Sentence alignment for gv-swa-20091026-391.xml (html) - gv-zhs-20091028-4063.xml (html)

#swazhs
1Cambodia: Tuzo yamuenzi aliyenusurika na utumwa wa ngono柬埔寨:奖座鼓励性奴隶幸存者
2Sina Vann alikuwa na umri wa miaka 13 wakati alikupoja Cambodia kutoka Vietnam kwa kile kilichopaswa kuwa likizo. Badala yake, aliuzwa kama mtumwa kwa ajili ya ngono na alitumia miaka miwili iliyofuata ndani ya danguro.Sina Vann在13岁时从越南前往柬埔寨,原本要去度假,结果却沦为性奴隶,被卖进妓院近两年,直到反奴隶基金会Somaly Mam将她救出火坑,今日这位女孩加入该基金会,协助其他奴隶制幸存者及性工作者。
3Alikombolewa wakati Somaly Mam, mwanaharakati wa kupinga utumwa na sura ya Taasisi ya Somaly Mam, alipopanga uvamizi kwenye danguro alilokuwa akiishi Vann. Leo, Vann ni mwanaharakati wa Taasisi ya Somaly Mam, akiwasaidia wanusurika wengine wa utumwa huo pamoja na wale wanaoendelea kutaabika kwenye madanguro.她也因此获得Frederick Douglass奖,这座奖「鼓励人性精神的韧性,并强调许多现代奴隶制幸存者都伸手帮助他人获得自由」。
4Kwa kazi aliyofanya Vann, alituzwa tuzo ya Frederick Douglass.她的故事请见以下影片。
5Tuzo ya Frederick Douglass “huenzi uwezo wa kumudu wa roho ya binadamu na husisitiza kwamba wengi wa wanaonusurika utumwa wa ki-leo huendelea kuwasaidia na wengine kuwa huru”
6Habari zaidi kuhusu Vann zimeonyeshwa kwenye video hii: 2009 Frederick Douglass Award Winner - Sina Vann from Free the Slaves on Vimeo.最近联合国针对柬埔寨人权情况,决定将相关计划与工作延长一年,根据The Mirror指出,联合国特别报告员向人权委员会表示:
7Mshindi wa tuzo ya mwaka 2009 ya Frederick Douglass - Sina Vann kutoka Free the Slaves katika Vimeo. Hivi karibuni, Umoja wa Mataifa uliongeza mwaka mmoja zaidi wa mamlaka yake kushughulikia hali ya haki za binadamu nchini Cambodia.仍然关切柬埔寨人权现状,据他的报告,柬埔寨法治仍然虚弱…且他还提到,柬埔寨最大在野党Sam Rainsy的国会议员Mu Sochua女士遭法院判刑,由于法院受政府操控,让案件充满不公义之处,只因为她胆敢挑战柬埔寨强权。
8Kwa mujibu wa gazeti la The Mirror, mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa, akitoa taarifa kwenye Baraza la Haki za Binadamu:其他人呼吁特别报告员,不要遗忘柬埔寨性奴隶制下受害的妇孺,强调纵然还有言论自由等侵害人权状况发生,也不能忘记将性奴隶问题列为优先事项。
9Alionyesha kuguswa na hali ya haki za binadamu nchini Cambodia.校对:Soup
10Kwa mujibu wa taarifa yake, utawala wa sheria nchini Cambodia ni dhaifu…Pia, alitaja suala la Mbunge wa Chama cha Sam Rainsy -kutoka kwenye chama kikuu cha upinzani nchini Cambodia - Bi. Mu Sochua, aliyehukumiwa na mahakama, kwa shinikizo la serikali ya Chama tawala cha CPP, kupoteza kesi hiyo katika mazingira yasiyo ya haki, kwa sababu alithubutu kupinga dhidi ya wenye nguvu nchini Cambodia.
11Wengine walimsihi Mwakilishi huyo Maalum asiwasahau wanawake na watoto ambao bado ni wahanga wa utumwa wa ngono nchini Cambodia, kwa kuzingatia kwamba hilo ni lazima libaki kuwa kipaumbele cha haki za binadamu kwa sababu uvunjifu wa haki nyingine za binadamu, mfano uhuru wa kujieleza, unaendelea kushika kasi.