Sentence alignment for gv-spa-20121106-150551.xml (html) - gv-swa-20121130-4310.xml (html)

#spaswa
1Fundador de grupo militar prohibido en Pakistán ofrece ayuda a los EE.UU.Mwanzilishi wa Kikundi cha Kijeshi Kilichofutwa Nchini Pakistani Ajitolea Kuisaidia Marekani.
2Después de causar grandes daños en la Costa Atlántica de Estados Unidos, el huracán Sandy ha sido calificado como la tormenta más cara del mundo.Baada ya kusababisha uharibifu mkubwa pembezoni mwa pwani ya atlantiki nchini Marekani, Kimbunga kikubwa sandy kinachukuliwa kama kimbunga kilichosababisha madhara makubwa ambayo hayakuwahi kutokea.
3Con estimaciones que llegan a la elevada suma de 45 mil millones de dólares [en] para la reconstrucción y reedificación, el país se prepara para hacer frente a las pérdidas.Kiasi cha fedha kinachokadiriwa kufikia dola za kimarekani milioni 45 zinahitajika ili kurekebisha na kujenga upya makazi na miundombinu, ambapo nchi inajiandaa kukabiliana na hasara hiyo.
4Se han registrado al menos 33 muertos [en] y veintenas de desplazados a través de la Costa Este.Watu wasiopungua 33 inaelezwa kuwa wamepoteza maisha na idadi kubwa ya watu wameachwa bila makazi katika maeneo mbalimbali ya pwani ya Mashariki.
5En medio de esto, Hafiz Mohammad Saeed, fundador de la proscrita organización militante Lashkar e Toiba (LeT) y líder de Jaamat ud Dawa (JuD) ofreció una cantidad considerable de ayuda humanitaria [en] a EE. UU. para cubrir pérdidas.Huku kimbunga hiki kikiendelea kuleta madhara, Hafiz Mohammad Saeed, mwanzilishi wa kundi la kijeshi lililofutwa, Lashkar e Taiba (LeT) na kiongozi wa Jaamat ud Dawa (JuD) alitoa msaada wa kibinadamu kwa nchi ya Marekani ili kuisaidia kufuatia uharibifu uliotokea.
6El huracán Sandy sembró el caos en Rockaway y Breezy Point, en Queens.Kimbunga Sandy kilichosababisha uharibifu mkubwa ulioenea sehemu za mwambao na pwani ya Queens.
7Muchos han perdido sus hogares, negocios y pertenencias.Wengi wamepoteza makazi yao, biashara na mali zao.
8Imagen de Kevin Downs.Picha na Kevin Downs.
9Copyright de Demotix.Haki miliki na Demotix.
10Prometiendo ayuda de todo tipo, dice: “Jamaat-ud-Dawa está listo para enviar sus voluntarios, doctores, comida, medicinas y otros artículos de socorro con fines humanitarios si el gobierno de EE. UU. nos lo permite.”Akiahidi kusaidia kwa hali na mali misaada ya kila aina, alisema, “Jamaat-ud-Dawa iko tayari kutuma watu wa kujitolea, madaktari, vyakula, madawa na vitu vingine vya kuwasaidia wahanga endapo serikali ya Marekani itaturuhusu”.
11Conocido como el cerebro detrás de los ataques a Bombay en 2008, el fundador de JuD también carga con una recompensa de 10 millones de dólares para quien lo capture [en].Akijulikana kama muongozaji mkuu wa mashambulizi ya Mumbai ya mwaka 2008, mwanzilishi wa JuD pia alitoa msaada wa dola milioni 10 za kimarekani .
12Sin embargo, la embajada americana en la capital pakistaní de Islamabad se negó a aceptar ayuda de Saeed.Hata hivyo, ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Islamabad nchini Pakistani umekataa kupokea msaada kutoka kwa Saeed.
13A través de su cuenta de Twitter, la embajada dejó claro que a la vez que apreciaban el gesto de ayuda de los musulmanes, claramente no se tomaron en serio su oferta.Wakitumia ukurasa wao wa Twita, ubalozi huo umeweka bayana kuwa pamoja na kuwa wanathamini kitendo cha waislamu kutoa misaada, hawakutilia maanani kabisa msaada wa ndugu Saeed.
14@usembislamabad (Embajada EE. UU. en Islamabad): Respetamos la tradición islámica de ayudar a los necesitados, pero no podemos tomarnos en serio la oferta de Saeed.@usembislamabad (Ubalozi wa Marekani Islamabad): Tunaheshimu utamaduni wa Waislamu wa kutoa misaada kwa wahitaji, lakini hatuwezi kutilia mkazo msaada wa Hafiz Saeed.
15Después de ese tuiteo, un portavoz de JuD publicó las siguientes respuestas:Kufuatia maelezo hayo katika Twita, msemaji wa JuD alijibu kama ifuatavyo:
16@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad Nuestra oferta se debe precisamente a la seriedad del asunto.@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad Tulitoa msaada wetu wa dhati kutokana na hali halisi ya janga.
17Esperamos que los musulmanes de #US (EE. UU. ) nos ayuden a mantener viva la tradición.Ni matarajio yetu kuwa Waislamu wanaoishi Marekani watauendeleza utamaduni huu.
18InshallahInshallah
19@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah) @usembislamabad Nuestra oferta de ayuda es para los norteamericanos, involucraremos a los musulmanes de EE. UU. para que estén al frente de la ayuda a sus compatriotas.@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah) @usembislamabad Msaada wetu ni kwa ajili ya watu wa Marekani, tutawahusisha Waislamu wa Marekani kuwa mstari wa mbele katika kuwasaidia ndugu zao.
20@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad #USAID Rajiv Shah nos tomó en serio cuando visitó nuestro campo de ayuda en 2012 y allí distribuyó artículos de socorro - #Hafiz Saeed@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad Rajiv Shah kutoka shirika la Kimarekani la kutoa misaada alitoa kipao mbele kwetu pale alipotembelea kambi yetu ya kutoa misaada mwaka 2010 na kutoa misaada - #Hafiz Saeed
21La embajada de EE. UU. llego tan lejos como para nombrar a Saeed sospechoso por su participación en los ataques a Bombay y también nombrando a su organización, JuD, como una organización “calificada como terrorista”.Ubalozi wa Marekani ulienda mbali pale walipomuhusisha Saeed na tuhuma za kujihusisha na mashambulizi ya Mumbai na pia kuliita shirika lake JuD kuwa ni shirika lililo na mrengo wa kigaidi.
22@usembislamabad (Embajada de EE. UU. en Islamabad): Saaed es buscado por su participación sospechosa en los ataques a Bombay, que mataron a 166 personas.@usembislamabad (US Embassy Islamabad ): Saaed anatafutwa kuhusishwa na mashambulizi ya Mumbai yaliyopelekea watu 166 kuuawa.
23Jud es una org[anización] calificada como terrorista por la ONU y EE. UU.JuD ni shirika linalotambuliwa na Umoja wa Mataifa na Marekani kuwa ni la Kigaidi.
24Una vez más, la cuenta de Twitter de JuD tenía una respuesta preparada.Ukurasa wa Twita wa JuD ulikuwa tayari kutoa majibu.
25@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad El gobierno de EE. UU. ha reconocido que no tiene pruebas válidas contra Hafiz Saeed.@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad Serikali ya Marekani imekubali ukweli ambao haukudhibitishwa kuwa ni sahihi ndidi ya Hafiz Saeed.
26La vista de la RCSNU está pendiente.Kauli ya UNSCR bado inasubiriwa.
27No se deja nada atrás.Hakuna kinachoachwa.
28Las reacciones sobre esta oferta han sido variadas.Maoni kuhusiana na msaada huu bado yanakanganya.
29Mientras que muchos la califican como generosa, otros también ven ironía detrás de ella.
30@Rifaqat_Mir (Rifaqat A.@Rifaqat_Mir (Rifaqat A.
31Mir): A pesar de la enemistad que EE. UU. tiene con Hafiz Saeed, el todavía tiene la generosidad y benevolencia de mostrar compasión por su enemigoMir): pamoja na uadui unaowekwa na Marekani kwa Hafiz Saeed, bado ana nia ya dhati ya kutoa misaada katika kuendelea kuonesha kumjali adui yake.
32@humayusuf (Huma Yusuf): Dicen que los musulmanes no tienen sentido dle humor, pero la oferta de Saeed de ayudar a las víctimas del #Sandy es DIVERTIDÍSIMA http://www.thenews.com.pk/Todays-News-13-18499-Hafiz-Saeed-offers-humanitarian-aid-to-US …@humayusuf (Huma Yusuf): wanasema kuwa Waislam hawana roho ya huruma, lakini utayari wa Hafiz Saeed wa kuwasaidia wahanga wa kimbunga cha Sandy inaonekana ni kichekesho. http://www.thenews.com.pk/Todays-News-13-18499-Hafiz-Saeed-offers-humanitarian-aid-to-US …
33@anDYRude (Anirudh Malladi): Acabo de leer que Hafiz Saeed, un temido terrorista, ha ofrecido “Ayuda en forma de comida, doctores, etc” a las víctimas del #HurricaneSandy (huracán Sandy).@anDYRude (Anirudh Malladi): Punde tu nimesoma kuwa, Hafiz Saeed, gaidi aliyeogopeka, amejitolea”kutoa msaada wa vyakula, madaktari, n.k ” kwa wahanga wa kimbunga cha sandy.
34¡Me parto!LMAO!
35@nidak_ (Nida Khan): Entretenido intercambio de troleos entre Hafiz Saeedand y la embajada de EE. UU. de Islamabad. Diría que van 1-1.@nidak_ (Nida Khan): Kuvumilia jumbe za kashfa zinazoendelea kati ya Hafiz Saeed na ubalozi wa Marekani mjini Islamabad ni 1-1, ningeweza kusema.
36#NextRound? (¿Siguiente ronda?)#Mzunguko unaofuata?
37@anamzehra86 (Anam Zehra): La respuesta de la embajada de EE. UU. a la oferta de Hafiz Saeed es su forma de decir “nos tomamos su religión en serio, ustedes también deberían”@anamzehra86 (Anam Zehra): Majibu ya Ubalozi wa Marekani kufuatia kujitolea kwa Hafiz Saeed ni namna yao ya kutaka kusema kuwa, ”tunachukulia dini yako kwa uzito mkubwa sana, nawe ungalipaswa pia kufanya hivyo”