Sentence alignment for gv-spa-20151012-301532.xml (html) - gv-swa-20150929-9064.xml (html)

#spaswa
1Los blogueros de Zone9 no están solos: más internautas etíopes acusados de terrorismoNi Zaidi ya Wanablogu wa Zone9: Wa-Ethiopia Wengine Watumiao Intaneti Wakabiliwa na Mashtaka ya Ugaidi
2Zelalem, Yonatan, Bahiru y Abraham.Zelalem, Yonatan, Bahiru and Abraham.
3Foto usada con permiso de debirhan.comPicha imetumiwa kwa ruhusa kutoka tovuti ya debirhan.com
4Además del famoso caso de los blogueros de Zone9, hay muchos blogueros, activistas en línea y políticos etíopes detenidos cuyos nombres todavía no han sido puestos en el mapa.Sambamba na kesi maarufu sasa ya wablogu wa Zone9, kuna wanablogu, wanaharakati wa mtandaoni na wanasiasa wengine wengi wa ki-Ethiopia waliowekwa ndani ingawa majina yao bado hayajatajwa.
5Hace más de un año, el 8 de julio de 2014, Etiopía detuvo a varios líderes de la oposición local, blogueros, activistas en línea y ciudadanos preocupados.Mwaka uliopita mnamo Julai 8, 2014, Serikali ya Ethiopia iliwakamata viongozi kadhaa wa upinzani, wanablogu, wanaharakati wa mtandaoni na raia kadhaa wanaoguswa na mwenendo wa mambo nchini humo.
6Algunos de ellos fueron liberados después de cuatro meses de interrogatorio.Baadhi yao waliachiwa baada ya miezi minne ya kuhojiwa.
7Aún así, diez de ellos fueron acusados el 31 de octubre de 2014, bajo la Proclamación contra el terrorismo de Etiopía, de tener relación con grupos de la oposición etíope en la diáspora como Ginbot 7, solicitar formación sobre seguridad en línea y dedicarse al activismo en Internet.Hata hivyo, kumi kati yao walisomewa mashtaka yao mnamo Oktoba 31, 2014 chini ya sheria ya Ethiopia ya Kupambana na Ugaidi kwa madai kuwa wana mitandao ya makundi ya upinzani ya wa-Ethiopia wanaoishi nje ya nchi hiyo kama vile Ginbot 7, kutuma maombi ya kuhudhuria mafunzo ya usalama wa kimtandao, pamoja nna kujihusisha na uanaharakati wa mtandaoni.
8Tres de los diez acusados no son miembros de ningún partido político, sino ciudadanos corrientes que fueron arrestados por solicitar participación en un curso.Watatu kati ya washtakiwa 10 hawakuwa wanachama wa chama chochote cha siasa zaidi ya kuwa raia wa kawaida waliokamatwa kwa kuomba kupata mafunzo ya usalama wa mtandaoni.
9Ellos son Zelalem Workagenegu, Yonatan Wolde y Bahiru Degu.Hawa ni Zelalem Workagenegu, Yonatan Wolde and Bahiru Degu.
10La controvertida Proclamación contra el terrorismo fue adoptada en julio de 2009.Sheria hiyo tata ya Kupambana na Ugaidi ilianza kufanya kazi mwezi Julai 2009.
11Los funcionarios etíopes suelen defender la ley diciendo que sus disposiciones fueron copiadas de leyes que ya existen en países como el Reino Unido.Maafisa wa Ethiopia wanaitetea sheria hiyo kwa kudai kwamba vipengele vyake vyenye utata vilinukuliwa kutoka kwenye sheria zinazofanya kazi katika nchi nyingine kama vile Uingereza.
12El artículo 6 de la proclamación, que ha sido utilizado para restringir la libertad de expresión, estipula que:Ibara ya 6 ya sheria hiyo, ambayo ndiyo imetumika kufinya uhuru wa kujieleza, inatamka kwamba:
13todo aquel que publique o motive la publicación de una declaración que se pueda entender por algunos o todos los ciudadanos a los que se destina como apoyo directo o indirecto u otro aliciente para preparar, instigar o cometer un acto terrorista [está sujeto a entre 10 y 20 años de prisión].Mtu yeyote atakayechapicha au kuwezesha kuchapishwa kwa tamko linaloweza kutafsiriwa na baadhi au watu wengine wote kama kuhamasisha moja kwa moja au kwa namna moja au nyingine ama kuwafanya watu kufanya au kujiandaa au kuchochea kitendo cha ugaidi [atastahili kifungo cha kati ya miaka 10 na 20 jela.]
14Zelalem, el primer acusado, es un académico y activista de los derechos humanos que bloguea en DeBirhan.Zelalem, mshitakiwa wa kwanza, ni mhadhiri na mwanaharakati wa haki za binadamu anayeblogu kwenye blogu ya DeBirhan.
15Yonatan y Bahiru, descritos como ciudadanos preocupados, habían solicitado junto a Zelalem formación sobre redes sociales y seguridad en Internet, de la que supieron por un periodista etíope residente en los EE. UU.Yonatan na Bahiru, wanaoweza kuelezewa vizuri kama wananchi wenye kuguswa na hali ya mambo nchini mwao, walituma maombi sambamba na Zelalem kushiriki mafunzo ya usalama wa intaneti na mitandao ya kijamii baada ya kuarifiwa uwapo wa mafunzo hayo na mwandishi mmoja wa ki-Ethiopia anayeishi Marekani.
16Después de hallarles un correo de dicho periodista, los jóvenes fueron arrestados y más tarde acusados de solicitar “formación terrorista” cuando, en realidad, la formación era sobre seguridad en la red.Kukutwa na barua pepe kutoka kwa mwandishi huyo aliyekuwa Marekani lilikuwa kosa kubwa na vijana hawa walikamatwa na kushitakiwa kwa kosa la kutuma maombi ya “kushiriki mafunzo ya ugaidi” wakati ukweli ni kuwa mafunzo hayo yalihusiana na usalama wa mtandao wa intaneti kwa watumiaji.
17El Tribunal etíope absolvió el pasado agosto a Abraham Solomon, detenido por tener conexión con el primer acusado, Zelalem, y a otros cuatro políticos de la oposición: Abraha Desta, un funcionario del partido Arena Tigray (oposición) y activista en línea; Yeshiwas Assefa, concejal del Partido Azul (Semayawi); Daniel Shibeshi, oficial del ya desaparecido partido Unidad por la Democracia y la Justicia (UDJ) y Habtamu Ayalew, exencargado de Relaciones Públicas del UDJ.Mwezi uliopita, mahakama ya Ethiopia haikuwakuta na hatia Abraham Solomon, aliyekuwa amekamatwa kwa kosa la kuwa na uhusiano na mshitakiwa wa kwanza Zelalem, sambamba na wanasiasa wengine wanne wa upinzani ambao ni Abraha Desta, afisa wa chama cha upinzani cha Arena Tigray Party na mwanaharakati wa mitandao ya kijamii, Yeshiwas Assefa, mwanachama wa baraza la chama cha siasa cha Semayawi, Daniel Shibeshi, afisa wa chama kisichosikika sana cha Unity for Democracy and Justice (UDJ) na Habtamu Ayalew, Mkuu wa Mawasiliano ya Umma wa chama hicho.
18Aún así, hasta hoy no han sido puestos en libertad porque el fiscal aparentemente ha recurrido la decisión.Hata hivyo, mpaka leo hawajaachiliwa huru kwa sababu Mwendesha mashtaka anasekana kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo.
19Un artículo de la Electronic Frontier Foundation muestra los crecientes intentos de silenciar activistas en línea e internautas en Etiopía.Makala iliyoandikwa na asasi ya Electronic Frontier Foundation inaonesha kuongezeka kwa juhudi za kuwanyamazisha wanaharakati wa mtandaoni pamoja na watumiaji wa jumla wa mitandao hiyo wanaoishi Ethiopia.
20La organización llama a Etiopía a:Asasi hiyo ilitoa mwito kwa Ethiopia:
21Liberar inmediatamente a todos los periodistas encarcelados, entre ellos los blogueros de Zone9, y eximirles de todos los cargos de los que son acusados por el “crimen” de informar.Tunadai kuachiwa huru waandishi wote walioko gerezani, ikiwa ni pamoja na wanablogu wa Zone 9 waliobaki, na kufutiwa mashtaka yote ya kutenda ‘jinai' kwa sababu tu ya kuandika habari.
22Poner fin a la persecución de ciudadanos por buscar formación sobre seguridad y utilizar tecnologías de cifrado, y liberar a Zelalem Workagegnehu, a Yonatan Wolde, a Abraham Solomon y a Bahiru Degu.Acheni kutesa watu kwa [kosa la] kutafuta mafunzo ya usalama mtandaoni ama kutumia teknolojia za kuficha taarifa zao. Mwachieni huru Zelalem Workagegnehu, Yonatan Wolde, Abraham Solomon, na Bahiru Degu.
23Abandonar el uso de tecnología de vigilancia invasiva como FinFisher y el Remote Control System de Hacking Team para espiar a los periodistas etíopes, en el país o en la diáspora, y a los grupos de la oposición.Komesheni na acheni kutumia teknolojia za kudukua mawasiliano ya watu kama vile FinFisher na mfumo wa kudhibiti mawasiliano ya wengine unaitwa Hacking Team kuwapeleleza waandishi wa habari wa Ethiopia, nje ya nchi, na makundi ya upinzani.
24Mientras que Zone9 se mantiene entre los casos más conocidos de este tipo en Etiopía, historias como la de Zelalem demuestran que los problemas a los que se enfrentan estos blogueros afectan a más de unos cuantos.Wakati kesi ya Zone9 inabaki kuwa ya aina yake nchini Ethiopia, habari kama za Zelalem zinaleta picha kwamba masuala yanayowakabili wanablogu hawa yanavuka mipaka ya makosa binafsi ya watu wachache.
25La próxima comparecencia de Zelalem, Yonatan y Bahiru en el Tribunal tendrá lugar entre el 7 y el 9 de noviembre de 2015.Zelalem, Yonathan na Bahiru wanatarajiwa kusomewa mashtaka yao kati ya Novemba 7-9, 2015.