Sentence alignment for gv-spa-20100215-24236.xml (html) - gv-swa-20100228-1265.xml (html)

#spaswa
1Nigeria: Tras dos meses de acefalía, un nuevo presidente interinoNijeria: Baada ya miezi miwili bila uongozi, kaimu Rais mpya
2El 23 de noviembre de 2009, el presidente de Nigeria, Umaru Musa Yar'Adua, dejó el país sin anunciar públicamente cuándo regresaría.Tarehe 23 Novemba, 2009, Rais wa Naijeria, Umaru Musa Yar'Adua aliondoka nchini bila kusema hadharani ni lini angerudi.
3En las semanas siguientes, se dio la noticia que decía que estaba recibiendo tratamiento médico en Arabia Saudita, aunque la especulación siguió, y culminaron en rumores según los cuales el presidente había sufirdo daño cerebral e incluso que había muerto.Katika majuma yaliyofuata, habari zilitolewa na kusema kwamba alikuwa akipata matibabu nchini Saudi Arabia, bado ubashiri uliendelea, ukijikita kwenye tetesi kwamba Rais anaugua majeraha ya ubongo au hata amefariki.
4El 12 de enero, Yar'Adua dio una entrevista donde confirmaba que estaba vivo y en tratamiento, aunque no dio indicaciones de cuándo regresaría a Nigeria.Tarehe 12 Januari, Yar'Adua alihojiwa kuthibitisha kwamba alikuwa hai na akipata matibabu, ingawa hakusema ni lini hasa angerudi Naijeria.
5La ausencia de Yar'Adua creó un vació de poder que frustró a muchos nigerianos, particularmente debido a crisis como el intento de ataque terrorista de Umar Abdulmutallab y el conflicto religioso en la ciudad de Jos, en la región del centro de Nigeria. Muchos nigerianos exigieron que el Vicepresidente Goodluck Jonathan asumiera el cargo de Yar'Adua, pero la situación era complicada: como sureño, la toma de la presidencia de Jonathan amenazaría con destabilizar el delicado arreglo de poder compartido entre el norte y el sur de Nigeria.Kutokuwepo kwa Yar'Adua kulisababisha ombwe la kiuongozi ambalo liliwasumbua Wanaijeria wengi, hasa wakati ambao matatizo yalijitokeza kama pale Umar Abdulmutallab alipofanya jaribio la ugaidi na mgogoro wa kidini katika mji wa katikati ya Naijeria wa Jos. Wanaijeria wengi walitoa wito kwa Makamu wa rais Goodluck Jonathan kuvaa viatu vya Yar'Adua, lakini hali ilikuwa tata: Kama mtu anayetoka Kusini, kukaimu madaraka ya Urais kwa Jonathan kungehatarisha kudhoofishwa kwa mpango wa kuachiana madaraka kati ya maeneo ya Kaskazini na Kusini mwa Naijera.
6Además, sin instrucciones escritas por parte del propio presidente, el alcance legal de la posición de Jonathan no estaba claro.Zaidi, bila maelekezo ya kiamandishi kutoka kwa Rais yeye mwenyewe, uhalali wa nafasi ya Jonathani kisheria ungekuwa haueleweki vyema.
7Durante más de dos meses los bloggers nigerianos lamentaron el vacío de poder.Kwa zaidi ya miezi miwili wanablogu wa Najieria walilalamikia pengo hili la kiungozi.
8En Briefs from Akuta. Chinedu Vincent Akuta escribió:Chinedu Vincent Akuta kwenye Briefs from Akuta aliandika:
9Basta con el vacío de poder, cercano a la crisis constitucional, y al sobrecalentamiento de la política, todo debido al hecho que el partido de gobierno (Partido Democrático Popular, PDP por sus siglas en inglés) no confía en el Vicepresidente (Jonathan Goodluck) para que actúe formalmente como presidente hasta que el presidente Yar'Adua se recupere de su enfermedad.Ombwe la kimadaraka limetosha sasa, karibu na mgogoro wa kikatiba, na kuchemka kwa machakato wa kiserikali yote yalikuwa ni kwa sababu chama tawala (PDP) hakimwamini Makamu wa Rais (Janathan Goodluck) kukaimu rasmi Urais mpaka Rais Yar'Adua atakapopona ugonjwa wake. Hakuna uamuzi mwingine zaidi ya kuheshimu matakwa ya watu wa Naijeria, nguvu ni ya watu wenyewe.
10No hay más opción que respetar los deseos del pueblo nigeriano, el poder pertenece al pueblo.Na kwa hakika, Wanaijeria wengi walikuwa na maoni kama yake.
11Y ciertamente, muchos nigerianos compartieron sus sentimientos. Durante el mes de enero, frustrados nigerianos marcharon en Lagos, Abuja y Londres.Wakati wote wa mwezi wa Januari Wanaijeria waliochanganyikiwa (na hali hiyo) waliandamana kwenye miji ya Lagos, Abuja na London.
12Adeolu Akinyemi escribió las razones por las que marchó:Adeolu Akinyemi aliandika juu ya kwa nini waliandamana:
13No estamos contentos con que 300 personas, casi el equivalente a un avión lleno, mueran en las calles de Jos en guerras religiosas debido a la inacción de un líder ausente.Hatuna furaha na watu 300 kufa kwenye mitaa ya Jos kwenye vita vya kidini kwa sababu ya kutokuwepo hatua zinazochukuliwa kwa sababu tu hakuna kiongozi.
14¡Ya basta!Imetosha sasa basi!
15No aceptaremos la etiqueta de terrorismo que se nos ha conferido por 58 días de inactividad del teléfono celular de nuestro presidente.Hatutakubali kubandikwa alama ya ugaidi kwa sababu ya siku 58 za kutokufanya kazi kwa simu ya kiganjani ya Rais.
16El vacío de poder es peligroso y es el responsable por las muertes en el norte, los secuestros en el este, las bandas de militantes violando en el sur y la indiferencia intelectual en el oeste.Ombwe la uongozi ni hatari na linawajibika kwa mauaji ya eneo la kaskazini, utekaji nyara mashariki ya nchi, magenge ya wanajeshi kubaka watu kusini mwa nchi na tofauti za kiufahamu zilizoko magharibi. Imetosha sasa basi!
17Yusef, un comentarista en el blog de Akinyemi, fue más escéptico (editado de la versión original en inglés):Yusef, mtoa maoni kwenye blogu ya Akinyemi, alikuwa si mtu rahisi kuamini (imehaririwa kutoka kwenye toleo halisi la kiiingereza):
18¿¿¿¿¿Cuántas veces voy a leer esta celebrada línea de “Ya basta”?????Mara ngapi nitasoma mstari huu maarufu “Imetosha sasa basi”?????
19Es muy extraño cómo desplegamos tanta hipocresía cuando enfrentamos algo de adversidad y aun podemos dar muy pronunciadas curvas en U una vez que el clima se enfurece.Ni ajabu namna tunayoonyesha unafiki wa hali ya juu tunapokabiliwa na hali ngumu na bado tukawa na uwezo wa kugeuka mara moja hali ya hewa inapoharibika.
20Si exijo que alguien haga lo que sea absolutamente necesario para que nuestro sistema funcione, cómo estaré 100% seguro, [yo] que soy norteño, de que no cambiará de idea una vez que sus parientes le hagan entrar en razón… O [yo] que soy musulmán y él es de otra fe, [él] no me verá en lo profundo de su corazón como un enemigo.Kama nitamwomba yeyote kufanya kile kitakachokuwa muhimu sana kuufanya mfumo wetu ufanye kazi, nitakuwaje na uhakika wa asilimia mia kwamba [mimi] ninayenatokea kaskazini, hatabadili akili yake mara moja anaposikia suala lenye mantiki limesemwa kwake na mtu wa kabila lake…Au kwamba [mimi] kwa kuwa Mwislamu na yeye kuwa wa imani nyingine, hataniona kutokea kwenye kilindi cha moyo wake, kwa kule kuwa adui.
21No existe eso de “Ya basta” Deolu.Hakuna kitu kama “Imetosha sasa basi!”
22Todavia no sabemos lo que es una nación, por no hablar de hermandad.Deolu. Hatujui maana ya taifa bado, bila hata kuzungumzia undugu.
23No es suficiente blandir afiches de Ernesto Che [Guevara] en nuestras paredes para pretender imaginar o entender que se necesita para dejar a un lado ABSOLUTAMENTE todo por un día mejor.Haitoshi kubandika mabango ya Ernesto Che kwenye kuta zake ukadhania kutafakari ama kuelewa kile kinachostahili kufanywa ili kuachana na yote ili kuwa na siku njema.
24No conocemos esta adversidad… ¡¡¡o somos demasiado egoístas esperando que “un día le irá mejor a nuestra parte”!!!!Hatuijui hali hii ngumu…au tu wabinafsi sana kiasi cha kudhania kwamba “siku moja kila kitu kitakwenda vyema kwa upande wetu”!!!!
25Nuestros llamados líderes no se han caído del Infierno, sino que simplemente son en realidad un reflejo de nuestra sociedad.Hawa wanaoitwa viongozi wetu hawakushuka kutoka kuzimu, lakini wanaakisi jamii yetu.
26Reemplace [a cualquiera de ellos] incluso con usted mismo y le sorprenderá ver qué haría o en qué se convertiría.Chukua nafasi yao[kwa yeyote kati yao] hata wewe mwenyewe na utashangazwa na kile ambacho ungefanya au ungekuwa.
27La popular periodista Funmi Ayanda también escribió sobre su frustración por la predominante actitud de retorcerse las manos con pasividad:Mwandishi Maarufu wa utangazaji Funni Ayanda pia aliandika kuhusu mkanganyiko wa hali iliyopo ya kuvutana mikono kimya kimya:
28Me he sentado en compañía de directores ejecutivos de bancos que han robado millones en dinero, dirigentes del partido de gobierno que manipulan el proceso electoral y roban billones de naira, pastores de enormes iglesias exoneradas de impuestos, donde todos los anteriores pagan asombrosas sumas en diezmos y contribuciones y he escuchado incrédula las quejas de todos ellos acerca de la mala dirigencia y de la situación nigeriana.Nimekaa kati ya Wakurugenzi Waendeshaji wa benki waliokwapua mabilioni ya fedha, viongozi wa chama tawala wanaoharibu michakacho ya uchaguzi na kuiba maibilioni ya naira, wachungaji wa makanisa mkubwa yasiyotozwa kodi ambako wote hapo juu wanalipa kiasi kikubwa sana cha mafungu ya sadaka na michango na kusikiliza bila kuamini namna wote hao wanavyolalamika kuhusu uongozi mbaya na hali ya Naijeria.
29A menudo he revisado mentalmente mis dientes buscando espinaca visible; ¿tal vez la broma esté en mí?Nimeangalia mara nyingi kwa tafakuri kwenye meno yangu kama kuna mabaki ya mboga za majani; labda nafanyiwa utani mimi mwenyewe?
30Así que para no cometer errores garrafales hago preguntas simples como, “¿entonces qué piensa que deberíamos de hacer'?”, ¿qué tenemos controlado y cómo podemos construir sobre eso?Kwa hiyo sitaki kuhitimisha kwa kukakakaka ninauliza maswali rahisi kama vile, “kwa hiyo unafikiri tufanyeje” kile kilichopo kwenye uwezo wetu na kwa namna gani tutaweza kuendeleza kutokea hapo?
31“¿Cuál sería mi rol en esto”?“Nafasi yangu itakuwa nini kwenye hilo?”
32Por lo general, la conversación no va más allá porque a veces pienso que nigerianos y extranjeros tienen una mórbida fascinación con los innegables fracasos de Nigeria.Mara nyingi, mazungumzo huwa hayafiki mbali kwa sababu mara nyingine mimi hufikiri Wanaijeria na watu wa mataifa ya nje wana mvuto wa huzuni katika na kushindwa kwa Naijeria ambako hakuwezi kukanwa.
33El 9 defebrero, tras semanas de disputas políticas, el Senado confirmó a Jonathan como presidente interino.Tarehe 9 Februari, baada ya majuma kadhaa ya mivutano ya siasa, Baraza la Seneti lilimthibitisha Jonathan kama kaimu Rais.
34Muchos en la blogósfera vieron el acontecimiento como un motivo para celebrar.Wanablogu wengi wameliona tukio hilo kama sababu ya kusherehekea.
35Solomonsydelle de Nigerian Curiosity dio un excelente análisis de la situación a medida que se desarrollaba (ver acá su cobertura).Solomonsydelle wa Nigeria Curiosity alitoa uchambuzi mzuri sana wa hali ya mambo kama ilivyojionyesha (angalia hapa kwa alichokiandika).
36Escribió:Aliandika:
37Posiblemente, el 9 de febrero podría ser recordado en la historia como un día en el que se usaron medidas políticas democráticas para hacer que Nigeria de un paso adelante en el camino de convertirse en una verdadera nación democrática.Februari 9 ingeweza kwenda kwenye historia kama siku ambapo hatua za kidemorasia za kisiasa zilichukuliwa kuifanya Naijeria kupiga hatua moja bele kuelekea kwenye njia ya kufanyika taifa la kidemokrasia ya kweli.
38Akin también fue cautelosamente optimista:Akin, pia, alikuwa na matumaini yenye masharti:
39Tal vez, y solamente tal vez, podríamos simplemente tener un buen presidente y la buena suerte en su nombre podría traerle buena fortuna a Nigeria, tal vez podamos tener la esperanza, tal vez podamos soñar, tal vez podamos tener expectativa, tal vez podamos darnos cuenta - Una nueva Nigeria.Labda na labda tu, tunaweza kuwa na Rais mwema na bahati njema kwenye jina lake litaleta bahati njema kwa Naijeria, labda, tunaweza kutumaini, labda, tunaweza kuota, labda, tunaweza kutegemea, labda, tunaweza kuipata -Naijeria mpya.
40Pero otros vieron razones para preocuparse, y destacaron que aunque la toma de poder por parte de Jonathan podría ser una necesidad política, no estaba permitida explícitamente por la Constitución nigeriana.Lakini wengine wanaona sababu ya kuangalia, wakionyesha kwamba ingawa kukaimu madaraka kulikofanywa na Jonathan kunaweza kuwa na umuhimu wa siasa, haikuwa imeruhusiwa moja kwa moja na Katiba ya Naijeria.
41Max Siollun resumió la situación como sigue:Max Siollum alijumuisha hali hiyo mbaya kama ifuatavyo:
42Ojalá que la confirmación de Jonathan como vicepresidente le ponga fin a la controversia (al menos temporalmente), y dará a la dirigencia cierta apariencia de orden y debido proceso.Kuthibitishwa kwa Jonathani kama Makamu wa Rais kunaweza kumaliza utata (angalau kwa muda), na kutaupa uongozi namna fulani ya uwepo kwa taratibu na michakacho inayokubalika.
43Aunque hemos llegado a una solución PRÁCTICA, no estoy seguro que la manera en que Jonathan ha sido designado como vicepresidente interino sea LEGAL.Wakati tumefikia kwenye suluhisho la KIHALISIA, sina uhakika kama suala hili na hali ya mambo iliyomteua Jonathan kuwa Makamu wa Rais ilikuwa kwa MUJIBU WA SHERIA.
44Jide Salu reconoció la ambigüedad constitucional, pero estuvo principalmente agradecido porque el país tiene finalmente un líder.Jide Salu anakiri kuwepo kwa utata wa kikatiba, lakini kimsingi alikuwa na shukrani kwamba nchi hatimaye ina mtawala.
45Solamente quiero algo de paz y dirección.Ninahitaji amani na mwelekeo.
46Si estuvieras viviendo en el país, lo entenderías mejor.Kama ulikuwa unakaa nchini, ungeweza kuelewa zaidi.
47Nigeria no solamente estaba acéfala, estaba sin rumbo con todo el saqueo que había habido y que seguía habiendo.Naijeria si tu kuwa haikuwa na kiongozi, ilikuwa bila uelekeo pamoja na mitikisiko yote iliyopitia na inayoipitia.
48Que por ahora se ha mantenido en secreto.Ambayo kwa sasa iko chini ya mfuniko.
49Ana Nimmos estuvo optimista, pero también vio motivo de preocupación:Ana Nimmos alikuwa na matumaini, lakini aliona sababu ya kuangalia:
50[La solución política] tal vez no sea el fin real de este atasco pues presenta sus propios desafíos.[Utatuzi wa kisiasa] hauwezi kuwa mwisho wa kukingana kwa magogo kama kunavyoonyesha changamoto zake.
51Por ejemplo, con esta solución -si la aceptamos en nombre de las discusiones- Nigeria tiene ahora dos presidentes - aunque uno es interino.Kwa mfano, kwa utatuzi huu -kama tutaukubali kwa sababu ya majadiliano -Naijeria kwa sasa inayo marais wawili -japokuwa mmoja ndiye anayefanya kazi.
52Yar'adua nuca dejó el poder y Goodluck debe tener cuidado con las acciones que tome.Yar'adua hajawahi kuacha madaraka na Goodluck itabidi awe makini na hatua anazozichukua.
53Loomnie también destacó las preguntas no respondidas para el futuro:Loomnie pia aliyaonyesha maswali yasiyo na majibu kwa mustakabali (wa nchi hiyo):
54También se debe de pensar en la máquina que estaba gobernando el país todo el tiempo en que Yar'Adua no estuvo disponible.Mtu lazima afikiri kuhusu mashine ambayo ilikuwa inatawala nchi mara tu baada ya Yar'dua kutokuwepo.
55¿El nuevo presidente Goodluck Jonathan va a poder hacerse cargo de la máquina?Je, Rais mpya Goodluck Jonathan ataweza kuwa na uwezo kuishughulikia mashine hiyo?
56¿Va a hacerle/hacerles caso?Je, ataweza kuiweka pembeni/nazo?
57Esas van a ser las preguntas cruciales en los próximos meses.Hayo ni maswali ya msingi katika kipindi cha miezi kadhaa ijayo.