Sentence alignment for gv-spa-20130604-190593.xml (html) - gv-swa-20130606-5066.xml (html)

#spaswa
1Detienen a jóvenes sauditas por presuntamente “insultar la religión”Vijana wa Kisaudi Wakamatwa Wakituhumiwa ”Kukashifu Dini”
2Dos jóvenes sauditas fueron detenidos en la capital Riad por la Comisión de la Promoción de la Virtud y la Prevención del Vicio (CPVPV, por sus siglas en inglés) [en] por presuntamente insultar a la religión [ar].Vijana wawili wa ki-Saudi walikamatwa katika mji mkuu wa Riyadh na Kamati ya Kukuza Maadili na Kuzuia Maovu (CPVPV) kwa madai ya kukashifu dini.
3Bader Al-Rasheed @BAlrasheed [ar] y Abdullah Al-Bilasi @3bdlla [ar] compartieron su historia en Twitter.Bader Al-Rasheed @BAlrasheed na Abdullah Al-Bilasi @3bdlla walisimulia yaliyowapata kwenye mtandao wa twita.
4Según Al-Rasheed, estaban sentados frente a un café cuando un coche de la CPVPV pasó llamando a la gente a salir de la zona para rezar las oraciones de la tarde.Kwa mujibu wa Al-Rasheed, walikuwa wamekaa nje ya mkahawa wakati gari la CPVPV lilipokuwa likipita kwa kuwaamuru watu kuondoka eneo hilo waende kwenye swala ya jioni.
5Dijo que discutió con el miembro de la CPVPV sobre si sentarse en lugares públicos durante las horas de oración era ilegal.Alisema yeye alibishana na mtumishi mmoja wa CPVPV kama kuketi katika maeneo ya umma wakati wa saa za swala ilikuwa kosa.
6Al-Rasheed más tarde tuiteó [ar]:Al-Rasheed baadaye alitwiti [ar]:
7“@BAlrasheed: Puesto que era la primera vez que oía hablar de esta ley y la heya' (así es como se conoce a la CPVPV informalmente) actúa a veces de forma arbitraria, fui hacia su coche y pregunté: ¿existe una ley que prohíba estar en lugares públicos durante las horas de oración?”“@BAlrasheed: Kwa sababu ilikuwa ni mara ya kwanza mimi kusikia sheria hii na ‘heya'(neno la mtaani wanalooitwa CPVPV) mambo holela wakati mwingine, nilikwenda katika gari lao na kuuliza: kuna sheria inayopiga marufuku kukaa katika maeneo ya umma wakati sala?”
8El empleado respondió que es ‘haram' (está prohibido por la religión), pero Al-Rasheed interrumpió diciendo:Jibu la mwajiriwa huyo lilikuwa kwamba ni haramu (imezuiliwa kidini), lakini Al-Rasheed aliingilia kati akisema:
9“@BAlrasheed: No me digas lo que dice la religión, ¿hay una ley?“@BAlrasheed: Usiniambie dini inavyosema, je kuna sheria?
10La religión es una cuestión de elección personal.Dini ni suala la uamuzi binafsi.
11Lo que tengo que cumplir es la ley.Ni sheria tu ndiyo ninalazimika kutii.”
12Según Al-Rasheed, el empleado se enfadó y le pidió su tarjeta de identificación y la de su amigo.Kwa mujibu wa Al-Rasheed, mtumishi huyo alikasirika na akadai kitambulisho chake na cha rafiki aliyekuwa naye.
13Entonces, el miembro de la CPVPV comenzó a amenazarles y a incitar al agente de la policía a tomar medidas contra ellos.Kisha, mtumishi huyo wa CPVPV alianza kuwatishia na kuchochea maafisa wa polisi kuchukua hatua dhidi yao.
14Minutos después, otro coche de la CPVPV y un coche de la policía llegaron para arrestarles y los trasladaron a la comisaría de policía de al-Sulaimaniyah.Dakika chache baadaye, gari lingine la CPVPV na gari la polisi lilikuja kuwakamata na kuwapeleka katika kituo cha polisi cha al-Sulaimaniyah.
15Al-Bilasi habló sobre las condiciones inhumanas en las celdas: “Era pequeña y estaba abarrotada de gente.Al-Bilasi alisimulia kuhusu hali ya mbaya na unyama katika selo:.. “.
16No había camas ni colchones”, dice.Ilikuwa ndogo na yenye msongamano mkubwa.
17“Dormimos en el suelo.Hakukuwa na vitanda vyovyote au magodoro,” alisema “Tulilala sakafuni.
18Le pedí a un oficial que me dejase dormir en el pasillo, pero él simplemente me maldijo”, añade.Nilimwomba afisa magareza kuniruhusu nilale koridoni lakini yeye alinitukana tu, ” anaongezea.
19A la mañana siguiente, les llevaron, esposados, a la Oficina de Investigación y Enjuiciamiento.Asubuhi iliyofuata, walichukuliwa, wakiwa wamepigwa pingu mkononi, kupelekwa kwa Ofisi ya Upelelezi na Mashtaka.
20Al llegar allí, les llevaron a una pequeña habitación donde esperaron durante horas antes de que les llamaran por separado para su investigación.Baada ya kuwasili hapo, walipelekwa kwa chumba kidogo ambapo walisubiri kwa masaa kadhaa kabla ya wao kuitwa kivyao kwa ajili ya mahojiano.
21El investigador dijo a Abdullah que con los miembros de la CPVPV y los agentes de policía “no se debe discutir sino que hay que obedecerles”.Mpelelezi alimwambia Abdullah kwamba mtumishi wa CPVPV na maafisa wa polisi “si watu wa kubishana nao bali kuwatii.”
22Su pesadilla terminó cuando fueron liberados después de que sus padres pagaran la fianza, a pesar de que el investigador llamó lo que había ocurrido un “malentendido”.Jinamizi lao lilifikia mwisho wakati walipoachiliwa baada ya wazazi wao kuwawekea dhamana ingawa mpelelezi aliliita tukio hilo kuwa ni “kutokuelewana.”
23El policía religioso no quedó satisfecho y exigió que los dos hombres fuesen juzgados.Polisi wa kidini hawakuridhishwa na kudai kwamba watu hao wawili washitakiwe.
24De forma aun más absurda, al-Bilasi y al-Rasheed informaron [ar] de una extraña historia sobre un hombre libanés que conocieron en la comisaría de al-Sulaimaniyah, que fue arrestado por una ¡”sonrisa religiosamente ilegítima”!Kichekesho zaidi, al-Bilasi na al-Rasheed waliripoti simulizi la mwaka kuhusu raia wa Lebanon waliyemkuta katika kituo cha polisi cha al-Sulaimaniyah ambaye alikamatwa kwa “tabasamu lisiloruhusiwa kidini”!
25@balrasheed: Una de las historias más extrañas que nos encontramos durante nuestra detención fue la de un vendedor libanés que fue condenado a cinco días de prisión.@balrasheed: Moja ya mambo ya ajabu zaidi kukutana nayo selo ilikuwa ni mfanyabiashara wa Lebanon ambaye alihukumiwa kifungo cha siku tano.
26Su delito: “una sonrisa no conforme a la Sharia”.Kosa lake: “Tabasamu lisiloruhusiwa na Sharia.”
27El incidente ocurrió el 25 de marzo de 2013.Tukio hilo lilitokea tarehe 25 Machi, 2013.