Sentence alignment for gv-swa-20100731-1560.xml (html) - gv-zht-20100716-6968.xml (html)

#swazht
1Niger: Njaa ya Kimya Kimya尼日:寧靜飢荒
2Janga la njaa ambalo kwa kiasi kikubwa haliripotiwi ipasavyo huko Sahel limechukua sura kubwa ya kutisha kufuatia kiasi cha watu milioni 2.5 nchini Naija hivi sasa kuathirika na uhaba wa chakula.
3Mpango wa Kimataifa wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umeamua kuongeza hatua za dharura Wanablogu nchini Naija wanatafakari janga jingine la chakula baada ya lile la mwaka 2005, baa la njaa la mwaka huu ambalo ni matokeo ya upungufu wa mvua mwaka jana.
4Waume wakielekeza nyuso zao katika Jangwa la Sahel imepigwa na Nawal _kwa leseni ya Creative commons kwenye Flickr D.非洲薩赫勒(Sahel)地區長期糧食危機愈來愈嚴重,尼日目前約250萬居民都受糧食不足影響,聯合國世界糧食計畫已決定擴大緊急行動規模,以保障身陷困境的民眾,當地部落客回想2005年也曾發生糧食危機,而今年問題是由於去年雨量短缺所致。
5Evariste Ouédraogo aliandika yafuatayo kuhusu namna wanasiasa wanavyojaribu mara zote kupindisha mabaa ya chakula nchini Naija kwa namna ambayo huwaweka wao katika mwanga mzuri zaidi [Kifaransa]:
6Mwaka 2005, mamlaka yalijaribu kupenyeza mawazo ya ushawishi kwamba tishio la njaa lilikuwa ni uvumi tu ulioenezwa bila ya aibu [..]民眾面對薩赫勒地區沙漠,照片來自Flickr用戶Nawal_,依據創用CC授權使用
7Siku chache baadae, waziri mkuu, katika hali ya kujipinga hoja mwenyewe, bado aliomba msaada wa jumuiya ya kimataifa kwa sababu ya …njaa.
8Mwaka 2010, ukweli unajitokeza tena: siku 10 baada ya mabadiliko ya utawala nchini Naija, tunasikia kutoka kwa mkuu wa utawala wa kijeshi kwenye luninga kwamba njaa inatishia mamilioni wa wananchi wa Naija kutoka mikoa yote ya nchi hiyo.
9Uhaba wa chakula ulikadiriwa kuwa tani 400 000.D.
10Kinyume kabisa cha kauli iliyotolewa na Mamadou Tandja ambaye alikuwa anakerwa na habari za hali mbaya ya chakula.Evariste Ouédraogo提到,政治人物總想利用尼日的糧食危機,讓自己居於有利的局勢:
11Grioo.com inauliza kwa sauti kubwa swali gumu lakini lililo bayana kwamba Wanaija wengi wanashangazwa kuhusu: ““fedha zilizopatikana kutoka kwenye biashara ya madini ya Uranium zilikwenda wapi?”
12” [Kifaransa]: Na tukumbuke shinikizo kati ya wakuu wa nchi wa zamani nchini Naija na viongozi wa eneo la Areva kuhusu kupitiwa upya kwa mikataba ya kuchimba Uranium […] Hatutaweza kupingana vya kutosha na mbio hizi zinazosaidia magenge ya watu wenye kazi za ofisini kufakamia hazina za umma ambazo zinapaswa kuchangia katika kuwasaidia raia ambao wanakosa chakula, maji na huduma za afya ya msingi.2005年,政府試圖說服大眾,讓人們相信飢荒威脅只是個可恥的謠言,[…]幾天後,總理卻以嚴肅口吻向國際社會求援,理由 竟然是…飢荒;2010年,真相再度浮現,尼日政權更替十天後,我們從電視上的軍政府領袖口中得知,飢荒正威脅數百萬尼日人民,不足的糧量據估計為 40萬噸,與前總統Mamadou Tandja的說法完全相反,前總統只要聽到糧食危機一詞便激動否認。
13Kiasi cha fedha kutoka kwenye rasilimali za madini kamwe hakiwasaidii walio wengi ambao hawana sauti.
14Vioja vya Kiafrika ambavyo havitushtui tena. Hata hivyo, kashfa hii inapaswa kuisha sasa katika mwanzo wa Milenia mpya.Grioo.com說出許多尼日民眾心中明顯的疑惑:「鈾礦貿易收入究竟流向何方?」
15Inaonekana kana kwamba utajiri wa madini unaleta dhiki tu kwa idadi kubwa ya Waafrika.
16Itakuwa hivyo mpaka vyanzo vyote vitakapokoma kutumika kuwa mashamba ya kulimia. Kathryn Richards at Care anatushirikisha mawazo machache na ushuhuda wa “majira ya njaa” kadri idadi kubwa ya watu wa vijijini wanavyojikuta wakiwa kwenye uhitaji mkubwa wa mifugo ya kuchunga::還記得先前為了鈾礦開採合約更新問題,尼日前元首與Areva公司高層關係緊繃,[…]我們永遠都會譴責當初設計制度的人 士,讓許多高層人士怠忽職守,還能盜用公款,讓欠缺糧食、飲水及基礎醫療的民眾未獲應有援助,開採礦藏的收入從未讓沉默大眾獲益,人們對這個非洲現象已見 怪不怪,但我們跨過新的千禧年後,必須終止這件醜聞,採礦之富彷彿只會為非洲民眾帶來苦難,除非資源能妥善使用,否則情況永遠不會改變。
17Naija ni nchi ya vinyume. Tajiri katika madini na mafuta yaliyogunduliwa siku za hivi karibuni lakini watu wake ni masikini wa kutisha. [..]Kathryn Richards在Care網站寫下幾個想法,也見證「飢餓季節」情況,農村家庭非常需要牲畜供放牧:
18Chakula kinapatikana katika soko -lakini kwa bei iliyopaa sana ambayo ni watu wachache tu wanaweza kuimudu. Familia zinauza mifugo yao kwa bei ya chini ili kununua chakula.尼日國內充滿強烈對比,新發現的鈾礦與石油帶來財富,但人民卻極為貧窮,[…]糧食可在市場上購買,但因為通貨膨脹,很少人 能負擔得起,許多家庭將牲畜便宜出售以購買糧食,Mohammed Gusnam即為一例,「生活很困苦,我們這些牧人曾經如王子般驕傲,現在牧地不斷消失,我們被困在村落裡,村落在我眼中如同監獄」。
19Mohammed Gusnam alikuwa mmoja wa watu hawa: “ Ni vigumu . Kama wafugaji tulikuwa kama wana wa mfalme, wenye kiburi.不過此次政府因應糧食危機的速度似乎比2005年要快,歐洲委員會人道援助區域部門主管Cyprien Fabre評估:
20Sasa ardhi ya kuchungia inapotea na tumekwama huko kijijini. Kijiji ni kama gereza kwangu.”許多警示與干預體系在許多國家都存在,資源也據此分配,目前相關活動正在尼日、布吉納法索與馬利等國進行,查德需要更多單位才能有效發揮功能。
21Mwitiko wa sasa wa janga la chakula, hata hivyo, unaonekana kuwa na kasi kubwa zaidi kuliko ilivyokuwa mwaka 2005. Cyprien Fabre, kiongozi wa kitengo cha eneo maalumu wa Tume ya Ulaya ya Misaada ya Kibinadamu (ECHO) anatoa tathmini ifuatayo [fr]:但有許多組織認為,資源太慢才抵達,指出主因有二:一,確保捐助者資源來源,二,試圖讓資源觸及最偏遠地區民眾,許多人表示,短期之內,金援可能會比分送糧食更快、更有效:
22Viamshi na miundo ya kutoa misaada inafanya kazi katika nchi nyingi zilizoathirika na mafungu ya fedha yalitengwa kwa utendaji kazi kama ipasavyo.
23Operesheni zinaendelea katika nchi za Naija, Burkina-Faso na Mali. Chadi inahitaji mawakala zaidi kwa ajili ya ufanisi wa zoezi la utoaji misaada.與社區成員對話時,許多人表示,他們想拿到現金,而非種子,民眾若失去多數穀物,或是距離市場最遙遠者,比較傾向選擇種子;而靠近市集或擁有農地有限的民眾,則認為現金較實用。
24Bado mashirika mengi yanaamini kwamba vitendea kazi bado vinawasili kwa uchelevu sana.校對:Soup
25Mashirika hayo yanabainisha sababu mbili za uchelevu huo: 1) kuhakikisha kwamba wafadhili wanakuja na fedha za ufadhili na 2) changamoto za kuifikia idadi kubwa zaidi ya watu katika maeneo yasiyofikika kirahisi.
26Wengi wanafikiri kwamba kutoa fedha taslimu inaweza kuwa ni njia ya haraka na ya ufanisi zaidi katika kipindi kifupi kuliko kutuma (misaada hiyo kwa namna ya) chakula [Kifaransa]:
27Wakati wa mazungumzo na wanajamii hizo, watu wengi walisema kwamba wangependelea kupata fedha taslimu badala ya mbegu za nafaka.
28Jamii zilizokuwa zimepoteza mazao mengi au wale wanaoishi mbali na masoko wanachagua mbegu za nafaka; wale wenye uwezekano wa kufika kwenye magulio hawajapoteza sana ama wanayo ardhi isiyotosha, hupendelea kupata fedha taslimu.