Sentence alignment for gv-swa-20091114-641.xml (html) - gv-zhs-20091118-4190.xml (html)

#swazhs
1Marekani: Mauaji ya Fort Hood Yasababisha Kumulikwa kwa Waislamu Walio Jeshini美国:军营杀人事件与穆斯林身分
2Shambulizi la upigaji risasi la kushtukiza lililofanywa na mwanajeshi wa Jeshi la Marekani, Meja Nidal Malik Hassan, na kusababisha vifo vya watu 13 na kujeruhi wengine 31 katika kambi ya kijeshi ya Fort Hood, jimbo la Texas, kwa mara nyingine limesababisha Waislamu nchini Marekani kumulikwa - hasa wale wanaolitumikia jeshi.
3Kitambo kifupi baada ya Meja Hassan kutangazwa kama mfyatuaji aliyetuhumiwa, kulikuwa na kukosa raha kuliko wazi kabisa miongoni mwa warusha habari na watoa maoni kuhusu usuli wake wa kidini na asili yake. Iliripotiwa pia kwa wingi kwamba wanajeshi wengine wa Kiislamu mara nyingine walikabiliana na mashambulizi kutoka kwa wanajeshi wenzao.美国军官Nidal Malik Hasan在德州Fort Hood的扫射行动造成13人死亡、31人受伤,再度让美国穆斯林(尤其是穆斯林军人)成为舆论焦点。
4Howard M. Friedman, Profesa Mwandamizi wa Sheria katika Chuo Kikuu cha Toledo, anasema katika blogu yake ijulikanayo kama ReligionClause:警方公布嫌犯为这位军官后,新闻媒体与评论员显然对他的宗教与种族背景感到不安,过去不时有报导指称,穆斯林在军中遭到同袍攻击。
5“Jeshi limekuwa likiandikisha Waislamu walio na ujuzi wa lugha na welewa wa utamaduni, vitu vinavyohitajika ili kupigana vita huko Iraki na Afganistani.托雷多大学荣誉法学教授Howard M.
6Hata hivyo, Waislamu walio jeshini sasa wanatiliwa shaka na baadhi ya maofisa wao.”Friedman在ReligionClause博客表示:
7Bila kujali mashaka dhidi ya wanajeshi Waislamu yaliyokuwapo kabla ya shambulizi hili, mtu anaweza kuwa na hofu kwamba mashaka hayo yamepata msukumo mpya baada ya mauaji ya watu kule Fort Hood.军方一直积极招募穆斯林入伍,因为在伊拉克与阿富汗战事中,他们具备当地语言技能及文化素养,但穆斯林在军旅中当受部分同袍的异样眼光。
8Maswali bado yanaendelea kuibuliwa endapo Meja Hassan alikuwa mwenye siasa kali na ambaye alifanya mashambulizi hayo kwa msukumo wa itikadi ya kidini au labda tu alikuwa na tatizo la kiakili.无论过往外界对穆斯林军人有多少质疑,在此次大规模杀人事件后,这种怀疑肯定会愈来愈多,也有人在讨论,这名军官究竟是因极端宗教意识型态而痛下杀机,抑或只是罹患心理疾病。
9Kule Kanada, mwandishi Gwynne Dyer wa gazeti huru la kila wiki la Vancouver kupitia mtandao wa Straight.com, anabuni kwamba kuelekeza fikra kwenye dini ya muuaji ni kufumbia macho baadhi ya masuala mengine muhimu:作家Gwynne Dyer在加拿大温哥华免费周报Straight.com认为,凶手的宗教背景掩盖某种重要议题:
10“Baada ya siku chache wakati watoa maoni wakisitasita kutoa maelezo yanayoshindana, vyombo vya habari vinaanza kujikita katika maelezo kwamba ilikuwa ni unyanyasaji wa kirangi/kiasili/kidini ndiko kulikomsukuma Nidal kupata ukichaa. Watu wabaya, wanaofanya vitu kinyume na Wamarekani mwisho wa siku ndiyo wenye kuhusika na msiba huo, na kuna mwisho wake.评论员起初几天都不敢妄下断言,之后媒体才定调是因为族群/种族/宗教歧视让这位军官发疯,认为这场悲剧是因为坏人犯下不符美国精神的行为。
11Maelezo yanayokwepwa ni kwamba vita vya Wamarekani vinavyoendeshwa ng'ambo katika ardhi za Waislamu vinawajenga Waislamu nyumbani kuchukua msimamo mkali. Usijali sana kwamba magaidi wa Kiislamu waliokuzwa nyumbani walioshambulia mfumo wa usafiri jijini Landani mwaka 2005, na wafanya njama wa Kiislamu kadhaa ambao wamekamatwa katika nchi za Magharibi kabla njama zao hazijazaa matunda, wote wamelaumu uvamizi unaofanywa na mataifa ya Magharibi kwenye nchi za Kiislamu kama kitendo kilichowasukuma wao kuwa na msimamo mkali.这种诠释忽略因为美军出兵伊斯兰世界,造成国内穆斯林趋于激进,无论是2005年在英国伦敦地铁犯案的伊斯兰恐怖份子,或是其他西方国家在案发前便 破获的 恐怖主义阴谋,这些穆斯林都指控西方世界入侵伊斯兰国家,才让他们变得激进,况且到头来,这些西方国家的军事行动也未提高国家安全。
12Zaidi sana, usijali kwamba kile kilichowafanya kuwa na msimamo mkali ni ukweli kwamba uvamizi huo haukuwa na maana kwa masuala ya usalama wa Magharibi.” Fox News, ambayo mara nyingi hukosolewa kwa kuelemea kwake upande mmoja katika masuala yanayohusiana na uhamiaji na siasa mgando, inasemekana kuitisha wazo la “uchunguzi kwa Waislamu” walio jeshini.美国福斯新闻台对移民及保守政治立场向来受到诟病,此次该频道要求军方「审查穆斯林」,美国海岸防卫队退役军官Tom Barnes在Veterans Today网站上表示,福斯新闻台又在操弄「敌我对立」的紧张关系:
13Katika tovuti ya Veterans Today, ofisa mstaafu wa Jeshi la Ulinzi wa Pwani ya Marekani, United States Coast Guard, Tom Barnes, anasema chombo hicho cha habari kinachochea mtazamo uleule wa siku zote kwa kujaribu kujenga imani potofu ya “sisi dhidi ya wao”:…这个频道实在对社会没有帮助,将原本合理的问题又转变成福斯新闻台的十字军东征,这种角度不仅老套、而且危险,相关报导请见此。
14“… chombo hicho cha habari kinazidi kuwa “kisichosaidia”, yaani kwa lugha nyepesi, hasa kama swali hili la msingi linageuka kuwa vita nyingine ya Fox Channel dhidi “yao”. Taarifa kama hizi siyo tu zinazidi kupitwa na wakati bali ni za hatari pia.如前所述,此类事件过去也曾在美军内部发生,我已厌倦由福斯新闻台告诉我谁是敌人,他们总是一而再地这么做,我根本不觉得社会有这么多敌人!
15Hapa ndipo palipo na habari nzima. Kama nilivyoonyesha hapo kabla, jambo kama hili limewahi kutokea katika Jeshi la Ulinzi la Marekani.多家报纸已在分析,此次事件会如何影响穆斯林在美军内部及Fort Hood附近地区的处境。
16Ninazidi kuchoshwa na habari za Fox News zinazoniambia kuwa adui zangu ni akina nani. Kila wakati.euroamericannews在YouTube网站上提供一段画面,由Fort Hood地区穆斯林表达对此事的看法:
17Bila kukoma. Sikuwa na habari kwamba “wao” wapo wengi!”案件调查尚在进行中,穆斯林美军所受注目一时间还不会消退。
18Magazeti mengi hivi sasa yanachunguza ni kwa namna gani vitendo vya Hassan vitawaathiri Waislamu wanaotumikia katika Jeshi la Marekani, na wakazi Waislamu wanaoishi karibu na kambi ya Fort Hood.
19Hapa kuna taarifa ya habari ya video ya euroamericannews katika YouTube kuhusu maoni ya Waislamu walio Fort Hood kuhusiana na tukio hilo.
20Wakati ambapo uchunguzi wa mauaji hayo unaendelea, bila shaka jicho litaendelea kutupwa wa Waislamu wanaotumikia jeshi.校对:Soup