Sentence alignment for gv-swa-20130123-4704.xml (html) - gv-zhs-20130304-12300.xml (html)

#swazhs
1Pasipoti za Kidiplomasia kwa Viongozi wa Kidini nchini Brazil?巴西:宗教神职代表可持有外交护照?
2Hivi karibuni mjadala mkali umepamba moto nchini Brazil baada ya Wizara ya Mahusiano ya Kimataifa, inayoitwa Itamaraty, kutoa pasipoti mbili za kidiplomasia [pt] kwa viongozi wa makanisa ya kiinjili Igreja Mundial do Poder de Deus (Kanisa la Dunia la Nguvu la Mungu/World Church of the Power of God) mchungaji Valdemiro Santiago de Oliveira na mke wake Franciléia de Castro Gomes de Oliveira.最近巴西正在热烈讨论一起争议事件,风波始于该国外交部,别名又称Itamaraty,签发两本外交护照给“上帝权能世界教会(World Church of the Power of God)”的牧师长Valdemiro Santiago de Oliveira和他的妻子Franciléia de Castro Gomes de Oliveira。
3Nchini Brazil utoaji wa pasipoti za kidiplomasia unadhibitiwa na katiba ya nchi Kifungu ya 5.978 [pt] kinachotamka kuwa nyaraka hizo rasmi zinaweza kutolewa kwa marais, makamu wa rais, mawaziri, wabunge, wakuu wa idara za kidiplomasia, majaji wa mahakama kuu na marais waliopita.依据巴西宪法法令第5. 978条之内容,外交护照的持有特许权受到管制,这些官方文件只能签发给总统、副总统、部会首长、国会议员、使馆使节、最高法院院长、与卸任元首。
4Hata hivyo, pasipoti za kidiplomasia zimekuwa zikitolewa kwa wawakilishi wa Kanisa Katoliki, kwa kutumia tafsiri ya Ibara ya 6, kifungu cha 3:但是根据巴西宪法第五条第三段内容之解释文,外交护照依照惯例也能签发给天主教会的神职代表。
5Picha ya Mchungaji Valdemiro Santiago iliyotoka kwenye ukurasa wake wa wazi wa Facebook此照片为Valdemiro Santiago牧师,取自本人公开的脸书页面。
6…kwa watu ambao, ingawa hawajaorodheshwa katika ibara hii, wanahitaji kuipata ili kutimiza majukumu yenye maslahi ya nchi.…如对本国整体利益具有重要影响者,虽不符本条文中各项身份描述,仍可予以签发外交护照。
7Ingawa, kama ilivyotajwa awali, Makadinali wa Kanisa Katoliki wamekuwa wakinufaika na takwa hilo la kikatiba, taasisi nyingine za kidini zinazotambuliwa na serikali ya Brazil hazijatengwa katika kuomba pasipoti za kidiplomasia na hata wakuu wengine wa madhehebu ya kiprotestanti, kama mchungaji ambaye ni vigumu kueleweka kirahisi Edir Macêdo, kiongozi wa Kanisa la Ulimwengu (Igreja Universal) walipokea pasipoti za kidiplomasia siku za nyuma.如以上文字所述,尽管天主教会的枢机主教拥有这项特许权,不过其它获得巴西政府承认的宗教团体同样也能申请外交护照,像是新教传教士在过去也持有过外交护照,如备受争议的巴西普世 (Universal Church)教会牧师长Edir Macêdo。
8Tushukuru siku hizi kuna uwazi ulioletwa na vyombo vya habari ambao uliwezesha jambo hili kufahamika na kufikia Wizara husika kupata upinzani mkali kutoka kwa raia watumiao mtandao kufuatia uamuzi huo.由于媒体对此单一事件的渲染,巴西外交部因此饱受网友严厉抨击,并引起一连串针对宗教团体权力与违背宪法政教分离精神的讨论。
9Ukosoaji wa hatua hiyo umechochea kwa namna mpya mjadala uliokuwepo wa mamlaka ya taasisi husika na kukiukwa kwa dhana ya nchi kutokuwa na dini kwa mujibu wa katiba ya nchi hiyo.巴西Folha de São Paulo报的读者Renato Khair对此事件的报导发表以下看法:
10Msomaji wa gazeti la Folha de São Paulo, Renato Khair, alituma maoni yafuatayo akijibu makala [pt] iliyokuwa ikiangazia suala hilo: Ni jambo lisilokubalikaa kwa serikali kuitumia Wizara ya Mahusiano ya Kimataifa kutoa pasipoti za kidiplomasia kwa Kanisa liitwalo World Church.我无法接受政府放纵外交部,将外交护照的特许权开放给“世界教会”,这是错误的作法,例如巴西前总统鲁拉(Lula)之子、受到质疑的教会牧师,以及其他许多人都未合法持有外交护照,外交部这种作为让其它优秀且严谨的政府单位一同蒙羞。
11Ni kupotoka kuona watu wasiokidhi vigezo vya kisheria wanapokea pasipoti za kidiplomasia, kama watoto wa Rais wa zamani Lula, Makasisi watajwa na wengine wengine.博客Parsifal Pontes也对此次外交护照的签发事件提出批评并强调一点:
12Kinachofanywa na Wizara ya Mahusiano ya Kimataifa ni kudhalilisha taasisi ambazo awali zilionekana kama zenye heshima na zenye umakini katika utendaji wake.我国外交部不把外交护照的特许权当做一回事,迟早一本又一本的外交护照会让各国海关贻笑大方。
13Mwanablogu Parsifal Pontes vilevile alikosoa [pt] utoaji huo wa pasipoti za kidiplomasia kwa kusisitiza:上帝权能世界教会。
14Namna tu wizara yetu inavyochukulia kiwepesi suala la kutoa pasipoti za kidiplomasia na kutumia vibaya mamlaka yake itasababisha idara za uhamiaji nje ya nchi waangue vicheko wanapoona aina ya watu wanaotembea na nyaraka hizo.图片来源:Roberto Castelhano的Flickr 。
15Igreja Mundial do Poder de Deus. Picha ya Roberto Castelhano kwenye mtandao wa Flickr.依据创用CC BY-NC-ND授权使用。
16(CC BY-NC-ND 2.0). Kwenye Mtandao wa twita, kupitia alama habari #estadolaicoja (nchi isiyo na dini sasa) mwenendo wa majadiliano unaonyesha kuwa nchi ya Brazili imevuka mipaka kwa kuvunja kanuni za msingi za nchi kutokufungamana na dini dhana ambayo ilipaswa kuheshimiwa.estadolaicoja(现代世俗国家)在推特上写到,一般舆论都认为巴西政府表现太过离谱,竟然违背大众期待的政教分离原则。
17Lawyer Thiago G.律师Thiago G.
18Viana (@thiago_fiago), ambaye hublogu na Comendo o Fruto Proibido, alitwiti:Viana(@thiago_fiago)也在自己的博客和推特上写到:
19Heshima ya sheria, usawa, maadili na nchi kutokuwa na mfungamano na dini: hii ni misingi “pekee” iliyovunjwa katika kutoa pasipoti za kusafiria kwa wachungaji.合法性、平等、道德伦理、以及政教分离,这些原则都因为签发给牧师的特别护照而一一瓦解。
20Mwendesha mashitaka wa serikali Chico (@chiconob) anaendelea katika msimamo huo huo wa mawazo:检察官Chico(@chiconob)也禀持相同看法: 签发外交护照给宗教神职代表一事无须再强词夺理,太难看了!
21Hakuna hoja yenye mashiko kutetea kitendo cha kutoa pasipoti za kusafiria za kidiplomasia kwa viongozi wa kidini. Inachefua mno!网络上针对此事件的讨论再度将巴西政教分离的议题搬上抬面,虽然宪法确定国家和宗教各自独立分开,但实际上签发外交护照给宗教领袖的行为已违背此项原则。
22Mjadala huo mtandaoni unaurudisha tena mezani mdahalo wa siku nyingi na unaoendelea kuhusu dhana ya serikali kutokuwa na dini nchini Brazili.毕竟,我们是要如何理解宗教领袖持有外交护照这件事,与政教分离的基本原则互不违背?
23Ingawa katiba inatenganisha bayana masuala ya utawala wa Serikali na yale ya dini, katika hali halisi utoaji wa pasipoti za kidiplomasia kwa viongozi wa kidini unaonekana wazi kuvunja kanuni hiyo, na tuwe wakweli, inawezekana vipi kiongozi wa kidini kubeba pasipoti ya kidiplomasia bila kuvunja kanuni ya msingi kabisa ya nchi kutokuwa na dini?
24Kiongozi yeyote anayebeba nyaraka nyeti ya kumwezesha kusafiri kidiplomasia hapaswi, kwa wakati wowote ule, kubeba bendera ya kidini, achilia mbali kuhubiri imani zake za kidini katika nchi ya kigeni.无论何时,持有外交护照的人员既然已享有官方外交特权,就不应该再坚 持其宗教神职的身份,也更别说还要在他国传教了。