Sentence alignment for gv-swa-20080805-6.xml (html) - gv-zhs-20080914-1346.xml (html)

#swazhs
1Korea: Wajibu wa Kitaifa Wachuana na Dhamiri韩国:义务与良心
2Kijana mmoja anayetumikia jeshi kama askari polisi aliamua kutorudi kwenye kikosi alichokuwa akifanya kazi baada ya likizo na alipeleka taarifa kuwa dhamiri yake ilikuwa ikimshtaki.一个正在警察属服军役的年轻人在假期后决定不归队,并且宣布诚实说出内心话。
3Sababu ilikuwa kwamba dhamiri yake ilimshtaki baada ya kuwa amewanyanyasa raia walioshiriki katika mkesha wa tukio la kuwasha mishumaa.原因是他对于抵制参加烛光悼念集会的民众感到罪恶感。
4Uamuzi wa kijana huyu umevuta hisia za watu wengi, uamuzi ambao unapingana na serikali na kumaanisha kwamba hawezi kumaliza muda wake wa kulitumikia jeshi.他的决定引来很多回响,大都反对政府,而支持他不完成兵役。
5Netizen anauliza maswali kuhusu suala hili.一个网民针对这项事件提问:
6Kijana, Lee Kil Joon, aliyekuwa akilitumikia jeshi kama polisi na ambaye alitumwa kwenda kuzuia tukio la mkesha wa kuwasha mishumaa, alitangaza ‘azimio la (kujisikia kushitakiwa na) dhamiri', tangazo lake hilo limekuwa ni jambo kubwa.一个正在警察局服兵役而被派去抵制烛光悼念集会的年轻人, Lee Kil Joon,发表了 “良心告白” 而他的告白成为一件大事。
7Askari Lee Kil Joon ambaye amepangiwa kazi katika kikosi cha kuzuia uhalifu na kuendesha doria katika kituo cha polisi cha Jungrang jijini Seoul alipitisha usiku mzima pasipo kurejea katika kituo chake cha kazi.警员 Lee Kil Joon 是首尔 Jungrang 警署犯罪预防和巡逻队的成员,他一夜不归也没回去部队。
8Baadaye aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Kanisa Katoliki la Sinwondong jijini humo jioni ya tarehe 27 mwezi Julai na kuanza rasmi mgomo wake mahususi kwa kipindi kisichojulikana baada ya tamko lake la kujisikia kushitakiwa na dhamiri dhidi ya wajibu na mfumo wa polisi wa kutuliza ghasia.他二十七号晚上在首尔的 Sinwondong 天主教教会召开记者会,并且在这之后开始无期限就地罢工,抗议暴乱和义务警察人力制度。
9Alisema, “Nilipofanya kazi kama askari polisi, nilihisi kwamba tungweza kutumwa na wakuu wetu kudhibiti tukio ambalo tusingependa kulidhibiti” na “kwa hiyo niliamua kupinga uonevu wa kunilazimisha kutenda nisilopenda kwa sauti yangu mwenyewe …” […] Je, ninyi mnafikiri nini kuhusu uamuzi wake wa kutorejea jeshini kwa sababu ya kutumwa kwenda kudhibiti waandamanaji kwa nguvu kwamba kufanya hivyo ni sawa na ‘kuingilia uhuru wa dhamiri'?他说,“当我以一个警察的身份工作,我觉得我们被掌权者放进了我不想要的情况” 而 “我认为我必须以清楚的声音反抗这个压迫” […] 你们对于他认为被派去强行抵制抗议者违反他的良心而拒绝返回部队的行为,有什么意见?
10Wanamtandao wa intaneti wengi wameunga mkono uamuzi wa kijasiri wa askari huyu na kueleza kwamba kuna matatizo mengi katika mfumo wa jeshi.许多网民 支持他的勇气,并且指出军队风气的问题。
11Lee Kil Joon alitangaza kushitakiwa na dhamiri kutoana na kitendo cha kutumia nguvu ili kuzuia tukio la mkesha wa uwashaji mishumaa.Lee Kil Joon 对于强行抵制参加烛光悼念集会的民众的举动发表了良心告白。
12Alisema kwamba alijiuliza maswali mengi baada ya kusikia amri kutoka kwa kamanda wake ikisema ‘wapigeni pasipo kuonekana' wakati wa mkesha wa kuwasha mishumaa katika uzuiaji wa raia na askari kwa kutumia mabavu.他说当他听到他的队长发令将参加烛光悼念集会的民众“偷偷在暗地里打”,和看见人民警察任意的 压制民众时,他开始对自己产生疑问。
13Hatimaye alitangaza mgomo wake kwa sababu ya kusukumwa na dhamiri.最后他决定出自良心表示反对。
14Hata hivyo, wapo wanaomkosoa.但是有人却批评他。
15Baadhi ya wanaotoka katika makundi ya kihafidhina wanamchukulia kama mtu mwenye matatizo ya akili.一些保守团体认为他是疯子。
16Hivi, kwa nini analaumiwa kiasi hiki?为什么他会被责备成这样?
17Je, ni kwa sababu “anagomea wajibu wa kulitumikia jeshi?” Hili ni swali ambalo ningependa kuwauliza watu wa makundi ya kihafidhina.因为他“反对义 务兵役”?
18Au, je, wanamchukia kwa sababu amefunua ukweli wa mambo?我想问问这些保守团体,他们恨他是否因为他揭发了事实?
19Kwa sababu ya kutilia shaka na kuwa na hatia kutokana na ukandamizwaji unaofanywa na polisi, kwamba ndiyo aliibuka na tangazo la kushitakiwa na dhamiri.因为他对于警察的压制感到怀疑和罪恶感,因此他发表良心告白。
20Endapo kama polisi wangekuwa wanaheshimu uhuru wa kuandamana na kama wasingalidhibiti maandamano kwa nguvu, huenda jambo hili lisingetokea.如果这些警察尊重抗议自由 而不去强行压制他们,这件事或许也不会发生。
21Licha ya ushawishi wa wazazi wake, alichojaribu kuonyesha ni matumizi mabaya ya nguvu yaliyofanywa na polisi dhidi ya maandamano.无论他的父母亲怎么劝他,他想指出的是这些警察用错误的方式压制了这场集会。
22Hebu tafakari hili kwa uwazi na ukweli.诚实的想想看。
23Hata kama wewe ni askari polisi ambaye huna budi kutawanya maandamano, je, ungejisikia vipi endapo kamanda wako angekuamuru ‘kuwapiga pasipo kuonekana'? Kwa sababu raia wako kwenye maandamano, basi, uwapige katika mahali ambapo hutaonekana.即使你是一个必须要把集会解散的警察,当你的队长对你说“偷偷 在暗地里打”,你会怎么感受?
24Je, hii si ghasia kwa kisingizio cha kuzuia uvunjaji wa sheria na kuleta utulivu?就因为公民发起集会游行,就要把他们拖到看不见的地方打?
25Kuwapiga raia si haki.这不是暴力吗?
26Ndiyo sababu alichukua uamuzi huo. Badala ya kumpongeza kwa ujasiri wake, kwa nini tunamtukana?在维护法律与秩序的前提下,殴打民众也是不对的。
27Ni kweli kwamba kutokamilisha kipindi cha kulitumikia jeshi si jambo linalokubalika vilevile.这 就是为什么他做了他的决定。
28Hata hivyo, kutatua tatizo la kwanini askari hakukamilisha wajibu wake inapaswa kuwa jambo la kupewa kipaumbele katika kuleta mageuzi.你们不赞赏他的勇气,反而谴责他?
29Hata hivyo, masuala yanayohusiana na wajibu wa kulitumikia jeshi yana nafasi ya pekee nchini Korea.当然,逃兵也是不对的。
30Si wanamtandao wengi wa intaneti wanaotafsiri kitendo cha askari huyo kwamba ni cha kugomea wakuu wake, bali wanaamini kwamba ni kisingizio cha kukwepa wajibu wa kulitumikia jeshi.不过,解决为何警察无法完成他的任务的问题才是要务。
31[…] unapoona habari hii, unadhani kwamba kuna jambo la maana. Lakini kwa maoni yangu, ni kama simulizi kuhusu mtu anayedeka na asiyetaka kulitumikia jeshi.不过,在韩国,和兵役有关的问题一直都很敏感。
32Hebu sikiliza kile alichosema. “Nilijihisi vibaya kujipokea nafsi yangu, mimi ambaye nilitakiwa kutii amri bila kutia neno hasa pale nilipoamriwa kwenda kudhibiti mgomo na hasa iliponipasa kuvumilia kuzomewa na kugomewa na wananchi.不少网民 认为他的行为不是在反抗当局,而是在逃避兵役。
33Nilihisi kwamba utu wangu kama binadamu ulikuwa umefutiliwa mbali kabisa.”[…] 当你看新闻时,这件事好像很了不起。
34Hivi sasa kuna vijana wapatao 600,000 walio katika nafasi sawasawa na ile aliyokuwemo.但在我看来,这不过就是一个被宠坏了的人不想去当兵的故事。
35Hawana budi kuishi kwa kutii amri na kufa ikibidi kwa amri.我们来看看他说了什么。“
36Kama angekuwa raia wa kawaida, ningeelewa uamuzi wake dhidi ya makumpuni au asasi gandamizi ambapo angekuwa akifanyia kazi.我很难接受自己当一个默默遵从指 令,被派去压制抗议的人。我感觉自己的人性完全被烧光了。”
37Hii ni jamhuri yenye kuheshimu uhuru na demokrasia, na kwa hiyo ni jamii ambapo haki za binadamu hazina budi kuheshimiwa.目前,全国有六十万年轻人跟他处于同一个情况下。
38Hata hivyo, katika nafasi yake kama askari hana fursa ya kueleza waziwazi vile anavyofikiri.他们是生是死都必须遵从指令。
39Unapokuwa kijana katika jamhuri ya Korea, jeshini ni mahali ambapo huna budi kwenda kama sehemu ya wajibu kwa watu wa nchi hii.如果他是个平民,那我可以瞭解他为了逃避他所属公司或组织的压力而做出的决 定。
40Kuna amri na majukumu ambayo huna budi kuyatunza kama askari jeshi au polisi.这是个民主自由的国家,一个尊重人权的社会。
41Lakini kwa vile alijifikiria nafsi yake tu, basi aliamua kupuuzia kila kitu. Hata kama kuna amri nyingine ambazo ni za kipuuzi, huna budi kuzitii kwa sababu uko katika kundi maalumu.但是,身为一个警察,他不应该在公众下发表他的想法。
42Like Mwenyewe alisisitiza kwamba kwa sababu yeye ni mtu safi basi asingeweza kufuata amri za kipuuzi.如果你是一个韩国的青年,服兵役是你必须经历的责任与义务。
43Kama tutakubaliana na jambo hili, je, ni nani atakayekuwa tayari kujiunga jeshini, na je, ni nani atakayekuwa askari wa kutuliza ghasia au kufanya kazi kama askari polisi?以一个警察和军人的身份,你必须负责任和 维持秩序。
44Endapo upo vitani, mbele ya kamanda anayekuamuru ‘songa mbele', wewe unamwambia kwamba hutaki kuua watu.但想想他的自私,他无视一切。
45Unadai kwamba dhamiri inakushitaki na kwa hiyo unatelekeza silaha yako. Je, ni nani atakayeilinda nchi hii?虽然那可能是个不合逻辑的指令,但那还是一个你该遵从的特别团队。
46It is not so Hiyo haitofautiani sana na kile ambacho askari wa kutuliza ghasia hufanya. Hapo ni kundi zima linalotakiwa kufuata amri.就像是他的坚持,他是个好人,他没办法遵守不合 逻辑的指令。
47Endapo kundi hili halitatii amri, basi ni jambo hilo litakalosababisha kusambaratika kwa kundi hilo.如果我们承认他是对的,还有谁会去当兵?
48Je, ni nani anayependa kufuata amri za wengine bila kujali dhamiri zao zinawaelekeza vipi?谁会去当镇暴警察?
49Unapokuwa kwenye kundi fulani, basi kuna kanuni kwamba unalazimika kutii mambo ya kundi hilo. Ingawa hiyo ni kanuni isiyo sahihi na haina budi kubadilika,haipaswi kubadilishwa kwa namna ambavyo kijana huyu anataka iwe.在打仗的时候,司令在喊“前进”,你在前面却说你不想杀人。
50Kwa sababu ya umimi wake, je, askari wengine katika kikosi chake watafikiriaje sasa …你自己发表了良心告白然后弃械投降。
51Ikiwa umewahi kupitia jeshini, naamini utaelewa ni nini ninachojaribu kueleza hapa. .[ …]那谁来保护这个国家?
52Kumaliza muda wa kutumikia jeshini ni kama kuvuka geti (lango) fulani katika maisha.这跟镇暴警察没什么两样。
53[…] Kwa vyovyote vile Lee Kil Joon atakuwa na wakati mgumu sana kujaribu kuhimili uchungu alio nao hivi sasa kwenye dhamiri yake.警察和军人 都该听指挥行动。
54Hata hivyo, natoa wito kwake kuendelea kuvumilia zaidi kidogo.如过他们不这么做,警队和军队就会马上瓦解。
55[…] hapa tunazungumzia maisha ya mtu mmoja.谁喜欢违背自己良心去遵从命令呢?
56Je, tunaweza kukisia uchungu walio nao wazazi wake hivi sasa?每个团体都有你该遵守的法则。
57Nafikiri jambo la maana hapa ni kwamba aweke wazi mambo yote ya kishenzi na kisha arejee kwenye kikosi chake cha jeshi.即使有些法则是错的,应该修 改,也不该用这个年轻人所做的方式。
58[…] Kwa uzoefu wangu, askari polisi wengi ni watu wa kawaida tu. Ukiachilia mbali watu wenye malengo ya kisiasa, walio wengi hawaingilii tukio la kuwasha mishumaa kwa sababu wanamwunga mkono Lee Myung Bak.因为他的自私,其他在他队里面的警察会怎么想…如果你当过兵,你就知道我在说什么。[ …]
59Hiyo ndiyo kazi yao.服完兵役犹如穿越人生中的一道门。 .
60Kwa maneno mengine, wanafanya kile ambacho wakuu wao wanawaamuru. Wanafanya hivyo kwa sababu hicho ndicho wanachotegemea kuendesha maisha yao.[…] Lee kil Joon 现在一定因为良心发现而难过不已。
61Hata kwa kubaki jeshini, bado ana fursa nyingi ambamo anaweza kujikagua na kutafakari maisha yake.不过,我求他再多忍受点。[
62Anaweza kuwa na maisha motomoto hata kwa kubaki jeshini.…] 我们在说的是一个人的人生。
63Jamani, hebu tusaidi kumrejesha jeshini, hebu tuokoe maisha ya mtu huyu mmoja![ …]他父母现在的处境多么困难?
64Wako watu wengine wanaochukulia hii kama fursa ya kipekee ya kukomesha mfumo wa kuwa na askari wa kutuliza ghasia, ambao huwa una kawaida ya kupelekea vijana katika utumishi wa jeshi.我认为最好的方式是,他揭发了这个不道德的行为后就回到部队。[
65[…] Kwa nini hatuna budi kumlinda Lee Kil Joon Katika tukio la kuwasha mishumaa jana katika Kanisa Katoliki, mwakilishi wa Chama kipya cha Jinbo, Lee Duk Woo alieleza waziwazi kwa nini hatuna budi kumlinda.…] 就我的经验来说,大部分的警察都是一般人。
66Sheria ya askari polisi wapiganaji, usuli, na tatizo tulilo nalo hivi sasa - nchi inayopoteza ziada na kutuma askari huku na huko bila mpangilio maalumu.除了一些有政治倾向的,大部分的警察会挡住烛光悼念集会的民众不是因为他们支持李明博。
67It Hii ni kinyume cha Katiba ibara za 24 - 25.那是他们的工作。
68Kwa lugha nyepesi, askari wa kutuliza ghasia ni askari na kwa hiyo hakuna msingi wa kisheria kwamba askari wanaweza kuwazuia raia kama si katika hali ya sheria za kijeshi.简单来 说,他们不过是在执行任务。
69Katika kipindi cha miaka 17, ni mara ya kwanza tunapata fursa ya kupigania haki hii kwa sababu kuna mtu mwenye kuguswa na jambo hili na ambaye amejitokeza.他们这么做只是为了生计。
70Ndiyo kusema kuwa uamuzi wa Lee Kil Joon ni muhimu.就算是在部队里,他也能有很多机会可以观察和反省自己的人生。
71Ikiwa yeye hatunaye basi ni vigumu kuendeleza ombi la namna hiyo.他可以在部队里培养出一颗拥有关爱与温 暖的心。
72Mnamo mwaka 1991, askari mmoja wa kutuliza ghasia alitangaza kujisikia kushitakiwa na dhamiri na sisi tulipeleka ombi la kufutiliwa kwa mbali mfumo wa kuwa na askari wa kutuliza ghasia.让我们把他送回他的部队吧!
73Lakini wakati ule wa serikali ya Roh Tae Woo, tulishindwa kwa uamuzi wa uwiano wa 5:4. Hivi sasa, miaka 17 baadaye, uelewa kuhusu haki za binadamu na mambo ya ulimwengu umekua anayeguswa na mfumo huu sasa ametangaza kujisikia kushitakiwa na dhamiri, sasa tunayo fursa nyingine ya kuomba kufutiliwa mbali kwa mfumo huu.
74Tumepata fursa nyingine baada ya miaka 17. Ndiyo sababu hatuna budi kumlinda Lee Kil Joon. [让我们拯救一个人的未来![ …]
75…]其他人把这件事视为用来废除征收服兵役的年轻人进入镇暴警察制度的罕见机会。
76Je, unajua?你知道吗?
77Endapo askari wa kutuliza ghasia anapuuza amri ya mkubwa wake na kuondoka kikosini anaweza kutupwa gerezani kutumikia kifungo cha miaka kati ya 3 hadi 10?当一个警察不顾上司的指示而离开部队,他可能入狱三到十年。
78Ni wazi kwamba Lee Kil Joon amechukua uamuzi mgumu katika maisha yake.Lee Kil Joon 面对了艰难的抉择。
79Atafuatiliwa na kusukwasukwa na maadui na kupitia wakati mgumu sana katika kipindi hiki cha kusubiri matokeo ya ombi letu.他会被反对他的人威胁,劝阻,在他请愿的过程中受苦。
80Ni kwa sababu hii kwamba si askari wachache wa kutuliza ghasia walijisikia kushitakiwa na dhamiri lakini wakashindwa kufanya tamko.因此,并没有很多镇暴警察愿意发表良心告白,他们宁愿放弃。
81Kabla ombi hili halifafikishwa kunakohusika, ikiwa atakabidhiwa upande mwingine wa wasiopenda ombi hili,basi atapitia wakati mgumu sana - je, hili si jambo gumu kwa mtu kulivumilia peke yake? -[…]但他申请了请愿,如果 他被交到另一边,他将遭遇更艰难的处境- 那么多的压力对他一个人来说不是太过了吗?[ …]