Sentence alignment for gv-srp-20140720-13316.xml (html) - gv-swa-20140718-7943.xml (html)

#srpswa
15 Okrutnih reakcija na pad leta MH17 u UkrajiniMatamshi Matano ya Kushangaza Kufuatia Kuanguka kwa Ndege MH17 Nchini Ukraine
2Toliko o “poznavanju onog osećaja,” kada se govori o raspravama oko srušenog malezijskog aviona.Kuna namna nyingi “kujua mtu anavyojisikia,” ukifuatilia matamshi yanayotolewa baada ya kutunguliwa kwa ndege ya Malaysia.
3Slike postavio Kevin Rothrock.Picha zimechanganywa na Kevin Rothrock.
4Ruski zvaničnici, političari i medijske ličnosti su brzo reagovali na pad malezijskog aviona let MH17, koji se srušio u istočnoj Ukrajini u četvrtak 17 jula. Vlasti u Kijevu, Moskvi i Donjecku su izmenile optužbe, okrivljujući jedni druge za obaranje aviona i za smrt skoro 300 putnika i članova posade.Maafisa, wanasiasa na waandishi maarufu wa Kirusi walikuwa wepesi kutoa maoni kuhusiana na ajali ya Ndege ya Malaysia MH17, iliyoanguka Mashariki mwa Ukraine siku ya Alhamisi, Julai 17. Mamlaka za Kyiv, Moscow, na Donetsk zimekuwa zikishutumiana, kubebeshana lawama kwa kutunguliwa kwa ndege hiyo ya abiria na kuua watu wote karibu 300 waliokuwemo ndani yake.
5Uz jake emocije, pregršt veoma okrutnih izjava od strane osoba iz Moskve i Donjecka, pad ovog aviona je privukao pažnju ruskog Interneta.Wakati hisia zikiendelea kuongezeka, matamko machache yaliyotolewa na watu mashuhuri mjini Moscow na Donetsk yamevutia hisia ya watumiaji wa Intaneti mtandaoni.
6Samoproglašeni premijer Narodne Republike Donjeck, Aleksandr Borodai, bio je radoznalo nesiguran o umešanosti pobunjenika u ovaj incident:Waziri Mkuu aliyejitangaza mwenyewe wa Jamhuri ya watu wa Donetsk, Aleksandr Boroday, hakuwa na uhakika kuhusiana na uhusika wa waasi katika tukio hili:
7Nažalost, ovo je citat dana.Bahati mbaya, hii ni nukuu ya siku.
8[Tekst glasi, “Ako je to zaista komercijalni avion, onda to nismo bili mi,” Alexandr Borodai.][Maneno yanasomeka, “Kama ni kweli ni ndege ya abiria, basi haikuwa sisi,” Alexandr Boroday.]
9Leonid Kalašnjikov, zamenik predstavnika ruskog parlamentarnog odbora za međunarodne poslove, izjavio je za TV Rain da nije bitno ko je kriv za obaranja aviona:Leonid Kalashnikov, naibu mwakilishi wa kamati ya Bunge la Urusi ya mambo ya kimataifa, aliiambia TV Rain haikuwa na maana yoyote kujua nani wa kumlaumu kwa kuiangusha ndege hiyo:
10“Zašto, da li ćete se bolje osećati ako znate ko je oborio avion?”“Nini, utajisikia nafuu kaa utamjua aliyeiangusha ndege hiyo?”
11Zabrinut da ruski liberali i ukrajinski “propagandisti” pokazuju dosta istih osećanja (tj., kritikuju rusku politiku u Ukrajini), Konstantin Rikov iz ruske vladajuće političke partije je rekao sledeće:Akiwa ameumizwa na kile waasi wa Urusi na ‘waendesha propaganda' wa Ukraine walichokirudia mara kwa mara hisia zile zile (kwamba walikosoa serza ya Urusi kwa Ukraine), Konstantin Rykov wa chama tawala cha siasa Urusi alikuwa na haya ya kusema:
12U tim trenucima, veoma je jasno ko se nada za šta i šta oni zaista žele.. naši liberali i Ukrajinski propagandisti teže ka istom..Katika nyakati kama hizi ni wazi kuna watu wanatarajia kitu na wanacho wanachokitaka…wapigania uhuru wetu na wapiga propaganda wa Ukraine wanashindania kile kile…
13Glavna urednica u Rusija Danas Margarita Simonjan je pripisala tragediju dobrom starom poznatom sovjetskom odsustvu uma:Mkuu wa shirika la Russia TodayMargarita Simonyan alionyesha namna janga hilo lilivyo na faida kwa wa-Soviet wasio na akili:
14Radila sam u centru raznih najnovijih vesti toliko dugo, tako da ja apsolutno ne verujem u teorije zavere.Kw amuda mrefu nimekuwa nikifanyia kazi taarifa kadhaa za habari zinazotokea, na nimehitimisha kuwa siamini kabisa namna watu wanavyojaribu kuunganisha matukio kujengea hoja imani zao.
15Ali verujem u jednostavan sovjetski haos.Lkaini ninaamini kuwa Usoviet ina matatizo.
16Poslednja, ali ne i najmanje važna je reakcija samog Vladimira Putina, koji je rekao ITAR-TASS-u da je Kijev je odgovoran za nebo nad Ukrajinom koje na istoku kontrolišu pobunjenici.Mwisho lakini si kwa uzito ni mwitikio wa Vladimir Putin mwenyewe, aliyeliambia shirika la habari la ITAR-TASS kwamba Kyiv inawajibika kwa anga la Ukraine mashariki inayodhibitiwa na waasi.
17“Naravno, država nad čijom se teritorijom dogodila ova strašna tragedija snosi odgovornost za to. […] Do ove tragedije ne bi došlo da ima mira u ovoj zemlji, da se borbe nisu obnovile u jugoistočnoj Ukrajini.”“Kwa hakika, nchi ambayo mpaka wake ndiko tukio hili limetokea inawajibika kwa janga hili […] Janga hili lisingetokea kama pangekuwa na amani kwenye nchi hiyo, kama mapigano yasingeibuka tena Kusini Mashariki mwa Ukraine.”