Sentence alignment for gv-spa-20091029-19096.xml (html) - gv-swa-20091027-480.xml (html)

#spaswa
1Elecciones en Túnez: ¿¡¡Justicia e imparcialidad!!?Uchaguzi Tunisia: haki Bila Ya Upendeleo!!?
2Como se predecía, el presidente Zine Al Abidine Ben Ali ganó las elecciones tunecinas para un quinto mandato.Kama ilivyotabiriwa, rais Zine Al Abidine Ben Ali ameshinda uchaguzi kwa mara ya tano.
3Lo que no se esperaba era que ganara con el 89.62 por ciento del total de los votos.Ambalo halikutarajiwa ni kuwa angeshinda kwa asilimia 89.62 ya kura zote.
4La predicción era que cosecharía más votos.Utabiri ulikuwa kwamba angepata kura zaidi.
5Al partido gobiernante de Ben Ali, la Unión Democrática Constitucional, también le fue bien.Chama kinachotawala cha Ben Ali, Democratic Constitutional Rally nacho pia kilifanya vizuri.
6Obtuvo 161 de los 214 escaños parlamentarios.Kilishinda viti vya bunge 161 katika viti 214.
7Los restantes 53 escaños se repartieron entre seis partidos diferentes: Movimiento para Socialistas Democráticos, 16 escaños; Partido de Unidad Popular, encabezado por Mohamed Bouchiha, 12 escaños; Unión de Gremialistas Democráticos de Ahmed Inoubli, 9 escaños; Partido Social Liberal, 8 escaños; Partido de Verdes para el Progreso, 6 escaños y Partidos Ettajdid de Ahmed Brahim, 2 escaños.Viti 53 vilivyobaki vilinyakuliwa na vyama sita tofauti: Movement for Democratic Socialists, viti 16; Party of People's Unity, kinachoongozwa na Mohamed Bouchiha, viti 12; chama cha Union of Democratic Unionists cha Ahmed Inoubli, viti 9; Social Liberal Party, viti 8; Party of Greens for Progress, viti 6 na chama cha Ettajdid cha and Ahmed Brahim, viti 2.
8El partido de gobierno anunció la justicia e imparcialidad de las elecciones del 2009.Chama tawala kilitangaza haki na usawa katika uchaguzi wa 2009.
9Pero los líderes de la oposición y los bloggers tienen otra opinión: ellos piensan que las elecciones presidenciales y legislativas de Túnez del 25 de octubre de 2009 se han caracterizado por actos represivos y controles agobiantes.Lakini viongozi wa upinzani na wanablogu wana maoni mengine: wanafikiri kuwa vitendo vya ukandamizaji na udhibiti mkali kwenye taratibu za uchaguzi vilitawala uchaguzi wa rais na wabunge nchini Tunisia mnamo tarehe 25, Oktoba 2009.
10Arabasta comenta irónicamente:Arabasta anasema kwa kejeli:
11¡Felicitaciones por lo que han hecho!Hongera kwa ulichofanya!
12Mi agradecimiento va primero a los ciudadanos tunecinos que han cumplido ayer con sus obligaciones electorales dentro del marco de democracia y transparencia.Shukrani nyingi ziwafikie kwanza raia wa Tunisia ambao walitimiza wajibu wao jana katika uchaguzi ndani ya muundo wa demokrasia na usawa.
13Han elegido a un nuevo presidente para el país y un nuevo parlamento para otros cinco años.Walimchagua rais mpya wa nchi na bunge jipya kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
14Esta elección fue sabia y bien pensada.Chaguo lilikuwa la busara na lililotafakariwa vyema.
15Nadie ha tratado de influenciar al pueblo y hasta los canales de televisión y los medios escritos fueron neutrales y garantizaron espacios iguales para todos los candidatos y sus partidarios, independientemente de su relación con el gobierno.Hakuna aliyejaribu kuwashawishi watu na hata idhaa za televisheni na vyombo vya habari vya maandishi havikufungamana na upande wowote na vilihakikisha kuwa wagombea na wafuasi wao wanapata nafasi sawa bila kujali uhusiano wao na serikali.
16Mi agradecimiento también va para el presidente (durante cinco años más) y pido disculpas por no apoyarlo ni votar por él.Shukrani zangu pia zimfikie rais (kwa miaka mingine mitano) na naomba radhi kwa kutomuunga mkono na kutokumpigia kura.
17Condeno su vergonzoso comportamiento aunque recuerdo el hecho de no haber cuestionado nunca la neutralidad e imparcialidad de las elecciones.Ninailaani tabia hii ya aibu japokuwa ninakumbuka ukweli kuwa sijawahi kutilia shaka kutofungamana kwenu na upande wowote wakati wa uchaguzi.
18Como se sabe, en el caso de fraude, los resultados hubieran sido de 98.Kama inavyoeleweka kuwa kama pangetokea udanganyifu basi matokeo yangekuwa asilimia 98.99.
1999%. Pero un observador imparcial sabe que los resultados de 2009 no son muy diferentes de los de 2002 en Francia cuando Chirac ganó las elecciones.Lakini msimamizi asiyefungamana na upande wowote anafahamu kwamba matokeo ya 2009 hayana tofauti sana na yale ya 2002 nchini Ufaransa wakati Chirac aliposhinda uchaguzi.
20Es por eso que podemos decir que las elecciones nos han elevado al rango de naciones grandes y desarrolladas.Na hiyo ndio sababu inayotufanya tuweze kusema kuwa uchaguzi huu umetupandisha na kufikia daraja la nchi zilizoendelea na mataifa makubwa.
21Nakhlet Wed El Bey (La palmera del río Bey) escribió en dialecto tunecino:Nakhlet Wed El Bey (Mtende wa mto Bey) anaandika katika lugha ya Kitunisia:
22No estoy cuestionando la imparcialidad y justicia de la farsa que fueron las elecciones tunecinas.Sihoji haki na kutopendelea kwenye maigizo ya uchaguzi wa Tunisia.
23Pero y si fuéramos más flexibles Y sacáramos los bozales de las bocas de la oposición real Entonces el presidente ganaría con 77. 7% Y retiraríamos la hipocresía y la esquizofrenia de los corazones de los ciudadanos.Je ingekuwaje kama tungelikuwa na uwezo zaidi Na kuondoa viziba midomo kutoka kwenye mdomo wa upinzani wa kweli Hapo rais angelishinda kwa asilimia 77.7 Na tungeondoa unafiki na wehu kutoka kwenye mioyo ya watu
24Por su parte, Some Thoughts from Tunisia describió lo que le pasó cuando fue a votar en las últimas horas del día:Mwanablogu Some Thoughts from Tunisia, kwa upande wake, alielezea kilichomtokea wakati alipokwenda kupiga kura katika masaa ya mwisho wa siku hiyo:
25Como dije, mi compañero fue antes que yo a la cabina de votación.Kama nilivyosema, mwenzangu alikwenda kwenye kituo cha kupigia kura kabla yangu.
26Cuando entré en el cuarto, vi a los presente confundidos y algunas personas que se guiñaban el ojo y hacían como si nada hubiera pasado (no se daban cuenta de que estábamos juntos).Wakati nilipoingia chumbani, niliwaona wale waliokuwepo wamechanganyikiwa na wangine walikuwa wakipepeseana macho wakijidai kana kwamba hakuna lolote lililotokea (hawakugundua kwamba tulikuwa pamoja).
27Pronto lo entendí todo: cuando el hombre todavia estaba en su casa, votaron y firmaron en lugar de él.Haraka nikaelewa kila kitu: wakati bado yule bwana akiwa nyumbani kwake, walikwishapiga kura na kusaini badala yake.
28Entonces le dijeron: “No ha pasado nada. Puedes elegir a tus candidatos pero no tienes que firmar.Halafu wakamwambia: “hakuna kilichotokea Unaweza kuchagua wagombea wako na hauhitajiki kusaini.
29(Todo el papel estaba firmado y no había sitio para otra firma).(Karatasi lote lilikuwa limesainiwa na hapakuwa na nafasi kwa saini nyingine).
30Todo esto pasó mientras yo estaba ahí parado.Haya yote yalitokea wakati nikiwa nimesimama pale.
31Mi compañero fue a votar y los escuchó susurrar: el “Omda” (un jefe comunitario) votó en lugar de él.Mwenzangu alikwenda kupiga kura na nikawasikia wananong'ona: “Omda” (chifu wa jamii) alipiga kura badala yake.