Sentence alignment for gv-swa-20130225-4793.xml (html) - gv-zhs-20130714-12727.xml (html)

#swazhs
1Uhuru wa Vyombo vya Habari Nchini Myanmar Bado ni Giza缅甸:媒体自由 仍需改善
2Uamuzi wa Myanmar wa kuivunja bodi katili ya ukaguzi ulisifiwa na makundi mbalimbali ya watu kuwa ni hatua ya kuelekea kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari nchini Mynmar.缅甸政府废除媒体事前审查制度的决定,为许多团体所赞赏,肯定缅甸促进媒体自由的进展。
3Lakini wafuatiliaji wa uhuru wa vyombo vya habari waliainisha vitisho vinavyoendelea, changamoto na mashambulizi waliyokwisha kuyapata waandishi wa habari waishio nchini Myanmar kwa mwaka uliopita.然而,媒体自由监督机构也指出,缅甸记者在过去一年来,不断地经历到威胁、困难与攻击。
4Kwa mfano, waandishi wa habari wa kujitegemea wanaendelea kuwa katika hali ya hatari ya kukumbwa na vifungu mbalimbali vya sheria kama wataweka bayana hali ya sintofahamu katika uongozi au kuwakosoa viongozi wa ngazi za juu serikalini.举例来说,独立记者一旦提出政治争议议题或批评高阶层的政府官员,将不断面临许多诉讼问题。
5Mnamo tarehe 7 Februari, 2013, bunge la Mynmar liliunda tume ya kumchunguza wandishi kufuatia makala iliyoandikwa kwenye blogu iliyokuwa na kichwa cha habari “Juu ya Sheria” [my].2013年2月7日,缅甸议会组成委员会,调查“凌驾于法律之上”[缅]这篇网络博客文章的作者。
6Makala iliandikwa na mtu aliyetumia jina la kubuni “Dr. Sate Phwar” kwenye blogu ya Sauti ya Myanmar (Voice of Myanmar) [my].此作者在博客缅甸之声[缅],以笔名“Dr. Sate Phwar”撰写这篇文章。
7Makala hiyo iliwakashifu wabunge kwa kutoizingatia katiba na pia kwa kujifanyia maamuzi bila kuzingatia ushauri wa Rais.他指控国会议员无视宪法,制定决策以自身为考量,而不理会总统的言论。
8Aliandika kwa kejeli:他讽刺地写道:
9Kwanini msiongeze marekebisho haya mapya kwenye katiba ambayo kwa vyovyote ambavyo katiba itaelekeza, mwenyekiti wa Bunge na wenzake wanaweza kuamua wao wenyewe kwa kupiga kura Bungeni.blockquote>何不直接在宪法里增加修正案,不论宪法的规定是什么,缅甸国会议长与议员只要经由投票,彼此间就能做决定。
10Picha iliwekwa na iFreedom Media Group (Burma) ambalo liliandika kuwa mwandishi wa habari ashambuliwa na wavamizi wa ardhi kwenye makazi yake mapya.照片由缅甸媒体自由团体(Freedom Media Group)提供,此团体表示当地记者在安置区遭非法居民攻击。
11Taarifa hiyo fupi iliongeza pia kuwa, “baadhi ya taarifa, zinasema kuwa, huu ni mpango ulioandaliwa na kikosi maalum cha polisi ili kuwafanya watu wawachukie wavamizi wa ardhi.”照片也补充说明,“某些新闻声称此攻击由特殊警察筹画,迫使人民仇恨非法居民”。
12Sambamba na hili, mwaka uliopita, jarida la nchini MyanmarThe Voice Weekly lilituhumiwa na wizara ya madini kwa kuikashifu pale jarida hili lilipotoa taarifa za wizara hii kuwa inatumia vibaya fedha pamoja na udanganyifu mwingine.去年,缅甸国内杂志“每周之声”因报导矿业部不当运用资金和诈欺,而遭矿业部提出诽谤告诉。
13Kwa bahati nzuri, wizara ilitupilia mbali tuhuma hizi mapema mwaka huu.幸好,矿业部已于今年初撤回告诉。
14Siku za hivi karibuni, waandishi wa habari, walipokea [my] angalizo kutoka katika kampuni ya Google kuwa yawezekana kukawa na mashambulio yaliyo andaliwa kutoka kwa “ washambuliaji waliofadhiliwa na serikali”.近期,许多记者收到来自谷歌的警讯[缅],警告不久的将来,将会有来自“国家赞助的攻击者”发动攻击。
15Angalizo hilo lilitolewa mara baada ya kurasa za Facebook za jarida la kujitegemea nchini Myanmar la The Voice Weekly [my] na Eleven Media Group [my] kuharibiwa nakikundi kinachojiita “Myanmar isiyojulikana”. Hata hivyo, serikali imekanusha kujihusisha kwa namna yoyote na shambulizi hili la uharibifu wa taarifa katika mtandao wa intaneti.此警讯发布前,当地杂志“每周之声”[缅]和“十一号媒体集团”[缅]的脸书页面,遭名为“缅甸匿名者(Anonymous Myanmar)”的团体损坏。
16Labda kwa kuzingatia hujuma kwenye tovuti za habari, tovuti maalum [my] ya Rais wa Myanmar ilishambuliwa mnamo Februari 5, 2013 na wavamizi walioshukiwa kuwa ni wa kikundi kinachojulikana kwa jina la “Indonesian Fighter Cyber”.但是,政府否认与此次网络攻击有所关联。
17Pia, ni kawaida sana kukuta makundi ya watu wenye hila, picha za kupotosha na jumbe mbalimbali kwnye mitandao ya kijamii.或许是为了回敬媒体网站遭骇,缅甸总统的官方网站于2月5日遭到骇客攻击。
18Wakati wa machafuko ya Rakhine mwaka 2012, picha za upotoshaji kutoka pande zote mbili za mgogoro zilisambaa kwenye mtandao wa intaneti.骇客可能是“印尼网络战士(Indonesian Fighter Cyber)”中的成员。
19Wakati huo huo, Taw Win Daund aliweka picha katika ukurasa wake wa Facebook ambayo inadhaniwa kuwa ni picha ya watoa maoni waliokodishwa.仇恨团体、宣传照片与讯息在社会媒体上能见度高。
20Picha hiyo aliipa kichwa cha habari:2012年,若开邦暴力冲突期间,冲突双方的宣传照片在网络上流传。
21Watoa maoni waliokodishwa au wanafunzi wa mafunzo ya kijeshi?同时,Taw Win Daund在他的脸书页面上,贴了一张大家认为是网络评论员的照片。
22Picha imewekwa na Taw Win Daund他为这张照片做注解:
23Watoa maoni waliokodishwa, wanahamasisha vurugu kati ya Rais Thein Sein na Makamu Mkuu wa Majeshi Min Aung Hlaing kwa kuandika maoni ya kejeli mwishoni mwa makala katika majarida ya Eleven Media, the Voice Weekly na 7 Days News journal.网络评论员在“十一号媒体集团”、“每周之声”与“7 Days News”等杂志文章下发布仇恨评论,渲染了总统登盛和上将Min Aung Hlaing彼此间的冲突。
24Kuna mitazamo tofauti katika picha hii.关于这张照片有不同说法。
25Steven Myo aliandika:Steven Myo评论说:
26Waandishi wanahusisha hata wale waliopata mafunzo huko Urusi.评论员里也包含曾在俄罗斯学习的人。
27La Min Aung alikanusha madai hayo:是受雇的网络评论家还是军校学生?
28Hii siyo sahihi, kutumia picha ya wanafunzi katika chuo cha mafunzo ya kijeshi ili kupotosha siyo vizuri.照片分享自Taw Win Daund。
29Hii itapelekea mgogoro miongoni mwa watu na pia katika jeshi.La Min Aung则反驳这种说法:
30Pamoja na kuwa ni vigumu kusema kama ni ukweli au sio mkweli, maoni ya kukejeli na matumizi ya lugha chafu ni kawaida sana katika kurasa za Facebook nchini Myanmar.利用军事学院学生的照片来误导大众是很不好的事,这会使人民与军队对立。 虽然无从得知这是不是事实,但缅甸脸书上却极为常见含有粗俗语言的仇恨言论。