Sentence alignment for gv-spa-20150220-273557.xml (html) - gv-swa-20150222-8493.xml (html)

#spaswa
1¿Las elecciones en Nigeria se pospusieron realmente por seguridad?Je, Kuahirishwa kwa Uchaguzi Mkuu Naijeria Kunatokana na Sababu za Kiusalama?
2El principal candidato de la oposición el general (Rtd) Muhammadu Buhari hablando en la Conferencia sobre la diáspora africana en Londres.Mgombea Urais wa upinzani, Jenerali (Mstaafu) Muhammadu Buhari akiongea kwenye Kongamano la Raia wa Afrika wanaoishi Ughaibuni lililofanyika katika jiji la London.
3Algunos observadores políticos creen que la postergación es una estrategia política diseñada para favorecer al partido gobernante.Baadhi ya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa wanaamini kuwa kuahirishwa kwa uchaguzi ni mbinu za kisiasa zilizo na lengo la kukipendelea chama tawala.
4Foto por Michael Tubi, copyright © Demotix (5 April, 2013)Picha na Michael Tubi, copyright © Demotix (5 April, 2013)
5La Comisión Nacional electoral independiente de Nigeria (INEC) anunció el 7 de febrero de 2015, que la elección presidencial prevista para el 14 de febrero se postergaría por seis semanas debido a razones de seguridad en áreas en poder del grupo militante Boko Haram.Tume huru ya uchaguzi ya Nigeria (INEC) mnamo tarehe 7 Januari, 2015 ilitangaza kuwa, uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika tarehe 14 Februari ungesogezwa mbele kwa muda wa wiki sita kwa sababu ya masuala ya kiusalama hususani katika maeneo yanayoshikiliwa na wanamgambo wa kundi la Boko Haram.
6El grupo ha incrementado su campaña de violencia en el norte de Nigeria.Kundi la Boko Haram linaendeleza harakati zake za machafuko Kaskazini mwa Nigeria.
7Recientemente, ha cometido lo que Amnistía Internacional describió como la “masacre más sangrienta en la historia reciente” del grupo en Baga, un pueblo en el estado de Borno al noreste del país.Siku za hivi karibuni, kundi la Boko Haram lilitekeleza kile kinachoelezewa na shirika la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, kuwa ni “moja ya mauaji ya halaiki ambayo hayakuwahi kufanywa na kundi hili” katika mji wa Baga ulio Kaskazini Mashariki mwa Jiji la Borno.
8El presidente de la Comisión electoral, Attahiru Jega, dijo que las fuerzas de seguridad realizarían una operación especial de seis semanas contra Boko Haram por lo tanto “es preferible que no se distraigan con las elecciones.”Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, Attahiru Jega alisema kuwa jeshi litaendesha operesheni ya wiki sita dhidi ya Boko Haram ili “kuepusha kuingiliwa na masuala ya uchaguzi” Serikaliimejinadi kulifutilia mbali kundi hili ndani ya wiki sita.
9El gobierno ha prometido terminar con el grupo en seis semanas.
10Esta es la primera vez en la historia de Nigeria que se posterga una elección presidencial.Katika historia ya Naijeria, hii ni mara ya kwanza kwa uchaguzi mkuu wa Rais kuahirishwa.
11Sin embargo, no es la primera vez que se pospone una elección nacional en Nigeria.Hata hivyo, hii haitakuwa mara ya kwanza kwa uchaguzi wa Kitaifa kuahirishwa nchini Nigeria.
12En 2011, reportamos la reacción de los cibernautas nigerianos a la reprogramación de las elecciones al parlamento nacional.Mwaka 2011, tulitaarifu kuhusu malalamiko ya watumiaji wa Mtandao wa intaneti wa Nigeria kuhusiana na mabadiliko ya tarehe za chaguzi za Taifa za kibunge.
13Desde que se hizo el anuncio, han existido diversas especulaciones acerca de las verdaderas razones de la postergación.Tangu kutangazwa kuahirishwa kwa uchaguzi, kumekuwa na ufuatiliaji wa karibu wa kutaka kujua hasa sababu za msingi zilizopekea kuahirishwa kwa uchaguzi mkuu wa Rais.
14Por ejemplo, ‘Gbénga Sèsan, director de Paradigm Initiative Nigeria, considera que la Comisión electoral fue obligada a posponer la elección:Kwa mfano, ‘Gbénga Sèsan, mkurugenzi wa Paradigm Initiative Nigeria, anafikiri kuwa tume ya uchaguzi ilishinikizwa kuahirisha uchaguzi:
151. Está claro que la decisión de postergar de @inecnigeria, fue forzada.Ni dhahiri kuwa uamuzi huu wa kuahirisha uchaguzi na @inecnigeria, ulilazimishwa.
16Esto tiene muchas repercusiones.Hili lina matazamio makubwa ikizingatiwa
17Nigeria decide. Henrik Angerbrandt, un estudiante de doctorado en ciencias políticas e investigador en el Nordic Africa Institute, cree que la postergación tiene más que ver con la política que con la seguridad.Henrik Angerbrandt, ambaye ni mwanafunzi wa Shahada ya uzamivu (PhD) katika masuala ya Sayansi ya Siasa na mtafiti katika taasisi ya Nordic Africa, anaamini kuwa kuahirishwa huku kwa uchaguzi kumechagizwa na sababu za kisiasa zaidi kuliko za kiusalama.
18Se pregunta por qué la ofensiva contra un levantamiento que ha durado seis años coincide con la fecha de la elección presidencial.Anashangaa ni kwa nini operesheni dhidi ya magaidi hawa waliokuwepo kwa miaka sita sasa inafanyika katika kipindi cha tarehe za uchaguzi wa Rais.
19Él escribe:Aandika:
20Hace menos de tres semanas, el consejero en seguridad nacional del presidente pidió que las elecciones se postergaran.Takribani wiki tatu zilizopita, mshauri wa Rais wa masuala ya usalama wa taifa alipendekeza kuahirishwa kwa uchaguzi.
21Sin embargo, no fue porque los agentes de seguridad no estuvieran preparados sino se debió a la lenta distribución de las tarjetas de votación.Hata hivyo, uamuzi huu haukutokana na sababu kuwa, vyombo vya usalama havikuwa vimejiandaa, lakini ni kwa sababu ya usambazaji wa polepole wa kadi za wapiga kura.
22INEC, la autoridad responsable, contestó que no había razones para posponer la elección.Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), ambayo ndiyo mamlaka husika, ilitoa taarifa yake kuwa hakukuwa na sababu ya kuahirishwa kwa uchaguzi.
23Por lo tanto, parece que el último recurso ha sido volver al argumento de la seguridad, que había usado en setiembre el presidente en el senado del PDP.Hivyo, inaonekana kuwa, kilichosalia ilikuwa ni kurejea kwenye kigezo cha masuala ya usalama ambacho, hapo awali, mwezi Septemba kilitolewa ufafanuzi na mwenyekiti wa Seneti ya Chama cha PDP.
24Existen diferentes teorías acerca de en qué se beneficia el [partido gobernante, Partido democrático popular] PDP con la postergación.Kuna nadharia tofauti za namna ambavyo chama tawala cha PDP kinavyofaidika na kuahirishwa kwa uchaguzi wa Rais.
25A medida que se acerca la elección, las encuestas de opinión han mostrado creciente insatisfacción con el gobierno del [Presidente Goodluck] Jonathan y el [ex dictador militar Muhammadu] Buhari ha surgido como un posible ganador de la elección.Kadiri siku za kupiga kura zilivyokaribia, kura za maoni zimeonesha ongezeko la wananchi waliokosa imani na sserikali ya Rais Goodluck Jonathan na hivyo Mwanajeshi mstaafu Muhamudu Buhari ameonekana kuwa anaweza kushinda kwenye uchaguzi huo.
26Una postergación le brindaría a Jonathan la oportunidad de recuperar algo del terreno perdido.Kuahirishwa kwa uchaguzi kunaweza kutoa mwanya kwa Jonathan kurekebisha baadhi ya makosa aliyokwisha kuyafanya.
27Como partido gobernante, se cree que el PDP además cuenta con mayores recursos que el APC [All Progressive Congress], lo que hace que una campaña prolongada parezca preferible.Kama chama kilicho madarakani, PDP kinadhaniwa kuwa ni chama kinachoweza kusaidiwa zaidi na serikali kuliko [All Progressive Congress] APC, hali inayochangia kupelekwa mbele kwa muda wa uchaguzi kwa manufaa ya chama tawala.
28Otra posible ventaja es que pese a la larga resistencia de Jonathan, los países vecinos están cada vez más presentes en la lucha de Boko Haram y algunas semanas extra podrían detener la pérdida de territorio en manos de los insurgentes.Pamoja na kuwa Rais Goodluck Jonathan hakutaka nchi jirani kuisadia nchi yake kupambana na Boko Haram, ushirika wao katika wiki chache unaweza kuisaidia Naijeria kusitisha harakati za magaidi hawa za kutaka kuitawala nchi hii, jambo ambalo linaweza kuchukuliwa kuwa ni moja ya manufaa itakayopata chama tawala kutokana na kuahirishwa jwa uchaguzi.
29Eso haría que Jonathan tenga algo que mostrar a los muchos críticos que han cuestionado su capacidad y compromiso para reaccionar ante Boko Haram.Hali ambayo Kuahirishwa kwa uchaguzi kunaweza kutoa mwanya kwa Uwezekano mwingine wa chama tawala kufaidika na kuahirishwa kwa uchaguzi. Hili litamfanya Jonathan arudishe imani kwa wale wapinzani wake wanaohoji uwezo wake na utayari wake wa kukabiliana na Boko Haram.
30Él señala que la postergación ha encontrado amplia insatisfacción y sospechas.Anatanabaisha kuwa kuahirishwa kwa uchaguzi kumegubikwa na hali ya watu kuonesha kukatishwa tamaa pamoja na ni uamuzi wa mashaka tele.
31Se pregunta qué sucederá si los objetivos de esta operación especial no se alcanzan en seis semanas:Anajiuliza ni nini kitatokea ikiwa malengo ya operesheni hii maaalum hayatafikiwa mara baada ya wiki sita kumalizika:
32Las respuestas iniciales a la postergación expresan desilusión y sospechas.Mwitikio wa awali wa kuahirishwa kwa uchaguzi unaonesha kuwa watu wamevunjika moyo na wana mashaka na uamuzi huu.
33El candidato de la oposición, Muhammadu Buhari, y los principales actores de la sociedad civil han hecho un llamamiento a la calma pero la decisión genera un gran descontento.Mgombea u-Rais wa upinzani, Muhammadu Buhari, pamoja na washikadau wakuu wa asasi za kiraia wamewataka watu kuwa watulivu, lakini uamuzi huu umechochea hali ya watu kutokuridhika na hali ilivyo.
34Antes de la decisión, los nigerianos se reunieron en protestas en las calles de Lagos y Abuja.Mara baada ya kutolewa kwa uamuzi huu, raia wa Naijeria walikusanyika kwenye mitaa ya jiji la Lagos na Abuja kwa ajili ya kufanya maandamano.
35Si hubiera manifestaciones nacionales hay lugares en los que hay alto riesgo de violencia.Kama yangalitokea maandamano ya nchi nzima, kuna maeneo mengi sana ambayo kungeweza kutokea machafuko.
36La operación especial que el ejército ha comenzado está programada para durar seis semanas.Operesheni hii maalum iliyoanzishwa na jeshi imepangwa kudumu kwa wiki sita.
37El registro de operaciones militares en el noreste en los últimos seis años ofrece pocos signos de que la situación mejorará de manera significativa en estas semanas.Kumbukumbu ya harakati za kijeshi katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa Naijeria kwa miaka sita iliyopita inaonesha uwezekano mdogo kuwa hakutakuwa na mafanikio yatakayoonekana kwa muda huu wa kipindi cha wiki sita.
38La pregunta es qué sucederá si los objetivos de la operación no se consideran cumplidos en ese plazo.Jambo la kujiuliza ni kuwa, nini kitatokea ikiwa malengo ya operesheni hii hayatakuwa yamekamilika mara baada ya wiki sita kuisha.
39¿El ejército pedirá una nueva postergación por otro mes?Jeshi litaomba tena liongezewe mwezi mmoja zaidi?
40Fines de abril es el límite máximo según los requisitos constitucionales para que se realicen las elecciones.Mwisho wa mwezi Aprili ndio kikomo kwa mujibu wa katiba, hivyo italazimika kwa uchaguzi kufanyika.
41O, peor aún, ¿Habrá una sugerencia respecto a un gobierno interino?Au, hata kama haitakuwa vizuri, labda kutakuwa na mapendekezo ya kuundwa kwa serikali ya mpito?
42Moyosore Ayodele también se pregunta cómo Boko Haram puede ser derrotado en seis semanas luego de haber aterrorizado al país durante seis años:Moyosore Ayodele anajiuliza ni kwa namna gani Boko Haram wanaweza kudhibitiwa ndani ya wiki sita ikiwa ni baaada ya kuendesha matukio ya kigaidi kwa miaka sita:
43En 6 años no se pudo derrotar a Boko haram, pero queremos vencerlo en seis semanas debido a la elección.Kwa miaka 6 haikuwezekana kuwakabili Boko haram, lakini tunataka kuwashinda kwa wiki sita kwa sababu ya uchaguzi.
44Tan evidente PDP=Boko haram.Ni dhahiri PDP=Boko haram.
45Elecciones en Nigeria.Ruggedman auliza:
46Ruggedman pregunta: Los planes para las elecciones de 2015 no comenzaron hoy, ¿quién fijó la fecha de febrero para la actividad militar?Mikakati ya chaguzi za mwaka 2015 hazikuanza leo, Ni nani aliyepanga muda wa mwezi Februari kwa ajili ya operesheni za kijeshi?
47El usuario de Twitter President Obiang señala de manera sarcástica:Mtumiaji wa mtandao wa Twita, President Obiang atoa tahadhari kwa kupiga kijembe:
48Luego de muchos años, es bueno escuchar que el Presidente #Goodluck Jonathan necesita solo 6 semanas más para lidiar con Boko Haram.Baada ya miaka mingi, ni jambo jema kusikia kuwa Rais #Goodluck Jonathan anahitaji wiki 6 tu zaidi kukabiliana na Boko Haram.
49Según Alexander Osondu, la postergación es una violación a la constitución nigeriana:Kwa mujibu wa Alexander Osondu, kuahirishwa kwa uchaguzi kumekiuka Katiba ya Naijeria:
507. La elección prevista para el 28 de marzo es una flagrante violación de las disposiciones de la Constitución de Nigeria.Uchaguzi ulipangwa kufanyika Machi 28 ni ukiukwaji wa wazi kabisa wa vifungu vya sheria vilivyomo kwenye Katiba ya Nigeria.
511. @Nigeria_Law la disposición constitucional es muy clara sobre la postergación de las elecciones.Vifungu vya sheria vya katiba vipo wazi kabisa kuhusiana na suala la kuahirishwa kwa chaguzi.
52S.123(1)S.123(1)
53Adaure Achumba, la corresponsal en África occidental para AriseTV, no está de acuerdo:Adaure Achumba, Mwandishi wa habari wa eneo la Afrika ya Magharibi anayeripotia AriseTV, aonesha kutokukubaliana:
54La constitución es clara, las elecciones en Nigeria deben realizarse no antes de los 90 días y no después de los 30 días previos al 29 de mayo.Katiba ipo wazi #UchaguziNigeria lazima ufanyike katika kipindi cha siku 90 & na si zaidi ya siku 30 kabla ya Mei, 29.
55El 29 de abril es la última fecha legal.Tarehe 29 Aprili ndio siku ya mwisho kwa mujibu wa sheria.
56Esta es una de las razones que según algunos llevaron a la postergación:Hili ni moja ya mambo ambayo baadhi ya watu wanafikiria kuwa limepelekea kuahirishwa kwa uchaguzi:
57Comienza antes, reúne dinero suficiente de manera que podamos superarlos en gastos.Anza mapema, kusanya fedha za kutosha ili tuzifuje.
58Justo cuando la fecha esté cerca, la posponemos.Zinapokaribia tu kuisha, ahirisha (Uchaguzi).
59Ellos se quedarán sin dinero.Wao watakosa fedha( kwaajili ya uchaguzi)
60Ryan Cummings, un analista en seguridad sudafricano, dice que posponer la elección debido a Boko Haram no tiene sentido:Ryan Cummings, Mchambuzi wa Afrika ya Kusini wa masuala ya Usalama anasema kuwa, kuahirishwa kwa uchaguzi kwa sababu ya Boko Haram ni jambo lisilokuwa na maana kabisa:
61Hubiera sido más fácil vender que la postergación de las elecciones se debe a problemas en la distribución de PVC.Ingekuwa rahisi sana kueleweka kama sababu ya kuahirishwa kwa uchaguzi ingekuwa imesababishwa na matatizo ya usambazaji wa Kadi za Kudumu za wapiga kura (PVC).
62El asunto de Boko Haram no tiene sentido.#BokoHaram siyo sababu yenye mashiko
63En el momento en que escribo esto, 316 usuarios de Twitter han retuiteado y 16 marcaron como favorito el siguiente tuit luego de un pedido de la Voice of America en hausa a sus seguidores a expresar su opinión acerca de la postergación:Hadi wakati ninaandika makala haya, watumiaji wa mtandao wa Twita walishai-twiti na 16 waliipenda Twiti ifuatayo mara baada ya Idhaa ya Sauti ya America ya Hausa kuwaomba watu kutoa maoni yao kuhusiana na kuahirishwa kwa uchaguzi:
64RT si no está de acuerdo con la postergación de las elecciones, FAV si estás de acuerdo. Elecciones 2015.SAMBAZA Twiti hii kama hukubaliani na kuahirishwa kwa uchaguzi, IPENDE kama unakubalina na kuahirishwa kwa uchaguzi