Sentence alignment for gv-spa-20120723-128898.xml (html) - gv-swa-20120930-3420.xml (html)

#spaswa
1Kenia: llamado a la unidad en medio de ataques terroristasKenya: Wito wa Mshikamano Baada ya Mashambulizi ya Kigaidi
2Unos pocos días antes de la apertura de la conferencia GV2012 [en] en Nairobi, Kenia experimentó sangrientos atentados y secuestros en Mombasa y en la ciudad de Garissa.Siku chache tu kabla ya ufunguzi wa GV2012 mjini nairobi, Kenya ilishuhudia milipuko na utekaji nyara huko Mombasa na katika mji wa Garissa.
3Una explosión golpeó un club nocturno el 24 de junio matando a 3 personas, un día después que la embajada de EE.UU. advirtiera a las autoridades de Kenia sobre un inminente ataque en la ciudad.Mlipuko ulitokea katika ukumbi wa starehe mnano Juni 24 na kuwauwa watu watatu, siku moja baada ya ubalozi wa marekani kuionya mamlaka ya Kenya kuhusu uwezekano wa mashambulizi jijini humo.
4La multitud se había reunido en el club para ver la Eurocopa 2012 en cuartos de final entre Inglaterra e Italia.Umati huo ulikuwa umekusanyika katika baa kutazama robo fainali ya Kombe la Ulaya kati ya Uingereza na Italia.
5Beegeagle cita [en] a un testigo:Beegeale anamnukuu mtu aliyeshuhudia tukio hilo:
6“Había llegado recién y estaba tomando un trago mientras esperaba que el partido empezara, luego escuché una explosión, y luego otra y otra.“Nilikuwa ndio tu nimewasili na nilikuwa nakunywa kinywaji nikisubiri mechi ya mpira ianze, ndipo nikasikia mlipuko, mlipuko mwingine tena, na mwingine.
7Me agaché. Luego vi un auto acelerando y cuerpos tirados por todas partes,” dijo Muthoni.Nililala chini, kisha nikaona gari ikiondoka kwa kasi na miili imetawanyika kila mahali” alisema Muthoni.
8El primero de julio, en la ciudad de Garissa, los atacantes enmascarados mataron a 17 personas e hirieron a 45 en un ataque con armas de fuego y granadas contra dos iglesias [en].Mnamo Julai 1, Huko Garissa nchini Kenya, washambulizi waliokuwa wamefunika nyuso zao, waliwaua watu kumi na saba na kuwajeruhi arobaini na watano kwa risasi na mabomu kwa makanisa mawili.
9Esta ciudad está siendo utilizada por el ejército de Kenia como base de operaciones contra los insurgentes de al-Qaeda vinculados en Somalia.Jiji hili linatumiwa na wanajeshi wa Kenya kama ngome ya oparesheni dhidi ya wanamgambo wa al-Qaida huko u-Somali.
10En un artículo reproducido en Sahara Reporters, James Macharia señaló [en]:Katika posti iliyoandaliwa na wanahabari wa Sahara, James Macharia alidondoa
11Aunque la mayoría de los kenianos son cristianos, en Garissa es más fuerte la religión musulmana.Ijapokuwa wa-Kenya wengi ni wakristo, huko Garissa waislamu ndio wengi.
12La ciudad tiene alrededor de 150.000 habitantes, un mercado para el comercio de camellos, burros, cabras y ganado vacuno; y está en gran parte poblada por personas de etnia somalí.Mji huo una jumla ya watu 150,000, soko la kuuzia ngamia, punda, mbuzi na ngombe, na wakazi wake wengi ni wa-Somali.
13La ciudad de Garissa en la provincia Noreste de Kenia.Mji wa Garissa katika Jimbo la kaskazini mashariki nchini Kenya.
14Foto bajo Licencia Creative Commons (CC BY-SA 3.0) tomada por el autor de Wikipedia, Chking2.Picha imetolwa chini ya Creative Commons (CC BY-SA 3.0) by Wikipedia author Chking2.
15Francis Njuguna escribió [en] en CatholicPhilly:Francis Njuguna aliandika kwenye CatholicPhilly:
16Los ataques simultáneos en la Catedral de Nuestra Señora de la Consolación y la Iglesia Protestante de África continental en la norteña ciudad de Garissa fueron los más recientes de una serie de incidentes desde que las tropas de Kenia fueron enviadas a Somalia en octubre para aplastar a los militantes de al-Shabaab.Mashambulizi hayo yaliyotokea muda ule ule kwenye kanisa la Our Lady of Consolation na katika kanisa la Protestant Africa Inland Church katika mji wa kaskazini wa Garissa yanakuwa matukio ya hivi karibuni zaidi katika matukio kadhaa tangu wanajeshi wa Kenya walipopelekwa nchini Somalia mwezi Oktoba kuwaangamiza wapiganaji wa al-Shaabab.
17En otro sangriento ataque en el campamento de refugiados de Dabaab, cuatro trabajadores de ayuda extranjeros procedentes de Canadá, Noruega, Filipinas y Pakistán fueron capturados y su chofer fue asesinado en Kenia por presuntos militantes de Al-Shabaab.Katika shambulizi lingine la kinyama katika kambi ya wakimbizi Dadaab, wafanyakazi wanne wa shirika la misaada la kigeni kutoka Canada, Norway, Ufilipino na Pakistani walikamatwa na dereva wao mkenya kuuawa na watu wanaohisiwa kuwa ni al-shabaab.
18Con acciones conjuntas el ejército nacional de Somalia y el ejército de Kenia [en] los rescataron después de 3 días de cautiverio.Ushirikiano kati ya jeshi la Somalia na Kenya ulisaidia katika kuwanusuru baada ya siku tatu tangu watekwe nyara.
19Las protestas y reacciones en internet han sido furiosas, se condenan los ataques, llamando a la unidad nacional en internet y la organización de acciones para hacer frente a futuros ataques.Maandamano na miitikio ya mtandaoni imekuwa ya ghadhabu sana, ikiyalaani mashambulizi hayo, pamoja na kutoa wito wa mshikamano miongoni mwa raia wa mtandaoni na kupanga mikakati ya kuzuia mashambulizi ya baadaye.
20Un artículo del sitio web nation.co.ke el diario más grande de Kenia ha generado muchos comentarios [en] entre los internautas:Makala katika tovuti ya nation.co.ke gazeti kuu la Kenya iliibua maoni tofauti kutoka kwa raia wa mtandaoni.
21Ahmed Mohamed escribió:Ahmed Mohamed aliandika:
22Este es un día oscuro para Kenia.Hii ni siku ya huzuni kwa Kenya.
23Estos cobardes desean crear una guerra civil, siendo que ya han destruido su propio país por este medio.Hawa waoga wanataka kuanzisha vita vya kiraia; wamekwisha angamiza nchi yao kwa njia hii.
24No les permitamos impartir el odio entre nosotros.Tusiwaruhusu wazue chuki baina yetu.
25Musulmanes y cristianos han estado viviendo lado a lado durante siglos con armonía y vamos a vivir así para siempre.Waislamu na wakristo wamekuwa na mahusiano ya karibu kwa karne na wataishi hivyo daima.
26Su cobarde acto no tendrá efecto en nuestro país.Kitendo hicho cha kijinga hakitaathiri nchi yetu.
27Para Michelline Ntara el gobierno de Kenia debería ayudar a los campos de refugiados en Kenia: ….Kwa Michelline Ntara serikali ya kenya isaidie kambi za wakimbizi zilizoko kenya: ….
28Sin embargo, es hora que Kenia evalúe sus principios de hospitalidad.Hata hivyo, Kenya yafaa itathmini upya kanuni zake za ukarimu.
29El KDF han ayudado a restablecer la paz en muchas áreas dentro de Somalia.KDF (Jeshi la Kenya) limesaidia kurejesha amani katika sehemu nyingi ndani ya Somalia.
30Los campamentos de refugiados en Kenia con la frontera de Somalia deberían estar cerrados y esas personas deberían recibir ayuda para regresar a su país.Kambi za wakimbizi katika mpaka wa Kenya na Somalia yafaa ufungwe sasa na hao watu wasaidiwe kurudi nchini kwao.
31Muy probablemente, los atacantes están realizando estos actos cobardes desde esos campamentos y luego se esconden allí.Pengine hawa washambuliaji wanafanya mashambulizi haya ya kijinga kutokea kwenye kambi hizo kisha wanarudi baadaye.
32Incluso si nuestras fuerzas de seguridad hacen todo lo posible para llegar a estos criminales, es difícil luchar contra un enemigo interno.Hata vikosi vya usalama vikijaribu iwezekanavyo kuwakamata hawa majambazi, itakuwa vigumu kupigana na adui akiwa katikati yao.
33Triple A escribió:Triple A aliandika:
34Estimada Nación, es hora de empezar a llamar a todos estos ataques por lo que son …… Ataques terroristas.Wapenzi taifa la Kenya, ni wakati sasa tuanze kuyaita mashambulizi haya kwa majina yanayostahili… Mashambulizi ya kigaidi.
35Al llamarlos ataques a la iglesia, podría significar casi cualquier cosa, mientras que todos sabemos que hay algunos elementos radicales vinculados a Alshabab detrás de esto.Kwa kuyataja kama mashambulizi ya kanisa yaweza maanisha chochote, ilhali twajua kuna chembechembe za msimamo mkali wa Al-shaabab nyuma ya mashambulio hay.
36Los kenianos están pagando un alto precio debido a años de ignorancia … todos sabíamos que había elementos radicales en nuestro país y se optó por dejarlos en silencio ….. pero ya no podemos continuar con esta estrategia de avestruz.Wakenya wanalipia gharama kubwa kwa miaka mingi ya ujinga wao. Sote tulijua kwamba kulikuwa na chembechembe za misimamo ya kigaidi nchini kwetu lakini tukachagua kukaa kimya.. lakini hatuwezi endelea na mbinu hii dhaifu ya mbuni.
37El primer paso es llamar a estos ataques por lo que son Ataques terroristasHatua ya kwanza ni kuyaita mashambulizi haya kwa vile yalivyo, na ndivyo yalivyo, Mashambulizi ya kigaidi.
38Otro lector, Mohamed Abdi pregunta [en]:Msomaji mwingine Mohamed Abdi aliuliza:
39¿10.20 am? fue a pleno día.Saa nne na dakika ishirini asubuhi?
40Algo que no es común aquí, ¿Dónde estaba el personal de seguridad, el Ejército, la Policía, el AP?Ilikuwa mchana kabisa. Kuna jambo lisiloeleweka sawia hapa, walikuwa wapi wanausalama, jeshi, polisi na uongozi wake?
41¿Cómo pueden dos o tres hombres armados actúar con total impunidad a las 10.am, siendo que Garissa tiene miles de personal de seguridad?Itakuwaje washambulizi wawili au watatu kutekeleza shambulizi hili saa nne asubuhi bila kukamatwa wakati inaeleweka Garissa ina maelfu ya walinda usalama?
42Era mucho más fácil acordonar el área y mostrar a los culpables.Ingekuwa rahisi kuzingira eneo hilo na kuwakamata waliohusika.
43Una vez más el personal de seguridad falla a los kenianos inocentes que pagan sus impuestos ganados con esfuerzo ¡Es realmente una vergüenza!Kwa mara nyingine watu wetu wa usalama wamewaangusha wakenya wasio na hatia wanaowalipa kwa jasho la kodi zao. Ni jambo la aibu sana!
44Mazzaroth Darkman escribe:Mazzaroth Darkman aliandika:
45NSIS debe informar a los kenianos quienes son los lanzan granadas a las iglesias y a las cruzadas, si se trata de un elemento oscuro de la política de Kenia queremos saber - si se trata de Al Shabab, la Inteligencia Militar tiene que despertar, desplegar agentes encubiertos en las mismas esquinas oscuras desde Kismayu hasta Eastleigh y finalizar con los prejuicio extremo … vamos a dejar de jugar a los inocentes.NSIS (Idara ya Usalama wa Taifa) ni lazima iwaambie wakenya ni akina nani wanaorusha makombora katika makanisa na mikutano ya kidini, kama ni mambo ya siasa za kenya tunataka kujua. Kama ni Al shaabab jeshi lazima liamke, liwatumie mashushu wake katika kona hizo za giza kuanzia Kismayu mpaka Eastleigh na kusitisha hali hii kirahisi… tusijifanye wapole sana.
46Esto nunca iba a ser una campaña militar normalHii haikuwa kampeni ya kivita ya kawaida.
47Una ONG musulmana se ofrece [en] a ayudar a asegurar las iglesias:AZISE ya ki-Islamu ilijitolea kusaidia kulinda makanisa:
48Más allá, incluso es nuestro deber como musulmanes proteger y cuidar toda vida inocente, incluyendo esas que están en las Iglesias.Aidha, ni jukumu letu kama waislamu kuhifadhi na kulinda maisha ya wote wasio na hatia, hii ikiwa ni pamoja walioko makanisani.
49Imploramos a los hermanos a difundir nuestros mensajes y animar a una resistencia entre nosotros musulmanes que detendrán a esos que dicen ser musulmanes, pero que son simplemente trabajadores del diablo, y perpetran estas atrocidades.Twawasihi ndugu zetu waeneze ujumbe wetu na kuhimiza upinzani baina yetu wa-Islamu wataowakamata wale wanaodai kuwa waislamu lakini kiukweli ni wafanyakazi tu wa shetani, na ndio wanaoendeleza vitendo hivi.
50La información fue reproducida por el bog My Joy Online [en], recibiendo un comentario de John Mensah, que dijo [en]:Habari hiyo ilitolewa kwa blogu My Joy Online, nakupokea maoni kutoka kwa John Mensah, aliyesema:
51Hablar acerca de coexistencia pacífica.Tuzungumzie kuhusu kuishi pamoja kwa utulivu na amani.
52Este debe ser un modelo para todos.Yafaa iwe mfano kwa kila mtu.
53Incluso solo la intención es digna alabanza.Hata lengo tu lafaa kusifiwa.
54En tanto, los perpetradores de estos actos terroristas parecieran no tomar mucha atención [en] a estas reacciones:Hata hivyo, wanaoendeleza vitendo hivi vya kigaidi hawaonekani kutilia maanani miitikio kama hii:
55Kenyan police has on Thursday reportedly arrested a man with two grenades as he tried to sneak into an Agricultural Show Ground in Nakuru, just moments before Kenyan President Mwai Kibaki arrived at the scene.
56La policía de Kenia detuvo este jueves a un hombre con dos granadas mientras trataba de colarse en el Salón de la Agricultura en Nakuru, solo momentos antes que el presidente keniano, Mwai Kibaki, llegara al lugar.Polisi wa kenya mnamo alhamisi iliripotiwa wamemkamata mtu mmoja akiwa na mabomu mawili alipokuwa anajaribu kupenya kuingia kwenye Viwanja vya Maonyesho ya Kilimo huko Nakuru, dakika chache kabla ya Rais wa Kenya Mwai Kibaki kuwasili kwenye eneo hilo.
57Mientras tanto, las investigaciones continúan y ochenta y tres personas [en] han sido detenidas en una redada masiva de seguridad puesta en marcha después de los ataques individuales del domingo 1 de julio en las iglesias de Garissa.Kwa sasa, uchunguzi unaendelea na watu themanini na tatu wameshikiliwa kufuatia zoezi la kuwasaka lililozinduliwa baada ya mashambulizi hayo mawili jumapili katika makanisa ya mji wa Garrissa.