Sentence alignment for gv-spa-20140819-249497.xml (html) - gv-swa-20140816-8044.xml (html)

#spaswa
1El Consejo de Ministros de Zambia debería hacer público el estado de salud del presidenteBaraza la Mawaziri Nchini Zambia Lichunguze Afya ya Rais
2En vista de los rumores difundidos sobre la salud del presidente de Zambia, Michael Sata, el periodista Gershom Ndhlovu sostiene que la Constitución obliga al Consejo de Ministros a examinar su estado de salud:Kwa mtazamo wa tetesi zilizoenea sana kuhusu afya ya rais wa Zambia, Michael Sata, Gershom Ndhlovu ana hoja kwamba katiba inalipa Baraza la Mawaziri mamlaka ya kuchunguza afya yake:
3La última vez que el presidente de Zambia, Michael Sata, apareció en público, fue aproximadamente el 20 de julio, cuando recibió en el palacio presidencial a la delegación del Gobierno chino, dirigida por el vicepresidente Li Yuanchao.Mara ya mwisho rais wa Zambia Michael Sata kuonekana hadharani ilikuwa takribani Juni 20 ambapo alikuwa mwenyeji wa ujumbe wa serikali ya China ukiongozwa na Makamu wa Rais Li Yuanchao katika ikulu ya nchi hiyo.
4En aquel momento, la apariencia de Sata era la de un hombre enfermo, con el mismo aspecto demacrado que mostraba un par de semanas antes en el Tribunal Supremo.Wakati huo, mwenekano wa Sata ulikuwa ule wa mtu aliyedhoofishwa na ugonjwa, hali inayothibitisha madai ya kuonekana mkondefu mno alipojitokeza kwenye Mahakama Kuu majuma kadhaa yaliyopita.
5Cuando las fotografías de Sata, aparentemente enfermo, se hicieron virales en los medios sociales, el sitio web Zambian Watchdog publicó que el presidente había sido trasladado a Israel para someterse a tratamiento médico.Picha za Sata anayedaiwa kuwa mgonjwa ziliposambaa mtandaoni, tovuti moja ya habari mtandaoni, Zambian Watchdog, iliripoti kwamba Rais amepelekwa Israel kwa ajili ya matibabu.
6Evidentemente, tales comentarios no fueron muy bien recibidos en el Gobierno, cuyos altos cargos, al nivel del vicepresidente y de los ministros, emitieron todo tipo de comunicados, que iban desde que el presidente se encontraba de viaje de vacaciones y trabajo en Israel, a que había ido a visitar el país para atraer inversores y reunirse con el Primer Ministro, Shimon Perez.Ni wazi, habari hizo za siri hazikufunua vyema yanayoendelea kuhusu afya ya rais huku maafisa waandamizi wa serikli kuanzia makamu wa Rais na mawaziri wakitoa matamko ya aina aina kuanzia madai kwamba rais yuko kwenye likizo yake ya malipo hadi madai ya kwamba alikuwa anatafuta fursa za kiuwekezaji na kukutana na Rais wa nchi hiyo Shimon Perez.
7Tras su vuelta a Lusaka, el Gabinete de la Presidencia procuró mostrar la imagen de una persona trabajando normalmente e incluso publicó fotografías suyas presidiendo un Consejo de Ministros.Aliporudi Lusaka, ikulu ilijaribu kumwonyesha akiendelea na majukumu yake ya kazi kama kawaida na hata kuchapisha picha zake akiongoza kikao cha baraza la Mawaziri.
8La gente no quedó convencida y dijo que se trataba de un engaño, alegando que las fotos habían sido retocadas con photoshop.Watu hawakushawishika hata hivyo, na kuona kuwa hiyo ilikuwa ni hatua ya kuwapumbaza, wengine wakisema picha hizo zilikuwa zimetengenezwa.
9En cualquier caso, la maniobra de relaciones públicas más desastrosa, que fracasó espectacularmente, fue la de la foto del presidente Sata tomando juramento al entonces Procurador General Musa Mwenye como Fiscal General del Estado. Dicho cargo ya había sido ratificado por el Parlamento desde hacía semanas pero faltaba por celebrar la ceremonia de juramento.Hata hivyo, jaribio la hatari zaidi lililofanywa na idara ya mahusiano ya umma ya rais ni picha ya rais Sata akimwapisha mkuu wa masuala ya kisheria wa serikali Musa Mwenye ambaye alithibitishwa na bunge kwa nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali lakini hajaapishwa majuma kadhaa.
10Existía la preocupación de que Mwenye no podría ejercer en su nuevo cargo sin haberlo jurado previamente.Kumekuwepo wasiwasi kuwa Mwenye hataweza kutekeleza majukumu yake asipokula kiapo.
11En la foto que se publicó en la página de Facebook del Gabinete de la Presidencia, supuestamente con el objetivo de mostrar que Mwenye había prestado juramento como Fiscal General, aparecían un difunto y un individuo asignado al servicio diplomático dos años antes.Picha iliyokuwa imechapishwa kwenye ukurasa wa Facebook wa Ikulu ya Rais, ikisemekana kuwa na lengo la kuonesha kwamba Mwenye alikuwa ameapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ilikuwa na sura ya mtu aliyefariki na mwingine aliyekuwa ameteuliwa kuwa mwanadiplomasia miaka miwili iliyopita.