Sentence alignment for gv-spa-20091114-19854.xml (html) - gv-swa-20091117-685.xml (html)

#spaswa
1Paraguay: Pueblo indígena rociado con pesticidas por vía aéreaParaguay: Wenyeji Wanyunyiziwa Dawa za Kuua Wadudu kwa Ndege
2Náuseas y dolores de cabeza son, entre otros, los síntomas que recientemente empezaron a sentir 217 miembros de la comunidad indígena Ava Guaraní, al este del Paraguay. Se cree que estas personas se enfermaron como consecuencia de un intencionado rociado con pesticida por vía aerea, después que rechazaran desalojar sus tierras ancestrales.Huko Mashariki mwa Paraguay, jumla ya watu 217 wa jumuiya ya wenyeji ya Ava Guaraní walianza kusumbuliwa wakionyesha dalili mbalimbali za kiafya zinazoaminika zilisababishwa na unyunyiziaji wa makusudi wa dawa za kuua wadudu hasa baada ya wao kuwa wamegoma kuhama kutoka katika ardhi waliyoirithi kutoka kwa mababu zao.
3Oficiales del Gobierno confirman que parte de la tierra donde los grupos indígenas están ubicados, en el distrito Itakyry del Departamento del Alto Paraná, ha sido rociada, donde además no hay presencia de sembradíos.Watendaji wa serikali wamethibitisha kwamba baadhi ya sehemu za ardhi ya wenyeji iliyo katika Wilaya ya Itakyry katika Idara ya Alto Paraná ilinyunyiziwa wakati ambapo hakukuwa na mazao yoyote [es].
4Muchos signos apuntan a los cultivadores de soja brasileros como los responsables por el rociamiento, en parte porque la tierra de la comunidad indígena es valorada para el cultivo y porque ellos han estado en disputa con el Ava Guaraní sobre la propiedad de aproximadamente 3,000 hectareas, de cuerdo con el blog Interparaguay. José Ángel López Barrios de Bienvenidos! describe a la aislada comunidad donde el incidente tuvo lugar:Ishara nyingi zinaelekezwa kwa walima maharage ya soya wa KiBrazili kwamba ndiyo wanaohusika na unyunyiziaji huo, kwani kwa kiasi kikubwa ardhi iliyo mikononi mwa jamii za wenyeji ingefaa sana kwa zao hilo na kwamba hawa wamekuwa katika mgogoro na Ava Guaraní kuhusu umiliki wa takribani hekta 3,000, kwa mujibu wa blogu ijulikanayo Interparaguay [es].
5Itakyry es uno de los distritos del Departamento de Alto Paraná, distante a unos 450 kilómetros de Asunción, capital de la Republica, se llega a el por caminos no pavimentados, su época de esplendor se dio en la época de las explotaciones yerbateras.Itakyry ni moja ya wilaya za Idara (Mkoa wa) Alto Paraná, iliyo umbali wa kilomita 450 kutoka katika mji mkuu wa Asunción. Kufika huko mtu huna budi kutumia barabara za vumbi, katika kilele cha mafanikio yake ilikuwa ni wakati wa ulimaji wa yerba maté.
6Que termino al cabo de 100 años abriendo paso a la explotación de la soja en estos últimos tiempos……Jambo hilo lilikoma baada ya miaka 100, na kupisha ulimaji soya katika miaka ya hivi karibuni……
7La demanda de soya y los precios en alza, hacen a la tierra apta para este cultivo a tan alta prima.Ni mahitaji ya maharage ya soya na bei yake inayozidi kupanda ambayo inaifanya ardhi hiyo kuwa inayofaa kwa zao hili lenye kipato kikubwa sasa.
8Parte de esta tierra esta ubicada en tierras ancestrales de comunidades indígenas, como es la Guaraní.Sehemu ya ardhi hii iko kwenye ardhi ya kurithi ya mababu wa jamii za wenyeji, kama vile Guaraní.
9El Blogger Carlos Rodríguez de Rescatar piensa que el incidente del rociado en contra del grupo indígena no es un incidente aislado, y lo llama un acto de “genocidio”:Mwanablogu Carlos Rodríguez wa Rescatar [es] hafikiri kwamba tukio la unyunyiziaji dawa dhidi ya makundi ya wenyeji ni tukio dogo, analiita tendo hilo kama “mauaji ya halaiki“:
10Hubo un tiempo en que en Paraguay los aborígenes no eran considerados seres humanos.Kuna kipindi hapa Paraguay ambapo WaAborigino hawakudhaniwa kuwa ni binadamu.
11Eran cazados como animales y sus crías rescatadas como trofeos. (…)Waliwindwa kama wanyama na watoto wao walichukuliwa kama mapambo fulani hivi.
12Otros fueron apropiándose a bala y sangre de sus tierras y como los indígenas no hacían gestiones ante las instituciones encargadas de titular las tierras que siempre les pertenecieron, el hombre blanco si lo hizo y se plantea el contrasentido de que los legítimos dueños de estas tierras, hoy son “los invasores”.(…) Sehemu ya ardhi yao iliporwa kwa risasi na damu, na hasa kwa kuwa wenyeji hawa hawakwenda kwenye mamlaka zinazohusika na utoaji hati miliki za ardhi kuhusu ardhi ambayo daima wameimiliki, Wazungu hawakwenda kwenye taasisi hizo, na katika jambo ambalo ni la kushangaza, hawa wanaochukuliwa kwamba wao ndiyo wamiliki wa ardhi hiyo ni hawa “wavamizi”.
13Y siguen siendo tratados como animales.Wanaendelea kutendewa kama wanyama.
14Sólo así se puede entender que los productores de soja les envíen aviones fumigadores para lanzarles venenos encima, tal como lo ha comprobado el Ministerio de Salud que socorre en estos momentos a los indígenas intoxicados por plaguicidas para soja.Ni kwa njia hii tu ambapo mtu anaweza kuelewa kwa namna gani wazalishaji wa soya wanaweza kutuma ndege za kunyunyiza dawa ya sumu dhidi ya wenyeji, jambo ambalo limethibitishwa na Wizara ya Afya, ambayo sasa inajaribu kuwasaidia wenyeje walioathiriwa na sumu hiyo.
15López Barrios esta también avergonzado por la historia de maltrato a comunidades indígenas en el Paraguay.López Barrios pia anaona aibu kwa hitoria ya vitendo vibaya vinavyofanywa na jamii za wenyeji huko Paraguay [es].
16Como descendiente de emigrantes al pais, el escribe que el incidente “le hizo sentir que debía retornar a Europa… pero realmente prefiere que sean los explotadores los que se vayan”.Kama mtoto wa wahamiaji kwenye nchi hii, anaandakika kwamba matukio hayo “yanamfanya atamani kurejea Ulaya… lakini kwa kweli …angependa wanyonyaji hao waondoke zao.”
17Ensañarse con un pueblo indígena que tiene más de 38 siglos de existencia en sus propios y verdaderos territorios, no me parece apropiado….Kuwachukia wenyeji ambao wameishi hapo kwa zaidi ya karne 38 kwenye ardhi yao wenyewe, si jambo la kukubalika kwangu ….
18Si no respetamos a nuestros mayores nuestros días se acortaran sobre la tierra y si anteponemos la avaricia a cualquier otra virtud caeremos sin remedio…..Kama hatuwaheshimu wakubwa zetu, basi siku zetu duniani zitafupishwa, na kama choyo (tamaa) ikiwekwa mbele ya kitu chochote, ipo siku tutaangamia ….