# | swa | zhs |
---|
1 | PICHA: Makanisa Yanalia Nchini Misri | 照片:埃及的教堂在哭泣 |
2 | | @daliaziada:上埃及一个小女孩,因为见到教堂遭焚烧而画的这张画,让我直流眼泪: pic.twitter.com/iymw3SF49R |
3 | Kufuatia kuchomwa kwa makanisa, msichana mdogo katika Misri ya Juu alichora picha hii iliyonifanya nitiririkwe na machozi: pic.twitter.com/iymw3SF49R | 穆斯林兄弟会的支持群众,于首都开罗静坐示威好几个礼拜,要求遭罢黜的总统穆尔西复职。 2013年8月14日,军方透过残酷的军事行动,赶走这些支持群众。 |
4 | - daliaziada (@daliaziada) Agosti 15, 2013 | 不久后,埃及全国各地许多科普特教堂遭焚毁。 |
5 | Mtetezi wa haki za wanawake nchini Misri Dalia Aziada aliposti twiti hii baada ya makanisa kadhaa ya wakristo kuteketezwa katika maeneo mbalimbali nchini Misri kufuatia operesheni ya kikatili iliyofanywa na jeshi Agosti 14 2013, iliyokusudia kuwatoa wafuasi wa chama cha Udugu wa Ki-islamu kutoka makao ya makambi katika mji mkuu wa Cairo, ambapo wamekuwa wakidai kurejeshwa madarakani kwa rais Morsi kwa wiki kadhaa. | 在这之后,埃及女权倡议人士Dalia Aziada发了这则推特。 8月16日的“愤怒日”,穆斯林兄弟会支持者与安全部队发生冲突时,又有几十人死亡。 |
6 | Operesheni hiyo ya kuwaondoa wafuasi hao ilisababisha vifo vya watu wasiopungua 638 kwa mujibu wa serikali ya Misri. | 更详细的报导请见全球之声特别报导:Bloodbath in Egypt。 |
7 | Msemaji wa chama cha Udugu wa ki-Islamu amesema watu 2,000 waliuawa katika “mauaji hayo ya halaiki”. | 译者注:科普特人(Copts)指的是埃及的基督徒,在埃及是少数族群,详细说明可见此。 |
8 | Makumi kadhaa waliuawa mnamo Agosti 16, wakati wafuasi wa Udugu wa ki-Islamu walipokuwa wakipambana na vikosi vya usalama katika “Siku ya hasira.” | Email 作者Sahar Habib Ghazi |
9 | Soma zaidi katika Habari zetu MaalumUmwagaji wa damu nchini Misri. | 译者Ameli |