Sentence alignment for gv-spa-20121113-151954.xml (html) - gv-swa-20130408-4359.xml (html)

#spaswa
1Bahréin: ¿Quién escuchó las explosiones y quiénes son las víctimas?Bahrain: Nani Aliyesikia Milipuko ya Bomu na Nani ni Waathirika?
2Este post es parte de nuestra cobertura especial de Protestas en Bahréin 2011/12.Makala haya ni sehemu ya Habari zetu maalum za Maandamano ya Bahrain 2011/12.
3Funcionarios bahreiníes anunciaron [en] el lunes 5 de noviembre de 2012 que dos trabajadores extranjeros habían muerto y un tercero resultó seriamente herido en cinco diferentes explosiones con bombas en las zonas de Gudaibiya y Adliya, en la capital, Manama.Wakuu wa serikali huko Bahrain walitangaza leo kuwa wafanyakazi wawili wa kigeni wameuawa na mtu wa tatu akijeruhiwa vibaya katika milipuko mitano tofauti ya mabomu katika maeneo ya Gudaibiya na Adliya, katika mji mkuu wa Manama.
4En Twitter, la noticia fue recibida con dudas, escepticismo y el llamado a una solución política para poner fin al malestar en el país, luego de las protestas contra el gobierno que empezaron el 14 de febrero de 2011.Kwenye mtandao wa twita, habari zilipokelewa na wasiwasi na mashaka pamoja na wito wa kupatikana kwa ufumbuzi wa kisiasa kumaliza machafuko katika nchi, kufuatia maandamano kuenea dhidi ya serikali ambayo yalianza Februari 14, 2011.
5El periodista Adel Marzooq tuiteó desde el exilio [ar]:Mwandishi wa habari Adel Marzooq alitwiti akiwa uhamishoni [ar]:
6@adelmarzooq: Cinco explosiones imaginarias y un anuncio de la muerte de asiáticos no son al azar.@adelmarzooq: Milipuko mitano isiyo halisi na tangazo kwamba Wa-Asia wameuawa sio taratibu.
7Quieren atenuar la condena internacional por la decisión de prohibir las protestas y las manifestaciones y convertirla en una condena al terrorismo. Ahmed Habib preguntó [ar]:Wao wanataka kupunguza lawama za kimataifa kwa uamuzi wa kupiga marufuku maandamano na mikutano ya kampeni na kuifanya ionekane kuwa ni kitendo cha ugaidi
8@ahmdhabib: Si las explosiones estaban dirigidas a extranjeros, los hay por montones en las aldeas y nadie los ha atacado ahí.@ahmdhabib: Kama milipuko ilikuwa ikiwalenga wageni, wao ni wengi katika vijiji na hakuna mtu aliwashambulia wakiwa kule.
9¿Qué sentido tiene ir a Adliya y Umm Al Hassam [zonas de la capital Manama]?Sasa kuna sababu gani kwenda kwa Adliya na Umm Al Hassam [maeneo ya mji mkuu Manama]?
10Y Mansour Al Jamri, editor en jefe del periódico Al Wasat, escribió [ar]: @MANSOOR_ALJAMRi: Ojalá que el Ministerio del Interior anuncie en su conferencia de prensa los nombres y nacionalidades de los muertos y heridos.@MANSOOR_ALJAMRi: Tunatumaini kwamba Wizara ya Mambo ya Ndani itatangaza katika mkutano wa vyombo vya habari majina na uraia wa wale waliouawa na kujeruhiwa.
11Es derecho de los medios conocer los detalles.Ni haki ya vyombo vya habari kujua maelezo.
12Gracias.Asanteni
13Abu Omar Al Shafiee preguntó [ar]: @ALSHAF3EE: ¿Hay noticias de los asiáticos que fueron atropellados por patrullas de la policía hace pocos días?@ALSHAF3EE: Je, kuna habari kuhusu Wa-Asia ambao waliofuatiliwa na doria ya polisi siku chache zilizopita?
14Hay un mal olor ahogándonos en estos días.Kuna harufu mbaya inayotukosesha amani siku hizi
15Hussain Yousif, disidente político en el exilio, agregó [ar]:Hussain Yousif, mpinzani wa kisiasa anayeishi uhamishoni, anaongeza:
16@hussain_info: La gente tiene el derecho de saber qué sucedió en la investigación al vehículo del Ministerio del Interior que atropelló a unos asiáticos entre Eker y Maameer, como se conoce al asesino.@hussain_info: Watu wana haki ya kujua kilichotokea kwenye uchunguzi wa gari ya Wizara ya Mambo ya Ndani ambayo iliwafuatilia Wa-Asia kati ya Ekeri na Maameer kwani muuaji anafahamika wazi
17Y Sayed Ahmed Al Alawi sembró más dudas [ar]:Na Sayed Ahmed Al Alawi anatia zaidi shaka:
18@SAalalawi: La persona que se mostró como la que murió en la explosión murió porque pateó una bomba de fabricación local.@SAalalawi: Mtu aliyeonyeshwa kuwa ndiye aliyeuawa katika mlipuko alikufa kwa sababu alipiga teke bomu lililotengenezwa kienyeji.
19¿Cómo es que la explosión afectó su cuello pero no sus piernas, estómago y pecho?Ilikuwaje mlipuko uathiri shingo yake wala si miguu yake, tumbo na kifua.
20Esta es una bomba extraordinaria.Hii ni moja ya bomu lisilo la kawaida
21Sabeeka Al Shamlan contraatacó, con ironía [en]:Sabeeka Al Shamlan alijibu mapigo, kwa kusema:
22@Sabeeka_A: De nuevo a fojas cero.@Sabeeka_A: Tumerudi kwenye sifuri tena.
23Esperen, ¿quién dijo que alguna vez nos movimos de ahí?Oh subiri, nani ambaye alisema sisi hata tumepiga hatua?
24Y luego preguntó [ar]:Na kisha anauliza [ar]:
25@Sabeeka_A: ¿Alguen ha escuchado las explosiones?@Sabeeka_A: Kuna mtu yeyote aliyesikia milipuko?
26¿Con sus oídos?Kwa masikio yao wenyewe?
27No respondas a esta pregunta si no has escuchado las explosiones, con tus propios oídos.Usijibu swali hili kama wewe hujasikia milipuko, kwa masikio yako mwenyewe
28Noor Bahman fue más allá [en]:Noor Bahman anachukua hatua zaidi:
29@noorbahman: Una bomba mata a una víctima en el lugar, pero también destruye una buena parte de las zonas circundantes a donde estaba la víctima.@noorbahman: Bomu humwua mwathirika hapo hapo na pia kuharibu kabisa uwiano wa eneo la jirani mwathirika alipokuwepo. Na Salma anauliza:
30Y Salma preguntó [en]:@salmasays: Eh ..
31@salmasays: Eh… ¿dónde está la prensa libre e independiente cuando se la necesita? …Viko wapi vyombo vya habari vilivyo huru wakati tunapovihitaji viwepo..
32Esta exasperación tiene raíces más profundas.Uchochezi huu una mizizi ndani zaidi.
33Eyad Ebrahim anotó [ar]:Eyad Ebrahim anaeleza [ar]:
34@eyade: Todos mienten y en verdad no le creo a nadie - ni al gobierno, ni a la oposición, a nadie.@eyade: Kila mtu hudanganya na mimi simwamini mtu yeyote - sio serikali, si upinzani, hakuna mtu yeyote.
35Murad Alhayki pidió una solución política.Murad Alhayki anatoa mwito wa suluhisho la kisiasa.
36Dijo [ar]:Yeye anasema:
37@muradalhaiki: Cuanto más se demore una solución política, más complicados se ponen los asuntos y es más difícil solucionarlos.@muradalhaiki: Kadri ufumbuzi wa kisiasa unavyozidi kucheleweshwa, na ndivyo masuala yanavyozidi kuwa magumu na ndivyo inavyozidi kuwa vigumu kuyatatua.
38La sangre del pueblo exige sabiduría.Damu ya watu ni wito kwa matumizi ya hekima
39Makala haya ni sehemu ya Habari zetu maalum ya Maandamano ya Bahrain 2011/12.