Sentence alignment for gv-swa-20090722-238.xml (html) - gv-zht-20090713-3500.xml (html)

#swazht
1Afrika: Obama Atumia Nyenzo Mpya za Habari Kuzungumza na Waafrika非洲:歐巴馬使用新媒體與人民互動
2“Umeshawahi kutaka kumuuliza kijana wetu wa Nyangoma maswali yoyote? Kwa maneno mengine, je ungependa Rais wa Marekani, Barack Obama ajibu maswali yako?,” ndivyo inavyoanza makala kwenye blogu ya Hot Secrets inayohusu matumizi ya Obama ya zana mpya za habari ili kukutana na kuongea na Waafrika wa kawaida.Hot Secrets部落格在一篇文章中提到,美國總統歐巴馬(Barack Obama)使用新媒體促進與非洲一般民眾對話,文章開頭寫道:「可曾想過詢問肯亞之子任何問題嗎?
3Barack Obama anazuru Ghana tarehe 10 mpaka 11 Julai.各位希望歐巴馬親自回答你的問題嗎?」
4Hii itakuwa ni ziara yake ya kwanza ya kihistoria kwenye nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara na atatumia nyenzo kama Twita, Facebook na Ujumbe mfupi wa Simu za kiganjani (SMS) kuzungumza moja kwa moja kwa moja na Waafrika.歐巴馬於7月10日至11日訪問迦納,也是首次出訪撒哈拉沙漠以南地區,期間使用Twitter、Facebook與手機簡訊直接訴諸非洲民眾。
5Erik Hersman anayeblogu kwenye blogu ya White African, anajadili majukwaa-nyenzo ya habari ambayo Obama anakusudia kuyatumia ili kuwafikia Waafrika zaidi ya wale wa Ghana. Erik alifanya kazi na ikulu ya Marekani katika kuandaa mikakati ya nyenzo mpya za habari kwa ajili ya Ghana na Afrika.White African部落格的Erik Hersman指出,歐巴馬希望使用媒體平台,觸及迦納以外的非洲民眾,他本身亦與白宮合作,研擬對迦納及非洲的新媒體策略,他提到:
6Anaandika: Redio bado ni nia ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika, na Ghana ina sekta ya redio iliyo hai na yenye kushirikisha jamii zilizo vitongojini na jamii ya kitaifa.廣播仍是非洲最大傳播媒介,尤其迦納在此方面特別活躍,擁有許多地方及國家社區電台。
7Kama kila mmoja anavyojua, usambaaji wa simu za kiganjani umekua kwa kasi ya mlipuko barani Afrika, hii inamaanisha kwamba Ujumbe mfupi wa Simu (SMS) ni njia ya kidemokrasia ya kupata mrejesho kutoka kwa watu wa kila hali nchini.
8(jambo la kuchekesha ni kuwa huduma hii haipatikani kwa wakazi waaoishi Marekani - mengine juu ya suala hili yapo chini) Mwisho, hakuna mtandao wa kijamii ulioazaliwa nchini Ghana, na kama ilivyo kwa nchi nyingine kote Afrika, Facebook imeweza kusambaa kwa kiwango kizuri.
9Nchini Ghana, watumiaji ni zaidi 100,000, kwa hiyo inaleta maana sana kwa timu inayoshughulikia nyenzo za habari kuwafikia watu bila kuzisambaza nguvu zao kwenye huduma nyingi nyingine. Kuwa na huduma ya Twita kama nyenzo ya akiba ni jambo linalotarajiwa, kwa sababu kutakuwa na matumizi huko vile vile.各位也知道,行動電話普及率在非洲快速成長,代表手機簡訊是項民主途徑,可藉此獲取全國各年齡層人民的回應(不過對美國居民不適 用);迦納本地並未發展出自有社會網絡,和許多非洲國家一樣,使用Facebook的情況較為普遍,迦納用戶逾十萬,故新媒體團體理應透過這個平台互動, 不該耗費太多力氣於太多服務上,以Twitter做備胎也很合理,因為屆時也會有相當多討論出現。
10Na anatundika habari za kina kutoka Ikulu ya Marekani: SMS.他也公佈來自白宮的細節內容:
11Tunazindua jukwaa la SMS ili kuwaruhusu wananchi kutuma maswali, maoni na maneno ya ukaribisho (Kwa Kiingereza ama Kifaransa).手機簡訊。
12Kwa kutumia vifupisho vya tarakimu vya mahali husika kwa huduma ya SMS nchini Ghana (1731) , Nigeria (32969) , Afrika Kusini (31958) na Kenya (5683), vile vile kutumia tarakimu ndefu kwa ajili ya wengine wote duniani *, Waafrika na raia ulimwenguni kote watahamasika kumwandikia Rais ujumbe mfupi wa maneno. Washiriki wa SMS wataweza pia kuomba kupatiwa dondoo za hotuba kwa Kiingereza na Kifaransa.我們會推出簡訊平台,供民眾以英文及法文上傳問題、留言與歡迎辭,使用迦納(1731)、奈及利亞(32969)、南 非(31958)、肯亞(5683)等當地手機簡訊代碼,其他地區則使用長版代碼,非洲與世界各地民眾皆歡迎使用手機簡訊發信給歐巴馬;使用者也可以透過 簡訊,訂閱英文或法文的演說重點摘要,非洲地區手機登記服務請撥61418601934或45609910343。
13Nambari zitakazotumika kwa ajili ya kuandikisha simu za mkononi kwa Afrika ni: 61418601934 na 45609910343. Redio.廣播。
14Hotuba ya Rais itarushwa moja kwa moja kupitia vituo vya redio vya kitaifa na vile vya kanda wakati wa hotuba. Baada ya hotuba, jumbe zote zilizorekodiwa majibu ya Rais kwa jumbe zote fupi (SMS) zilizopokelewa zitapatikana katika vituo vya redio na wavuti.歐巴馬演說內容將即時透過全國及地方電台播送,演說後,總統事先回答簡訊的錄音檔也將提供給電台,並放在網站上,歐巴馬希望依據主題及地區,回覆各種問題,錄音檔亦會放在白宮網站及iTunes上供人下載。
15Rais anatarajia kujibu maswali anuai na maoni kwa mpangilio wa mada na eneo.影片。
16Sauti zilizorekodiwa pia zitapatikana kwa ajili ya matumizi ya kila mtu atakayezihitaji kupitia wavuti ya Ikulu ya Marekani na teknolojia ya iTunes.演說畫面將於www.whitehouse.gov/live直播,並提供影片置入碼,故可在任何網站上轉播畫面。
17Video.網路聊天。
18Hotuba itarushwa moja kwa moja kwenye www.whitehouse.gov/live. Alama-funguo za video hiyo inapatikana ili uweze kuitumia katika wavuti yoyote.演說時會在Facebook服務開啟即時線上聊天功能,白官也將在Facebook成立活動頁面,讓全球參加者能彼此互動;推廣在Twitter使用#obamaghana這個標籤,收集各界的想法與反應。
19Mazungumzo ya moja kwa moja kwenye mtandao.網路用戶亦可上傳問題至AllAfrica網站:
20Tutawezesha gumzo la mtandaoni linalihusu hotuba kwenye Facebook (itakuwa hapa http://apps.facebook.com/whitehouselive).各位有機會詢問歐巴馬關於非洲的問題,歐巴馬就任美國總統後,首次出訪撒哈拉沙漠以南地區,在7月10日至11日訪問迦納,你有什麼問題想問他?
21Ikulu ya Marekani itatengeneza “tukio” la Facebook kutokana na hotuba ambapo washiriki kutoka ulimwengu mzima wanaweza kujibishana.請在此留下問題,我們將整理後交給他,提問時請表明年齡與職業。
22Anuani ya Twita ( #obamaghana) pia itatengenezwa na kutangazwa ili kuboresha maoni juu ya tukio hilo. Watumiaji wa mtandao wanaweza kutuma maswali yao kwenye wavuti ya AllAfrica:《外交政策》雜誌部落格的Michael Wilkerson認為,歐巴馬使用新媒體,很可能拉高他的全球支持率:
23Nafasi yako ya kumuuliza Rais Obama kuhusu Afrika: Unataka kumuuliza nini Rais Obama anapojiandaa kuitembelea Afrika ya Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa mara ya kwanza akiwa kiongozi wa Marekani -akitua Ghana tarehe 10-11 Julai?網路能忠實呈現非洲民眾對此事的興趣,歐巴馬個人全球支持率原本即為美國的兩倍,可能因此再度衝高,在迦納首都的觀光市場裡,充斥著各種歐巴馬的T裇與畫作,迦納民眾也希望在此訪問後刺激旅遊業。
24Andika swali lako hapa, na tutakusanya maombi yenu. Tafadhali, kama ungependa, usiasahau kutaja umri na kazi unayofanya.Ghana Pundit指出,已有數千封手機簡訊湧向歐巴馬:
25Kwa mujibu wa Michael Wilkerson anayeandika katika blogu ya Foreign Policy, matumizi ya Obama ya nyenzo mpya za mawasiliano kunaweza kuongeza umaarufu wake duniani:歐巴馬歡迎民眾在他訪問迦納前傳送訊息,消息一出,他已獲得無數有關非洲的簡訊。
26Kama hapatakuwa na matatizo, udhihirishaji huu wa kupenda kupata mitazamo ya Waafrika huenda utapandisha umaarufu wa Obama duniani, ambao tayari ni kama mara mbili ya ule wa Marekani yenyewe.
27Katika soko la kitaalii la mjini Accra, fulana za Obama na michoro zinauzwa haraka kutoka kwenye safu na Waghana wanategema kupanda kwa biashara ya utalii baada ya ziara.
28Mwanablogu Ghana Pundit anaripoti kuwa maelfu ya jumbe za simu za viganjani yametumwa kwa Obama:校對:Soup
29Rais wa marekani amepokea maelfu ya jumbe za simu za viganjani zinazoihusu Afrika baada ya kuwataka watu kumtumia maswali kabla ya ziara yake nchini Ghana siku ya Ijumaa.