Sentence alignment for gv-swa-20120608-3034.xml (html) - gv-zhs-20120613-11111.xml (html)

#swazhs
1Zambia Yapanga Bei ya Mahindi kwa Mara Nyingine, Yaikasirisha Benki ya Dunia赞比亚订定玉米底价,世界银行紧张
2Makala haya ni sehemu ya habari zetu maalumu za Mahusiano na Usalama wa kimataifa巨大的玉米糊锅,2008 年摄于赞比亚。
3Sufuria kubwa la kupikia ugali wa Nshima, nchini Zambia 2008. Picha ya mwanablogu Mark Hemsworth (imetumiwa kwa ruhusa)博客 Mark Hemsworth 摄影(经同意使用)。
4Nshima, aina ya ugali unaopikwa kwa unga wa mahindi, umewahi kuwa sababu ya migogoro ya kifamilia na kusababisha ghasia kadhaa zinazohusiana na chakula nchini Zambia katika nyakati tofauti.用玉米粉煮成的粥状食物 Nshima 玉米糊,曾经造成家庭分裂、在赞比亚引发暴动。
5Hii ndiyo sababu serikali zilizowahi kutawala nchi ya Zambia zimekuwa zikiweka mkazo mkubwa kwenye kulima, kuvuna, kununua na kuuza mahindi kwa walaji.这也是为什么政府一直密切关注玉米种植、收割和玉米粉的买卖。
6Uzalishaji wa mahindi ni shughuli nyeti katika maeneo yanazalisha dhahabu kama Copperbelt pamoja na maeneo mengine muhimu kama mji mkuu, Lusaka, ambako idadi kubwa ya watu wanategemea sana mahindi.生产玉蜀黍 -- 在其他地方也叫玉米 -- 是重要的议题,尤其在铜矿带和都会区像是有大量劳动人口依赖玉米商品过活的首都路沙卡。
7Kwa sehemu kubwa, mahindi yanaongoza mustakabali wa kisiasa katika nchi hii.五月时世界银行曾敦请赞比亚政府不要干涉农民出售玉米给粮食储备机构和其他农产销售链商家的底价。
8Mwezi Mei, Benki ya Dunia iitaka serikali ya Zambiakutokuingilia upangaji wa bei ya unga wa mahindi unaouzwa na wakulima kwa shirika la hifadhi ya chakula la nchi hiyo na wadau wengine katika sekta ya uchumi wa kilimo.虽然有此呼吁,农业部仍然宣布了本年度玉米底价是每五十公斤六万五千克瓦查(约十三美元)。
9Pamoja na mwito huo, Waziri wa Kilimo alitangaza kwamba mwaka huu, bei ya unga wa mahindi itakuwa K65,000 (sawa na takribani Tsh. 20,000) kwa gunia la kilo 50. Mkurugenzi wa Benki ya Dunia kwa nchi za Zambia, Malawi na Zimbabwe, Bw. Kundhavi Kadiresan aliukosoa uamuzi huo na kudai kwamba wakulima masikini wa Zambia wananyonywa kwa sababu baadhi ya wafanyabiashara walikuwa wananunua mahindi kutoka kwa wakulima hao kwa ajili ya kuliuzia Shirika linaloendeshwa na serikali liitwalo Hifadhi ya Chakula kwa bei ya juu.世界银行集团赞比亚、马拉维和津巴布韦主任 Kundhavi Kadiresan 批评这项决定,称赞比亚贫农受到剥削,中间商从他们手中购买玉米欲以较高价格转售给国营粮食储备机构。
10Kadiresan pia alionyesha kwamba Benki ya Dunia inaguswa na ukweli kwamba si tu kuwa sera ya kilimo ya serikali inashindwa kuhakikisha uendelevu wa ukuaji wa sekta ya uchumi, lakini pia serikali haichukui hatua za kutosha kutengeneza ajira pamoja na kupunguza umasikiniKadiresan 也指出世界银行非常忧虑政府政策不只不能保证长期农业成长,也无法增加工作机会和改善贫穷。
11Kadiseran angeweza kusamehewa.Kadiresan 的态度可以理解。
12Sekta ya kilimo nchini Zambia inategemea sana mahindi, ukiachilia mbali mazao mengine na mifugo.赞比亚的农业部门都绕着玉米打转,其他的作物和牲口都不重要。
13Sehemu kubwa ya mahindi inalimwa na wakulima wadogo ambao wanakabiliwa na hali ya ukame wa mara kwa mara hata nyakati za majira ya mvua, ugavi wa mbolea usioaminika na wenye gharama kubwa, na matatizo ya usafiri kati ya mashamba yao na yaliko masoko ya mahindi.大部分玉米由农民种植,他们面对着雨季经常性的缺水,昂贵而不稳定的肥料供应,向市场运输货物的困难。
14Mwaka 1986, wa_Zambia wanaoishi kwenye majimbo ya Copperbelt na Lusaka waligoma kwa sababu bei ya mahindi ilikuwa imeongezeka mara dufu wakati kipato walichokuwa wanakipata kilibaki vile kilivyokuwa.1986 年铜矿带和路沙卡区域因为玉米价格上涨数倍薪水却没涨而发生暴动。
15Miaka minne baadae, ghasia zilizohusiana na bei ya mahindi ziliongezeka kiasi cha kusababisha jeshi kuingilia kati.四年后,涨价带来的骚动几乎引发政变。
16Akitangaza habari hizo za bei mpya ya unga mahindi, waziri wa kilimo na mifugo Emmanuel Chandaalisema:农业及畜牧部长 Emmanuel Chenda 宣布玉米底价时说:
17Tumechukua uamuzi ili kulinda usalama wa chakula katika nchi na pia kuhakikisha kwamba wakulima wadogo hawakatishwi tamaa kuzalisha mazao katika miaka ijayo…kuhakikisha mahindi yanayolimwa Zambia yanakuwa na ushindani vya kutosha katika soko la kimataifa.我们做这个决定是为了确保国家粮食足够,并且鼓励小规模农户来年继续生产…… 为了确保赞比亚玉米在国际市场上具有竞争力,政府策略中会确保生产成本降低,提供农业延伸培训和运输流动性,增加小规模农户的生产力。
18Serikali itahakikisha gharama za uzalishaji zinapungua kupitia, pamoja na mikakati mingine, mafunzo ya huduma za ugavi wa kilimo na usafiri kwa ajili ya wafanyakazi wa mafunzo hayo kwa mtazamo wa kuongeza uzalishaji miongoni mwa wakulima wadogo.Chenda 也透漏政府也计划建设更多贮藏设施作为粮食储备机构(FRA)避免浪费食物的长期措施。
19Chenda pia aliweka wazi kwamba serikali ilikuwa inachukua hatua za kutayarisha mipango wa muda mrefu ywa kujenga maghala ili kuondoa tatizo la kupotea kwa chakula kingi chini ya Shirika la Hifadhi ya Chakula.在部长发表声明前几天,FRA 才在全国各地销毁大批腐坏的玉米。 Chenda 说:
20Siku chache kabla ya tamko hilo la waziri, shirika la hifadhi ya chakula liliharibu kiasi kikubwa cha mahindi yaliyoharibika katika wilaya kadhaa za nchi hiyo. Chenda alisema:我想告知全国民众,FRA 之下发生的粮食浪费是由于不良的贮藏设施所造成…… 为了应付这项挑战,政府已经开始计划建造额外贮藏设施作为长期措施。
21Ningependa kulijulisha taifa kwamba uharibifu wa vyakula kwenye shirika letu la hifadhi ya chakula kwa sehemu kubwa unatokana na vifaa duni vya kuhifadhia…Ili kukabiliana na changamoto hii, Serikali imeanza kutekeleza mipango ya kujenga vifaa vya kudumu vya kuhifadhia.本文缩图来自Flickr的Choconancy1,依据创用CC 2.0授权使用。