Sentence alignment for gv-spa-20130524-189489.xml (html) - gv-swa-20130526-4985.xml (html)

#spaswa
1Arabia Saudita ejecuta a cinco yemeníes y muestra cadáveres públicamenteSaudi Arabia Yawanyonga Raia Watano wa Yemeni na Kutundika Miili Yao Hadharani
2Cinco yemeníes condenados por asesinato y robo fueron ejecutados en Arabia Saudita y sus cuerpos se mostraron al público en la ciudad de Jizan, al Suroeste del país.Watu Watano wa Yemeni waliokuwa wametiwa hatiani kwa mauaji na ujambazi walinyongwa kwa kukatwa vichwa vyao nchini Saudia Arabia na miili yao kutundikwa hadharani katika mji wa Jizan ulio kusini magharibi mwa nchi hiyo.
3Las decapitaciones [en] de los hombres, que al parecer eran miembros de una banda, eleva a 47 el número total de ejecuciones en Arabia Saudita durante este año.Kunyongwa kwa watu hao, waliosemekana kuwa sehemu ya genge la majambazi, limefanya idadi ya watu walionyongwa nchini humu mwaka huu kufikia 47.
4El asesinato, robo a mano armada, tráfico de drogas, las violaciónes y abandonar la fe son delitos capitales [en] bajo la Ley Sharia en el Reino Musulman.Mauaji, ujambazi wa kutumia silaha, usafirishaji wa madawa ya kulevya, ubakaji, na kufuru za kidini ni makosa yanayoongoza chini ya sharia ya dini inayotumika katika nchi hiyo ya Kiislamu.
5Yemen también tiene la pena de muerte y ocupa el sexto lugar en el mundo cuando se trata del número de ejecuciones, según Amnistía Internacional [en].Nchi ya Yemen pia inayo hukumu ya kifo na inashikilia nafasi ya sita duniani kwa idadi ya hukumu hizo, kwa mujibu wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International.
6Arabia Saudita ocupa el cuarto lugar, luego de China, Irán e Irak.Saudi Arabia iko kwenye nafasi ya nne, nyuma ya China, Iran na Iraq.
7Estados Unidos ocupa el quinto lugar.Marekani ni ya tano.
8Fotografías de los cinco cadáveres colgando de una cuerda en el aire atadas a dos grúas circularon en Twitter y Facebook el 21 de mayo del 2013, para la indignación de muchos usuarios, incluyendo muchos yemeníes que estaban perturbados y enfurecidos por las imágenes de sus compatriotas ejecutados.Picha za miili ya watu watano ikining'inia kwenye kamba juu ikiwa imefungwa kwenye winchi zilisambazwa kwenye mitandao ya twitter na facebook tarehe 21, 2013 zikiwasikitisha watumiaji wengi, ikiwa ni pamoja na raia wa Yemeni walioogopeshwa na kukerwa na picha za miili ya raia wenzao.
9Cinco yemeníes fueron ejecutados y mostrados públicamente en las calles de Arabia Saudita.Wa-Yemeni watano walinyongwa na kutundikwa hadharani kwenye mitaa ya Saudi Arabia.
10Foto via @Bintbattuta87Picha ya @Bintbattuta87
11En Twitter, el profesor y editor en Arabia Saudita, Bayan (@BintBattuta87) escribió consternado:Kwenye mtandao wa Twita, profesa na mhariri nchini Saudi Arabia, Bayan (@BintBattuta87) aliandika kwa mshangao:
12@BintBattuta87: Gráfico: Imagen de 5 hombres ejecutados hoy, sus cadáveres colgando ahora en las calles #saudis.@BintBattuta87: INATISHA: Picha za watu watano walionyongwa leo, miili yao ikiwa imening'inizwa sasahivi kwenye mitaa ya #Saudi.
13Que se vaya a la mierda este país, wallah. pic.twitter.com/LwztwvfpABUpuuzi uliopitiliza, wallah. pic.twitter.com/LwztwvfpAB
14Y agregó:Akaongeza:
15@BintBattuta87: GRÁFICO: #KSA (Abrev. para Reino de Arabia Saudita): La gente se sienta alrededor mirando a sus cadáveres.@BintBattuta87: INATISHA: #KSA: Watu wamekaa wakikodolea macho miili ya marehemu hao.
16¡¿Nadie se pone de pie para condenar esto?!Hakuna mtu anasimama kulaani vitendo hivi?!
17Eso es lo que me mata: pic.twitter.com/za72LMdNDQHicho ndicho kinachoniua mimi: pic.twitter.com/za72LMdNDQ
18Haykal Bafana (@Bafana3), abogado yemení radicado en Yemen, tuiteó una foto de la escena y comentó:Haykal Bafana (@Bafana3), mwanasheria wa ki-Yemeni aishie Yemen, alitwiti picha ya tukio hilo na akawa na maoni haya:
19@Bafana3: Así es como en Arabia Saudita ejecutan ladrones armados.@Bafana3: Hivi ndivyo Saudi Arabia inavyowanyonga majambazi.
205 hombres de #Yemen ejecutados ayer.Wanaume watano wa ki-Yemeni wamenyongwa jana.
21#KSA https://www.facebook.com/haykal.bafana/posts/469019226511426 … pic.twitter.com/0NcWDxYBHc#KSA https://www.facebook.com/haykal.bafana/posts/469019226511426 … pic.twitter.com/0NcWDxYBHc
22Un acercamiento de los cinco hombres ejecutados en Arabia Saudita.Picha ya karibu ya watu watano walionyongwa nchini Saudi Arabia.
23Foto vía @Bafana3.Picha kupitia @Bafana3.
24Sana2 Al-Yemen (@Sanasiino), un periodista yemení que vive en el Reino Unido, señaló:Sana2 Al-Yemen (@Sanasiino), mwandishi wa habari wa Yemeni anayeishi Uingereza, alitanabaisha:
25@Sanasiino: Arabia Saudita ejecuta 5 yemeníes en Jizan y los deja para que el mundo vea.@Sanasiino: Saudi imewanyonga wa-Yemeni watano huko Jizan; na kuwaning'iniza ili dunia yote iwaone.
26Estas son las personas que gobiernan nuestra Tierra Santa pic.twitter.com/JP6QpnzXsEHawa ndio watu wanaotawala katika Nchi Takatifu pic.twitter.com/JP6QpnzXsE
27El periodista y exeditor del Oriente Medio del periódico The Guardian, Brian Whitaker (@Brian_Whit) tuiteó un enlace a su artículo último:Mwandishi na mhariri wa zamani wa Mashariki ya Kati kwa Jarida la The Guardian Brian Whitaker (@Brian_Whit) alitwiti kiungo cha makala aliyokuwa ametoka kuiandika:
28@Brian_Whit: Arabia Saudita intensifica ejecuciones.@Brian_Whit: Unyongaji Uliokubuhu Saudi Arabia.
29Cuerpos sin cabeza puestos en exhibición http://bit.ly/YYULRz (http://al-bab.com)Miili isiyo na vichwa yaanikwa hadharani http://bit.ly/YYULRz (http://al-bab.com)
30En la nota, el autor hace notar cómo la web afecta la percepción de Arabia Saudita en el mundo:Katika makala hiyo, mwandishi alionyesha namna mtandao wa intaneti unavyoathiri taswira ya Saudi Arabia duniani kote:
31La idea detrás de las ejecuciones públicas es disuadir a otros, aunque no queda nada claro si lo consiguen.Wazo nyuma ya unyongaji wa hadharani jinsi hii ni kuwafanya wengine waogope kufanya vitendo hivyo hivyo, ingawa haijulikani kama ni kweli watu wanaogopa kufanya uovu kwa kutazama miili ya wenzao.
32Pero hoy en día, como resultado de la Internet, no es sólo el público saudita el que los ve y esto refuerza la percepción internacional de que el reino es un bárbaroLakini siku hizi, kwa sababu ya mtandao wa intaneti, si raia wa nchi hiyo tu wanaoona picha za miili hiyo na hiyo inaongeza nguvu madai ya jumuiya za kimataifa kwamba nchi hiyo ya Kifalme ni ya kikatili.
33Citando a Amnistía Internacional, añadió:Akiinukuu Amnesty International, shirika la kutetea haki za binadamu anaongeza: .
34Amnistía Internacional dice:Amnesty International linasema:
35“Las autoridades de Arabia Saudita incumplen sistemáticamente las normas internacionales sobre juicios justos y las garantías para los acusados​​, a quienes a menudo se les niega la representación a través de abogados y no son informados de la marcha de los procedimientos legales en su contra.“Mamlaka za Saudi Arabia mara kwa mara zimekiuka viwango vya kimataifa vinavyoongoza mashitaka ya haki na kuhakikisha usalama wa watuhumiwa, ambao mara nyingi wananyimwa haki ya kuwakilishwa na wanasheria wala haki ya kujulishwa mwenendo wa mashitaka yanayowakabili.
36“Pueden ser declarados culpables sobre la base de ‘confesiones' obtenidas mediante tortura u otros malos tratos.”“Wanaweza kuhukumiwa kwa kutumia ushahidi wa “kukiri” unaopatikana kwa kuwatesa au vitendo vingine vya kinyama.”
37El bloguero yemení Afrah Nasser (@Afrahnasser), desde Suecia, desafió a Yemen para que hablara en contra de la ejecución de sus ciudadanos:Mwanablogu wa Yemeni Afrah Nasser (@Afrahnasser), ambaye anaishi Sweden, aliitaka Yemen ilaani unyongaji wa kikatili uliofanywa kwa raia wake:
38@Afrahnasser: Reto al Sr. Hadi o a cualquiera de la cancillería de #Yemen a emitir una declaración que condene la ejecución #saudita de 5 yemeníes! http://afrahnasser.blogspot.com/2013/05/saudi-excutes-five-yemeni-men.html?@Afrahnasser: Ninamwomba Mhe. Hadi au yeyote kutoka kwenye wizara ya ushirikiano wa kimataifa ya #Yemen kutoa tamko la kulaani kunyongwa kwa watu watano wa ki-Yemeni kitendo kilichotekelezwa na #Saudi!. http://afrahnasser.blogspot.com/2013/05/saudi-excutes-five-yemeni-men.html?