Sentence alignment for gv-spa-20120425-102294.xml (html) - gv-swa-20120108-2470.xml (html)

#spaswa
1Zambia 2011: Dos acontecimientos que cambiaron el paísZambia 2011: Matukio Mawili Yaliyotikisa Taifa
2Sin duda, dos acontecimientos pasarán a la historia en Zambia como hechos que agitaron al país de manera radical.Bila ya shaka, matukio mawili nchini Zambia yatatambuliwa kama matukio yaliyoitikisa nchi kama vile tetemeko la ardhi linavyotikisa.
3El primero fue la muerte del segundo presidente, Frederick Chiluba, un sindicalista inconformista convertido en político que venció al presidente fundador de Zambia, Dr Kenneth Kaunda. Este último había permanecido en el poder durante 27 años, pero fue derrotado en las primeras elecciones multipartidistas tras 17 años de “democracia” en los que Zambia había estado dirigida por un solo partido.Tukio la kwanza lilikuwa ni kifo cha Rais wa pili wa Jamhuri , Frederick Chiluba, mmpigania haki za wafanyakazi ngangari, aliyegeuka kuwa mwanasiasa na ambaye alimshinda rais wa kwanza wa Zambia Dk Kenneth Kaunda ambaye alikuwa madarakani kwa miaka 27 na kuondolewa katika wadhifa huo kwenye uchaguzi wea kwanza wa vyama vingi baada ya miaka 17 ya ‘demokrasia' ya chama kimoja.
4Munshya, un bloguero zambiano, recordó así a Chiluba [en]:Hivi ndivyo mwanablogu mmoja wa Zambia, Munshya, alivyomkumbuka Chiluba:
5He aquí un hombre sin educación secundaria que trabajó duro como conductor de autobús para llevar unas cuantas clases que luego admitió haber flanqueado.Huyu ni mtu asiyekuwa na elimu ya juu ya sekondari aliyefanya kazi kwa bidii ili kuweza kusoma kozi chache za cha daraja A ambazo baadaye alikubali kuwa aliziacha kando.
6Además, queriendo superar sus muchos retos, Chiluba se fue a Tanzania buscando una oportunidad.Na zaidi, ili kwamba asishindwe na changamoto zilizomkabili, Chiluba alikwenda hata Tanzania kutafuta fursa.
7Cuando regresó a Zambia tenía unos veinte años, y tradujo el conocimiento adquirido trabajando en la industria del henequén en Tanzania en algo útil.Na aliporudi nchini Zambia akiwa na umri kwenye miaka ya ishirini, alitafsiri ujuzi ujuzi alioupata alipokuwa akifanya kazi kwenye nyanja mkonge nchini Tanzania kwa manufaa.
8Utilizó su coraje y su audacia para convertirse en el defensor de sus compañeros trabajadores.Alitumia ujasiri na kutokuwa na hofu kwake kuwa mlinzi wa wa wafanyakazi wenzake.
9A través del sindicato, un Chiluba diminuto había encontrado una oportunidad para hablar y caminar como el más alto.Kwa kupitia chama cha wafanyakazi, Chiluba ambaye alikuwa na umbile dogo alipata nafasi ya kuongea na kutembea kama mtu mrefu kupita wote.
10@ictjournalist tuiteó:@ictjournalist aliandika ujumbe wa twita:
11@ictjournalist [en]: @GNdhlovu lo recuerdo como la persona que inició una revolución en África que se ha extendido por todas partes@ictjournalist: @GNdhlovu namkumbuka kama mtu ambaye alianzisha mapinduzi barani Afrika ambayo yameenea kila sehemu
12Afriwoman expresaba así su tristeza:Afriwoman alikuwa na huzuni kidogo:
13@afriwoman [en]: Escuchando las emisoras de radio zambianas, observando fotografías del #funeral de Chiluba cortesía de @QfmZambia .@afriwoman: Nasikiliza stesheni za redio za Zambia, napitia picha za mazishi ya #Chiluba kwa hisani ya @QfmZambia .
14No me caía bien, pero me entristeceSikumpenda lakini nina masikitiko kiasi
15El segundo hecho fue la derrota del MMD (Movimiento para una Democracia Multipartidaria, por sus siglas en inglés) tras 20 años en el poder y solo 3 años del presidente Rupiah Banda en el mandato, quien perdió frente a Michael Sata, del FP, en lo que fue su cuarto intento de ganar las elecciones presidenciales.Tukio la pili lilikuwa ni kushindwa kwa chama tawala cha MMD baada ya kutimiza miaka 20 madarakani na miaka mitatu tu katika ofisi rais aliyekuwepo Rupiah Banda ambaye alishindwa na Michael Sata wa PF ambaye alikuwa katika jaribio lake la nne kugombea urais.
16Tras su elección como presidente, Sata, en otro golpe maestro político, sorprendió al mundo al nombrar como su aliado [en] y como vicepresidente de su partido al Dr. Guy Scott, un zambiano blanco que formaba parte de la esfera política del país desde hacía más de 20 años.Baada ya kuchaguliwa, rais Sata, katika taktiki yake yake nyingine kabambe kisiasa, aliistua dunia pale alipomteua swahiba wake wa siku nyingi na makamu wa rais wa chama chake, Dk Guy Scott, mZambia mweupe ambaye amekuwa kwenye ulingo wa siasa nchini humo kwa zaidi ya miaka 20.
17Ante el nombramiento de Guy Scott, la reacción del bloguero zambiano @missbwalya fue:Akitoa maoni juu ya uteuzi wa Guy Scott, mtumiaji wa twita na mwanablogu wa Zambia @missbwalya alibaini:
18@missbwalya [en]: Zambia es el único país africano con un VP blanco. Me pregunto cuál será la reacción de los militantes “anti-africanos blancos”.@missbwalya: Zambia ndiyo nchi pekee ya kiAfrika yenye makamu wa rais Mzungu, Najiuliza hili litapokewa vipi na wale waAfrika wenye siasa kali “dhidi ya watu weupe”.
19El nuevo vicepresidente de Zambia, Guy Scott.Makamu mpya wa rais wa Zambia Guy Scott.
20Imagen obtenida de la página web del Frente Patrótico.Picha kutoka tovuti ya chama tawala cha Patriotic Front.
21La muerte de Chiluba, de la que los ciudadanos se enteraron a través de Twitter, conmocionó a la nación que, solo tres años antes, había enterrado a un presidente en funciones, Levy Mwanawasa, quien murió en Francia tras sufrir un colapso en Egipto mientras atendía sus compromisos internacionales. La muerte de Chiluba se convirtió en un tema candente de la campaña del MMD, cuyos directivos amenazaron con agredir físicamente a Sata si asistía al funeral de su antes jefe, bajo cuyo mandato trabajó como ministro del gobierno y como secretario nacional del MMD.Sata hakukanyaga katika eneo la mazishi kufuatia vitisho vya kumpiga vilivyotolewa na makada wa MMD lakini bila kutarajiwa alitokea katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mulungushi ambapo mwili wa Chiluba ulilazwa na kutoa heshima zake za mwisho, huku akiutazama pamoja na raia wa kawaida, na kuwachukiza maafisa wa usalama ambao hawakujua cha kufanya na mtu huyu ambaye wakati huo alikuwa ni kiongozi wa upinzani ambaye ni wazi alikuwa katika uhusiano mbaya na Rais Banda.
22Sata, frente a estas amenazas, nunca asistió al lugar donde se celebraba el funeral.Hadi wakati ambapo makada wanazi wa MMD walipofika ili kumshughulikia Sata, alikuwa amekwishaondoka Mulungushi.
23Sin embargo, inesperadamente, se presentó en el Centro Internacional de Conferencias Mulungushi, donde permaneció el cuerpo de Chiluba, para presentar sus respetos junto con otros ciudadanos, sorprendiendo a los guardas de seguridad que no sabían qué hacer con el entonces líder de la oposición que estaba en la lista negra del Presidente Banda.
24Para cuando los directivos del MMD aparecieron para lidiar con Sata, él ya se había ido de Mulungushi.Taktiki hii pengine ni moja ambayo ilimuongezea ukubwa Sata katika fikra za wapiga kura watarajiwa.
25Sata ganó un mayor reconocimiento entre los votantes gracias a esta jugada. La ironía, sin embargo, es que Chiluba, antes de morir, se designó asesor político del Presidente Banda y planeaba entregar los bastiones regionales de Sata al MMD.Jambo la kejeli, hata hivyo, ni kuwa Chiluba, kabla ya kifo chake, alijitangaza kuwa mshauri wa kisiasa wa Rais Banda na aliyeapa kuwa atazileta ngome za Sata vijijini kwenye kambi ya MMD.
26Seguidores celebran montados en una camioneta la victoria del líder de la oposición, Michael Sata, tras convertirse en el quinto presidente de Zambia.Mashabiki katika lori wakisherehekea ushindi wa kiongozi wa upinzani Michael Sata wakati alipoapishwa kama rais wa tano wa Zambia.
27Imagen: Owen Miyanza, copyright Demotix (23/12/2011). Las elecciones presidenciales estuvieron relacionadas con la muerte de Chiluba.Picha na Owen Mayiza, haki miliki ya Demotix (23/12/2011).
28El MMD estaba seguro de que obtendría una victoria gracias a su campaña bien financiada frente a la modesta y espartana estrategia de campaña del FP, que adoptó el eslogan “Donchi Kubeba”. Donchi es una corrupción de la palabra inglesa don't y kubeba significa “decir”.Serikali ya MMD ilijaribu kuzuia tmatokeo ya kura pale ilipokwa wazi kuwa mambo yalikuwa hayaendi njia yao lakini watumiaji wa mtandao waliokuwa hatua moja mbele walitoa matokeo kwa njia ya twita, Facebook na mitandao ya kijamii.
29El gobierno del MMD trató de anular la publicación de los resultados electorales cuando resultaba evidente que las cosas no habían salido como esperaban, pero los internautas [en] se adelantaron publicando los resultados en Twitter, Facebook y otras las redes sociales.Rais Sata ameanzisha uchunguzi mkubwa wa matukio ya kifisadi yaliyofanywa katika utawala uliopita na ndani ya wiki chache baada ya uchunguzi kuanza, vitengo cya usama vilichimbua mabilioni ya Kwacha za Zambia kutoka katika shamba la waziri wa zamani.
30El Presidente Sata inició una investigación de gran envergadura sobre la corrupción de la administración anterior [en] y, tras varias semanas, descubrió miles de millones de kwachas zambianos escondidos en la granja de un ex ministro.
31Desde entonces, algunos de los anteriores miembros del gobierno han sido arrestados o han sufrido el embargo de sus propiedades por haberlas obtenido de forma corrupta.Mawaziri wengine kadhaa wamekamatwa ama mali zao ambazo zinashukiwa kupatikana isivyo halali zimechukuliwa.
32Cuando la envergadura de las irregularidades fue evidente, los ciudadanos empezaron a solicitar que el Presidente Banda pierda su inmunidad [en] para ser juzgado.Pale upeo wa ufisadi ulipojulikana wazi, wananchi walianza kudai iondolewe kinga inayomlinda rais Banda asishitakiwe. .
33Los internautas también se preguntaban si el ex-presidente tuvo algo que ver con su discurso de despedida.Wanamtandao pia walijiuliza ikiwa rais aliyepita alijishtaki mwenyewe katika hotuba yake ya kuaga.
34En Facebook, Gongs Jhala preguntó [en]:Kwenye Facebook, Ghong Jhala aliuliza:
35¿Cree que RB y sus hijos se enfrentarán a un proceso penal?Unafikiri RB na wanawe watashitakiwa kwa jinai?
36Me pareció interesante que dijera que ellos no “habían abusado deliberadamente de los recursos públicos”. ¿Significa eso que abusaron de los recursos públicos pero no sabían lo que estaban haciendo?Niliona ni jambo la ajabu pale aliposema kuwa “hawakutumia vibaya rasilimali za taifa huku wakiwa na ufahamu huo” je, ina maana kuwa walitumia vibaya rasilimali za taifa lakini hawakujua kuwa walikuwa wanafanya hivyo?
37Muchos internautas intervinieron en la lucha contra la corrupción:Wanamtandao wengi walichangia juu ya vita dhidi ya ufisadi:
38@lwangamwilu [en]: Algunas personas se enriquecieron milagrosamente tras tres años en el cargo, dejen que se les investigue - Milupi #Zambia@lwangamwilu: Baadhi ya watu kwa miujiza walipata utajiri katika miaka miaka 3 waliyokuwa madarakani, hebu waache wachunguzwe - Milupi #Zambia
39@stevenputter [en]: #Zambia, 1000 bicicletas “para uso personal” pensaba que solo Dios podía estar en más de un sitio a la vez, no es de extrañar esta investigación@stevenputter: #Zambia, baiskeli 1000 “kwa matumizi binafsi” nilidhani ni Mungu peke yake ambaye anaweza kuwa sehemu zaidi ya moja kwa wakati mmoja, si ajabu wanachunguzwa
40Tal vez deberíamos mencionar el debate sobre el Tratado de Barotseland, que resurgió en 2011.Pengine tugusie mdahalo wa Makubaliano ya Barotseland, ambao ulipamba moto mwaka 2011.
41Tras décadas con un gobierno de partido único en las que este asunto no se consideró un problema, el Tratado de Barotseland se convirtió en un tema de controversia política en 2011 [en].Kwa muda mrefu ulichukuliwa kama suala lisilo na maana wakati wa miongo ya utawala wa chama kimoja, Barotseland iligeuka suala tata kisiasa mwaka 2011.
42Dos personas murieron en enero de ese año al estallar disturbios en Mongu, la capital de la provincia occidental, a causa del restablecimiento del Tratado de Barotseland de 1964.Watu wawili waliuwawa mwezi Januari 2011 baada kuzuka machafuko hukoMongu, mji mkuu wa jimbo la Magharibi baada ya kusimikwa tena kwa Mkataba wa Barotseland wa mwaka 1964.
43Algunos activistas de la región defienden que este tratado contempla la separación del resto de Zambia.Baadhi ya wanaharakati wanadai kwamba Mkataba wa Barotseland unaruhusu kujitenga kutoka Zambia.