Sentence alignment for gv-swa-20130718-5525.xml (html) - gv-zhs-20130907-12835.xml (html)

#swazhs
1India: Chakula Chenye Sumu Chaua Watoto 24印度受污染校餐令近24名孩子致死
2Mnamo tarehe 16 Julai, 2013, watoto 22 walio na umri kati ya miaka minne na 12 katika shule moja ya msingi ya serikali katika jimbo la Bihar nchini India, walipoteza maisha mara baada ya kula chakula cha mchana kinachoamikiwa kuwa kilikuwa na sumu.在印度比哈尔邦的一所公立小学,二十二个年龄从4岁到12岁的孩子于2013年7月16日食用污染过的午餐之后死亡。 还有更多濒临垂危的孩子在Chapra穷困的村庄中就医。
3Wengi wao wakiwa ni wakazi wa kijiji masikini cha Chapra, walilazwa hospitalini kufuatia hali zao kuwa mbaya sana.他们吃过的食物被认为掺有杀虫剂。
4Chakula walichokula kinaaminika kuwa kilikuwa na dawa ya kuulia wadudu.这件悲剧是一系列受污染校餐事件中最严重的一次。
5Janga hili limekuwa tukio baya kabisa lililotokana na uzembe wa wazi kwa chakula cha mchana cha wanafunzi hao kuchanganyikana na sumu.在另外一个事故中,比哈尔邦Madhubani区的15名学生在食用午餐后生病。
6Katika tukio lingine huko Bihar katika wilaya ya Madhubani, wanafunzi 15 waliugua mara baada ya kula chakula cha mchana.在比哈尔邦的加雅市,一名学生在吃过学校午餐之后身亡。
7Huko Gaya-Bihar, mwanafunzi mmoja alipoteza maisha baada ya kula chakula cha mchana.还有另一起在马哈拉施特拉邦图莱市的事件,31名学生在午餐后被送往医院。
8Na katika tukio jingine huko Dhule katika wilaya ya Maharashtra, watoto 31 walilazwa hospitalini mara baada ya kupata chakula cha mchana.一名在位于孟买郊区的一所受政府赞助的印度学校就学的学生,2011。
9Mwanafunzi wa shule ya Kihindi inayofadhiliwa na serikali nje kidogo ya Mumbai, India, 2012.照片为作者提供。
10Picha na mwandishi wa makala hii.自60年代开始实行的午餐计划是印度最早为鼓励处于边缘阶层的人们送孩子上学的政策之一。
11Utaratibu wa chakula cha mchana, ulioanza miaka ya 1960, ni miongoni mwa taratibu za siku nyingi sana nchini India ulio na lengo la kuwapa moyo familia masikini kuwapeleka watoto wao shuleni.除了教育之外,提供一顿饭给每一位学生作为入学的动力。
12Mbali na elimu, kutolewa kwa chakula kwa kila mwanafunzi, imekuwa kama hamasa kwa ajili ya kuwavutia wanafunzi kuandikishwa mashuleni.但是,从计划最初起,不断有贪污侵占学生食物的报导浮现。
13Hata hivyo, tangu kuanza kwa utaratibu huu, kumekuwa na taarifa za wazi za ubadhirifu wa chakula kilichokusudiwa kwa wanafunzi.一个2006年的新闻报告发现大吉岭的一个小学的学生被夺去了18个月的供餐。
14Kwa mujibu wa taarifa za habari za mwaka 2006, ilionekana kuwa, wanafunzi wa shule za misingi za Darjeeling walikabiliana na upungufu wa chakula kwa muda wa miezi 18.这次事件,如同预料,发展成为了政治问题。
15Kama ilivyotarajiwa, jambo hili limechukuliwa kisiasa.执政党质控反对党设计了他们。
16Chama kilichopo madarakani kilidai kuwa upinzani umejihusisha katika njama za kuwateka watu kimtizamo.有报道说校长的丈夫是一位政治人物,并且是提供校餐的负责人。
17Mume wa mkuu wa shule anaelezwa kuwa na ushawishi mkubwa wa kisiasa na ndiye aliyekuwa msambazaji wa chakula shuleni hapo.政府的疏忽在许多社交网络上激起了怒火。
18Serikali kushindwa kutilia mkazo tukio hili, umewaghadhabisha watu wengi katika mitandao mbalimbali ya kijamii.印度推特用户Vikram Singh(@cynicalvs)写道:
19Mtumiaji wa Twita aliye na makazi yake nchini India, Vikram Singh (@cynicalvs) aliandika:@cynicalvs: 孩子怎么会因为吃了一顿午餐死了呢?
20@cynicalvs: watoto wanawezaje kufariki baada ya kula chakula cha mchana?那是食物啊。
21Ni chakula.这应该被判谋杀罪。
22Kunamtu anapaswa kushitakiwa kwa kosa la mauaji.#chappra
23#chappra记者前往医院报道情况时马上发现了更多的管理失误。
24Mara baada ya waandishi wa habari kuanza kutembea mahospitalini kwa ajili ya kutoa taarifa za tukio hili, matumizi mabaya ya madaraka yaliendelea kujitokeza.视频流中的影像演示了幸存的孩子们被挤放在一张桌子上施打生理食盐水。
25Picha katika mfumo wa video za mtandaoni ziliwaonesha watoto walionusurika wakiwa mamelala kila mmoja karibu na mwenzakeAs soon as journalists began reaching hospitals to report on the situation, more mismanagement came to surface.Milind Khandekar,ABP新闻(@milindkhandekar)的主管编辑评论说:
26The streamed video images showed surviving children laid next to each other kwa kubanana kwenye dawati huku wakigawiwa maji ambayo ni myeyusho wa chumvi na maji.@milindkhandekar: Chappra传出的照片中有家属给住院的孩子用纸扇解暑。
27Milind Khandekar, ambaye ni mhariri mkuu wa kampuni ya uhabarishaji ya the managing editor of ABP News (@milindkhandekar), alitoa maoni yake:这就是比哈尔的发展模范吗?
28@milindkhandekar: picha kutoka Chappra zinawaonesha ndugu wa watoto waliolazwa hospitali wakiwapepea watoto wao kwa makaratasi.这件事故很快地引发社交媒体用户对印度政客的过失和傲慢进行讨论。
29Huu ndio ‘mfano mzuri wa maendeleo ya Bihar'?Abhijit Majumder,一位德里(@abhijitmajumder)的记者在推特上说:
30Mapema kabisa, tukio hili liliwapelekea watumiaji wa mitandao ya kijamii kujadili hali ya dharau na kiburi iliyooneshwa na wanasiasa wa India.@abhijitmajumder: 我们的政客不会歧视。
31Abhijit Majumder, ambaye ni mwandishi wa habari kutoka Delhi (@abhijitmajumder), alitwiti:不管从比较有钱人的2G手机费,还是从穷人的NREGA或校园午餐,一律能公平地剥夺。
32@abhijitmajumder: Wanasiasa wetu hawabagui.#Chhapra
332G kwa wale wanaojiweza au NREGA, chakula cha adhuhuri kwa mafukara, wote wanadanganywa kwa mvuto sawa.在孟买郊区一所印度高中的学生在没有盘子和椅子的地上吃饭。
34#Chhapra另一名拿着午餐盒的学生抱怨食物的质量差。
35Wanafunzi wa shule ya Kihindi nje kidogo ya Mumbai wakipata chakula wakiwa wamekaa chini pasipo kuwa na viti wala bakuli.图片为作者照。
36Mwanafunzi mwingine akionesha kibobo chenye chakula cha adhuhuri huku akilalamika kuhusu ubora wa chakula hicho.Majumder,引用了最近的两起庞大到上亿元的骗局2G和NREGA。
372012. Picha na Mwandishi wa makala hii.它们导致了对印度政府工作能力的极度不信任。
38Majumder, alirejelea matukio ya udanganyifu yaliyotokea hivi karibuni, kama yale ya2G na NREGA, ambayo yaligharimu mabilioni ya dola na kupandikiza hali ya kukosa imani kubwa kwa namna serikali ya India inavyotimiza majukumu yake.另一位德里的记者,Raghavendra Verma (@r_verma),针对公立学校的教师普遍持有的态度写了一份评论:
39Mwandishi mwingine wa habari ambaye makazi yake ni Delhi, Raghavendra Verma (@r_verma), alitoa maoni yake kuhusu namna ambavyo walimu wanavyozichukulia shule zinazomilikiwa na serikali. :@r_verma: 学校老师供餐给学生时,彷佛在赏赐多了不起的恩惠给他们。
40@r_verma: walimu huwapatia watoto chakula cha adhuhuri kana kwamba wamejitolea sana na kwa upendeleo mkubwa.#Chhapra
41#Chhapra Fazal Abbas (@fazlabas), ambaye ni mtumiaji wa Twita aishiye Mumbai, alitoa historia kuhusiana na tukio hili:一位住在孟买的推特用户,Fazal Abbas (@fazlabas),在讨论中引入了一些历史背景:
42@fazlabas: Chhapra ni kama ilivyokuwa kwa Rais wetu wa kwanza Dk. Rajendra Prasad aliyefariki miaka 50 iliyopita.@fazlabas: Chhapra的情况就像是我们的第一位总统拉金德拉·普拉萨德半个世纪前离开了一样。
43Watoto wanafariki kwa ajili ya elimu.孩子们为了受教育而死。
44Kiran Bedi (@thekiranbedi), ambaye ni askari mstaafu kutoka Delhi, ambaye anajulikana kwa utendaji kazi uliotukuka na mmoja wa wapinga rushwa nchini India, alitwiti:Kiran Bedi (@thekiranbedi),一位以慈善活动和反腐败改革运动而名前德里警官推特道:
45@thekiranbedi: Mlo wa adhuhuri, ni wenye majungu na usio katika hali ya usafi.@thekiranbedi: 在一些地方校园午餐是丑闻,是不卫生的。
46Pia, walimu wanapoteza tu muda wao kupika chakula hicho!教师也是,浪费时间去做饭!
47Kwa nini wasiwagawie matunda na njugu?干什么不上点水果和干果?
48Maelezo ya Bedi yanaunga mkono ushahidi wa picha uliotangulia kutolewa.Bedi的记述与上面的图片相辅。
49Sio tu Bihar, miongoni mwa shule zinazomilikiwa na serikali nchini India zilizoweza kuwa na mengi ya kujadiliwa kuhusiana na kutotilia maanani mambo na usimamizi mbovu.不仅仅是比哈尔邦,全印度的公立学校都可能有更严重的疏忽和失误。
50Kwa jinsi shauri hili lilivyo, serikali ya India ilipaswa haraka sana itangaze fidia ya lakhs 2 (takribani dola za kimarekani 3,367) kwa familia za wahanga.就这次事件,印度政府很快宣布给受害家属两拉克的补偿金(约3367美元)。
51Uchunguzi wa ni kwa namna gani chakula hiki kilichanganyika na sumu bado unaendelea-kwa ufupi, mchakato mrefu wa kiuchunguzi unafuata.食物受污染的准确原因正在调查中--简单来讲,一个漫长的官僚过程将会展开。
52Je, waliohusika watawajibishwa.那些有罪的人是否会被要求负责呢?