Sentence alignment for gv-swa-20090727-252.xml (html) - gv-zhs-20090721-3277.xml (html)

#swazhs
1Mauritania: Uchaguzi wenye udanganyifu?毛里塔尼亚:选举是否可信?
2Tarehe 18-07-2009, miezi 11 baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Jenerali Mohamed Ould Abdel Aziz, Mauritania imemchagua Jenerali huyu kwa Urais, na kusababisha wapinzani wakuu wa Abdel Aziz kuukataa uchaguzi kwamba ni “kiini macho,” kwa mujibu wa Habari za BBC. Pitio la haraka haraka kwenye blogu za nchi za Saheli linaonyesha kwamba wapinzani wako katika ushirika mzuri.11个月前,军事将领阿济兹将军(Mohamed Ould Abdel Aziz)于非洲国家毛里塔尼亚发动政变,6月18日该国举行总统大选,由将军获胜,英国广播公司报导,两位主要在野候选人均批评选举造假,浏览当地博客圈,确实有不少人意见相同。
3Blogu ya Maghreb inawaelezea wagombea:Maghreb Blog说明:
4Wamauritania wanaelekea kwenye vituo vya kupigia kura leo katika uchaguzi wa Rais wa kihistoria. Mgombea anayepewa nafasi kubwa ya kushinda ni Ould Abdel Aziz, kiongozi wa zamani wa mapinduzi ya kijeshi ambaye anagombea kwa njia ya jukwaa la umaarufu na kwa kuwa mpinga-Israeli.毛里塔尼亚民众前往投票所,参与这场重要的总统大选,领先者为前军政府领袖阿济兹,他的政见以民粹及反以色列为主,他承诺 要终结 贪腐,并建立良好治理制度。
5Ould Abdel Aziz pia ameatoa wito wa kukomesha vitendo vya rushwa na kusimika misingi ya utawala bora. Kwa mujibu wa kura za maoni hivi karibuni, Jenerali Ould Abdel Aziz anafuatiwa na Ahmed Ould Dada na Messaoud Ould Boulkheir.根据近期民调,分居二、三位的候选人为达达(Ahmed Ould Dada)与布黑尔(Messaoud Ould Boulkheir),前者政见强调「正义、平等、宽容」的伦理与价值,后者拥护民主与人权理想,并支持工会。
6Agenda za huyu wa kwanza, Ahmed Dada zinatilia mkazo maadili na misingi ya “haki, usawa, uvumilivu.”居住于美国的The Moor Next Door大胆指称有舞弊情况:
7Ould Boulkheir anakumbatia nadharia za demokrasia na haki za binadamu, na ameahidi kuunga mkono vyama vya wafanyakazi. Mwanablogu Moor Next Door, mwenye makao huko Marekani, kwa ujasiri kabisa ameuita ni udanganyifu, kwa kusema:达达与布黑尔的竞选阵营对结果都相当「震惊」,自投票结束后,计票数字都显示阿济兹囊括多数选票,例如Nouadhibou地区65个选区里,全都一面倒支持阿济兹,怎么会如此?
8Kampeni za Ould Daddah na Boulkheir zinaweza kuelezewa kama “zenye taharuki”: idadi ya kura zinazotangazwa tangu upigaji kura ufanyike zinaonyesha watu wengi sana wakimuunga mkono Jenerali Ould Abdel Aziz.
9Huko Nouadhibou, asilimia sitini na tano wanaonyesha matokeo hayo hayo yenye kumuunga mkono Ould Abdel Aziz.原因当然是舞弊,在野阵营的反应将决定未来发展。
10Swali: kwa jinsi gani? Jawabu: Udanganyifu.他也提醒:
11Mwitikio wao sasa utaonyesha nini kinawezekana kesho na siku zinazofuata. Mwanablogu huyo anatukumbusha:阿济兹曾带领毛里塔尼亚走过三场运动:好政变(2005年)、否决政变(2008年)与宪法政变(2009年)。
12Jenerali Ould Abdel Aziz ameitawala Mauritania katika kampeni tatu muhimu: Mapinduzi mazuri (2005), Mapinduzi yaliyokataliwa (2008) na, sasa, mapinduzi ya Kikatiba (2009).居住于美国、自称为非洲人的博客A Bombastic Element直言:
13Mwanablogu anayeishi marekani ambaye anayejielezea mwenyewe kuwa mwanablogu wa Kiafrika Bombastic Element analiita beleshi kwa jina lake (au kusema maneno bila kupinda pinda):阿济兹为了要参与此次选举,已交出权力成为平民,英国广播公司报导,他也将会卸下军职。
14BBC inaarifu kuwa kiongozi wa mapinduzi Jenerali Mohamed Ould Abdelaziz, aliachia madaraka na kujigeuza raia kwa minajili ya kugombea uchaguzi wa Jumamosi anakaribia kucheza mchezo wa “Musharraf.”博客还在等待结果底定,居住于Nouakchott的艺术家运用素描,呈现Nouadhibou地区选举日当天情况:
15Wakati wanablogu wanasuburi matokeo yakamilishwe, mmoja -msanii anayeishi Nouakchott, anatoa mchoro huu wa siku ya uchaguzi huko Nouadhibou:校对:Soup