Sentence alignment for gv-swa-20120721-3493.xml (html) - gv-urd-20120725-779.xml (html)

#swaurd
1Afghanistan: Mwanafunzi wa Sekondari Agundua Kanuni ya Hisabatiافغانستان: کالج کے طالبِ علم کی ریاضی کے فارمولے کی دریافت
2Kama hujazoea kusoma habari za mafanikio ya kielimu katika nchi ya Afganistani, habari hii ni ya kukubadilisha mtazamo wako.اگر آپ نے افغانستان کے تعلیمی میدان میں امید افزا مضمون نہ پڑھا ہو، تو یہ مصمنون ان سب سے مختلف ہے۔
3Mnamo tarehe 30 Juni, 2012, Kituo cha Sayansi katika mji wa Kabul, kilitangaza kuwa Khalilullah Yaqubi, mwanafunzi wa shule ya sekondari kutoka katika Jimbo la Ghazni, kwa juhudi zake mwenyewe aligundua kanuni ya kimahesabu inayoweza kutumika katika kukokotoa milinganyo ya kwadratiki ya mtajo mmoja ya ukomo wa kipeo cha pili.۳۰ جون ۲۰۱۲ء کو کابل میں مرکزِ سائنس نے اعلان کیا کہ خلیل اللہ یعقوبی، جو غزنی صوبے میں کالج کا طالبِ علم ہے، اس نے آزادنہ طور پر ریاضی کا ایک فارمولا دریافت کیا ہے۔ یہ فارمولا دو درجی مساوات کو حل کرسکتا ہے، جس میں ایک رقم نامعلوم ہو۔
4Khalilullah ni mwanafunzi wa darasa la 11 (sawa na kidato cha tano Afrika Mashariki) katika shule ya sekondari ya Al-Beruni iliyo katika mitaa ya Nawabad nje kidogo ya jiji la Ghazni.خلیل اللہ، جو گیارویں جماعت کا طالب علم ہے، نو آباد شہر کے البیرونی اسکول میں پڑھتا ہے۔ یہ اسکول غزنی کے مضافات میں واقع ہے۔
5Akiongea kuhusu kanuni hiyo, Khalilullah anasema:فارمولے کے بارے میں بتاتے ہوئے، خلیل اللہ کہتے ہیں:
6Sijawahi kuiona kanuni hii katika kitabu chochote.میں نے یہ فارمولا پہلے کسی کتاب میں نہیں دیکھا تھا۔
7Wala sijawahi kutumia chanzo chochote, au kufanya udanganyifu wowote kwa kutumia mtandao wa intaneti.نہ ہی میں نے کسی ذرائع کا استعمال کیا ہے اور نہ میں نے انٹرنٹ پر اس کو دیکھا ہے۔
8Hizi ni kutokana na jitihada zangu mwenyewe.یہ میری ذاتی کاوش ہے۔
9Kupitia kanuni hii, tunaweza kukokotoa maswali mbalimbali ya milinganyo (sic).اس فارمولے سے ہم دو درجی مساوات حل کرسکتے ہیں۔
10Baadhi ya watumiaji wa Twita wamezipokea habari hizi kama ishara ya maendeleo ya sekta ya elimu nchini Afganistani.کچھ ٹوئیٹر صارفین نے اس خبر کا خیر مقدم کیا ہے، اور اسے وہ افغانستان کے تعلیمی شعبے میں بہتری کی نشانی قرار دیتے ہیں۔
11Kwa mfano, Mulex alitwiti:مثلاً، مولِکس ٹوئیٹ کرتے ہیں:
12Loo!لا جواب!!!
13Habari za kushangaza kutoka Afghanistani.افغانستان سے لاجواب خبر۔
14Ni ishara ya maendeleo kwa mfumo wa elimu yao.تعلیمی شعبے میں ترقی کی نوید۔
15Mtumiaji mwingine wa Twita, Jasur Ashurov (‘mkazi asiye mzawa kutoka Asia ya Kati aliandika:ایک اور ٹوئیٹر صارف، جاسور آشوروف (Jasur Ashurov) (وسط ایشائی میں قائم خانہ بدوش)، لکھتا ہے
16Si rahisi sana kupata habari nzuri kutoka nchini Afghanistani.آپ کو ہمیشہ #افغانستان سے خوش خبری نہیں ملے گی۔
17Ndio maana nimekuwa na furaha sana baada ya kusoma habari hii.اس لیے میں اس خبر کو پڑھ کر بے انتہا خوش ہوں۔
18Akifupisha maneno aliyowahi kuandika Jasur Ashurov, mwanasayansi na mshairi wa Kirusi ,Jasur Ashurov aliongeza [ru]:وہ ایک روسی سائنسدان اور شاعر کے الفاظ کو استعمال کرکے مذید لکھتا ہے[ru]: ۔۔۔
19…… ardhi ya Afghanistani inaweza kuwazaa Newtoni wake na akina Plato wenye akili….افغانستان کی سرزمیں اپنے نیوٹن اور بقراط کو پیدا کرسکتی ہے۔۔۔
20Mafanikio haya ya mwanafunzi huyu yameonekana pamoja na hali ngumu inayoikabili sekta ya elimu katika jimbo la Ghazni.اس طالب علم کی کامیابی، غزنی صوبے کی ابتر تعلیمی صورتِ حال میں نمایاں نظر آتی ہے۔
21Wanachama wa ikkundi cha kigaidi cha Kitalebani wameshafunga shule nyingi katika jimbo hilo.طالبان کے کارکنوں اور ہمدردوں نے صوبے میں کئی اسکول بند کردیے تھے۔
22Hata hivyo, siku za hivi karibuni, takribani wakazi 400 wa kutoka moja ya wilaya za jimbo hili walitofautiana na kundi lililojitenga na kufanikiwa kufungua tena shule 81 kati ya shule 83 katika eneo hilo.مگر حال ہی میں، ۴۰۰ علاقہ مکینوں نے ان بنیاد پرست گروہوں سے بغاوت کرتے ہوئے علاقے کے ۸۳ میں سے ۸۱ اسکول دوبارہ کھول دیے ہیں۔
23Kwa ujumla, kumekuwa na maboresho katika sekta ya elimu nchini Afghanistan tangu mwaka 2001,Talebani ilipoondolewa madarakani.مجموعی طور پر، ۲۰۰۱ میں طالبان کی حکومت ختم ہونے کے بعد سے افغانستان میں تعلیمی شعبے میں بہتری ریکارڈ کی گئی ہے۔
24Zaidi ya shule 5,000 zimeshajengwa (pdf) nchi nzima tangu mwaka 2003. hata hivyo, shule nyingi bado zinakosa zana za kisasa za kufundishia na kukabiliana na upungufu mkubwa wa walimu walio na sifa stahiki.۲۰۰۳ سے لے کر اب تک، پورے ملک میں تقریباً ۵۰۰۰ اسکول تعمیر کیے گئے ہیں (pdf)۔ ان اسکولوں میں تعلیم کے جدید آلات موجود نہیں ہیں اور قابل اساتذہ کی بھی بہت کمی ہے۔
25Kwa upande mwingine, shule nyingi za wasichana siku za hivi karibuni zilishambuliwa na watu waliojitenga wanaopinga elimu kwa wanawake nchini Afganistani.اس کے علاوہ، بنیاد پرستوں کی جانب سے لڑکیوں کے کئی اسکول پر حملہ کیا گیا ہے، جو عورتوں کی تعلیم کے خلاف ہیں۔
26Katika gazeti la Outlook Afghanistan, Dilawar Sherzai anaelezea mfumo wa elimu wa Afghanistani kama ifuatavyo:دلاور شیراز آئوٹ لوک افغانستان(Outlook Afghanistan) میں افغانستان کے تعلیمی شعبے کے بارے میں لکھتے ہیں:
27Nchi yetu ya Afghanistani ni miongoni mwa nchi ambazo sekta ya elimu haijapewa msisitizo stahiki.ہمارے ملک افغانستان میں تعلیم کے شعبے پر کوئی خاص توجہ نہیں دی گئی تھی۔
28Moja ya sababu kubwa imekuwa ni mwendelezo wa kutokuwa na utulivu wa kisiasa, jambo linaloizidi uwezo jamii.اس کی ایک وجہ معاشرے میں موجود مسلسل عدم استحکام ہے۔
29Vita na migogoro -ya kitaifa, ya kikanda na hata kimataifa- ambayo imekuwa ikiitumia ardhi ya Afghanistani kama kiwanja cha vita imesababisha maendeleo kudorora kwa kiasi kikubwa katika nyaja za kijamii na za kielimu.اندرونی، علاقائی، اور بین الاقوامی جنگیں، جو افغان زمین پر لڑئی گئیں، ان کی وجہ سے سماجی اور تعلیمی شعبے کو بے انتہا نقصان پہنچا۔
30Kuanzia mapinduzi ya Kisovieti ya mwaka 1979, mtu anaweza kuhesabu maelfu ya mapigano na usumbufu uliozuia kuanzishwa kwa mfumo wa elimu wa kuridhisha.۱۹۷۹ کے سوویت حملے کے بعد، ایسی لاتعداد لڑائیاں اور شورشوں نے جنم لیا جس وجہ سے تعلیمی شعبہ خاطر خواہ ترقی نہیں کرسکا۔
31Matatizo, ambayo ni ya kiasili zaidi, yamekuwa ndio yanayozingatiwa sana na watu kuliko mfumo wa elimu.وہ مسائل، جو تعلیمی مسائل سے زیادہ بنیادی نوعیت کے تھے، نے لوگوں کی زیادہ تر قوت اپنی جانب مبذول کررکھی تھی۔
32Pamoja na changamoto zote hizi, watu wengi wa Afghanistan wamefanikiwa kupata elimu, na wakati mwingine wakijisomesha wenyewe.اس سب کے باوجود، کئی افغانوں نے تعلیم میں کامیابی حاصل کی ہے، کبھی کبھار تو انھوں نے اپنی مدد آپ کے تحت تعلیم حاصل کی۔
33Mwaka 2011, mkazi mwingine wa Ghazni aliye na kipaji, bila hata ya kupata mafunzo yoyote au vifaa maalum, alipaisha ndege aliyoiunda kwa kutumia mabaki ya mkokoteni wa matairi mawili unaokokotwa na binadamu na pia kwa kutumia mabaki ya gari aina ya Toyota iliyokuwepo katika bustani yake.دسمبر ۲۰۱۱ میں غزنی سے تعلق رکھنے والے ایک اور باصلاحیت نوجوان ، نے کسی آلے اور خصوصی تربیت کے بغیر ایک جہاز ہوا میں آڑایا تھا۔ یہ جہاز اس نے رکشے کے ٹکڑوں اور اپنے باغ میں موجود پرانی ٹویوٹا گاڑی کے انجن سے بنایا تھا۔
34Alexander Sodiqov pia alitoa mchango wake katika kuandaa makala hii.اس مضمون میں الیگزینڈر سودکوف (Alexander Sodiqov) کا تعاون شامل ہے۔