Sentence alignment for gv-swa-20090228-89.xml (html) - gv-zhs-20090228-1959.xml (html)

#swazhs
1Dunia Nzima: Lugha 2,500 Zinapotea全球2500种语言消失中
2Ramani shirikishi ya lugha zinazopotea, inayoonyesha lugha 2,500 kati ya 6,000 ambazo ziko hatarini, imezinduliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO).[本文连结皆为英文]
3Shirika hilo la kimataifa linawaomba watumiaji wachangie kwa kutuma maoni kwenye mradi huo ambao unawatia mashaka wanablogu wengi wenye nia ya kuhifadhi tamaduni. Mkutubu, Iglesia Descalza anablogu:联合国教科文组织公布一张互动地图[英文],其中标明全球6000种语言中,共有2500种濒临消失,该组织呼吁人们在计划网站上留言,许多博客亦关心保存既有文化。
4Nikiwa mmojawapo wa watu wanaopenda lugha, ninasikitishwa ninaposoma habari zinazotoka wakati wa kutolewa kwa Kitabu kipya cha ramani ya lugha zilizo Hatarini kutoweka Duniani cha UNESCO.图书馆员Iglesia Descalza表示:
5Kwa mujibu wa kitabu hicho cha ramani, kilichozinduliwa kwenye mkesha wa Siku ya Kimataifa ya Lugha (21 Februari), karibu ya lugha 200 zina wazungumzaji pungufu ya 10 na lugha nyingine 178 zina wazungumzaji kati ya 10 na 50.身为爱好语言的人士,看着联合国教科文组织公布的世界濒临消失语言地图,我感到十分苦恼,根据这份在2月21日国际母语日前夕公布的地图所示,全球近200种语言只剩不到10个人会说,另有178种语言只有10至50人能明白。
6Takwimu zinaonyesha kuwa kati ya lugha 6,000 zilizopo sasa, zaidi ya 200 zimetoweka katika vizazi vitatu vilivyopita, 38 ziko hatarini kabisa, 502 ziko hatarini sana, 632 ziko hatarini bila ya shaka na 607 haziko salama. Wazungumzaji wa mwisho wa lugha wanapofariki, na lugha pia hufariki.这份资料显示在全球现存6000种语言里,超过200种在过去90年间消失,538种情况非常危急,502种相当危急,632种危急,607种不稳定。
7Lugha ya Ki-Manx katika kisiwa cha Man ilitoweka mwaka 1974 wakati Ned Maddrell, mzungumzaji pekee wa lugha hiyo alipofariki wakati lugha ya Ki-eyak huko Alaska Marekani, ilikumbana na maangamizi mwaka jana kilipotokea kifo cha Marie Smith Jones. […] Inatubidi tuuenzi uwingi wa kibaiolojia, uwingi wa tamaduni na rangi za watu, pamoja na uwingi wa lugha kwa sababu tunapoteza mambo mengi mno kadiri tunavyozidi kumezwa na jamii moja kubwa nyeupe, inayoongea Kiingereza.当最后几位通晓某种语言的人过世后,该语言也宣告死亡,曼岛(Island of Man)上的曼克斯语(Manx)在1974年便随Ned Maddrell往生而灭绝,美国阿拉斯加的艾亚克语(Eyak)去年也随着Marie Smith Jones入土。
8Huku lugha zinazopotea nyingi zake ni zile za watu watu wa makabila wanaokumbwa na utandawazi na utaifa wa dola, Daniel Moving Out, blogu ya mwanablogu wa kireno anayeishi uingereza kwa sasa, inasema siyo lugha zote “zisizo rasmi” ambazo zinakufa. […][…]我们需要奖励生物多样性、文化多样性、族群多样性及语言多样性,因为在同化为一个巨大的英语白人社会过程中,我们已失去太多。
9Lugha ya Ki-Galisia inasikika kama vile ni mchanganyiko wa Kihispania na Kireno, kana kwamba ni lugha iliyotokana na Kireno na kuboreshwa na misamiati na lafudhi za Kihispania. Lugha hiyo asili yake ni Ki-Galisia na Kireno cha zama za kale, na ilikuwa ikizungumzwa katika jimbo lote la Portucale […]这些濒临消失的语言多为原住民语,受到全球化与国家民族主义的压力,Daniel Moving Out博客作者是位现居英国的葡萄牙人,他指出,并非所有「非官方语言」都在凋零:
10Wiki hii, kitabu cha ramani za lugha cha UNESCO kilitolewa, na kudai kwamba Ki-Galisia ni moja ya lugha zenye nguvu ambazo si lugha kuu katika nchi yoyote.[…]加利西亚语(Galician)听起来像混合西班牙语与葡萄牙语,像是源自于葡萄牙语,却又向西班牙语借用词汇与腔调,这种语言来自中古世纪的加利西亚葡萄牙人,至今仍在Portucale郡内流通。[ …]
11Inalindwa na Ki-Kastilia (Kihispania cha kawaida) kutokana na kuwa karibu na Ureno kijiografia. Blogu hiyo inaandika muhtasari wa takwimu mbaya zaidi:本周联合国教科文组织公布世界语言地图,认定加利西亚语虽不是任何国家内的主要语言,但生命力依然强盛,这个地区在地理上靠近葡萄牙,语言则受到西班牙政府保护。[ …]
12Lugha 199 zina wazungumzaji wa asili pungufu ya kumi na wawili.这个博客也整理联合国报告内部分最糟的数据:
13Katika Indonesia, wazungumzaji 4 waliobakia wa Ki-lengilu wanaongea miongoni mwao [peke yao]; Ki-Karaim nchini Ukraine kinatunzwa na watu 6 tu.[…]199种语言的母语人口已不到10人,印度尼西亚Lengilu语人口只剩4位,乌克兰Karaim语人口只有6人,过去90年已有逾200种语言消失,英国曼岛上的曼克斯语在1974年随最后一位母语人口死亡而灭绝。
14Zaidi ya lugha 200 nyingine zimetoweka katika vizazi 3 vilivyopita.然而并非每个人都在意语言消失情况。
15Ki-Manx, kutoka Kisiwa cha Man, hapa uingereza kilitokomea na mzungumzaji wake pekee mwaka 1974.Magnus Lindkvist在TED blog留言:
16Lakini si kila mmoja anayejali kupotea kwa lugha.[…]为什么我们总喜欢赋予古语言各种浪漫意义,但实际上却根本没有人想再学?
17Akitoa maoni kwenye blogu ya TED blog, Magnus Lindkvist anasema:又有谁在意过去几十年增生的数百种程式语言?
18[…] kwa nini tunaendelea kuzikumbatia lugha za kale ambazo hakuna anyetaka kuziongea tena?世界各地人们混合英语和当地语言后的新产物又怎么办?
19Vipi kuhusu mamia ya lugha mpya za ‘Ki-programu' (agh. kwenye tarakilishi) ambazo zimechepuka katika miongo iliyopita?这些真实语言的生命力比曼克斯语或Tirahi语强盛许多。
20Au aina mbalimbali za Kiingereza ambazo watu wanazipokea na “kuzichanganya tena” na kuzifanya zao wenyewew duniani kote? Hizi ni lugha za kweli na zinaonyesha uwezo zaidi ya Ki-Manx na Ki-Tirahi.Abdullah Waheed以迪维希语(Dhivehi)为母语,这是马尔地夫的官方语言,但人口却不太多,他以一个例子解释语言保存的重要性:
21Abdullah Waheed, mzungumzaji asilia wa Ki-Dhivehi - lugha “rasmi” ambayo haina wazungumzaji wengi visiwani Maldives - anafafanua katika mfano mmoja ni kwa nini uhifadhi wa lugha ni muhimu:[…]迪维希语对马尔地夫人和马国国家认同至关重要,因为这是少数我们独有的特色,对我国迈向永续发展与事务和谐而言,迪维希语是一项关键。
22Lugha ya Ki-Dhivehi ni ya muhimu sana kwa utambuzi wa watu wa Maldive kama watu na pia kama nchi, kwa sababu hilo ndilo jambo pekee tunaloshiriki wote na ambalo ni wengine wachache tu wanalo. Ni moja mkakati wa muhumi tunapoelekea kwenye maendeleo endelevu na uratibu muwafaka wa mambo yetu.迪维希语并非仅限于少数作家,而存在于社会、经济与文化生活的核心,这种语言对我们所有人都很重要,当我们想要推动文化多样性、提高识字率、改善教育水准、提供基础教育时,这就很重要,为扩大社会包容,为增进创意、经济发展与保护原住民知识,迪维希语就很重要。[ …]
23Mbali ya kuwa ni kitengo kilichotengwa kwa ajili ya waandishi peke yake, Ki-Dhiveli kipo katikati ya ya maisha yote ya kijamii, kiuchumi na kitamaduni.
24Ki-Dhiveli kinatuhusu sote. Kinatuhusu pale tunapotaka kutangaza uwingi wa tamaduni, na kupigana na ujinga, na kinahusu kiwango cha elimu, pamoja na ufundishaji katika miaka ya mwanzo ya elimu.校对:Soup
25Kinahusu katika mapambano kwa ajili ya ujumuishaji wa jamii , kwa ajili ya ubunifu, maendeleo ya kiuchumi na kulinda ufahamu wa watu wa makabila. […]