Sentence alignment for gv-swa-20151005-9104.xml (html) - gv-zhs-20151025-14384.xml (html)

#swazhs
1Wasiwasi wa Usalama wa Mfungwa wa Syria, Aliyehamishwa Kwenda Kusikojulikana羁押中的叙利亚网民先驱Bassel Khartabil被解送至未公开地点而引发疑惧
2Bango la FreeBassel kutoka kwenye anuani ya mtandao wa Twita @freebassel.刊载于推特账号@freebassel上「释放Bassel」的海报图片。
3Mfungwa huyo amewekwa ndani nchini Syria kwa miaka minne na marafiki na wanaharakati wana wasiwasi na maisha yake baada ya kuhamishwa leo kutoka kwenye gereza alilokuwemo kwenda mahali kusikojulikanaBassel Khartabil在叙利亚已被羁押近四年,今日他被解送至未公开地点之后,他的朋友及社运人士担心他的安危。
4Wanaharakati wanaitaka serikali ya Syria kumwachilia huru mara moja mfungwa ambaye ni mhandisi wa programu za kompyuta mwenye asili ya Syria na Palestina Bassel Khartabil, anayefahamika pia kama Bassel Safadi, baada ya kuhamishiwa kutoka kwenye gereza lake kwenda mahali pasipojulika mapema leo.叙利亚-巴勒斯坦裔软件工程师Bassel Khartabil(别名Bassel Safadi )今日稍早被解送至未公开地点。
5Safadi, ambaye amekuwa gerezani kwa zaidi ya miaka minne, anafahamika sana kama mtengenezaji wa zana huria za mtandaoni.社运人士呼吁叙利亚政府立即释放被拘禁的Bassel Khartabil。
6Ni kiongozi wa taasisi ya Creative Commons nchini Syria na anafanya kazi bila kuchoka kwenye miradi kama Mozilla Firefox na Wikipedia, na amejizolea sifa kwa kufungua mtandao wa intaneti nchini Syria na kupanua upatikanaji na uelewa wa mtandao kwa wananchi.Bassel Safadi已被拘禁四年之久。 他是知名的开放原始码软件开发者,也是Creative Commons在叙利亚的领导者,积极参与如Mozilla Firefox和Wikipedia等计划。
7Kwa mujibu wa Bunge la Ulaya, kukamatwa kwake ni sehemu ya jitihada za serikali ya Syria kujaribu kuzuia upatikanaji wa mtandao kwa jamii ya mtandaoni na hata kuminya uhuru wa kujieleza nchini humo.叙利亚的因特网开通以及大众得以更加广泛的运用网络也归功于他。 根据欧洲议会指出,拘禁Bassel是叙利亚政府倾力限制网络社群及打压国内言论自由的一环。
8Kwa mujibu wa ukurasa wa Facebook ulioanzishwa na watetezi wake wakidai kuachiliwa kwake:根据呼吁释放他的支持者为他成立的Facebook页面:
9Bassel alihamishwa kutoka gereza la Adra kwenda kusikojulikana baada ya walinzi wasiojulikana wanahusiana na nani, walipokuja na kumtaka akusanye vitu vyake.在一个不知所属单位的巡逻兵来叫Bassel把他的东西打包之后,Bassel从Adra监狱解送至未公开地点。
10Inatarajiwa kwamba atakuwa amehamishiwa kwenye makao makuu ya mahakama ya kiraia kwenye eneo la Jeshi la Polisi huko Al Qaboun.估计Bassel已被押解至位于Al Qaboun宪兵队的民事法庭总部。
11Tuna wasiwasi na maisha yake baada ya kutokujulikana amepelekwa wapi baada ya hapo.我们现在对于Bassel的再次踪迹成谜感到忧心。
12Khartabil alikamatwa mnamo Machi 15, 2012, siku ya kukumbuka mwaka mmoja tangu kuanza kwa mapinduzi ya Syria.Khartabil在叙利亚革命一周年纪念2015年3月时被逮捕,他被军情局215分局讯问、刑求了四日。
13Alihojiwa na kuteswa kwa siku tano na kikosi cha usalama cha Military Branch 215.在那之后他被解提至248分局,遭羁押禁见达九个月之久。
14Alihamishwa kwenye kwenye kitengo cha mahojiano namba 248 na hakuruhusiwa kuonana na watu kwa miezi tisa.在2012年12月9号,Khartabil在没有委任律师的状况下,被带往军事检察官当前,且以「敌国间谍」之罪名被起诉。
15Mnamo Desemba 9, 2012, Khartabil alipelekwa mbele ya mwendesha mashtaka wa jeshi bila kuwa na mwanasheria, na alishitakiwa kwa “kufanya upelelezi kwa ajili ya nchi adui”.之后他便被押解至位于大马士革的Adra监狱直到今日。 TheElectronic Frontier Foundation (EFF) 提到:
16Alipelekwa kwenye gereza la Adra jijini Damascus, ambako amekuwa anashikiliwa, mpaka leo.正是因为Bassel身为科技份子及社运人士的能见度使他成为被拘禁的目标。 他的友人同时也是社会运动人士的Mohamed Najem在Change.org网站上发起一份请愿书呼吁立刻释放Bassel。
17Taasisi ya Electronic Frontier Foundation (EFF) inasema:请前往连结签署。
18Bassel alijikuta akikamatwa kwa sababu ya kuonekana kwake kama mtaalam wa teknolojia na mwanaharakati.同样是Bassel的朋友,言论自由运动人士Jillian C.
19Tamko la mtandaoni, lililoanzishwa na rafiki yake na mwanaharakati Mohamed Najem, linapatikana kwenye tovuti ya Change.org kudai Khartabil aachiliwe huru.York,同时也是EFF国际言论自由事务总监,表达她对联署的支持,她的推特写道:
20My friend Bassel Safadi has been transferred from Adra prison in Syria, we don't know where-Please sign our petition https://t.co/sER4lWTXjB
21Tafadhali bofya kiungo hiki ili kutia saini. Rafiki na mwanaharakti wa uhuru wa mtandaoni Jillian C.- jillian c. york (@jilliancyork) October 3, 2015
22York, ambye pia ni Mkurugenzi wa EFF kwa ajili ya kutetea uhuru wa kujieleza kimataifa, anamwunga mkono.的朋友Bassel Safadi从叙利亚的Adra监狱被移往我们无法知晓的地点,请签署我们的请愿书。
23Alitwiti: Rafiki yangu Bassel Safadi amehamishwa kutoka gereza la Adra nchini Syria, na hatujui aliko.她还提到:「我们知道请愿书并不能说服叙利亚当局(或任何人)但这是所有我们能做的。
24Tafadhali tia saini tamko hili请帮助发声,使Bassel能够维持平安。」
25Tunajua matamko hayataishawishi serikali ya Syria (au yeyote) lakini ndicho tunachoweza kukifanya. Tafadhali tusaidie kueneza ujumbe huu ili Bassel awe salama.译者:Stella Peng 校对:Issac Hu