Sentence alignment for gv-srp-20130708-11807.xml (html) - gv-swa-20130707-5440.xml (html)

#srpswa
1Egipat poručuje: “Ovo NIJE vojni udar”Misri yasema: “HAYAKUWA mapinduzi ya kijeshi”
2Ovaj post je deo našeg specijalnog pokrivanja Egipćani Svrgavaju MorsijaMakala haya ni sehemu ya habari zetu maalumu Wamisri wamwondoa Morsi
3Sinoć je otvorena vatra na američko mešanje u egipatske poslove - i kako politička zbivanja u Egiptu pokrivaju mreže, posebno CNN.Hatua ya Marekani kuingilia masuala ya ndani ya Misri - habari zinazotangazwa mashirika ya habari, hususani CNN, kuhusu siasa zinavyoendelea Misri - zilikumbana na moto jana usiku.
4Svrgavanje s vlasati bivšeg egipatskog predsednika Mohamed Morsija posle godinu dana vladavine je izazvalo slavlje širom zemlje, kao i pojavu nasilja između pro-i anti-Morsi pristalica.Kung'olewa kwa rais wa zamani wa Misri Mohamed Morsi baada ya kudumu kwa kipindi cha mwaka mmoja tu madarakani kuliamsha shamra shamra nchi nzima, pamoja na vurugu kati ya wafuasi na wapinzani wa Morsi.
5Dok Morsijeve pristalice kažu da je uklanjanje Morsija sa vlasti bio vojni udar, anti-Morsi kamp insistira da je to bila volja naroda, uz podršku moćnog vojnog vrha koji je omogućio svrgavanje s vlasti.Wakati mashabiki wa Morsi wakisema kwamba hatua ya kuondolewa kwa Morsi madarakani ilikuwa ni mapinduzi ya kijeshi, kambi ya wapinzani wa Morsi inasisitiza kuwa yale yalikuwa ni matakwa ya watu, yaliyoungwa mkono na jeshi imara la nchi hiyo lililorahisisha kumwondoa Morsi.
6Mnogi su ljuti zbog onoga što nazivaju mešanje SAD-a u egipatske poslove.Wengi pia wana hasira kwa kile wanachokiita hatua ya Marekani kuingilia mambo ya ndani ya Misri.
7Oni kažu da je “provokativna izjava” američkog predsednika Baraka Obame zanemarila mase koje su izašle na ulice da povrate svoju slobodu i da zaraže pomoć.Wanasema kuwa “kauli ya kukera” iliyotolewa na Rais wa Marekani Barak Obama iliupuuza umma wa watu walioamua kuingia mitaani kudai uhuru wao na badala yake kurukia masuala ya misaada.
8SAD saopštenje izdato 3. jula, glasi:Taarifa ya Marekani, iliyotolewa Julai 3, inasema:
9Sjedinjene Države prate veoma nestabilnu situaciju u Egiptu, i verujemo da samo egipatski narod može da odredi budućnost Egipta.Marekani inafuatilia mwenendo wa mambo nchini Misri, na tunaamini kwamba hatimaye mustakabali wa Misri unaweza kutengenezwa na watu wa Misri wenyewe.
10Mi smo, ipak, duboko zabrinuti zbog odluke egipatskih oružanih snaga da uklone predsednika Morsija i da ponište egipatski ustav.Hata hivyo, tunatiwa wasiwasi na uamuzi wa Jeshi kumwondoa Rais Morsi na kusimamisha katiba ya nchi hiyo.
11Ja ovim pozivam egipatsku vojsku da brzo deluje i da odgovorno vrati na vlast demokratski izabranu civilnu vlast, što je pre moguće, kroz inkluzivan i transparentan proces, i da izbegne bilo kakvo proizvoljno hapšenje predsednika Morsija i njegovih pristalica.Ninalitaka jeshi la Mirsi kuchukua hatua za haraka na za kiwajibikaji kurudisha mamlaka kamili kwa serikali ya kiraia iliyochaguliwa kwa njia za kidemokrasia mara moja kwa njia za wazi na za pamoja, na kukwepa kumkamata Rais Morsi na wafuasi wake.
12S obzirom na današnje događaje, naredio sam nadležnim ministarstvima i agencijama da razmotre moguće ljučivanje po zakonu SAD-a, ako našu pomoć vladi Egipta.Kwa kuangalia mwenendo wa mambo leo hii, nimezielekeza idara na mashirika yanayohusika kutathmini matokeo ya matukio haya chini ya sheria yetu ya Marekani inayoongoza misaada yetu kwa serikali kwa Misri.
13Nakon ove reakcije, CNN, koji je pokrivao razvoj događaja uživo, je započeo ono što su mnogi posetioci interneta nazvali “bljutavu kampanju za podršku svrgnutom predsedniku Muslimanskog Bratstva i njegovom legitimitetu opisujući pro-Morsi skupove kao “mirne”, propagirajući volju naroda kao “udar” i osuđujući vojnu akciju protiv “mirnih” demonstranata MB-a:Kufuatia tamko hilo, CNN, ambayo kwa sasa inatangaza moja kwa moja yanayoendelea Misri, ilianza kile kinachoitwa na raia wa mtandaoni kuwa “kampeni ya ghafla ya kumwuunga mkono Rais wa Muslim Brotherhood aliyeng'olewa na uhalali wake kwa kuielezea mikutano ya wafuasi wa Morsi kuwa “yenye amani”, wakiyaita madai ya wengi “mapinduzi ya kijeshi” na wakipinga hatua za kijeshi dhidi ya waandamanaji “wasio-na-vurugu” wa Muslim Brotherhood :
14@:IzbijaCNN Nasilje pošto Morsijeve pristalica osuđuju udar http://on.cnn.com/11nnpPL@:CNN Vurugu zalipuka wafuasi wa Morsi walipopinga mapinduzi ya kijeshi http://on.cnn.com/11nnpPL
15Novi logo CNN-a - Fotografiju postavio: @aelsadekNembo mpya ya CNN - Picha imewekwa mtandaoni na @aelsadek
16Sadekov novi logo, za CNN, uključuje simbol Muslimanskog Bratstva.Nembo mpya ya Sadek, kwa CNN, ikiwa na nembo ya Muslim Brotherhood.
17Ono što je napisano na arapskom je njihov moto: Naoružajte se.Maandishi ya Kiarabu ni kauli mbiu yao: Beba silaha
18Wael je odgovorio uz slike na njihove uvrnute činjenice:Wael akiandika maoni kujibu uongo wake:
19@Waelucination Mirne demonstracije?@Waelucination Maandamano ya amani?
20Prestani s lažima @CNN pic.twitter.com/y9AamNfKXFAcheni kudanganya @CNN pic.twitter.com/y9AamNfKXF
21“Mirne” demonstracije Muslimanskog Bratstva.The Muslim Brotherhood “peaceful” rallies.
22@Waelucination tvrdi da CNN laže u svom prikazivanju pro-Morsi demonstranata.@Waelucination anasema CNN inadanganya katika picha yake ya waandamanaji wa wafuasi wa Mursi.
23Ova fotografija pokazuje naoružane milicajce među demonstrantimaPicha hii inaonyesha uwepo wa wanajeshi wenye silaha miongoni mwa waandamanaji
24O objektivnosti CNN-a tokom prikazivanja sukoba podstaknutih od strane MB pristalica, May Kamel je primetio sledeće:Kuhusu kutokupendelea kwa CNN wakati wa kutangaza mapigano yaliyoanzishw ana wafuasi wa MB, May Kamel aligusia:
25@MayKamel Sad kad #MBareterorisi napadaju ljude na #Tahriru uz živu municiju, CNN Live nije zainteresovan za prikazivanje. #CNN_STOP_Lagati_O_Egiptu@MayKamel Wakati huu ambapo MB wamekuwa magaidi na wanashambulia watu kwenye viwanja vya Tahrir kwa silaha, matangazo ya moja kwa moja ya CNN hayaoni sababu ya kuonyesha hali hiyo #CNN_STOP_Lying_About_Egypt
26Ljuti zbog američke administracije i odgovora medija, posetioci interneta su započeli raspravu #nije_udar & #BaviteSeSvojimPoslovimaSAD na Twitteru.Akiwa ameudhiwa na majibu ya utawala na mashirika ya habari ya Marekani, raia wa mitandaoni walianzisha alama habari #not_a_coup & #MindYourOwnBusinessUS kwenye mtandao wa twita.
27Waleed kaže:Waleed anasema:
28@WilloEgy 33 miliona civila na ulicama poziva #Morsija da podnese ostavku, a vi to i dalje zovete vojni udar?@WilloEgy raia milioni 33 waliingia mtaani walimtaka #Morsi aachie madaraka na bado mnaita ni mapinduzi ya kijeshi?
29Vi namerno izvrćete činjenice.Mnapindisha ukweli kwa makusudi.
30S druge strane Ahmed Sabry kaže:Wakati Ahmed Sabry alisema:
31@A_M_Sabry #nikada nismo izabrali #Obamu da vodi #Egipat ..@A_M_Sabry hatukuwahi kumchagua #Obama kuitawala Misri…nadhani #MindYourBusinessUS
32Mislim da treba da #GledateSvojaPoslaSADBaheya anaongeza:
33Baheya dodaje: @Baheyah: #EgipatskaRevolucijaNijeVojniUdar Egipćani su izašli da se otarase #morsija koristeći svoje oružje za masovni protest = njihov GLAS@Baheyah: Ni Mpinduzi ya Wamisri na sio ya Kijeshi, Wamisri walitaka kumtoa Mosri kwa kutumia silaka zao za maangamizi = SAUTI yao
34U svom postu, pod nazivom 30. jun: Prava Stvar, Yusra Badr kaže da je godina vladavine Muslimanskog Bratstva bila obeležena nedostatkom dugoočekivanih proslava u egipatskoj naciji i pretvorila ih je u sahrane.Katika posti yake, yenye kichwa cha habariJuni 30: Mpango Halisi, Yusra Badr anasema mwaka mmoja wa utawala wa Muslim Brotherhood umelinyima taifa la Misri sherehe zilizosubiriwa kwa muda mrefu na kuzigeuza kuwa maombolezo.
35Ona dodaje:Anaongeza:
36Ja nisam politički aktivista, ja nisam novinar, a ja nisam stručnjak analitičar, ali ja sam jedna od miliona Egipćana koji žele Morsija izvan predsedničke palate.Mimi si mwanaharakati wa kisiasa, mimi si mwandishi na wala si mchambuzi kitaaluma, lakini ni mmoja wa mamilioni ya Wamisri walimtaka Mosri afungashe virago kutoka Ikulu.
37I ja sam jedna od milion onih čija srca plaču pošto smo lišeni pobede koju smo postigli 30. juna, tako što je istina iskrivljena i zbunila svet da na nas gleda bez poštovanja.Ni mmoja wapo wa mamilioni ambao mioyo yao inauma kwa kunyimwa ushindi tulioupata Juni 30 kwa kuchezea ukweli na kuchanganya ulimwengu ili kuufanya utudharau.
38Ona zaključuje:Anahitimisha:
39Dakle, evo ga, vrlo jednostavnim rečima, možda i naivnim, jer ovo pišem u sred noći, a ne koristim nikakve reference.Kwa hiyo muelewe, kwa maneno rahisi, huenda hata ya kijinga, kwa sababu ninaadika usiku wa manane na sikutumia marejeo yoyote.
40Ali reference mi ne trebaju, jer živim u ovom košmaru već godinu dana, i ponosna sam na ono što smo uradili 30. juna, i na podršku naše vojske.Lakini marejeo hayana umuhimu kwangu kwa sababu nimekuwa nikiishi kwenye zimwi hili kwa mwaka sasa, na ninajivunia kile tulichokifanya Juni 30 na kwa kuungwa mkono na jeshi.
41To je to; prava stvar.Ndiyo hivyo; mpango halisi.
42Ovo nije udar, to je volja naroda koja se izražava na nekonvencionalan načinHaya si Mapinduzi ya kijeshi, haya ni matakwa ya taifa yanayohalisishwa kwa mbinu isiyo na utata wowote