Sentence alignment for gv-spa-20150406-280535.xml (html) - gv-swa-20150410-8650.xml (html)

#spaswa
1Luego de que pistoleros mataran al menos a 147 personas, ¿dónde está la solidaridad del mundo con Kenia?Baada ya Magaidi Kuua Watu Wasiopungua 147, Kulikoni Dunia Haiungani na Kenya?
2Familiares hacen fila en la funeraria Chiromo en Nairobi para identificar los cuerpos de sus parientes muertos luego que Al-Shabaab atacara la Universidad Garissa en el noreste de Kenia.Ndugu wakiwa kwenye foleni kwenye sehemu itoayo huduma za mazishi jijini Nairobi kwa ajili ya kuwatambua marehemu waliouawa katika shambulio ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Garissa kilicho kaskazini mwa Kenya.
3Foto de Boniface Muthoni.Picha na Boniface Muthoni.
4Derechos reservados Demotix.Haki Miliki Demotix
5Militantes de Al-Shabaab atacaron la Universidad Garissa en Kenia el 2 de abril, mataron al menos a 147 personas, en su mayoría estudiantes, y dejaron heridas a 79.Wanamgambo wa Al-Shabaab walishambulia Chuo Kikuu kishiriki cha Garissa nchini Kenya mnamo Aprili 2 2015, na kuwaua watu wasiopungua 147, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, na kuwajeruhi wengine 79.
6Más de ocho veces la cantidad de personas que cayeron liquidadas por la violencia que ocurrió en el ataque a Charlie Hebdo en Francia, que dejó 17 muertos, pero la tragedia de Garissa no ha generado en ninguna parte el mismo nivel de solidaridad internacional que recibió el ataque en París.Idadi hii ni mara nane ya watu waliouawa wakati wa shambulio la Charlie Hebdo nchini Ufaransa, liliua watu wapatao 17, lakini inashangaza kwamba tukio baya kabisa la Garissa halijaonekana kuifanya dunia itoe mshikamano kwa kiwango kile kile kama ilivyokuwa kwenye shambulio la Paris.
7Hubo una crítica similar luego de la masacre Baga en Nigeria, ocurrida al mismo tiempo que las muertes en Charlie Hebdo.Hali kama hiyo ilijitokeza baada ya mauaji ya Baga nchini Naijeria, yaliyotokea karibu wakati huo huo wa mauaji ya Charlie Hebdo.
8Mientras este último tuvo una muestra de solidaridad sin precedentes, con más de 40 jefes de estado participando en una manifestación de unidad nacional, el primero ha recibido escasa cobertura y atención.Wakati tukio la Charlie hebdo lilivuta hisia za hisia za watu wengi huku zaidi ya wakuu 40 wa nchi walishiriki kwenye mkutano wa mshikamano wa kitaifa, tukio la Mauaji ya Baga halikupewa uzito unaostahili.
9Luego de la terrible violencia en Garissa, los usuarios de Twitter fueron rápidos en notar la falta de reacción internacional.Katika shabulio la kutisha la Garissa, watumiaji wa mtandao wa twita walikuwa wepesi kugundua kwamba dunia haikustuka.
10Shekhar Kapur desde Mumbai, India, concluyó:Shekhar Kapur kutoka Mumbai, India, alihitimisha:
11La falta de reacción Internacional a los ataques en Garrisa comparado con Je Suis Charlie muestra lo poco que al mundo le interesa.Kutokuwepo kwa mwitikio wa kimataifa kwenye shambulio la Garissa ukilinganisha na Lile la Charlie inaonesha jinsi dunia isivyojali wengine
12Las vidas africanas sí importan.While Idriss Ali Nassah observed:
13En tanto que Idriss Ali Nassah observó:Ulikimbilia kampeni ya #ShambuliolaCharlie.
14Te trepaste al carro del Yo soy Charlie.Ukabadili mpaka picha ya utambulisho wako, lakini hujasema lolote kuhusu #ShambuliolaGarrisa.
15Hasta cambiaste las fotos de tu perfil, pero no has dicho una palabra acerca del ataque en Garrisa.
16Por favor, pregúntate por qué.Hebu jiulize kwa nini?
17Veamos cuántos presidentes africanos que corrieron a París para la marcha por los ataques en Charlie Hebdo se dirigirán a Kenia a protestar por el ataque en Garrisa.Ngoja tusubiri tuone marais wangapi wa Afrika waliokimbilia kwenda Paris kuandamana kuonesha mshikamano watakwenda Kenya kulaani shambulio la Garissa
18La vida es sagrada en todas partes, escribió @borderlessciti, tuiteando a los pesos pesados mediáticos Oprah Winfrey y la editora en jefa del Huffington Post, Arianna Huffington: ¡Toda vida humana es sagrada, ya sea en París o en Garrisa!Mtumiaji wa mtandao wa twita ajiiate Life is sacred everywhere, @borderlessciti aliandika akielekeza twiti yake kwa mhariri mkuu mtendaji wa vyombo maarufu vya habari vya Oprah Winfrey na Huffington Post Arianna Huffington:
19147 no es solamente un número. Apaguen las noticias de televisión@ariannahuff Kila uhai wa mwanadamu una thamani, iwe ni Paris au Garissa!
20Los observadores también criticaron la cobertura que los medios occidentales dieron al ataque.Wachunguzi walikosoa kile kilichokuwa kikitangazwa na vyombo vya habari vya ki-Magharibi na walishambulia, hali kadhalika.
21Después que CNN ubicara erróneamente a Tanzania en Uganda y a Nairobi en Nigeria en un mapa de África Oriental, el blog Africa is a Country (África es un pais) sugirió que la gente apagara las noticias de televisión para entender el sentido del ataque:Baada ya CNN kukosea na kuiweka Tanzania kwenye eneo la Uganda na Nairobi kuonekana iko Nigeria kwenye ramani ya Afrika Mashariki, Blogu ya Africa is a Country blog ilishauri kwamba watu wazime televisheni zao ili waweze kuelewa shambulio hili:
22Para entender el sentido del ataque de Al Shabaab en la Universidad cerca de la frontera de Kenia con Somalia (cuenta oficial de víctimas es 148; otros dicen cerca de 200), tal vez quieras apagar las noticias de televisión.Ili kuelewa shambulio hili lililofanywa na Al Shabaab kwenye Chuo Kikuu cha Garissa karibu na mpaka wa Kenya na Somalia (takwimu rasmi ni vifo 148; wengine wanasema 200), pengine utahitaji kzima taarifa za habari kwenye televisheni.
23Sobre todo desde que CNN movió Nairobi a Nigeria y Tanzania a Uganda.Hasa kwa sababu CNN imeihamishia Nairobi kwenda Naijeria na Tanzania kwenda Uganda.
24Será crucial cómo estos ataques se van a encuadrar en las próximas horas y especialmente cómo va a responder el estado keniano (ya han culpado al Poder Judicial y antes han acorralado a los somalíes a pesar de la poca evidencia). igualmente importante es la opinión pública.Tusichokijua ni namna gani mashambulizi haya yataelezewa ndani ya masaa machache yajayo na namna gani serikali ya Kenya itashughulikia janga hili (tayari wanalaumu mahakama na siku za nyuma waliwahusisha wa-Somali pamoja na kuwa na ushahidi mdogo). Kilichomuhimu ni maoni ya umma.
25Entonces, así como hicimos al momento del ataque de Al Shabaab en el centro comercial Westgate Mall en la capital de Kenia, Nairobi, hemos recopilado una serie de enlaces, incluidas algunas cuentas de Twitter, que les sugerimos leer o seguir.Kwa hiyo, kama tulivyofanya wakati wa shambulio lililopangwa na Al Shabaab kwenye jengo la kibiashara la Westgate kwenye mji mkuu wa Kenya, Nairobi, tumekusanya viungo vingi, ikiwa ni pamoja na anuani za mtandao wa twita, tunapendekeza uzisome au kuzifuatilia.
26Idriss Ali Nassah destacó la necesidad de que África cuente sus propias historias:Idriss Ali Nassah alisisitiza uhitaji wa Afrika kutangaza habari zake yenyewe:
27BBC está emitiendo un debate, CNN tiene fijación con el acuerdo nuclear de Irán.BBC wanatangaza mdahalo, CNN haina habari na mambo mengine ziadi ya mpango wa nyuklia wa Iran.
28África necesita sus propios medios de comunicación para contar nuestras historias.Afrika inahitaji vyombo vyake vya hbari kusimuliza habari zake yenyewe
29KiGossip.Mtandao wa KiGossip.
30Com se pregunta por qué un periodista de CNN le preguntaría a un sobreviviente si tuvo miedo:Com uishangaa kwa nini mwandishi wa habari wa CNN alimwuliza mtu aliyenusurika kifo kama ameogopa:
31Bueno, un periodista de CNN le preguntó a un sobreviviente del ataque en Garrisa: ‘¿TUVISTE MIEDO'? NECEDAD absoluta.Kwa hiyo, mwandishi wa habari wa CNN alimwuliza mtu aliyenusurika kifo kwenye shambulio la Garissa: “HIVI ULIOGOPA'?
32A este hombre lo deberían DESPEDIR.Huu ni UPUUZI…kwa nini hajafukuzwa?
33Sin embargo, algunos usuarios notaron que ni los medios locales estuvieron haciendo un buen trabajo:Hata hivyo, watumiaji wachache wa mtandao wa twita walibaini kwamba hata vyombo vya ndani ya bara la Afrika havifanyi kazi nzuri:
34Estemos de acuerdo en que los medios locales hicieron o han hecho un trabajo chapucero al cubrir el ataque en Garrisa.Tukubaliane kwamba vyombo vya ndani navyo vimefanya kazi mbaya katika kutangaza habari za shambulio la Garissa.
35Titulares de anzuelo y reportajes poco profundos.Vichwa vya habari vya kidaku na kutoa habari zisizojitosheleza
36Standard Kenya publica fotos de familias sufriendo y citas de políticos.Gazeti la @StandardKenya limechapisha picha za familia zinazoomboleza lakini likinukuu wanasiasa.
37Qué vergüenza debería darles.Aibu yenu.
38Los africanos culpan a Occidente por dejar de lado muy rápido el ataque de Garrisa, pero nuestros propios medios lo dejaron de lado primero.Waafrika wanazilaumu nchi za Magharibi kwa kuachana na habari za Shambulio la Garissa mapema lakini hata vyombo vyenu navyo viliachana na habari hizo mapema
39JuwelsM sostuvo que los africanos deberían dirigir su propia narrativa:JuwelsM alihoji kwamba Waafrika waanze kuamua mambo gani yana uzito kwao:
40Te trepaste al carro del Yo soy Charlie.Sote tuna hatia kwa kujipuuza wenyewe.
41Hasta cambiaste las fotos de tu perfil, pero no has dicho una palabra acerca del ataque en Garrisa.
42Por favor, pregúntate por qué. --- Todos somos terriblemente culpables por menospreciarnos nosotros mismos.Labda tuanze kuachana na kasumba ya kusubiri nchi za Magharibi ziamue nini kina umuhimu kwetu.
43Tal vez es momento de que dejemos de esperar que Occidente decida por nosotros lo que es importante.