Sentence alignment for gv-spa-20120522-121038.xml (html) - gv-swa-20120612-3121.xml (html)

#spaswa
1Kenia: ¿Pagar o no pagar a los becarios?Kenya: Intani walipwe au wasilipwe?
2El tuitero keniata @RobertAlai inició un encendido debate el 14 de mayo sobre la necesidad de que las empresas paguen a los becarios.Mwana-Twitter @Robert Alai alianzisha mjadala uliozua hisia nyingi tarehe 14 Mei, 2012 kuhusu umuhimu wa kampuni kuwalipa intani (wanafunzi walio kwenye mafunzo kazini) wao.
3@RobertAlai quería que los tuiteros preguntaran a las empresas “#DoYouPayInterns?” (“¿Pagan a los becarios?”):Aliwahimiza wana-Twitter wengine kuuliza kampuni kama wanawalipa intani wao.
4@RobertAlai: Si eres becario y sientes que te están explotando, por favor envíame un e-mail a alai@techmtaa.com.@RobertAlai: Kama wewe ni intani na unahisi kawa unadhulumiwa, tafadhali tuma baruapepe kwa alai @ techmtaa.com.
5Vamos a preguntar #DoYouPayInterns?Hebu tuulize #Je, mnawalipa intani wenu ?
6Los seguidores se lanzaron inmediatamente sobre sus teclados, poniéndose de parte de los becarios:Wana-Twitter walimwunga mkono haraka wakitetea intani: @madonah12: #PayInterns ndio mwenendo bora zaidi.
7@madonah12: #PayInterns es el mejor tema del momento, me encanta la idea de que los becarios tengan vales de comida y dinero de bolsillo, cc @RobertAlai. Buen trabajoNi muhimu kuwa intani wapate hela za chakula cha mchana, nauli na pesa kidogo za mfukoni.cc @RobertAlai Kazi njema
8Una pancarta en apoyo a los becarios.Bendera inayowatetea intani.
9Foto cortesía de la cuenta de Flickr de Jeff Howard account (CC BY-NC-SA 2.0)Picha kwa hisani ya: Jeff Howard Flickr account (CC BY-NC-SA 2.0) @tyrus_: Aye!
10@tyrus_: Sí, ¿cómo es que todas esas empresas keniatas en Twitter que tuitean “buenos días y buenas noches” y venden nuevos productos no pueden contestar a #PayInterns?Mbona hizi kampuni za Kenya zinye anwani ya Twitter ambazo hutuma twiti za “Habari za asubuhi na usiku mwema” na ambazo huuza bidhaa zao kupitia njia hii hawajibu kitu
11@RobertAlai: Se debe pagar a los “becarios”.@RobertAlai: Intani lazima walipwe.
12Lucha por tus derechos y verás que los patrones son capaces de pagarte #PayInternsKila mtu asimamie haki zake na mtaona kuwa kampuni zinaweza kuwalipa.
13@TheMacharia: Me pregunto cuántos de esos en #PayInterns han contratado a becarios de verdad, no seleccionado, sino contratado.@TheMacharia: Nashindwa kuelewa, ni kampuni ngapi kati ya hizo huwalipa intani?
14@mainneli: Se debería pagar a los becarios.Je, ni ngapi wamewaajiri intani na sio tu kuwachagua?
15Hacen el mismo trabajo y las mismas cosas que cualquiera en la oficina, basta de explotación #Payinterns@mainneli: Intani walipwe kwani wanafanya kazi sawa kama wafanyakazi wengine, tuache kuwanyanyasa #Payinterns
16@tkb: @kainvestor @Worldbank sugerir a los usuarios que creen wikis es lo mismo que @Wikipedia no pague a los becarios #payinterns.@tkb: @kainvestor @Worldbank kuwaalika watu wiki ni sawa na @Wikipedia ambao hawawalipi intani.
17¡Hagan un producto público global con todo el contenido abierto!Chukueni mifano mizuri ya kimataifa ambapo kila kitu kinafanywa kwa uwazi.
18@B_Oyigo: @RobertAlai Jamii Telecom Limited #PAYINTERNS paga a los internos entre 10 000 y 15 000@B_Oyigo: @RobertAlai Jamii Telecom Limited wanalipa intani kati ya shilingi elfu kumi na elfu kumi na tano.
19@KenyaPolice: La Policía de Kenia no apoya la explotación de los trabajadores keniatas. #PayInterns@KenyaPolice: Jeshi la Polisi Kenya haliungi mkono kunyanyaswa kwa wafanyakazi wa Kenya na wanawalipa intani wao.
20Sin embargo, algunos seguidores se han puesto de parte de las empresas que emplean a becarios sin sueldo:Wengine walitetea kampuni ambazo haziwalipi intani wake:
21@Kkaaria: Becarios, cuando tengan 5 años de carrera profesional se daran cuenta de lo poco que realmente sabían cuando empezaron.@Kkaaria: Intani, miaka mitano tangu muanze kazi, mtatambua kuwa mlikuwa hamjui mambo mengi.
22Tengan paciencia…#payInternsKuweni na subira.
23@TerryanneChebet: Mis dos céntimos para #payinterns. Yo digo que no. Una asignación para comida y transporte, sin embargo, me parece bien.@TerryanneChebet: maoni yangu ni kuwa wasilipwe lakini wapewe pesa za nauli na chakula cha mchana
24@mainaalex: ati, pagar a los becarios ¿para qué?@mainaalex: ati intani walipwe, kwa kazi gani?
25Si son tan buenos, que monten sus propias empresas.Kama wao wanajua mengi wanafaa waanzishe kampuni zao.
26Demuestra lo que vales y te pagarán. @Kamungah: @MediaMK los becarios contribuyen, las empresas ganan mientras que los becarios aprenden las habilidades necesarias.@Kamungah: @MediaMK intani wanasaidia, kampuni inasaidika wakati ambapo intani anapata ujuzi wa kazi ambapo kila mtu ananufaika.
27Todos ganan. Algunos empresarios los usan como entrevistas “continuas”.Waajiri wengine wanawapa hata nafasi ya kufanyiwa mahojiano ili waweze kuwaajiri kabisa.
28Los blogueros también se han unido al debate.Wanablogu nao wamejitosa kwenye mdahalo huu.
29El bloguero Denis Matara argumentó [en] que las leyes laborales estipulan que los becarios deben recibir un sueldo después de haber trabajado tres meses:Mwanablogu Dennis Matara alisema kuwa sheria za kazi zimesisitiza kuwa intani wanafaa kulipwa baada ya kufanya kazi kwa muda wa miezi mitatu.
30¡Debes despertar!Lazima tuamke.
31¿Llevas más de tres meses de becario?Umekuwa intani kwa zaidi ya miezi mitatu?
32Espabílate.Amka.
33Las leyes laborales establecen claramente que la empresa que te contrata como becario debe, por ley, absorberte como empleado a tiempo completo y pagarte según su escala salarial, así como darte días libres entre otras prestaciones.Sheria za kazi zinasema vizuri sana kuwa kampuni ambayo inakuajiri kama intani haina budi kukutendea kama wafanyakazi wengine, wakulipe na upate siku za likizo kama wengine, miongoni mwa stahili nyingine.
34Es cierto y evidente que algunos internos “deciden” quedarse más tiempo con la esperanza de “portarse bien” para asegurarse un trabajo. Sí, eso está bien pero si la compañía realmente te necesita tanto, entonces deberían contratarte.Kama hawawezi kufanya hivo, basi siku yako ya mwisho kwenye kampuni hiyo inafaa kuwa siku ya mwisho wa mwezi wa tatu huko.
35Muchos empresarios saben muy bien que la mayoría de estos becarios están recién salidos de la universidad y que no tienen dinero ni para el transporte para ir a trabajar, pero aún así abusan de ellos hasta la saciedad.Ni kweli kuwa intani wengine wanaamua kubaki katika kampuni zaida ya muda wao ili waonekane kuwa wazuri ili kupata nafasi za kazi. Hapo ni sawa, lakini kama kampuni inakuhitaji sana lazima wakuajiri.
36Nairobi Wire observó que [en] las empresas que pagan a los becarios en Kenia son la minoría:Waajiri wengi wanajua kuwa wengi wa intani hawa huwa wametoka moja kwa moja toka shuleni, hawana hata nauli lakini bado wanawanyanyasa.
37Las empresas que pagan a sus becarios son la minoría y pagan una miseria.Nairobi Wire iliandika haya: Kampuni zinazowalipa intani ni chache na zinawalipa pesa kidogo sana.
38Leyendo algunos de los tuits, KCB, EABL, CIC, KPLC, KBC, Standard Group, NMG, RMS entre muchas otras aparecen en una lista como las más explotadoras.Kwa kupitia tweets za watu, KCB, EABL, CIC, KPLC,KBC,NMG, RMS na Standard Group wametajwa kuwa wanyanyasaji wakubwa.
39Equity Bank ha sido criticado por usar la RSC como motivo para disponer de mano de obra barata.Equity imesemekana hutumia huduma kwa jamii kama sababu yao ya kuwadhulumu wafanyikazi.
40KBC es la peor de todas, ya que los becarios han de pagar para hacer las prácticas allí.KBC ndio mbaya zaidi kwani lazima intani alipe ili apate nafasi huko.
41También han habido quejas de becarios explotados sexualmente.Pia kumekuwa na intani wanaoteta kuwa wanatumiwa kingono.
42Esta es una de las discusiones más encendidas que he presenciado en Twitter en mucho tiempo.Hili ni swala moja la kuvutia ambalo nimeona likiongelewa Twitter kwa muda mrefu.
43La mayor parte del tiempo, la gente está discutiendo sobre Kenya Power.Mara mingi watu huwa wanateta kuhusu Kenya Power.
44#PayInterns ha generado tanto interés que, en su momento álgido, se tuiteaban 150 mensajes por minuto. Y esto considerando que solo se refiere a Kenia.Suala hili limeibua mjadala mkubwa na kuwa na mvuto wa pekee, ndani ya dakika moja zimetumwa twiti takriban mia moja na hamsini, hili ni tukizingatia kuwa ni Kenya Pekee.
45Varias compañías han enviado mensajes también respondiendo a acusaciones de no pagar a sus becarios.Mashirika mengi yamejitetea kuhusu madai kuwa hawawalipi intani.
46KCB tuiteó “El grupo KCB no obtiene ningún dinero de los becarios. A los becarios se les paga un sueldo mensual que está por encima de la media de la industria”.KCB, walisema kuwa hawapati pesa zozote kutoka kwa intani na kuwa intani wanalipwa kiasi kidogo cha fedha lakini ambacho kiko juu ya wastani kulinganisha na sekta nyingine.