Sentence alignment for gv-spa-20100711-32990.xml (html) - gv-swa-20100713-1515.xml (html)

#spaswa
1Nigeria: ¿Quién cambió la opinión del presidente — Facebook o la FIFA?Naijeria: Nani Amemfanya Rais Abadili Msimamo — Facebook au FIFA?
2Nigeria no es conocida por sus receptivos líderes.Nigeria si nchi inayofahamika kuwa na viongozi wanaowasiliana na umma.
3Raramente, los políticos de alto nivel se comprometen con el electorado, y es una queja común que la voz del pueblo se queda sin ser escuchada.Wanasiasa wa ngazi za juu hujishughulisha kwa nadra sana kuwasiliana na wapiga kura wao, na mara nyingi kuna malalamiko kwamba sauti za watu huwa hazipewi nafasi.
4Lakini Rais aliyethibitishwa hivi karibuni, Goodluck Jonathan anaelekea kubadili mtindo huu: wiki chache zilizopita alifungua anwani yake ya Facebook, na siku mbili baadaye alibadili uamuzi uliokuwa umejaa utata mwingi baada ya washabiki wengi walioudhiwa na uamuzi wake kuandika maoni yao makali kwenye ukurasa wake wa Facebook.
5Pero el recientemente confirmado presidente Goodluck Jonathan podría estar cambiando eso: hace unas cuantas semanas, abrió una cuenta en Facebook y dos días después dio marcha atrás en una controvertida decisión, luego que cientos de hinchas publicaran decepcionadas reacciones en su muro.Uamuzi huo ulihusu uchezaji duni ambao ulionyeshwa na Timu ya Taifa ya Nigeria katika mashindano ya Kombe la Dunia. Mara baada ya timu hiyo kutupwa nje ya mashindano, Jonathan alitangaza kwamba timu hiyo ingefungiwa kwa muda wa miaka miwili wakati ambapo mipango ingewekwa ili kukabili ufisadi.
6La decisión en cuestión vino a a raíz de la pésima actuación de la selección nigeriana de fútbol en el Mundial.““Tatizo la soka la Nigeria ni la kimfumo,” mshauri wa Rais wa masuala ya mawasiliano alieleza vyombo vya habari.
7Tras su eliminación del campeonato, Jonathan anunció que su equipo quedaría suspendido durante dos años mientras se realizaban planes para eliminar la corrupción.“Ipo haja ya kujitoa katika mashindano yote ya soka ya kimataifa ili tuweze kurekebisha mambo.” Lakini mashabiki wengi hawakupendezwa na taarifa hizo, walilaumu kwamba kufungiwa huko kwa timu halikuwa jambo sahihi.
8“El problema del fútbol nigeriano es estructural”, dijo el asesor presidencial a la prensa.Mnamo tarehe 5 Julai, Jonathan alibadili uamuzi wake, na alituma ujumbe huu kwenye ukurasa wake wa Facebook:
9“Hay la necesidad de retirarse de todos las competencias internacionales de fútbol para poder poner nuestra casa en orden”.Nimesoma maoni yenu na nimeyazingatia katika uamuzi wa serikali kubadili kusimamishwa kwa timu ya taifa ya Nigeria katika mashindano ya kimataifa ya soka.
10Nimekutana na NFF [Shirikisho la Taifa la Soka la Nigeria] leo na kuwafikishia kusikitishwa kwangu na kule kwa Wanigeria wengine kama kulivyoonyeshwa katika ukurasa huu na wamenihakikishia kwamba kutakuwa na mabadilio mazuri …
11Pero muchos hinchas quedaron molestos con la noticia, y se quejaron ante lo injusto de la suspensión.Lakini je ni kweli kwamba kubadilika huku kwa moyo wa Jonathan kulitokana na maoni ya raia waliopaaza sauti zao zenye hasira katika Facebook?
12El 5 de julio, Jonathan dio marcha atrás en su decisión, y publicó el siguente mensaje en su muro de Facebook:FIFA, ambayo ndiyo Shirikisho linaloongoza masuala ya soka ulimwenguni, nalo halikuwa limekubaliana na uamuzi wa kufungiwa timu hiyo, na ilitoa muda wa wiki moja kwa Raiskuubadili.
13Uamuzi wa Jonathan wa kufuta uamuzi wake wa awali uliangukia katika siku ile iliyokuwa kikomo cha muda aliopewa na FIFA, na jambo hili limewaacha wengi wakijiuliza endapo ilikuwa ni kwa msukumo wa wa shirikisho hilo lenye nguvu - wala si msukumo wa maoni ya watu - uliomfanya abadili uaumuzi wake.
14He leído sus comentarios y los he tomado en cuenta en la decisión del gobierno de revocar la suspensión de Nigeria del fútbol internacional.SolomonSydelle anaandika: Jambo hili sasa linaonyesha kwamba Jonathan amefyata mkia kutokana na msukumo wa shirikisho hili la kandanda.
15Mtazamo huo unaweza kumwangusha Jonathan ambaye hivi sasa bado ana miezi michache ya kukalia kiti cha urais kabla ya uchaguzi mkuu wa rais … Zaidi ya hilo, mgogoro huu kati ya JOnathan na FIFA unaibua maswali kuhusu tabia ya wakala hii ya soka, ambayo imeitishia hata uamuzi wa kiongozi wa taifa kwa njia ya mzunguko.
16Me reuní hoy con la NFF [siglas en inglés de la Federación Nacional de Fútbol de Nigeria] y transmití mi desilusión y la de los nigerianos en esta página y recibí garantías de tener cambios positivos…Jonathan si kiongozi wa kwanza kujiunga na mtandao wa kijamii katika Intaneti. Kiongozi wa Venezuela, Hugo Chavez, alijiunga na Twitter mwezi April; Rais wa Chile, Sebastián Piñera, naye pia hutumia Twitter, na si yeye tu bali ni pamoja na baraza lake zima la mawaziri.
17Labda hapa swali kubwa ni kama viongozi wataendelea kutumia majukwaa kama Twitter na Facebook kuwasiliana na wapiga kura wao - au kama njia moja zaidi ya kueneza agenda ambayo tayari wamekuwa nayo.
18Nigeria inakaribia kuingia kwenye uchaguzi mkuu na inabashiriwa kwamba Jonathan ana mpango wa kugombea, kwa hiyo njia hizi za kisiku hizi kama kujiunga na Facebook na kuifunguliwa tena Super Eagles huenda zikawa tu ni janja yake ya kutaka kujipatia uungaji mkono mkubwa zaidi kabla ya uchaguzi.
19Pero, ¿realmente el cambio de opinión de Jonathan fue una respuesta a los ciudadanos que expresaron su frustración en Facebook?“Je, hii si njia nyingine ya kucheza na maneno? Je, hii si njia nyingine ya kujaribu kuwahadaa Wanigeria?” aliandika My pen and my paper.
20La FIFA, el ente de gobierno del fútbol internacional, también discrepó con la suspensión, y le dio una semana al presidente para revocarla.Kwa Rais kubadili uamuzi wake inaonekana kwangu kama jaribio la kugeuzageuza maneno ili mradi tu mtu asikike kwamba ameongea. Pengine.
21La decisión de Jonathan de reintegrar al equipo cayó exactamente en la fecha límite que fijó la FIFA, lo que ha hecho que muchos se pregunten si fue la poderosa organización de fútbol -y no el pueblo nigeriano- lo que lo hizo cambiar de opinión.Wakati utaonyesha kama Jonathan anafanya mbinu tu kwa ajili ya maslahi ya kisiasa - au kama anasikiliza kweli maombi ya wananchi wake. Nigeria is not a country known for having responsive leaders.
22SolomonSydelle escribe: Ahora esto da la impresión que Jonathan se inclinó bajo la presión de una organización deportiva internacional.High-level politicians rarely engage members the electorate, and it's commonly complained that the leaders are deaf to the voices of their people.
23But newly-confirmed President Goodluck Jonathan may be changing that: a few weeks ago he opened a facebook account, and two days later reversed a controversial decision after hundreds of disappointed reactions were posted on his wall.
24Esa percepción puede ser perjudicial para Jonathan, que solamente tiene pocos meses en el cargo antes de las elecciones presidenciales… Además, el asunto entre Jonathan y la FIFA plantea preguntas acerca del comportamiento de la agencia del fútbol, que desafió la decisión de un líder soberano de una manera inevitable.The decision in question was the suspension of Nigeria's national football team after their dismal performance at the World Cup. After the team was eliminated from the tournament, Jonathan announced they would be suspended for two years [so that the Nigerian governing body could be revamped and purged of corruption].
25Jonathan no es el primer jefe de estado en unirse al mundo de las redes sociales.But many fans were displeased with the news, complaining that the suspension was unfair.
26Hugo Chávez de Venezuela, abrió estupendamente una cuenta en Twitter en abril; en Chile, Sebastián Piñera tuitea, junto con todo su gabinete.On xx Jonthan reversed the decision, posting the following message on his facebook wall: But was his reversal really a result of citizens voicing their frustration on facebook?
27Pero sigue la pregunta de si los líderes usarán plataformas como Twitter y Facebook para interactuar con sus electores- o simplemente como una manera más de diseminar una agenda ya fijada.FIFA, the international body governing football, also disagreed with Jonathan's decision, and gave him a week to reverse it. FIFA has a strict policy against political intervention, and {XXX}
28Nigeria se acerca a un año electoral y se anticipa que Jonathan va a querer ser candidato; movidas populares como unirse a Facebook y reincorporar a los Super Eagles pueden ser simplemente una táctica para ganar apoyo por anticipado en la elección.President Jonathan's decision to reinstate the team fell exactly on the deadline set by FIFA, leading many to wonder if it was the powerful football organization - rather than the Nigerian people - that made Jonathan change his mind. SolomonSydelle writes:
29“¿No es este otro juego de palabras?This now gives the impression that Jonathan bowed under pressure to an international sporting organization.
30That perception can be harmful for Jonathan who only has a few months in office before presidential elections… Furthermore, the snafu between Jonathan and FIFA raises questions about the behavior of the football agency, which challenged the decision of a sovereign leader in an avoidable way.
31Jonathan is not the first head of state to join the world of social networking, Hugo Chavav famously joined twitter in xxx and was followed by xxx.
32But the question remains whether leaders will use such platforms to interact with their constituents - or merely as one more way to disseminate spread an already fixed agenda.
33Nigeria is approaching an election year and it is anticipated that Jonathan will want to stand as the candidate for the PDP, the country's ruling party since the transition to civilian government in [1999].
34Popular moves like joining facebook and reinstating the Super Eagles may merely be a ploy to win over support in advance of the election.
35¿No es otra intención para halagar a los nigerianos?” escribió My pen and my paper.“Is this not another play of words? is this not another design to flatter Nigerians?” wrote My pen and my paper.
36Que el señor Presidente retroceda en su decisión se me hace como intentar tirar sus palabras por ahí con el propósito de hablar. Tal vez.For Mr. President to go back on his decision looks to me like an attempt to throw his words around for the sake of speaking.
37El tiempo dirá si Jonathan está simplemente maniobrando por ventajas políticas - o si realmente está escuchando los pedidos de su pueblo.He could just have stuck to his decision, let FIFA be FIFA and let Nigeria be Nigeria. Nigeria is a sovereign Nation.
38It's FIFA that has something to loose, not Nigeria.