Sentence alignment for gv-spa-20090613-10575.xml (html) - gv-swa-20090613-196.xml (html)

#spaswa
1Mozambique: Ataque a un candidato presidencialMsumbiji: Shambulio Dhidi Ya Mgombea Urais
2Los bloggers de Mozambique Carlos Serra [pt] y Paulo Granjo [pt] respondieron al ataque que sufrió el político Daviz Simango, en la ciudad portuaria del norte de Mozambique Nacala.Wanablogu wa Msumbiji Carlos Serra [kireno] na Paulo Granjo [kireno] waliandika kuhusu shambulio dhidi ya mwanasiasa Daviz Simango lililofanywa kwenye mji wa kaskazini wa bandari ya Nacala.
3Además de las reacciones de la blogosfera, el partido de Simango (@mdmwiki), informó del ataque por Twiter.Pamoja na maoni kutoka kwenye ulimwengu wa blogu, chama cha Simango (@mdmwiki), pia kilitumia huduma ya Twita kuandika kuhusu shambulio hilo.
4Simango es el alcalde de Beira, y fundó su nuevo partido MDM a principios de este año, después de salir del partido tradicional de la oposición RENAMO.Simango ni Meya wa Beira, na alizindua chama chake kipya cha MDM mapema mwaka huu, baada ya kutofautiana na chama cha upinzani cha RENAMO.
5Sólo días atrás, él y su partido confirmaron competir por la presidencia y comenzar la campaña para la elección del próximo Octubre.Siku chache zilizopita, yeye pamoja na chama chake walithibitisha mipango yao ya kugombea urais na kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa mwezi Oktoba.
6Simango se dirigía a una reunión de su partido cuando el coche recibió los disparos de individuos en la multitud que arrebataron las armas de la policía.Simango alikuwa anaelekea kwenye mkutano wa chama wakati gari lake lilipotupiwa risasi watu waliokuwa ndani ya umati uliokusanyika ambao walipora silaha za askari polisi.
7Él escapó sin ser herido, pero los medios de comunicación reportaron al menos tres personas heridas, incluyendo a un oficial de la policía.Alinusurika bila ya kudhurika lakini taarifa za vyombo vya habari zinasema kwamba watu watatu walijeruhiwa, akiwemo polisi.
8Los reportes iniciales de los medios de comunicación independientes de Mozambique sugieren que los asaltantes eran miembros del RENAMO.Taarifa za mwanzo kutoka vyombo huru vya habari nchini nMsumbiji zinaashiria kwamba watu waliopiga risasi walikuwa ni wanachama wa RENAMO.