Sentence alignment for gv-spa-20120323-112901.xml (html) - gv-swa-20120415-2739.xml (html)

#spaswa
1Mali: El golpe militar sorprende a los ciudadanosMali: Raia Washtushwa na Mapinduzi ya Kijeshi
2Un grupo de soldados renegados ha anunciado que está tomando el poder en Mali [en], tras haber ocupado la Oficina de Radio y Televisión de Mali y el palacio presidencial.Wanajeshi waasi wametangaza kwamba wametwaa madaraka nchini Mali , baada ya kukiteka kituo cha televisheni ya taifa pamoja na ikulu ya nchi hiyo.
3Sostienen que el gobierno del presidente Amadou Toumani Touré no ha conseguido suministrar a las tropas el material necesario para hacer frente a la cada vez más violenta lucha contra los Tuaregs rebeldes en el norte del país [en], que amenazan con lograr la secesión de Mali.Wanadai serikali ya Rais Amadou Toumani Touré imeshindwa kutoa ushirikiano kwa vikosi vyake kijeshi katika mapambano dhidi ya waasi wa Tuareg kaskazini mwa nchi hiyo ambao wanataka kujitenga kutoka nchi hiyo.
4Muchos ciudadanos se han visto sorprendidos por este golpe de Estado tan repentino, cuando las elecciones ya están fijadas para el 29 de abril de este mismo año.Raia wengi wamepatwa na mshtuko iweje mapinduzi yafanyike kipindi cha mwezi mmoja tu kabla ya uchaguzi uliokuwa umepangwa kufanyika tarehe 29 Aprili, 2012?
5Existen muchas teorías. El líder del golpe militar en Mali, el capitán Amadou Sanogo vía @YoungmalianBila shaka kulikuwa na nadharia nyingine za kueleza tukio hilo na hatua hiyo ya kijeshi.
6El capitán Sanogo, líder del nuevo Comité Nacional por la Restauración de la Democracia y el Estado (CNRDE), afirma que dirigirán la transición hasta las próximas elecciones de abril.Kiongozi wa Mapinduzi nchini Mali Kapteni Sanogo kupitia @Youngmalian Kapteni Sanogo ndiye kiongozi wa Kamati ya kijeshi ya Taifa ya Kurejesha Demokrasia na Nchi (CNRDR) ambao wanasema wataongoza serikali ya mpito mpaka uchaguzi utakapofanyika.
7Un portavoz del comité, el teniente Kanoré, aseguró que aunque hayan disuelto las instituciones actuales, no tienen intención de mantener el poder indefinidamente.Msemaji wa kamati hiyo, Lieutenant Kanoré alisema kwamba ingawa wamesimamisha katiba na kuvunja taasisi zilizopo, hawana kusudio la kung'ang'ania madaraka.
8Los enfrentamientos entre soldados que apoyan el golpe y otros que se mantienen leales al presidente Touré siguen en curso.Mapigano kati ya wanajeshi wanaounga mapinduzi hayo na wale wanaomwunga mkono Rais Toure bado yangali yakiendelea.
9Se informa que algunos políticos y oficiales de alto rango han sido arrestados en la capital, Bamako:Baadhi ya wanasiasa na maafisa wa ngazi za juu wameripotiwa kuwekwa kizuizini mjini Bamako, makao makuu ya nchini hiyo.
10Los ciudadanos malienses están algo perplejos ante el desarrollo de los hechos.Raia wengi wa Mali wameshtushwa kwa kiasi kikubwa na mwelekeo wa matukio.
11Aquí pueden ver algunas reacciones tras enterarse de la toma de poder por parte de la insurrección militar. [fr y es]:Hapa ni baadhi ya miitikio baada ya kufahamu kuwa wanajeshi waasi walikuwa wametwaa madaraka [fr na ing]:
12@TheSalifou: Temo por mi país…#Mali @Anniepayep: ¡De verdad, es vergonzoso!@Anniepayep: Kweli, Aibu RT@juliusessoka barani Africa, mnatoka hotelini kuja kuishia mtaroni #mali
13RT @juliusessoka En África, sales del restaurante para acabar devorado #mali @Abdou_Diarra: Presuntamente, el presidente de Mali Amadou Toumani Touré se encuentra bien y en un lugar seguro, según un soldado leal #Mali@Abdou_Diarra: Rais wa Mali Amadou Toumani Touré anasemekana kuwa mzima mwenye afya njema na yu mahali salama kwa mujibu wa wanajeshi watiifu #Mali
14@Youngmalian ATT (el presidente de Malí) fue elegido democráticamente por la gente y su mandato termina en junio.@Youngmalian ATT (Rais wa Mali) alichaguliwa kidemokrasia na watu na madaraka yake yalikuwa yaishie mwezi Juni.
15Qué derecho tienen los militares de actuar en nombre del pueblo #MaliWanajeshi wana haki gani ya kuchukua hatua kwa niaba ya watu wa #Mali
16@ibiriti: la democracia no sólo consiste en unas elecciones para reemplazar a un incompetente con otro. tiene que aportar beneficios@ibiriti: demokrasia haimaanishi tu ni mipangilio ya uchaguzi ili kubadili watu wasio na uwezo na kuwaweka wengine. Ni lazima itoe huduma
17@philinthe_: Bancos + gasolineras cerradas en #Bamako #Mali.@philinthe_: Benki na vituo vya mafuta vilifungwa mjini #Bamako #Mali.
18Hablando con taxistas que piden el doble de la tarifa habitual.Ninaongea na madereva teksi wanataka kulipwa mara dufu ya nauli inayofahamika.
19La sotrama se mantiene a 100-150CFA (La sotrama es un mini-bus típico de Mali)Kwenda Sotrama bado ni kati ya sarafu za Mali CFA 100-150
20@temite: Ocurra lo que ocurra, lo que saldrá perdiendo inevitablemente será la unidad, el lazo fraternal entre la gente y las culturas #Mali@temite: Chochote kitakachotokea, kitakachoathirika hakikosi kuwa ni umoja, umoja wa kidugu baina ya watu na utamaduni #Mali
21Las teorías conspiratorias sobre la razón por la cual el golpe ha tenido lugar a pocas semanas de las elecciones son abundantes [fr]:Mpango wa siri unaonekana wazi kufuatia mapinduzi kufanyika majuma machache tu kabla ya uchaguzi ambao tayari umeshapangwa [fr]:
22@diatus2: El golpe en #Mali era de esperar porque ATT (el presidente de Malí) estaba alargando el problema con los tuaregs rebeldes para poder obtener un tercer mandato@diatus2: Mapinduzi nchini #Mali yalitarajiwa kwa sababu ATT (Rais wa Mali) alikuwa anaruhusu hali hiyo kwa kulea waasi wa Tuareg (wakaazi wa kaskazini mwa nchi hiyo) kwa hiyo alikuwa akijiandalia mapinduzi yeye mwenyewe
23@Giovannidjossou:#ATT (el presidente de Malí) no está haciendo nada contra los terroristas en el norte de Malí porque estos problemas le permiten posponer las elecciones hasta junio!@Joe_1789: Ninalaani: Mapinduzi haya ambayo yalipangwa na wanajeshi walioziasi Nchi zizungumzao Kifaransa barani Afrika, dhidi ya Mali na Rais wake aliyechaguliwa kidemokrasia
24@Joe_1789: Yo denuncio: Este golpe ha sido concebido por bandidos armados al servicio del África francófona, contra Mali y su presidente elegido democráticamenteUkurasa wa Twita wa Ofisi ya Rais wa Mali haukuwa na taarifa mpya tangu Machi 21 ilipokanusha kuangushwa kwa serikali hiyo [fr]:
25La cuenta de Twitter del presidente no ha sido actualizada desde el 21 de marzo, cuando negó la mencionada toma de poder [fr]:@PresidenceMali: Tamko Rasmi la kukanusha uvumi: Waziri wa Ulinzi hajaumizwa wala kuwekwa kizuizini.
26@PresidenceMali: Negación formal: El ministro de defensa no está herido ni bajo arresto.Yupo mezani kwake akiendelea na majukumu yake ya kila siku Email
27Se encuentra en su despacho atendiendo tranquilamente sus quehaceres cotidianos.Imeandikwa naLova Rakotomalala Imetafsiriwa na Christian Bwaya@bwaya