# | spa | swa |
---|
1 | Autoridades de Bangladesh persiguen a blogueros “anti-musulmanes” | Serikali ya Bangladeshi Yawafuatilia Wanablogu, Yawatuhumu Kuukashfu Uislam. |
2 | Este post forma parte de nuestra Cobertura Especial Bangladesh, protestas en #Shahbag. | Makala hii ni sehemu ya makala zetu maalum za maandamano ya Bangladeshi Bangladesh's #Shahbag Protests |
3 | Mientras los mortales enfrentamientos entre los activistas islámicos y las autoridades [en] siguen aumentando las tensiones religiosas en Bangladesh, las autoridades de telecomunicaciones del país están llevando a cabo maniobras para silenciar a los blogueros considerados anti-musulmanes o anti-estado. | Kadri vurugu kali kati ya wanaharakati wa Kiislamu na serikali zinaendelea kuongezamvutano wa kidini nchini Bangladeshi, mamlaka ya mawasiliano ya Bangladeshi inaweka juhudi za kuwanyamazisha wanablogu wakiwadhania kuwa wapo kinyume na Uislamu au kinyume na serikali. |
4 | El galardonado bloguero, Asif Mohiuddin, y tres otros blogueros se han convertido en los recientes objetivos de la Comisión Reguladora de las Telecomunicaciones de Bangladesh, según la página de noticias en la red Timesworld24.com [bn]. | Mwanablogu aliyewahi kutunukiwa tuzo, Asif Mohiuddin pamoja na wanablogu wengine watatu siku za hivi karibuni wamekuwa wakifuatiliwa na tume ya kudhibiti mawasiliano ya Bangladeshi, hii ni kwa mujibu wa tovuti ya habari za mtandaoni ya Timesworld24.com [bn]. |
5 | Recientemente, la comisión contactó a Somewhereinblog.net, la plataforma bloguera más grande en Bangladesh, para solicitar la retirada de los cuatro blogs de la página. | Siku za hivi karibuni, tume hii iliwasiliana na blog.net, ambao ni uwanja mpana kwa wanablogu nchini Bangladeshi, ikiutaka mtandao huu kuziondoa blogu hizi nne kutoka kwenye mtandao huo. |
6 | En un informe en su página web, Somewhereinblog.net [en] reconoció oficialmente que había retirado los contenidos de cuatro blogs a petición del gobierno. | Kwenye taarifa iliyopo kwenye mtandao wao, Somewhereinblog.net ilitangaza rasmi kuwa ilishaziondoa blogu hizo nne kama njia ya kutimiza agizo la serikali. |
7 | El 13 de marzo, 2013 el ministerio de Interior formó [bn] un comité compuesto por nueve personas para monitorizar a los blogueros y los usuarios de Facebook que hiciesen comentarios despectivos sobre el Islam y el Profeta Mahoma. | Serikali ya Bangladeshi iliunda [bn] tume ya watu wanne mnamo tarehe 13 Machi 2013 ili kuwafuatilia wanablogu na watumiaji wa Facebook waliotoa kauli za kuukashfu uislam pamoja na Nabii Mohammad. |
8 | La Comisión Reguladora de las Telecomunicaciones de Bangladesh, un miembro del comité, ha solicitado información sobre un número de blogueros de diferentes plataformas blogueras en un intento de excluir a ciertos escritores considerados insultantes hacia el Islam o anarquistas. | Tume ya Udhibiti wa Mawasiliano nchini Bangladeshi imeomba taarifa za idadi fulani ya wanablogu kutoka katika sehemu mbalimbali zitumiwazo na wanablogu kuweka taarifa mbalimbali ikiwa ni juhudi za kutaka kuwanyamazisha waandishi fulani wanaosadikiwa kuukashfu Uislamu au kutaka kuiangusha serikali. |
9 | Esta iniciativa llega después de que los islamistas reivindicaran [en] que los blogueros que apoyan al movimiento Shahbag -que demanda la pena capital para los criminales de guerra del país, algunos de los cuales son líderes de alto rango del partido político islámico más grande del país Jamaat-e-Islami [en]- son ateos y anti-islámicos y fomentan elementos antisociales. | Hatua hii inakuja baada ya Waislamu kudai kuwa wanablogu wanaosaidia harakati za Shahbag zinazoendelea na zinazodai adhabu kubwa kwa wahalifu wa kivita nchini humo, ambao miongoni mwao ni viongozi wakubwa wa chama kikubwa cha Kiislam cha Jamaat-e-Islami - ni wale wasiomwamini Mungu na wanaoshinikiza hali ya kutokuwepo kwa uchangamano. |
10 | Algunos activistas islámicos han llegado a declarar que los blogueros de Shahbag serán asesinados [en] en público. | Baadhi ya wanaharakati wa Kiislam wamefika mbali na kutangaza kuwa wanablogu wa Shahbag watachinjwa hadharani. |
11 | El bloguero Ahmed Rajib Haider [en], que estaba en la primera línea del movimiento Shahbag y escribía con frecuencia sobre el fundamentalismo religioso en Bangladesh, fue brutalmente asesinado delante de su casa en la capital Bhaka el 15 de febrero, 2013. | Mwanablogu Ahmed Rajib Haider, ambaye alikuwa mstari wa mbele kwenye harakati za Shahbag na pia ndiye aliyeandika mara kwa mara kuhusiana na uumini ukereketwa wa kidini nchini Bangladesh aliuawa kikatili nje kidogo ya nyumbani kwake katika mji mkuu Dhaka mnamo Februari 15, 2013. |
12 | Mohiuddin, un auto proclamando ateo, ha mostrado su apoyo a las protestas #Shahbag y escribió contra la religión y la política religiosa. | Mohiuddin, aliyejitangaza hadharani kuwa ni mtu asiyeamini Mungu, amekuwa akizungumzia harakati za Shahbag na aliandika kupinga dini na siasa za udini. |
13 | Pero si su blog ha incitado o no a la violencia religiosa y el odio, todavía está por ser probado. | Lakini kama kweli kublogu kwake kunachangia lolote katika vurugu za kidini na chuki bado haujadhibitishwa. |
14 | En enero, 2013, fue atacado brutalmente [en], presuntamente por sus escritos, por unos asaltantes desconocidos. | Januari 2013, alishambuliwa kikatili na washambuliaji ambao hawakujulikana, pengine kutokana na maandiko yake. |
15 | Recientemente, la policía arrestó a cuatro personas [en] que revelaron que habían atacado a Mohiuddin bajo las órdenes de un extremista. | Siku za hivi karibuni, polisi waliwatia nguvuni watu wanne waliojitokeza na kusema kuwa ndio waliomshambulia Mohiuddin kufuatia maelekezo ya watu wenye msimamo mkali wa kidini. |
16 | En una entrevista con Deutsche Welle, Syeda Gulshan Ferdous Jana [en], fundadora de Somewhereinblog.net, dijo: | Kwanye mahojiano na Deutsche Welle Syeda Gulshan Ferdous Jana, muasisi wa Somewhereinblog.net alisema: |
17 | Esta es la primera vez en los más de siete años que somewhereinblog.net lleva funcionando que las autoridades han emitido instrucciones escritas para disciplinar a los blogueros. | hii ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka saba cha somewhereinblog.net kwa serikali kutoa maelekezo ya maandishi ili kuadabisha wanablogu. |
18 | El correo electrónico nombraba a cuatro blogueros, incluido el perfil del blog de Asif Mohiuddin y nos aconsejaban que quitasemos todos esos blogs permanentemente de forma inmediata. | Barua pepe hiyo iliwataja wanablogu wane ikiwemo taarifa ya blogu kumuhusu Asif Mohiuddin, na kutushauri kuziondoa moja kwa moja blogu hizi haraka iwezekanavyo. |
19 | Mohiuddin, cuyo blog [en] ganó como mejor blog de activismo social de los Premios a los Mejores Blogs Deutsche Welle 2012, ha padecido, en el pasado, reacciones negativas por sus escritos. | Mohiuddin, ambaye blogu yake ilishinda tuzo ya blogu bora ya uanaharakati wa kijamii kutoka kwenye Tuzo ya Blogu bora ya Deutsche Welle, 2012, amepata upinzani mkubwa sana kufuatia maandiko aliyokwisha kuyaandika. |
20 | Fue arrestado en 2011 durante una protesta fuera de la red y la policía le sugirió [en] que debería dejar de escribir. | Aliwekwa kizuizini mwaka 2011 wakati wa maandamano ya mitaani na polisi walipendekeza kuwa ingekuwa vyema angeacha kuandika. |
21 | Blogger Asif Mohiuddin. | Mwanablogu Asif Mohiuddin. |
22 | Imagen de Siam Sarower Jamil. | Picha na Siam Sarower Jamil. |
23 | Copyright Demotix (10/2/2013) | Haki miliki Demotix (10/2/2013) |
24 | El 20 de marzo del 2013, Mohiuddin y otros siete blogueros fueron demandados por una persona en el distrito de Natore en el norte de Bangladesh [bn] acusados de difamar el Islam, Dios y el Profeta Mahoma. | Mnamo Machi 20, 2013, Mohiuddin na wanablogu wengine saba walifunguliwa mashtaka na mtu mmoja huko katika wilaya ya Natore, Kaskazini mwa Bangladesh [bn] kwa makosa ya kutoa taarifa za uongo kuhusu uislam, Mungu na Nabii Mohammad. |
25 | Otro pleito contra estos blogueros en Chittagong fue desestimado el 6 de marzo, 2013 por falta de evidencias. | Kesi nyingine dhidi ya wanablogu hawa ilitupiliwa mbali mnamo tarehe 6, Machi 2013 kufuatia kukosekana kwa ushahidi. |
26 | Mohiuddin comentó en una nota de Facebook [bn] sobre su reciente prohibición: | Mohiuddin alitoa maoni yake kwenye ukurasa wa Facebook [bn] kuhusiana na hali ya hivi karibuni ya kuzuiwa kwake: |
27 | Cada día, se publican muchos posts sobre religión. | Kila siku, makala nyingi zinazopakiwa zinazungumzia dini. |
28 | Pero cuando yo escribí que “no creo en las religiones tradicionales”, muchos me atacaron. | Lakini nilipoandika tu kuwa, “siamini katika dinni za jadi”, nilishambuliwa na wengi. |
29 | En el mismo post, se refirió a los intentos de la comisión de cerrar blogs como un precedente peligroso: | Katika makala hiyo, alizichukulia juhudi za tume iliyoundwa za kuzinyamazisha blogu kuwa ni jambo hatari linaloweza kutumiwa wakati mwengine kwa matukio yanayofanana na haya. |
30 | | In the same post, he called the commission's efforts to shut down blogs a dangerous precedent: |
31 | Si los escritos de un bloguero desafían cualquiera de las normas del blog o se estima ilegal entonces los dueños del blog pueden decidir sobre eso. | Kama maandiko ya mwanablogu yeyote hayatii kanuni yoyote ya blogu husika, au kuaminika kuwa siyo rasmi, bila shaka mmiliki wa blogu anaweza kuamua lolote kuhusiana na hili. |
32 | Que posts deberían publicarse o no debería dejarse a la discreción de la plataforma bloguera, no a las autoridades reguladoras. | Makala zipi zichapishwe na zipi zisichapishwe, inapaswa kuwa kwa maelekezo ya jukwaa la blogu na si mamlaka za udhibiti. |
33 | Solo imagínense, si las autoridades pueden apagar una voz forzando a las plataformas a hacerlo, pueden empezar a creer que pueden controlar a los blogueros. | Hebu fikiria, kama mamlaka zinaweza kuzinyamazisha sauti kwa kuyalazimisha majukwaa kufanya hivyo, wanaweza kuanza kuamini kuwa wanaweza kuwaongoza wanablogu nini cha kufanya. |
34 | Así que encontraran otra razón para prohibir a otro bloguero. | Kwa hiyo watatafuta sababu nyingine ya kuifungia blogu nyingine. |
35 | El gobierno cambiará e imaginen que pasará si cualquier gobierno islamista llega al poder. | Serikali itabadilika na kudhani iwapo serikali yoyote yenye msimamo mkali wa Kiislam ikiingia madarakani ni kitu gani kitatokea? |
36 | En una entrevista con la radio Deutsche Welle Mohiuddin [en] dijo que no dejará de escribir sus blogs. | Katika mahojiano na radio Deutsche Welle Mohiuddin alisema kuwa hatakata tamaa kublogu. |
37 | “Detengan la autoritaria agresión contra los bloggers. | “Sitisha vitisho vya nguvu dhidi ya wanablogu. |
38 | Bloguear es nuestro derecho.” | Kuandika kupita blogu ni haki yetu.” |
39 | Imagen cortesía de Asif Mohiuddin | Picha kwa hisani ya Asif Mohiuddin |
40 | Bangladesh es una democracia parlamentaria no religiosa, así que no hay una ley sharia o una ley sobre la blasfemia. | Bangladeshi inaongozwa na utawala wa kidemokrasia usiofungamana na dini yoyote, kwa hiyo hakuna sheria ya sharia wala sheria ya ukashifuji wa dini. |
41 | Si alguien afirma ser un ateo, él o ella tienen los mismos derechos que los otros ciudadanos. | Kama kuna yeyote anayejitangaza kuwa hamuamini Mungu, mtu huyo atakuwa na haki sawa na mwananchi wingine yeyote yule. |
42 | Sin embargo, bajo la sección 295A del Código Penal de Bangladesh (1860), cualquier persona que tiene una intención “deliberada” o “maligna” de “herir los sentimientos religiosos” puede ser condenada a una pena de cárcel. | Hata hivyo, kwa kifungu cha sheria cha 295A cha hukumu cha Bangladesh (1860), mtu yeyoye mwenye lengo la “makusudi kamili” au “kwa hujuma” “kudhuru taratibu yoyote ya kidini” atahukumiwa kwenda gerezani. |
43 | La comisión ha declarado [bn] que, de acuerdo con la Ley Reguladora de la Telecomunicaciones de Bangladesh, puede solicitar información de cualquier individuo o institución que usa Internet. | tume hiyo imetamka [bn] kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Udhibiti wa Mawasiliano nchini Bangladesh, inaweza kuomba taarifa inayoyakiwa kutoka ka mtu yeyote au taasisi yoyote inayotumia mtandao wa intaneti. |
44 | Sin embargo, la plataforma bloguera Amarblog [bn] publicó un comunicado el 22 de marzo del 2013 en el que decía que no pondrá en peligro la privacidad de los blogueros a instancias del gobierno. | Hata hivyo, jukwaa la kublogu Amarblog [bn] ilitoa tamko mnamo tarehe 22, Machi 2013 linalosema kuwa haitahatarisha haki za siri za wanablogu kufuatia agizo la serikali. |
45 | Cuestionaba la autoridad legal de la comisión para pedir la información del bloguero así como cuestionaba si tiene jurisdicción sobre Amarblog que está registrado en el Reino Unido y se aloja en un servidor en el extranjero. | Tamko liliitaka kufahamu mamlaka halali ya tume hiyo ya kuhitaji taarifa za wanablogu na pia kutaka kufahamu kama ina mamlaka ya juu ya jukwaa la Amarblog ambalo limesajiliwa nchini Uingereza na pia kumilikiwa na mfumo wa komputa wa nchi mbalimbali. |
46 | Los blogueros también tienen dudas sobre la base legal para tales demandas. | Wanablogu pia wamekuwa na mashaka kuhusiana na halali wa madai ya aina hii. |
47 | El bloguero Mohammad Munim [bn] criticó la comisión en Muktangon, un blog comunitario: | mwanablogu Mohammad Munim [bn] aliipinga vikali tume hii kwenye blogu ijulikanayo kama Muktangon, ambayo ni blogu ya jamii: |
48 | De acuerdo con la Constitución de Bangladesh [en], todo ciudadano tiene derecho a expresar su opinión libremente. | Kwa mujibu wa Katiba ya Bangladesh , kila raia ana haki ya kueleza mawazo yake kwa uhuru. |
49 | […] la auto proclamada comisión independiente puede que tenga el interruptor para bloquear cualquier página web o blog, pero tendrán que actuar de acuerdo con un proceso justo como establece la constitución, no al antojo de algunos funcionarios. | […] tume iliyojipa uhuru wake yenyewe inaweza kuwa na uhuru wa kufunga mtandao au blogu yoyote, lakini wanapaswa kufanya hivyo kwa mukibu wa katiba na si kwa mujibu wa baadhi ya maofisa kwa kadiri ya watakavyojisikia. |
50 | El bloguero y activista Rayhan Rashid [bn] escribió en Facebook que el gobierno puede estar aprovechando el incremento de las tensiones religiosas para ampliar su poder: | Mwanablogu na mwanaharakati, Rayhan Rashid [bn] aliandika katika ukurasa wa Facebook kuwa, serikali inaweza kuwa inatumia migogoro ya kidini ili katika harakati za kuongeza wigo wa mamlaka yake: |
51 | Hay una sorprendente semejanza entre la reciente prohibición “anti-religión” de la comisión y el etiquetado, por parte de Jamaat-Shibir, de las protestas de Shahbag como un “movimiento ateo”. | kuna mfanano unaopingana kati ya tamko “dhidi ya dini” lililotolewa na tume siku za hivi karibuni na “harakati za wasiomwamini Mungu” zinazosimamiwa na Jamaat-Shibir There is a striking similarity between the commission's recent “anti-religion” ban order and the branding of the Shahbag protests as an “atheist movement”. |
52 | Jamaat-Shibir quería mancillar el movimiento Shahbag y lo hicieron incitando las tensiones religiosas y adoptando una estrategia de división/odio. | Jamaat-Shibir walitaka kuchafua harakati za Shahbag, na walifanya hivyo ili kuhamasisha mivutano ya kidini na kuhimiza utaratibu wa mgawanyiko/chuki. |
53 | La comisión o el gobierno también podrían haber explotado esta oportunidad para reafirmar algún tipo de control sobre estas plataformas de libre expresión. | Tume au Serikali yawezekana ikawa imetumia nafasi hii vibaya kuamini aina fulani ya kukosekana kwa uhuru kwenye majukwaa haya ya kupazia sauti. |
54 | “Ateísmo”, “herir los sentimientos religiosos” estas palabras clave están siendo usadas como instrumentos oportunistas. | “Msimamo wa kutokumuamini Mungu”, “unadhuru hisia za kidini”, maneno makuu yanayotumiwa kama namna ya haraka ya kujipatia nafasi fulani. |
55 | La bloguera Farhana Ahmed [bn] explicó en Mukta Mona (Librepensadores), un blog sobre la libertad de expresión, el razonamiento detrás del por qué los ateos y los activistas seculares en la red se han convertido en el objetivo: | Mwanablogu Farhana Ahmed [bn] alielezea katika Mukta Mona (wanaofikiri kwa uhuru), blogu katika Uhuru wa Kujieleza, sababu za kwa nini wasio mwamini Mungu na wanaharakati wasio na dini wa mtandaoni wanatafutwa: |
56 | Creo que hay dos razones detrás de esto. | Ninafikiri kuwa kuna sababu mbili kufuatia hili. |
57 | La primera es teórica, tanto los extremistas islámicos como los musulmanes practicantes son escépticos de los ateos. | Sababu ya kwanza ni ya kinadharia, , viongozi wa Kiislam wanaoongoza kwa mabavu na Waislam wa kawaida, wote wahawakubaliani na usahihi wa wale wasioamini kuwa kuna Mungu. |
58 | La religión es muy poderosa, a veces más que el estado, tal como cuando el estado tiene que aceptar la ayuda de la religión. | Dini ina nguvu sana, wakati mwingine zaidi ya wakati ambao Taifa linakubali kusaidiwa na dini. |
59 | Si cualquiera de esos establecimientos están en dificultades, se refugian en la religión. | Kama miongoni mwa makundi haya yaliyo na nguvu sserikalini yakiwa kwenye matatizo, yanakuwa wakimbizi katika dini. [..] |
60 | [..] la Religión logra su objetivo haciendo uso de instrumentos como la fe ciega, dando las cosas por hechas y manteniendo a la gente en un estado de terror. | Zini zinakamilisha kazi zao kwa kuingiza imani mfu, kujichukulia vitu kw kadiri wanavyotaka wao na kuwaweka watu katika hofu. |
61 | Cuando la opresión patriarcal es protestada por las mujeres, la religión las mantiene a raya, los trabajadores no pueden rebelarse contra los jefes autocráticos ya que la religión les recuerda que, para aquellos que tienen menos en esta vida, hay una vida después de la muerte esperándoles. | Mfumo dume unapopingwa na wanawake, dini zinawaangalia, When patriarchal oppression is protested by women, religion keeps them in check, wafanyakazi hawawezi kwenda kinyume na wafanyakazi walio na uhuru mkubwa kwani dini zinakumbusha kuwa, kwa wote walio na kidogo katika ulimwengu huu, kuna maisha yanayowasubiri mara baada ya kufa. |
62 | Para permanecer en el poder, el arma más sencilla es la religión. | Ili kuendelea kubakia madarakani, silaha rahisi kabisa ni dini. |
63 | Continuó: | Aliendelea: |
64 | La segunda razón es la reacción al levantamiento masivo en Shahbag. | Sababu ya pili ni muitikio wa idadi kubwa ya watu wanaounga mkono Shahbag. |
65 | Ser etiquetado como un ateo es una distracción incluso entre los manifestantes, así que los ateos se están convirtiendo en una objetivo fácil para los [establecimientos político religiosos] Jamaat-Shibir-Hijbut Tahrir. | Mtu anapoitwa asiye muamini Mungu, ni jambo linalohamisha hata fikra za miongoni mwa waandamanaji wenza, kwa hiyo, wale wasiomwamini Mungu wanakuwa chambo rahisi sana kwa [makundi ya siasa za kidini] Jamaat-Shibir-Hijbut Tahrir. |
66 | Actualización: De acuerdo con los últimos informes [en], el comité formado por nueve personas participó en un foro de discusión con los clérigos comunitarios del país. | Update: Kwa mujibu wa taarifa za hivi karibuni, kamati ya watu tisa ilishiriki kwenye jukwaa la majadiliano pamoja na jamii ya viongozi wa dini nchini humo. |
67 | Una lista de 84 blogueros y usuarios de Facebook ha sido entregada y el comité pidió a la comunidad evidencias concretas que apoyen sus acusaciones. | Orodha ya wanablogu 84 na watumiaji wa Facebook imewasilishwa na kamati hiyo imeiomba jumuia hiyo kutoa ushahidi kamili dhidi ya madai yao. |
68 | El comité ha publicado una dirreción de correo electrónico donde se pueden enviar quejas sobre contenidos blasfemos. | Kamati hiyo imeweka bayana barua pepe ambayo malalamiko kuhusiana na ukashifuji wa dini yatakapotumwa. |