Sentence alignment for gv-spa-20150219-274103.xml (html) - gv-swa-20150222-8533.xml (html)

#spaswa
12015: una oportunidad para elecciones libres y justas en África2015 Mwaka wa Kufanyika Chaguzi Huru na Haki Barani Afrika
2Wekesa Sylvanus espera que 2015 sea un año de elecciones libres y justas en África: Desde la aparición de la democracia multipartidista en África, las disputas electorales se han convertido en un “todo o nada” en la mayoría de los países africanos.Wekesa Sylvanus anataraji kwamba 2015 utakuwa mwaka wa chaguzi huru na haki barani Afrika: https://wekesasylvanus.wordpress.com/2015/02/18/will-2015-be-a-year-of-free-and-fair-elections-in-africa/
3Las elecciones en África son un asunto de alto riesgo y en los últimos tiempos, han sido el desencadenante de muchos conflictos.Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi barani Afrika, ushindani nyakati za uchaguzi umekuwa suala la kufa na kupona kwenye nchi nyingi za ki-Afrika.
4Kenia y Costa de Marfil son buenos ejemplos de cómo unas elecciones mal gestionadas pueden llevar a un país al conflicto.Chaguzi barani Afrika ni suala lenye hatari zake na katika nyakati za hivi karibuni, chaguzi zimekuwa kichocheo cha migogoro.
5Medio siglo después de ganar la independencia, la mayoría de los estados africanos no la han conseguido en términos de gestión y dirección de elecciones libres y justas.Kenya na Ivory Coast ni mifano mizuri ya namna kutokusekana kwa utaratibu mzuri wa uchaguzi kunavyoweza kuiingiza nchi kwenye machafuko. Karibu nusu karne baada ya uhuru, nchi nyingi za ki-Afrika hazijaweza kuwa na taratibu sahihi kufanya chaguzi zilizo huru na haki.
6En el año 2015, multitud de países africanos celebrarán elecciones.Mwaka 2015 utashuhudia nchi nyingi zikiingia kwenye uchaguzi.
7Se celebrarán elecciones presidenciales / legislativas en Nigeria, Sudán, Etiopía, Burundi, Tanzania, Zambia, Togo, Costa de Marfil, Islas Mauricio, República Centroafricana, Burkina Faso, Nigeria, Guinea, Chad y Egipto, y puede que también en Sudán del Sur -depende de la firma del tratado de paz.Chaguzi za Rais na/au wabunge zitafanyika kwenye nchi za Naijeria, Sudan, Ethiopia, Burundi, Tanzania, Zambia, Togo, Ivory Coast, Mauritius, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Burkina Faso, Naija, Guinea, Chadi, na Misri na labda Sudani Kusini kutegemeana na makubaliano ya amani yanayotarajiwa kuwekewa saini.
8La mayoría de estos países han luchado en los últimos tiempos para implantar la democracia.Nyingi za nchi hizi zimepambana kutaasisisha utendaji wa kidemokrasia katka siku za hivi karibuni.
9Por tanto, 2015 será para ellos una gran oportunidad para demostrale al mundo que han madurado democráticamente.Mwaka 2015 unaleta fursa kubwa kwa nchi hizi kuionesha dunia kwamba sasa zimekomaa kidemokrasia.