Sentence alignment for gv-spa-20090107-3627.xml (html) - gv-swa-20090107-41.xml (html)

#spaswa
1Palestina: “Gaza no está buscando una aspirina para su herida sangrante”Palestina: Gaza Haitafuti Aspirini Kwa Ajili Ya Kidonda Chake
2Usando generadores de energía, una cantidad de activistas palestinos y extranjeros se las siguen ingeniando para enviar informes acerca de lo que está ocurriendo en la Franja de Gaza.Wapalestina wachache na wanaharakati wakigeni bado wanaweza kutuma ripoti za kile kinachoendelea kwenye ukanda wa Gaza kwa kutumia umeme wa jenereta inapobidi.
3Acá algunos de los posts de blogs de las últimas 24 horas.Zifuatazo ni jumbe za blogu katika masaa 24 yaliyopita.
4El profesor Said Abdelwahed, que enseña inglés en la Universidad Al-Azhar, escribe en Moments of Gaza:Profesa Abdelwahed, ambaye anafundisha Kiingereza Chuo Kikuu cha Al-Azhar anaandika katika Moments of Gaza:
5Hoy hubo una ofensiva terrestre.Leo yalikuwa mashambulizi ya nchi kavu.
6[…] Muchos civiles murieron en el bombardeo de áreas en los límites de la ciudad de Gaza.[…] Raia wengi walifariki kwenye mashambulizi ya mabomu katika maeneo ya ukingoni mwa mji wa Gaza.
7La electricidad y el agua siguen siendo los principales problemas para todos los gazanos.Umeme na maji bado ni matatizo makubwa kwa wakazi wote wa Gaza.
8¡Sigo operando un generador para poder escribir estos mensajes en minutos!Bado ninatumia jenereta kuweza kuandika jumbe hizi!
9Los teléfonos celulares están paralizados y los teléfonos fijos tienen estática o están distorsionados, y otras veces, ¡están claros!Simu za mikononi zimezimika na zile za majumbani zimeganda au hazisikiki vyema na wakati mwingine, husikika!
10Un bombardeo aéreo cercano hace pocos minutos; no sabemos dónde ha sido pero fue tan aterrador.Shambulio la anga karibu na hapa dakika chache zilizopita; hatujui lilitokea wapi lakini lilitisha.
11¡Le dieron a un edificio cercano!Walipiga jengo lililo karibu!
12Está a tres edificios de mí; ¡hay muertos!Ni majengo matatu kutoka hapa nilipo; kuna majeruhi!
13Los aviones Israelíes están arrojando bombas relámpago o tal vez sean luces con fines militares.Ndege za Israeli zinatupa mabomu ya radi au pengine ni miangaza inayotumiwa kwa madhumuni ya kijeshi.
14Israel interceptó el canal de satélite Al-Aqsa varias veces.Israeli iliingilia idhaa ya setilaiti ya Al-Aqsa kwa mara kadhaa.
15Difundían material anti-Hamas.Walitangaza habari zinazoipinga Hamas.
16¡Regresaré si puedo!Nitarejea tena kama nitaweza!
17Natalie Abou Shakra, activista libanesa que también bloguea en Moments of Gaza:Natalie Abu Shakra, mwanaharakati wa Kilebanoni, ambaye pia anablogu katika Moments of Gaza:
18están usando nuevo armamento… muy aterrador… mientras va por el aire… lo escuchas muy cerca de ti… va a venir, me va matar, ahora ahora ahora… es lo que piensas de … es aterrador… admito que no me importa… me he acostumbrado al viejo armamento… ahora tengo que acostumbrarme a este también… no puedo describir con palabras el alcance de su terror… como un cohete dirigido contra ti… y el sonido… el sonido de un avión en el aire que viene hacia ti… aumentando su sonido cuanto más cerca está… entonces pasa encima de nuestra cabeza… estamos todos en el pisoWanatumia silaha mpya… zinatisha sana… wakati zikipita angani… utazisikia ziko karibu sana na wewe… zinakuja, zinakuja kuniua, sasa hivi… hivi ndivyo unavyofikiri… inatisha mno… nakubali kwamba sijali tena… nimeshazoea zile silaha za zamani… na sasa inanibidi nizizowee na hizi pia… siwezi kukuelezea kwa maneno ukali wa vitisho hivi… ni kama kombora linaloelekezwa kwako… na mlio wake… mlio wa ndege angani ikikuelekea… ikiongeza sauti kadri inavyokukaribia zaidi… ikesha inapita juu ya vichwa vyetu… sote tumelala chini…
19Laila El-Haddad, cuyos padres están en Gaza, bloguea en Raising Yousuf and Noor:Laila El-Haddad, ambaye wazazi wake wako mjini Gaza, anablogu katika Raising Yousuf and Noor:
20Hemos escuchado acerca de los volantes con los que el ejército israelí está cubriendo Gaza - les dicen a la gente que es a Hamás a quien tienen que culpar por sus males, no a sus f-16 y bombas de racimo.Tumesikia kuhusi vipeperushi ambavyo majeshi ya Israeli yanauchafua mji wa Gaza navyo - wakiwaambia watu kuwa Hamas ndio wa kulaumiwa kwa matatizo yao, na sio ndege za kijeshi za F-16 na mabomu mengine.
21Ahora, están usando el robot para llamar a los ciudadanos de Gaza a la Hilary Clinton, a cualquier hora del día y la noche.Na hivi sasa wameanza kuwapigia watu simu kwa kutumia mashine za sauti kana kwamba ni Hilary Clinton, kwa muda wa masaa yote usiku na mchana.
22Mi padre ha recibido una cantidad de llamadas - incluida una al terminar otra entrevista de CNN, y estábamos en skype.Baba yangu kapokea simu kadhaa - pamoja na ile wakati tulipokwa tunamaliza mahojiano na CNN, tulikuwa tukitumia Skype.
23Trató de poner el teléfono en altavoz para que yo escuchara.Alijaribu kuiweka simu kwenye kipaza sauti ili nami niisikie.
24Las toscas traducciones: “mensaje urgente: advertencia a los ciudadanos de Gaza.Tafasiri ya haraka haraka ni kuwa: “Ujumbe wa dharura: Onyo kwa raia wote wa Gaza.
25Hamás los están usando como escudos humanos.Hamas inawatumieni kama ngao.
26No los escuchen.Msiwasikilize.
27Hamás los ha abandonado y se esconde en sus refugios.Hamas wamewakimbia na wamejificha kwenye maficho yao.
28Ríndanse ahora…”Achaneni nao…”
29Colgó molesto, no quiso escuchar el resto.Aliweka simu chini kwa hasira, hakutaka kusikiliza ujumbe wote.
30El ejército también ha estado llamando a la gente para hacerles saber que sus casas serán blancos.Jeshi pia limekuwa likiwapigia simu watu kuwafahamisha kuwa nyumba zao zitashambuliwa.
31La gente ha dejado ahora de contestar el teléfono, y no contestan llamadas de número desconocidos por miedo.Watu wameacha kupokea simu zao, na hawapokei simu zenye namba wasizozifahamu kutokana na kuogopa.
32Sharon es una activista que bloguea en Tales to Tell, y como muchos de los activistas internacionales en Gaza, está haciendo lo que puede para ayudar a los trabajadores de las ambulancias:Sharon ni mwanaharakati anayeblogu katika blogu ya Tales to Tell, na kama wanaharakati wengine wa kimataifa mjini Gaza, anafanya awezalo ili kuwasaidia wafanyakazi wa afya wa dharura:
337.30: Llaman a las ambulancias.1.30: Magari ya wagonjwa yameitwa.
34No podemos pasar un enorme cráter en el camino en el que un carro ya ha caído en picada.Tunashindwa kulipita shimo kubwa barabarani ambamo kuna gari lilikwishanasa ndani yake.
35Tomamos el largo camino alrededor, recogimos a un hombre con traje tradicional, sesentón, de lo que parece ser la granja de su familia.Tulichukua njia ndefu ya mzunguko, tukamuokota mtu aliyevalia mavazi ya kitamaduni, wa makamo ndani ya miaka ya 60 hivi, kutoka katika linaloonekana ni shamba lake la ukoo.
36Le sangra la cara y está muy asustado.Anatokwa damu usoni na mwenye hofu kubwa.
37En el camino al hospital de Karmel Adwan una explosión particularmente cercana golpea la camioneta.Njiani kuelekea hospitali ya Karmel Adwan mlipuko mmoja karibu kabisa na gari la wagonjwa ukalitetemesha gari.
38No debo haber saltado lo suficiente, porque el chofer me hace la mímica “¿escuchaste eso?”Lazima nilishtuka kiasi, kwa sababu dereva aliniuliza “je umesikia?”.
39Estoy empezando a darme cuenta que a los palestinos les gustan las preguntas retóricas, tales como “'qué te parece Gaza por el momento?”Ninaanza kufahamu kuwa Wapalestina hupendelea sana kuuliza maswali yenye majibu yaliyo wazi, kama vile “unauonaje mji Gaza hivi sasa?”
40[…] 10.55: salimos de Al Shifa para regresar al centro Jabalia.[…] 4.55: Tunaondoka Al Shifa kurejea kwenye kituo cha Jabalia.
41Ahí hay café.Kuna kahawa.
42Mo me hace un sandwich de café, que es simplemente extraño.Mo anatengeza kahawa na mkate ambavyo si kawaida.
43Hay una pausa en las llamadas.Kuna ahueni kwenye idadi ya simu.
44Hassan me pregunta por mi libro, “Cura natura”; Le explico que es acerca del camino de un ecologista para salir de la depresión.Hassan ananiuliza kuhusu kitabu changu, “Tiba Asilia”; Ninamueleza kuwa ni kitabu kinachohusu safari ya mtaalamu wa mahusiano ya viumbe na mazingira kutoka kwenye ugonjwa wa mawazo.
45“¿La gente se deprime en Occidente?” pregunta con sorpresa.“watu huugua ugonjwa wa mawazo kwenye nchi za magharibi?”
46Entendiendo lo inverosímil que eso debe parecer justo ahora, digo que mucha gente se ve inmersa en una vida que principalmente es trabajar y comprar cosas, y sin ninguna clase de significado- religión, o el sueño que tu tierra sea libre, o algo así, la gente puede sentirse perdida.Aliuliza kwa mshangao. Ninaelewa isivyoweza kuyumkinika kusikika hivi sasa, nasema watu wengi hujikuta wamejitega katika maisha ya kazi na ununuaji wa vitu tu, bila ya kuwa na maana katika maisha yao - dini, au ndoto ya ukombozi wa nchi yako, au jambo kama hilo, watu wengi hupotea.
47“En realidad, Israel está tratando de forzarnos a una vida sin sentido como esta,” dice.“Kwa kweli Israeli inataka kutufanya tuwe hivyo hivi sasa”, alisema.
48“Como, a veces siento que todo lo que de veras me importa ahora es un kilo de gas. Construí una cocina para mi familia y siento como si hubiera hecho algo asombroso.”“kwa mfano, saa nyingine jambo kubwa ambalo hulifikiria ni jinsi ya kupata kilo ya gesi, nilijenga jiko kwa ajili ya familia yangu na nilijisikia kana kwamba nilifanya jambo la kustaajabisha.”
49En otro post nos cuenta:Katika ujumbe mwingine anatuambia:
50Le preguntamos a la persona de administración de Media Luna Roja de Jabalia cuántas de las llamadas de emergencia les impide cumplir Israel.Tulimuuliza mtumishi wa mapokezi wa shirika la Hilali Nyekundu la Jabalia ni simu ngapi za dharura wanazozipokea kutoka sehemu ambazo Waisraeli hawawaruhusu kwenda.
51Son en las áreas donde debe hacerse coordinaciones con las fuerzas de invasión a través de la Cruz Roja para entrar.Maeneo hayo ni yale ambayo uratibu wake lazima ufanywe na majeshi ya uvamizi kupitia shirika la Msalaba Mwekundu.
52Dijo que no se les permite ir a cerca del 80% de las llamadas del norte, que cubren el área de Beit Lahia, Beit Hanoun y Jabalia.Alisema kuwa hawaruhusiwi kuhudumia asilimia takriban 80 ya simu zote zinazotokea kaskazini, amabpo ni sehemu za Beit Lahia, Beit Hanoun, na Jabalia. Naweza kurudia tena?
53¿Debería repetir eso?Asilia 80.
5480%. Se evita que ocho de diez personas que piden la reciban.Wanane kati ya watu kumi wanaoomba msaada huzuiliwa kupokea msaada huo.
55La activista canadiense, Eva Bartlett, bloguea en In Gaza:Mwanaharakati kutoka Kanada, Eva Bartlet, anblogu katika In Gaza:
56Las cantidades de masacrados y heridos son tan altas ahora - 521 y 3,000 a esta mañana, hora de Gaza - sentarse al lado de un muerto o un moribundo se está volviendo normal.Idadi ya walioteketezwa na kujeruhiwa ni kubwa mno hivi sasa - 521 na 3,000 kufikia asbuhi hii, kwa saa za Gaza - kuketi pembeni ya maiti au mtu anayefariki inakuwa ni jambo la kawaida.
57La mancha de sangre en la camilla de la ambulancia cerca de mi abrigo, el paramédico que me advierte que mi abrigo puede estar sucio.Doa la damu kwenye machela ya gari la wagonjwa linasogeea karibu ya koti langu, na mganga ananionya kwamba koti langu linaweza kuchafuka.
58¿Qué importa?Kwani ninajali?
59La mancha no me da asco como hubiera sido, era, hace una semana.Doa lile haliwezi kunikera kama ambavyo ningekereka, au ambavyo nilikereka wiki moja iliyopita.
60La muerte llena el aire, las calles en Gaza, y no puedo hacer hincapié en que esto no es exageración.Mauti yamejaa hewani, kwenye mitaa ya Gaza, na siwezi kusisitiza zaidi kwamba siongei kwa kutia chumvi.
61De vuelta brevemente en la ciudad de Gaza, después de un día y una noche de nuevo con los paramédicos, trataré de resumir, aunque hay mucho que contar, demasiadas noticias que llegan, y es tan difícil llegar a la gente, hasta los que están a un kilómetro.Nimerudi mjini Gaza kwa muda mchache, baada ya mchana na usiku wa kazi na wauguzi, nitajaribu kutoa muhtasari, ingawa kuna mengi ya kueleza, habari nyingi zinazojitokeza, na ni vigumu kuwafikia wananchi, hata wale walioko kilometa moja tu kutoka hapa.
62Antes de dejarme, los paramédicos se habían ido a diferentes estaciones de gas, buscando gas para las ambulancias.Kabla ya kunishusha wauguzi walikwenda kwenye vituo mbalimbali vya mafuta, wakitafuta mafuta kwa ajili ya gari la wagonjwa.
63Dos estaciones, sin suerte.Walipita vituo viwili bila kubahatika.
64Alguien finalmente llena sus tanques.Na wengine walipofika kwenye kituo cha mwisho walibahatika kujaza mafuta.
65La falta de gas es crítica.Uhaba wa mafuta umefikia hali mbaya.
66Igual pasa con la falta de pan, que sigue, las colas más largas que nunca.Kadhalika uhaba wa mikate, ambao unaendelea, na foleni ni ndefu kuliko.
67Un texto me dice (a este momento tengo que confiar en las noticias deI teléfono y de mensajes de texto, cuando la recepción está disponible) que la ONU dice que 13,000 han sido desplazados desde estos ataques, que 20% de los muertos son mujeres y niños, 70 % sin agua potable.Ujumbe wa maandishi kwenye simu ya mkononi unaniambia ( katika kipindi hiki inanibidi nitegemee habari kutoka kwenye simu ya mkononi kama inawezekana kupokea) kwamba Umoja wa Mataifa unasema kuwa watu 13,000wamepoteza makazi yao, na kwamba asilimia 20 ya waliokufa ni wanawake na watoto, asilimia 70 hawana maji salama ya kunywa.
68Hay muchos más datos para volver sobrio a todo el que esté borracho de apatía, pero no puedo darlos o compartirlos ahora.Kuna taarifa nyingi zinazoweza kumlevya mtu na ugonjwa wa kutojali, lakini siwezi kuwaambia yote hivi sasa.
69Safa Joudeh escribe en Lamentations-Gaza:Safa Joudeh anaandika kwenye blogu ya Lamentations - Gaza:
70Israel ha venido a nuestras casas, está peleando en nuestras calles y está expresando su brutalidad en contra de nosotros con toda su fuerza.Israeli imetuingilia majumbani, inapigana katika mitaa yetu na unaonyesha unyama wake dhidi kwa nguvu zote.
71¿Cómo reaccionamos?Je tujibu vipi?
72Todas las facciones palestinas se han unido y están afuera enfrentando al enemigo, usando toda la capacidad militar que colectivamente tienen.Makundi yote ya Wapalestinayameungana na yanampinga adui, kwa kutumia nguvu zao zote za kijeshi kwa pamoja.
73Aunque estas capacidades son incomparables a la fuerza militar ejercida por Israel, nos ha hecho más seguros que nunca de que los palestinos lucharán hasta el final para proteger a los suyos.Japokuwa nguvu hizohaziwezi kulingana na nguvu zilizoshinikizwa na Israeli, zimetufanya tuwe na hakika zaidi kwamba Wapalestina watapigana mpaka mwisho kulinda kile kilicho chao.
74Nos ha mostrado que la resistencia, coraje y amor son una parte integral de la identidad palestina que nunca cambiará a pesar de las penurias que soportemos.Imetuonyesha kwamba mapambano ya upinzani, kujitoa muhanga na mapenzi ni sehemu ya Wapalestina ambayo haitaweza kubadilika pamoja na dhiki zote zinazotusibu.
75Nos ha dado empuje moral, que viene en un momento en que más lo necesitamos.Imetutia mwamko adili katika hisia zetu, mwamko ambao umetufikia katika wakati tunaouhitaji zaidi.
76[…] Es difícil siquiera recordar un momento en que las necesidades básicas como comida, agua, calor y luz del día no eran un lujo.[…] Ni vigumu kukumbukawakati ambapo mahitaji ya msingi kama vile chakula, maji, vuguvugu la mapendo na mwanga wa juahavikuwa anasa.
77En este momento, puro instinto humano funciona, la necesidad de proteger a los que quieres, la necesidad de asegurar refugio y el instinto de luchar o volar.Katika kipindi hiki ni haja za kibinaadamu opekee ambazo zinafanya kazi, haja ya kuwalinda wale uwapendao, haja ya kuhakikisha unayo malazi na maamuzi ya haraka ya aidha kukimbia au kupigana.
78Hemos huido durante demasiado tiempo, Gaza es nuestro último refugio y nuestro hogar después que nos desplazaron de lo que ahora se llama Israel.Tumekuwa tukikimbia kwa muda mrefu sana, Gaza ndiyo kwetu na ndiyo ngome yetu ya mwisho baada ya kupoteza makazi yetu kule panapoitwa Israeli hivi sasa.
79Todo esto pasó pero hace 60 años.Haya yote yalitokea miaka 60 tu iliyopita.
80¿Qué más pueden querer?Jingine lipi wanalolitaka?
81Ya no tenemos a dónde ir.Hatuna pengine pa kwenda.
82Ahora es el momento en que todas las formas de resistencia son legítimas.Huu ndio wakati ambao kila mbinu ya upinzani ni ruksa kutumika.
83No han respetado ningún derecho internacional, eso es.Wamepuuza kila kila sheria ya kimataifa iliyopo.
84Así que ahora es momento de pelear.Kwa hiyo huu ndio wakati wa kupigana.
85RafahKid hace una petición:Rafah Kid anatoa rai:
86Por favor…antes de que todos mueran en Gaza…tal vez traten de entender que Hamás es un síntoma….no una causa….la Ocupación es la causa….la falta de un asentamiento para el retiro forzado de personas de sus tierras….esta es la causa…Hamás es un síntoma…. y a EEUU no le gustan los gobiernos que no escoge.Tafadhali… kabla ya kila mmoja kufa mjini Gaza… labda jaribuni kuelewa kuwa Hamas ni dalili… na sio chanzo… chanzo ni kukaliwa kimabavu… uhaba wa makazi uliotokana na watu kuhamishwa kwa nguvu kutoka kwenye ardhi yao… hicho ndio chanzo… Hamas ni dalili… na Marekani haizipendi serikali ambazo haikuziteua.
87No hay electricidad…no hay llamadas salientes.Hakuna umeme… hakuna mawasiliano ya simu kwenda nje.
88La oscuridad y su fuego que llueve.Giza na mvua ya moto inanyesha.
89Los niños están gritando.Watoto wanapiga mayowe.
90Mutasharrid (‘persona sin hogar' o ‘vagabundo') está en Khan Younis, y está molesto:Mutasharrid (mtu asiye na makazi) yupo huko Khan Younis, na ana hasira:
91Ayer me preguntaron si la ayuda a Gaza de verdad entraba o si era “habladuría de periódico”.Niliulizwa jana kama misaada inafika Gaza au ni “habari tu ya kwenye magazeti”.
92Me negué a responder poque la respuesta es clara, tan clara como el sonido del ataque de los F16 justo ahora: no importa, la ayuda entró a Gaza, tal vez en mayores cantidades los primeros días, pero paró hace dos días con el pretexto de la operación terrestre, sin embargo, ¡eso no contó mucho!Nilikataa kujibu kwani jawabu liko wazi, liko wazi kama ngurumo ya ndege za kijeshi za F-16 zinavyonguruma hivi sasa;usijali, misaada inayoingia Gaza, labda kwa kiwango kikubwa wakati wa siku zile za mwanzo, lakini ilisitishwa siku mbili zilizopita kwa madai ya operesheni ya kijeshi ya nchi kavu, hata hivyo, hilo halikubadili chochote!
93Quiero decir, ¡¿ahora han logrado los medios presentar el caso de Gaza como una persona hambrienta bajo asedio, que busca comida y ayuda “humanitaria” no digna de perros?!Yaani, ni vipi vyombo vya habari vimefanikiwa kuwasilisha shauri hili kama shauri moja la mtu mwenye njaa aliyezingirwa, anayetafuta misaada ya kibinaadamu na chakula kisichomfaa hata mbwa?!
94Cuando le pregunté a mi amigo dijo, “¡Los árabes son como una persona que le dispara a un perro y le arroja un pedazo de carne!”Nilipomuuliza raki yangu alinijibu “Waarabu ni mfano wa watu wanaompiga mbwa huku wakimrushia mnofu wa nyama!”
95Gaza no está buscando una aspirina para su herida sangrante, mis amigos, Gaza no está buscando una venda para su contínuo sangrado.Gaza haitafuti aspirini kutibu jeraha lake, rafiki zangu, Gaza haitafuti bandeji kwa ajili kuziba mtiririko wa damu.
96Lo que le duele a Gaza, sin duda mata más que cohetes, son sus voces: la voz de toda persona que usa terno y corbata y habla de Gaza.Kitu kinachoiumiza Gaza, na hasa kitu kinachoiua Gaza zaidi ya makombora ni sauti yake: sauti ya kila mtu anayevalia suti na tai anayeizungumzia Gaza.
97Quieren poder gritarles en sus caras, delante de los aviones, “¡Alto!Utatatamani uwapayukie kwenye nyuso zao, kabla ya ndege, “Nyamaza!
98Su voz está hiriendo y es mucho más aguda que su silencio, así que quédate callado… Tengan piedad de nosotros, quédense callados un momentito…”Sauti yako inajeruhi na ina makali zaidi ya ukimya wako, kwa hivyo kaa kimya… Tuonee huruma, kaa kimya kwa kitambo kidogo…”
99Exiled (المنفي) dice simplemente:Mwanablogu Exiled anasema kwa ufupi:
100Estoy fuera hasta que termine esta Masacre Recen x nosotrosNakwenda mapumzikoni mpaka mwisho wa mauaji haya ya kinyama Tuombeeni
101Grupos israelíes de derechos humanos han iniciado un blog llamado Daño a los civiles durante la lucha en Gaza y el sur de Israel para documentar acontecimientos que los medios no están cubriendo.Blogu yenye jina la Madhara kwa raia wakati wa mapambano mjini Gaza na Kusini mwa Israeli imetengenezwa na asaasi za haki za kibinaadamu za Kiisraeli ili kuorodhesha matukio ambayo hayaandikwi na vyombo vikubwa vya habari.