Sentence alignment for gv-spa-20131202-215593.xml (html) - gv-swa-20131008-5933.xml (html)

#spaswa
1Falsa página de Facebook de la exprimera dama de Zambia usada para presunta estafaZambia: Ukurasa wa Facebook wa Mke wa Rais wa Zamani Waghushiwa kwa Utapeli wa Ufadhili wa Masomo
2Una persona que creó una cuenta de Facebook falsa a nombre de la exprimera dama de Zambia, Maureen Mwanawasa, compareció ante los tribunales por fraude.Mtu aliyetengeneza ukurasa bandia kwa jina la mke wa rais wa zamani wa Zambia, Maureen Mwanawasa alipandishwa kizimbani hivi karibuni kujibu mashitaka ya utapeli.
3Mwanawasa, esposa del tercer presidente de Zambia, el fallecido Levy Patrick Mwanawasa, quien gobernó el país por siete años hasta su muerte en 2008, dirige una organización no gubernamental llamada la Iniciativa Comunitaria Maureen Mwanawasa [en] (MMCI, por sus siglas en inglés), que ayuda a las personas más desfavorecidas de la sociedad.Mwanawasa, mke wa rais wa tatu wa Zambia, marehemu Levy Patrick Mwanawasa, aliyetawala kwa miaka saba mpaka alipopatwa na mauti mwaka 2008, anaendesha shirika lisilo la kiserikali linaloitwa Mradi wa Jamii wa Maureen Mwanawasa (MMCI), unaosaidia watu masikini katika jamii.
4La ONG era muy activa cuando su esposo estaba en el poder, y recibía ayuda de varias organizaciones y de personas.Shirika hilo lilikuwa imara sana enzi za utawala wa mme na lilipokea msaada kutoka katika mashirika kadhaa pamoja na watu binafsi.
5Ahora, ha reducido su actividad: sólo se encuentra activa en una o dos áreas, en particular en Kapiri Mposhi, donde dirigen una escuela para niños menos privilegiados.Tangu kifo cha mumewe shirika hilo limekuwa likipunguza shughuli zake na kubakiwa na maeneo mawili tu, Kapiri Mposhi ambapo linaendesha shule kwa ajili watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
6Los detalles del caso son escasos, pero Mwanawasa, que es abogada, se presentó [en] ante los tribunales y tuiteó las razones por las cuales lo hizo, en respuesta a las preguntas de los usuarios de Twitter:Taarifa za kina kuhusiana na kesi hiyo hazitolewa, lakini Mwanawasa, ambaye ni mwanasheria yeye mwenyewe, alipanda kizimbani na kutwiti sababu za kwenda mahakamani kujibu maswali ya watumiaji wa mtandao wa twita:
7@NizaSich Alguien creó una página de Facebook en mi nombre y recauda $250 para becas estudiantiles falsas. Ha sido arrestada #Zambiakuna mtu ametengeneza ukurasa wa facebook kwa jina langu na anakusanya dola za marekani 250$ kwa ajili ya kutoa udhamini bandia kwa wanafunzi ametiwa kizuizini.
8Exprimera Dama de Zambia, Maureen Mwanawasa, cortesía de su cuenta de Twitter.Mke wa Rais wa zamani wa Zambia Maureen Mwanawasa iliyokwa kwenye ukurasa wa Twita.
9El periódico The Zambian Watchdog publicó sobre una potencial estafa en enero de 2012, pero no está claro si tiene relación con este caso.
10Citando al informante Laston Nyirenda, el sitio web publicó [en]: Soy amigo [en Facebook] de esta persona.Mtandao wa Zambian Watchdog uliripoti kashfa hiyo mwezi Januari 2012, lakini haiko wazi kama inahusiana na kesi iliyopo mahakamani.
11Comenzó a enviarme mensajes diciendo ser la Sra.Akimnukuu mkosoaji Laston Nyirenda, wavuti hiyo iliripoti:
12Mwanawasa y a pedirme que le prestara $2000 y se los enviara a una persona llamada Florence Lucky quien supuestamente se encuentra en Madrid, España. Quería que le enviara el dinero a través de Western Union.Nina urafiki [kwenye mtandao wa Facebook] na mtu huyo na walianza kunitumia jumbe wakidai kuwa Bi Mwanawasa na kuanza kuniomba niwaazime dola 2000 na kumtumia mtu aliyetajwa kuwa Florence Lucky aliyesema anaishi Madrid, Uhispania na wakanitaka niwatumie pesa hizo kwa njia ya western union.
13Incluso me dieron un número de teléfono de Zambia al que yo podía llamar, el cual supuestamente era de la exprimera dama, por si quería confirmarlo. Cuando llamé a ese número, la persona que atendió era de [la ciudad de] Kitwe, y ni siquiera era la Sra.Wakanipatia namba ya simu ya Zambia ili niwapigie wakisema kwamba ni ya mke wa zamani wa rais na kama ninataka kuhakiki na nilipoipiga namba hiyo, ikapokelewa na mtu aliyekuwa [mji wa] Kitwe na hata haikuwa ya Bi Mwanawasa.
14Mwanawasa. Luego que Mwanawasa diera a conocer en Twitter que se encontraba en los tribunales, un usuario le preguntó a la exprimera dama cómo se sentía ser contrainterrogada:Baada ya Mwanawasa kulitangaza suala hilo kupitia mtandao wa Twita kuwa yuko mahakamani, mtumiaji mmoja alimwuliza mke huyo wa rais huyo wa zamani namna alivyojisikia kutoa ushahidi:
15@mwanachilembo ¿Cómo se sintió estando del otro lado, probablemente siendo contrainterrogada?Ulijisikiaje kuwa kizimbani? Huenda ukihojiwa?
16A lo que respondió:Akajibu:
17@EricKamocha Naturalmente, se sintió extraño, pero fue una buena experiencia@EricKamocha kwa kawaida mtu unajisikia vibaya lakini ulikuwa ni uzoefu mzuri
18Los tuiteos de Mwanawasa no dieron muchos detalles sobre el caso, tales como el nombre de la culpable y su ubicación.Twiti za Mwanawasa hakutoa habari za kina kuhusu kesi hizo kama jina la mtuhumiwa na wapi anakoishi.
19La exprimera dama no es la primera persona pública de Zambia a la que le han adjudicado un perfil falso.Mke huyo wa Rais wa zamani, hata hivyo, si mtu maarufu wa kwanza nchini Zambia aliyewahi kukumbwa na matukio ya kughushiwa kwa akaunti zao mitandaoni.
20Recientemente, una página de Facebook en nombre del vicepresidente del país, Dr. Guy Scott, surgió de la nada y envió “solicitudes de amistad” a personas que comentan sobre política en la red social con regularidad.Hivi karibuni, ukurasa wa Facebook kwa jina la Makamu wa Rais wa nchi hiyo Dr. Guy Scott, ulitumiwa kutuma “maombi ya urafiki” kwa watu ambao kwa kawaida kutoa maoni ya kisiasa katika mitandao ya kijamii.
21Cuando surgió la página que supuestamente pertenecía al Dr. Scott, el sitio de internet de medios ciudadanos Zambian Eye informó sobre el tema, aunque hubo dudas sobre la veracidad [en]:Ukurasa huo bandia wa Facebook uliodaiwa kuwa wa Dr. Scott ulipoonekana, wavuti ya kiraia ya Zambian Eye iliripoti habari hizo, inagwa kulikuwa na maswali mengi kuhusiana na uhalisi wake:
22Todo esto de que Guy Scott está enviando solicitudes de amistad a cualquier fulano en Facebook.Inashangaza kuona Guy Scott anatuma maombi ya urafiki kwa kila mtu kwenye mtandao wa Facebook.
23No hace falta ser un genio para darse cuenta que estas cuentas las controlan los falsos generales del PF [simpatizantes de los dirigentes del Frente Patriótico- que se hacen llamar por ese nombre] en Facebook, que quieren utilizarlas para recoger datos.Haihitaji kuwa na akili nyingi kugundua kuwa akaunti hiyo unaendeshwa na majenerali bandia wa PF [mashabiki wa chama tawala cha Patriotic Front wanaojiita jina hilo] kwenye mtandao wa Facebook wanaotaka kuitumia kukusanya takwimu.
24Despierten.Amkeni jamani.
25Zambia Intelligent News citó al Dr Scott, quien dijo [en]:Dr Scott baadae alinukuliwa na mtandao wa Zambia Intelligence News, akisema:
26Abrí una cuenta en 2011 con el fin de utilizarla en la campaña, y no he abierto otra cuenta desde entonces.Nilifungua akaunti mwaka 2011 kwa malengo ya kampeni na sijawahi kufungua akaunti nyingine tena.
27No la utilizo desde entonces, por lo tanto todo lo que aparece ahora es falso.Sijawahi kuitumia tangu wakati huo kwa hiyo kila kinachoibukia leo ni bandia.
28Todo esto es un fraude, es todo fraudulento.Yote hayo ni utapeli tu. Huo ni utapeli tu.