Sentence alignment for gv-spa-20130411-181711.xml (html) - gv-swa-20130413-4846.xml (html)

#spaswa
1Siria: Tuiteando desde el frente de batalla en AlepoSyria: Kutwiti Kutokea Vitani Jijini Aleppo
2La periodista Jenan Moussa está de vuelta en Alepo, Siria, tuiteando sus experiencias mientras la guerra entre las fuerzas pro y anti gobierno se intensifican.Mwandishi wa Habari Jenan Moussa amerudi mjini Aleppo, nchini Syria, akitwiti tajiriba yake kadri vita kati ya vikosi vinavyopinga serikali na vile vinavyoiunga mkono serikali inavyozidi kushika kasi.
3Los tuits de Moussa son crudos y personales entregando a los lectores un fragmento de lo que es la vida para aquellos atrapados en el fuego cruzado.Twiti za Moussa ni za kawaida na za kibinafsi sana, zikiwapa wasomaji wake picha kamili ya maisha yalivyo kwa wale walio kwenye uwanja wa vita.
4Moussa, que es una reportera itinerante para Arabic Al Aan TV, Dubai, EAU, observa:Moussa, ambaye ni ripota wa kituo cha televisheni za kiarabu Al Aan TV, kilichopo jijini Dubai, Jamhuri ya Falme za Kiarabu, anasema:
5@jenanmoussa: Es muy agradable estar de vuelta en #Aleppo y reunirme con todos mis amigos.@jenanmoussa: Ni jambo kubwa sana kurudi Allepo, kukutana na rafiki zangu.
6La ciudad parece estar mejor que la última vez que estuve aquí.Jiji linaonekana kuwa na nafuu zaidi kuliko ilivyokuwa mara ya mwisho nikiwa hapa.
7La gente se adaptó a la guerra.Watu wameshazoea vita.
8Cenar en Alepo es estar acompañada por el sonido de los morteros cayendo a distancia:Chakula chake cha jioni, jijini Aleppo, anakipata akisikia sauti za mabomu yakidondoka jirani na aliko:
9@jenanmoussa: es hora de comer aquí en #Aleppo.@jenanmoussa: Ni wakati wa chakula cha jioni hapa Aleppo.
10Tenemos pollo a la mejicana mientras el sonido de los morteros resuena a distancia.Tunakula kuku wa ki-Mexico wakati tukisikia sauti za mabomu yakidondoka kwa mbali,
11Después de una noche en la ciudad.Baada ya usiku huo akiwa jijini, Moussa anashangaa:
12Moussa se pregunta: @jenanmoussa: Buendía desde #Aleppo.@jenanmoussa: Habari za asubuhi kutoka Aleppo.
13No pude dormir hasta las 6 am.Sikuweza kulala mpaka saa 12 alfajiri.
14Cada vez que cierro los ojos imagino bombas cayendo.Kila wakati ninafunga macho yangu ninapatwa na hisia kuwa mabomu yanaanguka.
15Dios, ¿cómo está cuerda la gente?Mungu, watu wanawezaje kubaki na akili zao hapa?
16En Alepo, visita el sitio donde cayó, 45 días antes, un misil Scud.Jijini Aleppo, anatembelea mahali ambako kombora lilianguka siku zipatazo 45 zilizopita.
17Tuitea:Anatwiti:
18@jenanmoussa: Hoy temprano fui al lugar donde un misil SCUD cayó hace 45 días en #Aleppo.@jenanmoussa: Mapema leo nilienda kwenye eneo ambako kombora la SCUD lilidondoka siku zipatazo 45 zilizopita hapa Aleppo.
19Hay 6 cuerpos perdidos bajo los escombrosMiili sita bado haijapatikana.
20@jenanmoussa: En #Aleppo vi a un padre con lágrimas en sus ojos, sentado sobre los escombros.Jenan Moussa akiwa Aleppo, mahali ambako kombora la Scud lilianguka siku 45 zilizopita.
21Sigue buscando los cuerpos de sus dos hermosas hijas y su esposa.Picha imewekwa na @jenanmoussa kupitia mtandao wa Twita.
22Jenan Moussa en Aleppo, en el lugar donde un misil Scud cayó 45 días antes.@jenanmoussa: Jijini Aleppo nilimwona baba amekaa kwenye jabali, akitiririkwa na machozi.
23Foto compartida por @jenanmoussa en TwitterAlikuwa bado anatafuta miili ya mabinti zake wawili na mkewe
24@jenanmoussa: Mientras estaba con él, el padre encontró las zapatillas de niño y un mechón de pelo (pelo de mujer) bajo los escombros.@jenanmoussa: Wakati nikiwa nae, baba huyo alipata malapa ya mwanae na nywele kidogo (za kike) chini ya jabali hilo.
25Me dijo ‘Quizás es mi esposa'‘Labda ni mke wangu' aliniambia
26A pesar de la situación estresante, Moussa mantiene su sentido del humor:Pamoja na hali ngumu, Moussa anafanya utani kidogo:
27@jenanmoussa: Los activistas en #Aleppo me hacen reir.@jenanmoussa: Wanaharakati hapa Aleppo hunicheka.
28A veces soy la única que usa su ‘flak jacket' (NdR: tipo de chaqueta de alta protección) en casa.Mara nyingine mimi huwa ni mtu pekee anayevaa nguo ya kuzuia risasi nyumbani.
29Están acostumbrados a los ruidos de la guerra.Watu wote wameshazoea milio ya bunduki.
30Y luego se van a dormir sin cenar:Na anaenda kulala bila kupata chakula cha jioni:
31@jenanmoussa: No cenamos esta noche.@jenanmoussa: Hatujala chakula cha jioni usiku huu.
32Tampoco ducha.Hatujaoga.
33No es una necesidad en una ciudad como #Aleppo.Hilo si hitaji la msingi katika mji kama Aleppo.
34Buenas noches a todos.Usiku mwema kwenu nyote.