Sentence alignment for gv-spa-20091207-20853.xml (html) - gv-swa-20091205-744.xml (html)

#spaswa
1Ghana: ¿Quién se beneficiará del petroleo?Ghana: Nani atanufaika na mafuta?
2Cuando la firma del Reino Unido Tullow Oil [es] anunció su descubrimiento de 600 millones de barriles de petroleo en Ghana en 2007, la blogósfera respondió con tonos multicolores de esperanza y cinismo.Wakati Kampuni ya mafuta ya Uingereza Tullow Oil ilipotangaza uvumbuzi wake wa kiasi cha mapipa milioni 600 ya mafuta nchini Ghana mwaka 2007, ulimwengu wa wanablogu uliitikia kwa maoni yanayotofautina juu ya matumaini na hali ya kuchelea.
3Después de dos años desde la detección, el país ha comenzado a prepararse para la producción de petroleo, pero la actual discusión se centra sobre las preguntas: “¿Quién se beneficia y cuáles pueden ser las futuras ramificaciones de las decisiones tomadas hoy por los líderes de Ghana?”Baada ya miaka miwili tangu kuvumbuliwa, nchi hiyo imeanza kujiandaa kwa uzalishaji wa mafuta, lakini majadiliano ya hivi karibuni yanazunguka kwenye maswali: “Nani atanufaika na na nini kinaweza kuwa matokeo ya maamuzi yanayofanywa na watawala wa Ghana leo?”
4Charles Crawford, en Blogoir [ing], comentó sobre un artículo [ing] escrito por Craig Murray [es] analizando la causa y efecto del hallazgo de petroleo de Ghana.Charles Crawford, kwenye Blogoir, alitoa maoni kwenye kipande kilichoandikwa na Craig Murray akiainisha sababu na athari za kupatikana kwa mafuta nchini Ghana.
5Escribió esto sobre el artículo de Murray:Aliandika haya kwenye makala hiyo ya Murray:
6Al mismo tiempo, las rentas deben ser urgentemente dirigidas a la infraestructura rural, para incrementar los precios de la hacienda y para desarrollar la industria agro-procesadora, a una escala nunca antes intentada.Katika wakati mmoja, mapato lazima yaelekezwe kwenye miundo mbinu ya vijijini, kuongeza bei za mazao ya mashambani na kuendeleza viwanda vya kusindika mazao, katika kipimo ambacho hakikuwahi kujaribiwa kabla.
7Ghana ya tiene un problema mayor al mantener a los jóvenes en la agricultura.Ghana tayari ina tatizo kubwa la namna ya kuwafanya vijana waendelee kulima.
8Piensen cuánto más esto empeorará cuando el petroleo comience a fluir.Fikiria namna hali hii itakavyokuwa mbaya zaidi mafuta yatakapoanza kumiminika.
9¿Por qué los jóvenes se quedarían en las granjas ahora que el país va a ser rico?Kwa nini vijana wabaki mashambani sasa ambapo nchi inaelekea kuwa tajiri?
10Ghana como el anti-Nigeria, ¿esto quiere decir un nuevo lugar al estilo de tecnología de punta de Singapur antes que un típico país africano exportador de agricultura?Ghana, kama mpinzani wa Naijeria, imekuwa sehemu mpya yenye teknolojia kubwa katika aina ya Kisingapore badala ya kuwa nchi ya Kiafrika yenye kutegemea mauzo ya kilimo zaidi?
11¿No es el punto de adquirir tal largueza lo que le da a un país la chance de considerar opciones bastante diferentes, no meramente formas de imponer soluciones de arriba abajo basadas en viejas ideas?Je, si suala la kujipatia hazina kubwa namna hii inayoipa nchi nafasi ya kuangalia chaguzi tofauti, na siyo tu njia za kusimika masuluhisho yanayotoka juu kuja chini katika misingi ya mawazo ya kizamani?
12Un comentario publicado en respuesta a las afirmaciones del blogger de alguien llamado Craig Murray dice:Maoni yaliwekwa kujibu kauli hiyo ya mwanablogu mwenye jina la Craig Murray yalisomeka:
13¡Porque William Cobbett [ing] tenía razón!Kwa sababu William Cobbett alikuwa sahihi!
14La observación de Crawford sobre los jóvenes que todavía trabajan en granjas, sin importar el aparente camino hacia las riquezas del país, ha estado en las mentes de los ghaneses.Maoni ya Crawford kuhusu vijana wanaoendelea kujishughulisha na shughuliza mashambani, pamoja na njia inayoonekana ya nchi kuelekea kwenye utajiri, yamekuwa kwenye vichwa vya Waghana.
15Ghana Pundit [ing] publicó un artículo [ing] de Ghana News Agency (GNA) que trataba de asuntos similares:Mwanablogu Ghana Pundit aliweka kipande kilichotoka kwenye Shirika la Habari la Ghana (GNA) kilichozungumzia suala hilo hilo:
16El Dr. Edward Omane Buamah, Vice Ministro de Medioambiente, Ciencia y Tecnología, ha observado que el hallazgo de petroleo y gas en la Región Oeste, ha hecho que el desempleo entre los jóvenes en el área sea un gran problema.Dr. Edward Omane Buamah, Naibu waziri wa Mazingira, Sayansi na Teknolojia, ameona kwamba upatikananji wa mafuta na gesi kwenye Mkoa wa Magharibi, kumefanya tatizo la ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana kwenye eneo hilo kuwa suala kubwa.
17Hablando en un auditorio especial en la Evaluación del Impacto Ambiental para el desarrollo de la primera fase del Jubilee Oil Fields, organizado para la Casa de Jefes de la Región Oeste en Sekondi, él dijo que la región no se había beneficiado de las dotaciones naturales como el mar, el oro, la bauxita, la madera, y otros minerales.Akizungumza katika kongamano maalumu kuhusu Tathmini ya Athari za Mazingira kwa ajili ya awamu ya kwanza ya kuendeleza Maeneo yenye mafuta ya Jubilee, lililoandaliwa na Mwakilishi wa mkoa huo wa Baraza la Machifu katika Sekondi, alisema eneo hilo halijafaidika na raslimali kama bahari, dhahabu na vito vingine, magogo na madini mengine.
18El Dr. Buamah dijo que por lo tanto era normal para los jóvenes esperar mejores perspectivas de empleo por el hallazgo de petroleo en Ghana.Dr. Buamah alisema kwa hiyo ilikuwa ni jambo linalotegemewa kwa vijana kutegemea unafuu wa nafasi za ajira baada ya kupatikana mafuta ya Ghana.
19Él dijo que el empleo directo en la creciente industria de petroleo requería un alto nivel de competencia y calificación profesional, por lo tanto hay la necesidad de que los jóvenes se cultiven a sí mismos para ser capaces de tomar total ventaja de las numerosas oportunidades de trabajo auxiliar, que sería generado por la industria emergente.Alisema ajira za moja kwa moja kutoka kwenye visima vya kuchimba mafuta zinahitaji kiwango cha juu cha ujuzi, uwezo na sifa za kitaaluma, hivyo kuhitaji vijana kujiendeleza zaidi ili kuweza kufaidika kikamilifu na nafasi nyingi za kazi, ambazo zitatokana na machimbo hayo.
20Ghana Pundit [ing] publicó otro artículo que mencionó una nueva área de preocupación:Mwanablogu Ghana Pundit aliweka makala nyingine ambayo iligusia eneo jingine la kutilia maanani:
21Si el hallazgo de petroleo de Ghana no es manejado adecuadamente podría significar una crisis comparable a lo que está sucediendo en la impaciente región de Niger Delta en Nigeria.Kupatikana kwa mafuta Ghana kama hakutashughulikiwa kwa umakini kunaweza kusababisha ghasia zinazofanana na kile kinachotokea Naijeria kwenye eneo la Delta ya Naija lenye vurugu kubwa.
22Un respetado profesional y profesor de la Universidad de Ghana, en la Facultad de Derecho, el Dr. Raymond Atuguba ha revelado de manera escalofriante que los militantes de la región del Delta Niger, conocidos por hacer estallar cañerías de petroleo, secuestros y enormes demandas de rescate y por causar malestar en la región nigeriana rica en petroleo han comenzado a viajar a Ghana en grandes grupos.Mwanasheria anayeheshimika na mhadhiri kwenye Chuo Kikuu cha Ghana, Kitivo cha Sheria, Dr. Raymond Atuguba ameonyesha kwa umakini jinsi wanamgambo wa eneno la Delta ya Naija, wanaojulikana kwa ukorofi wa kulipua mabomba ya mafuta, kuteka watu nyara na kudai dhamana kubwa na kusababisha vurugu kwenye eneo lenye utajiri wa mafuta nchini Naijeria wameanza kuingia Ghana kwa makundi.
23El Dr. Atuguba en una entrevista en el Citi Breakfast Show el miércoles dijo que la esencia del interés de los militantes en Ghana es la de ser mentores de la gente en la Región Oeste de Ghana, en cuyas tierras el país estará excavando en búsqueda de petroleo para proteger sus intereses.Dr. Atuguba katika mahojiano yake kwenye kipindi cha Citi Breakfast Jumatano alisema kiini cha maslahi ya wanajeshi hao nchini Ghana ni kuwafundisha kuwa walinzi wa maslahi yao wananchi wa Mkoa wa Magharibi wa Ghana, ambako kwenye ufukwe wake, nchi itakuwa ikichimba mafuta.
24Una entrada de blog publicada en el sitio oficial de campaña [ing] del Presidente Atta Mills [es] dice:Ingizo jipya la makala kwenye blogu rasmi ya kampeni ya Rais Atta Mills lilisema:
25El Presidente John Evans Atta Mills el jueves le recordó a Kosmos Energy [ing], una de las compañías involucradas en el hallazgo de petroleo de la nación en el Jubilee Fields de Cape Three Points, que sea consciente de las responsabilidades sociales, legales y corporativas para que los ciudadanos locales sean parte del proceso y sientan su beneficio.Rais John Evans Atta Mills siku ya Alhamisi aliikumbusha kampuni ya Kosmos Energy, moja ya makampuni yanayohusika na upatikananji wa mafuta ya taifa kwenye maeneo ya Jubilee ya Cape Three Points, kuwa werevu wa kijamii, kisheria na wajibu kibiashara ili kwamba watu wa mahali hapo waweze kuwa sehemu ya mchakato na kupata faida.
26Le pidió a la compañía que haga uso de las habilidades disponibles de los ghanianos así como también a aislar a las personas contra cualquier desafío que pueda emanar de la perforación petrolera.Aliisihi kampuni hiyo kuwatumia wataalamu wa Ghana wanaopatikana na vile vile kuwakinga watu na changamoto zinazoweza kutokea kutokana na uchimbaji wa mafuta.
27Un comentario, en respuesta a esta publicación, de Ofori Amooako Elijah decía:Maoni, katika kujibu makala hiyo, ya Ofori Amooako Elijah yanasomeka:
28La perforación petrolera debe beneficiar al pueblo de Ghana más específicamente, debería [ser] un avance para crear empleo.Uchimbaji wa mafuta ni lazima uwanufaishe zaidi watu wa Ghana hususan, ni lazima iwe hatua katika kutengeneza ajira.