Sentence alignment for gv-swa-20110412-2099.xml (html) - gv-zht-20110413-10516.xml (html)

#swazht
1Côte d'Ivoire: Kuanguka kwa Laurent Gbagbo Makala hii ni miongoni mwa makala zetu maalumu kuhusu Vurugu za mwaka 2011 nchini Ivory Coast..科特迪瓦:前總統被捕
2Habari mpya ziliingia saa 7 GMT siku ya Aprili 11, 2011: Laurent Gbagbo alikamatwa katika makazi yake ya Cocody, pamoja na mkewe, Simone, na msafara wa watu wa karibu. Miezi mitano baada ya kukataa kukabidhi madaraka kwa rais anayetambuliwa kimataifa kama rais mpya wa Côte d'Ivoire Alassane Ouattara, mgogoro nchini humo hivi sasa unaelekea kufikia tamati.4月11日,非洲傳來重大消息,科特迪瓦(舊譯象牙海岸)前總統巴博(Laurent Gbagbo)在Cocody的寓所束手就擒,妻子與親信一同遭逮捕;去年該國投票選出新總統瓦塔拉(Alassane Ouattara),獲國際社會承認,但巴博仍負隅頑抗五個月,不願交出權力,但隨著巴博落網,全國危機似乎暫時落幕。
3Mtiririko wa matukio kuanzia Aprili 10 mpaka 11, 20114月10日至11日事態發展
4Ofisi ya rais wa Ufaransa (@Elysée) [fr] ilitangaza kwa njia ya Twita kwamba Ufaransa imekubali kushiriki katika shambulio la kijeshi nchini Côte d'Ivoire siku ya tarehe 10 Aprili, 2011:4月10日,法國總統府(@Elysée)透過Twitter宣布,法國將參與新一波軍事干預行動:
5@Elysée: Akikubaliana na Rais Ouattara, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa [Ban Ki Moon] alimtaka N.聯合國秘書長潘基文與瓦塔拉總統達成協議後,要求法國總統薩柯奇持續參與在科特迪瓦的聯合國行動。
6Sarkozy kuendelea na kujiingiza kunakofanywa na Ufaransa katika Operesheni ya UNOCI [Côte d'Ivoire之後法國便再度轟炸巴博位於Cocody的碉堡寓所,法國之所以再度動武,是因為巴博的安全部隊發動攻擊,直接針對瓦塔拉陣營先前做為總部的Golf旅館。
7Kwa kutoa tamko hilo, ofisi ya rais wa ufaransa Elysée ilijithibitishia uhalali wa kuanza tena [fr] mashambulizi ya mabomu yanayolenga Makazi ya rais eneo la Cocody, Abidjan, ambako Laurent Gbagbo alikuwa amejificha.法軍於當地時間下午五點開始轟炸,以下影片由terryko0上傳至YouTube,題為「飛彈瞄準巴博寓所」:
8Uamuzi huu ulifanywa kama jibu la shambulio [fr] lililoelekezwa na vikosi vya Ulinzi na Usalama vya Gbagbo (FDS) kwenye Hoteli ya Golf, makao ya zamani ya kambi ya Ouattara. Mashambuli ya mabomu yalianza saa 11 GMT (kwa saa za Abidjan).攻擊行動重創巴博陣營,攻擊後數小時所拍攝到的畫面即為例證,均由Atteby於4月10日上傳,在這個片段中,當地演員Sidiki Bakaba接受Slate Afrique網站訪問:
9video hii ilitumwa na mtumiaji wa YouTube terryko0 siku ya tarehe 11, Aprili. Kichwa chake: “Abidjan 10-04-2001.另一段影片同樣由Atteby上傳,醫護人員在總統官邸治療士兵:
10Tirs de missiles contre la résidence de Laurent Gbagbo” (Makombora yapigwa kwenye makazi ya Gbagbo): Shambulio hilo liliidhoofisha sana kambi ya Gbagbo, kama vile filamu hii iliyopigwa saa chache baada ya shambulio, iliyowekwa kwenye YouTube mnamo Aprili 10, 2011 na mtumiaji Atteby. inavyothibitisha.4月11日早晨,這段畫面攝於首都的Cocody地區,拍到法軍坦克正在行進,上傳影片的lgconnectTV表示,軍隊正朝著巴博寓所前進:
11Katika Video hiyo unaweza kumuona Sidiki Bakaba, muigizaji wa Ki-Ivory ambaye hivi karibuni alifanya mahojiano kwenye tovuti ya Slate Afrique [fr]akiwa amejeruhiwa:當地時間上午11點,法國國際頻道France24在即時報導頁面證實:
12Katika video, hii iliyopakiwa kwenye YouTube na mtumiaji atteby, wafanyakazi wa utibabu wanaonekana wakiwa kazini, wakiwahudumia wanajeshi kwenye makazi ya rais:法新社所獲消息指出,武裝車輛在一架直升機支援下,正逐漸接近前總統巴博寓所。
13Asubuhi ya Aprili 11, 2011, video ifuatayo iliyopigwa kutoka kitongoji cha Ebrie katika eneo la Cocody, Abidjan, inaonesha vifaru vinavyomilikiwa na UNICORN, jeshi la Ufaransa nchini Côte d'Ivoire vikiwa vinasonga.路透社於兩小時後發布的新聞稿指出,法國特種部隊已逮捕巴博,並將他交給瓦塔拉的共和軍,France24報導:
14Kwa mujibu wa lgconnectTV, mtumiaji ambaye alituma habari kwenye YouTube mnamo Aprili 11, vifaru hivyo vilikuwa vinaelekea kwenye makazi ya Laurent Gbagbo:[重大消息]路透社報導,巴博已遭法國特種部隊逮捕。
15Mnamo majira ya saa 5 Asubuhi GMT, idhaa ya kimataifa ya televisheni ya Ufaransa, France24 ilithibitisha taarifa hiyo kwenye ukurasa wake unaotoa habari moja kwa moja kama zinavyotukia [fr]:突破重圍後的和平
16Magari ya kijeshi, yakisaidiwa na helikopta, yanakaribia makazi ya rais anayetoka madarakani Laurent Gbagbo, kwa mujibu wa ushuhuda uliokusanywa na AFP. Kwa mujibu wa taarifa ya habari iliyotolewa na Reuters [fr] na kuchapishwa saa mbili baadaye, Laurent Gbagbo alikamatwa na Jeshi Maalum la Ufaransa, na kukabidhiwa kwa majeshi ya Jamhuri ya Ouattara.巴博夫婦被捕後,旋即送往Hotel du Golf,受到聯軍嚴密看管,立場傾向瓦塔拉的電視頻台TCI播出一段畫面,為了保護巴博人身安全,聯軍逮捕他之後,馬上交給他一件防彈背心:
17France24, ilipozungumzia jeshi la Ouattra iliandika: [HABARI MPYA KABISA] Reuters inaripoti kwamba Laurent Gbagbo amekamatwa na Jeshi Maalum la Ufaransa.獲國際社會承認的新總統瓦特拉亦下令,部隊不得侵犯巴博夫婦的人權。
18Amani Katikati ya kila Pingamizi Baada ya kukamatwa, Gbagbo na Mkewe walipelekwa kwenye hoteli ya Golf, chini ya ulinzi wa karibu wa majeshi ya kimataifa.TCI另張貼一段畫面,前總統巴博呼籲停止衝突、回歸和平:
19Videohii inayofuata iliyorushwa na TCI, idhaa ya televisheni inayojulikana kwamba ipo karibu na Alassane Ouattara, Laurent Gbagbo anapewa gwanda la kuzuia risasi ili kuyakinga maisha yake wakati anapokamatwa: Alassane Ouattara, rais wa Côte d'Ivoire anayetambuliwa kimataifa aliamuru wanajeshi wake wasikiuke haki za binadamu za Laurent Gbagbo na mkewe Simone.http://www.youtube.com/watch?
20TCI pia ilituma video nyingine ambayo rais wa zamani Gbagbo anatoa wito wa kusitisha mapambano, na kurejesha amani: http://www.youtube.com/watch?v=Qca5nDIw4yc
21v=Qca5nDIw4yc Ninataka tuache kutumia silaha, ninataka tuingie katika hatua ya kiraia ya mgogoro huu, na tusitishe mgogoro huu haraka iwezekanavyo ili kwamba nchi ianze upya.希望各方放下武器,進入衝突較文明的階段,盡速解決這場危機,讓國家能重新開始。
22Katikahotuba kwa watu wa Côte d'Ivoire na kwa jumuiya ya kimataifa mnamo Aprili 11, 2011, Alassane Ouattara alisisitiza tena nia yake ya kusimika utawala wa sheria, kuhakikisha ‘uzima na heshima' kwa Gbagbo na mke wake, na kuchukua hatua za kwanza kuelekea kwenye kurudisha haki.
23Msukumo huu wa amani unaungwa mkono na wa-Ivory wengi, kama vile Diouf Mamy (@mymaluydealbi) ambaye aliandika kwenye Twita:瓦特拉於4月11日向國民及國際社會發表演說時,重申將落實法治、確保巴博夫婦人身安全,並一步步重拾正義。
24@mymaluydealbi: Baada ya yote haya kutokea, nina imani kuwa Ouattara atakuwa rais wa wa-Ivory wote bila kubagua. Na Amani irejee tena nchini Côte d'Ivoire.科特迪瓦許多民眾亦對和平滿懷期望,例如@mymaluydealbi寫道:
25#CIV2010 Makala hii ni miongoni mwa makala zetu maalumu kuhusu Vurugu za mwaka 2011 nchini Ivory Coast.經歷這一切後,我希望瓦特拉能擔任全體國民的總統,不分彼此,讓和平重回科特迪瓦。