Sentence alignment for gv-swa-20091024-441.xml (html) - gv-zhs-20091114-4167.xml (html)

#swazhs
1Uanaharakati na Umama Barani Asia亚洲的社运人士与母亲
2Je, mwanamke anatoa sadaka zipi ili kupigania jambo analiamini? Je, watoto wake wanaathiriwa vipi na mateso yanayoelekezwa kwake?为了要争取与奋斗的目标,女性得牺牲什么?
3Makala hii inachambua kwa kifupi maisha ya wanawake wanaharakati katika Asia ambao pia ni ma-mama (wazazi).面对母亲受迫害,孩子会经历什么影响?
4Irene Fernandez ni mwanamke na mwanaharakati anayepigania haki za wahamiaji nchini Malaysia.本文粗略介绍亚洲同为人母的女性社运人士。
5Kwa zaidi ya miaka kumi, Irene amekuwa akikabiliwa na mashtaka ya ‘uhalifu wa kuvunjia heshima” (ambayo kwa sasa yamefutwa) baada ya kuchapisha memoranda akiihimiza serikali ya Maylasia kuchunguza tuhuma za mateso yanayofanywa katika kambi za wakimbizi nchini humo.
6Licha ya kuwa mwanaharakati, jambo ambalo limempatia tuzo ya Right Livelihood mwaka 2005, Irene pia ni mama wa watoto watatu, Camverra Jose Maliamauv, Tania Jo na Katrina Jorene, mlezi wa watoto wengine kadhaa.
7Ni vigumu kufikiri kuhusu yale yanayopita kwenye vichwa vya wanaharakati kama Irene, hasa pale anapowawaza watoto wake. Wakati alipokuwa akisomewa hukumu mwanzoni mwa mashtaka mwaka 2003, Irene aliripotiwa kusema:Irene Fernandez是马来西亚移民权运动者,她长达十年以上都面临「刑事诽谤」告诉(现已撤销),因为她发表一份备忘录,要求马国政府调查国内移民营的伤害事件。
8Nataka watoto wangu na watoto wa watu wote ninaofanya kazi nao kama kiongozi wa Tenaganita kufurahia na kuishi katika jamii iliyo na amani, ambapo hatuogopi misukosuko inayosababishwa na dola. Pengine dhima ya Irene kama mama inaelezwa vizuri zaidi katika macho ya binti yake, Katrina Jorene, ambaye aliandika katika blogu inayoitwa Micah Mandate (blogu ya Kikristu inayolenga kuamsha utetezi wa umma):除了参与社运让她在2005年获得Right Livelihood奖之外,她也有Camverra Jose Maliamauv、Tania Jo、Katrina Jorene三个孩子及数名养子女,外人恐怕不易想像Irene身为社运份子,想到子女时会有什么感受,在2003年官司一审判决时,Irene在报导中表示:
9Ninampongeza mama yangu ambaye alinilea niwe mstahimilivu katika maisha na kuwa wazi na king'ang'anizi wa kutafuta ukweli na katika haki, kweli na haki.我希望无论是自己的孩子,或是其他我们组织所帮助的孩子,都能生活在和平社会中,不必害怕政府暴力。
10Ninawapongeza mashujaa wasio na idadi ambao nimekuwa nao maishani mwangu, hasa wanafamilia yangu na familia ya Tenaganita [Taasisi anayoongoza Irene Fernandez].Irene的母亲身分或许可从女儿Katrina Jorene笔下展露,女儿在强调公共利益的基督教博客Micah Mandate写道:
11Ninawapongeza wote waliofanya kazi kimya kimya, pasipo kuchoka na kwa umakini mkubwa kwa miaka yote hii ili kupigania manufaa ya umma mpana zaidi. Yaelekea mafunzo ya Irene yamemvuta walau mmoja wa watoto wake kuchukua mrengo wa uanaharakati kama alivyo yeye mwenyewe.我感谢母亲养育我长大,让我时时对生活保持警戒、坚持真理,也坚守正义、真实与正确原则;我感谢无数生命中曾出现的英雄,尤其是我的家人,以及Tenaganita(Irene所带领的组织)里的家庭,我感谢所有不眠不休、默默努力的人,谢谢他们多年来关心他人。
12Hivi sasa Katrina huandika makala mbalimbali zinazohusiana na haki na utetezi wa walio wachache katika jamii.因为Irene Fernandez的身教,让她至少有一个孩子也投身社会运动,目前Katrina常书写有关少数族群权利与保护的文章。
13Tofauti na ilivyo kwa Katrina Jorene, kwa bahati mbaya, Alexander na Kim Aris, watoto wa mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Aung San Suu Kyi, hawakupata bahati ya kujifunza kutoka kwa mama yao kwa zaid ya muongo mmoja sasa.
14Mapenzi ya Bibi Suu Kyi kwa nchi yake ya Myanmar yamekuwa makubwa kiasi kwamba ametumikia kifungo cha nyumbani kwa takribani miaka kumi na nne katika nyumba iliyo kandokando ya ziwa huko Yangon, ambapo amechagua kuishi kwa kuhofia kwamba huenda utawala wa mabavu wa kijeshi hautamruhusu tena kurudi ikiwa atatoka. Blogu inayohusu wanawake ya Womensphere inaandika:反观诺贝尔和平奖得主翁山苏姬(Aung San Suu Kyi)的两子Alexander及Kim Aris,却超过十年无法向母亲学习,翁山苏姬因为热爱缅甸,却遭软禁在仰光(Yangon)湖边住家近14年,她之所以不愿离开,是害怕军政府从此不会再准许她入境,女性议题博客Womensphere指出:
15Mume wa Bibi Suu Kyi, aliyekuwa raia wa Uingereza na mkufunzi katika Chuo Kikuu cha Oxford, Michael Aris, alifariki kwa kansa mwaka 1999 akiwa na umri wa miaka 53. Mama huyu hakuweza kumwona mumewe wakati alipokuwa anafariki - serikali ya kijeshi ilimkatalia mume huyo viza ya kuingia nchini, wakati kwa upande wake mama huyo naye alihofia kutoka Burma, kwamba pengine asingeruhusiwa kurudi tena nchini humo.翁山苏姬的英国籍丈夫是牛津大学学者Michael Aris,他在1999年死于癌症,得年53岁,她无法见到先生最后一面,军政府拒绝发给丈夫入境签证,而翁山苏姬害怕自己若离开缅甸,就无法再度回国,她的儿子现年已超过30岁,已十年未与母亲见面。
16Kwa hiyo hajakutana na watoto wake wawili, ambao hivi sasa wana umri wa zaidi ya miaka thelathini, kwa zaidi ya muongo mmoja sasa.关于这两个孩子的消息并不多,不过长子Alexander在1991年代表母亲赴奥斯陆领取诺贝尔和平奖,同样透过孩子的观点,我们或许能更瞭解翁山苏姬身为母亲的样貌:
17Kuna machache sana yaliyoandikwa juu ya (au kuandikwa na) Alexanderson au Kim.身为她的儿子,我个人相信透过她个人牺牲,让世人瞭解缅甸民众的苦痛,没有人应低估他们的苦难。[ …]
18Hata hivyo, mnamo mwaka 1991, mtoto mkubwa wa Bibi Suu Kyi, Alexander, alipokea tuzo ya Amani ya Nobel huko Oslo kwa niaba ya mama yake.我们也不能忘记,她独自在仰光戒备森严的屋宅里奋斗,象徵着全世界努力帮助人性精神脱离暴政与心理迫害。[ …]
19Hapa tena, tunaweza kutumia lensi za mtoto huyu ili kupata kumwelewa vema zaidi Bibi Suu Kyi kama mama:虽然外界看待我母亲时,仍形容她是位以和平手段争取民主变革的政治异议人士,但我们仍应记住,她是为追求精神目标。[ …]
20Nikizungumza kama mtoto wake, ningependa kuongeza kwamba mimi binafsi naamini kwamba kwa kujitolea kwake na kutoa sadaka yake binafsi, ametokea kuwa alama yenye thamani ambapo kupitia kwake, mateso ya watu wote wa Burma yametambulika.
21Na, hakuna aliye na haki ya kuyapuuza mateso hayo.我希望母亲能很快直接与世人分享她的感受,而不需要透过我的口。
22… Pia tukumbuke kwamba, mapambano yake akiwa katika upweke wake huku akiwa chini ya ulinzi mkali katika makazi yake ya huko Rangoon ni sehemu ya mapambano mapana zaidi, ulimwengu kote, katika kutafuta kuikomboa roho ya kibinadamu kutoka katika tawala za kimabavu za kisiasa na manyanyaso ya kisaikolojia. … Ingawa mama yangu anaelezwa mara nyingi kama mpigania haki za kisiasa na ambaye anajaribu kwa njia za amani kuleta mabadiliko ya kidemokrasia, hatuna budi kukumbuka kwamba mapambano yake, kimsingi, ni ya kiroho.亚洲许多社运份子身为人母仍受迫害,例如Fan Guijuan的住家据说是因上海世博会而遭拆除,她在北京遭逮捕后,送回上海立刻入狱,她的儿子因此无家可归;菲律宾的Edita Burgos博士则为身为社运人士的儿子Jonas Burgos争取正义,她的儿子据说已经「失踪」,她目前主持「失踪人士家属正义」组织,为许多失踪人士追求正义,许多人认为人口「失踪」现象在艾洛优(Arroyo)政权格外显著。
23… Ni matumaini yangu kwamba hivi karibuni mama yangu ataweza kuwashirikisha hisia zake na kuzungumza moja kwa moja yeye mwenyewe badala ya kuzungumza kupitia kwangu. Wakati huo huo, wanawake wengi wanaharakati barani Asia wanaendelea kukabili mateso.伊朗的人道份子母亲也迅速成为全球人权运动象征,她们组成「伊朗的哀悼母亲」组织,举行公开静默抗议活动,以和平方式为死去或入狱的孩子争取正义。
24Kwa mfano, Fan Guijuan, ambaye nyumba yake iliamriwa kubomolewa sababu ya Mradi wa Shangai World Expo, alikamatwa huko Beijing na kurejeshwa Shanghai, na kisha kuwekwa kizuizini.
25Mtoto wake wa kiume hana mahali pa kuishi, kwa sababu ya bomoabomoa hiyo.「一日为母,终身为母」
26Wakati huohuo, huko Ufilipino, Dkt Edita Burgos, ambaye ni mama wa Jonas Burgos, anapigania haki ya mtoto wake huyo mwanaharakati, ambaye inasemekana “ametoweka“.
27Dkt Burgos ni mwenyekiti wa chama cha haki za Familia za watu Waliotoweka, yaani asasi inayotafuta haki za watu waliopoteza maisha yao pasipo kujulikana, jambo ambalo linasemekana ni kielelezo cha utawala wa Arroyo.
28Hivi sasa, huko Irani, akina mama wanaharakati wa haki za binadamu, wanazidi kuwa alama za ulimwengu katika kupigiania haki za binadamu ulimwenguni kote.
29Katika mgomo baridi wa kimyakimya ulioshirikisha umma, ‘Akina Mama Wanaoomboleza wa Irani‘, ambao wanajulikana huko Tehran kama “Akina Mama wa Laleh”, kwa njia za amani wanatafuta haki kwa ajili ya watoto wao waliokufa au waliofungwa.
30“Mama ni mama ili mradi tu aishi.”校对:Soup