Sentence alignment for gv-spa-20090226-4130.xml (html) - gv-swa-20090226-72.xml (html)

#spaswa
1Martinica: Sobre independencia y “paternalismo” francésMartinique: Uhuru na “Ubeberu” wa Kifaransa
2Bloga wa Kimartinique le blo de [moi] [FR], katika makala yake nyingine inayohusu harakati za wafanyakazi wa Martinique na Guadeloupe anapambana na Christophe Barbier, mhariri wa maoni katika gazeti la Kifaransa, L'Express.
3En otro post sobre el actual movimiento de trabajadores en Martinica y Guadalupe, la blogger martinicana le blog de [moi] [fr] discrepa con Christophe Barbier, editor de opinión de la revista francesa de noticias L'Express.Katika mahojiano ya redio ya C dans l'air hivi karibuni, Barbier alijibu ujumbe wa simu ya mkononi kutoka kwa msikilizaji aliyeuliza, “kwa nini tusizipe Idara za Ng'ambo uhuru wao?” Barbier akajibu:
4“(…) Ikiwa (visiwa hivyo) vitageuka kuwa kiwanda cha utalii cha Marekani, au vitaangukia kwenye udhibiti wa majangili (wa kimafia) ambao watapageuza kweupe, au patakuwa Haiti mpya, uhuru hauwezekani bila ya kushamiri kwa uchumi!
5En una reciente entrevista en el programa de radio C dans l'air, Barbier respondió al mensaje de texto de un oyente que preguntó, “¿Por qué simplemente no concedemos su independencia a los departamentos de ultramar?”Mara moja vitakuwa tegemezi kwa nchi nyingine na (utegemezi huo) utakuwa mbaya zaidi ya kuwa tegemezi kwa Ufaransa.” le blog de [moi] amekasirika:
6Barbier respondió:Kweli? Christopher Barbier???
7“(…) Esto se va a convertir en una fábrica de turistas para los estadounidenses o va a caer bajo el control de las mafias locales para servir de blanqueo o se va a convertir en un nuevo Haití.“Itakuwa”?!!! Na hapa, ngoja nikwambie, bila kuficha (na wale wote ambao wamekuwa wakinisoma kwa muda wanajua msimamo wangu kuhusu suala hili): hakuna sababu nzuri ya kuunga mkono uhuru!
8¡No hay independencia posible sin la prosperidad económica!Maneno haya, na sauti ya dharau iliyotumika, na nyodo… yote yako wazi!
9Esto caerá inmediatamente en otra dependencia que será peor que la dependencia de la república francesa.”Kwa sababu hatimaye siku moja tukiamua kuruka kiunzi na kuwa huru, huo utakuwa ni uamuzi wetu, liwalo na liwe, sawa!
10le blog de [moi] está furiosa:Baada yetu [Wafaransa] pataharibika???
11Hao watoto wakubwa [Idara za Ng'ambo] hawatajua jinsi ya kujilinda au kuepuka vipingamizi vinavyoambatana na kuwa taifa huru?
12En un comentario, Elsie discrepa que los comentarios de Barbier fueran necesariamente condescendientes:Hayo ndiyo maneno ya kunadi ili kufafanua kwa nini Idara za Ng'ambo ziendelee kupakatwa na Ufaransa? Yesu wangu!
13…Tal vez él quiere decir simplemente que un país tan chiquito como sería Martinica (o Guadalupe), en un ambiente tan violento como el Caribe, lo pasaría mal sin asegurarse el apoyo de una gran potencia (¿Estados Unidos en vez de Francia?) y evitando a los tiburones de la droga y a las pandillas que causan estragos en el sector.Katika maoni, Elsie anapinga kuwa maoni ya Barbier yalikuwa na dharau: …Pengine alichotaka kusema ni kuwa nchi ndogo kama Martinique (au Guadeloupe), katika mazingira magumu ya visiwa vya Karibeani, kitakuwa na hali ngumu kujikimu na kuwazuia wauza madawa ya kulevya na magenge yao ambao wamejaa katika kanda hiyo, bila ya msaada wa taifa kubwa (Marekani badala ya Ufaransa?).
14No es cuestión de saber si las personas que dirigirán el país serán competentes o no, es justo decir que un pequeño país, a causa de su insignificancia militar, no puede vivir más que a la sombra de uno más grande que lo proteja…Hili si suala la kujua kuwa pengine watu watakaoliongoza taifa watakuwa wana uwezo au la, ni kusema tu kuwa nchi ndogo, kutokana na nguvu ndogo za kijeshi, inaweza tu kuishi chini ya kivuli cha taifa kubwa ambalo linailinda…
15Pero Elsie no está de acuerdo con la idea que solamente Francia puede ofrecer esa clase de protección.Lakini Elsie hakubaliani na dhana kwamba ni Ufaransa pekee ndiyo inayoweza kutoa ulinzi huo.
16wk de l'ile cita muchos ejemplos donde los comentarios de Barbier suenan convincentes:wk de l'ile antoa mifano kadhaa ambayo maoni ya Barbier yanadhihirika:
17Francamente no encuentro que lo que dijo sea paternalista… ha hablado solamente de una realidad de manera un poco condensada y abrupta: “una fábrica de turistas para los estadounidenses” : miren a Santa Lucía, Santo Domingo, Montego Bay en Jamaica, Barbados…“bajo el control de mafias locales para ser zona de blanqueo” : miren a Saint-Martin, Anguila… “un nuevo Haití”: sin comentarios…Bila kuficha, sifikiri kuwa alichokisema kilikuwa na ubeberu… alizungumza ukweli katika lugha ya dharau, na bila ya shaka, kwa kukurupuka: “kiwanda cha utalii cha Wamarekani”: Iangalie St Lucia, Jamhuri ya Dominika na Haiti, Montego Bay katika Jamaika, Barbados…” chini ya udhibiti wa majangili (wa kimafia) ambao wanapageuza kweupe”: Angalia St Martin, Anguilla…” Haiti mpya”: Sina la kuongeza…
18wk de l'ile continúa:wk de l'ile anaendelea:
19Admito que frente a cierto desprecio del gobierno y cuando leo ciertos comentarios de los lectores de Le Monde, el Figaro o Libération… estoy tan harto de constatar el desconocimiento de lo que somos… los franceses del Caribe… que yo también hago mi pequeña crisis independendista…Lazima nikubali kuwa, kutokana na chuki fulani kwa upande wa serikali na ninaposoma maoni ya wasomaji wa magazeti ya Le Monde, Le Figaro, La Liberation… Nachefuka ninapouona ujinga mwingi kuhusu sisi ni nani… Wakaribeani wa Kifaransa… kiasi kwamba nina mgogoro wangu mdogo wa kuunga mkono uhuru…
20Todo lo que espero es que justamente tomando el ejemplo de los errores y los logros de los países de nuestra región, teniendo en cuenta nuestra singular historia y nuestros víncul0s con el hexágono [Francia] , África y Asia, lleguemos a no dispararnos a los pies y poner en su sitio a las instituciones y un desarrollo económico que realmente tenga en cuenta quiénes somos.Matumaini yangu ni kuwa kwa kufuata mifano ya mafanikio na kushindwa kwa mataifa yaliyoko kwenye kanda yetu, tukitilia maanani historia yetu ya kipekee na uhusiano wetu na Ufaransa Bara, Afrika na Asia, kwamba hatutajipiga risasi mguuni na kuwa tutaziweka taasisi pahala pake na maendeleo ambayo yatazingatia sisi ni nani.
21Fundar nuestro futuro político sobre una identidad cerrada, alimentada por una ideología nacionalista es para mí un camino peligroso.Kuufafanua utaifa wetu kwa utambuzi finyu, unaochochewa na itikadi za kitaifa, ni njia hatari kwa maoni yangu.
22Demos vida a la república transcontinental (por citar este bello concepto de Marlène Parize)….Na tuhuishe jamhuri inayovuka mabara (tujikumbushe ile dhana nzuri ya Marlène Parize)