Sentence alignment for gv-spa-20090527-9153.xml (html) - gv-swa-20090525-158.xml (html)

#spaswa
1Saudi Arabia: ¿Amenazará la gripe porcina el Hajj?Saudi Arabia: Je, mafua ya nguruwe yatatishia Hija?
2Cada año, millones de musulmanes se dirigen a La Meca para realizar el Hajj (peregrinación), uno de los cinco pilares del Islam.Kila mwaka mamilioni ya Waislamu husafiri kwenda Maka kuhiji, moja ya nguzo tano za Uislamu.
3¿Está la temporada del Hajj de este año amenazada por el virus A/H1N1 o gripe porcina?Je, msimu wa hija ya mwaka huu utatishiwa na homa ya mafua ya nguruwe?
4Los bloggers contribuyen comentando sobre la región.Wanablogu wanayo maoni ya kusema.
5En CrossRoads Arabia, John Burgess explica:Kwenye blogu ya CrossRoads Arabia, John Burgess anaeleza:
6Un investigador saudí en la ley Shariah encuentra que hay precedentes de prohibición a los peregrinos Umrah (aquellos que se comprometen a la peregrinación menor no obligatoria) que provienen de las zonas especialmente amenazadas por el virus A/H1N1 o gripe porcina.Mtafiti wa Kisaudi katika sheria za Kiislamu (Sharia) amegundua kuwa kuna uwezekano wa kuwazuia baadhi ya mahujaji (wale ambao walishahiji kabla yaani, mahujaji wa ‘kurudia') hasa wanaotoka maeneo ambayo kwa sasa yanatishiwa na mlipuko wa mafua ya nguruwe.
7Sospecho que esta opinión se está planteando ahora en previsión del Hajj, que tendrá lugar a finales de noviembre.Nina hisi kwamba wazo hili linakuja sasa kwa sababu ya Haji ambayo itafanyika mwishoni mwa mwezi Novemba.
8El Hajj es obligatorio, en cuanto a que todo musulmán está requerido a realizar la peregrinación al menos una vez en su vida, si es posible.Hija ni wajibu wa msingi, ambao kila Mwislamu hutakiwa kuutimiza angalau mara moja katika maisha yake, inapowezekana.
9Preocupaciones similares fueron planteadas hace pocos años, cuando la gripe aviar (H5N1) era una amenaza.Hali kama hii ilijitokeza miaka michache iliyopita, ambapo homa ya mafua ya ndege (H5N1) ilikuwa tishio.
10Un erudito saudí pidió que el Haj fuera cancelado si se producía un brote severo, pero esa propuesta fue desestimada por otros.Msomi mmoja wa Kisaudi alitoa wito wa kuifuta Hija ikiwa mlipuko ungekuwa mkubwa zaidi, lakini pendekezo hilo lilizimwa na wenzake.
11El argumento era que el Haj nunca ha sido cancelado por razones de salud pública y que hacerlo sería contraproducente para el Islam.Hoja ilikuwa kwamba Hija haijawahi kufutwa kwa minajili tu ya kiafya na kwamba kufanya hivyo kungekuwa kuukiuka Uislamu.
12Por el contrario, los enfermos están moralmente obligados a no realizar el Haj.Badala yake, wale walio wagonjwa, kimaadili hutakiwa kutokuitimiza hija yao.
13Las enfermedades transmisibles y el Haj son compañeros históricos.Magonjwa yaambukizwayo yana historia ndefu na Hija.
14Existen muchos registros de brotes de enfermedades, desde la peste hasta el cólera, matando a miles de personas en La Meca, Madinah y Jeddah a lo largo de los años.Zipo kumbukumbu nyingi za milipuko ya magonjwa kama kipindupindu na maafa ya maelfu huko Maka, Madina na Jedah kwa miaka mingi sasa.
15Sólo hacia el final del siglo 19 se hicieron cumplir estrictamente las cuarentenas [210-page PDF] para detener la propagación de enfermedades fuera de la región, de vuelta a los hogares de los peregrinos.Ni kuelekea karne ya 19 ndipo ambapo sheria za kutenga wagonjwa zilianza kutumika ili kukomesha ueneaji wa magonjwa katika eneo hilo takatifu, hadi manyumbani mwa mahujaji.
16Las cuarentenas y la estricta aplicación de los exámenes médicos pueden proteger a los peregrinos y ello podría ser suficiente.Sheria hizo pamoja na kutiliwa mkazo kwa mchujo wa kiafya kwa mahujaji unaelezwa kuweza kusaidia kuwalinda mahujaji.
17Sólo el tiempo lo dirá.Muda utahitajika kuona ikiwa hili linawezekana.
18La gripe porcina, como la gripe aviar antes de esta, puede dejar de ser un motivo de preocupación.Mafua ya nguruwe, kama ilivyokuwa kwa mafua ya ndege hapo awali, yanaweza kuja kuwa jambo lisilo na uzito unaoonekana hivi sasa.
19Si no lo hace, sin embargo, es bueno que la gente esté empezando a pensar en ello ahora.Isipokuwa hivyo, hata hivyo, ni vyema watu wakaanza kulitafakari kuanzia sasa.
20El Blog del Editor del Instituto del Oriente Medio añade:Blogu ya Middle East Institute's Editor's Blog inaongeza:
21Esto es cada vez más y más extraño.Jambo hili linazidi kuwa jipya kila uchao.
22El Gran Mufti de Egipto está sugiriendo a los estudiosos musulmanes emitir un fatwa colectivo [decreto religioso] de aplazar el Hajj debido a la gripe porcina.Mufti mkuu wa Misri anapendeza wanazuoni wa Kiislamu kutangaza fatwa [tamko la kidini] kuahirisha Hija kwa sababu ya mafua ya nguruwe.
23La versión en árabe está aquí.Fatwa yenyewe inapatikana hapa kwa Kiarabu.
24Tenga en cuenta que -sé que lo sigo repitiendo- no ha habido casos en Egipto.Tilia maanani -ninajua na naendelea kurudia hili -hapajawahi kuwapo suala kama hili katika Misri.
25De hecho, según el resumen de ayer de la OMS, los únicos casos confirmados en todo el Oriente Medio están en Israel (siete casos).Kusema kweli, kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), maambukizo yaliyothibitishwa katika Mashariki ya Kati yote ni Israel (wagonjwa saba).
26Y la OMS dice, “la OMS no recomienda restricciones de viaje relacionadas con el brote del virus de la gripe A/H1N1.”Na Shirika hilo la Afya Duniani (WHO) linasema “ Shirika halijashauri kusitishwa kwa safari kwa sababu ya mlipuko wa virusi vya mafua ya nguruwe.”
27Oh, sí, y otra cosa: el Hajj no es sino hasta noviembre.Ndio, na suala jingine: Hija haijafika, ni mpaka mwezi wa Novemba.
28¿Me estoy perdiendo algo?Hivi kuna kitu nitakuwa nakosea hapa?
29¿Ha sido el Hajj aplazado por razones de salud, en toda la historia islámica?Je, katika historia ya Uislamu, hivi imewahi kutokea Hija ikaahirishwa kwa sababu tu za kiafya?
30No lo sé, pero supongo que usted necesitaría al menos una persona infectada para justificarla.Sijui, lakini ninatarajia kuwa tungehitaji walau mgonjwa mmoja ili kuhalalisha uamuzi huu.
31(No sólo no hay casos en el Oriente Medio, excepto Israel, sino tampoco en Indonesia, Malasia, Pakistán - en cualquier parte musulmana, vamos.) Nicole Mitidieri colaboró en la traducción de este post.(Si tu kwamba hakuna taarifa za ugonjwa Mashariki ya Kati, isipokuwa Israel, lakini pia hakuna mgonjwa yoyote Indonesia, Malayasia, Pakistani - ndio hata kokote waliko Waislamu)