Sentence alignment for gv-swa-20090722-243.xml (html) - gv-zhs-20090807-3391.xml (html)

#swazhs
1Kameruni: Wanablogu Waijadili Hotuba ya Obama Ghana喀麦隆:博客评论欧巴马在迦纳的演讲
2Rais wa Marekani Barack Obama alitoa hotuba yake Ghana ambayo inaweza kuchukuliwa kuwa kama hotuba ya sera yake ya Afrika.[本文英文版原刊载于2009年7月13日] 美国总统欧巴马(Barack Obama)日前在迦纳发表了一场可被视为欧巴马政府非洲政策的演说。
3Wakameruni wa nyumbani na wale wa ughaibuni wamekuwa wakijadili maneno yaliyotamkwa na Kiongozi wa Marekani mwenye asili ya Afrika kwa kupitia ulimwengu wa blogu.喀麦隆境内外的国民,纷纷在博客上对拥有非洲人血统的美国领导人的发言做出回应。
4Hotuba yote ilichapishwa kwenye blogu ya Up Station Mount Club ambayo ni maarufu sana kwa wanablogu wa Kikameruni wanoblogu kwa Kiingereza.演说全文被发表在Up Station Mountain Club网站上,该网站是个新兴的喀麦隆英语博客集散地。
5Maoni yanatoa picha ya kuwa watu wameikubali hotuba hiyo angavu lakini wana wasiwasi na kauli tamu.评论显示民众欣赏这场言辞精采漂亮的演说,但仍不免担心它只是空谈。
6Augustine S, Mkameruni anayeishi Kanada anaonekana kuridhishwa na hotuba hiyo iliyokemea ufisadi moja kwa moja pamoja na utawala mbovu lakini anataka zaidi:一位住在加拿大的喀麦隆博客Augustine S对该演说直接了当抨击贪腐治理的部份感到满意,不过期待更多:
7Hotuba ilitolewa vizuri. Ilizidi matarajio.演讲很成功,比预期表现得更好。
8Alizungumzia ufisadi na Utawala mzuri, ndicho ambacho nilipenda kukisikia.欧巴马抨击贪腐,并强调良好的政府治理,那正是我想听到的。
9Viongozi wa Afrika wanakuwa kikwazo cha maendeleo ya nchi zao.非洲领导人正在抑止自己的国家的发展。
10Ninatamani Uongozi wake uende mbele zaidi kuwaumbua viongozi mafisadi wa Kiafika, uwaadhibu kwa kushikilia mali zao na kuwazuia wao na familia zao kusafiri.我希望欧巴马政府能持续揭发非洲腐败的领导者,并以冻结资产、对他们以及他们的家人实行境管做为惩罚。
11Obama ni aina ya kiongozi tunayemuhitaji katika dunia ya leo.欧巴马正是世界所需要的领导人。
12Bado akiwa kwenye suala la kupambana na rushwa na ufujaji wa viongozi wa Afrika, Oyez ana ushauri kwa viongozi wa Magharibi kama Obama:同样谈到非洲领导人的贪污舞弊,博客Oyez为西方领袖如欧巴马提出了建议:
13Ni mambo mawili tu yanahitajika, na tutafika mbali: 1) Wanyimeni Viongozi wa Kiafrika, na familia zao na maswahiba wao haki ya kuwa na akaunti za benki na mali ya aina yoyote nje ya nchi.只需要做到两件事,就会大有帮助: 1) 拒绝让非洲统治者、他们的家族成员及部属拥有外国银行帐户与任何形式的外国资产。
142) Wazuieni watawala wa Afrika kupata matibabu aina yoyote nje ya Afrika.2) 拒绝提供非洲统治者在非洲地区之外的所有医疗服务。
15Hayo ni masuala mawili pekee tunayoomba Wamagharibi wayafanye, na sisi tutayashughulikia yaliyobaki.我们只要求西方完成这两件事,其余的我们将自行处理。
16Maoni yaliyoachwa hapo na Nnokko Johnson yanaisogeza hotuba ya Obama mlangoni mwa Kameruni kwa kumkumbusha Rais wa nchi hiyo, Paul Biya, ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 1982 na mwaka 2008 alibadili katiba ili kuondoa ukomo wa vipindi vya Rais kukaa madarakani:一位博客署名Nnokko Johnson的评论把矛头指向喀麦隆国内,提醒到喀麦隆1982开始掌权的总统比亚(Paul Biya)在2008年监督了取消总统任期限制的宪法修正案:
17Afrika haiwahitaji viongozi wababe, inahitaji taasisi shupavu.非洲需要的不是强人,而是健全的制度。
18Bw. Biya tafadhali iangalie sana sentensi hii na ujifunze, hatusemi uondoke, lakini tunahitaji taasisi zenye nguvu, tafadhali, tafadhali…比亚先生,请你好好的记下来,我们不是想要你下台,但我们需要牢固的制度。
19Hatahivyo, kwa kusoma maoni mengi yaliyowekwa pale, mtu anaweza kuondoka na wazo kuwa Wakameruni wanaiona hotuba ya Obama kama “mazungumzo mazuri” ambayo hayawezi kuwatatulia matatizo yao.拜托拜托… 然而,阅读许多人的评论后,有人可能会觉得喀麦隆人民认为欧巴马的演说是解决不了任何问题的浮夸之词。
20Emmanuel anasema:Emmanuel表示:
21Mbio za nyumbani (goli la kisigino).漂亮的空谈。
22Sema, sema, sema, mambo ya kizamani, yasiyosaidia.欧巴马说的话了无新意,而且残忍。
23Ni lazima muwe wawili ili kucheza tango, na Waafrika ni wazembe kusikiliza mihadhara inayohusu ufisadi kutoka kwa kiongozi wa Ufisadi wa kiuchumi, kimaadili, na kisiasa; ilihitaji watu wawili kuendesha biashara ya utumwa, ukoloni, na sasa kwenye kipindi hiki kipya cha “Ushirikiano.”非洲人除非疯了才会乖乖听一个金融、道德和政治贪污的霸权领袖教训我们政府 的贪 腐。 一个巴掌拍不响,例如奴隶交易,殖民主义,然后是现在的合夥时代。
24Angalia, haya mazungumzo ya “ushirikiano” ni uwongo.听着,所谓「夥伴关系」是个天大的谎言。
25Ni walio sawa kiukweli, na sio waliosawa kinadharia ndio wanaoweza kuingia katika ubia.只有两方实质上平等,不是假设的平等,才能 够签订夥伴关系。
26Reex anaongeza:Reex补充:
27Hayo hayo…Ninajiuliza ni lini watu wataapocha kuamini na kuanza kutenda… Hatuhitaji hotuba za matumaini na ahadi -zinazopumbaza watu, kwamba matatizo yao yatatatuliwa -wategemee utatuzi.全都是同样的花言巧语…我纳闷到底是从何时起人们停止拥有信念而开始佯装作态…我们不需要关于希望和保证的演说,那些只是 用来麻醉人民,让他们以为问题将会轻松解决。 人民应该期待的是解决问题的办法。
28Mgogoro wa kifedha ulipoikumba Marekani, rais alisema hayo hayo kuhusu wajibu wa Wamarekani kuchukua majukumu… Lakini jamani, Wamarekani wengi hawana mamlaka na utawala wa maisha yao ya kifedha, hawawajibiki kabisa na na anguko la kiuchumi, lililotengenezwa na genge la waroho wa benki… Naam, Hotuba za Obama huandikwa vizuri na wafanyakazi wanaojua vyema kufanya kazi ya kuleta matumaini.金融海啸席卷美国的时候,总统提过美国人主导局势的责任…但大家听好了,大多数的美国人根本连自己的金融状况都控制不了,唯恐自己和金融海啸的始作俑者- 贪婪的银行家集团一样要负责。 应该说,欧巴马的演说词是一个肩负艰钜任务的好幕僚所写出的漂亮作文。
29Nini kingine tukitazamie kutoka kwake?究竟我们还能期望欧巴马什么呢?
30Hotuba zinazotoka moyoni kuhusu mambo ya halisi yanayoikabili dunia yetu ya sasa?难道能期望他说出对我们现今世界的真心话?
31Mtiririko wa mawazo unaonekana kuwa huo, ni suala la Waafrika kutatua matatizo yao wenyewe.「让非洲人解决自己的问题」,似乎是主流意见。
32Kama Reex anavyosema,诚如Reex所说:
33…hebu Waafrika na tutafute masuluhisho yetu.…让我们非洲人找出我们自己的解决方法。
34Tunaweza baadae kumwalika Obama kula nasi mahindi ya kuchoma na karanga karibu na moto na kujadili siasa zenyewe -siyo mambo kitaaluma ya Ivy League wala mazungumzo ya kinafiki yanayoonyeshwa na Wamagharibi, zile hotuba zingeweza kuhifadhiwa kwa ajili ya nyakati nyingine, ambapo kila tumbo lenye njaa Afrika litakuwa limeshibishwa!然后我们可能会邀请欧巴马一起坐在营火旁,边吃烤玉米和花生边讨论政治;既无关常春藤名校的菁英观点、也不是平常西方人爱用的双边对谈,那些高谈阔论可以留到整个非洲都不再饥饿之后再说!
35Maoni ya mtembeleaji anayeitwa Isat hayana diplomasia:一名网站访客Isat的评论较不圆滑:
36Tunachotakiwa kukitunza kama kikumbushi ni maneno haya: “Mustakabali wa Afrika uko kwa Waafrika wenyewe.我们真的应该记得以下这句话做为提醒:「非洲的未来须由非洲人决定。」
37Halafu angalia: Obama si Mwafrika. Babu yake aliyewapikia Waingereza na baba yake walikuwa Waafrika.值得注意的是,欧巴马并不是非洲人。
38Yeye ni Mmarekani na anatetea maslahi ya nchi yake -haijalishi nyimbo ngapi tunaimba kumsifia.他为英国人当厨子的祖父和他父亲是非洲人,但他是美国人,而且他会把自己国家美国的利益摆第一,不管我们对他多么地歌功颂德。
39Man wey yi get ear make yi hear. [msemo wa Kikameruni maana yake: neno kwa mwenye hekima linatosha]俗话说「人只需要一只耳朵就听得见」,这句喀麦隆洋泾浜谚语意思是:「对于智者,逆耳之言一句足矣。」
40Blogu ya pamoja ya Up Station Mountain Club, pia ina makala nyingine - Barack Obama akiwa Afrika: “Zaidi Ya Ndio Tunaweza”, ndio tunalazimika, kutoka kwa mwanablogu wa Kikameruni Aloysius Agendia anayewasihi Waafrika wafanye mabadiliko:在共笔博客The Up Station Mountain Club也有一篇文章-巴拉克欧巴马在非洲:超越「我们做得到」,我们必须做到。
41Ndio, Afrika inaweza kufanya mapinduzi dhidi ya uongozi potofu wa sasa na mipango yao isiyoeleweka ambayo imelisababishia bara zima umasikini.喀麦隆博客Aloysius Agendia在文中呼吁非洲人民做出改变: 是的,非洲对抗得了失职的领导人和他们出卖非洲、使非洲大陆繁荣不起来的肮脏交易。
42Zaidi ya ndio, tunaweza, ndio, ni lazima tufanyie kazi mabadiliko yanayosemwa ili kwenda mbele.不只(欧巴马的名言)「我们做得到」,我们必须落实改变才能进步。
43Blogu hii ina vionjo vya mirindimo vya ziara hii kama video inayomwonyesha mwanamuziki wa Kikameruni akimshabikia Barack Obama kwenye uchaguzi imewekwa pale.该博客也发表了一支由喀麦隆音乐人制作、为欧巴马当选喝采的影片,为欧巴马这次的造访带来伴奏。
44Wimbo ulitolewa na Tata Kingue kabla tu ya kuapishwa kwa Obama mwezi Januari 2009 na Gef's Outlook imetoa tafsiri kidogo pale.该歌曲是Tata Kingue在欧巴马2009年一月宣誓就职的前不久发表的,而Gef's Outlook略为翻译了歌词。 欧巴马喀麦隆歌
45Wimbo wa Kameruni kwa Barack Obama校对:Soup