Sentence alignment for gv-swa-20100321-1356.xml (html) - gv-zhs-20100329-4866.xml (html)

#swazhs
1Uganda: Wanafunzi Wacharuka, Kampala Yawaka Moto Jumanne, majanga mawili tofauti yaliikumba Kampala, mji mkuu wa Uganda: wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Makerere walifanya ghasia baada ya wanafunzi wenzao wawili kupigwa risasi.乌干达:学生暴动,首都燃烧
2Na makaburi ya Kasubi, ambayo ni sehemu ya Urithi wa Dunia ya UNESCO na eneo la kaburi la mfalme wa moja ya makabila makubwa zaidi ya Uganda, liliteketea kwa moto.3月16日,烏干達首都坎帕拉分別發生兩起悲劇:烏干達的瑪凱雷雷大學學生在兩名同學遭射殺後發起暴動;列入聯合國教科文組織世界文化遺產的卡蘇比陵,也就是烏干達最大族群之一的王室陵墓已被燒毀。
3Ghasia Chuo Kikuu cha Makerere玛凯雷雷大学暴动
4Kwa mujibu wa magazeti ya Uganda, ghasia katika Chuo Kikuu cha Makerere, chuo kikuu kikubwa zaidi nchini Uganda, zilianza baada ya wanafunzi wawili kupigwa risasi na mmoja kujeruhiwa vibaya na mlinzi wa usalama usiku wa Jumatatu wakati wa mkutano kuhusu uchaguzi wa wanafunzi.乌干达当地报纸指出,此暴动发生地点为乌干达首区一指的玛凯雷雷大学,因3月15日晚召开的关于近期学生会选举的会议中,两名学生遭保全人员射死,一名学生则受重伤。《
5Gazeti la Daily Monitor linaripoti maelezo mawili tofauti ya tukio hilo:每日观察家》对于此事件有两种版本的报导:
6Polisi wanasema kuwa wanafunzi wengi walikusanyika katika hosteli kwa ajili ya hatua za mwisho za kampeni ya uchaguzi wa wanafunzi wakati mlinzi aliyeshuku kuwa mmoja wa wanafunzi hao alikuwa ana nia ya kuiharibu gari iliyokuwa kwenye maegesho alifyatua risasi.警方表示,当时有许多学生聚集在青年旅社参加学生会最后一波的选举宣传活动,巡逻人员怀疑其中一名学生似乎打算破坏停车场中的车辆,于是便开枪。
7Ripoti za awali zinasema kuwa mashabiki wa Simon Kamau, mmoja wa washindani katika kinyang'anyiro cha urais, walipambana na wale wa John Taylor wa NRM, na kusababisha kupigwa risasi kwa wanafunzi hao wa ki-Kenya.先前的报导暗指,学生会会长竞选者席蒙‧卡茂的支持者与NRM的约翰‧泰勒发生冲突,造成肯亚裔学生被枪射击。
8Gazeti la New Vision linasema kuwa kupigwa risasi kulitokana na kutokukubaliana kati ya mgombea na mmoja wa mashabiki wa mgombea mwingine:《新视界》表示,开枪事件起因于候选人及另一名候选人支持者之间的争执:
9Wakati kundi hilo lilipojiandaa kuondoka, lilibabatizwa na Nyongesa ambaye inaaminika kuwa yumo katika kambi ya John Kamau, mmoja wa WaKenya wawili waliokuwa kwenye mbio za uchaguzi.当这群学生准备离开时遇到据信属于卡茂阵营的Nyongesa。
10Inasemekana kuwa alijaribu kumpiga [mgombea John] Teira kwa benchi wakati kundi hilo lilipokataa amri yake ya kuondoka hapo kwenye hosteli.卡茂是此次竞选中的两名肯亚裔学生之一。
11Ugomvi mdogo ulizuka, ambao kwa mujibu wa mashahidi, ulisababisha mlinzi kufyatua risasi ambayo iliwapiga wanafunzi watatu.据传闻,Nyongesa要求这群学生离开旅社遭拒后,抄起板凳意图攻击泰勒。
12Wanafunzi walijibu mapigo siku ya Jumanne kwa kuandamana kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Makerere huku wamebeba mabango na jeneza ili kupinga mauaji hayo.目击证人指出,因为发生骚动,迫使保全人员开枪而导致三名学生中弹。
13Magazeti yote mawili yanaripoti kuwa maandamano hayo yaligeuka na kuwa ghasia na kwamba polisi walitumia mabomu ya machozi ili kuwasambaratisha watu.学生则于3月16日在玛凯雷雷大学校园中游行来回应此事件,并于游行中以标语和棺材抗议杀戮。
14Mwandishi wa habari, Ole Tangen Jr, anayeishi mjini Kampala alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kublogu juu ya ghasia za Makerere.上述两份报纸皆指出,抗议游行变得激烈,警方便以催泪瓦斯驱赶人群。
15Alijiuliza ni kwa nini wanafunzi wengi hawatumii mitandao ya uanahabari wa kijamii kusambaza habari:住在坎帕拉的记者Ole Tangen Jr首先在博客上写出玛凯雷雷暴动事件,并对没有更多学生使用社交媒体网络来散发消息感到不解:
16Jana usiku wanafunzi wawili wa Makerere walipigwa risasi na mlinzi wa usalama mwenye silaha jambo ambalo lilipelekea ghasia zilizosambaa sana katika maeneo ya chuo kikuu leo.昨夜两名玛凯雷雷大学学生遭到配枪保全射杀,导致今天学校附近的暴动。
17Hata hivyo hakuna aliyekumbuka kutumia Twita ili kupasha habari juu ya habari hii.然而,没有人想到用推特来散播这些消息。
18Utafutaji katika Twita kwa kutumia alama ya #Makerere kwa siku nzima uliishia bila jibu lolote zaidi ya ripoti za habari hiyo.以「玛凯雷雷」为关键字在推特上搜寻一整天后,得到的结果也仅限于新闻报导。
19Inakuwaje hawa wanafunzi - hasa wanafunzi walio hai kwenye siasa - hawatumii vyombo vya habari vya kijamii ambavyo vinapatikana.学生们(尤其是活跃于政治的学生)怎么不善用社交媒体工具呢?
20Je ni kutofahamu kuhusu Twita? Au ni gharama kubwa za Intaneti?原因是他们不知道推特的存在,还是上网费用过高?
21Ni nini kinachosababisha hivi?到底是什么原因造成这样的现象呢?
22Utafutaji katika twita wa neno “makerere” kwa kiasi kikubwa ulikubaliana na dai hilo, huku jumbe nyingi za twita zikiwa na makala za magazeti.在推特上搜寻「玛凯雷雷」后,结果的确如他所说──大多数的推特都只连结到新闻文章。
23Na pia, baadhi watumiaji wa Twita huko Kampala waliwza kuongezea mazingira:但仍有几位身在坎帕拉的推特用户增加了一些文句:
24@arthurnakkaka (masaa 18 yaliyopita): Risasi zinapigwa.@arthurnakkaka (18小时前):开枪了。
25Au ni mabomu ya machozi?还是催泪瓦斯?
26#Makerere#Makerere
27@arthurnakkaka (masaa 18 yaliyopita): Wanafunzi wanapiga mayowe na kukimbia.@arthurnakkaka (18小时前):学生四处尖叫奔跑。
28Hali inakuwa mbaya #Makerere情况变糟了#Makerere
29@aspindler2 (masaa 18 yaliyopita): Maandamano katika Chuo Cha Makerere Kampala Uganda baada ya wanafunzi 2 kupigwa risasi na mlinzi wa usalama jana usiku.@aspindler2 (18小时前):昨夜两名乌干达玛凯雷雷大学学生遭保全射杀后,示威游行开始了。
30Polisi wanapiga mabomu ya machozi kutawanya watu警方以催泪瓦斯驱赶人群。
31@mirembe_maria (masaa 14 yaliyopita): Maandamano ya Chuo kikuu cha makerere yamewaacha watu 2 wamefariki na mmoja katika hali mbaya, je ni njia ipi serikali itatumia kwenda mbele baada ya yote haya?@mirembe_maria (14小时前):玛凯雷雷大学抗议导致两死一重伤,政府该采取什么行动?
32Makaburi ya Kasubi Yaungua Moto卡苏比陵惨遭祝融
33Jumanne usiku, katika tukio lisilo na uhusiano na hili, makaburi ya Kasubi, eneo la makaburi ya wafalme wa kabila la Baganda, liliteketea kwa moto.3月16日晚发生了与上述不相关的事件:乌干达的布干达(Baganda)族国王的墓地卡苏比陵惨遭大火烧光。
34Mfalme wa sasa wa Baganda amekuwa katika habari hivi karibuni kutokana na mapambano yake na rais wa Uganda, Yoweri Museveni.近日的新闻报导了布干达族人现任国王与乌干达总统Yoweri Museveni的冲突。
35Mwezi Septemba 2009, hali mbaya ya uhusiano kati yao ilipelekea ghasia mbaya katika Kampala, na raia wanahofia kwamba moto huu unaweza kusababisha ghasia nyingine baadaye.去年九月,两人之间的紧张局势导致坎帕拉发生致命的暴动,民众担忧这场大火会造成未来的动乱。
36Mwanablogu wa Uganda 27th Comrade anaandika:乌干达博客27th Comrade写道:
37Kwa kawaida huwa ni njama za makusudi sehemu kama hii inapoungua moto.这种地方会烧得精光通常是因为纵火。
38(paa) Imejengwa kwa nyasi, kwa hiyo moto utaangamiza kabisa.由于这些陵墓是由茅草做成,所以火的破坏性极大。
39Tayari, baadhi ya mapunguani Karibu yangu wameshaanza kusema “Serikali!”我身边已经有一些自以为聪明的人说是政府放的火,但我比较想说放火的是反对人士。
40Mimi pengine nitasema “Upinzani!” lakini nahisi inawezekana kabisa ni mfanyakazi ambaye hakuwa makini na moto.不过我想应该是某些不小心的职员种下了火苗。
41Hebu tusubiri habari.我们就等着看新闻怎么报吧。
42Mwanablogu na mwandishi wa habari Rosebell anaandika:博客兼记者的Rosebell写道:
43Uhusiano kati ya serikali ya Rais Museveni na Ufalme wa Buganda uko mbali na (uhusiano) waridi na hilo limekwishatoa mazingira yenye rutuba kwa wengi kufikiria kuwa kulikuwa na mchezo wa dhambi.总统Museveni的政府和布干达王国之间的关系一点也不乐观,这使很多人有充分的理由认为事件可能是某种卑鄙的手段。
44Watu wengi wanatarajia ghasia kulipuka alfajiri. Tunatumaini kuwa kutakuwa na uchunguzi wa kina juu ya kuungua kwa makaburi hayo na kwamba hakuna atakayepoteza maisha na mali.似乎有 很多人预计暴动会于黎明而起。
45Huu ni wakati muhimu kwa uongozi wa Buganda.我们只希望会针对陵墓起火事件展开彻底的调查,而且没有人因此葬身火窟或有财物损失。
46Makaburi ya Kasubi pia ni urithi kwa nchi kwa hiyo natumaini pande zote zitalishughulikia suala hili kwa uangalifu wa hali juu.这对布干达领袖而言也是关键的时刻,卡 苏比陵对全国来说同样是重要的遗产。
47Waganda walio kwenye Twita nao pia wana hofu:所以我希望双方能以最大的克制力来处理这则议题。
48@daphnzempire (masaa 6 yaliyopita): makaburi ya kasubi yanawaka moto..推特上的乌干达人也同样担心:
49Mungu wangu tunaelekea wapi @Kakazi (masaa 6 yaliyopita): Makaburi ya Kasubi yachomwa moto kama masaa 2 yaliyopita..@daphnzempire (六小时前):卡苏比陵起火了…我的天啊,我们到底走向何方?
50Ninasali kwa dhati kwamba haikuwa kwa makusudi!!@Kakazi (六小时前):卡苏比陵大概两小时前烧光了…我衷心祈祷不是纵火!
51Hasara kubwa kwa urithi wetu..:-(这是我们文化遗产的一大损失..:-(
52@mugumya (masaa 6 yaliyopita): Ninahofia kunaweza kutokea aina fulani ya machafuko kesho baada ya makaburi ya kasubi kuteketea mjini Kampala@mugumya (六小时前):卡苏比陵焚毁后,我怕明天可能会有些骚动。
53Lauren, Mmarekani ambaye aliwahi kuishi Kampala, anakumbuka jinsi aliwapeleka wageni kutembelea makaburi hayo:曾住在坎帕拉的美国人Lauren则忆起之前与朋友造访陵墓:
54Makaburi ya Kasubi kwangu ni zaidi ya majengo muhimu ya utamaduni na historia.对我来说,卡苏比陵不仅只是一处重要的文化历史建筑而已。
55Wakati tulipokuwa tunaishi Uganda, yalikuwa jirani zangu.当我们还在乌干达时,就是住在卡苏比陵的附近。
56Nyumba yetu ilikuwa chini ya bonde la kasubi, tuliyapita Makaburi hayo kila siku tukienda na kurudi kutoka Kampala mjini.我们的公寓就在卡 苏比丘 的脚下,而且我们每日来回坎帕拉闹区都会经过陵墓。
57Tuliwapek\leka wageni wengi kuyaangalia Makaburi hayo na kujifunza zaidi juu ya kabila la Buganda, historian a utamaduni wake.我们曾带很多访客去参观陵墓,并认识布干达族的历史和文化。
58Siku zote nilipenda kupita mbele ya walinzi wa makaburi; waliovalia mavazi ya kitamaduni ya rangi ya chungwa iliyokoza na kuegemea mti mkubwa ulikuwa mbele, walisubiri bila kuchoka ili kusalimu wageni wanaofuatia.我总爱行经守墓人面前,看他们身着传统藏红 花色长袍,倚在墓前的大树下,耐心等候迎接下群访客的到来。 2008年十月的卡苏比陵。
59Makaburi ya Kasubi Oktoba 2008.照片来自Lauren。
60Picha kwa hisani ya Lauren校对:Soup