Sentence alignment for gv-spa-20130813-200167.xml (html) - gv-swa-20130715-5502.xml (html)

#spaswa
1¿Destrabará la “llave” del nuevo presidente los problemas de Irán?Iran: Je, Ufunguo wa Rais Mpya “Utafungua” Tatizo Lolote?
2La llave fue el simbolo de la campaña de Rouhani.Alama ya kampeni za Rouhani ilikuwa ni Ufunguo.
3Fotografía por MashreghnewsPicha kupitia Mashreghnews
4La llave fue el simbolo de campaña del presidente electo Hassan Rouhani.Alama ya Rais mteule Hassan Rouhani ilikuwa ni ufunguo.
5Ahora los internautas iranies se preguntan si Rouhani será capaz de destrabar alguno de los conflictos.Kwa sasa, raia wa mtandaoni wa Iran wanajadili kama Rouhani ataweza kufungua kila kufuli.
6Rouhani prometió un gobierno de “esperanza y prudencia”, por lo que miles de iraníes celebraron su victoria con la esperanza de un mejor futuro.Rouhani aliahidi kuleta serikali “yenye tumaini na iliyo makini” na hivyo, maelfu ya watu wa Iran walisherehekea ushindi wake wakitegemea mustakabali mzuri wa maisha ya baadae.
7En el blog de Omid Dana se lee [fa]:Kwenye blogu ya Omid Danaameandika:
8¿Qué trabas abrirá la llave de Rouhani?Ufunguo la Rouhani utafungua kufuli gani?
9Mostafa Tajzadeh [en] (un reformista encarcelado) declaró que no está en manos de Rouhani el poder liberar presos políticos.Mostafa Tajzadeh [ mwanamapinduzi aliyefungwa gerezani] anasema kuwa, kuwaachilia huru wafungwa wa kisiasa ni jambo ambalo halipo mikononi mwa Rouhani.
10¿No ha dicho Khatami que debemos reducir nuestras expectativas?Khatami hakusema kuwa tupunguze kiwango cha matarajio yetu?
11Por lo general se dice, con buena razón, que la llave para las negociaciones en materia nuclear, la relación con los Estados Unidos de América y la crisis en Siria se encuentra en manos del Lider Supremo… Teniendo todo esto en cuenta, las únicas llaves que posee Rouhani son las de su casa y las de su despacho.Mara nyingi watu wanasema, kwa malengo mazuri, namna ya kuelekea kwenye muafaka wa matumizi ya nyuklia, uhusiano na Marekani pamoja na mgogoro wa Syria vipo ndani ya uwezo wa Rais… pamoja na yote haya kusemwa, funguo za Rouhani ni za kufungulia milango ya nyumba yake au ofisi yake tu.
12Jaleboon escribe [fa]:Jaleboon anaandika:
13Hay quienes, como Omid Dana, se preguntan que trabas podrá abrir Rouhani.Baadhi ya watu, kama ilivyo kwa Omid Dana, anauliza ni makufuli gani anavyoweza kuyafungua Rouhani.
14La respuesta es que ya ha abierto la traba que presentaban las elecciones que se habían vuelto ilegitimas durante la crisis de 2009.Jibu ni kuwa, ameshafungua kufuli la uchaguzi uliokuwa batili kufuatia mgogoro wa mwaka 2009.
15Algunos internautas hacen mención de problemas y trabas que la llave de Rohani podrá abrir.Watumiaji kadhaa wa mtandao wa intaneti wametaja matatizo ambayo wanafikiri kuwa ufunguo wa Rouhani unaweza kuyafungua.
16Mahsa tuiteo [fa]:Mahsa tweeted:
17No quiero la libertad para usar o no el velo, lo que quiero es que llegue el día en que las tasas de inflación y desempleo se reduzcan y la población marginalizada no necesite de la venta de drogas.Bila kujali uhuru umefichwa au la, ninachohitaji ni kuona siku moja kuwa mfumuko wa bei za bidhaa na kukosekana kwa ajira vinapungua ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa watu wa hali ya chini hawajihusishi na uuzaji wa madawa ya kulevya..
18Negar Mortazavi tuiteo [en]:Negar Mortazavi alitwiti:
19“Fuentes cercanas a #Rouhani indican que está planeando mandar enviados especiales a algunos países con el fin de reparar vínculos rotos y comenzar un nuevo capitulo para Teherán.“Vyanzo vya habari vilivyo karibu na #Rouhani vinasema kuwa, Rais huyu mteule amepanga kutuma wawakilishi maalum katika nchi kadhaa kwa lengo la kurejesha uhusiano mzuri pamoja na kuanzisha ukurasa mpya na nchi ya Tehran.
20Mientras tanto, se le ha solicitado a Rouhani por medio de diversas campañas que arregle la internet en Irán y el fin del filtrado.Wakati huohuo, kampeni kadhaa zinamtaka Rouhani kuboresha mtandao wa intaneti wa Iran ikiwa ni pamoja na kukomesha uchujaji wa taarifa katika mtandao wa intaneti.
21En una campaña en Facebook [fa] se pide a Rouhani que termine con el filtrado que sufre Facebook, y un grupo de bloggers y ciberactivistas redactaron [fa] una carta dirijida al presidente electo solicitando el incremento de las velocidades de Internet.Kampeni ya Facebook ilimtaka Rouhani kukomesha uchujaji wa taarifa katika mtandao wa Facebook, na kikundi cha wanablogu na wanaharakati wa sayansi ya mfumo wa mawasiliano na udhibiti wake walimwandikia barua Rais mteule wakimtaka aongeze kasi ya mtandao wa intaneti.
22También le hicieron conocer su descontento con el filtrado y le recordaron el uso que hizo de Internet para impulsar su campaña.Pia, walilalamikia kuchujwa kwa taarifa za mtandaoni na pia walimkumbusha Rouhani kuwa alitumia mtandao wa intaneti katika kufanikisha kampeni yake.