Sentence alignment for gv-spa-20130107-162412.xml (html) - gv-swa-20130101-4557.xml (html)

#spaswa
1No hay refugio para los periodistas ciudadanos en BahréinHakuna Usalama kwa Waandishi wa Kiraia Nchini Bahrain
2Este post es parte de nuestra cobertura especial de Protestas en Bahréin 2011.Posti hii ni sehemu ya habari zetu maalumu za Maandamano ya Bahrain 2011.
3Después que el video con la cachetada de la policía de Bahréin se hiciera viral [en], el Ministro del Interior emitió un comunicado donde pedía que “todo aquel que filme un acontecimiento como ese, debería denunciarlo de inmediato” [en] a las autoridades.Baada ya video ya “kibao” cha polisi wa Bahrain kusambaa sana mtandaoni Waziri wa Mambo ya Ndani alitoa tamko akiomba kuwayeyote aliyepiga picha tukio hilo aliripoti haraka ” kwa mamlaka zinazohusika.
4Dos días después, y en contraste con esas informaciones, muchos se indignaron con la noticia del arresto de un reportero gráfico.Siku mbili baadae, na kinyume na kauli hiyo, watu wengi walishangazwa na kukamatwa kwa mpiga picha.
5Foto del reportero gráfico Ahmed Humaidan y su credencial de pertenecer a la Sociedad Fotográfica de América, publicadas por @ahmedalfardan1.Picha ya Mpiga picha Ahmed Humaidan na uanachama wake wa chama cha wapiga picha wa MArenani. Ilichapishwa na @ahmedalfardan1
6La Organización Europeo-Bahreiní para Derechos Humanos tuiteó:Shirika la Ulaya-Bahraini linaloshughulikia Haki za Binadamu lilitwiti:
7@EBOHumanRights [en]: Arrestado y aún desaparecido, joven fotógrafo Ahmed Humaidan del Center Mall de la ciudad de Bahréin, ayer tarde por la noche.@EBOHumanRights: Ahmed Humaidan kutoka Kituo cha Biashara cha Jiji la Bahrain amekamatwa na bado hajulikani aliko tangu jana usiku.
8El reportero gráfico Ahmed AlFardan añadió:Mpiga picha Ahmed AlFardan aliongeza:
9@AhmedAlFardan2 [en]: Más de 15 policías encubiertos arrestaron a Humaidan del Center de la ciudad de Bahréin #freehumaidan [liberen a Humaidan] #freebhphotographer [liberen al fotógrafo bahreiní] #sitrapic.twitter.com/pSeM9YgJ@AhmedAlFardan2: Zaidi ya polisi kanzu 15 walimkamata Humaidan kutoka katika Kituo cha biashara Jijini Bahrain #freehumaidan #freebhphotographer #sitrapic.twitter.com/pSeM9YgJ
10Sayed Hassan escribió:Sayed Hassan aliandika:
11@WLEXT: Trsite día para fotógrafos y periodistas en #Bahrain [Bahréin], ayer arrestaron al gaandor del premio de Reportero Gráfico Ciudadano #FreeHumaidan pic.twitter.com/c4ak9VFH@WLEXT: Siku ya huzuni kwa wapigapicha & Journos nchini #Bahrain, Mshindi wa Tuzo ya Mwandishi wa kiraia wa picha #FreeHumaidan amekamatwa jana pic.twitter.com/c4ak9VFH
12Foto de Ahmed Humaidan con varias fotos ganadoras de premios que tomó y algunos premios que recibió.Picha ya Ahmed Humaidan akiwa na baadhi ya picha zake ziliozsababisha ashinde na tuzo alizopokea
13Hadeel Buqrais, escritor kuwaití y activista de derechos humanos, tuiteó:Mwandishi wa Kuwaiti na mwanaharakati wa haki za binadamu Hadeel Buqrais alitwiti:
14@HadeeLBuQrais [ar]: Después que los asesinos del reportero gráfico Ahmed Ismail evadieran la justicia, persiguen y arrestan al reportero gráfico Ahmed Humaidan.@HadeeLBuQrais: Baada ya mauaji ya mpiga picha Ahmed Ismail mwingine aliyekimbia Ahmed Humaidan analengwa na amekamtwa.
15Ahmed Ismail es un reportero gráfico al que mataron [en] en Salambad el año pasado mientras filmaba una protesta.Ahmed Ismail ni mpiga picha za video ambaye aliuawa mjini Salambad mwaka jana (2011) wakati alipiga picha za maandamano.
16Le dispararon desde un auto civil.Alipigwa risasi kutoka kwenye gari la kiraia.
17El Centro para la Libertad de Medios de Doha emitió una declaración [en] que decía:Kituo cha Doha cha Uhuru wa Habari kilitoa tamko lililosema:
18El Centro para la Libertad de Medios de Doha se une a la búsqueda de información a la Sociedad Juvenil de Bahréin por los Derechos Humanos que pide la inmediata libertad de Humaidan. …Kituo cha Doha cha Uhuru wa Habari kinaungana na utafutaji wa habari unaofanywa na Jamii ya Vijana wa Bahrain inayotetea Haki za Binadamu inayotoa wito wa kuachiliwa huru kwa Humaidan. …
19Humaidan ha ganado más de 140 premios internacionales como reportero gráfico, y se le considera el segundo fotógrafo árabe en ganar premios en competencias de fotografía.Humaidan ameshinda zaidi ya tuzo za kimataifa 140 katika tasnia ya uandishi wa habari picha, na anachukuliwa kuwa mpigapicha bora wa pili wa Nchi za Kiarabu kushinda katika mashindano ya upigaji picha.
20Zainab Hashemi añadió:Zainab Hashemi aliongeza:
21@ZainaBHashemi [ar]: Siempre le tienen miedo a cualquiera que publique su violencia y arrogancia, y es por eso que lo arresaron.@ZainaBHashemi: Siku zote wanamwogopa yeyote anachapisha picha kuonyesha matumizi yao ya nguvu na ujeuri ndio maana walimkamata.
22Mañana, Sameera Rajab [Ministra de Estados para Asuntos de Información] dirá lo de siempre: tenemos libertad de prensa en Bahréin.Kesho Sameera Rajab [waziri wa Nchi anayesughulikia Mambo ya Habari] atasema kama tulivyozoea: tunao uhuru wa habari nchini Bahrain