Sentence alignment for gv-spa-20150319-275576.xml (html) - gv-swa-20150228-8589.xml (html)

#spaswa
1Una mujer da clase a niños libios que desde hace meses no pueden asistir al colegioWatoto Waliokosa Masomo kwa Miezi kadhaa, Wafundishwa kwa Njia ya Skype Nchini Libya
2Niños en Trípoli en agosto de 2011.Watoto wakiwa huko Tripoli, Agusti, 2011.
3Foto de MITSUYOSHI IWASHIGE.Picha na MITSUYOSHI IWASHIGE.
4Copyright DemotixHaki miliki Demotix
5Este artículo e informe de radio de Shirin Jaafari para el programa The World apareció originalmente en PRI.org el 26 de febrero de 2015, y se republica como parte de un acuerdo para compartir contenidos.Makala na taarifa hii ya habari iliyoandaliwa na Shirin Jaafari kwa ajili ya kipindi cha redio kiitwacho The World kwa mara ya kwanza ilionekana kwenye tovuti ya PRI.org siku ya tarehe 26 Februari 2015, inachapishwa tena chini ya makubaliano ya ushirikiano wa maudhui.
6Mientras Libia era destrozada por una revolución en 2011, Haifa El-Zahawi abandonó su país para dirigirse a los Estados Unidos.Katika kipindi ambacho Libya ilikuwa ikiharibiwa vibaya kutokana na mapinduzi yaliyotokea mwaka 2011, ndicho kipindi hicho hicho Haifa El-Zahawi aliondoka kuelekea Marekani.
7Ahora una dentista de profesión, está en búsqueda de empleo.Kwa sasa anatafuta kazi akiwa kama daktari wa afya ya kinywa.
8Pero al mismo tiempo se dedica a un proyecto diferente: Volver a dar clase a los niños libios.Lakini pia, anautumia muda wake katika mradi mwingine tofauti: Anafundisha watoto nchini Libya.
9La inestable situación relativa a la seguridad ha mantenido a los niños alejados de la escuela desde octubre.Hali tete ya kiusalama nchini Libya imewafanya watoto washindwe kwenda shule tangu mwezi Oktoba.
10Así que, si los niños no pueden ir a clase, El-Zahawi pensó, ¿por qué no llevar la clase hasta ellos?Kwa kuwa watoto hawawezi tena kuhudhuria masomo katika shule zao, El-Zahawi aliwaza ni kwa nini asisogeze madarasa karibu na huko walipo?
11Y así nació la Benghazi Skype School.Na hapa ndipo Shule ya Skype ya Benghazi ilipozaliwa rasmi.
12“Empezamos con una cuenta personal y Skype”, explica El-Zahawi desde Nueva York.“Tulianza na akaunti ya mtu binafsi pamoja na Skype”, anasema El-Zahawi akiwa mjini New York.
13Publicó sobre su proyecto en las redes sociales, preguntando a los libios si estaban en condiciones de ayudar.Aliweka taarifa za mradi wake huu katika mitandao ya kijamii akiwaomba raia wa Libya kumsaidia.
14Una semana después había recibido “una enorme respuesta positiva”.Katika muda wa wiki moja amepata “matokeo makubwa na ya kutia moyo kabisa.”
15Incluso una compañía IT quiso patrocinar su proyecto.Pia alipata habari kuwa kuna kampuni moja ya Teknolojia ya Mawasiliano ilitaka kumfadhili.
16Evidentemente, las aulas virtuales tienen sus propios problemas.Hata hivyo, masomo kupitia mtandao wa intaneti yana changamoto zake.
17La inestable conexión a Internet supone el mayor obstáculo, como lo son también los frecuentes apagones de luz a los que se enfrentan los libios.Upatikanaji wa mtandao wa intaneti usiotabirika ni kikwazo kikubwa kinachochangiwa na tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara linalowakabili raia wa Libya.
18“Intentamos hacerlas (las clases) online tanto como podemos, pero debido a los problemas… intentamos grabar las lecciones y luego postearlas”, declara El-Zahawi.“Tunajaribu kwa kadiri tuwezavyo kuhakikisha wanafunzi wanapata masomo papo kwa hapo, lakini kutokana na changamoto zilizopo … tunajaribu kurekodi masomo na kisha kuyapakia mtandaoni,” El-Zahawi anasema.
19Sin embargo, a pesar de estos desafíos, la Benghazi Skype School ha tenido un gran éxito.Lakini, pamoja na changamoto hizi, Shule ya Skype ya Benghazi hadi sasa imekuwa na mafanikio makubwa.
20“Las familias nos envían fotografías de los estudiantes haciendo los deberes.” Dice El-Zahawi.“Familia zimetutumia picha zinazoonesha wanafunzi wakifanya kazi wanazopewa na mwalimu wao,” El-Zahawi anasema.
21“Algunos incluso se visten con el uniforme del colegio.”“Pia, wanavaa sare zao za shule.”
22La idea que se esconde tras este proyecto, según El-Zahawi, es traer esperanza a las familias y a los niños que “realmente lo necesitan”.Wazo kuu la kuanzisha shule hii, El-Zahawi anasema ni kurudisha matumaini kwa familia na watoto “wanaohitaji elimu.”
23Le preocupan las noticias como la reciente decapitación de un grupo de hombres en Libia a manos del ISIS, y espera que educando a los niños libios deje de propagarse la radicalización.Anaogopeshwa na habari kama hii ya hivi karibuni ya kuchinjwa kwa watu kadhaa nchini Libya na kundi la ISIS, na anaamini kuwa kwa kuwaelimisha watoto wa Libya kutasaidia kukomesha kuenea kwa ukatili huu.
24“Tenemos que educar a nuestros niños” dice, “sólo a través del aprendizaje podemos luchar”.“Tunahitaji kuwapatia elimu watoto wetu,” anasema, “elimu tu ndiyo itakayotusaida kupambana na hali hii.”