Sentence alignment for gv-srp-20130524-11220.xml (html) - gv-swa-20130530-5029.xml (html)

#srpswa
1Četrnaestogodišnji građanin novinar ubijen dok je izveštavao o sukobima u SirijiMwandishi Habari za Kiraia wa Miaka 14 Auawa Akiripoti Mapigano Nchini Syria
2Omar Qatifaan, četrnaestogodišnji medijski aktivista, ubijen je 21. maja 2013. godine dok je izveštavao o sukobima između sirijske vojske i revolucionarske Slobodne armije u južnom delu Daraa al-Ballad regiona Sirije, blizu granice sa Jordanom.Omar Qatifaan, Mwanaharakati wa Habari mwenye umri wa miaka 14, aliuawa Mei 21, 2013 wakati alipokuwa anaripoti mapigano kati ya Jeshi la Syria na waasi wanaopinga serikali ya nchi hiyo kusini mwa al-Ballad eneo la Syria karibu na mpaka na Jordan.
3Omladinski medijski projekat Sirijski Dokumenti izvestili su o njegovog smrti, a sirijski blog vesnik YALLA SOURIYA nazvao ga je “Duhom Sirije”.Nyaraka kuhusu Syria zilizotolewa na Mradi wa vyombo vya habari vya vijana ziliripoti kuhusu kifo chake, na blogu ya habari nchini humo YALLA SOURIYA ilimwita kijana huyo kuwa “Roho wa Syria”.
4Sukob u Siriji, kao i drugi ustanci Arapskog proleća, ima sve više građana novinara koji izveštavaju sa terena o tekućem ratu između pro i anti Vladinih snaga u ovoj zemlji.Mgogoro wa Syria, kama vile Mapinduzi mengine yaliyozikumba nchi za Kiarabu, zimesababisha kuongezeka kwa waandishi wa habari za kiraia wanaoripoti kutoka katika kwenye uwanja wa vita kuhusu mgogoro unaoendelea kati ya majeshi yanayounga mkono serikali na yale ya waasi.
5Mnogi su privedeni, mučeni, pa i ubijeni u pokušaju da donesu priču o revoluciji svetu.Wengi wamekuwa kizuizini, kuteswa, na hata kuuawa wakiwa katika jitihada za kuutangazia ulimwengu habari za mapinduzi.
6Deca su takođe platila groznu cenu u toku konflikta, sa hiljadama poginulih u toku nasilja do sada.Watoto pia wameumia kupindukia wakati wa vita, na maelfu wakiuawa wakati wa ghasia hadi wakati huu.
7Medijski aktivista Omar Qatifaan imao je 14 godina kada je ubijen dok je izveštavao o borbi u Daraa, Siriji.Mwanaharakati wa Vyombo vya Habari Omar Qatifan alikuwa na umri wa miaka 14 alipouawa akiwa anaripoti habari za vita huko Daraa, Syria.
8Fotografija sa Twitter naloga @RevolutionSyriaPicha kutoka akaunti ya twita @RevolutionSyria
9Drugi medijski aktivista snimio je video Qatifaana pošto je ubijen.Mwanaharakati mwingine wa vyombo vya habari alirekodi video ya Qatifaan mara tu alipouawa.
10Video materijal postavljen je na YouTube od strane korisnika SyrianDaysOfRage [UZNEMIRUJUĆI SNIMAK]:Video hiyo iliwekwa kwenye YouTube na SyrianDaysOfRage: [NI VIDEO INAYOTISHA]: