Sentence alignment for gv-swa-20130101-4557.xml (html) - gv-zhs-20130121-12091.xml (html)

#swazhs
1Hakuna Usalama kwa Waandishi wa Kiraia Nchini Bahrain巴林的公民记者没有天堂
2Posti hii ni sehemu ya habari zetu maalumu za Maandamano ya Bahrain 2011. Baada ya video ya “kibao” cha polisi wa Bahrain kusambaa sana mtandaoni Waziri wa Mambo ya Ndani alitoa tamko akiomba kuwayeyote aliyepiga picha tukio hilo aliripoti haraka ” kwa mamlaka zinazohusika.巴林警方“巴掌”事件的影片快速蔓延之后,内政部长发表一则声明表示,“任何人拍摄到这种行为应立即呈报”至相关当局。
3Siku mbili baadae, na kinyume na kauli hiyo, watu wengi walishangazwa na kukamatwa kwa mpiga picha.但是两天后,摄影记者遭逮捕的新闻震惊许多人,因为这与当初部长的声明形成对比。
4Picha ya Mpiga picha Ahmed Humaidan na uanachama wake wa chama cha wapiga picha wa MArenani.摄影记者Ahmed Humaidan及其美国摄影学会会员证的照片。
5Ilichapishwa na @ahmedalfardan1由@ahmedalfardan1发布
6Shirika la Ulaya-Bahraini linaloshughulikia Haki za Binadamu lilitwiti:欧洲巴林人权组织(EBOHR)在推特上发表:
7@EBOHumanRights: Ahmed Humaidan kutoka Kituo cha Biashara cha Jiji la Bahrain amekamatwa na bado hajulikani aliko tangu jana usiku.@EBOHumanRights:青年摄影家Ahmed Humaidan昨晚在巴林市中心商场遭逮捕且失去联系。
8Mpiga picha Ahmed AlFardan aliongeza:摄影记者Ahmed AlFardan补充:
9@AhmedAlFardan2: Zaidi ya polisi kanzu 15 walimkamata Humaidan kutoka katika Kituo cha biashara Jijini Bahrain #freehumaidan #freebhphotographer #sitrapic.twitter.com/pSeM9YgJ@AhmedAlFardan2:超过15名便衣警察在巴林市中心逮捕Humaidan #freehumaidan #freebhphotographer#sitrapic.twitter.com/pSeM9YgJ
10Sayed Hassan aliandika:Sayed Hassan写到:
11@WLEXT: Siku ya huzuni kwa wapigapicha & Journos nchini #Bahrain, Mshindi wa Tuzo ya Mwandishi wa kiraia wa picha #FreeHumaidan amekamatwa jana pic.twitter.com/c4ak9VFH@WLEXT:这对#Bahrain的摄影师和记者来说是悲伤的一天,获奖的公民摄影记者#FreeHumaidan昨天遭逮捕pic.twitter.com/c4ak9VFH
12Picha ya Ahmed Humaidan akiwa na baadhi ya picha zake ziliozsababisha ashinde na tuzo alizopokeaAhmed Humaidan、他的获奖照片与他获得的奖项。
13Mwandishi wa Kuwaiti na mwanaharakati wa haki za binadamu Hadeel Buqrais alitwiti:科威特作家及人权人士Hadeel Buqrais在推特上发布:
14@HadeeLBuQrais: Baada ya mauaji ya mpiga picha Ahmed Ismail mwingine aliyekimbia Ahmed Humaidan analengwa na amekamtwa.@HadeeLBuQrais: 杀害摄影记者Ahmed Ismail的凶手逃离法网后,摄影记者Ahmed Humaidan遭锁定和逮捕。
15Ahmed Ismail ni mpiga picha za video ambaye aliuawa mjini Salambad mwaka jana (2011) wakati alipiga picha za maandamano.摄影师Ahmed Ismail,去年在Salambad拍摄抗议活动时遭杀害。
16Alipigwa risasi kutoka kwenye gari la kiraia.子弹来自平民汽车。
17Kituo cha Doha cha Uhuru wa Habari kilitoa tamko lililosema:杜哈媒体自由中心(DCMF)发表一篇声明:
18Kituo cha Doha cha Uhuru wa Habari kinaungana na utafutaji wa habari unaofanywa na Jamii ya Vijana wa Bahrain inayotetea Haki za Binadamu inayotoa wito wa kuachiliwa huru kwa Humaidan. …杜哈媒体自由中心将与要求立即释放Humaidan的巴林人权青年社会(BYSHR)一同查探此事。 […]
19Humaidan ameshinda zaidi ya tuzo za kimataifa 140 katika tasnia ya uandishi wa habari picha, na anachukuliwa kuwa mpigapicha bora wa pili wa Nchi za Kiarabu kushinda katika mashindano ya upigaji picha.Humaidan获得超过140项国际摄影记者奖项,也被认为是摄影比赛中第二重要的阿拉伯获奖摄影师。
20Zainab Hashemi aliongeza:Zainab Hashemi补充说:
21@ZainaBHashemi: Siku zote wanamwogopa yeyote anachapisha picha kuonyesha matumizi yao ya nguvu na ujeuri ndio maana walimkamata.@ZainaBHashemi:政府逮捕他的原因是因为,他们一直以来都惧怕任何公布他们暴力与傲慢的人。[
22Kesho Sameera Rajab [waziri wa Nchi anayesughulikia Mambo ya Habari] atasema kama tulivyozoea: tunao uhuru wa habari nchini Bahrain新闻部长]Sameera Rajabp明天会一如往常地说:我们巴林有新闻自由。