Sentence alignment for gv-spa-20121026-149219.xml (html) - gv-swa-20121129-4260.xml (html)

#spaswa
1Chile: Presos mapuche deponen huelga de hambre después de 60 díasChile: Mahabusu wa Mapuche Wamaliza Mgomo wa Kutokula Uliodumu kwa Siku 60
2Dos jóvenes miembros de la comunidad indígena mapuche del sur de Chile fueron sentenciados, el 13 de agosto del 2012, a 541 días de prisión por su responsabilidad en el ataque a policías durante un enfrentamiento sucedido el 2 de noviembre de 2011, en sectores rurales de la comuna de Ercilla.Vijana wawili wanaume, wazawa wa jamii ya Mapuche kutoka Chile ya Kusini, mnamo tarehe 13 Agusti, 2012 walihukumiwa siku 541 za kukaa gerezani kufuatia kuhusika na shambulio dhidi ya polisi katika machafuko yaliyotokea tarehe 2 Novemba, 2012 katika sehemu ya vijijini ya jamii ya Ercilla .
3Paulino Levipán, de 19 años, y Daniel Levinao se mantuvieron desde el 27 de agosto en huelga de hambre junto a Rodrigo Montoya Melinao y Eric Montoya Montoya en protesta por su detención.Paulino Levipán mwenye umri wa miaka 19 na Daniel Levinao mwenye umri wa miaka 18 walianzisha mgomo wa kutokula mnamo tarehe 27, wakishirikiana na Rodrigo Montoya Melinao na Eric Montoya Montoya ili kupinga kukamatwa kwao.
4Estos últimos se encuentran acusados desde agosto de 2011 de homicidio frustrado en contra de un carabinero que resguardaba el fundo Centenario, en la misma comunidad de Ercilla, y seguían en proceso a través de un juicio oral.Waliotangulia kutajwa walituhumiwa kwa kumuua polisi aliyekuwa aliyekuwa doria katika shamba la wanyama lijulikanalo kama Centenario katika eneo la jumuia hiyo ya Ercilla mapema mwezi Augusti 2011. Watu hawa wamekuwa wakihojiwa mara kwa mara.
5El 25 de octubre de 2012, decidieron abandonar la protesta después de que el miércoles la Corte Suprema accediese a parte de sus demandas, y ya se encuentran en la enfermería de la prisión recibiendo alimentación.Jana, Oktoba 25, wafungwa wanne wa gereza la mapuche waliamua kusitisha kususia kula mara baada ya Mahakama Kuu ya Chile kukubaliana na baadhi ya matakwa yao. Tayari wapo katika kituo cha matunzo cha gereza hilo wakipata mlo.
6Stencil Mapuche vía usuario de Flickr Paul Lowry (CC BY-NC-ND 2.0).Kinakilishi (Stencil) cha Mapuche, picha na mtumiaji wa Flickr aitwaye Paul Lowry (CC BY-NC-ND 2.0)
7El máximo tribunal chileno resolvió anular parcialmente el juicio en el que fueron condenados.Mahakama kuu ya Chile ilisimamia katika kuharakisha uchunguzi uliopelekea hukumu yao.
8En el caso de Daniel, se ordenó un nuevo juicio por falta de fundamentación para la sentencia.Katika shauri laDaniel, uchunguzi mwingine uliagizwa kufanyika kwa kuwa ule wa kwanza ulikosa ushahidi wa kutosha ili kukamilisha hukumu.
9En cuanto a Paulino, el tribunal cambió la figura de su delito a lesiones basado en “evidentes errores en la aplicación del derecho” con lo cual su pena cambio de 10 a tres años y quedó remitida (figura parecida a la libertad condicional).a. kama ilivyo kwa Paulino, mahakama ilibadilisha shitaka lake na kulifanya kuwa ni la kujeruhi kwa kuzingatia “makosa ya kiushahidi katika matumizi ya sheria”, hivyo hukumu yake ikabadilishwa kutoka miaka 10 gerezani hadi kifungo cha nje ya gereza kwa miaka 3.
10Postura del actual gobiernoMsimamo wa sasa wa serikali
11El Presidente Sebastián Piñera, habló sobre la protesta en una visita que hizo a la comuna de Ercilla durante octubre, haciendo eco de lo que ha sido la política del gobierno desde hace varios años sobre los enfrentamientos con ésta comunidad:Rais Sebastián Piñera alizungumzia mgomo wa kutokula [es] wakatialipotembelea jamii ya watu wanoishi pamoja ya Ercilla mapema mwezi Oktoba, aliporejelea sera ya muda mrefu kuhusiana na migogoro ya jamii hizi: Tutaendelea kuvumilia mauaji ya aina hii yaendelee?
12¿Vamos a permitir que ese intento de homicidio quede impune?Mahakama ilitoa maamuzi ya mwisho.
13La justicia llegó a un fallo definitivo y por tanto pienso que si ellos cometieron un delito, la huelga de hambre no es legítima ni eficaz”Hakimu alitoa maamuzi ya mwisho na hivyo, nafikiri kuwa, kama walifanya makosa, kususia kula si sahihi kwa mujibu wa sheria na si njia muafaka.
14El conflictoMgogoro
15En el siguiente video, el usuario de YouTube PipeHenriquezO resume en 30 segundos el conflicto mapuche en Chile, el cual se enfoca en el reclamo sobre la preservación y autonomía de las tierras en las que han habitado desde hace siglos y que ahora están siendo utilizadas para explotar sus recursos naturales.Video ifuatayo, iliyopakiwa na mtumiaji wa Youtube aitwaye PipeHenriquezO, amefupisha mgogoro huu wa Mapuche nchini Chile katika video inayochukua muda wa sekunde 30. Lengo la mgogoro huu ni kuhusu kutunza na kuwa na uhuru na ardhi waliyokuwa wanaitumia kwa karne nyingi na sasa zinatumiwa kama hifadhi zao za asili:
16Además, en The Ambivalent Abyss pueden encontrar una galería de fotos del movimiento mapuche a lo largo del tiempo.Pia, katika Lindi kuu la Hisia Kinzani blogu ya Tumblr, unaweza kupata hifadhi ya picha za historia ya harakati za Mapuche.
17También la gente ha comentado en Twitter las variadas noticias sobre las protestas a favor de los mapuche, las reacciones del gobierno y los diversos reportajes en televisión sobre el tema.Watumiaji wa mtandao pia wametoa maoni yao mbalimbali kuhusiana na maandamano haya wakiiunga mkono jamii ya Mapuche, hatua zinazochukuliwa na serikali pamoja na taarifa tofauti tofauti zilizotokana na jambo hili.
18Las opiniones son encontradas.Maoni yanakinzana.
19El periodista y golfista Alejandro Bascur (@AlejandroBascur), luego de un programa en televisión nacional sobre el tema, felicitó: @AlejandroBascur: Notable informe especial TVN.Alejandro Bascur, Mwanahabari na mchezaji wa mchezo wa Golfu, (@AlejandroBascur) [es] alikuwa na furaha mara baada ya kipindi cha televisheni kuoneshwa katika televisheni ya Taifa:
20Al fin se Muestra el terror q siembran los mapuches en el sur, sin ningún respeto por DDHH #InformeEspecial@AlejandroBascur: Taarifa kubwa na maalumu iliyooneshwa na TVN ( Televisheni ya Taifa ya Chile).
21A propósito de los dichos del presidente Piñera, el periodista y bloguero Francisco Méndez (@Franmen) observó:Hatimaye wanaonesha hali ya woga iliyopandikizwa upande wa Kusini na Mapuche, bila ya kujali haki za binadamu kabisa.
22@Franmen: El Presidente Piñera podría prestar el mismo respaldo que brinda a policías ,a los estudiantes y a los Mapuche cuando se los estigmatiza#InformeEspecial Akirejea matamko ya Rais Piñera, mwandishi wa habari na mwanablogu [es] Francisco Méndez (@Franmen) [es] anafafanua kuwa:
23Por otro lado, el periodista, escritor y bloguero mapuche Pedro Cayuqueo (@pcayuqueo) afirmó:@Franmen: Rais Piñera angeweza kuwasaidia wanafunzi walioshutumiwa pamoja na Mapuche kama anavyowasaidia polisi
24@pcayuqueo: Cuesta hablar del trasfondo del tema mapuche cuando lo que gatilla los debates es la cronica policial.Zaidi, Pedro Cayuqueo ambaye ni mwanahabari wa Mapuche, mwandishi na mwanablogu Pedro Cayuqueo (@pcayuqueo) [es] alifafanua kwa kujiamini:
25@pcayuqueo: n Ni vigumu kuongelea chimbuko la jambo hili la Mapuche wakati kinachochochea mijadala ni matukio ya muda mrefu ya polisi.
26Aun asi, algunos lo intentamos.Hata hivyo, baadhi yetu tunajaribu.
27En tanto, la bloguera mapuche Punngey posteó la siguiente reflexión en Tumblr acerca del término de la huelga de hambre:Wakati huo huo, mwanablogu Punngey aliweka mawazo [es] yafuatayo katikaTumblr kufuatia kusitishwa kwa mgomo wa kutokula:
28LEO, siku 60 za kufunga… hesabu imefikia tamati, siku sitini za kutjitoa sadaka ili kuujua ukweli, mapigano ya siku 60 yaliyo ya hamasa, ya kujivunia, pongezi zinazomhusu kila mmoja wetu aliye mtu wa Mapuche, pamoja na kuwa wapo wanaosema sisi hatupo tena.
29HOY, 60 días de ayuno…se acabó el conteo, 60 días de sacrificio por que la verdad saliera a flote, 60 días de lucha de coraje, de orgullo, de ese orgullo que acompaña a cada uno de quienes SOMOS mapuche, aunque hayan algunos por ahí que digan que ya no existimos, esperemos que esta lucha acabe pronto […] a seguir luchando por que se vayan las forestales y represas de nuestras tierras, por la sanación de nuestra mapu, a seguir recuperando lo que se nos usurpó, y por fin caminar libres por nuestra mapu, que nuestros hijos no sigan creciendo con la represión en sus sueños…y que ellos si caminen por las tierras libres de nuestros abuelos…AMULEPE TAIÑ WEICHAN!!!Tunategemea harakati hizi kuisha mapema iwezekanavyo. Tuendeleze juhudi zetu ili mashirika ya misitu na mabwawa wtuachie ardhi yetu, kwa kuitunza ardhi yetu, ili tuendelee kurejesha kila kilichochukuliwa kutoka kwetu na mwisho tutembee kwa uhuru kwenye (mapu) ardhi yetu ili watoto wetu wasiendelee kukua wakigubikwa na ndoto za ukandamizwaji…. na kuwa wataweza kutembea katika ardhi iliyo huru ya mababu zao….
30WEWAIÑ.AMULEPE TAIÑ WEICHAN!!!
31LA LUCHA CONTINÚA…WEWAIÑ. HARAKATI ZINAENDELEA….
32Bandera Mapuche vía usuario de Flickr Diego Martin (CC BY-NC-ND 2.0).Bendera ya Mapuche iliyowekwa na mtumiaji wa Flickr aitwaye Diego Martin (CC BY-NC-ND 2.0)