Sentence alignment for gv-spa-20150208-272184.xml (html) - gv-swa-20150208-8521.xml (html)

#spaswa
1Boko Haram mata al menos 81 civiles en Fotokol, en el norte de CamerúnBoko Haram Yaua Watu Wasiopungua 81 Huko Fotokol, Cameroon Kaskazini
2Frontera norte de Camerún, donde opera Boko HaramMpaka wa Cameroon Kaskazini, ambako where Boko Haram hufanya kazi zao
3El 4 de febrero de 2015, Boko Haram realizó un ataque particularmente macabro en el pueblo de Fotokol en el norte de Camerún, en la frontera nigeriana.Mnamo Februari 4, Boko Haram walifanya shambulio baya kwenye mji wa Fotokol Kaskazini mwa Cameroon, baada tu ya kuvuka mpaka wa Naijeria.
4Se teme que la cifra de civiles muertos alcance el centenar, hasta ahora el Ministerio de Defensa ha confirmado la muerte de 81 personas.Mamia wa raia wanahofiwa kupoteza maisha 81 wamethibitika kufa na Wizara ya Ulinzi.
5La Organización local de Derechos humanos cree que cerca de 370 civiles resultaron muertos.Shirika la Haki za Binadamu nchini humo linaamini kwamba karibu watu 370 wameuawa.
6Testimonios locales mencionan la presencia de decenas de cadáveres degollados en las calles.Mashuhuda wa tukio hilo wanasema kwamba miili kadhaa ilipatikana kwenye mitaa ikiwa imechinjwa makoromeo.
7El pueblo de Fotokol ha sido escenario de batallas entre Boko Haram y las fuerzas armadas de Camerún y Chad recientemente: marzo de 2014, agosto de 2014 y octubre de 2014.Mji wa Fotokol umekuwa ukikabiliwa na vita kati ya Boko Haram na majeshi ya Cameroon na Chadi kwa siku za hivi karibuni: Machi 2014, Agosti 2014 na Oktoba 2014.
8La bloguera camerunense Noelle Lafortune reporta que el ataque señala que Boko Haram podría estar perdiendo terreno en la región:Mwanablogu wa Cameroon Noelle Lafortune anaripoti kwamba shambulio hilo linaonesha kwamba Boko Haram inaweza kuwa inaanza kupoteza nguvu katika eneo hilo:
9En el frente, la duda podría estar cambiando de lado.Kwenye mstari wa mbele, wasiwasi unakumba pande zote.
10La entrada en escena del ejército chadiano en apoyo a las fuerzas armadas camerunenses y nigerianas parece ser decisiva, dado el pánico que se apoderó de Boko Haram.Kujitokeza kwa jeshi la Chadi uunganisha nguvu na majeshi ya Camerron na Naijeria kuonekana kuwa na maamuzi sasa, imeleta hali ya tahayaruki kwa kikundi hicho cha kigaidi cha Boko Haram.
11El poder de fuego de las fuerzas de la coalición ha derrotado a Shekau (jefe de Boko Haram) y su banda.Mapigano ya majeshi hayo ya pamoja yalimng'oa Shekau (kiongozi wa Boko Haram) na genge lake.