Sentence alignment for gv-spa-20140709-244547.xml (html) - gv-swa-20140705-7829.xml (html)

#spaswa
1En Túnez, la duda es votar o no votarNchini Tunisia, Swali ni Ikiwa ni Lazima Kupiga Kura au Kugomea Uchaguzi
2Logo de las elecciones de 2014, a través de la página de Facebook de la Comisión Electoral IndependienteNembo ya uchaguzi wa 2014, kupitia ukurasa wa Facebok wa tume huru ya uchaguzi
3Debido a la cercanía de las elecciones en Túnez, los internautas empiezan a debatir si merece la pena o no ir a votar en las próximas elecciones presidenciales.
4Las elecciones al parlamento de Túnez se celebrarán el 26 de octubre, mientras que las presidenciales se han fijado para el 23 de noviembre.Uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo utafanyika Oktoba 26 wakati duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais imepangwa kufanyika Novemba 23.
5Sin embargo, no todo el mundo está entusiasmado en acudir a las urnas este año.Hata hivyo, si kila mmoja anasisimka kukaribia uchaguzi huo baadae mwaka huu.
6Estas personas normalmente hace énfasis en su desafección con la forma en que la clase política ha venido actuando a lo largo de los últimos tres años bajo el argumento de que las elecciones de 2011 ‘no trajeron ningún cambio'.Wale wasiopenda kupiga kura mara nyingi huzungumzia kutokuridhishwa kwao na utendaji wa kada ya wanasiasa katika miaka mitatu iliyopita, wakitumia hoja kuwa uchaguzi wa mwaka 2011 ‘hakuleta tija wala mabadiliko yoyote'.
7En octubre de 2011, los tunecinos votaron por una Asamblea Nacional Constituyente que se encargaría de redactar una nueva constitución después de la salida forzada del poder del dictador Ben Ali.Mwezi Oktoba 2011, Watunisia walipiga kura kuchagua Bunge la Katiba la Taifa (NCA) ambalo lilipewa jukumu la kutunga katiba mpya baada ya kung'olewa madarakani kwa dikteta Zeine el Abidin Ben Ali.
8Ennahdha, el partido islamista, se hizo con el 40% de los votos.Chama chenye mrengo wa Kiislam, Ennahdha kilipata asilimia 40 ya kura zilizopigwa.
9Como muchos otros conciudadanos, Nymeria se preguntó:Kama wengine wengi, Nymeria alishangazwa:
10¿Qué hago en las elecciones? No me gusta ningún partido y votar en blanco no cuenta.Nitafanya nini kwenye uchaguzi ujao> Sipendi chama chochote na najua kura isiyochagua chama chochote itaharibika
11El 24 de junio, Papillon, que tiene alrededor de 13.000 seguidores en Twitter, hacía la siguiente pregunta [fr]:Mnamo Juni 24, mtumiaji wa twita Papillon, ambaye ana wafuasi 13,000 alibandika [fr] swali lifuatalo:
12Ninguna de las personas que están animando a que otros voten pueden responder a lo siguiente (a pesar de ser una pregunta muy fácil): ¿Votar el 23 de octubre [de 2011] sirvió de algo?Hakuna yeyote kati ya hawa wanaowatia moyo [wengine] kupiga kura wanaweza kujibu swali hili, ambalo ni rahisi sana: je, uchaguzi wa Oktoba 23 [2011] ulileta faida gani?
13Saber Arabasta, autor de blog y que cuenta con, aproximadamente, 12.000 seguidores en Twitter respondía [fr] lo siguiente:Mwanablogu Saber Arabasta, mwenye wafuasi 12,000 alijibu [fr]:
14Conociendo la fuerza de los diferentes partidos políticos del país, yo diría que cambiar el gobierno, el presidente y redactar el borrador de una nueva Constitución:Ni kujua uwiano wa nguvu za kisiasa katika nchi hii, kubadilisha serikali, kubadilisha rais, kutunga katiba basi
15En otro tuit [fr] añadía lo siguiente:Akaongeza kwenye twiti nyingine [fr]:
16Debatir leyes, el presupuesto, decidir un proceso electoral, establecer un sistema judicial de transición y cambiar la diplomacia.Kujadili sheria, kujadili bajeti, kuamua kuhusu zoezi la uchaguzi na kutolewa kwa haki ya mpito na kubadilika kwa diplomasia.
17Chikh Magon preguntó [fr] en Twitter:Mtumiaji Chikh Magon aliuliza [fr]:
18Te devuelvo la pregunta: ¿De qué serviría boicotear las elecciones?Ninawarudishia swali kwenu: kugomea kupiga kura kutasaidia nini?
19En Facebook, Haythem El Mekki, periodista y bloguero, escribía [fr] lo siguiente:Kwenye mtandao wa Facebook, Mwandishi wa habari na Mwanablogu Haythem El Mekki aliandika [fr]:
20A los que están a favor del boicot y la abstención, me hubiese encantado seguirlos y apoyarlos, pero necesito que me digan qué han planeado en concreto… ¿Qué pretenden conseguir con el boicot?Kwenu nyote mnaoshabikia kugomea au kuacha [kupiga kura], ningependa sana kuwafuata na kuwaunga mkono lakini hebu mniambie nini hasa mmekipanga kwa maana ya uhalisia na ufanisi…mtarajia kuona matokeo gani kwa kugomea kura?
21Aparte de dejar a los que quieren ver el cambio sin votar… Yo, al igual que ustedes, estoy muy insatisfecho con la situación política, incluso más.Ukiacha kuwanyima haki wale wanaotamani kuona mabadiliko kuliko mtu yeyote…mimi binafsi siridhishwi na tabaka la wanasiasa kama ambavyo siridhishwi na ninyi, tena zaidi.
22Sin embargo, solo veo nihilismo en su actitud que, por cierto, encuentro destructiva e inmadura… ¿Podrían convencerme de lo contrario?Lakini ninachokiona kwenu ni ubeuzi tu kwenye mbinu mnayotumia ambayo kwangu naiona kama isiyo na faida yoyote na ni ya kitoto…mnaweza kunishawishi kinyume chake?
23Bechir Bizertino comentó [ar] lo siguiente:Bechir Bizertino alitoa maoni [ar]:
24En primer lugar, explíquennos cómo se va a producir algún cambio si hay que votar a una serie de partidos asquerosos que se nos han impuesto en las elecciones.Awali ya yote, umetueleza, namna ambavyo kushiriki uchaguzi kuchagua vyama vya hovyo tunavyoletewa kutabadili nchi.
25En lo que a mí respecta, yo boicoteo porque mi voto no tiene ningún valor y utilidad con los partidos asquerosos que hay ahora, partidos que solo escuchan a embajadores extranjeros y que se olvidan de la gente que les votó… Con el boicot, yo, al menos, no les doy legitimidad y mi apoyo para que luego no puedan decir que sí lo hice.Kwangu, ninagomea uchaguzi kwa sababu kura yangu kwa chama chochote cha hovyo hakuna faida yoyote wala thamani yoyote kwa sababu tabaka lote la wanasiasa linasikiliza mabalozi wa kigeni na wala si watu waliowachagua…kwa kugomea uchaguzi, angalau siwapi uhalali wowote na kuwafanya wajifanyie mambo yao wenyewe bila kuigiliza kuwa [niliwasaidia]
26Zenova Gamha Fehmi publicó el siguiente comentario [fr]:Zenova Gamha Fehmi alibandika maoni haya [fr]:
27En mi opinión, es una obligación ir a votar.Kwa maoni yangu, ni jukumu letu kupiga kura kwa chama chochote.
28En cinco años, si seguimos insatisfechos, podemos votar a un partido diferente; así es el juego.Kwa muda wa miaka mitano, kama tutaendelea kutokuridhika, tunaweza kupiga kura kwa chama kingine tofauti na kadhalika, ndivyo mambo yanavyopaswa kwenda.
29Votar es una obligación que le debemos a todos aquellos que murieron para darnos el derecho.Kupiga kura ni jukumu letu kwa wale wote walioyatoa maisha yao wakafa kwa ajili ya kutuletea haki.
30No esperen milagros después de estas elecciones, los tunecinos suelen quererlo todo de inmediato; sin embargo, eso es imposible.Msitarajie miujiza baada ya uchaguzi, Watunisia wana tabia ya kutaka kila kitu kwa haraka bila kungoja, jambo ambalo haliwezekani
31Mientras tanto, la Comisión Electoral Independiente del país ha lanzado una campaña en la que se les pide a los tunecinos que se registren antes del 22 de julio si quieren poder votar.Wakati huo huo, tume huru ya uchaguzi ya nchi hiyo (ISIE) ilizindua kampeni ya kuwasihi Watunisia kujiandikisha kabla ya tarehe 22 Julai, kama wanataka kupiga kura kwenye uchaguzi ujao.
32Los que no se registren no podrán ejercer su derecho.Wale wote ambao hawatakuwa wamejiandikisha hawataweza kupiga kura.
33La campaña quiere captar a los cuatro millones de personas en edad de votar que no se registraron para las elecciones a la asamblea constituyente de octubre de 2011.Kampeni hiyo inawalenga wapiga kura wenye sifa wapatao milioni 4 ambao hawakujiandikisha kwenye uchaguzi wa Oktoba 2011 wa kuchagua bunge la katiba.
34Con una tasa de abstención del 50% en 2011, la comisión electoral y grupos de la sociedad civil creen que la participación de este año será mucho mayor debido al creciente descontento popular con la clase política.Kufuatia kujitokeza watu wachache sana waliokadiriwa kuwa asilimia 50 tu mwaka 2011, tume ya uchaguzi na makundi ya asasi za kiraia yana wasiwasi kwamba katika uchaguzi wa mwaka huu watu wachache zaidi watajitokeza hasa baada ya kukatishwa tamaa na yanayofanywa na vyama vya siasa.