Sentence alignment for gv-spa-20100924-39277.xml (html) - gv-swa-20100926-1726.xml (html)

#spaswa
1Colombia: Primeras reacciones a la muerte del líder de las FARC alias ‘Mono Jojoy’Colombia: maoni ya Awali Kuhusu Kifo cha Kiongozi wa FARC ‘Mono Jojoy’
2El jueves 23 de septiembre temprano, los colombianos despertaron con la noticia: el día anterior, 30 aviones y 27 helicópteros de la Fuerza Aérea Colombiana bombardearon un campamento donde Víctor Julio Suárez, más conocido como Jorge Briceño o el Mono Jojoy, uno de los principales cabecillas de las Fuerzas Armadas Revolucionarias de Colombia (FARC), se escondía con decenas de guerrilleros cerca de La Macarena, Meta.Mapema siku ya Alhamisi tarehe 23 Septemba watu wa Colombia waliamka na taarifa ya habari hii: Siku iliyopita, ndege 30 na helikopta 27 za jeshi la Anga la Colombia zilivamia kambi ambamo Víctor Julio Suárez, ambaye anajulikana zaidi kama Jorge Briceño or Mono Jojoy, mmoja wa viongozi wa juu wa Majeshi ya Ukombozi wa Colombia (FARC), alikuwa amejificha pamoja na dazeni za wapiganaji gorila karibu na La Macarena, Meta.
3Suárez, de 57 años, murió en la denominada “Operación Sodoma”, como confirmara el presidente Juan Manuel Santos desde Nueva York, donde asiste a la sesión ordinaria de la Asamblea General de las Naciones Unidas.Suarez, mwenye umri wa miaka 57, aliuwawa katika kile kilichoitwa “Operesheni Sodoma”, kama ambavyo Rais Juan Manuel Santos alivyothibisha [es] kutokea mjini New york, ambako alikuwa akihudhuria mkutano wa Baraza la umoja wa mataifa.
4Cinco miembros de las fuerzas estatales de seguridad resultaron heridos y una perra policía murió.Askari watano wa majeshi ya Usalama walijeruhiwa na mbwa wa kike wa polisi aliuwawa [es].
5Otros cabecillas de la guerrilla pudieron haber caído en el campamento de 300 metros cuadrados -el cual al parecer incluía un búnker subterráneo- y las Fuerzas Armadas colombianas (más que todo miembros del Ejército y de la Policía Nacional que aterrizaron en la zona una vez terminaron los combates) los estaban identificando a la hora de escribir esta entrada.Viongozi wengine wa juu wa wapiganaji hao gorila inawezekana kuwa walikamatwa ndani ya kambi hiyo yenye ukubwa wa mita za mraba 30 - ambayo inataarifiwa kuwa [es] ilikuwa na [es] mahandaki ya kuishi chini ya ardhi - na majeshi ya ulinzi ya Colombia (ambayo yalijumuisha zaidi wanajeshi wa jeshi la Colombia pamoja na Jeshi la Polisi la Taifa ambalo lilitua baada ya mapigano kumalizika) yanawafanyia utambulizi wakati makala hii ikiwa inaandikwa.
6En la tarde del jueves, fuentes extraoficiales afirmaron que el cabecilla fariano Henry Castellanos, alias Romaña, también había muerto en la operación.Mnamo majira ya mchana siku ya Alhamisi vyanzo visivyo rasmi vilidai kuwa kiongozi wa FARC Henry Castellanos, Romaña, naye pia aliuwawa [es] katika operesheni hiyo.
7Alias Mono Jojoy, quien fue delatado por un informante, era considerado el líder de mano dura del ala militar de las FARC y comandante del Bloque Oriental.Mono Jojoy, ambaye alitoswa na mdukizi, alikuwa akichukuliwa kama kiongozi wa upande wenye siasa kali katika jeshi la FARC na alikuwa kamanda wa Kanda wa Mashariki.
8Considerado “uno de los guerrilleros más sanguinarios”, tenía 62 órdenes de captura y 5 condenas en su contra, y los Estados Unidos lo habían pedido en extradición por cargos de narcotráfico, habiendo ofrecido una recompensa por su captura.Aliaminika kama “mmoja wa wapiganaji gorila mwenye uchu wa damu” [es],kulikuwa na hati 62 za kuamrisha kukamatwa kwake, aliwahi kuhukumiwa mara 5, na Marekani ilikwishaomba kukamatwa na kusafirishwa kwa mtu huyo kwenda Marekani kujibu tuhuma zinazohusiana na usafirishaji madawa ya kulevya, na iliahidi kutoa zawadi kwa kukamatwa kwake.
9Surgió una polémica cuando El Tiempo, el diario de mayor circulación del país (y en el cual son accionistas los familiares del presidente Juan Manuel Santos), publicó una serie de tweets acerca de la noticia:Utata uliibuka pale ambapo El Tiempo, gazeti la kila siku lenye wasomaji wengi zaidi nchini humo (ambalo linamilikiwa kwa kiasi na familia ya Rais Juan Manuel Santos' ), lilipotuma mfululizo wa twita kuhusu habari hii:
10@eltiempocom@eltiempocom
11Vigilantes de parqueadero en Corferias: ‘Hay que pedir la tarde libre para celebrar la muerte de Jojoy'Walinzi wa maegesho ya magari ya Corferias: ‘Inatubidi tuombe mapumziko ya mchana ili kusherehekea kifo cha Jojoy'
12@eltiempocom@eltiempocom
13¿Cómo están celebrando en sus oficinas o donde se encuentren la muerte de Jojoy?Unasherehekea vipi kifo cha Jojoy hapo kazini kwako au popote pale ulipo?
14@eltiempocom@eltiempocom
15Para los ofendidos por la pregunta de celebración, disculpas.Kwa wale mliochukizwa na swali kuhusu kusherehekea, tunaomba radhi.
16Mejor pregunta es: ¿Cómo reaccionan por la muerte de Jojoy?Njia bora ya kuuliza: Je mmekipokea vipi kifo cha Jojoy?
17Los usuarios de Twitter reaccionarían de inmediato.Watumiaji wa Twita walijibu mara moja jumbe hizo za twita.
18Miguel Olaya (@juglardelzipa) escribió:Miguel Olaya (@juglardelzipa) alisema:
19por ahora no nos han dado el día libre en la universidad de los andes.Mpaka hivi sasa bado hatujapewa siku ya mapumziko hapa katika Chuo kikuu cha Los Andes.
20@eltiempocom debería denunciarlos por no ser patriotas.@eltiempocom linapaswa kuwalaani kwa kutokuwa wazalendo.
21@PAPerezA criticó al periódico:Mtumiaji mwenye jila la @PAPerezA alilikosoa gazeti hilo::
22Que ignorancia y amarillismo!!Ujinga na ushabiki ulioje!!
23Salvajes!! […]Washenzi!!
24Agnes Dantés (@Agnes_Dantes) escribió en broma:Agnes Dantés (@Agnes_Dantes) alifanya mzaha:
25Ayy esos de @eltiempocom son muy jocosos.ooooh jamaa wa @eltiempocom wanachekesha sana.
26Pero bueh… bien por ellos que no nos engañan con falsa imparcialidad y profesionalismoLakini… wamefanya vyema kwa kutokupotosha na [dhana ya] uwajibikaji usiofungamana na upande wowote na ustadi wa kazi wa uongo
27Con ironía, Clo Calao (@cloquis) dijo:Kwa kejeli, Clo Calao(@cloquis) aliandika:
28Hay unos desplazados al frente de mi casa pidiendo limosna, les voy a preguntar a ellos como celebran la muerte de #jojoy #eltiempostyleKuna watu waliopoteza makazi wanaomba pesa mbele ya nyumba yangu, Nitawauliza ni kwa jinsi gani wanasherehekea kifo cha #Jojoy #eltiempostyle
29Adriana (@Adridice) opinó sobre la disculpa que twitteó El Tiempo:Adriana (@Adridice) aliandika maoni kuhusu ombi la msamaha lililotumwa na El Tiempo:
30las disculpas del @eltiempocom dejan mucho que desear “a los que se sientan ofendidos” que amarillismo, están peor que el espacioombi la msamaha la @eltiempocom halina mshiko, “wale waliochukizwa”, ushabiki na udaku mtupu, hawa ni wabaya zaidi ya El Espacio [gazeti la udaku linalochapishwa kila siku]
31Otros usuarios hicieron bromas sobre el nombre de la operación, el cual según el ministro de Defensa Rodrigo Rivera se escogió porque “ahí estaba el corazón de la maldad.Wengine walilitania jina la operesheni, ambalo kwa mujibu wa Waziri wa Ulinzi Rodrigo Rivera lilichaguliwa [es] kwa sababu “kiini cha uovu kilikuwa pale.
32Y necesitabamos ayuda de lo alto”.Na tulihitaji msaada kutoka mbinguni.”
33Orlando (@DanielitoBang) dijo:Orlando (@DanielitoBang) alisema:
34Alejandro Ordóñez abrirá investigación contra Rodrigo Rivera y la cúpula militar por usar el aberrante nombre de Sodoma en esta operación.[Mkuu wa Jeshi la Polisi] Alejandro Ordóñez atamchunguza Rodrigo Rivera pamoja na uongozi mzima wa jeshi kwa kutumia jina potofu la ‘Sodoma' kwenye operesheni hii.
35Ramírez Jaramillo (@egolaxista):Ramírez Jaramillo (@egolaxista):
36La película de la Operación Sodoma será clasificada R, porque su nombre es sugestivoFilamu kuhusu Operesheni Sodoma itakuwa na kiwango cha R (filamu yenye maudhui ya watu wazima), kwani jina lenyewe linaashiria hivyo
37En broma, Miguel Olaya (@juglardelzipa) escribió:Kwa mzaha tu, Miguel Olaya (@juglardelzipa) aliandika:
38en el ministerio de defensa organizan focus groups para decidir el nombre de las operaciones.Pale Wizara ya Ulinzi vikundi mahsusi vya tafiti vinaandaliwa ili kuchagua majina ya operesheni
39Alvaro Sáenz (@AlvarettoS):Alvaro Sáenz (@AlvarettoS):
40:o que el mono jojoy murió de sodomía?:o je Jojoy alifariki kutokana na ulawiti (u-sodoma)?
41#toomuchinformation#toomuchinformation
42Otras reacciones en Twitter reflejaron asuntos de actualidad en la política colombiana.Maoni mengine katika twita yanashabihi masuala yaliyopo katika siasa za Colombia.
43Manuel Carreño (@Popcultura) dirigió su mensaje a quienes se oponen a los gobiernos anterior y actual:Manuel Carreño (@Popcultura) alielekeza ujumbe wake kwa wale wanaoipinga serikali ya sasa na ile iliyopita:
44Amigo antiuribista: alegrarte por esta noticia no te vuelve de derecha: solo demuestra que te alegras por la muerte de cafres como ese.Rafiki anti-uribista: kuhisi furaha kutokana na taarifa hii hakukufanyi uwe mtu mwenye siasa za mrengo wa kulia: kunaonyesha tu kwamba unafurahia kifo cha mwanaharamu kama huyu.
45Pero Juan C.Lakini Juan C.
46Rodríguez (@JCRodriguezMD) no ve que el resultado de esta operación sea un signo del éxito del gobierno:Rodríguez (@JCRodriguezMD) hadhani kwamba matokeo ya operesheni hii ni ishara ya kuwa serikali imefanikiwa:
47El éxito de un gobierno no se mide por número de bajas, sino por el bienestar de su población.Mafanikio ya serikali hayapimwi kwa idadi ya adui waliouwawa, bali kwa ustawi wa watu wake.
48En eso si seguiremos muy mal.Katika [suala] hilo, tutazidi kufanya vibaya.
49@Vulturno dijo:Mtumiaji wa twita @Vulturno alisema:
50Sin duda es el logro más grande de las FFMM, con todo y que les tocó matarlo de lejos y con seviciaHapana shaka hili ni fanikio kubwa zaidi ya yote ya Majeshi ya Wapiganaji, haidhuru kwamba ilibidi wamuuwe kutokea mbali na kwa unyama
51Daniel Arango (@stultaviro) describió lo que el éxito de la operación significa para algunos colombianos:Daniel Arango (@stultaviro) alielezea mafanikio ya operesheni hii yanamaanisha nini kwa watu wa Colombia:
52Qué buena bofetada a los que andaban anunciando y celebrando el fracaso de la Seguridad Democrática.Kofi zuri lilioje kwa wale waliokuwa wakitangaza na kusherehekea kushindwa kwa Ulinzi wa Kidemokrasia
53En este tweet, Alejandro Gaviria (@agaviriau) se refiere a la idea de justicia:Katika ujumbe wake wa twita, Alejandro Gaviria (@agaviriau) anahusisha [kifo hicho] na dhana ya haki:
54No es la muerte lo que alegra a la mayoría de la gente: es la idea o la sensación de justicia.Siyo kifo [chake] ambacho kinawafanya watu wengi wafurahi: ni ile dhana au hisia ya haki
55Pero Orlando (@DanielitoBang) cree que al final no se hizo justicia:Lakini Orlando (@DanielitoBang) anafikiri kuwa haki haikutekelezwa vilivyo:
56Qué rabia que mueran tipejos como ese.Nimekasirika kwamba watu washenzi kama huyu wanakufa.
57Se siente cierta sensación de justicia, pero el miserable en realidad murió impune.Wewe unahisi kutendeka kwa namna fulani ya haki, lakini mwanaharamu huyu alifariki kabla ya kuadhibiwa
58“El Chiflamicas” (@elchiflamicas) escribió:“El Chiflamicas” (@elchiflamicas) aliandika:
59Si no mataban al Mono Jojoy se les hubiera escapado por algún aeropuerto.Kama wasingemuua Mono Jojoy angeponyoka katika kiwanja cha ndege fulani..
60Alieth Acosta (@_InTheMood) criticó la presión por mostrar patriotismo:Alieth Acosta (@_InTheMood) alikosoa shinikizo [lililojitokeza] la kuonyesha uzalendo:
61Si no pongo una bandera de Colombia en mi nick de bb soy terrorista entonces?Ikiwa sitabandika bendera ya Colombia kwenye [simu yangu ya kiganjani ya Blackberry] basi ni haki iibiwe kwa kuwa mimi ni gaidi?
62Esas bobadas.Upuuzi gani huo.
63“La Morenita” (@lapetitebrune) dijo:“La Morenita” (@lapetitebrune) alisema:
64El día en que celebremos la vida, en vez de la muerte, ese día sí habrá esperanza para nosotros.Siku ambayo tutasherehekea uhai, badala ya kifo, siku hiyo ndiyo patakuwepo na matumaini kwetu.
65Algunas entradas relacionadas:Makala nyingine zinazohusiana na hii: