Sentence alignment for gv-spa-20110405-62534.xml (html) - gv-swa-20110411-2065.xml (html)

#spaswa
1Costa de Marfil: ¿Quién controla la televisora estatal RTI?Ivory Coast: Je, nani anadhibiti televisheni ya taifa ya RTI?
2Este post es parte de nuestra cobertura especial de Disturbios en Costa de Marfil 2011.Makala hii ni miongoni mwa makala zetu maalumu kuhusu Vurugu za mwaka 2011 nchini Ivory Coast.
3Hay confusión en torno a quién tiene actualmente el control de Radio Télévision Ivoirienne (RTI), la cadena nacional marfileña de televisión.Bado kuna mkanganyiko kuhusu swali la nani hivi sasa ndiye mwenye udhibiti wa Radio Télévision Ivoirienne (RTI), ambacho ni kituo cha televisheni ya taifa.
4El 31 de marzo, las rebeldes Fuerzas Republicanas (FRCI), leales al internacionalmente reconocido presidente Alassane Ouattara, entraron en Abiyán, la ciudad principal de Costa de Marfil.Mnamo tarehe 31 Machi, Vikosi vya majeshi ya FRCI, ambao ni waasi wanaomuunga mkono rais anayetambuliwa na jumuiya ya kimataifa, Alassane Ouattara, viliingia jijini Abidjan, mji mkuu wa Ivory Coast.
5Cuando llegaron a la sede central de RTI, enfrentaron resistencia de parte de las Fuerzas de Defensa y Seguridad (FDS) de Gagbo.Vikosi hivyo vilipofika kwenye makao makuu ya RTI vilikabiliana na upinzani mkali kutoka Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya FDS vinavyomuunga mkono Gbagbo.
6Burlonamente, se alude a la estación nacional de televisión como “Propaganda TV” o “LMP TV”, debido a la idea preconcebida de que favorece al presidente Laurent Gbagbo, que niega haber perdido las elecciones de diciembre de 2010 y se rehúsa a abandonar el cargo.Televisheni hiyo ya taifa hujulikana kwa jina la kebehi la “TV ya Propaganda” au “TV ya LMP” kwa sababu ya kile kinachochukuliwa kwamba inamwunga mkono Rais Laurent Gbagbo, ambaye amekataa kukiri kwamba alishindwa kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Desemba mwaka 2010 na amekataa kuachia madaraka.
7RTI se ha convertido en el escenario de una guerra por el control.RTI imegeuzwa kuwa uwanja wa kuwania udhibiti kamili wa vita.
8La señal fue cortada primero durante 24 horas, y el 1 de abril de 2011, Directscoop, un blog de información ciudadana sobre temas de África, anunció [fr] que la señal del canal había vuelto:Kwanza matangazo yalikatwa kwa saa 24, na mnamo tarehe 1 Aprili, 2011 Directscoop, ambayo ni blogu ya habari za kiraia za kutoka Afrika, ilitangaza [fr] kwamba mawimbi ya kituo hicho yalikuwa yameanza kupatikana tena:
9Radiodifusión de Televisión Marfileña (RTI) ha reiniciado la difusión de su señal el viernes un poco después de las 19 horas.RTI ilianza tena kurusha matangazo mara tu baada ya saa 1 jioni siku ya Ijumaa
10El lector Wanyu comentó:MsomajiWanyu, aliotoa maoni haya:
11Una película de Damon: «El ultimátum Bourne» es lo que están dando en este momento en RTI.Filamu ndefu ya hadithi inayomjumuisha Matt Damon: “The Bourne Ultimatum” inaendelea kurushwa hewani kupitia RTI
12Infodabidjan.net [fr], un sitio web de noticias que está a favor de Gbagbo, publicó en su perfil de YouTube este video ciudadano grabado el 1 de abril de 2011:Infodabidjan.net [fr], a ambayo ni tovuti ya habari, iliingiza kwenye YouTube video hii ya kiraia iliyopigwa tarehe 1 Aprili, 2011:
13La leyenda debajo del video explica:Maelezo chini ya video yanaeleza:
14Primeras imágenes de RTI luego de su liberación.Picha za mwanzo baada ya RTI kukombolewa
15Un grupo grande de Facebook llamado “Comité de lucha en contra la injerencia francesa en Costa de Marfil” (Comité de lutte contre l'ingérance Française en Côte d'Ivoire) [fr] que reúne a 6720 miembros partidarios de Gbagbo, distribuyó el video en el noticiario de televisión de RTI el 2 de abril: se muestra a militantes de FDS leyendo un comunicado de prensa, explicando que fueron atacados por fuerzas de Ouattara, con respaldo de la Oficina de las Naciones Unidas en Costa de Marfil (ONUCI).Kundi kubwa la Facebook linalojiita “The Comittee for the struggle against French interference in Côte d'Ivoire” (yaani Kamati ya mapambano dhidi ya uingiliaji wa Ufaransa kwenye mambo ya ndani ya Ivory Coast) [fr] ambalo lina kiasi cha wanachama 6720 wanaomwunga mkono Gbagbo, ilituma kwenye ukurasa wake video ya RTI ya matangazo ya tarehe 2 Aprili, Upande wa Habari za Televisheni : Wanajeshi wa FDS walionyeshwa wakisoma taarifa kwa vyombo vya habari, ikieleza jinsi walivyoshambuliwa na vikosi vya Ouattara, vikiungwa mkono na Ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini Ivory Coast (ONUCI).
16También dijeron que la situación en RTI -así como en Abiyán- está ahora bajo control, y que la gente debería seguir con sus vidas como siempre.Walieleza pia kwamba hali katika vituo vya RTI - na hata Abidjan - kwa ujumla ilikuwa shwari na kwenye udhibiti , na kwamba watu waendelee na harakati za maisha yao kama kawaida.
17En Twitter, las personas reaccionaron inmediatamente a esta intervención:Kupitia Twita, raia walitoa miitiko kuhusiana na uingiliaji kati huu mara moja:
18@Gare_au_gorille estaba indignado:@Gare_au_gorille alikasirishwa mno:
19@Gare_au_gorille: RTI quiere un escudo humano y no comunica del toque de queda #civ2010 ¡¡¡QUÉDENSE EN SUS CASAS y pasen la voz!!!RTI inataka kujenga ngao ya binadamu kwa kutotangaza amri ya kutotembea hadharani #civ2010. BAKINI NYUMBANI na msambaze ujumbe huu!!!
20@JusticeJFK también:@JusticeJFK naye:
21@JusticeJFK: FDS interventor en RTI: “llamamos a la población a hacerse cargo de sus ocupaciones normalmente”.Msemaji wa FDS kupitia RTI: “Tunawatangazia watu kuendelea na shughuli zao kama kawaida” Huku ni kukosa uwajibikaji!!!
22¡¡¡Qué irresponsabilidad!!! “El comité para la lucha en contra de la injerencia francesa en Costa de Marfil” distribuyó otro video, grabado la mañana del 2 de abril en las oficinas de RTI, y como prueba de que la televisora estatal está ahora en manos de las FDS partidarias de Gbagbo.“The committee for the struggle against French interference in Côte d'Ivoire” (yaani Kamati ya mapambano dhidi ya uingiliaji wa Ufaransa kwenye mambo ya ndani ya Ivory Coast) ilituma video nyingine iliyopigwa tarehe 2 Aprili katika ofisi za RTI, na kama ushahidi kwamba sasa televisheni ya taifa ilikuwa mikononi mwa FDS inayomwunga mkono Gbagbo.
23Fue vuelto a publicar en Youtube por AfricaWeWish:Video hiyo ilitumwa tena kwenye Youtube na AfricaWeWish:
24Stéphane Kassi, trabajador de RTI, explica qué pasó el jueves 31 de marzo de 2011:Stéphane Kassi, ambaye ni mwajiriwa wa RTI anaeleza kuhusu kile kilichotokea tarehe 31 Machi, 2011:
25El jueves (…) luego de la alerta por el ataque de la rebelión, tratamos de replegarnos, a la parte de la ciudad que está más cerca.Baada ya tahadhari kuhusu shambulio litakalofanywa na waasi, tulijaribu kujiondoa na kujikusanya katika eneo la karibu kabisa.
26(…) No somos agentes del régimen, pero hicimos lo mejor que pudimos.Sisi sio mawakala wa watu wenye wanaodhibiti utengenezaji wa matangazo, lakini tulijaribu vile tulivyoweza.
27(…) Los combates se llevaron a cabo, y logramos escondernos en algún sitio hasta que nos regresaron.(…) Mapigano yalitokea, na tulifaulu kujificha mahali mpaka tulipookolewa.
28Esta mañana estamo ahí, como el país nos lo pide, estamos ahí para defender a nuestra patria”.Asubuhi ya leo tupo hapa, kama vile nchi inavyotaka; tupo hapa ili kulinda utaifa wetu.
29Este post es parte de nuestra cobertura especial de Disturbios en Costa de Marfil 2011.Makala hii ni sehemu ya Makala zetu maalumu kuhusu Machafuko ya mwaka 2011 nchini Ivory Coast..