Sentence alignment for gv-spa-20150209-272211.xml (html) - gv-swa-20150208-8524.xml (html)

#spaswa
1La desafiante juventud de Níger tras el ataque de Boko Haran en Bosso y el bombardeo en DiffaVijana wa Naija Wacharuka Kufuatia Shambulizi la Boko Haram huko Bosso na Diffa
2Jóvenes en Níger - CC-BY-2.Vijana huko Niger - CC-BY-2.
30 Por primera vez, Boko Haram llevó a cabo un asalto en territorio nigerino y la júventud de Níger no piensa tolerarlo.0 Kwa mara ya kwanza, Boko Haram kimetekeleza shambulio kwenye mpaka na Naija na vijana wa ki-Naija hakuweza kuvumilia.
4Boko Haram asaltó Bosso y Diffa, dos ciudades del sudeste nigerino en la frontera con Nigeria, pero fueron repelidos por los ejercitos de Níger y de Chad.Boko Haram walishambulia Bosso na Diffa, miji miwili iliyo kusini mashariki mwa Naija kwenye mpaka wa nchi hiyo na Naijeria lakini walirudishwa nyuma na majeshi ya Chad na Naija.
5Boko Haram perdió aproximadamente 100 combatientes en el enfrentamiento pero un terrorista suicida hizo detonar explosivos en la ciudad pocas horas más tarde, matando a 5 civiles.Boko Haram imepoteza zaidi ya wnaamgambo 100 kwenye mapigano hayo lakini mtu aliyejitolea mhanga alijilipua mjini masaa machache baadae, na kuua watu wasiopungua watano.
6La juventud de Níger fue rápida en reaccionar a los ataques.Kijana mmoja wa Naija alisukumwa kujibu mapigo.
7En Niamey (la capital de Níger) estudiantes de instituto se reunieron para condenar los ataques contra su país y expresar en Hausa su apoyo a las tropas que luchan en la frontera.Wanafunzi wa shule za sekondari jijini Niamey (mji mkuu wa Naija) walikusanyika pamoja na kulaani shambulio hilo nchini mwao, na kwa kutumia lugha ya ki-Hausa, waliunga mkono vikosi vyao vinavyopambana mpakani:
8Publicación de El Grintcho Billo.Imewekwa na El Grintcho Billo.