Sentence alignment for gv-spa-20090722-12688.xml (html) - gv-swa-20090727-252.xml (html)

#spaswa
1Mauritania: ¿Fraude electoral?Mauritania: Uchaguzi wenye udanganyifu?
2Ayer, 11 meses después del golpe de estado militar (ing) encabezado por el General Mohamed Ould Abdel Aziz (ing), Mauritania eligió (ing) al General como presidente, de lo que resulta que los principales candidatos opositores de Abdel Aziz denuncian la elección como una “farsa” según la BBC News (ing).Tarehe 18-07-2009, miezi 11 baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Jenerali Mohamed Ould Abdel Aziz, Mauritania imemchagua Jenerali huyu kwa Urais, na kusababisha wapinzani wakuu wa Abdel Aziz kuukataa uchaguzi kwamba ni “kiini macho,” kwa mujibu wa Habari za BBC.
3Una rápida mirada al mundo de los blogs de la región del Sahel muestra que sus opositores están bien acompañados.Pitio la haraka haraka kwenye blogu za nchi za Saheli linaonyesha kwamba wapinzani wako katika ushirika mzuri.
4Maghreb Blog informa (ing) sobre los candidatos:Blogu ya Maghreb inawaelezea wagombea:
5Los mauritanos van hoy día a votar en importantes elecciones presidenciales.Wamauritania wanaelekea kwenye vituo vya kupigia kura leo katika uchaguzi wa Rais wa kihistoria.
6El favorito es Ould Abdel Aziz, ex dirigente de la junta militar quien basa su campaña en el populismo y en una posición anti-israelita.Mgombea anayepewa nafasi kubwa ya kushinda ni Ould Abdel Aziz, kiongozi wa zamani wa mapinduzi ya kijeshi ambaye anagombea kwa njia ya jukwaa la umaarufu na kwa kuwa mpinga-Israeli.
7Ould Abdel Aziz ha pedido finalizar con la corrupción y ha llamado a adoptar los principios de buena gobernabilidad.Ould Abdel Aziz pia ameatoa wito wa kukomesha vitendo vya rushwa na kusimika misingi ya utawala bora.
8Según las últimas encuestas el General Ould Abdel Aziz es seguido por Ahmed Ould Dada y Messaoud Ould Boulkheir.Kwa mujibu wa kura za maoni hivi karibuni, Jenerali Ould Abdel Aziz anafuatiwa na Ahmed Ould Dada na Messaoud Ould Boulkheir.
9La agenda del primero da énfasis a los principios de moral y a los valores de “justicia, igualdad, tolerancia.”Agenda za huyu wa kwanza, Ahmed Dada zinatilia mkazo maadili na misingi ya “haki, usawa, uvumilivu.”
10Ould Boulkheir adopta los ideales de democracia y derechos humanos y ha solicitado el apoyo de los sindicatos.Ould Boulkheir anakumbatia nadharia za demokrasia na haki za binadamu, na ameahidi kuunga mkono vyama vya wafanyakazi.
11Radicado en U.S., The Moor Next Door manifiestamente habla de fraude (ing) afirmando:Mwanablogu Moor Next Door, mwenye makao huko Marekani, kwa ujasiri kabisa ameuita ni udanganyifu, kwa kusema:
12Las campañas de Ould Daddah y Boulkheir pueden ser descritas como “en estado de shock”: las cifras resultantes después del cierre de las votaciones muestran una masiva mayoría para el General Ould Abdel Aziz.Kampeni za Ould Daddah na Boulkheir zinaweza kuelezewa kama “zenye taharuki”: idadi ya kura zinazotangazwa tangu upigaji kura ufanyike zinaonyesha watu wengi sana wakimuunga mkono Jenerali Ould Abdel Aziz.
13En Nouadhibou, sesenta y cinco locales de voto muestran el mismo resultado en favor de Ould Abdel Aziz.Huko Nouadhibou, asilimia sitini na tano wanaonyesha matokeo hayo hayo yenye kumuunga mkono Ould Abdel Aziz.
14La pregunta es ¿cómo? la respuesta es: fraude.Swali: kwa jinsi gani? Jawabu: Udanganyifu.
15Las reacciones ahora determinarán lo que es posible mañana y en los días siguientes.Mwitikio wao sasa utaonyesha nini kinawezekana kesho na siku zinazofuata.
16El bloguero nos recuerda :Mwanablogu huyo anatukumbusha:
17El General Ould Abdel Aziz ha gobernado Mauritania en tres importantes campañas: El buen Golpe de Estado (2005), el Golpe rechazado (2008) y ahora, el Golpe constitucional (2009).Jenerali Ould Abdel Aziz ameitawala Mauritania katika kampeni tatu muhimu: Mapinduzi mazuri (2005), Mapinduzi yaliyokataliwa (2008) na, sasa, mapinduzi ya Kikatiba (2009).
18El bloguero africano autodescrito como A Bombastic Element, radicado en U.S. denomina a una espada una espada (ing) :Mwanablogu anayeishi marekani ambaye anayejielezea mwenyewe kuwa mwanablogu wa Kiafrika Bombastic Element analiita beleshi kwa jina lake (au kusema maneno bila kupinda pinda):
19La BBC informa que el lider del Golpe de Estado, General Mohamed Ould Abdelaziz, quien dejó el poder y volvió a la vida civil para presentarse a las elecciones del sábado como civil, está a punto de realizar un “Musharraf.”BBC inaarifu kuwa kiongozi wa mapinduzi Jenerali Mohamed Ould Abdelaziz, aliachia madaraka na kujigeuza raia kwa minajili ya kugombea uchaguzi wa Jumamosi anakaribia kucheza mchezo wa “Musharraf.”
20Mientras el bloguero espera que los resultados finales estén disponibles, un artista (ing) residente en Nouakchott hace este diseño del día de elecciones en Nouadhibou :Wakati wanablogu wanasuburi matokeo yakamilishwe, mmoja -msanii anayeishi Nouakchott, anatoa mchoro huu wa siku ya uchaguzi huko Nouadhibou: