Sentence alignment for gv-srp-20120306-8228.xml (html) - gv-swa-20120325-2645.xml (html)

#srpswa
1Zambija: Ban Ki-moon pozvao naciju da poštuje prava gejevaZambia: Ban Ki-Moon atoa wito kwa taifa kuheshimu haki za mashoga
2Generalni sekretar Ujedinjenih nacija Ban Ki-moon skoro je posetio Zambiju, obratio se parlamentu, susreo se sa ključnim političkim ličnostima, među kojima i sa prvim republikanskim predsednikom Kennethom Kaundom i posetio je glavnu turističku destinaciju ove zemlje, Viktorijine vodopade u gradu Livingstoneu na jugu zemlje.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon aliitembelea Zambia hivi karibuni, akalihutubia bunge, akaweza pia kukutana wanasiasa maarufu kati yao akiwa ni Rais wa kwanza wa nchi hiyo, Kenneth Kaunda na kutembelea Maporoko ya Viktoria, yaliyoko katika mji wa kusini wa Livingstone, ambayo ni sehemu muhimu kabisa kwa utalii nchini humo.
3Nijedna od ovih stvari nisu bile toliko medijski propraćene kao što je to bio njegov poziv naciji na poštovanje prava homoseksualaca.Hakuna katika haya yaliyogonga vichwa vya habari kama mwito wake kwa taifa hili kuheshimu haki za mashoga.
4Lusaka Times izveštava:Lusaka Timesliliripoti:
5Generalni sekretar Ujedinjenih nacija Ban Ki-moon kaže da je ljudima različitog kulturnog porekla potrebno dostojanstvo i poštovanje.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon alisema watu wa historia mbalimbali za kiutamaduni wanahitaji kuthaminiwa utu wao na heshima.
6Gospodin Ban je naglasio da su homoseksualci, lezbejke i gejevi ljudi čija prava čovečanstvo treba uvažiti i poštovati.Bw. Ban aliwatolea mfano watu wafanyao mapenzi ya jinsia moja, wasagaji na mashoga kuwa ni watu ambao haki zao zinahitaji kutambuliwa na kuheshimiwa na watu wote.
7Obraćanje Generalnog sekretara Ujedinjenih nacija Ban Ki-moona u Lusaki, u Zambiji.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon akizungumza mjini Lusaka, Zambia.
8Slika dobijena zahvaljujući zambianwatchdog.com.Picha ya zambianwatchdog.com
9U njegovom obraćanju Nacionalnoj skupštini Zambije, gospodin Ban je rekao:Katika hotuba yake kwa Bunge la Zambia, Bw. Ban alisema:
10Sada ste se upustili na put transformacije - proces stvaranja novog Ustava po meri građana koji će biti temelj napretka Zambije, ustav koji će izdržati iskušenja koja prolazak vremena donosi.Sasa mmeingia kwenye agenda ya mabadiliko - mchakato wa kutengeneza jamii mpya ya watu wamoja-yakiongozwa na Katiba ambayo itakuwa msingi wa maendeleo ya Zambia, Katiba ambayo inaweza kusimama na kudumu muda mrefu.
11Ovo pruža Zambiji priliku da ponovo bude vodeća nacija tako što će utemeljiti najviše standarde u domenu ljudskih prava i zaštite za sve ljude - bez obzira na rasu, religiju, pol, seksualnu orijentaciju ili hendikep.Hii inaipa Zambia nafasi ya kuongoza kwa mara nyingine tena kwa kuheshimu haki za binadamu kwa viwango vya juu kabisa na kuwalinda watu wote - pasipo kujali rangi, dini, jinsia, mihemuko ya kimapenzi au ulemavu.
12Njegova izjava je ponovo u žižu javnosti vratila pitanje homoseksualnosti zbog koga je tada vladajuća MMD umalo politički uništila tadašnjeg vođu opozicije, a sadašnjeg republikanskog predsednika Michaela Satau, tokom kampanja koje su dovele do izbora prošlog septembra na kojima je pobedio bivšeg predsednika Rupiaha Bandau.Matamshi hayo yalirejesha upya mjadala wa suala la ushoga ambalo ndilo lililokaribia kabisa kukifanya chama tawala enzi hizo MMD kumwangamiza kisiasa kiongozi wa upinzani wakati huo, sasa Rais wa nchi Michael Sata, wakati wa kampeni za kuelekea uchaguzi wa mwezi Septemba ambao ulishuhudia akimbwaga rais wa zamani Rupiah Banda.
13Sajber-građani Zambije na većini društvenih mreža reagovali su na različite načine na izjavu Bana, a većinaa se pozivala na etiketu “hrišćanske nacije”, na kojoj se temelji ustav ove države.Wananchi wa Zambia wanaotumiao mtandao katika tovuti mbalimbali za kijamii walionyesha kupinga kauli hiyo ya Bw. Ban, wengi wao wakinukuu tamko linaloitambulisha Zambia kuwa “Taifa la Kikristo”, ambalo linalindwa na katiba ya nchi hiyo.
14Kao reakcija na priču iz Lusaka Timesa (citirana u prethodnom delu teksta), Mambala je napisao:Akitoa maoni yake baada ya kusoma habari hiyo ya Lusaka Times (iliyonukuliwa hapo juu), Mambala aliandika:
15hehehe!!!!!hehehe!!!!!
16Gospodine Ban, očekivali smo da to čujemo od vas.Bw. Ban, tulitegemea kusikia hayo kutoka kwako.
17U stvari, to vam je bila glavna tačka dnevnog reda… da se promovišu pitanja prava homoseksualaca i lezbejki.Na kwa hakika hiyo ndiyo ilikuwa agenda yako kuu…kuharakisha na kukuza mwanzo wa mashoga na wasagaji.
18Slušajte, Zambija je suverena država, ne morate da nam govorite kako da živimo.Sikia, Zambia ni taifa huru, hatuhitaji kuelekezwa namna ya kuishi.
19Znamo da su ti homoseksualci i lezbejke uvek bili deo našeg društva.Tunajua hawa mashoga na wasagaji wamekuwa siku zote sehemu ya jamii yetu.
20Čine svoja dela u tajnosti, i nama to ne smeta.Wanafanya vitendo vyao kwa siri na hiyo haitusumbui.
21Ako se usude da se pojave u javnosti i promovišu svoja zla, obračunaćemo se sa njima nemilosrdno!!!!Lakini kama watathubutu kuanza kujitangaza hadharani ili kuendeleza uovu wao, tutawashughulikia bila huruma!!!!
22Mapa koja pokazuje kazne koje prete gejevima i lezbejkama u Africi.Ramani ikionyesha adhabu zilizokusudiwa kwa mashoga na wasagaji nchini AFrika.
23Izvor slike: ilga.orgChanzo cha picha: ilga.org
24Citizen je napisao:Citizen aliandika:
25Molim vas gospodine Generalni sekretare, mi Zambijci smo prihvatili da smo hrišćanska nacija, to nam stoji u ustavu i time postaje naše pravo.Tafadhali Bw. Katibu Mkuu, sisi kama wa-Zambia tumeridhia kuwa tu Taifa la Kikristo, ni katiba yetu na hiyo inakuwa haki yetu.
26Takvo činjenično stanje znači poštovanje svih osoba koje su načinjene po Božjem liku - što uključuje i kriminalce, homoseksualce, lezbejke, lažove, prostitutke i tome slične, dok u isto vreme osuđuje njihove grešne radnje, da bi ih izvelo na pravi put.Kuwa hivyo, maana yake ni kuheshimu watu wote kwa kuwa ni sura ya uumbaji wa Mungu -ikijumuisha wahalifu, mashoga, wasagaji, waongo, makahaba na wanaofanana na hao, wakati huohuo tukihukumu vitendo vyao hivyo vya dhambi, ili wageuke.
27Gospodine Generalni sekretare, znamo da želiš da sledimo druge nacije tako što ne bismo homoseksualnost računali kao krivično delo.Mhe. Katibu Mkuu, tunajua unatutaka tufuate mataifa mengine kwa kutokuchukulia ushoga kuwa jinai.
28To ćemo da odbijemo.Hilo tutalikataa.
29Nikada nećemo de-kriminalizovati takve činove.Kamwe hatutageuza sheria kuvibariki vitendo kama hivyo.
30Neka te druge nacije kopiraju nas, jer je to najrazumnija stvar koju možemo učiniti.Ni wakati sasa kwa mataifa hayo kuiga kwetu kwa sababu hilo ni jambo lenye maana kulifanya.
31Jedan od malobrojnih medija suprotnih stavova, Observer, napisao je:Moja ya sauti chache zenye mtazamo tofauti na huo, Observer, anaandika:
32Gospodin Ban priča o OSNOVNIM pravima.Mhe Ban anazungumzia haki za MSINGI.
33Ne priča o gej brakovima ili takvim stvarima.Hazungumzii ndoa za mashoga au kitu kama hicho.
34Je li neko od vas pročitao samu priču pre nego da komentariše?Hivi mmesoma habari hii kabla ya kuandika maoni?
35Osnovna prava su kao pravo na čistu vodu ili na obraazovanje.Haki za msingi kama haki ya kupatiwa maji na elimu.
36On kaže da ovim ljudima treba dozvoliti da žive bez straha od fizičke opasnosti i da uživaju ista osnovna prava bez diskriminacije.Anasema watu hawa wapaswa kuruhusiwa kuishi maisha huru dhidi ya hatari ya kimwili na kufurahia haki hizi za msingi pasipo ubaguzi.
37Ne vidim ništa loše u tome.Sioni chochote kibaya kwa hilo.
38I oni su ljudi.Hawa ni watu pia.
39Naše crkve i porodice bi trebalo da se svojski potrude da osiguraju da se mladi ljudi klone homoseksualnosti i drugih negativnih stvari.Makanisa na familia zetu lazima yafanye bidii kuhakikisha kuwa vijana hawajitumbukizi kwenye ushoga na tabia nyingine chafu.
40Vladu ne možemo zadužiti da nadgleda živote individua.Serikali haiwezi kubebeshwa jukumu hilo la kuratibu maisha ya mtu mmojamoja.
41Lepo je što je našu zemlju posetio gospodin Ban.Ni faida kwa nchi yetu kutembelewa na Mhe Ban.
42Na zambijskoj Facebook grupi, 90 dana (palac gore/dole vladi svakih 90 dana), Sidique Abdullah Gondwe Geloo napravio je razliku između greha i zločina:Kwenye kundi la Zambian Facebook, , siku 90 (Serikali imepatia/imekosea kwa kila baada ya siku 90) , Sidique Abdullah Gondwe Geloo alitofautisha kati ya dhambi na uhalifu::
43HOMOSEKSUALNOST JE GREH, NIJE ZLOČIN.USHOGA NI DHAMBI, SI UHALIFU.
44BLUDNIČENJE JE GREH A NE ZLOČIN.UZINZI NI DHAMBI NA SIO UHALIFU.
45Da li bi neoženjen muškarac trebalo da ide u zatvor zbog upražnjavanja seksa sa drugom neudatom ženom?Je, mwanaume asiyeoa atapelekwa gerezani kwa kufanya mapenzi na mwanamke asiyeolewa? Hapana.
46Ne. Oni su zgrešili, ali to nije zločin, oni su doneli takvu odluku.Wametenda dhambi lakini hawakutenda kosa la jinai, ni kufanya uamuzi.
47Da li bi gej ljudi trebalo da idu u zatvor zbog izlaženja na sastanke…To je prljavi, prljavi GREH, ali ne i zločin…Oni imaju prava da ih ne kamenuju, ubijaju ili zlostavljaju, ali ne bi trebalo da imaju prava da stupaju u brak, da pokazuju osećanja u javnosti, jer smo mi jedna veoma PONOSNA HOMOFOBIČNA ZEMLJA…Tako da, kada kažete da gej ljudi imaju prava, to ne treba da vas plaši dok god zadržavaju tu homoseksualnost unutar kuće.Je, mashoga waende jela kwa kutoka pamoja? …Ni DHAMBI mbaya tena mbaya sana lakini si uhalifu…Wana haki ya kutokupigwa mawe, kuuawa au kusumbuliwa, lakini wasiwe na haki ya kuoana, kuonyesha mihemuko yao ya kimapenzi hadharani kwa sababu sisi ni NCHI INAYOJIVUNIA CHUKI DHIDI YA VITENDO VYA MAPENZI YA JINSIA MOJA…kwa hiyo mtu anaposema mashoga wana haki zao, hiyo isiwaogopeshe ili mradi wanauficha ushoga wao majumbani kwao
48Na Twitteru, jedan status se obratio direktno Ban Ki-moonu i glasio je:Kwenye Twita, ujumbe mmoja ulimzungmzia Ban Ki-Moon ukisema:
49Ako me odricanje od #Homoseksualnosti čini #Divljakom, onda bih radije #Živeo i #Umro kao divljak nego bilo kako drugačije.@chikwe1: Ban Ki Moon kama kupinga ushoga #Homosexuality kunanifanya #mshamba basi ni afadhali #Niishi na #Kufanikiwa mshamba kuliko kinyume chake.
50Klonite se #ZambijeKaa mbali na #Zambia
51Dok se debata oko homoseksualnosti žustro vodi u Africi, Liberija i Uganda su u skorijem periodu donele anti-gej zakone kojima se za homoseksualnost može dobiti smrtna kazna.Wakati mjadala kuhusu ushoga ukishika kasi barani Afrika, Liberia na Uganda vimetunga muswada wa kupinga ushoga hivi karibuni ili kuufanya ushoga uhukumiwe kwa adhabu ya kifo.
52Homoseksualnost je stavljena van zakona u 38 afričkih zemalja, a kažnjiva je smrću u Mauritaniji, Sudanu i severnoj Nigeriji.Ushoga umezuiwa kisheria katika nchi 38 za ki-Afrika na unaweza kuhukumiwa kifo nchini Mauritania, Sudan na kasikazini mwa Naijeria.