Sentence alignment for gv-swa-20090111-45.xml (html) - gv-zht-20090122-1738.xml (html)

#swazht
1Kivu Mpaka Gaza: Namna Vyombo Vya Habari Vinavyochagua Vipaumbele剛果與加薩:媒體如何選擇報導?
2Kama kifo cha Muisraeli mmoja ni sawa na vifo kadhaa vya Wapalestina, ni maiti ngapi za watu wa Kongo zitakazowekwa kwenye mnara wa mazishi huko Gaza?[譯者註:本文除另標明外,所有連結皆為法文報導]
3Ni kwa nini migogoro ya Afrika haitiliwi maanani na vyombo vya habari, hasa lile jinamizi linalendelea katika Kivu, hili ni swali la karne (sambamaba na lile swali linalouliza, kwa nini vyombo vya habari vya kimataifa, ikiwa wataandika habari zinazoihusu Afrika, huandika habari za migogoro tu).若以色列一人之死得要數名巴勒斯坦人來償,多少剛果人才能抵一具加薩屍體? 為何非洲衝突問題不受媒體重視[英文],尤其是剛果Kivu地區的可怕事件?
4Elia Varela Serra aliandika katika tovuti hii kuhusu swala hili, siku chache tu zilizopita, alitafsiri sehemu ya makala kutoka Rue89 iliyoandikwa na mwanahabari hugues Serraf.這其實是個老問題,就像人們總問,為何國際媒體的非洲相關報導只有衝突?
5Jinsi Hugues Serraf alivyolitizama swala hili kulizaa hali tete kati ya wasomaji wengi wa lugha ya Kifaransa, wote, wasomaji wa Kikongo na wale Wakiislamu.全球之聲作者Elia Varela Serra不久前也曾有相關報導[英文],其中翻譯記者Hugues Serraf在Rue89網站報導的部分內容,這位記者的看法在法語部落格圈引發諸多爭議,包括剛果民眾與眾多穆斯林。
6Wasomaji wengine wa Rue89 wanakubaliana na mtazamo wa Serraf.部分Rue89讀者贊成這位記者整體說法。
7Rafa anafafanua ni kwa nini vyombo vya habari vya Ufaransa vinaipa kipaumbele zaidi Palestina ikilinganishwa na Kongo:Rafa解釋為何法國媒體對巴勒斯坦的關注超過對剛果的報導:
8Jamii ya Kifaransa imeushupalia mgogoro wa Waisraeli na Wapalestina kutokana na ukweli kwamba kuna uwepo mkubwa wa watu wa jamii hizo ndani ya Ufaransa, jamii ambayo huyarejea yale yanayotokea huko [mashariki ya kati]. Kwa upande mwingine, nafikiri kwamba kwa kuwa Israeli ni nchi mojawapo ya “magharibi” kwa maana kwamba Israeli ni sehemu ya “dunia huru” (kama anavyosema Livni), watu wa Ufaransa wanajifananisha na Waisraeli, na kutokana na ukweli kwamba [Israeli] inatambulika kama nchi iliyostaarabika, na ina demokrasi sawa na yetu, na yenye watu wenye tabia na taratibu za maisha kama zetu, pamoja na jamii zinazoshabihiana, nchi kama hiyo inapofanya vitendo vya kikatili kama hivi, huwa tunatikisika.法國社會之所以如此關心以巴衝突,是因為雙方在法國皆形成社群,每當以巴發生衝突,同樣情況也在法國境內上演,另一方面,以色列做為一個「西方國家」,正如以國總理利芙妮(Tzipi Livni)所言,以色列屬於「自由世界」的一員,法國民眾容易認同以色列,認為同屬所謂的文明國家、民主國家、生活型態相同、社會狀態相同,但這樣的社會卻出現如此野蠻的行徑,確實讓法國人震撼。
9Tofauti na mgogoro wa Kongo ambao unaonekana kana kwamba ni moja tu ya madhila mengine yanayotokea kwenye bara lililolaaniwa ambalo watu hawalitilii maanani tena kwa sababu madhila ya namna hii hutokea mara kwa mara. Msomaji mwingine wa Rue80, Pierre Haski:反觀剛果的衝突,就像是在受詛咒的大陸上,又發生另一場悲劇,人們不再太過關注,因為這種悲劇已太過頻繁。
10Mwezi uliopita niliyaona maandamano ya Wakongo [pale kwenye Kasri ya Jamhuri mjini Paris] kuhusu mgogoro nchini mwao.另一位Rue89讀者Pierre Haski認為:
11Walikuwapo watu dazeni kadhaa, waliosindikwa nyuma ya kamba za polisi [wa kuzuia fujo], wapita njia hawakuwajali. Jumamosi, niliona maandamano ya Wapelestina yalipokua tu yakianza, tayari wapiga picha wa televisheni walikuwa wameshafika.上個月,我見到剛果民眾在法國巴黎共和廣場為該國衝突而抗議,群眾大概有幾十人,在鎮暴警察重重包圍之中抗議,行人完全冷漠以對;星期六,我看到巴勒斯坦人的抗爭才剛開始,電視台攝影機卻已到場。
12Lakini kuna wengi walioshutumu ujinga wa mwa mwandishi huyo kulihusu bara la Afrika. Katika makala yake Serrif alisema:但也有人強烈抨擊這位記者對非洲毫無所知,這位記者在報導中指出:
13Mimi, ni sawa na wewe. Sifahamu sana mambo ya Kongo wala hili Jeshi la Upinzani la Bwana [LRA]… si hivyo tu, kuna Kongo mbili!我和各位相同,並不瞭解剛果或「上帝反抗軍」這支游擊隊,…不止如此,原來還有兩個剛果!
14Isitoshe Afrika ni ngumu kuielewa. Kati ya majanga, magonjwa ya kuambukiza, wakuu wa majeshi pinzani wanaorandaranda ndani ya magari ya Land Cruiser, na hayo yote… ni kina nani tunaowatambua kama kundi “zuri” au kundi “baya”?非洲情況也極為複雜,其中存在天災、傳染病、軍閥等問題,…我們如何能得知孰善孰惡?
15Pia aliandika kwamba mgogoro wa Waisraeli na Wapalestina unaweza ukawa uliandikwa zaidi nchini Ufaransa kwa sababu, kwa mtazamo wa umma, ni rahisi zaidi kutofautisha kati, “wema” na “waovu”.他也提及,法國媒體之所以較常報導以巴衝突,因為至少對大眾而言,要分辨善惡簡單許多。
16Bloga Alex Engwete, ambaye amekuwa akiandika habari mpya mpya za mgogoro wa Kivu kwenye blogu yake, ameandika dhidi ya ujinga wa Serrif:Alex Engwete每天在個人部落格裡報導剛果衝突消息,便在留言區反駁這位記者自稱的無知:
17Nilianza kwa kushiriki hasira yako inayotokana na ukimya uliolizunguka balaa la Kongo kabla ya kugundua wapi ulipokuwa unaelekea katika aya zako tatu za mwisho.對於你不滿媒體未報導剛果衝突,我原本也能認同,直到閱讀你在報導裡的最後三段,我甚至想告訴你,有位英國廣播公司駐肯亞奈洛比的記者朋友向我透露,該公司轉告他若死亡人數未達50人,就不必撰寫剛果相關報導!
18Nilitaka hata kukudokezea kile ambacho rafiki yangu mmoja mwandishi wa habari wa BBC alichoniambia kule Nairobi, ambacho shirika lake la habari tukuka lilimtaka afanye… kwamba aache kutuma taarifa kutokea Kongo ikiwa idadi ya waliokufa ni pungufu ya 50!畢竟他們是黑人,又身處在黑暗之心,就像作家康拉德(Joseph Conrad)所言,「可怕!
19Ni watu weusi walio katika kiini cha giza, isitoshe, ni sehemu ambayo “mambo ya kutisha tisha!” ni ya kawaida - kwa mujibu wa Joseph Conrad… Lakini niligundua baadaye, huku nimekata tamaa, kwamba kwako Kongo si kitu kingine zaidi ya mwongozo wako (wenye visingizio) uliotupeleka kwenye risala yako iliyopindapinda!可怕!」 才是常態,…但我才明白,剛果不過是個指標,讓我們明白你的扭曲言論!
20Kama hujui lolote linaloihusu Kongo, waache wafu wapumzike kwa amani!你若對剛果一無所知,就讓死者安息!
21Familia zimeweka makazi katika jengo lililovunjwa baada ya kulazimishwa kuzikimbia nyumba zao kutokana na kupamba moto kwa mapigano katika jimbo la Kivu ya Kaskazini.由於剛果North Kivu地區衝突升高,許多家族不得不逃離家園,在斷坦殘壁之中避難。(
22(Picha na S. Schulman wa UNHCR).照片來自:UNHCR/ S.
23Djé anayeblogu kwenye case en construction anaandika:Schulman
24Msisimko wa habari ambao umelitilia mkazo suala la Gaza umekuwa na tabia ya kuvigeuza vyombo hivyo vya habari (na hivyo, umma mzima kwa ujumla) kutoka kwenye yale ambayo yanaendelea kujiri huko Kivu.case en construction部落格的Djé表示:
25Nina hakika, baadhi ya wanahabari wameweza hata kutengeneza faida kwa kutumia ulegevu wa mkazo kwa upande wa vyombo vya habari unaoendelea huko Mashariki ya Kongo, kwa minajili ya kusambaza propaganda zinazoipendelea Israeli.媒體現在瘋狂追逐加薩相關消息,很可能會排擠媒體與大眾對剛果的注意,無恥記者更為了親以色列的宣傳手段,從媒體忽視剛果東部戰事的態度中得利。
26Djé ameiita makala ya Serrif kama “jaribio la hovyo la kupotosha habari” na anamuomba aifikirie makala nyingine inayojadili masda hiyo hiyo, iliyoandikwa kwenye kongotimes.info ambayo inadai kwamba, ‘Vita hizi mbili zinabeba mashaka sawa, pamoja na hatari zinazoweza kuyumbisha eneo lote” [Fr].Djé認為Hugues Serraf的報導「是種誤導讀者的下流行為」,並建議閱讀kongotimes.info對同一情況的報導,其中認為「兩場戰事都引發同樣的恐懼,對區域局勢也幾乎造成相同危機」。
27Watumiaji wa wa mtandao wa Islamie.com kadjhalika walivunjwa moyo na ulinganishaji alioufanya Serrif na udaku uliofanywa na vyombo vya habari kuhusu swala la Gaza, kwa ujumla Abdullah anauliza, kwa kejeli, “Ni maiti ngapi za watu wa Afghanistan zinazopaswa kuwekwa kwenye mnara wa mazishi Gaza?” [Fr].網路論壇islamie.com的讀者同樣不滿Hugues Serraf的報導,亦不滿媒體對加薩情況的聳動報導,Abdullah以諷刺語氣質疑:「多少阿富汗人喪生可抵一位加薩民眾之死?」:
28Katika mwangaza wa hisia kali hivi sasa zinazohusiana na Gaza, nimeghafirika sana tangu niliposoma nukuu ya Abou Ghazi inayosema kwamba kuna mauaji ya kinyama kila wakati yanayotokea huko Afghanistan ambayo hakuna mmoja anayeyajali. Siyo kwamba najihusisha zaidi au la kuhusu mauaji haya au yale.面對加薩目前態勢,我感到十分不舒服,尤其是讀到一則訊息引述Abou Ghazi的發言表示,阿富汗隨時隨地都在發生大屠殺,但卻無人或幾乎無人在意,並不是我對任何一件事比較重視,但像這樣的一句話,就已隱含許多意義。
29Lakini nukuu kama kama hii, ambayo inaonyesha (katika maana ya kwanza ya neno) mambo mengi.我們身處的情況多麼可悲!
30Ni hali mbaya iliyoje tuliyokuwamo!竟容許自己受媒體左右與愚弄。
31Tunajiachia wenyewe tulishwe, tupumbazwe, na kuongozwa na vyombo vya habari.我真覺得噁心。
32Kwa kweli inanitia kichefuchefu. Jounaïda:Jounaïda表示:
33Nukuu ya Abou Ghazi inashabihi upeo wetu finyu. Pia unaonyesha jambo moja: kwamba sisi ni vikaragosi wa vyombo vya habari, tulio na kiu ya habari za udaku.Abou Ghazi的言論反映出眾人心態,也突顯出我們真是媒體的傀儡,總渴望獲得聳動訊息。
34Tunahitaji, na siku zote tutahitaji, vitendo madhubuti kwa ajili ya kaka na dada zetu wanaokandamizwa, mpaka hapo neno la Mungu litakapotawala dunia.為了受迫害的人民,我們永遠需要明確行動,至少直到上帝箴言引領世人。
35Wanaume wa Kipalestina wakiuzika mwili wa mtoto wa miaka 4 Lama Hamdan katika makaburi ya Beit Hanoun Kaskazini mwa Ukanda wa Gaza tarehe 30 Desemba 2008.
36Lama na dada yake waliripotiwa kuwa walikuwa wakiendesha mkokoteni uliokuwa ukivutwa na punda siku ya Jumanne karibu na sehemu inayotumika kurusha makombora iliyokuwa ikilengwa na Waisraeli. (Picha na Amir Farshad Ebrahimi)2008年12月30日,巴勒斯坦人將四歲女孩Lama Hamdan的遺體埋藏於Beit Hanoun墓園中,據報導她和妹妹當時正乘著驢車,附近正是以色列瞄準的火箭發射台。(
37Souleymene: … nimekuwa nikijiuliza jambo hili mara nyingi katika siku chache zilizopita.照片來自Amir Farshad Ebrahimi)
38Lakini naweza kusema zaidi, mchakato huu tunaouna ni dalili tu na si gonjwa lenyewe.Souleymene認為:
39Wakati zoezi hili litakapofifia (na Allah anajua vyema…) na katika wakati wowote ule uwao, yote yatarudia kwenye “utaratibu”, na nikiangalia viongozi tulio nao, hapatakuwa na hatari ya machafuko. Wana-Jihadi tunaowaona kwenye televisheni huko Jordan na Yemeni kati ya sehemu nyingine, watakuwepo, na ALLAH awazidishie katika malengo yao.…過去幾天我反覆自問,我認為如今各種動員只是附帶現象,當整件事平息後(願真主保祐會平息…),一切都會回復「原有秩序」,看看這些領導人,絲毫感受不到社會反抗危機,無論在葉門、約旦或任何地方,都有我們在電視上看到的聖戰士,願真主因他們的目標而給予獎勵,穆斯林會回歸原本在意的事物,人們會遺忘巴勒斯坦人,也忘記在加薩四濺的血跡。
40Waislamu watarudi kuendelea na shughuli zao za kila siku, Palestina itasahauliwa, na damu iliyomwagika huko Gaza pamoja nayo.校對:Soup