Sentence alignment for gv-spa-20121031-150306.xml (html) - gv-swa-20121127-4298.xml (html)

#spaswa
1La destrucción de Siria en fotosUharibifu Nchini Syria Katika Picha
2Este post es parte de nuestra cobertura especial Protestas en Siria 2011/12.Makala hii ni sehemu ya habari zetu maalum kuhusiana na Mgogoro wa Syria 2011/12.
3Fotógrafos sirios de todo el mundo están revelando, compartiendo y almacenando el levantamiento en Siria a través de fotografías que muestran la destrucción.Wapiga picha wa Syria kutoka katika maeneo mbalimbali ya nchi wanafichua, kutuma sehemu mbalimbali na kuweka kumbukumbu ya machafuko katika picha zinazoonesha uharibifu uliotokea.
4A pesar que los medios de comunicación son limitados, lo que sale de Siria muestra la terrible realidad a la que los sirios se enfrentan al ver su país siendo literalmente destruido.Pamoja na ufinyu wa vitendea kazi vya utoaji habari, habari zinazotoka Syria zinaonesha hali ya kutisha inayowakabili wananchi wa tabaka la chini kabisa na huku wakishuhudia nchi yao inavyoraruliwa na kuachwa vipande vipande.
5Aunque no hay recursos fiables que confirmen los lugares de las fotografías o el número de víctimas, las siguientes imágenes son una muestra para hacerse una idea de cómo se han visto afectadas la infraestructura y las zonas residenciales de Siria.Pamoja na kuwa hakuna nyenzo za kuweza kuonesha picha hizo zinapatikana wapi wala idadi ya wahanga, zifuatazo ni baadhi ya picha chache zinazoonesha namna miundo mbinu na makazi ya watu yalivyo athiriwa.
6Entre cientos de fotógrafos, Yazan Homsy comparte con nosotros escenas de la destrucción de Homs.Miongoni mwa mamia ya wapiga picha, Yazan Homsy ametushirikisha matukio ya uharibifu wa makazi.
7Se describe a sí mismo como:Anajitambulisha kama:
8@YazanHomsY: Yazan Homsy, hijo de la gran Homs, activista de la revolución siria, del barrio de Khalidya.@YazanHomsY: Yazan Homsy, mtoto wa jiji la Homs, mwanaharakati katika mageuzi ya Syria kutoka katika eneo la Khalidya .
9Revolución hasta la victoria o el martirio.Mapinduzi mpaka mafanikio au kufa kishahidi.
10Ha publicado sus imágenes en su Facebook para ilustrar la destrucción de los edificios en la ciudad de Homs.Alituma picha zake katika ukurasa wake wa Facebook, akielezea uharibifu wa majengo katika jiji la Homs.
11Aquí, dos fotografías, utilizadas con permiso.Zifuatazo ni picha zake mbili miongoni mwa picha alizonazo, zilizotumiwa kwa ruhusa.
12Homs: Asedio de 139 días de 14 edificios en la ciudad.Homs: siku 139 za kuzingirwa kwa majengo 14 jijini Homs.
13Seis meses y las milicias de asad utilizaron explosivos y misiles de todos tipos para destruir el barrio asediado de Homs.Ni miezi sita na wanajeshi wa Assad walitumia kila aina ya milipuko na mabomu ya kutupa katika kuharibu maeneo mbalimbali ya jiji la Homs yaliyokuwa yamezingirwa.
14Fuente: página de Facebook de Yazan Homsi.Chanzo: Ukurasa wa Facebook wa Yazan Homsi .
15Utilizada con permiso.Imetumiwa kwa ruhusa.
16Viejo mercado de Homs después de haber sido bombardeado y quemado.Soko la zamani jijini Homs baada ya kulipuliwa kwa bomu na kuunguzwa.
1713/06/2012. Fuente: página de Facebook de Yazan Homsi.06/13/2012. Chanzo: Yazan Homsi Ukurasa wa Facebook wa Yazan Homsi.
18Utilizada con permiso.Imetumiwa kwa ruhusa.
19El canal de noticias sirio, Syrian News Network S.N.N [ar] también ha estado activo actualizando su página web y publicando diariamente fotografías que mostraban la destrucción en las tres ciudades más importantes de Siria: Alepo, Homs y Damasco. Aquí, una selección de imágenes:Mtandao wa Habari wa Syria S.N.N [ar] pia umekuwa tayari wakati wote kuweka picha kwenye mtandao huo zikionesha uharibifu katika majiji muhimu matatu ambayo ni Aleppo, Homs na Damascus Zifuatazo ni baadhi ya picha kutoka katika mtandao huo:
20Siria - Homs - 21/10/2012 - Destrucción como resultado del bombardeo de las fuerzas de Al Assad - Fotografía de Mohammed Ibrahim - SHAAM NEWS NETWORK | periodista de SNN (108).Syria - Homs - 10/21/2012 - Uharibifu uliotokana na majeshi ya Al Assad kutupa mabomu - Picha na Mohammed Ibrahim - MTANDAO WA HABARI WA SHAAM | Muwasilisha habari (108) SNN .
21Utilizada con permiso.Imetumiwa kwa ruhusa.
22Siria - Homs - 21/10/2012 - Destrucción como resultado del bombardeo de las fuerzas de Al Assad - Fotografía de Mohammed Ibrahim - SHAAM NEWS NETWORK | periodista de SNN (102).Syria - Homs - 10/21/2012 - Uharibifu uliotokana na majeshi ya Al Assad kutupa mabomu - Picha na Mohammed Ibrahim - MTANDAO WA HABARI WA SHAAM | Muwasilisha habari (102) SNN .
23Utilizada con permiso.Imetumiwa kwa ruhusa.
24Siria - Homs - 21/10/2012 - Destrucción como resultado del bombardeo de las fuerzas de Al Assad - Fotografía de Mohammed Ibrahim - SHAAM NEWS NETWORK | periodista de SNN (39).Syria - Homs - 10/19/2012 -Uharibifu uliotokana na majeshi ya Al Assad kutupa mabomu - Picha na Mohammed Ibrahim - MTANDAO WA HABARI WA SHAAM | Muwasilisha habari (39) SNN .
25Utilizada con permiso.Imetumiwa kwa ruhusa.
26Siria - Alepo - el casco antiguo - 13/10/2012 - Destrucción y fuego como resultado del bombardeo a la Mezquita de los Omeyas (12).Syria - Aleppo - Jiji la kale - 13/10/2012 - Uharibifu na moto kufuatia kutupwa kwa bomu katika msikiti (12) wa Umayyad.
27Fuente: SHAAM NEWS NETWORK | SNN utilizada con permiso.Picha kutoka Mtandao wa habari wa SHAAM| SNN Imetumiwa kwa ruhusa
28Siria - Alepo - 23/09/2012 - Destrucción como resultado del bombardeo aéreo y las fuertes explosiones.Syria - Aleppo - 09/23/2012 - Uharibifu uliotokana na kutupwa kwa bomu la kushtukizwa pamoja na kombora zito.
29Fuente: SHAAM NEWS NETWORK | SNN utilizada con permisoPicha kutoka Mtandao wa habari wa SHAAM| SNN Imetumiwa kwa ruhusa
30Siria - Damasco - Tadamon - 07/09/2012 - Destrucción en el barrio como resultado del bombardeo de las fuerzas de Assad (6).Syria - Damascus - Tadamon - 07/09/2012 - Uharibifu katika maeneo ya karibu yaliyotokana na mabomu yaliyotupwa na majeshi ya Assad (6).
31Fuente: SHAAM NEWS NETWORK | SNN utilizada con permisoPicha kutoka Mtandao wa habari wa SHAAM| SNN Imetumiwa kwa ruhusa
32Siria - Damasco - Erbeen - 29/10/2012 - Edificio destruido como resultado del bombardeo a barrios civiles de las fuerzas de Assad.Syria - Damascus - Erbeen - 29/10/2012 - Jengo lililoharibiwa kufuatia majeshi ya Assad kutupa mabomu kwa wakazi waishio jijini humo.
33Fuente: SHAAM NEWS NETWORK | SNN.Picha kutoka Mtandao wa Habari wa SHAAM| SNN.
34Utilizada con permiso.Imetumiwa kwa ruhusa.