Sentence alignment for gv-spa-20120827-255808.xml (html) - gv-swa-20120828-3859.xml (html)

#spaswa
1Irán: Toque de queda no declarado en Teherán en medio de la cumbre del MNAIran: ‘Marufuku Isiyo Rasmi ya Kutembea’ ya Tehran Wakati wa Mkutano wa NAM
2La XVl Cumbre del Movimiento de los Países no Alineados comenzó en Teherán el 26 de agosto del 2012 en medio de fuertes medidas de seguridad.Mkutano wa 16 wa Umoja wa Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote ulianza mnamo tarehe 26 Agosti, 2012 jijini Tehran huku kukiwa na ulinzi mkali.
3El sólido Movimiento de los Países no Alineados (MNA), remanente de la Guerra Fría entre Este y Occidente integrado por 120 países, es también considerado por Irán y otros países como un foro alternativo para los debates de la actualidad mundial.Umoja huo madhubuti (NAM) unaoundwa na nchi ni mabaki ya mvutano uliokuwepo enzi za Vita Baridi kati ya Mashariki na Magharibi, na umoja huu unachukuliwa na Iran pamoja na mataifa mengine kama jukwaa mbadala kwa ajili ya kuendesha mijadala kuhusu masuala mbalimbali yanaoukabili ulimwengu hivi sasa.
4Irán dice haber planeado conversaciones de paz para finalizar la guerra civil en Siria, pero ninguna facción rebelde asistirá debido a la relación cercana entre Teherán y el régimen de Bashar Assad. El ‘toque de queda no-declarado' en TeheránIran inasema kwamba imepanga mazungumzo kuhusu mpango wa amani wa kukomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe vya nchini Syria, hata hivyo hakuna uwakilishi kutoka upande wa waasi utakaokuwepo kwenye mazungumzo hayo kwa sababu ya uhusiano wa karibu kati ya Tehran na utawala wa Bashar Assad, Rais wa Syria.
5La cumbre está siendo llevada a cabo en Teherán entre los días 26 y 31 de agosto.‘Marufuku ya kutotembea usiku isiyotangazwa' ya serikali ya Tehran Mkutano unafanyika kuanzia tarehe 26 hadi 31 Agosti jijini Tehran.
6El estado iraní ha cerrado la capital del país por cinco días y ha movilizado 110.000 efectivos policiales para “garantizar la seguridad del MNA.”Dola la Irani imelifunga jiji lake kuu kwa siku tano na imewatayarisha askari polisi wapatao 110,000 ili “kuhakikishia usalama Mkutano wa NAM.”
7Logo de la XVI Cumbre del Movimiento de los Países no Alineados.Nembo ya Mkutano wa XVI wa Umoja wa Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote.
8Fuente: IRNA.Chanzo: IRNA.
9Dominio Público.Haki Huru za Umma.
10Bonbast Akhtar escribe:Bonbast Akhtar anaandika:
11según diversos informes hay varios puntos de control en Teherán y una fuerte presencia de seguridad.kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, kuna vizuizi kadhaa vya kiusalama jijini Tehran pamoja na kuwepo kwa ulinzi mkali kabisa.
12Es como un toque de queda no declarado.Ni kama vile kuna marufuku ya kutembea usiku lakini isiyotangazwa rasmi.
13En la carretera Chalous las fuerzas de seguridad también inspeccionan los coches de las personas que se dirigen de vacaciones [el estado iraní ha declarado cinco días de vacaciones durante la cumbre del MNA]… En 2009 [luego de la controvertida elección presidencial] los manifestantes humillaron a las fuerzas de seguridad y ahora éstas quieren probar su autoridad e importancia.Vikosi vya usalama pia vinakagua ndani ya magari mengi yanayopeleka watu mapumzikoni [Dola la Iran lilitangaza mapumziko ya siku tano wakati wa Mkutano wa NAM] Katika Barabara ya Chalous …waandamanaji mwaka 2009 [baada ya uchaguzi ulioelezwa kuwa na dosari nyingi wa rais] walividhalilisha vikosi vya usalama na kwa hiyo hivi sasa vikosi hiyo vinatka kudhirisha mamlaka na umuhimu wao.
14El bloguero Sayeh Azadi publicó un par de fotos de las fuerzas de seguridad y escribe: si ‘la UE y los EE.UU. hubiesen puesto a los Basijis [voluntarios de la milicia paramilitar] en la lista de terroristas, éstas bestias del régimen no se atreverían a intimidar a la gente.'Mwanablogu Sayeh Azadi alichapisha picha mbili kuhusu vikosi vya usalama na anaandika kuuliza kama ‘Umoja wa Ulaya na Marekani ziliwaorodhesha Basijs [kikosi maalumu cha jeshi cha kujitolea, aina ya wanamgambo] katika orodha ya magaidi, washenzi hawa wa utawala huu hawatathubutu kuwatishia watu.'
15¿Protestas en contra del régimen?Maandamano ya kupinga utawala?
16La seguridad no es el único tema de conversación de los blogueros iraníes, algunos ven la cumbre del MNA como una oportunidad para protestar en contra del régimen.Suala la usalama siyo peke yake ambalo wanablogu wa Iran hujadili, kuna wanaoona kwamba kufanyika hapa kwa Mkutano wa NAM kunatoa fursa kwa watu kuandamana ili kupingia serikali iliyo madarakani.
17Sabzarman escribe: la presencia de miles de periodistas e invitados extranjeros es una oportunidad excepcional para que el Movimiento Verde pueda hacer oír su voz en el mundo.Sabzarman anaandika [fa] uwepo wa maelfu ya wanahabari na wageni wa kimataifa ni fursa adimu kwa ajili ya Vuguvugu la Kijani kufanya sauti yake isikike ulimwengunni.
18Entre otras cosas los bloqueros invitan a los iraníes a escribir eslogans en inglés con aerosol sobre afiches y paredes cercanas al lugar donde se está llevando a cabo la cumbre.Miongoni mwa mambo mengine, mwanablogu huyo anawaalika raia wa Iran kuandika miito mbalimbali katika lugha ya Kiingereza na kuweka rangi ya kijani kwenye mabango na kuta zilizo karibu na mahali Mkutano huo unapofanyika.
19Un grupo de estudiantes y activistas políticos lanzaron una campaña en Facebook invitando al Secretario General de las Naciones Unidas, Ban-Ki Moon, quien se encuentra asistiendo a la cumbre, a que visite a los actualmente detenidos líderes de la oposición Mir Hossein y Mehdi Karroubi.Kikudi cha wanafunzi na wanaharakati wa kisiasa walizindua kampeni ya Facebook wakimwalima Ban-Ki Moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia anashiriki kwenye Mkutano huu wa NAM, ili awatembelee viongozi wa upinzani waliotiwa nguvuni, Mir Hossein Mousavi na Mehdi Karroubi.
20El grupo publicó la siguiente carta abierta en la pagina:Walichapisha barua hii ya wazi baadaye page:
21Señor Secretario General, Yo soy un ciudadano iraní y ante mi preocupación me gustaría invitarle a que visite al Sr. Mir Hussein Mousavi durante su estancia en Teherán por la XVl Cumbre de los Países no Alineados (MNA).Mh. Katibu Mkuu, Mimi ni raia wa Iran, na kama mwana Iran mwenye uchungu na nchi hii, ningependa kukukaribisha kumtembelea Bw Mir Hussein Mousavi katika kipindi utakachokuwa hapa Tehran kwa ajili ya Mkutano wa 16 wa Umoja wa Nchi Zisizofungamana na Upande wowote (NAM).
22El señor Mousavi, líder de la oposición, ha sido hospitalizado recientemente debido a una complicación cardíaca, después de haber cumplido quince meses de arresto domiciliario… Las aspiraciones democráticas y las demandas justas del pueblo iraní merecen el apoyo de la comunidad internacional, de las Naciones Unidas y del Secretario General.Bw Mousavi, ambaye ni kiongozi wa upinzani, hivi karibuni alilazwa hospitalini baada ya kupata matatizo ya moyo kufuatia miezi 15 ya kifungo cha nyumbani …Matamanio ya kidemokrasi na madai ya haki ya watu wa Iran yanastahili kuungwa mkono na jumuiya ya kimataifa, ikiwemo Umoja wa Mataifa na Katibu wake Mkuu.
23Su posición como autoridad internacional, confiada con la responsabilidad de proteger y promover los derechos humanos universales le concede un rol especial.Kwa nafasi yako kama mamlaka ya kimataifa iliyoaminiwa na wajibu wa kulinda na kuhamasisha mikataba ya ulimwengu ya haki za binadamu zinakupa dhima ya pekee.
24Le deseamos éxito en el cumplimiento de esta histórica misión.Tunakutakia mafanikio katika kutekeleza kazi hii maalumu ya kihistoria.
25Azadi Esteghlal Edalat llama a los iraníes a que se unan en una sola voz y conviertan la cumbre del MNA en una pesadilla para el régimen.Azadi Esteghlal Edalat anatoa wito [fa] kwa raia wa Iran ili waungane na kuwa kitu kimoja na kuugeuza Mkutano wa NAM kuwa wa kuutetemesha utawala wa nchi hiyo.
26El bloquero dice:Mwanablogu huyo anasema:
27La Cumbre del MNA ha creado una oportunidad de oro para protestar en contra del régimen y apoyar al Movimiento Verde.Mkutano wa NAM umetupatia nafasi ya pekee kabisa maalumu ya kuandamana dhidi ya maovu ya utawala na kuunga mkono Vuguvugu la Kijani.
28Espero que la gente invada las calles.Ninatumaini watu watamiminika mitaani.
29Deberíamos intentar hacer todo lo mejor posible para generar cualquier acción de protesta.Tufanye kila linalowezekana ili kuhakikisha tunafanikisha kuwa na maandamano.
30Estade Mordan dice:Estade Mordan anasema [fa]:
31No entiendo por qué nadie hace nada, Esta cumbre es una gran oportunidad para protestar en contra del régimen.Sielewi kwa nini hakuna anayejitokeza kufanya kitu. Mkutano huu ni fursa kubwa kufanya maandamano dhidi ya utawala.
32¿Cuánto debemos esperar a que alguien haga algo por nosotros?Je, tusubiri hadi lini ili atokee mtu wa kutufanyia kitu?
33¿Mousavi?Mousavi?
34¿Karrubi?Karrubi?
35¿Reza Pahlavi [hijo del último Shah o emperador iraní]? o Morsi ahora… Como miembro del Movimiento Verde convoco a una manifestación el jueves 30 de agosto del 2012 desde Imam Hossein hasta la plaza Azadi, así como nos convocó a manifestarnos Mousavi hace tres años.Reza Pahlavi [mtoto wa mwisho wa Kiongozi wa Kidini wa Iran]? au Morsi sasa…Mimi kama mwanachama wa Vuguvugu la Kijani ninatoa mwito wa maandamano siku ya Alhamis tarehe 30 Agosti, 2012 kutoka eneo la Imam Hossein hadi Viwanja vya wazi vya Azadi, yaani kwa namna ile ile ambapo Mousavi alitoa wito kwetu kuandamana miaka mitatu iliyopita.
36Informemos a la gente a través de los medios sociales y de otros medios.Tuwafahamishe watu kupitia zana za vyombo vya habari vya kiraia na njia nyingine.