Sentence alignment for gv-swa-20100217-1230.xml (html) - gv-zht-20100306-5778.xml (html)

#swazht
1India: Ugaidi Waikumba Pune印度:浦那恐怖襲擊
2Picha kwa hisani ya http://twitpic.com/photos/abhi_bol Masaa machache yaliyopita (tarehe 13 Februari, 2010) bomu lililipuka katika mgahawa wa ‘Tanuri la Ujerumani' mjini Pune, India.圖片提供:http://twitpic.com/photos/abhi_bol
3Wakati wa kutuma makala hii vyombo vya habari vilikuwa vinaripoti kuwa watu 8 wamefariki na wengine 40 wamejeruhiwa katika mlipuko huo ambao uliiacha miili ikiwa imekatwakatwa na haitambuliki.星期六下午7點半左右(2010年2月13號),印度西部城市浦那一間深受遊客歡迎的餐廳發生炸彈爆炸,造成9人死亡57人受傷。
4Tanuri hilo la mikate ni maarufu kwa watalii kutoka nje. Kadhalika Shashi alibaini haya yafuatayo:當服務生試圖檢查一件遭棄置的行李時,炸彈在背包裡爆炸。
5• Hili limetokea siku moja baada ya India na Pakistani kukubaliana kuanza tena mazungumzo ambayo yalikuwa yamesitishwa tangu mashambulio ya mjini Mumbai mwaka 2008.Shashi Bellamkonda在部落格My Digital Thoughts報導:
6(Miezi 14 iliyopita) • David Headley ambaye yuko jela mjini Chicago alitembelea Pune kukagua eneo la utawa la Osho karibu na neo la mlipuko • Eneo la mlipuko lipo karibu na jumba la Chabad huko Pune na jumba la Chabad la Mumbai lilikuwa ndio kusudio la mashambulizi ya 26/11 mwaka 2008.幾個小時前(2010年2月13號),一個炸彈在印度浦那受歡迎的小餐館「德國烘焙坊」爆炸。 在發布此文的同時,新聞報導說在爆炸事件中有8人死亡,約40人受傷。
7• Eneo la mlipuko lipo karibu na eneo la utawa la Osho linalitembelewa sana na watalii, jambo ambalo linafanana na mlipuko wa Mumbai.在爆炸後留下燒焦無法辨認的屍體。 這間店是一個受到外國遊客歡迎的地方。
8Pragmatic Euphony anaonya:Shashi還提出了這些觀察:
9Wana-jihadi wameshambulia tena ndani ya bara Hindi; hivi sasa huko Pune, japokuwa ni zaidi ya mwaka mmoja baada ya mashambulizi mabaya ya kigaidi mjini Mumbai ya mwezi Novemba 2008.Pragmatic Euphony警告: 儘管在2008年11月可怕的孟買恐怖襲擊的一年多後,自殺式聖戰者(jehadis)再次襲擊印度大陸,這一次在浦那。
10Hisia za awali, wakati tukifuata dhana maarufu inayowezekana ya kwamba mlipuko huo ulikuwa ni kazi ya makundi ya jihadi yenye makazi nchini Pakistani, ni hisia za hasira.人們一開始的反應是憤慨,而將爆 炸視為以巴基斯坦為基地的聖戰份子的作為是最合理、普遍的假設。 必定高漲的怒氣或許是可以理解的。
11Pengine inaweza kueleweka kwa nini jazba zinaweza kupanda sana.而這種情緒很可能會在印度主流媒體於頭版過度報導下進一 步放大。
12Nahisia hizi zinaweza kuongezeka zaidi kwa vile vyombo vikuu vya habari vya India vinahaha na kukimbia kila mahali na matangazo yake yaliyokithiri ya tukio hilo.人們已經發現此事件和巴基斯坦的連結。 Offstumped說到,浦那爆炸緊接在虔誠軍(Lashkar-e-Taiba)的恐嚇後發生。
13Watu tayari wameshaanza kugundua uhusiano (wa tukio hilo) na Pakistani.虔誠軍組織的高層領導人於一個經允許的巴基斯坦公眾集會中將浦那列為攻擊目標。
14Offstumped anataarifu kuwa mlipuko wa Pune ulifuatia vitisho vya Laskar-e-Taiba.The Acorn說:
15Kiongozi wa juu wa Lashkar-e-Taiba aliitaja Pune kama mji unaolengwa katika maandamano ya umma yaliyoruhusiwa huko Pakistani.儘管有著虔誠軍的威脅,將此攻擊明確歸咎於巴基斯坦聖戰組織為時過早。
16The Acorn anasema:但很明顯的,巴基斯坦聖戰組織有充分理由透過恐怖主義攻擊提升與印度的緊張局勢。
17Pamoja na tishio la la Lashkar-e-Taiba, ni mapema mno kuhusisha shambulio hilo kwa uhakika na mfumo wa uanajeshi wa jihadi wa Pakistani.失去「東面緊張情勢」的藉口,巴基斯坦將沒有理由對華盛頓解釋其對塔利班的雙重交易。
18Lakini ni wazi kwamba mfumo wa uanajeshi wa jihadi wa Pakistani una sababu zote za kuzidisha mfarakano na India kwa njia ya ugaidi.Dilip D'Souza在部落格Death Ends Fun提醒說,印度也該對本土的恐怖主義做一點事:
19Bila ya kisingizio cha “mfrarakano wa Mashariki”, Pakistani haitabakia na chochote ambacho itaweza kuifafanulia Washington kuhusu ushirika wake na taliban.除非我們認識到什麼是本土恐怖攻擊,不亞於任何來自國外的恐怖主義,直到我們的立場是反對任何形式的恐怖行動之前,我們永遠不會打敗恐怖主義。
20Dilip D'Souza katika Death Ends Fun anatukumbusha kuwa India inapaswa kuchukua hatua kuhusu ugaidi ulioasisiwa ndani ya nchi:在推特圈裡滿是傳播此新聞的推文及重推文的訊息。 下面是一些反應:
21Mpaka hapo tutakaupotambua ugaidi ulioasisiwa ndani ya nchi kwa jinsi ulivyo - na si pungufu ya ule ulioletwa kutoka nje ya nchi - na mpaka pale tutakaposimama dhidi ya ugaidi wa ain azote, hatutaweza kuushinda ugaidi.IndiaHappening:在浦那恐怖爆炸中有9人喪生,32人受傷 #印度
22Ulimwengu wa Twita uliunguruma na jumbe za twita na zile zilizotumwa tena na tena kusambaza habari hii.r_shekhawat:恐怖襲擊我的家鄉 - 浦那:無辜的人再一次被盲目的恐怖份子所殺害。
23Hay ani baadhi ya maoni:浦那,一個偉大的城市,受到傷害。
24IndiaHappening: Tisa wameuwawa, 32 wameumia katika mlipuko wa kigaidi Pune http://bit.ly/arLssZ #Indiapragmatic_rebel:對#浦那而言,這肯定是一個可悲的情人節。
25r_shekhawat: ugaidi wautikisa mji wangu - ‘Pune': kwa mara nyingine tena, watu wasio na hatiawameuwawa na magaidi wasio na akili.被爆炸嚇壞了,我希望#印度這次會做不一樣的事。
26Pune, mji mzuri sana, umeumizwa na kuchunwa.bhuvan_chelsea:我們需要一個像蝙蝠俠的人在#印度維持治安。 ;-)
27pragmatic_rebel: Ni mwanzo wa kusikitisha kwa siku ya Valentino huko #Pune!tweetSAMRAT:為最近的浦那炸彈爆炸受害者祈禱。
28Bado katika mshtuko wa mlipuko #India inafanya jambo tofauti kabisa wakati huu.nehasasi:RT@ deepitganjoo:請重推特此文,浦那Jahangir醫院需要AB+及B+血型的血液。
29bhuvan_chelsea: Tunahitaji askari wa kujitolea (sungusungu) kama batman hapa #India. ;-)聯繫:1066在浦那的人,拜託了。
30tweetSAMRAT: Anawaombea waliodhurika na mlipuko wa bomu huko Pune._india_:浦那爆炸使得與巴基斯坦的會談蒙上陰影。
31nehasasi: RT @deepitganjoo: taathali tuma tena ujumbe huu hospitali ya jahangir mjini pune inahitaji damu ya Blood AB+ve na B+ve Wasiliana na: 1066 kwa wale walioko pune… tafadhali毫無疑問,發生在浦那的爆炸將影響近期印度與巴基斯坦的友好會談。
32_india_: Mlipuko wa Pune unatia kivuli juu ya mazungumzo na Pakistani但看起來,由於四處充滿高漲的情緒,恐怖分子正佔上風。
33Bila ya shaka mlipuko wa pune utaathiri mazungumzo ya kujenga imani kati ya India na Pakistani.Catagory:印度
34Lakini inaonekana kuwa magaidi wanapewa nguvu kwa vile hisia zinavyopanda juu kila mahali.校對:Soup