Sentence alignment for gv-swa-20091229-957.xml (html) - gv-zhs-20091225-4376.xml (html)

#swazhs
1Uganda: Rais Kuzuia Muswada Unaopinga Ushoga乌干达:总统说,他将阻止反同性恋法案
2Muswada Unaopinga Ushoga wa 2009 uliopendekezwa nchini Uganda bado unasubiri uamuzi wa mwisho utakaotolewa na bunge la nchi hiyo, lakini gazeti la Daily Monitor lilitaarifu Jumatano kuwa Rais Yoweri Museveni “ameihakikishia Idara ya Mambo ya Nje ya Marekani nia yake ya kuukwamisha muswada huo”:乌干达提出的2009年反同性恋法案仍然有待该国议会做最后决定,但该国的每日箴言报今天报导,总统Yoweri Museveni已经「向美国国务院保证,他愿意阻止法案」:
3Imetaarifiwa kuwa Rais Museveni amehakikishia mamlaka ya Marekani kuwa atapiga turufu muswada uliopendekezwa na mbuge wa Ndorwa David Bahati dhidi ya ushoga, msimamo ambao unavunja msimamo wake wa hivi karibuni na matamko ya maofisa walio katika serikali yake.据报导,Museveni总统向美国当局说,他将否决Ndorwa West的国会议员David Bahati所拟议的反同性恋法,此举与他前不久的立场和政府官员的声明不符。
4Wanaharakati waliokusanyika nje ya ubalozi wa Uganda katika umoja wa Mataifa mjini New york mwezi Novemba ili kuupinga muswada.运动人士11月在纽约市聚集在乌干达代表团向联合国并抗议该法案。
5Picha kwa hisani ya riekhavoc riekhavoc kwenye Flickr图片由riekhavoc在Flickr上提供。
6Mwanablogu Gay Uganda anaonyesha utata katika matamko ya serikali ya Uganda kwa nchi za Magharibi na kwa Waganda wenyewe:博客Gay Uganda指出了乌干达政府对西方和乌干达自己的讯息矛盾: 你还记得那篇总统向美国确认这一法案将不会成为法律的文章吗?
7Unakumbuka makala inayohusu Rais alipothibitisha kwa Idara ya Nchi ya Marekani kuwa muswada huu hautakuwa sheria?好吧,他对美国人那样说。
8Naam, anasema hivyo kwa Wamarekani.以下是乌干达政府对乌干达人说的。
9Na hivi ndivyo serikali inavyosema kwa Waganda.部长说:政府的反同性恋的立场依旧。
10Msimamo wa serikali dhidi ya ushoga bado unasimama, anasema waziri Katika tamko lililotolewa jana, Waziri wa mambo ya Nje Sam Kutesa alisema serikali haiungi mkono utetezi wa ushoga “sawa tu na vile tusivyoweza kutetea biashara ya ngono.”在昨天发表的一份声明,外交部长Sam Kutesa说:「政府不支持促进同性恋『就像我们不能提倡卖淫。』」
11Mwanablogu AfroGay anadhani kuwa serikali ya Uganda iliamini kuwa ingeweza kupitisha muswada huo kwa kuwa viongozi wa dunia wana mambo mengine katika akili zao:AfroGay推测,乌干达政府认为法案可以蒙混过关,因为世界各国领导人有其他事情在忙:
12Kama ilivyokuwa mwaka 1999 ambapo Museveni mwenyewe aliamuru kuwa mashoga wote wakamatwe na kufungwa jela katika kile ambacho ni wazi kilikuwa ni jambo lililowazwa hovyo [ kwa mara nyingine wafadhili waliingilia kati na Museveni akarudisha uamuzi wake nyuma], MU7 alifikiri kuwa muswada wa Bahati ungekuwa ni suala la pembeni katika nyakati hizi ambamo Obama amezama kwa Taliban, Gordon Brown ni bata mjinga na hakuna mwingine yeyote anayeitilia maananni Afrika zaidi Mchina anayefanana na samaki mla nyama.如1999年时,Museveni总统亲自下令逮捕和关押同性恋者,该举显然是不智之举(捐助者再次干预,Museveni被打得落荒而逃),MU7 认为Bahati的法案将是次要的问题,因为欧巴马正全神贯注于塔利班议题,Gordon Brown是个跛脚鸭,而且此时除了中国人外没有其他人认真关注非洲。
13Lakini ukweli ni kwamba Obama na Ulaya watafurahi kuikabili Uganda kwa sababu ni shabaha rahisi ukilinganisha na, tuseme, China.但事实是,欧巴马和欧洲很高兴处理乌干达议题,因为相对中国,这是一个容易的目标。
14Hillary Clinton alisema siku ile kuwa hukabiliani na China kwa njia ambayo unakabiliana na nchi ya dunia tat una hiyo ilikuwa ndiyo njia yake ya kuashiria kwa mzunguko mahali ambapo aniweka Uganda katika orodha ya ukubwa (wa mataifa).希拉蕊有次说:「你不能拿处理第三世界的方式来对中国」,这间接的显示了她如何定义乌干达的地位。
15Katika posti nyingine, AfroGay anajadili kile ambacho kinaweza kikawa kinatokea nyuma ya pazia:在另一篇文中,AfroGay讨论了幕后可能正在发生的事:
16Kwa hiyo, hata kama kwa makusudi hawawi wawazi hivi sasa, serikali ina mtazamo fulani juu ya muswada huu.所以,即使他们目前正在对此刻意模糊,政府对该法案仍有特定观点。
17Na mtazamo wao nim baya kwa nafasi yao kimataifa na kiufadhili.而他们的观点是它对其国际地位和资金非常不利。
18Mitetemo bado haijakwisha.挣扎尚未 结束。
19Bahati amepanda kichwa kutokana na jinsi watu wengi walivyomtupia macho, na ni wazi kuwa bado anasherehekea dakika zake kumi na tano za umaarufu.Bahati因得到关注而更大胆,他显然是陶醉在他的短暂成名里。
20Hivyo basi, ianaelekea hatakubali kirahisi.因此,他可能不会轻易的默从。
21Lakini serikali itampinda mkono wake.但是,政府会扭他的胳膊。
22Tazamia zahanati mpya kwenye jimbo la Bahati, na ahadi za hiki na kile kwa watu wa Ndorwa na naweza hata kuahidiwa ufadhili wa moja kwa moja kwa ajili ya kampeni yake ya kuchaguliwa tena.Bahati的选民要留意,他对 Ndorwa人民承诺了许多,他甚至可能直接得到为他竞选连任资助的承诺。 Museveni在乌干达想要什么就会得到什么,我预料该法案若能到达议会,将 会是渺小且无说服力的。
23Anachokitaka Museveni nchini Uganda, Museveni hukipata na ninatabiri kuwa muswada huu utakuwa kivuli cha nafsi yake ya zamani wakati utakapofika Bungeni - kama utafika.校对:Soup