Sentence alignment for gv-spa-20140410-233093.xml (html) - gv-swa-20140306-6766.xml (html)

#spaswa
1Profanación del Corán trae problemas en MauritaniaKuchanwa kwa Korani Kwaleta Tafrani Nchini Mauritania
2Nuakchot, la capital de Mauritania, fue testigo de violentos enfrentamientos [en] entre fuerzas de seguridad y una muchedumbre furiosa.Mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott ulishuhudia mapigano kati ya vikosi vya usalama na umati wa “wananchi wenye hasira”.
3La historia es que personas anónimas rompieron el Corán, el libro sagrado del Islam, en una de las mezquitas de la ciudad.Habari ni kwamba watu wasiojulikana waliichana chana Quran, kitabu kitakatifu cha Kiislamu, katika moja ya misikiti ya jiji hilo.
4Como resultado de este enfrentamiento, murió una persona [en] y varias personas quedaron heridas y en muchas partes de Nuakchot el tráfico quedó bloqueado.Matokeo ya mapambano hayo, mtu mmoja aliuawa na watu mbalimbali walijeruhiwa na barabara zilifungwa katika maeneo mengi ya Nouakchott.
5Esto ocurrió el 3 de marzo.Mapigano yaliyotokea Machi 3.
6Comentando el incidente, el bloguero Abbas Braham instó [ar] a sus amigos de Facebook a tener cuidado y no caer en la trampa del extremismo (sin importar de qué se trata) [ar]:Akizungumzia tukio hilo, mwanablogu Abbas Braham alitoa wito kwa marafiki wake kwenye mtandao wa Facebook kuwa waangalifu na si kuanguka katika mtego uliokithiri (bila kujali ni nini) [ar]:
7El incidente de la “profanación” del Corán de hoy día en la capital Nuakchot es un claro caso que causa preocupación y cuidado.Tukio la leo la “kuharibiwa” Koran tukufu katika jiji la Nouakchott, limekuwa ni tukio linaloibua wasiwasi na tahadhari.
8Ahora queda claro que el extremismo sagrado y la profanación se alimentan entre sí.Kwa sasa ni wazi kwamba watu wenye msimamo mkali wa kidini wanaathiri wengine.
9Y cada vez, somos nosotros -los que estamos en el medio (cuando se trata de respetar la santidad y la libertad y derechos)- los que sufrimos los fuegos (azotes) de ambos lados.Na kila wakati, ni sisi - wale tulioko katikati (linapokuja suala la kuheshimu imani za kidini na/au uhuru na haki) - ambao tunakuwa waathirika wakuu.