Sentence alignment for gv-swa-20090629-227.xml (html) - gv-zhs-20090701-3117.xml (html)

#swazhs
1Honduras: Zelaya Akamatwa na Kuondolewa Madarakani洪都拉斯:总统塞拉亚遭逮捕并解除职务
2Nchini Honduras siku ilianza na habari zinazosema kwamba Rais Mel Zelaya amekamatwa akiwa nyumbani kwake na wanajeshi wenye silaha. Kura ya maoni ilikuwa imepangwa kupigwa siku hiyo, kura hiyo ilikuwa inapingwa na mahakama ya juu, na majeshi ya nchi pamoja na baraza la wawakilishi.洪都拉斯民众在6月28日一早醒来,就得知总统塞拉亚(Mel Zelaya)在家中遭武装军方人员逮捕,当天也预定要举行公投,不过先前最高法院、军方及立法机关均反对此次公投,塞拉亚几天前更因此将军方总司令Romeo Vasquez Velasquez将军撤职,多位军方高层人士也因不愿支持举行公投而辞职。
3Siku chache kabla, Zelaya alimuondoa madarakani mkuu wa majeshi, Jenerali Romeo Vasquez Velasquez, jambo ambalo lilifuatiwa na kujiuzulu kwa wanajeshi wengine wa vyeo vya juu kwa sababu hawakukubaliana na kura hiyo ya maoni. Mara baada ya hapo ilifahamika kuwa Zelaya amepelekwa nchini Costa Rica, ambako aliendelea kujiita kuwa yeye ndiye mkuu halali wa nchi.后来消息指出,塞拉亚遭送往哥斯达黎加,不过他仍坚称自己是合法国家元首,亦有传言指称塞拉亚己辞职,不过Miradas de Halcon博客的Jose Carlos Rivera指出,据传的信件已证实为假,博客圈及Twitter网站上的反应各不相同,有些人指称这是政变,但也有些人主张这是阻止争议公投的唯一方式。
4Kadhalika palikuwa na uvumi kuwa Zelaya amejiuzulu. Hata hivyo, barua inayodaiwa kueleza hivyo iligundulika kuwa ni ya uongo kama anavyobaini Juan Carlos Rivera wa Miradas de Halcón [es].照片来自Roberto Breve,依据创用CC授权使用http://www.flickr.com/photos/breve/3668996322/
5Maoni ya mwanzo katika ulimwengu wa blogu na ule wa Twita yalitofautiana kutokea yale yanayosema kwamba hali iliyopo ni sawa na mapinduzi ya kijeshi mpaka yale yanayosema kuwa ile ilikuwa ndio njia pekee ya kukomesha jitihada za Zelaya za kutaka kugombea urais kwa awamu nyingine tena.
6Picha na Roberto Brevé na inatumika hapa chini ya hati miliki huria http://www.flickr.com/photos/breve/3668996322/
7Umeme umekuwa ukikatika-katika katika mji mkuu wa nchi, kama inavyoripotiwa na gazeti la Honduras Daily News ambalo linahisi kuwa kukatika huko kwa umeme ni moja ya “jitihada za kuzuia upashanaji habari.”
8Hata hivyo habari zimekuwa zikitoka kwa kutumia mitandao ya kijamii kama vile Twita na Blipea ambayo ilikuwa hai kutwa nzima.《洪都拉斯日报》指出,首都地区曾出现停电情况,揣测可能是为「限制资讯传递」,不过目前大量消息都透过Twitter与Blipea等社会网络流通。
9Hibueras[es], mmoja wa wanaomuunga mkono Zelaya aliandika :支持赛拉亚的Hibueras表示[西班牙文]:
10Manuel Zelaya alikamatwa na kudhuriwa na nguvu katili za waovu ambazo zimewatia utumwani watu wa Honduras, ili kuwazuia watu wasijichukulie nguvu ambazo zingepelekea ushirikishwaji na ujenzi wa nchi yao, wale ambao wanawajibika na tendo hili chafu wanajulikana vizuri na wataulipia uonevu wao.
11Huu ni wakati wa kutafuta kwa njia nyingine yale mambo ambayo tunanyimwa (tunapoyatafuta) kwa njia halali, na wale wanaowajibika kwa vitendo vya uhaini watahukumiwa.塞拉亚遭罪犯以武力强行逮捕,这些人奴役洪都拉斯人民,让民众无法建造家园的权力,这些恶行背后的人士都非常知名,也将会此付出代价。
12Wanaomuunga mkono rais Mel Zelaya, picha na Roberto Brevé na inatumika hapa chini ya hati miliki huria. http://www.flickr.com/photos/breve/3668437385/有些事透过和平手段而不可得,我们就必须寻求其他方式,而造成这些叛国行为者,也将受到审判。
13Baadaye siku hiyo, Bunge lilipiga kura ya kumuondoa madarakani Zelaya kama rais na kumuweka Roberto Micheletti ambaye alikuwa ni mkuu wa baraza la wawakilishi. Mara tu baada ya kupewa madaraka, alitangaza kuwa uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa mwezi Novemba.塞拉亚支持者照片来自Roberto Breve,依据创用CC授权使用 http://www.flickr.com/photos/breve/3668437385/
14Kuwekwa madarakani kwa Micheletti kama kaimu rais kumezua kauli za ukosoaji kutoka kwa maswahiba wa karibu wa Honduras, hasa Venezuela, ambayo imetishia kutumia nguvu za kijeshi ikiwa mfanyakazi yeyote wa ubalozi wake aliyepo nchini Honduras atatekwa au kuuwawa. Zaidi ya hilo, Rais Hugo Chavez ametamka kwamba serikali mpya inayoongozwa na Micheletti itashindwa.国会稍后投票罢黜塞拉亚,改由国会议长Roberto Micheletti代理,他之后宣布选举将在11月举行,但对于议长代理总统一事,洪都拉斯许多盟邦均其是发言批评,尤其是委内瑞拉扬言,若该国任何外交人员在洪都拉斯遭到绑架或杀害,将会采取军事行动,委国总统查维兹(Hugo Chavez)也表示,议长带领的新政将会失败。
15Watumiaji wa huduma ya Twita kama vile Hugo Chinchilla wanahofu matamko yalitolewa na Chavez na wanayachukulia kama ishara kuwa maswahiba kama hawa wanahusika. Aliambiwa ‘kiholela' kuwa jeshi linajiandaa kukabili uvamizi wa majeshi ya Venezuela na Nicaragua [es].Hugo Chinchilla等Twitter用户对查维兹的发言感到忧心,认为代表其他国家可能会介入此事,他表示有「非官方消息」指出,委内瑞拉及尼加拉瓜军方可能准备介入。
16Na kuna wengine kama Jorge Garcia ambaye anaiunga mkono serikali mpya na anatoa rai kwa watumiaji wenzie wa Twita kutoa msaada maji na chakula kwa wanajeshi [es].也有些人像Jorge Garcia支持军事政府,呼吁在Twitter上的朋友提供饮食给士兵表达支持,他还提到:
17Kadhalika anaeleza: Nchini #honduras hapajatokea mapinduzi ya kijeshi, utawala wa sheria bado unaendelea, katiba bado inatumika.洪都拉斯并无政变,法治一切如常,宪政未受影响。
18Kwa kuwa hivi sasa macho ya dunia yako nchini Honduras, Wilmer Murillo anahofia kutengwa na jamii ya kimataifa.如今全世界都在关注洪都拉斯,Wilmer Murillo担心受到国际社会孤立,他要求:
19Anaomba:把塞拉亚送回来!
20Turejesheeni Mel!我们在世界眼前像个落后国家。
21Tunaonekana kama nchi duni katika macho ya dunia.校对:Portnoy