Sentence alignment for gv-spa-20110107-48600.xml (html) - gv-swa-20110124-1853.xml (html)

#spaswa
1Túnez: Anónimo vs Ammar – ¿Quién gana la batalla de la censura? AnónimoTunisia: Anonymous Dhidi ya Ammar – Nani Atashinda Vita ya Kuchuja Habari?
2La censura tunecina, conocida comúnmente como Ammar, sigue causando estragos en las cuentas de los activistas, en un país que ha estado presenciando una ola de protestas desde mediados de diciembre.Bango la Anonymous, likitoa wito kwa wanaharakati kushambulia mitandao yaa serikali ya Tunisia Shambulio hilo kwa anuani za wanaharakati si jambo geni kwa Tunisia na wanaharakati wa mtandaoni.
3El lunes 3, los activistas reclamaron que el gobierno pirateó sus cuentas de correo electrónico, accedió a sus blogs y a sus sitios de redes sociales y los inutilizó. La acción parece ser una represalia a un ataque de Anónimo, que tiene como objetivo sitios vitales y entradas del gobierno tunecino.Nchi hiyo inaelezewa kama nchi ya kipolisi na adui wa mtandao wa Intaneti na pia mkandamizaji wa vyombo vikuu vya habari kwani hata Orodha ya Uhuru wa Vyombo vya Habari iliipatia alama -10 mwaka 2010, ambapo iliporomoka kutoka nafasi ya 154 mpaka nafasi ya 164 kidunia.
4El ataque a las cuentas de los activistas no es algo nuevo para los tunecinos y sus ciberactivistas. El país es descrito como un estado policial y un enemigo de internet y un opresor de los medios convencionales, pues el Índice Mundial de la Libertad de Prensa le dio una calificación de -10 en 2010, donde cayó del lugar 154 al 164 a nivel mundial.“Nchi hiyo inaendelea kuporomoka kwenda kwenye nafasi za chini zaidi za Orodha kwa sababu ya sera zake za kigandamizaji zinazotekelezwa na watawala wa serikali mjini Tunis dhidi ya mtu yeyote anayetoa wazo kinyume na lile la utawala ulioko madarakani,” inasema taarifa hiyo.
5“El país sigue descendiendo a los niveles más bajos del Índice debido a su política de represión sistemática ejercida por los líderes del gobierno en la Ciudad de Túnez en contra de cualquiera que exprese una idea contraria a la del régimen”, asevera el informe. Según Gawker, Anonymous, la poco organizada banda de activistas piratas informáticos y vigilantes, atacó los sitios del gobierno, incluido los del presidente, el primer ministro, la bolsa de valores y varios ministerios, en protesta contra la censura tunecina para acceder al sitio que destapa la olla, Wikileaks, luego del asunto de Cablegate, y por la represiva censura del país.Kwa mujibu wa Gawker, Anonymous, kundi lenye muundo-huru la wanaharakati wenye utaalamu wa kuingilia mawasiliano binafsi ya mtandaoni pamoja na walinzi sungusungu, walishambulia tovuti za serikali, pamoja na ile ya Rais, Waziri Mkuu, soko la hisa na wizara kadhaa, wakipinga kitendo cha Tunisia kuingilia utumiaji wa mtandao maarufu wa kutoa taarifa za siri za serikali duniani uitwao Wikileaks, kufuatia sakata la kuingiliwa kwa mawasiliano ya siri, na dhidi ya uingiliaji wa mitandao binafsi wenye ukandamizaji unaofanywa na nchi hiyo.
6En AnonNews.org, un foro en línea para los ‘hacktivistas', se hizo el siguiente anuncio de lo que se conoce ahora como Operación: Túnez:Katika AnonNews.org, , jukwaa la mtandaoni kwa “wanaharakati wa kupinga kuingiliwa kwa mawasiliano,” tangazo lifuatalo katika kile kinachojulikana sasa kama Operesheni: Tunisia, lilitolewa:
7Ha llegado un momento para la verdad.Wakati kwa ajili ya ukweli umefika.
8Un momento para que la gente se exprese libremente y para ser escuchados desde cualquier parte del mundo.Wakati kwa watu kujieleza kwa uhuru na kusikilizwa kutoka kokote duniani.
9El gobierno tunecino quiere controlar el presente con falsedades y desinformación para imponer el futuro escondiendo la verdad de sus ciudadanos.Serikali ya Tunisia inataka kutawala wakati uliopo kwa kutumia uongo na taarifa za kupotosha ili kulazimisha mustakabali wanaoujua wao kwa kuwaficha ukweli wananchi.
10No nos quedaremos callados mientras esto ocurre.Hatutabaki kimya haya yanapotokea.
11Anónimo ha escuchado el reclamo de libertad del pueblo tunecino.Anonymous imesikia dai la uhuru wa watu wa Tunisia.
12Anónimo tiene ganas de ayudar al pueblo tunecino en esta lucha contra la opresión.Anonymous ina nia ya kuwasaidia watu wa Tunisia katika vita hii dhidi ya ukandamizaji.
13Se hará.Itafanyika.
14Se hará.Itafanyika.
15Esto es una advertencia al gobierno tunecino: los ataques a la libertad de expresión e información de sus ciudadanos no serán tolerados.Hili ni onyo kwa serikali ya Tunisia: mashambulizi dhidi ya uhuru wa kujieleza na wa habari kwa watu wake havitavumiliwa.
16Cualquier organización involucrada en la censura será nuestro objetivo y no será liberada hasta que el gobierno tunecino escuche el llamado a la libertad de su pueblo.Taasisi yoyote inayohusishwa na kuingilia mawasiliano binafsi ya watu italengwa na haitaachiwa mpaka serikali ya Tunisia isikilize dai la uhuru wa watu wake.
17Está en manos del gobierno tunecino detener esta situación.Hiyo iko mikononi mwa serikali kusimamisha hali hii.
18Liberen la red, y los ataques cesarán, sigan con esa actitud y esto apenas será el comienzo.Achia huru mtandao na mashambulizi yatakoma, endeleza nia hiyo na hatua hii itakuwa mwanzo tu.
19Acá se puede encontrar una lista de los sitios gubernamentales atacados.Orodha ya mitandao ya serikali iliyokwisha kushambuliwa inaweza kupatikana hapa.
20Y según activistas en el terreno, el gobierno tomó represalias ‘secuestrando' las cuentas de correo electrónico de los activistas, incluidos abogados y periodistas, accediendo a sus blogs y sitios de redes sociales, como Facebook, y desactivándolos.Na kwa mujibu wa wanaharakati waliopo nchini humo, serikali ilijibu mashambulizi kwa ‘kuziteka' anuani za barua pepe za wanaharakati, ikiwa ni pamoja na zile za wanasheria na za waandishi, na kuweza kuzitumia blogu zao na mitandao ya kijamii, kama vile Facebook,na kuzizuia zisiweze kufanya kazi.
21El blogger tunecino Astrubal, co-editor de Nawaat.org, dice que muchas indicaciones apuntan a un ataque coordinado lanzado por el gobierno tunecino en un intento de entrar a las cuentas privadas de los activistas.Mwanablogu wa Tunisia Astrubal, mhariri mwenza wa Nawaat.org, anasema dalili nyingi zinaelekeza kwenye shambulizi linaloratibiwa na serikali ya Tunisia katika jaribio la kuharibu mawasiliano binafsi ya wanaharakati.
22Escribe [fr] :Anaandika [Fr] :
23Aparentemente se trata de una campaña destinada sobre todo a sustraer las contraseñas y los nombres de usuario de los usuarios con el fin de husmear en sus mensajes privados.Matukio ya Sidi Bouzid, yamethibitisha umuhimu wa mitandao ya kijamii katika kuruhusu msambao endelevu wa habari.
24La policia busca infiltrarse en la cuentas de los usuarios para saber quién se comunica con quién sobre qué tema.Lakini tangu kuanza kwa matukio hayo, kuharibiwa mara kwa mara kwa mitandao hiyo kumeonekana.
25El objetivo sería desmantelar esas redes de periodismo ciudadano que se han formado espontáneamente luego de los movimientos de protesta de Sidi-Bouzid.Katika kisa cha Facebook, viunganisho, ikijumuisha matumizi ya HTTP (viungo salama) kuingia mtandaoni, haikuwa rahisi kuiunganisha.
26En efecto, desde los acontecimientos de Sidi-Bouzid se ha demostrado la importancia de las redes sociales en cuanto a la circulación de información.Utawala wa Tunisia haujathubutu, kwa wakati huu, kufunga huduma nzima ya Facebook, ambao ni mtandao maarufu zaidi nchini Tunisia.
27Para el caso de Facebook particularmente, a menudo es imposible acceder a las conexiones en HTTPS.Wakati huu, serikali inaonekana kuwalenga bayana wale wanaoutumia mtandao huo kusambaza habari.
28El poder tunecino no se ha atrevido, como ha hecho antes, a bloquear los servicios de red social más usada por los tunecinos.Kwa sababu yoyote, tunawakumbusha watumiaji wote wa Facebook, hasa kama wanaunganishwa kutokea Tunisia: USIJIUNGE kutokea kwenye ukurasa usio salama.
29Esta vez, parece que buscaría sobre todo alcanzar directamente a los que la usan para hacer circular la información, antes que ganarse la ira de todos los usuarios con un bloqueo total de Facebook.
30En cualquier caso, recordamos a todos los usuarios de Facebook y, con mayor razón, si se conectan desde Túnez: NO SE CONECTEN JAMÁS desde una página no segura.
31Aunque no tengan nada que esconder, no olviden jamás que son igualmente depositarios de la confianza de las personas que les envían mensajes privados.Hata kama huna cha kuficha, usisahau kwamba uliaminiwa na watu wanaokutumia jumbe binafsi.
32Aunque les dé lo mismo que alguien pueda entrar a sus mensajes privados, todos y cada uno, deben honrar la confidencialidad de los mensajes privados que reciben.Hata kama wazo kuwa mtu fulani anaweza kuingilia anuani yako ya barua pepe na kusoma jumbe zako halikusumbui, ni lazima uheshimu faragha ya jumbe binafsi unazozipokea.
33Las noticias de los ataques a las cuentas de los activistas pronto hallaron su camino a los medios sociales.Habari za shambulizi dhidi ya anuani za wanaharakati punde tu zilipata upenyo wa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.
34@SBZ_news informa:@SBZ_news anataarifu:
35Los bloggers están bajo fuego de la ciberpolicía tunecina, están tratando de piratear a todos los que apoyaron #sidibouzid o a #OperationTunisiaWanablogu wanapokea shambulio kutoka kwa polisi wa mtandaoni, wanaojaribu kuingilia mawasiliano ya kila aliyeunga mkono #sidibouzid au #OperationTunisia
36El activista mauritano Naser Weddady tuitea:Mwanaharakati wa Kimauritania Naser Weddady anaandika kwenye twita:
37Basado en lo que me cuenta la gente en #Túnez emerge un patrón: las cuentas pirateadas de Facebook estaban conectadas con cuentas de correo de Yahoo #sidibouzid #Ammar404Kwa kutumia mwitikio kutoka kwa watu walio #Tunisia mwelekeo wa mambo unajitokeza: Anuani za Facebook zilizoingiliwa zinahusiana na anuani ya Yahoo #sidibouzid #Ammar404 Na anaongeza:
38Y agrega:Mwanaharakati wa
39A activista de #Túnez @benmhennilina y a periodista @Sofien_Chourabi los están atacando por hablar a los medios extranjeros #sidibouzid #Ammar404#Tunisia @benmhennilina & mwandishi wa habari @Sofien_Chourabi wanalengwa kwa sababu ya kuongea na chombo cha habari cha kigeni#sidibouzid #Ammar404
40Mientras que @spiralis1337 advierte:Wakati @spiralis1337 anaonya:
41La policía tunecina piratea cuentas de Facebook para reunir información http://goo.gl/QYiEu Cuidense #Anonymous #OpTunisia #SidiBouzidPolisi ya Tunisia inaingilia anuani za Facbook kukusanya taarifa http://goo.gl/QYiEu Jilinde #Anonymous #OpTunisia #SidiBouzid
42Y Seifeddine Ferjani agrega:And Seifeddine Ferjani anaongeza:
43#sidibouzid el pirateo de correos electrónicos y cuentas de Facebook, ha confirmado que el gobierno de Benali es una empresa criminal.#sidibouzid uingiliaji wa barua pepe na anuani za Facebook, imethibitisha serikali ya Benali ni kampuni ya kihalifu
44Y si no es suficiente, en un suceso adicional, @nayzek tuitea:Na kama hiyo haitoshi, katika mwendelezo zaidi, @nayzek anaandika kwenye twita:
45RT @nayzek ja ja Ahora los funcionarios (?) parecen estar llamando a las personas individualmente para pedirles que dejen de compartir videos de #sidibouzid en FB :) #opTunisia…RT @nayzek haha Sasa maafisa (?) wanaonekana kuwaita watu mmoja mmoja kuwaomba kuacha kutumiana video za #sidibouzid kwennye mtandao wa FB :) #opTunisia…
46Para tuits sobre Operation: Tunisia, vean la etiqueta #optunisia. Y para más tuits sobre Sidi Bouzid y Túnez, revisen las etiquetas #SidiBouzid y #Túnez, que se actualizan con frecuencia sobre las últimas novedades en el terreno.Kwa twita za Operesheni: Tunisia, angalia kwenye alama hii #optunisia Na kwa twita zaidi kuhusu Sidi Bouzid na Tunisia, angalia alama #SidiBouzid na #Tunisia, ambazo huhuishwa mara kwa mara na miendelezo ya karibuni zaidi inayoendelea mahali husika.
47La traducción del francés fue proporcionada por Hisham.Fasiri kutoka Kifaransa imetolewa na Hisham.