Sentence alignment for gv-spa-20120828-136893.xml (html) - gv-swa-20120916-3845.xml (html)

#spaswa
1Pakistán: detienen a niña cristiana de 11 años por blasfemiaPakistani: Msichana wa Kikristo wa Miaka 11 Awekwa Kizuizini kwa Kukashifu Dini.
2Rimsha Masih, una niña cristiana de 11 años, ha sido acusada de blasfemia [en] y detenida durante 14 días en una prisión juvenil en Rawalpindi, ciudad hermana de la capital paquistaní.Msichana wa Kikristo mwenye umri wa miaka 11, Ramsha Masih amehukumiwa kwa kukashifu imani na ameshikiliwa kwa siku 14 katika gereza la watoto katika jiji pacha la mji mkuu wa Pakistani liitwalo Rawalpindi.
3Han aparecido informes conflictivos sobre si tenía el síndrome de Down [en] o no.Kuna taarifa zinazokinzana kama msichana huyu ana tatizo la ongezeko la vinasaba ama la.
4Rimsha ha sido acusada de quemar algunas páginas del Noorani Qaida [en, ar], lecciones para aprender árabe para principiantes, y meterlas en una bolsa de plástico.Rimsha anatuhumiwa kwa kuchoma karatasi za Noorani Qaida, ambayo ni mjumuisho wa masomo ya kujifunzia kiarabu kwa wanaoanza kujifunza na kasha kuziweka ndani ya mfuko wa plastiki.
5El incidente tuvo lugar el 16 de agosto del 2012 en el barrio de Meherabadi en G-12, Islamabad, donde vive con su familia.Jambo hili lilitokea mnamo Agosti 16, 2012 mjini Islamabad katika mtaa wa Meherabadi katika G-12 ambao ni mtaa mdogo wenye idadi kubwa ya watu masikini na ndiyo sehemu anayoishi msichana huyu pamoja na familia yake.
6Se archivó una primera denuncia en una estación de policía local después de que un vecino presentara una queja formal contra la niña.Kituo cha polisi cha mtaa huu kilikusanya taarifa za awali (FIR) mara baada ya mkazi jirani kumfungulia mashitaka msichana huyu.
7La ofensa de blasfemia está recogida en el artículo 295-B del Código Penal Pakistaní y el ofensor puede ser castigado con cadena perpetua o pena de muerte.Kosa la kukashifu imani linaelezwa katika kifungu cha sheria namba 295 cha hukumu za Pakistani ambapo mshitakiwa akikutwa na hatia anaweza kufungwa kifungo cha maisha ama hukumu ya kifo.
8La noticia apareció en la página web «Cristianos en Pakistán» [en] el 18 de agosto.Habari hizi zilisambazwa na mtandao wa ‘Wakristo wa Pakistani' mnamo Agosti 18.
9El informe se convirtió en titular en los medios de comunicación paquistaníes cinco días después, el 22 de agosto.Habari hii ilipata umaarufu katika vyombo maarufu vya Pakistani siku tano baadae, yaani Agosti 22.
10Anteriormente a su arresto, algunos vecinos del lugar bloquearon una de las autopistas más importantes de la capital [en].Kabla ya msichana huyu kuwekwa kizuizini, baadhi ya wakazi wa mtaa anaoishi msichana huyu walizuia barabara kuu ya jiji .
11Al parecer, la multitud quería aplicar su propia justicia [en]. El mes anterior, una multitud quemó a un hombre mentalmente inestable en Bahwalpur [en]; el hombre también había sido acusado de blasfemia.Kundi hili lilitaka the sheria mkononi. mwezi uliopita kundi hili lilimchoma moto mtu aliyekuwa na matatizo ya akili katika mtaa wa Bahwalpur ; ambapo mtu huyu alituhumiwa pia kwa kukashifu imani.
12El ministro pakistaní para la Armonía Nacional, el doctor Paul Bhatti, dijo en una entrevista para la BBC [en] que 600 cristianos habían huido de sus casas en Islamabad tras el arresto por blasfemia de la niña.Waziri wa Pakistani mwenye dhamna ya usalama wa Taifa, Dkt Paul Bhatti, katika mahojiano yake na shirika la utangazaji la BBC alisema kuwa Wakristo 600 wameshayaacha makazi yao mjini Islamabad baada ya msichana huyu wa miaka 11 kuwekwa kizuizini kwa kukashifu dini.
13Los cristianos tienen miedo y se esconden; los recuerdos del ataque de Gojra en 2009 [en] aún siguen recientes en sus mentes, ataque en el que una multitud musulmana quemó los hogares de los cristianos y la policía no apareció para ayudarlos.Wakristo wanaogopa kiasi cha kujificha; kumbukumbu ya mashambulizi ya Gojra ya mwaka 2009 bado wanayakumbuka pale ambapo kundi la Waislamu lilipochoma moto nyumba za wakristo na bila ya Polisi kutoa msaada wowote.
14De acuerdo a la Comisión de los Derechos Humanos de Pakistán [en], los disturbios de Gojra habían sido planeados con anterioridad y la administración local había estado implicada.Kwa mujibu wa tume ya haki za binadamu ya Pakistani, machafuko ya Gojra yalipangwa, na tena serekali ya mtaa ilihusika.
15Anthony Permal, un cristiano pakistaní residente en los Emiratos Árabes Unidos atrajo la atención de los usuarios de Twitter hacia esta historia:Anthony Permal ambaye ni Mpakistani mwenye asili ya Falme za Kiarabu aliwafanya watumiaji wa Twita kuipa uzito sana habari hii:
16@anthonypermal: Confirmado- La policía en #Pakistan ha arrestado por blasfemia a una niña cristiana de 11 años que padece el síndrome de Down.@anthonypermal: @anthonypermal: imethibitika- polisi wa Pakistani wamemtia nguvuni msichana wa kikristo wa miaka 11 kwa tuhuma za kukashifu dini.
17Enseguida comenzó a circular una petición en Internet para que se le proporcionara asilo a Rimsha:Mapema hati ya makubaliano ilisambazwa kupitia mtandao kuishinikiza serikali kumlinda Rimsha asidhuriwe:
18@MohsinSayeed (Mohsin Sayeed): Alza tu voz para salvar las vidas de Rifta y su familia.@MohsinSayeed (Mohsin Sayeed): paza sauti yako ili kumuokoa Rifta na familia yake.
19La única opción es escapar a un país secular.Kuwa na mfumo wa serikali usio wa kidini ndilo suluhisho la pekee.
20Van a matarla: http://www.change.org/petitions/high-commissions-and-diplomats-of-secular-western-nations-asylum-to-the-family-of-11-year-old-christian-girl-accused-of-blasphemy# …Kwa hakika watamuua: http://www.change.org/petitions/high-commissions-and-diplomats-of-secular-western-nations-asylum-to-the-family-of-11-year-old-christian-girl-accused-of-blasphemy# …
21La petición en internet [en] le pide a los países seculares occidentales que ofrezcan asilo a la familia de Rimsha:Hati ya makubaliano ya kuishinikiza serikali ilizitaka nchi za Magharibi zisizo za kidini kuilinda familia ya Ramsha isidhuriwe:
22Los paquistaníes con buena conciencia están firmando esta petición porque el Estado de Pakistán no ha podido ni proteger a su propio Gobernador por protestar contra la cruel ley antiblasfemia, por la cual una simple acusación de blasfemia puede asegurarle al acusado ser encarcelado, o incluso algo peor.Wapakistani wema wanaweka saini makubaliano haya ya kuishinikiza serikali kuingilia kati jambo hili kwa sababu serikali ya Pakistani imeshindwa hata kumlinda mtawala wao mwenyewe ambaye alitokea kupinga hadharani sheria katili ya kukashifu dini ambapo mtuhumiwa anayekashifu dini atalazimika kufungwa jela na na pia hata mtuhumiwa kunyongwa.
23Hay otra petición [en] que pide que el Ministro para los Derechos Humanos en Pakistán y el gobierno protejan y suelten a Rimsha Masih.Yapo malalamiko mengine yanayomshinikiza waziri mwenye dhamana ya kushughulikia haki za binadamu na serikali kumlinda na kumuachia huru Rimsha Masih
24Mientras tanto, el Presidente paquistaní Asif Ali Zardari llamó a los funcionarios para que le explicaran la situación.Wakati huohuo, raisi wa Pakistani Asif Ali Zardari aliwataka maofisa wamuwekee bayana hali halisi.
25La embajadora paquistaní en los Estados Unidos tuiteó:Balozi wa Pakistani nchini Marekani anatwiti:
26@sherryrehman: El presidente Zardari ha tomado nota seriamente de las noticias del arresto de una menor cristiana bajo los cargos de blasfemia y ha exigido un informe.@sherryrehman: Raisi Zardari ameziwekea msisitizo mkubwa taarifa kuhusiana na kuwekwa kizuizini kwa msichana huyu wa kikristo anayetuhumiwa kukashifu dini na pia ameomba kupewa taarifa hizo..
27Amnistía Internacional ha solicitado a Pakistán que reforme inmediatamente las Leyes de Blasfemia:Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Pakistani kuzifanyia mabadiliko sheria zinazohusiana na kukashifu imani:
28@amnesty (Amnistía Internacional): #Pakistán tiene que garantizar la seguridad de la niña cristiana arrestada por «blasfemia» cuya vida corre peligro http://owl.li/d9aPc [en].@amnesty (Amnesty International): Pakistani haina budi kuhakikisha kuwa msichana huyu wa kikristo aliyewekwa kizuizini baada ya kukashifu imani anakuwa salama kwani maisha yake yapo hatarinihttp://owl.li/d9aPc
29El Ministerio de Asuntos Exteriores francés ha exigido a las autoridades paquistaníes que liberen a la niña.Waziri wa mambo ya nje wa Ufaransa ameitakata mamlaka ya Pakistani kumuachia huru msichana huyu.
30Irshad Manji [en], feminista musulmana y autora de «Alá, Libertad y Amor», condenó la ley contra la blasfemia en Pakistán. @IrshadManji: Mi entrevista para @RFI_English sobre Ley contra la blasfemia en #Pakistán que ha llevado a la cárcel a la niña #Cristiana llamada #Rimsha:Irshad Manji, mwanamke wa kiislamu aliye mtetezi wa wanawake na mwandishi wa ‘Mungu, Uhuru wa kuishi na Upendo' (‘Allah, Liberty and Love') ameonesha kutokuikubali sheria ya Pakistani inayohusiana na masuala ya kukashifu imani.
31La situación ha sido condenada por los defensores y activistas por los Derechos Humanos pakistaníes así como por algunos políticos en Twitter.Katika mtandao wa Twita, jambo hili limeonekana kulalamikiwa na watetezi wa haki za binadamu wa Pakistani, wanaharakati pamoja na wanasiasa wachache.
32@Ali_Abbas_Zaidi (Syed Ali Abbas Zaidi): La historia más corta y trágica que se ha escrito sobre el mal uso de la #ley contra la blasfemia en Pakistán: «La niña sólo tenía 11 años».@Ali_Abbas_Zaidi (Syed Ali Abbas Zaidi): ni habari fupi kabisa ya kusikitisha iliyokwisha wahi kuandikwa kuhusiana na sheria ya Pakistani kuhusiana na kashifa za kiimani. “Alikuwa na maika 11 tu.”
33@MaheenAkhtar (Maheen Akhtar): ¿Dónde diablos está la iniciativa del Jefe de Justicia de Pakistán, está durmiendo?@MaheenAkhtar (Maheen Akhtar): yuko wapi Suo motto, jaji mkuu wa Pakistani, amelala ama……”
34… Oh, espera, esto es «blasfemia». @beenasarwar (Beena Sarwar): El punto importante en las acusaciones de «blasfemia» es el propósito, niyat, del acusado.@beenasarwar (Beena Sarwar): Jambo la muhimu la kuzingatia kuhusiana na tuhuma hizi za kukashifu dini kuangalia nia na lengo la mtuhumiwa.
35Eso es algo que los acusadores ignoran.Hili ndilo jambo ambalo walalamikaji wanalipuuza..
36#Pakistan#Pakistan
37El gobernante Partido del Pueblo de Pakistán y el Pakistan Tehreek Insaaf (Partido Pakistaní por la Justicia) también denunciaron el incidente.Chama tawala cha PPP ( Pakistan Peoples Party) na kile cha PTI (Pakistan Tehreek Insaaf) walilaumu tukio hili.
38Imran Khan, líder del PTI tuiteó:Kiongozi wa PTI, Imran Khan alitwiti:
39@ImranKhanPTI: ¡Es vergonzoso!@ImranKhanPTI: Ni aibu!
40Enviar a una niña de 11 años a prisión va contra el mismo espíritu del Islam que predica ser justos y compasivos.Kumfunga gerezani msichana wa miaka 11 ni kinyume kabisa na imani ya kiislamu ambayo inawataka watu kuwa na huruma.
411/2 @SundasHoorain: @CMShehbaz Aún sigo esperando a que el PML-N haga algo y condene que se acuse de blasfemia, se golpee y se arreste a una niña de 11 años. #FreeRimsha (Liberen a Rimsha)@SundasHoorain: @CMShehbaz PML_N inasubiriwa kuchukua hatua na kuonesha kutokukubaliana na kitendo hiki cha msichana wa miaka 11 kutuhumiwa kwa kukashifu imani, kupigwa na kuwekwa kizuizini #FreeRimsha
42Los otros partidos políticos están asustados y no quieren hablar del tema, considerado como delicado.Vyama vingine vyote vya siasa vinaogopa kuzungumzia jambo hili. Jambo hili linapewa msisitizo mkubwa.
43Sin embargo, nadie en Pakistán pide la revocación de la ley.Hata hivyo, hakuna mtu yeyote kutoka Pakistani anayetaka sheria hii ibatilishwe.
44@anthonypermal: No podemos revocar la ley contra la blasfemia.@anthonypermal: : hatuwezi kuikwepa sheria hii inayohusiana na kukashifu imani za wengine.
45A) las multitudes irían por ahí de patrulla ciudadana sin ningún escrúpulo y b) la policía sería incapaz de detener los asesinatos abiertos de los chiítas, ¿no es así?Kwanza, makundi yanaweza kushinikiza mabadiliko ya sheria hii bila ya kuwa na kizuizi chochote na hivyo bila ya kuwa na wasiwasi wowote. Pili, maafisa wa polisi hawawezi kuzuia mauaji ya wazi kabisa ya washia, inawezekanaje hali hii?
46En el 2010, la Embajadora Sherry Rehman presentó la «Enmienda al Decreto de Ley contra la Blasfemia de 2010» [en] en la Asamblea Nacional como miembro del parlamento.Mwaka 2010, balozi Sherry Rehman aliwasilisha mabadiliko ya kifungu cha sheria ya 2010 ya makosa ya kukashifu imani kwenye mkutano mkuu wa bunge akiwa miongoni mwa wabunge wa bunge hilo.
47El 20 de diciembre de 2010, el Consejo de la Ideología Islámica también propuso algunas correcciones [en] a la ley para evitar su mal uso.Mnamo tarehe 20, Desemba 2010, Baraza la Itikadi za Kiislamu pia ilitangaza mabadiliko yaliyopendekezwa ili kuifanya sheria hiyo isitumiwe vibaya.
48Pero los partidos religiosos del parlamento -Jamat-i- Islami, Jamiat Ulema-e-Islam Pakistan, Sunni Tehreek y otros amenazaron con una protesta masiva [en].Lakini vyama vya kidini kama vile Jamat-i- Islami, Jamiat Ulema-e-Islam Pakistan na Sunni Tehreek pamoja na wengine vilitishia kuitisha maandamano makubwa .
49Sherry Rehman recibió después amenazas de muerte (en) y estuvo confinada en su casa.Baadae, Sherry Rehman alipokea vitisho vya kuuawa na hivyo kulazimika kukaa ndani ya nyumba yake bila ya kutoka.
50En enero del 2011, el Gobernador de Punjab, Salman Taseer, un crítico activo de la Ley contra la blasfemia en Pakistán, fue públicamente abatido a tiros por su propio guardia [en], Mumtaz Qadri, debido a sus creencias.Mapema Januari 2011, kiongozi wa Punjab, Salman Taseer alitoa maneno ya kupinga sheria za Pakistani za makosa ya kukashifu imani, hali iliyopelekea yeye kuuwawa hadharani kwa kupigwa risasi na mlinzi wake , aliyejulikana kwa jina la Mumtaz Qadri, huku ikiaminika kuwa alisukumwa kufanya mauaji haya kwa imani ya dini yake.
51Casualmente, Qadri fue también enviado a la cárcel de Adiala [en] donde también está Rimsha.Katika hali isiyotarajiwa Qadri naye pia amefungwa katika jela ya Adiala ambayo pia ndio jela alipofungwa Rimsha.
52De camino a su juicio, los partidiarios de Qadri, lo bañaron en pétalos de rosa [en].Qadri alipokuwa anaenda kusomewa mashitaka yake, wafuasi wake walionekana wakimtupia mau waridi..
53El partido Sunni Tehreek se concentró a favor de Mumtaz Qadri, el asesino de Salman Taseer, y exigieron su liberación en Hyderabad, Pakistán.Chama cha ki-Sunni cha Tehreek kiliwakusanya wafuasi wake ili kuanzisha mapigano katika harakati za kumtetea Muntaz Qadri, mtu aliyemuua Salman Taseer, na pia walishinikiza awekwe huru mjini Hyderabad, Pakistani.
54Imagen por Rajput Yasir.Picha na Rajput Yasir.
55Copyright Demotix (09/01/2011)Haki miliki ya Demotix (09/01/2011)
56Malik Siraj Akbar [en] dice, en su blog para el Huffington Post, que las leyes discriminatorias aumentan la intolerancia religiosa en la sociedad paquistaní:Malik Siraj Akbar Katika blogu yake kwa makala ya Huffington, anasema kuwa sheria kandamizi zinazidi kuwaongezea watu wa Pakistani kutokuwa na uvumilivu wa kiimani:
57A pesar de la frecuencia de unos hechos tan desagradables, Pakistán no ha hecho ningún progreso en reformar su ley contra la blasfemia totalmente imperfecta y discriminatoria.
58Una ley así, por un lado, discrimina las minorías religiosas, y por otro, aumenta la intolerancia religiosa y el fanatismo en la sociedad paquistaní.Pamoja na matukio hayo ya mara kwa mara yasiyopendeza, Pakistani haipiga hatua zozote katika kuipitia upya sheria hiyo kandamizi ya kukashifu.
59Les da a los asesinos licencia para matar gente y salirse con la suya con unos crímenes tan atroces en nombre de la religión.Sheria kama hizo, kwa upande mwingine, zinawaonea waumini wa dini ndogo na, kwa upande mwingine, zikikuza zaidi kutokuvumiliana kidini katika Pakistani
60Mehdi Hasan [en] escribe en su blog:Mehdi Hasan katika blogu yake anaandika kuwa:
61Personalmente, nunca he entendido por qué tantos de mis coreligiosos tienen tantas ganas de matar o mutilar a los que «insultan» el Islam, al profeta Mahoma o el Corán.Binafsi, sikuwahi kuelewa ni kwa nini wafuasi wengi wa dini yangu wako radhi sana kuuwa au kuwajeruhi hadi kuwaachia ulemavu wa kudumu wale ‘wanaokashifu' Uislamu, Nabii Muhammad au Kurani.
62¿Qué hay detrás de tanta rabia y, me atrevo a decir, inseguridad?Machafuko haya yanatokana na nini? Nathubutu pia kusema, hawako imara?
63¿Es su Dios tan débil, tan sensible, tan preciado, que no puede aguantar ningún rechazo?Je Mungu wao ni mdhaifu sana, aliye makini sana, aliye na thamani sana, kiasi cha kushindwa kuwakubali wengine?