Sentence alignment for gv-swa-20150520-8813.xml (html) - gv-tur-20150516-1421.xml (html)

#swatur
1Mwanablogu wa Ethiopia, Atnaf Berahane: Kijana Anayejiamini, Aliye GerezaniEtiyopyalı Blog Yazarı Atnaf Berahane: Genç, Cesur ve Hapiste
2Atnaf Berhane, mmoja wa wanablogu wanaounda kundi la wanablogu wa Zone 9, amefungwa gerezani kwa sababu ya kublogu kuhusiana na ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Ethiopia.Atnaf Berhane, Zone 9 yazarlarından birisi. Etiyopya'daki insan hakları ihlalleri ile ilgili yazılarından sonra hapse atıldı.
3(Hisani ya picha: Mchoro wa kidigitali na Melody Sundberg.(Görüntü: Melody Sundberg, izin ile kullanılmıştır.)
4Picha imetumiwa kwa ruhusa yake) Mnamo mwezi wa Aprili, wanablogu tisa pamoja na waandishi wa habari walikamatwa nchini Ethiopia.Geçen Nisan Etiyopya'da dokuz gazeteci ve blogger gözaltına alınmıştı.
5Baadhi ya wanaume na wanawake hawa walikuwa wakifanya kazi na Zone9, blogu ya ushirika iliyokuwa inazungumzia masuala ya kijamii na ya kisiasa nchini Ethiopia ikiwa ni pamoja na kuhamasisha uzingatiaji wa haki za binadamu na uwajibikaji wa serikali.Bu kişilerden birkaçı, Etiyopya'daki toplumsal ve politik olaylar ile ilgili yazıyorlardı ve insan haklarının yanısıra hükümetin sorumluluk almasını destekleyen kolektif blog Zone9 ile çalışıyordu.
6Miongoni mwao, wanablogu wanne walikuwa ni waandishi wa Global Voices.Dört tanesi ise Global Voices yazarıydı.
7Mwezi Julai, walihukumiwa chini ya tamko la wazi la nchi dhidi ya ugaidi.Haziran ayında ülkenin Terörizm Karşıtı Yasası altında cezalandırıldılar.
8Tangu wakati huo, wameendelea kuwepo gerezani, huku shitaka lao likiwa linaahirishwa mara kwa mara.O zamandar beri parmaklık ardındalar, mahkelemeri ise defalarca ertelendi.
9Wiki iliyopita, tuliweka makala yetu ya kwanza kutoka kwenye mfululizo wa makala- “Wanayo Majina” - iliyo na tumaimi la kuwazungumzia wanablogu ambao hadi sasa wapo gerezani.Hâlen hapiste olan blog yazarlarına ışık tutmak amacıyla “İsimleri Var” adındaki seriden çıkış makalemizi geçen hafta yayınlamıştık.
10Tunataka kutambua utu wao, tunataka kuelezea habari zao za kipekee na mahususi kabisa.Onları birer insan olarak göstermek istiyoruz, onlar hakkında ve onlara özel hikâyeler yazmak istiyoruz.
11Wiki hii, mwandishi kutoka Ghana, Kofi Yeboah, aandika kuhusu mwanablogu mdogo kabisa wa Zone9, Atnaf Berahane.Bu hafta Ganalı yazar Kofi Yeboah, Zone9ers'ın en genç üyesi olan Atnaf Berahane hakkında yazıyor.
12Atnaf Berahane, aliye na umri wa miaka 26, ndiye mwanablogu wa Zone9 aliye mdogo kuliko wengine wote.Atnaf Berahane 26 yaşında ve Zone9 yazarlarının en genç üyesi.
13Alitiwa kizuizini nchini Ethiopia mnamo tarehe 25 April, 2014 akiwa na wenzake Abel Wabela, Befeqadu Hailu, Mahlet Fantahun, Zelalem Kibret, na Natnael Feleke (wote wakiwa katika ushirika wa kublogu wa Zone 9) pamoja na waandishi wa habari, Asmamaw Hailegeorgis, Tesfalem Waldyes na Edom Kassaye.25-26 Nisan 2014 tarihlerinde Etiyopya'da Aben Wabela, Befeqadu Hailu, Mahlet Fantahun, Zelalem Kibret ve Natnael Feleke (Zone9 blog topluluğunun tüm üyeleri) ve gazeteci Asmamaw Hailegeorgis, Tesfalem Waldyes and Edom Kassaye ile birlikte tutuklandı.
14Ethiopia ni nchi ambayo uhuru wa kujieleza unaminywa na serikali.Etiyopya, ifade özgürlüğünün hükümet tarafından bastırıldığı bir ülke.
15Nchini Ethiopia, kuna sheria kali dhidi ya uanahabari, hususani pale linapokuja suala la kujadili kuhusu siasa na haki za binadamu.Özellikle politika ve insan hakları konularında sıkı bir basın düzenlemesi mevcut.
16Hii inapelekea raia kutegemea kupata habari kupitia mtandao wa intaneti.Sonuç olaraksa insanlar haberleri genellikle internetten okuyorlar.
17Hamasa ya Atnaf ya kujihusisha na uelimishaji wa jamii na kuvutiwa kwake kusambaza taarifa kwa raia ili kuwafahamisha kile katiba ya nchi inachokizungumzia kuhusiana ha haki na uhuru wao ilimfanya yeye kuwa mmoja wa waanzilishi wa blogu ya zone9: Hamasa yake ya kuwa mwanaharakati wa haki za binadamu ilichochea yeye kuwa mmoja wa waanzilishi wa asasi ya Zone9.Atnaf'ın insanlara yasalardaki hak ve özgürlüklerini anlamaları için bilgi yaymaya, sivil katılıma ve insan hakları aktivizmine karşı ilgisi Zone9 Blogu'nu kurmaya yöneltti.
18Hata hivyo, hamasa yake ya kutetea haki za binadamu imempelekea kupokonywa uhuru wake.Fakat insan hakları ve özgürlüğüne olan tutkusu onu demir parmaklıklara tıktı.
19Katika maisha yake ya kawaida, Atnaf ni mtaalamu wa masuala ya TEHAMA anayefanya kazi na mamlaka ya Jiji la Addis Ababa katika mji wa Bole.Gerçek hayatta Atnaf, Addis Ababa şehri yönetimi Bole bölgesinde çalışan bir Bilişim ve İletişim Teknolojileri Uzmanı.
20Blogu ya trailtracker, ambayo marafiki wa wanablogu na waandishi hawa wamekuwa wakiitumia kuweka mara kwa mara taarifa za maendeleo ya kesi yao pamoja na hali yao, wanamwelezea Atnaf kama Mhabeshi ambaye “anafahamika kwa umahiri wake wa kutumia twita kusambaza kwa haraka habari motomoto za nchi yake”.Hapisteki yazarların durumu ve dava hakkında düzenli olarak haber paylaşılan “Trial Tracker Blog”da [dava takipçisi blog] genç Etiyoplalıyı, “Twitter'ını yerel güncellemeler için kullanışıyla bilinen birisi” olarak tanımlıyorlar.
21Pia, Atnaf anamiliki blogu yake na pia ni mtaalamu wa masuala ya usalama wa kidigitali.Atnaf aynı zamanda kendi blogunda yazıyor ve bir dijital güvenlik uzmanı.
22Ukweli unaoumiza wa ndoto izimwayo ya kijana mdogo kama Atnaf unafafanuliwa vizuri kwenye makala hii:Atnaf gibi genç birinin söndürülen hayâllerinin acı gerçekliği en iyi şekilde bu yazıyla ortaya koyuluyor:
23Hii ni “Shirikisho la Jamhuri ya Ethiopia” au ni “Jamhuri ya Daistopia” (Taifa la polisi)?Ülkenin ismi “Etiyopya Federal Demokratik Cumhuriyeti” mi yoksa “Distopya Cumhuriyeti” mi?
24Je, Ethiopia imevuka mipaka, kwa kiwango cha tano? …Yoksa Etiyopya Beşinci Boyut'a ya da Alacakaranlık Kuşağı'na mı geçti?
25Ethiopia ya leo inaweza pia kuitwa “Jamhuri ya Daistopia”.Bugünkü Etiyopya “Distopya Cumhuriyeti” olarak da adlandırılabilir.
26Vijana wadogo wa miaka 20 wanakamatwa na kufungwa gerezani kwa “ugaidi” kwa kisa tu cha kuelimisha watu kupitia mtandao wa Facebook pamoja na kutoa maoni yao kupitia mitandao ya kijamii.Yalnızca Facebook ve diğer sosyal medya ortamlarında düşüncelerini yazdıkları için 20'li yaşlarının başlarındaki gençler göz altına alınıyor ve “terörizm” adı altında hapse atılıyor.
27Atnaf, pamoja na wanablogu wengine walioko gerezani wanapaswa kupongezwa na siyo kifungo gerezani.Diğer Zone 9 yazarları ile hapiste olan Atnaf, hapis cezası değil övgü hak ediyor.
28Siyo tu mustakabali wa Atnaf unaowekwa rehani, bali pia ni kwa kila kijana mwenye ari na aliyenuia kuiwajibisha serikali kandamizi kwenye uhuru wa kujieleza.Mahkemede sadece Atnaf'ın geleceği değil, aynı zamanda baskıcı hükümetin ifade özgürlüğü suçlamalarına karşı yer alacak olan her gencin geleceği yargılanmakta.