Sentence alignment for gv-spa-20100909-37590.xml (html) - gv-swa-20100909-1689.xml (html)

#spaswa
1África: Africanos comparten en línea recuerdos de infanciaAfrica: Waafrika Wasimulia Kumbukumbu Zao za Utotoni
2That African Girl (Esa muchacha africana) es un blog con una serie de posts escritos por africanos en todo el mundo acerca de su niñez.That African Girl ni blogu yenye mfululizo wa makala zilizoandikwa na Waafrika duniani kote kuhusu maisha yao ya utotoni.
3Es un blog acerca de crecer en una familia africana y de aprender a vivir en dos mundos.Ni blogu juu ya kukulia katika familia ya kiAfrika na kujifunza kuishi katika dunia (au tamaduni) mbili.
4Los bloggers que comparten sus recuerdos han vivido en África y en Occidente.Wanablogu wanaoelezea kumbukumbu hizo wamewahi kuishi kote, Barani afrika na katika nchi za Magharibi.
5El blog fue iniciado por Makafui Fiavi y Adey Teshome.Blogu hiyo ilianzishwa na Makafui Fiavi pamoja na Adey Teshome.
6Makafui nació en Togo y creció en Estados Unidos y Adey es una joven etíope-estadounidense.Makafui alizaliwa nchini Togo na alikulia nchini Marekani na Adei ni kijana mwenye asili ya Ethiopia-na-Marekani.
7Esta es la presentación de Makafui:Huu ndio utangulizi wa Makafui:
8Durante mis años de estudiante universitario, mucha gente se tomaba el tiempo de entenderse mejor y a su lugar en el mundo.Wakati wa miaka ya uanafunzi chuoni, watu wengi hujipa muda wa kuzielewa nafsi zao zaidi pamoja na nafasi yao ulimwenguni.
9La mayoría de las personas lo hacen probando diferentes identidades, o explorando diferentes círculos sociales e ideologías.Watu wengi hufanya hivyo kwa kujaribu namna tofauti za kujitambua, au kwa kuvinjari makundi tofauti ya kijamii na kiitikadi.
10Para mí, esos cuatro años trajeron una exploración de mis diversas subidentidades y un fuerte deseo de aprender cómo vivir entre dos mundos. Nacer y crecer en Togo y luego en Estados Unidos me ha dado el deseo de explorar y entender diversas culturas, escuchar las historias y aprender qué es lo que une a la gente.Kwangu, miaka ile 4 ilinipa fursa ya kuvinjari utambuzi wa nafsi zangu tofauti na hamu kubwa ya kutaka kujifunza jinsi ya kuishi kati ya tamaduni 2. Kuzaliwa na kukulia nchini Togo na kuendelea kukua nchini Marekani kumenipa hamu ya kuchunguza na kuelewa tamaduni mbalimbali, kusikiliza simulizi na kujifunza kuhusu mambo yanayowakutanisha watu.
11That African Girl (TAG) es la culminación de ideas, conversaciones y un deseo de seguir aprendiendo y compartiendo.Msichana Yule wa kiAfrika (TAG) ni matokeo ya dhana, mazungumzo na hamu ya kuendelea kujifunza na kushirikiana masomo yaliyoyojitokeza.
12Acá es donde comparto cosas, personas, lugares, historias, sueños y pasiones que me inspiran.Hapa ndio sehemu ninayoelezea kuhusu vitu, watu, mahali, simulizi, ndoto pamoja nay ale yanayonivutia moyoni na ambayo yananipa ari.
13Adey Teshome considera el blog como “un lugar para que los hijos culturalmente híbridos, con muchos intereses, y eclécticos como nosotros ventilen sus ideas”:Adey Teshome anaichukulia blogu kama “sehemu ya watu wa tamaduni mchanganyiko, wenye kuvutiwa na masuala anuai, (sehemu) ya watoto wa kipekee kama sisi kupaza mawazo yetu”:
14Cuando acepté contribuir con este blog, me superinspiró la idea de Mak -un lugar para que los hijos culturalmente híbridos, con muchos intereses, y eclécticos como nosotros ventilen sus ideas.Mwanzoni nilipokubali kuandika katika blogu hii, nilihamasishwa sana na wazo la Mak - sehemu ya watu wa tamaduni mchanganyiko, wenye kuvutiwa na masuala anuai, (sehemu) ya watoto wa kipekee kama sisi kupaza mawazo yetu.
15Como me gusta decir, es por eso que somos amigas.Na kama ninavyopenda kusema, hii ndiyo sababu sisi ni maraki.
16Tiene muy buen ojo para la autoexpresión y tantas perspectivas geniales para compartir.Ana jicho zuri la kujieleza na mitizamo mizuri ya kueleza.
17Y me encantó la idea de ser parte de eso.Na nililipenda wazo la kuwa sehemu ya mchakato huo.
18Así que trataré de ser así para este blog -una joven etíope-estadounidense, recién graduada de la universidad (bueno, en proceso), tratando de averiguar mi lugar y ver mi fundamento en la vida, y que puede dar su aporte de vez en cuando.Na hivyo ndivyo ninavyojaribu kuwa katika blogu hii - kijana mwenye asili ya kiEthiopia na Kimarekani, mhitimu (aam, anayetarajia) kuhitimu mafunzo ya chuo, anmbaye anajaribu kuijua nafasi yake katika na kupata msingi katika maisha, ambaye anaweza kuchangia senti mbili za mawazo kila inapowezekana.
19Liz A. es una colaboradora de Uganda/Kenia que vive en Estados Unidos.Liz A. ni mchangiaji kutoka Uganda/Kenya ambaye anaishi nchini Marekani.
20Estos son sus recuerdos de infancia:Na hizi ndizo kumbukumbu zake za utotoni:
211) Que me pegaran como castigo.1)Kuchapwa kama adhabu.
22Siempre me parecía interesante cuando mis amigos blancos o asiáticos me contaban que los hacían sentarse en una esquina, o que los mandaran a su cuarto como forma de castigo.Mara zote niliona kama jambo la kuvutuia pale marafiki zangu wa Kizungu au Kiasia walipokuwa wanaongelea adhabu ya kuketi kwenye kona, au walipoamriwa kwenda chambani kama adhabu.
23Para nosotros, nos pegaban.Kwetu, tulikuwa tunapigwa.
24Mi mamá agarraba delgadas ramas que habían caído de los árboles de donde vivíamos y mi papá agarraba las gruesas, a veces nos mandaban a nosotros mismos a recogerlas, y nos daban unos cuantos azotes en las pantorrillas.Mama kwa kawaida alikuwa akiokota fimbo nyembamba zilivyoanguka kutoka kwenye miti iliyokuwa ndani ya boma letu na baba alikuwa akiokota zile kubwa, wakati mwingine tulitumwa kwenda kuzileta sisi wenyewe, na tulikuwa tunachapwa kwenye sehemu ya viazi nyuma ya ugoko.
25En Estados Unidos, parece que algo así puede terminar en que se llame a los servicios sociales para que revisen la situación o lo hijos acá sienten cierto resentimiento hacia sus padres por esto.
26Pero yo nunca he sentido ningún tipo de resentimiento hacia mis padres por eso, era parte de crecer. Haces algo mal, te corrigen y cuando éramos chicos, esa era la manera de corregir.Nchini Marekani, inaonekana kuwa jambo kama hilo linaweza kusababisha taasisi za huduma za jamii kuitwa ili kutathmini hali, au watoto hapa huweza kuhisi namna fulani ya kuwachukia wazazi wao kutokana na adhabu kama hizo.
27No lo veía como abusivo para nada.Lakini mimi