Sentence alignment for gv-swa-20151005-9104.xml (html) - gv-zht-20151025-19062.xml (html)

#swazht
1Wasiwasi wa Usalama wa Mfungwa wa Syria, Aliyehamishwa Kwenda Kusikojulikana羈押中的敘利亞網民先驅Bassel Khartabil被解送至未公開地點而引發疑懼
2Bango la FreeBassel kutoka kwenye anuani ya mtandao wa Twita @freebassel.刊載於推特帳號@freebassel上「釋放Bassel」的海報圖片。
3Mfungwa huyo amewekwa ndani nchini Syria kwa miaka minne na marafiki na wanaharakati wana wasiwasi na maisha yake baada ya kuhamishwa leo kutoka kwenye gereza alilokuwemo kwenda mahali kusikojulikanaBassel Khartabil在敘利亞已被羈押近四年,今日他被解送至未公開地點之後,他的朋友及社運人士擔心他的安危。
4Wanaharakati wanaitaka serikali ya Syria kumwachilia huru mara moja mfungwa ambaye ni mhandisi wa programu za kompyuta mwenye asili ya Syria na Palestina Bassel Khartabil, anayefahamika pia kama Bassel Safadi, baada ya kuhamishiwa kutoka kwenye gereza lake kwenda mahali pasipojulika mapema leo.敘利亞-巴勒斯坦裔軟體工程師Bassel Khartabil(別名Bassel Safadi )今日稍早被解送至未公開地點。
5Safadi, ambaye amekuwa gerezani kwa zaidi ya miaka minne, anafahamika sana kama mtengenezaji wa zana huria za mtandaoni.社運人士呼籲敘利亞政府立即釋放被拘禁的Bassel Khartabil。
6Ni kiongozi wa taasisi ya Creative Commons nchini Syria na anafanya kazi bila kuchoka kwenye miradi kama Mozilla Firefox na Wikipedia, na amejizolea sifa kwa kufungua mtandao wa intaneti nchini Syria na kupanua upatikanaji na uelewa wa mtandao kwa wananchi.Bassel Safadi已被拘禁四年之久。 他是知名的開放原始碼軟體開發者,也是Creative Commons在敘利亞的領導者,積極參與如Mozilla Firefox和Wikipedia等計畫。
7Kwa mujibu wa Bunge la Ulaya, kukamatwa kwake ni sehemu ya jitihada za serikali ya Syria kujaribu kuzuia upatikanaji wa mtandao kwa jamii ya mtandaoni na hata kuminya uhuru wa kujieleza nchini humo.敘利亞的網際網路開通以及大眾得以更加廣泛的運用網路也歸功於他。 根據歐洲議會指出,拘禁Bassel是敘利亞政府傾力限制網路社群及打壓國內言論自由的一環。
8Kwa mujibu wa ukurasa wa Facebook ulioanzishwa na watetezi wake wakidai kuachiliwa kwake:根據呼籲釋放他的支持者為他成立的Facebook頁面:
9Bassel alihamishwa kutoka gereza la Adra kwenda kusikojulikana baada ya walinzi wasiojulikana wanahusiana na nani, walipokuja na kumtaka akusanye vitu vyake.在一個不知所屬單位的巡邏兵來叫Bassel把他的東西打包之後,Bassel從Adra監獄解送至未公開地點。
10Inatarajiwa kwamba atakuwa amehamishiwa kwenye makao makuu ya mahakama ya kiraia kwenye eneo la Jeshi la Polisi huko Al Qaboun.估計Bassel已被押解至位於Al Qaboun憲兵隊的民事法庭總部。
11Tuna wasiwasi na maisha yake baada ya kutokujulikana amepelekwa wapi baada ya hapo.我們現在對於Bassel的再次蹤跡成謎感到憂心。
12Khartabil alikamatwa mnamo Machi 15, 2012, siku ya kukumbuka mwaka mmoja tangu kuanza kwa mapinduzi ya Syria.Khartabil在敘利亞革命一週年紀念2015年3月時被逮捕,他被軍情局215分局訊問、刑求了四日。
13Alihojiwa na kuteswa kwa siku tano na kikosi cha usalama cha Military Branch 215.在那之後他被解提至248分局,遭羈押禁見達九個月之久。
14Alihamishwa kwenye kwenye kitengo cha mahojiano namba 248 na hakuruhusiwa kuonana na watu kwa miezi tisa.在2012年12月9號,Khartabil在沒有委任律師的狀況下,被帶往軍事檢察官當前,且以「敵國間諜」之罪名被起訴。
15Mnamo Desemba 9, 2012, Khartabil alipelekwa mbele ya mwendesha mashtaka wa jeshi bila kuwa na mwanasheria, na alishitakiwa kwa “kufanya upelelezi kwa ajili ya nchi adui”.之後他便被押解至位於大馬士革的Adra監獄直到今日。 TheElectronic Frontier Foundation (EFF) 提到:
16Alipelekwa kwenye gereza la Adra jijini Damascus, ambako amekuwa anashikiliwa, mpaka leo.正是因為Bassel身為科技份子及社運人士的能見度使他成為被拘禁的目標。 他的友人同時也是社會運動人士的Mohamed Najem在Change.org網站上發起一份請願書呼籲立刻釋放Bassel。
17Taasisi ya Electronic Frontier Foundation (EFF) inasema:請前往連結簽署。
18Bassel alijikuta akikamatwa kwa sababu ya kuonekana kwake kama mtaalam wa teknolojia na mwanaharakati.同樣是Bassel的朋友,言論自由運動人士Jillian C.
19Tamko la mtandaoni, lililoanzishwa na rafiki yake na mwanaharakati Mohamed Najem, linapatikana kwenye tovuti ya Change.org kudai Khartabil aachiliwe huru.York,同時也是EFF國際言論自由事務總監,表達她對連署的支持,她的推特寫道:
20My friend Bassel Safadi has been transferred from Adra prison in Syria, we don't know where-Please sign our petition https://t.co/sER4lWTXjB
21Tafadhali bofya kiungo hiki ili kutia saini. Rafiki na mwanaharakti wa uhuru wa mtandaoni Jillian C.- jillian c. york (@jilliancyork) October 3, 2015
22York, ambye pia ni Mkurugenzi wa EFF kwa ajili ya kutetea uhuru wa kujieleza kimataifa, anamwunga mkono.的朋友Bassel Safadi從敘利亞的Adra監獄被移往我們無法知曉的地點,請簽署我們的請願書。
23Alitwiti: Rafiki yangu Bassel Safadi amehamishwa kutoka gereza la Adra nchini Syria, na hatujui aliko.她還提到:「我們知道請願書並不能說服敘利亞當局(或任何人)但這是所有我們能做的。
24Tafadhali tia saini tamko hili請幫助發聲,使Bassel能夠維持平安。」
25Tunajua matamko hayataishawishi serikali ya Syria (au yeyote) lakini ndicho tunachoweza kukifanya. Tafadhali tusaidie kueneza ujumbe huu ili Bassel awe salama.譯者:Stella Peng 校對:Issac Hu