Sentence alignment for gv-srp-20130217-10770.xml (html) - gv-swa-20130212-4760.xml (html)

#srpswa
1Papa Podneo Ostavku, Rusi Prepušteni PutinuWakati Papa Anajiuzulu, Warusi Wajiuzulu kwa Putin
2Ako svaka zajednica gleda globalna dešavanja onako kako ona želi, onda je domaća politika objektiv za rusku internet zajednicu.Kama kila jamii inayatazama matukio kupitia lensi ya matokeo ya walichokichagua, basi kwa jamii ya Warusi Mtandaoni lensi ya uchaguzi wao ni siasa za ndani.
3Stoga ne treba da iznenadi da su ruski blogeri iz ovog ugla protumačili vest da je papa podneo ostavku.Haikuja bila kutarajiwa, basi, kuwa habari za kujiuzulu kwa Papa Benedict XIV na kuachia wadhifa wake zimetafsiriwa kwa mtazamo huu na wanablogu wa ki-Rusi.
4Takođe ne treba da vas iznenadi to da je većina od tih tumačenja u obliku vica - ipak, čak ni religiozni Rusi nemaju svog učesnika u ovoj trci.Vilevile haikushangaza kuwa nyingi ya tafsiri hizi zilikuwa katika namna ya utani -zaidi ya yotem kata wa-Rusi washikao dini hawajawa na utetezi wowote.
5Ostavljajući po strani posledice koj će Papina ostavka imati za katoličku veru ili šta to znači za sve veći broj skandala u kojima su uključeni sveštenici, RuNet se okrenuo svojoj omiljenoj zabavi - humoru.Pasipokutaka kujua matokeo ya kujiuzulu kwa Papa Benedict na atahri yake kwa imani ya Kikatoliki au tafsiri ya hatua hiyo kufuatia kashfa ya udhalilishaji iliyowakabili kwa watawa, RuNet walioweka habari hiyo kwenye safu za vichekesho.
6Bloger i novinar Ivan Davydov gleda sve to iz ugla socijalnog osiguranja:Mwanablogu na mwandishi wa habari Ivan Davydov alilitazama suala hili kwa msimamo wa ustawi wa jamii [ru]:
7Trećina očeva je napustila porodice u Rusiji [na ruskom “papa” znači i otac i Papa].Nchini Urusi thelusi ya familia zimetelekezwa na baba zao [kwa ki-Rusi neno “papa” lina maana ya baba na Papa].
8I ništa, o tome se ne priča puno u medijima.Hakuna, hakuna anayepiga kelele kwenye vyombo vya habari.
9RuNetov pro-vladin loš dečko Politrash je iskoristio tenzije koje rastu u Severnom Kavkazu:Shabiki wa siasa wa RuNet aitwaye Politrash alichambua [ru] kukua kwa mashinikizo Kaskazini mwa Caucasus:
10Benedikt XVI: “Glavni u [fudbalskom] klubu “Anzhi” su mi ponudili nešto što nisam mogao da odbijem.Benedict XVI: “Uongozi wa timu ya kandanda iitwayo “Anzhi” umenipa ofa ambayo nisingeweza kuikataa.
11FC Anzhi se nalazi u Makhachkala, Republika Dagestan, i u vlasništvu je ruskog milijardera Suleyman Kerimova, koji od 2011 troši gomile novca da dovede dobre igrače iz evropskih klubova kao što je FK Milan.FC Anzhi ni timu iliyopo Makhachkala, Jamhuri ya Dagestan, na inamilikiwa na bilionea wa ki-Rusi Suleyman Kerimov, ambaye tangu mwaka 2011 amekuwa akitumia mapesa yake kuwanunua wachezaji wazuri kutoka kwenye timu za Ulaya kama FC Milan.
12Dok Benedikt XVI odlazi u penziju, predsednik Putin je još uvek aktuelan.Wakati Papa Benedict XVI anajiuzulu, Rais Putin bado anang'ang'ania.
13Papa Benedikt u Poljskoj, 17 oktobar 2010.Papa Benedict nchini Poland, Oktoba 17, 2010.
14© Kancelaria Prezydenta RP.© Kancelaria Prezydenta RP.
15GNU Dozvola.Bima ya GNU.
16Vladimir Putin u Tuvi, 13 august 2007. © www.kremlin.ru CC 3.0Vladimir Putin mjini Tuva, Agosti 13, 2007. © www.kremlin.ru CC 3.0
17Međutim, većina blogera je iskoristila providnu paralelu s Vladimirom Putinom.Wanablogu wengi, hata hivyo, walizungumzia zaidi kuhusu Vladimir Putin.
18Postoji neka simetrija u poređenju autoritativnog Putina sa Papom.Kuna ufanano wa moja kwa moja kwa ubabe na uongozi wa kibavu wa Putin na Papa.
19Obojica vode organizacije koje se definišu po “vertikalama moći”, iako je jedan drugi ruski vođa taj koji je postavio pitanje “Papa?Wote wawili wanaendesha taasisi kwa “amri za kutoka juu”, ingawa mtawala mmoja wa Urusi [ru] anayesemekana kuwa aliwahi kutofautiana na Papa?
20Koliko je odkruga on dobio?”Makundi mangapi anayo?”
21Ksenia Sobchak je sažela opšte raspoloženje u svom tweetu, aludirajući na sumnjivu ustavnost Putinovog trećeg mandata:Ksenia Sobchak alihitimisha maoni ya jumla katika twiti hii [ru], akizungumzia namna katiba ilivyotumika kuhalalisha awamu ya tatu ya Putin:
22Čak je i Papa otišao.Hata Papa ameamua kuondoka.
23Po njegovoj vlastitoj volji.Kwa hiari.
24U teokratskoj državi Vatikan načelo tranzicije vlasti radi bolje nego u zemlji “suverene demokratije” …Katika nchi ya kidini ya Vatican kanuni za kuachiana madaraka zinafanya kazi vizuri kuliko kwenye nchi ya “demokrasia ya kujitegemea” …
25Lažni Twitter račun Rossneft predsednika Igora Sechina je nagovestio da je Papa možda imao skrivene motive prilikom ostavke:Anwani feki ya twita ya Rossneft rais wa gor Sechin ilionyesha [ru] kuwa Papa huenda alikuwa na mambo mengine ya ndani yaliyomfanya ajiuzulu:
26Rimski Papa Benedikt se dobro zeza s PutinomPapa wa Rome Benedict XVI anataka kumkasirisha Putin aone atafanyaje
27Lažni Twitter račun ruskog Ministarstva spoljnih poslova je odgovorio na pretpostavljeni “nagoveštaj” od Benedikta za Putina da se povuče, uz lažni citat od Putinove sekretarice za novinare:Anuani feki ya Wizara ya Mambo ya Nje nchini Urusi ilijibu [ru] wito huo wa Papa kwa Putin, ikiwa na nukuu ya mwandishi wa habari wa Putin:
28“Nema šanse!” - Dmitry Peskov je kratko prokomentarisao najnovije vesti iz Vatikana.“Haiwezekani hata kidogo!” - Dmitry Peskov alijibu kwa haraka habari hizo kutoka Vatican.
29Anonimni šaljivdžija KermlinRussia nije mogao propustiti ovu priliku, misteriozno tweetujući: P.Mchekeshaji anayetumia jina la KermlinRussia hakuiiacha fursa hiyo ipite, naye akatwiti [ru]:
30Napustio Položaj.Putin amegoma.
31Iako je ova neozbiljna najava ponovo tweetovana 146 puta, nije nadmašila 254 ponovnih tweetova za korisnika @fuckdaoutlaws, koji je sve to sažeo u tweet koji je jednostavno uspeo da se naruga svestranosti trenutng ministra obrane Sergei Shoiguova (koji je takođe vodio federalnu regiju i paravojno Ministarstvo hitnih situacija), dok je izražavao sumnju u budućnost ruskog vođstva (Shoigu, koji poseduje nešto kao kult ličnosti, naročito među njegovim bivšim MChS vojnicima, se često navodi kao mogući naslednik Putina):Wakati utani huu ulisambazwa na watu zaidi ya 146, haukuvunja rekodi ya @fuckdaoutlaws, ambaye ujumbe wake ulitumwa na watu zaidi 254 kusambaza habari hizo na kuifikisha mahali pake twiti [ru] hiyo iliyoweza kugeuka utani wa uzoefu wa kiuongozi wa Waziri wa sasa wa Ulinzi Sergei Shoigu(aliyewahi kushika nyadhifa nyingine jeshini pamoja na kuongoza kamati ya bunge ya Mambo ya Dharura), ambayo ilionyesha wasiwasi kuhusu hatma ya uongozi wa Urusi (Shoigu, mwenye kupenda sifa kwenye vyombo vya habari, mara nyingi hutajwa kama mmoja wapo ya watu wanaoweza kumrithi Putin):
32Sergei Shoigu, Sergej je za sada imenovan kao v.d. PapaSergei Shoigu, kwa sasa, amechaguliwa kuwa kaimu Papa