Sentence alignment for gv-spa-20111220-97696.xml (html) - gv-swa-20111215-2302.xml (html)

#spaswa
1Zimbabue: Descontento por la candidatura de Mugabe a las elecciones de 2012Zimbambwe: Hasira wakati Mzee Mugabe Anapowania Uchaguzi wa 2012
2Robert Mugabe, el eterno presidente de Zimbabue de 87 años, ha sido elegido el pasado fin de semana por su partido, la Unión Nacional Africana de Zimbabue - Frente Patriótico (ZANU-PF), como su candidato para las elecciones presidenciales que, en principio, se celebrarán el próximo año.Mtawala wa muda mrefu wa Zimbambwe, Robert Mugabe, 87, alipitishwa mwishoni mwa wiki iliyopita na chama chake cha ZANU -PF, kuwa mgombea wao kwa uchaguzi wa rais unaotegemewa kufanyika mwaka ujao.
3Mugabe, que está en el poder desde el año 1980, ha desoído las numerosas voces tanto dentro como fuera de su país que piden que se retire.Mugabe amekuwa madarakani tangu mwaka 1980. Amegoma kuitikia miito kutoka ndani na nje ya nchi yake iliyomtaka ang'atuke.
4Muchos zimbabuenses esperaban que su mal estado de salud y su edad le obligarían a dejar el poder; sin embargo el congreso de la ZANU-PF echó abajo todas las esperanzas.Wa-Zimbabwe wengi walitarajia kuwa huenda kuzorota kwa afya yake pamoja na umri wake mkubwa kungemlazimu kuachia madaraka. Mkutano mkuu wa ZANU-PF uliyeyusha matarajio hayo yote.
5En el caso que las elecciones se lleven a cabo el próximo año, Mugabe contará con 88 años y se convertirá en la segunda persona más anciana de África en presentarse a unas elecciones, por detrás de Kamuzu Hastings Banda de Malawi quien contaba 98 años cuando se presentó a las elecciones de ese país en 1994.Kama uchaguzi utafanyika mwakani, Mugabe atakuwa na umri wa miaka 88 na atakuwa Mwafrika wa pili mzee zaidi kugombea katika uchaguzi wa rais, wa kwanza alikuwa Kamuzu Hastings Banda wa Malawi aliyekuwa na umri wa miaka 98 wakati aliposimama kugombea kwenye uchaguzi wa mwaka 1994 nchini Malawi.
6Twitter y Facebook, los dos medios sociales favoritos de los zimbabuenses, se han convertido en las plataformas en donde mostrar su indignación e incredulidad.Twita na Facebook, nyenzo mbili mbadala za mtandaoni ambazo zimekuwa majukwaa muhimu yanayopendwa na wa-Zimbabwe, zilikuwa mahali pa kuonyesha hasira na kutokuamini kilichotokea.
7Robert Mugabe será la segunda persona de más edad de África en candidatear a una elección presidencial.Mtumiaji wa Facebook Wise Chokuda aliandika:
8Foto publicada bajo el dominio público por el Gobierno Federal de los EE.UU.Robert Mugabe atakuwa mzee wa pili wa Kiafrika kusimama kugombea urais.
9El usuario Wise Chokuda escribió en Facebook:Picha imetolewa na serikali ya Marekani.
10El camarada presidente Robert Mugabe no tiene la intención de retirarse a corto plazo y ha sido elegido por todas las provincias como su candidato para el año próximo.
11Esto ha sido anunciado ayer, en el cierre del decimosegundo congreso de la ZANU-PF en Bulawayo.Masamha Tulisticated aliweka kwenye ukurasa wake wa facebook:
12Masamha Tulisticated escribió en su muro:hakuna mipango ya Rais wa Zimbabwe kustaafu.
13La jubilación no entra en los planes del presidente zimbabuense.Mashamba zaidi ya wazungu yatatolewa kwa ajili ya uhamiaji vijijini.
14Se crearán más granjas para granjeros blancos para repoblar las zonas rurales.#Zanu PF congress.
15En Twitter, @BrendahNyakudya escribió una cita de Mugabe:Kwenye Twita, @BrendahNyakudya alituma ujumbe unaomnukuu Mugabe:
16“Soy afortunado porque Dios me ha dado una vida más larga que a otros y así puedo estar con vosotros (zimbabuenses).Nina bahati sana kwamba Mungu amenipa miaka mingi kuliko mtu mwingine yeyote ya kuwa nanyi (wa-Zambabwe).
17Nos os decepcionaré”.Sitawaangusha,” aliongeza (Mugabe).
18#FML#FML
19@BrendahNyakudya bromeaba:@BrendahNyakudya aliendelea kusema:
20Mugabe dice que dimitir sería un error. *Brendah cúbrete la cabeza con ceniza, vístete con un saco y pasa las noches gimiendo en las puertas de la ciudad. *Mugabe anasema itakuwa ni kosa kung'atuka” *Brendah anajimwagia majivu kichwani, anavaa nguo ya gunia akiomboleza usiku kucha katika milango ya jiji*
21@masamhat: Robert Mugabe dice que no tiene intención de retirarse.@masamhat: Robert Mugabe anasema hana mpango wowote wa kustaafu.
22Le da gracias a Dios por darle una vida larga y así poder gobernar más años## congreso de Zanu PF en Byo [Bulawayo]Anamshukuru Mungu kwa kumpa maisha marefu kwa sababu anaweza sasa kutawala zaidi ##Zanu PF congress in Byo [Bulawayo]
23@mashanubian: “¡Qué sorpresa!@mashanubian: “Si ajabu!
24El congreso de ZANU PF elige a #Mugabe como su candidato a las presidenciales que celebrarán en 2012 o a principios de 2013 #zimbabweMkutano mkuu wa ZANU PF umemteua #Mugabe kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi utakaofanyika mwaka 2012 au mapema 2013 #zimbabwe
25@clivembayimbayi escribió un comentario ardiente:@clivembayimbayi alituma ujumbe huu wenye hasira:
26Amigos, decidme, cuando va abandonar Zimbabue el bastardo de Mugabe, tenemos que hacer algo.Jamani niambieni, ni lini huyu mpumbavu ataachia madaraka, Ninamaanisha Mugabe kuichia Zimbabwe, jamani hebu tufanye kitu
27@nqabamatshazi añadió un poco de humor al hacer ver que existe algo diferente en un país donde los ciudadanos han aprendido a convivir con la oscuridad debido a los frecuentes cortes eléctricos:@nqabamatshazi aliongeza utani kidogo akidokeza kitu tofauti kidogo katika nchi ambayo raia wake wamejifunza kulilaani giza kwa sababu ya umeme kukatika mara kwa mara:
28Los habitantes del centro de Bulawayo están viviendo una época dorada.Wakazi wa katikati ya Jiji la Bulawayo wanafurahia maisha sasa hivi.
29Desde que dio comienzo [diciembre] la conferencia de la ZANU PF, no han sufrido ningún corte eléctrico.Tangu mkutano wa ZANU PF umeanza [Desemba], hawajakumbana na kero ya kukatika kwa umeme.
30Un día después que acabara la conferencia del ZANU PF, @nqabamatshazi decía:Baadae, siku moja baada ya mkutano wa ZANU PF kumalizika, @nqabamatshazi alifuatilia zaidi hali ya umeme jijini ilivyo mjini Bulawayo:
31Después de un inusitado descanso, los cortes eléctricos están de vuelta y en Bulawayo vienen con fuerza, apuesto a que hay gente que desearía que la conferencia del ZANU PF todavía se estuviera celebrando.Baada ya mapumziko yasiyo ya kawaida, sasa kero ya kukatika-katika umeme imerudi tena jijini Bulawayo utafikiri ni kulipiza… nina hakika watu wanatamani ule mkutano wa ZANU PF ungeendelea.
32Mientras tanto, @IamClaro hablaba sobre el controvertido anuncio de Nando [en] , que está provocando las carcajadas de todo el mundo:Wakati huo huo, @IamClaro alifanya marejeo kwenye tangazo lenye utata la Nando ambalo dunia nzima wanalicheka:
33Hahahaaha NANDO ha cambiado su anuncio del último DICTADOR, ahora es el ÚLTIMO STICKTADOR! (juego de palabras, el dictador pegado).Ha ha ha ahaaa NANDO (Hoteli) wamebadili tangazo lililokuwa linasomeka “last DICTATOR standing” (DIKTETA wa mwisho aliyebaki) na kuwa “LAST STICKTATOR standing”! :-Kumlinda Mugabe asiuawe”
34El polémico anuncio muestra a Robert Mugabe cenando solo en una gran mansión la noche de Navidad mientras recuerda los “tiempos felices” al lado de antiguos dictadores. Se le puede ver jugando a las pistolas de agua con Muammar Gaddafi, haciendo muñecos de nieve en la arena con Saddam Hussein, cantando en el karaoke con Mao Zedong, empujando a P.W. Botha en el columpio y conduciendo un tanque con Idi Amin.Tangazo hilo lililosababisha utata linamwonyesha Robert Mugabe akila peke yake wakati wa sikukuu ya Noel katika jumba kubwa wakati huo huo akikumbukia “nyakati za raha” alizowahi kuwa nazo na madikteta wa zamani, kama vile kucheza mchezo wa kurushiana maji na Muammar Gaddafi kwa kutumia mpira, akitengeneza midoli ya malaika kwenye mchanga akiwa na Saddam Hussein, akiimba muziki wa Karaoke akiwa na Mao Sedong, akimsukuma P.W Botha kwenye bembea, na akiendesha pipa na Idi Amin.