Sentence alignment for gv-swa-20100109-1063.xml (html) - gv-zht-20100114-5346.xml (html)

#swazht
1Picha ya Dunia Katika Siku ya Kupinga Rushwa Duniani反貪污日全球觀察
2Siku ya Januari 18 Global Voices itazindua Mtandao wa Teknolojia na Uwazi, ambao ni utafiti wa pamoja wa kuorodhesha na kuiweka kwenye ramani miradi ya kwenye mtandao wa intaneti ambayo inatangaza na kutetea uwazi, uwajibikaji wa serikali, na makutano ya kijamii.
3Hii ni ya kwanza kabisa katika mfululizo wa makala ambazo zitavinjari mada zinazohusiana kwa kupitia macho ya wanablogu duniani kote. Kwa kuanza tunaangalia jinsi wanablogu walivyoitikia Siku ya Kimataifa Dhidi ya Rushwa, ambayo ilitiwa saini kuwa sheria mwaka 2003 kwenye Mkutano wa Umoja wa Mataifa Dhidi ya Rushwa na huadhimishwa kila mwaka tarehe 9 Disemba.全球之聲將於1月18日推出資訊透明科技網絡,這項協作式研究案將針對資訊透明、政府責任及公民參與等領域,收集相關網路計畫案例,本系列文章首先將透過全球部落客之眼,探究相關問題現況,本文整理部落客回應國際反貪污日的說法,聯合國反貪污大會於2003年通過這項法案,決議將每年12月9日訂為國際反貪污日。
4Katika Sehemu ya Uwazi, blogu rasmi ya Transparency International, Georg Neumann anaangalia hali ya uanaharakati dhidi ya rushwa kwa mwaka 2009: Wanaharakati dhidi ya rushwa wamekuwa katika mstari wa mashambulizi.在「國際透明組織」官方部落格Space for Transparency中,Georg Neumann回顧2009年反貪污社運狀態:
5Wanahabari wanaoandika kuhusu ufisadi kwenye siasa na jamii kama vile Lasantha Wickramatunga wa Sri Lanka waliyatoa maisha yao mwanzoni mwa mwaka huu. Wanaharakati kutoka Bosnia na Herzegovina, Burundi, Guatemala au Zimbabwe wamekabiliana na vitisho au wamenyamazishwa.反貪污人士愈來愈常成為攻擊目標,報導政壇及社會貪污的記者常因此喪命,例如今年的斯里蘭卡記者Lasantha Wickramatunga;諸多國家的社運人士亦受到威脅或被迫沉默,包括波士尼亞與赫塞哥維納、蒲隆地、瓜地馬拉、辛巴威等。
6Siku ya Kupinga Rushwa inasimama kama siku ya kuwambuka, kuwatambua na kuwaenzi watu hawa majasiri na wasio na woga, ambao walikwenda jela au walipoteza maisha yao wakiamini kuwa kwa kupigana dhidi ya rushwa wataifanya dunia kuwa bora.社會應藉著反貪污日,懷念、表揚與彰顯這些無畏人們的努力,他們為此入獄或喪生,只因為相信對抗貪污將讓世界更加美好。
7Neumann pia anabaini kuwa mwaka 2009 pia ulishuhudia kupitishwa kwa vigezo vya kupima vyenye kasoro ambavyo havizitaki nchi wanachama kupata mapendekezo kutoka kwa Asasi huru Zisizo za Kiserikali zenye makao ndani ya nchi wanachama.Georg Neumann亦指出,2009年聯合國通過有缺陷的審查機制,讓成員國不需參酌各國內獨立非政府組織的意見,「國際透明組織」創辦人Peter Eigen在以下長五分鐘的YouTube影片中,說明民間社會在對抗貪污及改善政府治理的重要角色:
8Katika video ya dakika tano ya YouTube Peter Eigen, mwanzilishi wa Transparency International, anaeleza jukumu muhimu la jamii za kiraia katika kupigana na rushwa na kuboresha utawala:不過Georg Neumann強調,2009年並非只有壞消息,該組織目前在全球設有40間「倡議及法律諮詢中心」,為貪污受害者提供法律諮詢服務;網路社會媒體亦發揮促進資訊透明及對抗貪污的重要功能,例如印度的J.
9Lakini mwaka 2009 haukuwa na habari mbaya pekee, anaandika Neumann.N.
10Hivi sasa kuna Vituo 40 vya Utetezi na Ushauri wa Kisheria duniani vinavyotoa ushauri wa sheria kwa waathirika na rushwa.Jayashree建立維基頁面,以保障丈夫舉發貪污情況後遭威脅的人身安全;摩洛哥匿名反貪污人士亦在YouTube網站上張貼警員收賄影片。
11Pia, uanahabari wa kijamii mtandaoni umejidhihirisha kuwa chombo chenye nguvu katika kutangaza uwazi na kupigana dhidi ya rushwa. Nchini India, kwa mfano, J.N. Jayashree alianzisha ukurasa shirikishi ili kumlinda mume wake ambaye usalama wake ulikuwa hatarini kutokana na vitendo vyake vya kufichua siri.全球之聲上個月亦有多篇文章與反貪污日相關,Bhumika Ghimire寫道,尼泊爾在「國際透明組織」的清廉排名中表現極差,她在報導中收集其他尼泊爾部落客的看法,說明貪污如何影響尼泊爾的經濟、政府治理、公共工程、甚至是婚姻。
12Nchini Morocco mwanaharakati asiye na jina ameanza kutuma video za maaskari wanaopokea rushwa kwenye YouTube.「阿魯達下台」照片來自Twitpic用戶Cleudson Fernandes(@cleudsonf),經許可後使用
13Katika Global Voices makala kadhaa ziliadhimisha Siku ya Kupinga Rushwa mwezi uliopita.巴西則在反貪污日爆發警民衝突:
14Bhumika Ghimire anaandika kuwa Nepal iliorodheshwa na Tansparency International kama moja ya nchi zenye ufisadi zaidi duniani. Akiwa na viungo vya wanablogu wengine wa Nepal, makala ya Bhumika inaonyesha jinsi rushwa inavyoathiri uchumi, utawala, utumishi wa umma, na hata ndoa katika Nepal.抗議群眾要求彈劾聯邦特區首長阿魯達(Jose Roberto Arruda)及其副手奧塔維歐(Paulo Octavio),並徹底調查警方行動代號「潘朵拉盒子」內的賄賂醜聞,據調查顯示,阿魯達可能涉及每月34萬美元的賄款,受惠者包括特區內的國會議員、 企業家及政府官員。
15‘Arruda Atoke.' Picha ya Twitpic na Cleudson Fernandes, mtumiaji wa Twita @cleudsonf, iliyochapwa kwa idhini yake巴西聖保羅的「資訊透明駭客日」,照片來自Flickr用戶Alexandre Fugita,依據創用CC授權使用
16Huko Brazil ghasia zilizuka katika siku ya Kupinga Rushwa kati ya polisi na waandamanaji:但在資訊透明及公開治理方面,巴西仍有樂觀理由,全球之聲作者Paula Goés在反貪污日前一星期寫道:
17Waandamanaji wamekuwa wakidai kuondolewa madarakani kwa Gavana wa Wilaya ya Kitaifa, Jose Roberto Arruda, na makamu wake, Paulo Octavio, pamoja na uchunguzi wa kina wa pande zote zilizotajwa katika kesi ya hongo ambayo ilipelekea operesheni ya polisi iliyopewa jina la Kasha la Pandora. Kwa mujibu wa uchunguzi, Gavana Arruda anawezekana akawa ndiye kiongozi wa mpango wa rushwa wa R$ 600,000 (Takriban dola za Kimarekani 340,000 ) kwa mwezi ambao umewanufaisha wabunge, wafanyabiashara na maofisa wa serikali.第一屆「資訊透明駭客日」於十月初在聖保羅啟動,「希望有兩天能駭入巴西政壇」,最後一場活動於12月1日及2日在首都巴西利西舉行,這個活動由Daniela Silva及Pedro Markun兩位記者主辦,免費開放參加,並讓軟體工程師、記者及研究人員有機會共聚一堂,找到方式「挖掘出」官方網站的資料,並建立應用程式,為政治程序增添資訊透明及參與機會。
18Siku ya kuingilia kompyuta kwa ajili ya uwazi mjini Sao Paulo, picha na Alexandre Fugita, imetumika chini ya idhini ya Creative Commons Lakini pia kuna sababu ya matumaini katika Brazil kwani inapokuja kwenye uwazi na utawala wazi, kama alivyoeleza Paula Goes wiki moja kabla ya Siku ya Kupinga Rushwa Duniani:全球之聲編輯亦向讀者引介,許多有關資訊透明、貪污與政府責任的部落格文章,Peter Marton分析貪污對重建阿富汗的負面影響,烏克蘭的Petro則恭喜阿 富汗首都喀布爾居民,因為市長因貪污遭揭發而判處四年有期徒行,他也想像若同等法律在烏克蘭落實,國內監獄多快會爆滿。
19Kambi ya kwanza ya Siku ya Kuvamia Kompyuta kwa Ajili ya Uwazi [Transparencia Hackday] “siku mbili za kuvamia kompyuta za siasa za Brazil”, ilifunguliwa mwanzoni mwa mwezi Oktoba mjini Sao Paulo, na kambi ya mwisho iliendeshwa wiki hii, mnamo Disemba 1 na 2 katika mji mkuu wa Brasilia [pt].
20Matukio haya yaliandaliwa na wanahabari Daniela Silva na Pedro Markun [pt], ni matukio yenye kiingilio bure na yanatoa fursa kwa watengeneza programu za kompyuta, wanahabari na watafiti kukutana pamoja na kutafuta njia za “kukomba' taarifa kutoka kwenye tovuti rasmi za ofisi na kutengeneza applications ambazo zitaweza kuleta uwazi na ushiriki kwenye mchakato wa siasa.
21Wahariri wa Global Voices pia wanawaelekeza wasomaji wao zilipo makala zinazohusiana na uwazi, rushwa na uwajibikaji serikalini katika ulimwengu wa blogu. Peter Marton anaangalia athari mbaya ya rushwa katika kuijenga tena Afghanistan.Alexander Visotzky則在Registan.net部落格探究哈薩克知名企業家Mukhtar Dzhakishev,因非法鈾買賣面臨貪污指控,他的結論是,「哈薩克反貪污問題多是政治遊戲,而非真正力圖根除貪污」。
22Wakati huo huo huko Ukraine, Petro anawapongeza wakazi wa Kabul kwa kumhukumu meya wao mika minne jela kwa kosa la rushwa na wanafikiria ni kwa haraka kiasi gani magereza ya Kyiv yatajaa ikiwa sheria hizo hizo zingefuatiliwa katika nchi yake.
23Akiandika katika tovuti ya Registan.net, Alexander Visotsky anaangalia mashtaka ya rushwa dhidi ya Mukhtar Dzhakishev yaliyotokana na uuzaji wa madini ya Uranium kinyume cha sheria na kuhitimisha, “Vita dhini ya rushwa nchini Kazakhstan ni mchezo wa kisiasa zaidi ya jitihada za kuing'oa rushwa.”
24Akiandika kutoka Japan Scilla Alecci anaonyesha kesi kumi mbaya zaidi za Transparency International nchini Japan. Na mwisho, akiandika kutokea Kisiwa cha Karibea cha Puerto Rco, “Gil the jenius” anaomba adhabu kali zaidi dhidi ya maofisa wa serikali wanaoshtakiwa dhidi ya rushwa.日本作者Scilla Alleci提及「國際透明組織」公布的「2009年日本十大貪污案件」;來自波多黎各的Gil the Jenius則呼籲對貪污定罪官員加重刑期。
25Tukiangalia nyuma katika uanaharakati dhidi ya rushwa katika mwaka 2009 tunaona kuwa utamaduni wa rushwa bado umeenea duniani kote. Lakini pia tunauona mjadala wa mtandaoni unaokua juu ya nini kinachoweza kufanywa kuzuia rushwa, kutangaza uwazi na kuongeza makabiliano ya kijamii.回顧2009年反貪污社運過程,我們看到貪污文化在全球各地仍根深蒂固,但網路上也有愈來愈多討論,研究該如何遏止貪污、促進資訊透明、增加公民參與;接下來在系列文章中,我們將更深入在奈及利亞和中國,有哪些網路討論及網路計畫在打擊貪污與增進資訊透明。
26Katika makala zitakazofuata baadaye tutaangalia zaidi na hasa majadiliano ya mtandaoni pamoja na miradi ya kwenye intaneti inayotangaza uwazi na kupigana dhidi ya rushwa nchini Naijeria na China.校對:Soup