Sentence alignment for gv-spa-20140718-246362.xml (html) - gv-swa-20140718-7951.xml (html)

#spaswa
1¿Fue insensible el mensaje de Singapore Airlines en las redes sociales después de la colisión del MH17?Je, Ujumbe wa Shirika la Ndege la Singapore Baada ya Ndege MH17 Kuanguka Haukuwa wa Kiugwana??
2Un avión de Singapore Airlines en pleno vuelo el 29 de marzo de 2014.Ndege ya Shirika la Ndege la Singapore Machi 29, 2014.
3Foto de Aero Icarus (Flickr).Picha na mtumiaji wa mtandao wa Flickr Aero Icarus.
4CC BY-NC-SA 2.0CC BY-NC-SA 2.0
5Tras conocerse la noticia de que el vuelo MH17 de Malaysian Airlines se había estrellado en el este de Ucrania, Singapore Airlines publicó este mensaje en Facebook y Twitter:Baada ya habari kufahamika kwamba ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia MH17 imeanguka mashariki mwa Ukraine, Shirika la Ndege la Singapore liliweka ujumbe huu kwenye mtandao wa Facebook na Twita:
6Puede que a nuestros clientes les interese saber que nuestros vuelos no están usando el espacio aéreo ucraniano.Wateja wanaweza kuendelea kufahamu kuwa ndege za Shirika la Ndege la Singapore hazitumii anga la Ukraine
7Muchos internautas acusaron a la aerolínea de falta de sensibilidad.Watumiaji wengi wa mtandao walililaumu shirika hilo la ndege kwa kutokuwa na uungwana.
8Sophie Chang comentó [en] en Facebook que “es mejor que las aerolíneas expresen sus condolencias en primer lugar”.Sophie Chang alitoa maoni kwenye mtandao wa Facebook kwamba “namna nzuri kwa shirika la ndege kufanya ni kutoa pole kwanza.”
9Sin embargo, Stephen Chapman cree que el mensaje “intentaba calmar a los pasajeros en general”.Lakini Stephen Chapman anaamini kwamba kauli hiyo “ilikusudia kuleta utulivu kwa maana pana.”
10Ryan Ik agradeció que clarificaran dicha información, pero también pensó que “la publicación era muy fría, ya que no había ningún tipo de empatía”.Ryan Ik alikubaliana na ufafanuzi huo lakini alijisikia “kukosa maneno ya kutoa pole, habari hizo hazikuwa za kiungwana.”
11Insensible o no, esta pequeña publicación se ha hecho viral en tan solo cuestión de pocas horas.Iwe ni kweli ama la kwamba ujumbe huo ulikosa uungwana, lakini tangu uwekwe mtandaoni umekuwa ukisambaa kwa kasi ndani ya masaa machache.