Sentence alignment for gv-swa-20100823-1660.xml (html) - gv-zhs-20100908-6126.xml (html)

#swazhs
1Malaysia: Je, Uhuru wa Habari Unaelekea Wapi Sasa? Je, ni nchi ipi katika orodha hii ambayo imepotea njia?马来西亚:媒体自由的下一步?
2Tanzania, Uganda, Zambia na Malaysia.以下哪个国家与其他三个格格不入?
3Sawa, tuchukulie kwamba mimi ni mwandishi mtukutu ambaye niko kama ninataka kukashifu ufahamu wako wa jumla kuhusu nchi mbalimbali unazozijua.
4Kwa hiyo, Malaysia ni moja ya nchi zenye uchumi mzuri katika eneo la Kusini Mashariki ya Bara Asia, ina miundo mbinu iliyojengeka zaidi, ina kiwango cha chini cha umaskini, aaaah… unaweza kusema kwamba ina demokrasia zaidi pia. Lakini, ama kwa hakika ni nchi iliyopotea njia, maana Malaysia inaangamia tena chini ya Tanzania, Uganda na Zambia hasa katika kushika nafasi gani kwenye masuala ya uhuru wa vyombo vya habari.坦尚尼亚、乌干达、赞比亚、马来西亚,就当我是个讨人厌的作者,想污辱各位的地理常识,而各位想令我感到惊艳,马来西亚在东南亚地区经济相对繁荣、基础建设相对完善、贫民比例明显较低,嗯…或许有些人觉得较为民主,但马来西亚确实与其他三国不同,因为在“媒体自由排名”上,马国远远落后坦尚尼亚、乌干达及赞比亚。
5Kama matukio ya uhuru wa vyombo vya habari yanavyozidi kujiri nchini Malayasia, kuna masuala 3 yanayojitokeza bayana:观察近期马国媒体自由发展,共可观察到三个现象:
61) Vyama vya siasa vya upinzani vitaongeza upinzani wao kupitia vyombo vya habari vya mtandaoni, baada ya kupewa nafasi finyu katika vyombo vya habari vya magazeti na televisheni.一,在野党因为在平面及电子媒体空间受限,故继续透过网络媒体奋斗。
72) Licha ya kuwepo madai au ushahidi wa kuunga mkono uwepo wa vyombo huru vya habari, bado serikali inaendelea kuwa na mkono wenye nguvu katika udhibiti wa vyombo vya habari hasa kupitia sheria za utoaji habari na upigaji chapa.
83) Uchujaji wa habari hauwezi kuwa na nguvu iwapo mawasiliano ya Intaneti yatabaki bila kuchujwa.二,尽管政府宣称支持媒体自由或拿出实例自我宣传,其实官方仍不断藉由资讯及印刷相关法律掌控媒体。
9Idadi inayokua ya watumiaji wa Intaneti na uandishi ulio huru wa mtandaoni ni mambo yatakayokuwa na athari katika ushawishi wa umma na kuiweka serikali chuni ya shinikizo.三,只要网络未遭箝制,资讯审查便无效,愈来愈多网络用户及独立网络内容都会形塑主流意见,并向政府施压。
10Mapema mwaka huu yalipotoka matokeo ya upimaji uhuru wa vyombo vya habari, wanasiasa wa upinzani walikuwa wa kwanza kutoa maoni yao kupitia tovuti za uenezaji habari za vyama na blogu zao.今年最新媒体自由指数公布后,在野党政治人物很快透过政党网站或个人博客,表达自己的感想,尤其是政府延后决定是否续发出版许可给在野党刊物,令网络上批评声浪更为高涨,又查禁政治讽刺漫画,让人们在网络媒体煽动不满及各种揣测,Lai指出:
11Ukosoaji wao wa mtandaoni uliongezeka sana hasa baada ya serikali kuchelewesha uamuzi wa kuleta upya majarida ya upinzani, na kufungiwa kwa vibonzo vya kejeli za kisiasa; huku mambo yote hayo mawili yakichochea hali ya kutoridhishwa kwa watu na upekenyuzi kupitia vyombo vya habari vya mtandaoni.
12Raia mmoja, Lai alijibu akisema: Sababu iliyotolewa na serikali, amini usiamini, ni kwamba ‘yaliyochapishwa yanaweza kuwafundisha watu kukaidi dhidi ya viongozi na sera za serikali'…Vibonzo (katuni) vinaweza kusababisha watu kuasi?信不信由你,但政府查禁的理由竟然是因为,“内容会影响人民反叛领导人及政策”,…漫画也能让人民反叛?
13Ala, kumbe! Hii ni silaha mpya iliyogunduliwa, au siyo?哇,这是新型武器吗?
14Halafu, jambo la kuvutia, licha ya mkakati wa kutumia vyombo vya habari vya mtandaoni kukosoa uchujaji habari, moja ya majimbo yanayo ongozwa na upande wa upinzani liliamua, kwa hakika, kupeleka bungeni muswada wa sheria ya Uhuru wa Habari ili kuweka wazi taarifa kwa manufaa ya umma kwa kila mtu.值得注意的是,在野阵营除了运用网络媒体策略批评言论审查,亦在主政地区采取前所未闻的行动,通过资讯自由法案,要将涉及公共利益的资讯公诸大众面前,Anil除了谴责反对法案的一名州政府代表,亦表示:
15Anil alisema wakati akimkaripia mwakilishi wa serikali ya jimbo hilo aliyeukataa muswada huo:在我国追求社会责信的路途上,今天别具历史意义…
16Leo ni siku ya kihistoria katika nchi hasa tunapotaka kuwa na jamii ya watu wanaowajibika zaidi …随着独立新闻入口网站与公民媒体内容日益普及,Gopal Krishnan预测:
17Kadiri tovuti za vyombo huru vya habari na vile vya kiraia vinavyozidi kuchapisha taarifa zaidi nchini hapa, Gopal Krishnan alitabiri: Licha ya kuwepo majibu haya ya kimabavu dhidi ya sauti mbadala, kwa hakika, serikali haina budi kuutambua ubatili (bila kutaja matokeo ya kisiasa) wa kuendelea kubana uwepo wa fursa kwa uandishi wa habari na utoaji maoni ulio huru.尽管对于另类声音,政府采取强硬姿态,但也得明白,若继续限制独立新闻及社群存在空间,只是徒劳无功,还会产生政治后果,至2009年,据估计马来西亚共有65%的住家拥有网络连线,此外,网络新闻与资料日益增加,与既有新闻讯息相互竞争观众,也创造新的政治现实。
18Mpaka kufika mwaka 2009, zaidi ya asilimia 65 ya nyumba nchini Malaysia tayari zilikuwa zimeunganishwa na mtandao wa Intaneti.媒体自由并非政府或在野政党能自行决定,而是攸关民众要求真相,以及记者希望报导真相,Attan指出:
19Zaidi ya jambo hili, siyo tu kwamba tumeshuhudia kuchipuka wa vyombo vidogovidogo vya habari vya mtandaoni na vyanzo vikishindana katika kuchukua muda tunaotumia mtandaoni, kumekuwa na mfumuko wa uandishi wa habari wa kiraia wa mtandaoni na vyombo vya habari vya kiraia, ambavyo, vyote kwa pamoja kwa kweli vimeunda ukweli mmoja mpya wa kisiasa nchini.如我所言,无论如何,记者都会是输家,政府关闭报社、DAP政党领袖Guan Eng查禁报纸,在野党领袖安华(Anwar Ibrahim)控告记者。
20Hatimaye, uhuru wa vyombo vya habari si kitu ambacho serikali au vyama vya upinzani vinaweza kujiamulia, lakini linahusu raia wanaodai kupata ukweli na waandishi wanaotaka kuripoti kuhusu ukweli. Kama Attan alivyosema:校对:Soup
21Kama nilivyosema, hata kuwe na nini, sisi waandishi wa habari ndiyo tutakaopoteza - serikali ya Najib inazidi kuyafungia magazeti, Guan Eng (kiongozi wa chama cha DAP) anayapiga marufuku, huku Anwar akituburuza mahakamani.