Sentence alignment for gv-spa-20150314-277276.xml (html) - gv-swa-20150307-8610.xml (html)

#spaswa
1Ataque con arma de fuego mató 5 personas mientras Mali intenta consolidar la pazShambulio la Kigaidi Laua Watu Watano Mjini Bamako
2Captura de pantalla de las fuerzas policiales en Bamako, Mali después del ataque terroristaPicha ya majeshi ya polisi mjini Bamako, Mali baada ya shambulio la kigaidi
3Un tiroteo en un restaurante en Bamako, capital de Mali, cobró la vida de cinco personas la noche del viernes 6 de marzo 2015. El ataque ocurrió cerca de la medianoche en un restaurante llamado La Terrasse en el centro de Bamako y doce personas fueron heridas de gravedad.Shambuliko la kigaidi lilitekelezwa kwenye mgahawa jijini Bamako, makao makuu ya Mali, limechukua maisha ya watu watano usiku wa siku ya Ijumaa mnamo Machi, 6. Shambulio hilo lilifanyika usiku wa maneno kwenye mkahawa unaoitwa took Terrasse kwenye mitaa ya Bamako na watu zaidi ya kumi wamejeruhiwa vibaya.
4Dos sospechosos están detenidos y son interrogados por las fuerzas de seguridad.Washukuiwa wawili wamekamatwa na wanaendelea kuhojiwa na vyombo vya ulinzi na usalama.
5Un funcionario local informa que dos atacantes estaban armados y encapuchados.Afisa wa polisi aliripoti kwamba watu hao wawili walikuwa na silaha kali pamoja na mavazi ya kijeshi.
6Uno produjo una explosión en el restaurante y abrió fuego.Mtu mmoja alilipua bomu kwenye mkahawa.
7Tres malienses, un francés y un belga murieron.Raia wawili wa watatu, Mfaransa mmoja na raia mwingine wa Ubelgiji waliuawa.
8Un bloguero local publicó un video de las fuerzas policiales cuando llegaron a investigar el lugar del crimen:Mwanablogu mmoja aliweka video inayoonesha vikosi vya polisi waliokuwa wakifanya uchunguzi kwenye eneo la tukio:
9Marc- André Boisvert, un colaborador de Global Voices, escribió en Twitter que un ataque semejante era inevitable puesto que Mali todavía está tratando de re establecer la paz en la región norte:Mchangiaji wa Global Voices Marc- André Boisvert aliandika kwenye mtandao wa twita kwamba shambulio kama hilo halikuwa linaepukika, kwa sababu Mali bado inajitahidi kurudisha hali ya amani kwenye ukanda huo wa Kaskazini:
10Todos sabíamos que ocurriría en Bamako.Sote tulijua tukio hili lingetokea mjini Bamako.
11Todos sabíamos que la calle du BlaBla sería el objetivo.Sote tunajua shabaha ilikuwa kuwalenga wapiga kelele.
12Pero estamos conmocionados.Lakini bado tunashangazwa
13Philippe Paoletta, un residente de Bamako está de acuerdo con Marc-André:Philippe Paoletta, mkazi wa Bamako, anakubaliana na Marc-André:
14Todo el mundo siempre pensó que esto sucedería en algún momento en Bamako.Kila moja alijua yaliyotokea yangetokea wakati fulani hapa Bamako. Hata hivyo hiyo haifanyi hali hiyo isiwe ya kushangaza.
15No por ello es menos chocante u horripilante. RipMwenyezi Mungu aziweke pema roho za marehemu
16Todos nuestros pensamientos están con las víctimas del ataque.Tunawatakia majeruhi wa shambulio kupona kwa haraka.