Sentence alignment for gv-swa-20100314-1326.xml (html) - gv-zhs-20100317-4831.xml (html)

#swazhs
1Moroko: Wafanyakazi wa Shirika la Misaada La Kikristu Wafukuzwa摩洛哥:基督教援助工作者遭驱逐出境
2Wakiawaaga baadhi ya watoto yatima (picha kutoka katika tovuti rasmi ya Kijiji cha Matumaini)向一些孤儿告别(照片来自希望之村官方网站)
3Wafanyakazi hao wanadai kuwa siku zote wamekuwa wawazi kwa malaka za moroko kuhusu Ukristu wao, na hapajatokea tatizo lolote.上周,在摩洛哥乡下小镇的一间小孤儿院希望之村中的20名工作人员,因被控使他人改变宗教信仰,而无预警地被驱逐出境。
4Kwa wengi wa watoto hao, makazi hayo ya yatima ndiyo nyumba pekee ambayo wanaijua.这座孤儿院已悄悄存在了10年,工作人员大多是来自西方国家的基督徒。
5Tovuti rasmi ya Kijiji cha Matumaini kina tamko, ambalo limekubalika na wafanyakazi wote ambao walitakiwa kuondoka nchini humo, ambalo linasomeka:工作人员声称,他们一直都有对摩洛哥当局坦率的公开他们的基督徒身份,没有发生不寻常的事情。
6Siku ya Jumatatu tarehe 8 Machi, wafanyakazi wote 16 kutoka nje ya nchi, wakiwemo wazazi 10, na watoto 13 waliozaliwa nchini humo, waliambiwa kuwa wataondolewa kutoka katika eneo na nchi hiyo.对许多儿童来说,孤儿院是他们所知唯一的家。 希望之村在官方网站上公布所有被要求离开该国的工作人员的连署声明,其内容如下:
7Sababu iliyotolewa ni kuwa wazazi hao walikuwa wanahubiri dini, bila ya ufafanuzi ni nani, na katika wakati gani, wapi na vipi madai yanayodaiwa yalitukia.3月8日星期一,所有16名外国工作人员,包括10位家长,13位当地出生的被抚养人,被告知将被驱逐出该地及该国。
8Hakuna madai yanayohusu ustawi na uangalizi wa watoto ambayo yametolewa kama jambo la kutia hofu na mamlaka za Moroko katika historia ya miaka 10 ya VOH.理由 是这些 父母使人改变宗教信仰,没有说明是谁、何时、何地或如何发生的。
9Mamlaka za Moroko hazijatoa ushahidi wowote wa madai na wametoa masaa machache tu kwa wazazi hao kufunga virago vyao na kuwaeleza watoto wao kuwa pengine hawataonana nao tena.摩洛哥当局在过去10年当中,从未指控过希望之村抚养这些孩子长大所提供的福利和照顾。 摩洛哥当局对其所指控的罪行没有提出任何证据,他们只给这些父母几个小时去打包行李,并跟他们的孩子解释,他们可能永远再也见不到父母。
10Vyombo vichache vya habari vimeidaka habari hiyo (Shirika la Habari la Moroko [FR] ni mojawapo), lakini wanablogu kadhaa wenye uhusiano binafsi na Kijiji hicho wameanza kusambaza habari kuhusu mkasa huo, wengine wakiwa na matumaini ya kuwarejesha wafanyakazi hao nchini Moroko.很少有媒体披露这件事(摩洛哥官方通讯社 [法]是其中之一),但一些博客私下联络到希望之村,并开始将这事件传播出去,有些人希望将这些工作人员送回摩洛哥。
11Mwanablogu Elizabeth Shelby, mfanyakazi Mkristu ambaye aliwahi kufanya kazi kwa kujitolea katika makazi hayo ya yatima huko siku za nyuma, ameitisha maombi kutoka kwenye jamii yake, lakini pia anatumaini kupata maelezo kutoka kwa serikali juu ya kwa nini kuetokea mabadiliko ya ghafla katika mioyo yao.博客Elizabeth Shelby,一名曾在这间孤儿院当义工的基督徒,要求她的社区成员共同祷告,而且也希望能得到政府突然改变心意的解释。
12Anaandika:她写到:
13Ni zaidi ya masaa 24 tangu wafanyakazi 20 (wengi wao wakiwa ni wazazi) katika Kijiji cha Matumaini walipohamishwa kutoka kwa watoto wao, bila ya kutarajiwa na maofisa wa Moroko.自从20名希望之村的 援助工作者(大部分都是父母)突然被摩洛哥官员带离他们的孩子之后,已经过了24小时。
14Walipewa dakika thelathini kupakia vitu vyao na kuondoka nchini, bila ya uhakika wa kuwaona tena watoto wao wa Kimoroko.他们只有30分钟收拾行李离开该国,没有任何保证还可以看到他们在 摩洛哥的孩子。
15Kijiji cha Matumaini kimekuwa na maridhiano na kimefanya kazi na serikali kwa miaka 10, na kimekuwa na matatizo machache.希望之村已顺从的与摩洛哥政府工作了10年,几乎没有什么问题。
16Kuanzia tarehe 4 Januari, Moroko imekuwa na Waziri mpya wa Sheria, Mohammad Naciri, ambaye anahisi ni lazima atumie nguvu zake ili afunge Kijiji cha Matumaini kwa sababu anaamini “Wakristu wanawashawishi watu wabadili dini.”从1月4日起,摩洛哥新任法务部长(讽刺的)Mohammad Naciri,觉得必须行使他的权力以关闭希望之村,因为他相信「基督徒正在使人改变宗教信仰。」
17Shelby pia anaongoza kampeni kwenye Twita, kwa kutumia alama ya #MoroccoOrphans na ameanzisha kikundi cha Facebook.Shelby还在Twitter上发起活动,使用hashtag #MoroccoOrphans并成立了Facebook群组.
18Mwanablogu wa The Moroccan Dispatches ameandika makala ya kina inayovinjari pande kadhaa za uamuzi huo wa serikali, na pia uendeshaji wa makazi hayo ya yatima.摩洛哥电讯报写了篇报导,从各种不同面向探讨政府决策及孤儿院运作,令人深思。
19Kwa kuzingatia yote, mwanablogu huyo anaandika:关于这两方面,博客写到:
20Kama ilivyoelezwa, ni vigumu kuelewa ni kipi kinachoruhusiwa na kipi kisicho nchini moroko kwani sheria za kwenye vitabu huwa hazimaanishi chochote (kimsingi).正如我所说,在摩洛哥很难知道什么是真正被允许的,或哪些是不被允许的,因为书上的规则并不一定意味着什么。
21Kwa hiyo pengine, Mamlaka za moroko zilifumba jicho kwa miongo michache iliyopita kama vile wanavyofanya kwa pombe, hashish, biashara ya umalaya na uendeshaji wa kasi.所以,或许摩洛哥当局在过去几十年对此视而不见,就像他们对酒精、大麻、卖淫和超速一样。
22Au pengine kiji cha matumaini kilifanya baadhi ya vitendo hivyo. Sijui.或者希望之村可能掩藏了一些活动,我不知道。
23Mwanablogu wa Kimarekani aliye nchini Moroko anaandika kukiunga mkono kijiji hicho:一位在摩洛哥的美国博客写了支持希望之村:
24[Wafanyakazi wa Kijiji] kwa kweli walifikiri kuwa wanafuata utaratibu, lakini walihojiwa na kufukuzwa nchini bila ya muda wa kufungasha na kusema kwa heri kwa watoto.[希望之村的工作人员]真的以为他们遵守了规定,但却遭到审讯并被驱逐出境,几乎没有时间打包并向孩子们道别。
25Yatima wana maisha magumu katika nchi za Kiislamu, ambako, hata wakiasiliwa, hawana haki sawa na watoto wa kuzaliwa katika familia, na hata Waislamu wa moroko waliokuwa wanafanya kazi na watoto walifukuzwa kutoka kwenye sehemu hiyo, kwa hiyo hakuna sura yoyote inayofamika inayowaangalia watoto hao hivi sasa.孤儿在伊斯 兰国家 的境遇特别艰难,在那里即使被领养了,他们也没有与亲生子女相同的权利,而照顾这些孩子的穆斯林摩洛哥人被驱离了,现在照顾他们的人没有一个是熟悉的面 孔。
26Tafadhalini fanyeni maombi kwa watoto hao, kwa wale waliofukuzwa nchini, na kwa wale ambao wanaweza kufukuzwa.请为这些孩子祈祷,为那些被驱逐出境,并为那些仍有可能被驱逐出境的人祈祷。
27Ni hari ngumu, hasa kwa sababu Moroko imekuwa ikichukliwa kama taifa la wastani ambalo linahimiza uhusiano wa amani kati ya watu wa imani tofauti.这是一种艰难的情况,特别是摩洛哥一直被认为是温和的国家,并鼓励不同信 仰的各国人民和平相处。 为这美丽国家的人民祈祷。
28Wawekeni watu wa nchi hii inayopendeza kwenye maombi yenu.校对:Soup