Sentence alignment for gv-swa-20150408-8631.xml (html) - gv-tur-20150407-1222.xml (html)

#swatur
1Watu 147 Waliouawa Garissa Ni Zaidi ya TakwimuGarissa Saldırısında Öldürülen 147 Kişi Bir İstatistikten Fazlası
2Picha ya gazeti huru la Daily Nation (@DailyNation) ikiwa na picha za wahanga wa shambulio la Garissa, iliyosambaa kwenye mtandao wa Twita.
3Habari zilizochukua nafasi ya mbele kwenye vyombo vya habari vya kimataifa na vile vya ndani ya nchi kuhusiana na shambulio la kigaidi lililofanywa na wanamgambo wa Al-Shabaab kwenye Chuo Kikuu cha Garissa, lililosababisha vifo vya watu 147, zimepata ukosoaji mkali.El-Şebab [tr] ordusu tarafından yapılan azami 147 kişinin öldürüldüğü [tr] Garissa Üniversitesi Akademisi saldırısının uluslararası ve yerel medya yayınları şiddetle eleştirildi.
4Wakati majina ya washambuliaji yakichapishwa sana, wahanga wa tukio hilo wamekuwa wakitajwa kwa tarakimu pekee: 147.Saldıranların isimleri geniş çapta yayınlanmışken, mağdurların sayısı bir sayıya indirildi: 147.
5Katika kujaribu kufanya tofauti, wananchi wa Kenya mtandaoni wamefanya jitihada kubwa za kutangaza majina na sura za marehemu waliopoteza maisha yao kufuatia shambulio hilo.Karşılık olarak, çevrimiçi Kenyalılar vahşi olayın mağdurlarına yüz ve isim verme çabasına giriştiler.
6Akiblogu kwenye blogu iitwayo Afrika ni Nchi, mwandishi wa Kenya Binyavanga Wainaina alisema Kenya “haitakuwa taifa kama hatutaweza kupeana heshima zinazostahili kwa raia wanaopoteza maisha yao”:Kenyalı yazar Binyavanga Wainaina Kenya için, “kaybettiğimiz her bir vatandaşı düzgün bir şekilde anmıyorsak ulus değildir” dedi:
7Ninataka kuona majina na umri na picha za wale wote waliopoteza maisha yao kwenye shambulizi la Mpeketoni.Mpeketoni'de ölenlerin isimlerini, yaşlarını ve fotoğraflarını görmek istiyorum.
8Wle waliouawa wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi.2007-2008 Kenya Krizi sırasında ölenler, anlatılanlar.
9Nataka habari zilizokamilika.Unutmak iyi değildir.
10Kusahau si jambo jema.Toplumsal ortaklıklarımız böyle olaylarda yeniden uyanır.
11Ni kupitia matendo haya, ubinadamu wetu unahuishwa. Siasa za kusema hatuko tayari kuwajitazama, uchungu mkubwa, ni siasa zinazoturuhusu kupuuza pale m-Kenya anapoharibu taasisi aliyoipewa kuiongoza, na kuiharibu vibaya, kisha kurudi tena, akiwa mithili ya roboti, aina mpya ya roboti kutawala sehemu nyingine tena.Kendimizle yüzleşmeye hazır olmayışımızı, acımızın dolup taşmış olduğunu söyleme politikası, bir Kenyalının işletmesi için verilen kuruluşları soyup soğana çevirip, adeta bir zombi olarak, yeni bir tür lastik bant zombisi olarak dönüp, başka bir yeri idare etmek için giderken görmezden gelmemize yer veren politikanın aynısıdır.
12Aliendelea:Ve devam etti:
13Ninataka kuona wakazi milioni tatu wa Nairobi wakiingia mtaani kulia, kuimba na hata kukumbatiana kwa sababu watoto wetu wameuawa.Çocuklarımız öldüğü için sokaklara ağlamaya, şarkı söylemeye, sarılmaya çıkan Nairobili'yi görmek istiyorum.
14Ninataka kuacha kujisikia kwamba tunaishi kwa uhuru wa ndani ya nafsi zetu.İçimizde çoğunlukla kişiye özel yaşadığımız hissini durdurmak istiyorum.
15Nataka kuacha kusikia neno kujiwezesha kwa mara nyingine.“Kendini güçlendirme” lafını bir daha asla duymak istemiyorum.
16Kwenye mtandao wa Twita, Ory Okolloh Mwangi alieleza kwa nini ni muhimu katika utamaduni wa Kiafrika kuwataja kwa majina wahanga:Twitter'da, Ory Okolloh Mwangi, ölenleri isimlendirmenin Afrika kültüründe neden önemli olduğunu açıkladı:
17Kumtaja marehemu kwa jina lake ni jambo kubwa kwenye utamaduni wa Afrika. Ni kitendo cha kuyapa maisha maana inayostahili iwe kabla, hivi sasa na kwa siku zijazo.İsimlendirmek ve isimlendirme törenlerinin Afrika kültüründe büyük yeri var. Geçmiş, mevcut, gelecek zamanı belirtiyor.
18Na tutawaja kwa majina mmoja baada ya mwingine.Ve biz de birer birer isimlendiriyoruz.
19Ili kuweza kuwafanya wahanga kupata hadhi ya ubinadamu, baadhi ya watumiaji wa mtandao wa Twita wame-twiti alama habari ya #147notjustanumber yenye maana ya #147sitarakimutu ili kujaribu kuwataja marehemu kwa majina yao pamoja na picha:Mağdurları “insanlaştırmak” için isimlerini ve fotoğraflarını, bazı Twitter kullanıcıları #147notjustanumber (147 Sadece Sayı Değildir) etiketiyle paylaştılar: Huzur içinde yat Elizabeth Nyangarora.
20Apumzike kwa amani Elizabeth Nyangarora.2012 yılı St. Andrews Kanga Kız Lisesi mezunu.
21Alihitimu mwaka 2012 Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mt. Andrew#147notjustanumber #TheyHaveNames (Onların İsimleri Var) Bu Tobias, #GarissaAttack (Garissa Saldırısı) sırasında öldürüldü.
22Huyu ni Tobias, aliuawa kwenye shambulio la Garissa; kwetu yeye si tarakimu, ni mwana, kaka, rafikiO bizim için bir sayı değil, o bir oğul, kardeş, arkadaş. #147notJustANumber
23Apumzike kwa amani Ivy Betty Wanjiku (Shiko) mwanafunzi wa mwaka wa kwanza aliyeuawa kwenye shambulio la GarissaHuzur içinde yat Ivy Betty Wanjiku (Shiko). Birinci sınıf öğrencisi.
24Angela ‘Ka/Jojo' Kimata Githakwa.#GarissaAttack#147NotJustANumber
25Alimaliza Shule ya Sekondari ya Wasichana Karima mwaka 2011Angela ‘Ka/Jojo' Kimata Githakwa #147notjustanumber#TheyHaveNames Karima Kız Lisesi 2011 mezunu.
26Tutaendelea kuwakumbuka mioyoni mwetu daima.#147notjustanumber Hatıralar her daim kalbimizde olacak.
27Tafadhali endelea kutuma wasifu na picha zaoLütfen bilgi ve fotoğrafları göndermeye devam edin.
28Magaidi wanapoandikwa sana na majina yao yakionekana kuendelea kuwa hai, wahanga wa ugaidi wao wanasahaulika kama tarakimu tuSaldıranlar manşetlerde ve isimleri ölümsüzleştirilmişken, mağdurları sadece istatistik olarak unutuluyor. #147notjustanumber
29@Reclvse aliandika kwamba hatua hii inahusiana na na uhai wa binadamu na sio tarakimu:@Reclvse durumun istatistik değil, hayatlarla ilgili olduğunu yazdı:
30Ninapenda namna wa-Kenya wanavyotaja majina na kusimulia wasifu wa wahanga wa shambulio la Garissa kuhakikisha kwamba hawabaki kuwa tarakimu pekee.Kenyalılar'ın 147'nin sadece sayı olmadığını belirtmek için Garissa saldırısı mağdurlarının isimlerini ve hikayelerini paylaşmaları hoşuma gidiyor.
31Marehemu hawa ni binadamu, sio takwimu tuHayatlar, istatistik değil.
32@lunarnomad alizungumzia kuhusu lengo la kampeni hiyo:@lunarnomad etiketin ardındaki niyet hakkında konuştu:
33Nimechoka kuona picha za marehemu wakitapakaa damu kufuatia shambulio la Garissa.#Garissa ile ilgili medyadaki kanlı görüntüleri görmekten bıktım.
34Angalia alama habari ya #147sitarakimutu ili kuona binadamu walioathirika na risasi hizoKurşunları ardındaki insanları görmek için #147notjustanumber etiketine bakın.
35Mary Njeri Mburu alitwiti:Mary Njeri Mburu tweetledi:
36Ninaamini magazeti yataruhusu matangazo ya bure ya vifo kwa wahanga wa shambulio la Garissa kama walivyofanya baada ya lile la WestgateUmarım yazılı basın Westgate (Westgate alışveriş merkezi saldırısı) sonrası yaptıkları gibi Garissa saldırısı mağdurları için de ücretsiz ölüm ilanı verir.
37Eunice aliweka mithali ya ki-Kenya, kwa kutumia alama habari tofauti- #KenyanLivesMatter [Maisha ya wa-Kenya yana thamani], sawa sawa na kampeni ya #BlackLivesMatter nchini Marekani:Eunice farklı bir etikette Kenyalı atasözü paylaştı. ABD'deki #BlackLivesMatter (Siyahilerin Yaşamları Önemlidir) hareketi üzerine #KenyanLivesMatter (Kenyalı Yaşamları Önemlidir) etiketini kullandı.
38Mtu atumiaye nguvu anaogopa kutumia akili.Güç kullanan kişi akıl yürütmekten korkuyordur.
39~Methali ya ki-Kenya.~Kenyalı atasözü.
40Tuko pamoja katika kipindi hiki kigumuDüşüncelerim sizinle. #KenyanLivesMatter#GarrisaAttack