# | spa | swa |
---|
1 | Nigeria: Campaña #Bringbackourgirls (devuélvannos a nuestras chicas) | Naijeria: Kampeni ya #Bringourgirlsback |
2 | Afiche de la campaña. | Bango la kampeni. |
3 | 234 chicas de entre 16-18 años fueron secuestradas hace casi dos semanas en Nigeria: #bringourgirlsback (devuélvannos a nuestras chicas). | Wasichana 234 wenye umri kati ya miaka 16-18 walitekwa nyara takribani wiki mbili zilizopita nchini Naijeria: #bringourgirlsback. |
4 | Fuente: La página de Facebook de # bringourgirlsback - Dominio Público | Chanzo: Ukurasa wa Facebook #bringourgirlsback - Kwa Matumizi ya Umma |
5 | A mediados de abril, más de 200 chicas en edad escolar fueron secuestradas [en] de una escuela secundaria en Chibok, Nigeria, por Boko Haram, un grupo terrorista de la región norte del país. | Katikati ya mwezi Aprili, zaidi ya wasichana 200 wa shule walitekwa nyara kutoka shule ya sekondari iliyoko eneo la Chibok, Naijeria, kitendo kinachodaiwa kufanywa na Boko Haram, kundi la kigaidi lililoko katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo. |
6 | A pesar que unas 57 chicas consiguieron escapar, todavía hay muchas otras en manos de los secuestradores. | Ingawa baadhi ya wasichana 57 wameweza kutoroka, bado wengine wengi wako mikononi mwa watekaji nyara. |
7 | El 30 de abril, mujeres nigerianas organizaron manifestaciones en varias ciudades del país para pedir que el gobierno intensifique sus esfuerzos para rescatar a las chicas. | Tarehe Aprili 30, wanawake Wanaijeria waliandaa maandamano katika miji kote nchini Naijeria kushurutisha serikali iongeze jitihada zake za kuwaokoa wasichana hao. |
8 | Sahara Reporters publicó en su web un reportaje gráfico [en] de Kaduna, Nigeria. | Tovuti ya Waandishi wa Habari ya Sahara ilichapisha picha kutoka Kaduna, Nigeria. |
9 | Bloggers nigerianos también crearon una página en Facebook con la etiqueta #bringourgirlsback (devuélvannos a nuestras chicas), en la que piden que se difunda en internet la indignación contra esta acción criminal de los rebeldes extremistas. | Wanablogu Wanaijeria pia walifungua ukurasa wa mtandao wa Facebook wakitumia alama ashiria #bringourgirlsback kutoa wito wa kueneza hasira kwenye mtandao dhidi ya hatua hii ya jinai ya waasi wenye msimamo mkali. |