Sentence alignment for gv-spa-20090109-3645.xml (html) - gv-swa-20090107-42.xml (html)

#spaswa
1Palestina: Colegio de la ONU atacado por bombardeos israelíes; mueren más de 40Palestina: Shule ya Umoja wa Mataifa Yashambuliwa na Makombora ya Israeli, Zaidi ya 40 wafariki
2Aproximadamente a las 6:00 p.m. (GMT+2), Al Jazeera en inglés informó que un colegio de la ONU fue impactado por dos obuses que hicieron explosión fuera del colegio.Takriban majira ya saa 12 za jioni (GMT +2), Idhaa ya Kiingereza ya Al Jazeera iliripoti kuwa shule moja ya Umoja wa Mataifa ilipigwa wakati makombora mawili ya vifaru yalipolipuka nje ya shule hiyo.
3El colegio, ubicado en Jabaliya, había sido habilitado días atrás como un refugio para los habitantes de Gaza que habían perdido sus hogares o lo habían evacuado.Shule hiyo, iliyopo Jabaliya, ilianza kutumiwa kama makazi ya raia wa Gaza waliozikimbia nyumba zao au waliopoteza makazi yao.
4Según Al Jazeera en inglés, más de 40 personas han muerto.Kwa mujibu wa idhaa ya Kiingereza ya Al Jazeera, zaidi ya watu 40 wameuawa.
5En la estación de televisión Al Jazeera en inglés (accesible mundialmente vía Livestation.com), se informó que a las Fuerzas de Defensa de Israel, IDF, se les habían dado las coordenadas de GPS de todos los colegios de la ONU.Katika idhaa ya televisheni ya Kiingereza ya Al Jazeera (inayopatikana duniani kote kupitia Livestation.com) ilitangazwa kuwa jeshi la Israeli, IDF limepewa ramani za setilaiti, GPS, za mashule ya Umoja wa Mataifa.
6The Philistine informó rápidamente sobre el incidente:Blogu ya Philistine iliripoti kwa haraka juu ya tukio hilo:
7Funcionarios médicos dicen que la cifra de muertos a causa de un ataque aéreo israelí fuera de un colegio de las Naciones Unidas en la Franja de Gaza se ha elevado a 30.Waganga na maafisa wa afya wanasema idadi ya waliofariki kutokana na shambulio hilo la anga la Israeli nje ya shule ya Umoja wa Mataifa kwenye ukanda wa Gaza imefikia 30.
8El ataque ocurrió a unos 10 metros fuera de un colegio en el norte de Gaza.Shambulio hilo lilitokea kama yadi 10 hivi (mita) nje ya shule huko kaskazini mwa Gaza.
9Fue el segundo ataque mortal israelí contra un colegio de la ONU en las últimas horas.Ni shambulio la pili la Israeli lililopiga shule ya Umoja wa mataifa katika masaa machache yaliyopita.
10El director del hospital Bassam Abu Warda confirmó los 30 muertos por el segundo ataque aéreo.Mkurugenzi wa hospitali Bassa Abu Warda alithibitisha vifo 30 kutokana na shambulio la pili.
11En ambos casos, los colegios habían sido usados como refugios por las personas desplazadas por la ofensiva de IsraelKatika mashambulio yote mawili, shule hizo zilitumiwa kama hifadhi ya watu waliopoteza makazi yao kutokana na mashambulizi ya Israeli.
12Un importante funcionario humanitario de la ONU ha condenado la violencia y exigió una investigación.Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa amelaani unyama huo na kutaka uchunguzi ufanywe.
13Israel no hace comentarios.Israeli haijatoa maoni yoyote.
14Syria News Wire también informó rápidamente, y declaró:Blogu ya Syria News Wire kadhalika iliripoti kwa haraka ikieleza:
1540 personas han muerto ahora después del bombardeo de un colegio de la ONU en Gaza.Watu 40 wamefariki baada ya Israeli kutupa makombora kwenye shule ya Umoja wa Mataifa huko Gaza.
16La ONU había dado refugio ahí a 400 palestinos.Wapalestina 400 walipewa hifadhi shuleni hapo na Umoja wa Mataifa.
17El usuario de Twitter dominiccampbell, desde Londres, también reaccionó fuertemente a la noticia:
18“Me pregunto si Israel va a alegar que Hamás movió un colegio de la ONU y lo puso en la línea de fuego de sus tanques.”
19El finlandés y usuario de Twitter haloefekti expresó su conmoción ante la falta de protesta:Mtumiaji wa huduma ya Twita domoniccampbell, aliyeko mjini London, alitoa maoni makali kuhusiana na taarifa hiyo:
20“ESPERANDO UNA PROTESTA INTERNACIONAL - Es un colegio, administrado por la ONU en Gaza. ¡Esto es una total locura!”Mtumiaji wa Twita wa Kifini haloefekti anaelezea kustushwa kwake na uhaba wa shutma kuhusu shambulio hilo: