Sentence alignment for gv-swa-20090410-106.xml (html) - gv-zhs-20090430-2469.xml (html)

#swazhs
1Irani: Mwaka Mpya Waanza na Ujumbe Kutoka Kwa Obama伊朗:传统新年与欧巴马谈话
2Mwaka huu, sherehe za mwaka mpya wa Ki-Irani zilianza na ujumbe usiotarajiwa kutoka kwa rais wa Marekani Barak Obama, uliolekezwa kwa watu wa Irani na kwa mara ya kwanza, kwa viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu, ujumbe huo ulitoa rai ya kuanza upya kati ya nchi hizo mbili.
3Wanablogu kadhaa wametoa maoni kuhusu ujumbe huo, na wengine wanaanza kuziona zama mpya baada ya zaidi ya miaka 30 ya misukosuko kati ya mataifa haya mawili.
4Mohammad Ali Abtahi, makamu wa rais wa zamani, anadhani ujumbe wa Obama ni wa muhimu sana na anaandika:
5Kwa jina la jamhuri ya Kiislamu ya Irani, pia nawapongeza taifa la Irani na viongozi wake.
6Bila ya shaka hii ni fursa ya kihistoria.本文英文版原载于2009年4月6日
7Hatuwezi kudharau umuhimu wa Marekani katika hali ya sasa ya Irani. Bila ya shaka hatuwezi kupuuza nyayo za Marekani katika kila majalada ya wasifu wa Irani hasa yale ya kiuchumi hata kama ni kwa uchache, kutokana na vikwazo vilivyowekwa dhidi ya taifa la Irani.今年的伊朗新年一开始,便意外收到来到美国总统欧巴马(Barack Obama)的讯息,他直接诉诸伊朗民众,也首次直接向伊朗领导人喊话,希望两国能有新的开始,多位博客有所响应,有些人认为双方历经30年的争论与吵闹,即将跨入新时代。
8Kutuma ujumbe wa pongezi kunaweza kuwa ni fursa muhimu kisiasa, kiuchumi na kihistoria, leo hii na hata baada ya kubadilishwa serikali ya Marekani.伊朗前副总统Mohammad Ali Abtahi认为欧巴马的谈话极为重要,他表示[英文]:
9Kadhalika kupuuza kunaweza kuifanya hali izidi kuwa ya hatari zaidi ya ilivyokuwa wakati wa utawala wa Bush kwa sababu Obama anaweza kukusanya viongozi wa kisiasa na maoni ya wananchi dhidi ya Irani. Mwanablogu ambaye pia ni mwanahabari Masih Alinejad anaandika [fa] kuhusu sababu zilizoifanya Idhaa ya Taifa ya Televisheni kutotangaza ujumbe wa Obama.恭喜伊朗这个国家与领袖,这肯定是个历史机会,我们不能忽视美国对伊朗现状的重要性,我们亦不可忽视美国领袖对伊朗一切事物中的痕迹,至少对伊朗的禁运令即影响经济,发送祝贺讯息能成为最重要的政治、经济与历史机会,美国政府将从今日起改变,若忽视这件事情,可能让伊朗陷入比布什政府时代更危险的境界,因为欧巴马能动员政治领袖和舆论一同反对伊朗。
10Anaongeza: kama Obama angeongea kama Bush na kuitathmini Irani kama tishio, Idhaa ya Televisheni ya Taifa ingetangaza mara kadhaa.博客兼记者Masih Alinejad提及[波斯文],为何伊朗国营电视台没有播出欧巴马的谈话:
11Mwanablogu huyu anatukumbusha ile hotuba ya mashuhuri ya Bush ambayo aliita Irani mwanachama wa kundi la waovu ilitangazwa mara kadhaa kwenye televisheni ya taifa.若欧巴马言论与布什无异,同样认为伊朗是个威胁,伊朗国营电视台就会播出好几次,有博客提醒,布什曾在演说中,将伊朗列为邪恶轴心一员,国营电视台当天就播出数次。
12Zandgieh Sagi ameuita [fa] ujumbe wa Obama kama ujumbe chanya na jambo ambalo linawastahili watu wa Irani.Zandegieh Sagi认为[波斯文]欧巴马的言论相当正面,也是伊朗人民应得的对待,他表示伊朗政府应先学着使用合宜的政治语言。
13Mwanablogu huyu anasema kuwa jambo la kwanza ambalo serikali ya Irani inaweza kulifanya ni kutumia lugha inayofaa kisiasa.View from Iran博客指出[英文]:
14Katika blogu ya In View from Iran tunasoma:美国政府有许多途径可建立信任,并非所有都得等待伊朗政府愿意和美国对话,我认为欧巴马的新年谈话很正面,但我们的需求并不止于一段谈话。
15Kuna hatua nyingi ambazo serikali ya Marekani inaweza kuzichukua ili kujenga imani. Siyo zote ambazo zitategemea nia ya serikali ya Irani ya kuanzisha mazungumzo na Marekani.Mmoeeni提到[波斯文],虽然伊朗电视台未播出欧巴马谈话内容,伊朗总统仍在美国污辱美国领导人,他还语带讽刺地表示,伊朗总统现在可说,国内拥有绝对自由。
16Nauona ujumbe wa Obama wa mwaka mpya kama ujumbe chanya, lakini tunahitaji zaidi ya hilo.新年假期
17Mmoeeni anaandika [fa] kwamba wakati televisheni ya Irani haikutangaza habari zinazohusu ujumbe wa Obama, rais wa Irani aliweza kuwatukana viongozi wa Marekani huko Marekani. Mwanablogu huyo anaongeza, kwa kejeli, kwamba Ahmedinejad atasema kwamba kuna uhuru wa kweli nchini Irani.伊朗人在春季第一天庆祝Norouz (Nowruz)为新年假期,有些民众会到帕萨尔加德[中文](Pasargad,即上图),赴波斯帝国创建者居鲁士二世[中文](Cyrus the Great)陵寝献花,Save Pasargad网站指出[波斯文],伊朗政府并未照顾这个历史遗迹访客的需求,但近年来有愈来愈多人前往帕萨尔加德庆祝新年。
18Sherehe za Mwaka Mpya Wairani walisherehekea Norouz (Nowruz) kunako siku ya kwanza ya msimu wa kuchipuka mimea.校对:dreamf
19Katika dhifa hii, baadhi ya Wairani huweka maua kwenye kaburi la Cyrus Mkuu, mwanzilishi wa ufalme wa kwanza wa Persia katika Pasargad (pichani juu).
20Kwenye tovuti ya Okoa Pasargad imeandikwa [fa] kwamba utawala wa jamhuri ya Kiislamu hausaidii wageni wanaozuru sehemu hii ya kihistoria, lakini katika miaka ya hivi karibuni watu wengi wamekuwa wakizuru ili kuusherekea mwaka mpya huko Pasargad.