Sentence alignment for gv-swa-20140310-6825.xml (html) - gv-zht-20140310-16612.xml (html)

#swazht
1Ndege ya Malaysia Haijulikani Ilipo Ikiwa na Abiria 239馬航飛往北京班機失蹤 圖:馬來西亞航空。
2Ndege ya Shirika la Ndege ya Malaysia.圖片來源:Flickr 版權所屬:planegeezer
3Picha ya Flickr na planegeezer (CC License)3月8號,媒體接獲通知有班飛往中國大陸的馬來西亞航空(以下簡稱馬航)班機在飛行途中失蹤。
4Siku ya Jumamosi ya Machi 8, mashirika ya habari duniani kote yaliripoti kuwa ndege ya Shirika la ndege la Malaysia iliyokuwa angani kuelekea China imepotea.班機號碼MH370的班機是從馬來西亞首都吉隆坡飛往北京,在飛行途中與空中交通管制員失去聯係之後,航空公司與相關單位也無法再聯絡上次班機。 機上共有兩百二十七名乘客與十二名空服人員。
5Ndege hiyo MH370 ilikuwa ikitokea Kuala Lumpur kwenda Beijing ilipoteza mawasiliano na waongoza ndege, ambapo shirika la ndege pamoja na mamlaka zinazohusika zikishindwa kufahamu kwa hakika iliko ndege hiyo.根據英國衛報的報導,飛機是在越南領空失去雷達接觸。 自從飛機失去聯繫後,馬航已多次在臉書上向大眾提供最新的情報,其中也包含了馬航執行長阿曼·賈哈立·雅亞的聲明:
6Ilikuwa na abiria 227 na wafanyakazi 12 wa ndege很遺憾地,我們必須宣佈我們已和今天淩晨十二點四十一分自吉隆坡飛往北京的航班MH370失去聯繫。 此航班預定在北京時間早上六點三十分在北京國際機場降落。
7Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, ndege hiyo ilipoteza mawasiliano na kifaa cha kuongozea ndege ikiwa kwenye anga la Vietnam.雪邦航空交通管理中心的報告指出他們在馬來西亞當地時間淩晨兩點四十分與此航班失去聯繫。 航班MH370的班機型號是一架波音B777-200。
8Shirika la ndege hiyo limekuwa likiandika kwenye ukurasa wake wa Facebook kutoa habari kuhusu mwenendo wa mambo, ikiwa ni pamoja na tamko lililotolewa na Mkurugenzi wake Mkuu Ahmad Jauhari Yahya:飛機上總共有來自十三個不同國籍的兩百二十七名乘客(包括兩位幼童)及十二名空服人員,總數為兩百三十九人。 目前馬航正與相關單位合作,並且已派出搜索救援小組搜尋飛機的下落。
9Tunasikitika sana kuwa tumepoteza mawasiliano yote na ndege namba MH370 iliruka kutoka Kuala Lumpur saa 6.41 usiku wa manane ikielekea Beijing.我們現在正努力聯絡乘客與空服人員的家屬。 馬航的另外一篇新聞稿表示,失蹤的班機機長是累積了一萬八千三百六十五飛行時數的札哈裏·阿曼·沙機長。
10Ndege hiyo ilikuwa itue kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Beijing saa 12.30 asubuhi kwa saa za Beijing.在推特上,許多人紛紛表示關心與擔憂: Flown Malaysia Airlines @MAS many times, including one of their 777-200s from KL to Shanghai.
11Kituo cha Kuongozea ndege cha Subang kilitoa taarifa kuwa kimepoteza mawasiliano saa 8.40 usiku (kwa saa za Malaysia) leo.Thoughts with all at this hard time.
12Ndege MH370 ilikuwa aina ya Boeing B777-200.- Peter McGinley (@PeterMcGinley) March 8, 2014
13Ndege hiyo ilikuwa imebeba jumla ya watu 239 na wafanyakazi -hiyo ikiwa ni abiria 227 (watoto 2), na wafanyakazi 12. Abiria walikuwa wa mataifa 13 tofauti.Peter McGinley:我曾多次搭乘馬航,包括同樣777-200s型號的班機自吉隆坡飛往上海。 在這非常艱辛的時刻,我們的思念與那些受難家屬在一起。
14There are reports that Malaysia plane has crashed but no official confirmation. http://t.co/tE3HWmeNBt #BreakingNews - Christl Dabu (@ChristlJZDabu) March 8, 2014
15Shirika la Ndege la Malaysia kwa sasa linafanya kazi kwa karibu na mamlaka ambao wanaendelea na zoezi la utafutaji na uokoaji kujaribu kujua ndege hiyo iko wapi.Christi Dabu:有許多報導說馬來西亞的飛機已墜機,但沒有官方證實。http://www.cnn.com/2014/03/08/world/asia/malaysia-airlines-plane-missing/index.html … #BreakingNews
16The Malaysia Airlines' flight that disappeared is exactly why I'm terrified of flying - Jonathan Woelk (@jonathanwoelk) March 8, 2014
17Timu yetu kwa sasa inawapigia simu warithi wa abiria na wafanyakazi.Jonathan Woelk:馬航飛機失蹤的事件,正是我懼怕飛行的原因。
18Taarifa nyingine kwa vyombo vya habari iliyotolewa na shirika hilo la ndege limemtambua rubani wa ndege hiyo kuwa ni Captain Zaharie Ahmad Shah, ambaye ana masaa 18,365 ya kurusha ndege kwenye mkanda wake.Fingers crossed the Malaysia Airlines plane did not crash and the 239 people aboard are safe and sound - C0ll0R.
19Kwenye mtandao wa Twita, watu wengi wameonyesha wasiwasi na hofu:(@F_ckOhioSt) March 8, 2014
20Flown Malaysia Airlines @MAS many times, including one of their 777-200s from KL to Shanghai.CONOR:誠信希望馬航的飛機並沒有墜落,機上兩百三十九人皆平安無事。 Very shocking news for aviation industry and those onboard!
21BBC News - Malaysia Airlines loses contact with plane flying to Beijing - Stephen Chimalo (@SChimalo) March 8, 2014
22Thoughts with all at this hard time.Stephen Chimalo:這對航空業及機上的人都是一件大打擊!!
23- Peter McGinley (@PeterMcGinley) March 8, 2014BBC新聞- 馬航與飛往北京的班機失去聯繫
24Kuna taarifa kuwa ndege ya Malaysia imeanguka lakini hakuna taarifa rasmi za kuthibitisha hilo這次事件也讓馬來西亞首相納吉·拉薩在推特上發出一則回應:
25Ndege ya Shirika la ndege la Malaysia iliyopotea ndicho hasa kinachonifanya niogope kusafiri kwa ndege Naweza kujiapiza kuwa ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia haijaanguka na watu 239 walio kwenye ndege hiyo wako salama na wanaendelea vizuriMy thoughts and prayers are with the family members of flight #MH370.
26Habari za kusikitisha kuhusiana na tasnia ya usafiri wa anga na wale waliokuwepo kwenye ndege hiyo!I've asked all measures possible to be taken.
27Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC), Shirika la Ndege la Malaysia limepoteza mawasiliano na ndege yao iliyokuwa ikisafiri kuelekea Beijing- Mohd Najib Tun Razak (@NajibRazak) March 8, 2014
28Tukio hilo limemfanya Waziri Mkuu wa Malaysia, Najib Razak kujibu kupitia mtandao wa Twita:我的思念與禱告與機上所有人的家屬同在。 我已要求各部門採取各種可能的應對方法。
29Mawazo na maombi yangu yako na familia za wanaosafiri na ndege #MH370.路透社現在(三月八日)報導說飛機已墜落在南中國海,但在此時(三月八日)並沒有任何官方宣佈證實這則新聞。
30Tumeagiza hatua zote zinazowezekana zichukuliwe譯者:Yau Hwan Tiu
31Shirika la Habari la Reuters sasa limeripoti kuwa ndege hiyo ilianguka kwneye Bahari za China Kusini, hata hivyo, hakuna tangazo rasmi lililotolewa wakati wa kuandikwa kwa makala haya.校對:Josephine Liu