Sentence alignment for gv-swa-20120930-3895.xml (html) - gv-zht-20121209-14472.xml (html)

#swazht
1Mbinu za Kugundua Dawa Bandia katika Nchi Zinazoendelea追蹤發展中國家的偽藥
2Kulingana na Shirika la Afya Duniani(World Helath Organization-WHO), dawa bandia zinapatikana kote duniani.根據世界衛生組織(WHO)表示,偽藥可以在世界上的任何地方被發現。
3Huwa zina michanganyiko ya viungo vyenye sumu na vingine visivyosaidia. Watu 700,000 hufa kila mwaka kwa kutumia dawa bandia za malaria na saratani pekee.這些偽藥包括混合有毒物質,以及非活性的、無效的藥劑;光是瘧疾和肺結核,每年就有七十萬人死於偽藥。
4Shririka hilo la Afya linaendeleza kusema katika ripoti yake kuwa, mapato kutoka kwa dawa hizi kila mwaka hukaribia dola bilioni 200.世界衛生組織亦指出,劣藥或偽藥每年約可獲利達二千億美金。
5Mbinu tofauti zinatafutwa za kusaidia kukumbana na janga hili katika nchi hizi zinazoendelea.在發展中國家,有許多創新的方法被提出,協助追蹤偽藥的傳播。
6Ubunifu wa kiteknolojia偽藥追蹤的科技創新
7Ashifi Gogo wa Ghana, ni mjasiriamali ambaye amezindua ubunifu wa kutumia simu za mkononi.來自迦納的企業家Ashifi Gogo,提出一個和手機相關的創新方法。
8Ubunifu huu unahusisha kuweka maandiko yanayokwaruzika katika dawa, maandiko haya yana nambari ya utambuzi, ambayo mtu anatuma kwa kupitia huduma ya ujumbe mfupi ili kuhakikisha kuwa dawa hiyo ni halali.簡單來說,這個方法是將一個刮刮樂標籤放置在產品上,這個標籤包含一個獨特的代碼。 消費者用SMS簡訊傳送此代碼,然後會收到一個回覆,告知此產品是否為可信的。
9Katika mazungumzo yake katika TEDx Boston, Gogo anaeleza namna ubunifu wake unavyotumika kwa kuunganisha simu, jamii, serikali na kampuni zinazohusika na dawa.以下在美國波士頓的TEDx演講中,Ashifi Gogo解釋如何藉由結合手機、社群、以及政府和製藥公司的合作來運作他的方法:
10Baada ya suala la Duo-Cotexcin Kenya, Holley-Cotec kampuni ambayo inatengeneza dawa hizi, walizindua teknolojia ambayo haiwezi kuchezewa.在肯亞的科泰復(Duo-Cotecxin,為一種抗瘧疾藥)意外之後,生產這個抗瘧疾藥的公司-華立科泰(Holley-Cotec),引進了一種確保標籤防偽的新技術。
11James Nyikal, mkurugenzi wa huduma za afya, Kenya anaeleza :在肯亞的醫療服務主管James Nyikal解釋:
12Pakiti mpya za dawa hii, zitakuwa na mhuri wa utambuzi na alama nyingine ili kuonyesha kuwa dawa hizi ni halali.此藥的新包裝將具有3D雷射全像封條以及其他的特點,用以標示藥物是可信的。
13“Dawa hii ni bandia au halali?「這個藥是真藥或是偽藥?
14Tuma ujumbe mfupi kwa Pharma Secure ili uweze kujua.”使用藥物安全的SMS簡訊查明。」
15Picha kwa hisani ya Wayan Vota kupitia kwa Flickr (CC BY-NC-SA 2.0)圖片來自Wayan Vota的Flickr(CC BY-NC-SA 2.0)
16Rajendrani Mukhopadhyay anatueleza mbinu za sasa za kusaidia kufahamu dawa bandia.Rajendrani Mukhopadhyay回顧了目前可用來確認真藥的方法。
17Atueleza hekaya za kusisimua:他提出一些意外的發現:
18Uchunguzi wa kwanza ni kukagua pakiti.這些篩檢首先包括近距離的目測檢查。
19Makaguzi wanakagua kwa makini pakiti hizo, ili wapate hakikisho kuwa kuna nia ya kudanganya mteja.'檢查者細察這些包裝,因為他們必須確定是否存在有試圖欺騙消費者的意圖。「
20Kwa wakati mwingine utakuta kuwa tembe hizo, hata kama hazina viungo vinavyofanya kazi, huwa ni makosa ambayo hayakutarajiwa katika kampuni.如果這些只是沒有 活性成分的藥劑或膠囊,這可能只是工廠裡的而已。
21Pakiti zingine, katika dawa hizi huwa ni za kuchekesha sana.…某些在偽藥上的包裝錯誤是非常可笑的,例如,有效期限在製造日期之前。
22Kuna moja, ambayo ilikuwa iharibike kabla siku yake ya kutengenezwa, na papo hapo tukajua kuwa hiyo haikuwa dawa halali.因此我們可以發現事有奚翹!」 他也提到在篩檢環境欠佳下的困難:
23Pia anataja matatizo ya kufanya uchunguzi kwa mandhari yasiyofaa:在發展中國家的困難使得調查者必須要有創意地發想,找出便宜且耐用的有效分析技術。
24Changamoto katika nchi hizi ni kuwa lazima wakaguzi watumie njia ambazo zina ubunifu mkubwa, uangalizi wa kiteknolojia, usio na gharama kubwa lakini ambao ni madhubuti. Michael Green wa shirika la Marekani la kudhibiti na kuzuia magonjwa, anasema kuwa dawa hizi bandia kutoka Uchina, huwa zina madini ya chaki (calcium carbonate).來自美國疾病控制與預防中心(U.S. Centers for Disease Control and Prevention)的Michael Green說,「我們發現,在中國以某一特定品牌製造販售的偽青蒿琥酯(artesunates,為一種抗瘧疾藥物)包含了碳酸鈣。」
25Kwa sababu dawa halali huwa haina madini hayo, basi inakuwa rahisi kwao kutambua dawa hizi bandia kwa kuongeza siku kwenye vipande vidogo vya dawa.由於真正的品牌藥不包含碳酸鈣,所以他和同事能夠藉由將醋加入少量藥劑中來分辨偽藥和真藥。
26Tatizo linaloendelea發展中國家面臨的難題
27La muhimu hata kuliko athari za ki-fedha, dawa hizi zinaleta shida kubwa katika suala la afya kote duniani.偽藥帶來了重大的全球性公共衛生問題,這比它們引起的經濟衝擊還重要許多。
28Ukiachilia mbali suala la kuhatarisha maisha ya wagonjwa, dawa hizi zinateka imani ya watu kwa madaktari na mifumo ya afya.偽藥不僅危害病人的生命與健康,而且削弱了人們對醫療系統和衛生專業人員的信心。
29Chati hii, kutoka kwa taasisi ya usalama wa madawa inaonyesha sehemu ambazo kulikuwa na visa vya dawa hizi. Suala hili liaendelea kuwa nzito kwa nchi hizi zinazojiendeleza kwa sababu ya kuongezeka kwa dawa hizi na miundombinu inayotakikana.以下來自藥物安全協會(Pharmaceutical Security Institute,簡稱PSI)的圖表,說明了在2011年經證實的偽藥事件的地理發佈情況;而因為假藥數量的成長以及不足夠的基礎建設,要處理發展中國家的假藥問題變得更加地困難。
30Visa vya dawa bandia.2011年的偽藥事件。
31Grafu ya PSI (wazi kwa wote).來自PSI的圖表(可公開取得)。
32PSI wanadokeza kuwa:針對此點,PSI註明:
33Sio lazima, sehemu zenye visa vingi kuwa hazina wakaguzi.顯示較常發生偽藥事件的地區不盡然是法律執行和檢查計畫薄弱的區域。
34Badala yake, nchi katika maeneo haya zinatafuta njia za kupunguza dawa hizi kwa kutumia kanuni na ukaguzi kwa kupitia wakala wa kuangalia madawa.相反地,藉由法律執行活動和藥物管理機構的檢查,在這些地區的國家有效地鑑別出藥物犯罪行為。
35Hata tukizingatia ubunifu huu tuliozungumzia hapo awali, kugundua dawa hizi ni jambo gumu, ambalo linahitaji teknolojia za kisasa na uwezo wa kuhakikisha kuwa maagizo ya kitaifa yanafuatwa.儘管有前述的創新方法,偵查偽藥仍然是一個非常困難的任務,而且需要先進的科技以及能夠嚴格執行國際法規的能力。
36Kwa mfano, dawa nyingi za kukinga malaria zilipatikana katika nchi hizi, [fr] mwaka huu lakini baada ya wagonjwa kuzitumia.例如,雖然今年在發展中國家有許多抗瘧疾的有缺陷藥物和偽藥被報導,但都是在病人被醫治了之後。
37Mwaka wa 2012, uchunguzi uliofanywa unaonyesha kuwa theluthi ya dawa za Malaria Asia ya Kusini Mashariki na Sahara ndogo ya Afrika zilikuwa na dosari katika uangalizi wa viungo au pakiti au zilikuwa za uongo.2012年有一篇研究表示,在東南亞與次撒哈拉非洲地區,有三分之一的抗瘧疾藥未通過化學分析或包裝測試,或是被證明為偽藥。
38Mwaka wa 2007, idara ya afya Kenya iliwatahadharisha wananchi kuhusu dawa za malaria za Duo-Cotecxin ambazo zilikuwa zinauzwa sana Nairobi na jinsi ya kuzitambua. Lawrence Evans, ni mtafiti aliyefanya utafiti wa ubora wa dawa hizi za kuzuia malaria, Guyana na Suriname anasema:在2007年,肯亞的衛生部門發佈了一封有關抗瘧疾藥「科泰復」的警告信,指出在奈洛比有偽藥在販售,另外也提到要如何察覺這些偽藥。
39Zaidi ya madawa ambayo hayajapigwa marufuku na Shirika la AFya Duniani ya kukinga malaria, urahisi wa kutengeneza dawa hizi pia ni hatari kubwa kwa maisha ya wagonjwa.一位在蓋亞納共和國與蘇利南共和國研究抗瘧疾藥物品質的研究者Lawrence Evans表示:
40Prisca akiwa Madagascar anaeleza [fr] sababu zinazowafanya watu kukataa kununua dawa katika maduka ya dawa na badala yake kuzinunua kwenye maduka ya kawaida: des personnes n'hésitent plus à revendre des produits pharmaceutiques sans ordonnance.除了這些藥物沒有被歸類在世界衛生組織瘧疾醫療指南中之外,另一個危及病人安全的主因是,在沒有適當的診斷下,可以輕易地獲得這些藥物。
41Selon Fara, propriétaire d'un commerce prospère ” Les médicaments que nous vendons sont les mêmes qu'en pharmacie, puisque je les achète chez un grossiste agréé. Mais comme je n'ai pas autant de charges qu'une pharmacie, ils sont deux fois moins chers “.除此之外,在近期內沒有新療法可期待的情況下,這還可能引發嚴重的影響:使瘧原寄生蟲(尤其是惡性瘧原蟲)發展抗藥性。
42Le problème des consommateurs est donc le prix.在馬達加斯加的Prisca解釋為什麼人們不再去藥局,反而寧願嘗試非正式市場:
43Maduka mengi siku hizi zinauza dawa bila ushauri wa daktari.許多便利商店對於轉售沒有處方的藥物毫不遲疑。
44Fara, mwenye duka moja kama hili anasema: “Dawa ninazouza ni sawa na zile katika maduka ya dawa kwa kuwa nazinunua kutoka kwa msambazaji mwenye kibali.一個成功的便利商店的店長Fara說:「我們販賣的藥物和藥局賣的藥物是一樣的, 因為我是向一個合格的批發商買來的。
45Bei yangu ya kuuziwa ni ndogo kuliko ya duka la dawa hivyo basi, naweza kuuza dawa kwa bei nafuu.但是我的財務支出比藥局少很多,所以我可以賣一半的價錢就好。」
46Kwa wanunuzi, hapa kivutio kwa wateja wa dawa ni bei”看起來對消費者來說,似乎最重要的還是藥物的價格。
47Hata kama ni muhimu kugundua mzunguko wa dawa hizi bandia ili kuzuia kuenezwa, nchi nyingi zinaonelea kuwa suala hili haliwezi kupatiwa uzito kama ubunifu kwa sekta nyingine na pia kupigana na magonjwa.想要有效地打擊偽藥的販售,找出偽藥的銷售通路是重要的;但是許多國家提出警告,應該還有其他更重要的事,例如對抗疾病的創新研究。
48Henry Neondo, anaandika katika Habari za Kisayansi za Afrika lazima Kenya ipigane na malaria kwa njia mwafaka zaidi na pia kutafuta kinga.Henry Neondo在African Science News寫道,在肯亞對抗瘧疾必須更有效力,其中包括針對疫苗的研究:
49Kenya ni miongoni mwa nchi tisa za Afrika zilizochaguliwa kunufaika na mfuko wa mabilioni ya kutafuta kinga ya malaria.”肯亞從十個非洲國家中被選中,將能夠從一個新的帶有數十億資金的抗瘧疾疫苗研究中獲利。
50Dawa na kinga mpya za malaria zinahitajika kwa dharura barani Afrika, ambako malaria haitibiki kwa kutumia zile dawa za kawaida.……Indepth Network的執行董事Binka教授說:「在非洲急需新的瘧疾藥和疫苗,因為在這裡瘧疾已經對最便宜且最為廣泛使用的療法產生抗藥性。
51Hata kama dawa na kinga mpya zinaendelea kuzinduliwa, kuna haja ya kujenga uwezo wa Afrika wa kufanya majaribio ya hospitalini ya dawa hizi katika karne ijayo,” alisema profesa Binka, mkurugenzi wa Indepth Network.一些可能的新藥 和新疫苗正在研究過程的同時,需要在數十年之內,於非洲建立起足以對這些新藥和新疫苗實行大規模臨床試驗的能力。」