Sentence alignment for gv-swa-20091023-389.xml (html) - gv-zht-20091023-4719.xml (html)

#swazht
1Ghana: Siku ya Kublogu mwaka 2009迦納:2009部落格行動日整理
2Siku ya Kublogu, iliyoitwa kwa jina maalum la #bad09 na wanateknolojia pamoja na waliobobea kwenye fani, ni tukio la kila mwaka linalowaunganisha wanablogu wote ulimwenguni kwa kutundika habari zinazozungumzia suala moja katika siku hiyo.
3Kusudi la tukio hilo ni kuongeza ufahamu na kuanzisha mijadala ya kidunia katika siku hiyo.
4Siku ya Kublogu mwaka huu ilifanyika Oktoba 15, ambapo wanablogu kote duniani waliandika kuhusu mada ya mabadiliko ya hali ya hewa.
5Hapa chini ni mkusanyiko wa makala kadhaa zilizotundikwa na wanachama wa Kikundi cha Wanablogu wa Ghana siku hiyo ya Kublogu.
6Gameli Adzaho, mwandishi wa Blogu ya The Gamelian World, alitoa makala inayohusu Sauti 5 kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa. Katika makala hiyo alitomasa maoni ya viongozi watano duniani.「部落格行動日」(或稱#bad09)為一年度活動,集結全世界部落客,在同一天書寫同一主題,希望當天提高社會意識,並促進全球討論,今年活動於10月15日舉行,全球部落客皆以氣候變遷為主題,以下整理迦納部落格圈對此事的見解。
7Katika maoni yake ya kufungua, alizungumzia umuhimu wa Siku ya Kublogu Duniani na jinsi “matukio ya hali ya hewa yalivyoweza kukamata hisia na kupewa uzito ulimwenguni kote katika muongo huu uliopita, kuanzisha mijadala ya sayansi, siasa, biashara na teknolojia.” Viongozi watano wa kidunia aliowajadili walikuwa Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani Al Gore, Mshindi wa Tuzo ya Nobeli Wangari Maathai, Rais wa Marekani Barack Obama, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan, Rais wa zamani wa Cuba Fidel Castro.Gameli Adzaho在The Gamelian World部落格發表文章名為「氣候變遷的五種聲音」,其中列舉五位全球領袖的看法,在文首提到「部落格行動日」的重要性,以及「氣候現象過去十年如何獲得舉世注目,引發科學、政治、商業與科技的論辯」,五位全球領袖包括美國前副總統高爾(Al Gore)、諾貝爾和平獎得主馬薩伊(Wangari Maathai)、美國總統歐巴馬(Barack Obama)、聯合國前秘書長安南(Kofi Annan)、古巴前總統卡斯楚(Fidel Castro)。
8Gameli alihitimisha makala yake na mlolongo wa maswali -“Una maoni gani kuhusu mabadiliko ya Hali ya hewa?Gameli Adzaho在文末提出多項問題:「各位對氣候變遷看法為何?
9Je, mabadiliko haya ni ya kweli?這是真的嗎?
10Je, ni ya kusadikika tu?這是迷思嗎?
11Kwa njia gani unadhani dunia inaweza kutumia raslimali zake kwa uendelevu zaidi?你覺得世界如何能更永遠運用資源?
12Je, nchi zinazoendelea zinaweza kuchangia katika kubadili mwelekeo wa mabadiliko haya?” - akitegemea kupata majibu mapema.開發中國家如何幫助扭轉氣候變遷?」,他也希望盡快得到答案。
13Makala iliyofuata wakati wa Siku ya Kublogu Kwa Vitendo Duniani ilikuwa ni Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake wa Afrika (AWDF) ambao wachangiaji ni Bisi na Roselyn wa AWDF. Makala yao ilihusiana na “Mabadiliko ya Hali ya hewa na wanawake”.「非洲女性發展基金」成員Bisi與Roselyn也發表文章,她們的文章主題為「氣候變遷與女性」,該組織提供獎助金給非洲各地女性,希望非洲女性能活在充滿社會正義、平等、尊重女性人權的世界。
14AWDF ni mfuko wa Afrika nzima wa kutoa misaada kwa wanawake wa ki-Afrika. Maono ya AWDF ni kwa wanawake wa Afrika kuishi katika dunia yenye haki za kijamii, usawa na heshima kwa haki za binadamu za wanawake.她們在文首提出Arun Agrawal在「氣候變遷的社會面向」研究內容,該篇研究原發表於2008年3月5日至6日的世界銀行社會發展部,報告指出,「氣候變遷攸關21世紀發展,國家、社會、社區、家庭如何回應氣候變遷衝擊,以及世界對各項事件的意志,將決定成長、平等與永續前景」。
15Walianza makala yao kwa kuyapembua maneno yaliyosemwa na Arun Agrawal katika mada yake kuhusu Mitizamo ya kijamii ya Mabadiliko ya dunia, iliyoandaliwa kwa ajili ya Idara ya Maendeleo ya Jamii ya Benki ya Dunia, Washington, tarehe 5 mpaka 6, mwezi Machi 2008.
16Katika mada yake hiyo, Agrawal alisema kwamba “mabadiliko ya hali ya hewa yatakuwa nguzo muhimu katika kufafanua upya dhana ya maendeleo katika karne ya ishirini na moja.
17Jinsi gani mataifa, jamii, jumuiya na familia zitakavyochukua hatua dhidi ya athari za mabadiliko ya hali ya hewa na namna mbalimbali ambazo dunia tayari imeshajihusisha nazo kwa namna nyingi zitatapelekea matarajio yao katika mafanikio ukuaji, usawa na uendelevu”.
18AWDF inayatazama mabadiliko ya hali ya hewa kama mabadiliko ya mazingira, ambayo yanaharakishwa pia na binadamu -kimsingi likiwa tatizo la mwanadamu.「非洲女性發展基金」認為氣候變遷為環境變遷,也是人類所致,故為人為問題,氣候變遷將嚴重影響貧民的生計、醫療與教育機會,該組織亦提出因應問題的建議方式。
19Athari za mabadiliko ya hali ya hewa zinatarajiwa kuathiri vibaya zaidi (na pasipo uwiano) mwenendo wa maisha, afya, na fursa za kielimu kwa watu wanaoishi kwenye ufukara. AWDF ilitoa maoni yake machache ya namna ya kukabiliana na tatizo.Kajsa Hallberg Adu為Ghana Blogging Group共同創辦人,也是Rain In Africa部落格作者,他在部落格行動日當天有許多話所說,也很意外「此事在迦納並未成為話題」,他感嘆在聯合國氣候變遷高峰會倒數網站上,迦納竟然缺席,也不禁想問:「各位上次何時聽過人們在迦納討論氣候變遷?」
20Kajsa Hallberg Adu, mwanzilishi mshiriki wa Ghana Blogging Group na mwandishi wa blogu ya Rain In Africa, alikuwa na mengi ya kusema katika Siku ya Kublogu Duniani, lakini alistushwa na “namna ambavyo mada hii isivyokuwa na umuhimu katika wakati uliopo nchini Ghana”.
21Kajsa analalamikia kutokuwepo kwa Ghana kwenye wavuti ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa unaohusu Mabadiliko ya Hali ya hewa na kuuliza: “Kweli, lini mara ya mwisho umesikia mtu akijadili mabadiliko ya hali ya hewa hapa?”
22Hata hivyo Ghana ilipewa sifa maalumu na Kasja:不過他也在某些部分特別讚揚迦納:
23Njia ya kupunguza utoaji wa hewa ya ukaa ni kuhakikisha tunasafiri kwa usafiri wa umma badala ya kutumia usafiri binafsi kwenye magari yetu.
24Leo, Waghana wengi wanasafiri kwa usafiri wa umma, taxi za kuchangia au “mabasi vya Kufour ” na hivyo hawatoi sana hewa ya ukaa. Je, tunaweza kusema hivi hivi pia kwa nchi za Kaskazini na Magharibi?全球要減少二氧化碳排放,其中一種方式即為搭乘大眾運輸工具,盡量減少開車,今日許多迦納民眾都共乘計程車或擠滿巴士,故未排放太多二氧化碳,我們對西方與已開發世界能有同樣要求嗎?
25Lakini kwa kadri Waghana wanavyokuwa matajiri -lengo letu likiwa kuwa nchi ya kipato cha kati mapema iwezekanavyo -Waghana wengi wanaweza pia kumudu kuwa na magari yao wenyewe.
26Kwa maoni yangu tatizo linalojitokeza katika mjadala kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa ni kwamba wakati nchi zilizoendelea zinafanya bidii kuwa endelevu, nchi zinazoendelea tayari zipo klimatsmarta, sio kwa kuchagua.
27Ila “uelewa wa kimazingira” ama maisha endelevu unasababishwa na mada ya mwaka jana; umasikini.迦納的目標為盡速成為中所得國家,民眾日漸富有後,也會有愈來愈多人購買自用車。
28Mwisho, Edward Tagoe, mwandishi wa Blogu ya Tagoe ambaye pia ni mshairi na mtengeneza nyenzo pepe, aliamua kuwashirikisha wasomaji wake wavuti yake nzuri iitwayo YOURENEW. COM.我認為討論氣候變遷的問題在於,已開發國家奮力希望永續,開發中國家卻已在非自願情況下具備「氣候智慧」,這種「環境意識」或永續生活是因為貧困所致。
29Kwa mujibu wa Edward, wavuti hiyo “ni sehemu muafaka ya kubadilisha ama kuuza simu, kicheza mziki cha mp3, kamera za dijitali na tarakilishi. Unaweza pia kuharibu na kuuza kompyuta za mapajani, michezo ya kompyuta, nyenzo ngumu za kompyuta na DVD.最後Edward Tagoe是Tagoe Blogger部落格作家、軟體開發師、詩人,決定與讀者分享一個有意思的網站YOURNEW.com,他認為該網站「是回收或出售二手手機、MP3、數位相機、繪圖計算機最佳去處,若你的物品未出現在目錄中,或是單價高於我們的範圍,也歡迎各位免費運來,我們將妥善回收,請加入環保行列!」
30Kama huwezi kupata kifaa chako kwenye orodha ama hatuwezi kukilipia, unaweza kukituma bure na sisi tutakiharibu kw ausalama. Kwa hivyo angalia kifaa chako leo, kuwa kijani na uwe kijani!此外,350.org網站也將2009年10月24日訂為「國際氣候行動日」。
31Kwa hiyo angalia kifaa unachotumia na kuwa kijani!”校對:Soup
32Pia zingatia, Oktoba 24, 2009 ni siku iliyopewa jina la Siku ya Dunia ya Kuchukua hatua za Hali ya Hewa na wavuti ya 350.org.