Sentence alignment for gv-spa-20130824-202596.xml (html) - gv-swa-20131120-5635.xml (html)

#spaswa
1Ola de violencia contra periodistas guatemaltecosWimbi la Ukatili Dhidi ya Waandishi wa Habari Nchini Guatemala
2El periodista guatemalteco Carlos Alberto Orellana Chávez fue muerto a tiros [en] el lunes 19 de agosto de 2013; es el cuarto periodista asesinado en Guatemala este año.Mwandishi wa habari wa Guatemala Carlos Alberto Orellana Chávez alipigwa risasi mnano Jumatatu Agosti 19, 2013, yeye ni mwandishi wa habari wa nne kuuawa nchini Guatemala mwaka huu.
3En un artículo de opinión publicado en el periódico guatemalteco Prensa Libre, Frank La Rue, relator especial de las Naciones Unidas para la libertad de expresión, denunció “la reciente ola de agresiones contra periodistas en el país”, como informa Alejandro Martínez en el blog de las Periodismo en las Américas del Centro Knight:Katika makala ya maoni [es] iliyochapishwa katika gazeti la Guatemala Prensa Libre, mwandishi maalum wa ripoti ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya uhuru wa kujieleza Frank La Rue alishutumu “wimbi la hivi karibuni la ushambulizi dhidi ya waandishi nchini,” kama Alejandro Martinez anavyoripoti katika Uandishi wa Habari wa The Knight Centre katika blogu ya Amerika:
4La Rue criticó al gobierno del presidente Otto Pérez Molina por no poder cortar de raíz el delito en el país, poniéndose de lado de intereses privados, persiguiendo a líderes sociales y no protegiendo a los periodistas de acoso judicial, demandas, amenazas, agresiones físicas y muerte.La Rue alikosoa utawala wa Rais Otto Perez Molina kwa kushindwa kuzuia uhalifu nchini, kipendeleo kwa maslahi binafsi, kutesa viongozi wa kijamii na kutolinda waandishi wa habari kutoka unyanyasaji wa mahakama, kesi za kisheria, vitisho, ushambulizi wa kimwili na mauaji.
5“Hoy la violencia se ha volcado a los sectores de la prensa que tienen posiciones críticas hacia los que están en el poder, debido a su función social de investigar e informar, pero el nivel de agresiones de este año no se había visto en una década”, dijo La Rue, que describió la violencia como un “retroceso para la democracia y el proceso de paz (del país)”.“Leo vurugu imegeuka kuelekea sekta ya vyombo vya habari ambayo inashikilia nafasi muhimu kuelekea wale walio katika madaraka, kwa sababu ya kazi yao ya kijamii ya kuchunguza na kutoa taarifa, lakini kiwango cha mwaka huu cha ushambulizi hakijaonekana katika muongo mmoja,” alisema La Rue, ambaye alielezea vurugu kama “hatua ya nyuma kwa ajili ya demokrasia na (nchi) mchakato wa amani.”