Sentence alignment for gv-spa-20131002-208459.xml (html) - gv-swa-20131118-5818.xml (html)

#spaswa
1Tayikistán: Los electores tienen derecho a saber si los candidatos están ‘llenos’ o tienen ‘hambre’Tajikistan: Wapiga Kura Wana Haki ya Kujua Kama Wagombea “Wameshiba’ au ‘Wana Njaa’
2Como informó [en] Global Voices, algunos cibernautas dicen que votarán por el actual presidente en las elecciones del 6 de noviembre en Tayikistán porque “un líder lleno es mejor que uno hambriento”.Kama mtandao wa Sauti za Dunia ulivyoripoti, baadhi ya raia wa mtandaoni wanasema watampigia rais anayemaliza muda wake wakati wa uchaguzi wa Novemba 6 katika Tajikistan kwa sababu “kiongozi aliyeshiba ni bora kuliko aliye njaa”.
3Reflexionando al respecto, Salimi Aioubzod sugiere [tj] es “triste” que los electores en el país estén más preocupados sobre qué tan “lleno” o “hambriento” está un candidato presidencial que en la plataforma de ese candidato.Kutafakari juu ya hili, Salimi Aioubzod anadokeza [tj] ni “huzuni” kuwa wapiga kura katika nchi wasiwasi wao zaidi ni kuhusu “shibe” au “njaa” ya mgombea urais= kuliko kuhusu jukwaa la mgombea.
4El bloguero también sostiene que si los electores quieren saber qué tan “lleno” está un candidato, tienen el derecho a saberlo:Hata hivyo mwanablogu anasema kuwa kama wapiga kura wanataka kujua namna mgombea wao “alivyoshiba” basi wana haki ya kujua hayo:
5…Sería bueno que la Comisión Central de Elecciones y Referéndums de Tayikistán (CCERT) exigiera que todos los candidatos presidenciales declararan su ingreso anual y sus fuentes……itakuwa vizuri kama Tume ya Mpito ya Uchaguzi na kura ya maoni ya Tajikistan (CCERT) kuwataka wagombea wote wa urais kutangaza mapato yao ya kila mwaka na vyanzo vyake …
6Hacer público el ingreso de un candidato y sus orígenes, sus bienes muebles y reales y sus cuentas bancarias permitirán [a los electores] saber si el candidato está “lleno” o “con hambre”…Kutangaza kwa umma mapato ya mgombea na asili yake, mali yao halisi, na akaunti ya benki yao itaruhusu [wapiga kura], ili kuona kama mgombea ni “kashiba” au “njaa” tupu…