Sentence alignment for gv-swa-20090724-241.xml (html) - gv-zhs-20090712-3187.xml (html)

#swazhs
1Nchi za Kiarabu: Homa ya Mafua ya Nguruwe Yaendelea阿拉伯:新流感仍在蔓延
2Homa ya mafua ya nguruwe au H1N1 bado inatawala vichwa vya habari vya magazeti katika nchi za Kiarabu kwani wagonjwa wapya wanaendelea kugunduliwa na mamlaka za afya na kutangazwa katika vyombo vya habari kila siku.
3Huko Bahraini, Silly Bahraini Girl (ambaye ni mimi) amerudi nyumbani na kushangazwa na kile alichokiona katika kiwanja cha ndege cha nchini mwake:
4Ukweli wa jinsi sehemu hii ilivyogeuka na kuwa ya kiwendawazimu unakupiga usoni sekunde ile unapotua kwenye kiwanja cha ndege cha kimataifa na kuona wafanyakazi wa ardhini wamevaa vitambaa vya kitabibu kufunika pua, kuanzia wahudumu mpaka maofisa wa uhamiaji. “Mna tatizo gani?”由于卫生单位仍不断发现猪流感(或译新流感、H1N1甲型流感)病例,媒体亦每日报导,故此事在阿拉伯世界仍是讨论焦点。
5Ninawauliza. “Kuna maambukizi Bahraini?”笔者终于回到巴林,对自己在机场见到的景象很惊讶:
6Niliendelea kuuliza […] hali ilionekana kuwa ngumu na kiwango cha wendawazimu wa mafua haya ya nguruwe kilikuwa juu kuliko niliyokutana nao kokote nilikosafiri tangu matatizo haya ya nguruwe yalipoikamata dunia. Kwanini hapakuwepo hata mtu mmoja aliyevaa matambara haya kwenye viwanja vya San Fransisco, Chicago, Toronto na Heathrow ambako nilisafiri katika majuma machache yaliyopita?当你一抵达巴林国际机场,就深刻感受到这个地方变得多么疯狂,犹如一巴掌重重打在脸上,所有地勤人员都戴着外科手术口罩, 从服务 人员、移民官至海关皆然,我问他们:「你们有什么毛病吗?」、「巴林有瘟疫吗?」,我不断感到困惑,[…]当地情况似乎很紧绷,自猪流感发生在地球上 之后,我前往世界各地,这里肯定是猪流感紧张程度最高地区,我在过去几周曾经前往美国旧金山、美国芝加哥、加拿大多伦多与英国伦敦机场,为什么都没见到半 个人戴口罩?
7Bado tukiwa Bahraini, Sohail Al Gosaibi ananusa njama kwenye hewa, anaona kwamba kukuza sana madhara ya mafua ya nguruwe kunayanufaisha mashirika ya habari, watangaza biashara na viwanda vya madawa.巴林的Sohail Al Gosaibi嗅闻到空间中的阴谋论,认为夸大猪流感疫情对媒体、广告业与制药业有利,他指出:
8Mwanablogu wa Kisaudia anaandika: Vyombo vya habari siku zote hukuza hali ya mambo, kumbuka kwamba hofu huuza.媒体几乎总是夸大情况,恐惧总能刺激阅听众,报纸与新闻频道必须卖广告版位与时段赚钱,报导愈可怕震惊,就带来愈多观众与读者,吸引更多广告商,获取更多利润。
9Na magazeti na idhaa za habari ni lazima viuze nafasi za matangazo na muda wa kurusha matangazo hewani ili kutengeneza fedha, na kwa kadiri habari inavyokuwa inatishia na kuogopesha ndivyo wanavyopata watazamaji na wasomaji wengi zaidi, ambavyo huongeza watangaza biashara, na faida zaidi.
10Al Gosaibi ananukuu makala aliyoisoma na kuhitimisha:Al Gosaibi也引述他所阅读的报导后认为:
11Kwa mujibu wa makala, Serikali za Marekani na Uingereza zina hifadhi ya madawa ya Tamifluiflu yenye thamani ya mabilioni ya dola ambazo lazima wazitumie ndani ya miezi michache ijayo, vinginevyo yatapita muda wake. Inafurahisha, eeh?据报导指出,美国与英国政府拥有价值数十亿美元的克流感/特敏福(Tamiflu)药品库存,必须在未来几个月使用完毕,否则就会过期失效,很有意思吧?
12Na akizungumzia nadharia, mwanablogu wa Jordan Reform Watch pia anacho cha kusema na kuandika: Ahhh.谈到理论,Jordan Reform Watch也有些看法:
13.mafua ya nguruwe pamoja na nadharia zote za njama zinazoambatana nayo… “mwanasayansi” wa Kijordani bingwa wa magonjwa anadai kuwa Maka na Madina ziko mbali na ugonjwa huo, kwa hiyo hakuna haja ya kuzungumzia uwezekano wa mlipuko ambao unaweza kutokea kutokana na mamilioni ya mahujaji kuwa karibu karibu wakati wa hija…这些猪流感与伴随而来的阴谋论…一位专精疾病的约旦「科学家」宣称,麦加与麦地那两地似乎孤立不受疾病影响,故不必担心穆斯林前往朝圣时,可能造成疾病传染。
14Uweni nguruwe…Nendeni kwenye Hija…na mtakuwa mbali na ugonjwa…只要杀光猪…前往朝圣…各位就百病不侵…
15Mwanablogu wa Kimisri Zeinobia, anayeblogu kupitia blogu ya Egyptian Chronicles, kadhalika anaguswa na jinsi ugonjwa utakavyosambaa wakati wa Haji [Msimu wa Hija ya Waislamu Maka kila mwaka], ambapo mamilioni ya mahujaji kutoka sehemu mbalimbali duniani hukusanyika Maka ili kutimiza nguzo hiyo.埃及博客Zeinobia在Egyptian Chronicles博客也关心,伊斯兰教朝圣(Hajj)是否会造成疾病传染,届时全球无数朝圣者将齐聚麦加:
16Anaandika: majadiliano kuhusu mustakabali wa Hija na Omra [hija ndogo] mwaka huu bado ni suala linaloendelea.今年是否停办朝圣活动仍在讨论中,卫生部长希望取消小型朝圣活动Omra,但观光部长持反对意见,我就不必再解释朝圣为何了。
17Waziri wa Afya anataka kuifuta Omra wakati Waziri wa Utalii anapinga kufutwa huko, sihitaji kuzungumzia kuhiji.伊斯兰教长内部的辩论肯定更激烈,沙乌地阿拉伯也明白危险何在,决定尽力面对朝圣带来的挑战,建议孕妇及老幼今年勿前往朝圣,我很尊敬这项决定。
18Ni kweli majadiliano ni makali miongoni mwa mashehe wa dini wenyewe.我也有个更好的建议,在这种情况下,不如只开放首次朝圣的男女参与。
19Saudia Arabia inaelewa changamoto iliyonayo tayari na imeamua kushughulikia hali hiyo kwa kadiri inavyoweza katika Omra na hija, inashauri kuwa mahujaji wajawazito, wazee na watoto waepuke kuhiji mwaka huu, Ninauheshimu uamuzi huu. Pia ninalo pendekezo zuri zaidi.最后在叙利亚,博客Yaser Arwani[阿拉伯文]连结至一则报导,指出叙利亚最近出现第一起病例,是为在澳洲工作、返乡探亲的叙利亚医师,这位女性于杜拜国际机场转机回到国内,返国后几天才发病。
20Katika mnazingira kama haya kwa nini tusiwaruhusu tu wale mahujaji wa kwanza wake kwa waume kuhudhuria Omra na Hija.校对:Soup
21Kituo chetu cha mwisho ni Syria, ambapo mwanablogu Yaser Arwani [ar] anatuunganisha na habari inayosema kwamba mgonjwa wa kwanza wa mafua wa nguruwe kuripotiwa Syria ilitaarifiwa na daktari wa Ki-Syria, anayefanya kazi Australia na alikuwa akiitembelea nchi yake.
22Daktari huyu wa kike alisafiri kwenda Syria kupitia Uwanja wa Kimataifa wa Dubai na ugonjwa haukuwa umegunduliwa mpaka siku chache baada ya kuwasili kwake.