Sentence alignment for gv-swa-20141009-8224.xml (html) - gv-zht-20141018-17635.xml (html)

#swazht
1Katika Picha: Gaza Yaadhimisha Eid Al-Adha看圖看世界:加薩歡慶「宰牲節」
2Wapalestina wa Gaza washerehekea Eid Al Adha kupitia kiungo habari #GazaEid na #غزة_بدها_تعيد (ikiwa na maana, Gaya yahitaji Kusherehea Sikukuu ya Id).加薩的巴勒斯坦人在#GazaEid和#غزة_بدها_تعيد(加薩想慶祝宰牲節)的標籤下,慶祝宰牲節。
3Picha hii iliyowekwa na Kituo cha Mawasiliano cha Palestina ikiwaonesha watoto wakiwa katika mtaa ulio na pilika pilika nyingi za watu wakifanya manunuzi此照片由「巴勒斯坦資訊中心」提供分享,照片內的孩子昨天在繁忙的購物街上宣傳此標籤。 近期以色列對加薩走廊的攻擊,造成兩千多名巴勒斯坦人喪生。
4Kukiwa na zaidi ya raia wa Palestina 2,000 waliojeruhiwa katika mashambulizi ya hivi karibuni yafanywayo na Israel katika ukanda wa Gaza, raia bado wana kila sababu ya kuadhimisha sikukuu ya Kiislam ya Eid Al-Adha, inayoanza leo miongoni mwa waislamu wengi duniani kote.即便如此,老百姓還是找到歡慶伊斯蘭宰牲節的理由,穆斯林世界從今天(10月4日)開始慶祝節日。 Eid Al Adha,意為宰牲節,在朝聖活動中達到高潮。
5Eid Al Adha ama sherehe ya kutambika inahitimisha msimu wa Hajj, ambao, mwaka huu umewakutanisha mahujaji milioni 2 kutoka nchi mbali mbali duniani.朝聖季今年吸引全球兩百萬名朝聖者。 在加薩,瓦礫堆、毀壞、失去中存有希望。
6Huko Gaza, bado kuna matumaini pamoja na kuwepo kwa rubble, uharibifu, pamoja na vifo.推特用戶間開始轉發擁擠街道和市集的照片,也分享標有#GazaEid和#غزة_بدها_تعيد(意思:加薩想慶祝宰牲節)標籤的積極樂觀訊息。
7Watumiaji wa Twita walianza kusambaza picha zilizopigwa katika mitaa na masoko yaliyojaa watu na kisha kutuma jumbe za matumaini kwa kutumia kiungo habari#GazaEid na #غزة_بدها_تعيد (ikiwa na maana kuwa, Gaza yataka kusherehekea Eid).長達五十天的攻擊,殺害了至少2,137位巴勒斯坦人,大多數人為平民,包含577位孩童;另至少有10,870人受傷。 此次攻擊或許摧毀了加薩走廊的基礎建設,但並沒有擊垮人民的信心。
8今天,他們清開瓦礫堆,慶祝宰牲節。
9Siku 50 za ukatili zilizogharimu maisha ya wapalestina zaidi ya 2,137, wengi wao walikuwa ni raia, miongoni mwao wakiwa ni watoto 577, na wengine 10,870 wakijeruhiwa, ingaliweza kuwa imeisambaratisha miundo mbinu ya ukanda wa Gaza lakini kilichoshindikana ni kuharibu ustaarabu wa raia, na ambao leo hii wanatikisa kifusi katika kusherehekea Idi.這次攻擊對加薩走廊的經濟造成不容忽視的影響,幾乎每一項平民基礎建設都遭殃:超過18,000間房屋倒塌,逾100間學校、50間健康照護中心及17間醫院受損或20間遭到催毀。 推特用戶 Sana'a Mohammed分享了一張男孩在傾毀的遊樂場玩耍的照片:
10shambuliio hili lilikuwa na madhara ya wazi kabisa katika uchumi wa Gaza, ikiwa ni pamoja na ukweli kuwa, ingalikuwa vigumu kwa miundo mbunu ya raia kutokuharibiwa: zaidi ya makazi 18,000 yaliharibiwa, ikiwa ni pamoja na shule 100, vituo vya afya 50 pamoja na kuharibiwa kwa hospitali 17 au 20 hivi kubomolewa kabisa.Eid in Gaza totally different #غزة_بدها_تعيد #GazaEid http://t.co/WXpUDS4dF9 @HuffPostRelig @BumpinGemz - sana'a mohammed-Gaza (@Sanaa_Palestine) October 1, 2014
11Mtumiaji wa Twita, Sana'a Mohammed aweka picha ya mvulana aonekanaye akicheza katika uwanja ulioharibiwa kabisa:加薩的宰牲節已完全不同 就在昨天,平民攝影師Omar ElQattaa捕捉到一張男子帶著獻祭羊的景象:
12Palestinian man carrying a goat, which was purchased in the market before Eid al-Adha in #Gaza #غزة_بدها_تعيد عدستي pic.twitter.com/dWSmfgE4gr
13Sherehe ya Idi huko Gaza ni tofauti kabisa #غزة_بدها_تعيد #GazaEid http://t.co/WXpUDS4dF9 @HuffPostRelig @BumpinGemz- Sniper (@OmarElQattaa) October 2, 2014
14- sana'a mohammed-Gaza (@Sanaa_Palestine) October 1, 2014巴勒斯坦男子帶著一頭在#加薩的宰牲節前,從市集上買來的羊 。 加薩的Sayel貼了一張人們準備過宰牲節的集錦照:
15Ilikuwa jana tu pale mpiga picha za kiraia, Omar ElQattaa alipopiga picha ya mwanaume aliyekuwa amebeba mbuzi kwa ajili ya kutoa sadaka:Eid preparations at #Gaza strip earlier today. pic.twitter.com/IIibpJZvJm
16Mwanaume wa Kipalestina akiwa amembeba mbuzi aliyemnunua sokoni kabla ya sherehe ya Eid al-Adha siku ya #Gaza #غزة_بدها_تعيد عدستي pic.twitter.com/dWSmfgE4gr- صَايلْ (@SayelGaza) October 3, 2014 今日稍早,在#加薩走廊準備過宰牲節 。
17- Sniper (@OmarElQattaa) Octoba 2, 2014Hasan Mustafa提供更多本周稍早,加薩市集的繁忙景象:
18Gazan getting ready to have happy Eid after #Israel Massacres over it in the previous months , #Gaza deserve Life pic.twitter.com/1bCojqsLut
19Sayel akiwa Gaza, aweka picha ya mkusanyiko wa matukio mbalimbali ya maandalizi ya Idi:- Dr.Hasan Mustafa (@Hasan_Mun) October 2, 2014
20Maandalizi ya Idi katika ukanda wa #Gaza mapema leo hii. pic.twitter.com/IIibpJZvJm在前幾個月#以色列對加薩的屠殺後,加薩人準備好要過個歡樂的宰牲節了。
21- صَايلْ (@SayelGaza) Octoba 3, 2014#加薩值得好好過生活 。
22zifuatazo ni picha nyingine kutoka kwa Hasan Mustafa za kutoka katika maduka mbalimbali huko Gaza zilizopigwa mapema wiki hii:當然,傳統、自家烘焙的ma'moul(棗子餅乾)總是能凝聚宰牲節的精神。
23Raia wa Gaza wanajiandaa kuadhimisha sherehe ya Idi kwa furaha mara baada ya #Israel kutokea kwa mauaji ya halaiki katika kipindi cha miezi iliyopita #Gaza inastahili kuwa na maisha bora pic.twitter.com/1bCojqsLutGetting ready for eid… #Palestine #FreePalestine pic.twitter.com/lFtBssVhfo
24- Dr.Hasan Mustafa (@Hasan_Mun) Octoba 2, 2014- فلسطين i (@iFalasteen) October 3, 2014
25Na pia, hamasa ya sherehe ya Idi huchagizwa vizuri zaidi kwa And of course, Eid's spirit is always intensified by traditional, homemade ma'moul (date cookies) aina ya biskuti za kitamaduni zitengenezwazo majumbani:準備好過宰牲節… 加薩的Hiba表示,不論苦痛,孩子會享受宰牲節的:
26Katika kujiandaa na Idi… #Palestine #FreePalestine pic.twitter.com/lFtBssVhfo不論懷著怎樣的苦痛,加薩的孩子將歡慶宰牲節。
27- فلسطين i (@iFalasteen) Octoba 3, 2014更多加薩市集的照片,此處人們顯得興高采烈:
28Pamoja na machungu yote, watoto wataifurahia Id, anasema Hiba akiwa Gaza:直接來自#加薩街道的#加薩宰牲節,不論苦痛與以色列的長期襲擊,我們將歡慶 #غزة_بدها_تعيد
29Mamoja na machingu yao, watoto wa Gaza watasherehekea IdiNuseiba指出,不管加薩在過去的這幾個月忍受了多少的犧牲與損失,這個城市仍舊希望慶祝宰牲節:
30Kutoka katika maduka ya Gaza, mahali ambapo hamasa inaonekana kuwa ya juu kabisa:今年,宰牲節提前造訪加薩,這個地方犧牲了孩子與資產。 儘管如此,加薩希望慶祝宰牲節。
31Gaza inahitaji kusherehekea IdiFarah支持Nuseiba跟其他上百位推特用戶,她提到剛結束沒多久的開齋節,那時候加薩仍舊在戰火之中:
32Gazans didn't celebrate Eid Al-Fitr bc it was during th war, so we'll double celebrate Al-Adha Eid☺️ #Gaza
33Nuseiba aeleza bayana kuwa, bila kujali maisha ya watu yaliyopotea katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita, jiji hili bado linakila sababu y kusherehekea sikuu ya Idi:- Guess What (@Farah_Gazan) October 2, 2014
34Mwaka huu sherehe ya utoaji sadaka imekuja mapema Gaza, ambapo sadaka ya watoto na mali ilitolewa. pamoja na masahibu yote haya, Gaza inahitaji kusherehekea Idi之前,因為戰火,加薩人沒有慶祝開齋節。 所以,這次我們會加倍慶祝宰牲節☺️#加薩
35Farah joins Nuseiba, pamoja na watumiaji wengine wengi wa Twita walitanabaisha kuwa, ,Idi iliyopita iliwakuta watu wa Gaza katika vita:他們真的辦到了: “We teach life, sir.”
36Watu wa Gazan' hawakusherehekea sikukuu ya Eid Al-Fitr bc,, ilikujs wakati wa vita, kwa hiyo, sote'tunasherehekea Idi ya Al-Adha mara mbili zaidi☺️ #Gaza#Gaza pic.twitter.com/J0VeErgbuy
37- unajua nini (@Farah_Gazan) Octoba 2, 2014- Sara Yasin (@missyasin) October 2, 2014
38Kwa kweli, wanaweza:閣下,我們教導生命。
39"Tunafundisha maisha ndugu."#加薩
40#Gaza pic.twitter.com/J0VeErgbuy - Sara Yasin (@missyasin) October 2, 2014譯者:Mia Shih 校對:Ameli