Sentence alignment for gv-spa-20140822-250658.xml (html) - gv-swa-20140718-7937.xml (html)

#spaswa
1Presidente de Zambia intentó probar que trabaja duro con estas fotos de Facebook que no convencen a algunosRais wa Zambia Ajaribu Kuthibitisha Kuwa Yuko ‘Fiti’ kwa Picha Hizi za Facebook. Baadhi Hawajashawishika
2El presidente Michael Sata supuestamente hablando en una reunión de gabinete a su regreso de Israel, donde fue admitido en un hospital.Rais Michael Sata akisemekana kuhutubia kikao cha Baraza la Mawaziri mara aliporudi kutoka Israel alikokuwa amelazwa hospitali.
3Esta es una de las fotos enviadas a los medios y también apareció en la página de Facebook del presidente.Hii ni picha mojawapo iliyotumwa kwa vyombo vya habari na ilionekana pia kwenye ukurasa wa Facebook wa rais.
4Cuando el equipo del presidente de Zambia, Michael Sata, dio a conocer fotos de una supuesta reunión de gabinete a los medios locales y las publicó en Facebook, la intención era desechar las afirmaciones de que el líder no está bien o no está trabajando.Timu ya Rais wa Zambia, Michael Sata ilipotoa picha hizo zinazosemekana kuwa ni za kikao cha baraza la Mawaziri kwa vyombo vya habari vya nchi hiyo na kuzichapisha kwenye ukurasa wa Facebook, lengo lilikuwa kumaliza madai kwamba kiongozi huyo ni mgonjwa na hajawa akifanya kazi.
5En cambio, las imágenes han avivado las críticas, y algunos están dudando de la autenticidad de la reunión pues no hay audio ni video que la respalde.Badala yake, picha hizo zilikuwa mithili ya mafuta yaliyoongezwa kwenye moto unaowaka, kiasi kwamba baadhi hata wanathubutu kuhoji uhalisi wa mkutano huo kwa sababu hapakuwa na kipande cha rekodi ya sauti na video kuthibitisha madai hayo.
6Todo empezó cuando Sata salió del país sin anunciar el 20 de junio de 2014.Mambo yalianza wakati Sata alipoondoka nchini kimya kimya mnamo Juni 20, 2014.
7El sitio web Zambian Watchdog reveló el viaje, e informó que el presidente había llegado a Israel y que había sido ingresado a un hospital.Tovuti ya Zambian Watchdog ilitoboa siri hiyo, ikiripoti kuwa rais alikuwa amewasili nchini Israel na alikuwa amelazwa hospitali.
8El principal portavoz del gobierno luego confirmó el viaje, pero dijo que Sata estaba en unas vacaciones de trabajo en Israel.Msemaji mkuu wa serikali alilazimika kuthibitisha safari hiyo, lakini alisema Sata alikuwa mapumzikono nchini Israel.
9El hermetismo en torno al viaje llevó a una metedura de pata de protocolo que los ciudadanos notaron rápidamente.Usiri unaozunguka safari hiyo uligeuka kuwa kosa kubwa lililosababisha maneno yasiyothibitishwa ambayo kwa haraka yalisambaa kwenye vijiwe vya mazungumzo.
10Pocos días después del viaje de Sata, la guardia ceremonial y el estandarte presidencial (una bandera anaranjada tallada en relieve con el escudo de armas) que supuestamente deben retirarse en ausencia del presidente, seguían en su lugar en el palacio presidencial en el distrito central de la capital.Siku kadhaa baada ya safari ya Sata, ulinzi na itifaki ya kirais na bendera ya rais yenye nembo ya taifa, vyote ambavyo vilipaswa kuondolewa wakati rais asipokuwepo, viliendelea kuwepo ikulu ya rais kwenye wilaya ya kati ya jiji hilo.
11Casi un mes después, los zambianos seguían sin saber si su presidente, que en los meses previos había aparecido indispuesto, estaba de vuelta en el país o no. Zambia Reports y el político-abogado Sakwiba Sikota informaron que la última publicación en la página de Facebook del presidente fue el 6 de junio -una novedad digna de mencionar porque la página se actualizaba con mucha frecuencia.Takribani mwezi mmoja baadae, wa-Zambia hawakuwa wanajua lolote kuhusu ikiwa rais wao, ambaye kwa miezi iliyopita alionekana kuwa mdhaifu, alikuwa amerudi ama la. Zambia Reports na mwanasheria aliye mwanasiasa pia Sakwiba Sikota alihoji bandiko la mwisho kwenye mtandao wa Facebook wa rais kuwa limekuwepo tangu tarehe 6 Juni -inatia shaka kwa sababu ukurasa huo umekuwa ukihuishwa mara kwa mara.
12Zambia Reports escribió sobre la interrupción de las publicaciones en Facebook:Zambia Reports iliandikwa kuhusu kukosekana habari mara kwa mara kwenye ukurasa huo wa rais:
13Parece que todos han abandonado sus puestos y evadido la responsabilidad.Inaonekana kila mmoja ametelekeza posti zake na hatimizi wajibu.
14¿No es irónico que después de exagerar con actualizaciones de Facebook a razón de casi una por hora, la página de Facebook del presidente no tenga actualizaciones desde el 6 de junio?Si jambo la kawaida kwamba bada ya ‘kuufurikisha' ukurasa wa facebook kwa habari za karibu kila saa tena kila siku kwenye ukurasa wa Rais wa Facebook, hapajakuwepo na habari zozote tangu Juni 6
15Sobre la interrupción de Sata en Facebook, Sikota observó con un toque de sarcasmo:Kuhusu kukosekana kwa mabandiko kwenye ukurasa wa Facebook wa Sata, Sikota anabaini kwa hali ya masihara:
16Hay algunas cosas en la vida que son tan dulces que nunca puedes comer suficientes.Kuna mambo kwenye maisha ambayo ni matamu sana kiasi kwamba huwezi kuyachoka.
17Creo que todos recordamos la primera vez que probamos miel y otros manjares.Nadhani sote tunakumbuka tulivyoonja asali kwa mara ya kwanza na mengineyo mazuri.
18Uno de esos dulces o manjares es la dieta con la que nos alimentaron y a la que nos acostumbramos, que es el encantador y afable señor presidente Michael Sata.Moja ya jambo tamu na zuri ni chakula cha mara kwa mara tulichokuwa tukilishwa na kukizoea ni kile cha mhe rais Michael Sata, mtu wa watu na mpenda watu.
19Y, ¿quién puede olvidar esas frecuentes y cálidas actualizaciones de la página en Facebook de Su Excelencia?Nani anaweza kusema kasahau zile habari motomoto na za kibinafsi zilizokuwa kwenye ukurasa wa Facebook wa Mheshimiwa?
20Tan sonada como esta, que nos tuvo al corriente sobre sus movimientos, publicada el 4 de abril de este año, que decía “Buenos días, queridos amigos, acabo de empezar mi viaje de regreso a casa luego una exitosa Cumbre Unión Europea y África en Bruselas, Bélgica.Nyingi zilikuwa ni kama ile iliyotufahamisha kuhusu kila anakokwenda, iliyowekwa April 4 mwaka huu iliyosomeka, “Habari za asubuhi marafiki, nimeanza safari ya kurudi baada ya mkutano wenye mafanikio wa ushirikiano kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika uliofanyika Brussels, Ubeligiji.
21He partido de Bruselas rumbo a Lusaka vía Ámsterdam.Nimeshaondoka Brussels kuja Lusaka kupitia Amsterdam.
22Que estén bien y disfruten su fin de semana MCS [Michael Chilufya Sata] - 04/04/14″.Kaeni vyema na furahieni mwisho mwema wa wiki. MCS [Michael Chilufya Sata] -04/04/14″
23Dos dias después, fotos de una supuesta reunión de gabinete realizada el 14 de julio se enviaron a los medios de comunicación y también se publicaron en Facebook en una publicación sobre actuales proyectos a nivel nacional.Siku mbili baadae, picha zinazosemekana kuwa za kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Julai 14 zilziotumwa kwenye vyombo vya habari na kuchapishwa kwenye mtandao wa Facebook ziligeuka kuwa mradi wa nchi nzima.
24Muvi, un estación de televisión local, y la BBC dudaron de esta reunión.Kituo cha runinga cha, Muvi, na hata BBC walionesha mashaka na kikao hicho.
25El bloguero Chola Mukanga, en Zambian Economist, se negó a usar las fotos, y dijo:Mwanablogu Chola Mukanga, kwenye blogu yake ya Zambian Economist aligoma kuzitumia picha hizo, akisema:
26Desafortunadamente, Zambian Economist no puede verificar la autenticidad de estas tres fotos, que sabemos que están disponibles en otros sitios web.Kwa bahati mbaya, blogu ya Zambian Economist haijaweza kuthibitisha uhalisi wa picha hizo tatu, ambazo tunaelewa ziko kwenye tovuti nyingine.
27Simplemente no tenemos material visual o de audio que vaya con las fotos.Ni kwamba hatuna rekodi ya sauti wala video zinazothibitisha picha hizo.
28Por lo tanto, sería irresponsable de nuestra parte divulgar esas imágenes y calificarlas de “oficiales” pues podrían confundir al público sin quererlo.Kwa hiyo itakuwa ni kutokuwa makini kwetu kuonesha picha hizo na kuzipachika alama ‘rasmi' kwa sababu hiyo inaweza kuupotosha umma.
29En Twitter, los ciudadanos hablaron sobre la ausencia de Sata:Kwenye mtandao wa Twita, raia walipima uzito wa kukosekana kwa Sata:
30Así que parece que a pesar de la publicación de fotos del presidente Sata presidiendo una reunión de gabinete ayer, Zambia se sigue preguntando ¿dónde está el presidente?Kwa hiyo inaonekana pamoja na kuchapishwa kwa picha za Rais Sata akiongoza kikao jana #Zambia bado inauliza yuko wapi rais?
31Otro usuario se preguntó por qué no hay nueva información:Mtumiaji mwinine alishangaa kwa nini alipokuwa nje ya nchi hapakuwa na habari zilizokuwa zinakuja:
32¿Hasta qué punto la presidencia va a estar envuelta en misterio?Kwa kiwango gani rais anapaswa kuzungukwa na usiri?
33La rabia es culpable:Hasira ni hatia:
34Este gobierno cree que los votantes están garantizados.Serikali hii inawachukulia wapiga kura kirahisi.
35Sata y su camarilla son responsables ante el pueblo de Zambia y no al revés.Sata na baraza lake wanawajibika kwa watu wa Zambia na si kinyume chake
36En ausencia de Sata, el activista Brebner Changala solicitó a la Suprema Corte que obligara al gabinete a reunir una junta médica para examinar a Sata y determinar su idoneidad para seguir como jefe de estado.Kuhusu kutokuwepo kwa Sata, mwanaharakati Brebner Changala aliiomba Mahakama Kuu kulilazimisha Baraza la Mawaziri kuunda jopo la madaktari kuchunguza afya ya Sata na kubaini ikiwa anafaa kuendelea na kazi kama Mkuu wa Nchi.
37El asunto fue descartado, pero Changala volvió a presentar su petición.Ombi hilo lilitupiliwa mbali lakini Changala alirudisha tena ombi hilo hilo Mahakamani.
38Pocos días antes de la supuesta reunión del gabinete, Business Day de Sudáfrica hizo una crónica sobre los viajes internacionales no anunciados de Sata, a los que la oficina del presidente y otros funcionarios del gobierno llaman eufemísticamente vacaciones de trabajo.Siku chache baadae kabla ya kinachodaiwa kuwa kikao hicho, jarida la Afrika Kusini la Business Day lilionyesha mtiririko wa safari za siri za Sata nje ya nchi, ambazo ziliitwa na ofisi ya Rais na maafisa wengine wa serikali kuwa ni likizo la kikazi.
39Si echamos un vistazo a las críticas en los medios sociales, parece que el eufemismo no está funcionando.Kwa kupitia kwa haraka ukosoaji wa habari hiyo kwenye mitandao ya kijamii, inaonekana kuwa kilichokuwa kikisemwa na maafisa hao wa serikali kilikuwa kinafanya kazi.