Sentence alignment for gv-spa-20120728-130599.xml (html) - gv-swa-20120721-3555.xml (html)

#spaswa
1Paraguay: de trabajos forzados a líder indígenaParaguai: Kutoka Kutumikishwa Hadi Kuwa Kiongozi Mzawa.
2Cuando Margarita Mbywangi tenía cinco años se la quitaron a sus padres y fue vendida varias veces para realizar trabajo doméstico forzado en las casas de la élite paraguaya.Margarita Mbywangi alipokuwa na umri wa miaka mitano, alichukuliwa kutoka kwenye uangalizi wa wazazi wake na kuuzwa mara kadhaa ili kutumikishwa katika nyumba za tabaka la kitajiri la wa-Paraguai.
3Esto era algo común en las comunidades indígenas aché en Paraguay durante la dictadura de Alfredo Stroessner (1954-1989).Jambo hili lilikuwa la kawaida sana kwa jamii ya watu wa Aché nchini Paraguai hususani wakati wa utawala wa kimabavu wa Alfredo Stroessner(1954-1989).
4Estas prácticas eran formas en que los terratenientes podían retirar a los aché de sus tierras ancestrales y tomar posesión de sus tierras.Taratibu hizi lilikuwa namna ya wamilikaji wa ardhi kuwaondoa wa- Aché katika ardhi ya mababu zao na kisha kuzimiliki.
5Como resultado de esos secuestros, muchos jóvenes aché se encontraban lejos de casa y lejos de sus raíces indígenas.Matokeo ya kuondoshwa huku kwa nguvu ni kuwa, vijana wadogo wa jamii ya Aché walijikuta wakiwa mbali na nyumba zao na pia mbali na sehemu walipozaliwa.
6Actualmente, Mbywangi está participando en el proyecto de Rising Voices Aché djawu (el mundo aché), y hace poco escribió un breve post sobre su vida:Kwa sasa, Mbywangi anajihusisha na mradi wa Sauti Zinazoinukia (Rising Voices Project) Aché djawu (The Aché word) [es], na siku za hivi karibuni aliandika makala fupi katika blogu yake [es] kuhusiana na maisha yake:
7Yo Mbywangi me contaron que nací en Kuetuvy en el año 1962, a los 5 años me robaron de mi madre en la época de la dictadura, crecí en una familia paraguaya hasta los 16 años, a la edad de 20 años volví con mi familia aché en la comunidad Chupapou en 1980.Mimi, Mbyawangi, niliambiwa kuwa nilizaliwa katika jamii ya Kuetuvy mnamo mwaka 1962. nilipofikisha umri wa miaka mitano, niliibwa kutoka mikononi mwa mama yangu wakati wa kipindi cha utawala wa mabavu. Nilikulia katika familia ya Kiparaguai hadi nilipofikisha umri wa miaka 16. mwaka 1980 nilipokuwa na umri wa miaka 20 nilirejea familia ya Aché katika jamii ya Chupapou.
8No encontré a mis padres, sólo encontré a mis hermanos.Sikufanikiwa kuwaona wazazi wangu. Nilifanikiwa kukutana na kaka zangu pekee.
9Margarita MbywangiMargarita Mbywangi
10Cuando Mbywangi regresó finalmente a casa a comienzos de los 80, se convirtió en enfermera y también en madre.Mbywangi aliporejea nyumbani katika miaka ya 1980 hivi, alifanikiwa kupata mafunzo ya unesi na pia alijaaliwa kuwa na watoto.
11Continúa en su post:Katika blogu yake, aliongeza kuwa:
12En el 81 tuve mi primer hijo y dije, ahora sí tengo un compañero, en ese dia estuve completa.Mnamo mwaka 1981, nilijaaliwa kupata mtoto wa kwanza, na nilijisemea, sasa nimempata mshirika na nilijisikia kuwa nimekamilika.
13Pasé aquellos años criando mi hijo y atendiendo la salud de la gente de mi comunidad.Nilitumia miaka hiyo kumkuza mtoto wangu huyu wa kiume huku nikihudhuria katika vituo vya afya vya watu wa jamii yangu.
14Sin embargo, en las décadas siguientes se volvió más activa políticamente en defensa de los derechos indígenas.Hata hivyo, miongo kadhaa baadae, alijihusisha sana na siaza za kutetea haki za wazawa.
15Una vez fue candidata al Senado Paraguayo y hasta terminó en la cárcel por su rol en las protestas para defender reservas naturales de tala ilegal.Kwa mara ya kwanza, alikuwa mgombea wa kwanza katika Bunge la Paraguai na pia aliwahi kuhukumiwa na kwenda jela kwa sababu ya kuitisha maandamano ya kupinga hifadhi za uoto wa asili zisiharibiwe kwa ukataji wa magogo kinyume cha sheria [es].
16En 2008, Mbywangi recibió una invitación del gobierno del expresidente Fernando Lugo para ser Ministra del Gabinete para Asuntos Indígenas.Mwaka 2008, Mbywangi alipokea mwaliko kutoka kwa utawala wa Rais wa zamani Fernando Lugo ili awe Waziri anayeshughulika na mambo ya wazawa.
17Se convirtió en el primer miembro de una comunidad indígena en ejercer ese cargo.Hatimaye akawa mtu wa kwanza kutoka katika jamii ya wazawa kushika wadhifa huo.
18Como parte del proyecto de Rising Voices, Mbywangi ha empezado a usar el blog colectivo para contar sus experiencias.Kama sehemu ya mradi wa Sauti Zinazoibukia (Rising Voices Project), Mbywangi ameamua kutumia blogu kwa lengo la kuujulisha ulimwengu kuhusiana na yale aliyoyapitia.
19También abrió una cuenta en Twitter (@MargaMbywangi), pero recién se está acostumbrando a actualizarla con frecuencia.Pia, ameshafungua ukurasa wake wa Twita (@MargaMbywangi), lakini bado anaendelea kujijengea mazoea ya kuiboresha mara kwa mara.
20En este video, habla de la importancia de compartir su historia con otras comunidades indígenas y la audiencia global en general.Katika video hii, anaelezea kuhusu umuhimu wa kuweka bayana historia ya maisha yake kwa wanajamii wenzake wazawa na hata hadhira yake pana ulimwenguni kote.
21Cierra su post explicando su nombre en la tradición aché:Anahitimisha makala katika blogu yake kwa kuelezea jina lake katika utamaduni wa ki- Aché:
22Me encanta que me llamen Mbywangi porque es el nombre que me puso mi mamá de sangre, y Margarita me puso mi segunda mamá aunque no fui reconocida por ellos como hija.Huwa ninafurahi pale wanaponiita kwa jina la Mbywangi kwa sababu hilo ndilo jina ambalo mama yangu mzazi alinipa na Margarita ni jina ambalo mama yangu wa kambo alinipa pamoja na kuwa sikutambuliwa kama mtoto wao.
23Sólo tengo mi nombre y me siento feliz con los dos nombres que tengo.Ninalo jina langu hili, na ninajisikia mwenye furaha kuwa na majina yangu haya mawili.