Sentence alignment for gv-swa-20141009-8224.xml (html) - gv-zhs-20141018-13781.xml (html)

#swazhs
1Katika Picha: Gaza Yaadhimisha Eid Al-Adha看图看世界:加萨欢庆「宰牲节」
2Wapalestina wa Gaza washerehekea Eid Al Adha kupitia kiungo habari #GazaEid na #غزة_بدها_تعيد (ikiwa na maana, Gaya yahitaji Kusherehea Sikukuu ya Id).加萨的巴勒斯坦人在#GazaEid和#غزة_بدها_تعيد(加萨想庆祝宰牲节)的标签下,庆祝宰牲节。
3Picha hii iliyowekwa na Kituo cha Mawasiliano cha Palestina ikiwaonesha watoto wakiwa katika mtaa ulio na pilika pilika nyingi za watu wakifanya manunuzi此照片由「巴勒斯坦信息中心」提供分享,照片内的孩子昨天在繁忙的购物街上宣传此标签。 近期以色列对加萨走廊的攻击,造成两千多名巴勒斯坦人丧生。
4Kukiwa na zaidi ya raia wa Palestina 2,000 waliojeruhiwa katika mashambulizi ya hivi karibuni yafanywayo na Israel katika ukanda wa Gaza, raia bado wana kila sababu ya kuadhimisha sikukuu ya Kiislam ya Eid Al-Adha, inayoanza leo miongoni mwa waislamu wengi duniani kote.即便如此,老百姓还是找到欢庆伊斯兰宰牲节的理由,穆斯林世界从今天(10月4日)开始庆祝节日。 Eid Al Adha,意为宰牲节,在朝圣活动中达到高潮。
5Eid Al Adha ama sherehe ya kutambika inahitimisha msimu wa Hajj, ambao, mwaka huu umewakutanisha mahujaji milioni 2 kutoka nchi mbali mbali duniani.朝圣季今年吸引全球两百万名朝圣者。 在加萨,瓦砾堆、毁坏、失去中存有希望。
6Huko Gaza, bado kuna matumaini pamoja na kuwepo kwa rubble, uharibifu, pamoja na vifo.推特用户间开始转发拥挤街道和市集的照片,也分享标有#GazaEid和#غزة_بدها_تعيد(意思:加萨想庆祝宰牲节)卷标的积极乐观讯息。
7Watumiaji wa Twita walianza kusambaza picha zilizopigwa katika mitaa na masoko yaliyojaa watu na kisha kutuma jumbe za matumaini kwa kutumia kiungo habari#GazaEid na #غزة_بدها_تعيد (ikiwa na maana kuwa, Gaza yataka kusherehekea Eid).长达五十天的攻击,杀害了至少2,137位巴勒斯坦人,大多数人为平民,包含577位孩童;另至少有10,870人受伤。 此次攻击或许摧毁了加萨走廊的基础建设,但并没有击垮人民的信心。
8今天,他们清开瓦砾堆,庆祝宰牲节。
9Siku 50 za ukatili zilizogharimu maisha ya wapalestina zaidi ya 2,137, wengi wao walikuwa ni raia, miongoni mwao wakiwa ni watoto 577, na wengine 10,870 wakijeruhiwa, ingaliweza kuwa imeisambaratisha miundo mbinu ya ukanda wa Gaza lakini kilichoshindikana ni kuharibu ustaarabu wa raia, na ambao leo hii wanatikisa kifusi katika kusherehekea Idi.这次攻击对加萨走廊的经济造成不容忽视的影响,几乎每一项平民基础建设都遭殃:超过18,000间房屋倒塌,逾100间学校、50间健康照护中心及17间医院受损或20间遭到催毁。 推特用户 Sana'a Mohammed分享了一张男孩在倾毁的游乐场玩耍的照片:
10shambuliio hili lilikuwa na madhara ya wazi kabisa katika uchumi wa Gaza, ikiwa ni pamoja na ukweli kuwa, ingalikuwa vigumu kwa miundo mbunu ya raia kutokuharibiwa: zaidi ya makazi 18,000 yaliharibiwa, ikiwa ni pamoja na shule 100, vituo vya afya 50 pamoja na kuharibiwa kwa hospitali 17 au 20 hivi kubomolewa kabisa.Eid in Gaza totally different #غزة_بدها_تعيد #GazaEid http://t.co/WXpUDS4dF9 @HuffPostRelig @BumpinGemz - sana'a mohammed-Gaza (@Sanaa_Palestine) October 1, 2014
11Mtumiaji wa Twita, Sana'a Mohammed aweka picha ya mvulana aonekanaye akicheza katika uwanja ulioharibiwa kabisa:加萨的宰牲节已完全不同 就在昨天,平民摄影师Omar ElQattaa捕捉到一张男子带着献祭羊的景象:
12Palestinian man carrying a goat, which was purchased in the market before Eid al-Adha in #Gaza #غزة_بدها_تعيد عدستي pic.twitter.com/dWSmfgE4gr
13Sherehe ya Idi huko Gaza ni tofauti kabisa #غزة_بدها_تعيد #GazaEid http://t.co/WXpUDS4dF9 @HuffPostRelig @BumpinGemz- Sniper (@OmarElQattaa) October 2, 2014
14- sana'a mohammed-Gaza (@Sanaa_Palestine) October 1, 2014巴勒斯坦男子带着一头在#加萨的宰牲节前,从市集上买来的羊 。 加萨的Sayel贴了一张人们准备过宰牲节的集锦照:
15Ilikuwa jana tu pale mpiga picha za kiraia, Omar ElQattaa alipopiga picha ya mwanaume aliyekuwa amebeba mbuzi kwa ajili ya kutoa sadaka:Eid preparations at #Gaza strip earlier today. pic.twitter.com/IIibpJZvJm
16Mwanaume wa Kipalestina akiwa amembeba mbuzi aliyemnunua sokoni kabla ya sherehe ya Eid al-Adha siku ya #Gaza #غزة_بدها_تعيد عدستي pic.twitter.com/dWSmfgE4gr- صَايلْ (@SayelGaza) October 3, 2014 今日稍早,在#加萨走廊准备过宰牲节 。
17- Sniper (@OmarElQattaa) Octoba 2, 2014Hasan Mustafa提供更多本周稍早,加萨市集的繁忙景象:
18Gazan getting ready to have happy Eid after #Israel Massacres over it in the previous months , #Gaza deserve Life pic.twitter.com/1bCojqsLut
19Sayel akiwa Gaza, aweka picha ya mkusanyiko wa matukio mbalimbali ya maandalizi ya Idi:- Dr.Hasan Mustafa (@Hasan_Mun) October 2, 2014
20Maandalizi ya Idi katika ukanda wa #Gaza mapema leo hii. pic.twitter.com/IIibpJZvJm在前几个月#以色列对加萨的屠杀后,加萨人准备好要过个欢乐的宰牲节了。
21- صَايلْ (@SayelGaza) Octoba 3, 2014#加萨值得好好过生活 。
22zifuatazo ni picha nyingine kutoka kwa Hasan Mustafa za kutoka katika maduka mbalimbali huko Gaza zilizopigwa mapema wiki hii:当然,传统、自家烘焙的ma'moul(枣子饼干)总是能凝聚宰牲节的精神。
23Raia wa Gaza wanajiandaa kuadhimisha sherehe ya Idi kwa furaha mara baada ya #Israel kutokea kwa mauaji ya halaiki katika kipindi cha miezi iliyopita #Gaza inastahili kuwa na maisha bora pic.twitter.com/1bCojqsLutGetting ready for eid… #Palestine #FreePalestine pic.twitter.com/lFtBssVhfo
24- Dr.Hasan Mustafa (@Hasan_Mun) Octoba 2, 2014- فلسطين i (@iFalasteen) October 3, 2014
25Na pia, hamasa ya sherehe ya Idi huchagizwa vizuri zaidi kwa And of course, Eid's spirit is always intensified by traditional, homemade ma'moul (date cookies) aina ya biskuti za kitamaduni zitengenezwazo majumbani:准备好过宰牲节… 加萨的Hiba表示,不论苦痛,孩子会享受宰牲节的:
26Katika kujiandaa na Idi… #Palestine #FreePalestine pic.twitter.com/lFtBssVhfo不论怀着怎样的苦痛,加萨的孩子将欢庆宰牲节。
27- فلسطين i (@iFalasteen) Octoba 3, 2014更多加萨市集的照片,此处人们显得兴高采烈:
28Pamoja na machungu yote, watoto wataifurahia Id, anasema Hiba akiwa Gaza:直接来自#加萨街道的#加萨宰牲节,不论苦痛与以色列的长期袭击,我们将欢庆 #غزة_بدها_تعيد
29Mamoja na machingu yao, watoto wa Gaza watasherehekea IdiNuseiba指出,不管加萨在过去的这几个月忍受了多少的牺牲与损失,这个城市仍旧希望庆祝宰牲节:
30Kutoka katika maduka ya Gaza, mahali ambapo hamasa inaonekana kuwa ya juu kabisa:今年,宰牲节提前造访加萨,这个地方牺牲了孩子与资产。 尽管如此,加萨希望庆祝宰牲节。
31Gaza inahitaji kusherehekea IdiFarah支持Nuseiba跟其他上百位推特用户,她提到刚结束没多久的开斋节,那时候加萨仍旧在战火之中:
32Gazans didn't celebrate Eid Al-Fitr bc it was during th war, so we'll double celebrate Al-Adha Eid☺️ #Gaza
33Nuseiba aeleza bayana kuwa, bila kujali maisha ya watu yaliyopotea katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita, jiji hili bado linakila sababu y kusherehekea sikuu ya Idi:- Guess What (@Farah_Gazan) October 2, 2014
34Mwaka huu sherehe ya utoaji sadaka imekuja mapema Gaza, ambapo sadaka ya watoto na mali ilitolewa. pamoja na masahibu yote haya, Gaza inahitaji kusherehekea Idi之前,因为战火,加萨人没有庆祝开斋节。 所以,这次我们会加倍庆祝宰牲节☺️#加萨
35Farah joins Nuseiba, pamoja na watumiaji wengine wengi wa Twita walitanabaisha kuwa, ,Idi iliyopita iliwakuta watu wa Gaza katika vita:他们真的办到了: “We teach life, sir.”
36Watu wa Gazan' hawakusherehekea sikukuu ya Eid Al-Fitr bc,, ilikujs wakati wa vita, kwa hiyo, sote'tunasherehekea Idi ya Al-Adha mara mbili zaidi☺️ #Gaza#Gaza pic.twitter.com/J0VeErgbuy
37- unajua nini (@Farah_Gazan) Octoba 2, 2014- Sara Yasin (@missyasin) October 2, 2014
38Kwa kweli, wanaweza:阁下,我们教导生命。
39"Tunafundisha maisha ndugu."#加萨
40#Gaza pic.twitter.com/J0VeErgbuy - Sara Yasin (@missyasin) October 2, 2014译者:Mia Shih 校对:Ameli