Sentence alignment for gv-spa-20100720-33391.xml (html) - gv-swa-20100719-1555.xml (html)

#spaswa
1Costa de Marfil: Bloguero y periodista Théophile Kouamouo arrestado junto a su equipoIvory Coast: Mwanablogu na Mwandishi wa Habari Théophile Kouamouo Akamatwa Pamoja na Timu Yake Tangu Julai 13
2El martes 13 de julio el blog de Le Nouveau Courrier (fra) informó que recibieron una inesperada visita policial luego de haber publicado esa mañana la primera entrega de una serie de análisis en profundidad, que duraría toda la semana, sobre la presunta corrupción en el comercio del cacao y el café (fra) en Costa de Marfil (lea el original en francés aquí).Mnamo tarehe 13 Julai, blog ya Le Nouveau Courrier [Fr], iliripoti kwamba walikuwa wamepata ugeni wa ghafla wa polisi baada ya kuchapisha asubuhi ya siku hiyo sehemu ya kwanza ya mfululizo wa habari ya uchunguzi ya kina ambayo ingekuwa ikichapishwa kwa wiki nzima, uchunguzi huo unahusu shutuma za ufisadi katika biashara ya kokoa na kahawa inchini Ivory Coast (tazama makala hiyo ya Kifaransa hapa).
3[…] el periódico publicó hoy en primera página un primer artículo exclusivo relativo a la investigación sobre la malversación en el comercio del café y cacao titulada : “El libro negro del comercio del café y cacao, cómo los poderosos se han apoderado indebidamente del dinero de los plantadores”.
4El boom que esta investigación ha creado entre los lectores esta mañana puso en marcha los servicios del procurador de la República Tchimou Raymond.Matokeo ambayo ripoti hiyo imekwishapata kwa maana ya idadi ya kusomwa mpaka asubuhi ya leo imemfanya mkurugenzi wa makosa ya jinai, Raymond Tchimou, kuchukua hatua.
5Bajo las instrucciones de él y sin mandato de búsqueda, los comisarios y lugartenientes de la policía criminal llegaron a la redacción de Le Nouveau Courrier teniendo por objetivo, según ellos, obtener el documento de base que sirvió para redactar el artículo.Kwa amri yake na pasipo kuwa na waranti ya upekuzi, maofisa wa polisi wa kuchunguza jinai waliibuka katika ofisi za Nouveau Courrier huku wakiwa na lengo, kama walivyodai wenyewe, kukamata nyaraka muhimu ambazo zilitumika kama chanzo cha makala yetu hiyo.
6Luego de revisar todos los ordenadores de la redacción se llevaron finalmente un ordenador portatil en lugar del famoso documento.Baada ya kupekua kwenye kompyuta zote katika ofisi ya uhariri mwishowe waliondoka na kompyuta ndogo ya laptop badala ya kupata nyaraka hizo maarufu.
7Luego de la infructuosa investigación policial en las oficinas de Le Nouveau Courrier, el publicista Stéphane Guédé, el editor en jefe Théophile Kouamouo y el editor Saint Claver Oula fueron llevados en custodia a la policía luego de negarse a revelar su fuente de información.Baada ya upekuzi usio na mafanikio katika ofisi za Le Nouveau Courrier, mchapishaji Stéphane Guédé, mhariri mtendaji Théophile Kouamouo na mhariri editor Saint Claver Oula walichukuliwa na kutupwa korokoroni baada ya kukataa kutaja na kuonyesha vyanzo vyao vya habari.
8El Le Nouveau Courrier es un nuevo periódico que comenzó a publicarse (fra) en Costa de Marfil el 25 de mayo, hace menos de dos meses, con la intención de entregar información fresca y en profundidad sobre la actualidad.Nouveau Courrier ni gazeti jipya la kila siku ambalo limeanza kazi innchini Ivory Coast yapata miezi miwili sasa, yaani tangu Mei 25, lengo lake likiwa ni kutoa mtazamo mpya wa kina wa masuala yanayotokea katika jamii.
9El redactor en jefe, Théophile Kouamouo (fra), es uno de los primeros y mas populares blogueros de África francófona y beneficiario junto a su esposa Nadine Tchaptechet-Kouamouo también periodista, de una subención de Rising Voices por su proyecto Abidjan BlogCamps (ing) sobre la formación relativa a los blogs en Costa de Marfil.Mhariri mtendaji, Théophile Kouamouo ni mmoja wa wanablogu wa mwanzo na walio maarufu zaidi katika ukanda wa nchi zinazozungumza Kifaransa barani Afrika na yeye pamoja na mke wake, Nadine Tchaptchet-Kouamouo, ambaye naye ni mwanahabari, ni wafadhiliwa wa mradi wa Rising Voices kwa ajili ya mradi wanaouendesha wa Abidjan BlogCamps ambapo kwa kupitia mradi huo wao hufundisha masuala ya kublogu nchini Ivory Coast.
10Yeye ni raia wa Ufaransa mwenye asili ya Kameruni na alipata kufanya kazi na gazeti la kila siku la Ufaransa la Le Monde.
11Kouamouo es ciudadano francés de origen camerunés y ex corresponsal del periódico francés Le Monde; estuvo viviendo en Abidjan por más de una década y es respetado como profesor de periodismo en Costa de Marfil y en otros lugares.Alikuwa akiripoti kutokea mji mkuu wa Abidjan kwa zaidi ya muongo mmoja, na ni miongoni mwa waandishi wa habari wanaoheshimika sana na pia ni mhadhiri wa masuala ya uandishi wa habari nchini Ivory Coast na kwingineko.
12Se describe como un empresario de la web, una de sus gestiones mas exitosas de internet ha sido la plataforma de blogs de Costa de Marfil Ivoire-Blog (fra).Kama anavyojieleza mwenyewe kwamba yeye ni mjasiriamali wa vipengele vingi vya mtandaoni, moja ya harakati zake zenye mafanikio sana ni pamoja na jukwaa la wanablogu wa Ivory Coast la Ivoire-Blog.
13Muchos blogueros y periodistas han apoyado a Kouamouo y al equipo del Le Nouveau Courrier con una petición en línea (fra) solicitando su liberación inmediata al igual que en Twitter y en los grupos de Facebook (fra) donde comparten la puesta al día sobre el caso.Wanablogu kadhaa pamoja na waandishi wa habari wameonyesha kumwunga mkono na wenzake wa kutoka timu ya Le Nouveau Courrier hasa kwa kupitia utetezi wa mtandaoni wakidai waachiwe huru mara moja, na vilevile kupitia Twitter na kundi la Facebook ambapo watu mbalimbali wamechangia maendeleo ya kesi hiyo.
14Por medio de esos grupos hemos sabido que los tres periodistas permanecen bajo custodia policial desde el martes, continúan siendo presionados para revelar sus fuentes de información y que el viernes 16 de julio su caso sería oido por el juez.Kupitia kundi hilo la Facebook tumejua kwamba waandishi hao watatu wamekuwa korokoroni tangu Jumanne, wakiendelea kubanwa ili wataje vyanzo vyao vya habari, na kwamba Ijumaa Julai 16 kesi yao ilikuwa isikilizwe na hakimu.
15Parece que fueron trasladados al MACA (Carcel central de Abidjan).Yaelekea wamehamishiwa katika gereza la MACA (Maison d'Arrêt Centrale D'Abidjan, Gereza Kuu la Abidjan).
16El bloguero marfileño Manasse Dehe, creador del grupo en Facebook escribe hoy día (16):Mwanablogu wa Ivory Coast, Manasse Dehe, aliyeanzisha ukurasa huo wa Facebook, leo aliandika: Tatizo siyo tena hasa kuwaachia huru.
17El problema es que no es cuestión de liberarlos, el asunto es encontrar qué falta han cometido.Tatizo ni kuhusu kupata wamekamatwa kwa kosa gani, tayari imekwishaamriwa kwamba walipe kwa ajili ya kitu ambacho hawakukifanya.
18Está decidido que deben pagar por algo que no han hecho.Hivi sasa wanasheria wanapambana kuamua wawashitaki kwa jambo lipi, hata kama ni kitu kidogo.
19Ahora los abogados luchan por “el porqué” serán acusados, aún cuando sea la infracción mas pequeña, tipo delito flagrante.Mmpeni taarifa Rais wa Jamhuri achukua hatua, fanyeni hivyo kupitia kurasa zenu za Facebook!
20¡Haz un llamado a reaccionar al presidente de la República! puesto que el es un hombre de justicia, ¡¡¡¡el puede sacar a los tres periodistas de Le Nouveau Courrier de este sufrimiento que no merecen!!!!Maana yeye ni mtu wa haki, anaweza kuamuru waandishi hawa 3 wa Le Nouveau Courrier kuachiwa huru na kuondokana na mateso haya wanayopitia pasipo kuyastahili hata kidogo!!!
21Saint-Clavier Oula en su celdaSaint-Clavier Oula akiwa kwenye chumba chake cha mahabusu leo hii
22Esta es la última información de la página de Facebook del Le Nouveau Courrier (fra):Hii ndiyo taarifa iliyotumwa mara ya mwisho kwenye ukurasa wa wa Facebook Le Nouveau Courrier's :
23Théophile Kouamouo, Saint-Clavier Oula y Stéphane Bahi están actualmente en una celda sobrepoblada mientras esperan su turno para pasar frente al juez.Théophile Kouamouo, Saint-Clavier Oula, Stéphane Bahi wamefungwa katika chumba cha mahabusu kilichofurika. Wanasubiri zamu yao ya kufikishwa mbele ya hakimu.
24Oula está muy debilitado, ha comenzado una huelga de hambre y rechaza tomar sus medicinas…Oula anaonekana dhaifu sana. Alianza mgomo wa kula na pia amegoma kabisa kumeza dawa zake ….
25Desde que el martes se conocieron las noticias sobre su detención los periodistas han estado recibiendo numerosas muestras de apoyo de colegas y blogueros (fra) de Costa de Marfil y del exterior.Tangu habari za kukamatwa kwao zisambae Jumanne iliyopita, waandishi hawa wa habari wamekuwa wakipata uungaji mkono kutoka kwa wenzao na vilevile kutoka kwa wanablogu ndani na nje ya Ivory Coast.
26Reporteros sin Fronteras emitieron, el viernes 14, un comunicado (ing) diciendo que:Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka walitoa taarifa siku ya Jumatano Julai 14 wakisema:
27No han visto utilizar tales métodos por las autoridades de Costa de Marfil desde hace muchos años.imepita miaka mingi tangu waone njia za namna hiyo zikitumiwa na mamlaka nchini Ivory Coast.
28El cargo de robo no se sostiene.Tuhuma za wizi haziwezi kusimama.
29Debe tenerse en mente que la protección de la confidencialidad de las fuentes es un principio fundamental del periodismo, lo que es apropiado para una situación tan sensible como es la corrupción en el comercio del café y el cacao.Ni lazima itambuliwe kwamba kuweka siri ya vyanzo vya habari ni kanuni ya msingi katika taaluma ya uandishi wa habari, na hasa katika suala nyeti sana kama hilo linalohusisha ufisadi katika biashara ya kahawa na kokoa.
30En el grupo de Facebook algunos colegas han subrayado que el primer artículo del Código oficial de ética de los periodistas de Costa de Marfil, publicado por el Ministerio de comunicaciones del país, establece el derecho de los periodistas.Katika ukurasa wa Facebook, baadhi ya wanahabari walisema kwamba Kifungu cha Kwanza katika Mwenendo wa Maadili ulio Rasmi kwa ajili ya waandishi wa habari wa Ivory Coast kama ulivyochapishwa na Wizara ya Mawasiliano (tazama nakala halisi katika Kifaransa hapa) inataja haki za waandishi wa habari nchini Ivory Coast kama:
31Todo periodista debe revindicar los siguientes derechos: Artículo 1 : La protección de sus fuentes de información.Tout journaliste doit revendiquer les droits suivants : Article 1 : La protection de ses sources d'information.
32También establece los deberes de los periodistas, entre ellos:Pia kinaeleza wajibu wa waandishi wa habari, miongoni mwake ni:
33Artículo 8 : No mostrar nunca las circunstancias en las cuales el periodista ha conocido los hechos que informa, y esto por la protección del autor de las informaciones que ha podido recoger.Article 8 : Ne jamais révéler les circonstances dans lesquelles le journaliste a connu les faits qu'il rapporte, et ce, pour la protection de l'auteur des informations qu'il a pu recueillir.
34Esta mañana la Asociación de periódicos de Costa de Marfil (Gepci) sacó un comunicado (fra) condenando el arresto como un ataque al derecho de expresión en Costa de Marfil.Leo asubuhi chama cha magazeti ya Ivory Coast (Gepci) kilitoa tamko [Fr] ckikishutumu kukamatwa huko na kushambuliwa huko kwa uhuru wa kujieleza nchini Ivory Coast:
35Encarcelar a periodistas para obligarlos a violar sus normas deontológicas entregando sus fuentes de información no es aceptable.Emprisonner des journalistes pour les contraindre à violer leur propre déontologie en livrant leur source d'information n'est pas acceptable.
36Sobre todo que la ley 2004-643 del 14 de diciembre 2004 relativa al regimen jurídico de la prensa no autoriza que un periodista sea privado de su libertad por hechos relacionados directamente con el ejercicio de su profesión tales como los reprochados a los responsables y a los periodistas del periódico Le Nouveau Courrier.Surtout que la loi 2004-643 du 14 décembre 2004 portant régime juridique de la presse n'autorise plus qu'un journaliste soit privé de sa liberté pour des faits, en rapport direct avec l'exercice de son métier, tels que ceux reprochés aux responsables et aux journalistes du quotidien Le Nouveau Courrier.
37El portal Ivorian Avenue225 (fra), quien ha seguido este asunto desde el martes, informa (fra) que los sindicatos de periódicos se han comprometido a publicar el resto del informe de la investigación sobre el negocio del café y cacao si los periodistas no son puestos en libertad hoy día.Zana ya Ukusanyaji taarifa kuhusu uandishi wa habari wa kiraia nchini Ivory Coast katika Avenue 255 [Fr], ambao wamekuwa wakifuatilia sakata hili tangu Jummane, waliripotikwamba umoja wa magazeti umetangaza nia ya kuchapisha sehemu iliyobaki ya ripoti ya uchunguzi kuhusu biashara ya kahawa na kokoa endapo waandishi hao wa habari hawataachiwa leo.