Sentence alignment for gv-spa-20140722-246647.xml (html) - gv-swa-20140726-7981.xml (html)

#spaswa
1Un documento filtrado siembra dudas acerca del brillante panorama de la extracción de gas en TanzaniaMkataba Uliovuja Waonyesha Hali Halisi Inayoikabili Sekta ya Gesi Nchini Tanzania
2La extracción de gas en Tanzania en una caricatura de Masoud Kipanya.Uchimbaji wa mafuta nchini Tanzania, mtazamo wa mchora katuni Masoud Kipanya.
3Originalmente publicada en Mwananchi.Katuni hii kwa mara ya kwanza iliwekwa katika gazeti la Mwananchi.
4Usada con permiso.Imetumiwa kwa ruhusa.
5Nadie conoce con certeza las cifras de las reservas de gas de Tanzania, aunque las estimaciones [en] las ubican en alrededor de 51 trillones de metros cúbicos (TCF).Kwa hakika, hakuna yeyote ajuaye kiasi cha gesi iliyopo nchini Tanzania, hata hivyo inakisiwa kuwepo kwa takribani futi za ujazo trilioni 51 za gesi.
6Pero las expectativas que rodean a las prospecciones gasíferas en Tanzania son significativamente superiores.Mategemeo katika uvunaji wa gesi nchini Tanzania yanaongezeka kwa kasi kubwa.
7En toda Dar es Salaam, la capital comercial de Tanzania, el tránsito y las nuevas construcciones están en pleno desarrollo.Katika maeneo mbalimbali ya jiji la Kibiashara la Tanzania, Dar es Salaam, kumekuwa na ongezeko la haraka la magari pamoja na majengo mapya.
8La designación [en] de Dar es Salaam como la ciudad de crecimiento más rápido del este de África, según el Banco de Desarrollo africano (AfDB), casi se puede palpar literalmente.Mji wa Dar es Salaam umepewa hadhi na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kama jiji linalokuwa kwa kasi zaidi Afrika Mashariki ni jambo lisilohitaji ushahidi hata kidogo.
9El informe del AfDB, “Siguiendo el progreso de África”, predice que la población de la ciudad aumentará de 4 a 6.2 millones en los próximos 10 años.Taarifa ya Benki ya Maendeleo ya Afrika, “Ufuatiliaji wa Maendeleo ya Africa”, imeonesha makisio ya ongezeko la watu katika jiji hilo kutoka watu milioni 4 hadi milioni 6.2 katika kipindi cha miaka 10 ijayo.
10Los pronósticos relativos al crecimiento económico del país están basados en ingresos futuros provenientes de la explotación de recursos naturales, como el gas de la región de Mtwara.Ukuaji wa uchumi wa Tanzania kwa siku za usoni unadhaniwa kuongezeka kutokana na kipato kutokana na rasilimali za asili kama vile gesi katika mkoa wa Mtwara.
11El pronóstico de AfDB, por ejemplo, hace referencia a los potenciales futuros empleos que creará esta actividad.Kwa mfano, Mategemeo ya Benki ya Maendeleo ya Afrika ni kuwa uchimbaji huu wa gesi utaongeza kiasi kikubwa cha upatikanaji wa ajira.
12Las protestas de enero y mayo de 2013 protagonizadas por los residentes de la ciudad portuaria de Mtwara, sin embargo, señalan la falta de confianza en que el futuro avisorado por AfDB se materialice en las áreas rurales de Tanzania, como la región de Mtwara.Hata hivyo, maandamano ya Januari na Mei 2013 katika mji wa kibandari wa Mtwara yalitoa ishara ya kukosekana kwa imani kuwa matarajio ya Benki ya Maendeleo ya Afrika kutokuwezekana katika maeneo ya vijijini kama yale ya mkoa wa Mtwara.
13El catalizador de las protestas fue el anuncio de la decisión gubernamental de construir una tubería para transportar gas desde Mtwara a Dar es Salaam, en lugar de instalar una planta de procesamiento en Mtwara.Chanzo cha maandamano hayo kilikuwa ni maamuzi yaliyofikiwa na serikali ya kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar Es Salaam badala ya kujenga kiwanda cha kuchakata gesi mkoani Mtwara.
14La última hubiera servido como parte de una estrategia de industrialización para impulsar el desarrollo local.Ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta mkoani Mtwara ungesaidia katika kukuza maendeleo ya kiviwanda mkoani humo.
15Un incidente ocurrido a principios de julio de 2014, que involucró un acuerdo de reparto de producción (PSA) entre la Corporación de Desarrollo petrolero de Tanzania (TPDC) y la multinacional noruega Statoil, con Exxon Mobil, destaca las dificultades que han surgido en torno al asunto de las ganancias de los campos de gas de Tanzania-y para determinar quiénes se beneficiarán.Tukio la mwanzoni mwa mwezi Julai 2014 lililohusu makubaliano ya ushirikiano katika uzalishaji (PSA) kati ya Shirika la Maendeleo ya Petroli la Tanzania (TPDC) na kampuni ya Norway ya kimataifa ya Statoil, sambamba na Exxon Mobil, ilionesha hali ya mashaka kuhusiana na suala la mapato kwenye uvunaji wa gesi nchini Tanzania na suala la nani kunufaika na mkataba huo.
16Aunque no está directamente relacionado con las protestas en Mtwara, el asunto de TPDC-Statoil resalta que los tanzanos tienen mayor conocimiento acerca de los cuestiones que rodean al petróleo y el gas y un creciente descontento con la manera en que los gobiernos manejan los contratos relacionados con recursos naturales y comunican esta información a sus ciudadanos.Pamoja na kuwa hakuna uhusiano wa moja kwa moja na vurugu zilizotokea Mtwara, uhusiano uliopo kati ya TPDC na Statoil wapelekea wananchi wengi wa Tanzania kuongeza umakini wao kwenye masuala ya mafuta na gesi, na pia kuongezeka miongoni mwao kwa kutoridhishwa na namna serikali inavyosimamia mikataba ya rasilimali za asili na namna inavyowashirikisha wananchi.
17En el centro del asunto está el apéndice [en] al contrato original entre Statoil y el gobierno de Tanzania por la extracción de gas en la región de Mtwara que se filtró y suscitó la atención de la prensa tanzana a principios de julio de 2014 [en].Sababu za hali hii ni kuvuja kwa kiambata cha mkataba rasmi uliofikiwa kati ya Statoil na serikali ya Tanzania kuhusu uchimbaji wa mafuta mkoani Mtwara, ulivuja, na kisha kugonga vichwa vya habari katika vyombo vya habari vya Tanzania mapema mwezi Julai, 2014.
18Según los informes de los medios, conforme a los términos del acuerdo filtrado, el gobierno perdería US$1 mil millones anualmente.Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, kwa kuzingatia makubaliano yaliyofikiwa kwenye taarifa hiyo iliyovuja, seriakali inaonekana kupoteza kaisi cha dola kimarekani bilioni 1 kwa mwaka.
19En los medios sociales los tanzanos se preguntan cómo dos multinacionales se las arreglaron para obtener un acuerdo tan beneficioso.Kwenye mitandao ya kijamii, watanzania wameshangazwa kwa namna ambavyo makampuni hay mawili yafanyavyo kazi katika mataifa mbalimbali yalivyoweza kuingia makataba mnono kwa kiasi hicho.
20Una caricatura de Masoud Kipanya publicada en el periódico tanzano Mwananchi muestra un hombre blanco con un tanque con la etiqueta “GESI” (gas en swahili) en la espalda, extrayendo gas del suelo mientras le entrega monedas a un tanzano.Katuni iliyoandaliwa na Masoud Kipanya na kuchapishwa kwenye gazeti la Tanzania litolewalo kila siku la Mwananchi, ikimuonesha mzungu akiwa amebeba mgongoni mwake tangi la “GESI” akiendelea kuchimba gesi na wakati huo akimpa mtanzania vijisenti.
21Otro caricaturista, Kipanya [en] muestra a un ratón diciendo en swahili: “Deseo que permitamos que nuestro gas permanezca bajo tierra hasta que nuestro país llegue a la adolescencia.”Katuni nyingine ya Kipanya ikimuonesha panya akisema: “Natamani kama gesi yetu isingechimbwa hadi tutakapopevuka.”
22El proyecto de extracción de gas de Statoil en Tanzania es una de las inversiones más grandes en la historia de África subsahariana.Mradi wa Statoil wa uvunaji wa gesi nchini Tanzania ni moja ya miradi mikubwa kabisa kuwahi kutokea Kusini mwa Jangwa la Sahara.
23Escribiendo en Africa Arguments, el analista y bloguero Ben Taylor argumentó [en] que las ganancias potenciales del gas natural son tan altas que podrían liberar a Tanzania de su fuerte dependencia de la ayuda para el desarrollo [en].Akiandika kuhusiana na masuala ya Africa, mchambuzi na mwanablogu, Ben Taylor alitanabaisha kuwa, mapato sahihi yatokanayo na gesi asilia yanaweza kuifanya Tanzania kuacha kutegemea misaada ya kimaendeleo kwa kiasi kikubwa.
24“Otro indicador de la magnitud de las ganancias involucradas,” escribió Taylor, “es que por su condición de accionista mayoritario de Statoil los ingresos extra para el gobierno noruego de este acuerdo podrían ser superiores al doble del total de la ayuda recibida por Tanzania de Noruega desde su independencia.”“Ishara nyingine kuhusiana na mgawanyo huu,” aliandika Taylor, “ni kuwa, kwa kuwa serikali ya Norway ndiye mmiliki mkubwa wa Statoil, mapato ya ziada inayopata serikali ya Norway katika mradi huu yanaweza kuwa ni mara mbili zaidi ya misaada yote iliyowahi kutolewa na serikali ya Norway kwa Tanzania tangu Tanzania kupata uhuru.”
25Zitto Kabwe, miembro del parlamento y presidente del Comité de cuentas públicas, resaltó [en] algunos de los puntos clave de los documentos filtrados, en su blog [en] y criticó que el PSA no estuviera disponible para el público.Zitto Kabwe, ambaye ni mbunge na pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali, alifafanua baadhi ya mambo ya msingi yaliyomo kwenye waraka uliovuja katika blogu yake, na kuchambua kwa kina kuhusiana na hoja ya kuwa hati ya makubaliano kutokuwekwa bayana.
26En un artículo del 6 de julio de 2014 en Daily News, TPDC le respondió [en] a Kabwe, afirmando que los argumentos de que el país corre el riesgo de perder US$1 mil millones al año son infundados.Kwenye makala ya Julai 6 katika gazeti la Daily News TPDC ilimjibu Kabwe, kwa kusema kuwa, hoja ya kwamba nchi imejiweka katika hatari ya kupoteza kiasi cha dola za kimarekani bilioni 1 kwa mwaka ni hoja isiyo na msingi wowote.
27Kabwe y otros rebatieron [en] los comentarios de TPDC en Twitter y Kabwe convocó a TPDC a aclarar los términos del acuerdo [en].Kabwe na watu wengine walijibu hoja za TPDC katika Twita. Kabwe aliitaka TPDC kutolea ufafanuzi wa makubaliano yaliyofikiwa.
28Según un artículo publicado el 19 de julio en The Citizen [en], TPCD confirmó su posición en una conferencia de prensa del 16 de julio de 2014: “El director ejecutivo saliente de TPDC, Yona Killagane negó rotundamente los alegatos de que el país podría sufrir pérdidas por $1 mil millones al año si el acuerdo se implementara tal como fue acordado.Kwa mujibu wa makala ya Julai 19 katika gazeti la The Citizen, TPDC ilitoa msimamo wake katika mkutano na waandishi wa habari mnamo Julai 16: “Mkurugenzi aliyeko madarakani wa TPDC, Yona Killagane alipinga vikali kabisa kuwa nchi itapoteza dola bilioni 1 za kimarekani kila mwaka iwapo mkataba huu utatumika kama makubaliano yalivyofikiwa.
29En lugar de eso, insistió en que es probable que el gobierno obtenga mayores ganancias y se beneficie con el contrato.”Kinyume chake, alisisitiza kuwa nchi ingaliweza kunufaika zaidi kifedha na hii ineipa nchi nafsi kubwa ya kunufaika katika mkataba huu.”
30Los tanzanos no han tenido precisamente buenas experiencias en cuanto a la transparencia en los contratos referidos a recursos naturales, pero este último asunto generó aún más desconfianza.Watanzania kimsingi hawaridhishwi na suala la uwazi wa mikataba inayohusu rasilimali zao, tukio la kuvuja kwa hati ya makubaliano limechochea zaidi watanzania kutokuiamini serikali yao.
31Tampoco colaboran las declaraciones de Patrick Rutabanzibwa, director de PanAfrican Energy, la compañía que administra Songo Songo Gas y la planta de energía en base a gas en Ubungo, (también ex Secretario permanente del Ministerio de Energía y Minerales), minimizando el asunto [en] en Dar es Salaam.Vile vile, haikusaidia, hata pale Patrick Rutabanzibwa, mwenyekiti wa PanAfrican Energy, kampuni inayoendesha mradi wa gesi ya Songo Songo pamoja na mtambo wa kuzalisha umeme wa Ubungo uliopo jijini Dar es Salaam (na pia ndiye aliyekuwa katibu wa Wizara ya Nishati na Madini), kulimaliza suala hili kimya kimya.
32“No logramos nuevos contratos en materia de recursos, como sucedía en minería, y actualmente en gas y petróleo, debido a que nuestra capacidad es muy baja,” afirmó [en] Rutabanzibwa.“Tunashindwa kuingia mikataba inayohusu rasilimali kama ilivyokuwa kwenye uchimbaji madini na sasa katika mafuta na gesi kwa kuwa uwezo wetu bado ni mdogo,” alisema Rutabanzibwa.
33“Pero si los tanzanos estuvieran capacitados, los contratos serían equilibrados….“Lakini kama watanzania watawezeshwa, mikataba itakuwa katika hali ya usawa. . . .
34Debemos olvidar el pasado y comenzar a hacer públicos por ley los contratos de inversión en el sector del gas natural; estoy seguro de que llegará el día en el que todos los contratos de inversión sean públicos.”Tunapaswa kusahau yaliyopita na tuanze kuingia mikataba ya uwekezaji ya gesi asilia kwa uwazi na kwa kufuata taratibu; Ni dhahiri kuwa, itafikia wakati ambao mikataba yote ya uwekezaji itakuwa bayana.”
35Según los accionistas con intereses particulares en negocios e inversiones en Tanzania, las críticas dificultan aún más las inversiones en un área complicada como es la del gas y algunos incluso alegan que tendrán como resultado menos recursos invertidos en las zonas más necesitadas.Kwa washikadau walio na mipango ya kufanya biashara na uwekezaji nchini Tanzania, ukosoaji unaifanya sekta kama ya gesi iliyo na changamoto nyingi kuwa ngumu zaidi, na wengine wanaona kuwa, matokeo yake ni kuwa, maeneo yaliyotelekezwa hayatafaidika ipasavyo.
36Otros sostienen que aún sin tener en cuenta la participación de Tanzania en las ganancias, el país se verá beneficiado por la creación de empleos y el crecimiento local en Mtwara.Wengine wanaweza kusema kuwa, mbali na mgawanyo wa mapato baina ya Tanzania na makampuni yaliyowekeza, bado kutakuwa na faida ya upatikanaji wa ajira pamoja na ukuaji kiuchumi kwa mkoa wa Mtwara.
37El analista Ben Taylor es menos optimista.Mchambuzi Ben Taylor hakuwa na imani na maelezo hayo.
38“Uno de los grandes riesgos del gas y el petróleo para la política,” escribió [en] Taylor, “es que pueden ser vistos por los políticos y los funcionarios de mayor rango como ‘dinero fácil' que no está sometido a la clase de controles que los contribuyentes y los donantes exigen cuando aportan pagando sus impuestos o brindando ayuda.“Moja ya hatari kubwa ya kisiasa katika uvunaji wa mafuta na gesi,” aliandika Taylor, “ni kuwa,jambo hili linaweza kuchukuliwa na wanasiasa na viongozi waandamizi kuwa ni fedha za “bure” ambazo huwa hazipatikani kirahisi kwa walipa kodi wanaofuatilia kwa makini kabla ya kulipa kodi zao pamoja na matakwa ya watoa misaada kabla ya kutoa misaada.
39“A menos que alguien - los medios, los políticos, la sociedad civil - decida subsanar las deficiencias en la materia, las autoridades del gobierno podrán tomar decisiones libremente sin necesidad de proteger el interés público.“Bila ya mtu- vyombo vya habari, wanasiasa, watetezi wa haki za raia - wasipoingilia kati na kutatua tatizo, viongozi wa serikali wataendelea kuwa huru kufanya maamuzi wanayoona wao yanafaaa, na yasiyo na tija yoyote kwa jamii.
40El PSA de Statoil podría costarle a Tanzania siete mil millones de dólares - y nadie parece estar interesado en procesar a los responsables.”Makubaliano ya Ushirika katika uzalishaji ya Statoil yanaweza kuigharimu Tanzania mabilioni ya dola, lakini yaonekana bado hakuna yeyote anayejaribu kuwawajibisha wale wanaohusika.”