Sentence alignment for gv-swa-20100727-1571.xml (html) - gv-zht-20101117-8227.xml (html)

#swazht
1Palestina: Mateso ya Kuwa Uhamishoni巴勒斯坦:流亡之痛 [本文英文版原載於2010年7月17日]
2uhamishoni ulimwenguni kote, ambapo Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Wakala wa Kazi (UNRWA) likitoa msaada kwa jumla ya wakimbizi waliosajiliwa wapatao milioni 4.7 katika ukanda unaokaliwa kwa nguvu huko Palestina, Jordan, Lebanon na Syria. Mamilioni ya wahamiaji wa Kipalestina na wale walioteguliwa kutoka kwenye makazi yao Palestinians wanaishi sehemu mbalimbali duniani.巴勒斯坦難民是全球最大流離失所人口的其中一群,聯合國近東巴勒斯坦難民救濟和工程處(United Nations Relief and Works Agency,UNRWA)提供援助給在巴勒斯坦佔領區、約旦、黎巴嫩和敘利亞等地四百七十萬位登記在案的難民,還有數百萬在全球各地無家可歸或移居它地的巴勒斯坦人民。
3However, their Hata hivyo, watu hawa daima mioyo yao ipo nyumbani kwao, au kwa wazazi au mababu na mabibi zao waliobaki nyuma.但他們依然對自己、父母、或祖父母的故鄉有強烈的依戀。
4Wanablogu wawili wa huko Gaza wameandika kuhusu mateso ya kuwa uhamishoni.兩位在加薩的部落客寫下了他們的流亡之痛。
5Mapema wiki chache zilizopita, meli yenye misaada iliyodhaminiwa na Libya inayoitwa Al-Amal (“matumaini”) ilijaribu kusafiri kwenda kwenye ukanda wa Gaza (lakini ililazimishwa kubadili uelekeo na kwenda Misri). Kule Gaza, mwanablogu Kalam alikuwa akimwazia mtu ambaye yeye angetamani awe kwenye meli hiyo:七月中,利比亞贊助的船希望號(Al-Amal)試圖航向加薩走廊(但被迫改航至埃及),在加薩的部落客Kalam想起一位他希望有搭上這艘船的人:
6Yeye (binti) huvaa ushungi ulio maalumu kwa ajili ya sala na hushika tasbihi mikononi mwake, na humwomba Mungu - au labda hufanya kile ambacho amekuwa akiwaona wazazi wake wakifanya hasa wakati mambo yanapokuwa magumu - anamwomba Mungu afanye maombi yake yatokee kuwa kweli au kwa usahihi zaidi kuifanya ndoto ya bibi yake kumwona yeye, kukumbatia na kumbusu.她戴著頭巾,手上握著念珠,然後請求上帝--她可能只是在模仿她的父母,當遇到困難時,她的父母或許會出現這樣的舉動--她懇求上帝讓她的心願成真,正確一點來說,是她祖母的心願,她希望能夠見到她的孫女,然後親吻擁抱她。
7Huyu ni Hala, ambaye bado hajatimiza hata mwaka mmoja wa maisha yake, lakini tayari anabeba hisia za kurithi alizo nazo kila Mpalestina anayeishi uhamishoni.Hala在她的國土上生活不到一年,但她有每位巴勒斯坦流亡者都擁有的情感。
8Yeye ni binti wa mkimbizi ambaye hajawahi kutia machoni mwake hata kipande kidogo cha ardhi yake maisha yake yote, na wa mama ambaye huishi huku moyo wake ukiwa umegawanyika kati ya nchi ya asili yake na nchi ya kigeni, kati ya familia yake na ndoa yake, kati ya mama yake na nchi yake ya asili, kati ya ndugu aliozaliwa nao na watoto wake wa kuzaa mwenyewe.她的父親是一位難民,這一生都沒看過他的國家的任何一寸土地,而她母親的心則 被家鄉與異國、家人與婚姻、母親與家庭、手足與小孩撕裂成兩半。
9Sehemu kubwa ya akili na moyo wake ipo kule, wakati familia yake na sehemu iliyobaki ya moyo wake na kumbukumbu zake viko pale alipo.她心裡某個很重要的部分留在那裡,但她的家庭與剩下的心,還有她的記憶都在這裡。
10HalaHala
11Kalam anaendelea:Kalam繼續寫道:
12Hala ni mpwa wangu mchanga anayeishi nchini Libya na hawezi kuja Gaza - kitu ambacho kimekuwa ndiyo lengo la karibu kila mmoja wetu siku hizi.Hala是我的侄女,她住在利比亞,她無法來加薩。 這些天來,這件事已經變成我們關心的重點。
13Msifu Mungu na mwombe amruhusu binti huyu mdogo kuja Gaza … Anashindwa kuja kwa sababu ya ugumu wa kupata kibali cha ukaazi nchini Libya, na jambo hilo lina maana kwamba hawezi kuwa na uhakika wa kurudi pale ambapo baba yake ambaye naye ni mtu aliyeyakimbia makazi yake - hana namba ya kitambulisho - na ndivyo walivyo wengine wote kwenye familia yake.讚美上帝,請上帝讓她來加薩。 她不 能來是因為利比亞的居住權很困難,這意味著無法確定她是否能回到利比亞。
14Hala anamtafuta mtu wa kumwambia, “Karibu kwenye nchi yako”, na anamtafuta mtu wa kumsaidia kupata kukumbatiwa kwa upendo mkubwa na bibi yake, ambaye hupokea kila picha au kipande cha picha ya video inayomwonyesha binti huyu mdogo kwa shauku kubwa kupindukia.在那裡,她的父親是一個流亡者--他沒有身分證號碼--她其他的家人也在那裡。 Hala正在找一個人可以跟她說:「歡迎來到妳的國家。」
15Hala anasuburi matumaini kamili, matumaini yaliyo makubwa kuliko meli ya Libya inayoelekea kuja hapa, ambayo mimi nimetamani sana kwamba yeye angekuwa mmoja kati ya wale walio kwenye meli hiyo ili nami nipate kumkumbatia; watakapofika nitaona ndani ya kila mmoja atakayekuja na hiyo meli kipande kidogo cha picha ya Hala, na nitawauliza kwa nini hawakumchukua Hala pamoja nao.並希望有人可以帶她投入祖母溫柔親切的懷抱,她的祖母熱愛所有有Hala在內的照片或影片。 Hala滿懷希望地等待,這個希望比利比亞船順利航向加薩這個願望還要大,我非常希望她有搭上船,這樣我就可以擁抱她。
16Vilevile kule Gaza, Kawther Abu Hani anamsikiliza mama yake akielezea kumbukumbu alizonazo:當船到達時,我會讓抵達的人看Hala的照片,並問他們為什麼不帶Hala一起來。
17“Ningependa kujua nini kiliipata nyumba yetu ndogo tuliyoiacha kule Nazareti miaka mingi iliyopita … Hivi, vile vilima siku hizi vinaonekana vipi?同樣在加薩的Kawther Abu Hani聆聽她母親回憶往事:
18Na labda ile harufu nzuri ya mimea imebadilika … Hivi, wale rafiki zangu hivi sasa wamekuwa wakubwa kiasi gani, na pengine mimi nimeishia tu kuwa moja ya simulizi kwa watoto wao…Mungu wangu, hata sikupata fursa ya kushiriki kwenye harusi zao.她總是回憶著:「我很想知道我們在拿撒勒的 那個小房子怎麼樣了,多年前我們離開那裡……山丘現在又變成什麼樣子呢? 或許百里香的氣味改變了……我的朋友變多老了,對於他們的小孩來說我已經只是一個 故事了……天啊,我甚至沒有參加他們的婚禮。
19Nilitamani sana kuishi maisha yangu nikiwa miongoni mwao, na zaidi sana nilikuwa nikisubiri ile siku ambapo tungejifunza kuhusu upendo na kusahau kuhusu michezo, kipindi ambacho nasi tungeingia kwenye mapenzi na kujikuta tukihuzunishwa nayo.我人生的每個階段都希望有他們參與,重要的是,那時的我們陷入愛裡直到變得抑鬱,我在等待有一天我們可以學習 愛而遺忘遊戲。 哦,親愛的,但為愛擔心跟為[以色列]佔領擔心是不一樣的。
20Mungu wangu, lakini kumbukumbu za upendo si sawa na mashaka ya kuwa chini ya ukandamizaji (wa Waisraeli).現在,我記得……」
21Sasa nakumbuka …” Daima yeye hukumbuka hayo.校對:Soup