Sentence alignment for gv-spa-20100331-26350.xml (html) - gv-swa-20100317-1348.xml (html)

#spaswa
1Sudáfrica: El Racismo Inverso de Julius MalemaAfrika Kusini: Ubaguzi wa Julius Malema
2Mientras que son los “numeritos” del Presidente Zuma los que generaron siempre un intenso y vivo debate en la blogósfera sudafricana, esta vez es el controversial político y presidente de la Liga de Jóvenes del Congreso Nacional Africano, Julius Malema, quien ocupa los titulares.Wakati tabia za Rais Jacob Zuma zimekuwa zikizua mijadala mikali na yenye uhai katika ulimwengu wa blogu wa Afrika Kusini, hivi sasa ni mwanasiasa mwenye utata ambaye pia ni rais wa Umoja wa Vijana wa ANC, Julius Malema ambaye anatengeneza vichwa vya habari.
3Recientemente, Malema incitó a los estudiantes a cantar una vieja canción de lucha en contra del Apartheid llamada “Mata al Boer”.Hivi karibuni, aliwaongoza wanafunzi katika kuimba wimbo wa zamani wa kupinga ubaguzi wa rangi unaoitwa Ua kaburu.
4Ahora enfrenta cargos criminales por esa canción.Anakabiliwa na mashtaka ya jinai kwa wimbo huo.
5Veamos las reacciones de los bloggers sudafricanos.Hebu tuangalie maoni kutoka kwa wanablogu wa Afrika Kusini.
6Blogoff!!! escribe un artículo titulado “Disparen a los Boers, son violadores”:Blogoff!!! Anaandika makala yenye kichwa “Pigeni risasi Makaburu, ni wabakaji!!!!”:
7Julius MalemaJulius Malema
8Es tan imbécil, y piensan que este pequeño Pedi se convertirá en nuestro próximo presidente.Ni mtu mpumbavu, na wanafikiri kuwa mtoto wa ki-Pedi atakuwa rais wetu atakeyefuata.
9No dudaré en emigrar a otro país si se convierte en nuestro comandante en jefe.Nimo njiani kuhamia nchi nyingine ikiwa atakuwa amiri jeshi.
10La gente piensa que Zuma nos hace ver como simios; bien, Julius lo hará mucho peor que el honorable JZ… en sus sueños!!!Watu wanafikiri kuwa Zuma anatufanya tuonekane kama manyani; naam Julius atafanya vibaya zaidi ya mheshimiwa JZ… akiwa usingizini!!!
11Cantó una vieja canción de lucha, “Disparen a los Boers, son violadores”!Aliimba wimbo wa zamani wa mapambano “Piga risasi Makaburu, ni wabakaji”!
12Wha!Ati nini!
13Amo el hecho que crea en la Democracia, pero difunde palabras de odio!Ninupenda ukweli kuwa anaamini katika demokrasi, lakini anasambaza kauli za chuki!
14El Sr. Jackson Mthembu, vocero del CNA, en verdad lo está defendiendo, diciendo que no es su culpa, y que ha sido citado, o lo que sea, fuera de contexto.Bw. Jackson Mthembu, msemaji wa ANC, ni dhahiri anamtetea, anasema kuwa halikuwa kosa lake na kwamba alinukuliwa, au lolote lile, nje ya muktadha.
15Bien, yo creo que Julius es estúpido, ignorante y racista, pero por favor, no me citen fuera de contexto. Atención!Naam ninafikiri Julius ni mpuuzi na asiyefahamu lolote na ni mbaguzi wa rangi, lakini tafadhali usininukuu nje ya muktadha.
16Eso “no” es lo que quiero decir!!Hivyo sivyo ninavyomaanisha, hello!!
17Rea, de “My Life and World” discute el exabrupto de Malema en un artículo titulado, muy acertadamente debo añadir, “Baja esas tijeras Malema, antes de que alguien te de una buena paliza”:Rea kutoka katika blogu ya “My Life and World” anajadili uropokaji wa Malema katika makala yenye kichwa kinachosema, na labda niongezee sawa kabisa, “Weka mkasi chini Malema, kabla mtu hajakuchapa sawasawa!!!!”
18¿Todos sabemos lo que pasa cuando corres con tijeras, no?Wote tunafahamu kinachotokea pale unapokimbia na mkasi, sawa?
19Eso es exactamente lo que Malema está haciendo ahora mismo, dando vueltas como un niño desobediente que no quiere escuchar a su madre.Naam hivyo ndivyo hasa Malema anavyofanya hivi sasa, anakimbia kimbia kama vile mtoto mbaya asiye na fadhila ambaye hataki kumsikiliza mama yake.
20Cuando se caiga y se pinche un ojo, todos sus amigos lo abandonarán y correrán dejándolo desangrarse como un cerdo.Wakati atakapoanguka na kujichoma jichoni marafiki zake watoto wote watamtelekeza na kukimbia wakimuacha anavuja damu kama nguruwe aliyenasa.
21El no escuchará a nadie que le diga lo que debería hacer.Hawezi kumsikiliza mtu yoyote anayemwambia nini cha kufanya.
22Por el modo en que está actuando, no podrás creer que estamos organizando la Copa de Fútbol de la FIFA.Hauwezi kuamini kuwa sisi ndio wenyeji wa Kombe la Dunia la Mpira wa Miguu la Fifa, kwa jinsi anavyotenda.
23Si él piensa que cualquier extranjero del otro lado del océano vendrá a llenar el país con dinero, cuando parece que el malestar está a la orden del día aquí, está listo para un despertar muy desagradable.Kama anafikiri kuwa wageni kutoka ng'ambo watakuja hapa na kuijanza nchi hii wakati inaonekana kana kwamba machafuko ndio jambo la kawaida hapa, basi yumo njiani kuamshwa kwa jambo baya.
24Pero saliendo de la arenga de Malema, el CNA y el Presidente Sudafricano defendieron rápidamente a uno de sus líderes ejecutivos.Lakini matokeo ya miropoko ya Malema, ANC na Rais wa Afrika Kusini walikuwa wepesi kumtetea mmoja wa viongozi wao wakuu.
25Common Dialogue escribe, “¿El CNA hablará con Malema sobre sus dichos racistas?Blogu ya Common Dialogue inaandika “ ANC itaongea na Malema kuhusu kauli zake za kibaguzi?
26¡Sería la primera vez!”:Hili ndilo lingekuwa la kwanza!”:
27El CNA dice que “amonestará” al presidente de la Liga de Jóvenes Julius Malema por sus exabruptos raciales en el encuentro de estudiantes.ANC inasema kuwa itakabiliana na rais wa Umoja wa Vijana Julius Malema kuhusu moja ya kauli zake za kiubaguzi wa rangi wakati wa maandamano ya wanafunzi.
28¡Ni en sueños!Kwa bahati kubwa!
29El vocero del partido, Ishmael Mnisi dijo: “Estamos siempre en contacto con la liga de jóvenes, seguiremos hablándoles a ellos… incluso en este momento donde deberíamos amonestarlos”, dijo.(jambo hilo linaweza kutokea) Msemaji wa chama Ishmael Mnisi alisema: “Tunawasiliana na Umoja wa Vijana kila mara, tutaendelea kuongea nao… hata katika wakati huu tutaendelea kuwasiliana nao,” alisema.
30De acuerdo a la información de los medios, Malema condujo a los estudiantes de la Univesidad de Johanesburgo en una canción que decía “Disparen a los Boers [granjeros], son violadores.”Malema, kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari, aliwaongoza wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Johannersburg katika wimbo unaosema: “Piga risasi Makaburu [wakulima], ni wabakaji.”
31Ahora, todos sabemos que Malema ha estado insultando gente, incluyendo a los miembros superiores del CNA y sus aliados.Hivi sasa sote tunafahamu kuwa Malema amekuwa akiwatukana watu pamoja na wanachama wakongwe wa ANC na vyama wabia kadiri anavyopenda.
32Nada le ha sucedido.Hakuna kilichomtokea.
33Unos pocos Sudafricanos blancos de la vieja escuela se unieron a las peleas en la blogósfera, señalando la hipocresía.Waafrika Kusini Weupe wachache asmbao ni wahafidhina wamejiunga na pambano la kwenye ulimwengu wa blogu na wanauonyesha unafiki.
34Wessel's Place presenta sus frustraciones en este blog:Wessel's Place ameweka yale yanayomkera kwenye blogu yake:
35Mientras que Julius Malema estaba cantando “Disparen a los Boers” en un encuentro de la Liga Juvenil del CNA, se mataban granjeros en la provincia de Limpopo.Wakati Julius malema alipokuwa akiimba “Piga risasi Makaburu” kwenye maandamano ya vijana wa ANC, wakulima walikuwa wanauwawa kwenye jimbo la Limpopo.
36Y ningún lider político negro dijo nada al respecto.Na hakuna kiongozi yeyote mweusi wa siasa aliyesema lolote.
37Encuentro esto triste.Naona hili ni jambo la kusikitisha.
38Encuentro una gran inconsistencia en nuestro país.Ninaona kuna vipimo visivyo sawa kwa wote katika nchi hii.
39Si cualquier persona blanca esbozara las palabras “Disparen a los Zulu” o “Disparen a los Xhosa”, tendrían razones para temer por sus vidas.Kama mtu mweupe yeyote angetamka “Piga risasi Wazulu” au “Piga risasi Waxhosa”, wangepata sababu ya kuwa na hofu kwa maisha yao.
40De hecho, cuando alguien osó señalar el convoy presidencial, fue arrestado y humillado por las autoridades.Kwa hakika, wakati mtu mmoja alipoamua kuunyooshea kidole msafara wa rais, mtu yule alikamatwa na kunyanyaswa na wenye mamlaka.
41Quiero creer en este país.Ninataka kuamini katika nchi hii.
42Quiero creer en su potencial.Ninataka kuamini katika uwezo wake.
43Quiero creer que mis hijos puedan crecer aquí sin tener que disculparse por ser blancos.Ninataka kuamini kuwa watoto wangu wanaweza kukua bila ya kuomba msamaha kwa kuwa weupe.
44Blogueando en My Digital Life, The Source presenta una arenga bastante larga titulada “¿Maten la canción de Kafir?” …Akiblogu kwenye blogu ya My Digital Life, The Source ameweka malalamiko marefu aliyoyapa kichwa cha “Wimbo wa Ua Kafir?” …
45Entonces el CNA está defendiendo a Julius Malema por cantar una canción que contiene la frase “Disparen a los Boers, son violadores”.Kwa hiyo ANC inamtetea Julius malema kwa kuimba wimbo wenye maneno, “Pigeni risasi makaburu, ni wabakaji”.
46El vocero del CNA Jackson Mthembu dijo telefónicamente a Sapa el jueves por la mañana que él defenderá a Malema y que la canción debería haber sido contextualizada (Leer el artículo completo).Msemaji wa ANC Jackson Mthembu aliiambia Sapa kwa simu Alhamisi asubuhi kuwa atamtetea Malema na kwamba wimbo huo angaliwe katika mazingira ulipoimbwa (soma makala nzima).
47Continúa diciendo:Anaendelea kusema:
48“La cuestión es que, de hecho, alguna gente podría tener razón al decir que ciertas canciones no deberían ser cantadas.“Swala hili, kwa kweli, watu wengine wanaweza kuwa sahihi kwamba kuna nyimbo ambazo hazipaswi kuimbwa.
49Dejémoslos poner el tema en agenda y convencer al CNA de que no deberíamos cantar esas canciones y decirnos por qué.Hebu waliweke (suala hili) kwenye ajenda na wawashawishi ANC kwamba tusiziimbe nyimbo hizo na watueleze kwa nini.
50“Pero luego deberían mirar también las canciones que fueron cantadas por las fuerzas opresoras”“Lakini pia waziangalie nyimbo zilizoimbwa na nguvu za ukandamizaji.”
51Echémosle un ojo a esta afirmaciónHebu tuliangalie tamko hili
52Las fuerzas de opresión debe referirse, probablemente, al gobierno blanco durante la era del apartheid, y por lo tanto se extiende a todos los blancos, supongo.Nguvu za ukandamizaji zinaweza kumaanisha serikali ya weupe katika zama za ubaguzi wa rangi na kwa hiyo zinaweza kumaanisha weupe wote.
53Ahora, yo estaba en una escuela Afrikaan y también con los Voortrekkers.Sasa nilikuwa katika shule ya lugha ya Afrikaans na pia nilikuwa kwenye kikundi cha Voortrekkers.
54Para los que no lo saben, los Voortrekkers son como los niños exploradores, pero celebran la herencia cultural de la nación Afrikaner que se mudó de las regiones costeras hacia el interior, a lo que ahora conocemos como Freestate, Gauteng, Mpumalanga y Limpopo.Na kwa wale wasiofahamu, Voortrekkers ni sawa na chama cha maskauti, lakini wao wanasherehekea urithi wa taifa la Makaburu (Afrikaner) ambao walisafiri kutokea sehemu za pwani kuelekea ndani kwenye sehemu inayojulikana hivi sasa kama Freestate, Gauteng, Mpumalanga na Limpopo.
55Alex Matthews se pregunta en Thought Leader, “Si matar a los boers está bien, ¿Qué hay sobre los negros, mujeres y gays?”:Alex Matthews katika blogu ya Thought Leader anauliza, “Kama kuua Makaburu ni sawa, vipi kuhusu weusi, wanawake na mashoga?”:
56El vocero de la CNA, Jackson Mthembu ha defendido las vigorosas interpretaciones de Julius Malema de la infame canción “Maten a los Boers, son violadores”, argumentando (de acuerdo a este artículo de Sapa) que “las letras de la canción fueron citadas fuera de contexto”.Msemaji wa ANC Jackson Mthembu ametetea toleo lisilo maarufu la wimbo huo wa “Ueni Makaburu, Ni wabakaji”, kama uilvyoimbwa na Julius Malema akidai (kwa mujibu wa makala ya Sapa) kwamba “ mmaneno yaw imbo huo yanukuliwa nje ya muktadha”.
57“Esta canción fue cantada por muchos años, incluso antes que Malema nazca.“Wimbo huu uliimbwa kwa miaka mingi kabla Malema hajazaliwa.
58Julius ni siquiera sabe quién es el autor de la canción.Julius hata hafahamu ni nani aliyeuandika wimbo huo.
59Él la tomó de nosotros [el CNA].Aliupata jutoka kwetu [ANC].
60Deben culpar al CNA, no a Julius.Wapeni lawama ANC, msimlaumu Julius.
61Pero cuando culpen al CNA, contextualicen.” Sapa cita los dichos de Mthembu.Lakini wakati unapoilaumu ANC, basi wekeni mambo katika muktadha husika,” Sapa ilimnukuu Mthembu akisema.
62Según la lógica de Mthembu, es completamente aceptable incitar a personas a matar a otros, siempre que haya un “contexto”.Kwa mantiki ya Mthembu, inakubalika kabisa kuchochea watu waue watu wengine, ikiwa tu kuna “mazingira au hali inayoruhusu”.
63¿Qué significa esto?Je hiyo inamaanisha nini?
64Bueno, como “maten a los negros” fue otra vieja canción del apartheid, los racistas resentidos pueden cantarla desde sus tejados.Naam, kwa kuwa “Ueni watu weusi” ulikuwa wimbo wa zamani wa kibaguzi, wabaguzi wenye chuki wanaweza kuuimba kutokea juu ya mapaa ya nyumba.
65Como “maten a las mujeres” fue una especie de himno misógino, los machistas pueden bailar la Macarena con ella en sus clubes sólo para hombres.Kwa kuwa wimbo wa “Ueni wanawake” ulikuwa ni wimbo wa watu wanaopenda kuonea na kudharau wanawake, kwa hiyo wanaume weny kudharau wanawake wanaweza kutengeneza Macarena yaw imbo huo kwenye vilabu vya wanaume pekee.
66Como “Maten a los gays” fue un gran éxito entre los intolerantes, mientras prendían fuego a las lesbianas, pueden gritarlo mientras arrojan gays desde los puentes y dentro de alcantarillas.Kwa kuwa “Ueni mashoga” ulikuwa ni kibao kikubwa kwa wabaguzi wakati walipokuwa wanawachoma moto wasagaji, wanaweza kpayuka wimbo huo wakati wakiwatosa mashoga kwenye madaraja kwenda kwenye mashimo ya majitaka.
67Por consiguiente, Malema se disculpó, y ClassicMalema.co.za lo cubrió en la nota “Malema Dice Perdón”:Matokeo yake, Malema ameomba msamaha, ambao tovuti ya ClassicMalema.co.za imeuchapisha katika makala ya “Malema asema Samahani”:
68Un momento muy extraño para este imbécil, el disculparse por sus dichos.Ni jambo la nadra kwa mshenzi huyu kuomba msamaha kutokana na kauli zake.
69Creo que el CNA le ha caido sobre su trasero, ¡y de qué modo!Nafikiri ANC walimshukia kwa nguvu zote.
70¿El camino de Ju Ju está llegando a su fin?Je barabara ya Ju Ju inafikia mwisho wake?
71Azad Essa, en Thought Leader publica una brillante pieza satírica, cubriendo los cuestionables contratos que Julius Malema acumuló en su muy próspero puesto en el gobierno, “Dos kilos de Malema suavizado, por favor!”:Azad Essa katika tovuti ya Thought Leader amepandisha makala moja nzuri sana ya kejeli na utani inayoongelea mikataba ya ajabu ajabu ambayo Julius Malema amejikusanyia katika nafasi yake nzuri serikalini.
72Con el país alborotado luego de las calientes reacciones por las grandes subidas de precio generadas por la llegada del “Malema suavizado” a los kioscos de periódicos, miembros ficticios de la cúpula del CNA se encontraron en una reunión de emergencia el lunes para resolver la más reciente crisis del partido.“Nipatie Kilo mbili za Malema laini, tafadhali!”: Wakati nchi imo kwenye hali ya kuchanganyikiwa na bei kupanda kwa ghafla pale “Malema laini” ilipofika kwa wauza magazeti, wanachama wa ngazi za juu wa ANC walikutana kwenye mkutano wa dharura siku ya Jumatatu ili wasuluhishe mgogoro mpya zaidi ndani ya chama.
73Cuando las noticias de las licitaciones del gobierno mejorando los magros salarios de los funcionarios gubernamentales, sus familias, y las familias de sus familias aparentaban potenciar los records de ventas de periódicos durante el fin de semana, dirigentes del CNA llegaron a una serie de medidas vinculantes en un intento por erradicar la corrupción en el gobierno.Wakati taarifa kuwa za zabuni za serikali zinaongeza mishahara midogo ya maofisa wa serikali, familia zao na familia za familia zao, zinaokekana kuwa zimeongeza mauzo ya magazeti katika wikiendi, uongozi wa ANC ulitoa matamko rasmi katika jitihada zake za kung'oa rushwa.
74En un cambio dramático, el CNA lanzó un comunicado esta mañana temprano, diciendo que está dentro de los derechos de un cuadro político superior el no participar de los acuerdos del gobierno.Katika mabadiliko ya msimamo ya ghafla ANC ilitoa tamko mapema leo asubuhi linalosema kuwa ni haki ya kada mwandamizi kutojihusisha na mikataba ya serikali. Na je, Google inafikiria nini juu ya Julius Malema?:
75¿Y qué piensa Google de Julius Malema?:Kawa huu ndi mkataba.
76Este es el trato.Fungua www.
77Abre www.google.com y tipea “Julius Malema es” - espera uno o dos segundos para ver las sugerencias que google recomendará.Google.com na andika “Julius Malema is” suburi sekunde moja au mbili ili uone mapendekezo ambayo Google inayatoa.
78Desopilante.Inachekesha
79Definitivamente, Zuma y Malema permanecerán como temas candentes de la blogósfera Sudafricana por un largo tiempo.Bila ya shaka, Zuma na Malema wataendelea kuwa mada moto katika ulimwengu wa blogu wa Afrika Kusini kwa muda mrefu ujao.