Sentence alignment for gv-spa-20140505-236726.xml (html) - gv-swa-20140413-7174.xml (html)

#spaswa
1Entre el 20 al 40% de las finanzas del sector del agua se pierden debido a la corrupción en ÁfricaAsilimia 20-40% ya Fedha Katika Sekta ya Maji Barani Afrika Hupotelea kwa Utoaji Rushwa
2El acceso al agua es un derecho humano.Upatikanaji wa maji ni haki ya binadamu.
3Fuente: actionaid.org con el debido permisoChanzo: actionaid.org kwa ruhusa
4Mustapha Sesay, el embajador de la Integridad del Agua en África Occidental, escribió sobre la corrupción en el sector del agua [en] en la Red de Periodistas de África Occidental WASH:Mustapha Sesay, Balozi wa Uadilifu wa Afrika Magharibi aliandika kuhusu ufisadi katika sekta ya maji kwenye mtandao wa Waandishi wa Habari wa WASH wa Afrika Magharibi :
5El asunto del acceso al agua pura y asequible es un derecho humano fundamental, sin embargo no se le presta la atención necesaria.Suala la upatikanaji wa maji safi na kwa bei nafuu ni haki ya kibinadamu lakini hii haijapewa kipaumbele inavyohitajika sana.
6La corrupción en el sector del agua es fuerte e involucra a toda clase de personas, desde el hombre común, políticos, cabezas de las instituciones del agua hasta organizaciones no gubernamentales que trabajan en este sector.Utoaji rushwa katika sekta ya maji ni jambo la kawaida na inahusisha madaraja yote ya watu kuanzia mtu wa kawaida, wanasiasa, Wakuu wa Taasisi ya Maji na hata mashirika yasiyo ya serikali wanaofanya kazi katika hii sekta.
7El reporte “Corrupción en el sector del agua” de la Red para la Integridad del Agua, en el libro titulado “Manual de entrenamiento para la integridad del agua”, afirma que en la África Subsahariana es improbable para cuarenta y cuatro por ciento (44%) de los países, que se alcance la meta de los Objetivos del Milenio correspondiente al agua potable. Mientras que para el ochenta y cinco por ciento (85%) no será posible cumplir con el aspecto sanitario.Ripoti juu ya “Utoaji rushwa katika sekta ya maji” kupitia mtandao wa Uadilifu wa maji katika kitabu chenye jina la “Mafunzo ya Mwongozo wa Uadilifu wa maji ” inasema kwamba katika jangwa la Sahara Afrika, asilimia arobaini na nne (44%) ya nchi haina uwezekano wa kufikia lengo la Maendeleo ya Milenia la upatikanaji wa maji ya kunywa, asilimia themanini na tano (85%) hawana uwezekano wa kufikia kipengele cha usafi wa mazingira.
8Un reporte del Banco Mundial estima que entre el veinte y el cuarenta por ciento (20-40%) de las finanzas del sector del agua se pierden debido a prácticas deshonestas.Makadirio ya ripoti ya Benki ya Dunia inaonyesha kwamba asilimia (20 - 40%) ya fedha za sekta ya maji zinapotea kupitia mazoea ya udanganyifu.