Sentence alignment for gv-swa-20120415-2739.xml (html) - gv-swe-20120326-2208.xml (html)

#swaswe
1Mali: Raia Washtushwa na Mapinduzi ya KijeshiMali: Folket bestört av plötslig militärkupp
2Wanajeshi waasi wametangaza kwamba wametwaa madaraka nchini Mali , baada ya kukiteka kituo cha televisheni ya taifa pamoja na ikulu ya nchi hiyo.Avhoppade soldater har meddelat att de griper makten på Mali [en], efter att de tagit över den statliga televisionsbyggnaden och presidentpalatset.
3Wanadai serikali ya Rais Amadou Toumani Touré imeshindwa kutoa ushirikiano kwa vikosi vyake kijeshi katika mapambano dhidi ya waasi wa Tuareg kaskazini mwa nchi hiyo ambao wanataka kujitenga kutoka nchi hiyo.De hävdar att president Amadou Toumani Tourés regering misslyckats med att ge deras trupper tillräckligt stöd under en allt våldsammare kamp mot tuaregrebeller i landets norra delar [en], som hotar att bryta sig ut ur Mali.
4Raia wengi wamepatwa na mshtuko iweje mapinduzi yafanyike kipindi cha mwezi mmoja tu kabla ya uchaguzi uliokuwa umepangwa kufanyika tarehe 29 Aprili, 2012?Många medborgare är förbryllade över varför en kupp iscensatts strax före ett redan planerat val den 29 april 2012 och det finns många teorier.
5Bila shaka kulikuwa na nadharia nyingine za kueleza tukio hilo na hatua hiyo ya kijeshi.Ledaren av kuppen på Mali, Capitaine Sanogo, via @Youngmalian
6Kiongozi wa Mapinduzi nchini Mali Kapteni Sanogo kupitia @Youngmalian Kapteni Sanogo ndiye kiongozi wa Kamati ya kijeshi ya Taifa ya Kurejesha Demokrasia na Nchi (CNRDR) ambao wanasema wataongoza serikali ya mpito mpaka uchaguzi utakapofanyika.Capitaine Sanogo är ledare av den nya Nationella Kommittén för Återupprättande av Demokratin och Staten (CNRDR), som säger att de kommer att styra övergången fram till valet i april.
7Msemaji wa kamati hiyo, Lieutenant Kanoré alisema kwamba ingawa wamesimamisha katiba na kuvunja taasisi zilizopo, hawana kusudio la kung'ang'ania madaraka.En talesman för kommittén, Lieutenant Kanoré, sa att även om de har upplöst de befintliga institutionerna har de ingen avsikt att behålla makten.
8Mapigano kati ya wanajeshi wanaounga mapinduzi hayo na wale wanaomwunga mkono Rais Toure bado yangali yakiendelea.Strider mellan de som stöder kuppen och de som förblir lojala till president Touré försätter.
9Baadhi ya wanasiasa na maafisa wa ngazi za juu wameripotiwa kuwekwa kizuizini mjini Bamako, makao makuu ya nchini hiyo.Några politiker och högt uppsatta officerare rapporteras ha arresterats i Bamako, landets huvudstad. Malis medborgare är chockade över händelserna.
10Raia wengi wa Mali wameshtushwa kwa kiasi kikubwa na mwelekeo wa matukio.Nedan följer några av reaktionerna på de beväpnade myteristernas maktövertagande [fr och en]:
11Hapa ni baadhi ya miitikio baada ya kufahamu kuwa wanajeshi waasi walikuwa wametwaa madaraka [fr na ing]:@TheSalifou: Jag är rädd för mitt land…#Mali
12@Anniepayep: Kweli, Aibu RT@juliusessoka barani Africa, mnatoka hotelini kuja kuishia mtaroni #mali@Anniepayep: Verkligen skamligt RT @juliusessoka i Afrika, kommer du ut ifrån restaurangen för att hamna i rännstenen #mali
13@Abdou_Diarra: Rais wa Mali Amadou Toumani Touré anasemekana kuwa mzima mwenye afya njema na yu mahali salama kwa mujibu wa wanajeshi watiifu #Mali@Abdou_Diarra: Malis president Amadou Toumani Touré påstås vara välbehållen och vistas i ett säkert område enligt en lojal soldat #Mali
14@Youngmalian ATT (Rais wa Mali) alichaguliwa kidemokrasia na watu na madaraka yake yalikuwa yaishie mwezi Juni.@Youngmalian: #ATT (Malis president) blev demokratiskt vald av folket och hans mandat tog slut i juni.
15Wanajeshi wana haki gani ya kuchukua hatua kwa niaba ya watu wa #MaliVilken rättighet har soldater att agera i folkets namn? #Mali
16@ibiriti: demokrasia haimaanishi tu ni mipangilio ya uchaguzi ili kubadili watu wasio na uwezo na kuwaweka wengine.@ibiriti: demokrati handlar inte bara om vanliga politiska val som ersätter en inkompetent bunt med en annan.
17Ni lazima itoe hudumaDen måste ge resultat.
18@philinthe_: Benki na vituo vya mafuta vilifungwa mjini #Bamako #Mali.@philinthe: Banker + stängda bensinmackar i #Bamako #Mali.
19Ninaongea na madereva teksi wanataka kulipwa mara dufu ya nauli inayofahamika.Pratar med taxichaufförer som dubblerat sin avgift.
20Kwenda Sotrama bado ni kati ya sarafu za Mali CFA 100-150Sotrama fortfarande 100-150CFA
21@temite: Chochote kitakachotokea, kitakachoathirika hakikosi kuwa ni umoja, umoja wa kidugu baina ya watu na utamaduni #Mali@temite: Vad som än händer kommer förloraren ofrånkomligen att bli samförståndet, broderskapet mellan folk och kulturer #Mali
22Mpango wa siri unaonekana wazi kufuatia mapinduzi kufanyika majuma machache tu kabla ya uchaguzi ambao tayari umeshapangwa [fr]:Konspirationsteorier frodas om varför en kupp iscensatts bara veckorna före ett planerat val [fr]:
23@diatus2: Mapinduzi nchini #Mali yalitarajiwa kwa sababu ATT (Rais wa Mali) alikuwa anaruhusu hali hiyo kwa kulea waasi wa Tuareg (wakaazi wa kaskazini mwa nchi hiyo) kwa hiyo alikuwa akijiandalia mapinduzi yeye mwenyewe@diatus2: Kuppen i #Mali var väntat eftersom ATT (Malis president) lät situationen med tuaregrebellerna fortgå så att han skulle få en tredje mandatperiod.
24@Joe_1789: Ninalaani: Mapinduzi haya ambayo yalipangwa na wanajeshi walioziasi Nchi zizungumzao Kifaransa barani Afrika, dhidi ya Mali na Rais wake aliyechaguliwa kidemokrasia@Giovannidjossou:#ATT (Malis president) gör ingenting åt terroristerna i norra Mali så att problemen där skulle tillåta honom att skjuta upp valet till nästa juni!
25Ukurasa wa Twita wa Ofisi ya Rais wa Mali haukuwa na taarifa mpya tangu Machi 21 ilipokanusha kuangushwa kwa serikali hiyo [fr]:@Joe_1789: Jag fördömer: Denna kuppen är iscensatt av beväpnade banditer som sålt sig till det frankofona Afrika, och är mot Mali och dess demokratiskt valda president.
26@PresidenceMali: Tamko Rasmi la kukanusha uvumi: Waziri wa Ulinzi hajaumizwa wala kuwekwa kizuizini.Twitterkontot för Malis presidentämbete har inte uppdaterats sedan den 21 mars, då det vederlade det påstådda maktövertagandet [fr]:
27Yupo mezani kwake akiendelea na majukumu yake ya kila siku Email@PresidenceMali: Formell dementi: Försvarsministern är varken skadad eller gripen.
28Imeandikwa naLova Rakotomalala Imetafsiriwa na Christian Bwaya@bwayaHan är på sitt kontor och fortsätter lugnt att arbeta.