Sentence alignment for gv-spa-20140604-240584.xml (html) - gv-swa-20140513-7445.xml (html)

#spaswa
1¿Por qué bloguear es una amenaza para el gobierno etíope?Kwa Nini Kublogu ni Tishio kwa Serikali ya Ethiopia
2Beza Tesfaye explica [en] por qué bloguear es una amenaza para el gobierno etíope luego de los arrestos de los nueve blogueros etíopes:Beza Tesfaye anaelezea kwa nini kublogu ni tishio kwa serikali ya Ethiopia kufuatia kukamatwa kwa wanablogu tisa Ethiopia:
3Mientras escribo esto, recuerdo con alarma que en Etiopía expresar tus opiniones puede convertirse en un pasaje en primera clase a la prisión.Ninapoandika haya, Kwa uwoga nakumbushwa kwamba nchini Ethiopia, kutoa maoni yako kunaweza kukufanya uakapewa tiketi ya daraja la kwanza gerezani.
4Entre el 25 y el 26 de abril de 2014, nueve blogueros y periodistas etíopes fueron arrestados.Kutoka Aprili 25 hadi 26, 2014, wanablogu tisa wa Ethiopia na waandishi wa habari walikamatwa.
5Mientras el sábado 3 de mayo de 2014 celebrábamos el Día Mundial de la Libertad de Prensa, estaban detenidos en la conocida oficina central de investigaciones de Addis Adaba.Tulipokuwa tunasheherekea Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani siku ya Jumamosi, walikuwa kizuizini kwenye mahabusi mbaya zaidi jijini Addis Ababa.
6Aunque oficialmente no se presentaron cargos contra el grupo, fueron acusados de “trabajar con activistas extranjeros por los derechos humanos” y de “usar los medios sociales para desestabilizar al país”.Ingawa madai hayajawasilishwa rasmi, kundi hilo limeshitakiwa kwa ” kufanya kazi na kutetea haki za binadamu wa kigeni” na “kutumia vyombo vya habari vya kijamii kufanya nchi isitulie”.
7Si fueran procesados según la controvertida Ley anti-terrorismo etíope, podrían enfrentar la pena de muerte.Kama watashitakiwa chini ya sheria ya Ethiopia ya kukabiliana na ugaidi, wanaweza kukabiliwa na adhabu ya kifo.
8Los arrestos fueron parte de una tendencia alarmante en Etiopía, que ha ocupado con frecuencia un lugar en el ranking de los países más represivos respecto a la libertad de prensa en los últimos años.Kukamatwa kwao ni sehemu ya mwenendo wa kuhofia nchini Ethiopia, ambayo mara nyingi imewekwa katika nafasi ya kama moja ya maeneo yenye kandamizi kwa uhuru wa vyombo vya habari katika miaka ya hivi karibuni.