Sentence alignment for gv-spa-20130812-199765.xml (html) - gv-swa-20130812-5577.xml (html)

#spaswa
1Zimbawe: Mugabe gana reelección entre reclamos de fraudeZimbabwe: Robert Mugabe Ashinda Uchaguzi, Atuhumiwa Kuiba Kura
2El presidente Robert Mugabe, ganó las elecciones presidenciales de Zimbaue el sábado 31 de julio, derrotando así a su rival más cercano, el anterior primer ministro del gobierno de la coalición, Morgan Tsvangirai.Rais Robert Mugabe ameshinda uchaguzi wa Rais nchini Zimbabwe ulifanyika Jumamosi ya Julai 31, 2013, akimbwaga mshindani wake wa karibu, waziri mkuu wa zamani katika serikali ya umoja wa kitaifa Morgan Tsvangirai.
3Las elecciones pacíficas fueron las primeras desde la formación del gobierno de coalición entre el partido de Mugabe, el Zanu PF, y el Movimiento por un Cambio Democratico (MCD) de Tsvangirai.Uchaguzi huo umekuwa wa amani kwa mara ya kwanza tangu kuanzishw akwa serikali ya pamoja kati ya chama cha Zanu PF cha Mugabe na chama kikuu cha upinzani kinachoongozwa na Tsvangirai kiitwacho Movement for Democratic Change (MDC).
4La coalición se formó después de las disputadas y sangrientas elecciones de 2008.Serikali ya pamoja ilianzishwa kufuatia uchaguzi uliopita wa mwaka 2008 ulisemekana kuvurugwa mno na kusababisha umwagaji wa damu.
5Mugabe, de 89 años de edad y tras 33 años en el poder, seguirá gobernando el país durante los proximos cinco años.Mugabe, mwenye umri wa miaka 89 na ambaye amekuwa madarakani kwa miaka 33, ataendelea kuitawala nchi hiyo kwa miaka mingine mitano.
6Misiones de observadores de elecciones de la Unión Africana (UA) y la Comunidad para el Desarrollo del África Meridional (CDAM) han respaldado la victoria de Mugabe en medio de las protestas por un masivo fraude electoral según la oposición.Waangalizi wa uchaguzi huo kutoka Umoja wa Afrika (AU) na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Afrika ya Kusini (SADC) wameunga mkono uchaguzi wa Mugabe pamoja na madai ya udanganyifu mkubwa yanayotolewa na upinzani.
7Sin embargo, Botsuana es el único país africano, que ha pedido una auditoría independiente [en] de la elección.Botswana, hata hivyo, ni nchi pekee ya Afrika iliyotoa wito wa ukaguzi huru wa uchaguzi huo.
8Algunos miembros de la CDAA han calificado [en] su respaldo, argumentando que la elección fue libre “pero no necesariamente limpia.”Baadhi ya wnaachama wa SADC wamethibitisha kuyaunga mkono matokeo hayo kwa kudai kuwa uchaguzi ulikuwa huru “lakini si lazima uwe wa haki.”
9El presidente Robert Mugabe es el lider de mayor edad en África.Rais Robert Mugabe ni mtawala mzee kuliko wote barani Afrika.
10Foto publicada al dominio público por el gobierno federal de E.U.Picha imeruhusiwa kutumiwa na umma na serikali ya Marekani.
11Uchaguzi ulifanyika pamoja na maandamano kutoka kwa washirika wa muungano wa Mugabe na raia wa Zimbabwe baada ya *Mugabe) kujitangazia mwenyewe kuwa Julai 31, 2013 ndiyo tarehe ya uchaguzi.
12Mahakama ya Katiba ilimwamuru Robert Mugabe kuitisha uchaguzi tarehe 31 Julai kufuatia kufanikiwa kwa maombi ya Jealousy Mawarire, mkurugenzi wa Kituo cha Uchaguzi na Demokrasia kwa eneo la Afrika ya Kusini (CEDSA).
13La elección tuvo lugar a pesar de las protestas por parte de los compañeros de coalición de Mugabe y los ciudadanos zimbauenses después que él declarara unilateralmente el 31 de julio de 2013, como la fecha en que se llevarían a cabo las elecciones en el país.Kwa kutumia alama habari #ZimElections, #ZimbabweDecides, #ZimDecides na #ZimbabweElections, watumiaji wa Twita kutoka sehemu mbalimbali za dunia walitoa maoni yao kuhusiana na ushindi wa Mugabe. Mzambia anayeishi Uingereza na mwanzilishi wa CrossFire Radio, Mueti Moomba (@Muweight) alishangaa nani alimpigia kura mtawala huyo mzee wa miaka 89:
14La Corte Constitucional ordenó a Robert Mugabe que celebrara las elecciones el 31 de julio, tras una petición satisfactoria, por parte de Jealousy Mawarine, director del Centro para las Elecciones y Democracia de Sudáfrica (CEDSA).Kabla sijalala ninawaomba #wazimbabwe wote, ambao kwa akili zao timamu walimpigia kura mzee anayechungulia kaburi? #zimbabwedecides my foot
15Utilizando las etiquetas #Zimelections [elecciones en Zimbabue], #ZimbaweDecides [Zimbabue decide], #ZimDecides [Zimbabue decide] y #ZimbaweElections [elecciones en Zimbabue] [en, todas], los usuarios de Twitter de diferentes partes del mundo reaccionaron ante la victoria de Mugabe.- mueti moomba (@Muweight) August 3, 2013 Mjasiria mali wa kijamii wa Zimbabwe Sir Nigel (@SirNige) hakukata tamaa:
16Mueti Moomba (@Muweight), zambiano radicado en el Reino Unido y fundador de CrossFire Radio, se preguntó quién habría votado al líder de 89 años:Nilikumbushwa kwa mara nyingine tena kwmaba yapo mambo ninayo/tunayoweza kufanya baada #Uchaguzi wa Zimbabwe yaani kushiriki kwenye mchakacho kuanzia SASA #263Chat #Twimbos - Sir Nigel (@SirNige) August 6, 2013
17Antes de dormir, hago una pregunta a todos los zimbauenses, ¿quien de ustedes en su sano juicio votó por un hombre a las puertas de la muerte?Andiva (@AndyAndiva) kutoka Kenya anakilaumu chama cha upinzani cha MDC kwa kushiriki uchaguzi uliovurugwa: kwa nini MDC walishiriki kwneye uchaguzi huo wakijua kuwa ulikuwa umevurugwa tangu mwanzo?
18Zimbaue decide mi pie#Zimbabwedecides
19El emprendedor social zimbauense Sir Nigel (@SirNige) no pierde las esperanzas:- Andiva (@AndyAndiva) August 3, 2013
20mwandishi wa Afrika Kusini na mshauri wa matangazo Thebe Ikafaleng (@ThebeIkafaleng) alimnukuu Tendai Biti, Katibu Mkuu wa MDC, aliwakejeli wale waliokuwa wakihoji uwepo wa watu milioni mbili waliokwisha kufa katika daftari la wapiga kura haukuathiri upinzani:
21Se me ha recordado una vez más, que hay cosas que puedo/podemos hacer después de las elecciones por ejemplo participar en el proceso que está comenzando ahora mismo.“Wanakiri kuwa kuwa watu milioni mbili waliokufa katika daftari la wapiga kura, lakini ‘kwa sababu wamekufa, hawawezi kupiga kura'.” Tendai Biti.
22Andiva (@AndyAndiva [en]) desde Kenia culpó a la oposición de MDC por participar en una elección defectuosa:#ZimbabweDecides. - Thebe Ikalafeng (@ThebeIkalafeng) July 31, 2013
23Entonces ¿por qué el MDC participó en unas elecciones que desde el principio sabían que eran defectuosas?Uchaguzi wa Zimbabwe (@ZimElections) umeonyesha ukubwa wa tatizo la wapiga kura mfu:
24El autor y asesor de marca sudafricano Thebe Ikafaleng, @ThebeIkafaleng [en], citó a Tendai Biti, secretario general del MDC, burlándose de aquellos que argumentan que la presencia de dos millones de votantes ya fallecidos en [eng] la lista de votantes no les costó la oposición:asilimia 75 ya vitambulishi vya mpiga kura vilivyogunduliwa katika vituo vya kupigia kura kwenye mji wa Chegutu tangu Jumatano ya wiki iliyopita ni vya watu waliokwisha kufa siku nyingi. #ZimElections
25Zim Elections Zim (@ZimElections) mostró la seriedad del asunto de los votantes muertos:- ZimElections2013 (@Zimelections13) August 6, 2013 rakim allah (@LDaviano) alitoa maoni kwenye suala hilo hilo la “wapiga kura wafu”:
26El 75% de los 59 DNI descubiertos en los colegios electorales de la ciudad de Chegutu desde el miércoles de la semana pasada pertenecen a personas ya fallecidas.Inaweza kushangaza sana kuwa na watu wengi waliokufa wakipiga kura zaidi ya wale walio hai - rakim allah (@LDaviano) August 6, 2013
27rakim allah (@LDaviano) comentó sobre el mismo asunto de los “votantes muertos”:Azad Essa wa Al Jazeera(@azadessa) alihoji tathmini ya Umoja wa Afrika kwa uchaguzi huo:
28Debe ser traumatizante tener más votantes muertos que vivosKuna vituo 9700 vya kupigia kura.
29Azad Essa de Al Jazeera, (@azadessa) cuestionó la valoración de las elecciones por parte de la Unión Africana:AU [Umoja wa Afrika] walitembelea vituo 350. Je, hiyo ni sampuli inayokubalika kufanya uamuzi?
30Hubo 9700 colegios electorales.#zimelections
31La UA (Unión Africana) visitó 350.- Azad Essa (@azadessa) August 3, 2013
32Mwandishi wa Habari za Uchunguzi na Mtengenezaji wa filamu Stanley Kwenda (@stanleykwanda) alibainisha kuwa ushiriki wa polisi inawezekana uliwatisha wapiga kura wasio na uelewa:
33#Zimbabwedecides kuhusishw akwa polisi kama & maafisa wa uchaguzi katika kuwasaidia wapiga kura wasio na uelewa inawezekana kuliwatisha wapiga kura hao
34¿Es esa una suma aceptable para emitir un juicio?- stanley kwenda (@stanleykwenda) August 2, 2013
35Stanley Kwenda, periodista investigador y director de cine (@stanleykwanda) apuntó que la participación policial pudo haber intimidado a los votantes iletrados:mfanya biashara wa Afrika Kusini Another_craig (@@Another_craig) alitwiti kuhusu taarifa ya mwanajeshi mwenye miaka 135 “aliyepiga kura” katika uchaguzi huo:
36La participación policial y de agentes electorales ayudando a los votantes iletrados, pudo haber intimidado a los votantesKwa hiyo, inawezekana, mwanajeshi mzee wa miaka 135 kweli akapiga kura kwenye uchaguzi huo wiki iliyopita.
37El empresario sudafricano (@@Another_craig) tuiteó acerca de informes de un soldado de 135 años que “votó” en las elecciones:Oh, ndio faida ya zoezi hili huru. - Craig (@Another_craig) August 6, 2013
38Aparentemente, un soldado de 135 años, de hecho votó en las elecciones de Zimbabue de la semana pasada, en fin, los beneficios del ejercicio diario.Akimjibu @Another_craig, mjasiria mali wa Afrika Kusini Sello Rabele (@sellorabs) alindaika kwamba anatamani kuwa mwanajeshi akikua:
39Respondiendo a @Another_craig, el empresario sudafricano Sello Rabele (@sellorabs) escribió que le gustaría ser un soldado cuando sea mayor:@Another_craig @chrishartZA #Zimelections Ninataka kuwa mwanajeshi nikikua, yaani nikifikisha miaka 130 - Sello Rabele (@sellorabs) August 6, 2013
40@Another_craig @chrishartZA Quiero ser un soldado cuando sea mayor, de 130 años, eso esarnold chamunogwa (@chamunogwa) hakuonyesha kushangaa kuwa chama tawala kimeiba kura. Alishangazwa na suala jingine kabisa:
41Por su parte, arnold chamunogwa (@chamunogwa) no se sorprendió de que el partido gobernante haya amañado.Haishangazi kwamba ZPF kiliiba kura lakini inashangaza kwamba MDC ndiyo imeshangazwa na kiwango cha wizi wa kura katika uchaguzi huo #Zimbabwedecides
42Está sorprendido por algo más:- arnold chamunogwa (@chamunogwa) August 2, 2013
43No es sorprendente que el ZPF haya amañado, lo que es sorprendente es que el MDC no se sorprenda de la dimension del engaño.Akuzike Polela (@Mulengi) kutoka Zambia alibainisha kwamba Morgan Tsvangirai ana rafiki mmoja wa ki-Afrika: Botswana inaongea neno tofauti kuhusu uchaguzi wa Zimbabwe.
44Akuzike Polela (@Mulengi) de Zambia, advirtió que Morgan Tsvangirai tiene un amigo africano:Morgan ana rafiki MMOJA wa Kiafrika mpaka sasa. - Akuzike Polela (@Mulengi) August 6, 2013
45Botsuana tiene diferentes opiniones sobre las elecciones en Zimbabue, Morgan tiene UN amigo africano por el momento.Zimbabwean Kudzai (@shuestrait) ningependa kuwaona wa-Zimbabwe wanaoishi nchini humo wakiamua kile kilicho chema kwa ajili ya nchi yao:
46Al zimbauense Kudzai (@shuestrait) le gustaría ver a los zimbauenses viviendo en un país que decida que es lo mejor para sí mismo:Ni wa-Zimbabwe pekee wanaojua kile kilichochema kwa wa-Zimbabwe.. Wakaazi wa Zimbabwe na sio watu wanaoishi nje na baadhi ya mawaziri kutoka Marekani au Uingereza..
47Únicamente los zimbos [zimbauenses] saben qué es bueno para los zimbauenses.#ZimDecides - kudzai (@shuestrait) August 5, 2013
48Residentes zimbauenses, no gente que está en el extrnajero o algún secretario de estado de la Unión Europea o del Reino Unido.Mkenya David Ogara (@david_ogara) alifanya hitimisho chungu kuhusu uchaguzi wa Afrika:
49David Ogara (@david_ogara) llegó a una amarga conclusión sobre las elecciones en África:Kwa hiyo MUGABE mwenye miaka 89 ni Rais mteule wa Zimbabwe….
50Así que MUGABE de 89 años es presidente electo. Zimbaue…...uchaguzi wa Rais hauna maana yoyote kwa Afrika……
51Las elecciones presidenciales no tienen sentido en África……- David Ogara (@david_ogara) August 2, 2013