Sentence alignment for gv-spa-20120606-122883.xml (html) - gv-swa-20120603-2965.xml (html)

#spaswa
1¿Uganda se está convirtiendo en una monarquía?Uganda: Je, Uganda inageuka kuwa dola ya kifalme?
2El presidente ugandés Yoweri Kaguta Museveni ha estado en el cargo desde 1986.Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amekuwa madarakani tangu mwaka 1986.
3Antes de las últimas elecciones de 2011, algunas personas pensaron que no regresaería para un tercer mandato, pero sorprendentemente participó y ganó las elecciones.Kabla ya uchaguzi uliopita mwaka jana 2011, wapo watu walidhani kuwa asingetamani tena kugombea kwa awamu ya tatu mfululizo, lakini kinyume na matarajio ya wengi akajitokeza kugombea na hatimaye akashinda uchaguzi huo.
4Luego dijo que se retiraría a los 75 años.Baadae alinukuliwa kutamka kwamba angestaafu atakapofikisha umri wa miaka 75.
5Cuando su tercer mandato llegue a su fin en 2016, tendrá recién 72 años, lo que significa que podrá asumir un cuarto mandato.Ikumbukwe kwamba awamu yake hii ya tatu itakapofikia mwisho mwaka 2016, Museveni atakuwa amefikisha umri wa miaka sabini na miwili, hiyo ikimaanisha kuwa bado anaweza kusimama kugombea awamu ya nne.
6Hace algunas semanas, los ciudadanos empezaron a especular quién sucedería al presidente si no regresara el 2016 para un cuarto mandato.Majuma machache yaliyopita, wananchi walianza kudodosa kuhusu nani hasa anaweza kumrithi rais ikiwa yeye mwenyewe hatajitokeza tena mwaka 2016 kwa awamu nyingine ya nne.
7Yoweri Museveni con parlamentarios en el Parlamento ugandés.Yoweri Museveni akiwa na baadhi ya wabunge wa Uganda katika Bunge la nchi hiyo.
8Foto cortesía de ugpulse.com.Picha ya ugpulse.com.
9Algunos de los nombres que aparecieron en las especulaciones incluían a su esposa, Janet Kataha Museveni [en], su hijo Muhoozi Kainerugaba [en], Amama Mbabazi [en], el actual Primer Ministro y amigo cercano de Museveni, y Rebecca Kadaga [en], actual presidenta del Parlamento.Baadhi ya majina yaliyoorodheshwa katika makisio ya watu ni pamoja na mkewe Janet Kataha Museveni, mwanae wa kiumeMuhoozi Kainerugaba, Amama Mbabazi, Waziri Mkuu na rafikiye wa karibu, na Rebecca Kadaga, spika wa sasa wa Bunge.
10Han estado corriendo rumores en Uganda según los cuales el presidente estaba apoyando a su esposa Janet para sucederlo.Tetesi zilianza kusambaa nchini Uganda kwamba Rais alikuwa akimwunga mkono mkewe Janet katika mbio za mama huyo kutaka kurithi kiti cha urais baada ya mumewe.
11Los ugandeses tomaron rápidamente las plataformas de los medios sociales para discutir los rumores.Ndani ya muda mfupi, wa-Ganda waliingia kwenye mitandao ya kijamii kutajadili tetesi hizo.
12Twitter: @Since__1986 piensa que Janet Museveni ha sido virtualmente la presidenta todo ese tiempo:Kwenye mtandao wa twita: @Since__1986 alifikiri Janet Museveni amekuwa rais wa nyuma ya pazia kwa muda wote wa urais wa mumewe:
13@Since__1986: ¿Janet Museveni presidenta?@Since__1986: Janet Museveni agombee urais?
14¿Qué están fumando los ugandeses?Hivi wa-Ganda wanavuta sigara gani?
15¡¡¡Chic ha sido presidenta virtual durante 26 años!!!Huyu mwanamitindo amekuwa rais nyuma ya pazia kwa miaka 26!!!
16¡Oh Dios!Mungu wangu mlikuwa hamjui?!
17@kristinrawls preguntó:@kristinrawls akauliza:
18@kristinrawls: @mjwilkerson ¿Qué estás pensando de Museveni al respaldar a su esposa a la presidencia?@kristinrawls: @mjwilkerson Mna maoni gani kuhusu Museveni kumwunga mkono mkewe awe rais?
19¿Es apoyo legítimo?Ni kitendo cha halali?
20¿Se quedará él en el cargo?Je, ataendelea kukaa ikulu?
21@mjwilkerson respondió:@mjwilkerson akajibu:
22@mjwilerson: @kristinrawls No te preocupes. Janet no podría competir pero la verdad es que Museveni ya no tiene capital político para dictar quién sigue, solamente influenciar.@mjwilerson: @kristinrawls Ni wazi kabisa-Janetangeweza kugombea lakini ukweli ni kwamba Musevenihana tena mtaji wa kisiasa kutuamulia nani awe rais, labda kutushawishi
23@shopetie_101 pensó que tener a Janet sucediendo al presidente es una señal de codicia:@shopetie_101 alifikiri Janet kumrithi rais ni dalili za ulafi:
24@shopetie_101 El presidente de Uganda, Yoweri Museveni, quiere que su esposa, Janet Museveni lo suceda… ¡personas negras con codicia!@shopetie_101Rais wa Uganda,Yoweri Museveni anatamani mkewe, Janet Museveni kumrithi…jamani watu weusi na ulafi!
25Facebook:Katika mtandao wa Facebook:
26Sseguya Gerald escribió [en]:Sseguya Gerald aliandika:
27Museveni de Uganda prepara a su esposa Janet para sucederlo.Mke wa ndoa wa Museveni, Janet, anataka kumrithi rais.
28Nunca aprenden, ¿no es cierto?Hawa watu hawajifunzi?
29Los sabios aprenden de sus errorres.Wenye busara hujifunza kwa makosa ya..
30Emeruwa Nkere sugirió [en] que los líderes africanos deberían someterse a exámenes psiquiátricos obligatorios:Emeruwa Nkere anapendekezaviongozi wa ki-Afrika wafanyiwe uchunguzi wa akili kwa lazima:
31El presidente ugandés quiere que su esposa lo suceda al final de su cargo - The Sun, 31 de mayo de 2012.Rais wa Uganda anatamani mkewe amrithi pale atakapomaliza kipindi chake -Chanzo: jarida la The SUN la tarehe 31 Mei, 2012.
32Se informa que el presidente Yoweri Museveni de Uganda no iría más allá del límite oficial de edad de 75 años en el cargo.Taarifa zilidokeza kwamba Rais Yoweri Museveni wa Uganda hawezi kuendelea zaidi ya ukomo rasmi wa umri ambao ni miaka 75.
33¡Oh! Qué caballero africano, diríamos.Ah! Mwuungwana wa aina yake Afrika.
34Pero este caballero presidente quiere que su esposa Janet Museveni lo suceda y la oposición no viene de ninguna parte.Lakini huyu bwana Rais anataka mkewe Janet Museveni amrithi na hakuna upinzani.
35Quiero estar de acuerdo con alguien que alguna vez sugirió que los gobernantes africanos -a decir verdad, los políticos africanos, incluidos o especialmente los nigerianos, que quieren gobernar, deberían someterse a exámenes psiquiátricos obligatorios para establecer su equilibrio mental, pues la MAYORÍA de ellos se comportan como pacientes mentales.Ninataka kukubalina na mtu mmoja wakati fulani aliyewahi kupendekeza kwamba watawala wa Afrika -na kwa kweli wanasiasa wote ikiwa ni pamoja na au hususani nchini Naijeria, wanaotaka kutawala walazimike kufanyiwa uchunguzi wa akili kuhakikisha utengemavu wa akili zao kwa sababu WENGI wao wanaonyesha tabia zinazowakaribia kabisa wagonjwa wa akili.
36¿No están de acuerdo?Je, hukubaliani na pendekezo hili?
37Yo si.Mie nakubaliana kabisa.
38Benon M Gowa comparó [en] a Janet Museveni con otras mujeres políticas en otras partes del mundo:Benon M Gowa alimlinganisha Janet Museveni na wanasiasa wengine wa kike katika sehemu nyingine za dunia:
39Ejem, Mama Janet Kataaha Museveni (apellido de soltera Kainembabazi), la Primera Dama del país desde mayo de 1986, ha sacado rápido un currículum bastante impresionante, elevó su condición de simple figura materna a parlamentaria electa en representación del condado Ruhaama, luego Ministra de Estado para Asuntos de Karamoja (16 de febrero de 2009), actualmente Ministra del Gabinete para Asuntos de Karamoja (27 de mayo de 2011).Haa, Mama Janet Kataaha Museveni (nee Kainembabazi), mke wa Rais tangu mwezi Mei 1986 ametoa hadharani wasifu wake binafsi (CV) akikwea hatua kwa hatua kutoka mama wa kupanga safari za mumewe mpaka kuwa mbunge anayewakilisha jimbo la Ruhaama, kisha Waziri wa Nchi anayeshughulikia mambo ya Karamoja (Februari 27, 2009) mpaka kuwa Waziri kamili wa masuala ya karamoja (tangu Mei 27, 2011).
40Y ningún pensante serio debería dudar de la realidad pendiente, que con la restauración de los Límites del Cargo Presidencial, todo quedará dentro de los límites de la posibilidad de que podría ser presentada por el partido gobernante NRM como la abanderada del partido para postular a la presidencia, igual que Cristina Fernández de Kirchner, actual presidenta de Argentina, que fue designada por el partido de su esposo (Frente Para La Victoria) para reemplazarlo cuando su cargo expirara en 2007, aunque los demócratas (en Estados Unidos) rechazaron abiertamente a Hilary Rodmahn Clinton…NA mtu yeyote anayefikiri kwa makini lazima awe na wasiwasi na ukweli uliofichwa, kwamba kwa kurejeshwa tena Ukomo wa Mihula ya Urais, basi maana yake ni kwamba itawezekana mama huyu akashawishiwa na chama kinachotawala cha NRM kuwa mgombea wa urais kupitia chama hicho kama ilivyokuwa kwa mwanamama Cristina Fernandez de Kirchner, rais wa sasa wa Ajentina ambaye alisimikwa na chama cha mumewe (Frente Para La Vietoria) kuchukua nafasi ya mume wake baada ya kipindi chake kumalizika ingawa mwaka 2007 chama Democrats (huko Marekani) kwa dhati kabisa walimkataa Hilary Rodmahn Clinton…
41Medo Joseph se preguntó [en] si África se desarrollará alguna vez con esta clase de “locura africana”:Medo Joseph alijiuliza ikiwa Afrika inaweza kuendelea katika aina hii ya “ukichaa wa ki-Afrika”:
42Medo Joseph: El presidente Yoweri Museveni deja el cargo, ¡la Primera Dama Janet Kataaha Museveni ha surgido como la sucesora preferida para ser presidenta!Medo Joseph Rais Yoweri Museveni anaachia ngazi, mke wa Rais Janet Kataaha Museveni amejitokeza kuwa mrithi anayeungwa mkono na rais!
43¡LOCURA AFRICANA!UKICHAA WA KIAFRIKA!
44¿Cuándo se desarrollará África?Ni lini Afrika itaendelea?