Sentence alignment for gv-spa-20140710-245149.xml (html) - gv-swa-20140712-7922.xml (html)

#spaswa
1¡Argentina a la final de Brasil 2014!Ajentina Yaichapa Uholanzi, Kukutana na Ujerumani Kwenye Fainali za Kombe la Dunia
2La Pampa alienta a la selección argentina de fútbol.La Pampa Ikiishangilia timu ya taifa ya Ajentina.
3Foto en Flickr del usuario Miinsterio de Cultura de la Nación (CC BY-SA 2.0).Picha ya mtandao wa Flickr kutoka Wizara ya Taifa ya Utamaduni (CC BY-SA 2.0).
4Luego de 120 minutos de juego y la definición por penales, Argentina logra su pase a la final de la Copa del Mundo 2014 luego de 24 años.Mara ya mwisho kwa Ajentina kufika kwenye hatua ya fainali za Kombe la Dunia ilikuwa mwaka 1990, mashindano yalipofanyika nchini Italia na Ujerumani Magharibi ilitwaa kombe hilo.
5La última vez fue en el año 1990, cuando el torneo se realizó en Italia, donde la selección alemana de coronó campeona. Esta vez, las selecciones argentina y alemana vuelven a disputar la Copa del Mundo.Baada ya kushinda dhidi ya Uholanzi kwa mikwaju ya penati 4-2 mnamo Julai 9, Ajentina inasonga mbele kufikia fainali kwa mara nyingine ikipambana na Ujerumani siku ya Jumapili, Julai 13 katika uwanja wa Estádio Jornalista Mário Filho,ukifahamika zaidi kama Maracanã.
6Argentina podrá tomar revancha o Alemania lograr un nuevo triunfo.Blogu ya Esteban imeandika muhtasari wa mchezo huo kama ifuatavyo:
7La final se celebrará el domingo 13 de Julio en la ciudad de Rio de Janeiro en el estadio Mário Filho, más conocido como Maracaná. Esteban Blog, lo escribe así:Mchezo kati ya mataifa yaliyowahi kufika fainali mara nyingi unakaribia, wakati Ujerumani ikiicharaza Brazili kwa mabao 7-1 , na kuifanya Brazil ambayo ni mwenyeji wa mashindano hayo kukosa moyo ambao wa-Ajentina na Wadachi walikuwa nao kwa ziada.
8Un partido con historia de finales se avecina, con Alemania demoledora en el 1-7 ante los dueños de casa, en que a Brasil le faltó el alma que hoy a argentinos y holandeses les sobró.
9Los lugares más emblemáticos de Argentina se convirtieron en una fiesta y por supuesto los argentinos en Copacabana también lo celebraron:
10La fiesta Argentina en Copacabana via @JornalOGlobo http://t.co/VbEnEFeqPB #ArgentinaALaFinal pic.twitter.com/6FMCWVd78r - Gustavo Papasergio (@gpapasergio) julio 10, 2014Maeneo mengi maarufu ya Ajentina yaligeuzwa kuwa maeneo ya sherehe, na katika hali ya kushangaza, wa-Ajentina waliokuwa kwenye ufukwe wa Copacabana nchini Brazili walisherehekea pia:
11En la ciudad de Buenos Aires, el punto de encuentro fue el Obelisco, donde la celebración se exntendió hasta la noche:Sherehe ya Ajentina kwenye ufukwe wa Copacabana kupitia @JornalOGlobo http://t.co/VbEnEFeqPB Kwenye jiji la Buenos Aires, sehemu ya kukutania ilikuwa Obelisk, ambapo mashabiki walikuwa na mkesha:
12Imagen de la cuenta de Facebook de Juan Pablo Paradelo.Picha ya kutoka kwenye ukurasa wa Facebook wa Juan Pablo Paradelo.
13En la ciudad de Rosario, donde nacieron Lionel Messi, Ángel Di Maria y Maxi Rodriguez, tres jugadores de la selección argentina, se celebró así:Katika jiji la Rosario, walikozaliwa Lionel Messi, Ángel di María na Maxi Rodríguez, wachezaji watatu nyota wa kikosi cha Ajentina, wakazi walisherehekea kama ifuatavyo:
14Foto de la cuenta de Facebook de Rosario3.Picha kutoka kwenye ukurasa wa Facebook wa Rosario3.
15Y así se festejó en Villaguay, en la provincia de Entre Ríos:Na hivi ndivyo kila mmoja alivyosherehekea huko Villaguay, kwenye jimbo la Entre Ríos:
16Foto de la cuenta de Facebook de José Luis Raota.Picha kutoka kwenye ukurasa wa Facebook wa José Luis Raota.
17En Twitter, se convirtieron en tendencia las etiquetas #ArgentinaALaFinal, #EstamosEnLaFinal, #AlaFinal y #SiElDomingoGanamos, donde los argentinos tuitean qué van a hacer ante la posibilidad de un triunfo:Kulikuwa na alama habari kadhaa zilizokuwa zikitumika kwenye mtandao wa Twita baada ya ushindi huo, kama vile #ArgentinaALaFinal (Ajentina yafika fainali), #EstamosEnLaFinal (Tumetinga fainali), #AlaFinal (Fainali hatimaye) and #SiElDomingoGanamos (Kama tutashinda Jumapili):
18#SiElDomingoGanamos El País va a volver a estar de Fiesta!
19- El Team SanCe XIII (@NicoKaiserr) julio 10, 2014#IfWeWinOnSunday [Kama tutashinda Jumapili] Nchi itafanya sherehe tena!
20#SiElDomingoGanamos no falto mas al colegio, tengo muchas faltas - Jota esse-* (@Flaaa9) julio 10, 2014#IfWeWinOnSunday [Kama tutashinda Jumapili] Nitaacha kukosa shule, nimekuwa mtoro kwa siku kadhaa
21Y un tuit optimista:Twiti iliyokuwa na matumaini:
22#SiElDomingoGanamos saquenle el ‘si' porque es “EL DOMINGO GANAMOS” - LPDLC#2 (@MartuBisconti) julio 10, 2014#IfWeWinOnSunday [Kama tutashinda Jumapili] acheni kutumia neno ‘kama' kwa sababu TUTASHINDA JUMAPILI
23Los argentinos quieren revancha, y ahora solo queda esperar hasta el domingo:Wa-Ajentina wanataka kulipiza kisasi, na sasa wanahitaji tu kusubiri mpaka Jumapili:
24Alemania, estudiate videos, papelitos, pero sabés qué? tenemos una cuenta pendiente! #EstamosEnLaFINALUjerumani, tazameni video zenu, madesa, lakini mnajua nini? tuna kazi ambayo inahitaji kukamilika kati yenu na sisi!
25- Silvina Manzi (@silvinamanzi) julio 9, 2014