Sentence alignment for gv-swa-20090629-227.xml (html) - gv-zht-20090701-3371.xml (html)

#swazht
1Honduras: Zelaya Akamatwa na Kuondolewa Madarakani宏都拉斯:總統塞拉亞遭逮捕並解除職務
2Nchini Honduras siku ilianza na habari zinazosema kwamba Rais Mel Zelaya amekamatwa akiwa nyumbani kwake na wanajeshi wenye silaha. Kura ya maoni ilikuwa imepangwa kupigwa siku hiyo, kura hiyo ilikuwa inapingwa na mahakama ya juu, na majeshi ya nchi pamoja na baraza la wawakilishi.宏都拉斯民眾在6月28日一早醒來,就得知總統塞拉亞(Mel Zelaya)在家中遭武裝軍方人員逮捕,當天也預定要舉行公投,不過先前最高法院、軍方及立法機關均反對此次公投,塞拉亞幾天前更因此將軍方總司令Romeo Vasquez Velasquez將軍撤職,多位軍方高層人士也因不願支持舉行公投而辭職。
3Siku chache kabla, Zelaya alimuondoa madarakani mkuu wa majeshi, Jenerali Romeo Vasquez Velasquez, jambo ambalo lilifuatiwa na kujiuzulu kwa wanajeshi wengine wa vyeo vya juu kwa sababu hawakukubaliana na kura hiyo ya maoni. Mara baada ya hapo ilifahamika kuwa Zelaya amepelekwa nchini Costa Rica, ambako aliendelea kujiita kuwa yeye ndiye mkuu halali wa nchi.後來消息指出,塞拉亞遭送往哥斯大黎加,不過他仍堅稱自己是合法國家元首,亦有傳言指稱塞拉亞己辭職,不過Miradas de Halcon部落格的Jose Carlos Rivera指出,據傳的信件已證實為假,部落格圈及Twitter網站上的反應各不相同,有些人指稱這是政變,但也有些人主張這是阻止爭議公投的唯一方式。
4Kadhalika palikuwa na uvumi kuwa Zelaya amejiuzulu. Hata hivyo, barua inayodaiwa kueleza hivyo iligundulika kuwa ni ya uongo kama anavyobaini Juan Carlos Rivera wa Miradas de Halcón [es].照片來自Roberto Breve,依據創用CC授權使用http://www.flickr.com/photos/breve/3668996322/
5Maoni ya mwanzo katika ulimwengu wa blogu na ule wa Twita yalitofautiana kutokea yale yanayosema kwamba hali iliyopo ni sawa na mapinduzi ya kijeshi mpaka yale yanayosema kuwa ile ilikuwa ndio njia pekee ya kukomesha jitihada za Zelaya za kutaka kugombea urais kwa awamu nyingine tena.
6Picha na Roberto Brevé na inatumika hapa chini ya hati miliki huria http://www.flickr.com/photos/breve/3668996322/
7Umeme umekuwa ukikatika-katika katika mji mkuu wa nchi, kama inavyoripotiwa na gazeti la Honduras Daily News ambalo linahisi kuwa kukatika huko kwa umeme ni moja ya “jitihada za kuzuia upashanaji habari.”
8Hata hivyo habari zimekuwa zikitoka kwa kutumia mitandao ya kijamii kama vile Twita na Blipea ambayo ilikuwa hai kutwa nzima.《宏都拉斯日報》指出,首都地區曾出現停電情況,揣測可能是為「限制資訊傳遞」,不過目前大量消息都透過Twitter與Blipea等社會網絡流通。
9Hibueras[es], mmoja wa wanaomuunga mkono Zelaya aliandika :支持賽拉亞的Hibueras表示[西班牙文]:
10Manuel Zelaya alikamatwa na kudhuriwa na nguvu katili za waovu ambazo zimewatia utumwani watu wa Honduras, ili kuwazuia watu wasijichukulie nguvu ambazo zingepelekea ushirikishwaji na ujenzi wa nchi yao, wale ambao wanawajibika na tendo hili chafu wanajulikana vizuri na wataulipia uonevu wao.
11Huu ni wakati wa kutafuta kwa njia nyingine yale mambo ambayo tunanyimwa (tunapoyatafuta) kwa njia halali, na wale wanaowajibika kwa vitendo vya uhaini watahukumiwa.塞拉亞遭罪犯以武力強行逮捕,這些人奴役宏都拉斯人民,讓民眾無法建造家園的權力,這些惡行背後的人士都非常知名,也將會此付出代價。
12Wanaomuunga mkono rais Mel Zelaya, picha na Roberto Brevé na inatumika hapa chini ya hati miliki huria. http://www.flickr.com/photos/breve/3668437385/有些事透過和平手段而不可得,我們就必須尋求其他方式,而造成這些叛國行為者,也將受到審判。
13Baadaye siku hiyo, Bunge lilipiga kura ya kumuondoa madarakani Zelaya kama rais na kumuweka Roberto Micheletti ambaye alikuwa ni mkuu wa baraza la wawakilishi. Mara tu baada ya kupewa madaraka, alitangaza kuwa uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa mwezi Novemba.塞拉亞支持者照片來自Roberto Breve,依據創用CC授權使用 http://www.flickr.com/photos/breve/3668437385/
14Kuwekwa madarakani kwa Micheletti kama kaimu rais kumezua kauli za ukosoaji kutoka kwa maswahiba wa karibu wa Honduras, hasa Venezuela, ambayo imetishia kutumia nguvu za kijeshi ikiwa mfanyakazi yeyote wa ubalozi wake aliyepo nchini Honduras atatekwa au kuuwawa. Zaidi ya hilo, Rais Hugo Chavez ametamka kwamba serikali mpya inayoongozwa na Micheletti itashindwa.國會稍後投票罷黜塞拉亞,改由國會議長Roberto Micheletti代理,他之後宣佈選舉將在11月舉行,但對於議長代理總統一事,宏都拉斯許多盟邦均其是發言批評,尤其是委內瑞拉揚言,若該國任何外交人員在宏都拉斯遭到綁架或殺害,將會採取軍事行動,委國總統查維茲(Hugo Chavez)也表示,議長帶領的新政將會失敗。
15Watumiaji wa huduma ya Twita kama vile Hugo Chinchilla wanahofu matamko yalitolewa na Chavez na wanayachukulia kama ishara kuwa maswahiba kama hawa wanahusika. Aliambiwa ‘kiholela' kuwa jeshi linajiandaa kukabili uvamizi wa majeshi ya Venezuela na Nicaragua [es].Hugo Chinchilla等Twitter用戶對查維茲的發言感到憂心,認為代表其他國家可能會介入此事,他表示有「非官方消息」指出,委內瑞拉及尼加拉瓜軍方可能準備介入。
16Na kuna wengine kama Jorge Garcia ambaye anaiunga mkono serikali mpya na anatoa rai kwa watumiaji wenzie wa Twita kutoa msaada maji na chakula kwa wanajeshi [es].也有些人像Jorge Garcia支持軍事政府,呼籲在Twitter上的朋友提供飲食給士兵表達支持,他還提到:
17Kadhalika anaeleza: Nchini #honduras hapajatokea mapinduzi ya kijeshi, utawala wa sheria bado unaendelea, katiba bado inatumika.宏都拉斯並無政變,法治一切如常,憲政未受影響。
18Kwa kuwa hivi sasa macho ya dunia yako nchini Honduras, Wilmer Murillo anahofia kutengwa na jamii ya kimataifa.如今全世界都在關注宏都拉斯,Wilmer Murillo擔心受到國際社會孤立,他要求:
19Anaomba:把塞拉亞送回來!
20Turejesheeni Mel!我們在世界眼前像個落後國家。
21Tunaonekana kama nchi duni katika macho ya dunia.校對:Portnoy