Sentence alignment for gv-swa-20091220-895.xml (html) - gv-zhs-20090623-3049.xml (html)

#swazhs
1Wapiga picha wa Kiafrika, waandishi na wasanii wapata sauti zao kwenye blogu非洲的影像工作者、作家与艺术家以博客发声
2Kadri Waafrika wengi wanavyozidi kugundua nguvu ya kublogu kama zana ya kutoa maoni kwa kiwango cha dunia nzima, tarakimu ya wanablogu imeongezeka na pia maudhui yanayopewa kipaumbele.越来越多非洲人民瞭解到,使用博客作为向全球发声的平台能够造成的影响力,博客的数目因而增加,关注的议题也益发丰富。
3Kwa tarakimu hiyo ya kukua kwa blogu, wasanii wengi wa Kiafrika wamejiunga, na ongezeko kubwa likionekana kwenye blogu za mashairi kama ilivyo kwa upigaji picha unaochipukia na blogu za sanaa za maonyesho.在这些崛起的博客当中,许多非洲的艺术家不约而同以诗为主题经营博客,摄影和视觉设计的博客也逐渐在出现。
4Tunazipitia baadhi.在此我们挑选了一些介绍给您。
5Poéfrika ni blogu ya uandishi wa kibunifu wenye mahadhi ya Afrika.Poéfrika的主题是灵感来自非洲的文字创作。
6Blogu hiyo ina sehemu kwa ajili ya mashairi yanayoanndikwa na washairi kadhaa wa Kiafrika, mahojiano na washairi, waandishi vile vile na habari na taarifa juu ya washairi wa kimataifa na waandishi hali kadhalika.博客内容贴出非洲多位诗人的诗作、诗人和作家的访问,以及全球知名的诗人与作家的新闻资讯。
7Blogu hiyo pia ina zana nyingi kwa washairi wanaochipukia kwani ina orodha ya viungo vinavyoelekea kwenye majarida yanayochapisha ushairi, waandishi ambao wameonyeshwa kwenye blogu na viungo vingi vinavyovutia waandishi hii ikiwa ni pamoja na picha za sura zao.该博客也具有许多参考资料供新兴诗人运用,也列出各份诗作杂志的连结、博客曾经介绍过的作家,还有其他写作者可能会有兴趣的作家肖像。
8Poéfrika inaendeshwa na Rethabile Masilo mwananchi wa Lesotho ambaye kwa sasa anaishi Ufaransa.Poéfrika由现居法国、莱索托籍的Rethabile Masilo经营。
9Pia anaendesha Canapic Jar na Basotho ambazo vilevile zinajihusisha na sanaa za uandishi na zanaa za maonyesho.同时他也是创作与平面设计网站Canopic Jar和Basotho的管理者。
10Fikira Zangu ni blogu ya Kikenya inayoendeshwa na Bonyo Boungha Anthony anayeishi Nairobi, Kenya.Fikira Zangu(斯瓦希里语中表示「我的思绪」)由肯尼亚籍、现居奈洛比的Bonyo Buogha Anthony经营。
11Kauli mbiu ya blogu yake ni他的博客的副标题如下:
12“Mawazo makali kama watu washughulikao, huja na kwenda hututembelea na kupotea, yakiacha mlango umefunguliwa kidogo.”「深刻的思考像流动的物体,来到、流连迷惑了我们后逃去,留下一扇半开的门。」
13Hivi ndivyo anavyosema kuhusu yeye mwenyewe ….他对自己的介绍是
14Mimi maneno yangu yalisahau, na kufikiri nilivyowahi kuandika; Ni mwombolezaji achekaye, Mawazo yavumayo na ala za maandishi, Mawazo yatembeayo na matembezi yafikiriyo….…我是遗忘的文字,写下的思绪;我是哭泣的笑颜、轻吟的想法、写作的韵律,步行时思考,思考时步行…。
15Ningesema kwamba ni kipande cha utenzi pale pale.这段介绍已经充满诗意。
16Ushairi wake ni mfupi na wenye ujumbe mahsusi wenye mistari isiyozidi 10. Maudhui kutofautiana kuanzia mapenzi mpaka kwenye siasa na changamoto zake kama mshairi.他的诗作大多短而简洁,通常不超过10行。
17Kipande kutoka kwenye ushairi wake -Utaendelea kuwa wangu?探讨的主题包含爱、政治,和他身为诗人面对到的挑战。
18Je utaendelea kuwa wangu asubuhi Baada ya huba ya jioni kufifia Baada ya raha za usiku uliopita Zikiwa zote zimepeperushwa mbali下列节录自他的诗〈妳是否依然属于我〉
19Je utaendelea kuwa wangu Baada ya mabishano machungu na ugomvi Baada ya kubadilishana maneno makali Utakunjua mikono yako na kuniruhusu nirudi早晨的妳是否依然属于我 当夜的激情褪去 当昨晚的欢愉 已成为过眼云烟
20Blogu ya Marten ni ya picha peke yake inayoendeshwa na Marten Schoonman anayeishi Nairobi Kenya lakini ni mtu ambaye husafiri sana kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na ng'ambo.妳是否依然属于我 经过激烈的争吵与辱骂 互掷刺耳的文字之后 妳是否依然会伸出双臂重新接纳我
21Blogu hii ni kitabu chake cha kumbukumbu cha mtandaoni kilicho na mtindo wa picha kikionyesha matukio mengi yanayosisimua na picha zilizopigwa kwa ustadi mkubwa za watu na vitu.Marten's Blog是完全以摄影为主的博客,由Marten Schoonman经营,现居肯尼亚奈洛比,但他经常到东非或更远的地方旅行。
22Pia anaonyesha picha na baadhi na maeneo alipopigia picha ambayo yamemsisimua yeye.该博客是图片线上日记,挑选各地令人屏息的美景或完美呈现不同民众或事物的照片。
23Mwamba wa Afrika -Picha haki ya Marten Schoonman他也会介绍一些他喜爱的图片和图片网站。
24Merlin ni mwanafunzi wa Chuo aliyezaliwa mwaka 87.非洲的岩石 - 图片来自
25Anajieleza kwenye blogu yake iitwayo, iceboxmerlin.Merlin是位1987年出生的大学生,以下是他在博客iceboxmerlin的自我介绍:
26nina furushi la kutenda ninayosema, wakati mwingine kusema ninayotenda, lakini mara zote mtu mkweli mwenye bashasha ambaye ungependa kuwa naye!”「有走路时会自言自语,自言自语时会走路的怪癖,但永远亲切友善、是大家的开心果!」
27unaweza kuona kutoka kwenye kichwa cha picha kwamba ni shabiki mkubwa wa mijongeo.您可以从他的标题图片看出他是个动画迷。
28Anaiita blogu yake “The Phanton Thought…..”他把博客取名为「思考幻影……」。
29Tamko lake,他的描述如下:
30“Haya ni mawazo yangu juu ya ulimwengu, maisha na aono ya jinsi dunia inavyoendelea.「这里记着我对这个世界、生命和揭开宇宙神秘面纱的一些想法。
31Dalili za ufahamu unaojihusisha na namna za maisha, ni akili na baadae mwenye akili zisizo za kawaida anayeishi.专注于生命的心智能够增进理解力,然后化为驾驭得宜的智慧。
32Ni wazo lililopatikana kwa hewa nzito!这是幻影深思熟虑过后得出的道理!」
33Blogu yake ina mashairi mengi na mapingiti ambamo kwayo hupitia mausala na maudhui mbalimbali.他的博客提到许多诗和散文,而他从其中发掘各样议题及题材。
34Kipande cha utenzi wake, “Hewa ni nzito! …以下节录他的诗〈浓重空气〉…
35Ambapo hewa ni nzito! Nimekwenda mahali, Kama ambavyo safari ingekuwa… Na nikapata sharubati ya maembe tamu na nzito, Kayamba akicheza kwa nyuma, Kama lile kundi la watu wajiitao Kayamba Afrika Kulikuwa na mtu hata hivyo, Rasta aliyekuwa akitafuna huko Muguka Jani la kijani na kitu fulani anachokiropoka Kati ya kitu kuujaza mdomo wake.空气浓重之地 我已来到, 如此风尘仆仆… 喝下甜蜜无比的芒果汁, 嘎嘎器的音乐回荡耳边, 这批人马把自己唤作嘎嘎器非洲 有位男人鹤立鸡群, 以拉斯特法里的姿态伫立,嚼着古柯硷 青色游魂,他喃喃自语 口中叼的烟 吐出强烈气息 空气是难以承受的浓重 他的厚实男中音说道: 「年轻人!
36Na kupuliza sigara, Na hewa hapa bila kukosea ni nzito Na hivyo ndivyo anavyosema kwa sauti nzito, “Bwana mdogo!”为我们写点东西,那个你称作诗的东西… 我现在对任何事都有兴致」 那浓重空气向我袭来, 我定会使他清醒!
37“tuandikie baadhi ya hiyo micharazo mnayoiita ushairi…” “niko kwenye hali ya utayari kwa chochote” Na hewa nzito ikanijia, Kuweka hisia za kujua ndani yake!Boyd Oyier是肯尼亚一所大学的四年级学生。
38Boyd Oyier ni mwanafunzi wa mwaka wa 4 katika chuo kikuu nchini Kenya.他也是位自学的艺术家,喜欢实验不同的媒材,目前正在尝试以炭笔和粉蜡笔作画。
39Kadhalika ni msanii waliyejifunza mwenyewe anayependa kufanya majaribio na kwa sasa anafanya kazi mkaa na rangi za chokaa.Boyd Oyier所画的Malcom X画像
40Picha ya kuchora ya Malcom X iliyochorwa na Boyd Oyier他对现实世界的描绘极富感情,观者彷佛可以触摸到画中物。
41Blogu yake haina zaidi ya mwezi mmoja, aliianzisha baada ya kuhudhuria warsha ya kublogu na mitandao ya kijamii mjini Nairobi.他的博客才刚开始不到一个月,是在奈洛比参加一个博客和社交网络工作坊之后建立的。
42Kwa sasa anakusanya mkusanyiko wake wa kwanza ambao ameupa jina la “Siasa katika rangi Nyeusi na Nyeupe”他正在集结他第一场正式画展,名称为「黑与白的政治」。
43Hivi ndivyo anavyoeleza lengo la sanaa:他叙述艺术的目的如下:
44“Kazi kubwa ya sanaa inapaswa kuwa kuwaunganisha watu.「艺术的主要功能是建立与人的联系。
45Kila mmoja wetu anapenda sanaa kwa namna mmoja ama nyingine, lakini tunazimwa na “wasomi” walioamua kuifanya sanaa iwe ngumu kwa kutumia nembo kama ‘surreal', ‘enzi mpya' na ‘uleo'.我们每一个人都欣赏艺术,但那些所谓的『菁英』使用『超现实』、『新世纪』和『现代』这类的标签让一般人望之却步。
46Sanaa nzuri ni sanaa ile unayoipenda!”最好的艺术就是你喜爱的艺术!」
47Tunatarajia kuona mkusanyiko huo mtandaoni.我们十分期待线上的画展。
48Tafsiri Hii ni mwanablogu wa Kenya mshairi anayeendesha afropoem, blogu kuhusu Utenzi wa Mwanamke mweusi.Tafsiri Hii是位肯尼亚诗人博客,她经营afropoem这个关于黑人女性诗作的博客。
49Hivi ndivyo anavyojieleza mwenyewe:她对自己的介绍如下:
50“Weusi; kuanzia kwenye msokoto wa unywele mpaka kwenye kidole cha mguu wangu…Uafrika; uko kwenye damu ukitiririka kwenye mishipa yangu, ala kwenye sauti yangu, mdundiko kwenye tembea yangu…Mpenzi wa maneno; yaliyoandikwa, yaliyochorwa, yaliyokwanguliwa….「黑,从我的发稍到脚趾…非洲的黑;它流动在我血管中的血液里,在我歌唱的声音里,在我行走的舞姿里….
51Upenzi wa nguvu ya maneno yaliyosemwa; yawe yameandikwa, kutamkwa, kufuchwa au kuonyeshwa wazi”. Blogu yake ambayo ni ya kadri ya mwmaka mmoja inazungumzia masuala kama usafirishaji wa wanawake wa Kiafrika kwa ajili ya ukahaba, mapenzi, utamaduni na usherehekeaji wa Wanaume wa Kiafrika kati ya dhima nyinginezo.文字爱好者,不论是写的、画的、素描的、雕刻的… 相信文字表达的力量,不论是写的、说的、隐喻的或展示的。」.
52Blogu hizi ni uthibitisho kuwa kuna zaidi kwenye Afrika zaidi ya siasa kama ilivyoonyeshwa na wanablogu wengi wa Kiafrika.她的博客即将届满一年,探讨的议题有非洲女性遭非法买卖进行性交易、爱情、文化、非洲男性的自我歌颂和其他许多议题。
53Tunaweza kuwa na uhakiaka wa kuona zaidi blogu kama hizo.除了政治之外,非洲博客也撰写许多其他主题。 这些博客是最好的证明实例。
54(Makala hii ilichapishwa kwanza Mwezi wa Sita 2009)校对:Portnoy