Sentence alignment for gv-spa-20131008-208763.xml (html) - gv-swa-20131006-5875.xml (html)

#spaswa
1Gambia se retira de la Comunidad británica de naciones que califica de ‘Extensión del colonialismo’Gambia Yajitoa Jumuiya ya Madola, Yaiita Jumuiya Hiyo ‘Ukoloni Mambo-Leo’
2El presidente de Gambia Yahya Jammeh se dirige a la Asamblea General de Naciones Unidas el 24 de septiembre 2013.Rais wa Gambia Yahya Jammeh akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Septemba 24, 2013.
3En su discurso condenó la homosexualidad llamándola una de las “mayores amenazas de la existencia humana”.Katika hotuba yake, alilaani ushoga, akiuita “tishio kuu la kuwepo kwa binadamu”.
4Foto de las Naciones Unidas por Erin Siegal.Picha ya UN na Erin Siegal.
5Usada bajo licencia de Creative Commons BY-NC-ND 2.0.Imetumiwa kwa Leseni ya Creative Commons BY-NC-ND 2.0.
6Gambia, el pequeño estado de África Occidental, ha anunciado a través de la televisión de estado que se retirará de la Comunidad Británica de Naciones, un grupo de 54 países que en su mayoría son antiguas colonias del Imperio Británico.Gambia, Nchi ndogo ya Afrika Magharibi imetangaza kupitia kituo cha runinga cha taifa kwamba imejitoa kwenye Jumuiya ya Madola, ushirikiano wa nchi zipatazo 54 zilizowahi kuwa makoloni ya Ufalme wa Uingereza.
7Un comunicado emitido el miércoles 2 de octubre 2013 afirmó que “el gobierno ha retirado su calidad de miembro de la Comunidad Británica de Naciones y decidido que Gambia no será nunca miembro de una institución neocolonialista ni será parte de una institución que represente una extensión del colonialismo”.Tamko lililotolewa Jumatano, Oktoba 2, 2013 limesema kwamba “serikali imesitisha uanachama wake wa Jumuiya ya Madola na kuamua kwamba Gambia kamwe haitakuwa mwanachama wa taasisi yoyote ya ukoloni mambo-leo na kamwe haitakuwa sehemu ya taaisis yoyote inayotanua ukoloni.”
8El gobierno no ha adelantado más razones, pero las relaciones entre Gambia y el Reino Unido en el 2013 han sido inestables.Hakuna sababu nyingine zaidi zilizotolewa na serikali, ila ni wazi kuwa mahusiano kati ya Gambia na Uingereza mwaka 2013 yamekuwa magumu.
9En abril el informe anual de derechos humanos y democracia [en] de la Oficina de Relaciones Exteriores del Reino Unido fue crítico de la situación de derechos humanos del país bajo la presidencia de Yahya Jammeh, destacando violaciones tales como detenciones ilegales, cierre ilegal de periódicos y discriminación contra grupos minoritarios.Mwezi Aprili, Ripoti ya mwaka ya Haki za Binadamu na Demokrasia ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Uingereza ilikosoa rekodi ya haki za binadamu nchini humo chini ya Rais Yahya Jammeh, ikionyesha ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ikiwa ni pamoja na ukamataji wa raia usiofuata sheria, kufungwa kwa magazeti kinyume cha sheria na unyanyasaji wa makundi madogo.
10La respuesta [en] del país al informe fue aguda: “Gran Bretaña no tiene autoridad moral para dictar normas morales de rectitud y democracia para ningnua antigua colonia en África”.Majibu ya nchi hiyo kwa ripoti hiyo yalikuwa makali: “Uingereza haina uhalali wa kimaadili kufundisha maadili ya haki na demokrasia kwa nchi yoyote iliwahi kuwa koloni lake barani Afrika”.
11Después del anuncio de Gambia de dejar de pertenecer al organismo internacional encabezado por la Reina Isabel II, los cibernautas reaccionaron de diferentes formas.Baada ya Gambia kutangaza uamuzi wa kufutilia mbali uanachama wake wa chombo hicho cha kimataifa kinachoongozwa na Queen Elizabeth II, watumiaji wa mtandao duniani kote wameitikia uamuzi huo kwa hisia tofauti.
12Mathew Jallow, periodista gambiano exiliado, consideró la decisión como buena para dar a conocer la “estupidez” [en] del president Jammeh.Mathew Jallow, mwandishi wa habari raia wa Gambia aliyefukuzwa nchini humo, aliichukulia hatua hiyo kuwa nzuri kuutangaza “ujinga” wa Rais Jammeh.
13Jammeh, quien llegó al poder por un golpe de estado en 1994, durante años se ganó la ira del mundo por su régimen represivo que se ha caracterizado por las ejecuciones, libertad restringida de la prensa y de expresión, persecución de homosexuales y supresión de la mano dura de las disensiones políticas:Jammeh, alitwaa madaraka kwa mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 1994, kwa miaka mingi amekuwa akichukiwa na dunia kwa utawala wake wa kikandamizaji, utawala ambao umejaa mauaji, kubanwa kwa uhuru wa habari na maoni, kuuawa kwa mashoga, ukandamizaji mkubwa wa wapinzani wa kisiasa:
14Detrás de cada nube oscura hay un resquicio de esperanza.Nyuma ya kila wingu zito jeusi, pana utepe mwembamba wa shaba.
15El anuncio de de Yahya Jammeh de retirar a Gambia de la Comunidad es la publicidad más negativa que merece el reportaje de periódico de un año.Kujitoa kwa Gambia ya Yahya Jammeh kutoka Jumuiya ya Madola inatosha kuwa habari hasi kwa mwaka mzima wa taarifa za magazeti.
16Hoy día cada país en el mundo mostrará esta noticia del retiro y cada país miembro de la Comunidad incluyendo Estados Unidos tendrá dudas sobre nuestras reclamaciones.Leo, kila nchi duniani itajua habari hizi za kujitoa na kila nchi mwanachama wa Jumuiya ya Madola, ikiwa ni pamoja na Marekani, itathibitishiwa wasiwasi wowote kuhusiana na madai yetu.
17Esto es lo que los dictadores hacen todo el tiempo.Hili ndilo linalofanywa na madikteta siku zote.
18Crean su propia ruina mientras intentan consolidar sus reglas y se esconden y protegen dentro de sus mundos que se desmoronan.Hujichimbia makaburi yao wenyewe katika harakati za kuimarisha tawala zao na kujididimiza ndani ya tawala zao zinazoharibikiwa.
19Gracias, Yahya Jammeh.Asante Yahya Jammeh.
20Todos nuestros esfuerzos no podían haber hecho pública de mejor forma su estupidez.Jitihada zetu zisingetangaza ujinga wako vizuri zaidi ya ulivyofanya mwenyewe.
21Comentando en su muro de Facebook, el periodista gambiano Sainey MK Marena analiza [en] la situación (usado con su autorización):Akitoa maoni katika ukurasa wake wa mtandao wa Facebook, mwandishi wa Gambia Sainey MK Marena alichambua hali ilivyo (bandiko lake limetumiwa kwa ruhusa):
22El retiro de Gambia de la Comunidad atrae titulares internacionales.Kujitoa kwa Gambia kutoka Jumuiya ya Madola kunavutia vichwa vya habari za kimataifa.
23Swali kuu ni kwa nini tunajitoa kwenye Jumuiya ya madola wakati ambapo nchi kama Msumbiji na nyinginezo zinatamani kujiunga na chombo hicho.
24La pregunta de muchos millones de dólares es ¿por qué nos estamos retirando en el momento en que países como Mozambique y otros están anhelando seriamente unirse al organismo mundial?Gambia imekuwa na inaendela kufaidika na Jumuiya ya Mdola katika maeneo mengi ikiwa ni pamoja na elimu/ufadhili, michezo na hivi karibuni Jumuiya hiyo ilipendekeza kuundwa kwa Tume ya Taifa ya Haki za Binadamu.
25Gambia se ha beneficiado, y sigue beneficiándose, de la Comunidad en diversas áreas, incluyendo educación, deportes y más recientemente la Comunidad propuso una Comisión de derechos humanos.Mantiki yangu ni kwamba Gambia kama taifa lingine lolote ina haki ya kijitoa kutoka kwenye umoja au shirika lolote lakini iwe hivyo kwa sababu zenye uzito na za kweli.
26Mi punto es que Gambia, como cualquier otra nación, tiene el derecho de retirarse de cualquier asociación u organización pero debería estar basada en razones creíbles y genuinas.Mwaka 2003, Zimbabwe chini ya Mugabe ilijitoa kwneye Jumuiya hiyo kwa sababu wanazozijua wao lakini nchi ndogo kuliko zote barani Afrika ingechukua hatua kwa mwelekeo tofauti.
27Sin embargo Sefa-Nyarko Clement parece no estar de acuerdo [en], y escribe en Facebook:Hata hivyo, Sefa-Nyarko Clement alionekana kutokukubaliana, akaandika kwenye mtandao wa Facebook:
28Gran jugada, Gambia.Hatua nzuri, Gambia.
29Aunque no suscribo las ejecuciones sumarias ni las políticas despóticas de Baba Jammeh, apoyo su retiro de la Comunidad.Ingawa siungi mkono vitendo vya mauaji na sera mbovu za Baba Jammeh, ninaunga mkono kujitoa kwake kutoka Jumuiya ya Madola.
30En Twitter, el usuario Abdou (@abs2ray) critica [en] el comportamiento del presidente:Kwa hakika, Jumuiya ya Madola imepoteza umuhimu wake.
31En principio no estoy contra el retiro de Gambia de la Comunida,d pero como de costumbre Yaya está, una vez más, actuando erráticamente.Kwenye mtandao wa twita, mtumiaji Abdou (@abs2ray) alikosoa tabia ya rais: Kimsingi siko kinyume na kitendo cha Gambia kujitoa kwenye Jumuiya ya Madola lakini kama kawaida Yahya haonyeshi mwelekeo kwa mara nyingine.
32#Gambia Mientras continúa el debate el eco diplomático de la última decisión de Jammeh, no queda claro qué ganará la empobrecida nación retirándose de la Comunidad.Wakati majadiliano juu ya mahusiano duni ya Jammeh kidiplomasia yakiendelea, bado si bayana kile ambacho nchi hiyo masikini sana itakifaidi kwa kujitoa kwenye Jumuiya ya Madola.