Sentence alignment for gv-swa-20100118-1141.xml (html) - gv-zhs-20100127-4564.xml (html)

#swazhs
1Senegal Yatoa Ardhi ya Bure kwa Walionusurika na Tetemeko la Ardhi塞内加尔提供免费土地给海地地震幸存者 [本文英文版原载于2010年1月17日]
2Rais Wade, akiwa katika Mkutano wa Dunia wa uchumi 2002, anataka kuwapatia ardhi ya bure walionusurika na tetemeko la ardhi (picha na: Wikipedia)总统Wade,照片摄于2002年世界经济论坛。 他想要提供海地地震灾民免费的塞内加尔土地。
3Japokuwa blogu ya Blog Politique au Senegal haijatoa maoni yake kuhusu pendekezo la rais Wade wala kuhusu tetemeko la ardhi, blogu hiyo ilituma maoni ya Dkt. El hadji Malick Ndiaye [Fr] juu ya umuhimu wa mshikamano baina ya nchi za kusini, ambayo yalichapishwa kabla ya Wade kutoa tangazo lake:照片来自:维基百科 毁灭性的地震过后,全世界的政治人物跟公民都纷纷抢着加入援助海地的行列,就连许多贫穷的国家,像是非洲的多个国家,也不落人后。
4Kuna nyakati katika historia ya nchi ambapo wananchi wake hupata fursa ya kuwafundisha watu wenye uwezo na nafasi somo la maadili.卢安达、赖比瑞亚、南非、加彭、奈及利亚跟其他许多国家都表示愿意提供金钱援助。
5Kuna nyakati ambazo hujitoa kama fursa kwa watu kuonyesha uwezo wao katika maadili.然而,塞内加尔现年84岁的总统Abdoulaye Wade所采取的举动更让多家媒体连登头条。
6Hatuwezi kutitia kwenye hali ya kukubali hatima yetu na daima kuwa katika hali ya kupokea [misaada].Wade提供免费土地给每一位在海地地震后幸存的灾民,只要他们希望「回到老家」,总统府发言人这么表示。
7Senegal pekee haiwezi kusitisha mateso ya watu wa Haiti.然而在网络上,这份提议受到广泛嘲弄。
8尽管塞内加尔政治博客(Blog Politique au Senegal)尚未对Wade的提议以及这次地震做出回应,他在博客上已经刊登EL Hadji Malick Ndiaye博士的意见[法文],强调「南方连结」的重要性,这份意见的发表时间早于Wade的声明:
9Lakini ukweli huo hauwezi kututoa katika kitanzi cha kutenda, ukweli huo hauwezi kuwa kisingizio cha kutojali kwetu.在历史上的某些时刻,一个国家的公民会教导该国的精英甚么是伦理。
10Katika dakika hii, nchini Haiti kuna watu wanakufa na huo ndio ukweli wa tetemeko la ardhi.在某些时刻,人们该趁机展现其德性之宏大。
11Kauli zetu zote kuhusu mshikamano hazitakuwa na maana wakati huu ikiwa hatutafanya kila linalowezekana ili tuwe na msaada.我们不该陷入 失败主 义,总是接受[别人的帮助],塞内加尔没有办法独自终结海地人的悲惨遭遇,但这不代表我们无须行动,更非冷漠的藉口。
12Hebu tutoe kidogo kwa ajili yaw engine duniani, kwani tumekwishapokea sana kutoka kwa wengine duniani na tunaweza kuwa na shida siku moja.在这个非常时刻,海地人正在死去,这 就是这场地震最深的现实。
13Raia wa nchi zenye nguvu, ambao wanaigeukia Haiti, zaidi ya thamani ya vitendo kama hivyo vya kimaadili, pia wanatupatia somo juu ya maana ya utu.所有嘴巴上说的支持在这个时刻都没有意义,除非我们尽我们所能来帮助他们。 我们贡献一点给这个世界吧,因为我们已从这世界得到太 多,我们未来也可能再次需要协助。
14Ni jambo la aibu na kuudhi kujifanya kuwa sisi ni watu tunaovutia, wenye maadili yenye kuvutia, watu ambao tu wepesi kukosoa mapungufu ya Wamagharibi, kuonyesha thamani ya mshikamano wa kidini, na kushindwa kunyanyua kidole ili kupunguza, kwa hesabu, mateso ya dunia .强大国家的公民前往海地,除了展现他们率直的道德观以外,也替我们上了一堂关于公共利益的课。 装成伟大的人,带着虚伪的 伟大价值观,迫不期待抨击西方国家的缺失,炫耀宗教上的一体,但是对于消除这世界的苦难这差事,却连一根手指都不愿意动一动。
15Hata hivyo, pendekezo la kuwahamisha Wahaiti wasiokuwa na ardhi haukuwa mshikamano ambao wengi waliufikiria.然而,没有多少人能预料到会有国家提供失去土地的海地人举家移民的机会。
16Serigne Diagne, ambaye amekuwa akifuatilia kwa karibu jinsi Senegal ilivyoitikia tetemeko la ardhi, alikuwa na haya ya kusema kuhusu mpango huo:Serigne Diagne在震灾之后便一直紧盯塞内加尔的反应,他对于这个计划有意见(编辑自原文):
17… Dakar, ambayo inashindwa kushika kasi na kutatua matatizo yake mengi yanayohusiana na majitaka na mipango miji, ambayo vitongoji vyake vinaelea katika maji ya mafuriko yaliyotokea miaka mingi iliyopita, kwa uwezo gani itaweza kuwachukua watu au nchi nzima kutoka ng'ambo nyingine ya dunia?…达卡(塞内加尔首都)发展迟滞,诸多问题难解,包括卫生与都市化,郊区这几年来时常淹水,到底要怎么作才有可能再容纳世 界 另一端的一整个国家人口呢?
18… [Bila ya kusema wapi itapata fedha za kufanya jambo hilo] Abdoulaye Wade, katika kuonyesha mshikamano na Uafrika (PanAfricanism), anatoa pendekezo la kupunguza watu Haiti, na kusahau kuwa wema huanzia nyumbani…… [不解释资金从哪来]Wade以泛非洲人主义,摆出团结与支持的姿态,提出减少海地人口的建议,却忘了自家都过不下去了。 …
19…[ni lazima ichukuliwe kuwa] Abdoulaye Wade, mwenye kupenda sana kumbukumbu za karne ya 19, anaamini kuwa Marcus Garvey bado yu hai, na kwamba harakati za “Kurudi Afrika” bado zina maana.…[可以假设] Abdoulaye Wade依旧怀念十九世纪,相信Marcus Garvey(译 注:19世纪活跃的泛非洲人主义推动者)还活着,「回到非洲」运动还在持续。
20Siku moja hatimaye atatuambia kuwa walikuwa ni Wabaguzoi wa Ku Klux Klan ambao waliitetemesha dunia kule Haiti. .. kila nchi ina majanga yake.有天他可能会告诉我们是3K党(译注:美国南部的白人秘密组织,利用暴力反对 社会变革和黑人的平等权利)让海地发生地震的…每个国家都有自己的灾难啊。
21Haiti ina majanga yake, ambayo yanasababisha moyo wa huruma, na sisi tuna majanga yetu, ambayo hufanya uharibifu sawa tu na ule wa tetemeko, matamko kama haya ya rais ambaye anashindwa kuwa mbali na mitafaruku, na ambaye rekodi yake ni chanzo zha utata.海地有自己的灾难,激发许多人的同情,我们有我们自己的灾难,跟地震造成的 损失不相上下,像是一个不懂如何保持超然,总是引发争议的总统。
22Watu wa Haiti, kama ilivyoelezwa na rais ‘ Wana haki katika ardhi ya Afrika”.海地人,假使真如总统所说的:「有资格拥有非洲的土地」,问题是:他们要吗?
23Swali linabaki, ikiwa wataitaka (ardhi hiyo).PascaleBoulerie是tak2.
24PascaleBoulerie, msomaji katika tak2. 00221.info anaandika:00221.info博客的读者,他写道:
25Hili ni wazo la kijinga kabisa, kwa kuwa Senegal pia ina upungufu wa ardhi ianyoweza kulimwa, wingi wa watu, na kuhamahama kwa makundi makubwa ya watu.这真是个愚蠢的点子,塞内加尔自己都面临可耕作土地不足、人口过多、还有移民问题。 Phillipe Souaille在Tribune de Geneve的一篇文章下回应:
26Phillipe Souaille, akitokea kwenye makala ya Tribune de Geneve, anaandika:亲爱的Gorgui,我感觉你的总统(又一次)错过了保持安静的机会。
27…je hii si kazi ya mgonjwa wa kusahau?我不认为海地人如此渴望到非洲寻找庇护。
28Muda umefika wa kumpisha mtu mwingine, kama hana suluhisho lolote la kuwapa watu wanaoteseka kutokana na kuachwa pamoja na ukimbizi!真正的帮助 他们的 方式应该是让他们在自己的国家繁荣起来,让他们起码可以达到跟邻近岛国一样的生活水准,而这比起非洲的平均生活水准高多了,也比塞内加尔高多了… …这不就是移民造成的吗? 此时此刻,总统该自己下台,如果他依旧拿不出办法让蒙受遗弃跟流亡的人民一个交代!