Sentence alignment for gv-spa-20150615-288659.xml (html) - gv-swa-20150604-8882.xml (html)

#spaswa
1Sobre el dictamen de muerte asistida en SudáfricaKuhusu Uamuzi wa Mahakama wa Haki ya Kusaidiwa Kufa Nchini Afrika Kusini
2El profesor Pierre de Vos toma en cuenta el debate acerca de la muerte asistida en Sudáfrica luego que un Tribunal Superior del país dictaminó que una persona moribunda tiene derecho a ser asistida por un médico calificado para terminar con su vida:Profesa Pierre de Vos anaingia rasmi kwenye mjadala mkali kuhusu uwezekano wa kumsaidia mtu kufa nchini Afrika Kusini baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuamua kwamba mtu anayekufa ana haki ya kusaidiwa kufa na daktari ili aweze kuyahitimisha maisha yake:
3Es importante señalar que la norma no fuerza a nadie a terminar con su vida o a asistir a quien sea a hacerlo.Ni muhimu kuona kwamba hukumu hii haimlazimishi mtu kuyakatisha maisha yake au kumsaidia mtu kufanya hivyo.
4Sigue siendo una elección personal.Hilo bado linabaki kuwa uamuzi wa mtu binafsi.
5Así, la sentencia confirma que el derecho penal (o, yo añadiría que las normas éticas [del Consejo de profesiones de la salud de Sudáfrica]) no pueden ser usadas para hacer cumplir las creencias morales, religiosas o éticas de algunos en todo el mundo.Hukumu hii inaweka msisitizo wa sheria ya makosa ya jinai (au, ningeongeza, sheria ya maadili ya Baraza la Watumishi wa Sekta ya Afya Afrika Kusini [HPCSA] kwamba haiwezekani kutekeleza jambo lolote lililo kinyume na misimamo ya kidini au kimaadili kwa mtu yeyote.
6Sin embargo esto no obliga a quienes sostienen tales creencias morales, religiosas o éticas para actuar en contra de sus creencias.Hata hivyo, hayo haiwalazimishi wale wenye imani hizo kuweza kuvunja imani zao wenyewe.
7Por otra parte si el Tribunal Constitucional confirma la sentencia sería deseable apruebe la legislación para establecer un sistema con un mínimo de garantías para proteger al paciente.Zaidi, kama Mahakama ya Katiba itapitisha hukumu hiyo basi itafaa kwa Bunge kupitisha mfumo utakaowalinda wagonjwa.
8En la ausencia de tal legislación el paciente tendría que acercarse a un tribunal para obtener el permiso de ser legalmente asistido para morir.Bila sheria hizo mgonjwa atapaswa kwenda mahakamani kupata ruhusa ya kusaidiwa kufa.