Sentence alignment for gv-spa-20090415-7035.xml (html) - gv-swa-20090430-140.xml (html)

#spaswa
1Ruanda: Quince años después del genocidioRwanda: Miaka kumi na tano baada ya mauaji ya Kimbari
2Hoy 14 de abril marca el fin de la semana nacional de luto en Rwanda que recuerda los 15 años desde el genocidio que mató a 800.000 personas.Hivi karibuni zilifanyika sherehe za kitaifa nchini Rwanda kuadhimisha kumbukumbu ya kutimiza miaka 15 tangu mauaji ya Kimbari. Mauaji hayo yaliangamiza maisha ya watu wapatao 800,000.
3El 7 de abril, se organizaron ceremonias en la capital, Kigali y en Nyanza, donde más de 5.000 personas fueron asesinadas.Mnamo tarehe 7 Aprili, maadhimisho yalifanyika katika mji mkuu wa Kigali, na pia katika mji wa Nyanza, ambapo watu wapatao 5000 waliuawa kinyama.
4En el estadio de Kigali, miles de velas escribieron la palabra “esperanza” en tres idiomas.Katika Uwanja wa Mpira wa Kigali, maelfu ya mishumaa iliwashwa na kupangiliwa katika namna ambayo iliunda neno “Matumaini” katika lugha tatu.
5La blogger de Ruanda Negrita's Chronicles pidió a sus lectores que se unieran a la vigilia a la luz de las velas en honor a las victimas a través de su blog:Mwanablogu Mrwanda, Negrita's Chronicles, alitoa mwito kwa wasomaji wake kushiriki katika mkesha wa kitaifa wa kuwasha mishumaa ili kuwakumbuka wahanga wa mauaji. Alifanya hivyo kupitia blogu yake:
6Han pasado 15 años desde el Genocidio que cambió para siempre mi hogar y mi gente.Ni miaka 15 sasa tangu Mauaji ya Kimbari yalipopabadilish nyumbani kwangu na watu wangu milele.
7El mundo quedó en silencio mientras los llantos de ayuda quedaron en letra muerta.Ulimwengu ulikaa kimya wakati ambapo vilio vilipaazwa pasipo kuitikiwa.
8Por favor, acompáñenos a encender una vela en memoria de aquellos a quienes sus vidas fueron arrebatadas como señal de esperanza ,de paz, justicia y verdadera reconciliación en el futuro.Tafadhali unganeni nasi katika tukio la kuwasha mishumaa kwa kumbukumbu ya wale walioporwa maisha yao na kwa matumaini ya mustakabali uliojaa amani, haki na maelewano ya kweli.
9En posts sucesivos, Negrita publicó un video de la campaña Velas por Ruanda y la canción ‘Never Again' escrita y grabada en conmemoración del Genocidio.Katika makala mfululizo, Negrita, alituma mtandaoni picha ya video ya kampeni ya Mishumaa kwa Rwanda, ambayo iliambatana na wimbo ‘Hali hii isijirudie tena kamwe' uliotungwa na kuimbwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari.
10La canción fue compuesta por el cantante de gospel de Ruanda Jean Paul Samputu en Kinyanrwanda, pero los coros están cantados en diferentes idiomas (Inglés, Francés, Swahili, Kirundi y Kiganda) por varios músicos regionales populares.Wimbo huo ulitungwa na mwimbaji wa nyimbo za Injili wa Rwanda, Jean Paul Samputu. Ulitungwa kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini viitikio vilikuwa katika lugha tofauti (Kiingereza, Kifaransa, Kiswahili, Kirundi na Kiganda) na uliimbwa na wanamuziki wengi maarufu kutoka eneo la Afrika ya Mashariki.
11Fotografías de niños víctimas del genocidio en el Kigali Memorial Center (Fotografía de Elia Varela Serra)Picha za watoto wahanga wa mauaji ya Kimbari katika Kituo cha Kumbukumbu cha Kigali (Picha na Elia Varela Serra).
12Martin Leach, la cabeza de DFID (Departamento Británico de Desarrollo Internacional) en Ruanda asistió a las ceremonias en Nyanza, las que describió en su blog:Martin Leach, ambaye ni mkuu wa Idara ya Uingereza ya Maendeleo ya Kimataifa (DFID) nchini Rwanda alishiriki katika kumbukumbu zilizofanyika Nyanza, na anaelezea kwenye blogu yake:
13Cientos de personas se dirigieron hacia la colina de Nyanza, muchos de ellos usando algo púrpura, una bufanda, un chal e incluso una pulsera púrpura.Mamia ya watu walitembea polepole kwa huzuni kubwa kupitia njia ndefu iliyoelekea kwenye kilima kwenda Nyanza, wengi wao walivaa chochote chenye rangi ya zambarau, kitambaa cha begani, kanga, au utepe wa mkononi.
14El color púrpura es el color de luto en Ruanda y ayer, 7 de Abril, fue el 15 aniversario del Genocidio.Rangi ya zambarau ni alama ya maombolezo nchini Rwanda na jana tarehe 7 Aprili, ilikuwa siku ya kuadhimisha Kumbukumbu ya miaka 15 tangu Mauaji ya Kimbari.
15En la cima de la colina, me uní a una gran multitud en la ceremonia de conmemoración.Pale juu ya kilima niliungana na umati mkubwa katika Maadhimisho ya Kumbukumbu.
16Metido entre dos embajadores, escuché los relatos conmovedores de los sobrevivientes de la masacre que ocurrió en el mismo lugar donde estábamos sentados, sin nadie que los protegiera de los brutales ataques de la milicia.Nikiwa nimebanwa katikati ya mabalozi wawili, nilisikiliza maelezo binafsi ya watu walionusurika katika mauaji yaliyotendeka mahali hapo tulipoketi, na hakukuwa na hata mtu mmoja wa kuwatetea dhidi ya mashambulizi ya kinyama ya wanamgambo.
17Pero fueron los jóvenes los que más me conmovieron: niñas vestidas en púrpura y blanco recitando poemas en Kinyarwandan sobre la necesidad de tener valor para el futuro a pesar de la pena y el dolor, y un coro de jóvenes con “Nunca Más” escrito en sus camisetas y cintas del cabello cantando con emoción acerca de la importancia de nunca olvidar el genocidio.Lakini ilikuwa ni vijana ndiyo walionigusa zaidi: wasichana waliovalia mavazi ya rangi ya zambarau na nyeupe walighani mashairi kwa lugha ya Kinyarwanda, hasa wakihimiza umuhimu wa kuvaa ushujaa kwa ajili ya siku za baadaye licha ya huzuni kubw, na pia kwaya ya vijana waliovalia Tii-sheti zenye maneno ‘Hali hii isijirudie tena kamwe', maneno hayo pia yalikuwa kwenye vitambaa walivyojifunga kichwani, huku wakiimba kwa hisia kubwa juu ya umuhimu wa kutosahau kamwe mauaji ya kimbari.
18Y fue emocionante. Incluso los ministros del gobierno estaban derramando lágrimas, recordando las experiencias y sus seres queridos perdidos.Na kwa kweli lilikuwa tukio la kuamsha hisia kali kwani hata mawaziri wa serikali waliokuwepo walitiririkwa na machozi, wakikumbuka yaliyotokea kipindi hicho na hasa kwa kuwapoteza watu waliowapenda.
19No puedo imaginarlo - un millón de personas asesinadas en 100 días: como la alcaldesa de Kigali dijo: “un mal indecible” se había apoderado del país.Nashindwa kuiaminisha akili yangu - yaani watu milioni moja kuuwawa katika muda wa siku 100: kama alivyosema mwanamama Meya wa Kigali, akiongeza ‘mwovu asiyesemekana' aliinyakuwa nchi.
20Michael Abramowitz del museo del Holocausto estuvo en Kigali para las ceremonias.Michael Abramowitz anayetoka katika Makumbusho ya Kumbukumbu ya Mauaji ya huko Marekani naye alikuwepo Kigali kwa ajili ya tukio hili.
21En su blog World is Witness, Abramovitz recordó el testimonio de un sobreviviente del genocidio llamado Venuste que conmovió a la audiencia durante la ceremonia:Katika blogu inayoitwa World is Witness, Abramovitz anasimulia ushuhuda wa aliyenusurika kwenye mauaji ya kimbari aliyeitwa Venuste, ambapo ushuhuda wake uliigusa mno hadhira iliyokuwepo wakati wa maadhimisho hayo:
22Venuste, que aparentaba estar en sus 50 0 60 años, con un comportamiento digno, procedió a decirle al público silencioso cómo su familia y vecinos decidieron refugiarse en la Escuela Técnica de Oficiales cercana, pensando que quizás fuera seguro refugiarse allí a causa del pequeño contingente de soldados belgas de las Naciones Unidas que se encontraban allí.Venuste, aliyeonekana kuwa na umri wa kati ya miaka 50 hadi 60, huku akitembea kwa mwendo wa madaha, aliusimulia umati uliojazana jinsi gani familia yake na majirani zao walivyoamua kukimbilia katika kituo kilichokuwa karibu cha L'Ecole Technique Officielle, wakitumaini kwamba hapo pangekuwa na usalama kwao kwa kuwa kulikuwa na kikosi kidogo cha Wabelgiji chini ya Umaja wa Mataifa.
23Pero cuatro días después, para su gran sorpresa, la pequeña fuerza de la ONU partió, diciéndoles a aquellos reunidos en la escuela que los “gendarmes” los rescatarían.Lakini siku nne baadaye, kwa mshangao mkubwa wa kutisha, kikosi hicho kidogo cha Umoja wa Mataifa, kiliondolewa, huku wakiawaambia watu waliokimbilia pale kwamba “maaskari polisi” (gendarmes) wangekuja kuwaokoa.
24Los soldados de la ONU ignoraron las súplicas desesperadas de no dejarlos a merced de la multitud amenazante de soldados del gobierno y la milicia armada que rodeaba las puertas de la escuelaAskari wa Umoja wa Mataifa walipuuzia kubembeleza kwao ili wasiondoke na kuwaacha mikononi mwa makundi ya askari wa serikali na wanamgambo wenye silaha waliokuwa wamewazingira nje ya milango ya shule walipokimbilia.
25Después de la salida del último de los soldados de la ONU, Venuste y otros 5.000 que estaban reunidos en la escuela fueron forzados a caminar a través de un corredor formado por la milicia Hutu, soldados y civiles con machetes, pistolas y otras armas.Mara tu baada ya askari wa Umoja wa Mataifa kuondoka, Venuste na watu wengine wapatao 5000 waliokuwa kwenye viwanja vya shule hiyo walilazimishwa kutembea chini ya ulinzi wa wanamgambo wa Kihutu waliokuwa wakiwadhihaki, pia walikuwepo askari na raia waliobeba mapanga, bunduki na silaha nyingine.
26Algunos de los que sobrevivieron describieron lo vivido como un “corredor de muerte”.Baadhi ya wale waliookoka kufa walieleza matembezi hayo kama “Matembezi ya kifo”.
27Venuste perdió su brazo derecho, arrancado de cuajo por uno de los torturadores.Venuste alipoteza mkono wake wa kulia ambao ulikatwa na mmoja wa watesaji.
28Los caminantes llegaron a esta pequeña colina, donde fueron rodeados por una pandilla de asesinos y atacados con granadas, machetes y palos.Mateka hao walitembea mpaka kwenye kilele cha kilima hiki ambapo walizingirwa na genge la wauaji na kisha kushambuliwa kwa mabomu, mapanga na marungu.
29En pocas horas, Venuste dijo, “estábamos echados en piscinas de sangre”.Katika muda mfupi tu, anasimulia Venuste, “Tulikuwa tumelala kwenye madimbwi ya damu”.
30De los 5.000 que buscaron refugio con la ONU, apenas 100 sobrevivieron, según Venuste.Kati ya watu wapatao 5000 walioomba ulinzi kutoka kikosi cha Umoja wa Mataifa, ni takribani 100 tu ndiyo walionusurika kufa, ndivyo alivyosimulia Venuste.
31Él sobrevivió únicamente porque se mantuvo inmóvil debajo de pilas de cadáveres, y fue pasado por alto por los asesinos que buscaban señales de vida en medio de la carnicería.Yeye anasema alipona kwa sababu alijilaza kimya chini ya maiti kadhaa, wakati huo huo wauaji waliendelea kuzagaa pale ili kuona kama kuna aliyekuwa hai bado.
32Impresionado por el desarrollo económico de Ruanda, Abramowitz no ve marcas de las atrocidades vividas 15 años atrás:Akiguswa na maendeleo ya uchumi yaliyofanywa na nchi ya Rwanda, Abramowitz haoni kama kuna dalili yoyote inayoonyesha kuwa kuliwahi kutokea mauaji ya kimbari miaka 15 iliyopita:
33Como visitante por primera vez a Ruanda, es difícil no ser sorprendido por el desajuste entre los feroces eventos de sólo 15 años atrás, y la aparente calma y prosperidad de Ruanda, que aspira a ser el centro económico de una África del Este vibrante.Kama mtu ambaye ndiyo mara yake ya kwanza kwenda Rwanda, ni vigumu mtu kutoshangazwa na kutoshabihiana kati ya matukio ya kutisha sana yaliyotokea miaka 15 iliyopita na hali inayoonekana kuwa ya utulivu mkubwa na ustawi wa aina yake inayotawala sasa nchini humo, ambapo nchi hiyo inaonekana kuwa kiini cha uchumi unashamiri kwa kasi wa Afrika ya Mashariki.
34A medida que nos dirigimos fuera de la ciudad a una de las iglesias donde todavía se pueden ver los cráneos pertenecientes a los Tutsi asesinados, pasamos por un grupo de trabajadores cavando cunetas a los lados de la carretera para instalar nuevas líneas de fibra óptica.Tulipokuwa tukisafiri kwa gari kutoka katikati ya mji kwenda katika moja ya makanisa ambapo mtu unaweza kuona mafuvu na mali za Watutsi waliouwawa, tuliwapita wafanyakazi fulani waliokuwa wakichimba mitaro kandokando ya barabara maalumu kwa ajili ya kutandaza nyaya za mawasiliano ya Intaneti.
35Un recién llegado piensa: ¿Cómo puede ser que este hermoso país, rutinariamente descrito por los mismos africanos como uno de los países que mejor funcionan del continente, haya experimentado tal salvajismo?Kwa mtu mgeni ni rahisi kujiuliza: Inawezekanaje kwamba nchi hii ya kupendeza, ambayo mara nyingi watu wengi barani Afrika huichukulia kama ya kupigiwa mfano kwa namna yake bora ya uendeshaji, inakuwaje kwamba iliingia katika unyama huo mkubwa usiosimulika?
36Pescador de Uganda, sacando cuerpos del Lago Victoria que viajaron cientos de millas por el río desde Ruanda. (Fotografía de Dave Blumenkrantz, usada bajo licencia de Creative Commons)Wavuvi wa Uganda wakiopoa miili kutoka Ziwa Victoria baada ya kusafirishwa mamia ya maili kutoka Rwanda (Picha na Dave Blumenkrantz, una ruhusa ya kutumia chini ya utaratibu wa leseni za Ubunifu wa Pamoja)
37Colette Braeckman [Fr], una periodista Belga, y autora de varios libros sobre África Central, también estuvo presente en la ceremonia del aniversario en Kigali sobre la cual escribe:Colette Braeckman [Fr], ambaye ni mwandishi wa habari wa Ubelgiji na mwandishi wa vitabu kadhaa kuhusu Afrika ya Kati, naye pia alikuwepo kwenye maadhimisho hayo kule Kigali, naye anaandika:
38De las multitudes reunidas en frente del “jardín del recuerdo” y el memorial del genocidio, están saliendo llantos que interrumpen los discursos oficiales.Kutoka katika umati uliokusanyika mbele ya “Bustani ya Kumbukumbu” na ilipo kumbukumbu ya mauaji ya kimbari, vilio vinasikika huku na kule, hivyo kukatisha hotuba rasmi zilizokuwa zikitolewa.
39Todo el tiempo, cuerpos con convulsiones o desmayados son sacados por las ambulancias.Wakati wote, watu waliozimia au kupoteza fahamu walinyanyuliwa na kukimbizwa hospitali kwa kutumia magari ya wagonjwa.
40Cuando Venuste Kasirika llega al escenario y cuenta sobre su calvario, su historia es puntuada por sollozos que sacuden a la audiencia.Wakati Venuste Kasirika aliposimama jukwaani na kusimulia yale yaliyomipata, simulizi lake lilisindikizwa na vilio vya chini kwa chini kutoka kwenye hadhira iliyokuwepo.
41Paseando en el moderno Kigali, Braeckman hace una observación similar a la de Abramoqitz sobre la desconexión con el horrible pasado:Akipita huku na huko katika Kigali ya leo, Braeckman anasimulia mambo yanayofanana na yale aliyosimulia Abromowitz kuhusu kutofautiana kukubwa na zamani ya kutisha:
42En esta ciudad moderna y ambiciosa, donde los barrios de bajos ingresos han sido arrasados y sus habitantes llevados mucho más lejos; en medio de estos edificios con bancos, tiendas y oficinas, viendo estas camas de flores perfectamente cuidadas y los espacios verdes que parecen jardines ingleses, ¿cómo podemos creer que quince años atrás, camiones de basura estaban reuniendo cadáveres por cargas y depositándolos en el hospital, como pilas de basura?.Katika jiji hili la kisasa, lenye kuleta matumaini, ambapo makazi ya walalahoi yamevunjiliwa mbali na wakazi wake kuhamishiwa mbali zaidi; katikati ya majengo marefu yenye mabenki, maduka na ofisi, unapotazama bustani nzuri za maua zinazotunzwa vizuri na maeneo ya kijani kama zile Bustani za Uingereza, tunawezaje kuamini kwamba miaka kumi na tano tu iliyopita, magari ya taka yalikuwa yakikusanya maiti makundi kwa makundi mitaani na kuzimwaga mbele ya hospitali kama takataka?
43Viendo estas personas tan bien vestidas, todos usando zapatos citadinos (ir descalzo ha sido prohibido) ¿Cómo podemos recordar la mirada lunática de los asesinos, borrachos de cerveza, de marihuana y de odio, adornados con amuletos, portando armas y largos machetes y aullando como animales, mientras sus vecinos Tutsi eran forzados a ocultarse en los cielos rasos, en las cunetas y en los arbustos?.Mtu unapoona watu hawa waliovalia vizuri, wakiwa wamevaa viatu safi (maana kutembea pekupeku ni marufuku hapa), tunawezaje kuvuta kumbukumbu za wauaji katili kama vichaa, tena waliolewa, waliojaa hasira na chuki, wamejizungushia hirizi, wakipepesapepesa bunduki huku na huko pamoja na mapanga na walikuwa wakiwinda, yaani kama unavyowinda wanyama, wenzao wa kabila la Kitutsi ambao kwa woga walikimbilia kujificha darini, kwenye mitaro na kwenye vichaka?
44Yves Zihindula [Fr], un blogger congolés en Goma, recuerda el genocidio, visto desde el otro lado de la frontera:Yves Zihindula, mwanablogu wa Kikongo anayeishi Goma, anakumbuka mauaji ya kimbari kama hali ilivyokuwa upande wa pili wa mpaka:
45Exactamente 15 años atrás, cientos de personas (refugiados) pasaron a la República Democrática del Congo.Miaka 15 kamili iliyopita mamia ya maelfu ya wakimbizi walimiminika kuja Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
46Esta fecha nos trae imagenes de mujeres y niños debilitados por el hambre en las calles de Goma.Tarehe hii inaleta kumbukumbu za kutisha za akina mama na watoto waliochoka kwa njaa waliomiminikia kwenye mitaa ya Goma.
47Recuerdo haber visto cadáveres en el lago Kivu, arrojados del lado de Ruanda y traido por las olas al lado Congolés.Nakumbuka kuona maiti za watu kwenye Ziwa Kivu, upande wa Rwanda wa ziwa na ambazo zilisogezwa polepole kuja upande wa Kongo na mawimbi.
48En esa época, vi camiones de basura trasportando cadáveres humanos y arrojándolos en fosas comunes. Para nada son buenas memorias.Wakati huo niliona magari ya kubebea taka yakiwa yamesheheni maiti za watu na kwenda kuzitupa kwenye makaburi ya halaiki.
49Todavía se siente raro darse cuenta de la tragedia.Ama kwa hakika hizi si kumbukumbu nzuri hata kidogo.
50Humanos mátandose los unos a los otros.Bado inashangaza kuona msiba huo.
51Incluso entre animales esto rara vez ocurre.Binadamu wakiuwana wao kwa wao.
52Me arriesgo a creer que esto no pasará de nuevo y que toda el África (y todo el mundo) ha aprendido la lección.Hata miongoni mwa wanyama jambo hili ni nadra sana kutokea. Ninatumaini tu kwamba jambo hili halitatokea tena na kwamba Afrika (na dunia nzima) nzima imejifunza somo.
53Para un tasfondo sobre el genocidio en Ruanda, ver los posts en el blog Stop Genocide: False History, Real Genocide: The Use and Abuse of Identity in Rwanda y Genocide in Rwanda: “A Distinctly Modern Tragedy”.Ili kusoma taarifa ya kina zaidi kuhusu historia ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda, tazama makala hizi: Stop Genocide blog: False History, Real Genocide: The Use and Abuse of Identity in Rwanda na Genocide in Rwanda: “A Distinctly Modern Tragedy”.