Sentence alignment for gv-spa-20140804-248404.xml (html) - gv-swa-20140626-7767.xml (html)

#spaswa
1El relato de los refugiados de la hambruna de Nigeria en el este de ArgeliaHadithi ya Wakimbizi wa Njaa kutoka Niger katika Algeria Mashariki
2En semanas pasadas, cientos de inmigrantes subsaharianos migraron desde ciudades de Mali o Nigeria a través de la frontera del este.Katika wiki chache zilizopita, mamia ya wahamiaji mwa Jangwa la Sahara kutoka Mali au Niger wamehamia miji ya Algeria katika mpaka wa Mashariki.
3Lirberté Algerie narrá las historias y las razones de aquellos que tomaron la decisión de emigrar:Liberté Algérie anasimulia hadithi ya wale ambao waliamua kuhama na kwa nini [fr]
4Las condiciones de vida en el hangar de la ciudad de Bourroh son inhumanas.Hali ya maisha katika majengo ya mji wa Bourroh si ya kibinadamu.
5Dentro del refugio, los inmigrantes subsaharianos han levantado unas 60 carpas.Ndani ya jengo, wahamiaji wa Jangwa la Sahara wameweka mahema karibu sitini.
6Todos ellos viven juntos dentro de cada una de las muy pequeñas carpas, todos los miembros de una misma familia apiñados unos contra otros,.Ndani ya kila hema (ndogo sana), wao wote wanaishi pamoja, dhidi ya kila mmoja, washiriki wote wa familia moja. [..]
7[…] Meriem y Aisha son dos hermanas de 10 y 12 años respectivamente. Junto a su madre, dejaron su país de origen, Nigeria, debido a la pobreza.Meriem na Aisha ni dada wawili wenye umri wa miaka 10 na 12. Na mama yao, walikimbia nchi yao ya asili, Niger, kwa sababu ya umaskini..
8“Dejamos nuestro país porque no teníamos suficiente para comer”, dice Meriem.“Tulihama nchi yetu kwa sababu hatukuwa na chakula cha kutosha ‘Meriem anasema.
9Asimismo, de Nigeria, Sakina, su hija Asma y sus dos nietos son refugiados en Ain Guezzam en el Valiato de Tamanrasset, en el extremo sur del desierto del Sahara.Pia kutoka Niger, Sakina, binti yake Asma na wajukuu wake wawili ni wakimbizi katika Ain Guezzam katika Wilaya ya Tamanrasset, kusini mwa jangwa la Sahara.
10En un vacilante árabe, Sakira nos cuenta que son un grupo que huyó del hambre galopante en Nigeria.Akisita kwa lugha ya Kiarabu, Sakira alituambia kwamba wao ni sehemu ya kundi ambao walikimbia njaa kubwa nchini Niger.