Sentence alignment for gv-spa-20130826-202649.xml (html) - gv-swa-20130823-5623.xml (html)

#spaswa
1Enfrentamientos en mezquita saudita luego que predicador insultara a el-SisiMapigano Yalipuka Msikitini Baada ya Mhubiri Kumlaani el-Sisi
2Una pelea estalló en una mezquita de Riad entre sauditas y egipcios cuando un clérigo saudita insultó al Ministro egipcio de Defensa, general Abdel Fattah el-Sisi, durante el sermón de la oración del viernes.Mapigano yamelipuka kweeye msikiti wa Riyadh kati ya Wa-Saudi na wa-Misri baada ya mhubiri wa ki-Saudi kumlaani Waziri wa Ulinzi wa Misri Generali Abdel Fattah el-Sisi wakati mawaidha ya swala ya leo ya Ijumaa.
3La disputa, subida a YouTube, se ha convertido en viral y el tira y afloja continúa por la red.Mapigano hayo, yaliyowekwa kwenye mtandao wa YouTube, yamesambazwa mno na kuzua mjadala mkali kwenye mtandao wa intaneti.
4Los 46 segundos de vídeo, subido a varias cuentas en YouTube, han sido la comidilla de la blogosfera saudita.Video hiyo ya sekunde 46, ilipandishwa na watu mbalimbali kwenye mtandao wa YouTube, imekuwa ni mjadala wa siku miongoni mwa wanablogu wa ki-Saudi leo.
5La versión subida por umum0707, ha sido vista más de 750.000 veces, al momento de escribir este post.Katika toleo moja liliwekwa mtandaoni na umum0707, limetazamwa zaidi ya mara 750,000 wakati wa kuandikwa kwa makala hii.
6Muestra a un hombre con traje saudita quitándose el gorro (Kufi), el agal y golpear a otro hombre, un egipcio, dentro de la mezquita Al Ferdous, después de oponerse a los insultos a El-Sisi.Inaonyesha mwanaume aliyevalia mavazi ya ki-Saudi akivua kilemba chake, akimpiga mwanaume mwingine, Mmisri, ndani ya Msikiti wa Al Ferdous, baada ya Mmisri huyo kupinga kulaaniwa kwa el-Sisi.
7Sigue una revuelta:Ilikuwa kama ifuatavyo:
8https://www.youtube.com/watch?https://www.youtube.com/watch?
9v=un_l5tvTNe8v=un_l5tvTNe8
10el-Sisi, actual Primer Viceprimer Ministro de Egipto, desempeñó un papel fundamental en el derrocamiento del ex presidente Mohamed Morsi, miembro de los Hermanos Musulmanes.el-Sisi, ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza wa Misri sasa, amehusika kwa kiasi kikubwa katika kumng'oa rais wa zamani Mohamed Morsi, mwanachama cha wa Udugu wa ki-Islamu.
11Mohamed Al Omar publica un enlace al vídeo en Twitter y bromea [ar]:Mohamed Al Omar aliweka kiungo hiki cha video katika mtandao wa twita na kusema [ar]:
12Esta pelea prueba el caos resultante de trasladar las disputas de Twitter a la calle.Mapigano haya ni ushahidi wa ghasia zitakazotokea kama yanayoendelea kwenye mtandao wa twita yatahamia mitaani.
13Ibrahim Al Rasheed dijo que el predicador no tendría que meterse en los asuntos de los egipcios:Ibrahim Al Rasheed alisema mhubiri huyo hakuwa na haki ya kuzingumzia masuala ya Misri:
14El pueblo de Egipto está más informado de sus propios asuntos, y es de mal gusto que este predicador se auto elija como un guardián de los egipcios.Watu wa Misri wanao ufahamu wa kutosha kuhusu mambo yao na haifai kwa mhubiri huyu kujiajiri kama mlezi wa wa-Misri.
15Otros sugieren cómo hacer frente a estos clérigos en el futuro.Wengine wanatoa maoni ya namna ya kushughulikia watu kama mhubiri huyo katika siku za usoni.
16Yazeed Al-Mogren escribe:Yazeed Al-Mogren anaandika:
17La próxima vez, los que oran deberían romperle la mandíbula al predicador para que aprenda la lección y deje de añadir opiniones políticas en los sermones.Wakati mwingine, waumini wanapaswa kulivunja taya la muhubiri ili ajifunze na kuacha kuingiza maoni yake ya kisiasa kwenye mawaidha yake
18Y añade:Anaongeza:
19Dicen que el clérigo ha sido arrestado.Inasemekana mhubiri huyo amekamatwa.
20¿Qué pasa con el ganado que interrumpió la santidad de la mezquita y golpeó a los egipcios allí?Je, wamefanyaje ng'ombe aliyenajisi msikiti na kuwapiga wa-Misri pale?
21¿Cuándo les detendrán y les llevarán a juicio?Watakamatwa lini na kufunguliwa mashitaka?
22El activista Waleed Sulais no ve motivos para comportarse de forma agresiva:Mwnaharakati Waleed Sulais haoni sababu ya hasira zisizo na sababu:
23No a la violencia.Tuseme hapana kwa matumizi ya nguvu.
24Las diferencias políticas deben ser pacíficas, y recurrir a la violencia o justificarla, sea como sea, es inaceptable.Tofauti za kisiasa zapaswa kuwa kwa amani, na kuchagua matumizi ya nguvu, kwa namna yoyote, haikubaliki
25Es inaceptable maldecir a otros y golpear al que se oponga a ello, es odioso.Kuwalaani wengine haikubaliki na kumpiga yeyote anayepinga hilo haifai.
26La gente tiene dignidad.Watu wanastahili heshima.
27Aziz señala:Aziz anabainisha:
28Se rieron de los seglares cuando dijeron que tener partidos políticos basados ​​en la religión provocará conflictos, incluso en las mezquitas..Waliwacheka wasioongozwa na mitazamo ya kidini waliposema kuwa na vyama vyenye itikadi za kidini kutasababisha migogoro hata misikitini. #عراك_جامع_الفردوس
29Y Mazeed Bandar conecta los puntos.- عَزِيْز (@llAMZll) August 23, 2013
30Dicen que el clérigo ha maldecido a el-Sisi y al Presidente sirio Bashar Al Assad.Na Mazeed Bandar anaunganisha nukta kupata maana kamili. Mhubiri anasemekana kuwalaani el-Sisi na Rais wa Syria Bashar Al Assad.
31Él tuitea..:Anatwiti:
32Este sacerdote no se da cuenta de que Bashar mata con armas rusas, mientras que Al Sisi mata con armas estadounidenses.