Sentence alignment for gv-swa-20081021-28.xml (html) - gv-zhs-20080920-1363.xml (html)

#swazhs
1Madagascar: Kuishi ughaibuni hubadili uhusiano马达加斯加:出国对人的改变
2Katika makala iliyochapishwa mwezi Machi, wachumi William Easterly na Yaw Nyarko wanaeleza kwamba katika nchi zilizo chini ya Jangwa la Sahara, kiasi cha fedha kinachotumwa na wahamiaji wanaotoka bara hilo ni wastani wa asilimia 81 ya misaada ya fedha kutoka nchi za kigeni kwa kila nchi.
3Dhima ya waMadagascar walio nchi za mbali kwa maendeleo ya nchi yao imewahi kujadiliwa hapo kabla katika ulimwengu wa wanablogu wa Madagascar.
4Hivi karibuni wanablogu walijadili athari ya kuishi ughaibuni kwa mienendo ya WaMadagascar na jinsi mabadiliko hayo yanavyoathiri uhusiano na marafiki na ndugu zao walio nyumbani.
5News2dago anasimulia ni kwa namna gani alipoteza urafiki wa karibu aliokuwa na rafiki yake mmoja wa tangu enzi za shule.
6Anaeleza kwamba uhusiano wao ulififia polepole mara tu baada ya rafiki yake kuondoka kwenda zake Ufaransa: Nilikuwa na uhusiano mzuri na rafiki yangu tangu tulipokuwa madarasa ya juu ya sekondari.在三月发表的文章中,经济学家William Easterly与Yaw Nyarko指出,撒哈拉沙漠以南地区的侨汇(海外侨民送回母国的汇款)总金额,平均占个别国家所获外援的81%。
7Tuliketi dawati moja. Mara ya mwisho kumtia machoni ilikuwa mwaka 1992 wakati wa mahafali ya kumaliza elimu ya sekondari na kutunukiwa cheti.过去在马达加斯加博客圈里,便曾讨论海外社群对马国发展扮演的角色,博客最近则提到,居住海外对马国人民行为的改变,又如何影响他们与家乡亲友之间的关系。
8Rafiki yangu alipata bahati ya kuendelea na masomo ya juu nchini Ufaransa. Mimi nilichagua kubaki nyumbani, ulikuwa uamuzi binafsi, hakuna wa kumlaumu kwa hili.News2dago描述老友前往法国后,两人自求学以来的深厚关系如何逐渐消失[马拉加西文]:
9Miaka ilipita na mawasiliano na rafiki yangu, ambayo mwanzoni nilipata mara kwa mara, polepole yalianza kufifia. Siku moja nilipata taarifa kutoka kwa mtu tuliyefahamiana naye kwamba rafiki yangu yule alikuwa amekwishafunga ndoa.我在中学认识一位好朋友,友谊相当深厚,我们于1992年自中学毕业,他很幸运至法国念大学,我自己选择留在国内(这不怪任何人),此后经过多年,原本时常得知朋友的讯息,后来往来不再频繁,有天我从共同的朋友那里听说他结婚了,我多次寄电子邮件给他都无回音。
10Niliendelea kumwandikia barua-pepe lakini pasipo kupata jibu lolote. News2dago anaongeza kwamba yeye pia alipata fursa ya kusafiri kwenda Ufaransa mwaka 2005, lakini baada ya kutafakari vyema aliamua kubaki nyumbani.News2dago还提到,他在2005年也曾有机会前往法国,但经过审慎考虑,他决定待在国内,理由包括:马达加斯加人到了法国似乎便失去同胞感、出国没有人一起玩牌,而且他也把出国经费挪来发展目前的计划,他说:「这比到国外与那些拥有漂亮学历的人为伍要好得多。」
11Anataja baadhi ya sababu za kufanya hivyo: udugu hupotea miongoni mwa WaMadagascar mara baada ya kufika Ufaransa, kila mmoja anakuwa na lwake, hakuna kukutana ili kucheza mchezo wa karata, pia alitumia pesa ambazo zingemuwezesha kwenda ughaibuni ili kuusimamisha mradi anaoufanya sasa.
12“Ni afadhali kufanya hivi kuliko kushughulika na watu walio ughaibuni na vyeti vyao vya mbwembwe vya elimu.”
13Anaongeza:他又说:
14Kuna kipindi nilimpigia simu ili tupige soga na kujikumbusha mambo ya zamani. Nilimwambia kwamba Mungu akipenda, huenda nitakuja huko kufanya kazi na kuwa mmoja wenu.news2dago也曾提到,他的侄女从法国回到马达加斯加,与在法国认识的马国男子结婚,整场婚礼都是在法国筹备,连摄影师都远从法国而来,新婚两人向news2dago借用互联网,预订婚后要前往马国西北部的Mahajanga旅游,但两人后来返回法国时,却没有向他道别。
15“Kweli?” aliniuliza.出国似乎确实改变了一个人。
16Tangu nilipomweleza hayo, kila nikimpigia nakutana na ujumbe wa kunitaka kuacha ujumbe wa sauti. Katika habari inayohusiana na hiyo, news2dago alisema kwamba mpwa wake alirejea Madagascar kutokea Ufaransa ili kufunga ndoa na Mmadagascar mwenzake aliyekutana naye ughaibuni.Ravatorano则认为,故作冷漠或忽视旧友现象并不只仅于海外马达加斯加人,但他认为人们起码要尊重曾帮助自己的人;Simp则讽刺地说:「请原谅他们只是人…善意是好运的种籽,恶意则如达摩克里斯之剑(Damocles sword)。」
17Walihakikisha kwamba harusi nzima imepangwa vema, hata walileta mpiga picha mtaalamu kutoka Ufaransa.对于人们放弃真友谊,转而追求功利性人际关系,lehilahytsyresy则指出可能的解释:
18Walimwomba watumie kifaa chake cha kuunganisha intaneti ili kupanga fungate lao katika eneo la Mahajanga mara baada ya harusi. Pamoja na hayo yote hawakuona ulazima wa kuaga walipokuwa wanaondoka kurudi zao Ufaransa.马国人到了海外,便会感受到严苛现实、残酷竞争与日常生活的压力,为了求生,「与富人为友」的态度自然会出现,但后来这种态度便根深蒂固,就连对亲人也是「唯利而亲」。
19Ama kwa hakika kuishi ughaibuni hubadilisha watu.校对:Portnoy
20Akieleza kuguswa na taarifa hiyo, Ravatorano anaamini kwamba tabia ya kujifanya kutojali au kuwapuuza marafiki wa zamani haipo tu miongoni mwa raia wa nchi moja ughaibuni.
21Hata hivyo, anaamini kwamba ni jambo stahiki kuonyesha heshima kwa watu waliokusaidia.
22Simp alidakia kishabiki: “Wasameheni kwani wao ni binadamu tu … matendo mema ndiyo mbegu za bahati njema na matendo maovu ni kama jambia la hukumu la Damocles.”
23lehilahytsyresy anajaribu kutoa maelezo ya sababu kwa nini watu wanatelekeza urafiki wa kweli kwa ajili ya urafiki wa kutumiana (mg):
24“Wamadagaska wanapobinywa na ukweli wa maisha ya ughaibuni,, ushindani mkali na maisha yaliyojaa madhila mengi kila siku, kwa hiyo ni jambo la kawaida kwamba mtazamo wa “ni rafiki ikiwa ni tajiri” utawale, maana mtazamo huu ni muhimu ili mtu upate kuishi.
25Kwa bahati mbaya, tabia hiyo huwaingia mno watu kiasi kwamba mtazamo huo huutumia hata dhidi ya ndugu zao, na hatimaye anakuwa ndugu wa kweli endapo tu ni “mtu aliye nazo”.