Sentence alignment for gv-spa-20120801-247884.xml (html) - gv-swa-20120731-3643.xml (html)

#spaswa
1Tanzania: Huelga docente desestabiliza la naciónTanzania: Mgomo wa Walimu Watikisa Nchi
2Los profesores en Tanzania han iniciado una huelga para reclamar al gobierno el pago de sus deudas pendientes y para mejorar sus beneficios, condiciones laborales, y salarios.Walimu nchini Tanzania wamekuwa kwenye mgomo kuishinikiza serikali kuwalipa madai yao na kuboresha maslahi yao ikiwa ni pamoja na mishahara.
3La huelga se produjo luego de que el sindicato de profesores (Chama Cha Walimu-CWT), a través de su presidente, Gratian Mukoba, le dio al gobierno un plazo de 48 horas el 28 de julio de 2012.Mgomo huo uliofanyika baada ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kupitia Rais wake Bw. Gratian Mukoba kutoa notisi ya masaa 48 kwa Serikali tarehe 28 Julai 2012, ulianza Jumatatu ya tarehe 30 Julai 2012 na kudumu kwa siku takribani nne.
4La huelga comenzó el 30 de julio y duró cuatro días. Según la CWT, la huelga obtuvo el apoyo del 97.Kwa mujibu wa Chama cha Walimu, mgomo huo uliungwa mkono na asilimia 95.7 ya walimu wa shule za msingi, sekondari na vyuo vya ualimu.
55% de los profesores, en instituciones educativas primarias y secundarias.Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Bw. Gratian Mukoma.
6Presidente del sindicato docente de Tanzania, Gratian Mukoma.Picha kwa hisani ya blogu ya Straikamkali
7Foto cortesía del blog Straikamkali Los usuarios de redes sociales en el país han seguido la huelga de cerca para determinar el impacto de la huelga prevista unos días antes del censo nacional programado para el 26 de agosto del 2012.Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania wamekuwa ikifuatilia kwa karibu mgomo huo kutathimini madhara ya mgomo huo unaofanyika siku chache kabla ya zoezi la sensa ya watu na makazi lililopangwa kufanyika Agosti 26, 2012.
8JamiiForums, red que es usada por un promedio de 10,000 personas por minuto, publicó noticias sobre los acontecimientos de la huelga en todo el país.Mtandao wa JamiiForums unaotumiwa na wastani wa watu 10,000 kwa kila dakika, ulikuwa na posti inayokusanya habari za maendeleo ya mgomo huo nchini kote.
9Algunos de los usuarios de la red narraban lo que sucedía en sus regiones específicas.Baadhi ya watumiaji wa mtandao huo walisumulia yaliyokuwa yanaendelea katika maeneo yao:
10Rymg de Mwanza tuvo esto para decir:Mtumiaji anayetumia jina la Rymg akiwa Mwanza alisema:
11Ahora los estudiantes del distrito Ilemela, en la provincia de Mwanza, protestan con diferentes carteles que dicen “Queremos nuestros derechos y justicia” mientras se dirigen a los tribunales en el distrito de Ilemela para iniciar una causa contra los profesores por no dictar clases.Sasa hivi wanafunzi kata ya ilemela mkoa wa mwanza wapo katika maandamano wakiwa na mabango tofauti yenye maandishi “tunataka haki zetu” wakielekea mahakama ya mwanzo wilaya ya ilemela kufungua kesi zidi ya waalimu kwa kukataa kuwafundisha…
12Agapetc de Korogwe dijo lo siguiente:Agapetc aliyedai kuwa Korogwe naye alisimulia:
13Docentes del comité del pueblo y provincia de Korogwe, han iniciado una huelga en un intento por sumarse a sus líderes que anunciaron la medida.Hayawi hayawi sasa yamekuwa, walimu wa Halmashauri za Mji na Wilaya ya Korogwe wamegoma kwenda shule kwa kuunga mkono viongozi wao walioutangaza.
14En muchas escuelas solo los directores y los miembros más antiguos del equipo docente asistieron a cumplir sus tareas. También está claro que en las escuelas secundarias los profesores se adhirieron a la huelga, mientras que en las primarias los docentes se presentaron a trabajar.Shule nyingi zimeonekana walimu wakuu na wakuu wa shule tu ndiyo waliohudhuria maofisini, pia imebainika kuwa walimu wa sekondari wanaongoza kwa kutoenda kazini wakati shule za msingi imebainika walimu ktk shule chache wameenda kazini.
15Estudiantes de una escuela primaria en Dar es Salaam reclaman al gobierno que colabore para poner fin a la huelga docente.Wanafunzi wa mojawapo ya shule za msingi jijini Dar es Salaam, wakiandamana kuishinikiza serikali kutatua mgomo wa walimu unaoendelea.
16Foto cortesía de: khals-tanzanphotobank.blogspot.comPicha kwa hisani ya blogu ya khals-tanzanphotobank.blogspot.com
17En otras partes del país hubo casos de estudiantes manifestandose ante las autoridades para que pongan fin a la huelga.Hanang' shule ya sekondari Mahu wanafunzi wamefunga barabara ya kwenda Singida kwa kutumia madawati, hivi sasa polisi na ofisi ya elimu wamekwenda kule kutuliza hali.
18Naytsory describió lo sucedido en Hanang: Estudiantes de la secundaria Mahu en Hanang, han cortado la ruta a Singida usando sus pupitres.Walimu wameitikia mgomo kwa zaidi ya 90% kwani shuleni wapo wapo wakuu wa shule na walimu wa field na wale wa kujitolea, shule za msingi wapo walimu wakuu tu.
19Actualmente, la policía y funcionarios de educación están aquí para tratar de ayudar a resolver la situación. Más del 90% de los docentes se han adherido a la huelga.Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Patrick Lusiano Tsere, alipinga hatua ya walimu kugoma, akiamini hatua hiyo inalenga kuhujumu zoezi na sensa ya watu linalotarajiwa kufanyika nchini kote kuanzia tarehe 26 Agosti 2012.
20En las escuelas, solo están los administradores, profesores de especialización y voluntarios.Walimu wanatarajiwa kuwa makarani wakuu wa kuwezesha zoezi hilo: Hivi hamjui zoezi la sensa linagharimu fedha nyingi kitaifa?!
21En las escuelas primarias solo los directores asistieron.Hutaki hilo zoezi lifanyike unaelewa maana yake?!
22En su página de Facebook, Patrick Lusiano Tsere, se mostró en contra de la medida, diciendo que busca impedir que se realice el censo nacional según lo planeado.Kama wewe mwalimu badala ya kufuata barabara ya kisheria ya kudai haki zako, unaamua kuhamasisha walimu wahujumu zoezi la sensa, je katika taratibu zenu za madai ambazo zimeainishwa kisheria, kuna kipengere au kifungu kinachowapa nyie nguvu ya kisheria to resort to blackmailing the government?
23Y afirmó que los profesores deben ser los principales agentes para facilitar su ejecución:Kama hio ndio attitude yenu walimu basi bila ya shaka watoto wetu watadumaa kimaadili.
24¡¿No sabes que este censo le está costando al gobierno mucho dinero?!John Mughobi Sagatti alikuwa na maoni tofauti na hayo kwenye ukurasa huo huo:
25¡¿No entiendes el impacto de que no se realice el censo?!Hivi Balozi serikali yetu imeshagoma mara ngapi?
26Como docente, no sigues los modos legales de reclamar tus derechos y en cambio alientas a los otros a interrumpir el censo. En tu organización, luego de los reclamos que te habilita la ley, ¿hay una cláusula que te otorgue el derecho a extorsionar al gobierno?Mi naona kila siku inagoma tu na hakuna pa kuipeleka…Iwajibike uone kama matatizo haya yatajitokeza…Corrupt government will never ever deliver! itatumia ubabe tu kuendesha mambo yake…Let the ‘legitimate government' play its Part…
27Si esa es la actitud de nuestros docentes, entonces sin dudas nuestros niños carecerán de modales y protocolo. John Mughobi Sagatti tenía una opinión diferente.Yasinta Ngonyani, mwanablogu wa Maisha na Mafanikio aliweka picha inayomwonyesha mwanafunzi mmoja akiwafundisha wenzake kufuatia mgomo wa walimu wa shule hiyo, naakaiwekea maelezo yafuatayo:
28Yasinta Ngonyani, bloguera en Life and Success presentó una imagen de un estudiante enseñando a otros estudiantes luego de la huelga, y agregó el texto que sigue:
29Cuando el estudiante decide asumir el rol docente, entonces queda claro que el profesor juega un rol importante en la vida de los niños.Mwanafunzi anapoamua kuchukua nafasi ya ualimu. Hakika hapa ndipo inapoonekana walimu ni watu/walezi muhimu sana….
30Ramadhani Msangi, bloguero de Freepodium agregó videos de la huelga.Ramadhani Msangi, mwanablogu wa JukwaaHuru aliweka mkususanyiko wa video za mgomo huo.
31En Twitter las discusiones continuaron:Katika mtandao wa twita, majadiliano yaliendelea:
32Yericko Nyerere @YerickoNyerere :Yericko Nyerere alitwiti:
33Espero el discurso de mi presidente @jmkikwete porque no se qué va a decir ya que el mes pasado dijo que su gobierno no está involucrado en Ulimboka.
34¿Qué hay de la huelga docente? En Haki Elimu @HakiElimu reunieron noticias de diferentes partes del país:Nasubiri hotuba ya rais wangu @jmkikwete sijui atasema nini, mwezi jana alisema serikali yake haihusiki ya Ulimboka, Je mgomo huu wa Walimu?
35Mira el daño causado por la huelga en Tabora aquí.Haki Elimuwalikusanya habari za mgomo huo kutoka maeneo mbalimbali nchini. @HakiElimu walitwiti:
36Rama S Msangi @mchambuzi:Rama S Msangi @mchambuzi alitwiti:
37Subí un video a @YouTube acerca de la huelga en Musoma.I uploaded a @YouTube video Mgomo wa walimu huko Musoma
38Como la huelga continuó, el presidente Jakaya Kikwete habló con varios editores de noticias el 1 de agosto de 2012.Wakati mgomo wa walimu ukiendelea, Rais Jakaya Kikwete alizungumza na wahariri wa vyombo vikuu vya habari tarehe 1 Agosti, 2012.
39Irenei Kiria @Irenei2011 hizo un pedido en Twitter:Irenei Kiria alihoji kwa twiti:
40Le pido a los que han estado siguiendo la huelga que por favor nos mantengan informados de la decisión del presidente sobre la huelga.
41Desde JamiiForums llegó una respuesta que decía que los reclamos docentes eran inviables.Mtumiaji mmoja wa mtandao wa JamiiForums aliripoti mtandaoni kuwa Rais amesema madai ya walimu hayatekelezeki.
42Sister Subi del blog wavut agregó el discurso y la voz del presidente en su blog.Dada Subi wa blogu ya wavuti aliweka hotuba hiyo ya Rais pamoja na sauti katika Blogu yake.
43El blog TheHabari destacó la breve declaración sobre la huelga de Haki Elimu @HakiElimu, una organización que se ocupa de asuntos relacionados con la educación en el país:Blogu ya TheHabari iliandika muhtasari wa tamko la Haki Elimu @HakiElimu Shirika linalojishughulisha na utetezi wa masuala ya elimu nchini Tanzania, kuhusu mgomo huo:
44HakiElimu insiste en que el sector educativo del país solo mejorará si los profesores obtienen mejores condiciones laborales, participan en las decisiones relativas a la educación y reciben capacitación.HakiElimu inasisitiza kwamba nchi itafanikiwa kuboresha elimu endapo tu itawekeza kwa walimu kwa kuboresha mazingira ya kazi, maslahi ya walimu, kuwashirikisha walimu katika maamuzi kuhusu masuala ya elimu na kuwapa walimu mafunzo kazini.
45La buena educación no se logra con profesores sin motivación.Elimu bora haiwezi kuletwa na walimu walio hoi
46El blog continúa:Blogu hiyo iliendelea:
47Los líderes del gobierno no deben ignorar a los docentes, porque al hacerlo los desmotivan.Viongozi wa Serikali wasiwabeze walimu; kwa kufanya hivyo wanawakatisha tamaa.
48Aunque los profesores no estudien tantos años como otras profesiones, ellos cumplen un rol muy importante.Hata kama baadhi ya walimu hawakusoma kwa miaka mingi kama ilivyo kwa fani nyingine, wana umuhimu mkubwa sana.
49Preparan a los ciudadanos de hoy y de mañana en cuanto a conocimiento y enfoque.Ndio wanaowaandaa watanzania wa leo na kesho kimtazamo na kimaarifa.
50Por lo tanto, reclamar por mejores condiciones, es su derecho y el gobierno debe cumplir su obligación de escucharlos y consultarlos sin burlarse.Hivyo, kudai kuboreshewa mazingira ya kazi ni haki yao; na Serikali inaweza kutimiza wajibu wake kwa kuwasikiliza na kushauriana nao bila ubabe na kejeli
51El jueves 2 de agosto de 2012, el Tribunal superior en materia laboral declaró a la huelga ilegal porque no fue planeada conforme a la ley.Alhamisi ya tarehe 2 Agosti, 2012 Mahakama Kuu kitengo cha Kazi ilisitisha mgomo huo wa walimu kwa kwa maelezo kuwa haukuzingatia sheria.
52Mjengwablog informó:MjengwaBlogu iliripoti:
53El tribunal ha declarado la ilegalidad de la huelga porque no siguió los procedimientos adecuados y condenó también a CWT a resarcir los daños que sufrieron los estudiantes afectados por la medida.Mahakama leo imetengua mgomo wa walimu uliokuwa ukiendelea nchi kwa madai kwamba mgomo siyo halali mahakama pia imeiamuru CWT kuwalipa fidia wanafunzi walioathirika na mgomo wa walimu
54A la huelga docente poco tiempo después le siguió una huelga de médicos.Mgomo wa walimu ulifanyika katika kipindi kifupi baada ya mgomo mwingine wa Madaktari kuibua mjadala mkali katika jamii.
55Todavía hay quienes consideran que la huelga de médicos no fue debidamente tratada.Wapo wanaodhani mgomo huo wa Madaktari haukutatuliwa.