Sentence alignment for gv-spa-20150212-272005.xml (html) - gv-swa-20150206-8446.xml (html)

#spaswa
1“¿Dónde está el presidente?”: Ausencia del presidente filipino en el acto honorífico por los policías asesinadosWafilipino Wauliza ‘Rais Yuko Wapi?’ Baada ya Kutokuonekana Kwenye Mapokezi ya Polisi Waliouawa
2“RETUITEAR si creen que PNoy debería haber asistido al acto honorífico de bienvenida en lugar de al evento de la fábrica de coches.“TWITI TENA kama unadhani PNoy alipaswa kuhudhuria mapokezi ya heshima badala ya tukio la Kiwanda cha Magari.
3#NasaanAngPangulo” tuitea @BobOngWords.#NasaanAngPangulo” alitwiti @BobOngWords.
4La etiqueta #NasaanAngPangulo, que significa “dónde está el presidente” en tagalo, se convirtió en tema del momento en Twitter en todo el mundo a medida que los filipinos expresaban su indignación por el presidente Noynoy Aquino quien se saltó el acto honorífico por la llegada de los policías de élite muertos en una operación especial.Alama habari #NasaanAngPangulo, yenye maaana ‘Rais yuko wapi' katika lugha ya Kitagalog, ilikuwa mada maarufu zaidi kwenye mtandao wa Twita duniani wakati Wafilipino walipokuwa wakionesha hasira zao kwa Rais Noynoy Aquino kufuatia kukosekana kwake kwenye mapokezi ya heshima ya miili ya polisi waliouawa wakiwa kwenye operesheni maalum.
5Aquino honró la apertura de la nueva fábrica de automóviles de la corporación Mitsubishi Motors en Laguna (provincia al sur de Manila) en vez de asistir a la ceremonia por los policías fallecidos.Aquino alihudhuria kuzinduliwa kwa kiwanda kipya cha magari cha kampuni ya Mitsubishi huko Laguna (jimbo lililo kusini mwa Manila) badala ya kuhudhuria mapokezi ya miili ya polisi.
6Los ataúdes que transportaban los restos de los agentes fallecidos llegaron a la base aérea de Villamor después de haber sido trasladados desde Mamasapano, municipio situado al sur de Filipinas, en la provincia de Maguindanao.Majeneza yaliyobeba mabaki ya miili ya polisi hao yaliwasili kwenye uwanja wa ndege wa Villamor baada ya kusafirishwa kutoka Mamasapano, mji ulio kusini mwa Ufilipino, Maguindanao.
7Cuarenta y cuatro miembros de la Fuerza Especial de Acción de la policía nacional de Filipinas (SAF) fueron asesinados en una operación antiterrorista fallida que se convirtió en una batalla campal de 11 horas de duración entre las fuerzas del Estado y los rebeldes del MILF (Frente Moro de Liberación Islámica) que operaban en la zona de Mamasapano.Askari arobaini na wanne wa Jeshi la Polisi la Ufilipino - Kikosi Maalum (PNP-SAF) waliuawa kwenye operesheni ya kupambana na ugaidi mapambano yaliyochukua masaa 11 kati ya vikosi vya serikali na waasi wa Moro wanaotaka kujitenga na wanaofanya shughuli zao kwenye eneo la Mamasapano.
8Eran parte de un operativo policial formado por 400 miembros que fueron enviados para capturar al presunto cerebro de los atentados de Bali de 2002, del que se decía que se estaba escondiendo en el área.Marehemu hao walikuwa sehemu ya askari 400 waliokuwa wametumwa kumkamata mtu anayedaiwa kupanga matukio ya milipuko ya mabomu ya Bali mwaka 2002 anayesemekana kujificha eneo hilo.
9El gobierno de Estados Unidos ofrece una recompensa de cinco millones de dólares por el sospechoso Zulkifli bin Hir, alias Marwan.Serikali ya Marekani ilitoa kiasi cha dola za Marekani milioni tano kama zawadi kwa atakayetoa taarifa zitakazowezesha kumkamata mtuhumiwa Zulkifli bin Hir alias Marwan.
10Tuvieron una gran difusión en redes sociales como Facebook y Twitter una serie de memes que ridiculizan la ausencia del presidente Aquino en la ceremonia honorífica de bienvenida.Mfululizo wa ujumbe uliokuwa ukienea kwa kasi kudhihaki kukosekana kwa Rais Aquino kwenye mapokezi hayo ulizunguka kwenye mitandao ya kijamii kama Facebook na Twita.
11Los internautas filipinos recordaron la rapidez del presidente Aquino para cuidar de las grandes empresas y asistir a eventos de celebridades mientras que está ausente en muchas de las grandes tragedias que asolan a la nación.Wafilipino watumiao mitandao walikumbushana namna Rais Aquino alivyokuwa mwepesi kutoa muda wake kuhudhuria shughuli za zinazoandaliwa na makampuni makubwa wakati akikosekana kwenye majanga mengi makubwa yaliyoliathiri taifa.
12¡Asistencia de nuestro presidente!Shughuli anazohudhuria Rais wetu!
13#NasaanAngPangulo okay pic.twitter.com/MT2gjNbTiS#NasaanAngPangulo okay pic.twitter.com/MT2gjNbTiS
14- Ariane (@arinormously) February 4, 2015- Ariane (@arinormously) February 4, 2015
15Muchos también señalaron que el presidente declaró “No asisto a velatorios de gente que no conozco” cuando le preguntaron por qué no fue al velatorio de la transgénero Jennifer Laude, supuestamente asesinada por un marine estadounidense el año pasado.Wengine walikumbushia jinsi rais alivyowahi kusema, “Sihudhurii shughuli za watu nisiowajua” alipoulizwa kwa nini hakuhudhuria maziko ya Jennifer Laude, aliyedaiwa kuuawa na mfanyakazi wa Marekani mwaka uliopita.
16La escritora Katrina Stuart-Santiago contrasta en su estado de Facebook la importancia que dan otros jefes de Estado el honrar a los muertos, con la ausencia del presidente Aquino en la ceremonia de honor por los policías muertos de las fuerzas de élite:Mwandishi Katrina Stuart-Santiago alijaribu kufananisha umuhimu unaooneshwa na wakuu wengine wa nchi kwenye kutoa heshima zao kwa watu wanaoolifia taifa na kutokuonekana kwa rais Aquino kwenye mapokezi ya mashujaa hao kwenye bandiko lake la Facebook:
17Cuando los cuerpos de las víctimas del MH17 [vuelo 17 de Malaysia Airlines] llegaron a los Países Bajos, el rey holandés Willem-Alexander, la reina Maxima y el resto de la familia real holandesa, junto con funcionarios del gobierno, se sentaron, observaron, lloraron y lamentaron con el resto de la nación mientras transportaban los ataúdes desde los aviones hasta los coches fúnebres.Wakati miili ya waathirika wa ndege ya MH17 ilipowasili nchini Uholanzi, Mfalme wa nchi hiyo Willem-Alexander na Malkia Maxima, na pamoja na familia karibu yote ya kifalme, wakiambatana na maafisa wa serikali walikaa na kutazama na kulia na kuomboleza na taifa wakati majeneza yaliposhushwa kutoka kwenye ndege.
18Nada fue más importante que aquel ritual por los muertos.Hakuna kilichokuwa muhimu zaidi ya kuwaenzi marehemu hao.
19El presidente Aquino dio un discurso durante los servicios funerarios por los policías asesinados un día después de que llegaran los ataúdes.Rais Aquino alitoa hotuba wakati ibada ya mazishi ya polisi waliouawa siku moja baada ya majeneza kuwasili.
20Pero el presidente estuvo de nuevo en el punto de mira por llegar tarde, lo que causó que se suspendieran los ritos hasta su llegada.Lakini wakati huo kwa mara nyingine alisemekana kuchelewa na kufanya shughuli zingoje mpaka atakapowasili.
21El discurso de Aquino durante el servicio se convirtió asimismo en objeto de burlas en Internet por tratar más de sí mismo que de los agentes fallecidos.Hotuba ya Aquino wakati wa ibada hiyo iligeuka kuwa kituko mtandaoni kwa kusemekana kuzungumzia mambo yake binafsi kuliko marehemu.
22Un meme recalcó que Aquino siempre empieza sus discursos al estilo de George Lucas de Star Wars. De la página web de Facebook de Jason Valenzuela.Utani uliokuwa ukisambaa mtandaoni ulionesha namna Aquino huanza hotuba yake kwa maneno ya George Lucas wa Star Wars.
23Texto de la foto: “Hace mucho tiempo… durante los años oscuros de la ley marcial… mi familia y yo…”Kutoka kwenye ukurasa wa Facebook wa Jason Valenzuela.
24El portavoz del presidente ha defendido su ausencia en el acto honorífico de bienvenida por los policías muertos, alegando que no era parte de su agenda.Msemaji wa rais ametetea kutokuwepo kwa rais katika mapokezi ya miili ya polisi, akisema kwamba hiyo haikuwa sehemu ya ratiba yake.
25Además, les restó importancia a las críticas de los internautas en una reunión informativa en Palacio, señalando que no eran la opinión de la mayoría.Pia alikejeli wakosoaji wake mtandao kwenye taarifa yake Ikulu, akisema kwamba ukosoaji huo ni mtazamo usiowakilisha maoni ya wengi.