Sentence alignment for gv-spa-20150602-287450.xml (html) - gv-swa-20150604-8872.xml (html)

#spaswa
1El lema del blog de Zelalem Kiberet: ‘Que resuene la libertad’Msemo Wa Blogu ya Zelalem Kiberet: ‘Uache Uhuru Uvume’
2Zelalem Kiberet cuando tenía 25 años.Zelalem Kiberet akiwa na umri wa miaka 25.
3Foto del blog de Zelalem.Picha kutoka blogu ya Zelalem.
4En abril de 2014, nueve blogueros y periodistas fueron arrestados en Etiopía.Mnamo mwezi wa Aprili, wanablogu tisa pamoja na waandishi wa habari walikamatwa nchini Ethiopia.
5Varios de estos hombres y mujeres habían trabajado con Zone9, un blog colectivo que cubría cuestiones sociales y políticas en Etiopía y promovía los derechos humanos y la responsabilidad del gobierno.Baadhi ya wanaume na wanawake hawa walikuwa wakifanya kazi na Zone9, blogu ya ushirika iliyokuwa inazungumzia masuala ya kijamii na ya kisiasa nchini Ethiopia ikiwa ni pamoja na kuhamasisha uzingatiaji wa haki za binadamu na uwajibikaji wa serikali.
6Y cuatro de ellos eran escritores de Global Voices.Miongoni mwao, wanablogu wanne walikuwa ni waandishi wa Global Voices.
7En julio de 2014, fueron acusados en virtud de la Proclamación Antiterrorista del país.Mwezi Julai, 2014 walihukumiwa chini ya tamko la wazi la nchi dhidi ya ugaidi.
8Desde entonces permanecen en prisión, y su juicio ha sido aplazado una y otra vez.Tangu wakati huo, wameendelea kuwepo gerezani, huku shitaka lao likiwa linaahirishwa mara kwa mara.
9Este es el tercer artículo de nuestra serie - “Tienen nombres” - que espera poner de relieve a cada bloguero que está actualmente en la cárcel.Makala hii ni ya tatu katika matoleo ya makala zetu za - “Wanayo Majina” - iliyo na madhumuni ya kuwazungumzia wanablogu ambao hadi sasa wapo gerezani.
10Queremos humanizarlos, contar sus historias particulares y peculiares.Tunataka kutambua utu wao, tunataka kuelezea habari zao za kipekee na mahususi kabisa.
11Esta historia es de Endalk Chala, miembro fundador del colectivo Zone9, que se libró de ser arrestado porque se encontraba en Estados Unidos, donde realiza estudios de doctorado.Simulizi hii inatoka kwa Endalk Chala, mmoja wa waanzilishi wa umoja wa Zone9 ambaye alisalimika kwa kutofungwa gerezani kwa kile kinachoelezwa kuwa alikuwa nchini Marekani, anaposomea shahada yake ya Uzamivu.
12Conocí a Zelalem Kiberet en el 2012.Kwa mara ya kwanza nilikutana na Zelalem Kiberet mwaka 2012.
13Había llegado a conocerlo a través de su blog, donde escribía sobre obras literarias curiosas e inspiradoras, arte, política, historia y filosofía.Nilimfahamu kupitia blogu yake, ambapo alikuwa akiandika kwa kiudadisi na kwa mvuto makala kuhusiana na sanaa, siasa, historia na falsafa.
14Para mí, leer sus mensajes sobre filosofía y charlar con él de vez en cuando en Facebook no era lo suficientemente íntimo, así que decidí conocerlo en persona.kwangu mimi, kwa kusoma makala zake zilizohusiana na falsafa pamoja na kupiga soga naye mara kwa mara kupitia Facebook, kamwe hakukuniridhisha, hadi pale nilipoamua kuonana naye ana kwa ana.
15Por aquel entonces, siempre anhelaba conocer a mis amigos en internet.Kwa kipindi hicho, nilikuwa nikitamani sana kukutana na rafiki zangu wa mtandaoni.
16Esto es lo que finalmente nos llevó a formar Zone9.Hili ndilo haswa hatimaye lililotupelekea kuanzisha Zone9.
17Aquel día fue Befeqadu, que transmite dinamismo al colectivo, quien organizó nuestra reunión.Siku hiyo, alikuwa niBefeqadu ambaye ndiye aliyekuwa mshika dau mkubwa wa umoja huu, aliratibu mkutano wetu.
18Nos reunimos en un café llamado Pizza, en el centro de Adís Abeba.Tulikutana kwenye mgahawa uliojulikana kwa jina la Pizza, katikati mwa jiji la Addis Ababa.
19Befeqadu y yo llegamos primero y luego Zelalem se unió a nosotros.Befeqadu na mimi tuliwasili wa kwanza, na baadae Zelalem alijumuika nasi.
20Nos saludó afectuosamente.Alitusalimu kwa bashasha.
21Estábamos sentados en una mesa cerca de la puerta.Tulikuwa tumekaa kwenye meza iliyokuwa karibu na mlango.
22Pidió una taza de macchiato y luego mantuvimos una de nuestras mejores conversaciones.Aliagiza kikombe kimoja cha macchiato na kisha tukafanya moja ya mazungumzo mazuri kabisa.
23Zelalem era estudiante de postgrado en la Facultad de Derecho de la Universidad de Adís Abeba, y también daba clases de derecho en la Universidad de Ambo.Zelalem alikuwa mhitimu katika Kitivo cha Sheria katika Chuo Kikuu cha Addis Ababa na pia alikuwa akifundisha masual ya sheria katika Chuo Kikuu cha Ambo.
24Me considero muy afortunado de haber trabajado con Zelalem.Nilijiona mwenye bahati sana kwa kutokea kufanya kazi na Zelalem.
25Debido a su ingenio, sus divertidos escritos y sus implacables indirectas sobre la religión, los amigos le cambiaron el nombre a Zelalem por el nombre del eminente escritor francés Zola, a quien el propio Zelalem leía con gran entusiasmo.Kutokana na upeo wake mkubwa, uandishi wa kuvutia, na maaandiko yake yaliyokuwa na mvuto na msimamo wake wa kuidadafua dini, marafiki zake walibadilisha kidogo jina la Zelalem na kuwa jina la mwandishi mashuhuri wa Ufaransa, Zola, ambaye hata Zelalem mwenyewe amekuwa akimsoma kwa shauku kubwa.
26El amor de nuestro Zola por la filosofía y el arte es tan visible que utilizó el famoso cuadro de Jacques-Louis David, “La muerte de Sócrates”, como cabecera de su blog.Upendo wa Zola wetu katika masuala ya falsafa na sanaa unajidhihirisha kwake haswa pale alipolifanya tangazo la utambulisho wa blogu yake kuwa ni picha maarufu ya “Kifo cha Socrates” iliyoandaliwa na Jacques-Louis David.
27La muerte de Sócrates, de Jacques-Louis David.Kifo cha Socrates, na Jacques-Louis David. ilitolewa Released to public domain.
28Imagen vía Wikimedia, de dominio público.Picha kupitia Wikimedia.
29Los mejores tuits de Zola eran tan famosos entre sus compañeros que me atrevería a decir que, en el momento de su arresto, Zola se estaba convirtiendo en el etíope más leído en Twitter.Twita za Zola zilizopata umaarufu mkubwa zilitosha sana kumuelezea vizuri miongoni mwa wenzake kiasi kwamba ninadiriki kusema kwamba hadi wakati anatiwa kizuizini, Zola tayari alishakuwa Mhabeshi aliyekuwa akisomwa sana katika mtandao wa Twitter.
30Sus humorísticos e ingeniosos tuits lo convirtieron en un prometedor talento literario a tener en cuenta.Ukarimu wake na Twiti zake za hekima ya hali ya juu vilimfanya kuwa mtu ambaye ilikuwa lazima kumfuatilia.
31Zola también escribe obras más extensas y conmovedoras.Zola anaweza pia kuandika makala zinazodumu kwa kipindi kirefu.
32En una de sus entradas de blog se burlaba de un tema que los principales periódicos de Etiopía no se han atrevido a mencionar.Katika moja ya makala zake za blogu, alitoa dhihaka dhidi ya watu fulani ambao kamwe magazeti ya nchini Ethiopia hayakuthubutu kukanusha.
33En su entrada de blog, titulada “Cómo crear tu propia religión - Una guía etíope”, escribió una larga sátira sobre cómo los medios estatales emiten programas en un esfuerzo por crear un culto a la personalidad del fallecido expresidente Meles Zenawi.Katika malaka moja ya blogu, iliyokuwa na kichwa cha habari “Namna unavyoweza Kuvumbua Dini yako Mwenyewe - Mwangozo wa Kihabeshi”, aliandika makala ndefu ya dhihaka ya namna ambavyo vipindi kwenye vyombo vya habari vinavyomilikiwa na serikali na harakati zao za kujaribu kupenyeza mfumo wa kidini wa aliyekuwa Rais wa Ethiopia hayati Meles Zenawi.
34Este tipo de escritos de Zola atrajeron la atención del gobierno etíope.Aina hii ya maandiko yake ulimuweka Zola katika ungalizi wa karibu uliokuwa unafanywa na serikali ya Ethiopia.
35Hoy, después de más de un año en la cárcel, se enfrenta a falsas acusaciones de terrorismo por ser un verdadero intelectual, y alguien que utiliza el humor para comunicar sus críticas.Hadi wakati huu, takribani mwaka mmoja akiwa gerezani, Zola anakabiliwa na mashitaka ya kutengenezwa yanayomhusisha na ugaidi ati kwa kuwa tu ni mwanazuoni halisi atumiaye unyenyekevu wake katika ukosoaji.
36En la cabecera de su blog, Zola ha escrito: ‘Que resuene la libertad'.Katika bango la blogu yake, Zola aliandika ‘Acha Uhuru Uvume'.
37Mientras él siga entre rejas, debemos cumplir este deseo en su nombre.Kwa kuwa bado yupo gerezani, hatuna budi kudumisha matarajio haya kwa niaba yake.