Sentence alignment for gv-spa-20140506-236828.xml (html) - gv-swa-20140416-7187.xml (html)

#spaswa
1El presidente Mugabe piensa que en Nigeria hay más corrupción que en ZimbabueRais Mugabe Anadhani Naijeria Inanuka Ufisadi Kuliko Zimbabwe
2El presidente Robert Mugabe.Rais Robert Mugabe.
3Foto de dominio público perteneciente a la Fuerza Aérea de los EE.UU.Picha ya matumizi ya umma na ni mali ya Jeshi la Anga la Marekani.
4El presidente de Zimbabue Robert Mugabe enfureció a los nigerianos [en] con los comentarios que hizo el 15 de marzo de 2014, durante el banquete de su 90° aniversario, en los que afirmó que Nigeria y sus ciudadanos son corruptos.Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ameikasirisha Naijeria kwa matamshi aliyoyatoa Machi 15, 2014 wakati wa sherehe ya kuzaliwa kwake kuwa Naijeria na raia wake ni mafisadi.
5Mugabe preguntó [en]: «¿Es que ahora estamos como en Nigeria, donde tienes que rascarte el bolsillo para conseguir que se haga cualquier cosa?Mugabe aliuliza, “Hivi tumekuwa kama Naijeria nchi ambayo ni lazima upapase mfuko ili kupewa huduma yoyote?
6Saben, yo solía ir a Nigeria, y cada vez que iba tenía que llevar dinero suelto para pagar corruptamente por todo.Unajua, tumekuwa tukienda Naijeria na kila wakati tukienda kule ilitubidi kubeba pesa za ziada mifukoni mwetu ili kutoa rushwa kwa kila tulichotaka kukifanya.
7Subes a un avión, te sientas, y el personal se dedica a holgazanear sin despegar, esperando a que les pagues para hacer volar la nave».Unapanda ndege nchini Naijeria na unakaa kwenye siti na wafanyakazi wa ndege wanabaki kujibaraguza na ndege haiondoki utadhani wanasubiri uwalipe ili ndege ipae.”
8El gobierno nigeriano llamó a consulta [en] al representante diplomático de Zimbabue para que explicase los comentarios de Mugabe.Serikali ya Naijeria imemwandikia balizi wa Zimbabwe wiki iliyopita kupata ufafanuzi wa matamshi hayo ya Mugabe.
9No obstante, la Coalición Contra los Líderes Corruptos (CACOL) de Nigeria ha pedido [en] al gobierno federal que tenga en cuenta el mensaje y no al mensajero.Hata hivyo, Umoja wa Kupambana na Watawala Mafisadi (CACOL) nchini Naijeria umeitaka serikali ya shirikisho kufanyia kazi ujumbe huo na sio aliyeutoa ujumbe huo.
10El Índice de Corrupción 2013 de Transparencia Internacional muestra [en] que el nivel percibido de corrupción es mayor en Zimbabue que en Nigeria.Kipimo cha Ufisadi kwa mwaka 2013 cha taasisi ya Transparency kinaonyesha kiwango cha ufisadi unaoonekana kiko juu zaidi nchini Zimbabwe kuliko ilivyo Naijeria.
11Los comentarios de Mugabe han provocado reacciones mezcladas en Twitter.Matamshi ya Mugabe yamesababisha joto la maoni mbalimbali kwenye mtandao wa Twita.
12Algunos internautas sostienen que lo que dijo es cierto:Baadhi ya watumiaji wa mtandao walidai alichosema kina ukweli:
13Dijo la verdad, toda la verdad y nada más que… :) La noticia no es Mugabe, sino que Nigeria se ofenda, :PAlisema kweli, kweli tupu :) Naijeria kutuhumiwa ndiyo habari sio Mugabe
14Supuestamente, #Mugabe acusó a los zimbabuenses de volverse como los nigerianos en lo que respecta a la corrupción.Mugabe amewatuhumu Wazimbabwe kubadilika kuwa kama Naijeria linapokuja suala la ufisadi.
15Le dijo la sartén al cazo: ¡aparta que me tiznas!”Ni simulizi la jiko kuliita sufuria jeusi
16Robert Mugabe tiene mucha razón cuando habla de Nigeria.Robert Mugabe yuko sawa kabisa kwa maneno yake kuhusu Naijeria
17Lo que Mugabe dijo de Nigeria es verdad, pero se lo dijo a quien no debía.Kile Mugabe alichosema kuhusu Naijeria ni ukweli ila aliyasema hayo kwa watu wasio sahihi
18Por el amor de Dios, por qué querría Robert Mugabe inventar una telaraña de mentiras contra Nigeria.Kwa jina la Mwenyezi Mungu, kwa nini Robert Mugabe anaipaka matope Naijeria.
19¿Es cierto que los nigerianos son corruptos?Ni kweli kuwa Wanaijeria ni wananuka rushwa?
20Mugabe dice «todos los nigerianos son corruptos» mientras el Banco Mundial revela que «Nigeria es el país más pobre de África» pobreza = corrupciónMugabe anasema “Wanaijeria wote ni wala rushwa” wakati benki ya dunia imeonesha kuwa “Naijeria ni nchi masikini zaidi barani Afrika” Umasikini = ufisadi
21La corrupción es el mayor problema de Nigeria.Ufisadi ni tatizo kubwa Naijeria.
22Nuestros líderes son extremadamente corruptos.Watawala wetu ni mafisadi kupindukia.
23No hay que culpar a Mugabe por su pulla sobre nuestro país.Simlaumu Mugabe kwa makonde yake dhidi ya nchi yetu
24Nigeria llama a consulta al embajador de Zimbabue por los comentarios de Mugabe.Naijeria imemtaka balozi wa Zimbabwe kutoa maelezo kuhusiana na matamshi hayo ya Mugabe.
25Yo soy nigeriano, pero no veo nada malo en llamar al pan pan.Mimi ni Mnajieria lakini sioni kosa lolote kusema ukweli La!
26Que risa, si mugabe puede abrir la boca para decir que Nigeria es corrupta… entonces es obvio que tenemos un problema… ¡de los grandes!Kama Mugabe anaweza kufungua mdomo wake kuuita Naijeria kuwa inanuka rushwa….basi ni wazi tunalo tatizo kubwa…tena kubwa sana!
27@figure007 opina que aunque Mugabe dijo la verdad, no tiene justificación moral:@figure007 alidhani kuwa Mugabe alisema ukweli, ingawa hana uhalali wa kimaadili:
28Lean lo que Robert Mugabe decía sobre Nigeria, aunque dijo la verdad, no tiene justificación moral para decirlo como presidente electoNimesoma kile alichokisema Mugabe kuhusu Naijeria, ingawa alisema ukweli, lakini hana uhalali wa kimaadili kusema hayo kama Rais aliye madarakani
29Otros discrepaban con su valoración de la corrupción en Nigeria:Wengine hawakukubaliana na maoni yake kuhusu ufisadi nchini Naijeria:
30Punto de ironía dramática.Ujasiri wa hali ya juu.
31Mugabe tilda a Nigeria de corrupta. jaja.Mugabe anaiita Naijeria inanuka rushwa? Da!
32El demonio que conocemos es demasiado joven para vérselas con uno de 90 años.Ibilisi tunayemjua ni mdogo mno kukabiliana na kizee hiki cha miaka 90!
33¿Qué era eso de no ver la viga en el propio ojo?Nini maana ya kukitoa kibanzi kwenye jicho lako mwenyewe?
34El comentario de Robert Mugabe sobre sobornos ofende a NigeriaMatamshi ya Robert Mugabe yanaichokoza Naijeria
35Mugabe tiene la audacia de inferir que el gobierno de Nigeria es corrupto.Mugabe anathubutu kusema Serikali ya Naijeria inanuka ufisadi?
36El gobierno de Nigeria tiene la temeridad de sentirse insultado.Serikali ya Naijeria ina haki ya kuona imedhalilishwa
37Le dijo la sartén al cazo: «¡aparta, que me tiznas!».Chungu kuliita jiko kuwa ni jeusi.
38Ambos países son corruptos.Zote ni nchi zinazonuka ufisadi.
39Los comentarios de Mugabe ofenden a NigeriaMatamshi ya Mugabe yanaitukana Naijeria tu