Sentence alignment for gv-srp-20121105-10080.xml (html) - gv-swa-20121130-4310.xml (html)

#srpswa
1Osnivač zabranjene vojne grupe u Pakistanu nudi pomoć SAD-uMwanzilishi wa Kikundi cha Kijeshi Kilichofutwa Nchini Pakistani Ajitolea Kuisaidia Marekani.
2Pošto je izazvala veliku štetu duž obale Atlantika u SAD-u, super oluja Sendi je označena kao najskuplja oluja koja se ikada desila.Baada ya kusababisha uharibifu mkubwa pembezoni mwa pwani ya atlantiki nchini Marekani, Kimbunga kikubwa sandy kinachukuliwa kama kimbunga kilichosababisha madhara makubwa ambayo hayakuwahi kutokea.
3Uz procene štete koje idu i do US$45 milijardi za rekonstrukciju i građenje, zemlja se priprema da se suoči sa gubitcima.Kiasi cha fedha kinachokadiriwa kufikia dola za kimarekani milioni 45 zinahitajika ili kurekebisha na kujenga upya makazi na miundombinu, ambapo nchi inajiandaa kukabiliana na hasara hiyo.
4Prijavljeno je da je najmanje 33 osobe poginulo, a desetine njih je raseljeno širom istočne obale.Watu wasiopungua 33 inaelezwa kuwa wamepoteza maisha na idadi kubwa ya watu wameachwa bila makazi katika maeneo mbalimbali ya pwani ya Mashariki.
5Usred opšte uzbune, Hafiz Mohammad Saeed, osnivač zabranjene vojne organizacije Lashkar e Taiba (LeT) i šef Jaamat ud Dawa (JuD) je ponudio značajnu količinu humanitarne pomoći SAD-u.Huku kimbunga hiki kikiendelea kuleta madhara, Hafiz Mohammad Saeed, mwanzilishi wa kundi la kijeshi lililofutwa, Lashkar e Taiba (LeT) na kiongozi wa Jaamat ud Dawa (JuD) alitoa msaada wa kibinadamu kwa nchi ya Marekani ili kuisaidia kufuatia uharibifu uliotokea.
6Uragan Sendi je izazvao haos na Rockaways i Breezy Point u Kvinsu.Kimbunga Sandy kilichosababisha uharibifu mkubwa ulioenea sehemu za mwambao na pwani ya Queens.
7Mnogi su izgubili svoje domove, poslove i imanja.Wengi wamepoteza makazi yao, biashara na mali zao.
8Slika Kevin Dovns.Picha na Kevin Downs.
9Autorska prava Demotix.Haki miliki na Demotix.
10Nudeći pomoć svake vrste, rekao je: “Jamaat-ud-Dava je spreman da pošalje svoje dobrovoljce, lekare, hranu, lekove i drugu humanitarnu pomoć, ako nam vlada SAD to dozvoli.”Akiahidi kusaidia kwa hali na mali misaada ya kila aina, alisema, “Jamaat-ud-Dawa iko tayari kutuma watu wa kujitolea, madaktari, vyakula, madawa na vitu vingine vya kuwasaidia wahanga endapo serikali ya Marekani itaturuhusu”.
11Poznat kao osoba koja je skovala napad u Mombaju 2008 godine, osnivač JuD-a takođe nosi poklon od US$10 miliona u svojim rukama.Akijulikana kama muongozaji mkuu wa mashambulizi ya Mumbai ya mwaka 2008, mwanzilishi wa JuD pia alitoa msaada wa dola milioni 10 za kimarekani .
12Međutim, Američka ambasada u pakistanskom gradu Islamabadu je odbila da prihvati pomoć od Saeed-a.Hata hivyo, ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Islamabad nchini Pakistani umekataa kupokea msaada kutoka kwa Saeed.
13Koristeći svoj Tvitter nalog, ambasada je jasno saopštila da dok cene spremnost muslimana da pomognu, oni očigledno njegovu ponudu ne shvataju ozbiljno.Wakitumia ukurasa wao wa Twita, ubalozi huo umeweka bayana kuwa pamoja na kuwa wanathamini kitendo cha waislamu kutoa misaada, hawakutilia maanani kabisa msaada wa ndugu Saeed.
14@usembislamabad (Ambasada SAD u Islamabadu): Mi poštujemo islamsku tradiciju da pomognu onima kojima je to potrebno, ali Hafiz Saeed-ovu ponudu ne možemo shvatiti ozbiljno.@usembislamabad (Ubalozi wa Marekani Islamabad): Tunaheshimu utamaduni wa Waislamu wa kutoa misaada kwa wahitaji, lakini hatuwezi kutilia mkazo msaada wa Hafiz Saeed.
15Nakon tweeta, portparol JuD-a je postavio sledeći odgovore:Kufuatia maelezo hayo katika Twita, msemaji wa JuD alijibu kama ifuatavyo:
16@JuD_Službeno (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad Naša ponuda je rezultat ozbiljnosti sitaucije.@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad Tulitoa msaada wetu wa dhati kutokana na hali halisi ya janga.
17Nadamo se da će Muslimani u SAD održati #tradiciju živom.Ni matarajio yetu kuwa Waislamu wanaoishi Marekani watauendeleza utamaduni huu.
18InshallahInshallah
19@JuD_Službeno (Jamat ‘ud' Da'wah) @usembislamabad Naša ponuda pomoći je za američki narod, mi ćemo angažovati muslimane u SAD-u da bude na čelu onih koji pomažu svojim zemljacima.@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah) @usembislamabad Msaada wetu ni kwa ajili ya watu wa Marekani, tutawahusisha Waislamu wa Marekani kuwa mstari wa mbele katika kuwasaidia ndugu zao.
20@JuD_Službeno (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad #USAID Rajiv Shah nas je ozbiljno shvatio kada je posetio naš kamp za pomoć 2010 godine & kada je tamo razdelio pomoć - #Hafiz Saeed@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad Rajiv Shah kutoka shirika la Kimarekani la kutoa misaada alitoa kipao mbele kwetu pale alipotembelea kambi yetu ya kutoa misaada mwaka 2010 na kutoa misaada - #Hafiz Saeed
21Američka ambasada je otišla tako daleko da je Saed-a proglasila osumnjičenim za umešanost u napade u Mombaju i pripisivajući njegovoj organizaciji JuD epitet organizacije koja je ‘teroristički opredeljena'.Ubalozi wa Marekani ulienda mbali pale walipomuhusisha Saeed na tuhuma za kujihusisha na mashambulizi ya Mumbai na pia kuliita shirika lake JuD kuwa ni shirika lililo na mrengo wa kigaidi.
22@usembislamabad (Ambasada SAD u Islamabadu ): Saaed-a traže zbog sumnje da je umešan u napad u Mombaju, u kome je poginulo 166 ljudi.@usembislamabad (US Embassy Islamabad ): Saaed anatafutwa kuhusishwa na mashambulizi ya Mumbai yaliyopelekea watu 166 kuuawa.
23JuD je od strane UN-a i SAD-a označena kao teroristička organizacija.JuD ni shirika linalotambuliwa na Umoja wa Mataifa na Marekani kuwa ni la Kigaidi.
24Twitter nalog za JuD je još jednom bio spreman za odgovor.Ukurasa wa Twita wa JuD ulikuwa tayari kutoa majibu.
25@JuD_Službeno (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad Američka vlada je priznala da su činjenice neprihvatljiv dokaz protiv Hafiz Saeed-a.@JuD_Official (Jamat ‘ud' Da'wah): @usembislamabad Serikali ya Marekani imekubali ukweli ambao haukudhibitishwa kuwa ni sahihi ndidi ya Hafiz Saeed.
26UNSCR saslušanje treba da se obavi.Kauli ya UNSCR bado inasubiriwa.
27Ništa ne ostavlja iza sebe.Hakuna kinachoachwa.
28Reakcije na ovu ponudu ostaju pomešane.Maoni kuhusiana na msaada huu bado yanakanganya.
29Dok je mnogi posmatraju kao velikodušnu, neki takođe vide ironiju iza svega toga.
30@Rifaqat_Mir (Rifaqat A.@Rifaqat_Mir (Rifaqat A.
31Mir): Uprkos neprijateljstva koje SAD predstavlja za Hafiza Saed on je i dalje velikodušan i dobronameran u pokazivanju saosećanja za svog neprijateljaMir): pamoja na uadui unaowekwa na Marekani kwa Hafiz Saeed, bado ana nia ya dhati ya kutoa misaada katika kuendelea kuonesha kumjali adui yake.
32@humayusuf (Huma Yusuf): Kažu da Muslimani nemaju smisao za humor, ali Hafiz Saed-ova ponuda za pomoć žrtvama #Sendi je SMEŠNA http://www.thenews.com.pk/Današnje-Novosti-13-18499-Hafiz-Saeed-nudi-humanitarnu-pomoć-za-SAD …@humayusuf (Huma Yusuf): wanasema kuwa Waislam hawana roho ya huruma, lakini utayari wa Hafiz Saeed wa kuwasaidia wahanga wa kimbunga cha Sandy inaonekana ni kichekesho. http://www.thenews.com.pk/Todays-News-13-18499-Hafiz-Saeed-offers-humanitarian-aid-to-US …
33@anDYRude (Anirudh Malladi): Upravo sam pročitao da je Hafiz Saed, strašni terorista, ponudio “pomoć u vidu hrane, lekara itd” žrtvama #Oluje Sendi.@anDYRude (Anirudh Malladi): Punde tu nimesoma kuwa, Hafiz Saeed, gaidi aliyeogopeka, amejitolea”kutoa msaada wa vyakula, madaktari, n.k ” kwa wahanga wa kimbunga cha sandy.
34LMAO!LMAO!
35@nidak_ (Nida Khan): Interesantna razmena šala dešava se između Hafiz Saeed-a i SAD ambasade u Islamabadu. 1-1, rekao bih.@nidak_ (Nida Khan): Kuvumilia jumbe za kashfa zinazoendelea kati ya Hafiz Saeed na ubalozi wa Marekani mjini Islamabad ni 1-1, ningeweza kusema.
36#Sledeća Runda?#Mzunguko unaofuata?
37@anamzehra86 (Anam Zehra): Odgovor ambasade SAD-a na ponudu Hafiz Saeed-a je njihov način da se kaže “mi mislimo da je Vaša religija ozbiljna, a i Vi bi to trebali da uradite”@anamzehra86 (Anam Zehra): Majibu ya Ubalozi wa Marekani kufuatia kujitolea kwa Hafiz Saeed ni namna yao ya kutaka kusema kuwa, ”tunachukulia dini yako kwa uzito mkubwa sana, nawe ungalipaswa pia kufanya hivyo”