Sentence alignment for gv-swa-20130101-4557.xml (html) - gv-zht-20130121-14677.xml (html)

#swazht
1Hakuna Usalama kwa Waandishi wa Kiraia Nchini Bahrain巴林的公民記者沒有天堂
2Posti hii ni sehemu ya habari zetu maalumu za Maandamano ya Bahrain 2011. Baada ya video ya “kibao” cha polisi wa Bahrain kusambaa sana mtandaoni Waziri wa Mambo ya Ndani alitoa tamko akiomba kuwayeyote aliyepiga picha tukio hilo aliripoti haraka ” kwa mamlaka zinazohusika.巴林警方「巴掌」事件的影片快速蔓延之後,內政部長發表一則聲明表示,「任何人拍攝到這種行為應立即呈報」至相關當局。
3Siku mbili baadae, na kinyume na kauli hiyo, watu wengi walishangazwa na kukamatwa kwa mpiga picha.但是兩天後,攝影記者遭逮捕的新聞震驚許多人,因為這與當初部長的聲明形成對比。
4Picha ya Mpiga picha Ahmed Humaidan na uanachama wake wa chama cha wapiga picha wa MArenani.攝影記者Ahmed Humaidan及其美國攝影學會會員證的照片。
5Ilichapishwa na @ahmedalfardan1由@ahmedalfardan1發布
6Shirika la Ulaya-Bahraini linaloshughulikia Haki za Binadamu lilitwiti:歐洲巴林人權組織(EBOHR)在推特上發表:
7@EBOHumanRights: Ahmed Humaidan kutoka Kituo cha Biashara cha Jiji la Bahrain amekamatwa na bado hajulikani aliko tangu jana usiku.@EBOHumanRights:青年攝影家Ahmed Humaidan昨晚在巴林市中心商場遭逮捕且失去聯繫。
8Mpiga picha Ahmed AlFardan aliongeza:攝影記者Ahmed AlFardan補充:
9@AhmedAlFardan2: Zaidi ya polisi kanzu 15 walimkamata Humaidan kutoka katika Kituo cha biashara Jijini Bahrain #freehumaidan #freebhphotographer #sitrapic.twitter.com/pSeM9YgJ@AhmedAlFardan2:超過15名便衣警察在巴林市中心逮捕Humaidan #freehumaidan #freebhphotographer#sitrapic.twitter.com/pSeM9YgJ
10Sayed Hassan aliandika:Sayed Hassan寫到:
11@WLEXT: Siku ya huzuni kwa wapigapicha & Journos nchini #Bahrain, Mshindi wa Tuzo ya Mwandishi wa kiraia wa picha #FreeHumaidan amekamatwa jana pic.twitter.com/c4ak9VFH@WLEXT:這對#Bahrain的攝影師和記者來說是悲傷的一天,獲獎的公民攝影記者#FreeHumaidan昨天遭逮捕pic.twitter.com/c4ak9VFH
12Picha ya Ahmed Humaidan akiwa na baadhi ya picha zake ziliozsababisha ashinde na tuzo alizopokeaAhmed Humaidan、他的獲獎照片與他獲得的獎項。
13Mwandishi wa Kuwaiti na mwanaharakati wa haki za binadamu Hadeel Buqrais alitwiti:科威特作家及人權人士Hadeel Buqrais在推特上發布:
14@HadeeLBuQrais: Baada ya mauaji ya mpiga picha Ahmed Ismail mwingine aliyekimbia Ahmed Humaidan analengwa na amekamtwa.@HadeeLBuQrais: 殺害攝影記者Ahmed Ismail的兇手逃離法網後,攝影記者Ahmed Humaidan遭鎖定和逮捕。
15Ahmed Ismail ni mpiga picha za video ambaye aliuawa mjini Salambad mwaka jana (2011) wakati alipiga picha za maandamano.攝影師Ahmed Ismail,去年在Salambad拍攝抗議活動時遭殺害。
16Alipigwa risasi kutoka kwenye gari la kiraia.子彈來自平民汽車。
17Kituo cha Doha cha Uhuru wa Habari kilitoa tamko lililosema:杜哈媒體自由中心(DCMF)發表一篇聲明:
18Kituo cha Doha cha Uhuru wa Habari kinaungana na utafutaji wa habari unaofanywa na Jamii ya Vijana wa Bahrain inayotetea Haki za Binadamu inayotoa wito wa kuachiliwa huru kwa Humaidan. …杜哈媒體自由中心將與要求立即釋放Humaidan的巴林人權青年社會(BYSHR)一同查探此事。 […]
19Humaidan ameshinda zaidi ya tuzo za kimataifa 140 katika tasnia ya uandishi wa habari picha, na anachukuliwa kuwa mpigapicha bora wa pili wa Nchi za Kiarabu kushinda katika mashindano ya upigaji picha.Humaidan獲得超過140項國際攝影記者獎項,也被認為是攝影比賽中第二重要的阿拉伯獲獎攝影師。
20Zainab Hashemi aliongeza:Zainab Hashemi補充說:
21@ZainaBHashemi: Siku zote wanamwogopa yeyote anachapisha picha kuonyesha matumizi yao ya nguvu na ujeuri ndio maana walimkamata.@ZainaBHashemi:政府逮捕他的原因是因為,他們一直以來都懼怕任何公布他們暴力與傲慢的人。[
22Kesho Sameera Rajab [waziri wa Nchi anayesughulikia Mambo ya Habari] atasema kama tulivyozoea: tunao uhuru wa habari nchini Bahrain新聞部長]Sameera Rajabp明天會一如往常地說:我們巴林有新聞自由。