Sentence alignment for gv-spa-20091126-20263.xml (html) - gv-swa-20091024-390.xml (html)

#spaswa
1Uganda: Blogueros discuten ley anti-gayUganda: Wanablogu wa Uganda Wajadili Muswada Unaopinga Ushoga
2La ley ugandesa anti gay ha sido presentada ante el parlamento y sólo se espera la firma del presidente Yoweri Museveni para que la homosexualidad se vuelva oficialmente ilegal.Muswada wa kupinga ushoga nchini Uganda umepelekwa bungeni na sasa unamsubiri Rais Yoweri Museveni kutia saini ili kuufanya ushoga kuwa ni kinyume na sheria.
3El proyecto anterior no era claro pero ahora la ley llamada “La Ley Anti-homosexual 2009″ presentada por el congresista David Bahati, sostiene que todo acto o tendencia homosexual merece la pena de muerte o cadena perpetua.Sheria ya awali haikuwa wazi sana lakini sasa muswada unaoitwa ‘Muswada wa kupinga ushoga wa mwaka 2009' ulioletwa na mbunge David Bahati unaosema kwamba tendo lolote la ushoga ama tabia za kishoga zinaweza kuhukumiwa adhabu ya kifo ama kifungo cha jela.
4The Ugandan informa:The Ugandan anaandika:
5Cuantas leyes violaré cuando el presidente firme esta ley.Nitakuwa nikiwaleteeni sheria kadhaa mara tu rais atakapoitia saini sheria hii.
6Bueno, nuestros detractores ya han dejado en claro que debemos ser castigados con leyes más severas, pero esto es el extremo.Naam, wabaya wetu wameshasema tunatakiwa kudhibitiwa kwa sheria ngumu zaidi, lakini hili linaenda mbali zaidi ya hapo.
7Si hago el intento de cometer un delito… (Oh Dios, cuantas veces me he insinuado a alguien y cuantas veces me han rechazado) Cada una de esas veces equivale a siete años en prisión.Nikijaribu kufanya kosa…(mungu, mara ambazo nimetongoza na kukataliwa!) Kila moja ya mara hizo inastahili miaka 7 jela.
8¡Santo Dios!Mbingu nzuri!!!!
9Antes, podríamos haber sido condenados a cadena perpetua. Gug dice que cuando el presidente de la república firme este proyecto, será condenable a pena de muerte… Porque yo y mi amante seriamos unos peligrosos criminales ya que romperíamos todas las leyes.Kabla, tungeweza kustahili kufungwa kifungo cha maisha. gug anatangaza kwamba, Rais wa Jamhuri atakapoisaini sheria hii, gug atakuwa anastahili adhabu ya kifo…kwa sababu mimi na mpenzi wangu ni wakosaji, tunaivunja sheria hii.
10Además la ley también prohíbe la adopción para parejas gays; cualquier persona que ayude, promueva o informe sobre actos de homosexualidad en cualquier circunstancia será condenada a siete años de privación de libertad, o se le multará con 100 millones de chelines.Mswada pia unawazuia mashoga waliooana kuasili watoto; mtu yeyote anayesaidia, anayetetea ktuoa ushauri wa kisheria kwa tendo lolote la kishoga kwa namna yoyote atakabiliwa na adhabu ya kifungo kisichozidi miaka saba, au kutozwa faini ya shilingi milioni 100 za Uganda.
11Describe los síntomas de la homosexualidad de la siguiente manera:Muswada unasema kwamba madhara ya ushoga ni pamoja na:
12Los estudios señalan que la homosexualidad tiene muchas consecuencias negativas incluyendo altos índices de violencia, transmisión de enfermedades venéreas y consumo de drogas.Utafiti unaonyesha kwamba ushoga una madhara mabaya yafuatayo pamoja na uwezekano wa matumizi zaidi ya nguvu, magonjwa ya zinaa, na matumizi ya madawa ya kulevya.
13El alto número de separaciones y rupturas en las parejas homosexuales también crea un ambiente muy inestable para criar niños y por consiguiente justifica la censura a la adopción, además de causar fuertes secuelas psicológicas en aquellos niños.Uwezekano wa kutengana na kuachana katika mahusiano ya kishoga pia yanasababisha mazingira yasiyoaminika kwa watoto wanaolelewa na mashoga kwa kuasili ama vinginevyo, na yanaweza kuwa na matokeo mabaya kisaikolojia kwa watoto hao.
14Sin mencionar que la promoción del comportamiento homosexual afecta nuestros valores familiares tradicionales.Na zaidi ya hayo, kutetea tabia za kishoga kunaharibu maadili yetu ya asili ya kifamilia.
15Debido a los valores históricos, legales, culturales y religiosos de Uganda que sostienen que la familia basada en el matrimonio entre hombre y mujer es el núcleo de la sociedad, esta legislación intenta fortalecer la capacidad de la nación para manejar temas internos y externos que amenazan a las familias tradicionales heterosexuales.Kwa kuzingatia historia, sheria, utamaduni na maadili ya kidini ambayo yanasema kwamba familia, yenye misingi ya ndoa baina ya mwanaume na mwanamke ni kiini cha jamii. Muswada huu unakusudia kuimarisha uwezo wa nchi wa kupambana na matishio yanayoanza kujitokeza ya ndani na nje dhidi ya familia za kitamaduni baina ya watu wa jinsia tofauti.
16Entre estas amenazas se incluyen: Redefinir los derechos humanos para elevar el comportamiento homosexual y transgénero como categorías de personas legalmente protegidas.Matishio haya yanajumuisha: dhana mpya wa haki za binadamu inayozipa nafasi tabia za mahusiano ya jinsia moja na tabia za kujibadilisha jinsia kuwa makundi ya watu yanayolindwa kisheria.
17Existe también la necesidad de proteger a nuestros hijos y jóvenes que son más vulnerables a los abusos sexuales y desviación que resultan de cambios culturales, tecnologías informáticas sin censura, crecimiento de niños sin padres y los muchos intentos de homosexuales con el fin de adoptar, criar, etc.Aidha kuna hitaji la kuwalinda watoto wetu na vijana wanaofanywa kuwa wepesi kudhurika na ukatili wa kingono na kuharibiwa maadili yao kama matokeo ya mabadiliko ya kiutamaduni, teknolojia holela ya habari, ukuaji wa watoto bila wazazi na kuongezeka kwa majaribio ya mashoga kulea watoto katika mahusiano ya jinsia moja kwa njia ya kuasili, malezi ya kambo, ama vinginevyo.
18Productores, editores y distribuidores de materiales de contenido homosexual, especialmente si se trata de negocios o una ONG, verán su certificado o registro cancelado y el director será condenado a siete años de prisión.Waandaaji, wachapaji na wasambazaji wa kazi zenye mambo ya kishoga hasa kama ni biashara, asasi hiyo isiyo ya kiserikali (AZISE) itafutiwa leseni ama usajili wake na mkurugenzi wake atakabiliwa na kifungo cha miaka saba jela.
19Los blogs gay de Uganda también se regirán por esta ley:Hii inajumuisha blogu za mashoga nchini Uganda:
20Pobres simpatizantes.Masikini wale wanaowaunga mkono.
21No podrán amarnos.Hamjakosea kutupenda.
22No, todos los amigos de los gays y los gays en Uganda sufrirán, y serán castigados por esta ley.Hapana, wapenzi wote wa mashoga, na mashoga wote Uganda watataabika, na kuadhibiwa na sheria hii.
23¿Conferencia de prensa?Mkutano wowote na waandishi wa habari?
24Pues no para los gays de Uganda.Hautaitishwa na mashoga wa Kiganda.
25Verás, somos unos parias y nunca seremos como los demás ugandeses.Unaona, sisi ni watu waliotengwa ambao hatuwezi kufanana kamwe na Waganda wengine.
26¡Ja ja ja ja!Ha ha ha ha ha!
27Oh, Gayuganda blog es uno de los tantos actos ilegales según dicha ley.Oh, blogu ya gayuganda ni mojawapo ya vitu ambavyo ni haramu, kwa mujibu wa muswada huu.
28Promuevo furiosamente la homosexualidad en este blog mediante el reclamo sobre esta ley.Mimi ninautangaza ushoga kwa hasira katika blogu hii, nikilalamikia sheria kama hii.
29Así que, cinco años en prisión, ¡Y mi (inexistente) balance bancario se vendrá abajo por 100 millones de chelínes ugandeses…!Kwa hiyo, miaka mitano gerezani, na akaunti yangu ya benki (isiyokuwepo) itakwapuliwa shilingi za kiganda milioni 100…!
30Y aquellas personas que osen darnos condones y lubricantes… O quienes osen producir un programa de prevención de VIH para homosexuales en Uganda… O quienes intenten enseñar sobre sexo seguro.Na watu wanaothubutu kutupatia kondomu na vilainishaji kwa ajili ya ngono…au, kama utathubutu kuwa na mpango wa kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa mashoga nchini Uganda…au hata kujaribu kufundisha ngono salama.
31Pues bien, las condenas son severas.Kweli, adhabu ni ngumu. Ngumu mno.
32Muy severas.Gereza.
33Cárcel, y cárcel y otras más.Jela, na jela na mambo mengine.
34Estos son los objetivos de la ley:Haya ni melengo ya huo muswada.
353.1 Objetivos de la Ley3.1. Malengo ya Mswada ni:
36(a) Permitir el matrimonio únicamente entre hombres y mujeres en Uganda.(a) Kuilinda ndoa kuwa ni ile kati ya mwanaume na mwanamke nchini Uganda;
37(b) Prohibir el comportamiento y actos homosexuales en Uganda puesto que constituyen una amenaza para las familias tradicionales.(b) Kuzuia tabia za kishoga na vitendo vinavyohusiana nchini Uganda kwa sababu vinatishia familia za kitamaduni;
38(c) Salvaguardar la salud de la población ugandesa de los efectos negativos originados por la homosexualidad y actos similares.(c) Kulinda afya za wananchi wa Uganda dhidi ya madhara mabaya ya ushoga na vitendo vinavyohusiana;
39(d) Establecer legislaciones de protección progresivas para las familias tradicionales que sirven como ejemplo a otros países.(d) Kuanzisha sheria endelevu zinazolinda familia za kitamaduni ambazo zinaweza kuwa mfano kwa nchi nyingine;
40(e) Prohibir la ratificación de cualquier tratado internacional, protocolo o declaraciones que sean contrarias o inconsistente a las provisiones de esta Ley(e) Kuzuia makubaliano ya mkataba wowote wa kimataifa, mikutano na matamko ambayo yanapingana au hayakubaliani na vipengele vya sheria hii;
41(f) Asegurar que ningún instrumento internacional en el que participe Uganda pueda interpretarse o aplicarse en Uganda de forma incorrecta.(f) Kuhakikisha kuwa hakuna vyombo vya kimataifa ambavyo Uganda ni sehemu yao vinaweza kutafsirika ama kutumika nchini Uganda kwa njia ambayo haikukusudiwa wakati ambapo viliundwa;
42(g) Renunciar o cancelar cualquier posible tratado internacional en el que participe Uganda, que defienda la protección del comportamiento homosexual, o que promueva el matrimonio homosexual, o que incite a la promoción o enseñanza de la sexualidad como saludable, normal, o de libre elección de preferencias sexuales o que busque establecer el comportamiento sexual homosexual dentro de las categorías de personas legalmente protegidas.(e) Kujitoa kwenye makubaliano yoyote ya kimataifa ambayo Uganda tayari ni mwanachama, au kuweka masharti ya kujihadhari, ambayo yanatafsiriwa upya ili kujumuisha kulindwa kwa tabia za kishoga, au kutetea ndoa za jinsia moja, au kutoa wito wa kutangaza au kufundisha kuhusu ushoga kama tabia yenye afya, ya kawaida au uchaguzi unaokubalika wa utaratibu wa maisha, au kutafuta kuanzishwa kwa tabia za kingono, mtazamo wa kingono, au utambilsho wa kijinsia au makundi madogo ya kijinsia kama makundi ya watu yanayolindwa kisheria; na
43(h) Prohibir que Uganda participe en cualquier instrumento internacional que incluya expresamente la protección del comportamiento homosexual o la enseñanza de la homosexualidad o relaciones homosexuales como ente saludable, ortodoxo, o de elección voluntaria; y/o que busque establecer al comportamiento sexual, orientación sexual, identidad de género o minorías sexuales como categorías de personas legalmente protegidas.(f) Kuizuia Uganda kuwa mwanachama wa chombo chochote cha Kimataifa ambacho kinatamka wazi ujumuishaji na kulindwa kwa tabia za kishoga; kushabikia ndoa za jinsia moja; kutoa wito wa kushabikia na kufundisha kuhusu ushoga na mahusiano ya jinsia moja kama yenye kumaanisha afya njema, kawaida, ama uchaguzi wa namna ya maisha unaokubalika; na/au kutafuata kuanzisha tabia za kingono, mtazamo wa kingono, utambulisho wa kijinsia au makundi madogo ya kijinsia kama makundi ya watu yanayolindwa kwa nguvu ya sheria.
44Gay Uganda te pide que te unas a su causa y te pregunta si merece morir por ese motivo:Gay Ugandan anakuasa kuchukua hatua hizi pamoja naye na kukuuliza ikiwa anastahili kufa kwa sababu hii:
45Si estás en el extranjero, por qué, es buenísmo.Kama uko nje ya nchi, kwa nini, hivyo ni vizuri sana.
46Tu comunidad puede enterarse de todas las cosas buenas que algunos cristianos en Uganda le desean a los pecadores en Uganda, también conocidos como “gays”.Kusanyiko la watu wako linaweza kujulishwa mazuri yote ambayo baadhi ya Wakristo wa Uganda wanawatakia wenye dhambi waitwao mashoga wa Kiganda.
47Tengo toda la seguridad de que tu indignación contribuirá.Nina uhakika hasira zako zitasaidia.
48Una carta, una protesta, cuestionamientos a los líderes de Uganda, difusión de la noticia en todo el mundo.Barua, maandamano, maswali kwa viongozi wa Uganda, wa kidini na vinginevyo wanosafiri nje ya nchi hii.
49Esta es una pregunta moral, ¿Cómo pueden justificar mi muerte por ser gay y estar enamorado de otro gay?Hili ni swali la kimaadili, wanawezaje kuhalalisha kuniua mimi kwa sababu ni shoga, ninayeishi katika uhusiano wa kishoga na mtu mwingine ambaye naye ni shoga?
50#Ok, ¿Que pasa con los demás gays en el mundo?#Sawa, inakuwaje kwa mashoga wa nchi nyingine.
51Son tus amigos.Ninyi ni rafiki zetu.
52Sí, queremos que nuestras hermanos y hermanas gays en todo el mundo nos ayuden, especialmente porque nuestros compatriotas creen que debemos ser suficientemente patriotas para “morir” en nombre de una moral elitista, por Dios y por la patria.Ndio, tunathubutu kuwaomba msaada kaka na dada zetu mashoga, hasa wakati ambapo wananchi wenzetu wanaamini tunapaswa kuwa wazalendo kiasi cha ‘kufa' kwa jina la uongofu wa kimaadili, kwa mungu na kwa nchi. Waambie kundi la mashoga wenzio mahali uliko kuhusu suala hili.
53Avísale a tu comunidad gay sobre este tema.Andaeni maandamano, makubwa na madogo. Mwelimishe yeyote asiyejua suala hili.
54Escribe cartas de protesta.Andikeni barua za kupinga.
55Se amable (el autor del proyecto dice que los homosexuales quieren matarlo.Kuweni waungwana, (mtayarishaji wa Mswada huu anasema eti sisi mashoga tunataka kumuua.
56Dice que le hemos escrito cartas con amenazas de muerte).Anasema eti tumeshamwandikia barua ‘za kumtisha'.)
57Afrogay otro blogger Ugandés compara el gobierno de Uganda con el Nazi, dice que ha llegado la hora de protestar contra esta ley:Afrogay mwanabogu mwingine wa Uganda anaifananisha serikali ya Uganda na kikundi za Nazi, ansema wakati wa kuufutilia mbali muswada huu ni sasa:
58Nuevamente, como ya lo había dicho aquí y en todos lados, sabemos que es mejor guardar nuestras mejores armas para la verdadera batalla contra la ley próxima a firmarse.Tena, kama nilivyotoa hoja hapa na kwingineko, tunashauriwa vyema kutunza marisawa kwa ya vita halisi kama muswada huu utapitishwa na kutiwa saini kuwa sheria.
59Así que, no intento proclamar todo lo malo que esta ley trae consigo, y la razón es muy sencilla: Si resaltamos lo negativo, nuestros detractores usarán nuestros argumentos para defender su posición.Kwa hiyo, Mimi sitarajii kusema mengi kuhusu nati na boriti za nini kina makosa katika (muswada) huo. Na sababu ni rahisi: kama tukionyesha nini ni kibaya hivi sasa, wabaya wetu watatumia hayo tunayoyasema ili kuuosha muswada huo.
60Mejor entonces nos conviene gritar lo más fuerte posible todos los elementos discriminatorios de esta ley sin guiarlos en el campo minado técnico, legal, constitucional, y derechos humano en el caminan a ciegas. Un blogero nigeriano, Anengiyefa piensa que esta ley es defectuosa y que el panel que la elaboró es ignorante ante este tema.Cha Ni bora kupigia kelele kwa kosa hili la makusudi kwa sauti sana tuwezavyo dhidi ya chembechembe za kibaguzi za muswada huu bila kuwaongoza kuhusu udhaifu wa kiufundi unaojionyesha, kisheria, kikatiba na katika mitego (uwanja wa mabomu) ya haki za binadamu ambayo wanajiingiza wenyewe na muswada huu huku wakiwa wanatembea wakati wamelala usingizi.
61Dice que la homosexualidad no es un delito, una persona no puede ser condenada por desear a otra persona:Mwanablogu wa Naijeria Anengiyefa anafikiri kwamba muswada huu una makosa na jopo lililoutengeneza halina ufahamu wa kutosha kuhusu ushoga.
62Mr. Bahati proseguirá con la denuncia a pena de muerte por lo que él llama “homosexualidad agravada”.Anasmea ushoga hauwezi kuwa kosa, huwezi kumwadhibu mtu kwa kuwa na hisia za kimapenzi na mtu mwingine:
63Leí sobre el tema y me pregunto si dicho Mr. Bahati ha tenido alguna vez en su vida la oportunidad de estar en un aula de clases, puesto que este señor es practicamente un iletrado, debería saber que no existe ningún libro jurídico en ninguna parte del mundo (ni siquiera Uganda), que considere que la homosexualidad es un delito.Ndugu Bahati anaendelea na kutaka adhabu ya kifo kwa kile anachokiita “ushoga uliovuka mipaka”. Nimesoma na nikajiuliza kama Ndugu Bahati amewahi kuwa na fursa ya kukaa darasani maishani mwake, kwa kuzingatia kwamba isipokuwa awe mjinga aliyekubuhu, anatakiwa ajue kuwa hakuna vitabu vya sheria kwenye hukumu za kawaida za kisheria, (pamoja na Uganda), ambavyo vinarejea kosa linaloitwa ‘ushoga'.
64¡La Homosexualidad no es un delito!Ushoga hauwezi kuwa kosa!
65Tampoco nadie puede convertirla en un delito y condenar a las personas por sentir emociones y atracción sexual hacia una persona del mismo sexo.Huwezi kulifanya kuwa kosa na kumwadhibu mtu kwa kuwa na tamaa ya kimapenzi na hisia za kuvutiwa na mtu mwingine wa jinsia yake.
66Tampoco nadie puede probar ante un tribunal la “homosexualidad” como se hace con en los crimenes.Huwezi kuuthibitisha ‘ushoga' kwenye mahakama ya kisheria kwa viwango vya ushahidi vinavyotakiwa kwenye mahakama ya jinai.
67Anengiyefa ve que Uganda acaba de darse cuenta de la hipocresía de los miembros del parlamento que han unificado y están listos para aprobar una ley que victimiza a la homosexualidad en nombre de la moralidad.
68Esta es la respuesta a la pregunta de por qué el sistema está tan ansioso por penalizar el sexo consensuado entre dos adultos del mismo sexo y a la vez el estado omite temas más importantes como lo son la violencia étnica, el tribalismo, el SIDA, el abuso sexual a menores de edad, etc:Anengiyefa anaona kwamba Uganda imeona unafiki wa wabunge waliungana na wako tayari kupitisha sheria ya kuufanya ushoga kuwa kosa kwa jina la maadili; hii inalishinda kusudi la kwa nini mfumo uko makini kuyafanya mahusiano ya hiari baina ya watu wawili wazima wa jinsia moja yawe jinai na kuacha masuala muhimu kama mapigano ya kikabila, ukabila, UKIMWI, ukabaji wa watotot nk:
69Esta explosión de homofobia frenética es el epítome de la hipocresía que domina el escenario político de África.Kulipuka kwa ushabiki huu wa hofu ya ushoga ni ushahidi wa unafiki unaotawala maisha ya siasa ya Afrika.
70En un momento en el que el caro tiempo legislativo debe emplearse judicialmente en temas que a la gente realmente le importe; cuando los congresistas del gobierno ugandés deberían preocuparse por el bienestar de los ugandeses (incluyendo hombres que aman a hombres y mujeres que aman a mujeres, que son blanco de abuso físico y discriminación); cuando las autoridades ugandesas deberían proteger a los ugandeses; cuando los retos que asumen nuestros continentes en este siglo 21 son enormes; lo que escuchamos es la noticia sobre una Ley Anti-Homosexual en el parlamento.Wakati ambapo muda wa gharama za bunge ulitakiwa kutumika kisheria katika mambo ambayo yana tija kwa maisha ya watu wa nchi hii; wakati watunga sheria wa Uganda na serikali ya Uganda ilitakiwa kuguswa na ustawi wa Waganda wanaoteseka, (ikijumisha watu wale wanaowapenda watu wa jinsia yao katika jamii yao, ambao wanahatarishwa kwa matumizi ya nguzu na unyanyapaa); wakati ambapo mamlaka za Uganda zilitakiwa kuangalia namna ya kulinda wale wananchi wa vijijini ambao ustawi wao ni jukumu lao; wakati ambapo changamoto zinazolikabili bara letu katika karne hii ya 21 zinatisha; tunachokisikia badala yake ni Muswada wa kupinga ushoga ukiletwa Bungeni.
71Esta ley es necesaria según David Bahati quien no sólo la propuso sino también reclama que el propósito de ésta es proteger a los niños y a las “familias tradicionales”.Muswada huu unaonekana kuwa muhimu kwa mujibu wa Mbunge Davidi Bahati aliyeuleta. Anadai kwamba lengo la muswada huu ni kuwalinda watoto na ‘familia zilizozoeleka kitamaduni'.