Sentence alignment for gv-swa-20091229-953.xml (html) - gv-zhs-20091226-4388.xml (html)

#swazhs
1Ecuador: Serikali Yaifungia Idhaa ya Televisheni ya Teleamazonas厄瓜多尔:政府让电视台暂时断讯
2Mnamo Disemba 22, Idhaa ya televisheni ya Ecuador Teleamazonas iliondolewa hewani na Msimamizi wa Mawasiliano [es], chini ya sheria ya kufungiwa kwa muda wa masaa 72. Teleamazonas ni idhaa ambayo ina wasifu wa kuwa idhaa ambayo haifuati msimamo rasmi wa serikali.12月22日,厄瓜多尔电讯监管单位裁决让Teleamazones电视频道断讯共72小时,外界认为这个频道向来与官方立场相左,过去三年不断强烈抨击总统柯雷亚(Rafael Correa)领导的政府,总统亦多次主张关闭这个频道。
3Katika miaka 3, imeweza kushikilia tofauti kati yake na utawala wa Rais Rafael Correa, ambayo mara nyingi imetoa wito wa kufungwa kwa idhaa hiyo. Msimamizi wa Mawasiliano alihalalisha kufungwa kwa idhaa hiyo kwa sababu ya matukio ya tarehe 22 Mei, 2009, ambapo ilisambaza habari zilizotokana na dhana kuwa uchimbaji wa mafuta kwenye kisiwa cha Puna kungewaathiri wakazi wa kisiwa hicho, ambao wanapata kipato chao kutokana uvuvi.监管单位宣称,此次断讯惩处是因为今年5月22日时,该频道报导在Puná岛开采天然气后,将危及岛上渔民生计,监管单位认为该频道散播此 一消息时,违反现有宪法第18条第一款,其中保障所有人「能搜寻、接收、交换、产制并散播所有真实、确实、即时、多元、自由的讯息,并顾及大众利益及责 任」。
4Kwa mujibu wa Msimamizi, kutokana kusambaza habari hizo, Teleamazonas ilikiuka kifungu 18, namba 1 cha katiba ya sasa ambayo inaweka haki ya watu wote “kutafuta, kupokea, kubadilishana, kutengeneza na kusambaza habari, zilizothibitishwa, katika muda muafaka, zenye vyanzo mablimbali na tofauti tofauti, ambazo hazijachujwa pamoja na matukio yenye maslahi ya jumla kunaambatana na wajibu ambao haujulikani.”
5Mara baada, kulikuwa na sauti za upinzani kutoka nyanja tofauti nchini Ecuador, ambazo zinaandaa maandamano na upinzani dhidi ya hatua hiyo. Kwa wengi hili ni shambulio dhidi ya uhuru wa kujieleza.裁决一出,厄瓜多尔各界很快出现许多反弹声浪,计划发动游行与抗争反对此事,许多人认为这是攻击言论自由,国会目前也在讨论新通讯法,因为朝野政党议员先前协商破局,才让此事在大众面前曝光。
6Tukio hili la hivi karibuni pia lina umuhimu wakati ambao Bunge la Taifa linajadili Sheria Mpya za Mawasiliano, ambayo ilitangazwa baada ya kuvunja makubaliano yaliyopita kati ya wabunge wa chama cha serikali na wale wa upinzani.
7Pia kuna maoni kwenye mtandao yanaounga mkono na yale yanayopinga hatua hii.网络上对政府的决定意见不一,许多人主张让电视台断讯根本是戕害媒体自由,可能造成寒蝉效应,La Alharaca博客的Xica指出:
8Kwa wengi, kufungwa kwa idhaa ya televisheni ni shambulio la wazi kwa vyombo huru vya habari na pia ni kitendo cha kutishia.厄瓜多尔政府让Teleamazones频道断讯三天,对于其他媒体或国会议员而言,这个讯息很强烈,政府能关闭媒体频道,纵然没有媒体法也无妨。
9Kwa Xica wa blogu ya La Alharaca [es]: Kwamba serikali ya Ecuador imeamua kuiondoa hewani Teleamazonas kwa muda wa siku tatu, kunachotosha kutuma ujumbe mkali kwa vyombo vingine vya habari na kwa wabunge: tunaweza kufunga idhaa ya habari na hatuhitaji sheria ya habari kufanya hivyo.Teleamazones频道反对政府的编采角度亦受人批判,尤其新闻主播Jorge Ortiz时常以恶毒言论指责政府,此外,这个频道的老板为银行家Fidel Egas,也让人质疑资讯是否公正而无偏见,不过Más Libros, Autores y Otros Riesgos博客的Eduardo Varas认为:
10Msimamo wa wahariri wa teleamazonas, ambao unaipinga serikali, pia una maadui, na mtangazaji wa habari nyingi Jorge Ortiz ni kiongozi anayeonekana, ambaye kila mara hutoa maoni yanayong'ata dhidi ya serikali. Na kwa nyongeza, ukweli kwamba idhaa hiyo inamilikiwa na mmiliki wa benki Fidel Egas pia unasababisha mashaka kuhusu kutokuwa na upendeleo pamoja na kutofungamana kwake na upande wowote.竟然由行政机关决定何谓舆论与专业,这种作法不仅让一切混乱,也不是政府的重要工作,我们皆应有表达意见的自由,无论是拥有全世界财富的媒体机构、自认传达真理的媒体业主、自认握有真理的总统、像我这样的笨蛋、支持关闭媒体很合理的笨蛋,我们每个人都应有这种自由和权利。
11Kuhusu hili, Eduardo Varas wa blogu ya Más Libros, Autores y Otros Riesgos [es] anaandika:这项裁决已经定案,接下来还得观察,此事会否影响在国会内讨论的新通讯法。
12Kushangilia kuwa ni upande wa Utawala ambao unataka kuzuia maoni au kubainisha ni nini au kipi kisicho taaluma ni tendo la kikatili ambalo linachanganya kila kitu na halina umuhimu kwao.
13Sisi sote tunapaswa kuwa na uhuru wa kusema kitu tunachotaka, ikiwa ni chombo cha habari chenye pes azote duniani na kilicho na mmiliki ambaye anajifikiria kuwa ni njia ya kutoa ukweli, au rais ambaye pia anajifikiria kuwa ni mmiliki wa ukweli, au mjinga kama mimi, au wajinga wanaoshangilia kufungwa kwa idhaa ya habari kama mbinu sawia.
14Kila mmoja wetu. Kufungwa huko tayari kumeshahitimishwa na inasubiriwa kuona ikiwa kitendo hicho kitaathiri Sheria ya Mawasiliano ambayo hivi sasa inajadiliwa katika Bunge la taifa.校对:Soup