Sentence alignment for gv-swa-20090721-242.xml (html) - gv-zhs-20090716-3231.xml (html)

#swazhs
1Kongo Brazzaville: Uchaguzi wa Rais Wakatisha Tamaa刚果共和国:对总统大选失望
2Siku ya Jumapili, Julai 12, watu wa Jamhuri ya Kongo walipiga kura katika uchaguzi ambao ulisusiwa na viongozi wa Upinzani kwa madai kwamba usingekuwa huru wala wa haki.
3Denis Sassou N'Guesso, ambaye ameitawala Kongo kwa takribani miaka 25 kama mkuu wa nchi, anatafuta kipindi kingine cha miaka saba madarakani.
4Pamoja na malalamiko kutoka upinzani, waangaliaji wa uchaguzi walisema kuwa upigaji kura ufanyika kwa amani, na kwamba idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura ilikuwa ndogo. Kwa mujibu wa chama kikuu cha upinzani, “asilimia 90” ya wapiga kura hawakujitokeza kupiga kura.刚果共和国于7月12日举行大选,在野党领袖以结果必然不公为由抵制选举,已执政约25年的总统恩格索(Denis Sassou Nguesso)争取连任,希望再掌权七年。
5Rais anayemaliza muda wake Denis Sassou N'Guesso na chama chake cha Rassemblement de la majorité présidentielle (RMP) anatabiriwa kushinda uchaguzi huo wakati ambapo tume ya uchaguzi inajiandaa kutangaza matokeo wakati wowote kuanzia Jumatatu jioni.
6Mwandishi wa BBC anadai kuwa alishuhudia fedha zikitembezwa katika vituo vya upigaji kura kusini mwa mji mkuu, kwa watu ambao baadae walisema kuwa waliombwa kumpigia kura Bw. Sassou-Nguesso.”
7Mwangalizi mmoja wa uchaguzi, akizungumza kwa masharti ya kutokutajwa jina, aliliambia shirikala habari la Ufaransa (AFP), “Kuna waangalizi wengi kuliko wapiga kura.”
8Katika kituocha habari cha Ufaransa cha France 24, watoa maoni wachache kutoka Kongo wametoa maoni yao kuhusu uchaguzi. Hapa chini ni sehemu ndogo ya maoni hayo:尽管在野阵营抗议,选举观察员表示过程一切平和,不过投票率很低,主要在野党宣称「九成」选民未前往投票,一般咸认现任总统恩格索及其政党RMP将会胜选,选举委员会预订于7月13日晚间公布结果。
9Maloumbi kuhusu kutishiwa kwa wapiga kura: Katika vijiji na wilaya fulani fulani watu walimpigia kura Sassou Nguesso kwa sababu ya kutishwa.英国广播公司记者目击「在首都南部一间投票所,有人直接在投票所外发钱,拿钱的民众事后表示,人们要求他投票给恩格索」。
10Kaka yangu Jean Ibinga katika wilaya ya Nyanga alipokea cfa 1 000 000 [Sawa na dola la kimarekani 1 800] kutoka kwa wafuasi wa RMP ili awashawishi wazee waende kupiga kura kwa kuwapa kiasi cha cfa 2500 [Dola za Kimarekani 4.5].
11Uchaguzi haukwenda kwa namna inayokubalika, na baadhi ya viranja na manaibu waliwatisha watu ili wampigie kura mtawala wao Sassou.
12Kwangu huu ulikuwa uchaguzi wenye matokeo yaliyofahamika kabla ya muda.一位匿名选举观察员向国际通讯社法新社指出,「现场观察员比选民还多」。
13Naiomba JUmuiya ya Kimataifa iutangaze uchaguzi wa Julai 12 kuwa ni batili na kumlazimisha Sassou kuunda serikali ya Kitaifa itakayokuwa na uwezo wa kujadili masuala ya nchi, vinginevyo vita vitatokea huko mbeleni.
14Upinzani uliopo unajiandaa kwa uwezekano kwa vita. Yoka kutoka Pointe Noire kuhusu kujtokeza kwa idadi ndogo ya wapiga kura:在法国新闻网站France 24上,几位刚果民众留言表达对这场选举的看法,以下为部分内容整理:
15Mimi ni Mkongo na ninaishi Pointe Noire (Mji mkuu wa kiuchumi wa Kongo na jiji la pili kwa ukubwa).
16Ninaweza kuwaambia kwamba vituo vya upigaji kura vilikuwa vitupu tangu asubuhi mpaka jioni.Maloumbi提到选民遭恐吓:
17Wakaazi wa Pointe Noire wamechoshwa na ahadi za Bw. Sassou wakati jiji hili linalozalisha mafuta ni la kwanza kwa utajiri nchini.有些村庄民众是因为遭恐吓,而投票支持恩格索,我弟弟Jean Ibinga在Nyanga区拿到RMP成员给他1800美元,而去说服高龄者投票,每位老人家平均拿到4.
18Zaidi ya asilimia 95 ya wa-Kongo hawakupiga kura.5美元,选举过程让人无法接受,有些地方长官 与议员也威吓人民投票支持恩格索。
19Ni ukweli ambao utawala huu wa kikatili na kijinga nchini Brazzaville wanapaswa kuutambua. Kwa sababu ya hilo, utawala huu ni batili.对我而言,这是场还没发生就已知结果的选举,我呼吁国际社会宣布7月12日选举无效,强迫恩格索成立能处理全国事务的政 府,否则未来肯定会发生战争,目前在野党已在准备应付可能的战争。
20Wakongo kutoka Kaskazini, Kusini, Mashariki na Magharibi wamesema HAPANA kwa Sassou. Mtoa maoni aliyeficha jina lake kutoka Kinshasa , Kongo (DRC), alijiuliza:来自黑角(Pointe Noire)地区的Yoka提到低投票率:
21Hivi anaweza kweli mtu kudanganya kwa kutumia asilimia 15 tu ya wapiga kura waliojitokeza ambao, kama tukifuatilia ripoti, walikuwa ndio wafuasi pekee wa Mgombea Sassou, wakati wengine walichagua kuususia uchaguzi? L'Africaniste:我是刚果人,居住于黑角(刚果经济首府与国内第二大城),我确定投票所从早到晚都一片空荡荡,这座城市因钻油而成全国首富 之都, 居民已厌倦恩格索的承诺,超过95%的选民未前往投票,残忍又诡异的刚果政权必须体认到这项事实,因为这个政权根本不合法,刚果东南西北各地民众都向恩格 索说不。
22Ndio kila kitu kiko sawa sawa!
23Ndio Sassou anabaki madarakani! Ndio hakuigeuza Kongo iwe ahera?刚果民主共和国首都金夏沙(Kinshasa)的匿名留言者表示:
24Lakini wapinzani walifanya nini? Mipango ipi ya miradi ambayo wapinzani wa Kongo waliitoa kwa wananchi?依据新闻报导,若投票率只有15%,且只有恩格索的支持者前往投票,其他人都选择抵制这场选举,结果还有可能造假吗?
25Hakuna isipokuwa kususia! Kitu ambacho si kingine zaidi ya kumpa Sassou ishara ya kushinda.L'Africaniste认为:
26Kwa hiyo asanteni waungwana wa upinzani kwa kumsaidia Sassou kushinda bila ugumu wowote.
27Acheni makelele yasiyo na kingine isipokuwa kuwachanganya watu! brazza-brazza kuhusu uchaguzi wa amani:一切都很完美!
28Uchaguzi wa uongo, lakini tuna amani. Amani ya walioelemewa na ufukara.恩格索继续执政!
29Kama Bongo, Sassou atakuwa madarakani kwa zaidi ya vizazi viwili.
30Ni kawaida; tuna amani. Amani ya wanyenyekevu.他还没有将刚果变成天堂吗?
31Sassou anaipora Kongo. Lakini tuna amani.但在野党做了什么?
32Amani ya wenye njaa. Tunaishi katika kinyesi.刚果在野党拿出什么政见给人民?
33Lakini tuna amani. Amani ina thamani kuliko utu.除了抵制,什么都没有!
34Nyie wote mnaoishi ughaibuni hamjui kiasi cha thamami ya amani. Ninakubaliana nanyi kwamba amani inamwezesha Sassou kupora.结果也只是放手让恩格索胜选,感谢各位在野党的先生帮助恩格索轻松胜出,别再只会发出一堆让民众分心的噪音了!
35Kwa hiyo? Kuporwa ni kawaida.brazza-brazza提到选举很和平:
36Yeye ni mwafrika na ni Dikteta ambaye amefanya uchaguzi wa uongo ili aendelee kuwa dikteta. Kwenye Tovuti ya Libération Yanice 18 aliileta hotuba ya hivi majuzi ya Obama akiwa Ghana:这是场假选举,但我们拥有和平,因贫困而来的和平;恩格索就像加彭总统邦果(Omar Bongo),将会执政超过30年,很正常,但我们拥有和平,因服从而来的和平;恩格索掏空刚果,但我们拥有和平,因饥饿而来的和平;我们生活一团糟,但 我们拥有和平,和平比尊严更重要,你们这些外国人,根本不明白和平价值有多高,我也同意,和平让恩格索予取予求,那又如何?
37Ni jana tu Obama alitoa hotuba nzuri kuhusu utawala mzuri na demokrasia, leo dikteta mwingine wa Kiafrika anajiandaa kuandikisha upya dhamana ya madaraka yake kwa miaka mingine 7 pamoja na kushindwa kwake kisheria kuhusu majengo yake nchini Ufaransa.遭到掏空也很正常,他是非洲 人,是独裁者,会举办假选举让自己继续做独裁者。 在法国《解放报》网站上,Yanice 18提及美国总统欧巴马(Barack Obama)最近在迦纳的演说:
38Ukiangalia muda rais huyu aliodumu madarakani, miaka 25, inaonekana kama vile Obama alihubiri jangwani. Na Saboun aliongeza:昨天,欧巴马才针对良好治理与民主,发表一篇很好的演说,今天,另一位非洲独裁者准备让自己再执政七年,不顾法院判决他在法国的不动产违法,看看这位总统已执政25年,欧巴马就好像在对沙漠传教。
39Kuchaguliwa tena kwa Sassou Nguesso, si ajabu.Saboun亦表示:
40Sijui kama uliliona hili, Obama hakutaja nchi yoyote ya Afrika iliyowahi kutawaliwa na Wafaransa katika hotuba yake.恩格索连任成功,毫不意外,不知道各位有没有注意到,欧巴马在演说中,没有提到任何非洲法语国家,只是巧合吗?
41Hivi kweli hili ni jambo lililotokea bila kukusudiwa?我很怀疑。
42Sidhani.校对:Soup