al terrorismo de Boko Haram?Kuna njia muafaka ya kutatua tatizo hili?:
33No existe una solución, solo se podrían reducir sus acciones.Kuna utatuzi wa ugaidi wa Boko haram?”
34@LovBwise llama a los activistas a manifestarse:Kwa kweli hakuna suluhisho, kinachowezekana ni kupunguza mfululizo wa mashambulizi yao.
35¿Los activistas de Twitter podemos por favor protestar este fin de semana contra los patrocinadores de Boko Haram?
36@opinion_river adopta una posición de mesura:@LovBwise awataka wanaharakati kuandamana:
37El presidente Goodluck Jonathan no creó Boko Haram.@opinion_river alionesha dhahiri kile anachokiamini:
38La secta existe desde antes de que él asumiera el poder.
39Pero él no ha hecho lo suficiente para eliminarlos.Baadhi ya watu waliwataka watu kusali:
40Algunos llamaron a la oración: Por favor tómense cinco minutos entre las 12 y 12:05 para decir esta oración: Dios, ayuda a las inocentes niñas secuestradas por Boko Haram en Borno.Tafahali, tutumie muda wa dakika tano kuanzia saa 6 mchana hadi saa 6:05 mchana ili tusali sala hii:- Mungu uwasaidie wasichana wasio na msaada waliotekwa nyara na Boko Haram huko Borno
41Entretanto, otros llaman a algo más que la oraciónWakati wengine wakihitaji mambo mengine zaidi kufanyika mbali na kusali:
42Mientras rezamos por las víctimas de Boko Haram, debe surgir una estrategia desde la oración.Wakati tunawaombea wale waliotekwa nyara na Boko Haram, mikakati lazima ipewe kipau mbele kutoka katika sehemu hiyo ya kusalia.
43El usuario @naitwt hace un llamado de esperanza:Mtumiaji @naitwt alikuwa na matumaini:
44Los terroristas y sus patrocinadores y simpatizantes pretenden distraer, desmoralizar y destruir - pero no lo lograrán y nosotros venceremos.Magaidi pamoja na wafadhili wao, waungaji mkono wa & wanaounga mkono uvurugaji wa amani, kudhalilisha & kuharibu - lakini watashindwa & sisi tutaendelea kudumu.