Sentence alignment for gv-spa-20121030-139798.xml (html) - gv-swa-20120916-3928.xml (html)

#spaswa
1Palestina: Las protestas contra el desempleo y los altos preciosPalestina: Maandamano Yalipuka Kupinga Ongezeko la Bei za Bidhaa na Ukosefu wa Ajira
2Las protestas [en] aumentaron en los territorios palestinos, sobre todo en las principales ciudades de la Ribera Occidental: Hebrón, Ramala, Belén y Nablus.Maandamano yanazidi kushamiri katika nchi ya Palestina hususani katika majiji ya Ukanda wa Magharibi ambayo ni: Hebron, Ramallah, Bethlehem na Nablus.
3Los manifestantes expresaron su rabia [en] ante la Autoridad Palestina, por el alto costo de vida y la alta tasa de desempleo entre la juventud palestina.Waandamanaji wanaonesha hasira yao kwa mamlaka ya Palestina wakilalamikia gharama kubwa za maisha pamoja na ongezeko kubwa la vijana wa Palestina wasio na ajira.
4Las protestas empezaron después que la Autoridad Palestina declaró un aumento de cerca del 8% en los precios de combustible y petróleo en la Ribera Occidental, desde el inicio de setiembre.Maandamano yalianza mara baada ya mamlaka ya Palestina kutangaza kuongeza bei za mafuta na petroli kwa takribani asilimia 8 katika ukanda wa Magharibi, bei zitakazaoanza kutumika mwazoni mwa mwezi Septemba.
5Luego hubo un rápido aumento de los precios, sin que hubiera ningún significativo aumento en los sueldos ni remuneraciones en los territorios palestinos.Kwa hiyo, ongezeko hili lilisababisha kuongezeka kwa bei za bidhaa, bila ya kuongezeka kwa mishahara wala ujira katika nchi ya Palestina.
6Aban Idrees presenció una protesta en Hebrón y tuiteó [ar]:Aban Idrees alishuhudia maandamano jijini Hebron na alitwiti[ar]:
7En Hebrón, el tráfico está absolutamente paralizado luego de las protestas contra el alto costo de vida, pidiendo al gobierno de Fayyad que renucie.Jijini Hebron, magari yamezuiwa kuendelea na safari kabisa baada ya maandamano ya kupinga mfumuko wa bei za bidhaa wakishinikiza serekali ya Fayyad kujiuzulu.
8Los autos apenas se mueven en la calle.Ni magari machache sana yanaonekana kupita katika mitaa
9La bloguera Ola Al Tamimi también tuiteó desde Hebrón [ar]:Mwanablogu Ola Al Tamimi pia alitwiti kutokea Hebron [ar]:
10Ain Sarah, la calle más grande de Hebrón, está ahora bloqueada con camiones y personas.Ain Sarah, mtaa mkubwa wa Hebron, kwa sasa umejaa magari na watu.
11Algunas protestas están empezando a moverse hacia la sede de Seguridad Nacional y el edificio de la municipalidad.Maandamano mengine yanaanza kuelekea makao makuu ya usalama wa taifa pamoja na jengo la baraza la mji (Manispaa)
12Ola agregó [ar]:Ola aliongeza[ar]:
13Es la primera vez que una protesta se ha llevado a cabo en Hebrón en la que los Servicios de Seguridad Preventiva no han golpeado a nadie.Hii ni mara ya kwanza kwa maandamano kutokea Hebron bila ya mtu yeyote kushambuliwa na askari wa kuzuia ghasia.
14Hafez Omar, activista y artista palestino, tuiteó [ar]:Hafez Omar, Mpalestina mwanaharakati na msanii alitwiti[ar]:
15¡Esta es la primera vez desde 1936 que los palestinos han protestado por el costo de vida!Hii ni mara ya kwanza tokea mwaka 1936 tangu Wapalestina walipoandamana kwa ajili ya kulalamikia kupanda kwa gharama za maisha.
16Qué vergüenza para quien sea que quiera que olvidemos a Palestina y corramos tras una hogaza de pan…Ni aibu kwa yeyote anayetutaka tuisahau Palestina na tukimbilie kupigania mkate….
17Twitter también se vio inundado de lemas graciosos de los manifestantes palestinos.Mtandao wa Twita pia ulifurika misemo mingi ya utani iliyowekwa na waandamanaji wa Palestina.
18Rana Baker tuiteó [ar]:Rana Baker alitwiti [ar]:
19Uno de los mejores carteles levantados hoy en Palestina contra el gobierno de Fayyad y los altos precios: “Ahora cuando voy al mercado, ¡solamente pongo ‘me gusta' y me voy a casa!”Miongoni mwa mabango bora yaliyokuwa yameinuliwa leo na wa-Palestina linaloipinga serikali ya Fayyad na ongezeko la gharama lilisomeka: “Siku hizi ninapoenda sokoni, ninabofya tu kitufe cha ‘kupenda' na kisha ninarudi zangu nyumbani!”
20Lamees Suradi captó otro cartel:Bango jingine lilinaswa na mpiga picha Lamees Suradi:
21@lames7: El comentario más agradable de Nablus: “Si no te solidarizas con los pobres, entonces tampoco te solidarizas con los prisioneros; por favor, ¡explícanos por qué sigues en el poder!”@lames7: Maoni mazuri zaidi kutoka kwa Nablus: “kama huwezi kuwatetea masikini, basi haupo kuwatetea wafungwa vile vile; tafadhali tuambie ni kwa nini bado uko madarakani!”
22El usuario iPalestine de Twitter tuiteó acerca de un intento de autoinmolación de un hombre llamado Hussein Qahwaji [ar]:Mtumiaji wa Twita, iPalestine alitwiti kuhusiana na jaribio la kutaka kujitoa mhanga kwa mtu aliyejulikana kwa jina la Hussein Qahwaji [ar]:
23Un hombre se vertió gasolina en el cuerpo y el de su hija de cinco años y trató de prenderse fuego, pero otros le impidieron a la fuerza que lo hiciera.Mkazi mmoja wa ukanda wa Gaza, Hussein Qahwaji, alijimwagia mafuta ya taa mwili mzima kwa lengo la kujichoma lakini watu wengine walimzuia kwa nguvu ili asifanye hivyo.
24Según algunos informes [en], la hija de Qahwaji sufre de cáncer, y actualmente está bajo tratamiento en Jordania, y él no tiene cómo pagar para ir a visitarla.Baadhi ya taarifa zinasema kuwa mtoto wa kike wa Qahwaji anasumbuliwa na saratani na anapata matibabu huko Jordani na kwamba Qahwaji hakuweza kumtembelea na ailiamua kujiunguza kwa moto ili kuishinikiza mamlaka ya Palestina imsaidie fedha ili akamjulie hali mtoto wake.
25No es el primer caso de un palestino usando la autoinmolación como protesta.Haikuwa mara ya kwanza kwa M-palestina kutumia njia ya kujitoa mhanga kwa kujichoma kama njia ya kuonesha kutoridhishwa na jambo.
26El 2 de setiembre, Ehab Abu al-Nada, de 17 años, murió [en] en Gaza tras prenderse fuego, tal vez imitando al tunecino Mohamed Bouazizi.Septemba 2, huko Gaza, mtu mwenye umri wa miaka 17, Ehab Abu al-Nada alikufa baada ya kujiunguza kwa moto, labda akifuata nyayo za m-Tunisia Mohamed Bouazizi.
27Ehab Abu al-Nada había dejado el colegio y trabajaba 13 horas diarias por apenas 30 shekels (unos US$ 7.40) para auydar a su padre con los gastos familiares.Ehab Abu al-Nada aliacha kuendelea na masomo na badala yake alikuwa akifanya kazi kwa takribani masaa 13 kila siku ili kujipatia ujira wa shekel 13 tu (karibu sawa na dola za kimarekani 7.4) ili aweze kumsaidia baba yake kuihudumia familia yao.
28El incidente obtuvo mucha atención, sobre todo después de la publicación de una foto del líder de Hamás, Ismail Haniyeh, con el padre de Ihab. Haniyeh lo visitó para darle una “ayuda de emergencia” de US$ 2,000 tras la muerte de Ehab.Jambo hili liliwagusa wengi, haswa mara baada ya picha ya kiongozi wa Hamas Ismail Haniyeh akiwa na baba yake Ihab, kuwekwa mtandaoni; Hanyeh alimtembelea ili ‘kumpatia msaada wa dharura' wa dola za Marekani 2,000 kufuatia kifo cha Ehab.
29Mucho se preguntan si este nuevo movimiento continuará y si se propagará a otras ciudades y pueblos.Wengi wanafikiri kama harakati hizi zitaendelea, na kama zitaweza kuenezwa katika miji na majiji mengine.
30John Lyndon preguntó:John Loyndon aliuliza:
31@johnlyndon1: Autoinmolación en Gaza; la efigie de Fayyad se quema en Hebrón; protestas en las principales ciudades de la Ribera Occidental.@johnlyndon1: Kujitoa mhanga kwa kujiunguza kwa moto katika mji wa Gaza; kujichoma kwa moto kwa Fayyad huko Hebron; maandamano katika majiji muhimu huko ukanda wa Magharibi.
32¿Llega tarde la primaver a #Palestine [Palestina]?Je, maandamano ya kuipinga serikali yanakuja Palestina kwa kuchelewa?