Sentence alignment for gv-swa-20100118-1141.xml (html) - gv-zht-20100127-5478.xml (html)

#swazht
1Senegal Yatoa Ardhi ya Bure kwa Walionusurika na Tetemeko la Ardhi塞內加爾提供免費土地給海地地震倖存者 [本文英文版原載於2010年1月17日]
2Rais Wade, akiwa katika Mkutano wa Dunia wa uchumi 2002, anataka kuwapatia ardhi ya bure walionusurika na tetemeko la ardhi (picha na: Wikipedia)總統Wade,照片攝於2002年世界經濟論壇。 他想要提供海地地震災民免費的塞內加爾土地。
3Japokuwa blogu ya Blog Politique au Senegal haijatoa maoni yake kuhusu pendekezo la rais Wade wala kuhusu tetemeko la ardhi, blogu hiyo ilituma maoni ya Dkt. El hadji Malick Ndiaye [Fr] juu ya umuhimu wa mshikamano baina ya nchi za kusini, ambayo yalichapishwa kabla ya Wade kutoa tangazo lake:照片來自:維基百科 毀滅性的地震過後,全世界的政治人物跟公民都紛紛搶著加入援助海地的行列,就連許多貧窮的國家,像是非洲的多個國家,也不落人後。
4Kuna nyakati katika historia ya nchi ambapo wananchi wake hupata fursa ya kuwafundisha watu wenye uwezo na nafasi somo la maadili.盧安達、賴比瑞亞、南非、加彭、奈及利亞跟其他許多國家都表示願意提供金錢援助。
5Kuna nyakati ambazo hujitoa kama fursa kwa watu kuonyesha uwezo wao katika maadili.然而,塞內加爾現年84歲的總統Abdoulaye Wade所採取的舉動更讓多家媒體連登頭條。
6Hatuwezi kutitia kwenye hali ya kukubali hatima yetu na daima kuwa katika hali ya kupokea [misaada].Wade提供免費土地給每一位在海地地震後倖存的災民,只要他們希望「回到老家」,總統府發言人這麼表示。
7Senegal pekee haiwezi kusitisha mateso ya watu wa Haiti.然而在網路上,這份提議受到廣泛嘲弄。
8儘管塞內加爾政治部落格(Blog Politique au Senegal)尚未對Wade的提議以及這次地震做出回應,他在部落格上已經刊登EL Hadji Malick Ndiaye博士的意見[法文],強調「南方連結」的重要性,這份意見的發表時間早於Wade的聲明:
9Lakini ukweli huo hauwezi kututoa katika kitanzi cha kutenda, ukweli huo hauwezi kuwa kisingizio cha kutojali kwetu.在歷史上的某些時刻,一個國家的公民會教導該國的精英甚麼是倫理。
10Katika dakika hii, nchini Haiti kuna watu wanakufa na huo ndio ukweli wa tetemeko la ardhi.在某些時刻,人們該趁機展現其德性之宏大。
11Kauli zetu zote kuhusu mshikamano hazitakuwa na maana wakati huu ikiwa hatutafanya kila linalowezekana ili tuwe na msaada.我們不該陷入失敗主 義,總是接受[別人的幫助],塞內加爾沒有辦法獨自終結海地人的悲慘遭遇,但這不代表我們無須行動,更非冷漠的藉口。
12Hebu tutoe kidogo kwa ajili yaw engine duniani, kwani tumekwishapokea sana kutoka kwa wengine duniani na tunaweza kuwa na shida siku moja.在這個非常時刻,海地人正在死去,這 就是這場地震最深的現實。
13Raia wa nchi zenye nguvu, ambao wanaigeukia Haiti, zaidi ya thamani ya vitendo kama hivyo vya kimaadili, pia wanatupatia somo juu ya maana ya utu.所有嘴巴上說的支持在這個時刻都沒有意義,除非我們盡我們所能來幫助他們。 我們貢獻一點給這個世界吧,因為我們已從這世界得到太 多,我們未來也可能再次需要協助。
14Ni jambo la aibu na kuudhi kujifanya kuwa sisi ni watu tunaovutia, wenye maadili yenye kuvutia, watu ambao tu wepesi kukosoa mapungufu ya Wamagharibi, kuonyesha thamani ya mshikamano wa kidini, na kushindwa kunyanyua kidole ili kupunguza, kwa hesabu, mateso ya dunia .強大國家的公民前往海地,除了展現他們率直的道德觀以外,也替我們上了一堂關於公共利益的課。 裝成偉大的人,帶著虛偽的 偉大價值觀,迫不期待抨擊西方國家的缺失,炫耀宗教上的一體,但是對於消除這世界的苦難這差事,卻連一根手指都不願意動一動。
15Hata hivyo, pendekezo la kuwahamisha Wahaiti wasiokuwa na ardhi haukuwa mshikamano ambao wengi waliufikiria.然而,沒有多少人能預料到會有國家提供失去土地的海地人舉家移民的機會。
16Serigne Diagne, ambaye amekuwa akifuatilia kwa karibu jinsi Senegal ilivyoitikia tetemeko la ardhi, alikuwa na haya ya kusema kuhusu mpango huo:Serigne Diagne在震災之後便一直緊盯塞內加爾的反應,他對於這個計畫有意見(編輯自原文):
17… Dakar, ambayo inashindwa kushika kasi na kutatua matatizo yake mengi yanayohusiana na majitaka na mipango miji, ambayo vitongoji vyake vinaelea katika maji ya mafuriko yaliyotokea miaka mingi iliyopita, kwa uwezo gani itaweza kuwachukua watu au nchi nzima kutoka ng'ambo nyingine ya dunia?…達卡(塞內加爾首都)發展遲滯,諸多問題難解,包括衛生與都市化,郊區這幾年來時常淹水,到底要怎麼作才有可能再容納世界 另一端的一整個國家人口呢?
18… [Bila ya kusema wapi itapata fedha za kufanya jambo hilo] Abdoulaye Wade, katika kuonyesha mshikamano na Uafrika (PanAfricanism), anatoa pendekezo la kupunguza watu Haiti, na kusahau kuwa wema huanzia nyumbani…… [不解釋資金從哪來]Wade以泛非洲人主義,擺出團結與支持的姿態,提出減少海地人口的建議,卻忘了自家都過不下去了。 …
19…[ni lazima ichukuliwe kuwa] Abdoulaye Wade, mwenye kupenda sana kumbukumbu za karne ya 19, anaamini kuwa Marcus Garvey bado yu hai, na kwamba harakati za “Kurudi Afrika” bado zina maana.…[可以假設] Abdoulaye Wade依舊懷念十九世紀,相信Marcus Garvey(譯 註:19世紀活躍的泛非洲人主義推動者)還活著,「回到非洲」運動還在持續。
20Siku moja hatimaye atatuambia kuwa walikuwa ni Wabaguzoi wa Ku Klux Klan ambao waliitetemesha dunia kule Haiti. .. kila nchi ina majanga yake.有天他可能會告訴我們是3K黨(譯註:美國南部的白人秘密組織,利用暴力反對 社會變革和黑人的平等權利)讓海地發生地震的…每個國家都有自己的災難啊。
21Haiti ina majanga yake, ambayo yanasababisha moyo wa huruma, na sisi tuna majanga yetu, ambayo hufanya uharibifu sawa tu na ule wa tetemeko, matamko kama haya ya rais ambaye anashindwa kuwa mbali na mitafaruku, na ambaye rekodi yake ni chanzo zha utata.海地有自己的災難,激發許多人的同情,我們有我們自己的災難,跟地震造成的 損失不相上下,像是一個不懂如何保持超然,總是引發爭議的總統。
22Watu wa Haiti, kama ilivyoelezwa na rais ‘ Wana haki katika ardhi ya Afrika”.海地人,假使真如總統所說的:「有資格擁有非洲的土地」,問題是:他們要嗎?
23Swali linabaki, ikiwa wataitaka (ardhi hiyo).PascaleBoulerie是tak2.
24PascaleBoulerie, msomaji katika tak2. 00221.info anaandika:00221.info部落格的讀者,他寫道:
25Hili ni wazo la kijinga kabisa, kwa kuwa Senegal pia ina upungufu wa ardhi ianyoweza kulimwa, wingi wa watu, na kuhamahama kwa makundi makubwa ya watu.這真是個愚蠢的點子,塞內加爾自己都面臨可耕作土地不足、人口過多、還有移民問題。 Phillipe Souaille在Tribune de Geneve的一篇文章下回應:
26Phillipe Souaille, akitokea kwenye makala ya Tribune de Geneve, anaandika:親愛的Gorgui,我感覺你的總統(又一次)錯過了保持安靜的機會。
27…je hii si kazi ya mgonjwa wa kusahau?我不認為海地人如此渴望到非洲尋找庇護。
28Muda umefika wa kumpisha mtu mwingine, kama hana suluhisho lolote la kuwapa watu wanaoteseka kutokana na kuachwa pamoja na ukimbizi!真正的幫助他們的 方式應該是讓他們在自己的國家繁榮起來,讓他們起碼可以達到跟鄰近島國一樣的生活水準,而這比起非洲的平均生活水準高多了,也比塞內加爾高多了… …這不就是移民造成的嗎? 此時此刻,總統該自己下台,如果他依舊拿不出辦法讓蒙受遺棄跟流亡的人民一個交代!