Sentence alignment for gv-spa-20150407-280760.xml (html) - gv-swa-20150408-8631.xml (html)

#spaswa
1Los 147 muertos en el ataque de Garissa son más que estadísticasWatu 147 Waliouawa Garissa Ni Zaidi ya Takwimu
2“Vidas apagadas demasiado pronto”. Captura de pantalla del periódico independiente Daily Nation (@DailyNation) con fotos de las víctimas del ataque en Garissa, publicada en Twitter.Picha ya gazeti huru la Daily Nation (@DailyNation) ikiwa na picha za wahanga wa shambulio la Garissa, iliyosambaa kwenye mtandao wa Twita.
3La cobertura de los medios internacionales y locales del ataque en la Universidad de Garissa, donde murieron al menos 147 personas a manos de las milicias de Al-Shabaab, ha sido fuertemente criticada.Habari zilizochukua nafasi ya mbele kwenye vyombo vya habari vya kimataifa na vile vya ndani ya nchi kuhusiana na shambulio la kigaidi lililofanywa na wanamgambo wa Al-Shabaab kwenye Chuo Kikuu cha Garissa, lililosababisha vifo vya watu 147, zimepata ukosoaji mkali.
4Mientras los nombres de los atacantes han sido ampliamente publicados, las víctimas se han visto a menudo reducidas a un número: 147.Wakati majina ya washambuliaji yakichapishwa sana, wahanga wa tukio hilo wamekuwa wakitajwa kwa tarakimu pekee: 147.
5En respuesta, los kenianos en línea han hecho esfuerzos para poner nombres y rostros a las víctimas de esta barbarie de violencia.Katika kujaribu kufanya tofauti, wananchi wa Kenya mtandaoni wamefanya jitihada kubwa za kutangaza majina na sura za marehemu waliopoteza maisha yao kufuatia shambulio hilo.
6En el blog Africa is a Country (África es un país), el autor keniano Binyavanga Wainaina dijo que Kenia “no es una nación si no podemos conmemorar adecuadamente a cada uno de los ciudadanos que perdemos”:Akiblogu kwenye blogu iitwayo Afrika ni Nchi, mwandishi wa Kenya Binyavanga Wainaina alisema Kenya “haitakuwa taifa kama hatutaweza kupeana heshima zinazostahili kwa raia wanaopoteza maisha yao”:
7Quiero ver los nombres, edades y fotografías de quienes murieron en Mpeketoni.Ninataka kuona majina na umri na picha za wale wote waliopoteza maisha yao kwenye shambulizi la Mpeketoni.
8De los que mataron durante la violencia poselectoral de 2007-2008.Wle waliouawa wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi.
9Historias.Nataka habari zilizokamilika.
10Olvidar no es bueno.Kusahau si jambo jema.
11Es en estas acciones que nuestros imaginarios comunes se reavivan.Ni kupitia matendo haya, ubinadamu wetu unahuishwa.
12La política de decir que no estamos listos para enfrentarnos a nosotros mismos, la integridad de nuestro dolor, es la misma política que nos permite ignorarlo cuando un keniano despoja a la institución que le encargan dirigir, la deja seca, seca y regresa como un zombi, un zombi con una banda elástica de plástico con nueva forma, para gobernar de nuevo en otro lugar.Siasa za kusema hatuko tayari kuwajitazama, uchungu mkubwa, ni siasa zinazoturuhusu kupuuza pale m-Kenya anapoharibu taasisi aliyoipewa kuiongoza, na kuiharibu vibaya, kisha kurudi tena, akiwa mithili ya roboti, aina mpya ya roboti kutawala sehemu nyingine tena.
13Continuó:Aliendelea:
14Quiero ver a tres millones de nairobianos inundar las calles para gritar, cantar y abrazarse porque han matado a nuestros hijos.Ninataka kuona wakazi milioni tatu wa Nairobi wakiingia mtaani kulia, kuimba na hata kukumbatiana kwa sababu watoto wetu wameuawa.
15Quiero dejar de sentir que vivimos en gran parte dentro de lo privado.Ninataka kuacha kujisikia kwamba tunaishi kwa uhuru wa ndani ya nafsi zetu.
16No quiero volver a escuchar la palabra autoempoderamiento.Nataka kuacha kusikia neno kujiwezesha kwa mara nyingine.
17En Twitter, Ory Okolloh Mwangi explicó por qué es importante en la cultura africana nombrar a las víctimas:Kwenye mtandao wa Twita, Ory Okolloh Mwangi alieleza kwa nini ni muhimu katika utamaduni wa Kiafrika kuwataja kwa majina wahanga:
18Nombrar y las ceremonias de nombrar son muy importantes en la cultura africana.Kumtaja marehemu kwa jina lake ni jambo kubwa kwenye utamaduni wa Afrika.
19Significa vida pasada, presente, futura. Y así los llamaremos por su nombre uno por uno.Ni kitendo cha kuyapa maisha maana inayostahili iwe kabla, hivi sasa na kwa siku zijazo.
20Con la finalidad de humanizar a las víctimas, algunos usuarios de Twitter han tuiteado la etiqueta #147notjustanumber [147 no es solamente un número] para difundir sus nombres y fotos:Na tutawaja kwa majina mmoja baada ya mwingine. Ili kuweza kuwafanya wahanga kupata hadhi ya ubinadamu, baadhi ya watumiaji wa mtandao wa Twita wame-twiti alama habari ya #147notjustanumber yenye maana ya #147sitarakimutu ili kujaribu kuwataja marehemu kwa majina yao pamoja na picha:
21QEPD Elizabeth Nyangarora.Apumzike kwa amani Elizabeth Nyangarora.
22Se graduó en 2012 del colegio de secundaria de mujeres St Andrews Kanga.Alihitimu mwaka 2012 Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mt. Andrew
23Este es Tobias, murió en el ataque a Garissa; para nosotros no es solamente un número, es un hijo, hermano, amigo.Huyu ni Tobias, aliuawa kwenye shambulio la Garissa; kwetu yeye si tarakimu, ni mwana, kaka, rafiki
24QEPD Ivy Betty Wanjiku (Shiko), estudiante de primer año.Apumzike kwa amani Ivy Betty Wanjiku (Shiko) mwanafunzi wa mwaka wa kwanza aliyeuawa kwenye shambulio la Garissa
25Angela ‘Ka/Jojo' Kimata Githakwa, exalumna del colegio de secundaria de mujeres Karima, año 2011.Angela ‘Ka/Jojo' Kimata Githakwa. Alimaliza Shule ya Sekondari ya Wasichana Karima mwaka 2011
26Conservarmos sus recuerdos en nuestros corazones para siempre.Tutaendelea kuwakumbuka mioyoni mwetu daima.
27Por favor, sigan enviando sus biografías y fotos.Tafadhali endelea kutuma wasifu na picha zao
28Mientras los atacantes tienen titulares y sus nombres viven en la inmortalidad, sus víctimas son olvidadas como simples estadísticas.Magaidi wanapoandikwa sana na majina yao yakionekana kuendelea kuwa hai, wahanga wa ugaidi wao wanasahaulika kama tarakimu tu
29@Reclvse escribió que se trata de vidas y no de estadísticas:@Reclvse aliandika kwamba hatua hii inahusiana na na uhai wa binadamu na sio tarakimu:
30Me gusta que los kenianos estén mencionando nombres y contando historias de las víctimas del ataque en Garissa para asegurarse de que 147 no es solamente un número.Ninapenda namna wa-Kenya wanavyotaja majina na kusimulia wasifu wa wahanga wa shambulio la Garissa kuhakikisha kwamba hawabaki kuwa tarakimu pekee.
31Vidas, no estadísticas.Marehemu hawa ni binadamu, sio takwimu tu
32Por su parte, @lunarnomad habló de la intención detrás de la etiqueta:@lunarnomad alizungumzia kuhusu lengo la kampeni hiyo:
33Ya me cansé de ver imágenes sangrientas en los medios referidas a Garissa.Nimechoka kuona picha za marehemu wakitapakaa damu kufuatia shambulio la Garissa.
34Revisen 147 no es solamente un número para ver a los humanos detrás de las balas.Angalia alama habari ya #147sitarakimutu ili kuona binadamu walioathirika na risasi hizo
35Mary Njeri Mburu tuiteó:Mary Njeri Mburu alitwiti:
36Espero que los medios impresos publiquen obituarios gratuitos para las víctimas del ataque en Garissa como hicieron después de Westgate.Ninaamini magazeti yataruhusu matangazo ya bure ya vifo kwa wahanga wa shambulio la Garissa kama walivyofanya baada ya lile la Westgate
37Eunice pubilcó un proverbio keniano, bajo otra etiqueta -#KenyanLivesMatter [Las vidas kenianas importan], un giro del movimiento #BlackLivesMatter [Las vidas negras importan] en Estados Unidos:Eunice aliweka mithali ya ki-Kenya, kwa kutumia alama habari tofauti- #KenyanLivesMatter [Maisha ya wa-Kenya yana thamani], sawa sawa na kampeni ya #BlackLivesMatter nchini Marekani:
38Un hombre que usa la fuerza tiene miedo de razonar.Mtu atumiaye nguvu anaogopa kutumia akili.
39~Proverbio keniano.~Methali ya ki-Kenya.
40Mis pensamientos están con ustedes.Tuko pamoja katika kipindi hiki kigumu