Sentence alignment for gv-spa-20140212-225683.xml (html) - gv-swa-20140215-6535.xml (html)

#spaswa
1Un periodista más muere en México: Gregorio Jiménez de la CruzMwandishi wa Habari Mwingine afariki Nchini Mexico: Gregorio Jiménez de la Cruz
2Autoridades mexicanas han confirmado el homicidio cometido en contra del periodista Gregorio Jiménez de la Cruz, aka “Goyo”.Maafisa wa serikali nchini Mexico wamethibitisha kuuawa kwa Gregorio Jiménez de la Cruz, ajulikanaye pia kwa jina la “Goyo”.
3El cuerpo sin vida de Jiménez de la Cruz fue encontrado en una fosa clandestina el 11 de febrero de 2014, según reportes de El Universal y La Jornada.Mwili wa Jiménez de la Cruz ulikutwa katika makaburi la siri tarehe 11, Februari, 2014, hii ni kwa mujibu wa taarifa kutoka El Universal [es] na La Jornada. [es] [Habari hii kwa Kiingereza iliyoandaliwa na BBC inapatikana hapa]
4Anteriormente, la versión electrónica del semanario Proceso había dado cuenta de la desaparición del reportero y la exigencia de resultados a las autoridades.Gazeti la kielekroniki la kila wiki la Proceso [es] mapema lilitoa taarifa ya kupotea kwa mwandishi huyu wa habari huku likihitaji majibu kutoka serikalini.
5En Twitter se utilizaba la etiqueta #HastaQueAparezcaGoyo para expresar apoyo a los familiares y colegas de Jiménez de la Cruz en las horas aciagas.Katika ukurasa wa Twita, kiungo habari #HastaQueAparezcaGoyo [es] kilitumika kama namna ya kuiunga mkono familia na marafiki wa Jiménez de la Cruz wakati wa kipindi kigumu walichopitia.
6La periodista, Paola Rojas fue de las primeras en difundir la nota en Twitter:Mwandishi wa habari, Paola Rojas ndiye aliyekuwa wa kwanza kusambaza habari katika kupitia ukurasa wa Twita:
7Confirma la Procuraduria de Veracruz que el periodista Gregorio Jiménez fue asesinado.Mpelelezi maalum wa shitaka la Veracruz amethibitisha kuwa mwandishi wa habari Gregorio Jiménez aliuawa
8- Paola Rojas (@Paola_Rojas_H) February 11, 2014
9El activista Jesús Robles Maloof pidió la renuncia del titular del Poder Ejecutivo local en Veracruz, entidad donde ejercía el periodismo Gregorio Jiménez de la Cruz:Mwanaharakati, Jesús Robles Maloof alimtaka Gavana wa jimbo la Veracruz kujiuzulu, mahali ambapo Gregorio Jiménez de la Cruz alifanyia shughuli zake kama mwandishi wa habari:
10Ya es hora que @Javier_Duarte sea removido del gobierno de #Veracruz #HastaQueAparezcaGoyoNi muda muafaka wa Javier Duarte aondolewe katika serikali.
11- Jesús Robles Maloof (@roblesmaloof) February 11, 2014Asubuhi ya Februari 11, mwanaharakati mmoja aliweka picha hii katika ukurasa wa Twita:
12En la mañana del 11 de febrero, el activista compartió esta foto:Waandishi wa habari wa Mexico waandamana kupinga ukatili huko #Veracruz.
13Periodistas mexicanos protestan contra la violencia en Veracruz.#HastaQueAparezcaGoyo [pic]. pic.twitter.com/1zPd1w8heb
14El usuario Másdel131 también compartió una foto de la misma protesta:- Jesús Robles Maloof (@roblesmaloof) February 11, 2014
15Desde la representación del gob de Veracruz en el DF protestan periodistas #QueremosVivoaGoyo #HastaQueAparezcaGoyo pic.twitter.com/tptnJJ9X8CPia, mtumiaji wa Twita, Másdel131 aliweka picha iliyopigwa kutoka kwenye maandamano hayo:
16- MásDe131 (@masde131) February 11, 2014Kutoka makao makuu ya serikali ya Veracruz, waandishi wa habari waandamana
17Mientras que Pertaesus preguntó:Pertaesus aliuliza:
18La demanda planteada por el hashtag #HastaQueAparezcaGoyo plantea otra pregunta igual de dolorosa, ¿hasta cuándo recuperaremos nuestro país? - Pertaesus (@Pertaesus) February 12, 2014Hitaji lao lililowekwa katika kiungo habari #HastaQueAparezcaGoyo laibua swali jingine lenye kuibua maumivu- itachukua muda gani hadi kuirudisha nchi yetu?
19“México es uno de los países más peligrosos del mundo para los periodistas”, según Reporteros Sin Fronteras. La organización agrega que, “en la última década han sido asesinados más de 80 periodistas y 17 han desaparecido”.Kwa mujibu wa Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka, “Mexico ni moja ya nchi hatari sana duniani kwa maisha ya waandishi wa habari”, Umoja huu unaongeza kuwa, “Zaidi ya waandishi wa habari 80 wameshauawa katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, 17 hawajulikani walipo” Kifo cha Gregorio Jiménez de la Cruz lazima kijumuishwe katika idadi hii.
20A esta cifra se suma la muerte de Gregorio Jiménez de la Cruz. En México se vive un ambiente de guerra y violencia sin control desde que el anterior titular del Poder Ejecutivo, Felipe Calderón, lanzó un ataque contra la delincuencia en el año 2006.Nchini Mexico, kuna hali ya vita iliyoshindikana na machafuko, hii ni tokea Rais aliyepita, Felipe Calderón, kuanzisha mkakati wa kukabiliana na madawa ya kulevya mnamo mwaka 2006. kwa kuzingatia kifo cha Gregorio Jiménez de la Cruz, machafuko nchini Mexico yanaendelea chini ya uangalizi wa Enrique Peña Nieto.
21A juzgar por la muerte de Gregorio Jiménez de la Cruz, la violencia continúa en el país durante la gestión del priísta Enrique Peña Nieto.