Sentence alignment for gv-spa-20080926-2888.xml (html) - gv-swa-20081001-25.xml (html)

#spaswa
1Sudáfrica: Amigo, ¿Dónde está la presidencia?Afrika Ya Kusini: Mjomba, Urais Uko Wapi?
2La blogósfera sudafricana acaba de despertar con la reciente noticia de la renuncia de 11 ministros y tres vice ministros, incluyendo al ministro sudafricano estrella, Trevor Manuel y la vice presidenta, Phumzile Mlambo-Ngcuka.Ulimwengu wa wana-blogu wa Afrika ya Kusini umelipuka kutokana na matukio ya havi karibuni kwamba mawaziri 11 na manaibu wao 3 wamejiuzulu, mmojawapo akiwa ni mmoja wa mawaziri wa kutumainiwa kabisa nchini humo, Trevor Manuel, na Makamu wa Rais, Phumzile Mlambo-Ngcuka.
3Acá lo que los bloggers están diciendo…Hebu fuatillia hapa chini kuhusu wanavyosema wanablogu…
4Desde Cape Town Property Bubble…Kutoka Cape Town Property Bubble…
5El Ministro de Finanzas Trevor Manuel está entre los 11 ministros del gabinete y tres vice ministros que han renunciado.Waziri wa Fedha Trevor Manuel ni miongoni mwa mawaziri 11 na manaibu watatu waliotangaza kujiuzulu.
6Sus cartas de renuncia han sido recibidas por el presidente Thabo Mbeki “las que, lamentablemente, ha tenido que aceptar”, dijo la presidencia en una declaración el martes.Barua zao za kujiuzulu zilipokelewa na Rais Thabo Mbeki “ambapo kwa masikitiko makubwa, ilimpasa kuzipokea”, ilisema taarifa kutoka Ofisi ya Rais Jumanne iliyopita.
7En mi propio blog, Waiting in Transit el post “South Africa's Government disbands, WTF?” dice:Katika blogu yangu mwenyewe, Waiting in Transit habari ya “Serikali ya Afrika ya Kusini yaachia ngazi, nini kitafuata?” inaeleza:
8“¿¡¿Qué demonios?!?” es la respuesta de casi todos los sudafricanos en estos momentos mientras la noticia llega gruesa y rápida ahora con la novedad de la renuncia de 11 ministros del gobierno hoy, incluyendo a Trevor Manuel (¡No! ¡No te vayas!), incluyendo a 3 vice ministros.“Hivi, nini kinaendelea?!?” sasa ni aina ya mshtuko unaompata karibu kila raia wa Afrika ya Kusini kutokana na taarifa zinazomiminika kila wakati zikichochewa na kujiuzulu kwa mawaziri 11 siku ya Jumanne, mmojawapo akiwa ni Trevor Manuel (Hapana! Usiachie Ngazi!) na manaibu mawaziri watatu.
9Esto después de que la vice presidenta, Phumzile Mlambo-Ngcuka, renunció ayer diciendo que quiere permitirle al “nuevo presidente” elegir sus propios subdirectores y “razones personales” (Si, claro.)Waziri huyu alijiuzulu baada ya Makamu wa Rais, Phumzile Mlambo-Ngcuka, kujiuzulu siku moja kabla akisema kwamba alitaka kutoa nafasi kwa “rais mpya” kuchagua wasaidizi wake mwenyewe na “sababu binafsi” (Kwa hakika, ni kweli kabisa).
10Los ministros que se han ido son…Mawaziri waliokwishajiuzulu ni pamoja na…
11Vice presidenta, Phumzile Mlambo-Ngcuka; Ministro de Finanzas Trevor Manuel; Ministro de Defensa Mosiuoa Lekota; Ministro en la Presidencia Essop Pahad; Ministro de Inteligencia Ronnie Kasrils; Ministro de Servicios Correccionales Ngconde Balfour; Ministro de Empresas Públicas Alec Erwin; Ministro de Ciencia y Tecnología Mosibudi Mangena; Ministro de Obras Públicas Thoko Didiza; Ministro de Gobierno Provincial y Local Sydney Mufamadi; y Ministra de Servicio Público y Administración Geraldine Fraser-Moleketi.Makamu wa Rais, Phumzile Mlambo-Ngcuka; Waziri wa Fedha Trevor Manuel; Waziri wa Ulinzi Mosiuoa Lekota; Waziri katika Ofisi ya Rais Essop Pahad; Waziri wa Usalama wa Taifa Intelligence Ronnie Kasrils; Waziri wa Huduma za Magereza Ngconde Balfour; Waziri wa Biashara za Umma Alec Erwin; Waziri wa Sayansi na Teknolojia Mosibudi Mangena; Waziri wa Kazi Thoko Didiza; Waziri wa Majimbo na Serikali za Mitaa Sydney Mufamadi; na Waziri wa Utumishi wa Umma na Utawala Geraldine Fraser-Moleketi.
12…y eso no incluye a los tres vice ministros: Vice Ministro de Asuntos Exteriores Aziz Pahad; Vice Ministro de Finanzas Jabu Moleketi; Vice Ministra de Servicios Correccionales Loretta Jacobus.…orodha hiyo haijajumuisha manaibu mawaziri watatu: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Aziz Pahad; Naibu Waziri wa Fedha Jabu Moleketi; na Naibu Waziri wa Huduma za Magereza Loretta Jacobus.
13A raíz de la renuncia del presidente, que fue un golpe suficiente para el país en términos de estabilidad, etc. y ahora esto… Esto es DEVASTADOR. Sin duda, este es el mayor descalabro político en la historia sudafricana.Baada ya kujiuzulu kwa Rais, ambayo peke yake lilikuwa ni pigo kubwa kwa nchi, hasa kuhusu kutengemaa kwake, n.k. sasa tunashuhudia mengine haya … Hiki ni KIMBUNGA cha aina yake.
14Sin duda el Comité Ejecutivo Nacional del Congreso Nacional Africano probablemente se está revolcando en su miasma tras su decisión de expulsar a Mbeki de la presidencia, citando el reciente caso contra Jacob Zuma en el que el caso se rechazó en la corte debido a “interferencia política” (de la que culparon a Mbeki)… Apuesto que no vieron esto venir, o tal vez sí, tal vez esto era lo que querían.Ama kwa hakika, si ajabu kwamba Kamati Kuu ya Taifa ya ANC hivi sasa inajilaumu kwa uamuzi wake wa kumwondoa Mbeki kwenye Urais, wakitumia uamuzi wa hivi karibuni juu ya kesi iliyokuwa ikimkabili Jacob Zuma ambapo mahakama iliitupilia mbali kwa madai kwamba “ilihusishwa na mambo ya siasa” (wakimshutumu Mbeki kuhusika), naamini hawakutarajia mambo tunayoona hivi sasa, au labda walitarajia na huenda hiki ndicho walichokitaka.
15Kgalemo Motlanthe, aliado de Zuma, ya ha sido elegido como presidente encargado pues el otro vice presidente había renunciado, así que ahora tienen la oportunidad de reemplazar a TODO EL MUNDO.Kgalemo Motlanthe, ambaye ni swahiba mkubwa wa Zuma tayari amechaguliwa kuwa Rais wa Kipindi cha mpito, hasa baada ya Makamu wa Rais kujiuzulu, maana yake ni kwamba sasa watapata fursa ya KUWEKA watu wao kwenye kila nafasi.
16No sé qué va a pasar ahora, esto no puede ser bueno para la confianza de los inversionistas en el país, la Corporación Rand muy probablemente nos mande al infierno y ahí se va el Sueño del 2010.Sijui nini kingine kitatokea, jambo hili si zuri kwa upande wa kuinua imani ya wawekezaji nchini, haitashangaza kuona Rand inaporomoka kuliko ilivyowahi kufanya hapo kabla, maana yake tunapeperushia mbali Ndoto ya 2010.
17Negativo, lo sé, de otra manera estoy esperando un milagro.Mambo yote yamekaa vibaya, vinginevyo binafsi nafikiri ni mpaka mwujiza utokee.
18Desde el blog East Coast News Watch…Kutoka katika blogu ya Thee East Coast News Watch…
19El presidente Thabo Mbeki ha presentado documentos en la Corte Constitucional para autorizar agregar su nombre en un formulario para apelar lo resuleto por el juez Chris Nicholson.Rais Thabo Mbeki tayari amewasilisha nyaraka katika Mahakama ya Mambo ya Katiba kuomba ruhusa ili kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa na Jaji Chris Nicholson.
20*Además, lean su discurso de renuncia completo **Hapa unaweza kusoma hotuba yake kamili ya kujiuzulu*
21Mbeki presentó los papeles ayer - un día después de anunciar al país que había renunciado.Mbeki aliwasilisha nyaraka hizo siku moja tu baada ya kulitangazia taifa kwamba amejiuzulu.
22La movida sigue a la declaración de Nicholson acerca del fallo de la Corte Suprema de Pietermaritzburg, que Mbeki y el ex Ministro de Justicia pueden haber interferido en la decisión de juzgar a Jacob Zuma.Hatua hiyo inafuatia tamko la Jaji Nicholson hivi karibuni katika Mahakama Kuu ya Pietermaritzburg kwamba huenda Mbeki na Waziri wa Sheria waliingilia kati katika uamuzi wa kumfikisha mahakamani Jacob Zuma.
23La semana pasada, el gabinete dijo que estaba considerando la posibilidad de tomar acciones legales por los comentarios del juez acerca de la interferencia política.Wiki iliyopita Baraza la Mawaziri lilitamka kwamba lilikuwa likitafakari kuchukua hatua za kisheria dhidi ya tamko hilo la jaji kuhusu uingiliaji wa kisiasa.
24Se entiende que el gabinete también ha interpuesto documentos en la corte.Inasemekana kwamba Baraza hilo nalo limewasilisha nyaraka katika Mahakama hiyo ya Mambo ya Katiba.
25Dispatch Now habla de los planes para un nuevo partido político en Sudáfrica…Dispatch Now anazungumzia mipango ya kuanzishwa kwa chama kipya cha siasa nchini Afrika Kusini…
26La madre del saliente presidente Thabo Mbeki, Epainette, respalda las movidas para dividir el Congreso Nacional Africano (ANC, por sus siglas en inglés) y formar un nuevo partido político escindido.Mama wa Rais Thabo Mbeki anayeondoka madarakani, Epainette, anaunga mkono mipango ya kukigawa chama cha ANC na kuanzisha chama kipya cha siasa.
27Han surgido noticias de los partidarios de Mbeki de formar un nuevo partido político de la escisión, después que el comité ejecutivo nacional del ANC anunciara que había resuelto retirar a Mbeki del cargo.Taarifa za mipango ya wanaomwunga mkono Mbeki za kuunda chama kipya ziliibuka mwishoni mwa juma lililopita baada ya tamko la Kamati Kuu ya Taifa ya ANC kutangaza uamuzi wake wa kumuondoa madarakani Mbeki kutoka katika nafasi ya juu kabisa nchini humo.
28Se cree que el Ministro de Defensa Mosiuoa Lekota, su segundo Mluleki George y el presidente de Gauteng Mbhazima Shilowa están encabezando la campaña para empezar el partido político aún sin nombre.Waziri wa ulinzi, Mosiuoa Lekota, makamu wake Mluleki George na Gauteng Premier Mbhazima Shilowa wanasadikiwa kuongoza juhudi hizo za kupiga kampeni ili kuanzishwa kwa chama hicho kipya ambacho bado hakijapewa jina.
29El domingo George no confirmó ni negó las movidas, y solamente dijo que se haría un anuncio pronto.Mpaka Jumapili iliyopita George hakuwa tayari kuthibitisha au kukanusha tetesi kuhusu juhudi hizo, alisema tu kwamba tangazo lingetoka katika siku za hivi karibuni.
30El lunes, Ma'Mbeki, como se le conoce cariñosamente a la veterana luchadora, dijo que estaba al tanto de los planes y que respaldaba las movidas para dividir el ANC pues no le veía futuro a la organización bajo el mando del actual presidente Jacob Zuma.Mnamo siku ya Jumatatu, Ma'Mbeki, kama anavyojulikana nguli huyu katika medani za siasa za Afrika ya Kusini mwenye umri wa miaka 92 alisema kwamba alikuwa na taarifa kuhusu mipango hiyo na aliiunga mkono ili kukigawa chama cha ANC kwa sababu hana imani na hali ya baadaye ya chama hicho chini ya Rais Jacob Zuma.
31El blog East News Watch también escribió acerca del candidato favorito del ANC para el cargo de presidente, antes que los ministros mencionados arriba renunciaran…Blogu ya The East News Watch Blog pia ilikuwa na taarifa kuhusu mtu aliyekuwa akipendekezwa na ANC kushika nafasi ya urais kabla ya mawaziri waliotajwa hapo kujiuzulu…
32El ANC ha confirmado que su Vice Presidente Kgalema Motlanthe ha sido elegido como el candidato electo del partido para actuar como como el presidente interino del país después de que Thabo Mbeki dejara el cargo el jueves.ANC ilikuwa imetangaza kwamba Makamu wa Rais wa chama hicho Kgalema Motlanthe alikuwa ameteuliwa na chama kushika nafasi ya Rais katika kipindi cha mpito mara baada ya kuondoka Rais Thabo Mbeki mnamo siku ya Alhamis.
33Jessie Duarte del ANC dice que mientras que el parlamento deba votar hoy todavía sobre el tema - esto será solamente una formalidad.Kiongozi mwandamizi wa ANC Jessie Duarte alisema kwamba ingawa Bunge lilikuwa bado kupiga kura lakini kwa hakika hiyo ilikuwa ni utaratibu tu.
34“El señor Kgalema Motlanthe es el candidato elegido del ANC para ser el próximo presidente de la República de Sudáfrica.“Bw Kgalema Motlanthe ndiye chaguo la ANC kuwa Rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kusini.
35Probablemente prestará juramento inmediatamente después que tenga efecto la renuncia del presidente Mbeki el 25 de setiembre.”Bila shaka ataapishwa mara moja baada ya kujiuzulu kwa Rais Thabo Mbeki na kuanza majukumu yake rasmi tarehe 25 Septemba.”
36En estos momentos, muchos sudafricanos están en un shock total en cuanto a los hechos que se desarrollan delante de sus ojos, sobre qué depara el futuro, nadie sabe, todo lo que sabemos es que ahora, la gente está asustada en cuanto al resultado de esta situación.Raia wengi wa Afrika ya Kusini wamegubikwa na mshtuko kutokana na matukio yanayotokea hivi sasa mbele ya macho yao, hakuna ajuaye nini kitaendelea baadaye, wengi wana mashaka na hatma ya mambo yote haya.
37La foto de arriba “Parlamento sudafricano en Ciudad del Cabo” es de Nick Boalch y es publicada bajo una licencia “de atribución no comercial y no derivativa” de Creative Commons.Picha iliyoko juu ya majumba ya Bunge la Afrika ya kusini huko Cape Town imepigwa na Nick Boalch na inatumika kupitia hati miliki za umma.