Sentence alignment for gv-spa-20120411-221683.xml (html) - gv-swa-20120430-2888.xml (html)

#spaswa
1Túnez: Reacciones divididas tras el hackeo al correo electrónico del primer ministroTunisia: Miitikio Tofauti Kufuatia Kuingiliwa kwa Barua Pepe za Waziri Mkuu
2El 8 de abril de 2012, Anonymous Tunisia (que asegura formar parte del grupo de hackers Anonymous) accedió [en] a los correos electrónicos del primer ministro tunesino Hamadi Jebali.Mnamo Aprili 8 “Anonymous Tunisia” kikundi kisichotambulisha majina ya wanachama wao nchini Tunisia (ambacho kinadai kuwa na uhusiano na kikundi cha watu “wasiojitambulisha” ) waingiliao mawasiliano ya watu kiliingilia mawasiliano the ya barua pepe ya waziri mkuu wa Tunisia Hamadi Jebali.
3Esta operación fue apodada por el movimiento “Operación No toques a mi Túnez” que forma parte de la mayor “Operation Tunisia Back”.Vuguvugu hilo lilipewa jina la utani la (“Achana na Tunisia yangu”) ambayo ni sehemu ya kampeni kuu iitwayo “Operesheni Rejeza Tunisia”.
4Logo de Anonymous Tunisia.Nembo ya Tunisia isiyojitambulisha
5Justo antes de la revolución de 2011, miembros de Anonymous en todo el mundo fijaron como objetivo varias páginas web del gobierno dentro de la llamada Operation Tunisia.Katika mkesha wa mapinduzi mwaka 2011 wanachama wa kikundi hicho cha “wasiojitambulisha” waliotawanyika duniani kote walishambulia tovuti kadhaa za serikali katika kile kilichoitwa Operation Tunisia.
6Anonymous llevó a cabo ataques informáticos contra los islamistas en Túnez recientemente.
7Ahora acaban de publicarse en la red [en] 2,725 [en] correos electrónicos del partido que gobierna en Túnez, Ennahda, incluidos algunos correos del primer ministro.Mmoja wao hivi2,725 emails wanachama wa chama tawala cha nchi hiyo cha Ennahda mtandaoni, ikiwa ni pamoja na mawasiliano ya waziri mkuu.
8Los números de teléfono [en] pertenecientes a funcionarios importantes del gobierno han estado circulando en páginas de Facebook, tomando por sorpresa al gobierno que todavía no ha reaccionado.Namba za simu zinazomilikiwa na maafisa nyeti wa serikali tangu wakati huo zimekuwa zikisambazwa katika kurasa za facebook. Serikali imekamatwa pabaya na mpaka sasa haijaweza kujibu chochote.
9Mientras tanto, los cibernautas están divididos en cuanto a la efectividad de la movida.Wakati huo huo, raia watumiao mtandao wamegawanyika kuhusu ufanisi wa hatua hiyo.
10Bassem Meddeb, entusiasmado con la idea de bucear entre cientos de correos electrónicos, tuiteó:Bassem Meddeb katika hali ya kusisimuka, alituma ujumbe kupitia mtandao wa twita kuhusu kuperuzi maelfu ya barua pepe:
11¡Finalmente #Anonymous nos ha contratado como detectives!Mwisho # Kikundi cha wasiojitambulisha kimetuajiri kama wachunguzi!
12Hmida Ben Jemmaa escribió en tono sarcástico:#jbelileaks Hmida Ben Jemmaa aliandika kwa kejeli:
13Después del #JbeliLeaks, la sede del partido político Ennahda ha decidido comunicarse mediante… palomas mensajeras.Baada ya #JbeliLeaks, kitengo cha siasa cha (chama cha) Ennahda kimeamua kuwasiliana kwa kupitia …njiwa waishio nyumbani
14Logo de Operation Tunisia Back.Nembo ya Operesheni Rejesha Tunisia
15Sin embargo, algunos usuarios de Twitter son contrarios a estos hackeos.Hata hivyo, baadhi ya watumiaji wa twita walipingana na zoezi hilo la kuingilia mawasiliano ya watu.
16Hmida Ben Jemmaa condenó el ataque, y añadió [ar]:Hmida Ben Jemmaa aliandika akipinga mashambulizi hayo, na kuongeza::
17Intromisiones en nuestros asuntos internos, una línea que no debería cruzarse.Kuingiliwa katika masuala yetu ya ndani ni kuvuka mipaka
18Amine Ghrabi, estudiante de medicina, cuestionó el objetivo de la operación llevaba a cabo por Anonymous y tuiteó:Mwanafunzi wa Utabibu Amine Ghrabi alihoji mantiki ya Zoezi hilo linalofanywa na “watu wasiojitambulisha” na kutuma ujumbe:
19¡Un saludo para aquellos que han malgastado su mañana del domingo revisando el correo de un incompetente declarado!Wazo dogo kwa wale wote waliharibu asubuhi zao za Jumapili hii kwa kuperuzi barua za watu ambao tuna hakika hawako timamu!
20Alkimia tuiteó:Alkimia alituma ujumbe huu:
21En serio, ¿quieren encontrar una catástrofe en #JbeliLeaks?Hivi kweli mnataka kutafuta janga katika kampeni ya #JbeliLeaks?
22Y añadió:Na akaongeza:
23Anonymous ha estado amenazando a los islamistas desde hace meses.Kundi hili limekuwa likiwatishia Waislam wenye msimamo mkali kwa miezi michache iliyopita.
24Él [el primer ministro] no pudo actuar con malicia pues no borró sus correos.[waziri mkuu] hangekuwa na werevu kama asingefuta barua zake zote kwenye anuani yake ya barua pepe
25Student Imed Laaridh, simpatizante de Ennahda, tuiteó que le gustaría contraatacar:Mwanafunzi Imed Laaridh, anayeunga mkono chama tawala cha Ennahda, alituma ujumbe kwamba angegoma:
26Tal vez hemos empezado una mecánica de hackeo mutuo.Labda tumeanza awamu ya kwanza ya kuingiliana mawasiliano yetu.
27Encontraremos algo en lo que pasar el tiempo…Ni jambo la kutufanya tupate cha kufanya…
28El siguiente vídeo [fr] pertenece a Anonymous Tunisia.Video ifatayo [Fr] iliwekwa na kikundi hicho.
29Un miembro de Anonymous habla sobre la filtración de los correos electrónicos del primer ministro y de la próxima publicación de más documentos:Mwanachama wa kundi hilo anazungumza kuhusu kuvuja kwa barua za waziri mkuu, na makarabrasha yanayotarajiwa zaidi muda mfupi ujao: