Sentence alignment for gv-swa-20130530-5029.xml (html) - gv-swe-20130525-3898.xml (html)

#swaswe
1Mwandishi Habari za Kiraia wa Miaka 14 Auawa Akiripoti Mapigano Nchini Syria14-årig medborgarjournalist dödad i Syrien
2Omar Qatifaan, Mwanaharakati wa Habari mwenye umri wa miaka 14, aliuawa Mei 21, 2013 wakati alipokuwa anaripoti mapigano kati ya Jeshi la Syria na waasi wanaopinga serikali ya nchi hiyo kusini mwa al-Ballad eneo la Syria karibu na mpaka na Jordan.Omar Qatifaan, en 14-årig mediaaktivist, dödades den 21 maj, 2013, medan han rapporterade om sammandrabbningar mellan den syriska armén och rebellernas frihetsarmé i det södra Daraa al-Ballad-området i Syrien nära den jordaniska gränsen.
3Nyaraka kuhusu Syria zilizotolewa na Mradi wa vyombo vya habari vya vijana ziliripoti kuhusu kifo chake, na blogu ya habari nchini humo YALLA SOURIYA ilimwita kijana huyo kuwa “Roho wa Syria”.Ett mediaprojekt för ungdomar kallat Syrian Documents rapporterade om hans död, och den syriska nyhetsbloggen YALLA SOURIYA kallade honom “Syriens själ”.
4Mgogoro wa Syria, kama vile Mapinduzi mengine yaliyozikumba nchi za Kiarabu, zimesababisha kuongezeka kwa waandishi wa habari za kiraia wanaoripoti kutoka katika kwenye uwanja wa vita kuhusu mgogoro unaoendelea kati ya majeshi yanayounga mkono serikali na yale ya waasi.Konflikten i Syrien, liksom andra uppror under den arabiska våren, har sett en ökning i antalet medborgarjournalister som rapporterar på gräsrotsnivå om det pågående kriget mellan de styrkor som kämpar för respektive mot landets regering.
5Wengi wamekuwa kizuizini, kuteswa, na hata kuuawa wakiwa katika jitihada za kuutangazia ulimwengu habari za mapinduzi.Många har fängslats, torterats och till och med dödas under sina försök att dela berättelsen om den syriska revolutionen med världen.
6Watoto pia wameumia kupindukia wakati wa vita, na maelfu wakiuawa wakati wa ghasia hadi wakati huu.Även barn har fått betala ett fruktansvärt pris under konflikten; tusentals har redan dödats i våldsamheterna.
7Mwanaharakati wa Vyombo vya Habari Omar Qatifan alikuwa na umri wa miaka 14 alipouawa akiwa anaripoti habari za vita huko Daraa, Syria.Mediaaktivisten Omar Qatifaan var bara 14 år gammal då han dödades medan han rapporterade om en strid i Daraa, Syrien.
8Picha kutoka akaunti ya twita @RevolutionSyriaFoto från Twitter-kontot @RevolutionSyria
9Mwanaharakati mwingine wa vyombo vya habari alirekodi video ya Qatifaan mara tu alipouawa.En annan mediaaktivist filmade Qatifaan efter att han dödats.
10Video hiyo iliwekwa kwenye YouTube na SyrianDaysOfRage: [NI VIDEO INAYOTISHA]:Videon laddades upp på YouTube av SyrianDaysOfRage [VARNING: GRAFISKA BILDER]: