# | swa | zhs |
---|
1 | Palestina: Shule ya Umoja wa Mataifa Yashambuliwa na Makombora ya Israeli, Zaidi ya 40 wafariki | 巴勒斯坦:以色列轰炸联合国学校 逾40亡 |
2 | Takriban majira ya saa 12 za jioni (GMT +2), Idhaa ya Kiingereza ya Al Jazeera iliripoti kuwa shule moja ya Umoja wa Mataifa ilipigwa wakati makombora mawili ya vifaru yalipolipuka nje ya shule hiyo. | 昨晚约六点(GMT+2)半岛电视台英语频道(Al Jazeera English)报导,位于加巴里雅(Jabaliya)的联合国学校遭到攻击,两枚坦克炮弹在学校外围爆炸,该所学校自数天前权充为临时庇护所,供无家可归或暂时撤离的加萨人居住。 |
3 | Shule hiyo, iliyopo Jabaliya, ilianza kutumiwa kama makazi ya raia wa Gaza waliozikimbia nyumba zao au waliopoteza makazi yao. | 根据半岛电视台英语频道表示,目前超过40人身亡。 |
4 | Kwa mujibu wa idhaa ya Kiingereza ya Al Jazeera, zaidi ya watu 40 wameuawa. | 该台并指出(全球皆可由Livestation.com网站收看),以色列军队先前已获得所有联合国学校的全球卫星定位地址。 |
5 | Katika idhaa ya televisheni ya Kiingereza ya Al Jazeera (inayopatikana duniani kote kupitia Livestation.com) ilitangazwa kuwa jeshi la Israeli, IDF limepewa ramani za setilaiti, GPS, za mashule ya Umoja wa Mataifa. | The Philistine快速发文叙述事件经过: 救护单位表示以色列空袭加萨联合国学校,死亡人数攀升至30人。 |
6 | Blogu ya Philistine iliripoti kwa haraka juu ya tukio hilo: | 这起攻击事件发生在北加萨一所学校十公尺以外,同时也是过去几个小时以来,以色列第二次对联合国学校发动死亡攻击。 |
7 | Waganga na maafisa wa afya wanasema idadi ya waliofariki kutokana na shambulio hilo la anga la Israeli nje ya shule ya Umoja wa Mataifa kwenye ukanda wa Gaza imefikia 30. | 医院领导人Bassam Abu Warda证实,第二起空袭事件,造成30人死亡。 |
8 | Shambulio hilo lilitokea kama yadi 10 hivi (mita) nje ya shule huko kaskazini mwa Gaza. | 两起事件中,学校均充作临时庇护所,供在以色列攻击中流离失所的民众避难。 |
9 | Ni shambulio la pili la Israeli lililopiga shule ya Umoja wa mataifa katika masaa machache yaliyopita. | 一名联合国人道事务高级官员谴责暴力行径,并要求展开调查。 |
10 | Mkurugenzi wa hospitali Bassa Abu Warda alithibitisha vifo 30 kutokana na shambulio la pili. | 以色列方面不表示意见。 |
11 | Katika mashambulio yote mawili, shule hizo zilitumiwa kama hifadhi ya watu waliopoteza makazi yao kutokana na mashambulizi ya Israeli. | Syria News Wire也快速发文表示: |
12 | Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa amelaani unyama huo na kutaka uchunguzi ufanywe. | 以色列轰炸加萨联合国学校,现在已有40人死亡。 |
13 | Israeli haijatoa maoni yoyote. | 稍早联合国安排400名巴勒斯坦人在学校避难。 |
14 | Blogu ya Syria News Wire kadhalika iliripoti kwa haraka ikieleza: | 伦敦Twitter用户dominiccampbell对新闻反应激动: |
15 | Watu 40 wamefariki baada ya Israeli kutupa makombora kwenye shule ya Umoja wa Mataifa huko Gaza. | 图说:现在以色列是不是打算宣称,哈马斯把联合国学校搬到坦克攻击射程内? |
16 | Wapalestina 400 walipewa hifadhi shuleni hapo na Umoja wa Mataifa. | 芬兰Twitter用户haloefekti则对没有人出声抗议表示震惊: |
17 | Mtumiaji wa huduma ya Twita domoniccampbell, aliyeko mjini London, alitoa maoni makali kuhusiana na taarifa hiyo: Mtumiaji wa Twita wa Kifini haloefekti anaelezea kustushwa kwake na uhaba wa shutma kuhusu shambulio hilo: | 图说:等着看国际社会发动抗议-那是一所学校,是联合国在加萨的学校,实在太疯狂了! |