Sentence alignment for gv-swa-20100715-1524.xml (html) - gv-zht-20100713-6932.xml (html)

#swazht
1Uganda: Wanablogu Washtushwa na Milipuko ya Mabomu烏干達:爆炸案發生後…
2Mashabiki wa soka kote ulimwenguni walikusanyika kwenye kumbi za baa na migahawa ili kushuhudia mechi ya fainali za Kombe la Dunia usiku wa Jumapili iliyopita.世界各地足球迷前晚聚集在酒吧和餐廳裡,觀看世界盃足球賽決賽實況,烏干達卻因首都兩處熱門場所發生爆炸,讓歡樂氣氛嘎然而止。
3Nchini Uganda usherehekeaji huu ulikatishwa pale milipuko ya mabomu iliposambaratisha maeneo mawili maarufu kwa sherehe za mpaka majogoo jijini Kampala, mji mkuu wa nchi hiyo.
4Mpaka sasa vyombo vya habari nchini Uganda vimeripoti vifo zaidi ya 70, huku dazeni kwa dazeni wakiwa wamejeruhiwa vibaya kutokana na milipuko hiyo. Polisi wa Uganda wameeleza kwamba huenda milipuko hiyo imefanywa na kikosi cha wapiganaji wa Ki-Somali cha Al-Shabab.烏國媒體目前報導逾40人身亡,另有數十人因此受傷,警方指稱索馬利亞武裝團體al-Shabab是幕後兇手,該組織一名領袖最近呼籲攻擊烏干達,因為烏國派兵參與非洲聯盟在索國的維和任務,該組織事後讚揚攻擊行為,但並未承認犯案。
5Mmoja wa makamanda wa juu wa kikosi hicho hivi karibuni alitaka Uganda ishambuliwe kwa kuwa imepeleka wanajeshi wake katika kikosi cha kulinda amani nchini Somalia.死亡爆炸案受害者在Mulago醫院等待治療,照片來自Trevor Snapp,經攝影師許可使用
6Kundi hilo limepongeza kutokea kwa milipuko hiyo lakini hakikusema kama kinahusika nayo ama hapana.烏干達部落客Gay Uganda指出:
7Waathirika wa milipuko miwili ya kutisha ya mabomu jijini Kampala wakisubiri kupatiwa huduma katika Hospitali ya Mulago. Picha ilipigwa na Trevor Snapp.烏干達遭到攻擊,但其實是全人類受到攻擊,誰會這麼惡毒,對這種災難感到快樂?
8Picha hii imetumiwa kwa ruhusa ya aliyeipiga Mwanablogu wa Uganda Gay Uganda anaandika:索馬利亞游擊隊顯然很開心,因為他們在索國與非洲聯盟部隊交戰,認為非洲聯盟阻擋他們建立伊斯蘭律法統治的國家。
9Uganda imeshambuliwa. Kwa kusema kweli ni ubinadamu ndiyo ulioshambuliwa.…但我看見同胞只不過在看足球賽,卻遭到殺害及傷害,而他們對暴力背後的目標毫無所知,對非洲聯盟部隊也毫無影響力。
10Je, nani anaweza kuthubutu kuwa na furaha kufuatia ukatili mkubwa kama huu?Ernest Bazanye則提醒,不要太早對爆炸案兇手身分下定論:
11Mpaka sasa ni wapiganaji wa Ki-Somali ndiyo wanaofurahia. Wanafurahi kwa sababu wanapambana na vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somali, vikosi hivyo vimewazuria wapiganaji hao kuanzisha dola la Kiislamu lenye kuongozwa na Sharia ya Kiislamu. ….雖然外國傳言這是兩起自殺爆炸案,由索馬利亞恐怖組織Al-Shahab主使,現在要確定兇手身分與動機還言之過早,我們都應該明白,真相不會那麼快釐清,此刻任何結論都還不夠明確。
12Ninachokiona ni raia wenzangu, binadamu ambao kikubwa walichokuwa wanakifanya ni kutazama mechi ya kandanda ambapo wengi wao wameuawa na wengine kujeruhiwa, wamefanyiwa hivyo kwa fikra na njozi ambazo pengine wala hawakuwahi kuziwazia, yaani vitendo ambavyo wala hawawezi kuvitawala au kuwa na ushawishi navyo.
13Ernest Bazanye anatahadharisha kwamba pengine watu wasifanye haraka kuhukumu kwamba nani hasa alitega na kulipua mabomu hayo, bado ni mapema mno:
14Ni mapema mno kusema nani anahusika na kwa nini, hata kama kuna minong'ono huko nje ya nchi kwamba kitendo hicho cha kuua watu kwa mabomu kilifanywa na kundi la Al-Shahab, ambalo ni kundi la magaidi huko Somalia.
15Bila shaka mpaka sasa tumeshakomaa vya kutosha kuelewa kwamba kwa kawaida ukweli hauji haraka hivyo, kwamba bado ni mapema mno.記錄片攝影師Trevor Snapp居住在烏國首都,他在爆炸案後,前往收容許多傷患的Mulago醫院,他寫道:
16Trevor Snapp, ambaye ni mpiga picha mtengeneza makala za maoni na anayeishi Kampala, alikwenda Hospitali ya Mulago, mahali ambapo waathirika wengi wa mabomu hayo walipelekwa mara baada ya milipuko. anaandika:
17Wanafamilia walimiminika kuelekea sehemu ya mapokezi wakati ambapo madaktari na miili iliyojaa damu walikimbizwa na kutolewa katika chumba cha upasuaji. Katika ukumbi wa kuelekea chumba cha upasuaji kulikuwa na mwili umelala sakafuni, damu zilikuwa zikimiminika kutoka kichwani, ilikuwa vigumu kusema kama alikuwa bado yungali hai au alikwishakufa.許多家屬在櫃台前來回踱步,醫師與滿身是血的傷患不斷進出手術室,有名男子倒在走廊地板上,頭部鮮血直流,不知他是否仍有生命跡象;不遠處的小儲藏室裡,醫院員工設置臨時停屍間,六具遺體躺在地上,有些衣服破損不堪,死者都很年輕。
18Hatua chache kutoka hapo, katika chumba kidogo cha kuhifadhia vifaa vya madaktari, wahudumiaji walipageuza kuwa mahali pa kuhifadhia miili ya watu, kulikwa na miili 6 iliyokuwa imelazwa sakafuni, baadhi ya maiti nguo zikiwa zimechanwachanwa na nguvu ya milipuko.
19Miili yote ilikuwa ya vijana. Wanablogu wengi wameshtushwa kwamba milipuko hiyo imetokea Kampala, jiji ambalo linafahamika kwamba ni moja ya majiji makuu yaliyo salama zaidi barani Afrika.許多部落客對爆炸案驚訝不已,因為索國首都向來是非洲最安全首都著稱,前全球之聲作者Joshua Goldstein曾居住於當地,他描述爆炸發生地點的樣貌:
20Joshua Goldstein, a mwandishi wa zamani wa Global Voices ambaye aliwahi kuishi Kampala, anaelezea maeneo mawili ambapo milipuko ilifanyika:
21Klabu ya Mchezo wa Rugbi ya Kampala ni Baa iliyo na eneo kubwa la wazi, iko pembezoni mwa kiwanja, mahali hapa wanapenda sana kuja wanafunzi wa vyuo ambao huja hapo kurandaranda na marafiki zao.
22Kama Uganda ingekuwa na makundi fulani ya kiitikadi basi hapa ndiyo mahali ambapo wangefika kufanya sherehe zao. Hapo ni mahali ambapo watumiaji hujipatia vinywaji vyao maalumu vya Nile huku wakisindikizwa na muziki wa mbali wa rege pamoja na hip hop.Rugby Club這間酒吧形狀可隨球賽調整,當地許多大學生都會在此與同伴相聚,若烏干達也有兄弟會的概念,這裡就是兄弟會舉辦派對的場所,Nile Special是特色飲料,雷鬼與嘻哈音樂不絕於耳,週末白天會在此播放橄欖球賽,還會搭起棚子遮陽。
23Katika siku za mwisho wa juma ni makundi ya watu wa aina hiyohiyo ambao huja kutazama ragbi,huku kola zao zikiwa zimenyanyuliwa juu ili kujikinga na jua. ….
24Upande mwingine wa jiji kuna Kijiji Cha Ki-Ethiopia, upande wa chini wa mtaa kuna Ubalozi wa Marekani, hapa ni katikati kabia ya Kabalagala, ambayo inaweza kuitwa ndiyo Las Vegas ya Kampala.
25Mgahawa, upo upande wa juu wa kiasi cha nusu dazeni au zaidi kidogo ya mighahawa ya Ki-Ethiopia ndani ya kiasi cha mita 500, ipo katikati ya makutano ya Barabara ya Ggaba na ile ya Tank Hill.
26Nyakati za Mchana waandishi wa habari wa Ki-Ethiopia waliokimbia kwao hupoteza wakati wao kwa kutafuna miraa na kubadilishana habari za matukio ya siku hiyo. Nyakati za usiku, eneo lote huchangamka kwa mwanga wa taa zinazotoka kwenye baa na mitoko ya usiku.…Ethiopian Village位於首都的另一邊,與美國大使館同一條街,當地猶如索國首都的拉斯維加斯,短短500公尺距離約有六家衣索比亞餐廳,這家最為高級,座落在 Ggaba路與Tank Hill路交叉口,流亡在外的衣索比亞異議記者會在下午聚集於此,一邊嚼著巧茶(miraa),一邊討論新聞,晚上這附近滿是酒吧與舞會。
27Sleek anaandika:Sleek提及:
28Kutoa picha kamili kwa tukio hili zima, nitasema kwamba mpaka sasa, Kampala imekuwa moja ya sehemu zile ambazo mtu anaweza kutembea mpaka hata saa 9 usiku kutoka upande mmoja wa mji hadi mwingine.
29Na kwamba sisi ni aina ile ya watu ambao hulalamikia kuongezeka kwa bei za mafuta, kodi zilizo juu za Lipa Kadiri Unavyopata, gharama za juu ya upigaji simu … kwa ujumla ni gharama zilizo juu ya maisha. Lakini pamoja na hayo bado mtu anamudu kwenda sehemu ya burudani na kulipa walau Shilingi za Uganda 5,000 ili kujipatia bia.先跟各位說明一下,長期以來,索國首都一直很安全,縱然在凌晨三點,人們可以從市區一端步行至另一端,我們總是在抱怨燃料價格高 漲、稅賦太多、飛機票太貴…生活成本整體而言非常高,但我們還是會前往新開的店,花5000烏干達幣買瓶啤酒,酒吧裡總是人滿為患、寸步難行,一切都 顯得平常。
30Na huwa tunajazana kwenye sehemu hizo mpaka mtu unapata shida kupita ili kujinunulia kinywaji.
31Na hapo tunazungumzia nyakati zile ambazo watu hujazana wa kiwango cha wastani.
32Na kisha mara unasikia milipuko ya mabomu …直到你聽見爆炸聲…