Sentence alignment for gv-spa-20120716-128761.xml (html) - gv-swa-20120624-3230.xml (html)

#spaswa
1Sudán: cibernautas confirman rumores de bloqueo de InternetSudani: Watumia Mtandao Wathibitisha Tetesi za Kukatwa kwa Intaneti
2Los cibernautas estuvieron observando de cerca a Sudán, luego que las autoridades sudanesas intentaron cortar Internet - un escalofriante recordatorio del intento de Egipto de silenciar a los activistas y reprimir la revolución del 25 de enero, cuando desconectaron la energía del www el 27 de enero del 2011.Watumiaji wa mtandao wanafuatilia kwa karibu yanayoendelea ndani ya Sudani, kufuatia tetesi kwamba Serikali ya Sudani inakusudia kukata mtandao wa intaneti -hatua inayokumbushia jaribio la Misri kuwanyamazisha wanaharakati na kuthibiti mapinduzi ya Januari 25 pale ilipoondoa uwezekano wa watu kuwasiliana kwa mtandao wa intanenti mnamo Januari 27.
3En Twitter, el jordano Ali Alhasani informó:Kwenye mtandao wa twita, Ali Alhasani, raia wa Jordan aliripoti:
4@_AHA: ÚLTIMO MINUTO: Informes de CORTE de Internet en #Sudan.@_AHA: HABARI MPYA: Zinaripoti kwamba intaneti IMEKATWA nchini Sudan.
5Si es cierto, entonces que Dios esté con ellos ¡porque no sabremos nada! #SudanRevolts [revueltas en Sudán]Kama ni kweli basi Mungu awe nao kwa sababu hatutaweza kujua chochote kinachoendelea huko!
6En la tarde del 22 de junio, la periodista egipcia Salma Elwardany, que informa desde Jartum, tuiteó:Masaa manne yaliyopita, mwandishi wa habari wa ki-Misri Salma Elwardany, ambaye anaripoti kutoka Khartoum, alitwiti:
7@S_Elwardany: noticias de que el gobierno de Sudán podría cortar Internet. #Sudanrevolts@S_Elwardany: Habari zinadai kuwa serikali ya Sudan inaweza kukata mtandao wa intaneti
8En preparación para el previsto apagón, se estableció un servicio Speak to Tweet [habla para tuitear].Katika kujiandaa na matarajio ya kukatiwa mtandao, huduma ya Kutwiti kwa kuongea maneno imetengenezwa.
9Rodrigo Davies tuiteó al respecto:Rodrigo Davies alitwiti kuhusu suala hili:
10@rodrigodavis: Querido #Sudan‬, en caso que #Bashir‬ apague Internet, Speak to Tweet usando +16504194196 o +390662207294 ‪#SudanRevolts‬ ‫. #السودان_ينتفض@rodrigodavis: Mpendwa Sudani, kama Bashir atakata mtandao wa intaneti, twiti kwa kuongea maneno kwa kutumia +16504194196 au +390662207294 ‪#SudanRevolts‬ ‫#السودان_ينتفض
11Los cibernautas rápidamente compararon notas sobre quién está disponible en internet en Sudán.Mara tu baada ya tangazo hilo, watumiaji wa mtandao walianza kuambiana nani yungali mtandaoni nchini Sudan,
12Sara Elhassan escribió:Sara Elhassan anaandika:
13@BSonblast: @SudaneseThinker @Usiful_ME está en Sudán y todavía está tuiteando.@BSonblast: @SudaneseThinker @Usiful_ME yuko Sudani na bado anatwiti
14Y la israelí Elizabeth Tsurkov agregó:Na Israeli Elizabeth Tsurkov anaongeza:
15@Elizrael: @JustAmira @SudaneseThinker veo demasiadas personas tuiteando desde Sudán como para que sea verdad… Ver @elizrael/sudanpeeps.@Elizrael: @JustAmira @SudaneseThinker Naona watu wengi bado wanatwiti kutokea Sudan nina mashaka kama ni kweli …jionee kwa @elizrael/sudanpeeps
16Las protestas empezaron [en] en la Universidad de Jartum el 17 de junio, cuando cientos de estudiantes denunciaron las medidas de austeridad que planeaba el gobierno.Maandamano yalianza katika Chuo Kikuu cha Khartoum mnamo June 17, ambapo mamia ya wanafunzi walipinga hatua za kubana matumizi zinazotarajiwa kuchukuliwa na serikali.
17Las protestas se encontraron con brutalidad policial y arrestos, lo que avivó más la rabia y las protestas en los días siguientes.Waandamanaji walipambana na polisi na wengi wakawekwa kizuizini, hatua ambayo iliamsha hasira na maandamano zaidi katika siku zilizofuata.
18Ben Wedeman de CNN comentó:Mwandishi wa habari wa shirika la utangazaji la CNN, Ben Wedeman ana maoni yafuatayo:
19@bencnn: Si #Egypt [Egipto] no fuera un permanente tsunami de noticias, #Sudan estaría recibiendo más atención.@bencnn: Ikiwa Misri haikuwa Tsunami ya habari masaa 24 kila siku, basi naona Sudan imenasa macho zaidi.
20Sudán tiene una historia rica en rebelión y revolución.Nchi hii ina historia ndefu ya uasi na mapinduzi.
21Arab Revolution agregó:Arab Revolution anaongeza:
22@ArabRevolution: Ver los videos de #SudanRevolts me recuerda cómo empezó #Yemen.@ArabRevolution: Ninavyotazama video za mapinduzi ya Sudani nakumbuka namna yalivyoanza [mapinduzi] huko Yemen.
23Decenas en las calles, pero con mucha pasión.Ni watu wachache tu walitoka mitaani, lakini wakiwa na ari ya kutekeleza walichokitaka.
24Fuera toda la revolución en semanas.Haya yatakuwa mapinduzi makubwa katika kipindi cha majuma machache.
25Y la falta de noticias en los medios convencionales de lo que estaba ocurriendo en Sudán molestó a los activistas.Na kutokuwepo kwa habari katika vyombo vikuu vya habari kuonyesha kile kinachotokea nchini Sudani kunawakera wanaharakati.
26El blogger egipcio Wael Abbas preguntó [ar]:Mwanablogu wa Misri Wael Abbas anauliza [ar]:
27‬@waelabbas: ¿Por qué Al Jazeera no está cubriendo nada de los incidentes en Sudán?‬@waelabbas: Kwa nini Aljazeera haionyeshi kabisa habari za matukio yanayotokea Sudani?
28Al Jazeera, que ofreció total cobertura en vivo de la revolución egipcia desde su epicentro en la Plaza Tahrir en el centro de El Cairo, ha sido reconocida por ‘exportar' la chispa de la revolución a las salas de los hogares en todo el mundo árabe.Al Jazeera, ambayo ilirusha habari za moja kwa moja katika kipindi cha mapinduzi ya Misri kutokea katika kituo chake kidogo kilichokuwepo karibu na viwanja vya Tahrir mjini Cairo, ilisifika sana kwa kuzifikisha ‘cheche' za mapinduzi katika sebule zote za nchi za kiarabu.