# | spa | swa |
---|
1 | VIDEO: Autoridades destruyen mezquitas en Angola | VIDEO: Serikali Yaharibu Misikiti Nchini Angola |
2 | La destrucción de al menos 11 mezquitas en los dos últimos meses en Angola está provocando reacciones de indignación en línea. | Uharibifu wa misikiti isiyopungua 11 katika miezi miwili iliyopita nchini Angola imechochea athari ya hasira kwenye mtandao. |
3 | Según la Voz da América [pt], las autoridades angoleñas afirman que la razón de la destrucción es la construcción ilegal. Otros informes [en] agregan que el proceso de legalización del Islam y otras religiones en el país no ha sido aprobado por el Ministerio de Justicia y Derechos Humanos y, por lo tanto, de acuerdo con la agencia estatal de noticias AngolaPress, “sus templos estarán cerrados hasta un nuevo pronunciamiento sobre el caso”. | Kwa mujibu wa Voz da América [pt], Mamlaka ya Angola ilisema kuwa sababu ya uharibifu ni ujenzi kinyume cha sheria na ripoti&nyingine kuongeza kwamba mchakato wa kuhalalisha Uislamu na dini nyingine katika nchi haijawahi kupitishwa na Wizara ya Sheria na Haki za Binadamu, na kwa hiyo, kwa mujibu wa shirika la habari ya mamlaka ya AngolaPress, “mahekalu zao zitafungwa hadi uamuzi mpya katika kesi. |
4 | La ministra de Cultura, Rosa Cruz e Silva, dijo que la ley relativa a la libertad de reunión religiosa debe revisarse “como una manera de combatir ‘vigorosamente' la llegada de nuevas congregaciones religiosas cuya asamblea religiosa sea contraria a nuestros hábitos y costumbres y cultura angoleñas”. | |
5 | La Comunidad Islámica de Angola (CISA) considera que el gobierno está emprendiendo una persecución religiosa y evitando la realización de cultos religiosos,. Así lo refieren los subtítulos de un video publicado en YouTube en setiembre por Coque Manuel que muestra la destrucción de una mezquita en la ciudad de Moxico: | “Waziri wa Utamaduni, Rosa Cruz e Silva, alisema kuwa sheria inayohusiana na uhuru wa mkutano wa dini lazima iundwe upya “kama njia ya kupambana kwa ‘nguvu' kuanzishwa kwa mkutano mpya za kidini ambazo mikutano yao ya dini ni kinyume na tabia zetu na forodha katika utamaduni wa Angola. “ |
6 | La destrucción (…) debe detenerse inmediatamente y exigimos una disculpa del presidente de Angola a los musulmanes alrededor del mundo. | Jumuiya ya Kiislamu ya Angola (CISA) inaona kuwa serikali inafanya mateso ya kidini na kuzuia utekelezaji wa ibada ya kidini. |
7 | Si no es así, entonces nos gustaría invitar a la comunidad del Islam a protestar pacíficamente frente a las embajadas angoleñas en todo el mundo. | Hivyo imerejelea katika maelezo ya video zilizowekwa katika mtanda wa Youtube Septemba mwaka jana na Coque Manuel ambayo inaonyesha msikiti katika mji wa Moxico ikiharibiwa: |