Sentence alignment for gv-spa-20121110-152029.xml (html) - gv-swa-20130528-4385.xml (html)

#spaswa
1Muere estudiante en protestas en República DominicanaJamhuri ya Dominika: Mwanafunzi Auawa kwenye Maandamano
2A raíz que fuera sometido al Congreso Nacional una Reforma Fiscal ampliamente repudiada por la sociedad civil y demás sectores sindicales y empresariales, se organizaron en el país diferentes movimientos en oposición a la pieza legislativa.Makala haya yamechapishwa kwa kuchelewa kutokana na sababu za kiufundi. Pendekezo la kubana matumizi lililowasilishwa kwa Bunge, ambalo lilikumbana na upinzani mkali kutoka katika vyama vya kiraia, sekta ya biashara na vyama vya wafanyakazi, harakati mbalimbali za kupinga kwa nguvu muswada huo zimepangwa.
3Dichas manifestaciones han venido sucediéndose desde el 4 de octubre, cuando fue dado a conocer el anteproyecto de ley; sin embargo, desde el pasado martes 6 de noviembre los ciudadanos han logrado articular con mayor fortaleza sus protestas, aumentando cada día sus niveles de incidencia.Maandamano yamekuwa yakitokea tangu Oktoba 4 2012, wakati rasimu ya muswada ilitangazwa hadharani. Hata hivyo, tangu Jumanne Novemba 6 2012, wananchi wamekuwa wakiandamana na siku kwa siku maandamano hayo yanashika kasi huku idadi ya waandamanaji ikiongezeka.
4El jueves 8 de noviembre, la Universidad Autónoma de Santo Domingo -única universidad pública del país- fue el escenario de una de las tantas revueltas que se llevaron a cabo dentro del mismo marco de reclamos al Gobierno.Mnamo Alhamisi, Novemba 8 2012, Chuo Kikuu cha Autonomous Santo Domingo, chuo pekee cha umma kikuu nchini, kiligeuka kuwa eneo mojawapo la maandamano haya ya kuipinga serikali.
5Pero, como ya es costumbre y a pesar de diferentes disposiciones que lo prohíben, se desplegó un cuerpo de policías armados que terminaron enfrentándose con los estudiantes, provocando así la muerte del joven William Florián Ramírez, de 21 años, quien cursaba el sexto semestre de medicina, con una bala directo en el tórax.Lakini ilivyo kawaida -na licha ya kuwepo kwa sheria mbalimbali zinazozuia -wanafunzi hao walikuwa wanakabiliwa na kikosi cha polisi wenye silaha, na kusababisha kifo cha William Florian Ramirez mwenye umri wa miaka 21[es], mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa udaktari, aliyepigwa risasi kifuani.
6El estudiante asesinado, Willy Florián, siendo llevado por encapuchados fuera de la zona de disturbios.Mwanafunzi aliyeuawa, Willy Florián, alipokuwa anaondolewa kwenye vurugu hizo zilizoendeshwa na watu wenye skafu.
7Esta imagen ha sido ampliamente distribuida por Internet.Picha hii imesambazwa sana kwenye mtandao.
8La indignación no tardó en hacerse sentir en las redes sociales y las emisoras radiales.Haikuchukua muda mrefu sakata hilo lilihamia kwenye mitandao ya kijamii pamoja na kwenye redio bubu (zisizosajiliwa).
9La líder cívica, Elizabeth Mateo, popularmente conocida por encabezar la lucha que persigue el 4% del PIB para la Educación, publicó en Twitter:Kiongozi wa Kisiasa Elizabeth Mateo, maarufu kama kiongozi wa kupigania asilimia 4 ya Pato la Taifa itumike kwa elimu, aliandika yafuatayo kwenye mtandao wa twita:
10@ElizabethMateo: Condeno la muerte del estudiante de la UASD.@ElizabethMateo: Nalaani vikali mauaji ya mwanafunzi wa UASD.
11Exijo justicia.Nadai haki ifanyike.
12Asimismo, la investigadora, consultora y articulista, Olaya Dotel, dijo:Hali kadhalika, mpelelezi, mtaalamu-mshauri na mwandishi wa makala, Olaya Dotel, alisema:
13Joven exhorta a la movilización cívica.Kijana akitoa wito wa kuhamasishaji umma.
14Tomada de la página del Centro Bonó y reproducida con su autorización.Imechukuliwa kutoka ukurasa wa kituo cha Bono na kuchapishwa kwa ruhusa.
15@OlayaDotel: Los corruptos que hoy controlan el Estado no valen una gota de sangre de nuestros jóvenes… Ni uno más!!!@OlayaDotel: Hawa watu wala rushwa wanaotamba wapendavyo serikalini hawana haki yoyote kumwaga tone la damu ya vijana wetu … si moja zaidi!!!
16La controversia llegó tan lejos que hasta René, el vocalista de la afamada agrupación boricua Calle 13, comentó sobre lo acontecido:Mtanziko huu umeenea mno kiasi kwamba René, muimbaji maarufu katika kundi la Puerto Rican Calle 13, alitoa maoni juu ya tukio hilo:
17@Calle13Oficial: El mundo está mirando a República Dominicana esperando que se haga justicia por el asesinato del joven estudiante de medicina Willy Warden!@Calle13Oficial: Macho ya dunia yote yanaitazama Jamhuri ya Dominika, kwa matarajio kwamba haki itafanyika kwa kifo cha kijana aliyekuwa mwanafunzi wa udaktari Willy Warden!
18Todo esto aconteció mientras salía a la luz pública que, en una coyuntura económica tan precaria y de Jóvenes sostienen letretos fuera del Congreso Nacional, en contra de la Reforma Fiscal.Matukio yote haya yamefanyika wakati ambao imebainika kwamba, wakati nchi hiyo ikipitia kipindi kizito cha mtikisiko wa kiuchumi pamoja na kukumbwa na matatizo ya kijamii, Waziri wa Elimu, Josefina Pimentel, aliongeza mshahara wake mwenyewe kwa asilimia 62 [es], kutoka RD $ 185,000.00 na kufikia RD $ 300,000.00 kwa mwezi, sawa na dola $ 7,500.
19Tomada con autorización de la página del Centro Bonó y reproducida con autorización.Vijana washikilia mabango nje ya Bunge, kupinga sera ya kubana matumizi ya serikali.
20alta tensión social, la Ministra de Educación, Josefina Pimentel, aumentó su salario en un 62 por ciento, pasando de RD$185,000.
2100 a RD$300,000. 00 mensuales, equivalentes a unos USD$7,500.Imechukuliwa kwa ruhusa kutoka ukurasa wa kituo cha Bono na kuchapishwa kwa ruhusa yao.
2200. La fusión de estos y otros detonantes, lejos de desalentar a los protestantes, renovó sus bríos revolucionarios.Mchanganyiko wa haya na masuala mengine, mbali na kuwakatisha tamaa waandamanaji, yamewachochea kuwa na moyo wa kutaka mapinduzi.
23Una congregación de alrededor de 100 personas, incluidas figuras públicas y de los medios de comunicación se dieron cita frente a la Fundación Global Democracia y Desarrollo (FUNGLODE), institución del ex Presidente Dr. Leonel Fernández Reyna, a quien se le responsabiliza de haber quebrado el país durante sus ocho años de gobierno (ver video aquí).Kundi la watu karibu 100, likijumuisha watu maarufu na vyombo vya habari, walikusanyika mbele ya majengo ya taasisi ya Mfuko wa Kimataifa wa Demokrasia na Maendeleo [es] (FUNGLODE), taasisi iliyoanzishwa na rais wa zamani Leonel Fernández Reyna, ambaye anatuhumiwa kuifilisi nchi hiyo katika miaka yake nane ya kuwa madarakani (angalia video hapa) [es].
24Los manifestantes colocaron velas en la calle y coreaban a todo pulmón sus denuncias.Waandamanaji waliweka mishumaa mitaani na kuimba kwa sauti ya juu sana nyimbo mbalimbali za kulaani vitendo hivyo.
25Twitter fue el medio que dio más cobertura al evento, mientras los tuiteros se agrupaban bajo el hashtag de #FrenteaFunglode.Mtandao wa twita ndio uliokuwa chombo cha habari kilichotoa habari za tukio hilo, na watumiaji wa twita walijiweka pamoja kwa kutumia ya alama habari ya #FrenteaFunglode.
26La periodista Maribel Hernández compartió a través de su cuenta:Mtangazaji Maribel Hernández aliandika haya kwenye akaunti yake ya twita:
27@MaribelNexos: Policía Nacional una banda criminal, vocifera la masa #FrenteaFunglode.@MaribelNexos: Polisi wa taifa, genge la wavunja sheria, jamani pigeni kelele kupinga hili #FrenteaFunglode
28@MaribelNexos: La masa grita La Fundación Global verguenza nacional. #FrenteaFunglode #FrenteaFunglode@MaribelNexos: Umati wa watu ulipiga mayowe kupinga hii taasisi ya Global Foundation, wakiita aibu ya taifa #FrenteaFunglode
29Pero la cosa no se detuvo ahí.Lakini mambo hayakuishia hapo.
30Organizaciones civiles y particulares llenaron la internet de un gran despliegue de creatividad, a través de un sin número de anuncios e imágenes en contra del partido oficialista y su administración actual, como los expuestos más abajo.Mashirika ya kiraia na watu binafsi walimiminika katika mtandao wa intaneti kuonyesha ubunifu mkubwa, kupitia matangazo na picha nyingi zinazopinga chama kinachounda serikali pamoja na utawala wa sasa, kama hizi zilizowekwa hapa chini.
31De igual modo, se programaron para el viernes 9 de noviembre, y el resto del fin de semana, movilizaciones de todo tipo y en todas las latitudes.Katika maduhui hayo hayo, uhamasishaji wa aina mbalimbali katika ngazi zote ulikuwa umepangwa kufanyika Ijumaa, Novemba 9 2012, na kuendelea kwa siku zilizofuata.
32Aquí les dejo las convocatorias y diferentes artes gráficas a propósito de los acontecimientos:Ninawaacha na baadhi ya kauli zenye kutoa wito wa maandamano na mifano ya michoro iliyojikita katika matukio.
33http://youtu.be/S6IskZCANfIhttp://youtu.be/S6IskZCANfI