Sentence alignment for gv-spa-20140721-246556.xml (html) - gv-swa-20140720-7978.xml (html)

#spaswa
1El mundo está con Palestina: Protestas en todos los continentesDunia Yasimama na Palestina: Maandamano Yafanyika Kila Bara
2En los días que han pasado desde la última ofensiva israelí contra Gaza, han surgido protestas en numerosas ciudades alrededor del mundo en apoyo a Palestina y para pedir el fin de los actuales ataques.Siku kadhaa tangu Israeli iivamie Gaza, maandamano yamemiminika katika miji kadhaa duniani kote kuwaunga mkono wa-Palestina na kutoa mwito wa kumalizwa kwa mashambulizi yanayoendelea.
3Reconociendo la necesidad de demostrar solidaridad, se ha creado una cuenta en Tumblr [en] para documentar estas protestas.Kwa kutambua hitaji la kuonyesha mshikamano, mtandao wa Tumblr ulitengeneza mfumo wa kutunza kumbukumbu za maandamano haya.
4La cuenta, que es anónima, afirma que su propósito es recopilar “Fotos, videos e informes de manifestaciones en solidaridad con Palestina durante los actuales ataques de Israel y el castigo colectivo”.Akaunti hiyo, ambayo haina jina, inasema kuwa lengo ni kukusanya ‘Picha, video, na taarifa kutoka kwenye maandamano ya mshikamano na wa-Palestina wakati wa mashambulizi yanayoendelezwa na Israeli yenye sura ya adhabu ya umma.”
5Estas son imágenes de apenas algunas manifestaciones que han tenido lugar alrededor del mundo.Picha hizi zinatoka kwenye baadhi tu ya maandamano ambayo yamefanyika kwenye nchi nyingi duniani kote.
6“Protestas por la Copa del Mundo en Brasil se convierten en protestas por Gaza” - 12 de julio de 2014.“Maandamano ya kupinga Kombe la Dunia huko Brazil yageuka maandamano ya kupinga kinachofanyika Gaza. ” - July 12, 2014.”
7Kabul, Afganistán - 13 de julio de 2014.Kabul, Afghanistan - 13 Julai, 2014.
8Hyderabad, India - 13 de julio de 2014.Hyderabad, India - 13 Julai, 2014.
9Helsinki, Finlandia - 12 de julio de 2014.Helsinki, Ufini - 12 Julai, 2014.
10Estambul, Turquía - 12 de julio de 2014.Istanbul, Uturuki - 12 Julai, 2014.
11San Francisco, California - 12 de julio de 2014.San Francisco, Califonia Marekani - 12 Julai, 2014.
12Seúl, Corea del Sur - 12 de julio de 2014.Seoul, Korea Kusini - 12 Julai, 2014.
13La Haya, Países Bajos - 12 de julio de 2014.The Hague, Uholanzi - 12 Julai, 2014.
14Japón - 12 de julio de 2014.Japan - 12 Julai, 2014.
15“Hoy, el pueblo de Sudáfrica marchó para apoyar a los palestinos, que están sufriendo por la Ocupación.“Leo, watu wa Afrika Kusini wameandamana kuwaunga mkono wa-Palestina kwa kuteseka na Uvamizi huo.
16Nelson Mandela dijo una vez “Sabemos demasiado bien que nuestra libertad está incompleta sin la libertad de los palestinos”.Nelson Mandela aliwahi kusema “Tunajua vizuri kuwa uhuru wetu haujakamilika bila uhuru wa wa-Palestina.”
17Así que hoy nos levantamos para ser la voz de los que no tienen voz” - 13 de julio de 2014.Kwa hiyo leo tumesimama kuwa sauti ya wasio na sauti. ” - 13 Julai, 2014.
18Indonesia - 12 de julio de 2014.Indonesia - 12 Julai, 2014.
19Manifestantes en Montreal cargan la bandera palestina más grande del mundo durante la protesta Solidaridad con Gaza el viernes 11 de julio de 2014.“Waandamanaji wa Montreal wakibeba bendera ndefu ya wa-Palestina kuwahi kuonekana duniani wakati wa maandamano ya Mshikamano na Gaza Ijumaa, Julai 11, 2014.”
20Maldivas - 12 de julio de 2014.Maldives - 12 Julai, 2014.
21Túnez, Túnez - 13 de julio de 2014.Tunis, Tunisia - 13 Julai, 2014.
22Valparaíso, Chile - 12 de julio de 2014.Valparaiso, Chile - 12 Julai, 2014.
23Berlín, Alemania - 12 de julio de 2014.Berlin, Ujerumani - 12 Julai, 2014.
24Camberra, Australia - 18 de julio de 2014.Canberra, Australia - 18 Julai, 2014.
25El 12 de julio, un grupo organizó una protesta silenciosa en Cracovia - en solidaridad con Gaza.“Siku ya tarehe 12 Julai kundi la watu kadhaa lilitayarisha maandamano ya kimya kimya mjini Krakow - kushikamana na Gaza.
26Los manifestantes imprimieron nombres de todos los niños mártires en Gaza durante la operación “Borde Protector”.Waandamanaji walichapisha majina ya watoto waliouawa kwenye operesheni “kujilinda” inayoendelea Gaza.”