Sentence alignment for gv-spa-20130915-206279.xml (html) - gv-swa-20130915-5684.xml (html)

#spaswa
1Besos en las calles egipciasKubusiana Kwenye Mitaa ya Misri
2Una fotografía circulando en Facebook de dos jóvenes egipcios besándose en la calle provocó tanto indignación como admiración.Picha inayosambazwa katika mtandao wa Facebook inayowaonyesha vijana wawili raia wa Misri wakibusiana barabarani iliibua hasira na wengine kuipenda.
3Compartida por Ahmed ElGohary, un comentarista se opuso a “la falta de hombría” que entraña compartir dicha foto.Ilitolewa na Ahmed ElGohary, mtangazaji aliyepingwa kwa ‘kukosa utu uzima' kwa sababu ya kuweka picha ya jinsi hiyo.
4Otros elogiaron su belleza y su sentido revolucionario.Wengine walisifu uzuri wa picha hiyo na tafsiri yake kwa mapinduzi ya kiutamaduni.
5Dos jóvenes enamorados se besan en la calle en Egipto.Vijana wawili wakibusiana barabarani nchini Misri.
6Foto compartida por Ahmed ElGohary http://tinyurl.com/l3rozz9Picha: Ahmed ElGohary http://tinyurl.com/l3rozz9
7Las muestras de afecto en público están muy mal vistas en Egipto, ya que se podrían utilizar las leyes de indecencia pública para procesar a aquellos que muestran afecto públicamente o beben alcohol en la calle.Kuonyesha mapenzi hadharanini si jambo linalokubalika nchini Misri, na sheria ya kuzuia kukosa maadili hadharani inaweza kutumika kuwashitaki wale wanaothubutu kuonyesha mapenzi hadharani au kunywa pombe katika mitaa.
8Junto a la foto, Elgohary compartió la letra de la canción de Youssra El Hawary ‘En la calle'.Sambamba na picha, ElGohary aliweka mashairi ya wimbo wa Youssra El Hawary uitwao On The Street [Mtaani].
9El Hawary, es una prometedora cantante independiente y sus canciones fueron un éxito en youtube.El Hawary mwimbaji huru chipukizi na nyimbo zake zimeonyesha mafanikio kwenye mtandao wa youtube.
10La letra de ‘En la calle' dice:Mashairi ya On The Street yansema:
11Algunos se maldicen entre ellos, se matan entre ellos en la calle Algunos duermen en el suelo en la calle, Algunos venden su honor en la calle, ¡Pero sería realmente un escándalo si un día se nos olvida y nos besamos en la calle!Baadhi ya watu kuwalaani wengine, kuua kila mmoja kwenye mitaani, Watu wengine hulaaniana, huuana kwenye sakafu za mitaani, Watu wengine huuza heshima zao mitaani, Lakini ingekuwa kashfa ya kweli kama siku moja tutasahau na kubusiana kwenye mitaani!