# | spa | swa |
---|
1 | De Kivu a Gaza: Cómo escogen los medios los conflictos que cubren | Kivu Mpaka Gaza: Namna Vyombo Vya Habari Vinavyochagua Vipaumbele |
2 | | Kama kifo cha Muisraeli mmoja ni sawa na vifo kadhaa vya Wapalestina, ni maiti ngapi za watu wa Kongo zitakazowekwa kwenye mnara wa mazishi huko Gaza? |
3 | Por qué los conflictos en África reciben tan poca atención de los medios, en particular los horrores que se desarrollan en Kivu, es una pregunta de larga data (tan persistente como la pregunta de por qué los medios internacionales, cuando cubren África, solamente cubren conflictos). | Ni kwa nini migogoro ya Afrika haitiliwi maanani na vyombo vya habari, hasa lile jinamizi linalendelea katika Kivu, hili ni swali la karne (sambamaba na lile swali linalouliza, kwa nini vyombo vya habari vya kimataifa, ikiwa wataandika habari zinazoihusu Afrika, huandika habari za migogoro tu). |
4 | Elia Varela Serra escribió en este sitio web sobre el mismo tema, hace apenas unos días, traduciendo parte de un artículo de Rue89 del periodista Hugues Serraf. | Elia Varela Serra aliandika katika tovuti hii kuhusu swala hili, siku chache tu zilizopita, alitafsiri sehemu ya makala kutoka Rue89 iliyoandikwa na mwanahabari hugues Serraf. |
5 | El tratamiento de Serraf a estas preguntas ha generado controversia entre muchos lectores francófonos, congoleses y musulmanes. | Jinsi Hugues Serraf alivyolitizama swala hili kulizaa hali tete kati ya wasomaji wengi wa lugha ya Kifaransa, wote, wasomaji wa Kikongo na wale Wakiislamu. |
6 | Algunos lectores de Rue89 coinciden con el sentimiento general de Serraf. | Wasomaji wengine wa Rue89 wanakubaliana na mtazamo wa Serraf. |
7 | Rafa explica por qué los medios en Francia prestan tanta más atención a Palestina que al Congo: | Rafa anafafanua ni kwa nini vyombo vya habari vya Ufaransa vinaipa kipaumbele zaidi Palestina ikilinganishwa na Kongo: |
8 | | Jamii ya Kifaransa imeushupalia mgogoro wa Waisraeli na Wapalestina kutokana na ukweli kwamba kuna uwepo mkubwa wa watu wa jamii hizo ndani ya Ufaransa, jamii ambayo huyarejea yale yanayotokea huko [mashariki ya kati]. |
9 | | Kwa upande mwingine, nafikiri kwamba kwa kuwa Israeli ni nchi mojawapo ya “magharibi” kwa maana kwamba Israeli ni sehemu ya “dunia huru” (kama anavyosema Livni), watu wa Ufaransa wanajifananisha na Waisraeli, na kutokana na ukweli kwamba [Israeli] inatambulika kama nchi iliyostaarabika, na ina demokrasi sawa na yetu, na yenye watu wenye tabia na taratibu za maisha kama zetu, pamoja na jamii zinazoshabihiana, nchi kama hiyo inapofanya vitendo vya kikatili kama hivi, huwa tunatikisika. |
10 | | Tofauti na mgogoro wa Kongo ambao unaonekana kana kwamba ni moja tu ya madhila mengine yanayotokea kwenye bara lililolaaniwa ambalo watu hawalitilii maanani tena kwa sababu madhila ya namna hii hutokea mara kwa mara. |
11 | Otro lector de Ru89, Pierre Haski: | Msomaji mwingine wa Rue80, Pierre Haski: |
12 | Pero hubo muchos que lamentaron la ignorancia del autor sobre el continente. | Mwezi uliopita niliyaona maandamano ya Wakongo [pale kwenye Kasri ya Jamhuri mjini Paris] kuhusu mgogoro nchini mwao. |
13 | Serraf, en su artículo, dijo: | Walikuwapo watu dazeni kadhaa, waliosindikwa nyuma ya kamba za polisi [wa kuzuia fujo], wapita njia hawakuwajali. |
14 | También escribe que el conflicto israelí-palestino puede estar mucho mejor cubierto en Francia porque, al menos desde el punto de vista del público, es mucho más fácil diferenciar entre los “buenos” y los “malos”. | Jumamosi, niliona maandamano ya Wapelestina yalipokua tu yakianza, tayari wapiga picha wa televisheni walikuwa wameshafika. Lakini kuna wengi walioshutumu ujinga wa mwa mwandishi huyo kulihusu bara la Afrika. |
15 | | Katika makala yake Serrif alisema: |
16 | El blogger Alex Engwete, que ha estado cubriendo el conflicto en Kivu con actualizaciones diarias en su blog, se enoja, en un comentario, con la auto declarada ignorancia de Serraf: | Mimi, ni sawa na wewe. Sifahamu sana mambo ya Kongo wala hili Jeshi la Upinzani la Bwana [LRA]… si hivyo tu, kuna Kongo mbili! |
17 | Había empezado a tejerme una afinidad con su indignación sobre el silencio alrededor de la catástrofe congolesa antes de descubrir en los tres últimos párrafos a dónde quería usted llegar. | Isitoshe Afrika ni ngumu kuielewa. Kati ya majanga, magonjwa ya kuambukiza, wakuu wa majeshi pinzani wanaorandaranda ndani ya magari ya Land Cruiser, na hayo yote… ni kina nani tunaowatambua kama kundi “zuri” au kundi “baya”? |
18 | Hasta iba a compartir con usted lo que me había confiado en Nairobi un amigo mío que trabaja freelance para la BBC, ¡que la noble red de difusión y de repercusión de las noticias le había pedido que dejara de envíar despachos sobre el Congo si el número de muertos no sobrepasaba los 50! | Pia aliandika kwamba mgogoro wa Waisraeli na Wapalestina unaweza ukawa uliandikwa zaidi nchini Ufaransa kwa sababu, kwa mtazamo wa umma, ni rahisi zaidi kutofautisha kati, “wema” na “waovu”. Bloga Alex Engwete, ambaye amekuwa akiandika habari mpya mpya za mgogoro wa Kivu kwenye blogu yake, ameandika dhidi ya ujinga wa Serrif: |
19 | Eran negros y era el corazón de las tinieblas, después de todo, donde la la norma es «¡el horror! | Nilianza kwa kushiriki hasira yako inayotokana na ukimya uliolizunguka balaa la Kongo kabla ya kugundua wapi ulipokuwa unaelekea katika aya zako tatu za mwisho. |
20 | ¡El horror! » - según Joseph Conrad… Pero me doy cuenta con desilusión que el Congo no es más que una baliza (pretexto sensacional) que tiende a la caída de su retorcida retórica! | Nilitaka hata kukudokezea kile ambacho rafiki yangu mmoja mwandishi wa habari wa BBC alichoniambia kule Nairobi, ambacho shirika lake la habari tukuka lilimtaka afanye… kwamba aache kutuma taarifa kutokea Kongo ikiwa idadi ya waliokufa ni pungufu ya 50! |
21 | | Ni watu weusi walio katika kiini cha giza, isitoshe, ni sehemu ambayo “mambo ya kutisha tisha!” ni ya kawaida - kwa mujibu wa Joseph Conrad… Lakini niligundua baadaye, huku nimekata tamaa, kwamba kwako Kongo si kitu kingine zaidi ya mwongozo wako (wenye visingizio) uliotupeleka kwenye risala yako iliyopindapinda! |
22 | Si no sabe nada del Congo, ¡deje a sus muertos tranquilos! | Kama hujui lolote linaloihusu Kongo, waache wafu wapumzike kwa amani! |
23 | Las familiias se refugian en un edificio destruido después de ser obligados a huir de sus casas debido a la intensificación del conflicto en la provincia del norte de Kivu. | Familia zimeweka makazi katika jengo lililovunjwa baada ya kulazimishwa kuzikimbia nyumba zao kutokana na kupamba moto kwa mapigano katika jimbo la Kivu ya Kaskazini. |
24 | (Photo de UNHCR/ S. | (Picha na S. |
25 | Schulman) | Schulman wa UNHCR). |
26 | Djé, que bloguea en case en construction escribe: | Djé anayeblogu kwenye case en construction anaandika: |
27 | | Msisimko wa habari ambao umelitilia mkazo suala la Gaza umekuwa na tabia ya kuvigeuza vyombo hivyo vya habari (na hivyo, umma mzima kwa ujumla) kutoka kwenye yale ambayo yanaendelea kujiri huko Kivu. |
28 | | Nina hakika, baadhi ya wanahabari wameweza hata kutengeneza faida kwa kutumia ulegevu wa mkazo kwa upande wa vyombo vya habari unaoendelea huko Mashariki ya Kongo, kwa minajili ya kusambaza propaganda zinazoipendelea Israeli. |
29 | | Djé ameiita makala ya Serrif kama “jaribio la hovyo la kupotosha habari” na anamuomba aifikirie makala nyingine inayojadili masda hiyo hiyo, iliyoandikwa kwenye kongotimes.info ambayo inadai kwamba, ‘Vita hizi mbili zinabeba mashaka sawa, pamoja na hatari zinazoweza kuyumbisha eneo lote” [Fr]. |
30 | Djé llama al artículo de Serraf “un burdo intento de desinformación” y dice más bien considerar un artículo escrito sobre el mismo tema en kongotimes.info que alega que, “Las dos guerras tienen los mismos miedos, con casi los mismos intereses y riesgos de desestabilizar la región” [fr]. | Watumiaji wa wa mtandao wa Islamie.com kadjhalika walivunjwa moyo na ulinganishaji alioufanya Serrif na udaku uliofanywa na vyombo vya habari kuhusu swala la Gaza, kwa ujumla Abdullah anauliza, kwa kejeli, “Ni maiti ngapi za watu wa Afghanistan zinazopaswa kuwekwa kwenye mnara wa mazishi Gaza?” [Fr]. |
31 | | Katika mwangaza wa hisia kali hivi sasa zinazohusiana na Gaza, nimeghafirika sana tangu niliposoma nukuu ya Abou Ghazi inayosema kwamba kuna mauaji ya kinyama kila wakati yanayotokea huko Afghanistan ambayo hakuna mmoja anayeyajali. |
32 | Los usuarios del foro web islamie.com estuvieron similarmente apagados por la comparación de Serraf y el sensacionalismo de los ataques en Gaza por parte de los medios en general. | Siyo kwamba najihusisha zaidi au la kuhusu mauaji haya au yale. Lakini nukuu kama kama hii, ambayo inaonyesha (katika maana ya kwanza ya neno) mambo mengi. |
33 | Abdullah pregunta, sarcásticamente, “¿cuántos cuerpos afganos por una mortaja gazana?” | Ni hali mbaya iliyoje tuliyokuwamo! Tunajiachia wenyewe tulishwe, tupumbazwe, na kuongozwa na vyombo vya habari. |
34 | [Fr]: | Kwa kweli inanitia kichefuchefu. |
35 | Jounaïda: | Jounaïda: |
36 | La frase de Abou Ghazi simplemente nos devuelve a nuestra mediocridad. | Nukuu ya Abou Ghazi inashabihi upeo wetu finyu. |
37 | Elle revela también una cosa: que nosotros somos realmente los títeres de los medios, siempre sedientos de sensacionalismo. | Pia unaonyesha jambo moja: kwamba sisi ni vikaragosi wa vyombo vya habari, tulio na kiu ya habari za udaku. |
38 | Acciones concretas para nuestros hermanos y hermanas, se necesita y se necesitará siempre, al menos en tanto que no sea la palabra de Dios la que gobierne la tierra. | Tunahitaji, na siku zote tutahitaji, vitendo madhubuti kwa ajili ya kaka na dada zetu wanaokandamizwa, mpaka hapo neno la Mungu litakapotawala dunia. |
39 | Palestinos entierran el cuerpo de la niña Lama Hamdan, de 4 años, en el cementerio Beit Hanoun la norte de la Franja de Gaza el 30 de diciembre. | Wanaume wa Kipalestina wakiuzika mwili wa mtoto wa miaka 4 Lama Hamdan katika makaburi ya Beit Hanoun Kaskazini mwa Ukanda wa Gaza tarehe 30 Desemba 2008. |
40 | Se informó que Lama y su hermana estaban montando una carreta con un burro el martes cerca del lugar de lanzamiento de un cohete que fue dirigido por Israel. | Lama na dada yake waliripotiwa kuwa walikuwa wakiendesha mkokoteni uliokuwa ukivutwa na punda siku ya Jumanne karibu na sehemu inayotumika kurusha makombora iliyokuwa ikilengwa na Waisraeli. |
41 | (Foto de Amir Farshad Ebrahimi) | (Picha na Amir Farshad Ebrahimi) |
42 | Souleymene: | Souleymene: |
43 | …esta reflexión me la he hecho varias veces desde los últimos días. | … nimekuwa nikijiuliza jambo hili mara nyingi katika siku chache zilizopita. |
44 | Pero yo diría más, la movilización que estamos viviendo no es más que un epifenómeno. | Lakini naweza kusema zaidi, mchakato huu tunaouna ni dalili tu na si gonjwa lenyewe. |
45 | Cuando todo este asunto se termine (y Dios sabe lo que hace…) por un momento dado todo va a volver “al orden “, y visto los houkams (jefes) que tenemos, no hay riesgo de desorden. | Wakati zoezi hili litakapofifia (na Allah anajua vyema…) na katika wakati wowote ule uwao, yote yatarudia kwenye “utaratibu”, na nikiangalia viongozi tulio nao, hapatakuwa na hatari ya machafuko. |
46 | Los candidatos al djihad que hemos visto en la televisón en Yemen y en Jordania entre otros no irán a ninguna parte, que ALÁ los recompense por sus intenciones. | Wana-Jihadi tunaowaona kwenye televisheni huko Jordan na Yemeni kati ya sehemu nyingine, watakuwepo, na ALLAH awazidishie katika malengo yao. |
47 | Los musulmanes regresarán a sus preocupaciones mundanas, Palestina será olvidada y con ello la sangre derramada en Gaza. | Waislamu watarudi kuendelea na shughuli zao za kila siku, Palestina itasahauliwa, na damu iliyomwagika huko Gaza pamoja nayo. |