# | spa | swa |
---|
1 | #JesuisKenyan fue tendencia en los medios sociales francófonos en solidaridad con las víctimas de Garissa | Kufuatia Shambulizi la Garissa, Jamii ya Wazungumzaji wa Kifaransa Waungana na Wakenya |
2 | Los usuarios de Twitter muestran solidaridad con las víctimas de Garissa, vía Arnaud Seroy en Twitter | Watumiaji wa Twita waonesha mshikamano wao na wahanga wa tukio la Garisa kupitia Arnaud Seroy katika Twita |
3 | El 2 de abril de 2015, al menos 147 personas fueron asesinadas por hombres armados en el campus de la Universidad de Garissa en Kenia según el Centro nacional de manejo de desastres KRCS. | Kwa mujibu wa Kituo cha Kitaifa cha Kukabiliana na Majanga cha nchini Kenya (KRCS), mnamo Aprili 2, 2015, watu wasiopungua 147 waliuawa kwa kufyatuliwa risasi katika chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya. |
4 | El centro también informó que 79 personas resultaron heridas y 587 personas fueron evacuadas. | Kituo hicho pia kilitaarifu kuwa watu 79 walijeruhiwa na wengine 587 walifanikiwa kutolewa kutoka katika eneo la tukio. |
5 | El presunto autor intelectual de la masacre es el grupo terrorista con base en Somalia Al-Shabaab que se atribuyó la responsabilidad del ataque. | Mtuhumiwa mkubwa wa mauaji haya ya halaiki ni kikundi cha wanamgambo wa Al-Shabaab kilicho na maskani yake nchini Somalia kilichotangaza kuhusika na shambulizi hilo. |
6 | Los dramáticos relatos de los sobrevivientes del tiroteo desataron muestras de solidaridad a nivel mundial. | Maelezo kutoka kwa wahanga wa tukio hili zilichochea watu kuonesha mshikamano wao kutoka katika maeneo mbalimbali duniani kote. |
7 | El mundo francófono, todavía cansado luego del ataque a Charlie Hebdo, respondió solidarizándose con las víctimas de Garissa en las redes sociales usando la etiqueta #JesuisKenyan (Yo soy keniano, para reflejar el #JesuisCharlie del 7 de enero). | Jamii ya wazungumzaji wa lugha ya Kifaransa, bado wakiwa na kumbukumbu ya shambulizi la Charlie Hebdo, walionesha mshikamano wao na wahanga wa shambulizi la Garissa kupitia mitandao ya kijamii katika kiungo habari #JesuisKenyan (kama taswira ya kiungo habari cha hashtag #JesuisCharlie). |
8 | Este tema ocupó el segundo lugar en las tendencias en Twitter en Francia el 3 de abril. | Hii ilikuwa ndio mada ya pili kwa mvuto kuliko nyingine yoyote katika Twita nchini Ufaransa mnamo Aprili 3. |
9 | A continuación algunos de los tuits: | Yafuatayo ni baadhi tu ya machapisho hayo: #JeSuisKenyan |
10 | Yo soy keniano | - #BPM Nouveau single (@TEAMBEOZEDZED) Tarehe 2 Aprili, 2015 |
11 | 147 muertos en el atroz ataque terrorista contra la educación y contra nuestro futuro. | Watu 147 wamepoteza maisha katika shambulizi la kutisha la kigaidi dhidi ya wanachuo vijana wa taifa la kesho. |
12 | Seamos solidarios. | Tuoneshe mshikamano wetu#JesuisKenyan |
13 | Muy poco se habla en los medios del ataque terrorista a la Universidad en Kenia, ¡¿147 muertos no son suficientes?! | Haitoshi kuzungumzia shambulio hili la kigaidi lililotokea katika chuo kikuu cha Kenya kwenye mitandao ya kijamii, watu 147 ni wachache?! |
14 | HORRIBLE | Inatisha sana #JesuisKenyan |