Sentence alignment for gv-spa-20120731-243778.xml (html) - gv-swa-20120730-3614.xml (html)

#spaswa
1Tanzania: Gobierno clausura periódicoTanzania: Kufungiwa ‘Mwanahalisi’, uhuru wa habari mashakani?
2En Tanzania, los medios de comunicación quedaron asombrados ante la clausura del periódico MwanaHalisi [sw].Ulimwengu wa habari Tanzania umepokea kwa mshtuko mkubwa kufungiwa kwa gazeti la kila wiki ‘MwanaHalisi‘.
3Un informe del gobierno publicado en el blog Wavuti [en] explica en breve la decisión:Taarifa ya Serikali iliyochapishwa kwenye blogu ya Wavuti ilieleza kwa ufupi kwamba
4El Gobierno decidió cerrar el periódico MwanaHalisi por tiempo indeterminado según la ley de diarios de 1976, cláusula (25)(i).Serikali imeamua kulifungia kutochapishwa kwa muda usiojulikana gazeti la MwanaHalisi, kwa mujibu wa Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976, kifungu Na.
5Conforme a la notificación 258, publicada el 27 de julio de 2012 en el diario del gobierno producido en Dar es Salaam, la cláusula entrara en vigencia a partir del 30 de julio de 2012.(25) (i), adhabu hiyo itaanza tarehe 30 Julai, 2012 kwa mujibu wa Tangazo la Serikali (Government Notice) Na. 258 lililochapishwa katika Gazeti la Serikali na kutolewa jijini Dar es Salaam tarehe 27 Julai, 2012.
6La edición que llevo al cierre del periódico.Toleo la gazeti la MwanaHalisi lenye habari iliyosababisha kufungiwa kwa jarida hilo.
7Gentileza de Mabadiliko Forums.Picha ya kundi la mtandao wa Facebook liitwalo Mabadiliko Forums.
8La notificación [en] agrega:Taarifa hiyo iliongeza:
9El Gobierno solicita a los dueños, editores y periodistas que obedezcan la ley, el patriotismo y sigan las pautas y éticas del periodismo en su objetivo por comunicar, informar y entretener a las personas.Serikali inawataka wamiliki, wahariri na wanahabari kuzingatia sheria, uzalendo, weledi na maadili ya taaluma ya uandishi wa habari katika kutekeleza wajibu wa kuhabarisha, kuelimisha na kutoa burudani kwa wananchi.
10Por medio de esta notificación, el gobierno explica que los motivos para la clausura fueron la presencia de artículos y noticias que incitan a la violencia, el antagonismo y le dan al ciudadano razones para dudar de las autoridades. El blogger detrás de hapa kwetu [en], el doctor Joseph Mbele, da su opinión acerca del cierre de Mwanahalisi, diciendo [en]:Kupitia taarifa yake hiyo, Serikali inatoa sababu ya kulifungia gazeti hilo kuwa ni ‘kuandika habari na makala za uchochezi, uhasama na uzushi na nia ya kusababisha wananchi kukosa imani na vyombo vya dola hali inayoweza kuhatarisha amani na mshikamano uliopo nchini'.
11Si el gobierno fuera mas inteligente, hubiera pensando en los problemas planteados por el Dr. Ulimboka (vocero de los doctores de Tanzania, que fue secuestrado y torturado durante una protesta por un grupo de personas no identificadas) tal como fueron publicados por Mwanahalisi.Profesa Joseph Mbele anayemiliki blogu inayoitwa hapa kwetu, aliandika maoni yake kuhusu habari hiyo ya kufungiwa gazeti la MwanaHalisi, anasema: Serikali ingekuwa na busara, ingetafakari sana masula haya ya Dr Ulimboka kama yalivyoripotiwa na MwanaHalisi.
12Con el cierre de este periódico, la ciudadanía va a sospechar que el gobierno estuvo involucrado en el ataque al Dr. UlimbokaKulizuia gazeti hili, nahisi kutaimarisha dhana iliyozagaa katika jamii kwamba serikali inahusika katika shambulio dhidi ya Dr Ulimboka.
13Es posible que el gobierno no este involucrado, pero estas acciones pueden ser perjudiciales para el gobierno mismo.Inawezekana serikali haihusiki, lakini vitendo hivi vinaweza kuwa vya hasara kwa serikali yenyewe.
14Y agrega [en]:Anahitimisha kwa kuandika:
15No estoy de acuerdo en que se interfiera con mi derecho a leer lo que tenga gana.Nimalizie kwa kusema kwamba naudhika na vitendo vya kuhujumu haki yangu ya kusoma ninachotaka kusoma.
16Puedo comprender lo que leo.Ni mtu mzima na nina akili zangu.
17Cuando el gobierno prohíbe un libro o clausura un periódico, esta insultando a los ciudadanos, porque se entiende que no pueden leer ni interpretar por ellos mismos.Naweza kuchambua chochote ninachosoma. Serikali inapozuia gazeti au kupiga marufuku kitabu naona inawatukana wananchi, kwamba hawana akili ya kusoma na kuchambua mambo.
18Geophrey Mlewa [en] se pregunta a través de Facebook:Geophrey Mlewa anauliza kupitia ukurasa wake wa Facebook:
19¿Hacia dónde nos dirigimos con esta dictadura?Tunaenda wapi na ubabe kama huu?
20Ellos afirman que la ley no fue seguida, pero hay historias que elogian al gobierno por concretar la clausura.Wanadai sheria ilikiukwa, kweli wangeandika habari za kusifia serikali wangelifungia pia???
21Tumaini Anthony [en] responde a la publicación de Geophrey:Tumaini Anthony anaandika maoni kwenye ukurasa wa Facebook wa Geophrey hapo juu akisema
22…las piedras hablarán.…mawe yataongea!
23¡Amen!Amen
24Hilda M.MwanaFacebook Hilda M.
25Mbangati [en], usuaria de Facebook, opina en el muro de Geophrey [en]:Mbangati anaandika kwenye sehemu ya maoni ya ukurasa huo:
26¡Obvio!, ¡este es el gobierno!Duuh hii ndo Serikali bwana!
27Viva el CCM…CCM hoyee…
28Simon Mkina [en] fue etiquetado en una foto de Facebook que contenía a Mwanahalisi con la siguiente leyenda:Simon Mkina alifanyiwa tag kwenye Facebook ambapo kuna picha ya gazeti la MwanaHalisi na maoni chini yakisema
29Q.E.P.D. MwanaHalisi, ahora dejanos leer los chismes.R.I.P MwanaHalisi, sasa tusome udaku
30En su muro de Facebook, Ismail Mbuyu [en] opina: El cierre de Mwanahalisi me hizo daño.Kwenye ukurasa wake wa Facebook, Ismail Mbuyu anaandika maoni haya:
31Espero que el presidente Kikwete lo reabra.…Nategemea kwamba Rais Kikwete atalifungulia.
32¿La razón?Kwa nini?
33Sus líderes van a parecer débiles.Linaweka wazi udhaifu wa wateule wake.
34¿Cómo hará Kubenea (editor del periódico) para obtener datos internos cuando este mismo no esta en la fuente?Kubenea atapataje taarifa za ndani namna hii wakati hayuko kwenye chanzo chenye cha habari? Acheni jarida liendelee kutupa ukweli wa mambo ulivyo.
35Dejen que el periódico siga publicando hechos.Ni juu ya Rais kutazama upya nyumba yake na sio Kubenea.
36La noticia de la clausura llego a JamiiForums [sw], donde se vieron los siguientes comentarios:Katika kiungo hiki kuna maelezo kuhusu Saed Kubenea, Mhariri Mtendaji wa gazeti la MwanaHalisi.
37El Gobierno quiere cerrar nuestros labios para que continuemos en la oscuridad y no sepamos de sus maldades.Taarifa ya kufungiwa kwa gazeti hili ilitangazwa na mtandao wa JamiiForums hapa, ambapo taarifa hiyo iliambatana na maoni haya: Wajameni serikali hii inataka kutufunga mdomo tuendelee kuwa gizani tusijue madudu yao.
38Ndahani [en] escribió:Na mtoa maoni anayejiita Ndahani aliandika:
39¡Jaja!Haaahaa!
40Kubenea (editor del periódico) expuso a estas personas.Ile dozi ya Kubenea ilikuwa kubwa kuliko. maana amewaweka jamaa uchi bila kutegemea.
41Osokoni [en], miembro experto, pregunta:JF Senior Expert Member Osokoni anahoji:
42¿Por qué no clausuraron Radio Imani todavía, que incita al odio religioso?Mbona Radio Imani inayohubiri chuki za kidini kila siku haifungiwi??
43¿Existe un doble discurso?Kuna double standards kwenye media??
44Ritz [en] agrega:Kwa upande wa Ritz, yeye anasema:
45Cerrar el periódico fue una decisión limpia, ya que difundía odio y violencia en el pueblo.Safi sana gazeti la udaku na majungu na kufitinisha watu hata hivyo serikali imechelewa mno kulifungia.
46Sin embargo, esta medida llegó un poco tarde.Na hii haikuwa mara ya kwanza kwa gazeti hili kufungiwa.
47No es la primera vez que clausuran este periódico (fue prohibido 3 veces en 2008).Liliwahi kufungiwa kwa miezi mitatu mwaka 2008.
48La historia de clausurar periódicos en Tanzania comenzó hace un largo tiempo [sw]. En el blog Kulikoni Ughaibuni [sw], de Chahali, se cuestiona la libertad de expresión en Tanzania.Historia ya kufungiwa magazeti Tanzania imeanza siku nyingi soma hapa katika blogu ya Kulikoni Ughaibuni ya Chahali, kuna makala inayohoji kuhusu Uhuru wa Habari wa Tanzania: Tatizo ni Dola, Uoga au Kujikomba?
49¿El problema es el estado, el miedo o la sobreprotección?Maswali bado ni mengi kuhusu uhuru wa habari nchini Tanzania.
50Existen muchas preguntas acerca de la libertad de expresión en Tanzania.Je, hali itakuwaje kwa vyombo vingine vya habari?
51¿Qué ocurrirá con otros canales de comunicación? ¿Cuál es la opinión de la oposición [en] sobre este conflicto?Na John Mnyika naye anasema nini kuhusu suala hili la uhuru wa vyombo vya habari?
52Solo el tiempo lo dirá.Hebu tusubiri na tuone.