Sentence alignment for gv-srp-20090211-110.xml (html) - gv-swa-20090209-57.xml (html)

#srpswa
1Madagaskar: u maršu do predsedničke palate ubijeno više od 25 ljudiMadagaska: Zaidi ya 25 Wauwawa Katika Maandamano Kuelekea Ikulu
2Pogledajte našu posebnu stranu koja pokriva Borbu za Vlast na Madagaskaru.Angalia ukurasa wa habari maalum kuhusu Mapambano ya kugombea nguvu za kiasiasa Madagaska.
3Najmanje 25 ljudi je danas ubijeno u glavnom gradu Madagaskara Antananarivo-u tokom marša do predsednikove palate na koji je pozvao gradonačelnik Andry Rajoelina, nakon što se, na političkom skupu, proglasio za vođu nove tranzicione vlade.Watu wapatao 25 walipigwa risasi na kuuwawa leo katika mji mkuu wa Madagaska, Antananarivo, wakati wa maandamano ya kuelekea ikulu ya nchi hiyo yaliyoitishwa na meya wa jiji Andry Rajoelina baada ya kujitangaza kama kiongozi wa serikali mpya ya mpito katika mkutano wa hadhara wa kisiasa.
4Proteklih nedelja, borba oko vlasti između gradonačelnika i predsednika Marca Ravalomanana dovela je do nasilja i pljačkanja.Katika majuma yaliyopita, ugombeaji wa nguvu za kisiasa kati ya Meya na Rais Marc Ravolamanana kumesababisha ghasia na uporaji.
5Političko okupljanje je održano u centru Antananarivo u podne po lokalnom vremenu.Mkutano huo wa kisiasa ulifanyika katikati ya Mji wa Antananarivo majira ya mchana, saa za Madagaska.
6Rajoelina je najavio obrazovanje nove tranzicione vlade, na čelu sa njim, uprkos činjenici da aktuelna vlada još uvek obavlja svoju dužnost.Rajoelina alitangaza kuundwa kwa serikali ya mpito, na yeye mwenyewe akiwa kiongozi wa serikali, bila kujali ukweli kwamba serikali iliyopo sasa bado inashikilia nafasi hiyo.
7Pozvao je svoje pristalice na marš do predsednikove palate u Ambohitsorohitra.Aliwataka watu wanaomuunga mkono waandamane kuelekea ikulu iliyopo Ambohitsorohitra.
8Kada je velika grupa stigla do palate, delegacija je ušla u palatu u 14:46 po lokalnom vremenu.Wakati umati mkubwa ulipowasili ikulu, wajumbe waliingia kwenye kasri majira ya saa 8:46.
9Tada su ispaljeni meci.Ni wakati huu ambapo risasi zilirushwa.
10Lokalna tvitersfera i drugi blogeri su izvestili:Watumaiaji wa twita waliokuwapo na wanablogu wengine waliripoti:
11Prvi izveštaji ukazuju na to da desetine tela leži na ulicama, a rečeno je da je među poginulima jedan kamerman RTA televizijske stanice (čeka se zvanična potvrda).Habari za mwanzo zinaashiria kuwa dazeni za miili ilikuwa imenguka mitaani. Mooja wa majeruhi, inasemekana ni mpiga mpiga wa idhaa ya televisheni ya RTA (uthibitisho rasmi bado unasubiriwa).
12Oko 15:40 po lokalnom vremenu, pucnjava je još trajala.Hadi majira ya saa 9:40 alasiri, risasi bado zilikuwa zinapigwa.
13Rajoelina je zatražio od naoružanih EMMONAT snaga, vojni entitet koji prihvataju obe stranke i koji je obrazovan za vreme krize, da interveniše i zaštiti okupljene.Rajoelina, alilitaka jeshi la EMMONAT, linaloungwa mkono na pande zote ambalo liliundwa wakati wa mgogoro huu, kuingilia kati na kuulinda umma.
14Dok nacionalna televizija prikazuje slike, novinske agencije (Reuters, Al Jazeera) su objavile da je smrtno stradalo 25 ljudi.Habari rasmi (kwa mujibu wa Reuters, Al Jazeera) zinaeleza kuwa vifo vinafikia 25 kwa kadiri ya picha zinavyozidi kumiminika kwenye Televisheni ya taifa.
15BBC i AFP su do sada izvestili da ima samo 5 poginulih.BBC na AFP viliripoti vifo 5 tu.
16Ovde se nalaze online izveštaji na francuskom jeziku.Habari kama zinavyotokea (katika wakati halisi) mtandaoni zinapatikana kwa lugha ya Kifaransa hapa.
17Ovo je pretraga tvitera uživo za “#madagascar” koju su ljudi koristili tokom poslednjih nedelja političkih tenzija i povremenog nasilja.Kuna kurasa za kutafiti za twita “#madagascar”, ambalo ndio neno-kiini ambalo watu wamekuwa wakilitumia wakati wote katika majuma yaliyopita ambayo yalijaa fukuto la kisiasa na ghasia za hapa na pale.