Sentence alignment for gv-spa-20120822-136016.xml (html) - gv-swa-20120820-3828.xml (html)

#spaswa
1Arabia Saudita: detienen a activista Reema Al Joresh en el día del EidSaudi Arabia: Mwanaharakati Reema Al Joresh Atiwa Kizuizini katika Sikukuu ya Idi
2La activista y tuitera saudita, Reema Al Joresh [ar], fue detenida por un breve periodo de tiempo a primera hora de la mañana del día 19 de agosto de 2012, cuando iba de camino a una mezquita para celebrar el Eid al-Fitr, la festividad musulmana que sigue al Ramadán.Mwanaharakati wa Ufalme wa Saudia ambaye pia ni mtumiaji Twita, Reema Al Joresh, alitiwa mbaroni kwa muda mfupi mapema leo [19 Agosti 2012] wakati alipokuwa anaelekea kwenye msikiti kusherehekea Sikukuu ya Idi el Fitr - ambayo ni maalumu kwa Waislamu mara baada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
3Al Joresh ha criticado abiertamente las detenciones arbitrarias del Ministerio de Interior saudita.Al Joresh ni mkosoaji mkubwa dhidi ya wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi kwa kuwekwa watu kiholela kizuizini.
4Además, su esposo lleva detenido ocho años sin juicio alguno.Aidha, yeye ni mke wa mfungwa ambaye amekuwa kizuizini kwa miaka nane bila ya kufunguliwa mashtaka.
5Reema estaba planeando dar unos 500 regalos que contenían una carta dirigida [ar] a despertar conciencias sobre el tema de los arrestos arbitrarios en Arabia Saudita. A las 5:11 a.m. (hora saudita), Al Joresh tuiteó [ar]:Alikusudia kutoa zawadi zipatazo 500 pamoja na barua ya kukuza uelewa wa watu kuhusu suala la kukamatwa kwa watu kiholela nchini Saudi Arabia.
6Saludos, la policía me ha arrestado a mí y a mis hijos.Saa 5:11 alfajiri (saa za Saudia), Al Joresh alituma twiti:
7Foto subida a Twitter por Reema Al Joresh mientras escribía: Hemos sido arrestadosHamjambo? Polisi wamenitia mbaroni mimi na watoto wangu.
8Inmediatamente, tuiteros sauditas comenzaron una etiqueta para expresar su frustración respecto a la noticia.Picha imewekwa na Reema Al Joresh wakati akituma twiti: Sisi tumekamatwa [ar]
9Abdulaziz al-Shihri tuiteó:Abdulaziz al-Shihri alitwiti:
10“La policía secreta no tiene ni la generosidad preislámica ni la ética postislámica.“Askari kanzu hawana si tu ukarimu uliokuwepo kabla ya Uislamu, bali hata maadili ya baada ya kuwepo Uislamu.
11Dios, permítenos vivir -como a los egipcios- sin ellos.”Ee Mungu, hebu tupumzishe - kama Wamisri -kwa kuwaondolea mbali hawa “
12Mohammad al-Ogaimi añadía:Mohammad al-Ogaimi aliongezea:
13Tenía 800 seguidores, ahora son unos 2100.Alikuwa na wafuasi 800 wa Twita, sasa anao 2100.
14Vuestra opresión hará que sus voces lleguen más lejos.Pamoja na ukandamizaji wenyu, sauti zao zitakwenda mbali zaidi.
15El comentario hace referencia al número de seguidores que Al Joresh tenía en Twitter.Picha ya ukurasa wa Twita wa Al Joresh ukionyesha idadi ya wafuasi alio nao kwenye Twita
16En el momento de escribir este artículo, se habían multiplicado hasta los 3500 y el número seguía subiendo.Maoni hayo yanahusu idadi ya wafuasi alikuwa nao Al Joresh kwenye Twita.
17Captura de pantalla con el número de seguidores de Al Joresh en TwitterWakati wa kuandika posti hii, walikuwa wameongeza na kufikia karibu 3500 huku wakiendelea kuongezeka.
18Cuando Reema fue puesta en libertad, escribió una serie de tuiteos en los que explicó lo qué había ocurrido:Wakati Reema alipoachiliwa, aliandika mfululizo wa twiti kueleza yaliyotokea:
19A las 4:30 a.m., salí hacia la mezquita Eid con mis regalos.Saa 10:30 alfajiri, mimi nilielekea kwenye msikiti wa Eid na zawadi zangu.
20A unos 100 m de mi casa, un coche intentó detenernos y nos apuntaron con ametralladoras.Mita 100 kutoka kwenye nyumba yangu, gari lilijaribu kutuzuia na wakatuelekezea bunduki.
21Mi hija Sara les dijo: “¿Han secuestrado a mi padre y ahora vienen a secuestrarnos a nosotros?”.Binti yangu Sara akawaambia: “Mmemuiba baba yangu na sasa mmekuja kutuiba sisi?”.
22Trataron de hacer callar a mi [otra] hija Marya, que estaba llorando.Walijaribu kumnyamazisha binti yangu [mwingine] Marya, ambaye alikuwa analia.
23Sacaron del coche a mi hijo Mo'ath y al chofer, y un agente de policía intentó quitarme el móvil, pero Mo'ath le dijo que no me tocara […] cogieron los regalos y […] un policía se sentó en el asiento delantero y dijo al conductor que fuera a la Dirección General de Inteligencia en Buraidah.Walimtoa mwanangu Mo'ath na dereva nje ya gari kisha polisi alijaribu kuchukua simu yangu, lakini Mo'ath alimwambia asiniguse hata chembe […] walichukua zawadi na […] polisi alikuja katika kiti cha mbele na alimwamuru dereva kuelekea katika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi huko Buraidah.
24Durante una hora, me interrogaron y registraron las cajas en busca de explosivos […] Me dijeron que escribiera mi confesión.Kwa saa moja, walinihoji na kujaribu kutafuta mabomu ndani ya yale masanduku […] Walinitaka niandike kukiri kwangu makosa.