Sentence alignment for gv-spa-20100113-22572.xml (html) - gv-swa-20100114-1098.xml (html)

#spaswa
1Tras el terremoto, tweets presenciales desde HaitíBaada Ya Tetemeko la Ardhi, Jumbe za Twita Kutoka kwa Walioshuhudia
2Como resultado del catastrófico terremoto de 7.0 que azotó la isla esta noche (12 de enero), “Haití” es actualmente un tema de actualidad en Twitter.Kutokana na janga la tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.0 ambalo limeikumba Haiti jioni ya leo (Januari 12), “Haiti” ni mada kuu hivi sasa kwenye huduma ya Twita.
3Entre la masa de retuiteos de los informes noticiosos de los medios convencionales y tweets mandando oraciones y buenos deseos a la isla caribeña, ha habido varios informes presenciales del músico y hotelero Richard Morse, que tuittea como @RAMHaiti.Miongoni mwa lundo la jumbe zinazotumwa tena na tena za taarifa za habari kutoka za vyombo vya habari vikubwa na jumbe nyingine za twita zinazotuma sala au dua pamoja na salamu za heri kwa taifa hili la Karibea, pia kumekuwepo taarifa za mashahidi waliopo kwenye tukio kama vile mwanamuziki na mwendesha hoteli Richard Morse, ambaye anatwiti kwa jina la @RAMHaiti.
4Morse publicó su tweet inicial a eso de las 6:00 pm, hora de Haití, e informó que:Morse alituma ujumbe huu wa kwanza wa twita kwenye majira ya saa 12 jioni kwa saa za Haiti, akiripoti kuwa:
5Estamos bien en el Oloffson [el hotel que admnistra]… ¡Hay Internet!!Tuko salama hapa oloffson [hoteli anayoiendesha] .. intaneti inapatikana!!
6¡No hay teléfonos!Hakuna simu!
7Espero que todos estén bien.. ¡muchos edificios en PAP [Port-au-Prince, la capital de Haití] se han caído!Natumaini wote wako salama… majengo mengi makubwa hapa PAP [Port Au Prince, mji mkuu wa Haiti] yameporomoka!
8Una serie de tweets enviados una hora después informaron:Mfululizo wa jumbe za twita zilizotumwa saa moja baadaye ziliripoti:
9Casi todas las luces están apagadas en Puerto Príncipe… la gente sigue gritando pero el ruido se apaga mientras oscurece.Karibu kila taa imezimwa katrika mji wa Port au Prince… watu bado wanapiga mayowe lakini sauti zao zinafifia kadiri giza linavyotanda.
10Muchos rumores sobre qué edificios se han venido abajo… El Castel Haití detrás del Oloffson es una pila de escombros… tenía 8 pisoskuna uvumi kuhusu majengo gani yaliyoanguka… jingo la Castel Haiti nyuma ya oloffson ni biwi la kifusi… lilikuwa jingo la ghorofa 8 kwenda juu
11Nuestros huéspedes están sentados en la vereda… no hay daños serios acá en el Oloffson pero muchos grandes edificios cercanos han colapsadoWageni wetu wamekaa nje kwenye barabara ya gari… hakuna uharibifu mkubwa hapa Oloffson lakini majengo mengi makubwa yaliyo jirani yameanguka
12Me han dicho que partes del Palacio han colapsado… el UNIBANK acá en Rue Capois ha colapsadoNimeambiwa kuwa sehemu za kasri (ikulu) zimeanguka… UNIBANK hapa mtaa wa Capois imeporomoka
13La gente está trayendo gente en camillaswatu wanawaleta watu kwa machela
14Puerto Príncipe está a oscuras salvo por unos cuantos incendiosPort au Prince iko kwenye giza isipokuwa kwa mioto michache
15Un enorme hospital que estaban construyendo frente al Oloffson ha colapsadoHospitali kubwa iliyokuwa inajengwa mkabala na Oloffson imeporomoka
16Los autos empiezan a circular..magari yanaanza kuzunguka..
17Veo luces a la distancia hacia el muelleNinaziona taa kwa mbali kuelekea dagoni
18Después, Morse retuitteó a @isabelleMORSE, que informó: “mucha destrucción en Grand Rue (Ave Dessalines) Daniel Morel está bien. Estación de policía, Catedral, telecomunicaciones del centro, Iglesia Santa Ana todo destruido“.Baadaye, Morse alituma tena ujumbe wa twita @isabelleMORSE, ambaye aliripoti “uharibifu mkubwa kwenye mtaa wa Grand (Ave Dessalines) Daniel Morel's iko sawa, stesheni ya polisi, Downtown teleco, kanisa la Mtakatifu Anne yote yameangamia”.
19Justo después de las 7:30pm hora de Haití, Morse escribió que:Mara baada ya saa 1 jioni kwa saa za Haiti, Morse aliandika kwamba:
20Los teléfonos están empezando a funcionar… recibí llamada de alguien cuya casa se cayó, el hijo está herido pero bien. .Simu zinaanza kufanya kazi. Nimepokea simu kutoka kwa mtu ambaye nyumba yake iliporomoka, mtoto kaumia lakini salama. .
21Unas cuantas personas llegan @ Oloffson.. los caminos están bloqueados por muros caídos.. mucha destrucción en Grand Rue.Watu wachache wanaanza kujitokeza @Oloffson.. barabara hazipitiki kutokana na kuta zilizoanguka. .maangamizi makubwa katika mtaa wa Grand.
22Escuché que el Hospital General ha colapsadoNasikia hospitali kuu imeporomoka
23La gente necesita provisiones médicas… comida, vivienda; no conozco la situación del agua;watu wanahitaji madawa na vifaa vya matibabu, chakula, malazi; sijui kuhusu hali ya maji
24Después, a eso de las 7:45pm:Kisha, kwenye majira ya saa 1:45 jioni:
25Otra réplica… la gente grita y se asusta y va hacia el estadio… mucho cántico y rezos en grandes cantidadestetemeko jingine dogo.. watu wanapiga mayowe na kukimbia kuelekea uwanjani.. wanaimba na kusali sana katika makundi makubwa
26Y cerca de las 8:40pm hora de Haití:Na kwenye majira ya saa 2:40 usiku kwa saa za Haiti:
27Otra réplica… un poquito más larga… mucho grito en el centro… esta va a ser una larga nochetetemeko jingine dogo.. limechukua muda mrefu zaidi.. mayowe mengi mjini.. huu utakuwa usiku mrefu
28También están proliferando en Twitter fotos ciudadanas de la destrucción, como las de acá abajo, según se informa, enviadas al usuario de Twitter @marvinady por el periodista Carel Pedre de Radio One de Haití.Pia zinazotawala katika Twita ni picha za maangamizi na uharibifu zilizopigwa na raia kama hizi hapa chini, inadaiwa kuwa zilitumwa kwa mtumiaji wa Twita @marvinady na mwanahabari Carel Padre wa Radio One Haiti.
29@LisandroSuero también ha publicado fotos de la destrucción, incluida la que está debajo:@LisandroSuero pia ametuma picha za maangamizi, pamoja nah ii hapa chini: