Sentence alignment for gv-spa-20140226-228260.xml (html) - gv-swa-20140225-6632.xml (html)

#spaswa
110 razones por las que no quiero Ley Sharia en PakistánSababu 10 Kwa nini Siafiki Shariah Nchini Pakistan
2Uno de los negociadores del Talibán dejó la mesa de negociación con el gobierno de Pakistán, demandando que la agenda de trabajo incluyera la imposición estricta de la Ley Sharia.Mmoja wa msemaji wa Taliban alijitoa kwenye majadiliano ya hivi karibuni na serikali ya Pakistan na kudai kuwa ajenda ni pamoja na kuanzishwa kwa sharia kali.
3El bloguero y periodista paquistaní Beena Sarwar [en] compartió una nota de protesta publicada en Facebook bajo el título “10 razones por las que no quiero Ley Sharia en Pakistán” por las comunidades Los Traidores de Pakistán [en] (Pakistanís liberales/seculares en contra de la opresión, discriminación, extremismo e intolerancia) y Pakistan Vota [en] (comunidad activista).Mwanablogu wa Pakistan na Mwandishi wa Habari Beena Sarwar alipinga wazo hilo kupitia tamko aliloliweka katika mtandao wa Facebook lenye kichwa cha habari ‘sababu 10 kwa nini sitaki Shariah nchini Pakistan' na linapatikana katika mitandao mingine ya kijamii kamaKusitisha Udini Pakistan, harakati za kupinga ukandamizaji, ubaguzi, kuvuka mipaka na uvumilivu na Uchaguzi wa Pakistani linaloendeshwa na Asasi za Kiraia.
4Aquí algunas de las razones planteadas en dicho artículo:Hapa ni baadhi ya sababu:
51. La religión y cómo la practico es negocio mio y no del estado.1. Dini na ninavyochagua kuishi ni biashara yangu na ni suala lisiloihusu Serikali.
62. Implementar la Ley Sharia no me hará un mejor musulmán y no hará de Pakistán un estado de bienestar.2. Kutekeleza Shariah hakutanifanya kuwa muislamu bora wala kuboresha hali ya mambo nchini Pakistan.
7Los países con estados de bienestar son todos gobernados por gobiernos seculares.Mataifa yote yaliyoendelea yanatawaliwa na serikali zisizo za kidini.
83. Rechazo la idea de que la Sharia puede ser puesta en práctica por aquellos que han pillado y violado mi país, hecho explotar templos y escuelas y decapitado soldados.3. Kukataa wazo kwamba Shariah kwa namna yoyote inaweza kutekelezwa na wale ambao wamebaka na kupora nchi yangu, kulipua shule na misikiti na kukata askari vichwa.
9No les daré el derecho de dictar sobre mí a estos criminales.Sitawapa wahalifu hawa haki ya kuniamrisha.
104. No renunciaré a mis derechos civiles, incluyendo mi libertad de pensamiento y expresión, bajo la excusa de Ley Sharia4. Sitasalimisha haki yangu ya kiraia, ikiwa ni pamoja na uhuru wa mawazo na kujieleza, chini ya kivuli cha Shariah..