Sentence alignment for gv-spa-20121225-160981.xml (html) - gv-swa-20121228-4435.xml (html)

#spaswa
1Fuerza aérea de Assad mata a sirios que hacían fila para el panAssad atumia Ndege ya Kivita Kuwaua Raia Wake
2Este post es parte de nuestra cobertura especial Protestas en Siria 2011/12.Posti hii ni sehemu ya habari zetu maalumu za Maandamano ya Syria 2011/12.
3El gobierno sirio llevó a cabo un letal ataque aéreo contra ciudadanos sirios -que estaban en fila esperando el pan en una panaderia en Halfaya, Hama.Serikali ya Syria imefanya shambulizi kubwa la angani dhidi ya raia wa nchi hiyo -waliokuwa wamesimama kwenye foleni waisubiri mikate kwenye kiwanda cha kuokea mikate huko Halfaya, Hama.
4Los estimados calculan los muertos entre los 90 y 300 en el ataque en la ciudad, que los rebeldes dicen que han liberado hace poco de las fuerzas de Assad.Inakadiriwa kwamba watu waliouawa katika shambulio hilo mjini humo ni kati ya 90 na 300, waasi wakisema kuwa watu hao walikuwa wamejitenga na vikosi vya Assad.
5En línea, los activistas están furiosos de que el mundo siga mirando mientras se masacra a inocentes.Mtandaoni, wanaharakati wanashangazwa inakuwaje dunia inaendelea kutazama tu maisha ya watu wasio na hatia wakiuawa kwa mamia.
6Fotografías gráficas de cuerpos mutilados están circulando en línea, así como videos de las secuelas del ataque, mostrando la devastación [la periodista Erin Cunningham tuitea enlaces a los videos acá].Picha za kutisha za miili ya maiti hao, pamoja na video za baada ya shambulizi hilo, zinasambazwa mtandaoni, kuonyesha kushangazwa sana na mauaji hayo. [Mwandishi Erin Cunningham alitwi kuingo cha video hizo hapa.]
7Leila Nachawati Rego escribe:Leila Nachawati Rego anaandika:
8@leila_na [en]: La nueva estrategia del régimen sirio es bombardear panaderías.@leila_na: Mbinu mpya ya utawala wa Syria ni kulipua viwanda vya kuokea mikate.
9Mataron a 200 personas en Hama.Watu 200 wameuawa leo mjini Hama.
10Una masacre de civiles.Mauaji ya raia.
11Devastadora.Inasikitisha.
12#Syria#Syria
13La siria Rafif Jouejati tuitea su exasperación:M-Syria Rafif Jouejati alitwiti kwa hasira:
14@RafifJ [en]: Esperando que los líderes del mundo encuentren algo que supere a “Condenamos en los términos más fuertes posible…” #Halfaya_Massacre [masacre de Halfaya] #Syria@RafifJ: Tunasubiri viongozi wa dunia kusikia watamaliziaje sentensi hii “Tunalaani vikali sana…” #Halfaya_Massacre #Syria
15Y añade:na akaongeza:
16@RafifJ [en]: Que los libros de historia muestren que #Assad cometió genocidio mientras el mundo miraba, paralizado e hizo poco más que usar un lenguaje fuerte.@RafifJ: Hebu vitabu vya historia vionyeshe kwamba Assad aliendesha mauaji ya kimbari na dunia ikitazama, ikirudisha mikono nyuma, na ilifanya kidogo zaidi tu ya matumizi ya lugha kali.
17#Syria#Syria
18Y una furiosa Razan Ghazzawi bloguea [en]:Na Razan Ghazzawi mwenye ghadhabu kubwakupitia blogu yake:
19Miren a los mártires de Halfaya a los ojos y atrévanse a decirme que están preocupados por los “islamistas” en Siria.Angalia kwa macho ya Halfaya martyrs na uthubutu kuwaambia umechoshwa na “Waislaamu wenye msimamo mkali” nchini Syria.
20Atrévanse a decirme, pedazos de basura, que les preocupan “las violaciones a los derechos humanos del Ejército Sirio Libre”, preocupados por la “guerra civil” por Qatar y el Reino de Arabia Saudita y que por eso no apoyan la revolución popular.Thubutu kuniambia, wewe mjinga, eti unahofia “kuvunjwa kwa haki za binadamu na vikosi vya Assad,” unahofia “mapigano ya wenyewe kwa wenyewe,” unahofia Qatar na vikosi hivyo, na kwamba hiyo ndiyo sababu hutaunga mkono mapinduzi yanayoongezwa na watu.
21Así que están preocupados.Kwa hiyo unahofia.
22Ya veo.Ninaona.
23Eso explica mucho.Hiyo inasema vingi.
24Por supuesto.Bila shaka.
25Último minuto: en el instante que abandonaste al pueblo de Siria, el pueblo sirio también te abandonó y de qué te preocupas, habibi [mi amor]: tú y tu civilización no existen en nuestro tiempo y espacio.Habari za hivi punde: dakika ile umetelekeza watu wa Syria, watu wa Syria walikutelekeza pia na unachohofia habibi: wewe na ustaarabu wako hamna nafasi katika wakati huu.
26Se acabó, tú y yo ya no somos prójimos.Imeishia hapo, kuwa wewe na mimi si ndugu wa kibinadamu tena tena.
27También, el enviado de paz Lakhdar Brahimi llegó a Siria el domingo 23 de diciembre como parte de su misión de “intermediar en una solución” en el país.Pia, mpatanishi wa amani Lakhdar Brahimi aliwasili Syria leo kama sehemu ya mpango wake wa “kutafuta ufumbuzi” katika nchi.
28Hassan Hassan observa:Hassan Hassan anabainisha:
29@hhassan140 [en]: Masacre de Halfaya, celebrando la llegada de Brahimi a Damasco, vergüenza para todos los que aún esperan que Assad entienda otra cosa que no sea la fuerza.@hhassan140: Mauaji ya Halfaya, kusherehekea kuwasili kwa Brahimi mjini damascus, aibu kwenu wote mnaoendelea kudhani Assad anaelewa chochote zaidi ya nguvu ya bunduki.
30Y agrega:na anaongeza:
31@hhassan140 [en]: Historia: en este día, Lakhdar Brahimi visita Damasco para hablar con Assad, que habló fuerte en Halfaya matando a 300 personas que hacían fila para comprar pan.@hhassan140: Historia: mnamo siku ya leo, Lakhdar Brahimi anatembelea Damascus kwa mazungumzo na Assad aliyeamua kusema kwa sauti kubwa huko Halfaya kwa kuwaua watu 300 waliokuwa wamejipanga kupata mkate.