Sentence alignment for gv-spa-20130702-194505.xml (html) - gv-swa-20130705-5397.xml (html)

#spaswa
1Segundo viaje de Barack Obama a África: ¿para alcanzar a China?Obama Barani Afrika: Vita ya Kibiashara na China?
2El presidente Obama llevó a cabo un viaje a África del 26 de junio al 3 de julio.Rais Obama ametembelea bara la Afrika kwa ziara iliyokuwa imepangwa kati ya tarehe 26 mpaka Julai 3, 2013.
3Estuvo en Sudáfrica tras haber visitado Senegal. Después fue a Tanzania.Hivi karibuni alikuwa nchini Afrika Kusini baada ya kutembelea Senegali na baadae Tanzania.
4Para muchos comentaristas, esta visita es un intento por no quedarse atrás. Estados Unidos intentarían responder así a la penetración económica de China [fr] en África subsahariana.Wachambuzi wengi wanaoiona safari hiyo kama mpango wa kushindana , kama jaribio la Marekani kupambana na mafanikio ya kiuchumi ya China [fr] katika nchi za Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara.
5Desde 2010, China es el primer socio comercial de África [en], mientras que hace cuatro años, cuando Barack Obama visitó Ghana, ese puesto lo ocupaban los Estados unidos.Tangu 2010, China imekuwa mshirika mkuu wa kibiashara barani Afrika [fr], ingawa kwa miaka minne iliyopita, wakati wa ziara ya Obama nchini Ghana, Marekani ilikuwa katika nafasi hiyo.
6El discurso de Barack Obama en Ghana [en] se encontró con el escepticismo de muchos africanos, pues no llegaba a terreno conquistado.Hotuba ya Obama akiwa Ghana miaka minne iliyopita iliwaacha wa-Afrika na wasiwasi na palikuwa na uwanja mdogo sana unaofanana.
7En el vídeo siguiente, Abel Asrat, uno de los colaboradores de Global Voices en amhárico nos ofrece su punto de vista [en]: [Katika video ifuatayo, mwandishi wa Global Voices Abel Asrat anayeandikia ukurasa wa Global Voices kwa ki-Ahmari alitoa maoni yake kuhusu sera ya Obama kwa bara la AFrika kama ilivyo leo:
8En Twitter, las dudas sobre las razones de la visita de Obama a África se reflejan en la etiqueta en lengua wolof #ObamaTakh -que se podría traducir tanto como «por culpa de Obama» y también como «gracias a Obama»- que apareció unos días antes de su llegada a Dakar [fr].Kwenye mtandao wa Twita, wasiwasi wa sababu hasa ya ziara ya Obama barani Afrika ulionekana katika alama ishara ya Wolof #ObamaTakh yenye maana ya “Kwa sababu ya Obama” na “Shukrani kwa Obama” - iliyoanza kutumika siku kadhaa kabla ya kuwasili kwa Obama mjini Dakar.
9Hasta su llegada a suelo senegalés, prevaleció la pimera acepción de la palabra [fr] en las redes sociales.Baada ya kuwasili kwake katika ardhi ya Senegali haya yalikuwa maneno yake ya kwanza yaliyotawala mitandao ya kijamii.
10Pues como señala [fr] en Twitter el usuario @LebouPrincess, el talante cambia:Kisha hisia zikabadilika, wakati @LebouPrincess, M-Senegali aishiye Washington DC, aliposisitiza kwenye mtandao wa Twitaon:
11Más impresionante que la llegada del Air Force One es la mudanza de los #kebetu («tuits» en wolof) lol guemoulene dara [son versátiles] #ObamaTakhKilichokuwa kinasisimusha zaidi kuliko kuwasili kwa dege la Air Force One ilikuwa ni kurejea alama habari #kebtu, (twiti katika lugha ya Wolof) lol guemoulene dara [unatembea sana] #ObamaTakh.
12Al día siguiente, Barack Obama se metió a los senegaleses un poco más en el bolsillo cuando en el resumen de sus debates con el presidente Macky mencionó la lucha senegalesa [en] y colocó algunas palabras en wolof: «Nio Far» (somos socios); «Teranga» (hospitalidad) y «Jerejef» (gracias).Siku iliyofuata Obama aliweza kwa kiasi fulani kuwasogeza wa-Senegali upande wake kwa kuyataja mapigano ya wa-Senegali wakati wa majadiliano yake na Rais Macky Sall na akisema maneno kadhaa katika lugha ya ki-Wolof: Nio Far (Sisi ni washirika),Teranga (ukarimu) na Jerejef (Asante).
13En el meollo de los debates entre los dos presidentes, el conflicto de Mali, el tráfico de drogas y las cuestiones económicas [fr]:Kiini cha mazungumzo kati ya marais hao kilikuwa ni mgogoro wa Mali, usafirishaji wa madawa ya kulevya na masuala ya kiuchumi [fr]:
14El presidente estadounidense Barack Obama anunció el jueves 27 en Dakar que su administración está «buscando modalidades de reconducir» la AGOA [en], Ley de Crecimiento y Oportunidades en África.Rais wa Marekani, Barack Obama, alitangaza siku ya Alhamisi jijini Dakar kwamba utawala wake kwa sasa “unatafiti mbinu za kujihuisha” katika AGOA (Sheria ya Ukuaji na Fursa Afrika), sheria ya Kimarekani inayotawala masuala ya ukuaji na fursa barani Afrika.
15En el curso de una conferencia de prensa conjunta con su homólogo senegalés Macky Sall, al día siguiente de su llegada a Senegal para una visita oficial de tres días, el jefe de estado estadounidense dijo haber pedido a su administración que intente una reconducción de la AGOA.Wakati wa mkutano wa pamoja na waandishi wa habari akiwa na mwenyeji wake wa Senegali, Macky Sall, siku moja baada ya kuwasili kwa ziara ya siku tatu nchini humo, Mkuu huyo wa nchi wa Marekani alionyesha kwamba alikuwa ameuomba uongozi wake kuihuisha AGOA.
16La AGOA es un programa unilateral de preferencia comercial firmado por el Congreso de Estados Unidos que permite la exención de impuestos y el acceso a una cuota libre para más de 6400 productos provenientes de países seleccionados del África Subsahariana.AGOA ni mpango wa pamoja unaojikita katika mipango ya kibiashara inayosainiwa na bunge la Marekani, ukiruhusu msamaha wa kodi na kuruhusu uingizaji wa bidhaa zaidi ya 6,400 kutoka katika nchi mahususi kusini mwa Jangwa la Sahara.
17El presidente Obama reafirmó también la voluntad de su gobierno de trabajar en el desarrollo de las relaciones comerciales entre su país y Senegal.Cha zaidi, Rais Obama alieleza kwa mara nyingine shauku ya utawala wake kufanya kazi ya kukuza mahusiano ya kibiashara baina ya nchi yake na Senegali.
18El punto más comentado de la conferencia de prensa de los dos presidentes, tanto en Senegal como en el extranjero, fue el momento en que Barack Obama abordó de forma voluntaria y con el aval de su homólogo senegalés [fr] los derechos de los homosexuales en África:Nchini Senegali na kwingineko, sehemu ya mkutano huo wa marais hao na waandishi wa habari iliyozua gumzo, ni pale Barack Obama, kwa uhuru kabisa na kwa namna fulani ya uungwaji mkono na mwenzake wa Senegali, alipogusia masuala ya haki za watu wenye mahusiano ya jinsia moja, mashoga na wasagaji katika bara la Afrika.
19Las preguntas de cerca de 300 periodistas presentes no podían hacerselibremente, sino que se habían seleccionado previamente.Sabine Cessou kwenye Rue89 anaeleza namna maswali yalivyochaguliwa [fr] wakati wa mkutano huo na waandishi wa habari :
20Este proceso solo permitió a dos periodistas senegaleses y dos estadounidenses hacer una cuantas preguntas cada uno.The questions from the 300 journalists were screened beforehand. The process allowed for two Senegalese journalists and two american ones to ask the tough questions.
21La respuesta de Macky Sall no decepcionó a los senegaleses más tradicionalistas [fr]:Macky Sall's response did not disappoint Senegalese traditionalists [fr]:
22Fundamentalmente, se trata de una cuestión de sociedad.Kwa dhati kabisa, hili ni swala la jamii.
23No puede haber un modelo fijo para todos los países.Isingekuwa rahisi kuwa na mfumo unaofanana kwa kila nchi.
24Las culturas son diferentes, igual que las religiones y las tradiciones.Utamaduni ni tofauti, kama zilivyo dini na mila.
25Incluso en los países donde la homosexualidad está despenalizada, las opiniones no siempre son compartidas.Hata katika nchi ambazo zimeuhalalisha ushoga, bado hazifanani kwa mambo kadhaa.
26Senegal es un país tolerante: no se le dice a nadie que no va a encontrar trabajo porque es homosexual.Senegali ni nchi ya kuvumiliana: hakuna mtu anaambiwa hatafanya kazi kwa sababu tu ni shoga. Hata hivyo, hatuko tayari kuuhalalisha ushoga.
27Pero todavía no está listo para despenalizar la homosexualidad [fr].Huo ndio uchaguzi wetu kwa sasa, wakati huo huo tukiheshimu haki zao.
28En Senegal no somos homófobos [fr].Hatuna chuki kwa mashoga nchini Senegali.
29La sociedad debe tomarse el tiempo de tratar esta cuestión sin presiones.Jamii lazima ishughulikie masuala haya bila shinikizo.
30La víspera, en Estados Unidos se había ejecutado a Kimberly McCarthy en Texas [fr], y su indirecta sobre la pena de muerte también fue unánime: el presidente senegalés señaló a su interlocutor que ciertos países siguen aplicando la pena de muerte -sin mencionar a Estados Unidos- mientras que ha sido abolida en Senegal (la última ejecución data de 1967 [fr]), que por su parte se cuida de dar lecciones a otros.Nchini Marekani, Kimberly McCarthy alinyongwa jana yake jijini Texas, na maneno yake ya kushutumu hukumu ya kifo yalijenga mfanano: rais wa Senegali alimwambia mwandishi wa habari aliyekuwa akimhoji kwamba nchi kadhaa bado zinakubaliana na hukumu ya kifo -bila kuitaja Marekani - ingawa hukumu hiyo imefutwa nchini Senegali (na mara ya mwisho mtu kuhukumiwa kifo ilikuwa mwaka 1967) na hata hivyo, nchi hiyo imekuwa makini kutohubiri suala hilo kwa wengine. Wakati @hpenot_lequipe, mwandishi wa jarida la kifaransa l'Equipe, alikuwa na maoni haya kwenye twita:
31Como señalan @hpenot_lequipe:Mbadilishano mzuri baina ya Obama na Macky Sall.
32Interesante intercambio entre Obama y Macky Sall.Kwa mara ya kwanza, rais wa Kiafrika asiyetetereka mbele ya Marekani.
33Por una vez, un presidente africano no se ha desinflado ante EE.UU. Respeto.Heshima kwako. Na kutoka kwa @Toutankhaton, mwanachama wa waafrika waishio Paris:
34Y @Toutankhaton: ¡Bravo por @macky_sall y su respuesta directa @BarackObama!Heko @macky_sall kwa majibu yake mazuri kwa @BarackObama!
35¡Pena de muerte contra matrimonio gay!Hukumu ya kifo dhidi ya ndoa za jinsia moja!
36#obamatakh#obamatakh
37http://youtu.be/W_O4ay69OFg</p>Ifuatayo ni video ya mkutano na waandishi wa habari iliyowekwa na Xalimasn kutoka Senegali:
38En la agenda del presidente Obama hay también una reunión con representantes de la sociedad civil [fr].http://youtu.be/W_O4ay69OFg Photos from Obama's visit can be viewed on the Facebook page of the Dakar Echo.
39Fotos de la visita de Barack Obama en la página de Dakar Echo en Facebook.Nchini Afrika Kusini, mapokezi yake hayakuonekana kuwahamasa kubwa, kama mwanablogu wa mambo ya nje wa jarida la Washington Post Max Fisher anavyoeleza:
40Kwa kiasi kikubwa kwenye miaka ya 1980, Marekani na Uingereza zilionekana machoni mwa baadhi ya Waafrika Kusini, kama nchi zilizokaa kimya pasi na sababu, zikivumilia serikali ya ubaguzi wa rangi.
41Hiyo inaweza kusaidia kueleza kwa nini wakosoaji wengi wa Obama nchini Afrika Kusini wanamkosoa kwa kuiunga mkono “nchi ya ubaguzi wa rangi” ya Israeli.
42En Sudáfrica, la acogida ha sido algo menos cordial [en].Makundi kadhaa yanatoa mifano wa mashambulizi ya kivita yanayofanywa na Marekani na mahabusu ya Guantanamo, Cuba.