Sentence alignment for gv-swa-20100217-1230.xml (html) - gv-zhs-20100306-4779.xml (html)

#swazhs
1India: Ugaidi Waikumba Pune印度:浦那恐怖袭击
2Picha kwa hisani ya http://twitpic.com/photos/abhi_bol Masaa machache yaliyopita (tarehe 13 Februari, 2010) bomu lililipuka katika mgahawa wa ‘Tanuri la Ujerumani' mjini Pune, India.图片提供:http://twitpic.com/photos/abhi_bol
3Wakati wa kutuma makala hii vyombo vya habari vilikuwa vinaripoti kuwa watu 8 wamefariki na wengine 40 wamejeruhiwa katika mlipuko huo ambao uliiacha miili ikiwa imekatwakatwa na haitambuliki.星期六下午7点半左右(2010年2月13号),印度西部城市浦那一间深受游客欢迎的餐厅发生炸弹爆炸,造成9人死亡57人受伤。
4Tanuri hilo la mikate ni maarufu kwa watalii kutoka nje. Kadhalika Shashi alibaini haya yafuatayo:当服务生试图检查一件遭弃置的行李时,炸弹在背包里爆炸。
5• Hili limetokea siku moja baada ya India na Pakistani kukubaliana kuanza tena mazungumzo ambayo yalikuwa yamesitishwa tangu mashambulio ya mjini Mumbai mwaka 2008.Shashi Bellamkonda在博客My Digital Thoughts报导:
6(Miezi 14 iliyopita) • David Headley ambaye yuko jela mjini Chicago alitembelea Pune kukagua eneo la utawa la Osho karibu na neo la mlipuko • Eneo la mlipuko lipo karibu na jumba la Chabad huko Pune na jumba la Chabad la Mumbai lilikuwa ndio kusudio la mashambulizi ya 26/11 mwaka 2008.几个小时前(2010年2月13号),一个炸弹在印度浦那受欢迎的小餐馆「德国烘焙坊」爆炸。 在发布此文的同时,新闻报导说在爆炸事件中有8人死亡,约40人受伤。
7• Eneo la mlipuko lipo karibu na eneo la utawa la Osho linalitembelewa sana na watalii, jambo ambalo linafanana na mlipuko wa Mumbai.在爆炸后留下烧焦无法辨认的尸体。 这间店是一个受到外国游客欢迎的地方。
8Pragmatic Euphony anaonya:Shashi还提出了这些观察:
9Wana-jihadi wameshambulia tena ndani ya bara Hindi; hivi sasa huko Pune, japokuwa ni zaidi ya mwaka mmoja baada ya mashambulizi mabaya ya kigaidi mjini Mumbai ya mwezi Novemba 2008.Pragmatic Euphony警告: 尽管在2008年11月可怕的孟买恐怖袭击的一年多后,自杀式圣战者(jehadis)再次袭击印度大陆,这一次在浦那。
10Hisia za awali, wakati tukifuata dhana maarufu inayowezekana ya kwamba mlipuko huo ulikuwa ni kazi ya makundi ya jihadi yenye makazi nchini Pakistani, ni hisia za hasira.人们一开始的反应是愤慨,而将爆 炸视为以巴基斯坦为基地的圣战份子的作为是最合理、普遍的假设。 必定高涨的怒气或许是可以理解的。
11Pengine inaweza kueleweka kwa nini jazba zinaweza kupanda sana.而这种情绪很可能会在印度主流媒体于头版过度报导下进一 步放大。
12Nahisia hizi zinaweza kuongezeka zaidi kwa vile vyombo vikuu vya habari vya India vinahaha na kukimbia kila mahali na matangazo yake yaliyokithiri ya tukio hilo.人们已经发现此事件和巴基斯坦的连结。 Offstumped说到,浦那爆炸紧接在虔诚军(Lashkar-e-Taiba)的恐吓后发生。
13Watu tayari wameshaanza kugundua uhusiano (wa tukio hilo) na Pakistani.虔诚军组织的高层领导人于一个经允许的巴基斯坦公众集会中将浦那列为攻击目标。
14Offstumped anataarifu kuwa mlipuko wa Pune ulifuatia vitisho vya Laskar-e-Taiba.The Acorn说:
15Kiongozi wa juu wa Lashkar-e-Taiba aliitaja Pune kama mji unaolengwa katika maandamano ya umma yaliyoruhusiwa huko Pakistani.尽管有着虔诚军的威胁,将此攻击明确归咎于巴基斯坦圣战组织为时过早。
16The Acorn anasema:但很明显的,巴基斯坦圣战组织有充分理由透过恐怖主义攻击提升与印度的紧张局势。
17Pamoja na tishio la la Lashkar-e-Taiba, ni mapema mno kuhusisha shambulio hilo kwa uhakika na mfumo wa uanajeshi wa jihadi wa Pakistani.失去「东面紧张情势」的藉口,巴基斯坦将没有理由对华盛顿解释其对塔利班的双重交易。
18Lakini ni wazi kwamba mfumo wa uanajeshi wa jihadi wa Pakistani una sababu zote za kuzidisha mfarakano na India kwa njia ya ugaidi.Dilip D'Souza在博客Death Ends Fun提醒说,印度也该对本土的恐怖主义做一点事:
19Bila ya kisingizio cha “mfrarakano wa Mashariki”, Pakistani haitabakia na chochote ambacho itaweza kuifafanulia Washington kuhusu ushirika wake na taliban.除非我们认识到什么是本土恐怖攻击,不亚于任何来自国外的恐怖主义,直到我们的立场是反对任何形式的恐怖行动之前,我们永远不会打败恐怖主义。
20Dilip D'Souza katika Death Ends Fun anatukumbusha kuwa India inapaswa kuchukua hatua kuhusu ugaidi ulioasisiwa ndani ya nchi:在推特圈里满是传播此新闻的推文及重推文的讯息。 下面是一些反应:
21Mpaka hapo tutakaupotambua ugaidi ulioasisiwa ndani ya nchi kwa jinsi ulivyo - na si pungufu ya ule ulioletwa kutoka nje ya nchi - na mpaka pale tutakaposimama dhidi ya ugaidi wa ain azote, hatutaweza kuushinda ugaidi.IndiaHappening:在浦那恐怖爆炸中有9人丧生,32人受伤 #印度
22Ulimwengu wa Twita uliunguruma na jumbe za twita na zile zilizotumwa tena na tena kusambaza habari hii.r_shekhawat:恐怖袭击我的家乡 - 浦那:无辜的人再一次被盲目的恐怖份子所杀害。
23Hay ani baadhi ya maoni:浦那,一个伟大的城市,受到伤害。
24IndiaHappening: Tisa wameuwawa, 32 wameumia katika mlipuko wa kigaidi Pune http://bit.ly/arLssZ #Indiapragmatic_rebel:对#浦那而言,这肯定是一个可悲的情人节。
25r_shekhawat: ugaidi wautikisa mji wangu - ‘Pune': kwa mara nyingine tena, watu wasio na hatiawameuwawa na magaidi wasio na akili.被爆炸吓坏了,我希望#印度这次会做不一样的事。
26Pune, mji mzuri sana, umeumizwa na kuchunwa.bhuvan_chelsea:我们需要一个像蝙蝠侠的人在#印度维持治安。 ;-)
27pragmatic_rebel: Ni mwanzo wa kusikitisha kwa siku ya Valentino huko #Pune!tweetSAMRAT:为最近的浦那炸弹爆炸受害者祈祷。
28Bado katika mshtuko wa mlipuko #India inafanya jambo tofauti kabisa wakati huu.nehasasi:RT@ deepitganjoo:请重推特此文,浦那Jahangir医院需要AB+及B+血型的血液。
29bhuvan_chelsea: Tunahitaji askari wa kujitolea (sungusungu) kama batman hapa #India. ;-)联系:1066在浦那的人,拜托了。
30tweetSAMRAT: Anawaombea waliodhurika na mlipuko wa bomu huko Pune._india_:浦那爆炸使得与巴基斯坦的会谈蒙上阴影。
31nehasasi: RT @deepitganjoo: taathali tuma tena ujumbe huu hospitali ya jahangir mjini pune inahitaji damu ya Blood AB+ve na B+ve Wasiliana na: 1066 kwa wale walioko pune… tafadhali毫无疑问,发生在浦那的爆炸将影响近期印度与巴基斯坦的友好会谈。
32_india_: Mlipuko wa Pune unatia kivuli juu ya mazungumzo na Pakistani但看起来,由于四处充满高涨的情绪,恐怖分子正占上风。
33Bila ya shaka mlipuko wa pune utaathiri mazungumzo ya kujenga imani kati ya India na Pakistani.Catagory:印度
34Lakini inaonekana kuwa magaidi wanapewa nguvu kwa vile hisia zinavyopanda juu kila mahali.校对:Soup