Sentence alignment for gv-spa-20120110-100840.xml (html) - gv-swa-20120125-2497.xml (html)

#spaswa
1Túnez: Fotos que marcaron el 2011Tunisia: Mwaka 2011 katika Picha za Mitandao ya Kijamii
2Este post es parte de nuestra cobertura especial de la Revolución en Túnez - 2011.Makala hii ni sehemu ya habari zetu maalumu za Mapinduzi ya Tunisia 2011.
32011 ha sido un año extraordinario para Túnez, un año histórico que quedará grabado en la memoria de todos los tunecinos.Mwaka 2011 haukuwa wa kawaida kwa nchi ya Tunisia - mwaka wa kihistoria ambao utaingia katika kumbukumbu za kila m-Tunisia.
4Lo que empezó como un acto espontáneo de desesperación en la olvidada y marginada región de Sidi Bouzid, se convirtió en una revuelta popular que se propagó por todo el país, derrocó a Zeine el Abidine Ben Ali quien permaneció 23 años en el poder, y cambió la imagen de toda la región con el fervor de la revolución.Kile kilichoanza kama kitendo cha mlipuko wa ubeuzi (kukata tama) kilichoanzia katika eneo lililosahauliwa na lililotengwa la Sidi Bouzid, kiligeuka kuwa maasi makubwa ambayo yangeikumba nchi hiyo, kuuangusha utawala wa miaka 23 wa Zeine el Abidine Ben Ali, na kubadili kabisa sura ya eneo hilo baada ya nchi za Kiarabu moja baada ya nyingine zikiambukizwa joto hilo la mapinduzi.
5Un comienzo de año sangrientoMwaka ulianza kwa mauaji
6Un joven tunecino muerto en Tala (al suroeste de Túnez), 10 de enero de 2011.Kijana wa ki-Tunisia aliyepoteza maisha yake mjini Tala (Magharibi ya Kati ya Tunisia), Januari 10, 2011.
7Imagen de Nawaat.Picha kutoka Nawaat.
8El año tuvo un inicio sangriento y violento.Mwaka ulianza kwa mauaji na vurugu.
9Las autoridades respondieron los pedidos de “empleo, libertad y dignidad nacional” de los manifestantes con disparos y gases lacrimógenos matando así a más de 300 manifestantes e hiriendo a muchos más.Tawala husika zilijibu madai ya waandamanaji ya “ajira, uhuru, na heshima ya taifa” kwa kutumia risasi za moto, mabomu ya machozi, mauaji ya zaidi ya waandamanaji 300 na kujeruhi wengine wengi zaidi.
10El día que el expresidente tunecino escapó a Arabia SauditaSiku ambayo rais wa zamani alikimbilia Saudi Arabia
11Imagen de Talel Nacer, derechos reservados Demotix (14/01/2011).Picha kwa hisani ya Talel Nacer, haki miliki Demotix (14/01/2011)
12El 14 de enero de 2011, cientos de manifestantes se reunieron fuera del edificio del Ministerio del Interior en la capital de Túnez.Mnamo Januari 14, 2011, maelfu ya waandamanaji walikusanyika nje ya jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani lililoko katika mji mkuu wa Tunis.
13Los manifestantes coreaban consignas como ”el Ministerio del Interior es un ministerio terrorista” y ”Ben Ali Dégage” ( Ben Ali lárgate).Waandamanaji waliimba “Wizara ya Mambo ya Ndani ni Wizara ya Ugaidi”, na “Ben Ali Dégage” (Ben Ali Toka).
14La manifestación que empezó siendo una protesta pacífica, terminó con una violenta dispersión de los manifestantes.Maandamano ambayo yalianza kwa amani, yaliisha kwa polisi kuwatawanya waandamanaji kwa nguvu.
15Más tarde, ese mismo día, Ben Ali huyó a Jeddah (Arabia Saudita).Baadae siku hiyo hiyo, Ben Ali alikimbilia Jeddah, Saudi Arabia.
16El 14 de enero la policía usa gases lacrimógenos para dispersar a los manifestantes fuera del Ministerio del Interior.Polisi wakitumia gesi kuwatawanya waandamanaji nje ya Wizara ya Mambo ya Ndani tarehe 14 Januari.
17Imagen de Wassim Ben Rhouma vía Flickr (CC BY-NC-ND 2.0).Picha ya Wassim Ben Rhouma kupitia mtandao wa Flickr (CC BY-NC-ND 2.0).
18El dictador ha salido, pero ¿qué hay de la dictadura?Dikteta ameondoka, lakini vipi kuhusu udikteta?
19"No más mentiras". El 25 de febrero se realiza una protesta en contra del gobierno de transición presidido por Mohamed Ghannouchi, un cercano aliado de Ben Ali.Maandamano dhidi ya serikali ya mpito inayoongozwa na Mohamed Ghannouchi, mshirika wa karibu wa Ben Ali, tarehe 25.
20Un día después, Ghannouchi renunció.Siku moja baadae, Ghannouchi alijiuzulu.
21Imagen de Kahled Nciri.Picha kwa hisani ya Kahled Nciri.
22Los tunecinos deseaban cortar los lazos del pasado y la lucha por la democracia en Túnez no se acabó con la huida del país de Ben Ali.Wa-Tunisia walikuwa makini kukata mifungamano yoyote na utawala ulioangushwa, vita kwa ajili ya demokrasia nchini Tunisia, haikumzuia Ben Ali kuikimbia nchi. .
23La plaza Kasbah, donde se encuentra ubicado el gabinete ministerial, se convirtió en el epicentro de las protestas y manifestaciones que pedían derrocar el tan odiado expartido gobernante (ahora disuelto) y el RCD (Agrupación Constitucional Democrática) que estaba relacionado con la corrupción y la opresión.Kasbah square,lilipo jengo la Baraza la Mawaziri, likawa shabaha ya waandamanaji na wale wengine waliokuwa wamekaa, ambayo ilitafuta namna ya kukiangusha chama tawala cha kilichokuwa kimechukiwa sana (sasa kimesambaratishwa), RDC (yaani kwa vifupisho vya Kifaransa Le Rassemblement Constitutionnel Démocratique, kwa Kiswahili Mkutano wa Kikatiba na Kidemokrasia), ambacho kilihusishwa na ufisadi na unyanyasaji.
24La primera elección democráticaUchaguzi wa kwanza wa Kidemokrasia
25Los votantes haciendo fila para votar.Wapiga kura wakiwa wamejipanga kwa ajili ya kupiga kura.
26Imagen de Erik (@kefteji).Picha kwa hisani ya Erik (@kefteji).
27El 23 de octubre de 2011 fue un día decisivo para Túnez.Mnamo Oktoba 23, 2011, ndipo ilipowadia siku ya mageuzi kwa ajili ya Tunisia.
28Los votantes esperaron horas para elegir a sus representantes [en] en la primera elección libre y justa razón por la que la revolución fue llamada Primavera Árabe.Wapiga kura walisubiri kwa saa kadhaa ili kuwachagua wabunge, , katika uchaguzi wa kwanza ulio huru na haki kwa kile kinachoitwa Maasi ya Uarabuni.
29La llegada al poder de los islamistasKuibuka kwa Waislamu wenye msimamo mkali
30"Igualdad y justicia para todos los tunecinos" el 21 de noviembre de 2011, en una protesta fuera de la asamblea.Bango linasomeka: “Usawa na haki kwa wa-Tunisia wote”. Mnamo Novemba 21, 2011, katika maandamano nje ya jengo la bunge.
31Imagen de Soukaina W Ajbetni Rouhi vía Facebook.Picha kwa hisani ya Soukaina W Ajbetni Rouhi kupitia Facebook.
32El Partido Islamista Ennahdha ganó el 41 por ciento de los votos y el 89 de los 217 asientos parlamentarios de la Asamblea Constitucional.Chama chenye mrengo wa Kiislam Ennahdha kilishinda kwa asilimia 41 ya kura zilizopigwa, na kujinyakulia viti 89 kati ya viti 217 vya bunge la uwakilishi.
33Para el Partido Liberal, la llegada al poder de los islamistas en Túnez, representaba una amenaza para los valores seculares del Estado y los derechos de las mujeres tunecinas ya que es el lugar donde se han logrado más avances en cuestiones de género en la región árabe.Kwa waliberali, kuibuka kwa makundi ya Waislamu wenye msimamo mkali nchini Tunisia, ni tishio kwa tunu zisizo za kidini za nchi hiyo, na haki za wanawake wa ki-Tunisia, unaoaminika kuimarika zaidi katika eneo la Uarabuni.
34El nuevo presidente de la República - Moncef MarzoukiMoncef Marzouki - Rais Mpya wa Jamhuri
35Moncef Marzouki, el nuevo presidente de Túnez.rais mpya wa Tunisia.
36Imagen de Hamideddine Bouali, derechos reservados Demotix (13/12/11)Picha kwa hisani ya Hamideddine Bouali, haki miliki Demotix (13/12/11)
37El 12 de diciembre, la Asamblea Constitucional Nacional eligió al activista de derechos humanos Moncef Marzouki, quien fue encarcelado y exiliado durante el régimen de Ben Ali, como el nuevo presidente de la República de Túnez.Moncef Marzouki, Mnamo Desemba 12, bunge la taifa la kikatiba lilimchagua mwanaharakati wa haki za kibinadamu Moncef Marzouki, ambaye aliwahi kuwekwa jela, na kulazimishwa kuishi uhamishoni wakati wa utawala wa Ben Ali, kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Tunisia..
38A medida que se acababa el año, las protestas y manifestaciones en favor de la democracia, empleo y dignidad continúaban en Túnez así como los acalorados debates en la Asamblea Constitucional Nacional, mientras el gobierno de transición presidido por Hamadi Jebali (del Partido Islamista Ennahdha) asumía sus funciones.Wakati mwaka ukielekea kumalizika, waandamanaji na wale waliokuwa wakikaa mahali pamoja kushinikiza demokrasia, ajira, na heshima yanaendelea nchini Tunisia, kwa namna mijadala mikali ikifanyika kwenye bunge la nchi hii, na serikali ya mpito inayoongozwa na Hamadi Jebali (kutoka chama cha Kiislam cha Ennahdha) wakichukua majukumu yao.
39Manténgase atento a la cobertura de Túnez - 2012.Jiandae kwa habari zaidi kuhusu Tunisia kwa mwaka 2012.
40Este post es parte de nuestra cobertura especial de la Revolución de Túnez - 2011.Makala haya ni sehemu ya habari zetu maalumu za Mapinduzi ya Tunisia 2011.