Sentence alignment for gv-spa-20140127-222823.xml (html) - gv-swa-20140203-6499.xml (html)

#spaswa
1Egipto: ¿Es el ascenso de Sisi un paso más hacia la presidencia?Misri: Kupandishwa cheo kwa Sissi ni ya Hutua ya Kuelekea URais?
2El presidente interino Adly Mansour promulgó un decreto presidencial ascendiendo al general Abdel Fattah al Sisi, ministro de Defensa, al rango de mariscal de campo.Rais wa serikali ya mpito ya Misri, Adly Mansour atoa amri ya Rais ya kumpandisha cheo Jenerali Abdel Fattah El-Sissi, ambaye ni waziri wa ulinzi kuwa Jemadari Mkuu.
3Es el rango más alto en el ejército egipcio.Hii ni nafasi ya juu kabisa katika jeshi la Misri
4El ascenso generó mucha actividad en línea, con muchos preguntándose si abre el camino para que Sisi se presente como candidato a las elecciones presidenciales que están previstas para finales de abril.Upandishwaji cheo huu umezua mjadala mkubwa katika mitandao ya intaneti ambapo watu wengi wanajiuliza kama ndio njia ya Sissi kugombea urais unaotarijiwa kufanyika mwisho wa mwezi Aprili.
5Adam Makary tuiteó:Adam Makary katika ukurasa wa Twita aandika:
6Recordatorio - Sisi fue el primer ministro de Defensa de Egipto en no ostentar el alto rango de mariscal de campo.Reminder - Sisi #Egypt's alikuwa ni waziri wa ulinzi wa kwanza ambaye hakustahili kupewa nafasi kuu kabisa ya Jemadari Mkuu. Kwa sasa tayari ameshatunukiwa.
7Ahora lo tiene.- آدم مكاري (@adamakary) tarehe 27 Januari, 2014
8Louisa Loveluck señaló:Louisa Loveluck atoa angalizo:
9La página de Wikipedia del mariscal de campo Sisi ya ha sido actualizada.Field Marshal Sisi's Ukurasa wa Wikipedia tayari umeshaboreshwa . - Louisa Loveluck (@leloveluck) tarehe 27 Januari, 2014
10Y Ahmed Abrass explicó lo que significa el título de mariscal de campo:Pia, Ahmed Abrass anafafanua maana ya cheo cha Jemadari Mkuu [ar]:
11Mariscal de campo en inglés significa alguien que ha liderado las tropas en el campo de batalla y ha obtenido brillantes victorias” Kwa kiingereza, Jemadari Mkuu ina maana kuwa mtu Fulani aliyewangoza wanajeshi vitani na akapata ushindi mkubwa .”
12Este no es el caso de al Sisi.Kwa El Siss, hili si jambo la yeye kulitilia maanani.
13Sin embargo, parece que esto no es un requisito previo en el ejército egipcio y que el ex general tenía todas las cualificaciones necesarias para convertirse en mariscal de campo.Hata hivyo, inaonekana kuwa kuwa Jemadari Mkuu siyo kigezo cha muhimu katika jeshi la Misri na hata hivyo Meja Jenerali huyu mstaafu alikuwa na vigezo vyote vya kumfanya kuwa Jemadari Mkuu .
14Nervana Mahmoud explicó:Nervana Mahmoud afafanua:
15Este enlace en árabe dice: “El combate en guerra no es condición previa para el ascenso a mariscal de campo” http://t.co/pi9dbLS4RX ¡por supuesto!This arabic link say: " Kushiriki katika vita siyo kigezo cha kumpandisha mtu cheo hadi kuwa Jemadari Mkuu. " http://t.co/pi9dbLS4RX kabisa!
16Bel Trew confirmó:#Egypt
17Abdel-Fattah al Sisi tiene las cualificaciones necesarias para ser mariscal de campo, no necesita experiencia en combate, dicen fuentes- Nervana Mahmoud (@Nervana_1) tarehe 27 Januari, 2014 Bel Trew athibitisha kuwa:
18Abdel-Fattah Sisi alikuwa na vigezo vyote vya kuwa Jemadari Mkuu, doesn't need combat experience say sources #Egypt http://t.co/5tmFOlQPPS
19Y Egyptian Streets dijo:- Bel Trew - بل ترو (@Beltrew) tarehe 27 Januari, 2014
20Fuente gubernamental: El ascenso de al Sisi tiene por objeto rendir homenaje a sus acciones en los últimos mesesNa Egyptian Streets asema: Chanzo cha Serikali: Kupandishwa cheo kwa Al-Sisi kumekuwa na lengo la kutambua kazi aliyoifanya kwa miezi kadhaa iliyopita.
21Muchos internautas parecían desconcertados y claramente molestos por la noticia.#Egypt - Egyptian Streets (@EgyptianStreets) tarehe 27 Januari, 2014
22Watumiaji wengi wa mtandao wameonesha kushangazwa na waziwazi kuchukizwa na habari hii.
23En Facebook, Mina Labib preguntó:Katika mtandao wa kijamii wa Facebook, Mina Labib auliza [ar]:
24¿Por qué se le rinde homenaje?Anatunukiwa hasa kwa lipi alilolifanya?
25¿Las explosiones?Kuhusu milipuko iliyotokea?
26Egipto despertó el 24 de enero con una serie de cuatro explosiones, que dejaron seis muertos y más de 70 heridos en El Cairo.Januari 24, Misri ilikabiliwa na mfululizo wa milipuko iliyoua watu sita na wengine 70 walijeruhiwa huko Cairo.
27Algunos sugirieron que este ascenso es una vía rápida para la candidatura presidencial de al Sisi.Baadhi ya watu wanaona kuwa, kupandishwa cheo huku ni namna ya ya haraka ya Sissi kuelekea kugombea Urais.
28Nervana Mahmoud escribió:Nervana Mahmoud aandika:
29Kupandishwa cheo kwa Sisi ni ishara ya karibu sana ya kuachia madaraka.
30El ascenso del general al Sisi es una señal de inminente dimisión.Hivi ndivyo mambo yalivyozoeleka kufanyika nchini Misri kwa miongo mingi. #sigh
31Así lo hacen en Egipto desde hace décadas- Nervana Mahmoud (@Nervana_1) tarehe 27 Januari, 2014
32Egyptian Streets añadió:Egyptian Streets adds:
33Últimas noticias: Informes indican que al Sisi está reunido con líderes militares para planificar su nominación a la presidencia, es probable que dimita.BREAKING: Reports indicate Al-Sisi meeting with military leaders to plan his nomination for Presidency, likely to resign. #Egypt
34Y el periodista Patrick Kingsley explicó:- Egyptian Streets (@EgyptianStreets) tarehe 27 Januari, 2014
35Acabo de hablar con una fuente militar de alto rango quien afirmó que Sisi tendría que dimitir si se presentase.Na pia, mwanahabari Patrick Kingsley anafafanua: Ni punde tu niliongea na afisa mkubwa wa jeshi ambaye alitanabaisha kuwa #Sisi angepaswa kuachia ngazi kama atagombea Urais.
36Pero no quiso decir lo que significa el propio ascenso.Lakini, hakuweka wazi kupandishwa cheo kwa Sissi kulikuwa na maana gani.
37Parece que la candidatura presidencial no es la única razón para este ascenso.- Patrick Kingsley (@PatrickKingsley) tarehe 27 Januari, 2014 Inaonekana kuwa kugombea Urais siyo sababu pekee ya kupandishwa cheo hiki.
38Tarik Salama tuiteó:Tarik Salama atwiti:
39Sisi ascendido a mariscal es una necesidad salarial.Sisi kupandishwa cheo kama Jemadari Mkuu ni kwa minajili ya kuongezewa mshahara.
40Kama Rais mtarajiwa na ikizingatiwa na ukomo wa mshahara wa Rais uliopo kwenye katiba, upandishwaji huu wa cheo ni kama namna ya kumhakikishia mshahara wa ziada.
41Como futuro presidente con un sueldo limitado constitucionalmente, necesita ese extra.- Tarik Salama (@tariksalama) tarehe 27 Januari, 2014 Basil Al Dabh anaongeza:
42Y Basil Al Dabh añadió:Uipate pensheni hiyo.
43Consiga esa pensión#recession
44En un momento de gran intranquilidad y represión de las libertades personales, algunas personas ven esto como un paso más hacia la deificación y culto a la personalidad que los líderes egipcios estaban acostumbrados a imponer.- Basil الضبع (@basildabh) tarehe 27 Januari, 2014 Katika kipindi cha taharuki na kutokujali uhuru wa mtu, baadhi ya watu wanaokuwa hii ni hatua nyingine kuelekea kuheshimu watu kama Mungu wao na kuwapenda, mfumo ambao viongozi wa Misri wamekuwa wakiusimamia.
45Zack Gold explicó:Zack Gold afafanua:
46Dadas las circunstancias, creo que el siguiente nivel en el escalafón es “Dios Sol”.kwa hali ilivyo, ninafikiri kuwa, cheo kitakachofuatia ni cha " Mungu Jua." - Zack Gold (@ZLGold) tarehe 27 Januari, 2014
47Mientras, Gr33ndata compartió esta caricatura:Gr33ndata akiweka kikaragosi:
48Viva Alcazar pic.twitter.com/lUJfgpNde3Viva Alcazar pic.twitter.com/lUJfgpNde3
49- Tarek Amr (@gr33ndata) January 27, 2014- Tarek Amr (@gr33ndata) tarehe 27 Januari, 2014