Sentence alignment for gv-spa-20100222-24367.xml (html) - gv-swa-20100224-1244.xml (html)

#spaswa
1Egipto: Bloguera pierde empleo por descubrir falsa información sobre hímen artificialMisri: Mwanablogu apoteza kazi kwa kufichua ukweli kuhusu habari ya bikra za bandia
2Mientras que la defloración en la noche de bodas es aún un honor en Egipto y otros países del medio oriente, Radio Netherlands transmitió la traducción de un aviso publicitario chino del Kit del Hímen Artificial.Wakati kuvuja damu kwenye usiku wa harusi bado ni ushahidi wa heshima ya bibi harusi nchini Misri na nchi za Mashariki ya Mbali, Radio Uholanzi imetangaza tafsiri ya Kiarabu ya tangazo la Kichina la Kifaa cha Ngozi nyembamba ya kutengenezwa yenye kurudisha ubikra wa mwanamke.
3Youm7 newspaper anunció que el producto estará disponible en el mercado egipcio por 83 LE.Gazeti la Youm7 lilitangaza kwamba bidhaa hiyo itapatikana kwenye soko la Misri kwa ajili ya LE 83.
4Y aunque las mujeres egipcias estaban esperando el hímen milagroso para entregarse al sexo pre-matrimonial, los miembros conservadores del parlamento quieren prohibir el producto y cualquier importador será exiliado o decapitado.Na kama vile wanawake wote wa Misri walikuwa wakiungoja muujiza huo wa bikra ya kutengeneza, wabunge wahafidhina wanataka bidhaa hiyo ipigwe marufuku na mwagizaji yoyete afukuzwe ama kukatwa kichwa.
5Los egipcios se preguntan si Egipto importará hímenes chinos y Amira Al Tahawi quien solía trabajar con Radio Netherlands fue despedida por difundir el rumor sobre la historia del hímen chino.Wamisri wameanza kujiuliza ikiwa Misri itaanza kuingiza ‘vijingozi hivyo vya bikra' na Amira Al Tahawi, ambaye alikuwa akifanya kazi na Radio Uholanzi kwa wakati huu, alifukuzwa kazi kwa kupuliza kipenga dhidi ya habari hiyo ya ‘bikra ya Kichina.'
6En su blog Amira Al Tahawi escribió:Katika blogu yake Amira Al Tahawi aliandika:
7Sí!Ndio!
8El 26 de enero de 2010, recibí una carta en la que prescindían de mis servicios como corresponsal en El Cairo para Radio Netherlands.Nilifukuzwa kazi kwa ajili ya posti ya blogu yangu niliyoiweka mwezi Desemba! Tarehe 26 Januari, 2010, nilipokea barua ya kusitiza ajira yangu kuhitimisha kazi yangu kama mwandishi wa Kairo wa Radio Uholanzi.
9En mi post probé que dicha estación publicó información falsa el 22 de agosto del 2009 en cuanto a la inserción del “Hímen Artificial” chino en el mundo arábico.Katika posti yangu nilionyesha kwamba kituo hicho kilikuwa kimetangaza habari za uongo zisizodhibitishwa tarehe 22 Agosti, 2009 kuhusu kuingizwa kwa ‘Bikra za kichina' katika nchi za kiarabu.
10La información que transmitió la radio decía que el hímen falso se fabrica preferentemente para mujeres árabes y musulmanas, ignorando el hecho que el producto existe en el mercado desde el año 1993 y no fue producido especialmente por los chinos quienes se dieron cuenta de la esquizofrénica condición de las mujeres árabes que deben fingir su virginidad.Kutangazwa kwa taarifa hiyo kwenye redio ilidai kwamba bikra hiyo bandia ilikuwa imetengenezwa maalumu kwa ajili ya wanawake wa Kiarabu na Waislamu ikipuuza ukweli kwamba bidhaa hiyo imekuwapo Japan tangu mwaka 1993 na haikuwa imetengenezwa maalumu na Wachina waliogundua ugonjwa wa akili wa wanawake wa Kiarabu wanaohitaji kudanganya kuhusu ubikra wao. Nilikiomba kituo hicho cha redio kurekebisha makosa hayo ya kiuhalisia kwa habari hiyo ya kutengeneza kwa njia ya barua pepe ya tarehe 14 Septemba.
11Pedí que la estación se rectifiqué el día 14 de septiembre. Mi petición llegó a oídos sordos y muchos noticieros egipcios publicaron la mentira sin investigar la veracidad de las fuentes.Maombi yangu yaliangukia kwenye masikio yasiyosikia na watunza habari wa mtandaoni wa Kimisri walisambaza zaidi uongo huo bila kujali kuchunguza ukweli au kunukuu chanzo cha habari.
12Muchos blogeros consideran que la decisión de despido es ridícula e injusta, Nawara Negm declara:Wanablogu wengi wameuona uamuzi huo wa kumfukuza kazi kama wa kijinga na usiweza kuhalalishwa; Nawara Negm alijiuliza:
13¿Por qué la despiden?Kwa nini wanamfukuza kazi?
14No ha escrito nada ofensivo sobre Radio Netherlands.Hakuandika chochote kwa madhumuni ya kuishambulia Redio Uholanzi.
15Bueno, los va a demandar… ¡Ayudémosla!Anawashtaki…hebu na tumwonge mkono jamani!
16Eman Hashim sufre por la integridad de la periodista y escribe:Eman Hashim analalamikia uadilifu wa uandishi wa habari; anaandika:
17El periodismo en Egipto ha sido mancillado por los disque periodistas que inventan noticias y crean rumores en grupos del Facebook.Uandishi wa Habari nchini Misri umeingiliwa na watu wanaoitwa waandishi wa habari ambao kazi yao ni kutengeneza habari kwa kutumia maelezo ya watumiaji wa Facebook.
18Amira fue despedida y se le niegan sus derechos financieros y morales porque dijo ¡NO!Amira amefukuzwa kazi na amenyimwa haki zake za fedha na maadili kwa sababu alisema HAPANA!
19Amira escribió los detalles en su blog así que démosle la palabra y dejémosla decir la verdad.Amira aliandika kwa kina kwenye blogu yake kwa hiyo hebu na tumpe sauti kubwa zaidi ili kila mtu aujue ukweli.
20Culpamos a los silenciados por su silencio pero le debemos mucho a quienes tienen una voz y un microfono.Tunawalaumu wakimya kwa ukimya wao lakini tunawadai wale wenye sauti kwenye kipaza sauti.
21¿Es así como Netherlands lidia con las noticias falsas?Je, hivyo ndivyo Radio Uholanzni wanashughulikia habari za uongo?
22¿Dónde queda su integridad?Uko wapi uadilifu wao?
23¿Dónde queda el respeto a los lectores y radioyentes?Iko wapi heshima yao kwa wasomaji na wasikilizaji wao?
24Facilmente pudieron haber publicado una corrección u algo… lo que fuese.Wangeweza kirahisi tu kutangaza marekebisho au jambo fulani…chochote kile.
25El hecho de que no hayan publicado una rectificación o verificación es triste pero despedir a una periodista honesta por exponer falacias es una broma.Ukweli kwamba hawakutangaza ufafanuzi au uthibitisho wa lolote katika hili unasikitisha lakini kumfukuza kazi mwandishi mwaminifu kwa kuibua mkanganyiko wa hoja ni kitendo cha mzaha.
26Dr. Mostafa El Nagaar escribió en defensa de Amira:Dkt. Mostafa El Nagaar aliandika katika utetezi wa Amira akisema:
27Amira ahora sufre las duras consecuencias de su profesionalismo y nobleza.Amira sasa anaathirika na matokeo ya utaaluma na uthamani wake.
28Está pagando el alto precio de la ética periodística.Analipia gharama kubwa sana kwa uandishi wenye maadili.
29Necesita de alguien que la defienda así como ella defendió a las egipcias cuando los impostores dijeron que estaban esperando que el hímen falso cubra su inmoralidad.Anahitaji mtu kumtetea kwa namna alivyowatetea wasichana wa Kimisri wakati waongo walipodai kwamba wanasubiri kudanganya kuhusu ubikra wao ili kufunika ukosefu wao wa kimaadili.
30Llamo a todas las egipcias que le paguen el favor y defiendan a Amira.Ninatoa wito kwa kila mwanamke Mmisri kurudishia fadhila kwa kumtetea Amira aliyepoteza kazi.
31Llamo a todas las organizaciones en defensa de los derechos de la mujer para que muestren su solidaridad con Amira.Ninayaomba mashirika yote ya Haki za Wanawake kuonyesha mshikamano wao na Amira.
32Oficialmente pedimos la clara disculpa por parte de quienes han dañado nuestra reputación y pido a quienes hablan con el honor que muestren su apoyo.Tunaomba rasmi tamko lililo wazi la kuomba msamaha kutoka kwa wale waliotupaka matope na ninawaomba wote wanaozungumza kwa jina la heshima kuonyesha ushirikiano wao.
33Mostafa Fathi también publicó en su post un nota en el Facebook y Karim El Beheiry hizo publica su solidaridad con Amira a través de su blog .Mostafa Fathi pia aliweka makala yake kwenye Facebook na Karim El Beheiry akaiweka posti hiyo kwenye blogu yake kushikamana na Amira.
34En octubre del 2009, Mohamed Al Rahad ordenó el kit del hímen artificial y publicó las fotos en su blog, como ya se había reportado previamente en Global Voices.Mwezi Oktoba 2009, Mohamed Al Rfahal aliagiza kikabrasha chenye bikra hiyo na kuweka picha kwenye blogu, kama ilivyoonekana kwenye habari zilizopita za Global Voices.