Sentence alignment for gv-swa-20100321-1356.xml (html) - gv-zht-20100329-5910.xml (html)

#swazht
1Uganda: Wanafunzi Wacharuka, Kampala Yawaka Moto Jumanne, majanga mawili tofauti yaliikumba Kampala, mji mkuu wa Uganda: wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Makerere walifanya ghasia baada ya wanafunzi wenzao wawili kupigwa risasi.烏干達:學生暴動,首都燃燒
2Na makaburi ya Kasubi, ambayo ni sehemu ya Urithi wa Dunia ya UNESCO na eneo la kaburi la mfalme wa moja ya makabila makubwa zaidi ya Uganda, liliteketea kwa moto.3月16日,烏干達首都坎帕拉分別發生兩起悲劇:烏干達的瑪凱雷雷大學學生在兩名同學遭射殺後發起暴動;列入聯合國教科文組織世界文化遺產的卡蘇比陵,也就是烏干達最大族群之一的王室陵墓已被燒毀。
3Ghasia Chuo Kikuu cha Makerere瑪凱雷雷大學暴動
4Kwa mujibu wa magazeti ya Uganda, ghasia katika Chuo Kikuu cha Makerere, chuo kikuu kikubwa zaidi nchini Uganda, zilianza baada ya wanafunzi wawili kupigwa risasi na mmoja kujeruhiwa vibaya na mlinzi wa usalama usiku wa Jumatatu wakati wa mkutano kuhusu uchaguzi wa wanafunzi.烏干達當地報紙指出,此暴動發生地點為烏干達首區一指的瑪凱雷雷大學,因3月15日晚召開的關於近期學生會選舉的會議中,兩名學生遭保全人員射死,一名學生則受重傷。《
5Gazeti la Daily Monitor linaripoti maelezo mawili tofauti ya tukio hilo:每日觀察家》對於此事件有兩種版本的報導:
6Polisi wanasema kuwa wanafunzi wengi walikusanyika katika hosteli kwa ajili ya hatua za mwisho za kampeni ya uchaguzi wa wanafunzi wakati mlinzi aliyeshuku kuwa mmoja wa wanafunzi hao alikuwa ana nia ya kuiharibu gari iliyokuwa kwenye maegesho alifyatua risasi.警方表示,當時有許多學生聚集在青年旅社參加學生會最後一波的選舉宣傳活動,巡邏人員懷疑其中一名學生似乎打算破壞停車場中的車輛,於是便開槍。
7Ripoti za awali zinasema kuwa mashabiki wa Simon Kamau, mmoja wa washindani katika kinyang'anyiro cha urais, walipambana na wale wa John Taylor wa NRM, na kusababisha kupigwa risasi kwa wanafunzi hao wa ki-Kenya.先前的報導暗指,學生會會長競選者席蒙‧卡茂的支持者與NRM的約翰‧泰勒發生衝突,造成肯亞裔學生被槍射擊。
8Gazeti la New Vision linasema kuwa kupigwa risasi kulitokana na kutokukubaliana kati ya mgombea na mmoja wa mashabiki wa mgombea mwingine:《新視界》表示,開槍事件起因於候選人及另一名候選人支持者之間的爭執:
9Wakati kundi hilo lilipojiandaa kuondoka, lilibabatizwa na Nyongesa ambaye inaaminika kuwa yumo katika kambi ya John Kamau, mmoja wa WaKenya wawili waliokuwa kwenye mbio za uchaguzi.當這群學生準備離開時遇到據信屬於卡茂陣營的Nyongesa。
10Inasemekana kuwa alijaribu kumpiga [mgombea John] Teira kwa benchi wakati kundi hilo lilipokataa amri yake ya kuondoka hapo kwenye hosteli.卡茂是此次競選中的兩名肯亞裔學生之一。
11Ugomvi mdogo ulizuka, ambao kwa mujibu wa mashahidi, ulisababisha mlinzi kufyatua risasi ambayo iliwapiga wanafunzi watatu.據傳聞,Nyongesa要求這群學生離開旅社遭拒後,抄起板凳意圖攻擊泰勒。
12Wanafunzi walijibu mapigo siku ya Jumanne kwa kuandamana kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Makerere huku wamebeba mabango na jeneza ili kupinga mauaji hayo.目擊證人指出,因為發生騷動,迫使保全人員開槍而導致三名學生中彈。
13Magazeti yote mawili yanaripoti kuwa maandamano hayo yaligeuka na kuwa ghasia na kwamba polisi walitumia mabomu ya machozi ili kuwasambaratisha watu.學生則於3月16日在瑪凱雷雷大學校園中遊行來回應此事件,並於遊行中以標語和棺材抗議殺戮。
14Mwandishi wa habari, Ole Tangen Jr, anayeishi mjini Kampala alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kublogu juu ya ghasia za Makerere.上述兩份報紙皆指出,抗議遊行變得激烈,警方便以催淚瓦斯驅趕人群。
15Alijiuliza ni kwa nini wanafunzi wengi hawatumii mitandao ya uanahabari wa kijamii kusambaza habari:住在坎帕拉的記者Ole Tangen Jr首先在部落格上寫出瑪凱雷雷暴動事件,並對沒有更多學生使用社交媒體網絡來散發消息感到不解:
16Jana usiku wanafunzi wawili wa Makerere walipigwa risasi na mlinzi wa usalama mwenye silaha jambo ambalo lilipelekea ghasia zilizosambaa sana katika maeneo ya chuo kikuu leo.昨夜兩名瑪凱雷雷大學學生遭到配槍保全射殺,導致今天學校附近的暴動。
17Hata hivyo hakuna aliyekumbuka kutumia Twita ili kupasha habari juu ya habari hii.然而,沒有人想到用推特來散播這些消息。
18Utafutaji katika Twita kwa kutumia alama ya #Makerere kwa siku nzima uliishia bila jibu lolote zaidi ya ripoti za habari hiyo.以「瑪凱雷雷」為關鍵字在推特上搜尋一整天後,得到的結果也僅限於新聞報導。
19Inakuwaje hawa wanafunzi - hasa wanafunzi walio hai kwenye siasa - hawatumii vyombo vya habari vya kijamii ambavyo vinapatikana.學生們(尤其是活躍於政治的學生)怎麼不善用社交媒體工具呢?
20Je ni kutofahamu kuhusu Twita? Au ni gharama kubwa za Intaneti?原因是他們不知道推特的存在,還是上網費用過高?
21Ni nini kinachosababisha hivi?到底是什麼原因造成這樣的現象呢?
22Utafutaji katika twita wa neno “makerere” kwa kiasi kikubwa ulikubaliana na dai hilo, huku jumbe nyingi za twita zikiwa na makala za magazeti.在推特上搜尋「瑪凱雷雷」後,結果的確如他所說──大多數的推特都只連結到新聞文章。
23Na pia, baadhi watumiaji wa Twita huko Kampala waliwza kuongezea mazingira:但仍有幾位身在坎帕拉的推特用戶增加了一些文句:
24@arthurnakkaka (masaa 18 yaliyopita): Risasi zinapigwa.@arthurnakkaka (18小時前):開槍了。
25Au ni mabomu ya machozi?還是催淚瓦斯?
26#Makerere#Makerere
27@arthurnakkaka (masaa 18 yaliyopita): Wanafunzi wanapiga mayowe na kukimbia.@arthurnakkaka (18小時前):學生四處尖叫奔跑。
28Hali inakuwa mbaya #Makerere情況變糟了#Makerere
29@aspindler2 (masaa 18 yaliyopita): Maandamano katika Chuo Cha Makerere Kampala Uganda baada ya wanafunzi 2 kupigwa risasi na mlinzi wa usalama jana usiku.@aspindler2 (18小時前):昨夜兩名烏干達瑪凱雷雷大學學生遭保全射殺後,示威遊行開始了。
30Polisi wanapiga mabomu ya machozi kutawanya watu警方以催淚瓦斯驅趕人群。
31@mirembe_maria (masaa 14 yaliyopita): Maandamano ya Chuo kikuu cha makerere yamewaacha watu 2 wamefariki na mmoja katika hali mbaya, je ni njia ipi serikali itatumia kwenda mbele baada ya yote haya?@mirembe_maria (14小時前):瑪凱雷雷大學抗議導致兩死一重傷,政府該採取什麼行動?
32Makaburi ya Kasubi Yaungua Moto卡蘇比陵慘遭祝融
33Jumanne usiku, katika tukio lisilo na uhusiano na hili, makaburi ya Kasubi, eneo la makaburi ya wafalme wa kabila la Baganda, liliteketea kwa moto.3月16日晚發生了與上述不相關的事件:烏干達的布干達(Baganda)族國王的墓地卡蘇比陵慘遭大火燒光。
34Mfalme wa sasa wa Baganda amekuwa katika habari hivi karibuni kutokana na mapambano yake na rais wa Uganda, Yoweri Museveni.近日的新聞報導了布干達族人現任國王與烏干達總統Yoweri Museveni的衝突。
35Mwezi Septemba 2009, hali mbaya ya uhusiano kati yao ilipelekea ghasia mbaya katika Kampala, na raia wanahofia kwamba moto huu unaweza kusababisha ghasia nyingine baadaye.去年九月,兩人之間的緊張局勢導致坎帕拉發生致命的暴動,民眾擔憂這場大火會造成未來的動亂。
36Mwanablogu wa Uganda 27th Comrade anaandika:烏干達部落客27th Comrade寫道:
37Kwa kawaida huwa ni njama za makusudi sehemu kama hii inapoungua moto.這種地方會燒得精光通常是因為縱火。
38(paa) Imejengwa kwa nyasi, kwa hiyo moto utaangamiza kabisa.由於這些陵墓是由茅草做成,所以火的破壞性極大。
39Tayari, baadhi ya mapunguani Karibu yangu wameshaanza kusema “Serikali!”我身邊已經有一些自以為聰明的人說是政府放的火,但我比較想說放火的是反對人士。
40Mimi pengine nitasema “Upinzani!” lakini nahisi inawezekana kabisa ni mfanyakazi ambaye hakuwa makini na moto.不過我想應該是某些不小心的職員種下了火苗。
41Hebu tusubiri habari.我們就等著看新聞怎麼報吧。
42Mwanablogu na mwandishi wa habari Rosebell anaandika:部落客兼記者的Rosebell寫道:
43Uhusiano kati ya serikali ya Rais Museveni na Ufalme wa Buganda uko mbali na (uhusiano) waridi na hilo limekwishatoa mazingira yenye rutuba kwa wengi kufikiria kuwa kulikuwa na mchezo wa dhambi.總統Museveni的政府和布干達王國之間的關係一點也不樂觀,這使很多人有充分的理由認為事件可能是某種卑鄙的手段。
44Watu wengi wanatarajia ghasia kulipuka alfajiri. Tunatumaini kuwa kutakuwa na uchunguzi wa kina juu ya kuungua kwa makaburi hayo na kwamba hakuna atakayepoteza maisha na mali.似乎有 很多人預計暴動會於黎明而起。
45Huu ni wakati muhimu kwa uongozi wa Buganda.我們只希望會針對陵墓起火事件展開徹底的調查,而且沒有人因此葬身火窟或有財物損失。
46Makaburi ya Kasubi pia ni urithi kwa nchi kwa hiyo natumaini pande zote zitalishughulikia suala hili kwa uangalifu wa hali juu.這對布干達領袖而言也是關鍵的時刻,卡 蘇比陵對全國來說同樣是重要的遺產。
47Waganda walio kwenye Twita nao pia wana hofu:所以我希望雙方能以最大的克制力來處理這則議題。
48@daphnzempire (masaa 6 yaliyopita): makaburi ya kasubi yanawaka moto..推特上的烏干達人也同樣擔心:
49Mungu wangu tunaelekea wapi @Kakazi (masaa 6 yaliyopita): Makaburi ya Kasubi yachomwa moto kama masaa 2 yaliyopita..@daphnzempire (六小時前):卡蘇比陵起火了…我的天啊,我們到底走向何方?
50Ninasali kwa dhati kwamba haikuwa kwa makusudi!!@Kakazi (六小時前):卡蘇比陵大概兩小時前燒光了…我衷心祈禱不是縱火!
51Hasara kubwa kwa urithi wetu..:-(這是我們文化遺產的一大損失..:-(
52@mugumya (masaa 6 yaliyopita): Ninahofia kunaweza kutokea aina fulani ya machafuko kesho baada ya makaburi ya kasubi kuteketea mjini Kampala@mugumya (六小時前):卡蘇比陵焚毀後,我怕明天可能會有些騷動。
53Lauren, Mmarekani ambaye aliwahi kuishi Kampala, anakumbuka jinsi aliwapeleka wageni kutembelea makaburi hayo:曾住在坎帕拉的美國人Lauren則憶起之前與朋友造訪陵墓:
54Makaburi ya Kasubi kwangu ni zaidi ya majengo muhimu ya utamaduni na historia.對我來說,卡蘇比陵不僅只是一處重要的文化歷史建築而已。
55Wakati tulipokuwa tunaishi Uganda, yalikuwa jirani zangu.當我們還在烏干達時,就是住在卡蘇比陵的附近。
56Nyumba yetu ilikuwa chini ya bonde la kasubi, tuliyapita Makaburi hayo kila siku tukienda na kurudi kutoka Kampala mjini.我們的公寓就在卡蘇比丘 的腳下,而且我們每日來回坎帕拉鬧區都會經過陵墓。
57Tuliwapek\leka wageni wengi kuyaangalia Makaburi hayo na kujifunza zaidi juu ya kabila la Buganda, historian a utamaduni wake.我們曾帶很多訪客去參觀陵墓,並認識布干達族的歷史和文化。
58Siku zote nilipenda kupita mbele ya walinzi wa makaburi; waliovalia mavazi ya kitamaduni ya rangi ya chungwa iliyokoza na kuegemea mti mkubwa ulikuwa mbele, walisubiri bila kuchoka ili kusalimu wageni wanaofuatia.我總愛行經守墓人面前,看他們身著傳統藏紅 花色長袍,倚在墓前的大樹下,耐心等候迎接下群訪客的到來。 2008年十月的卡蘇比陵。
59Makaburi ya Kasubi Oktoba 2008.照片來自Lauren。
60Picha kwa hisani ya Lauren校對:Soup