Sentence alignment for gv-spa-20080829-2681.xml (html) - gv-swa-20080831-15.xml (html)

#spaswa
1Irán: Escándalo por Ministro con falso título universitario de OxfordWaziri matatani kwa cheti ‘feki’
2Ali Kordan, el nuevo Ministro del Interior de Irán, ha estado recientemente en la mira por haber presentado un grado de Ph.D. “falso” de la prestigiosa Universidad de Oxford en el Reino Unido.Ali Kordan,Waziri wa Mambo ya Ndani wa Irani, Katika siku za hivi karibuni, ameshutumiwa vikali kwa kuonyesha Shahada ‘feki' ya Udaktari (PhD) aliyodai kupata kutoka katika chuo kikuu chenye sifa kubwa duniani cha Oxford cha nchini Uingereza.
3Varios sitios web, incluyendo el conservador Alef han publicado un facsímil del “Grado de Doctorado Honorario en Derecho de Oxford” de Kordan.”
4Alef destaca que hay varios errores gramaticales en el denominado certificado de Oxford, tales como: “to be benefitted from its scientific privileges”, es decir se ha beneficiado de sus privilegios científicos, donde benefitted se ha escrito con doble t (lo correcto es benefited).Tovuti mbalimbali, pamoja na ile ya kihafidhina wa Alef, zimechapisha picha ya cheti hicho ‘feki' cha Kordan kinachoonyesha kwamba ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima na Chuo Kikuu cha Oxford. Alef inaonyesha makosa kadhaa ya kiuandishi yaliyojitokeza kwenye cheti hicho kinachodaiwa kuwa cha Oxford, kwa mfano, “to be benefitted from its scientific privileges”.
5Y que lo autoriza, donde en vez de escribir “entitled” lo han escrito “intitled”.Pia neno“entitled” liliandikwa kimakosa “intitled”.
6Alef también colgó varios faxes que este sitio intercambió con la Universidad de Oxford sobre el tema.Vilevile tovuti ya Alef imepandisha kwenye ukurasa wake faksi kadhaa ambazo iliandikiana na Chuo Kikuu cha Oxford kuhusiana na jambo hili.
7El sitio web fue después filtrado en Irán.Baada ya hapo tovuti hiyo ilizuiwa kuonekana nchini Iran.
8Mientras las autoridades iraníes están investigando este caso, la Universidad de Oxford anunció que no tienen registros de que el señor Kordan se graduara de su institución.Wakati ambapo mamlaka nchini Irani inafanya upelelezi kuhusiana na jambo hili, Chuo Kikuu cha Oxford kimetangaza kwamba hakina kumbukumbu kwamba Bwana Kordan alipata kuhitimu katika chuo hicho.
9El blogger iraní, Mr. Behi, escribe:Mwanablogu wa Irani, Bwana Behi, anaandika:
10El presidente Ahmadinejad realizó ayer otro milagro: ¡seleccionó como Ministro del Interior a alguien que alegaba tener un grado de Ph.D. en Derecho de la Universidad de Oxford!Rais Ahmadinejad amefanya muujiza mwingine. Amemteua mtu anayedai kuwa na Shahada ya Udaktari katika Sheria kutoka Chuo Kikuu cha Oxford kama waziri wa mambo ya ndani!
11Cuando surgieron preguntas sobre la autenticitdad del título, el tipo se indignó, amenazó a los medios y produjo esto para callarlos.Yalipoibuliwa maswali kuhusu uhalisia wa shahada hiyo, huyo jamaa alijawa na jazba, alivitishia vyombo vya habari na kuonyesha cheti chake hiki.
12Un título tan sospechoso que se teme que sea falsificado, ¡con errores gramaticales y con nombres de firmantes que ni siquiera son miembros del cuerpo docente de Derecho!Cheti chenyewe kinatia mashaka makubwa na kinadhaniwa kuwa ni cha kughushi, tena kimejaa makosa ya kiuandishi na wakati huo huo majina yanayoonekana kwenye saini wala si ya yeyote miongoni mwa wanaofundisha katika Kitivo cha Sheria cha chuo hicho!
13Si Ahmadinejad quiere falsear las próximas elecciones, será mejor que emplee a alguien que lo haga de manera menos obvia.Ikiwa Ahmadinejad anataka kughushi katika uchaguzi ujao, basi heri atafute mtu makini wa kumsaidia katika kugushi pasipo kugundulika kwa urahisi.
14¡Qué vergüenza!Lo, aibu kubwa hii!
15Mohmmad Ali Abtahi, ex vice presidente reformista y blogger, escribe que cuando fue Vice Ministro de Cultura y Orientacíón Islámica, conoció un funcionario iraní que había “comprado” su Ph.D.Mohmmad Ali Abtahi, aliyekuwa Makamu wa Rais katika serikali ya kimageuzi na ambaye pia ni mwanablogu, anaandika kwamba enzi zake alipokuwa Naibu Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu, aliwahi kukutana na afisa mmoja wa Irani ambaye aliwahi ‘kununua' Shahada ‘feki' ya Udaktari.
16Según Abtahi, parece que el precio fue alrededor de los US$1000.Abtahi anasema kwamba bei ya kununua cheti kama hicho ilikuwa ni karibu dola za Marekani 1000.
17Según otro blogger, Shirzad [fa], parece que Ali Kordan ni siquiera tiene un título universitario.Mwanablogu mwingine, Shirzad [Fa], anadai kwamba kuna uwezekano mkubwa kuwa Ali Kordan hana hata shahada ya kwanza.
18El blogger agrega:Mwanablogu huyu anaongeza:
19Esto significa que engañó todos estos años y le pagaron como su tuviera un Ph.D.… Unos de los asistentes en el Parlamento iraní le preguntó a Kordan: “¿Cómo consiguió su Ph.D. en Derecho, cuando usted dijo que escribió su tesis sobre Educación Islámica?”Inamaanisha kwamba miaka yote hii waziri huyu ametumia udanganyifu kulipwa kama mtu mwenye Shahada ya Udaktari … Mmoja wa wasaidizi katika Bunge la Irani aliwahi kumuuliza Kordan: “Ulipataje Shahada yako ya Udaktari katika Sheria wakati wewe unadai kwamba uliandika Utafiti (Thesis) wako kuhusu Elimu ya Kiislamu?”
20“¿Cómo pudo sustentarla cuando no sabe hablar inglés.“Je, ulifanya vipi utetezi wako wakati ambapo wewe huwezi kuzungumza Kiingereza?”
21Kordan respondió, “Tuve un traductor.”Kordan alijibu, “Nilikuwa na mfasiri.”
22Blogger Jomhour dice [fa] el presidente iraní, Mahmoud Ahmadinejad defendió a su ministro y preguntó, “¿Quién necesita estos papeles rotos?”Mwanablogu Jomhour anaandika kwamba [Fa] Rais wa Irani, Mahmoud Ahmadinejad alimtetea Waziri wake kwa kuuliza, “Je, ni nani aliye na haja na makaratasi haya yanayoweza kuchanwa (yasiyo na maana)!”
23El blogger pregunta:Mwanablogu huyu anauliza:
24Si los certificados son papeles inútiles, rotos, ¿por qué el ministro de Ahmadinejad hizo creer que tenía uno? … No es la primera vez que Ahmadinejad llama papeles rotos a los documentos oficiales.Endapo vyeti havina maana, ni makaratasi yanayoweza kuchanwa wakati wowote, hivi basi kwa nini Waziri wa Ahmadinejad alijihangaisha kutafuta walau cheti hicho feki … na hii si mara ya kwanza ambapo Rais Ahmadinejad anaita (anakebehi) nyaraka muhimu kuwa ni makaratasi yanayoweza kuchanwa wakati wowote kumaanisha kwamba hayana maana.
25Previamente también había llamado papeles rotos a las resoluciones de Naciones Unidas en contra de un programa nuclear iraní.Hapo mwanzo aliwahi kusema kuwa nyaraka zilizoonyesha msimamo wa Umoja wa Mataifa dhidi ya Mpango wa Nyuklia wa Irani kama makaratasi yasiyo na maana.
26Ali Akbar Javanfekr, asesor de medios de Ahmadinejad, dice [fa] que el Ministerio de Ciencias debería tomar una decisión acerca del Ph.D de Kordan y sugiere que sería mejor que no involucráramos opiniones políticas personales en el tema.Ali Akbar Javanfekr, Mshauri wa Rais Ahmadijad katika masuala ya mawasiliano na vyombo vya habari, anasema kwamba [Fa] Wizara ya Sayansi itoe uamuzi kuhusu Shahada ya Udaktari ya Kordan na anapendekeza kwamba tusiingize au kuhusisha katika siasa mtazamo na maoni binafsi kuhusu suala hili.