# | swa | zhs |
---|
1 | Naijeria: Wanablogu Wajadili Sifa Mbaya ya Naijeria | 尼日利亞:博客討論國家形象問題 |
2 | Inajulikana vyema kuwa Naijeria ina tatizo la muonekano - utapeli wa 419 kwenye intaneti, rushwa, uharamia wa mafuta katika jimbo la Delta - kwa watu wengi, huu ndio uhusiano unaokuja akilini wakati nchi yenye watu wengi zaidi Afrika inapotajwa. | 眾人皆知尼日利亞有形象問題,無論是419件網絡詐騙案、貪腐、三角洲地區的石油海盜問題,只要提到這個非洲人口最高的國家,都會直接連想到這些事件,但尼日利亞過去一年在國際上的形象格外惡劣,過去幾個月以來,許多事件描述尼日利亞的方式令人質疑,也引起博客討論。 |
3 | Hata hivyo, mwaka uliopita umekuwa mgumu kwa watu wa Najeria walio ughaibuni: katika miezi michache iliyopita, mfululizo wa matukio yanayoionyesha Naijeria katika mwanga wa utata ulizua majadiliano kwenye ulimwengu wa blogu. | 九月時,新力公司推出一部Playstation 3的廣告,其中說道:「你不能盡信網絡言論,否則我早就是尼日利亞百萬富翁了」,這則廣告令許多尼日利亞民眾感到震驚,奈國政府亦要求新力公司道歉,新力公司事後致歉並撤下廣告。 |
4 | Mwezi Septemba, Sony ilitoa tangazo la mchezo wa Playstation 3 ambalo lilikuwa na mstari unaosema, “Usiamini kila kitu unachosoma kwenye intaneti - vinginevyo, ningekuwa milionea wa Kinaijeria hivi sasa.” Tangazo hilo lilikumbana na mawazo ya kuchanganyikiwa kutoka kwa Wanaijeria wengi, na Serikali ya Shirikisho iliitaka Sony kuomba radhi (Sony iliomba msamaha na baadaye ikaliondoa tangazo). | 與此同時,賣座科幻電影《第九禁區》(District 9)推出,但令許多尼日利亞人厭惡,奈國政府不滿電影中將當地民眾描述為罪犯及食人魔,禁止該片在國內上映,並要求審查委員會沒收電影院所有膠卷;該片在網絡也引來不同反應,有些人認為電影以種族主義觀點看待尼日利亞人,也有些人強調這只是虛構,與現實毫無關聯。 |
5 | Katika wakati huo huolilikuja toleo la filamu ya District 9 - filamu ya kisayansi ambayo ilipokewa kwa mapitio mazuri lakini yaliyowakasirisha Wanaijeria. | Adamu Waziri在EVCL博客指出,尼日利亞人對本國民眾也常帶有負面眼光: |
6 | Serikali ya Naijeria ilichukizwa na jinsi filamu hiyo ilivyowaonyesha Wanaijeria kama wahalifu na wala watu, na iliipiga marufuku ndani ya Naijeria na kulitaka Baraza la Udhibiti kuikamata kutoka kwenye majumba ya sinema. | |
7 | Kwenye mtandao, filamu hiyo ilisababisha maoni yaliyopishana, huku baadhi ya watu wakichukua mtizamo kuwa filamu ina mtizamo wa kibaguzi dhidi ya Wanaijeria, wakati wengine waliitetea kama wakilisho la kubuni lenye chembe ndogo ya ukweli. Adamu Waziri katika EVCL anasema kuwa mara nyingi jinsi Wanaijeria wanavyoonyeshwa na Wanaijeria pia huwa hakufurahishi: | 尼日利亞本地影業的作品在國內外觀眾面前,時常更加嚴厲批判奈國民眾,有段時間裡,尼日利亞電影裡總會有舞弊、巫術、武裝搶劫、亂倫、通姦、食人或貪腐情節,多年來,本地數千部電影都充斥這種主題,卻未曾遭大眾或政府反對。 |
8 | Nollywood, kiwanda cha filamu cha wazawa, kimetuonyesha katika mwanga mbaya zaidi kwa wote, watazamaji wa kitaifa na wale wa kimataifa. | 禁止電影上映會創下不良先例,更可能造成危險,應該讓大眾能討論這種狀況,我們的心智已夠成熟,政府已意外為這部電影帶來大量曝光機會與知名度。 |
9 | Kuna wakati usingeweza kupata filamu ya Nollywood ambayo haikuwa na haya yafuatayo au mchanganyiko wake: utapeli, uchawi, ujambazi wa kutumia silaha, ngono kati wanandugu, mapenzi nje ya ndoa, kula watu na pia suala tunalolipenda, rushwa. | |
10 | Nollywood imekuwa ikitoa maelfu ya filamu zenye maudhui haya kwa miaka bila pingamizi la kweli kutoka kwa umma wa kawaida au wizara. | Nicole Stamps評論《第九禁區》內的種族問題: |
11 | … kupiga marufuku filamu kunaanzisha mfano mbaya; na kunaweza kuwa hatari. Tuachieni sisi umma tujadili hili suala. | 我最不滿的是,多數電影觀眾不會質疑或注意到影片中的種族主義言論…為何尼日利亞人不能只是懷有金錢或武器等一般動機? |
12 | Tumekomaa vya kutosha kufanya hivyo. | 為何他們總要成為使用巫術的野蠻人? |
13 | Kwa kweli, waziri wetu amefanikiwa kuipatia filamu hiyo matangazo zaidi jambo ambalo nina hakika hakulikusudia. Nicole Stamp anatoa maoni kuhusu masuala ya rangi katika District 9: | …我們不可能忽視這種關於尼日利亞的刻板形象,在故事脈絡之下,這種說法不僅有害或誹謗,更是非常危險。 |
14 | Jambo ambalo linanikera ni kuwa watu wengi wanaoiangalia filamu hii hawaulizi, au hata hawaoni, muonekano huu usioaminika wa kibaguzi…. Kwa nini Wanaijeria wasiweze kuwa watu wenye kutaka vitu vyenye mantiki kama vile pesa na silaha? | Nigerianstalk.org網站上還有更有相關論辯,或直接搜尋「district 9 race」即可。 |
15 | Kwa nini wanaenda nje ya njia zao na kuwa washenzi wa ki-ooga-booga? … haiwezekani kutojali jinsi Wanaijeria wanavyoonyeshwa ambavyo kukiangaliwa katika muktadha mpana, kumepita hali ya kuumiza au kudhalilisha lakini ni hali ya hatari. | 最近《時代》雜誌發表由南非攝影師Pieter Hugo拍攝的相片集,其中以尼日利亞本地電影業為主題,雖然其中爭議不若前面兩者,但同樣引起博客圈論辯,焦點在於如此呈現尼日利亞究竟是藝術自由,抑或是文化偏見? |
16 | Unaweza kusoma zaidi mjadala huu kwenye tovuti ya Nigerianstalk.org au tafuta kwenye google kwa kutumia maneno haya “district 9 race”. | Solomon Sydelle在Nigerian Curiosity博客寫道: |
17 | Katika siku za karibuni zaidi, gazeti la Time lilichapisha onyesho la picha na mpiga picha wa Afrika Kusini Pieter Hugo ambazo zilionyesha picha kutoka kwenye kiwanda cha sinema cha “Nollywood” huko Naijeria. | |
18 | Japokuwa halikuwa onyesho tata kama ilivyokuwa District 9 au tangazo la Playstation, mpiga picha huyo hata hivyo alichochea mdahalo katika ulimwengu wa blogu, na mjadala kuhusu kama uonyeshwaji huo wa Wanaijeria uko chini ya fungu la uhuru wa kisanii au upendeleo wa kitamaduni. | |
19 | Solomon Sydelle kwenye blogu ya Nigerian Curiosity anaandika: Ninaelewa fika haja ya kusogeza mipaka, kwani shauku hiyo imepelekea kupatikana kwa ubunifu wa kazi za hali juu sana na mafanikio ya wakati wote. | 我絕對明白人要不斷挑戰極限,畢竟這種慾望過去帶來許多經典及歷史大作,但看著這些照片,我實在很難欣賞它們的意義,我認為這些照片過度倚賴偏見,只會讓多數西方讀者證實自己的刻板印象。 |
20 | Hata hivyo, kwa picha hizi, ninahangaika kuzithamini pamoja na kile kinachoonyeshwa na ninaamini kuwa bila ulazima wowote zilitegemea upendeleo ambao unathibitisha imani fulani potofu za kadamnasi ya Hugo ambayo kwa kiasi kikubwa ni ya Magharibi. | |
21 | Matukio haya yametukia katika wakati mbaya kwani yanawiana na mpango mpya uliozinduliwa mwanzoni mwa mwaka huu wa “kutengeneza chapa mpya ya Naijeria” (Re-brand Nigeria). | 這些事件的時間點特別不巧,因為今年尼日利亞政府才希望重建國家形象,這項計劃由資通訊部長Dora Akunyili博士推動,目前褒貶兩極(全球之聲先前報導請見此)。 |
22 | Mpango huo unadhaminiwa na Dk. Dora Akunyili, Waziri wa Habari na Mawasiliano wa Naijeria, na ambao umekumbana na yote mawili, sifa na kukosolewa (angalia hapa ili kusoma mjadala huo kwenye Global Voices) | |
23 | Bunmi Oloruntoba katika blogu ya A Bombastic Element anajadili kampeni ya kutengeneza chapa mpya katika muktadha wa mjadala wa hivi karibuni kwenye BBC juu ya suala hilo: | |
24 | Waziri alikuwa na shauri zuri aliposema kuwa Naijeria haiyatazami mengi yaliyo chanya, haielezi simulizi zake na inafanya makosa ya kuiachia dunia kufafanua taswira yake inayoelemea kwenye sifa zake mbaya pekee. Na anayo mifano mizuri ya mambo chanya. | Bunmi Oloruntoba在A Bombastic Element博客提到重建形象運動,以及最近英國廣播公司BBC的報導: |
25 | Lakini BBC ilitafuta maafisa uhusiano na wataalamu wa chapa wachache ambao wanapinga kwa kusema, kama nchi inataka kujitengenezea chapa mpya, inapaswa kuipatia timu yoyote ya mahusiano nyenzo zaidi. Wale waliohojiwa walisema, ugavi wa umeme wa uhakika na mwisho wa uchumi unaotegemea mashjine za jenereta kutaizifanya jitihada za kutengeneza chapa mpya ya Naijeria kuwa “rahisi.” | 部長說得確實沒錯,尼日利亞忽視許多正面力量,也沒有好好訴說自己的故事,讓世界誤以惡名來定義這個國家,部長也的確提出 不少正 面範例,不過BBC找來幾位公關及品牌形象專家指出,若一國希望重建形象,必須讓公關團隊有更多素材可以發揮,受訪者表示,只要能穩定供電,終結仰賴柴油 發電機的經濟模式,尼日利亞要重建形象「不費吹灰之力」,為證明他們的論點,在節目進行到13分40秒的時候…非奈國民眾也能明白髮生了什麼事。 |
26 | Na kuthibitisha maneno yao, dakika 13:40 baada ya kipindi kuanza… naam, haupaswi kuwa Mnaijeria kujua ni nini kilichotokea. Sehemu angavu ya mjadala wa taswira ya Naijeria ilikuwa ni video iliyosambazwa sana ya mwandishi wa Kinaijeria Chimamanda Ngozi Adichie akiongelea juu ya “Hatari ya simulizi moja.” | 在有關尼日利亞形象的話題之中,有段影片廣為流傳,奈國作家Chimamanda Ngozi Adichie在影片提及「單一故事的危險」,她談到當人們想像非洲時,總覺得只是龐大的災難集散地,但這種想法有其缺點;她提醒若只限定相信「單一故事」,只會讓經驗變得扁平,而且造成刻板印象。 |
27 | Adichie anatoa maoni juu ya mitegoya taswira kubwa ya Afrika kama sehemu ya majanga; anatahadharisha kuwa kujekea upeo wa “simuli moja” kunasiliba uzoefu na kutengeneza imani potofu. | |
28 | Kwa wanablogu wengi, maneno ya Adichie yalitoa mwangwi wa kughafirika kwao na taswira ya Naijeria iliyozoeleka nje ya nchi. | 許多博客皆與這位作家有同感,對於外界對尼日利亞普遍的印象感到失望。 |
29 | Mwanablogu Shade NonConformist anaandika kuhusu uhusiano wa rissala ya Adichie na taswira ya Naijeria: | Shade NonConformist說明這場演說與尼日利亞形象的關聯: |
30 | Ninaamini kuwa hivi ndivyo Adichie alivyomaanisha katika hotuba ya Hatari ya Simulizi Moja aliyoitoa kwenye TED. Inageuka kuwa tatizo pale sura pekee ya Afrika tunayoiona ni ile inayohusisha wanyama waliokufa, umaskini, majanga, vifo, ufisadi, watu mashuhuri wanaasili watoto… unafahamu yadi zote tisa. | 我相信以下是Chimamanda Ngozi Adichie在TED演講時的用意:人們描繪非洲樣貌時,若只能想到動物死屍、貧困、災難、死亡、貪腐、名人領養小孩等你我常聽見的事,這就會成為問題。 |
31 | Sasa sisemim kuwa Afrika haina mambo hayo. Wote tunaweza tukaafikiana kuwa tunayo. | 我知道這些事確實在非洲出現,沒有人對此有異議,但我認為這些問題不僅限於非洲國家。 |
32 | Ninachosema ni kuwa mambo hayo si ya nchi za Kiafrika peke yake. …Mimi/sisi hatutasikoma kukosoa taswira za Afrika ambazo hazina mizani na zenye ubaguzi. | …我們永遠都會批評外界對非洲的描述充滿偏見或不公平,提供關於非洲的平衡論點很重要,身為非洲人,我們必須積極投入,願意努力改變,我們才會看得到這塊大陸開始改變。 |
33 | Kuonyesha taswira zenye mizani iliyolingana ni jambo muhimu. | 校對:Soup |
34 | Kama Waafrika pia tunapaswa kiujifanya kuwa kama vyombo ambavyo viko radhi kutumika katika mabadiliko tunayotakja kuyaona (ambayo tutayaona) katika bala letu tunalolienzi. | |