Sentence alignment for gv-spa-20120405-241543.xml (html) - gv-swa-20120416-2778.xml (html)

#spaswa
1Egipto: Tensiones entre la Hermandad Musulmana y el SCAFMisri: Kundi la “Muslim Brotherhood” dhidi ya Baraza la Kijeshi – Waonyesha Sura Halisi?
2Este post es parte de nuestra cobertura especial Revolución en Egipto 2011.Posti hii ni sehemu ya habari zetu maalumu za Mapinduzi ya Misri 2011.
3“Más de un millón de egipcios desfilan para exigir la caída de Ganzouri” titula el periódico oficial del Partido Libertad y Justicia (PLJ, fundado por la Hermandad Musulmana) tras unos acontecimientos que dejaron perplejos a los egipcios. “¿Cómo empezó todo?” fue la pregunta [eng] en boca de todos.“Watu milioni waandamana kushinikiza kung'oka kwa baraza la Ganzouri” ndivyo kilivyosomeka kichwa cha habari cha gazeti rasmi la chama cha FJP (Freedom and Justice Party, yaani Chama cha Uhuru na Haki) kinachohusishwa na kundi la Kiislamu lenye msimamo mkali linalojulikana kama Muslim Brotherhood baada ya matukio yaliyowashangaza watu wengi nchini Misri.
4“¿Qué fue lo que provocó la ruptura de la estrecha relación entre el Consejo Supremo de las Fuerzas Armadas (SCAF, por sus siglas en inglés) y la mayoría política casi absoluta?”Swali la “Ilianzaje?” liliulizwa na kila mmoja. Ni namna gani uhusiano wa karibu kati ya Baraza la Kijeshi la Misri (SCAF) na chama chenye ushawishi mkubwa wa kisiasa usababishe “anguko baya”?
5Las acusaciones estallaron cuando el PLJ hizo la siguiente declaración [ar]:Mfululizo wa tuhuma uliibuka wakati chama cha FJP kilipotoa tamko [ar]:
6Razones por las que rechazamos al gobierno de Ganzouri - Mantener al gobierno despertará las sospechas acerca de la honestidad de las elecciones y del referéndum sobre la constitución. - ¿Será que el SCAF pretende oponerse a la revolución, desilusionar al pueblo y amañar las elecciones? - El SCAF amenazó con disolver el parlamento mediante recurso de apelación contra el presidente del Tribumal Constitucional.Sababu za kuikataa serikali ya Ganzouri -Kuendelea na serikali hii kutaleta wasiwasi kuhusu kutendeka haki wakati wa uchaguzi na kura ya maoni kuhusu katiba -Je, Baraza la Kijeshi linataka kuharibu lengo la mapinduzi, kuwakatisha watu tamaa, na kuvuruga uchaguzi? -Baraza la Kijeshi limetishia kuvunja bunge kwa kukata rufaa katika Mahakama Kuu ya Katiba.
7- La obstinación del SCAF en mantener un gobierno deficiente significa que pretenden impedir la revolución, desilusionar al pueblo y amañar las elecciones.-Baraza la Kijeshi kung'ang'ania kuendelea kuiweka madarakani serikali iliyoshindwa itakuwa na maana ya kutaka kuharibu lengo la mapinduzi, kuwakatisha watu tamaa, na kuvuruga uchaguzi
8La respuesta del SCAF fue tan provocadora como la declaración de la Hermandad Musulmana, recordando los acontecimientos de 1954 [en] cuando los miembros de la Hermandad Musulmana fueron acusados, excluídos, encarcelados y torturados por las autoridades.Majibu ya Baraza la Kijeshi yalikuwa na mwelekeo wa kupandisha hasira za watu kama yalivyokuwa matamko ya kikundi cha Muslim Brotherhood, tukikumbuka matukio ya mwaka 1954 wakati kikundi hicho kilipobebeshwa lawama, kupigwa marufuku, kuwekwa kizuizini, na kuteswa na mamlaka za serikali.
9El SCAF declaró que la acusación de falsificación de las elecciones eran una calumnia y, en un tono amenazador pidió a “ciertas fuerzas políticas” que aprendan de los errores del pasado.Baraza limesema kwamba tuhuma za kuvuruga uchaguzi ni uongo mtupu. Walitumia pia sauti yenye vitisho walipotoa wito kwa “kambi fulani za kisiasa” kujifunza kutokana na yaliyopata kutokea.
10El pueblo egipcio se pregunta hasta dónde va a llegar la rivalidad entre los que están en el poder y los que estarán más adelante.Umma uliachwa katika hali ya sintofahamu kuhusu nini hasa kitakachotokea katika mchezo huu wa ushindani kati ya watu walioshika madaraka na wale wanaosubiri madaraka.
11¿Llegarán a un conflicto o esto no fue más que una de las escenas del teatro político que tiene lugar actualmente en Egipto?Je, watagongana au ndiyo ilikuwa moja ya vitendo vya mchezo wa kisiasa ambao Misri inautumia siku hizi?
12Simultáneamente, la Hermandad Musulmana intentaba fortalecer su táctica y anunció que apoyará en la elección presidencial a Khairat Al Shater [en], ex jefe adjunto de la hermandad y empresario multimillonario.Wakati huo huo, Kikundi hicho cha Muslim Brotherhood kilijaribu kupangilia karata zake, na kutangaza kwambaKhairat Al Shater, naibu kiongozi wa juu wa zamani wa kikundi hicho na mfanyabiashara mkubwa, alikuwa chaguo lao kukidhi sheria ya Misri ya kuachiana nafasi ya Urais.
13La decisión resultó sorprendente incluso para los miembros de la hermandad y para el Partido Libertad y Justicia.Uamuzi huu ulileta mshangao, hata miongoni mwa wanachama wa kikundi hicho na hata wale wa chama cha FJP.
14Muchos la consideraron equivocada y algunos afirmaron que aquello anunciaría “el principio del fin”.Watu wengi walilichukulia jambo hili kuwa ni makosa makubwa, huku wengine wakidai ni dalili za “mwanzo wa mwisho”.
15Otros ven en la hermandad un nuevo NDP (Partido Nacional Democrático) donde el autoritarismo y el dinero serán los factores dominantes del control.Wengine walikitazama kikundi hicho (cha Muslim Brotherhood) kama chama kinachoanza kuchukua sura ya chama cha NDP, ambapo nguvu na fedha vilikuwa kvgezo kvkuu vya kutwaa madaraka.
16Los usuarios de las redes sociales analizaron y opinaron acerca de la insólita elección:Watumiaji wa vyombo vya habari vya kiraia wamekuwa wakijipa kazi ya uchambuzi na kutoa maoni na mtazamo wao kuhusu chaguo hili lisilo la kawaida:
17Khaled El Baramawy [ar] comparó a Shater con Aboul Fotouh [en] (miembro destacado de la hermandad que fue expulsado tras anunciar su intención de conseguir la presidencia) y tuiteó con ironía:Khaled El Baramawy [ar] alimfananisha Shater na Aboul Fotouh (kigogo wa kikundi cha Brotherhood aliyeondolewa baada ya kutangaza nia yake ya kugombea Urais) na akaandika ujumbe huu kwa kejeli kupitia mtandao wa twita:
18Érase una vez alguien que se autoproclamó y fue expulsado. Luego, la persona que lo había expulsado, se autoproclamó.Hapo zamani za kale, mtu alijiteua mwenyewe na akatupwa nje, halafu mtu aliyemtupa …akajiteua mwenyewe
19Taqadum El Khatib [ar] tuiteó:Taqadum El Khatib [ar] aliandika kwenye mtandao wa twita:
20La Hermandad Musulmana son … mentirosos mentirosos mentirosos mentirosos mentirosos.Kikundi cha Muslim Brotherhood ni waongo waongo waongo.
21Jóvenes de la hermandad, dimitan y dejen caer a sus líderes mentirosos.Kwa vijana wa kikundi hicho: jitoeni au mwachane na viongozi wenu waongo
22Wael Eskaner [en] tuvo una opinión más equilibrada:Wael Eskaner alikuwa na mtazamo wenye ulinganifu zaidi:
23@weskandar: Si Al-Shater es el candidato por consenso, entonces el SCAF es el Ikhwan (NdT: la Hermandad Musulmana).@weskandar: Kama Al-Shater ni mgombea anayekubalika basi Baraza (#SCAF) ni la Ikhwan.
24Es muy poco probable que así sea. Ahmed Aggour [en] tuiteó:Hakuna uwezekano kwamba ndivyo alivyo.blockquote> Ahmed Aggour aliandika:
25@Psypherize: Los oprimidos se convierten en opresores.@Psypherize: Walioonewa wamegeuka na kuwa waonevu #Ikhwan
26Ikhwan Hassan El Shater [en], uno de los 10 hijos de Khairat El Shater, no parecía muy contento por el nombramiento de su padre y, tuiteó:Hassan El Shater, mmoja wa wana 10 wa Khairat El Shater, hakuwa mwenye furaha sana kufuatia uteuzi wa baba yake alipoandika kupitia mtandao wa twita:
27@Hassan_elShater : ¡Desgraciadamente mi padre es un candidato a la presidencia! :s@Hassan_elShater : Ni bahati mbaya baba anagombea Urais!:s
28Nadie sabe cómo terminará el juego político en Egipto, pero una cosa está clara: los egipcios están presenciando una época emocionante y únicamente ellos determinarán su historia.Hakuna ajuaye hitimisho la mchezo huu wa kisiasa unaoendelea nchini Misri, lakini jambo moja ni dhahiri, wa-Misri wanashuhudia kipindi chenye msisimko na ni wao pekee wanaamua historia yao.
29Este post es parte de nuestra cobertura especial Revolución en Egipto 2011.Posti hii ni sehemu ya habari zetu maalumu za Mapinduzi ya Misri ya 2011.