Sentence alignment for gv-spa-20090520-9138.xml (html) - gv-swa-20090519-145.xml (html)

#spaswa
1Sri Lanka: Bloggers reaccionan a la muerte de líder TamilSri Lanka: Wanablogu Watathmini Kifo cha Kiongozi wa LTTE
2El gobierno de Sri Lanka anunció el lunes 18 de mayo del 2009 a través de los medios estatales y de mensajes de texto que el líder de los Tigres de Liberación del Tamil Eelam (LTTE), Vellupillai Prabhakaran, está muerto.Serikali ya Sri Lanka imetangaza kwa kupitia vyombo vya habari vya taifa pamoja na ujumbe wa simu za mkononi mchana leo (Jumatatu, 18 Mei, 2009) kwamba kiongozi wa Kundi linalotaka kujitenga la Wa-Tamil, the Liberation Tigers of Tamil Eelam (LTTE), Vellupillai Prabhakaran, amefariki.
3Los medios noticiosos están informando que Prabhakaran, que estaba a cargo de una de las rebeliones más violentas del mundo, murió por una granada mientras estaba en una camnioneta con el jefe de la marina del LTTE, Soosai, y el jefe de inteligencia del LTTE, Pottu Amman.Vyombo vya habari vinaripoti kwamba Prabhakaran, ambaye alikuwa kwenye uongozi wa moja ya maasi ya kikatili zaidi duniani, aliuwawa kwa kombora wakati alipokuwa kwenye basi dogo na mkuu wa jeshi la majini la LTTE, Soosai, pamoja na mkuu wa upelelezi, Pottu Amman.
4El cuerpo del líder rebelde pasará por exámenes de ADN para confirmar su identidad.Mwili wa kiongozi huyo wa waasi utafanyiwa uchunguzi zaidi wa DNA ili kuthibitisha utambuzi wake.
5Se informó que cerca de 250 miembros de los Tigres del Tamil murieron en el último aumento de los enfrentamientos en la guerra del país, que ya tiene 26 años.Kadri ya wanachama 250 wa waasi wa Chui wa Kitamil waliuwawa kwenye mapambano ya mwisho ya vita vilivyodumu kwa miaka 26.
6Los obituarios de Prabhakaran dan cuenta que para algunos era un héroe y un despiadado asesino para otros.Salamu za rambirambi zinaashiria kwamba alikuwa shujaa kwa baadhi ya watu kadhalika alichukuliwa kama muuaji katili kwa wengine.
7La BBC escribe, “Para sus seguidores, Vellupillai Prabhakaran era un luchador por la libertad que combatía por la emancipación de los tamiles.Chombo cha habari cha BBC kimeandika, “kwa wafuasi wake, Vellupillai Prabhakaran alikuwa ni mpigania uhuru kwa ajili ya ukombozi wa Watamil.
8Para sus adversarias era un reservado megalómano sin ninguna consideración por la vida humana.”Kwa maadui zake alikuwa ni mtu msiri anayependa kutawala na asiyejali kabisa maisha ya wanaadamu wengine.”
9The Hindu en la India dice, “Un luchador de la libertad para sus partidarios y un temido terrorista para otros, Prabhakaran era buscado por la Interpol y muchas otras organizaciones desde 1990 por terrorismo, asesinato y crimen organizado.”Gazeti la The Hindu nchini India linasema, Mpigania uhuru kwa wafuasi wake na gaidi wa kuogopwa kwa wengine, Prabhakaran alikuwa anatafutwa na Chombo cha Polisi cha Kimataifa, Interpol, pamoja na mashirika mengine mengi tangu mwaka 1990 kwa makosa ya ugaidi, mauaji na jinai.
10Mucho antes que el mundo supiera de Osama Bin Laden o de Al-Qaeda, Prabhakaran empezó a usar un nuevo métido de guerra de guerrillas, bombardeos suicidas.“kabla dunia haijamsikia Osama Bin Laden au Al-Qaeda, Prabhakaran alianza kutumia mbinu mpya ya vita, mabomu ya kujilipua kwa kujitoa muhanga.
11Este artículo de portada en Tehelka magazine revela mucho de este líder militar.Makala hii kwenye gazeti la Tehelka inatoa mwanga kuhusu kiongozi huyu wa vita.
12El blogger de Beyond Skin lo explica de esta manera:Mwanablogu wa Beyond the Skin anafafanua hivi:
13Primera reacción: ¡WHAAA!Hisia za mwanzo: WHAAA!
14[carne de gallina y mandíbulas caídas y un abrumador sentimiento de terror y alivio.][vipele vya baridi, kushuka tama na hisia mchanganyiko za hjofu na ahueni.]
15Segunda reacción: ¿Y ahora qué?Hisia zilizofuata: Sasa nini?
16Después de 26 años de lucha, después de desplazar y matar a miles de miles, después de silenciar a los que discrepaban con el gobierno y el LTTE por medio de asesinatos, torturas y desapariciones, ¿ahora qué con el pueblo tamil? Ajith P.Baada ya miaka 26 ya mapambano, baada ya kuua mamia ya maelfu, baada ya kuwanyamazisha wale walioipinga serikali na waasi wa LTTE kwa kuwaua, mateso na watu kupotea, sasa itakuwaje kwa watu wa Tamil?
17Perera, organizador del Partido Nacional Unido (UNP por sus siglas en inglés), escribió en su propio obituario para Prabhakaran en su blog, Atreverse a ser diferente: “Era un terrorista, sin duda, pero Prabhakaran merece un obituario, aun en un idioma que apenas entendía,” Perera escribió.Kada wa chama cha United National Party Ajith P. Perera ameandika salamu za rambirambi kwa Prabhakaran katika blogu yake, akitaka kuwa tofauti na wengine: “alikuwa muuaji, bila ya shaka, lakini Prabhakaran anastahili salamu za rambirambi, hata kama ni katika lugha ambayo alikuwa haielewi,”
18¿Consiguió algo que valiera la pena para su comunidad?Je alifanikisha lolote la maana kwa ajili ya jamii yake?
19La respuesta es un gran NO.Jibu ni HAPANA.
20Los de etnia tamil (Jaffna) estan peor de lo que estaban en los años setenta.Watamil wazawa (Jaffna) wako pabaya zaidi ya pale walipokuwa katika miaka ya 1970.
21Más de la mitad de la población tamil ya se ha ido para siempre.Zaidi ya nusu ya Watamil wamehama moja kwa moja.
22Miles de familias tamil tuvieron que vivir con eterno dolor por perder a uno o más miembros de su familia.
23La etnia tamil, la mayoría más grande en Sri Lanka en ese entonces, está ahora reducida al patético tercer lugar después de los musulmanes y los tamiles indios.Watamil Wazawa, kundi kubwa la walio wachache nchini Sri Lanka wakati ule, hivi sasa wapungua na kuchukua nafasi ya tatu baada ya Waislamu na Watamil wanaotokea India.
24Jaffna, la segunda ciudad más avanzada de Sri Lanka, con un famoso sistema educativo, está ahora muy rezagada.Jaffna, jiji la pili kimaendeleo nchini Sri Lanka, na mfumo wake maarufu wa elimu, hivi sasa iko nyuma sana.
25Como comunidad, los tamiles, al menos los desafortunados que todavía quedan, han retrocedido diez o veinte años.Kama jamii, Watamil, wale walio na bahati mbaya ya kubaki, wamerudi nyuma miaka kumi au ishirini.
26Fueron calificados de terroristas en todo el mundo.Walitambuliwa kama magaidi duniani kote.
27El norte y el este se han convertido más y más económicamente dependientes de Colombo.Kaskazini na mashariki pamekuwa tegemezi kwa Colombo kiuchumi.
28Al menos por los siguientes años, hasta que un gobierno de UNP implemente una solución política, estarán controlados remotamente desde Colombo.Kwa miaka michache ijayo, mpaka hapo serikali ya UNP itakapotekeleza sera zake kisiasa, watakuwa wanaendeshwa kutokea Colombo.
29Todo gracias a Prabhakaran.Yote haya ni shukrani kwa Prabhakaran.
30Nirmala Rajasingam, activista tamil ceilandés y ex miembro del LTTE, explica en un artículo de opinión en The Independent que su hermana fue asesinada por el LTTE hace 20 años.Mwanaharakati wa Kitamil na mwanachama wa zamani wa waasi wa LTTE Nirmala Rajasingam anafafanua katika makala kwenye gazeti la Independent kwamba dada yake aliuwawa na waasi wa LTTE miaka 20 iliyopita.
31Por esa razón, la noticia de la muerte del líder principal del LTTE - que ordenó que la mataran y que mataran a muchos otros disidentes tamiles - trae un abrumador alivio.Kwa sababu hiyo, habari za maangamizi ya uongozi wa juu wa LTTE - ambao uliamuru kuuwawa kwake pamoja na Watamil wengine wengi waliowapinga - kumeleta ahueni kubwa sana.
32La guerra y la carnicería han terminado por fin y el insistente derramamiento de sangre de los disidentes tamiles ha terminado.Vita na ukatili hatimaye vimesitishwa na kumwagika kwa damu za Watamil kumefikia mwisho.
33Pero advierte:Hata hivyo anaonya:
34La continua negativa de total acceso de las agencias humanitarias no despeja las sospechas acerca de las intenciones del gobierno respecto de los refugiados y de los cuadros del LTTE que se han rendido.Pingamizi linaloendela la kutoruhusu mashirika ya misaada ya kibinaadamu kuingia halisaidii kupunguza mashaka juu ya nia ya serikali kwa wakimbizi na makada wa LTTE ambao wamesalimu amri.
35Los últimos tres años han visto gran cantidad de secuestros, muertes extrajudiciales y desapariciones, Casi exclusivamente dirigidas a la comunidad tamil mientras el gobierno de Sri Lanka perseguía implacablemente su campaña militar.Katika miaka mitatu iliyopita kumekuwa na matukio mengi ya utekaji, mauaji na kutoweka kwa watu, kulikolenga jamii ya Watamil wakati ambapo serikali ya Sri Lanka ilipokuwa ikitekeleza kampeni yake ya kijeshi.
36La militarización del estado y la sociedad ha podido surpimir la disidencia en el sur, incluso con ataques contra periodistas.Kushamiri kwa uongozi wa kijeshi kitaifa na kwenye jamii kumefanikisha ukandamizwaji wa maoni mbadala kusini mwa nchi, na kumewezesha mashambulizi dhidi ya wanahabari.
37Esperamos para ver si el gobierno revertirá este espiral descendente en un gobierno democrático.Tunasuburi ili tuone kama serikali itageuza mwelekeo huu mbaya wa utawala wa kidemokrasi.
38El blogger y columnista Indi Samarajiva usó Twitter para discutir sobre la muerte de Prabhakaran mientras viajaba.Akiwa safarini, mwanablogu na mwandishi wa makala Indi Sumarajiya ametumia zana ya Twita kujadili kifo cha Prabhakaran.
39Publicó mensajes en su página de Twitter la tarde del lunes:Alituma jumbe kadhaa kwenye ukurasa wake wa Twita jumatatu mchana:
40está en Hambantota.Nipo Hambantota.
41Hay petardos.Fataki.
42Parece que Prabhakaran está muerto.Pengine Prabhakan amefariki.
43No hay gloria en la muerte, pero, bien.Hakuna utukufu kwenye kifo, lakini, ni vyema.
44Que Sri Lanka se reconstruya #fbTunaomba Sri Lanka ijijenge upya#fb
45están reventando petardos literalmente a metros del depósito de cilindros de gas.Wanawasha baruti karibu kabisa na ghala ya mitungi ya gesi.
46Los pescadores están gritando para regresar a trabajar.Wauza samaki wanahimizwa kurejea kazini.
47La ciudad de Hambantota es mayormente musulmana, de vuelta a sus ocupaciones.Mji wa Hambantota una Waislamu wengi, kazi inaendelea.
48Una bandera va a través de Ambalantota.Misafara ya bendera katika Ambalantota.
49La guerra terminó, Prabha está muerto.Vita vimekwisha, Prabha amekufa.
50Larga vida a Sri Lanka #fbIdumu Sri Lanka #fb
51Prahalathan KK, un blogger en Chennai, India, dice que alegrarse por la muerte de Prabhakaran no beneficia a los civiles muertos con la finalidad de hacer posible la derrota del LTTE.Mwanablogu aliyeko mjini Chennai, India, Prahalathan KK, anasema kuwa kushangilia kifo cha Prabhakaran ni utovu wa heshima kwa raia waliouwawa katika harakati za kuwezesha maangamizi ya LTTE.
52“Así que mataron a Prabhakaran el Terrorista .“Kwa hiyo Prabhakaran gaidi ameuwawa.
53¿Contentos?Mmefurahi?
54¿Celebrando?Mnashangilia?
55¿Jamás pensaron en los miles de inocentes tamiles que fueron masacrados por el indiscriminado uso de artillería y armas químicas por parte del ejército ceilandés durante la guerra genocida?”Je mmeweza kuwafikiria maelfu ya Watamil wasio na hatia ambao waliuwawa kutokana na matumizi ya jumla ya makombora na silaha za sumu yaliyofanywa na jeshi la Sri Lanka wakati wa vita hivi vya kimbari?
56Según el sitio web del Ministerio de Defensa, los casi 150,000 civiles que han huido de la zona de guerra en menos de un mes están al ciudado del ejército.Kwa mujibu wa tovuti ya Wizara ya ulinzi, karibu ya raia 150,000 ambao walikimbia uwanja wa vita wanatunzwa na na jeshi.
57Pero el Comité Internacional de la Cruz Roja (ICRC), la única organización independiente que ha tenido acceso a los civiles en la zona de conflicto, llamó a la situación “nada menos que catastrófica.”Lakini Kamati ya Kimataifa ya Hilali Nyekundu (ICRC), shirika huru pekee ambalo liliweza kuwafikia raia katika eneo la mgogoro, liliita hali iliyokuwepo kama “si jingine zaidi ya balaa.”
58Hoy, en un comunicado de prensa dijeron que no han tenido acceso a los civiles en el noreste durante nueve días.Leo hii, wamesema katika taarifa yao kwa vyombo vya habari kwamba hawajaweza kuwafikia raia walioko kaskazini-mashariki kwa siku tisa.
59“Esto es lo más urgente puesto que no ha llegado ayuda humanitaria a los que la necesitan durante más de una semana,” dijo el director de operaciones, Pierre Krähenbühl.“Hii ni dharura kwani hakuna msaada wowote wa kibinaadamu ambo umeweza kuwafikia wale wanaouhitaji kwa zaidi ya wiki moja'” alisema mkurugenzi wa mipango, Pierre Krähenbühl.
60Selvarasa Pathmanathan, jefe de Relaciones Diplomáticas Internacionales del LTTE, emitió una declaración el domingo anunciando que los tigres “silenciaremos nuestras pistolas para salvar a nuestro pueblo”.Selvarasa Pathmanathan, mkuu wa kitengo cha Diplomasia cha LTTE, alitoa tamko Jumapili kuwa Chui “tutanyamazisha bunduki zetu ili kuwanusuru watu wetu.”
61Dijo que 3,000 civiles han muerto y 25,000 están heridos.Alisema kuwa raia 3,000 walifariki na wengine 25,000 walijeruhiwa.
62Sepia Mutiny, el destacado blog sudasiático desde el extranjero informa de continuas protestas en Canadá.Blogu maarufu ya Waasia wa Kusini Ughaibuni Sepia Mutiny inaripoti maandamano yanayoendelea nchini Kanada.
63En un post acerca de una reunión en Winnipeg, Melvin escribe:Katika makala inayohusu maandamano huko Winnipeg, Melvin anaandika:
64Tenían velas, carteles, banderas negras y fotos de niños a quienes ven como víctimas del asalto del gobierno ceilandés contra los civiles.Walibeba mishumaa, mabango, bendera nyeusi na picha za watotot ambao wanawachukulia kama waathirika wa mashambulizi ya serikali ya Sri Lanka dhidi ya raia.
65Mientras la gente de Colombo y en otras partes celebraba el aparente fin de la guerra civil de 25 años, los que estaban en la vigilia estaban de duelo por las muertes de personas inocentes y se preguntaban si algo se había resuelto.Wakati ambapo watu jijini Colombo walikuwa wakisherehekea mwisho wa miaka 25 ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, wale waliokuwa kwenye maandamano walikuwa wanaomboleza vifo vya raia wasio na hatia huku wakijiuliza, ni nini, kuma kuna chochote, kilichopatiwa ufumbuzi.
66“No resuelve nada,” dijo Singarajah.“haijasuluhisha lolote,” alisema Singaraja.
67“Las pérdidas de la gente no van a terminar.“Kero za wananchi hazitaisha.
68Este gobierno es tan despiadado.Serikali ni katili mno.
69No quieren darnos nuestros derechos.Hawataki kutupatia haki zetu.
70En tanto sea así, los problemas seguirán.”Na kama ni hivyo, matatizo yataendelea.”
71Las protestas se han estado llevando a cabo en Londres, muchas partes de Canadá y más recientemente en Australia.Maandamano yamekuwa yakiendelea jijini London, katika sehemu nyingi za Canada na hivi karibuni nchini Australia.
72Pero el activista Rajasingam advirtió en la revista Foreign Policy que los tamiles en el extranjero han dado un enfoque equivocado a su mensaje:Mwanaharakati Rajasingham anaonya kwenye jarida la Foreign Policy kwamba Watamil walio ughaibuni wamechukulia vibaya ujumbe wake:
73A medida que se desarrolla la crisis humanitaria ceilandesa, la comunidad internacional debe hacer que su mensaje sea claro y directo.Wakati mgogoro wa kibinaadamu unavyojitokeza nchini Sri Lanka, jumuia ya kimataifa inabidi itoe tamko wazi na la moja kwa moja.
74Los Tigres y los que están en el extranjero que los apoyan no han alegado ser la “única representación” del pueblo tamil.Kwamba waasi na Watamil wanawaunga mkono ambao wanaishi ughaibuni hawana hati miliki ya kuwa “wawakili pekee” wa Watamil wote.
75Ni es la secesión una opción razonable.Na kujitenga siyo suluhisho pekee.
76Cualquier cosa más superficial que este firme compromiso estará en manos del juego de influencias del LTTE en Occidente - y enardecerá a los nacionalistas de Sinhala en Sri Lanka.Njia nyingine yoyote isipokuwa mapambano imara kungetumiwa na waunga mkono wa LTTE walio nchi za magharibi - na kuwachochea wazalendo wa Ki-Sinhala nchini Sri Lanka.
77Solamente este firme mensaje servirá a la causa de la paz y la democracia.Ni ujumbe huu imara pekee ambao utapelekea amani na demokrasia.
78En Moving Images, el blogger Nalaka Gunawardene de Moving People! dice que quiere creer que de verdad la guerra ha terminado:Kwenye tovuti ya Moving Images, Moving People! Mwanablogu Nalaka Gunawardene anasema kuwa angependa kuamini, kwa hakika, kuwa vita vimekwisha:
79Seguro, no hay verificación independiente - ha sido una guerra sin testigos durante los últimos años.Hakuna vidhibitisho huru - vimekuwa ni vita visivyokuwa na shahidi kwa miaka michache iliyopita.
80Pero estoy deseoso de dar un inusual salto de fe si es lo que se necesita para dejar entrar a la largamente huidiza paz.Lakini nipo tayari kuwa na imani isiyo ya kawaida, ikiwa kama ni hilo tu linalohitajika ili kukaribisha amani iliyotuchenga kwa muda mrefu.
81Iré a los confines de la tierra, y dejaré de lado la incredulidad si tengo que hacerlo, a cambio de una paz duradera y significativa.Nitakwenda mpaka mwisho wa dunia, ili kusimamisha kutoamini kwangu, ili kupokea kurejea kwa amani na amani yenye maana.
82El presidente Mahinda Rajapaksa tiene programado un discurso al Parlamento y a la nación para el martes 19 en la mañana.Rais Mahinda Rajapaksa anategemewa kulihutubia Bunge na taifa jumanne asubuhi.