Sentence alignment for gv-swa-20090209-57.xml (html) - gv-zht-20090207-1825.xml (html)

#swazht
1Madagaska: Zaidi ya 25 Wauwawa Katika Maandamano Kuelekea Ikulu馬達加斯加:總統府前遊行群眾 超過二十五人被殺
2Angalia ukurasa wa habari maalum kuhusu Mapambano ya kugombea nguvu za kiasiasa Madagaska.請見我們針對馬達加斯加權力鬥爭的特別報導
3Watu wapatao 25 walipigwa risasi na kuuwawa leo katika mji mkuu wa Madagaska, Antananarivo, wakati wa maandamano ya kuelekea ikulu ya nchi hiyo yaliyoitishwa na meya wa jiji Andry Rajoelina baada ya kujitangaza kama kiongozi wa serikali mpya ya mpito katika mkutano wa hadhara wa kisiasa.今天,馬達加斯加首都安塔那那利佛超過二十五人被射殺致死,當時現場正舉行前往總統府的遊行,首都市長Andry Rajoelina為這場遊行的主辦人,而事件就發生在他於集會上宣佈自己是新過渡政府領導人之後。
4Katika majuma yaliyopita, ugombeaji wa nguvu za kisiasa kati ya Meya na Rais Marc Ravolamanana kumesababisha ghasia na uporaji.過去幾個星期,市長跟總統Marc Ravalomanana的權力鬥爭已經釀成諸多暴力與搶奪事件。
5Mkutano huo wa kisiasa ulifanyika katikati ya Mji wa Antananarivo majira ya mchana, saa za Madagaska. Rajoelina alitangaza kuundwa kwa serikali ya mpito, na yeye mwenyewe akiwa kiongozi wa serikali, bila kujali ukweli kwamba serikali iliyopo sasa bado inashikilia nafasi hiyo.這次政治集會於當地時間中午左右在安塔那那利佛市中心展開,Rajoelina宣佈建立新的過渡政府,他本人將擔任領導人,儘管現任政府依舊存在。
6Aliwataka watu wanaomuunga mkono waandamane kuelekea ikulu iliyopo Ambohitsorohitra.他要求他的支持者向位於Ambohitsorohitra的總統府遊行前進。
7Wakati umati mkubwa ulipowasili ikulu, wajumbe waliingia kwenye kasri majira ya saa 8:46.當大批群眾抵達總統府,一位使者於當地下午時間兩點四十六分進入總統府,槍聲於此時大作。
8Ni wakati huu ambapo risasi zilirushwa.當地的twitter圈與部落客紛紛報導:
9Watumaiaji wa twita waliokuwapo na wanablogu wengine waliripoti: Habari za mwanzo zinaashiria kuwa dazeni za miili ilikuwa imenguka mitaani.初步報導指出有數十具屍體倒在街頭,在傷亡者當中,據說有一名RTAA電視台的攝影師(還有待正式確認)。
10Mooja wa majeruhi, inasemekana ni mpiga mpiga wa idhaa ya televisheni ya RTA (uthibitisho rasmi bado unasubiriwa).當地時間下午三點四十分,依舊可以聽到槍聲。
11Hadi majira ya saa 9:40 alasiri, risasi bado zilikuwa zinapigwa.Rajoelina請求兩黨都認可接受,於這場危機中成立的武裝EMMONAT軍隊介入保護群眾。
12Rajoelina, alilitaka jeshi la EMMONAT, linaloungwa mkono na pande zote ambalo liliundwa wakati wa mgogoro huu, kuingilia kati na kuulinda umma. Habari rasmi (kwa mujibu wa Reuters, Al Jazeera) zinaeleza kuwa vifo vinafikia 25 kwa kadiri ya picha zinavyozidi kumiminika kwenye Televisheni ya taifa.新聞報導(路透社,半島電視台)最多死亡人數達二十五人,影像目前正在國家電視台上播送,BBC與法新社的報導中則只有五人傷亡。
13BBC na AFP viliripoti vifo 5 tu.法文的線上即時報導可以在此觀看。
14Habari kama zinavyotokea (katika wakati halisi) mtandaoni zinapatikana kwa lugha ya Kifaransa hapa. Kuna kurasa za kutafiti za twita “#madagascar”, ambalo ndio neno-kiini ambalo watu wamekuwa wakilitumia wakati wote katika majuma yaliyopita ambayo yalijaa fukuto la kisiasa na ghasia za hapa na pale.這是這是Twitter上 馬達加斯加標籤(#madagascar)的即時搜尋結果,許多人已經利用這個標籤紀錄過去幾周的政治緊張局勢與馬達加斯加的零星暴力衝突。