Sentence alignment for gv-swa-20130413-4846.xml (html) - gv-zht-20130414-14963.xml (html)

#swazht
1Syria: Kutwiti Kutokea Vitani Jijini Aleppo敘利亞:來自前線的推特
2Mwandishi wa Habari Jenan Moussa amerudi mjini Aleppo, nchini Syria, akitwiti tajiriba yake kadri vita kati ya vikosi vinavyopinga serikali na vile vinavyoiunga mkono serikali inavyozidi kushika kasi.記者 Jenan Moussa 回到敘利亞的阿勒坡,在推特上記錄支持與反政府軍隊間日趨激烈的戰況。
3Twiti za Moussa ni za kawaida na za kibinafsi sana, zikiwapa wasomaji wake picha kamili ya maisha yalivyo kwa wale walio kwenye uwanja wa vita.Moussa 的私人留言未經雕琢,讓讀者得以一窺戰火下的生活片段。
4Moussa, ambaye ni ripota wa kituo cha televisheni za kiarabu Al Aan TV, kilichopo jijini Dubai, Jamhuri ya Falme za Kiarabu, anasema:Moussa 是阿拉伯杜拜電視台的外派記者,他說:
5@jenanmoussa: Ni jambo kubwa sana kurudi Allepo, kukutana na rafiki zangu.@jenanmoussa:能回阿勒坡見到朋友們真好。
6Jiji linaonekana kuwa na nafuu zaidi kuliko ilivyokuwa mara ya mwisho nikiwa hapa.看起來比我上次來的時候好多了。
7Watu wameshazoea vita.人們適應了戰爭。
8Chakula chake cha jioni, jijini Aleppo, anakipata akisikia sauti za mabomu yakidondoka jirani na aliko:在阿勒坡,晚餐時總伴隨著遠方迫擊砲的聲響:
9@jenanmoussa: Ni wakati wa chakula cha jioni hapa Aleppo.@jenanmoussa:現在阿勒坡是晚餐時間。
10Tunakula kuku wa ki-Mexico wakati tukisikia sauti za mabomu yakidondoka kwa mbali,我們正吃著墨西哥雞肉料理,迫擊砲的聲音在遠處迴響。
11Baada ya usiku huo akiwa jijini, Moussa anashangaa:度過一夜後,Moussa 好奇:
12@jenanmoussa: Habari za asubuhi kutoka Aleppo.@jenanmoussa:在阿勒坡向各位說早安。
13Sikuweza kulala mpaka saa 12 alfajiri.我到早上六點都還睡不著。
14Kila wakati ninafunga macho yangu ninapatwa na hisia kuwa mabomu yanaanguka.一閉上眼睛我就開始想像炸彈掉下來的情景。
15Mungu, watu wanawezaje kubaki na akili zao hapa?天哪,這裡的人是怎麼保持精神正常的?
16Jijini Aleppo, anatembelea mahali ambako kombora lilianguka siku zipatazo 45 zilizopita.他參觀了四十五天前阿勒坡遭到飛毛腿飛彈轟炸的地方。
17Anatwiti:他說:
18@jenanmoussa: Mapema leo nilienda kwenye eneo ambako kombora la SCUD lilidondoka siku zipatazo 45 zilizopita hapa Aleppo.@jenanmoussa:我去參觀了阿勒坡四十五天前被飛毛腿飛彈轟炸的地方。
19Miili sita bado haijapatikana.瓦礫下還有六具屍體沒找到。
20Jenan Moussa akiwa Aleppo, mahali ambako kombora la Scud lilianguka siku 45 zilizopita.在阿勒坡的 Jenan Moussa,此處四十五天前曾遭到飛毛腿飛彈轟炸。
21Picha imewekwa na @jenanmoussa kupitia mtandao wa Twita.照片來自推特 @jenanmoussa
22@jenanmoussa: Jijini Aleppo nilimwona baba amekaa kwenye jabali, akitiririkwa na machozi.@jenanmoussa:我看到一個父親坐在瓦礫中,雙目含淚。
23Alikuwa bado anatafuta miili ya mabinti zake wawili na mkewe他還在尋找妻子與兩個美麗女兒的屍體。
24@jenanmoussa: Wakati nikiwa nae, baba huyo alipata malapa ya mwanae na nywele kidogo (za kike) chini ya jabali hilo.@jenanmoussa:當我在他旁邊時他在瓦礫下找到了小孩穿的拖鞋和一把女人的頭髮。
25‘Labda ni mke wangu' aliniambia他說「也許是我太太的」。
26Pamoja na hali ngumu, Moussa anafanya utani kidogo: @jenanmoussa: Wanaharakati hapa Aleppo hunicheka.即使情勢緊繃,Moussa 還保有他的幽默感:
27Mara nyingine mimi huwa ni mtu pekee anayevaa nguo ya kuzuia risasi nyumbani.@jenanmoussa:阿勒坡這裡的社運人士總嘲笑我,因為我常常是唯一一個穿著防彈衣的人。
28Watu wote wameshazoea milio ya bunduki.他們都對戰火習以為常了。
29Na anaenda kulala bila kupata chakula cha jioni:然後他沒吃晚餐就去睡覺了:
30@jenanmoussa: Hatujala chakula cha jioni usiku huu. Hatujaoga.@jenanmoussa:今天我們沒吃晚餐,也沒洗澡。
31Hilo si hitaji la msingi katika mji kama Aleppo.在阿勒坡這樣的城市裡這些都不再必要。
32Usiku mwema kwenu nyote.大家晚安。