Sentence alignment for gv-swa-20120721-3535.xml (html) - gv-swe-20120721-3089.xml (html)

#swaswe
1Ethiopia: Maandamano ya Waislamu Yashika KasiEtiopien: Muslimska protester ökar
2Ishara za uanaharakati wa waislamu wa ki-Ethiopia kupinga serikali kuwangilia katika mambo yao ya kidini, zilionekana wazi pale walipopeleka kampeni zao mtandaoni mwezi Mei.Tecknen på Etiopiska muslimers protester mot regeringens ingrepp i deras religiösa angelägenheter blev tydliga när de i maj gick online med sin kampanj [en].
3Kadiri harakati hizo zikiendelea kukua na kusambaa nje ya mtandao wa intaneti, Jeshi la Polisi la nchi hiyo limeanza kutumia nguvu kupambana na waandamanaji.Alltmedan online-aktivismen växer utanför internet har den Etiopiska polisen börjat att använda våld mot demonstranterna.
4Wanawake waislamu Ethiopia.Etiopiska muslimska kvinnor.
5Picha kwa hisani ya: Boyznberry Flickr page (CC BY-NC 2.0)Källa: Boyznberry Flickr page (CC BY-NC 2.0)
6Kwa mujibu wa ukurasa wa mtandao wa Facebook wa wanaharakati hao uitwao Dimtsachin Yisema (Iacheni Sauti Yetu Isikike), Jeshi la Polisi lilitumia nguvu pamoja na kufanya vitendo haramu katika sehemu zinazochukuliwa kuwa takatifu misikitini katika jitihada za kupambana na waandamanaji hao.Enligt lokala aktivist-Facebooksidan Dimtsachin Yisema [am] (Låt vår röst bli hörd) användes fysiskt våld mot de protesterande, vilket innebar intrång på heliga platser i deras moskéer.
7Mwanaharakati wa ki-Islamu wa ki-Ethiopia na mwandishi Merim Bint Islam aliandika kwenye ukurasa wake wa Facebook kwa dondoo ifuatayo:Merim Bint Islam, en Etiopisk muslimsk aktivist och skribent skriver [trasig länk] på sin Facebook-sida:
8Hivi ndivyo vichapo vya kikatili walivyofanyiwa ndugu zetu, hapo jana huko Awuliya.Så här våldsamt misshandlades vår bror i Awuliya, igår.
9Habari Mpya Addis Habari @ AddisFocus # Vikosi vya Ulinzi vya Utawala wa Ethiopia bila haya waliteka zaidi ya mifugo mia moja (ng'ombe maksai) kwenye msikiti mjini Addis iliyokuwa tayari kwa sadakaAddis nyhetsuppdateringar @AddisFocus #Den Etiopiska regimens trupper beslagtog utan tvekan över hundra djur (oxar) från en Mesjid [moské] i Addis [Addis Abeba, huvudstaden i Etiopien] som var klar för Sadaqa [frivillig välgörenhet inom islam].
10Video ya mtandao wa YouTube hapa chini inaonyesha waandamanaji wa ki-Islamu mwezi Aprili 2012:# Islam Den följande YouTube videon visar Etiopiska muslimska demonstranter i april 2012:
11Ingawa vitendo hivyo vya polisi viliripotiwa kuwa vya kikatili, wanaharakati katika ukurasa wa Facebook mara moja walitoa rai kwa wa-Islamu wenzao wawe na utulivu.Fastän polisens agerande uppgetts vara brutalt, uppmanar aktivister på Facebook hela tiden likasinnade att hålla sig lugna.
12Ukurasa wa Facebook wa wa-Islamu wa Ethiopia ulionyesha alichokiona Ahmedin Jebel[amh]:De Etiopiska muslimernas Facebooksida har delat Ahmedin Jebel's kommentar där det står [am]:
13Kwa wa-Islamu wote ki-Ethiopia, tangu tulipoanza harakati zetu miezi sita iliyopita tumeweza kujitenga na mandamano yenye malengo mabaya kwa kufahamu kuwa vitendo kama hivi vingeharibu kile tunachokipigania.Till alla Etiopiska muslimer som varit med sedan rörelsens början: De senaste sex månaderna har vi strävat efter att hålla oss borta från destruktiva demonstrationer eftersom sådana bara skulle förstöra effekterna för vår kamp.
14Vikundi tofauti vimekuwa vikijaribu kutufanya tuchukue hatua za kufanya ghasia kwa sababu ya matendo yao yanayokera.Olika grupper har genom kränkande handlingar försökt få oss att ta till våld, de har till och med gjort intrång på våra heliga platser.
15Wamefikia hata kufanya vitendo haramu kwenye sehemu takatifu kidini lakini tusimame imara kwa sababu kukizijibu hila hizo wanazotufanyia tutashindwa.Men vi tänker stå på oss utan att ge efter, om vi faller för deras metoder förlorar vi.
16Wakati huo huo, Abiye Teklemariam aliandika kwenye mtandao wa Facebook:Under tiden har Abiye Teklemariam på Facebook skrivit [trasig länk]:
17Wanaharakati wanadai watu wa serikali wanaweza kwa makusudi kutengeneza maandamano feki karibu na makao makuu ya Umoja wa Afrika ili kuwasingizia waislamu kuyaandaa.Aktivister hävdar att regeringens hantlangare medvetet kan iscensätta en falsk, våldsam demonstration nära Afrikanska unionens högkvarter för att kunna anklaga muslimska demonstranter.
18Hali ya kisiasa na kidini huko Ethiopia inaonekana kutokuaminika huku tetesi kuhusu wapi alioko na afya ya Waziri Mkuu Meles Zenawi zikisambaa na maandamano ya waislamu yakiendelea kushika kasi.Den politiska och religiösa situationen i Etiopien är osäker då rykten cirkulerar om premiärminister Meles Zenawis hälsotillstånd och var han befinner sig [en] och muslimska protester ökar.
19Uislamu ndio dini ya pili kuwa na waumini wengi nchini Ethiopia nyuma ya Ukristo.Efter kristendom är islam den näst största religionen i Etiopien.