Sentence alignment for gv-spa-20120806-131934.xml (html) - gv-swa-20130411-3664.xml (html)

#spaswa
1Bahréin: ‘Boicot a las Olimpíadas’Bahrain: ‘Kususia michezo ya Olimpiki’
2Este artículo es parte de nuestra cobertura especial de las Olimpíadas de Londres 2012 y Las protestas en Bahréin 2011/12.Makala haya ni sehemu ya makala zetu maalum michezo ya Olimpiki London 2012 na Maandamano Bahrain 2011/12
3El hijo del rey de Bahréin, el príncipe Nasser Bin Hamad Al Khalifa es el líder de los deportes en Bahréin; no fue elegido democráticamente, sino que fue designado como el resto de su familia, quienes están en el poder.Mwana wa mfalme wa Bahrain, Nasser Bin Hamad Al Khalifa ni mwanamume aliyemstari wa mbele kwenye michezo Bahareni; hakuchaguliwa kidemokrasia bali aliteuliwa kama wengine kwenye familia yao, walioko madarakani.
4El joven obtuvo fama tras la revuelta del 14 de febrero del año pasado, cuando supuestamente torturó personalmente a muchos atletas bahreiníes, quienes se unieron a las filas de protestantes en manifestaciones masivas, exigiendo un cambio político en el país.Kijana huyu alipata umaarufu baada ya mieleka mnano Februari 14 mwaka jana, ilipodaiwa kuwa aliwatesa wanamichezo wengi wa Bahrain, waliojiunga na ranki za waandamanaji katika maandamano makubwa wakidai mabadiliko ya kisiasa nchini humo.
5Nasser utilizó Twitter durante la revuelta, tuiteando con su nombre real, amenazando con cobrarse venganza de aquellos que sean anti régimen.Nasser alitumia twita wakati wa myanyuko, akitwiti kwa kutumia jina lake halisi, akitishia kulipiza kwa wale wanaopinga utawala.
6Cuando las campañas [en] comenzaron a pedir su eliminación de las Olimpíadas de Londres, borró sus tuiteos.Wakati kampeni zilipoanza kutoa wito wa kuondolewa kwake kwenye mashindano ya Olimpiki jijini London, alifuta twiti zake.
766,254 seguidores y cero tuiteos.Wafuasi 66,254 na twiti sifuri.
8Todos los tuiteos fueron borrados el mes pasado cuando el príncipe temia ser apartado de Londres por acusaciones de tortura.Twiti zote zilifutwa mwezi jana wakati mkuu huyo alipoogopa kupigwa marufuku kutoka London kwa madai ya mateso.
9En noviembre pasado, ESPN armó un gran escándalo cuando revisó el tema de los atletas detenidos y torturados de Bahréin. En el video, los atletas hablan de peder sus lugares en sus equipos, de ser detenidos y severamente humillados como traidores, de que sus creencias Shia fueron insultadas y de que fueron torturados personalmente por el príncipe.Novemba mwaka uliopita, ESPN ilizua rabsha kwa kupitia upya swala la kukamatwa na kuwateza wanamichezo wa Bahrain. katika kanda ya video, wanamichezo hao walilalamika kuhusu kupoteza nafasi zao kwenye timu zao, kukamatwa kwao, kufedheheshwa kwa ukali kama wasaliti, kukana imani yao ya Shia, na kuteswa na mkuu huyo mwenyewe.
10Arresten al torturadorAkamatwe mtesaji huyo
11En la ceremonia de apertura de los Juegos Olímpicos, el activista Jamila Hanan (@JamilaHanan) tuiteó esta foto de Nasser Bin Hamad con el Ministro de Asuntos Exteriores de Bahréin:Katika sherehe za ufunguzi wa michezo ya Olimpiki, mwanaharakati Jamila Hanan (@JamilaHanan) alitwiti picha hii ya Nasser Bin Hamad akiwa na Waziri wa kigeni wa Bahrain:
12@JamilaHanan: El tipo adelante con la corbata roja.@JamilaHanan: Mtu aliye mbele upande wa kulia na tai nyekundu.
13VIP en las #Olympics. Es un torturador.Mtu muhimu sana katika #michezo ya Olimpiki.
14De atletas.Mtesaji wa wanariadha.
15Príncipe Nasserde #Bahrain.Mkuu Nasser wa #Bahrain.
16Bahrainu Citizen comentó:Bahrainu Citizen ilitoa maoni:
17@Bahrainycitizen: Nasser Bin Hamad estuvo involucrado personalmente en la tortura de los detenidos y hoy le permiten estar presente en la ceremonia de apertura de #Olympics (los Juegos Olímpicos).@Bahrainycitizen: Nasser Bin Hamad alihusika yeye mwenyewe kuwatesa waliokamatwa na hivi leo ameruhusiwa kuhudhuria sherehe ya ufunguzi #Michezo ya Olimpiki
18El tuitero Kenneth Lipp señaló:Tweep Kenneth Lipp alibainisha:
19@kennethlipp: Supe que la familia real de Bahréin está presente en las Olimpíadas. Cualquier nación civilizada haría que los arrestaran inmediatamente.@kennethlipp: Naskia familia ya kifalme ya Bahrain ni wahudumu katika michezo ya Olimpiki, nchi yoyote yenye ustaarabu ingewakamata mara moja.
20El activista iraquí Khalid Ibrahim tuiteó:Mwanaharakati wa Iraqi Khalid Ibrahim alitwiti:
21@khalidibrahim12: Sin duda, que el gobierno de #UK (Reino Unido) invite a un torturador de #Bahrain va en contra de toda la ética y los principios con los que se fundaron los #Olympics@khalidibrahim12: Bila shaka kumwalika mtesaji # Bahrain kupitia serikali ya # Uingereza ni kupingana na maadili na kanuni ambapo zimetumika kuanzisha #michezo ya Olimpiki.
22A su vez, la activista bahreiní por los derechos humanos, Maryam Alkhawaja (hija de Abdulhadi Alkhawaja, que es la figura opositora y está encarcelado) exigió un boicot a las Olimpíadas:Katika kurudi, mwanaharakati wa haki za binadamu Maryam Alkhawaja (binti wa takwimu jela upinzani Abdulhadi Alkhawaja) alitoa wito kwa ajili ya kugomea michezo ya Olimpiki:
23@MARYAMALKHAWAJA: RT si estás de acuerdo: Estoy boicoteando #olympics2012 porque, a pesar que se presentaron pruebas, #UK n #Olympics (Reino Unido y las Olimpíadas) permitieron que un supuesto torturador de #Bahrain asistiera.@MARYAMALKHAWAJA: RT kama unakubali: Ninagomea#michezo ya Olimpiki2012 kwa sababu licha ya kutolewa ushahidi, #Uingereza na#Olimpiki iliwaruhusu watesaji wanaodaiwa kuhudhuria.
24Los atletas no nos representanWanariadha hawa hawatuwakilishi sisi
25Sólo 3 de los atletas de Bahréin en las Olimpiadas son de padres bahreiníes.Ni wanariadha watatu tu wa Bahrain ambao wazazi wao ni wa Bahrain.
26Imagen de @Ali_Milanello en Twitter.Picha kwa niaba ya @Ali_Milanello kwenye twita.
27Otro motivo para exigir un boicot a los Juegos Olímpicos es el número de atletas naturalizados que hay en el equipo.Sababu nyingine ya wito wa kugomea michezo ya olimpiki ni baadhi ya wanariadha umenawiri katika kikosi.
28Durante la ceremonia de apertura, muchos bahreiníes tuitearon que esos atletas fueron naturalizados y no tienen absolutamente ninguna relación con Bahréin, salvo la posesión de la nacionalidad para representar al país en los juegos y cobrar por ello.Wakati wa sherehe za ufunguzi, Wa-Bahareni wengi walitwiti kwamba hao wanariadha wameomba uraia na hawana uhusiano wowote na Bahrain isipokuwa kuwakilisha nchi katika michezo kwa kulipwa fedha tu kwa ajili hiyo.
29Este tema es polémico en Bahréin teniendo en cuenta cómo esos atletas llegaron a reemplazar a los atletas bahreníes “no deseados” y debido a la “naturalización política” que el gobierno ha estado practicando durante mucho tiempo para expandir su base de seguidores y para emplearlos en las fuerzas de seguridad.Suala hili ni tata katika Bahrain ukizingatia jinsi wale wanariadha huja kuchukua nafasi “zisizohitajika” wanariadha Bahraini na kwa sababu ya ‘kisiasa uraia' ambayo imekuwa kwa muda mrefu inatekelezwa na serikali ya kupanua wigo wake wa wafuasi na kuwaajiri katika vikosi vya usalama.
30En un comentario, el bahreiní Ala'a Al Shehabi tuiteó:Katika Maoni yake, Bahraini Ala'a Al Shebabi Alitwiti:
31@alaashehabi: No nos alegra ver al equipo #Bahrain #Olympics con un bahreiní incluido simbólicamente (el resto son naturalizados): sentimos desazón por los más de 20 atletas encarcelados.@alaashehabi: Hakuna furaha tunapotazama # Bahrain # michezo ya Olimpiki ya timu na moja inayoonekana kuwa ya Bahraini mioyo yetu inazama zaidi ya wanariadha 20 walioswekwa jela.
32Con sarcasmo, la blogger bahreiní Amira Al-Hussaini escribió:Na Kejeli, Mwanablogu wa Bahraini Amira Al Hussaini aliandika:
33@JustAmira: Casi todo nuestro equipo #Bahréin #Olympics nació en Etiopía o Kenia.@JustAmira: Karibu wachezaji wetu wote #Bahrain #timu ya michezo ya Olimpiki yote imeundwa na wachezaji waliozaliwa nchini Ethiopia na Kenya.
34¡No sabía que teníamos una comunidad bahreiní tan grande allí!Sikutambua tulikuwa na idadi kubwa ya jamii Bahraini hapo!
35También agregó:Pia aliongezea:
36@JustAmira: Sería fantástico para #Bahrain si hubiese una competencia de #teargassing (gas lacrimógeno) en las #Olympics.@JustAmira: Ingekuwa bora kwa #Bahrain kama kungekuwa na mashindano kwa# vilipua machozi katika#michezo ya Olimpiki
37A su vez, el usuario de Twitter @ATEEKSTER [ar] escribió para criticar a los protestantes anti régimen:Vile vile, mtumiaji twita anayeishabikia serikali @ ATEEKSTER [ar] aliandika kukosoa waandamanaji kupambana na serikali:
38@ATEEKSTER: Qué lástima que las Olimpíadas no tenga un deporte como “lanzamiento de Molotov”. Podríamos haber ganado la medalla de oro en esa categoría.@ATEEKSTER: Ni vibaya Olimpiki haina michezo kwa ajili ya “Molotov kutupa”, tunaweza kuwa mshindi wa medali ya dhahabu katika hilo.
39Tala le respondió diciendo:Tala alijibu, akimwambia:
40@Taltool11: ¿qué te parece el juego de usar balas reales para ver si mueres cuando te disparo?
41Este artículo es parte de nuestra cobertura especial de las Olimpíadas de Londres 2012 y Las protestas en Bahréin 2011/12.@Taltool11: Ingekuwaje tungekuwa na mchezo wa kutumia risasi za moto ili kuona kama wewe kufa wakati ninapo fyatua risasi