Sentence alignment for gv-swa-20100726-1564.xml (html) - gv-zhs-20100719-5615.xml (html)

#swazhs
1Asia ya Kusini Mashariki : Ngono na Udhibiti wa Mtandao东南亚:性与网络审查
2Kuratibu vilivyopo kwenye mtandao siku hizi inaonekana kama ni kitendo kinachopinga demokrasia lakini serikali za Kusini Mashariki mwa Asia zinaonekana kuweza kuhalalisha vitendo hivyo kwa kudai kuwa vinatokana na haja ya kuwaepusha vijana na majanga ya tabia za ngono za hovyo hovyo.
3Mpango wa Indonesia wa kuuchuja mtandao wa intaneti na mambo yote “mabaya” kwa kutumia timu maalumu ya kuchuja media-anuai uliwekwa pembeni mwezi wa pili mwaka huu baada ya kupingwa vikali na wananchi.人们今日常认为,规范网络内容是反民主行为,但东南亚国家政府声称要保护年轻人,不让他们受到不雅性行为戕害,做为限制网络的理由。
4Leo, pendekezo hilo limeamshwa upya kutokana na kuwepo kwa mkanda wa kutia aibu wa ngono wa mtu maarufu ambao unaendelea kuwastua wote watoto na watu wazima katika nchi yenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu duniani.
5Baada ya kurasimisha sheria ya kupinga picha za ngono miaka miwili iliyopita, Indonesia sasa inataka kuanzisha orodha ya visivyotakiwa mtandaoni kama namna ya kuitikia haja ya makundi ya kihafidhina ya kulinda maadili ya vijana. Mkasa wa kutia aibu wa ngono wa watu wanaojulikana sanawa namna hiyo uliibabatiza sana nchi ya Ufilipinomwaka jana ambao ulifagia njia ya kuanzishwa kwa sheria inayozuia kuangalia mambo ya nguoni.印度尼西亚政府原本打算成立「多媒体内容审查」小组,过滤互联网上的「负面内容」,遭到大众强烈反弹,于是在今年二月搁置计划,然而最近发生名人性爱影片丑闻,震惊全国民众,也在这个全球穆斯林人口最多的国家引发轩然大波,面对保守派人士疾呼保护年轻人道德观,政府在两年前通过反色情法后,如今打算列出网络黑名单。
6Mtandao wa intaneti pia ulilaumiwa kwa kusambaza papo kwa papo kanda za hizo za ngono na hivyo watunga sheria kuamua kupitisha mswaada wa makaosa ya kimtandao.菲律宾去年曾有一起类似丑闻,才因此通过反偷窥法,人们亦怪罪网络迅速散播性爱影片,让国会议员准备草拟网络犯罪法。
7Huko Kambodia, serikali inapendekeza kuanzishwa kwa kituo cha taifa cha usambazaji ili kudhibiti watoa huduma za intaneti, kituo hicho kina nia ya kuimarisha usalama wa kwenye mtandao dhidi ya picha za ngono, wizi pamoja na uhalifu mwingine wa kwenye mtandao.
8Rasimu ya sheria hiyo bado haijakamilika lakini inategemewa kuwa serikali itafuatilia hatua hii kwa makini hasa baada ya kukaribia kushindwa kuzuia upakiaji holela kwenye simu za viganjani na kwenye intaneti wa wa picha za uchi za wanawake waliokuwa wakioga hekaluni zilizopigwa kinyume cha sheria .
9Kusini mashariki mwa Asia serikali hazihitaji kutokee shutuma za ngono ndipo ianze kuchunga mtandao kwani huweza kutumia sababu nyingine yeyote, kama usalama wa taifa, kuchuja na kufuatilia vilivyopo kwenye mtandao. Kwa mfano, Thailand ilikuwa ya kwanza kufungatovuti 100,000 fkutokana na kuwa na mambo “hatari”.柬埔寨政府提议建立官方交换点,让政府掌控所有国内互联网服务供应商,希望加强安全,防堵色情、盗窃与其他互联网犯罪,这项草案尚未底定,但最近发生有人非法拍摄修道院两名女性裸体沐浴画面,政府却无法可管,故政府应会积极要求通过这项法案。
10Huwaadhibu wanablogu,waandishi na waratibu wa tovuti kwa kukiuka sheria inayoulinda ufalme dhidi ya aibu. Vietnam ilishutumiwa na Google na McAfee kwa kufanya mashambulizi ya mtandaoni dhidi ya baadhi ya tovuti, hasa tovuti zinazoandika kuhusu uchimbaji wa madini yanayotengeneza bati, ambao ni mjadala tata nchini humo.东南亚国家并非总是等到性丑闻爆发后,才决定实施网络审查,也会依据国安等其他理由,过滤或监控网络内容,例如泰国开全球风气之先,率先关闭十万个含有「危险内容」的网站,又以违反规定严格的「欺君罪」,惩处众多博客、作家及网站管理员,越南遭Google、McAfee等企业指控攻击特定网站,包括反对国内开发铝氧石矿的网站。
11Lakini uratibu wa mtandao unaosukumwa na siasa mara nyingi huwa unakumabana na upinzani mkubwa sana kutoka kwa watumiaji wa mtandao na mara nyingi huamsha lawama nyigi sana kote ulimwenguni, hasa kutoka kwa vyombo vya habari na mashirika ya haki za binadamu.
12Serikali zinaweza kuwapuuzia wakosoaji wenye kelele nyingi lakini pia zinaweza kupoteza umaarufu. Serikali zenye vifungu vya demokrasia haziwezi kumudu kuwa na ujanja wa kuratibu vinavyokuwepo kwenye mtandao kwa muda mrefu.网络审查或基于政治因素,通常会引发全球网络用户、媒体及人权组织一片挞伐之声,政府当然总是能忽略众声喧哗,但也可能失去国际公信力,故 政府至少在披着民主外衣时,无法长期箝制网络媒体。
13Lakini kuratibu mtandao ili kuzuia picha za ngono na vitendo vingine visivyo na maadili huamsha lawama chache sana na za chini chini. Imekuwa ni ujanja salama kuzuia tovuti “haribifu”.不过若是以阻挡色情或其他败德举止为由,抗争声浪就会微弱许多,也成为封锁「有害网站」最佳之道,缅甸网络规范严格程度常高居全球之冠,不过军政府禁止两份周刊登载女模特儿穿着短裤照片后,民主团体抗议程度却不若以往。
14Myanmar's Sera ya uratibu wa mtandao ya Myanmar iliyosimikwa na utawala wa kijeshi imetambuliwa kuwa ndio iliyo katili kuliko zote ulimwenguni kwa uamuzi wake wa kuyapiga marufuku majarida mawili ya kila wiki kwa kuchapisha picha za wanawake wanamitindo wakiwa nusu uchi japo hawakupata kukosolewa sana na wanaopenda demokrasia.
15Hatua kali za kutaka kuondoa ngono na picha za ngono mtandaoni inaweza kuwa ni dalili ya kuibuka upya kwa uhafidhina katika nchi nyingi za Kusini Mashariki mwa Asia.
16Karata ya maadili inachezwa ili kurudisha hali inayokubalika, hisia na tabia halali kati ya watu hata kama njia itumikayo haitaheshimu tofauti za mila na desturi kati ya watu wa kanda hiyo.
17Wakati Indonesia ilipopitisha sheria ya kupinga picha za ngono, Gavana wa Bali aliipinga kwa vile sheria ilikuwa ile ilikuwa kinyume na tamaduni za za eneo hilo ambako kuweka sanamu za uchi zenye kuamsha hisia bado zina nafasi na zinakubalika.
18Wakati Kambodia ilipozizuia tovuti zinazoonesha picha za ngono, iliijumuishareahu.net kwa kuwa na vielelezo vya kisanii vyawachezaji wa zama wa Apsara walio matiti wazi pamoja na askari wa Khmer Rouge. Tatizo jingine ni maelezo yasiyoeleweka ya lipi hasa linaloweza kuitwa ni la ki ngono, lisilo la kistaarabu, lisilo la kimaadili, na la nguoni.政府积极扫除线上世界的性感图片,或许反映出许多东南亚国家保守氛围日渐高涨,例如印度尼西亚通过反色情法时,峇里岛(Bali)地方首长便抗议该法违背地方传统,因为裸体塑像与情色舞蹈在当地颇为盛行;柬埔寨则封锁刊载性感图像的网站,包括reahu.net网站以艺术手法呈现古代袒胸Apsara舞者及赤棉士兵,也同遭难逃封锁命运。
19Wanaharakati wa Kifilipino wana mashaka kuwa muswaada wa uhalifu wa mtandaoni sasa unaweza kufanya kuwa kinyume cha sheria kuchapisha au kupakia maudhui yaliyo kinyume cha tafsiri ya serikali ya vitu vyenye heshima, maadili na sawa. Serikali zimefuzu nyenzo na mbinu za kuchuja habari kwenye vyombo vya habari vya kitamaduni.问题在于,大众对于何谓色情、不雅、败德、淫亵行为定义不明,菲律宾社运人士担心,前述网络犯罪法案若通过,将完全交由政府决定哪些内容为合宜、道德及适当,也让自己上传或刊登的内容触法。
20Hivi sasa wanaijaribu mipaka ya udhibiti wa kwenye mtandao. Mpango wa Indonesia wa kusimika orodha marufuku ya kwenye intaneti unapaswa ufuatiliwe kutokana na athari zake kwenye eneo hilo.对于审查传统媒体的工具及技术,各国政府已相当娴熟,转而挑战网络规范的极限,外界应密切注意印度尼西亚的网络黑名单计划,因为可能会影响整个区域,该国网络用户超过4000万人,也是Twitter网站在亚洲最热门的地区,若该国成功过滤线上内容,东南亚其他国家恐怕亦将起而效尤。
21Indonesia ina watumiaji wa intaneti zaidi ya milioni 40 na imetambuliwa kama makao makuu yaTwitter katika Asia. Kama Indonesia itafanikiwa katiaka kuchuja yaliyopo mtandaoni, nchi nyingine katika eneo hili zinatarajiwa kufuata mfano huo.审查不仅减少资讯流通,亦会降低网络用户与志同道合者结盟的力量,若要保护年轻人及无辜民众,最佳方式是教育年轻人、家长及社区,提供有关使用网络风险的资讯。
22Kuuchunga mtandao hakuishii tu kuzuia upatikanaji wa taarifa, bali pia hudhoofisha mshikamano wa watumiaji wa intaneti katika mtandao.校对:Soup
23Ili kuwakinga vijana wasio na hatia, njia rahisi ni kuwapa elimu muafaka wazazi na hao vijana na jamii kwa ujumla kuhusiana na faida na hasara za kuuvinjari mtandao.