Sentence alignment for gv-spa-20120713-128332.xml (html) - gv-swa-20120712-3449.xml (html)

#spaswa
1Mozambique: ¿los medios sociales han matado a los blogs?Msumbiji: Je, Zana za Uandishi wa Kiraia Zimeua Blogu?
2En una breve serie [pt] de entradas, el profesor Carlos Serra escribe sobre algunas de las razones por las que la blogósfera de Mozambique está desapareciendo.Katika mfululizo mfupi wa makala zake, Profesa Carlos Serra anabainisha baadhi ya sababu zinazoeleza kwa nini blogu za Msumbiji zinaendelea kupungua siku hadi siku.
3Un lector comenta [pt] que se requiere de mucho trabajo para mantener un blog actualizado y asegurar su calidad, mientras que Serra afirma que tal vez haya que culpar a las redes sociales [pt], a pesar de las ventajas que ofrecen [pt].Msomaji mmoja anatoa maoni akidhani kwamba kublogu kunahitaji kazi kubwa katika kuhakikisha kuwa habari mpya zinaendelea kuwepo sambamba na kiwango cha habari hizo. Wakati Serra anasema kwamba zana za uandishi wa kiraia (kama vile twita na facebook) zinaweza kulaumiwa kusababisha hali hii, pamoja na faida za matumizi ya zana hizo.