Sentence alignment for gv-spa-20131024-210891.xml (html) - gv-swa-20130926-5729.xml (html)

#spaswa
1Ministro ugandés: Las mujeres que se visten de forma indecente piden que las violenWaziri wa Uganda: Wanawake Wasiovaa Mavazi ya Heshima Wanaomba Kubakwa
2Captura de pantalla de la petición que exige la dimisión del ministro.Picha ya tamko linalomtaka waziri huyo ajiuzulu.
3Según el ministro ugandés de la Juventud [en], Ronald Kibuule, las mujeres que visten indecentemente están pidiendo que las violen, y los sospechosos de haber violado a una de estas mujeres deberían ser puestos en libertad.Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Vijana wa Uganda Ronald Kibuule, wanawake wanaovaa mawazi yasiyositiri miili yao wanaomba kubakwa, na watuhumiwa wanaodaiwa kuwabaka wanawake waliovaa namna hiyo waachiliwe huru.
4También dijo que en casos de violación, la policía debería, en primer lugar, comprobar la indumentaria de la víctima, y si vestía de forma indecente, la debería acusar de incitación al delito.Alisema vile vile kuwa katika kesi za ubakaji, polisi wawe wa kwanza kusimamia namna wanawake hao waathirika walivyovaa, na kama wamevaa hovyo, nao washitakiwe kwa kosa la kukaribisha uhalifu.
5Kibuule hizo estos comentarios en el condado de Kajara, distrito de Ntungamo, el sábado 21 de setiembre de 2012, mientras asistía al almuerzo de la Cooperativa de Desarrollo y Sociedad de Ahorro de los Jóvenes de Kajara.Kibuule alitoa matamshi hayo akiwa kwenye halmashauri [kaunti] ya Kajara, wilayani Ntungamo siku ya Jumamosi Septemba 21, 2013 wakati akihudhuria ufunguzi wa Chama cha Ushirika na Akiba cha Vijana wa Kajara.
6Los comentarios aparecieron en el periódico ugandés Daily Monitor [en] el 24 de setiembre.Kauli hiyo ilionekana kwenye gazeti la Uganda Daily Monitor la Septemba 24, 2013.
7No obstante, el artículo no explicaba las circunstancias en las que Kibuule hizo los comentarios.Makala hiyo, hata hivyo, haikueleza mukhtadha ambao Kibuule alitoa matamshi hayo.
8El parlamento ha pedido la comparecencia [en] del ministro para que explique las declaraciones que hizo en Kajara.Bunge limemtaka waziri huyo ajieleze bungeni ilikuwaje akatoa matamshi hayo juma lililopita.
9Los internautas ugandeses reaccionaron con indignación a dichos comentarios utilizando la etiqueta #Kibuule [en] en Twitter.Raia wa Uganda mtandaoni walijadili matamshi hayo kwa hasira wakitumia alama habari #Kibuule kwenye mtandao wa twitter.
10Los que pedían su dimisión lanzaron las etiquetas #KibuuleMustGo [en] (Kibuule debe irse) y #KibuuleOut [en] (fuera Kibuule).Wale waliomtaka ajiuzulu wanatumia alama habari #KibuuleMustGo [Kiluule Lazima Ang'oke] na #KibuuleOut [Kibuule Nje].
11En Change.org hay una petición [en] que pide su dimisión:Tamko lililopo kwenye mtandao wa Change.org linamtaka ajiuzulu:
12Con esas palabras, el Sr. Kibuule promueve la violación de mujeres según su indumentaria: exime a los violadores de sus delitos contra mujeres supuestamente ligeras de ropa y se asegura de que las víctimas de una violación tengan miedo de hacerlo público por temor a que el hecho de haber sido violadas les cause problemas legales.Kwa manano haya, Bw. Kibuule anautangaza ubakaji wa wanawake kwa kigezo la mavazi yao; anawahurumia wabakaji kwa makosa yao ya jinai waliyoyafanya kwa wanawake wanaodaiwa kuvaa vibaya na; anahakikisha waathirika wa ubakaji wanapata hofu ya kujitokeza hadharani kwa kuogopa kushitakiwa kwa kubakwa.
13Debería perder su puesto inmediatamente, ya que está claro que no representa el bienestar de sus electores.Lazima aachane na msimamo huo haraka sana kwa kuwa ni wazi alichokisema hakiwakilishi ustawi wa wapiga kura wake.
14Rosebell Kagumire (@RosebellK [en]), una periodista en línea ugandesa, escribió:Rosebell Kagumire (@RosebellK), mwandishi wa Uganda mtandaoni, aliandika:
154000 niñas son deshonradas en el norte de #uganda cada año, ¡apuesto a que #kibuule piensa que es porque iban provocativas!Watoto 4000 kaskazini mwa Uganda wananajisiwa kila mwaka. Nina hakika Kibuule anadhani ni kwa sababu watoto hao walivaa vibaya!
16¡Idiotas en el poder!Wajinga walio madarakani!
17Linda (@LindaNEK [en]), una empresaria ugandesa, ridiculizó la autoridad moral del ministro:Wandera Samuel (@wandyBlackstig) anatafakari mawazo haya ya Waziri yametokea wapi:
18Kibuule anakaa kwenye kochi|anabadilisha badilisha chaneli za runinga | anajikuna sehemu nyeti| anafikiri -> kwamba wasichana waliovaa vimini wabakwe
19#Kibuule es moralmente incompetente para dar una opinión digna de tener en cuenta sobre temas morales, sobre todo considerando el hecho de que es polígamo @DailyMonitorLinda (@LindaNEK), mfanyabiashara wa ki-Ganda, alikejeli mamlaka ya kimaadili aliyonayo waziri: Kibuule hana ubavu wa kimaadili kutoa matamshi hayo yanayohusiana na Maadili hasa sote tukijua jamaa ana wake wengi @DailyMonitor
20El periodista deportivo Mark Namamanya (@mnamanya [en]) observó:Mark Namamanya (@mnamanya), mwandishi wa michezo, aliona alibaini:
21En muchas sociedades, el payaso de #Kibuule estaría hoy dando una conferencia de prensa para anunciar su dimisión.Katika jamii nyingi, mtu anayefanya kituko kama Kibuule angekuwa anafanya mkutano na waandishi wa habari kutangaza kujiuzulu.
22Por desgracia, Uganda no es una de ellas.Inasikitisha, si moja ya jamii hizo nyingi
23Gordon G Ananura (@NgabiranoIV [en]) se unió a los que ridiculizaban al ministro:Gordon G Ananura (@NgabiranoIV) alijiunga na wale waliokuwa wakimkejeli waziri:
24@eshbankwesiga @iDEASUG: Sabía que el ministro #Kibuule era un chisteNilijua kuwa Kibuule ni kichekesho
25No obstante, algunos ugandeses, como Ibrahim Batambuze (@TheBigPapaa), apoyaron los argumentos del ministro:Hata hivyo, baadhi ya wa-Ganda kama Ibrahim Batambuze (@TheBigPapaa) waliunga mkono matamshi ya waziri:
26@Mr_Bata_ estoy completamente de acuerdo con usted.Ninaungana na wewe kwa asilimia 100.
27Si deja la puerta abierta y le roban, ¿a quién hay que culpar por su estupidez? #KibuuleKama unaacha milango yako wazi na anakuja jambazi anakuibia, unamlaumu nani kwa ujinga wako?