Sentence alignment for gv-swa-20090722-238.xml (html) - gv-zhs-20090713-3200.xml (html)

#swazhs
1Afrika: Obama Atumia Nyenzo Mpya za Habari Kuzungumza na Waafrika非洲:欧巴马使用新媒体与人民互动
2“Umeshawahi kutaka kumuuliza kijana wetu wa Nyangoma maswali yoyote? Kwa maneno mengine, je ungependa Rais wa Marekani, Barack Obama ajibu maswali yako?,” ndivyo inavyoanza makala kwenye blogu ya Hot Secrets inayohusu matumizi ya Obama ya zana mpya za habari ili kukutana na kuongea na Waafrika wa kawaida.Hot Secrets博客在一篇文章中提到,美国总统欧巴马(Barack Obama)使用新媒体促进与非洲一般民众对话,文章开头写道:「可曾想过询问肯尼亚之子任何问题吗?
3Barack Obama anazuru Ghana tarehe 10 mpaka 11 Julai.各位希望欧巴马亲自回答你的问题吗?」
4Hii itakuwa ni ziara yake ya kwanza ya kihistoria kwenye nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara na atatumia nyenzo kama Twita, Facebook na Ujumbe mfupi wa Simu za kiganjani (SMS) kuzungumza moja kwa moja kwa moja na Waafrika.欧巴马于7月10日至11日访问迦纳,也是首次出访撒哈拉沙漠以南地区,期间使用Twitter、Facebook与手机简讯直接诉诸非洲民众。
5Erik Hersman anayeblogu kwenye blogu ya White African, anajadili majukwaa-nyenzo ya habari ambayo Obama anakusudia kuyatumia ili kuwafikia Waafrika zaidi ya wale wa Ghana. Erik alifanya kazi na ikulu ya Marekani katika kuandaa mikakati ya nyenzo mpya za habari kwa ajili ya Ghana na Afrika.White African博客的Erik Hersman指出,欧巴马希望使用媒体平台,触及迦纳以外的非洲民众,他本身亦与白宫合作,研拟对迦纳及非洲的新媒体策略,他提到:
6Anaandika: Redio bado ni nia ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika, na Ghana ina sekta ya redio iliyo hai na yenye kushirikisha jamii zilizo vitongojini na jamii ya kitaifa.广播仍是非洲最大传播媒介,尤其迦纳在此方面特别活跃,拥有许多地方及国家社区电台。
7Kama kila mmoja anavyojua, usambaaji wa simu za kiganjani umekua kwa kasi ya mlipuko barani Afrika, hii inamaanisha kwamba Ujumbe mfupi wa Simu (SMS) ni njia ya kidemokrasia ya kupata mrejesho kutoka kwa watu wa kila hali nchini.
8(jambo la kuchekesha ni kuwa huduma hii haipatikani kwa wakazi waaoishi Marekani - mengine juu ya suala hili yapo chini) Mwisho, hakuna mtandao wa kijamii ulioazaliwa nchini Ghana, na kama ilivyo kwa nchi nyingine kote Afrika, Facebook imeweza kusambaa kwa kiwango kizuri. Nchini Ghana, watumiaji ni zaidi 100,000, kwa hiyo inaleta maana sana kwa timu inayoshughulikia nyenzo za habari kuwafikia watu bila kuzisambaza nguvu zao kwenye huduma nyingi nyingine.各位也知道,行动电话普及率在非洲快速成长,代表手机简讯是项民主途径,可藉此获取全国各年龄层人民的回应(不过对美国居 民不适 用);迦纳本地并未发展出自有社会网络,和许多非洲国家一样,使用Facebook的情况较为普遍,迦纳用户逾十万,故新媒体团体理应透过这个平台互动, 不该耗费太多力气于太多服务上,以Twitter做备胎也很合理,因为届时也会有相当多讨论出现。
9Kuwa na huduma ya Twita kama nyenzo ya akiba ni jambo linalotarajiwa, kwa sababu kutakuwa na matumizi huko vile vile.
10Na anatundika habari za kina kutoka Ikulu ya Marekani: SMS.他也公布来自白宫的细节内容:
11Tunazindua jukwaa la SMS ili kuwaruhusu wananchi kutuma maswali, maoni na maneno ya ukaribisho (Kwa Kiingereza ama Kifaransa).手机简讯。
12Kwa kutumia vifupisho vya tarakimu vya mahali husika kwa huduma ya SMS nchini Ghana (1731) , Nigeria (32969) , Afrika Kusini (31958) na Kenya (5683), vile vile kutumia tarakimu ndefu kwa ajili ya wengine wote duniani *, Waafrika na raia ulimwenguni kote watahamasika kumwandikia Rais ujumbe mfupi wa maneno. Washiriki wa SMS wataweza pia kuomba kupatiwa dondoo za hotuba kwa Kiingereza na Kifaransa.我们会推出简讯平台,供民众以英文及法文上传问题、留言与欢迎辞,使用迦纳(1731)、尼日利亚 (32969)、南非(31958)、肯尼亚(5683)等当地手机简讯代码,其他地区则使用长版代码,非洲与世界各地民众皆欢迎使用手机简讯发信给欧巴马;使用者也可以透过 简讯,订阅英文或法文的演说重点摘要,非洲地区手机登记服务请拨61418601934或45609910343。
13Nambari zitakazotumika kwa ajili ya kuandikisha simu za mkononi kwa Afrika ni: 61418601934 na 45609910343. Redio.广播。
14Hotuba ya Rais itarushwa moja kwa moja kupitia vituo vya redio vya kitaifa na vile vya kanda wakati wa hotuba. Baada ya hotuba, jumbe zote zilizorekodiwa majibu ya Rais kwa jumbe zote fupi (SMS) zilizopokelewa zitapatikana katika vituo vya redio na wavuti.欧巴马演说内容将即时透过全国及地方电台播送,演说后,总统事先回答简讯的录音档也将提供给电台,并放在网站上,欧巴马希望依据主题及地区,回覆各种问题,录音档亦会放在白宫网站及iTunes上供人下载。
15Rais anatarajia kujibu maswali anuai na maoni kwa mpangilio wa mada na eneo.影片。
16Sauti zilizorekodiwa pia zitapatikana kwa ajili ya matumizi ya kila mtu atakayezihitaji kupitia wavuti ya Ikulu ya Marekani na teknolojia ya iTunes.演说画面将于www.whitehouse.gov/live直播,并提供影片置入码,故可在任何网站上转播画面。
17Video.网络聊天。
18Hotuba itarushwa moja kwa moja kwenye www.whitehouse.gov/live. Alama-funguo za video hiyo inapatikana ili uweze kuitumia katika wavuti yoyote.演说时会在Facebook服务开启即时线上聊天功能,白官也将在Facebook成立活动页面,让全球参加者能彼此互动;推广在Twitter使用#obamaghana这个标签,收集各界的想法与反应。
19Mazungumzo ya moja kwa moja kwenye mtandao.网络用户亦可上传问题至AllAfrica网站:
20Tutawezesha gumzo la mtandaoni linalihusu hotuba kwenye Facebook (itakuwa hapa http://apps.facebook.com/whitehouselive).各位有机会询问欧巴马关于非洲的问题,欧巴马就任美国总统后,首次出访撒哈拉沙漠以南地区,在7月10日至11日访问迦纳,你有什么问题想问他?
21Ikulu ya Marekani itatengeneza “tukio” la Facebook kutokana na hotuba ambapo washiriki kutoka ulimwengu mzima wanaweza kujibishana.请在此留下问题,我们将整理后交给他,提问时请表明年龄与职业。
22Anuani ya Twita ( #obamaghana) pia itatengenezwa na kutangazwa ili kuboresha maoni juu ya tukio hilo. Watumiaji wa mtandao wanaweza kutuma maswali yao kwenye wavuti ya AllAfrica:《外交政策》杂志博客的Michael Wilkerson认为,欧巴马使用新媒体,很可能拉高他的全球支持率:
23Nafasi yako ya kumuuliza Rais Obama kuhusu Afrika: Unataka kumuuliza nini Rais Obama anapojiandaa kuitembelea Afrika ya Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa mara ya kwanza akiwa kiongozi wa Marekani -akitua Ghana tarehe 10-11 Julai?网络能忠实呈现非洲民众对此事的兴趣,欧巴马个人全球支持率原本即为美国的两倍,可能因此再度冲高,在迦纳首都的观光市场里,充斥着各种欧巴马的T裇与画作,迦纳民众也希望在此访问后刺激旅游业。
24Andika swali lako hapa, na tutakusanya maombi yenu. Tafadhali, kama ungependa, usiasahau kutaja umri na kazi unayofanya.Ghana Pundit指出,已有数千封手机简讯涌向欧巴马:
25Kwa mujibu wa Michael Wilkerson anayeandika katika blogu ya Foreign Policy, matumizi ya Obama ya nyenzo mpya za mawasiliano kunaweza kuongeza umaarufu wake duniani:欧巴马欢迎民众在他访问迦纳前传送讯息,消息一出,他已获得无数有关非洲的简讯。
26Kama hapatakuwa na matatizo, udhihirishaji huu wa kupenda kupata mitazamo ya Waafrika huenda utapandisha umaarufu wa Obama duniani, ambao tayari ni kama mara mbili ya ule wa Marekani yenyewe.
27Katika soko la kitaalii la mjini Accra, fulana za Obama na michoro zinauzwa haraka kutoka kwenye safu na Waghana wanategema kupanda kwa biashara ya utalii baada ya ziara.
28Mwanablogu Ghana Pundit anaripoti kuwa maelfu ya jumbe za simu za viganjani yametumwa kwa Obama:校对:Soup
29Rais wa marekani amepokea maelfu ya jumbe za simu za viganjani zinazoihusu Afrika baada ya kuwataka watu kumtumia maswali kabla ya ziara yake nchini Ghana siku ya Ijumaa.