Sentence alignment for gv-swa-20090111-44.xml (html) - gv-zhs-20090118-1683.xml (html)

#swazhs
1Serikali Ya Irani Yautumia Mgogoro Wa Gaza Kukandamiza伊朗政府利用加萨压制舆论
2Wakati wanablogu kadhaa wa Kiirani (pamoja na wale wa-Kiislamu) waliongeza makala zao na jitihada nyingine za kidijitali, kama vile “Google bomb” kulaani uvamizi wa Israeli katika ukanda wa Gaza, wanablogu wengine wanasema kwamba serikali ya Irani inatumia ‘mwanya wa mgogoro wa Gaza' kukandamiza vyombo vya habari na asasi za kiraia ndani ya nchi hiyo.
3Wiki iliyopita, utawala wa Irani uliifungia Kargozaran, moja ya jarida mashuhuri la mabaliko, kwa sababu ilichapisha tamko la chama cha wanafunzi (Tahkim Vahadat) ambalo liliilaani Israeli lakini pia liligusia kundi moja la Wapalestina wenye siasa kali ambalo hujificha kwenye mahospitali na mashule, kama ni kundi la magaidi.
4Nik Ahnag, bloga mashuri na mchoraji wa vikaragosi, alichora picha za vichekesho zinazohusu uvamizi wa Gaza na mizani ya nguvu zisizolingana kati ya Israeli na Palestina kwenye upande mmoja na ukandamizaji wa serikali ya Irani kwenye upande mwingine. Moja ya michoro hiyo inaonyesha nyundo kubwa yenye chapa ya Gaza ikilipiga jarida la Kargorazan.伊朗有些博客(包括伊斯兰主义者)运用文章与网络行动(如「Google炸弹」)谴责以色列入侵加萨地区,亦有许多博客指出,伊朗政府趁着加萨动荡时刻,借机压制国内媒体与公民社会。
5Katika mchoro huo inaonekana kwamba waalimu, wanawake na wanafunzi ndio wanaofuatia katika zoezi la kulengwa shabaha. Mwanablogu Jamhour anaandika kuhusu tamko lililopelekea kufungwa kwa jarida hilo la mabadiliko.不久前伊朗政府关闭知名改革派网站Kargozaran,因为其中刊登学生运动Tahkim Vahdat的声明,除谴责以色列之外,亦提到巴勒斯坦武装团体躲藏于医院及学校中进行恐怖活动。
6Anasema [Fa]: Inawezekana kuwa mantiki ya tamko hili ni kuwa wengi wa wanasiasa wa Kiirani wanafikiri, lakini hawawezi kuthubutu kusema, kwamba mgogoro wa Gaza ni kisingizio [cha utawala wa Irani] cha kukwepa matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayoongezeka.知名漫画家兼博客Nik Ahnag刊登数则关于加萨危机的作品,一方面是以色列与加萨两地权力不平衡,另一方面是伊朗政府的高压手段,其中一幅漫画里,有支写着「加萨」的大槌子重击Kargozaran博客,教师、女性与学生似乎是之后的对象。
7Leo hii inatupasa kujiuliza na kutathmini, mapambano ya mwaka jana kati ya Hamas na Fatah huko Gaza ambapo mamia ya Wapalestina waliawa na kujeruhiwa.Jomhour认为[波斯文]是这纸声明导致博客遭关闭:
8Ghasia zilikuwa kali kiasi kwamba ziliwafanya baadhi ya waunga mkono wa Fatah wakimbilie Israeli kwa ajili ya hifadhi. Bloga huyo anahitimisha kwamba mashambulizi ya kinyama ya Israeli pamoja na ufisadi wa baadhi ya viongozi wa Kipalestina unarutubisha makundi ya kigaidi na yale yanayochochea ghasia na chuki za kikabila na kidini.伊朗许多政治人物可能对这纸声明心有同感,但没有勇气说出口,不敢明白表示加萨危机只是伊朗政府避免经济与社会问题的借口,我们应该扪心自问,究竟该如何看待去年哈玛斯与法塔两大组织在加萨的冲突,当时导致数百名巴勒斯坦人丧生,当时情况相当激烈,部分法塔支持者甚至前往以色列避难。
9Katika blogu ya Mibibi tunasoma [Fa]:Jomhour认为是因为以色列野蛮攻击与部分巴勒斯坦领袖贪腐,才让恐怖组织与煽动种族及宗教仇恨暴力的团体坐大。
10Kufungwa kwa Kargozaran kumewafanya watu wengi wapoteze ajira, na imekuwa vigumu zaidi [bila ya majarida yasiyo rasmi] kuwapa habari zinazohusu Gaza watu ambao hawaziamini idhaa za televisheni za serikali pamoja na tovuti zake.Mibibi blog指出[波斯文]:
11Bloga Hossein Ghazian naye analalamika na kupinga uchujwaji wa habari.Kargozaran网站关闭让数十人失业,人们若不相信官方网站或国营电覙台对加萨的报导,现在也愈来愈来获知其它信息。
12Bloga huyo anasema [Fa]: “Kama hatuwezi kuitetea Israeli na kuongea dhidi ya Wapalestina, maneno yangu ya kuulani uvamizi na ubabe wa Israeli yatakuwa hayana maana kadhalika hayatakuwa na uzito…” St Behesht anaandika kuhusu “Kushindwa kwa televisheni ya Irani pamoja na kuchujwa kwa habari”.Hossein Ghazian也抱怨[波斯文]网络审查日盛:「若我们不能自由捍卫以色列人或批评巴勒斯坦人,谴责以色列入侵的言辞就显得无用与缺乏公信力…」
13Bloga huyo anasema [Fa]: Siku hizi, katika kila sehemu ya Irani ambako watu huongelea siasa, huongelea ugomvi wa Israeli na Hamas.St Behesht则提及[波斯文]「伊朗电视的失败与审查」:
14Idhaa ya televisheni ya Irani inachochea mjadala huo, lakini utawala wa Irani haujagundua bado kwamba propaganda zao kwenye televisheni matokeo hasi dhidi ya Hamas. Tofauti na malengo ya televisheni ya Irani, kuna watu zaidi ya wachache ambao wanachukua upande unaoipinga Hamas na kuiunga mkono israeli….这些日子以来,伊朗各地民众谈论政治时,都是关于哈玛斯与以色列的冲突,伊朗国营电视引起人们的讨论,但政府却还没察觉到,他们在电视的宣传对哈玛斯造成负面影响,不少人因为伊朗电视台的报导,反而开始反对哈玛斯并支持以色列,…可惜伊朗政府还没明白此事,仍期望这些报导能影响舆论观感。
15Kwa bahati mbaya utawala wa Irani haujalielewa hili, na wanaendelea na njozi zao wakitumaini [kuwa propaganda zao] zanawashawishi Wairani.校对:Soup