Sentence alignment for gv-spa-20140707-244543.xml (html) - gv-swa-20140705-7831.xml (html)

#spaswa
1Egipto sube los precios de combustibles hasta un 78 por cientoMisri Yapandisha Bei ya Mafuta Hadi Asilimia 78
2Copia de la orden para aumentar casi al doble el precio de los combustibles en Egipto.Nakala ya agiz la kupandisha bei ya mafuta kwa zaidi ya mara mbili nchini Misri.
3Fuente de la imagen: @AhmedKheir en TwitterChanzo cha Picha: @AhmedKheir kwenye mtandao wa Twita
4Los internautas egipcios están furiosos por la subida de precios de los combustibles, que dicen conducirá a un aumento en los costes de transporte, alimentos y servicios.Watumiaji wa mtandao nchini Misri wamepandwa na hasira kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta, hatua ambayo wanaamini itasababisha kupanda kwa gharama za usafiri, chakula na hata huduma nyinginezo.
5Según Ahmed Kheir, usuario de Twitter de El Cairo que cuenta con 2.200 seguidores:Kwa mujibu wa Ahmed Kheir, mtumiaji wa mtandao wa Twita kutoka Cairo, mwenye wafuatiliaji 2,200:
6Gasolina de 92 octanos, sube un 40 por ciento Gasolina de 80 octanos, sube un 78 por ciento Diesel, utilizado por microbuses y transporte [público], sube un 63 por ciento Gasolina de 95 octanos, utilizada por el segmento más rico de la sociedad, sube un 7 por ciento (justicia social)Mafuta ya Oktane 92 yamepanda kwa asilimia Mafuta ya Oktane 80 yamepanda kwa asilimia 78 Dizeli, inayotumiwa na mabasi madogo madogo na usafiri mwingineo, imepanda kwa asilimia 63 Oktane 95, inatumiwa na kada ya matajiri wa nchi hiyo, imepanda kwa asilimia 7 #haki_jamii
7Esas cifras se repiten en este informe [en] de Reuters, que señala que el gobierno egipcio ha aumentado los precios ya que “intenta recortar los subsidios energéticos para aliviar la carga sobre su creciente déficit presupuestario”.Takwimu hizo zimerudiwa tena kwenye taarifa ya shirika la habari la Reuters, inayosema kwamba bei zimeongezwa kwa kile kinachosemekana kuwa serikali ya Misri inajaribu kufuta ruzuku kwa nishati ili kupunguza mzigo kwenye bajeti yake yenye nakisi kubwa.”
8En otro tuit, Kheir señala:Katika twiti nyingine, Kheir anabainisha:
9Han aumentado el precio del combustible en más de la mitad, en ausencia de un Parlamento.Wameongoza bei ya mafuta kwa zaidi ya nusu ya bei ya awali, bila Bunge.
10Tomaron la decisión en secreto en un día libre.Walichukua maamuzi kwa siri tena kwenye siku ya mapumziko.
11Todas estas medidas son propias de ladrones.Vitendo hivi vyote hufanywa na wezi tu.
12Peter Ramez, que tiene 500 seguidores en Twitter, culpa de la subida al nuevo presidente de Egipto, Abdelfatah al Sisi, diciendo:Peter Ramez, mwenye wafuatiliaji 500 kwenye mtandao wa twita, anamlaumu rais mpya wa Misri Abdelfattah El Sisi, kwa ongezeko hilo, akisema:
13¿Un aumento de más del 40 por ciento en los precios de la gasolina, infieles?Ongezeko la asilimia 40 kwa bei ya mafuta nyie wadhalimu?
14Que la justicia de Dios caiga sobre ti, Sisi.Haki ya Mungu ikutane nanyi.
15Te mereces todas las maldiciones que vas a recibirMnastahili kila aina ya laana mtakazozipata
16Y Ahmed Fathi El Badry añade:Na Ahmed Fathi El Badry anaongeza:
17¿Crees que el amor de la gente significará algo después de esta decisión?Hivi kweli mnadhani upendo wa watu kwenu utamaanisha chochote baada ya uamuzi huu?
18Esto es verdaderamente un suicidio político y socialHatua hii ni kifo chenu wenyewe cha kisiasa na kijamii
19Otros han utilizado el humor para expresar su frustración.Wengine walichagua kutumia utani kueleza kuchanganyikiwa kwao.
20Bajo el seudónimo Shay Sokar Bara, un usuario con alrededor de 83.000 seguidores dice:Shay Sokar Bara, mwenye wafuasi 83,000 kwenye mtandao wa twita, anasema:
21No me rebelé contra [el expresidente Mohamed] Morsi para que se eliminen las subvenciones, o para que se corte la electricidad, o para donar [mi dinero al gobierno].Sikuasi dhidi ya [rais wa zamani Mohamed] Morsi kwa kuengeza ruzuku au kupunguza bei ya umeme au kutoa kwa hisani [fedha zangu kwa serikali].
22Yo no tengo nada y no quiero ir a la cárcel si digo que noSina chochote na wala sitaki kwenda jela kwa kugoma
23En otro tuit, señala:Katika twiti nyingine, anabainisha:
24Los egipcios hacen cola en las gasolineras y todo el mundo dice que van a llenar sus depósitos antes de que suban los precios de la gasolina.Wamisri wamejipanga kwenye vituo vya kuuzia mafuta na kila mmoja anasema wanajaza matanki yao ya akiba kabla bei hiyo haijaanza kupanda.
25Somos una nación inteligente.Sisi ni taifa la werevu.
26Como si el combustible en sus depósitos nunca se fuera a acabarNi kama vile mafuta kwenye matanki ya akiba hayatakaa yaishe
27Y Hesham Mansour bromea:Na Hesham Mansour anatania:
28La subida de los precios de la gasolina es un aumento táctico.Kuongezeka kwa bei ya mafuta ni ongezeko la kimkakati.
29Tras aumentar los precios de los combustibles y la electricidad, el gobierno quiere garantizar que los ciudadanos no puedan reunir el dinero para prenderse fuegoBaada ya kuongeza bei ya mafuta na umeme, serikali inataka raia wake wakose kabisa fedha za kujilipua kwa moto
30Este tuit nos trae recuerdos de la chispa que encendió las revoluciones árabes, en diciembre de 2010, cuando el vendedor de frutas tunecino Mohamed Bouazizi se prendió fuego.Twiti hii inatukumbusha tukio lililosababisha mapinduzi ya Kiarabu, mwezi Desemba 2010, wakati mchuuzi wa matunda wa Kitunisia Mohammed Bouazizi kujilipua kwa moto.
31Mientras, este vídeo de Mansura muestra largas colas de coches en una gasolinera que se había quedado sin gasolinaWakati huo huo, video hii kutoka kwa Mansoura inanyesha foleni ndefu za magari kwenye kituo cha kuuzia mafuta, ambavyo vimeanza kukosa mafuta hayo:
32¿Qué futuro les espera a los egipcios?Nini mustakabali wa Wamisri?