Sentence alignment for gv-spa-20140925-254506.xml (html) - gv-swa-20140922-8166.xml (html)

#spaswa
1El CPJ apela a Obama para defender el derecho a informar en la era digitalCPJ Yamtaka Obama Kulinda Haki ya Kutangaza Habari kwenye Enzi za Dijitali
2Una imagen de la campaña Right to Report del Comité para la Protección de los Periodistas.Nembo ya Kampeni ya Haki ya Kutangaza imeandaliwa na Kamati ya Kuwalinda Waandishi.
3Para libre uso.Inaruhusiwa kutumika.
4Global Voices se une a otros 60 medios y organizaciones de libertad de prensa para apoyar la campaña Derecho a Informar en la era digital del Comité para la Protección de los Periodistas dirigida al gobierno de Obama.Global Voices inaungana na mashirika mengine zaidi ya 60 yanayojihusisha na uhuru wa habari kuiunga mkono kampeni ya Kamati ya Kuwalinda Waandishi kwa Haki ya Kutangaza katika Zama za Kidigitali , ikiulenga utawala wa Obama.
5Se han planteado inquietantes preguntas sobre los derechos y la seguridad de los periodistas a la hora de informar en la era digital a partir de las revelaciones sobre la vigilancia, intimidación y explotación a la prensa.Kufahamika kwa vitendo vya ufuatiliaji, kutishiwa na kunyonywa kwa tasnia ya habari kumeibua maswali kuhusu haki na usalama wa waandishi katika kutangaza habari katika zama hizi za kidigitali.
6Estas revelaciones también brindan argumentos a los gobiernos que buscan reforzar las restricciones en los medios y en Internet.Kufahamika kwa vitendo hivyo kadhalika inazilipua serikali zinazotafuta kubana zaidi vizuizi vya uandishi pamoja na mtandao wa intaneti.
7A pesar de que la petición esta dirigida a Obama, se ven afectados periodistas de todo el mundo tanto de manera directa como indirecta.Ingawa ombi hilo limeelekezwa kwa Obama, waandishi kote duniani wanaathirika, iwe moja kwa moja au kwa namna moja au nyingine.
8Los informes sobre la vigilancia a los periodistas por parte de la NSA (Agencia de Seguridad Nacional) y otras agencias de espionaje aliadas-incluyendo un informe acerca del hackeo de la NSA a Al-Jazeera-creó un efecto escalofriante en la prensa.Taarifa kwamba shirika la Usalama wa taifa hilo na mashirika rafiki ya upelelezi yaliwafuatilia waandishi-ikiwa ni pamoja na taarifa kwamba Shirika la Usalama la Marekani (NSA) liliingilia mawasiliano ya Al-Jazeera-zinaleta athari mbaya kwenye vyombo vya habari.
9Desde hace tiempo cruzar los limites ha sido un riesgo para los periodistas, especialmente en lo que respecta a la búsqueda de dispositivos electrónicos.Kuvuka mipaka kiasi hicho kumetengeneza hatari kwa waandishi, hasa kwa kuzingatia matumizi ya vifaa vya kielekroniki .
10Las recientes revelaciones sobre la vigilancia masiva de las plataformas de Internet en Egipto y el Reino Unido, la vigilancia a periodistas en Etiopía y el acoso a los periodistas e informantes de todo el mundo (a veces bajo el auspicio de entidades en contra del estado) recalca el hecho de que los temas planteados en la campaña Derecho a Informar no tienen limites.Kufahamika kwa ufuatiliaji mkubwa wa majukwaa ya mtandaoni hivi karibuni nchini Misri naUingereza, kufuatiliwa kwa waandishi wa habari nchini Ethiopia, na kubughudhiwa kwa waandishi na wakosoaji wa serikali duniani kote (mara nyingi kwa mashtaka ya kudaiwa kuihujumu serikali) vyote vinathibitisha ukweli kwamba masuala haya yanayoibuliwa kwenye kampeni ya Haki ya Kutangaza hayana mipaka.
11Desde Azerbaiyán a Zambia, los gobiernos están acosando a los periodistas mediante la vigilancia de sus comunicaciones y no les hace falta excusas para continuar haciéndolo.Kuanzia Azerbaijan mpaka Zambia, serikali zinawalenga waandishi wa habari kwa kuingilia mawasiliano yao na kwa hakika vitendo hivyo havivumiliki kuachwa kuendelea.
12Las revelaciones sobre el espionaje de la NSA debilitan indiscutiblemente la legitimidad del gobierno estadounidense en argumentar lo contrario.Kufahamika kwa vitendo vya Shirika la Usalama wa taifa Marekani, NSA vinaondoa uhalali wa Marekani kujaribu kudai vinginevyo.
13“En Pakistan, donde se percibe la libertad de expresión como un concepto occidental, las revelaciones de Snowden han tenido un efecto nocivo,” escribió Sana Saleem, directora del grupo paquistaní por los derechos digitales Bolo Bhi y escritora en Global Voices, en una reciente publicación para CPJ.“Nchini Pakistan, ambako uhuru wa kujieleza unachukuliwa kwa dhana ya Kimagharibi, kufahamika kwa vitendo vya kipelelezi kulikowezeshwa na Snowden kumeleta athari mbaya,” Sana Saleem, mkurugenzi wa kikundi cha haki za kidigitali nchini Pakistani Bolo Bhi na mwandishi wa Global Voices, aliandika kwenye kwenye makala ya hivi karibuni kwenye blogu aliyoiandika kwa ajili ya CPJ.
14“Desde el panorama político hasta el discurso publico acerca de la libre expresión y privacidad, las revelaciones de Snowden reafirman el argumento del estado sobre la vigilancia”.“Kuanzia kwenye mwonekano wa sera hadi kwenye maelezo yanayotolewa kwa umma kuhusu uhuru wa habari na faragha, kutobolewa siri kulikofanywa na Snowden kumeimarisha hoja za serikali nyingi kueteta vtendo vya udukuzi.”
15La primera etapa de la campaña es una petición abierta.Hatua ya kwanza kwenye kampeni hii ni kufungua ombi hili la mtandaoni.
16La campaña busca tres compromisos fundamentales por parte del gobierno de Obama:Kampeni hiyo inadai masuala matatu makuu kutoka kwenye utawala wa Obama:
17Decenas de los principales medios de comunicación desde Associated Press a Huffington Post y a Vice News, junto con otras asociaciones de periodistas profesionales como Periodistas Árabes por el Periodismo de Investigación y la Sociedad de Periodistas Profesionales, y otros grupos nacionales e internacionales como Amnistía, Human Rights Watch y IFEX están apoyando la campaña.Makumi kadhaa ya vyombo vya habari kutoka ikiwa ni pamoja na Associated Press, Huffington Post na Vice News, pamoja na vyama vya waandishi wa habari kama vile Chama cha Waandishi wa habari za uchunguzi Uarabuni na Chama cha Waandishi Weledi [Society of Professional Journalists], na makundi ya kutetea haki za kidunia na kitaifa kama vile Amnesty, Human Rights Watch, na IFEX yanaunga mkono kampeni hiyo.
18Algunos destacados periodistas del mundo que incluyen a Christiane Amanpour, Arianna Huffington, Xiao Qiang y Ahmed Rashid también han firmado para mostrar su apoyo, al igual que cientos de otros periodistas, bloggers y ciudadanos que reconocen que la vigilancia y el acoso de los Estados Unidos a los periodistas tiene un impacto que va mas allá de la fronteras nacionales.Waandishi maarufu duniani kote ikiwa ni pamoja na Christiane Amanpour, Arianna Huffington, Xiao Qiang na Ahmed Rashid nao pia wametia saini kuthibitisha wanavyounga mkono kampeni hiyo, pamoja na mamia ya waandishi wengine, wanablogu na wananchi wanaotambua kwamba vitendo vya ufuatiliaji wa mawasiliano na bughudha kwa waandishi vina madhara yanayovuka mipaka ya nchi moja moja.
19Visita la pagina de la campaña Derecho a Informar del CPJ para conocer mas al respecto y encontrar otras formas de como participar.Tembelea ukurasa wa kampeni ya Right to Report inayoendeshwa na CPJ ili kujifunza zaidi kuhusu jitihada hizi na kujua namna unavyoweza kushiriki.