2 | FAJER PRESS publicó un video del asediado campo de refugiados de Yarmouk [en] ubicado en Damasco, mientras reciben paquetes de comida para alimentar a los 18,000 ocupantes que quedan en el campo, que se han visto obligados a comer animales perdidos para sobrevivir en medio de una crítica escasez de comida. | Shirika la habari la FAJER liliweka mtandaoni video ya kambi ya wakimbizi ya Yarmouk mjini Damascus wakati wa kupokea mgawo wa chakula cha kuwalisha wakazi 18,000 wa kambi waliobaki, ambao wamelazimishwa kula wanyama waliopotea ili kuokoa maisha yao wakati huu ambapo kuna uhaba mkubwa wa chakula. |