Sentence alignment for gv-spa-20131118-213913.xml (html) - gv-swa-20131118-6142.xml (html)

#spaswa
1FOTOS: Policía ataca mitin de principal partido opositorPICHA: Mkutano wa Chama Kikuu cha Upinzani Msumbiji cha Shambuliwa na Polisi wa Kutuliza Ghasia
2La llegada de los autos con oficiales de la Fuerza de Intervención Rápida (FIR) de la Policía de la República de Mozambique (PRM) interrumpió el último mitin de campaña del partido opositor en Beira.Kuwasili kwa magari mawili na walinzi kutoka kwa Jeshi la Kutuliza Ghasia (FIR) na Polisi wa Jamhuri ya Msumbiji (PRM) kulileta ghasia katika mkutano wa hadhara wa mwisho wa kampeni ya chama cha upinzani cha MDM katika Beira.
3Foto de Verdade newspaper (CC BY 2.0).Picha @Verdade newspaper (CC BY 2.0)
4El mitin final de campaña del partido opositor Movimiento Democrático de Mozambique (MDM) en Beira terminó con tres personas muertas y varios heridos -entre los heridos estaba el propio hijo del candidato- luego de un ataque de la policía [en] que usó granadas de gas lacrimógeno e hizo tiros al aire.Mkutano wa hadhara wa mwisho kwa kampeni ya umeya wa chama cha upinzani cha MDM katika Beira ulimalizika kwa watu watatu kuuawa na kadhaa kujeruhiwa - waliojeruhiwa ni pamoja na mwana wa mgombea - kufuatia mashambulizi ya polisi wa kutuliza ghasia ambao walitumia mabomu ya kutoa machozi na kufyatua risasi kwa hewa.
5Cuando el tumulto empezó, el alcalde Daviz Simango se preparaba para salir al escenario y llamar a la multitud a votar de nuevo por el principal partido opositor, MDM, al mando de la segunda mayor ciudad de Mozambique, también capital de la provincia de Sofala.Wakati ghasia zinaanza, Meya anayemaliza muda wake Daviz Simango alikuwa anajianda kwenda kwenye jukwaa kutoa wito kwa umati wa watu kupigia kura kwa mara nyingine tena chama kikuu cha upinzani MDM (Mozambique Democratic Movement), ili kishike madaraka ya mji mkubwa wa pili kwa ukubwa nchini Msumbiji, pia mji mkuu wa jimbo la Sofala.
6Los disturbios empezaron el 16 de noviembre, el penúltimo día de la campaña electoral para elecciones muncipales en Mozambique.Machafuko katika mji huo wa Beira yalianza Novemba 16, na ya pili siku ya mwisho ya kampeni za uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa manisipaa nchini Msumbiji.
7Las elecciones serán el 30 de noviembre de 2013.Uchaguzi utafanyika Novemba 20, 2013.
8El periódico @Verdade está reuniendo informes ciudadanos en un sitio web especial para las elecciones [en].@ Verdade gazeti linakusanya taarifa za kiraia katika tovuti maalum kwa ajili ya uchaguzi.
9“Empezaron los disturbios y los ciudadanos trataron de huir mientras los agentes de la policía seguían disparando”.Machafuko yalipoanza na wananchi walijaribu kukimbia eneo hilo wakati kikosi cha FIR kikiendelea kufyatua risasi.
10Foto publicada por @Verdade newspaper en Flickr (CC BY 2.0).“Picha kwa hisani ya gazeti @ Verdade kwenye Flickr (CC NA 2.0)
11Luego del ataque de la policía, la gente empezó a quemar llantas en los caminos que llevaban al barrio de Beira de Munhava (16/11/2013).Baada ya mashambulizi ya askari wa kutuliza ghasia, umati ulianza kuchoma matairi katika barabara inayoelekea mji jirani wa Beira Munhava (16/11/2013).
12Foto de Miguel Mangueze para el periódico @Verdade (CC BY 2.0).Picha kwa niaba ya Miguel Mangueze gazeti la @Verdade (CC BY