Sentence alignment for gv-spa-20120310-110935.xml (html) - gv-swa-20120324-2661.xml (html)

#spaswa
1Palestina: Gaza bajo ataque – nuevamentePalestina: Gaza yashambuliwa, watu 12 wauwawa na wengine wengi kujeruhiwa
2Durante la noche del 9 de marzo y la mañana del 10, aviones de guerra Israelíes atacaron objetivos [en] a lo largo de la Franja de Gaza, con al menos 12 muertos y 20 heridos.Usiku kucha wa Machi 9 hadi asubuhi ya Machi 10, 2012, ndege za kivita za Israeli zilifanya mashambulizi kwa kuchagua maeneo kwenye Ukanda wa Gaza, na kuua takribani watu 12 na kuacha wengine 20 wakiwa majeruhi.
3En la tarde del 9 de marzo, Zuheir al-Qaysi, secretario general de los Comités de Resistencia Populares (PRC), fue asesinado durante una redada israelí en la ciudad de Gaza, junto con su asistente Abu Ahmad Hanani.Mchana wa Machi 9, Zuheir al-Qaysi, katibu mkuu wa chama cha (PRC) Popular Resistance Committees , aliuawa pamoja na msaidizi wake Abu Ahmad Hanani kutokana na mashambulizi hayo ya Israel kwenye Jiji la Gaza.
4Hanani era originario de Nablus y fue deportado a Gaza como uno de los prisioneros liberados en el acuerdo de intercambio de prisioneros [en] hace unos pocos meses atrás.Hanani alitokea Nablus kwa asili na alihamishiwa Gaza kama mmoja wa wafungwa walioachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa miezi michache iliyopita.
5En respuesta, grupos de la resistencia Palestina en la Franja de Gaza lanzaron misiles sobre Israel, pero sin dejar heridos.Katika kujibu mashambulizi, vikundi vya ulinzi vya ki-Palestina vilivyo kwenye Ukanda wa Gaza vililipua mabomu kuelekea Israel, bila kudhuru mtu yeyote.
6Israel respondió con severos ataques aéreos que abrumaron a Gaza y dejaron 12 mártires en total, identificados por la Agencia de noticias Ma'an [en] como Muhammad al-Ghamry, Fayiq Saad, Muatasim Hajjaj, Ubeid Gharabli, Muhammad Hararah, Hazim Qureiqi, Shadi Sayqali, Zuheir al-Qaysi, Mahmoud Hanani, Muhammad Maghari, Mahmoud Najim, y Ahmad Hajjaj.Israel ilijibu mapigo kwa mashambulizi makali ya angani yaliyoilenga Gaza na kuacha maiti wapatao kumi na wawili kwa mara moja. Majina yao yalitajwa na Shirika la Habari la Ma'an kuwa ni pamoja na: Muhammad al-Ghamry, Fayiq Saad, Muatasim Hajjaj, Ubeid Gharabli, Muhammad Hararah, Hazim Qureiqi, Shadi Sayqali, Zuheir al-Qaysi, Mahmoud Hanani, Muhammad Maghari, Mahmoud Najim, na Ahmad Hajjaj.
7Algunos periodistas dijeron luego [en] que eran 15 los muertos.Ripoti nyingine zinataja kuwa watu kumi na watano walipoteza maisha yao.
8Bombardeo de la Ciudad de Gaza por aviones de guerra Israelíes.Mji wa Gaza ukipigwa mabomu na madege ya kijeshi ya Israel.
9Imagen difundida por el usuario de Twitter @journeytogaza.Picha ya Mtumiaji wa twita aitwaye @journeytogaza
10Los internautas de Gaza han respondido a estos ataques a través de Twitter:Watumiaji wa Mtandao waishio Gaza waliitikia mashambulizi hayo kwenye Twita:
11@MaathMusleh 15 fueron asesinados en Gaza hasta ahora, ¡¡No se PREOCUPEN, son solo palestinos!!@MaathMusleh: Watu 15 wameuawa mjini Gaza mpaka sasa, hakuna SHAKA watakuwa ni wa-Palestina!!
12#GazabajoAtaque.#GazaUnderAttack
13@ectomorfo Rezen por la gente de Gaza.@ectomorfo: Ombea watu wa Gaza.
14Sin luz, con pocos medicamentos, sin gas.Hakuna umeme, kuna dawa kidogo, hakuna gesi.
15Y ahora siendo bombardeados desde todos lados por #Israel.Na sasa wanapigwa mabomu kutokea pande zote na #Israel.
16#GazabajoAtaque#GazaUnderAttack
17@Omar_Gaza ¡18 minutos sin ninguna explosión!@Omar_Gaza: Dakika 18 bila milipuko!
18¿Un silencio prudente?Kimya cha tahadhari?
19¿Se terminó?Yamekwisha?
20¿o debo seguir aguantando la respiración?Au niendelee kubana pumzi zangu kwa woga?
21#MasacreGaza #GazabajoAtaque#GazaMassacre #GazaUnderAttack
22@najlashawa No sé cómo estoy aún tipeando, eso sonó ¡MUY FUERTE!@najlashawa:sijui nimewezaje kuendelea kuchapa maandishi haya. Sauti ilikuwa KUBWA!
23#GAzabajoAtaque#GAzaUnderAttack
24@imNadZ Bienvenidos a #Gaza.@imNadZ: Karibu #Gaza.
25Donde el brillo del sol son explosiones.Ambapo mwanga wake unatokana na mabomu.
26Donde las aves son F16s.Ndege zinazotumika ni aina ya F16.
27Este ataque viene en un momento de cambios regionales y alianzas políticas.Shambulio hili linakuja wakati wa kuhamisha ushirika wa kimaeneo na kisiasa.
28La semana pasada, en vista de la alta posibilidad de una guerra Norteamericana-Israelí en Irán, 2 de los más altos oficiales de Hamas anunciaron [en] que Hamas no se involucraría apoyando a Irán en caso de un ataque israelí.Juma lililopita, kwa kuongezeka kwa uwezekano wa vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, maafisa wawili wa juu wa Hamas walitangaza kwamba Hamasi haitajihusisha na itaiunga mkono Iran ikitokea Israel itashambulia.
29Hamas ha declarado también su apoyo [en] a la gente de Siria en su lucha contra Assad.Hamas pia walitangaza kuwaunga mkono watu wa Syria katika mapambano yao dhidi ya Assad.