Sentence alignment for gv-swa-20090529-178.xml (html) - gv-zhs-20090528-2803.xml (html)

#swazhs
1Uchaguzi Malawi: Utabiri wa Wataalamu wa Mambo Wageuka Batili马拉维:大选结果跌破专家眼镜
2Wakati uchaguzi umekwisha na rais aliye madarakani Bingu wa Mutharika ameshaapishwa kwa muhula wake wa pili na wa mwisho, wanablogu wa Malawi (mabloga) bado wanashangaa kuona maendeleo kinyume na utabiri wa wengi, haswa ule watalaamu wa mambo. Utabiri wa kwanza ulikuwa kwamba ushindani ungelikuwa wa karibu sana.马拉维总统选举落幕,现任总统穆塔里卡(Bingu wa Mutharika)连任成功,已宣誓就职,其中有两件事与先前预期大不相同,尤其与分析员所言相反,让马拉维博客重新思考这个现象,第一,人们本认为 候选人胜败得票将相当接近,结果不然;第二,外界预期选民会再度依据地缘关系与种族背景投票,结果不然。
3Haukuwa. Pili kulikuwa na mtazamo kwamba Wamalawi wangepiga kura kwa kufuata mistari ya ukabila.对于这场选举,当地博客讨论话题包括:侨民如何透过网络电台得知国内事态、新国会可能样貌,以及许多新议员强调自己拥有大学文凭、国际公职经历、博硕士学位等。
4Hawakufanya hivyo. Masuala mengine ya uchaguzi ambayo yalikuwa yakijadiliwa na wanablogu au “Mabloga” yalijumuisha namna ambavyo redio za kwenye mtandao wa intaneti zingeweza kuwapasha Wamalawi waishio ughaibuni habari kama zinavyotokea, kadhalika jinsi bunge jipya litakavyokuwa, je nini watakachofanya wabunge wengi wapya ambao wana shahada za za uprofesa wa chuo kikuu pamoja na kazi za kimataifa, wenye shada za falsafa, kadhalika shahada nyingine za juu.Chingwe's Hole博客论及外界预言错误,以及造成这场选举具历史意义的六项因素,他认为国内重要政府机构皆运作良好;Paul Tiyambe Zeleza亦指出,这场选举不仅为77岁的马拉维国大党党魁坦波(John Tembo)划下政治生涯句点,亦象征马拉维自1964年以降的民族主义世代落幕,Chris Banda在网络论坛Malawitalk称坦波已被列为下届选举的候选人;第三,许多博客亦认为,此项民众投票意向受国内发展影响很大,甚至超过政治人物或族群因素;第四与第五点和历史层面有关;最后一点,分析员都错估坦波及盟党「联合民主阵线」的得票能力,对此Chingwe's Hole特别提出批判:
5Blogu ya Chingwe's Hole inatoa maoni juu ya utabiri ambao haukutokea, kisha anachambua orodha ya mambo sita ambayo yameufanya uchaguzi wa mwezi Mei 2009 kuwa wa kihistoria. Kwa mujibu wa Chingwe's Hole, miundo mikuu ya taasisi za Malawi ilifanya kazi nzuri.这场选举终于戳破国内某些分析员的空话,这些最知名的政治评论员根本不知所云,…他们总用些老观点分析政治,有时不是基于 记 忆或研究,而只是些奇想,根据这些常受引用的「政治评论员」说法,这个联盟理应成为一股庞大力量、双方选举结果将「十分接近」、穆塔里卡选择南部人做副手 是个致命错误、经济成长并未让多数人获益等…
6Na pia kuhusu uwezekano wa mwisho wa shughuli za kisiasa kwa kiongozi wa chama cha Malawi Congress Party (MCP) mwenye umri wa miaka 77, Bwana John Tembo, uchaguzi huu pia ulihitimisha zama za viongozi wa kiuzalendo ambao wametawala Malawi kuanzia mwaka 1964, jambo ambalo Paul Tiyambe Zeleza pia ameling'amua.
7Imedaiwa kwamba Bwana Tembo amependekezwa kuwa mgombea wa MCP katika uchaguzi ujao wa 2014, kwa mujibu wa Chris Banda kwenye mtandao wa Malawitalk.
8Suala la tatu analozungumzia Chingwe's Hole ni kuwa namna ya upigaji kura ilisukumwa na masuala ya maendeleo dhidi ya wajihi wa wagombea, kadhalika dhidi ya ukabila.
9Suala la nne na la tano la kihistoria kuhusu uchaguzi huu kwa mujibu wa Chingwe's Hole.政治评论员Boniface Dulani曾预测,坦波及其盟友表现将很优异,但随着计票数据显示穆塔里卡表现超越预期,他自己坦承:
10Suala la mwisho linazungumzia jinsi wataalamu wa mambo walivyokisia vibaya uwezo wa mpinzani mkuu, John Tembo, haswa matokeo ya mseto alioingia na chama cha United Democratic Front (UDF).
11Kuhusiana na suala hili Chingwe's Hole anakosoa: Na hatimaye uchaguzi umeonyesha utupu wa wataalamu wa mambo ya kisiasa nchini Malawi.我得承认,我以为双方得票差距不会这么大,无论原因或动机为何,穆塔里卡似乎大胜,除了一如预期在北部表现强劲,中部与南部地区得票亦不遑多让。
12Wataalamu wetu wa kisiasa wanaonukuliwa sana hawajui ni nini wanachokizungumzia… wanashupalia kuchambua siasa kwa mitazamo ilei le ya kizamani na walionekana kusimamisha maono yao kwa hulka badala ya utafiti na tabaruku.
13Ungewasikiliza ‘wataalamu wetu wa mambo ya siasa' mseto wa vyamba vya upinzani ulipaswa kushinda kwa kishindo kikuu; uchaguzi ungekuwa wa ushundani wa karibu”.
14Bingu alifanya makosa makubwa kwa kumchagua mtu kutoka kusini kuwa mgombea mwenza; kukua kwa uchumi hakujawanufaisha Wamalawi n.k….
15Kama mmoja wa wachambuzi wa mambo amabye alitabiri ushindi wa MCP/UDF na mgombea wake John Tembo, Boniface Dulani anakiri wakati kura zilipokuwa bado zinahesabiwa wakati ilipodhihirika kwamba Bingu wa Mutharika anageuza yale yaliyokuwa yakitarajiwa:
16Lazima nikiri kuwa sikutegemea ushindi unaoanza kudhihirika kutokana na matokeo ya upigaji kura ambayo yanatangazwa hivi sasa.
17Kwa kila hali, inaonekana kuwa Mutharika anaelekea kuibuka na ushindi mithili maporomoko ya ardhi.Greenwell Matchaya认为,现任总统在全国各地普遍胜出,或许象征族群政治终结之始:
18Wakati Bingu anafanya vizuri kwenye majimbo ya kaskazini kama ilivyotabiriwa, kadhalika nafanya vizuri katika majimbo ya kati na kusini.
19Kwa mwanablogu Greenwell Matchaya, ushindi wa rais aliye madarakani nchini kote unaweza ukawa unaashiria mwisho wa siasa za kikabila:
20Kwanza, ushindi mkubwa wa Bingu mbele ya mseto wa nguvu wa upinzani ni ushindi wa kwanza kuusikia katika Afrika. Zaidi ya hapo, ukweli kwamba hapakuwepo na tuhuma zozote za wizi wa kura, kunaufanya ushindi wake uwe wa haki na wa kuvutia.首先,面对似乎强大的在野联盟,穆塔里卡得票胜距是我在非洲首见,且过程毫无不当情事传出,让选举结果更具公信力,也更加 难得, 执政党得票约2,730,630张,在野联盟仅获1,270,057张,比前者半数还少20万,[…]这个数字代表全国共同支持他执政,原本人们认为 族群问题每天都在消费我们的政治及日常生活,现在看来,良好政绩似乎能够超越一切。
21Chama cha Bingu, DDP, kimeshinda uchaguzi wa rais kwa kura takriban 2,730,630 wakati mseto wa MCP/UDF uliambulia kura 1,270,057, kura takriban 200, 000 pungufu ya zile za Bingu […].
22Ujumbe mkuu unaotolewa na takwimu hizi ni kuwa Bingu alichaguliwa na taifa zima, na unazua wazo kuwa pengine uongozi bora unaweza kutokomeza sarakani ya ukabila ambayo wengi wetu tulidhani ilikuwa bado inazengea kutafuna siasa na maisha yetu.
23Clement Nyirenda pia anatoa maoni kuhusu jinsi ambavyo wachambuzi wa mambo walivyokosea kutabiri, na anadhani kuwa upigaji kura uliompa ushindi rais aliye madarakani ulikuwa ni wa kihistoria:
24[…] Wataalamu wa mambo walidhani kuwa john Tembo angepata kura nyingi kwenye majimbo ya kusini wakati angemshinda kabisa Mutharika kwenye majimbo ya kati, ambayo ni ngome ya MCP.
25Mutharika alitarajiwa kupata ushindi katika majimbo yenye watu wachache ya kaskazini.Clement Nyirenda也提到评论员预测失准,并认为这场选举的结果具有历史重大意义:
26Mwisho wa yote, wataalamu wa mambo wamedhihirika kuwa wamekosea kwa sababu Dr. Mutharika alitangazwa mshindi kwa zaidi ya asilimia 60 ya kura.
27Tangu kuanza kwa mfumo wa demokrasi ya vyama vingi, sijawahi kuona kuona mgombea urais akipata kura kutokea kona zote za nchi kama hivi.
28Na maneno ya kuhimidi yanaendelea na Cryton Chikoko ambaye anaandika katika nafsi ya tatu kwa kutumia jina la bandia la “Rambler”:
29Rambler anakiri kuwa alikuwa hatarajii Wamalawi kupiga kura kwa kufuata sifa za mgombea.[…]评论员本认为坦波会在南部囊括更多选票,而中部向来是在野党的根据地,理应可大幅领先现任总统,并预期穆塔里卡只会在人口较少的北部地区取胜。
30Rambler alifikiria kwa makosa kwamba kama livyokuwa katika chaguzi zilizopita siasa za majimbo zingetawala.最后证明评论员所言有误,因为穆塔里卡博士以逾六成得票胜选,自采行多党制民主以来,我从未见过马拉维有位总统像这样在全国各地赢得选票。
31Uchaguzi wa 2009 umekuwa ni staajabu ya kuvutia. Upepo mpya katika siasa yetu.Cryton Chikoko仍保持敬畏之词,用「Rambler」的第三人称口吻写道:
32Victor Kaonga anaienzi kazi ambayo idhaa za redio ziliifanya katika kuwapasha watu habari za matokeo wakati wa kusubiri Tume ya Uchaguzi ya Malawi (kutangaza matokeo).Rambler必须承认,并未预期马拉维民众依据政绩投票,Rambler也得承认,原本以为此次会和过去一样,社会都用地域心态投票,2009年大选对他而言是个惊喜,这是我国政坛的新气息。
33Katika mtandao wa Malawian Internet listserv, inashukuriwa kazi ambayo redio ilifanya hasa stesheni ya Zodiak Broadcasting, ambayo inatangaza katika Malawi yote, na hivi karibuni ilianza kutangaza moja moja kwenye mtandao wa intaneti.
34Listserv pia imejadili namna ambavyo bunge jipya litakavyokuwa, hasa ikizingatiwa kwamba kuna idadi kubwa ya wasomi wa kimalawi ambao wamechaguliwa kuingia bungeni, jambo ambalo pia lilijadiliwa na Chingwe' Hole. KAtika mtandao wa Nyasanet, swali la ni nani atakayechaguliwa kwenye baraza la mawaziri linajadiliwa katika msingi wa wasomi waliochaguliwa kuingia kwenye baraza la wawakilishi, ambalo linafananishwa na kongamano la wasomi.Victor Kaonga感谢电台,在苦等选举委员会公布结果之前,不断告知民众开票结果;马拉维网络邮件论坛上,亦提到电台扮演的角色,尤其是Zodiak广播电台,播出地区遍及全国,最近也开始运用网络直播;电邮论坛亦热烈讨论新国会的可能景象,特别有许多教育水平较高的候选人当选,这个话题亦出现在Chingwe's Hole博客;由于许多知识份子进军国会,网络论坛Nyasanet上亦讨论谁会进入内阁团队,宛若组成学术研讨会;博客Kondwani Munthali亦提供他的梦幻内阁名单。
35Mwanablogu Kondwani Munthali ameshatoa baraza lake la kufikirika la Mawaziri.校对:Soup