Sentence alignment for gv-spa-20140718-246275.xml (html) - gv-swa-20140718-7947.xml (html)

#spaswa
1Está lloviendo fuego en Gaza: Israel comienza invasión terrestreMvua ya Moto Inanyesha Gaza: Israeli Yaanza Shambulio la Ardhini
2Los palestinos dicen que está lloviendo fuego en Gaza después de que Israel comenzara esta noche una operación terrestre en el enclave ocupado.Wa-Palestina wanasema mvua ya moto inanyesha Gaza, baada ya Israeli kuanza operesheni ya ardhini ndani ya eneo inalolizunguka, Gaza.
3Gaza, descrita como una prisión al aire libre, es hogar de dos millones de palestinos quienes no tienen a dónde huir.Gaza, inayoelezwa kama gereza la wazi, ndiko wanakoishi wa-Palestina milioni 2, ambao hawana pa kukimbilia.
4Israel tiene frontera con Gaza por un lado y Egipto la bloquea por el otro.Israeli inapakana na Gaza upande mmoj, na Misri inaifungia kwenye upande mwingine.
5En Twitter, Jehan Alfarra, con 8 mil seguidores dijo:Kwenye mtandao wa Twita, Jehan Alfarra, mwenye wafuasi 8,000 anasema:
6AHORA: Está lloviendo FUEGO en Gaza esta noche con la invasión terrestre israelí que viene en camino!Gaza usiku huu inakabiliana na uvaizi wa ardhini unaofanywa na Israeli!
7Oremos por Gaza Gaza Writes Back (Gaza Responde) quien tiene 36 mil 400 seguidores dijo que el inicio de la invasión y el fuerte bombardeo ha convertido a “toda Gaza en una bola de fuego”:Mtumiaji mwingine aitwaye Gaza Writes Back, mwenye wafuasi 36,400 kwenye mtandao wa Twita, anasema kuanza kwa uvamizi wa ardhini na milipuko mizito ya mabomu imeifanya “Gaza yote kuwa mithili ya mpira wa moto”:
8Israel comienza una invasión terrestre y convierte a toda la Franja de Gaza en una bola de fuego… Gaza bajo ataqueIsraeli imeanza uvamizi wa ardhini na kuugeuza ukanda wote wa Gaza kuwa mithili ya mpira wa moto
9Y iFalasteen, también de also Gaza, tuiteó a sus 26 mil 800 seguidores:Na iFalasteen, vile vile akitokea Gaza, alitwiti kwa wafuasi wake 26,800:
10Están lloviendo bombas en toda la Franja de Gaza ahora desde el mar, tierra y aire… Israel está bombardeando todo… Gaza bajo ataqueMvua ya mabomu inanyesha kwenye ukanda wa Gaza sasa hivi kutoka baharini, ardhini na hewani…Israeli inapiga mabomu pande zote
11También en Gaza, Palestine compartió esta fotografía del bombardeo de esta noche en Gaza a sus 10 mil seguidores en Twitter:Pia mtumiaji mwingine akiwa Gaza, Palestine, anatuma picha hii ya milipuko ya mabomu ukanda wa Gaza usiku huu kwa wafuasi wake 10,000 kwenye mtandao wa Twita:
12¡¡Ahora es el ataque más fuerte !!Ni shambulio zito linaendelea sasa!!
13Oremos por Gaza.Kwenye picha nyingine, anasema:
14Gaza bajo ataque Y en otro párrafo añadió:Hata mwezi umekuwa mwekundu hapa Gaza usiku wa leo
15Incluso la luna está roja esta noche en Gaza… Gaza bajo ataqueMpiga picha Jehad Saftawi anatuma picha kutoka kwenye mpaka wa Gaza, ikionyesha kuanza kwa operesheni hiyo:
16El fotógrafo Jehad Saftawi compartió esta imagen de las fronteras de Gaza, donde se muestra el comienzo de la operación:Shambulio la ardhini linalofanywa na Israeli limeanza kwenye ukanda wa Gaza, hapa kwenye mpaka wa Gaza
17La invasión terrestre israelí ha empezado en la Franja de Gaza, aquí las fronteras de Gaza.Wakati Lara Abu Ramadan, mwandishi wa habari wa ki-Palestina, mfasiri na mpiga picha wa kujitegemea anayeishi Gaza, anaeleza:
18Gaza bajo ataqueHali inatisha.
19Mientras que Lara Abu Ramadan, una periodista palestina, traductora y fotógrafa freelance en Gaza explicó:Naweza kuona moto mkubwa kutoka kwenye matanki ya Israeli magharibi mwa ukanda wa Gaza
20Esto es horrible, puedo ver un incendio enorme desde los tanques israelís en el oeste de la Franja de Gaza.Na mwanablogu wa ki-Palestina Haitham Sabbah, anatoa kiungo hiki cha habari a moja kwa moja kutoka Gaza:
21Gaza bajo ataque Y el bloguero palestino, Haitham Sabbah, compartió en este enlace a una transmisión en vivo desde Gaza:Habari za moja kwa moja kuhusu shambulio linaloendelea Gaza #GazaUnderAttack http://t.co/jg2PZQbXXK - Haitham Sabbah (@sabbah)
22Transmisión digital en vivo desde Gaza bajo ataqueWakati huo huo, mwandishi wa habari Richard Hall, anayeishi Paris, anawakumbusha wafuasi wake 6,000:
23Mientras tanto, el reportero Richard Hall, quien reside en Paris, recordó a sus 6,800 seguidores:Mara ya mwisho Israeli kuivamia Gaza, wa-Palestina 1,387 waliuawa.
24La última vez que Israel invadió Gaza 1,387 palestinos murieron, 773 eran civiles, incluyendo 320 niños y 109 mujeres.773 walikuwa wananchi wasio wanajeshi, wakiwemo watoto 320 na wanawake 109 (Chanzo: B'Tselem)
25(Fuente: B'Tselem) Hoy se cumple el onceavo día desde el inicio de la “Operación Borde Defensivo” la cual ha dejado a más de 230 palestinos muertos, incluyendo mujeres y niños, y a más de 1,500 heridos.Leo ni siku ya 11 tangu kuanza kwa “Operesheni ya Kujilinda”, ambayo imepoteza maisha ya wa-Palestina 230, wakiwemo wanawake na watoto, na zaidi ya watu 1,500 wakijeruhiwa.
26Hamas, que ha gobernado la Franja de Gaza desde 2007, ha disparado misiles [en] hacia Israel.Kutoka Gaza, Hamas, ambayo imeutawala ukanda huo tangu mwaka 2007, ililipua makombora kwenda Israeli.
27La mayoría de ellos no han causado serios daños, en parte por el sistema de defensa aéreo Domo de Hierro auspiciado por Estados Unidos, el cual ha interceptado al menos 70 proyectiles hasta ahora [en] según the Guardian.Roketi nyingi zinazoingia Israeli hazijasababisha madhara makubwa, kwa sababu, kwa kiasi fulani, ya mfumo wa anga wa ulinzi unaofadhiliwa na Marekani, ambao umezuia makombora yapatayo 70 mpaka sasa, kwa mujibu wa gazeti la the Guardian.
28Con las operaciones de grupo se espera que las víctimas aumenten.Kwa operesheni hii ya kimakundi, madhara yanaweza kuongezeka zaidi.