Sentence alignment for gv-swa-20090111-45.xml (html) - gv-zhs-20090122-1711.xml (html)

#swazhs
1Kivu Mpaka Gaza: Namna Vyombo Vya Habari Vinavyochagua Vipaumbele刚果与加萨:媒体如何选择报导?
2Kama kifo cha Muisraeli mmoja ni sawa na vifo kadhaa vya Wapalestina, ni maiti ngapi za watu wa Kongo zitakazowekwa kwenye mnara wa mazishi huko Gaza?[译者注:本文除另标明外,所有连结皆为法文报导]
3Ni kwa nini migogoro ya Afrika haitiliwi maanani na vyombo vya habari, hasa lile jinamizi linalendelea katika Kivu, hili ni swali la karne (sambamaba na lile swali linalouliza, kwa nini vyombo vya habari vya kimataifa, ikiwa wataandika habari zinazoihusu Afrika, huandika habari za migogoro tu).若以色列一人之死得要数名巴勒斯坦人来偿,多少刚果人才能抵一具加萨尸体? 为何非洲冲突问题不受媒体重视[英文],尤其是刚果Kivu地区的可怕事件?
4Elia Varela Serra aliandika katika tovuti hii kuhusu swala hili, siku chache tu zilizopita, alitafsiri sehemu ya makala kutoka Rue89 iliyoandikwa na mwanahabari hugues Serraf.这其实是个老问题,就像人们总问,为何国际媒体的非洲相关报导只有冲突?
5Jinsi Hugues Serraf alivyolitizama swala hili kulizaa hali tete kati ya wasomaji wengi wa lugha ya Kifaransa, wote, wasomaji wa Kikongo na wale Wakiislamu.全球之声作者Elia Varela Serra不久前也曾有相关报导[英文],其中翻译记者Hugues Serraf在Rue89网站报导的部分内容,这位记者的看法在法语博客圈引发诸多争议,包括刚果民众与众多穆斯林。
6Wasomaji wengine wa Rue89 wanakubaliana na mtazamo wa Serraf.部分Rue89读者赞成这位记者整体说法。
7Rafa anafafanua ni kwa nini vyombo vya habari vya Ufaransa vinaipa kipaumbele zaidi Palestina ikilinganishwa na Kongo:Rafa解释为何法国媒体对巴勒斯坦的关注超过对刚果的报导:
8Jamii ya Kifaransa imeushupalia mgogoro wa Waisraeli na Wapalestina kutokana na ukweli kwamba kuna uwepo mkubwa wa watu wa jamii hizo ndani ya Ufaransa, jamii ambayo huyarejea yale yanayotokea huko [mashariki ya kati]. Kwa upande mwingine, nafikiri kwamba kwa kuwa Israeli ni nchi mojawapo ya “magharibi” kwa maana kwamba Israeli ni sehemu ya “dunia huru” (kama anavyosema Livni), watu wa Ufaransa wanajifananisha na Waisraeli, na kutokana na ukweli kwamba [Israeli] inatambulika kama nchi iliyostaarabika, na ina demokrasi sawa na yetu, na yenye watu wenye tabia na taratibu za maisha kama zetu, pamoja na jamii zinazoshabihiana, nchi kama hiyo inapofanya vitendo vya kikatili kama hivi, huwa tunatikisika.法国社会之所以如此关心以巴冲突,是因为双方在法国皆形成社群,每当以巴发生冲突,同样情况也在法国境内上演,另一方面,以色列做为一个「西方国家」,正如以国总理利芙妮(Tzipi Livni)所言,以色列属于「自由世界」的一员,法国民众容易认同以色列,认为同属所谓的文明国家、民主国家、生活型态相同、社会状态相同,但这样的社会却出现如此野蛮的行径,确实让法国人震撼。
9Tofauti na mgogoro wa Kongo ambao unaonekana kana kwamba ni moja tu ya madhila mengine yanayotokea kwenye bara lililolaaniwa ambalo watu hawalitilii maanani tena kwa sababu madhila ya namna hii hutokea mara kwa mara. Msomaji mwingine wa Rue80, Pierre Haski:反观刚果的冲突,就像是在受诅咒的大陆上,又发生另一场悲剧,人们不再太过关注,因为这种悲剧已太过频繁。
10Mwezi uliopita niliyaona maandamano ya Wakongo [pale kwenye Kasri ya Jamhuri mjini Paris] kuhusu mgogoro nchini mwao.另一位Rue89读者Pierre Haski认为:
11Walikuwapo watu dazeni kadhaa, waliosindikwa nyuma ya kamba za polisi [wa kuzuia fujo], wapita njia hawakuwajali. Jumamosi, niliona maandamano ya Wapelestina yalipokua tu yakianza, tayari wapiga picha wa televisheni walikuwa wameshafika.上个月,我见到刚果民众在法国巴黎共和广场为该国冲突而抗议,群众大概有几十人,在镇暴警察重重包围之中抗议,行人完全冷漠以对;星期六,我看到巴勒斯坦人的抗争才刚开始,电视台摄影机却已到场。
12Lakini kuna wengi walioshutumu ujinga wa mwa mwandishi huyo kulihusu bara la Afrika. Katika makala yake Serrif alisema:但也有人强烈抨击这位记者对非洲毫无所知,这位记者在报导中指出:
13Mimi, ni sawa na wewe. Sifahamu sana mambo ya Kongo wala hili Jeshi la Upinzani la Bwana [LRA]… si hivyo tu, kuna Kongo mbili!我和各位相同,并不了解刚果或「上帝反抗军」这支游击队,…不止如此,原来还有两个刚果!
14Isitoshe Afrika ni ngumu kuielewa. Kati ya majanga, magonjwa ya kuambukiza, wakuu wa majeshi pinzani wanaorandaranda ndani ya magari ya Land Cruiser, na hayo yote… ni kina nani tunaowatambua kama kundi “zuri” au kundi “baya”?非洲情况也极为复杂,其中存在天灾、传染病、军阀等问题,…我们如何能得知孰善孰恶?
15Pia aliandika kwamba mgogoro wa Waisraeli na Wapalestina unaweza ukawa uliandikwa zaidi nchini Ufaransa kwa sababu, kwa mtazamo wa umma, ni rahisi zaidi kutofautisha kati, “wema” na “waovu”.他也提及,法国媒体之所以较常报导以巴冲突,因为至少对大众而言,要分辨善恶简单许多。
16Bloga Alex Engwete, ambaye amekuwa akiandika habari mpya mpya za mgogoro wa Kivu kwenye blogu yake, ameandika dhidi ya ujinga wa Serrif:Alex Engwete每天在个人博客里报导刚果冲突消息,便在留言区反驳这位记者自称的无知:
17Nilianza kwa kushiriki hasira yako inayotokana na ukimya uliolizunguka balaa la Kongo kabla ya kugundua wapi ulipokuwa unaelekea katika aya zako tatu za mwisho.对于你不满媒体未报导刚果冲突,我原本也能认同,直到阅读你在报导里的最后三段,我甚至想告诉你,有位英国广播公司驻肯亚奈洛比的记者朋友向我透露,该公司转告他若死亡人数未达50人,就不必撰写刚果相关报导!
18Nilitaka hata kukudokezea kile ambacho rafiki yangu mmoja mwandishi wa habari wa BBC alichoniambia kule Nairobi, ambacho shirika lake la habari tukuka lilimtaka afanye… kwamba aache kutuma taarifa kutokea Kongo ikiwa idadi ya waliokufa ni pungufu ya 50!毕竟他们是黑人,又身处在黑暗之心,就像作家康拉德(Joseph Conrad)所言,「可怕!
19Ni watu weusi walio katika kiini cha giza, isitoshe, ni sehemu ambayo “mambo ya kutisha tisha!” ni ya kawaida - kwa mujibu wa Joseph Conrad… Lakini niligundua baadaye, huku nimekata tamaa, kwamba kwako Kongo si kitu kingine zaidi ya mwongozo wako (wenye visingizio) uliotupeleka kwenye risala yako iliyopindapinda!可怕!」 才是常态,…但我才明白,刚果不过是个指标,让我们明白你的扭曲言论!
20Kama hujui lolote linaloihusu Kongo, waache wafu wapumzike kwa amani!你若对刚果一无所知,就让死者安息!
21Familia zimeweka makazi katika jengo lililovunjwa baada ya kulazimishwa kuzikimbia nyumba zao kutokana na kupamba moto kwa mapigano katika jimbo la Kivu ya Kaskazini.由于刚果North Kivu地区冲突升高,许多家族不得不逃离家园,在断坦残壁之中避难。(
22(Picha na S. Schulman wa UNHCR).照片来自:UNHCR/ S.
23Djé anayeblogu kwenye case en construction anaandika:Schulman
24Msisimko wa habari ambao umelitilia mkazo suala la Gaza umekuwa na tabia ya kuvigeuza vyombo hivyo vya habari (na hivyo, umma mzima kwa ujumla) kutoka kwenye yale ambayo yanaendelea kujiri huko Kivu.case en construction博客的Djé表示:
25Nina hakika, baadhi ya wanahabari wameweza hata kutengeneza faida kwa kutumia ulegevu wa mkazo kwa upande wa vyombo vya habari unaoendelea huko Mashariki ya Kongo, kwa minajili ya kusambaza propaganda zinazoipendelea Israeli.媒体现在疯狂追逐加萨相关消息,很可能会排挤媒体与大众对刚果的注意,无耻记者更为了亲以色列的宣传手段,从媒体忽视刚果东部战事的态度中得利。
26Djé ameiita makala ya Serrif kama “jaribio la hovyo la kupotosha habari” na anamuomba aifikirie makala nyingine inayojadili masda hiyo hiyo, iliyoandikwa kwenye kongotimes.info ambayo inadai kwamba, ‘Vita hizi mbili zinabeba mashaka sawa, pamoja na hatari zinazoweza kuyumbisha eneo lote” [Fr].Djé认为Hugues Serraf的报导「是种误导读者的下流行为」,并建议阅读kongotimes.info对同一情况的报导,其中认为「两场战事都引发同样的恐惧,对区域局势也几乎造成相同危机」。
27Watumiaji wa wa mtandao wa Islamie.com kadjhalika walivunjwa moyo na ulinganishaji alioufanya Serrif na udaku uliofanywa na vyombo vya habari kuhusu swala la Gaza, kwa ujumla Abdullah anauliza, kwa kejeli, “Ni maiti ngapi za watu wa Afghanistan zinazopaswa kuwekwa kwenye mnara wa mazishi Gaza?” [Fr].网络论坛islamie.com的读者同样不满Hugues Serraf的报导,亦不满媒体对加萨情况的耸动报导,Abdullah以讽刺语气质疑:「多少阿富汗人丧生可抵一位加萨民众之死?」:
28Katika mwangaza wa hisia kali hivi sasa zinazohusiana na Gaza, nimeghafirika sana tangu niliposoma nukuu ya Abou Ghazi inayosema kwamba kuna mauaji ya kinyama kila wakati yanayotokea huko Afghanistan ambayo hakuna mmoja anayeyajali. Siyo kwamba najihusisha zaidi au la kuhusu mauaji haya au yale.面对加萨目前态势,我感到十分不舒服,尤其是读到一则讯息引述Abou Ghazi的发言表示,阿富汗随时随地都在发生大屠杀,但却无人或几乎无人在意,并不是我对任何一件事比较重视,但像这样的一句话,就已隐含许多意义。
29Lakini nukuu kama kama hii, ambayo inaonyesha (katika maana ya kwanza ya neno) mambo mengi.我们身处的情况多么可悲!
30Ni hali mbaya iliyoje tuliyokuwamo!竟容许自己受媒体左右与愚弄。
31Tunajiachia wenyewe tulishwe, tupumbazwe, na kuongozwa na vyombo vya habari.我真觉得恶心。
32Kwa kweli inanitia kichefuchefu. Jounaïda:Jounaïda表示:
33Nukuu ya Abou Ghazi inashabihi upeo wetu finyu. Pia unaonyesha jambo moja: kwamba sisi ni vikaragosi wa vyombo vya habari, tulio na kiu ya habari za udaku.Abou Ghazi的言论反映出众人心态,也突显出我们真是媒体的傀儡,总渴望获得耸动讯息。
34Tunahitaji, na siku zote tutahitaji, vitendo madhubuti kwa ajili ya kaka na dada zetu wanaokandamizwa, mpaka hapo neno la Mungu litakapotawala dunia.为了受迫害的人民,我们永远需要明确行动,至少直到上帝箴言引领世人。
35Wanaume wa Kipalestina wakiuzika mwili wa mtoto wa miaka 4 Lama Hamdan katika makaburi ya Beit Hanoun Kaskazini mwa Ukanda wa Gaza tarehe 30 Desemba 2008.
36Lama na dada yake waliripotiwa kuwa walikuwa wakiendesha mkokoteni uliokuwa ukivutwa na punda siku ya Jumanne karibu na sehemu inayotumika kurusha makombora iliyokuwa ikilengwa na Waisraeli. (Picha na Amir Farshad Ebrahimi)2008年12月30日,巴勒斯坦人将四岁女孩Lama Hamdan的遗体埋藏于Beit Hanoun墓园中,据报导她和妹妹当时正乘着驴车,附近正是以色列瞄准的火箭发射台。(
37Souleymene: … nimekuwa nikijiuliza jambo hili mara nyingi katika siku chache zilizopita.照片来自Amir Farshad Ebrahimi)
38Lakini naweza kusema zaidi, mchakato huu tunaouna ni dalili tu na si gonjwa lenyewe.Souleymene认为:
39Wakati zoezi hili litakapofifia (na Allah anajua vyema…) na katika wakati wowote ule uwao, yote yatarudia kwenye “utaratibu”, na nikiangalia viongozi tulio nao, hapatakuwa na hatari ya machafuko. Wana-Jihadi tunaowaona kwenye televisheni huko Jordan na Yemeni kati ya sehemu nyingine, watakuwepo, na ALLAH awazidishie katika malengo yao.…过去几天我反复自问,我认为如今各种动员只是附带现象,当整件事平息后(愿真主保佑会平息…),一切都会回复「原有秩序」,看看这些领导人,丝毫感受不到社会反抗危机,无论在也门、约旦或任何地方,都有我们在电视上看到的圣战士,愿真主因他们的目标而给予奖励,穆斯林会回归原本在意的事物,人们会遗忘巴勒斯坦人,也忘记在加萨四溅的血迹。
40Waislamu watarudi kuendelea na shughuli zao za kila siku, Palestina itasahauliwa, na damu iliyomwagika huko Gaza pamoja nayo.校对:Soup