Sentence alignment for gv-spa-20120718-128735.xml (html) - gv-swa-20130428-3457.xml (html)

#spaswa
1Uganda: recordando las explosiones de 2010Uganda: Kukumbuka milipuko ya mabomu ya 2010
2Han pasado dos años desde que 80 personas murieron a causa de explosiones de bomba en el Club de Rugby Kyaddondo y el bar Ethiopian Village, en Uganda.Makala haya yamechapishwa kwa kuchelewa kutokana na hitilafu za kiufundi. Awali yalikuwa yawe yamechapishwa tarehe 13 Julai 2012.
3Todas esas personas habían ido a ver el partido final de la Copa del Mundo que se llevaba a cabo en Sudáfrica.Ni miaka miwili sasa tangu jumla ya watu 80 kupoteza maisha katika mililipuko ya mabomu katika klubu ya mcheo wa Rugby huko Kyaddondo na katika baa ya Kijiji cha ki-Ethipoia nchini Uganda.
4Como esta era la primera vez que África era anfitrión de este torneo, las personas esperaban ansiosamente el partido final, que fue entre los Países Bajos y España.Wahanga hawa walikuwa wamekwenda kutazama finali za kandanda za kombe la dunia zilizokuwa zinafanyika nchini Afrika kusini ambapo kwa mara ya kwanza bara la Afrika lilikuwa limeandaa michuano hiyo.
5Era cerca de las 12 del mediodía cuando las bombas detonaron, dejando a más de 70 personas muertas y a otros heridos.Mashabiki hao walikuwa wamesubiri kwa hamu mechi hiyo ya fainali kati ya Uholanzi na Hispania. Ilikuwa inaelekea usiku wa manane wakati milipuko hiyo ikitokea, shambulizi ambalo liliwaacha watu sabini wakiwa wamefariki papo hapo na wengine kujeruhiwa.
6Monumento conmemorativo en el Club de Rugby Kyaddondo.Mnara wa kumbukumbu ya mashambuzi hayo huko Kyaddondo
7Los medios de comunicación tradicional rindieron tributo y sus respetos a los ugandeses que perdieron la vida en los incomprensibes ataques.Waandishi wa vyombo vikuu vya habari viliwakumbuka wa-Ganda waliopoteza maisha yao katika mashambulizi hayo.
8Otros ugandeses en todo el mundo han publicado mensajes en Facebook y también en Twitter usando la etiqueta #WeRememberJuly11 [recordamos el 11 de julio]: @beewol dijo en Twitter:Wa-Ganda wengine kutoka seheme nyinginezo ulimwenguni walituma jumbe zao kwenye mitandao ya facebook na twita wakitumia alama habari ya #Twakumbuka Julai 11
9@beewol: #WeRememberJuly11‬ ‪ #WeRememberJuly11‬ ‪ #WeRememberJuly11‬ ‪ #WeRememberJuly11‬ ‪ #WeRememberJuly11‬ ‪ #WeRememberJuly11‬ ‪ #WeRememberJuly11@beewool alizungumza machache kwenye twita akisema:
10Y agregó: @beewol: QEPD los amantes del deporte que fallecieron este día hace dos años #WeRememberJuly11.@beewol‬ #Twakumbuka Julai 11 #Twakumbuka Julai 11 #Twakumbuka Julai 11 #Twakumbuka Julai 11 #Twakumbuka Julai 11 #Twakumbuka Julai 11 #Twakumbuka Julai 11‪‬ ‪‬ ‪‬ ‪‬ ‪‬ ‪
11@pkahill recordó a su amigo:Aliongeza:
12@pkahill: #WeRememberJuly11‬ él no tenía batería, así que estaba esperando a sus amigos en Shop Rite, dejó a un amigo dentro y la bomba estalló 1/2.@beewol: Mungu azirehemu roho za wapenda kandanda waliopoteza maisha mahali miaka miwili iliyopita na ziweke mahali pema peponi #Twakumbuka Julai 11‪
13Añadió:@pkahill alimkumbuka rafiki yake:
14@pkahill: #werememberjuly11‬ rezamos por las almas de los que murieron, para consolar a sus seres queridos y esperamos que con el tiempo las heridas de la pérdida se curen 1/5.@pkahill: Hakuwa na betri na alikuwa akiwasubiri marafiki zake katika duka la Shoprite na akamwacha rafiki mmoja ndani na bomu ikalipuka @ pkahill: Na twaziombea roho zote tulizozipoteza, nawatakia faraja wapendwa wao kwa matarajio kwamba jeraha la kuwapoteza ndugu zao litapona
15@dfkm1970 también rezó:@dfkm1970 aliomba pia: ‪
16@dfkm1970: A todos nuestros hermanos que perdieron la vida, descansen en paz. A todos, los heridos y los deudos, ¡mantengan la cabeza en alto! ‪@dfkm1970: Kwa ndugu na dada zetu wote waliopoteza maisha yao, Mungu arehemu pema peponi roho zao, kwa wale waliojeruhiwa na waliofiwa, wakae thabiti #Twakumbuka Julai 11
17#WeRememberJuly11 @lubegapaul dijo:@lubegapaul alisema:
18@lubegapaul: #WeRememberJuly11‬ Por todos aquellos que se vieron afectados por esta masacre, están en nuestros corazones.@lubegapaul: # Twakumbuka Julai 11 kwa wale wote walioathiriwa na msiba huu, mnabaki rohoni mwetu.
19Los hermanos que perdimos están con Dios.Ndugu na dada tuliowapoteza wako na Mola.
20@dukedanny4 también dijo:@dukedanny4 alisema pia:
21@dukedanny4: #WeRememberJuly11‬ En nuestros pensamientos y oraciones.@dukedanny4: # Twakumbuka Julai 11 kwa fikra zetu na maombi.
22QEPD.Warehemu pema peponi
23@EKKYmusiq cree que Dios tiene la decisión final en todo:@EKKYmusiq anafikiri kwamba Mola ndie mwamuzi wa mwisho kwa kila kinachotokea:
24@EKKYmusiq: #werememberjuly11‬ Gloria a Dios en las alturas, la venganza es suya.@EKKYmusiq: Utukufu kwa Mungu aliye juu. Yalikuwa mapenzi yake.
25@primagaba quiso saber dónde están los sobrevivientes que escaparon con heridas:@primagaba alitaka kujua manusuru waliopata majeruhi walioko: ‪‬‪‬
26@primagaba: el compromiso del gobierno en ‪ #WerememberJuly11‬ está en #Somalia‬, pero ¿qué hay de los sobrevivientes?@primagaba: Tunapokumbuka Julai 11 macho yote ya serikali yako #somalia lakini vipi kuhusu wenzetu walionusurika katika tukio hilo?
27¿Dónde están?Wako wapi?
28¿Cómo lo están sobrellevando?Wanaendeleaje?
29@MTNUGANDACARE tuiteó:@MTNUGANDACARE walitwiti:
30@MTNUGANDACARE: “La muerte deja un pesar que nadie puede curar, el amor deja un recuerdo que nadie puede robar” - ‪ #WeRememberJuly11.@MTNUGANDACARE: ” Kifo huacha uchungu moyoni ambao hakuna anayeweza kuuponya. Upendo huacha kumbukumbu ambayo hakuna anayeweza kuiondoa” - # Twakumbuka Julai 11