Sentence alignment for gv-swa-20120111-2509.xml (html) - gv-swe-20120112-1444.xml (html)

#swaswe
1Afrika: TEKNOHAMA Kwa Ajili ya Wakimbizi na Watu Wasio na MakaziIKT för flyktingar i Afrika
2Katika wiki za hivi karibuni Global Voices imeendelea kuwakilisha kwa wasomaji wake mifano zaidi ya jinsi uanahabari wa kiraia unavyotumika kuwawezesha wakimbizi na watu wasio na makazi.På senare tid har Global Voices visat sina läsare exempel på hur medborgarmedia används för att förstärka flyktingars röster [en].
3Hata hivyo, wakati ambapo blogu na mitandao ya kijamii ikiwa bado inaendelea kukuza sauti, hivyo pia ndivyo tasnia ya TEKNOHAMA inavyofanya kwa ujumla.Det är sant att bloggar och sociala media har en roll att spela i att öka egenmakten för marginaliserade grupper, men det gör också IKT i övrigt.
4Kwa mfano, MobileActive, inahamasishwa na uwezo wa simu za mkononi zinavyowawezesha wakimbizi siyo tu kuwasiliana na wapendwa wao, bali pia kuweza kujua mahali walipo.MobileActive uppmuntras t.ex. av mobiltelefonernas förmåga [en] att tillåta flyktingar att behålla kontakten med nära och kära, samt att få reda på var de befinner sig.
5Tovuti hiyo inawaonyesha wasomaji wake makala maalum ya Jarida la Uhamiaji wa Kulazimishwa ambalo linaangalia kwa kina suala la Teknohama katika muktadha huu.En specialutgåva av Forced Migration Review [en] tittar närmare på användandet av IKT i detta sammanhang.
6Wakimbizi nchini Uganda wakitumia simu za mkononi kuwasiliana na jamaa pamoja na marafiki wa karibu.Flyktingar i Uganda använder SMS och mobiltelefoner för att kontakta familjemedlemmar och vänner.
7Picha kupitia Mobile Active.Foto från MobileActive
8Wakimbizi mara nyingi hufikwa na athari lukuki: Hali ambayo kwanza ilisababisha wakimbie, vile vile ukweli kwamba familia nyingi husambaratika wakati wa kuhama.Den 38:e utgåvan av The Forced Migration Review: The Technology Issue tittar på teknologier särskilt för flyktingar.
9Ili kuwa na afya njema na ustawi na uwezo wa kutulia tena, ni muhimu kufahamu walipo ndugu na jamaa, usalama wao, na uwezo wao wa kuendelea kuwasiliana.Två kapitel upplyser om hur mobiltelefoner används bland flyktingar och problem som finns med teknologin för att hitta och kontakta familjemedlemmar samt säkerhets- och tillgänglighetsfrågor.
10Leo hii, simu za mkononi ni teknolojia ya muhimu zaidi kwa wakimbizi ili kuweza kuwapata ndugu na kuendelea kuwasiliana nao.
11Jarida la Uhamiaji wa Kulazimishwa Toleo la 38, Nakala ya Teknolojia inapitia teknolojia hususan kwa ajili ya wakimbizi.Deputy UN High Commissioner för flyktingar T.
12Sura mbili (za jarida hilo) zinaangaza nuru juu ya matumizi ya simu za mkononi baina ya wakimbizi, aidha juu ya baadhi ya matatizo ya teknolojia hii katika kutafuta na kuwasiliana na ndugu kama vile suala la usalama na upatikanaji.
13Naibu Kamishna wa Umoja wa Mataifa kwa Ajili ya Wakimbizi T Alexander Aleinikoff ametoa utangulizi katika toleo hilo maalum:Alexander Aleinikoff bidrar med en introduktion till specialutgåvan [en]:
14Japokuwa kwa juu juu, kambi za wakimbizi za leo hazionekani tofauti sana na vile zilivyokuwa miaka 30 au 40 iliyopita.Idag har flyktingar och internflyktingar i de fattigaste länderna ofta tillgång till mobiltelefon och kan titta på satellit-tv.
15Inaonekana kana kwamba maendeleo yamewapitia mbali.Internetcaféer har växt fram i vissa läger.
16Lakini ukiangalia kwa karibu, ni wazi kuwa mambo yanabadilika.Datorerna köps in av flyktingentreprenörer eller doneras av organisationer som UNHCR.
17Hivi sasa, wakimbizi na watu walipoteza makazi katika nchi maskini zaidi mara nyingi huwa na uwezo wa kupata simu za mkononi na wana uwezo wa kuangalia televisheni za setilaiti.Hjälporganisationerna själva använder mer och mer avancerad teknologi: geografiska informationssystem, Skype, biometriska databaser och Google Earth för att ta ett par exempel.
18Migahawa ya intaneti imechipuka katika sehemu walizofikia, na vifaa vimenunuliwa na wajasiriamali wakimbizi au vilivyotolewa na mashirika ya misaada ya kibinadamu kama vile UNHCR.
19Na mashirika ya misaada yanaongeza matumizi ya teknolojia za kileo zaidi: kama vile mifumo ya taarifa za jiografia, Skype, takwimu za biometrika pamoja na Google earth, vikiwa kama ni mifano michache.I en artikel beskrivs ett exempel med ett spårningsprojekt [en] som satts igång av Refugee Consortium of Kenya (RCK) i samarbete med Refugees United (RU):
20Katika makala moja, mfano wa mradi wa kutafuta watu ulitekelezwa na ushirika wa Wakimbizi nchini Kenya (RCK) kwa kushirikiana na Umoja wa Wakimbizi (RU) umeonyeshwa:1992 kom hans kusin Abdulahi Sheikh till Kenya och sökte stöd. Han beviljades flyktingstatus och hamnade i Dagahaley-lägret i Dadaab.
21Mwaka 1991 Ahmed Hasan Osman* alikimbia mtafaruku huku Somalia, na kuiacha familia yake mjini Kismayu, na kufanya safari ya kuelekea Kenya ili kutafuta hifadhi. Ahmed aliishi kwa muda kwenye kambi ya wakimbizi ya Ifo kabla ya kupewa makazi huko Colorado nchini Marekani ambako alipewa uraia kamili wa Marekani.Han trodde att Ahmed var antingen i Dadaab eller hade varit där men hans försök att hitta honom lyckades inte och han gav snart upp hoppet om att någonsin hitta honom.
22Mwaka 1992, binamu yake Abdulahi Sheikh aliwasili nchini Kenya akitafuta msaada, alipopewa hadhi ya ukimbizi, Abdulahi aliishia kwenye kambi ya Dagahaley huko Dadaab.Abdulahi trodde att han måste ha åkt tillbaka till Somalia.
23Aliamini kuwa Ahmed alikuwa ama mjini Dadaab au aliwahi kuwepo pale lakini jitihada zake za kumtafuta hazikuzaa matunda na pindi alikata tama ya kumpata.Tidigt under 2011 anställde RCK Abdulahi för att hjälpa till med RU projektet i Dagahaley-lägret.
24Bila ya shaka, Abdulahi aliamini kuwa Ahmed alikuwa kesharejea Somalia.Abdulahi registrerade sig själv i spårningsprojektet.
25Mapema mwaka 2011 RCK ilimuajiri Abdulahi ili kusaidiamradi wa RU kwenye kambi ya wakimbizi ya Dagahaley.När han såg ett namn som var intressant kontaktade han personen genom RU:s kommunikationssystem.
26Abdilahi alijiunga na mradi wa kutafuta watu na kuanza kuwatafutwa wapendwa waliopotea. Alipoliona jina analolifahamu, aliwasiliana na mtu huyo kwa kupitia mfumo wa ujumbe mfupi wa simu wa RU.När han fick svar insåg han att han, efter 20 års separation och sökande, hade hittat sin kära kusin.
27Pale alipopata majibu aligundua kwamba, baada ya miaka 20 ya kutengana na kutafutana, alimpata binamu yake mpendwa.De bytte telefonnummer och Ahmed ringde och bröt 20 års tystnad.
28Leo hii, watu hawa wawili wanawasiliana kila mara na wote Abdulahi na Ahmed wanaendelea kusaka marafiki na wanafamilia zaidi.Idag har de kontakt regelbundet och både Abdulahi och Ahmed fortsätter söka efter mer vänner och släktingar.
29Bila ya shaka, kama vile MobileActive inavyosisitiza, matatizo kadhaa ya miundombinu yanaendelea kuwa kizuizi kwa matumizi makubwa ya mfumo huo: Kwenye baadhi ya maeneo ya Afrika, hakuna mtandao wa mawasiliano.Det finns förstås, vilket också MobileActive understryker, problem med den lokala infrastrukturen som utgör ett hinder för att liknande system implementeras [en]:
30Washiriki wa warsha walitoa maoni kuwa pale ambapo (mtandao) upo, simu hukatwa mara kwa mara, na baadhi hukutwa na maingiliano ya mawasiliano kama vile kuingiliana kwa simu.
31Nguvu ya mtandao wa mawasiliano kwenda nje ya nchi ni dhaifu, na ukosefu wa chanzo cha uhakika na madhubuti cha umeme kwenye nchi za wapokeaji unaweza kuwa tatizo, japokuwa hili linatofautiana kanda kwa kanda. Ongezeko la idadi ya watu katika baadhi ya maeneo hudhoofisha nguvu ya mtandao, kutokana na matumizi makubwa ya umeme.Att hitta den bästa teknologin att använda för olika släktingar kan vara svårt, särskilt om de drivits bort, på grund av faktorer som de tjänster som erbjuds, om de har råd med dem och om de vet hur de används.
32Watu wanaweza pia kuwa na ugumu wa kupata umeme wa kuchaji simu zao za mkononi. […]En medverkande angav att de flesta av dennes släktingar var tvungna att använda kommunikationsteknologi genom andra.
33Kupata teknolojia bora zaidi ya kutumia kwa wanafamilia tofauti kunaweza kuwa vigumu, hasa iwapo wao wenyewe wamepoteza makazi, kutokana na sababu kama wingi wa huduma zilizopo, kama wanafamilia wanaweza kuzimudu na kama wana ujuzi wa kuzitumia.
34Mshiriki mmoja alibainisha kuwa wengi wa wanafamilia walio ng'ambo inawabidi kupata teknolojia za mawasiliano kwa kupitia watu wengine.En annan beskrev hur hon upplevde svårigheter med att kontakta sin man i ett läger.
35Mshiriki mmoja alielezea matatizo aliyoyapata kuwasiliana na mumewe aliyekuwa kambini. Alimtumia pesa za kununulia simu lakini watu wengine kambini pia hutumia simu hiyo hiyo na aghalabu kumfanya asubiri kwa masaa ili apate kuwasiliana na mumewe.Hon skickade pengar till honom för att köpa en telefon men andra i lägret använde den också, så ibland fick hon vänta i timmar för att komma i kontakt med honom.
36Njia mbadala za bei nafuu kama vile barua pepe, au simu za kwenye intaneti au ujumbe mfupi wa maneno zinaweza kuwa hazipatikani au aghali, na upatikanaji wa intaneti barani Afrika ni ghali mno.Billiga alternativ som email, internettelefoni eller chattprogram kanske inte finns tillgängliga eller är för dyra, och internetanslutning i Afrika är väldigt dyrt.
37Zaidi ya hivyo, wanafamilia waliopoteza makazi walioko ng'ambo wanaweza kuwa hawajui kutumia vifaa hivi.Familjemedlemmar som tvingats fly kanske också inte vet hur man använder internet.
38Kutoka kuwapa wakimbizi upatikanaji wa habari juu ya afya na fursa za elimu mpaka utumiaji wa Facebook, maongezi kwa ktumia Gmail na Skype ili kudumisha mawasiliano na wanafamilia na marafiki kuvuka mipaka ya kijiografia, toleo hili limetoa picha kamili ya jinsi gani Tknohama inavyotumika.
39Ushahidi pia imetajwa ikihusishwa na tetemeko la ardhi nchini Haiti mwaka 2010 na vile vile kwa ujumla wakekama inavyohusiana na migogoro, majanga na wakimbizi. Kadhalika, Maabara ya Fikra ya PBS inaangalia ushirikiano wa Al Jazeera na Ushahidi katika kuwaunganisha na kuwawezesha waSomali waliotenganishwa na vita pamoja na ukame:Utgåvan ger en uttömmande översikt över hur IKT används, från att tillgodose flyktingars behov av tillgång till information om hälsovård och utbildningsmöjligheter till att använda Facebook, Gmail-chatt och Skype och till kontakter med släktingar och vänner över stora geografiska avstånd.
40Somalia Speaks (Somalia Inaongea) ni ushirika kati ya Souktel, shirika lililoko Palestina linalotoa huduma za ujumbe wa simu za mkononi, Ushahidi, Al Jazeera, Crowdflower, pamoja na Taasisi ya Waafrika Walio Ughaibuni.Ushahidi nämns också i samband med jordbävningen i Haiti 2010 [en] samt i allmänhet vad gäller konflikter, katastrofer och flyktingar [en].
41“Tulitaka tupate mitizamo ya raia wa kawaida wa Somalia ili kwamba ituambie jinsi ambavyo mgogoro ulivyowaathiri wao pamoja na waSomali walio ighaibuni,” Soud Hyder wa Al Jazeera alisema katika mahojiano.PBS' Idea Lab tar en titt på Al Jazeeras och Ushahidis samarbete för att förena och öka egenmakten hos somalier som separerats av konflikt och svält [en]:
42Lengo la Somalia Speaks ni kukusanya sauti ambazo hazisikiki kutokea ndani ya eneo vile vile kutokea kwa waSomali walio ughaibuni kwa kuuliza kupitia ujumbe mfupi wa simu za mkononi: Kwa jinsi gani mgogoro wa Somalia umekuathiri?Somalia Speaks mål är att samla ohörda röster från regionen och från diasporan genom att fråga “Hur har konflikten i Somalia påverkat ditt liv?” via SMS.
43Majibu hutafsiriwa kwa Kiingereza na kupachikwa kwenye ramani.Svaren översätts till engelska och läggs till på en karta.
44Tangu kuzinduliwa, takriban jumbe 3,000 za simu za mkononi zimepokelewa.Sedan starten har ungefär 3 000 Sms-meddelanden tagits emot.
45Kwa Al Jazeera, Somalia Speaks pia ni fursa ya kujaribu mbinu bunifu za simu za mkononi katika uanahabari wa kiraia na ukusanyaji habari.För Al Jazeera är Somalia Speaks också en chans att testa innovativa mobila användningsområden för medborgarmedia och nyhetsinsamling.
46Mnamo mwezi Oktoba 2010, MobileActive ilionyesha pia mradi wa simu za mkononi uliotekelezwa na Asasi ya Refugees United nchini Uganda kwa msaada wa Ericsson, UNHCR na Mtandao wa Omidyar, na kueleza kuwa kuna blogu moja ilyouita (mradi huo) “mtandao wa kijamii ambao ni muhimu zaidi ya Facebook.”I oktober 2010 beskrev MobileActive också ett mobiltelefonbaserat projekt [en] implementerat av Refugees United i Uganda med stöd av Ericsson, UNHCR och the Omidyar Network, och noterade att en blogg kallade projektet “det sociala nätverket som är viktigare än Facebook”.
47Nakala ya teknolojia ya Jarida la Uhamiaji wa Kulazimishwa inaweza kusomwa kwenye mtandao hapa.Teknologiutgåvan av Forced Migration Review kan läsas på nätet här [en].