Sentence alignment for gv-spa-20130930-208254.xml (html) - gv-swa-20130924-5733.xml (html)

#spaswa
1Blogueando por la libertad en el Dia Nacional de Arabia SauditaBlogu na Uhuru wa Saudi Arabia
2Arabia Saudita conmemora su Día Nacional el 23 de septiembre.Saudi Arabia huadhimisha Sikukuu ya Kitaifa ya Uhuru tarehe 23, Septemba.
3Aunque es un día en que el pueblo celebra más a la monarquía que al propio pais, los dos días nacionales anteriores fueron diferentes.Wakati kwa kawaida hii huwa ni siku ya watu kusherehekea ufalme wa nchi hiyo kuliko nchi yenyewe, miaka miwili iliyopita imekuwa tofauti kidogo.
4Los sauditas, con el uso de las redes sociales y los blogs, tuvieron la oportunidad de expresarse libremente -blogueando sus esperanzas por una nación que respete y acepte a su pueblo y sus aspiraciones.Wa-Saudi, kwa kutumia mitandao ya kijamii na blogu, wamekuwa na nafasi ya kujieleza kwa uhuru -wakiblogu matumaini yao kwa taifa linaloheshimu na kuthamini watu wake na matarajio yao.
5El médico y escritor, Bader Al-Ibrahim escribió:Mwandishi na Daktari, Bader Al-Ibrahim aliandika:
6La celebración de carnaval no es suficiente para reforzar el sentido nacional de pertenencia en la ausencia de una memoria popular, una identidad conjunta e instituciones que patrocinen la ciudadanía.Sherehe hizo za kitaifa hazitoshi kuhamasisha hisia za utaifa wakati kumbukumbu muhimu hazipo, utambulisho wa pamoja na taasisi zinazofadhili uraia hazipo.
7El defensor jordano de los derechos humanos, Fadi Al-Qadi, tuiteó:Mtetezi wa Haki za Raia wa Jordan, Fadi Al-Qadi, alitwiti:
8Abdullah Al-Hamed y sus colegas en ACPRA están pasando su Día Nacional Saudita en prisión.Abdullah Al-Hamed na wafanyakazi wenzake katika shirika la ACPRA wanatumia siku ya maadhimisho ya uhuru wa Saudia wakiwa gerezani.
9Una de las acusaciones es “impedimento al desarrollo” mientras que la acusación al demandante es “impedimento a la humanidad”.Mojawapo ya mashitaka ni “kukwaza maendeleo” wakati mtawala anashitakiwa kwa “kukwaza utu”.
10El escritor Abdullah Al-Malki tuiteó:Mwandishi Abdullah Al-Malki alitwiti:
11En nuestro Día Nacional, recordamos a ACPRA, Al-Hamed, Al-Qahtani, Al-Bjadi, Tawfeeq Al-Amer, Al-Mnasif y los reformistas de Yeda y a todo el que ha luchado por la reforma y pregreso de este país.Siku yetu ya Uhuru, tunakumbuka ACPRA, Al-Hamed, Al-Qahtani, Al-Bjadi, Tawfeeq Al-Amer, Al-Mnasif na Jeddah ambao ni wanaharakati wa mabadiliko pamoja na wengine wote waliopigana kwa ajili nchi hii kubadilika na kufanikiwa.
12La paz sea con ustedes.Amani iwe kwenu.
13While Eman Al-Qaffas acotó:Wakati Eman Al-Qaffas anabaini:
14Quien quiera que piense que amar a tu país es amar a tu gobierno, es una persona que no ama al país.Yeyote anayedhani kuipenda nchi yake maana yake ni kuipenda serikali yako ni mtu asiyeipenda nchi.
15Y Rehab Al-Hamdan agregó:Na Rehab Al-Hamdan anaongeza:
16El pueblo está ahora más consciente.Watu wameelimika sasa.
17Ya las palabras vacías no los engañan.Hawadanganyiki kwa maneno matupu tena.
18Muchos blogueros compartieron sus opiniones sobre el Día Nacional desde diferentes perspectivas.Wanablogu wengi walitoa maoni tofauti kuhusu siku hiyo ya uhuru.
19Sultan Al-Amer, escritor y bloguero, escribió [ar] desde el punto de vista de un árabe nacionalista:Sultan Al-Amer, mwandishi na mwanablogu, aliandika kwa mtazamo wa kizalendo wa Kiarabu:
20Nuestra historia nacional como árabes no está restringida por las fronteras e historia de Arabia Saudita.Historia ya taifa letu kama Waarabu haijafungwa na mipaka na historia ya Saudi Arabia.
21Nuestra historia nacional es la del pueblo que vive entre el Golfo y el Océano [Atlántico], no solamente la historia del régimen.Historia ya taifa letu ni kwamba watu wanaoishi kati ya Ghuba na bahari [Atlantic] na sio historia ya tawala mbalimbali tu.
22El significado de “un país” no puede ser celebrado hasta que esté plasmado en los derechos y libertades políticas.Maana ya “nchi” haiwezi kusherehekewa mpaka iwe imefungamanishwa na haki za kisiasa na uhuru.
23Los regímenes de gobierno pueden construir fácilmente una fuerte legitimidad si comienzan a defender y apoyar las causas del pueblo y a responder a sus esperanzas y aspiraciones.Tawala zilizomadarakani zinaweza kujenga uhalali kama zitaanza kutetea na kuungana na misimamo ya watu wake na kujibu matumaini yao na ndoto walizonazo.
24Por su parte, el periodista y escritor nacionalista, Abdullah Al-Duhailan, blogueó criticando a dos tipos de personas.Wakati mwandishi mwingine wa habari mzalenzo, Abdullah Al-Duhailan, aliblogu akikosoa aina mbili za watu.
25Una es la élite intelectual, que se niega a celebrar ese día hasta que todas las exigencias políticas y civiles sean atendidas.Moja ni tabaka la wasomi wanaokataa kusherehekea siku hiyo mpaka matakwa yote ya kisiasa na kiraia yatekelezwe.
26La otra es la mayoría de las personas, qe respondieron a la propaganda en los medios y celebraron a cierta gente en lugar del país.Wengine ni idadi kubwa ya watu wanaoshabikia propaganda za vyombo vya habari na kujikuta wakisherehekea watu fulani badala ya nchi yenyewe.
27Las familias de los detenidos vio este día como una oportunidad para crear conciencia acerca de su causa.Familia za watu waliowekwa kizuizini wanaiona siku hii kama nafasi ya kukuza uelewa kuhusu malengo yao.
28Grupos activistas anónimos @e3teqal [detenido; ar] y @almonaseron [quienes le apoyan; ar] llamaron a varias protestas pequeñas [ar] que tuvieron lugar principalmente en Buraidá.Vikundi vya utetezi visivyofahamika majina @e3teqal [vimekamatwa] na @almonaseron [wafuasi wao] kutoa mwito wa maandamano madogo yaliyofanyika zaidi mjini Buraiydah.
29De la protesta de mujeres en BuraidáKutoka kwenye maandamano ya wanawake mjini Buraiydah
30Se quemaron neumáticos en áreas no residenciales con carteles junto a ellos exigiendo la liberación de los detenidos.Matairi yalichomwa katika maeneo yasiyo ya makazi huku kukiwa na mabango karibu yanayotaka watu waliokamatwa kuachiwa huru.
31Y se realizó un encuentro [ar] en Buraidá, donde se reunieron los familiares de los detenidos y discutieron las posibles vías para apoyarlos.Na mkutano ulifanyika mjini Buraiydah ambapo ndugu za watu waliokamatwa walikutana na kujadili njia zinazoweza kufanyika ili kuwasaidia wafungwa hao.
32La familia de Abdulkarim Al-Khuder, miembro de ACPRA detenido, estuvo entre las pocas familias que vieron sus casas rodeadas por autos de la policía [ar] por colgar imágenes de sus seres queridos encarcelados.Familia ya Abdulkarim Al-Khuder, mwanachama wa ACPRA aliyefungwa, walikuwa miongoni mwa familia chache zilifanya nyumba zao zizingirwe na magari ya polisi kwa kosa la kutundika picha za wapendwa wao waliowekwa kizuizini.
33Mahdi Al-Zahir, un activista de Qatif, tuiteó:Mahdi Al-Zahir, mwanaharakati kutoka Qatif, alitwiti:
34Me gustaría celebrar el Día Nacional.Ningependa kusherehekea siku ya Uhuru.
35Pero mi hermano está detenido, mi primo está detenido, mi amigo está detenido, hasta mi vecino está detenido.Lakini kaka yangu yuko kizuizini, mpwa wangu naye yuko kizuizini, rafiki yangu naye yuko kizuizini, hata jirani yangu naye yuko kizuizini.
36Y la Asociación Saudita por los Derechos Civiles y Políticos (ACPRA [en]) publicó un comunicado [ar] exigiendo la liberación de todos los prisioneros de conciencia y por un diálogo nacional entre el gobierno y los representantes elegidos como iguales por el pueblo:Na Shirika la Haki za Kiraia na Kisiasa la Kisaudi (ACPRA) lilichapisha tamko [ar] lililotaka kuachiwa kwa wafungwa wote wa dhamira na pia kuwepo kwa mjadala wa kitaifa wenye usawa kati ya serikali kwa upande mmoja na wawakilishi wa wananchi waliochaguliwa kwa kura kwa upande wa pili.
37Hay personas en esta nación, como en cualquier otra, que están dispuestas a continuar la lucha pacífica hasta que sus exigencias legítimas sean atendidas.Kuna watu katika taifa hili, kama wengineo, waliotayari kuendelea kupambana kwa amani mpaka madai yao ya haki yatakaposikilizwa na kutekelezwa.
38Las prisiones no serán suficientes.Magereza hayatatosha.
39Cada vez que un grupo es detenido, otro grupo surge… Los gobiernos, y a veces los países, cambian, pero el pueblo permanece.Kila kundi linapowekwa kizuizini, kikundi kingine kinaingia uwanjani…Serikali, na wakati mwingine nchi, hubadilika, lakini watu wake hubaki.