Sentence alignment for gv-swa-20101211-1839.xml (html) - gv-zhs-20101210-6958.xml (html)

#swazhs
1Bi Harusi wa Miaka 14 Huko Malaysia马来西亚:14岁的新娘
2Hivi karibuni ilitolewa taarifa kwamba ndoa ya kupangwa kati ya msichana mwenye umri wa miaka 14 na mwalimu mwenye umri wa miaka 23 ‘ilianzisha wito wa mjadala mpya juu ya ndoa za watoto wadogo'.媒体最近报导,有名14岁女孩将与23岁教师成婚,“再度引发人们讨论儿童结婚问题”,依据马来西亚的伊斯兰律法,未满16岁的穆斯林若要结婚,必须先获得伊斯兰法庭同意,法庭已准许本案两人成婚。
3Chini ya sheria ya Syariah ya Malaysia, ambayo i8na mamlaka juu ya Waislamu, Waislamu walio chini ya umri wa miaka 16 wanatakiwa kupata idhini ya mahakama ya Syariah kabla ya ndoa kuruhusiwa.Glenda Larke认为纵然合法,儿童结婚也与恋童癖无异。
4Katika shauri hili, mahakama ilitoa ruksa kwa watu hao wawili kufunga ndoa. Glenda Larke anaamini kwamba ndoa za watoto hazina tofauti na ngono batili kati ya watu wazima na watoto, hata kama ni kwa mujibu wa sheria.14岁学童不是成人,她就算已有月经,也还不是女人,只是个孩子,她尊敬成人,宗教与文化教导她要听从长者及家长的话,她既脆弱又容易受骗。
5Mtoto wa shule mwenye umri wa miaka 14 siyo mtu mzima. Si mwanamke kamili, hata kama ameshaanza kupata hedhi.要娶她的23岁男子已受过教育,不像有些文盲的心态仍停留在19世纪,认为孩童12岁就该工作、14岁就该结婚,这名男子根本就是恋童癖。
6Bado ni mtoto mdogo. Anafuata uongozi wa watu wazima.B.Joe强调,伊斯兰法庭与女童家长并未捍卫儿童及未成年者的权利。
7Dini yake na utamaduni wake unauelekeza kutii wakubwa wake, hasa wazazi wake. Hajaerevuka na hana kinga.整件事最好笑之处,在于伊斯兰法庭竟然批准,这样怎么保护未成年者的权利?
8Mwanaume mwenye mika 23 mbaye anamuoa - mwanaume mwenye elimu, ambaye si mtu fulani asiyejua kusoma ambaye jamii yake bado imejikita katika fikra ya karne ya 19 kwamba watoto wanapaswa kuanza kufanya kazi wakiwa na umri wa miaka 12 na kuolewa wakiwa na miaka 14 - kwa ujumla na wazi, ni mfanya ngono na watoto wadogo.
9B.Joe anaona kwamba haki za watoto na vijana chini ya umri wa miaka 18 hazifuatwi na mahakama ya Syariah pamoja na wazazi wa msichana huyo.为何家长不愿多等几年,让女孩能自己做决定?
10Na sehemu inayochekesha katika makubaliano yote haya ni kwamba ndoa hiyo ilipitishwa na mahakama ya Syariah - je nini kimezitokea kinga za vijana chini ya umri wa ridhaa?Un:dhimmi也主张此事在道德上有错:
11Kwa nini wazazi hawakuweza kusubiri kwa miaka mingine michache mpaka hapo mtoto Yule atakapoweza kufanya uamuzi yeye mwenyewe? Un:dhimmi pia anaamini kuwa jambo hili ni kosa kimaadili.一篇又一篇研究显示,女孩若太早接触性行为,不仅会让未发育完成的生殖系统受损,也会造成长期心理创伤。
12Tafiti baada ya tafiti zinaonyesha kuwa wasichana wanaofanyishwa vitendo vya ngono katika umri wa mapema hivyo hupata madhara si tu katika mfumo wao wa uzazi ambao bado unakua, lakini pia hupata athari za kisaikolojia za muda mrefu.
13Hata hivyo, Fyzal alichukua msimamo usiofungamana na upande wowote katika suala hili.Fyzal采取中立角度:
14Katika hali hapo juu ridhaa ya mahakama ya Syariah ilipatikana. Na ina maana kwamba tunapaswa kuwa na imani katika Mahakimu wa Syariah - ni lazima walizingatia mazingira yote kabla ya kutoa ridhaa.上述案例已获伊斯兰法庭许可,我们应对伊斯兰法官有信心,他们必然已考量所有因素,才会批准成婚。
15Ridhaa kama hiyo, ninaamini, ilitolewa na mahakimu wakiwa na imani kwamba mwanaume Yule atamuangalia vyema msichana na msichana huyo atakua vizuri chini ya uangalizi wa mwanaume huyo. Ikiwa mahakimu wangetia shaka, ridhaa ya namna hiyo isingetolewa.法官会批准,代表他们对这名男子有信心,能够妥善照顾这个女孩,女孩也能在男子关爱下成长,若法官有疑虑,就不会允许此事。
16Kwa hiyo, nawasilisha kuwa katika masuala ya ndoa kati ya wasichana wa Kiislamu walio chini ya umri wa miaka 16, tuziachie mahakama za Syariah zifanye kazi yake.我认为就16岁以下穆斯林女孩结婚而言,就让伊斯兰法庭善尽职责,他们知道哪些情况能够同意成婚。
17Wanafahamu ni wakati gani wa kutoa ruksa na wakati gani wa kutotoa ruksa.但我也主张,政府与伊斯兰律法专家应公开讨论,以处理此类问题。
18Lakini nina mtazamo kuwa majadiliano ya wazi bado yanatakiwa kati ya serikali na wataalamu wa Syariah ili kutatua suala hili.校对:Soup