Sentence alignment for gv-spa-20150529-287342.xml (html) - gv-swa-20150530-8835.xml (html)

#spaswa
1Las elecciones en la FIFA están en marchaUchaguzi wa FIFA Unaendelea
2A pesar de los recientes arrestos de funcionarios de la FIFA acusados por el Departamento de Justicia de EE. UU., el órgano rector del fútbol mundial ha declarado que estas elecciones, que corresponden al Congreso 65 de FIFA, seguirán adelante como estaba previsto.Pamoja na kutiwa nguvuni kwa maafisa kadhaa wa FIFA kufuatia mashitaka yaliyofunguliwa na Wizara ya Sheria ya Marekani, chombo hicho kinachosimamia kandanda duniani kimesema kwamba uchaguzi wake, ambao utaunda baraza la 65 la FIFA, utaendelea kama ulivyopangwa hivi leo.
3El actual presidente de la FIFA Sepp Blatter, que lideró la organización durante dos décadas, cuando presuntamente tenían lugar hechos de corrupción, sobornos y lavado de dinero, está buscando ser reelecto por un quinto período.Rais wa FIFA aliye madarakani Sepp Blatter, ambaye ameongoza chombo hicho katika kipindi cha miongo miwili inayodaiwa kugubikwa na ufisadi, rushwa na fedha haramu, anatafuta kuchaguliwa kwa muhula wa tano kwenye baraza la leo.
4En medio del escándalo, Blatter, pese a numerosos pedidos, se ha negado a renunciar.Blatter amegoma kujiuzulu pamoja na kuzungukwa na tuhuma, pamoja na mashinikizo yanayomtaka aachie ngazi.
5Puede ver la transmisión en vivo de las elecciones de FIFA aquí.Unaweza kufuatilia matangazo ya moja kwa moja ya uchaguzi wa FIFA hapa.