Sentence alignment for gv-spa-20130805-199211.xml (html) - gv-swa-20130718-5525.xml (html)

#spaswa
1Comida contaminada mata a escolares en la IndiaIndia: Chakula Chenye Sumu Chaua Watoto 24
2Veintidós niños [en] de entre cuatro y doce años [en] murieron en una escuela pública de primaria en el estado indio de Bihar después de ingerir comida contaminada el 16 de julio de 2013.Mnamo tarehe 16 Julai, 2013, watoto 22 walio na umri kati ya miaka minne na 12 katika shule moja ya msingi ya serikali katika jimbo la Bihar nchini India, walipoteza maisha mara baada ya kula chakula cha mchana kinachoamikiwa kuwa kilikuwa na sumu.
3Muchos más fueron hospitalizados en estado grave en la aldea rural pobre de Chapra.Wengi wao wakiwa ni wakazi wa kijiji masikini cha Chapra, walilazwa hospitalini kufuatia hali zao kuwa mbaya sana.
4Se cree que la comida había estado envenenada por pesticidas.Chakula walichokula kinaaminika kuwa kilikuwa na dawa ya kuulia wadudu.
5La tragedia fue el peor incidente en una serie de comidas escolares aparentemente contaminadas.Janga hili limekuwa tukio baya kabisa lililotokana na uzembe wa wazi kwa chakula cha mchana cha wanafunzi hao kuchanganyikana na sumu.
6En un incidente independiente en el distrito Madhubani de Bihar, 15 estudiante [en] se enfermaron después de comer su almuerzo.Katika tukio lingine huko Bihar katika wilaya ya Madhubani, wanafunzi 15 waliugua mara baada ya kula chakula cha mchana.
7En Gaya-Bihar [en], un estudiante murió después de comer la comida del colegio.Huko Gaya-Bihar, mwanafunzi mmoja alipoteza maisha baada ya kula chakula cha mchana.
8Y en otro incidente aislado en Dhule [eng] en el distrito de Maharashtra, 31 niños fueron hospitalizados después de haber tomado el almuerzo del colegio.Na katika tukio jingine huko Dhule katika wilaya ya Maharashtra, watoto 31 walilazwa hospitalini mara baada ya kupata chakula cha mchana.
9Un estudiante en un colegio hindi financiado por el gobierno en las afueras de Mumbai, India, 2011.Mwanafunzi wa shule ya Kihindi inayofadhiliwa na serikali nje kidogo ya Mumbai, India, 2012.
10Foto del autor.Picha na mwandishi wa makala hii.
11El programa de almuerzos [en], que comenzó en 1960, es una de las metas más antiguas de la India para fomentar que las clases marginales envíen al colegio a los niños.Utaratibu wa chakula cha mchana, ulioanza miaka ya 1960, ni miongoni mwa taratibu za siku nyingi sana nchini India ulio na lengo la kuwapa moyo familia masikini kuwapeleka watoto wao shuleni.
12A parte de la educación, se da una comida para cada estudiante como un incentivo para la escolarización.Mbali na elimu, kutolewa kwa chakula kwa kila mwanafunzi, imekuwa kama hamasa kwa ajili ya kuwavutia wanafunzi kuandikishwa mashuleni.
13Sin embargo, desde el comienzo del programa, informes de malversación de comida destinada a niños han salido a la superficie de manera regular.Hata hivyo, tangu kuanza kwa utaratibu huu, kumekuwa na taarifa za wazi za ubadhirifu wa chakula kilichokusudiwa kwa wanafunzi.
14Un noticia en 2006 sacó a la luz que estudiantes de una escuela primaria en Darjeeling fueron privados de sus comidas durante 18 meses [en].Kwa mujibu wa taarifa za habari za mwaka 2006, ilionekana kuwa, wanafunzi wa shule za misingi za Darjeeling walikabiliana na upungufu wa chakula kwa muda wa miezi 18.
15El asunto ha dado un giro político, como era esperado.Kama ilivyotarajiwa, jambo hili limechukuliwa kisiasa.
16El partido político en el poder ha alegado que la oposición se ha entregado a una conspiración para culpabilizarlos a ellos.Chama kilichopo madarakani kilidai kuwa upinzani umejihusisha katika njama za kuwateka watu kimtizamo.
17El esposo de la directora del colegio es señalado [en] como la figura política responsable de proveer comida al colegio.Mume wa mkuu wa shule anaelezwa kuwa na ushawishi mkubwa wa kisiasa na ndiye aliyekuwa msambazaji wa chakula shuleni hapo.
18La negligencia de la parte del gobierno ha enfadado a muchos en los sitios de redes sociales:Serikali kushindwa kutilia mkazo tukio hili, umewaghadhabisha watu wengi katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
19Vikram Singh, un usuario de Twitter residente en la India, (@cynicalvs [en]) escribió:Mtumiaji wa Twita aliye na makazi yake nchini India, Vikram Singh (@cynicalvs) aliandika:
20@cynicalvs: ¿Cómo pueden morir niños por causa de un almuerzo?@cynicalvs: watoto wanawezaje kufariki baada ya kula chakula cha mchana?
21Es comida.Ni chakula.
22Alguien debe ser juzgado por asesinato.Kunamtu anapaswa kushitakiwa kwa kosa la mauaji.
23#chappra#chappra
24Tan pronto como los periodistas comenzaron a llegar los hospitales para informar sobre la situación, más gestión inadecuada afloró a la superficie.Mara baada ya waandishi wa habari kuanza kutembea mahospitalini kwa ajili ya kutoa taarifa za tukio hili, matumizi mabaya ya madaraka yaliendelea kujitokeza.
25Picha katika mfumo wa video za mtandaoni ziliwaonesha watoto walionusurika wakiwa mamelala kila mmoja karibu na mwenzakeAs soon as journalists began reaching hospitals to report on the situation, more mismanagement came to surface.
26Las imágenes del vídeo retransmitido mostraban a niños sobrevivientes tendidos uno al lado del otro apretujados [en], y agua salina siéndoles administrada.The streamed video images showed surviving children laid next to each other kwa kubanana kwenye dawati huku wakigawiwa maji ambayo ni myeyusho wa chumvi na maji.
27Milind Khandekar, director editorial de ABP News (@milindkhandekar [en]), observó:Milind Khandekar, ambaye ni mhariri mkuu wa kampuni ya uhabarishaji ya the managing editor of ABP News (@milindkhandekar), alitoa maoni yake:
28@milindkhandekar: Imágenes de Chapra muestran familiares usando hojas de papel para abanicar a los niños en el hospital.@milindkhandekar: picha kutoka Chappra zinawaonesha ndugu wa watoto waliolazwa hospitali wakiwapepea watoto wao kwa makaratasi.
29¿Es este Bihar el modelo de desarrollo?Huu ndio ‘mfano mzuri wa maendeleo ya Bihar'?
30Este incidente, con bastante rapidez, impulsó a los usuarios de redes sociales a discutir la neglicencia y arrogancia de los políticos indios.Mapema kabisa, tukio hili liliwapelekea watumiaji wa mitandao ya kijamii kujadili hali ya dharau na kiburi iliyooneshwa na wanasiasa wa India.
31Abhijit Majumder, un periodista de Delhi (@abhijitmajumder [en]), tuiteó:Abhijit Majumder, ambaye ni mwandishi wa habari kutoka Delhi (@abhijitmajumder), alitwiti:
32@abhijitmajumder: Nuestros políticos no discriminan.@abhijitmajumder: Wanasiasa wetu hawabagui.
33Tecnología telefónica 2G para los acomodados o NREGA, almuerzo para los más pobres, todos son robados con el mismo entusiasmo.2G kwa wale wanaojiweza au NREGA, chakula cha adhuhuri kwa mafukara, wote wanadanganywa kwa mvuto sawa.
34#Chhapra#Chhapra
35Estudiantes de un colegio hindi en las afueras de Mumbai comen en el suelo sin asientos ni platos.Wanafunzi wa shule ya Kihindi nje kidogo ya Mumbai wakipata chakula wakiwa wamekaa chini pasipo kuwa na viti wala bakuli.
36Otro estudiante muestra una fiambrera y se queja de la calidad de la comida.Mwanafunzi mwingine akionesha kibobo chenye chakula cha adhuhuri huku akilalamika kuhusu ubora wa chakula hicho.
372011. Foto del autor.2012. Picha na Mwandishi wa makala hii.
38Majumder, hacía referencia a recientes estafas como la de la tecnología 2G [en] y NREGA [en], que ascienden a billones de dólares y que han plantado una seria desconfianza hacia la manera en la que el gobierno indio funciona.Majumder, alirejelea matukio ya udanganyifu yaliyotokea hivi karibuni, kama yale ya2G na NREGA, ambayo yaligharimu mabilioni ya dola na kupandikiza hali ya kukosa imani kubwa kwa namna serikali ya India inavyotimiza majukumu yake.
39Otro periodista asentado en Dheli, Raghavendra Verma (@r_verma [en]), hizo un comentario de la actitud general de los profesores en estos colegios administrados por el gobierno:Mwandishi mwingine wa habari ambaye makazi yake ni Delhi, Raghavendra Verma (@r_verma), alitoa maoni yake kuhusu namna ambavyo walimu wanavyozichukulia shule zinazomilikiwa na serikali. :
40@r_verma: Los profesores de los colegios les sirven el almuerzo a los niños como si les estuviesen haciendo un gran favor personal.@r_verma: walimu huwapatia watoto chakula cha adhuhuri kana kwamba wamejitolea sana na kwa upendeleo mkubwa.
41#Chhapra#Chhapra
42Fazal Abbas (@fazlabas [en]), un usuario de Twitter residente en Mumbai, aportó una perspectiva histórica al debate en curso:Fazal Abbas (@fazlabas), ambaye ni mtumiaji wa Twita aishiye Mumbai, alitoa historia kuhusiana na tukio hili:
43@fazlabas: Chhapra permanece igual que como nuestro primer presidente, Dr. Rajendra Prasad, la dejó hace medio siglo atrás.@fazlabas: Chhapra ni kama ilivyokuwa kwa Rais wetu wa kwanza Dk. Rajendra Prasad aliyefariki miaka 50 iliyopita.
44Los niños están muriendo por la educación.Watoto wanafariki kwa ajili ya elimu.
45Kiran Bedi (@thekiranbedi), un antiguo oficial de policía de Dehli reconocido por sus actividades filantrópicas y su cruzada anti-corrupción en la India, tuiteó:Kiran Bedi (@thekiranbedi), ambaye ni askari mstaafu kutoka Delhi, ambaye anajulikana kwa utendaji kazi uliotukuka na mmoja wa wapinga rushwa nchini India, alitwiti:
46@thekiranbedi: Los almuerzos, en los colegios son un escándalo y anti higiénicos.@thekiranbedi: Mlo wa adhuhuri, ni wenye majungu na usio katika hali ya usafi.
47¡Los profesores también están malgastando su tiempo cocinando!Pia, walimu wanapoteza tu muda wao kupika chakula hicho!
48¿Por qué no se sirve fruta y frutos secos?Kwa nini wasiwagawie matunda na njugu?
49Las palabras de Bedi se corroboran con la evidencia fotográfica más arriba.Maelezo ya Bedi yanaunga mkono ushahidi wa picha uliotangulia kutolewa.
50No solo en Bihar el gobierno administra colegios, en toda la India, seguramente habrá grandes historias [en] de negligencias y mala gestión para contar.Sio tu Bihar, miongoni mwa shule zinazomilikiwa na serikali nchini India zilizoweza kuwa na mengi ya kujadiliwa kuhusiana na kutotilia maanani mambo na usimamizi mbovu.
51En lo que concierne este caso, el gobierno indio fue rápido anunciando una compensación de 2 lakhs [en] (alrededor de 3,367 dólares americanos) a las familias de las víctimas.Kwa jinsi shauri hili lilivyo, serikali ya India ilipaswa haraka sana itangaze fidia ya lakhs 2 (takribani dola za kimarekani 3,367) kwa familia za wahanga.
52La causa exacta de cómo la comida llegó a ser contaminada está siendo estudiada, en breve, un largo proceso burocrático seguirá.Uchunguzi wa ni kwa namna gani chakula hiki kilichanganyika na sumu bado unaendelea-kwa ufupi, mchakato mrefu wa kiuchunguzi unafuata.
53¿Rendirán cuentas los culpables?Je, waliohusika watawajibishwa.