Sentence alignment for gv-srp-20140504-13130.xml (html) - gv-swa-20140507-7365.xml (html)

#srpswa
14 Načina da se pridružite kampanji #OsloboditeBlogereZone9Njia 4 Unazoweza Kuzitumia Kujiunga na Kampeni ya #FreeZone9Bloggers
2Zona 9 Tumblr Kolaž.Picha ya bango la Zone 9 Tumblr.
3Slike su izabrane sa zoneniner.tumblr.com.Imetolewa wenye mtandao wa zoneniner.tumblr.com.
4Befeqadu Hailu, Abel Wabela, Atnaf Berahane, Mahlet Fantahun, Zelalem Kibret, i Natnael Feleke (svi članovi grupe blogera Zone 9) i novinari Asmamaw Hailegeorgis, Tesfalem Waldyes i Edom Kassaye su uhapšeni 25 i 26 aprila 2014 godine u Adis Abebi.Befeqadu Hailu, Abel Wabela, Atnaf Berahane, Mahlet Fantahun, Zelalem Kibret, na Natnael Feleke (wote wakiwa n wanachama wa mkusanyiko wa wanablogu wa Zone 9) na waandishi wa habari Asmamaw Hailegeorgis, Tesfalem Waldyes pamoja na Edom Kassaye walikamatwa mnamo Aprili 25 na 26, 2014 jijini Addis Ababa.
5Oni se od tada nalaze u zatvoru u centru Maekelawi gde nemaju pristupa pravnom savetniku.Tangu wakati huo, wamewekwa kizuizini kwenye mahabusu ya Maekelawi huku wakinyimwa haki ya kuonana na wanasheria.
6Nije im bilo dozvoljeno da vide svoje porodice.Vile vile hawaruhusiwi kuonana kabisa na familia zao.
7Od 2012, grupa blogera Zona 9 radi na podsticanju uključivanja građana i kritičkih komentara u raspravama o društvenim i političkim pitanjima u Etiopiji, zajedno sa kolegama novinarima koji traže slične stvari kroz rad u novinarstvu.Tangu mwaka 2012, wanablogu hao wa Zone 9 wamekuwa wakifanya kazi kubwa ya kuwezesha ushirikishwaji wa kiraia pamoja na uchambuzi wa kina kuhusu masuala ya kijamii na kisiasa nchini Ethiopia, wakifanya kazi sambamba na waandishi (ambao nao wamekamatwa) waliokuwa karibu nao ili kufikisha harakati hizo kwenye magazeti.
8Njihovo hapšenje i zatvaranje predstavlja kršenje njihovog univerzalnog ljudskog prava na slobodu izražavanja, i njihovog prava da ne budu proizvoljno zatvoreni, gde ih štiti Član 6 Afričke povelje o ljudskim pravima i pravima naroda.Kukamatwa kwao kimsingi ni uvunjwaji wa haki za kimataifa zinazomlinda raia kujieleza, na haki yao ya kutokuteswa wakiwa chini ya ulinzi, kama Ibara ya 6 ya Makubaliano ya Afrika inavyotamka kuhusiana na masuala ya Haki za Binadamu na Makundi ya watu.
9Zajednica Globalnih Glasova i naša mreža prijatelja i saveznika traže oslobadanje devet muškaraca i žena.Jumuiya ya Global Voices na mtandao wetu wa marafiki na washirika tunadai kuachiliwa kwa ndugu zetu hao ambao idadi yao ni tisa.
10Tekst koji sledi: Mi podržavamo Izjavu Globalnih Glasova u vezi sa Blogerima Zone 9: Potpisnici Ako žeite da pružite podršku oslobađanju blogera Zone 9 u ime Vaše organizacije, molimo Vas da unesete: ime organizacije, zemlju/regiju, website URL.
11Hvala Vam na podršci!