Sentence alignment for gv-spa-20141101-259076.xml (html) - gv-swa-20141031-8352.xml (html)

#spaswa
1Mintieron hasta que murió: Zambia reconoce enfermedad del presidente justo antes de su muerteWalidanganya Mpaka Amefariki: Serikali ya Zambia Yakiri Ugonjwa wa Rais Mauti Yalipomkaribia
2La Corte Suprema de Zambia se reserva la resolución en caso de petición presidencial, 17 de febrero de 2009. Foto de Harrison Tuntu.Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Zambia kwa Kesi ya Kulalamikia matokeo ya Urais wa Rais, Februari 17, 2009, picha na Harrison Tuntu.
3Lusaka, Zambia.Lusaka, Zambia.
4Demotix.Demotix.
5A los zambianos los dejaron en la oscuridad con respecto a la enferdedad de su líder, y estuvieron más molestos que impactados al enterarse estos dias que el quinto presidente del país, Michael Sata, conocido como Rey Cobra, murió en Londres el 28 de octubre.Wakiwa gizani wasijue maradhi yanayomsibu kiongozi wao, wa-Zambia walipatwa na hasira na kushangazwa na habari zilizotolewa na serikali juma hili kwamba rais wa tano wa nchi hiyo, Michael Sata, anayefahamika kwa jina la King Cobra, alikuwa ameaga dunia jijini London mnamo Oktoba 28.
6El gobierno reconoció, muy recientemente, que el presidente estaba enfermo, y esperando hasta el 20 de octubre, cuatro días antes de los 50 años del Día de la Independencia de Zambia, cuando Sata debió ser evacuado a Gran Bretaña para tratamiento médico de emergencia.Serikali ilikiri hivi majuzi kwamba rais alikuwa mgonjwa, habari zilizotolewa Oktoba 20, siku nne kabla ya sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa Zambia, ambapo Sata alikuwa amesafirishwa kwenda Uingereza kwa ajili ya matibabu ya dharura.
7En ese momento, el palacio presidencial simplemente declaró:Wakati huo, ikulu ya rais ilieleza kirahisi:
8Su Excelencia, señor Michael Chilufya Sata, presidente de la República de Zambia, partió anoche el extranjero para un chequeo médico. […] La primera dama, doctora Christine Kaseba, algunos familiares y su asistente de prensa han acompañado al Jefe de Estado.Mheshimiwa Michael Chilufya Sata, Rais wa Jamhuri ya Zambia, usiku wa jana aliondoka nchini kwa ajili ya kuchunguza afya yake ng'ambo […] mke wa rais Dk Christine Kaseba, baadhi ya wanafamilia na msaidizi wake wa hotuba wameongozana na Mkuu wa Nchi.
9Este no era el primer viaje del presidente fuera del país para reunirse con médicos extranjeros, pero fue la primera vez que funcionarios del estado admitieron las necesidades médicas de Sata.Hii haikuwa ziara ya kwanza ya Rais nje ya nchi kukutana na madaktari wa kigeni. lakini ilikuwa ni mara ya kwanza kwa maafisa wa serikali kukiri kwamba Rais alikuwa anapata matibabu.
10Con anterioridad, su gobierno había negado rumores de miembros del gabinete sobre su deteriorada salud, y sostenían que Sata estaba bien y ocupado con su trabajo.Awali, serikali ilikanusha tetesi zilizokuwa zikienezwa na baadhi ya mawaziri kuhusiana na kuzorota kwa afya yake, ikisema kwamba Sata alikuwa imara na akiendelea na kazi.
11A comienzos de este año, el gobierno le dijo a periodistas que Sata pasó unas vacaciones de trabajo en Israel, aunque los medios israelíes informaron después que estaba ahí para recibir tratamiento médico.Mapema mwaka hu, serikali iliwaambia waandishi wa habari kwamba Sata alikuwa kwenye mapumziko ya kikazi nchini Israel, ingawa vyombo vya habari vya Israeli baadae viliandika kwamba alikuwa kule kupata matibabu.
12Las curiosas relaciones públicas del gobierno zambiano no han pasado desapercibidas en los medios sociales.Kazi iliyokuwa ikifanywa na Idara ya Mahusiano ya umma ya serikali ya Zambia haikupita hivi hivi.
13En Facebook, B.M. Jermaine Sikombe reprodujo la imprecisa declaración del palacio presidencial que anunciaba el fallecimiento de Sata.Kwenye mtandao wa Facebook, B.M. Jermaine Sikombe alinukuu tamko lisiloeleweka lililotolewa na ikulu ya rais kutangaza kifo cha rais.
14Sikombe se burló de la redacción, y pidió a los funcionarios que asuman responsabilidad por dejar al público tristemente desinformado:Sikombe aligeuza geuza maneno, na kutoa wito kwa maafisa wa serikali kuwajibika kwa kuudanganya umma.
15Como saben su Excelencia, señor Michael Chilufya Sata, presidente de la República de Zambia, ha estado recibiendo tratamiento médico en Londres, en el Reino Unido.KAMA MNAVYOFAHAMU, MHESHIMIWA MICHAEL CHILUFYA SATA, RAIS WA JAMHURI YA ZAMBIA AMEKUWA AKIPATA MATIBABU JIJINI LONDON, UINGEREZA
16Salió de Zambia con la primera dama y otros miembros cercanos de la familia el 20 de octubre de 2014.AMEONDOKA ZAMBIA AKIWA NA MKE WA RAIS NA WANAFAMILIA WENGINE MNAMO OKTOBA 20, 2014.
17Sin embargo, con el corazón apesadumbrado me dirijo a ustedes hoy, para informar al país que nuestro amado presidente y líder, su Execelencia, señor Michael Chilufya Sata, ha fallecido.HATA HIVYO, NINA HUZUNI KUBWA KWA KUZUNGUMZA NANYI LEO, KULITAARIFU TAIFA KWAMBA RAIS WETU KIPENZI, MHESHIMIWA MICHAEL CHILUFYA SATA AMETUTOKA.
18Sikombe escribe:Sikombe anaandika:
19Y entonces, se puede decir sin ninguna emoción, en un anuncio desorganizado, el anuncio comienza … “Como saben su Execelencia, señor Michael Chilufya Sata…”.Kisha mtu asiye na hisia yoyote na katika tamko lisilopangiliwa vizuri anaanza tamko ….hivi “KAMA MNAVYOFAHAMU, MHESHIMIWA RAIS MICHAEL CHILUFYA SATA,…..”.
20¿Qué sabíamos, quién nos dijo que estaba en Londres? - ¿podemos a partir de ahora parar esta palabrería?tulijua nini na nani alituambia yuko London -jamani si tuache ujinga?
21En su página de Facebook, Emmanuel Mwamba, exportavoz del segundo presidente de Zambia, el fallecido Frederick Chiluba, escribió:Kwenye ukurasa wake wa Facebook, Emmanuel Mwamba, msemaji wa zamani wa rais wa pili wa Zambia marehemu Frederick Chiluba, aliandika:
22Cuando los zambianos enfrentaron las tristes imágenes de un presidente frágil y claramente indispuesto en abril de 2014, lo que inmediatamente provocó sentimientos de preocupación y ansiedad, los funcionarios del gobierno restaron importancia a las preocupaciones.Wa-Zambia waliposumbuliwa na picha mbaya za Rais aliyeonekana wazi ni mdhoofu mwezi Aprili 2014, zilizoibua hisia za wasiwasi na mashaka, maafisa wa serikali hawakuonesha kujali.
23El ministro de Asuntos Exteriores, Harry Kalaba, emitía con frecuencia declaraciones absurdas a Radio Fénix como “los líderes de la oposición que cuestionan la salud del presidente Sata son maliciosos”.Waziri wa Mambo ya Nje Harry Kalaba mara kwa mara alitoa matamko ya kijinga kwenye kituo cha Radio Phoenix kama vile “Viongozi wa upinzani wanaohoji afya ya rais Sata wanaongozwa na chuki”.
24“Sata vivirá más que sus enemigos que le desean la muerte”, “el presidente Sata está disfrutando lo mejor de su salud”.“Sata atawashinda maadui zake wanaotamani apoteza maisha”, “Rais Sata anafurahia afya yake imara”.
25Fue preocupante la manera en que el presidente Sata fue trasladado a Sudáfrica, India, Reino Unido e Israel en una manera hermética y silenciosa.Kilicholeta wasiwazi ni namna Rais Sata alivyozungushwa nchi mbali mbali, Afrika Kusini, India, Uingereza na Israeli kwa usiri mkubwa na hali ya dharura.
26Recientemente, el país estuvo con el alma en vilo cuando el presidente Sata inauguró la cuarta sesión del Parlamento el 19 de setiembre de 2014.Hivi karibuni lilizizima pale rais sata alipofungua mkutano wa nne wa Bunge mnamo Septemba 19, 2014.
27Se le veía seriamente indispuesto.Alionekana kuudhoofu sana.
28Sata desapareció del ojo público el pasado junio, después de reunirse con una delegación de importantes funcionarios chinos.Sata alitoweka hadharani mwezi Juni, baada ya kukutana na ujumbe wa maafisa wa China.
29Reapareció brevemente en la inauguración oficial de la sesión parlamentaria 2014-2015, donde no pudo leer su discurso ya preparado.Alionekana tena kidogo wakati wa kufungua mkutano wa bunge wa 2014-2015, ambapo alishindwa kusoma hotuba iliyoandaliwa.
30Luego viajó a Nueva York para aparecer ante la Asamblea General de las Naciones Unidas, pero perdió el turno que se le asignó para dar su discurso.Baadae alisafiri kwenda New York kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, lakini alishindwa kuonekana wakati aliopangiwa kuhutubia ulipofika.
31Las declaraciones públicas de los funcionarios zambianos también fueron igualmente engañosas sobre la salud de Levy Mwanawasa, el tercer presidente del país, que murió en funciones por un infarto en 2008.Matamko ya maafisa wa Zambia yalipotosha ukweli kuhusu afya ya Levy Mwanawasa, rais wa tatu wa nchi hiyo, alipoteza maisha akiwa madarakani kwa kiharusi mwaka 2008.
32Mientras Mwanawasa estaba en una cama de hospital, su vicepresidente, Lupando Mwape, dijo a los medios que el presidente estaba trotando en Londres.Wakati Mwanawasa akiwa amelazwa hospitali, makamu wake Lupando Mwape, aliwaambia waandishi wa habari kwamba rais walikuwa anafanya mazoezi ya viungo jijini London.
33En junio de 2008, el presidente Mwanawasa colapsó en una reunión de la Unión Africana en Egipto.Mwez Juni 2008, Rais Mwanawasa alianguka akiwa kwenye mkutano wa Umoja wa Afrika nchini Misri.
34Lo llevaron a Francia, donde murió varias semanas después.Aliwahishwa Ufaransa, ambako alifariki dunia majuma kadhaa baadae.