Sentence alignment for gv-spa-20150516-284894.xml (html) - gv-swa-20150627-8947.xml (html)

#spaswa
1“No podemos pisotear la humanidad de los demás sin devaluar la nuestra”“Hatuwezi Kukandamiza Utu wa Wengine bila Kuukana utu Wetu Kwanza
2Los seis blogueros encarcelados: Atnaf Berahane, Mahlet Fantahun, Zelalem Kiberet, Befeqadu Hailu, Natnael Feleke, Abel Wabela.Wanablogu sita waliofungwa gerezani: Atnaf Berahane, Mahlet Fantahun, Zelalem Kiberet, Befeqadu Hailu, Natnael Feleke, Abel Wabela.
3En abril del año pasado, nueve blogueros y periodistas fueron arrestados en Etiopía.Mnamo mwezi wa Aprili, wanablogu tisa pamoja na waandishi wa habari walikamatwa nchini Ethiopia.
4Varios de estos hombres y mujeres habían trabajado con Zone9, un blog colectivo que cubría temas sociales y políticos en Etiopía y promovía derechos humanos y responsabilidades del gobierno.Baadhi ya wanaume na wanawake hawa walikuwa wakifanya kazi na Zone9, blogu ya ushirika liyokuwa inazungumzia masuala ya kijamii na ya kisiasa nchini Ethiopia ikiwa ni pamoja na kuhamasisha uzingatiaji wa haki za binadamu na uwajibikaji wa serikali.
5Y cuatro de ellos eran escritores de Global Voices.Miongoni mwao, wanablogu wanne walikuwa ni waandishi wa Global Voices.
6En julio, fueron acusados bajo el cargo de la ley antiterrorista.Mwezi Julai, walihukumiwa chini ya sheria ya nchi ya kupambana na ugaidi.
7Han estado en prisión desde entonces, y su juicio ha sido postergado una y otra vez.Tangu wakati huo, wameendelea kuwepo gerezani, huku shitaka lao likiwa linaahirishwa mara kwa mara.
8La comunidad de Global Voices, y el equipo del África subsahariana en especial, han trabajado arduamente los últimos doce meses para llamar la atención de su caso y conmemorar sus aportes al diálogo en internet.Jumuia ya Global Voices, na hususani timu ya Ukanda wa chini wa Jangwa la Sahara, umekuwa ukifanya juhudi za hali na mali kwa muda wa kipindi cha miezi 12 iliyopita ili ulimwengu ufahamu kesi yao pamoja na kusherehekea machango wao katika jukwaa la mtandaoni.
9En las semanas siguientes, esperamos destacar a cada uno con una obra especial de texto, arte, poesía, o vídeo.Katika wiki zinazofuata, tunategemea kumzungumzia kila mwanablogu kwa kutumia kipande mahususi cha makala, sanaa, ushairi au video.
10En esta publicación inicial, el escritor y poeta nigeriano Nwachukwu Egbunike habla a nuestra causa con una mezcla de prosa y poesía.Katika makala hii ya awali, Mwandishi wa Nigeria na mshairi, Nwachukwu Egbunike azungumza kwa niaba yetu kwa kutumia mchanganyiko wa nathari na ushairi.
11No podemos pisotear la humanidad de los demás sin devaluar la nuestra.Hatuwezi Kukandamiza Utu wa Wengine bila Kuukana utu Wetu Kwanza.
12El igbo, siempre práctico, lo puso concretamente en su proverbio - “Onye ji onye n'ani, ji onwe ya” - El que mantendrá a otro oprimido en el barro debe permanercer en el barro para mantenerlo abajo”Igbo, mara zote wakiwa wahalisia, wazungumzia hili kwa ufasaha kabisa kwenye msemo wao- “Onye ji onye n'ani, ji onwe ya” - “Yeyote atakaye kumzamisha mwingine kwenye tope lazima na yeye awe kwenye tope hilo ili aweze kumzamisha mwingine”
13Chinua AchebeChinua Achebe
14Estos nueve etíopes fueron injustamente encapuchados en la cárcel por los que se encargan del bien común.Wanablogu hawa tisa wa Ethiopia bila sababu inayoeleweka waliwekwa kizuizini gerezani na wale wanaomanika kupewa jukumu na wengi la kuliongoza taifa la Ethiopia.
15Deseamos contar sus historias en las semanas que vienen.Matazamia yetu katika wiki zinazofuata ni kutoa simulizi zinazowahusu mmoja baada ya mwingine.
16¿Qué hay en un nombre?Katika jina kuna nini?
17La esencia misma de la humanidad.Ni kitu cha muhimu sana kwa utu wa mtu.
18La cosmovisión africana sostiene que los nombres no pueden ser borrados.Mtazamo wa jumla wa Mwafrika ni kuwa, majina kamwe hayawezi kufutwa.
19Pero un estado tiráno desea hacer precisamente eso.Lakini taifa la kiharamia linataka kufanya hivyo kirahisi tu.
20El crimen de los blogueros de Zone9 fue que se atrevieron a hacer realidad el “Ubuntu“.Kosa la Wanablogu wa Zone9′ ati lilikuwa ni kuthubutu kuonesha dhamira yao ya kuupigania “Ubuntu”.
21Promovieron su comunidad más allá de intereses individuales.Waliihamasisha jamii yao kuachana na dhana ya ubinafsi.
22Su trabajo fue impulsar y derribar las grandes barreras de la famosa prisión “Zona nueve” de Etiopía.Jukumu lao kubwa lilikuwa ni kuondoa na kuangamiaza kabisa vikwazo vikubwa vya kauli mbiu yao ya gereza la “Zone Nine” la Ethiopia.
23La libertad está a prueba, la libertad está muerta.Uhuru upo katika hali tete, uhuru wa kujieleza haupo.
24El silencio del miedo está vivo.Ukimya wa hofu unamea.
25Usando el internet, estos hombres y mujeres expandieron la zona de libertad.Wakitumia mtandao wa intaneti, wanaume na wanawake hawa walipanua wigo wa uhuru.
26Pero como recompensa, fueron acusados de falsos cargos de terrorismo.Lakini, kwa bahati mbaya, kama zawadi yao, walijikuta kwenye uonevu usiomithilika kwa kushitakiwa kwa makosa ya ugaidi ya kusingiziwa.
27Actualmente están en prisión.Hadi wakati huu, wanablogu hawa bado wapo gerezani.
28Global Voices Advicacy desea mantener estos nombres vivos y contar sus historias de coraje para que todos lo sepan.Mradi wa utetezi wa Global Voices unalenga kuendelea kuyaweka majina haya hai ikiwa ni pamoja na kutoa simulizi zinazowahusu ili kila mmoja awafahamu.
29Queremos evitar una visión reduccionista de contarlas simplemente como números o mártires.Tunalenga kuzuia mfumo wa kurahisisha utu wao kwa kuwahesabu kama namba tu au kama watu waliokosa tumaini la kuishi.
30Tienen nombres, testimonios, personalidades, peculiaridades, defectos.Wanayo majina, simulizi, haiba, tabia zao za kipekee, mapungufu.
31Nombres historias Zonificados en Gaul Nueve no nadie Amordazados no silentes Oprimidos no muertos.Majina, simulizi Zoned into Gaul Tisa siyo kutokuwepo Kulindwa siyo kunyamazishwa Kukandamizwa siyo kutokomezwa.
32Sus nombres y casos serán contados aquí.Majina yao na hahari zao zitasimuliwa hapa.
33Por eso, intentemos jamás olvidar y mantener sus voces altas y firmes, hasta que sean libres otra vez.Kwa namna hii, tunataka kamwe tusiwasahau na kuelendelea kupaza sauti zao kwa uiamara, hadi pale watakapoachiwa huru.