Sentence alignment for gv-spa-20130809-198905.xml (html) - gv-swa-20130705-5408.xml (html)

#spaswa
1¿Cuál fue el impacto de la gira de Obama por el continente africano?Je, Ziara ya Obama Barani Afrika ni Neema au Hasara?
2Tras la gira de seis días del presidente estadounidense Barack Obama por tres países africanos, Senegal, Sudáfrica y Tanzania, la opinión pública mundial está profundamente dividida en cuanto a la importancia y al impacto de esta visita, concluida el 2 de julio de 2013.Rais wa Marekani Barack Obama amemaliza ziara yake ya siku sita katika nchi tatu za Kiafrika, Senegali, Afrika Kusini na Tanzania, mnamo Julai 2, 2013. Maoni ya watu duniani kote kuhusiana na umuhimu na matokeo ya ziara hiyo, yameonyesha kugawanyika mno.
3Durante el encuentro, Obama anunció [en] una nueva iniciativa, «Power Africa» [en] orientada a duplicar el acceso a la electricidad en África subsahariana.Wakati wa ziara yake, Obama alitangaza mradi mpya, “Umeme kwa Afrika”, kwa lengo la kukuza matumizi ya umeme mara dufu katika nchi zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara.
4Con este programa [en] el gobierno estadounidense se compromete a aportar 7 000 millones de dólares estadounidenses, mientras que un grupo de empresas del sector privado ha asignado más de 9 000 millones.Kupitia mradi huu, Marekani inaahidi kutoa Dola za Kimarekani bilioni saba wakati makampuni ya sekta binafsi yanatoa zaidi ya bilioni tisa kwa mradi huo.
5Según [en] el blog de la Casa Blanca, cerca del 70% de los africanos no tiene acceso a la electricidad.Kwa mujibu wa blogu ya Ikulu ya Marekani, karibu asilimia 70 ya Waafrika hawajafikiwa na huduma ya umeme.
6Cartel con la imagen del presidente Barack Obama para darle la bienvenida en Dar Es Salaam.Picha ya Rais Barack Obama katika bango kubwa barabarani kumkaribisha jijini Dar Es Salaam.
7Foto cortesía de Sandy Temu.Picha ya mtumiaji wa Instagram Sandy Temu.
8En el sitio Web «African Argument» Bright Simmons alabó esta iniciativa en el compromiso estratégico con África:Akitoa maoni yake kuhusu mradi huo wa umeme, Bright Simmons wa mtandao wa African Argumentalipongeza wazo hili jipya la ushirikiano wa kimkakati baina ya Marekani na bara la Afrika:
9Como uno de los que, en el pasado, han protestado contra la aparente falta de nuevas ideas en el “compromiso estratégico con África” por parte del gobierno de Obama, me complace esta iniciativa que renueva la dinámica en esta dirección.Kama mmoja wa watu waliolalamika sana siku za nyuma kuhusu kilichoonekana kuwa kukosekana kwa mawazo mapya ya “ushirikiano wa kimkakati na Afrika” kutoka Ikulu ya Obama, ninauona mpango wa nishati kuwa na mwelekeo sahihi.
10La problemática abordada, el desafío de la electrificación de África, es de vital importancia.Jambo lenyewe lililochaguliwa -changamoto ya umeme barani Afrika- linao umuhimu mkubwa.
11El Banco Mundial, por ejemplo, afirma que todos los países de África subsahariana juntos, excluyendo a Sudáfrica, no generan más electricidad que Argentina.Benki ya Dunia kwa mfano inasema kwamba nchi zote za Kusini mwa Jangwa la Sahara, ukiiacha Afrika Kusini, kwa pamoja hazizalishi umeme wenye mkondo mkubwa kuliko nchi moja tu ya Argentina.
12Si contamos a Sudáfrica, la producción iguala a la de España.Ukiijumuisha na Afrika Kusini, kiasi cha umeme kinachozalishwa kinafikia kile cha Uhispania.
13Es digno de elogio que la Casa Blanca haya asignado 7 000 millones de dólares en fondos adicionales para esta causa, de dos de sus agencias internacionales especializadas, EXIM, Banco de exportaciones e importaciones de los Estados Unidos, y OPIC, Corporación de los Estados Unidos para la inversión privada.Ni jambo la kupongezwa kwamba Ikulu ya Marekani inaahidi mpaka Dola za Marekani bilioni 7 kama msaada wa nyongeza kutoka kwenye mashirika yake yenye mrengo wa kusaidia nchi za nje -EXIM na OPIC - kwa sababu hii.
14Estoy seguro de que la Casa Blanca ya es consciente que incluso si el dinero acordado se otorgara en un sólo año, y lo más probable es que lo sea en un lapso de 3 a 5 años, no va a tener un impacto significativo sobre los 23 000 millones de dólares de déficit al año que registra el continente en materia de inversiones energéticas. «Nina uhakika kwamba Ikulu ya Marekani inaelewa kwamba hata kama kiasi hiki chote kitatolewa katika kipindi cha mwaka mmoja, na kuna uwezekano kwamba kitatolewa kwa kipindi cha miaka 3 mpaka 5, hakitaweza kutosheleza mahitaji ya kiasi cha dola bilioni 23 zinazohitajika kwa mwaka kuwekeza katika nishati ya umeme barani kote.
15Daniel McLaughling [en] reaccionó a esta publicación argumentando que [en] la única solución capaz de producir resultados es la abolición de los monopolios nacionales en los servicios eléctricos:Daniel McLaughling alijibu makala hiyo akihoji kwamba kumaliza ukiritimba katika huduma ya umeme ndilo haswa suluhisho linaloweza kuleta matokeo yanayoeleweka:
16Si la gente fuese seria acerca de solucionar el problema de la electrificación de África, deberían promocionar la única solución capaz de generar verdaderos resultados: la abolición del los monopolios nacionales en el servicio eléctrico.Kama hawa jamaa wanamaanisha kwa dhati kutatua tatizo la umeme barani Afrika, ni lazima wapiganie suluhisho pekee linaloweza kuleta matokeo halisi: kuachana na ukiritimba wa huduma ya umeme.
17Me hace gracia que con todas las conversaciones acerca de la necesidad de aumentar la producción eléctrica, nadie quiera hablar de la posibilidad que los monopolios del Gobierno y la corrupción sean la raíz del problema. Y que la transferencia de miles de millones de dinero al gobierno solo incentiva la corrupción, dejando pocos beneficios al pueblo.Inanishangaza kwamba, pamoja na mazungumzo yote kuhusu kuongeza uzalishaji wa umeme, hakuna anayetaka kukiri kuona kuwa inawezekana kabisa kuwa ukiritimba wa serikali na vitendo vya ufisadi ni tatizo, na kwamba mabilioni yanayokwenda serikalini yanakuza ufisadi tu, yakisaidia walengwa kwa kiasi kidogo sana.
18Abran el mercado a la competencia y rentabilidad para que vean surgir inversiones a gran escala y una mejoría significativa en el acceso al servicio.Fungueni masoko kwa ushindani na biashara za faida na mtaona uwekezaji mkubwa na matokeo yake huduma hiyo itaongezeka kuwafikia watu wengi zaidi.
19Joel B.Joel B.
20Pollak comentó [en] que le parecía muy probable que «Power Africa« no produzca la cantidad de energía que ha anunciado:Pollak alikuwa na maoni kuwa Mradi wa “Nishati kwa Afrika” hautazalisha umeme mwingi kama inavyoahidiwa:
21[…] Es muy probable que “Power Africa” no produzca la cantidad de energía que ha prometido, mientras individuos con buenas conexiones políticas en Estados Unidos y África se llenen los bolsillos de dinero.[…] Mradi wa “Umeme kwa Afrika” hautazalisha umeme kwa kiasi kingi kama inavyoahidiwa, labda sana utatunisha tu mifuko ya watu wenye uhusiano na wanasiasa wa pande zote mbili, Marekani na Afrika.
22Mientras tanto, China, a la que no le importa si los africanos conducen autos y viven en grandes casas con aire acondicionado, continuará invirtiendo en África, generando crecimiento económico real, dejando de lado a los Estados Unidos en el futuro económico de África.Wakati huo huo, China, ambayo haionekani kujali kama Waafrika wanaendesha magari na kuishi katika nyumba bora zenye viyoyozi, itaendelea kuwekeza barani Afrika kwa namna ambayo itakuza kweli uchumi wa Afrika, ikiishinda Marekani katika mipango yenye mustakabali bora wa kiuchumi barani Afrika.
23Siddhartha Mitter destacó [en] que «toda inversión en infraestructura debe ser considerada como algo positivo, a menos que se pruebe lo contrario, sobre todo tratándose de África«:Siddhartha Mitter alibaini kwamba “uwekezaji katika miundo mbinu ni jambo linalopaswa kuwa jema isipokuwa ikithibitika vinginevyo - hasa Afrika”:
24Actualmente, el continente africano cuenta con una capacidad de producción energética equivalente a la de Alemania o Canadá.Kwa sasa, uwezo na uzalishaji wa nishati barani kote ni karibu sawa na ule wa Ujerumani na Kanada.
25Excluya a Sudáfrica y Egipto, y nos quedan aproximadamente 63 GW que producen 260 000 millones de kWh, apenas un poco más que Australia o Irán.Ukiondoa Afrika Kusini na Misri, unabakiwa na GW 63 zinazotoa kWh bilioni 260, zaidi kidogo ya Australia au Irani.
26En este contexto, si la primera etapa del proyecto cumple con el objetivo de sumar 10 GW de capacidad generadora, conectando así 20 millones de nuevos usuarios, residenciales y comerciales, esto representará un gran avance. Aunque muy lejos del objetivo final de la Casa Blanca de duplicar el acceso, como aparece expresado en la ficha técnica de “Power Africa”.Katika mukhtadha huu, kama awamu ya kwanza ya mradi huu wa “Umeme kwa Afrika” itafanikiwa kufikia malengo yake ya kuongeza GW 10 za uwezo wa uzalishaj na kuwaunganisha wateja milioni 20 wa nyumbani na wa kibishara, itakuwa ni ukuaji mkubwa ambao hata hivyo haitakuwa mara dufu ambalo, kwa mjibu wa mkakati wa Ikulu ya Marekani kwa mradi huo, ndilo lengo kuu la mradi.
27De hecho, en el documento igualmente se estima, de manera muy parca, que el coste para proporcionar el acceso universal al servicio sería de 300 000 millones de dólares hasta el 2030.Kwa hakika, mkakati huo huo unakadiria kwamba inagharimu dola za Marekani bilioni 300 kufikia kiwango cha kila mtu kupata huduma ya umeme barani kote ifikapo mwaka 2030.
28A pesar del entusiasmo [en] mostrado por los ciudadanos de los tres países, «Shadow Government« comentó que (en) hubo un punto desfavorable en su visita:Pamoja na shamra shamra nyingi [sw] zilizoonyeshwa na raia wa nchi hizo tatu, blogu ya Shadow Government ilionyesha ziara hiyo haikuwa na faida yoyote kubwa:
29Sin embargo, hubo un aspecto desfavorable en su visita, como lo fue su comentario durante la rueda de prensa con el presidente Jacob Zuma en Sudáfrica.Lakini pamekuwa na udhaifu katika ziara hiyo: kwa mfano, matamshi yake (Obama) akiwa Afrika Kusini wakati wa mkutano na wanahabari akiwa na Rais Jacob Zuma.
30En mi opinión, el Presidente se expresó de manera muy a la ligera en relación a la prensa, probablemente con ánimo de broma.Rais huyo alitoa maoni ambayo ninayachukulia kuwa maoni yasiyofikiriwa ipasavyo, labda yalitegemewa kuishia kuwa kichekesho, kuhusu vyombo vya habari.
31Obama se refirió a los medios norteamericanos como “mi prensa” y les reprendió por hacer demasiadas preguntas.Aliwaita wanahabari wa Marekani kama “waandishi wangu,” na kuwazuia kuuliza maswali mengi.
32Quizás en cualquier otra situación esto no hubiera tenido importancia, pero de visita por tres países africanos, cuyos medios de comunicación están siendo juzgados por la organización Freedom House como “parcialmente independientes”, pienso que fue no solamente un comentario torpe, sino dañino para la acción de apoyo de su Gobierno a la democracia.Kwa kawaida, huenda, hili lisingekuwa jambo kubwa. Lakini kwa sababu alikuwa anatembelea nchi tatu za Afrika ambapo vyombo vya habari vinaonekana “kutokuwa huru,” ninadhani si tu matamshi yale ni namna mbaya bali ni hatari kwa serikali yake inayojinadi kupigania demokrasia.
33Por supuesto que no esperaba que el Presidente usara su visita como una ocasión para criticar a los países anfitriones, pero contaba con que, estando él mismo bajo observación por el trato que da su Gobierno a la prensa (caso de espionaje oficial de registros telefónicos publicado por Associated Press así como el del periodista James Rosen de Fox News), no se iba a exponer con comentarios sobre el tema.Ni kweli sitarajii rais aitumie ziara yake kama fursa ya kuwakosoa wenyeji wake moja kwa moja. Lakini ningetarajia kwamba wakati huu ambapo yeye, mwenyewe, anatazamwa kwa jicho la wasiwasi namna anavyowachukulia wanahabari (masuala ya kupeleleza simu na yale ya James Rosen wa Fox News), asingeweza kulipuuza hilo.
34En el blog Kumekucha se califica [en] a Obama de «despectivo« con el pueblo de Kenia por no visitar ese país, tierra de su padre:Kumekucha alimwita Obama “Obama mkatili” kwa sababu ya kutokuzuru Kenya, nchi aliyozaliwa baba yake:
35Ahora que por fin Obama aterrizó en Dar es Salaam, bailando al ritmo del Bongo “Ohangla” Flava (Bongo Flava es el nombre dado al Hip Hop y al R&B tanzanos), podremos despedirnos de una vez de él y remendar nuestro desinflado orgullo nacional.Wakati huu Obama anapotua Dar es Salaam na kucheza Bongo ‘Ohangla' Flava [Bongo Flava ni jina la muziki wa Kitanzania wa Hip Hop na R&B], tunaweza kujihesabu kuwa tumeshamkosa na kubaki tukimwona kama fahari yetu ya taifa iliyokosa maana.
36Qué hombre tan despectivo, hospedarse con el vecino de al lado, sin importarle el daño que le está causando a su propia gente que tanto le adora.Mtu mwenye dharau namna gani kumwona anakesha mlango wa pili kwa jirani bila kujali maumivu anayowasababishia watu wake mwenyewe wanaomheshimu kupindukia.
37¡Qué bochorno!AIBU.
38No hablemos de toda la amargura expulsada de que no necesitamos la visita de Obama.Sahau uchungu wote uliosikika kwa watu wakisema hatuhitaji kutembelewa na Obama.
39Es cierto que el impacto de una tal visita, desde el punto de vista económico, se habría entendido mucho después, pero hombre, ¿no está Nairobi perdiéndose del bochinche?Ni kweli, matokeo ya kiuchumi kwa ziara hiyo yangeonekana baada ya muda, lakini je, ni kweli Nairobi haikosi kitu!
40El Comité Internacional de Coordinación de Obama, reprimió su indignación tras el anuncio del presidente Kibaki de crear un día feriado después del triunfo de Obama en las elecciones de 2008.Obama kusingizia kesi za ICC ni kutuumiza kulikozidi kipimo hasa baada ya Kibaki kutangaza mapumziko ya kufurahia ushindi wake katika uchaguzi mwaka 2008.
41Y eso no es todo, los tanzanos se dieron el lujo de nombrar una calle con su nombre en reconocimiento, para su vergüenza.Zaidi, Watanzania wangeweza kumwaibisha kwa kumpa jina la mtaa kumtambua.
42La Casa Blanca publicó un video en YouTube [en] (abajo) que muestra a un joven sudafricano mostrando a Obama sus habilidades para rapear en el Centro de investigación del VIH, Desmond Tutu:Video ya YouTube hapa chini iliwekwa na Ikulu ya Marekani ikimwonyesha Obama akighani kwa kufoka foka katika Kituo cha UKIMWI cha Desmond Tutu:
43Analizando de manera global la contribución de Obama al desarrollo del continente africano, Tolu Ogunlesi, calificó [en] a Obama de «positivamente negligente« cuando se le compara con la administración de Bush:Akichambua mchango wa jumla wa Obama katika maendeleo ya Afrika, Tolu alimwona Obama kama mtu “apuuziaye mambo kwa namna chanya” anapomfananisha na mtangulizi wake Bush.
44El Gobierno de Bush dejó huellas en el continente africano más allá del campo de ayuda.Alieleza: Serikali ya Bush imeaacha nyayo barani kote zaidi ya kutoa misaada.
45Jugó un papel en la firma del acuerdo de paz que concluyó con décadas de guerra civil en Sudán, mostró mucho interés en terminar con la guerra en la región del Congo y ayudó a dar término a la guerra civil en Liberia, contribuyendo a la dimisión de Charles Taylor y a su eventual arresto y juicio (Taylor, como es de esperarse, se pregunta desde entonces por qué Bush no ha sido él mismo juzgado por sus propios “crímenes”).Serikali yake ilikuwa na nafasi muhimu katika kusainiwa kwa makubaliano ya amani yaliyomaliza miongo kadhaa ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudani, ilionyesha kutaka kumaliza vita katika eneo la Kongo, na ilisaidia kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Liberia, ikisaidia kuhakikisha Charles Taylor anaachia madaraka, na kisha akikamatwa na kushitakiwa. (Taylor mwenyewe amekuwa akishangaa kwa nini Bush mwenyewe hashitakiwi kwa “uhalifu” wake).
46Frente a estos antecedentes del Gobierno norteamericano, Obama se muestra como positivamente negligente.Katika historia hii ya Marekani, Obama anaonekana kama anayepuuzia mambo kwa mtazamo chanya.
47Su única actividad a resaltar es la de redoblar la actividad militar norteamericana en África, aumentando las bases de aviones no tripulados y desplegando un gran número de tropas.Kimoja tu alichokifanya na kikaonekana ni kuongezeka kwa vikosi vyake vya kijeshi barani Afrika, akiongeza vituo vya kijeshi, kuingiza vikosi vingi vya kijeshi kulinda amani.
48Cuando Obama fue electo por primera vez, hubo celebraciones por todo el continente y probablemente falsas expectativas de que iba a defender los intereses de África en el escenario mundial.Alipochaguliwa kwa mara ya kwanza kulikuwa na shangwe barani kote, na huenda kwa matarajio yasiyo halisi kwamba angepigania maslahi ya Afrika katika uso wa kimataifa.
49Ciertamente, en su primera visita a Ghana, declaró que dentro de él “corría sangre africana”.Na kwa kweli katika ziara yake ya kwanza nchini Ghana, alitangaza kuwa alikuwa na “damu ya AFrika ndani yake”.
50Desde entonces, su ausencia ha sido profundamente sentida, desencadenando acusaciones de haber traicionado sus raíces.Tangu wakati huo umbali wake na bara hili umekuwa bayana mno, ukisababisha shutma kwamba ameisaliti asili yake.
51Sin embargo, ¿es esto justo?Lakini hii ni haki?
52¿Tiene Obama, gracias a sus ancestros, una responsabilidad particular con África?Je, Obama ana jukumu maalumu kwa bara hili, kwa sababu ya asili yake? Huenda sivyo.
53Quizás no. Quizá el énfasis que se hace en Obama por ser un presidente negro no se ha entendido realmente, ya que no es solo por solidaridad que el Presidente norteamericano debe ocuparse de África, existen otras razones mucho más egoístas, de tipo económico y también político.Labda msisitizo kwa Obama kama rais mwenye asili ya Afrika unakosa mantiki. Kwa kuwa si kwa sababu za ushirikiano kwamba Rais wa Marekani anapaswa kulisikiliza bara la Afrika.
54Como feminista sudafricana, Jennifer Thorpe observó que el ambiente en el que vive, afecta de manera tangible la vida de las mujeres.Kuna sababu zaidi za kibinafsi, za kiuchumi na kisiasa vile vile.
55Es por esto que comenta (en) sobre el historial del seguimiento de protección medioambiental de Obama:Akiwa mtetezi wa haki za wanawake wa ki-Afrika Kusini, Jennifer Thorpe alibaini kwamba mazingira anayoiishi yanaathiri sana maisha ya wanawake kwa kiasi kikubwa.
56Sabemos que los Estados Unidos tienen un bajo registro de seguimiento en lo medioambiental (un ejemplo inequívoco es cómo la legislación protectora del ambiente está lejos de ser tan eficaz como el no contaminar en un principio).Kwa hiyo anaitazama “rekodi” ya Obama kwa utunzaji wa mazingira: Tunajua Marekani ina “rekodi” mbaya kimazingira -mfano sahihi wa namna sheria zinazolinda mazingira hazina uzuri wowote kama zinavyoyaharibu mazingira hayo.
57En los últimos tiempos, Obama ha cambiado su tono al afirmar que se opondrá a proyectos peligrosos y devastadores del medioambiente, como el del oleoducto de Keystone, siempre y cuando se demuestre que tendrán un impacto negativo en el ambiente.Hivi karibuni Obama alibadili mtazamo wake, akisema angesitisha miradi yenye hatari kubwa kwa mazingira kama bomba la Keystone kama zingeonyesha athari mbaya za kimazingira.
58En Sudáfrica, la Constitución nos asegura a todos el derecho a vivir en un ambiente que no sea nocivo para nuestra salud.Nchini Afrika Kusini, katiba inatoa haki kwa watu wote kuishi katika mazingira yasiyo na athari za kiafya.
59Sin embargo, demasiado a menudo observamos como las evaluaciones sobre el impacto medioambiental solo buscan que las industrias cumplan con las regulaciones a un nivel mínimo, en vez de realmente luchar por la protección de la tierra y del medioambiente, que nos pertenecen a todos nosotros.Lakini bado tunaona mara nyingi tathmini za athari za mazingira zinahakikisha kuwa makampuni yanafikia angalau kiwango cha chini kabisa cha utunzaji wa mazingira na sio kuhakikisha kuwa yanatunza mazingira na ardhi tunayoimiliki sote.
60Espero que cuando el presidente Obama evalúe el impacto de Keystone en el ambiente, lo haga de manera integral, y no siguiendo las pautas de las normas y estándares concebidos a una mínima expresión.Ninatarajia kwamba Rais Obama anapotathimini madhara ya Keystone kwa mazingira, anafanya hivyo kwa mtazamo mpana, na sio kwa mtazamo mwembamba wa viwango na mazoea.
61Pienso que la pregunta que se debe hacer es simple: ¿va Keystone a mejorar la biodiversidad, tan naturalmente valiosa, la belleza y la majestuosidad de la tierra?Ninadhani swali lapaswa kuwa rahisi -je uoto wa asili, uzuri, na ardhi itaboreshwa na mradi wa Keystone?
62Habiendo crecido en Hawai, sé que tiene la respuesta a esta pregunta en el fondo de su corazónKama mtu aliyekulia Hawaai, najua anajua jibu la swali hili moyoni mwake.
63En Twitter Andrew Harding (@BBCAndrewH [en]) de la BBC escribió:Kwenye mtandao wa twita, Andrew Harding wa BBC (@BBCAndrewH) aliona haya:
64@BBCAndrewH: #obama - África no puede ser solamente una fuente de materia prima para alguien más.@BBCAndrewH: #obama - Afrika haiwezi kuwa chanzo cha bidhaa ghafi kwa mtu mwingine.
65El señor Mabotja (@MelosoDrop_Line [en]) respondió al tuit de @BBCAndrewH de esta manera:Mr. Mabotja (@MelosoDrop_Line) alijibu twiti ya @BBCAndrewH kwa kusema:
66@MelosoDrop_Line: @BBCAndrewH #Obama nunca se refirió a África como un distribuidor de materia prima… Su palabra indicó un cambio en esta manera de pensar.@MelosoDrop_Line: @BBCAndrewH #Obama hajawahi kuonyesha kwamba Afrika ni duka la bidhaa ghafi…ameonyesha mabadiliko ya mtazamo wa jinsi hii
67Dayo Olopade (@madayo [en]) comentó:Dayo Olopade (@madayo) aliandika:
68@madayo: El viaje de #ObamaInAfrica es sobresaliente por lo que está haciendo y por lo que no está haciendo.@madayo: Zaiara ya #ObamabaraniAfrika inaonekana kwa kile inachokifanya na kile isichokifanya.
69El establecimiento de las leyes deja de lado a los países más importantes.Utawala wa sheria unaziacha mbali nchi nyingi ambazo zingestahili.
70Haru Mutasa (@harumutasa [en]) puso de relieve lo que algunos africanos preguntan:Haru Mutasa (@harumutasa) anaonyesha kile ambacho baadhi ya Waafrika wanauliza:
71@harumutasa: #obamainafrica.@harumutasa: #obamabaraniafrika.
72Algunos africanos se preguntan, ¿qué es lo que ha hecho el Presidente norteamericano por África que no hayan hecho los Presidentes anteriores?Baadhi ya Waafrika wanauliza, “kipi kilichofanywa na rais huyu wa Marekani kwa ajili ya Afrika ambacho ni tofauti na marais wengine waliopita?”
73Ashley Koen (@a_koen [en]) está preocupada por un grupo de civiles inocentes que fueron expulsados de las calles para “limpiar la ciudad” de vendedores ambulantes (práctica común en la mayoría de los países africanos frente a la visita de un jefe de Estado extranjero, especialmente proveniente de Europa o de los Estados Unidos):Ashley Koen (@a_koen) alikuwa na wasiwasi na wananchi wasiona hatia waliofukuzwa katika jitihada za “kusafisha mji” -ni shughuli ya kawaida katika nchi nyingi za Afrika wakati mkuu wa nchi ya kigeni, hasa kutoka Ulaya na Marekani anapokuja, kwa wazururaji wa mitaani kuondolewa:
74@a_koen: ¿Se les permitirá a aquellos comerciantes desplazados y civiles inocentes, que fueron arrojados a la cárcel para limpiar las calles, recuperar sus vidas?@a_koen: Je, biashara zilizoondolewa na wananchi wasio na hatia waliotupwa jela kwa kisingizio cha kusafisha mji wataendelea na maisha yao?
75#ObamainAfrica#ObamabaraniAfrika