2 | Patrick Rajoelina afirma que [fr] por ley, si el presidente del gobierno de transición Andry Rajoelina aún desea postularse para las próximas elecciones presidenciales de Madagascar, ya no puede seguir siendo presidente, según lo establecido en la hoja de ruta firmada en 2011 por todos los partidos políticos malgaches. | Patrick Rajoelina anahoji [fr] kisheria, ikiwa rais wa mpito Andry Rajoelina bado anataka kugombea katika uchaguzi ujao wa raia nchini Madagaska, basi hatakuwa na sifa tena za kuwa rais, kwa mujibu wa makubaliano yaliyotiwa saini na vyama vyote vya nchi hiyo mwaka 2011. |