Sentence alignment for gv-spa-20150217-273139.xml (html) - gv-swa-20150211-8475.xml (html)

#spaswa
1¿Suena conocido?Hofu ya Yaliyotokea?
2El nuevo presidente de Zambia enciende especulación sobre su salud por vacacionesLikizo ya Rais Mpya wa Zambia Yaibua Mjadala wa Afya Yake
3Presidente Edgar Lungu en un recorrido en helicóptero sobrevolando el parque nacional South Luangwa durante unas vacaciones tomadas dos semanas después de asumir el cargo.Rais Edgar Lungu akiwa kwenye helikopta akiangalia Hifadhi ya Wanyama ya Luangwa Kusini wakati wa likizo yake aliyoichukua majuma mawili tu baada ya kushika madaraka.
4Foto usada con autorización de Salim Henry/SHENPA.Picha imetumiwa kwa ruhusa ya Salim Henry/SHENPA.
5Con apenas dos semanas en el cargo, el recientemente elegido presidente zambiano Edgar Lungu sorprendió al país cuando tomó vacaciones, lo que avivó especulaciones sobre su salud - un tema que apareció en las campañas previas a las elecciones del 20 de enero para reemplazar al presidente Michael Sata, que murió en el cargo el 28 de octubre de 2014.Majuma mawili tu baada ya kushika madaraka, rais mpya wa Zambia Edgar Lungu amelishangaza taifa kwa kuchukua likizo, hali inayoibua maswali kuhusu afya yake - suala ambalo liliibuliwa awali wakati wa kampeni za kuelekea uchaguzi wa Januari 20 kumchagua mrithi wa Rais Michael Sata, aliyefariki akiwa madarakani mnamo Oktoba 28, 2014.
6Justo después de ganar las elecciones para reemplazar a Sata, Lungu se sometió a exámenes médicos en el hospital Trust de Lusaka y el Hospital Militar Maina Soko, ambos a poca distancia del palacio presidencial en el distrito Woodlands de la ciudad capital.Kabla ya kushinda uchaguzi na kumrithi Sata, Lungu alifanya uchunguzi wa afya kwenye hospitali ya Lusaka Trust pamoja na Hospitali ya Kijeshi ya Maina Soko, zote zikiwa umbali mdogo tu kutoka yalipo makazi ya rais, ikulu, wilaya ya Woodlands jijini Lusaka.
7Dejando de lado la práctica de su predecesor de no anunciar asuntos relacionados con su salud, el asesor de prensa de Lungu, Amos Chanda, dijo en una declaración:Akijaribu kuachana na utaratibu wa mtangulizi wake wa kuficha taarifa zake zinazohusiana na afya, msaidizi wake wa habari Amos Chanda alisema kwenye taarifa yake:
8Su Excelencia, señor Edgar Chagwa Lungu, presidente de la República de Zambia ha sido sometido hoy a dos exámenes médicos en el Hospital Militar Maina Soko Military y el Hospital Trust de Lusaka, respectivamente.Mheshimiwa Edgar Chagwa Lungu, Rais wa Jamhuri ya Zambia amechunguzwa afya yake mara mbili kwenye Hospitali ya Kijeshi ya Maina Soko na Hospitali ya Lusaka Trust.
9El presidente Lungu se sometió a una revisión de rutina de parámetros de referencia de salud en el hospital Maina Soko y acudió al servicio de odontología en el Hospital Trust de Lusaka.Rais Lungu alifanyiwa uchunguzi wa kina kwenye Hospitali ya Maina Soko na kisha kuchunguzwa kinywa kwenye Hospitali ya Lusaka Trust.
10Los doctores han confirmado su buen estado de salud.Madaktari wamemthibitishia kwamba afya yake iko imara.
11No obstante, sus vacaciones, que empezaron luego de su primer encargo internacional con un viaje a la cumbre de la Unión Africana en la capital etíope, Addis Abeba, generaron escepticismo.Hata hivyo, likizo yake hiyo, iliyoanza baada ya shughuli yake ya kwanza kimataifa ya kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) Addis Ababa, Ethiopia, iliwastua watu.
12Lungu, abogado convertido en político, que fue al parque nacional South Luangwa, uno de los principales destinos turísiticos de Zambia, no había terminado de designar su gabinete en ese momento.Lungu, mwanasiasa ambaye kitaaluma ni mwanasheria, alikwenda kwenye hifadhi ya wanyama za Luangwa Kusini, moja wapo ya vivutio vikuu vya watalii nchini Zambia, akiwa hata hajamaliza kuteua Baraza lake la Mawaziri wakati huo.
13El presidente Lungu, citado en The Post, defendió su decisión de ir a lo que llamó un retiro:Rais Lungu, alinukuliwa na jarida la The Post, akitetea uamuzi wake wa kwenda kwenye kile alichokiita mapumziko :
14Les dije que no tendría luna de miel.Nimekwambia kwamba sitakuwa na siku za fungate.
15Hay una diferencia entre unas vacaciones y un retiro. Lo estuve buscando en el diccionario esta mañana y dije: ‘¿lo saben estas personas?'Kuna tofauti kati ya likizo na mapumziko, nilikuwa nachungulia kamusi yangu asubuhi hii na ninajiuliza, ‘hawa watu wanajua tofauti hii?'
16Me voy a un retiro, no estoy de vacaciones.Ninaenda mapumzikono, sina likizo.
17Uno no se va de vacaciones con la totalidad del personal de la oficina.Huendi likizo ukiwa umeambatana na watumishi wote wa ofisi yako.
18El Secretario del Gabinete viene y algunos de mis ministros y funcionarios de la casa de gobierno, no van a ser mis enfermeros sino van a ayudarme a pensar en las designaciones que estoy haciendo.Katibu wa Baraza la Mawaziri naye anaambatana na mimi na hata baadhi ya Mawaziri na maafisa wa ikulu hawaendi kuniliwaza, ila kunisaidia kufikiri uteuzi ninaoufanya.
19Agregó:Aliongeza:
20Conozco mis prioridades; algunos impertinentes están diciendo ‘Lungu no conoce sus prioridades'.Ninavijua vipaumbele vyangu; baadhi ya watu wanasema, ‘Lungu hajui vipaumbele vyake'.
21Mi prioridad es el pueblo de Zambia.Kipaumbele changu ni watu wa Zambia.
22Cómo trato mi trabajo no es prerrogativa de nadie, es mía.Namna gani ninafanya kazi yangu si shughuli ya mtu mwingine yeyote kujua, ni yangu.
23En el periodo previo a las elecciones del 20 de enero, el vicepresidente del Partido Unido de Oposición para Desarrollo Nacional, Canicius Banda, médico de profesión, dijo que la carga de la prueba la tenía el Frente Patriótico del presidente Lungu para convencer a la nación de su buen estado de salud, pues un informe médico que su partido había visto indicaba que el ahora jefe de estado presuntamente sufría de un problema en el riñón.Wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi wa Januari 20, Makamu wa Rais wa Chama cha Upinzani cha UPND, Canicius Banda, daktari wa tiba, alisema chama kinachotawala cha PF anakotoka Rais Lungu kina kazi ya kulishawishi taifa kwamba hana matatizo ya kiafya kwa sababu cheti cha uchunguzi wa afya ambacho chama chake kimekiona kinaonesha kwamba mkuu huyo wa sasa wa nchi anaugua maradhi ya figo.
24Banda luego se retractó de su afirmación de haber visto el informe médico de Lungu.Banda baadaealikanusha madai yake kwamba aliona cheti cha uchunguzi wa afya ya Lungu.
25El bloguero Elias Munshya Munshya, respondiendo las afirmaciones de Banda de haber visto el informe médico de Lungu, escribió:Mwanablogu Elias Munshya Munshya, alijibu madai ya Banda kwamba aliona cheti cha uchunguzi wa afya ya Lungu aliandika:
26Entiendo por qué algunos zambianos deberían estar preocupados por la salud de los candidatos presidenciales.Ninaweza kuona kwa nini baadhi ya Wazambia wana sababu ya kuwa na wasiwasi na afya ya wagombea urais.
27Pero exigir exámenes médicos a los candidatas tiene tan poco sentido como exigir que los candidatos tengan cierto nivel de educación.Lakini kudai tarifa za kiafya za wagonbea ni upuuzi kama ilivyo kutaka wagombea wawe na kiwango fulani cha elimu.
28Si ciertamente debemos preocuparnos de informes médicos, entonces las siguientes preguntas serían: ¿dónde vamos a trazar la línea?Kama tunahitaji kweli kujali vyeti vya uchunguzi wa afya, basi maswali yanayofuata yanayohitaji majibu: tutaishia wapi?
29¿Evidencia de una enfermedad al pulmón afecta la capacidad de una persona para gobernar?Hivi ushahidi kwamba mtu anaugua maradhi ya mapafu unaatiri uwezo wake kutawala?
30Es por eso que nuestra Constitución solamente afirma que no se debe gobernar en caso de “incapacidad”.Hii ndio sababu katiba yetu inataka tu kwamba mtu hawezi kutawala kama ‘hali yake ni mbaya'.
31No dice que no se debe gobernar si se está enfermo, pues ese requisito sería imposible de cumplir para simples mortales.Haisemi kwamba mtu hatatawala kwa sababu tu ni mgonjwa, kwa sababu kusema hivyo kusingetekelezeka. .
32Es comprensible que los zambianos estén preocupados por la salud de sus presidentes o quienes aspiran a ser presidentes.Inaeleweka kwa nini Wazambia wana wasiwasi na afya ya marais wao au wale wanaotaka kuwa marais.
33El país ha pasado por la muerte de dos jefes de estado durante su mandato - Levy Mwanawasa, que falleció en 2008 en Francia luego de sufrir un infarto mientras cumplía deberes de la Unión Africana en Egipto, y Sata, que estaba enfermo y fue evacuado a Gran Bretaña para una revisión médica pero murió ahí.Nchi hiyo imeshuhudia vifo vya wakuu wawili wa nchi -Levy Mwanawasa, aliyefariki mwaka 2008 nchini Ufaransa baada ya kupatwa na kiharusi akiwa kwenye majukumu yake ya Umoja wa Afrika nchini Misri, na sata, ambaye alikuwa akiiugua na kupelekwa Uingereza kwa uchunguzi wa afya, lakini baadae alifariki akiwa kule.
34El expresidente Frederick Chiluba, que ejerció como el segundo presidente del pais, murió en Zambia luego de una serie de viajes a Sudáfrica para tratamiento y revisiones por complicaciones relacionadas con el corazón.Rais wa zamani Frederick Chiluba, rais wa pili kutawala nchi hiyo, alifariki nchini Zambia baada ya safari nyingi kwenda Afrika Kusini kwa matibabu na uchunguzi wa afya kwa matatizo yanayohusiana na moyo.
35Lungu derrotó a otros diez candidatos, y obtuvo apenas 1.66 por ciento por encima de su rival más cercano, el opositor Hakainde Hichilema, con lo que se convirtió en el sexto presidente de Zambia desde su independencia de Gran Bretaña en 1964.Lungu aliwashinda wagombea wengine 10, akishinda kwa asilimia 1.66 mbele ya mpinzani wake mkuu, Hakainde Hichilema wa chama cha Upinzani cha UPND, na kuwa Rais wa sita wa Zambia tangu uhuru kutoka kwa Uingereza mwaka 1964.