Sentence alignment for gv-spa-20090715-12367.xml (html) - gv-swa-20090721-242.xml (html)

#spaswa
1Congo Brazzaville: Decepción luego de la elección presidencialKongo Brazzaville: Uchaguzi wa Rais Wakatisha Tamaa
2El sábado 12 de julio la población de la República del Congo (fr) votó en una elección cuyos líderes de oposición boicotearon (ing) alegando que no podría ser ni libre ni equitativa.Siku ya Jumapili, Julai 12, watu wa Jamhuri ya Kongo walipiga kura katika uchaguzi ambao ulisusiwa na viongozi wa Upinzani kwa madai kwamba usingekuwa huru wala wa haki.
3Denis Sassou N'Guesso (ing), quien ha gobernado el Congo por cerca de 25 años busca ser reelegido por siete años.Denis Sassou N'Guesso, ambaye ameitawala Kongo kwa takribani miaka 25 kama mkuu wa nchi, anatafuta kipindi kingine cha miaka saba madarakani.
4A pesar de las protestas de la oposición, los observadores dijeron que la votación fue pacífica y que la participación fue baja.Pamoja na malalamiko kutoka upinzani, waangaliaji wa uchaguzi walisema kuwa upigaji kura ufanyika kwa amani, na kwamba idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura ilikuwa ndogo.
5De acuerdo a la principal corriente de oposición el “90 por ciento” del electorado del país no concurrió a las urnas.Kwa mujibu wa chama kikuu cha upinzani, “asilimia 90” ya wapiga kura hawakujitokeza kupiga kura.
6El president Denis Sassou N'Guesso (fr) y su grupo Reunión de la mayoría presidencial (RMP) es ampliamente considerado ganador de las elecciones (fr) mientras el comité electoral del país se prepara para anunciar los resultados en algún momento (fr) a partir del lunes en la tarde.Rais anayemaliza muda wake Denis Sassou N'Guesso na chama chake cha Rassemblement de la majorité présidentielle (RMP) anatabiriwa kushinda uchaguzi huo wakati ambapo tume ya uchaguzi inajiandaa kutangaza matokeo wakati wowote kuanzia Jumatatu jioni.
7Un corresponsal de la BBC habría visto (ing) “distribuir dinero a la salida de un lugar de votación en el sur de la capital a personas que mas tarde dijeron que les fue solicitado votar por el señor Sassou-Nguesso.”Mwandishi wa BBC anadai kuwa alishuhudia fedha zikitembezwa katika vituo vya upigaji kura kusini mwa mji mkuu, kwa watu ambao baadae walisema kuwa waliombwa kumpigia kura Bw. Sassou-Nguesso.”
8Un observador de las elecciones, hablando bajo anonimato, dijo a la agencia France Presse que “Hay mas observadores que votantes.”Mwangalizi mmoja wa uchaguzi, akizungumza kwa masharti ya kutokutajwa jina, aliliambia shirikala habari la Ufaransa (AFP), “Kuna waangalizi wengi kuliko wapiga kura.”
9En el sitio de noticias francés France 24, algunos comentaristas del Congo han expresado su opinión (fr) sobre las elecciones.Katika kituocha habari cha Ufaransa cha France 24, watoa maoni wachache kutoka Kongo wametoa maoni yao kuhusu uchaguzi.
10Aquí hay una selección de algunas de ellas :Hapa chini ni sehemu ndogo ya maoni hayo:
11Maloumbi, sobre la intimidación a los electores :Maloumbi kuhusu kutishiwa kwa wapiga kura:
12En ciertos pueblos y distritos la población votó por Sassou-N'guesso dadas la intimidaciones.Katika vijiji na wilaya fulani fulani watu walimpigia kura Sassou Nguesso kwa sababu ya kutishwa.
13Mi hermano Jean Ibinga en el distrito de Nyanga recibió 1.000.000 Cfa [$USD1 800] de un miembro del RMP para convencer a las personas de edad de ir a votar contra un pago de 2500 cfa[$USD4.Kaka yangu Jean Ibinga katika wilaya ya Nyanga alipokea cfa 1 000 000 [Sawa na dola la kimarekani 1 800] kutoka kwa wafuasi wa RMP ili awashawishi wazee waende kupiga kura kwa kuwapa kiasi cha cfa 2500 [Dola za Kimarekani 4.5].
145]. Las elecciones no se desarrollaron de manera conveniente y algunos prefectos y diputados intimidaron a la población para que votara en favor de su jefe Sassou.Uchaguzi haukwenda kwa namna inayokubalika, na baadhi ya viranja na manaibu waliwatisha watu ili wampigie kura mtawala wao Sassou.
15Para mi, es una elección que estaba arreglada desde hace tiempo.Kwangu huu ulikuwa uchaguzi wenye matokeo yaliyofahamika kabla ya muda.
16Pido a la comunidad internacional que anule la votación del 12 de julio y obliguen a Sassou a formar un gobierno nacional capaz de debatir los problemas del país, de otra forma habrá en el futuro una guerra.Naiomba JUmuiya ya Kimataifa iutangaze uchaguzi wa Julai 12 kuwa ni batili na kumlazimisha Sassou kuunda serikali ya Kitaifa itakayokuwa na uwezo wa kujadili masuala ya nchi, vinginevyo vita vitatokea huko mbeleni.
17La oposición actual prepara una posible guerra.Upinzani uliopo unajiandaa kwa uwezekano kwa vita.
18Yoka, de Pointe Noire opina sobre la débil participación:Yoka kutoka Pointe Noire kuhusu kujtokeza kwa idadi ndogo ya wapiga kura:
19Soy congolés y resido en Pointe Noire (capital économica del Congo y segunda ciudad del país).Mimi ni Mkongo na ninaishi Pointe Noire (Mji mkuu wa kiuchumi wa Kongo na jiji la pili kwa ukubwa).
20Puedo decirles que los centros de votación estuvieron vacíos todo el día.Ninaweza kuwaambia kwamba vituo vya upigaji kura vilikuwa vitupu tangu asubuhi mpaka jioni.
21Los habitantes de Pointe Noire están cansados de las promesas del señor Sassou y esta es la ciudad de donde se extrae el petroleo que constituye la principal riqueza del país.Wakaazi wa Pointe Noire wamechoshwa na ahadi za Bw. Sassou wakati jiji hili linalozalisha mafuta ni la kwanza kwa utajiri nchini. Zaidi ya asilimia 95 ya wa-Kongo hawakupiga kura.
22Mas del 95% de los congoleses no votaron, es una realidad que el regimen brutal y absurdo de Brazzaville debe reconocer.Ni ukweli ambao utawala huu wa kikatili na kijinga nchini Brazzaville wanapaswa kuutambua.
23Este es un régimen ilegítimo.Kwa sababu ya hilo, utawala huu ni batili.
24Los congoleses del norte, del sur, del este y del oeste han dicho NO a Sassou.Wakongo kutoka Kaskazini, Kusini, Mashariki na Magharibi wamesema HAPANA kwa Sassou.
25Un comentarista anónimo de Kinshasa, del otro Congo (República Popular del Congo o RPC), se preguntó :Mtoa maoni aliyeficha jina lake kutoka Kinshasa , Kongo (DRC), alijiuliza:
26¿Se puede cometer fraude con sólo el 15% de los electores quienes, si nos atenemos a los informes, serían unicamente partidarios del candidato Sassou, siendo los otros quienes optaron por el boicot de la elección?Hivi anaweza kweli mtu kudanganya kwa kutumia asilimia 15 tu ya wapiga kura waliojitokeza ambao, kama tukifuatilia ripoti, walikuwa ndio wafuasi pekee wa Mgombea Sassou, wakati wengine walichagua kuususia uchaguzi?
27L'Africaniste :L'Africaniste:
28¡Si, nada es perfecto!Ndio kila kitu kiko sawa sawa!
29¡Si, Sassou se mantiene en el poder!Ndio Sassou anabaki madarakani!
30¡Si,el no ha hecho del Congo un paraiso!Ndio hakuigeuza Kongo iwe ahera?
31¿Pero qué ha hecho la oposición?Lakini wapinzani walifanya nini?
32¿Qué proyecto o propuesta ha hecho la oposición congolesa a la población?Mipango ipi ya miradi ambayo wapinzani wa Kongo waliitoa kwa wananchi?
33¡nada excepto el boicot¡ Lo que no es nada mas que una puerta abierta para que Sassou gane sin dificultad.Hakuna isipokuwa kususia! Kitu ambacho si kingine zaidi ya kumpa Sassou ishara ya kushinda.
34Gracias a ustedes señores de la oposición por ayudar a Sassou a ganar sin dificultad.Kwa hiyo asanteni waungwana wa upinzani kwa kumsaidia Sassou kushinda bila ugumu wowote.
35¡Paren de hacer ruido por nada excepto para distraer al pueblo!Acheni makelele yasiyo na kingine isipokuwa kuwachanganya watu!
36brazza-brazza, sobre la tranquila elección:brazza-brazza kuhusu uchaguzi wa amani:
37Elección falsa pero estamos en paz.Uchaguzi wa uongo, lakini tuna amani.
38La paz de los miserables.Amani ya walioelemewa na ufukara.
39Como Bongo, Sassou permanecerá en el poder por mas de dos generaciones.Kama Bongo, Sassou atakuwa madarakani kwa zaidi ya vizazi viwili.
40Es normal, tenemos la paz, la paz de los sometidos.Ni kawaida; tuna amani. Amani ya wanyenyekevu.
41Sassou roba el Congo.Sassou anaipora Kongo.
42Pero estamos en paz, la paz de los hambrientos.Lakini tuna amani. Amani ya wenye njaa.
43Vivimos en la caca.Tunaishi katika kinyesi.
44Pero estamos en paz, la paz tiene mas valor que la dignidad.Lakini tuna amani. Amani ina thamani kuliko utu.
45Ustedes en el extranjero no saben lo que vale la paz.Nyie wote mnaoishi ughaibuni hamjui kiasi cha thamami ya amani.
46Estoy de acuerdo con ustedes, la paz permite a Sassou robar.Ninakubaliana nanyi kwamba amani inamwezesha Sassou kupora.
47Entonces, es normal que nos robe.Kwa hiyo? Kuporwa ni kawaida.
48El es africano y es dictador que organiza elecciones falsas para seguir como dictador.Yeye ni mwafrika na ni Dikteta ambaye amefanya uchaguzi wa uongo ili aendelee kuwa dikteta.
49En el sitio web de Libération (fr) Yanice 18 evoca el reciente discurso de Obama en Ghana:Kwenye Tovuti ya Libération Yanice 18 aliileta hotuba ya hivi majuzi ya Obama akiwa Ghana:
50Sólo ayer Obama hizo un muy buen discurso sobre la gobernancia y la democracia; hoy otro autócrata africano se prepara para renovar su mandato en el poder por 7 años a pesar sus problemas judiciales relacionados con sus bienes inmobiliarios en Francia.Ni jana tu Obama alitoa hotuba nzuri kuhusu utawala mzuri na demokrasia, leo dikteta mwingine wa Kiafrika anajiandaa kuandikisha upya dhamana ya madaraka yake kwa miaka mingine 7 pamoja na kushindwa kwake kisheria kuhusu majengo yake nchini Ufaransa.
51Teniendo en cuenta su longevidad en el poder de este presidente, 25 años, parece que Obama predicó en el desierto.Ukiangalia muda rais huyu aliodumu madarakani, miaka 25, inaonekana kama vile Obama alihubiri jangwani.
52Y Saboun agrega :Na Saboun aliongeza:
53Re-elección de Sassou Nguesso, ninguna sorpresa.Kuchaguliwa tena kwa Sassou Nguesso, si ajabu.
54Sijui kama uliliona hili, Obama hakutaja nchi yoyote ya Afrika iliyowahi kutawaliwa na Wafaransa katika hotuba yake.
55No se si se dieron cuenta, Obama no mencionó ningún país africano francófono en su discurso ¿pura coincidencia? lo dudo.Hivi kweli hili ni jambo lililotokea bila kukusudiwa? Sidhani.