Sentence alignment for gv-swa-20100731-1560.xml (html) - gv-zhs-20100716-5590.xml (html)

#swazhs
1Niger: Njaa ya Kimya Kimya尼日尔:宁静饥荒
2Janga la njaa ambalo kwa kiasi kikubwa haliripotiwi ipasavyo huko Sahel limechukua sura kubwa ya kutisha kufuatia kiasi cha watu milioni 2.5 nchini Naija hivi sasa kuathirika na uhaba wa chakula.
3Mpango wa Kimataifa wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umeamua kuongeza hatua za dharura Wanablogu nchini Naija wanatafakari janga jingine la chakula baada ya lile la mwaka 2005, baa la njaa la mwaka huu ambalo ni matokeo ya upungufu wa mvua mwaka jana.
4Waume wakielekeza nyuso zao katika Jangwa la Sahel imepigwa na Nawal _kwa leseni ya Creative commons kwenye Flickr D.非洲萨赫勒(Sahel)地区长期粮食危机愈来愈严重,尼日尔目前约250万居民都受粮食不足影响,联合国世界粮食计划已决定扩大紧急行动规模,以保障身陷困境的民众,当地博客回想2005年也曾发生粮食危机,而今年问题是由于去年雨量短缺所致。
5Evariste Ouédraogo aliandika yafuatayo kuhusu namna wanasiasa wanavyojaribu mara zote kupindisha mabaa ya chakula nchini Naija kwa namna ambayo huwaweka wao katika mwanga mzuri zaidi [Kifaransa]:
6Mwaka 2005, mamlaka yalijaribu kupenyeza mawazo ya ushawishi kwamba tishio la njaa lilikuwa ni uvumi tu ulioenezwa bila ya aibu [..]民众面对萨赫勒地区沙漠,照片来自Flickr用户Nawal_,依据创用CC授权使用
7Siku chache baadae, waziri mkuu, katika hali ya kujipinga hoja mwenyewe, bado aliomba msaada wa jumuiya ya kimataifa kwa sababu ya …njaa.
8Mwaka 2010, ukweli unajitokeza tena: siku 10 baada ya mabadiliko ya utawala nchini Naija, tunasikia kutoka kwa mkuu wa utawala wa kijeshi kwenye luninga kwamba njaa inatishia mamilioni wa wananchi wa Naija kutoka mikoa yote ya nchi hiyo.
9Uhaba wa chakula ulikadiriwa kuwa tani 400 000.D.
10Kinyume kabisa cha kauli iliyotolewa na Mamadou Tandja ambaye alikuwa anakerwa na habari za hali mbaya ya chakula.Evariste Ouédraogo提到,政治人物总想利用尼日尔的粮食危机,让自己居于有利的局势:
11Grioo.com inauliza kwa sauti kubwa swali gumu lakini lililo bayana kwamba Wanaija wengi wanashangazwa kuhusu: ““fedha zilizopatikana kutoka kwenye biashara ya madini ya Uranium zilikwenda wapi?”
12” [Kifaransa]: Na tukumbuke shinikizo kati ya wakuu wa nchi wa zamani nchini Naija na viongozi wa eneo la Areva kuhusu kupitiwa upya kwa mikataba ya kuchimba Uranium […] Hatutaweza kupingana vya kutosha na mbio hizi zinazosaidia magenge ya watu wenye kazi za ofisini kufakamia hazina za umma ambazo zinapaswa kuchangia katika kuwasaidia raia ambao wanakosa chakula, maji na huduma za afya ya msingi.2005年,政府试图说服大众,让人们相信饥荒威胁只是个可耻的谣言,[…]几天后,总理却以严肃口吻向国际社会求援,理由 竟然是…饥荒;2010年,真相再度浮现,尼日尔政权更替十天后,我们从电视上的军政府领袖口中得知,饥荒正威胁数百万尼日尔人民,不足的粮量据估计为 40万吨,与前总统Mamadou Tandja的说法完全相反,前总统只要听到粮食危机一词便激动否认。
13Kiasi cha fedha kutoka kwenye rasilimali za madini kamwe hakiwasaidii walio wengi ambao hawana sauti.
14Vioja vya Kiafrika ambavyo havitushtui tena. Hata hivyo, kashfa hii inapaswa kuisha sasa katika mwanzo wa Milenia mpya.Grioo.com说出许多尼日尔民众心中明显的疑惑:「铀矿贸易收入究竟流向何方?」
15Inaonekana kana kwamba utajiri wa madini unaleta dhiki tu kwa idadi kubwa ya Waafrika.
16Itakuwa hivyo mpaka vyanzo vyote vitakapokoma kutumika kuwa mashamba ya kulimia. Kathryn Richards at Care anatushirikisha mawazo machache na ushuhuda wa “majira ya njaa” kadri idadi kubwa ya watu wa vijijini wanavyojikuta wakiwa kwenye uhitaji mkubwa wa mifugo ya kuchunga::还记得先前为了铀矿开采合约更新问题,尼日尔前元首与Areva公司高层关系紧绷,[…]我们永远都会谴责当初设计制度的人 士,让许多高层人士怠忽职守,还能盗用公款,让欠缺粮食、饮水及基础医疗的民众未获应有援助,开采矿藏的收入从未让沉默大众获益,人们对这个非洲现象已见 怪不怪,但我们跨过新的千禧年后,必须终止这件丑闻,采矿之富彷佛只会为非洲民众带来苦难,除非资源能妥善使用,否则情况永远不会改变。
17Naija ni nchi ya vinyume. Tajiri katika madini na mafuta yaliyogunduliwa siku za hivi karibuni lakini watu wake ni masikini wa kutisha. [..]Kathryn Richards在Care网站写下几个想法,也见证「饥饿季节」情况,农村家庭非常需要牲畜供放牧:
18Chakula kinapatikana katika soko -lakini kwa bei iliyopaa sana ambayo ni watu wachache tu wanaweza kuimudu. Familia zinauza mifugo yao kwa bei ya chini ili kununua chakula.尼日尔国内充满强烈对比,新发现的铀矿与石油带来财富,但人民却极为贫穷,[…]粮食可在市场上购买,但因为通货膨胀,很少人 能负担得起,许多家庭将牲畜便宜出售以购买粮食,Mohammed Gusnam即为一例,「生活很困苦,我们这些牧人曾经如王子般骄傲,现在牧地不断消失,我们被困在村落里,村落在我眼中如同监狱」。
19Mohammed Gusnam alikuwa mmoja wa watu hawa: “ Ni vigumu . Kama wafugaji tulikuwa kama wana wa mfalme, wenye kiburi.不过此次政府因应粮食危机的速度似乎比2005年要快,欧洲委员会人道援助区域部门主管Cyprien Fabre评估:
20Sasa ardhi ya kuchungia inapotea na tumekwama huko kijijini. Kijiji ni kama gereza kwangu.”许多警示与干预体系在许多国家都存在,资源也据此分配,目前相关活动正在尼日尔、布基纳法索与马里等国进行,乍得需要更多单位才能有效发挥功能。
21Mwitiko wa sasa wa janga la chakula, hata hivyo, unaonekana kuwa na kasi kubwa zaidi kuliko ilivyokuwa mwaka 2005. Cyprien Fabre, kiongozi wa kitengo cha eneo maalumu wa Tume ya Ulaya ya Misaada ya Kibinadamu (ECHO) anatoa tathmini ifuatayo [fr]:但有许多组织认为,资源太慢才抵达,指出主因有二:一,确保捐助者资源来源,二,试图让资源触及最偏远地区民众,许多人表示,短期之内,金援可能会比分送粮食更快、更有效:
22Viamshi na miundo ya kutoa misaada inafanya kazi katika nchi nyingi zilizoathirika na mafungu ya fedha yalitengwa kwa utendaji kazi kama ipasavyo.
23Operesheni zinaendelea katika nchi za Naija, Burkina-Faso na Mali. Chadi inahitaji mawakala zaidi kwa ajili ya ufanisi wa zoezi la utoaji misaada.与社区成员对话时,许多人表示,他们想拿到现金,而非种子,民众若失去多数谷物,或是距离市场最遥远者,比较倾向选择种子;而靠近市集或拥有农地有限的民众,则认为现金较实用。
24Bado mashirika mengi yanaamini kwamba vitendea kazi bado vinawasili kwa uchelevu sana.校对:Soup
25Mashirika hayo yanabainisha sababu mbili za uchelevu huo: 1) kuhakikisha kwamba wafadhili wanakuja na fedha za ufadhili na 2) changamoto za kuifikia idadi kubwa zaidi ya watu katika maeneo yasiyofikika kirahisi.
26Wengi wanafikiri kwamba kutoa fedha taslimu inaweza kuwa ni njia ya haraka na ya ufanisi zaidi katika kipindi kifupi kuliko kutuma (misaada hiyo kwa namna ya) chakula [Kifaransa]:
27Wakati wa mazungumzo na wanajamii hizo, watu wengi walisema kwamba wangependelea kupata fedha taslimu badala ya mbegu za nafaka.
28Jamii zilizokuwa zimepoteza mazao mengi au wale wanaoishi mbali na masoko wanachagua mbegu za nafaka; wale wenye uwezekano wa kufika kwenye magulio hawajapoteza sana ama wanayo ardhi isiyotosha, hupendelea kupata fedha taslimu.