Sentence alignment for gv-spa-20150504-284006.xml (html) - gv-swa-20150426-8785.xml (html)

#spaswa
1Pregunta: ¿Cuántos yihadistas tienen antecedentes militares?Swali: Wapiganaji Wangapi wa Jihadi Wana Historia ya Jeshi?
2Tomando el ejemplo de un informe del Der Spiegel sobre el cerebro detrás de la estructura del ISIS, el bloguero palestino Iyad El-Baghdadi tuitea:Kwa kutumia dondoo kutoka kwenye ripoti ya Der Spiegel kuhusu watu walionyuma ya muundo wa ISIS, mwanablogu wa Palestina Iyad El-Baghdadi anatwiti:
3Después de la historia del Spiegel sobre el “cerebro” tras la toma de posesión de Siria - observo, ¿cuántos yihadistas tienen antecedentes militares?Baada ya habari ya Spiegel kuhusu watu walio nyuma ya uongozi wa ISIS - nimejiuliza wapiganaji wa Jihadi wangapi wana historia ya jeshi?
4El Der Spiegel menciona al iraquí Samir Abd Muhammad al-Khlifawi, muerto en Tal Rifaat, Siria en enero 2014, como el “arquitecto” del ISIS, una rama de Al Qaeda que ha logrado controlar grandes extensiones de territorio en Iraq y Siria, dejando terror, muerte y destrucción en su camino.Der Spiegel anamtaja Iraqi Samir Abd Muhammad al-Khlifawi, aliyeuawa huko Tal Rifaat in Syria mwezi Januari 2014, kuwa ndiye “moyo” wa ISIS, tawi la Al Qaeda ambalo limekuwa na udhibiti wa nchi kama Iraq na Syria, wakiacha hofu, vifo na uharibifu sehemu mbalimbali.
5Se dice que al-Khlifawi era un coronel del servicio de inteligencia de la defensa aérea de Saddam Hussein.Inasema kwamba al-Khlifawi alikuwa kornel wa zamani kwenye kitengo cha ujasusi katika jeshi la ulinzi wa anga enzi za utawala wa Saddam Hussein.
6El-Baghdadi agrega:El-Baghdadi anaongeza:
7El comando superior del ISIS tiene muchos exoficiales del partido Baath iraquí; en Libia exoficiales de Gadafi forman parte del apoyo básico…Kamandi kuu ya ISIS ina mafisa wa zamani wa Jeshi la Iraq; nchini Libya maafisa wa zamani wa jeshi la Gaddafi ndio wanaunga mkono ugaidi huu…
8Y explica:Anaeleza:
9En Egipto (Sinaí) el ISIS también tiene varios exoficiales de la armada egipcia; el jefe de Ansar Bayt Maqdis es un excomando de la armada egipcia.ISIS nchini Misri (Sinai) pia ina maafisa kadhaa wa zamani wa jeshi la Misri; Mkuu wa Ansar Bayt al Maqdis ni komandoo wa zamani wa jeshi la Misri
10Activar la verificación de los datos:Hakiki taarifa hizi:
11Ayúdenos a realizar un seguimiento y verificar historias sobre el número de comandos superiores del ISIS con antecedentes militares en nuestro proyecto de asociación Global Voices/Checkdesk aquí.Tusaidie kufuatilia na kuhakiki habari hizi kuhusu wakuu wa ISIS wenye histori ya jeshi kwenye dawati letu la kuhakiki utaarifa la Global Voices hapa.