Sentence alignment for gv-swa-20090722-243.xml (html) - gv-zht-20090807-3806.xml (html)

#swazht
1Kameruni: Wanablogu Waijadili Hotuba ya Obama Ghana喀麥隆:部落客評論歐巴馬在迦納的演講
2Rais wa Marekani Barack Obama alitoa hotuba yake Ghana ambayo inaweza kuchukuliwa kuwa kama hotuba ya sera yake ya Afrika.[本文英文版原刊載於2009年7月13日] 美國總統歐巴馬(Barack Obama)日前在迦納發表了一場可被視為歐巴馬政府非洲政策的演說。
3Wakameruni wa nyumbani na wale wa ughaibuni wamekuwa wakijadili maneno yaliyotamkwa na Kiongozi wa Marekani mwenye asili ya Afrika kwa kupitia ulimwengu wa blogu.喀麥隆境內外的國民,紛紛在部落格上對擁有非洲人血統的美國領導人的發言做出回應。
4Hotuba yote ilichapishwa kwenye blogu ya Up Station Mount Club ambayo ni maarufu sana kwa wanablogu wa Kikameruni wanoblogu kwa Kiingereza.演說全文被發表在Up Station Mountain Club網站上,該網站是個新興的喀麥隆英語部落客集散地。
5Maoni yanatoa picha ya kuwa watu wameikubali hotuba hiyo angavu lakini wana wasiwasi na kauli tamu.評論顯示民眾欣賞這場言辭精采漂亮的演說,但仍不免擔心它只是空談。
6Augustine S, Mkameruni anayeishi Kanada anaonekana kuridhishwa na hotuba hiyo iliyokemea ufisadi moja kwa moja pamoja na utawala mbovu lakini anataka zaidi:一位住在加拿大的喀麥隆部落客Augustine S對該演說直接了當抨擊貪腐治理的部份感到滿意,不過期待更多:
7Hotuba ilitolewa vizuri. Ilizidi matarajio.演講很成功,比預期表現得更好。
8Alizungumzia ufisadi na Utawala mzuri, ndicho ambacho nilipenda kukisikia.歐巴馬抨擊貪腐,並強調良好的政府治理,那正是我想聽到的。
9Viongozi wa Afrika wanakuwa kikwazo cha maendeleo ya nchi zao.非洲領導人正在抑止自己的國家的發展。
10Ninatamani Uongozi wake uende mbele zaidi kuwaumbua viongozi mafisadi wa Kiafika, uwaadhibu kwa kushikilia mali zao na kuwazuia wao na familia zao kusafiri.我希望歐巴馬政府能持續揭發非洲腐敗的領導者,並以凍結資產、對他們以及他們的家人實行境管做為懲罰。
11Obama ni aina ya kiongozi tunayemuhitaji katika dunia ya leo.歐巴馬正是世界所需要的領導人。
12Bado akiwa kwenye suala la kupambana na rushwa na ufujaji wa viongozi wa Afrika, Oyez ana ushauri kwa viongozi wa Magharibi kama Obama:同樣談到非洲領導人的貪污舞弊,部落客Oyez為西方領袖如歐巴馬提出了建議:
13Ni mambo mawili tu yanahitajika, na tutafika mbali: 1) Wanyimeni Viongozi wa Kiafrika, na familia zao na maswahiba wao haki ya kuwa na akaunti za benki na mali ya aina yoyote nje ya nchi.只需要做到兩件事,就會大有幫助: 1) 拒絕讓非洲統治者、他們的家族成員及部屬擁有外國銀行帳戶與任何形式的外國資產。
142) Wazuieni watawala wa Afrika kupata matibabu aina yoyote nje ya Afrika.2) 拒絕提供非洲統治者在非洲地區之外的所有醫療服務。
15Hayo ni masuala mawili pekee tunayoomba Wamagharibi wayafanye, na sisi tutayashughulikia yaliyobaki.我們只要求西方完成這兩件事,其餘的我們將自行處理。
16Maoni yaliyoachwa hapo na Nnokko Johnson yanaisogeza hotuba ya Obama mlangoni mwa Kameruni kwa kumkumbusha Rais wa nchi hiyo, Paul Biya, ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 1982 na mwaka 2008 alibadili katiba ili kuondoa ukomo wa vipindi vya Rais kukaa madarakani:一位部落客署名Nnokko Johnson的評論把矛頭指向喀麥隆國內,提醒到喀麥隆1982開始掌權的總統比亞(Paul Biya)在2008年監督了取消總統任期限制的憲法修正案:
17Afrika haiwahitaji viongozi wababe, inahitaji taasisi shupavu.非洲需要的不是強人,而是健全的制度。
18Bw. Biya tafadhali iangalie sana sentensi hii na ujifunze, hatusemi uondoke, lakini tunahitaji taasisi zenye nguvu, tafadhali, tafadhali…比亞先生,請你好好的記下來,我們不是想要你下台,但我們需要牢固的制度。
19Hatahivyo, kwa kusoma maoni mengi yaliyowekwa pale, mtu anaweza kuondoka na wazo kuwa Wakameruni wanaiona hotuba ya Obama kama “mazungumzo mazuri” ambayo hayawezi kuwatatulia matatizo yao.拜託拜託… 然而,閱讀許多人的評論後,有人可能會覺得喀麥隆人民認為歐巴馬的演說是解決不了任何問題的浮誇之詞。
20Emmanuel anasema:Emmanuel表示:
21Mbio za nyumbani (goli la kisigino).漂亮的空談。
22Sema, sema, sema, mambo ya kizamani, yasiyosaidia.歐巴馬說的話了無新意,而且殘忍。
23Ni lazima muwe wawili ili kucheza tango, na Waafrika ni wazembe kusikiliza mihadhara inayohusu ufisadi kutoka kwa kiongozi wa Ufisadi wa kiuchumi, kimaadili, na kisiasa; ilihitaji watu wawili kuendesha biashara ya utumwa, ukoloni, na sasa kwenye kipindi hiki kipya cha “Ushirikiano.”非洲人除非瘋了才會乖乖聽一個金融、道德和政治貪污的霸權領袖教訓我們政府的貪 腐。 一個巴掌拍不響,例如奴隸交易,殖民主義,然後是現在的合夥時代。
24Angalia, haya mazungumzo ya “ushirikiano” ni uwongo.聽著,所謂「夥伴關係」是個天大的謊言。
25Ni walio sawa kiukweli, na sio waliosawa kinadharia ndio wanaoweza kuingia katika ubia.只有兩方實質上平等,不是假設的平等,才能 夠簽訂夥伴關係。
26Reex anaongeza:Reex補充:
27Hayo hayo…Ninajiuliza ni lini watu wataapocha kuamini na kuanza kutenda… Hatuhitaji hotuba za matumaini na ahadi -zinazopumbaza watu, kwamba matatizo yao yatatatuliwa -wategemee utatuzi.全都是同樣的花言巧語…我納悶到底是從何時起人們停止擁有信念而開始佯裝作態…我們不需要關於希望和保證的演說,那些只是用來麻醉人民,讓他們以為問題將會輕鬆解決。 人民應該期待的是解決問題的辦法。
28Mgogoro wa kifedha ulipoikumba Marekani, rais alisema hayo hayo kuhusu wajibu wa Wamarekani kuchukua majukumu… Lakini jamani, Wamarekani wengi hawana mamlaka na utawala wa maisha yao ya kifedha, hawawajibiki kabisa na na anguko la kiuchumi, lililotengenezwa na genge la waroho wa benki… Naam, Hotuba za Obama huandikwa vizuri na wafanyakazi wanaojua vyema kufanya kazi ya kuleta matumaini.金融海嘯席捲美國的時候,總統提過美國人主導局勢的責任…但大家聽好了,大多數的美國人根本連自己的金融狀況都控制不了,唯恐自己和金融海嘯的始作俑者-貪婪的銀行家集團一樣要負責。 應該說,歐巴馬的演說詞是一個肩負艱鉅任務的好幕僚所寫出的漂亮作文。
29Nini kingine tukitazamie kutoka kwake?究竟我們還能期望歐巴馬什麼呢?
30Hotuba zinazotoka moyoni kuhusu mambo ya halisi yanayoikabili dunia yetu ya sasa?難道能期望他說出對我們現今世界的真心話?
31Mtiririko wa mawazo unaonekana kuwa huo, ni suala la Waafrika kutatua matatizo yao wenyewe.「讓非洲人解決自己的問題」,似乎是主流意見。
32Kama Reex anavyosema,誠如Reex所說:
33…hebu Waafrika na tutafute masuluhisho yetu.…讓我們非洲人找出我們自己的解決方法。
34Tunaweza baadae kumwalika Obama kula nasi mahindi ya kuchoma na karanga karibu na moto na kujadili siasa zenyewe -siyo mambo kitaaluma ya Ivy League wala mazungumzo ya kinafiki yanayoonyeshwa na Wamagharibi, zile hotuba zingeweza kuhifadhiwa kwa ajili ya nyakati nyingine, ambapo kila tumbo lenye njaa Afrika litakuwa limeshibishwa!然後我們可能會邀請歐巴馬一起坐在營火旁,邊吃烤玉米和花生邊討論政治;既無關常春藤名校的菁英觀點、也不是平常西方人愛用的雙邊對談,那些高談闊論可以留到整個非洲都不再飢餓之後再說!
35Maoni ya mtembeleaji anayeitwa Isat hayana diplomasia:一名網站訪客Isat的評論較不圓滑:
36Tunachotakiwa kukitunza kama kikumbushi ni maneno haya: “Mustakabali wa Afrika uko kwa Waafrika wenyewe.我們真的應該記得以下這句話做為提醒:「非洲的未來須由非洲人決定。」
37Halafu angalia: Obama si Mwafrika. Babu yake aliyewapikia Waingereza na baba yake walikuwa Waafrika.值得注意的是,歐巴馬並不是非洲人。
38Yeye ni Mmarekani na anatetea maslahi ya nchi yake -haijalishi nyimbo ngapi tunaimba kumsifia.他為英國人當廚子的祖父和他父親是非洲人,但他是美國人,而且他會把自己國家美國的利益擺第一,不管我們對他多麼地歌功頌德。
39Man wey yi get ear make yi hear. [msemo wa Kikameruni maana yake: neno kwa mwenye hekima linatosha]俗話說「人只需要一隻耳朵就聽得見」,這句喀麥隆洋涇濱諺語意思是:「對於智者,逆耳之言一句足矣。」
40Blogu ya pamoja ya Up Station Mountain Club, pia ina makala nyingine - Barack Obama akiwa Afrika: “Zaidi Ya Ndio Tunaweza”, ndio tunalazimika, kutoka kwa mwanablogu wa Kikameruni Aloysius Agendia anayewasihi Waafrika wafanye mabadiliko:在共筆部落格The Up Station Mountain Club也有一篇文章-巴拉克歐巴馬在非洲:超越「我們做得到」,我們必須做到。
41Ndio, Afrika inaweza kufanya mapinduzi dhidi ya uongozi potofu wa sasa na mipango yao isiyoeleweka ambayo imelisababishia bara zima umasikini.喀麥隆部落客Aloysius Agendia在文中呼籲非洲人民做出改變: 是的,非洲對抗得了失職的領導人和他們出賣非洲、使非洲大陸繁榮不起來的骯髒交易。
42Zaidi ya ndio, tunaweza, ndio, ni lazima tufanyie kazi mabadiliko yanayosemwa ili kwenda mbele.不只(歐巴馬的名言)「我們做得到」,我們必須落實改變才能進步。
43Blogu hii ina vionjo vya mirindimo vya ziara hii kama video inayomwonyesha mwanamuziki wa Kikameruni akimshabikia Barack Obama kwenye uchaguzi imewekwa pale.該部落格也發表了一支由喀麥隆音樂人製作、為歐巴馬當選喝采的影片,為歐巴馬這次的造訪帶來伴奏。
44Wimbo ulitolewa na Tata Kingue kabla tu ya kuapishwa kwa Obama mwezi Januari 2009 na Gef's Outlook imetoa tafsiri kidogo pale.該歌曲是Tata Kingue在歐巴馬2009年一月宣誓就職的前不久發表的,而Gef's Outlook略為翻譯了歌詞。 歐巴馬喀麥隆歌
45Wimbo wa Kameruni kwa Barack Obama校對:Soup