Sentence alignment for gv-swa-20130413-4846.xml (html) - gv-zhs-20130414-12368.xml (html)

#swazhs
1Syria: Kutwiti Kutokea Vitani Jijini Aleppo叙利亚:来自前线的推特
2Mwandishi wa Habari Jenan Moussa amerudi mjini Aleppo, nchini Syria, akitwiti tajiriba yake kadri vita kati ya vikosi vinavyopinga serikali na vile vinavyoiunga mkono serikali inavyozidi kushika kasi.记者 Jenan Moussa 回到叙利亚的阿勒坡,在推特上记录支持与反政府军队间日趋激烈的战况。
3Twiti za Moussa ni za kawaida na za kibinafsi sana, zikiwapa wasomaji wake picha kamili ya maisha yalivyo kwa wale walio kwenye uwanja wa vita.Moussa 的私人留言未经雕琢,让读者得以一窥战火下的生活片段。
4Moussa, ambaye ni ripota wa kituo cha televisheni za kiarabu Al Aan TV, kilichopo jijini Dubai, Jamhuri ya Falme za Kiarabu, anasema:Moussa 是阿拉伯杜拜电视台的外派记者,他说:
5@jenanmoussa: Ni jambo kubwa sana kurudi Allepo, kukutana na rafiki zangu.@jenanmoussa:能回阿勒坡见到朋友们真好。
6Jiji linaonekana kuwa na nafuu zaidi kuliko ilivyokuwa mara ya mwisho nikiwa hapa.看起来比我上次来的时候好多了。
7Watu wameshazoea vita.人们适应了战争。
8Chakula chake cha jioni, jijini Aleppo, anakipata akisikia sauti za mabomu yakidondoka jirani na aliko:在阿勒坡,晚餐时总伴随着远方迫击炮的声响:
9@jenanmoussa: Ni wakati wa chakula cha jioni hapa Aleppo.@jenanmoussa:现在阿勒坡是晚餐时间。
10Tunakula kuku wa ki-Mexico wakati tukisikia sauti za mabomu yakidondoka kwa mbali,我们正吃着墨西哥鸡肉料理,迫击炮的声音在远处回响。
11Baada ya usiku huo akiwa jijini, Moussa anashangaa:度过一夜后,Moussa 好奇:
12@jenanmoussa: Habari za asubuhi kutoka Aleppo.@jenanmoussa:在阿勒坡向各位说早安。
13Sikuweza kulala mpaka saa 12 alfajiri.我到早上六点都还睡不着。
14Kila wakati ninafunga macho yangu ninapatwa na hisia kuwa mabomu yanaanguka.一闭上眼睛我就开始想像炸弹掉下来的情景。
15Mungu, watu wanawezaje kubaki na akili zao hapa?天哪,这里的人是怎么保持精神正常的?
16Jijini Aleppo, anatembelea mahali ambako kombora lilianguka siku zipatazo 45 zilizopita.他参观了四十五天前阿勒坡遭到飞毛腿飞弹轰炸的地方。
17Anatwiti:他说:
18@jenanmoussa: Mapema leo nilienda kwenye eneo ambako kombora la SCUD lilidondoka siku zipatazo 45 zilizopita hapa Aleppo.@jenanmoussa:我去参观了阿勒坡四十五天前被飞毛腿飞弹轰炸的地方。
19Miili sita bado haijapatikana.瓦砾下还有六具尸体没找到。
20Jenan Moussa akiwa Aleppo, mahali ambako kombora la Scud lilianguka siku 45 zilizopita.在阿勒坡的 Jenan Moussa,此处四十五天前曾遭到飞毛腿飞弹轰炸。
21Picha imewekwa na @jenanmoussa kupitia mtandao wa Twita.照片来自推特 @jenanmoussa
22@jenanmoussa: Jijini Aleppo nilimwona baba amekaa kwenye jabali, akitiririkwa na machozi.@jenanmoussa:我看到一个父亲坐在瓦砾中,双目含泪。
23Alikuwa bado anatafuta miili ya mabinti zake wawili na mkewe他还在寻找妻子与两个美丽女儿的尸体。
24@jenanmoussa: Wakati nikiwa nae, baba huyo alipata malapa ya mwanae na nywele kidogo (za kike) chini ya jabali hilo.@jenanmoussa:当我在他旁边时他在瓦砾下找到了小孩穿的拖鞋和一把女人的头发。
25‘Labda ni mke wangu' aliniambia他说“也许是我太太的”。
26Pamoja na hali ngumu, Moussa anafanya utani kidogo: @jenanmoussa: Wanaharakati hapa Aleppo hunicheka.即使情势紧绷,Moussa 还保有他的幽默感:
27Mara nyingine mimi huwa ni mtu pekee anayevaa nguo ya kuzuia risasi nyumbani.@jenanmoussa:阿勒坡这里的社运人士总嘲笑我,因为我常常是唯一一个穿着防弹衣的人。
28Watu wote wameshazoea milio ya bunduki.他们都对战火习以为常了。
29Na anaenda kulala bila kupata chakula cha jioni:然后他没吃晚餐就去睡觉了:
30@jenanmoussa: Hatujala chakula cha jioni usiku huu. Hatujaoga.@jenanmoussa:今天我们没吃晚餐,也没洗澡。
31Hilo si hitaji la msingi katika mji kama Aleppo.在阿勒坡这样的城市里这些都不再必要。
32Usiku mwema kwenu nyote.大家晚安。