Sentence alignment for gv-swa-20090802-269.xml (html) - gv-zhs-20090720-3268.xml (html)

#swazhs
1Iangazeni Naijeria: Imetosha Sasa Basi Pamoja na kuwa nchi yenye utajiri wa mafuta, hali ya ugavi wa umeme nchini Naijeria hairidhishi.点亮尼日利亚:争取电力运动
2“Katika sehemu nyingi za nchi, giza linatawala na majenereta yamechukua nafasi kama vyanzo vya nishati ya umeme” Inasema blogu ya Adebayo. “Umeme unapokatika - jambo ambalo hufanyika wakati wote - watu hukaa gizani au, kama wana bahati, huwasha majenereta ambayo yanaigharimu nchi Dola za Kimarekani bilioni 140 kuyatia mafuta (ongeza na gharama nyingine kwa ajili ya mtaji na matengenezo)”, anasema David Steven kwenye blogu ya Global Dashboard.尼日利亚虽然盛产石油,但国内电力供应却严重匮乏,Adebayo博客指出:「国内多数地区长期一片漆黑,发电机成为主要电力来源」,David Steven在Global Dashboard表示:「每当断电(时常发生),人们身边一片黑暗,幸运者就启动发电机,每年耗费国家1400亿美元在发电机燃料上,若加上购买及维修成本会更多」。
3Adebayo anaongeza: Lakini kueleza au kufikia kiini cha sababu za hali kuwa hivi ni jambo lenye gumu.Adebayo另提到:
4Kuanzia kwa makundi ya waagizaji wanaoingiza majenereta, wahandisi wanaoshindwa kumaliza miradi ya umeme, wananchi wanaohujumu misongo ya umeme na mitambo, tabia ya serikali mpaka watengenezaji wa majenereta (katika nchi zilizoendelea) ya kufanya mambo bila haraka; wote hawa wana maslahi fulani katika kukwama huku kwa upatikanaji wa nishati ya umeme nchini Naijeria.若要解释或推测一切为何如此复杂,从进口发电机的企业、未完成电厂工程的包商、破坏电线与设备的民众、态度懒散的政府,到已开发国家的发电机制造商,在尼日利亚供电不足的情况中,他们全都拥有既得利益。
5Sasa Wanaijeria wameanza harakati kubwa za mtandaoni zinazoipinga hali hii inayokeheresha katika watuvi za habari za kijamii, hasa kwenye Twita yenye anuani #lightupnigeria (#iangazenaijeria).如今面对情况始终未改善,尼日利亚民众在社会媒体网站上,发动大规模网络抗争活动,尤其是在Twitter上使用#lightupnigeria标签,也有个Facebook群组上强调:
6Lipo pia kundi la Facebook, lenye maelezo yafuatayo:你是否厌倦遮掩电力公司无能的藉口?
7Je umechoshwa na visingizio visivyoisha vinavyotolewa juu ya uzembe wa PHCN (Mradi wa Umeme wa Naijeria), tunaunda kikundi hiki kama sauti kwa ajili ya kizazi chetu. Ni wakati jambo lifanyike, nchi ya 7 kwa uzalishaji wa mafuta ni kati ya nchi zilizo nyuma zaidi katika ugavi wa umeme.我们成立这个群组为这一代发声,我们该做些什么事,尼日利亚是全球第七大石油生产国, 供电情 况却奇差无比,时候到了,尼日利亚属于全体国民,若现在不出声,所有人都得背负同样的责任。
8Wakati umefika, Naijeria ni yetu sote na kama hatutasema sasa hivi, ni mzigo huo huo tutakaolazimika kuubeba sote.请加入,转告亲友和任何人,我们受够了。
9Kwa hiyo jiunge, waambie rafiki zako, familia na yeyote uwezaye, imetosha. Sauti yetu inaweza kuwa ni ndogo sasa lakini kadiri kundi linavyokua na neno likisambaa, serikali itasikia maneno yetu na jambo lanaweza kufanyika.我们的声音目前或许微 小,但随着群组成长、散播讯息,政府会听到我们的声音,也会有所作为,「点亮尼日利亚」(LIGHT UP NIGERIA)运动若能进步,其他产业也能一并前进。
10IANGAZENI NAIJERIA ili maendeleo katika sekta nyinginezo yakue pia. Nishati ni injini inayoendesha maendeleo ya viwanda, inayoboresha mawasiliano, inasaidia maendeleo katika sayansi na teknolojia, inasaidia mfumo wa utoaji wa huduma za afya na kuboresha kiwango cha maisha ya wananchi.能源是促进工业化的动力,可改善通讯、协助科技创新、提供健全医疗体系、增进人民生活水准,既然能源是促进工业化的动力,建全能源政策将可间接在各产业创造工作机会。
11Kwa kuwa nishati ni injini inayoendesha maendeleo ya viwanda, sera bora ya nishati ingeweza kwa namna moja ma nyingine kutengeneza nafasi za kazi hata katika sekta zisizotarajiwa. Archiwiz kwenye tovuti ya To fit or not to fit?To fit or not to fit?
12Alitoa maoni kuhusu kampeni yenyewe:博客的Archiwiz留言:
13Anuani ya twita peke yake haitaweza kufanya mengi ikiwa wale wanaowajibika hawataziona na kufanya jambo sahihi, lakini ni hatua nzuri ya kwanza.若相关单位未注意并正确回应,单靠一个标签没有什么作用,但这是很好的第一步,在改革运动中,社会意识总是很重要。[ …]
14Kuelewa au utambuzi mara zote ni muhimu linapokuja suala la harakati za mabadiliko […]你或许想问,#lightupnigeria是什么?
15Na mnauliza, #lightupnigeria ni nini? Maneno yanayoitengeneza alama yanajieleza yenyewe kwa Mnaijeria yeyote, au kwa yeyote aliyewahi kukukaa kwa majuma mawili nchini Naijeria na ameshuhudia mwenyewe madhara ya kukosekana kwa umeme nchini Naijeria.无论是尼日利亚人,或是任何曾在我国待上两个星期的人,都很明白这是什么意思,也亲身经历国内供电不足的处境,我们因断电而失去的东西族繁不及备载,但肯定包括金钱、时间与生产力。[ …]
16Ninaweza kuwapa orodha ndefu ya kile tunachopoteza kutokana na kukosekana kwa umeme, lakini vitu kadhaa vinajitokeza: fedha, muda & uzalishaji.这项运动必须吸引媒体,也吸引尼日利亚领袖的耳朵,我们不能再对电力匮乏不以为意。
17[…] Harakati hizi zinahitaji kuvifikia vyombo vya habari na masikio ya viongozi wa Naijeria.以下是人们在Twitter网站上,针对这项运动的部分发言:
18Hatuwezi kuendelea kubania jicho kutopatikana kwa umeme.Olufunmike
19Haya ni baadhi ya mambo yaliyochaguliwa kati ya yale ambayo watu wamekuwa wakiyasema kwenye Twita kama sehemu ya kampeni ya #lightupnigeria:除非点亮尼日利亚,否则国家经济不会改变。
20Olufunmikeimab
21Uchumi wa Naijeria hauwezi kubadilika hadi tutakapo #iangazanigeria imab点亮尼日利亚,如此全国1.
22#iangazenigeria ili wanaijeria wake milioni 140 waweze kusema usiku mwema na kweli wautegemee usiku mwema4亿民众才能在道晚安之后,真正期待有个美好夜晚。
23NaijanewsNaijanews
24Jambo pekee lililowahi kufahamika na likawa imara nchini naijeria ni giza #iangazenigeria在尼日利亚,唯一稳定之事只有黑暗。
25Edeanijamesedeanijames
26fedha tunazozitumia kununua dizeli kwa mwaka zinaweza kulipia bili ya mwanga kwa miaka 10, kwa hiyo tafadhali #iangazenigeria我们一年花费买柴油的钱,可买十年的电泡,拜托请点亮尼日利亚。
27aliceronkealiceronke
28#iangazenigeria ili watu wasiende kufanya kazi ya udobi mwisho wa juma!点亮尼日利亚,人们才不必等到周末才能用熨斗。
29drdammiedrdammie
30#iangazenigeria Viongozi wa Naijeria wanapenda giza, kwa sababu kazi za mikono yao zina giza, na haziwezi kuhimili mwanga wowote尼日利亚领袖喜欢黑暗,因为他们手中的事太过龌龊,无法忍受一丝光亮。
31ricdizzlericdizzle
32#iangazenaijeria kwa sababu pasipokuwepo mwanga usiku & ninapohitaji kufanya haja ndogo…kulenga shimo la choo huwa ni kwa kuhisi!!点亮尼日利亚,因为晚上都没有灯,但我想尿尿…对准小便斗得靠直觉!
33Wacha!可恶!
34pheonixforeverpheonixforever
35hatuna umeme kwa siku nne sasa …#iangazienigeria tafadhali已经停电四天了…请点亮尼日利亚。
36NaijanewsNaijanews
37Ninapanga kuhamia naijeria hivi karibuni lakini ninapanga kutembelea London kila juma kwa ajili tu ya kuchaji simu yangu #iangazienigeria我打算很快就要搬到尼日利亚,但计划每个星期回伦敦,只是为了手机充电。
38EbukalashnikovEbukalashnikov
39Ni saa 5 usiku, hii ina maana ni usiku mwingine bila ya umeme. Kwa matumaini tunaweza #iangazienigeria ili kwamba “Usiku mwema” uwe kweli mwema现在是晚上11点,代表又是个没有电的夜晚,希望我们能点亮尼日利亚,让晚安真的能心安!
40ohdichi #iangazenigeria kwa sababu ni nchi yangu na nchi yangu inastahili mwangaohdichi
41lowla360 Tunapopigania ili hili liweze kufanya kazi, najua wote mmechoka, lakini fikirini juu watoto wenu, kwa kaisi gani mngependa wakue katika mazingira/taifa zuri #iangazenigeria点亮尼日利亚,因为这是我的国家,我的国家理应拥有光亮。
42abiolaalabilowla360
43Ningeaibika sana kama mbeleni wanangu wangeniita kizazi cha jenereta na sikufanya chochote #iangazenigeria我们不断在争取,我知道各位都累了,但想想下一代,各位多么希望他们在良好的环境/国家下成长。
44edeanijamesabiolaalabi
45si sahihi kwamba katika wakati na zama hii hatuna ugavi unaoaminika wa umeme #iangazenigeria若未来后代称我们为「发电机世代」,而我们现在什么都没做,一定会非常可耻。
46damilolaedeanijames
47#iangazenigeria kwa sababu umeme wa kuaminika haupaswi kuwa jambo la anasa katika mwaka 2009到了这个年代,我们还没有正常供电,就是不对。
48archiwizdamilola
49Uchafuzi wa mazingira kutoka kwenye majenereta unadumaza ubongo wa vijana wa Kinaijeria.点亮尼日利亚,因为稳定供电在2009年不该是项奢侈品。
50Hivi sasa wengi wetu si wabunifu tena.archiwiz
51Tafadhali #iangazenigeria! Olufunmike发电机对奈及利亚年轻人的脑袋污染很严重,许多人如今都已无想像力,请点亮尼日利亚!
52Kampeni ya Obama haikusita hadi siku moja kabla ya uchaguzi.Olufunmike
53Kampeni yetu ya #iangazenigeria haitakoma mpaka tupate umeme masaa ishirini na nne siku saba za wiki.欧巴马的竞选活动直到选前一天才结束,我们的点亮尼日利亚运动要到随时都有电可用才会结束。
54Waambieni EzeaniEzeani
55#iangazenigeria kwa sababu tuna vyanzo -vya asili na vya kutengeneza…tunasubiri nini?点亮尼日利亚,因为我们手中天然及人造资源兼备…还在等什么?
56zpixelzpixel
57Hakuna atakayesikiliza #iangazenigeria kwa ku-twita tu, unatakiwa kuua mtu na kumwambia polisi kuwa hakumtambua mtuhumiwa kwa kuwa ilikuwa giza…光是靠Twitter,没有人会点亮尼日利亚,一定要杀个人,然后再告诉警察,你是因为一片漆黑,才误把人捅死…
58bubusnbubusn
59Changamoto yetu kubwa haipo Abuja.我们最大挑战不在于政府,而是自己,总有人认为:「最后终将一事无成」。
60Ipo kwetu sisi wenyewe.eldeethedon
61Ni ile sauti isemayo: “Hii itakuwa bure” #iangazenigeria eldeethedon我们希望在黑暗中完成这段影片,告诉政府「我们受够了」!
62Wazo ni kutengenezea video gizani kuonyesha serikali “tumetosheka”!! http://bit.ly/XEDX9 #iangazenigeria校对:Soup