Sentence alignment for gv-spa-20150520-286072.xml (html) - gv-swa-20150520-8861.xml (html)

#spaswa
1Lo que sabemos y lo que se rumorea después del supuesto golpe de Estado en BurundiTunayoyajua na Tusiyoyajua Baada ya Jaribio la Mapinduzi Nchini Burundi
2Celebraciones y alegría cerca de las oficinas de gobierno de Bujumbura luego del derrocamiento del presidente Nknurunziza.Shangwe na vifijo karibu na ikulu ya Rais nchini Bujumbura baada ya kupinduliwa kwa Nkurunzisa.
3Algunos días después del anuncio de la candidatura a un tercer mandato del presidente de Burundi, Nkurunziza, el General Godefroid Niyombare anunció que había destituido al actual gobierno y que él estaba a cargo hasta nueva noticia.Kufuatia nia ya kugombea urais kwa kipindi cha tatu ya Rais wa Burundi aliye madarakani Nkurunziza, Jenerali Godefroid Niyombare alitangaza kwamba utawala uliopo umeangushwa rasmi na kwamba anatwaa madaraka mpaka itakapotangazwa vinginevyo.
4El gobierno no reconoce el golpe de estado y llama a esto una farsa.Serikali ilikanusha mapinduzi hayo kutokea na iliyaita “upuuzi”.
5La situación es evidentemente muy fluida en Burundi pero aquí hay un resumen de lo que se conoce y lo que sigue sin estar claro en la capital Buyumbura, según Penelope Starr (vía el UN Dispatch blog):Hali bado inaonekana kuwatete nchini Burundi, lakini hapa ni mhutasri wa kile kinachofahamika na kile kisichoeleweka vyema jijini Bujumbura, mji mkuu wa Penelope Starr (kupitia blogu ya UN Dispatch):
6El presidente Nkurunziza no estaba en el país cuando el golpe fue anunciado (pero nadie sabe si ya está de vuelta): El presidente estaba participando en el Congreso de los países de África del Este cuando se anunció el golpe.Rais Nkurunziza haikuwa nchini wakati mapinduzi yakitangazwa (lakini hakuna anayejua ikiwa amerudi au bado) : Rais alikuwa akihudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki wakati mapinduzi hayo yakitangazwa.
7Trató de volver a la capital pero no está claro si lo hizo.Amejaribu kureje kwa ndege jijini Bujumbura lakini haijulikani kama alifanikiwa.
8Esto no es (solo) un asunto de conflictos étnicos:Huu si mgogoro (tu) wa kikabila :
9Tanto Nkurunziza como el General Niyombare son antiguos líderes rebeldes Hutu.Nkurunziza na Jenerali Niyombare wote walikuwa viongozi wa waasi wa Ki-Hutu.
10Ambos pertenecen al mismo partido de gobierno y Niyombare fue embajador en Kenia y Jefe de inteligencia, un puesto del que fue separado a comienzos de este año.Zote wako kwenye serikali ya chama hicho hicho, na Niyombare alikuwa balozi wa Kenya na mkuu wa ujasusi, nafasi ambayo alinyang'anywa mwaka huu.
11Como en Burkina Faso a comienzos de año, la opinión pública en Burundi parece apoyar el golpe como una forma de oponerse a los “eternos” presidentes africanos.Kama ilivyokuwa kwa Burkina Faso mapema mwaka huu, maoni ya wananchi nchini Burundi yanaonekana kuunga mkono mapinduzi ya kijeshi kama namna moja ya kupinga watawala wa Kiafrika wanaotaka kutawala milele:
12Lo que está pasando hoy día en Burundi es una reminiscencia de lo que sucedió el año pasado en Burkina Faso cuando el por largo tiempo Jefe de Estado Blaise Compaore fue depuesto por los militares luego de declarar su intención de buscar un nuevo mandato.Kiel kinacotokea leo Burundi ni mapaki ya kile kilichotokea mwishoni mwa mwaka jana nchini Burkina Faso, wakati mkuu wa nchi aliyetawala muda mrefu Blaise Compaore alipong'olewa madarakani na jeshi baada ya kutangaza dhamira yake ya kugombea tena kipindi kingine cha utawala.
13Aunque la situación en Burkina Faso aún permanece poco clara, era un momento clave puesto que el público masivamente apoyó el golpe, aburrido de los innumerables años en el poder de Campaore (..). La situación en Burundi es también diferente, particularmente a causa de la guerra civil que terminó en el 2005.Wakati hali nchini Burkina Faso bado haijatengemaa, hatua hiyo ilikuwa ya muhimu, kwa sababu wananchi waliunga mkono mapinduzi hayo, kwa sababu ya kuchoka utawala wa miongo kadhaa wa Compaore(..)lakini hali nchini Burundi ni tofauti kidogo, hususani kwa kurejea historia ya vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo iliyokwisha mwaka 2005.