Sentence alignment for gv-spa-20130618-191394.xml (html) - gv-swa-20130612-5158.xml (html)

#spaswa
1Violencia entre los protestantes de la justicia social israelí y la policíaIsraeli: Waandamanaji Wakumbana na Ukatili wa Polisi Jijini Yerusalemu
2El sábado por la noche (8 de junio) se llevó a cabo una protesta en Jerusalén organizada por tres grupos afiliados con el movimiento de justicia social israelí.Maandamano yaliyoandaliwa na vikundi vitatu vinavyohusiana na Vuguvugu la Israel la haki ya kijamii (#j14) yalifanyika jijini Yerusalemu mnamo Jumamosi usiku (Juni 8).
3Los manifestantes exigían que se revocara la decisión de exportar la mayoría de las reservas de gas natural de Israel con el valor único del 12.5% del gas dirigido al estado en tasas.Waandamanaji walidai kubatilishwa kwa uamuzi wa kuuza zaidi kiasi kikubwa cha hifadhi ya gesi wakati ni asilimia 12.5 tu ya mapato hayo yatakwenda serikalini kama kodi.
4Los manifestantes también se opusieron al presupuesto del nuevo gobierno el cuál se espera que aumente de forma significativa las tasas en las clases más bajas y medias de Israel, mientras que a la vez se recortan los servicios del gobierno en los que esas clases confían.Waandamanaji pia walionyesha upinzani wao dhidi ya bajeti ya serikali mpya, ambayo inatarajiwa kwa kiasi kikubwa kuongeza kodi kwa wa-Israeli wa tabaka la chini na la kati, na wakati huo huo ikikata huduma za serikali ambazo matabaka hayo hutegemea.
5A pesar de ser una protesta pacífica y pequeña (unos cientos de protestantes), la policía actuó brutalmente. Durante la protesta, el activista izquierdista Ben Marmara [he] tuiteó:Maandamano hayo, licha ya kuwa na amani na kuwa na madogo (yakiwa na mamia kadhaa tu ya waandamanaji) yalikumbana na kiwango cha juu kabisa cha ukatili wa polisi usio wa kawaida.
6Los policias golpean a las mujeres, se les debería encarcelar.Mwanaharakati wa mrengo wa kushoto Ben Marmara alitwiti mfululizo wakati wote wa maandamano:
7En Jerusalén varios hombres y mujeres son detenidos.Polisi wanawapiga wanawake, wanapaswa kufungwa jela.
8#j14 La policia sigue deteniendo a personas y metiendolos en los furgones.Kuna idadi ya wafungwa wa kike na wa kiume mjini Yerusalemu.
9Al igual que en la protesta en Ramat Gan [contra la exportación del gas natural], de nuevo la policía no cumple la ley e impide una protesta mediante la fuerza.Polisi wanaendelea kuwakamata watu na kuwajaza katika magari yao yapolisi. Kama yalivyokuwa maandamano ya Ramat Gan [kupinga hatua ya kuuza gesi ya asili], kwa mara nyingine tena, polisi walivunja sheria na kutumia nguvu kuzuia maandamano.
10A continuación, detienen a los protestantes.Kisha wakawatia mbaroni waandamanaji.
11El activista de #j14, Yishai Oltchik, publicó esto [he] en Facebook:Mwanaharakati wa #j14 anayeishi Yerusalemu, Yishai Oltchik, alibandika andiko hili kwenye mtandao wa Facebook: :
12Hoy puedo decir que ha sido la primera vez que un policía me golpea.Kwa hiyo leo naweza kuweka kumbukumbuku kwa mara ya kwanza kwa askari kunipiga mateke.
13Me atacó, quiero decir.Alinishambulia, Namaanisha.
14¿Por qué?Kwa nini?
15Simplemente porque tenía un cartel en el que pedía al Knesset [Parlamento israelí] que celebrara unas vistas para tratar el tema de la exportación del gal natural… No le hablé al policía… ni le miré directamente.Kwa sababu tu mimi nilisimama na bango la kutoa wito kwa Knesset [Israel Bunge] kusikiliza zaidi maoni ya watu kuhusu kuuzwa kwa gesi asilia nje ya nchi… Mimi sikuzungumza na askari … na sikumwangalia moja kwa moja.
16Ni siquiera lo grabé a pesar de ser legal, pero termina en que normalmente éstos te atacan.Sikuweza hata kumpiga picha ya video, kitu ambacho hata hivyo si kosa kisheria lakini kwa kawaida huishia kwa kushambuliwa [na polisi].
17Únicamente estaba ahí y entonces llegó el policía, golpeó con fuerza a la chica que sostenía el cartel conmigo (arrastrándola de la espalda) y también me golpeó a mí…me acerqué a un oficial de policía cercano a mí y le conté que el policía me había golpeado sin motivo.Mimi nilisimama tu pale na kisha yeye akaja, akamsukuma kwa nguvu msichana aliyeshika bango na mimi (akamsukuma aangukie mgongo), na akifanya hayo, alinipiga mateke na mimi …. Nilikwenda kwa afisa wa polisi aliyekuwa karibu na kumwambia kwamba askari amenipiga teke bila sababu; polisi akatabasamu tu akiendelea kutembea.
18Él únicamente sonrió y siguió caminando. … Lo que me enoja es saber que esto es algo muy común.… Kitu ambacho kinanifanya kuwa na hasira ni kujua kwamba hili silo jambo lisilo la kawaida.
19Esta vez me ha tocado a mí y tuve suerte de que el policía me golpeara una vez… porque a menudo no es solo un golpe.Ni kwamba tu ilikuwa nafasi yangu wakati huu, na mimi nilikuwa na bahati kwamba polisi walidhani kwamba teke moja lilitosha - kwa sababu kwa kawaida hayaishi baada ya pigo moja.
20Vi al menos como los policías empujaban y golpeaban a otras 10 personas, y una o dos detenciones violentas.Nilioona si chini ya watu wengine 10 wakisukumwa na kupigwa mateke na polisi, na mmoja au wawili wakikamatwa vurugu.
21El activista de #j14 con sede en Tel Aviv, Orly Bar-Lev, publicó [he] esta imagen en Facebook y añadió:Mwanaharakati wa Tel Aviv wa #j14 Orly Bar-Law alibandika picha hii kwenye mtandao wa Facebook na akaandika:
22De derecha a izquierda: “Bibi [sobrenombre de Netanyahu] - ¡detén el terrorismo económico!Kulia hadi kushoto: “Bibi [Jina la utani la Netanyahu] - Zuia ugaidi wa kiuchumi!
23Orly en el centro: “Exportación del gas = suicidio para el estado” y “Recortes NO en las becas para los niños” [una de las medidas de austeridad propuestas que dañarán en gran escala a la clase más baja]Orly katikati: “Uuzaji wa gesi nje = kujiua kwa serikali” na “Tunapinga kukatwa kwa mafao ya mtoto” [moja ya hatua za kubana matumizi zinazopendekezwa zitakazowadhuru sana watu wa tabaka la chini]
24Cientos de personas pacíficas que apoyaron la protesta contra las medidas de austeridad, la situación económica y la exportación del gas se encontraron con un trato violento y completamente desproporcional de la policía.Mamia ya raia wanaouguswa na hatua za kubana matumizi zinazopangwa kuchukuliwa na serikali wenye kutii sheria bila vurugu, walioamua kupinga mpango huo pamoja na hali mbaya ya kiuchumi na hatua za kuuza gesi nje walikumbana na hatua mbaya za vurugu zisizolingana zilizofanywa na polisi.
25¿Policías a caballo?Polisi kupanda farasi??
26¿Golpeando a mujeres?Wakiwapiga wanawake??
27¿Un manifestante atropellado por un policía que iba en moto?Mwandamanaji ambaye alikanyagwa na kupitiwa juu yake na askari anayeendesha pikipiki??
28¿Qué les pasa?Mna shida gani nyie watu?
29¿Quién dio la orden de parar esta protesta de manera violenta y de reprimir el derecho de protestar?Ni nani aliyewapa amri ya kuzuia haya maandamano kwa ukatili na kukandamiza haki ya kuandamana?
30¿Quién dio la orden de parar una concentración democrática que se dirigía a la casa del primer ministro?Ni nani mbaye alitoa amri ili kuzuia mkutano wa hadhara wa kidemokrasia kutofikia nyumba ya Waziri Mkuu?
31¿Quién es el responsable de esta locura?Ni nani aanayehusika na ukichaa huu?
32Andrea Radu copió la publicación de Orly y añadió [he]:Andrea Radu alipandika tena andiko la Orly na kuongeza:
33En la democracia de Medio Oriente, manifestantes pacifistas fueron atropellados, golpeados y detenidos al intentar utilizar su derecho democrático de protestar.Katika nchi pekee ya kidemokrasia katika eneo la Mashariki ya Kati, waandamanaji wa amani wanakanyagwa, wanapigwa na kukamatwa kwa sababu walijaribu kutumia haki yao ya kidemokrasia ya kuandamana.
34Los policías a caballo rodean a los manifestantes #j14 cerca de la residencia del primer ministro en Jerusalén Fotografía: activista #j14 Gali FialkowPolisi wanaoendesha farasi wakiwazingira waandamanaji wa #j14 karibu na makaazi ya Waziri Mkuu jijini Yerusalemu Picha: Mwanaharakati wa #j14 Gali Fialkow
35Tanto la protesta como la crueldad de la policía no recibieron una gran cobertura y los medios israelíes y los activistas se quejaron de las coberturas partidistas.Maandamano na ukatili wa polisi hayakugonga vichwa vya habari za vyombo vya habari vya Israel na wanaharakati walilalamikia habari kutangazwa kiupendeleo.
36Naminag [he], uno de los participantes de la protesta, tuiteó:Naminag ambaye alikuwa katika maandamano alitwiti:
37Ynet [importante sitio web noticioso de Israel, cuyo dueño es Yedhioth Aharonot, junto al Ministro de Finanzas, Yair Lapid] afirma que los policías utilizaron la “fuerza razonable”.Ynet [tovuti kubwa ya habari nchini Israel, inayomilikiwa na Yedhioth Aharonot, mwenye uhusiano wa karibu na Waziri wa Fedha, Yair Lapid] anasema kwamba polisi wa walimumia “nguvu sawia”.
38¿En serio?Kweli?
39Porque yo vi cómo empujaban escaleras abajo a un manifestante, cómo atropellaban a otro con una moto y a otro dándole un cabezazo con un casco.Sababu niliona mwandamanaji akisukumwa chini ya ngazi kadhaa na kubingirita chini, polisi aliyemkanyaga mwandamanaji kwa pikipiki yake na polisi ambaye alikuwa amevaa kofia aliyempiga kichwa mwandamanaji.
40Y todo esto ocurrió antes incluso de que andáramos 100 metros.Na yote haya yalifanyika kabla hata ya kutembea mita 100.
41En Facebook, Barak Cohen, a menudo apodado el “abogado #j14″, comparte este video [he] en el que se aprecia cómo un policía arrastra a un manifestante:Kwenye mtandao wa Facebook, mtumiaji anayejulikana mara nyingi kama ”mwanasheria wa #j14″, Baraka Cohen, anaweka video hii kuonyesha polisi akimburuta mwandamanaji atoke kwenye maandamano:
42También comparte este otro vídeo [he] en YouTube en donde se ve cómo la policía lo arresta por el simple hecho de estar en la acera:Anaweka video nyingine kwenye mtandao wa YouTube kuonyesha polisi akimkamata kwa kusimama tu kwenye upande wa kutembelea: