Sentence alignment for gv-swa-20081026-33.xml (html) - gv-zht-20081029-1459.xml (html)

#swazht
1Afrika ya Kusini: VVU na UKIMWI na mabadiliko ya sera南非:對抗愛滋新時代?
2Mwishoni mwa mwezi Septemba, Barbara Hogan, aliteuliwa na Rais wa mpito Kgalema Motlanthe kuwa waziri mpya wa afya wa Afrika ya Kusini, akichukua nafasi ya mtangulizi wake mwenye utata mwingi, Manto Tshabalala-Msimang. Wanaharakati wa masuala ya UKIMWI na raia wengi wa Afrika ya Kusini wana matumaini makubwa kwamba hatua hii huenda ikaashiria mabadiliko ya sera za serikali kuhusu suala la VVU na UKIMWI.九月底時,南非臨時總統Kgalema Motlanthe任命霍根(Barbara Hogan)出任衛生部長,取代備受爭議的前部長Manto Tshabalala-Msimang,愛滋病運動人士和許多南非民眾都希望,這件人事案將改變政府的愛滋病政策。
3Hogan, mwanamama mwanaharakati mkongwe dhidi ya ubaguzi wa rangi na mwanachama wa muda mrefu wa ANC, yaani African National Congress, hapo awali alikuwa mwenyekiti wa kamati ya kusimamia masuala ya fedha.霍根為長期反種族隔離人士、執政黨「非洲民族議會」資深黨員,亦為金融商品組合委員會前主席,自就任衛生部長以來,她已破除前任政府對愛滋病的立場,宣示將把愛滋病列為優先政策。
4Tangu kuteuliwa kwake kuwa waziri wa afya, amebadili mwelekeo wa serikali iliyopita kuhusu VVU na UKIMWI na kuapa kutoa kipaumbele kwa masuala ya UKIMWI.許多南非民眾對此相當興奮,有信心霍根能依據科學訂定愛滋病防治政策,愛滋病運動人士在這段影片中慶祝霍根獲任命。
5Jambo hili limezua mshawasha miongoni mwa raia wa Afrika ya Kusini, ambapo wengi wao wanaamini kwamba Hogan anaweza kuimarisha vita vya nchi dhidi ya VVU na UKIMWI kwa kufuata sera yenye kuzingatia mtizamo wa kisayansi zaidi.
6Katika picha hii ya video, wanaharakati wa masuala ya UKIMWI wanashangilia uteuzi wa Hogan katika nafasi yake hiyo mpya. Siku za nyuma Hogan alipata kumkosoa waziwazi Rais wa zamani Thabo Mbeki na msimamo wake juu ya sera ya VVU na UKIMWI.過去霍根曾公開批判前總統姆貝基(Thabo Mbeki)對愛滋病的立場與政策,南非約有570萬名愛滋病患,去年也有35萬人因此死亡(平均每日約千人)。
7Wastani wa watu milioni 5.7 nchini Afrika ya Kusini wanasemekana kuishi na VVU na kiasi cha watu 350,000 walifariki kutokana na UKIMWI mwaka jana nchini humo (wastani wa watu 1,000 kila siku). Kwa upande mwingine Tshabalala-Msimang amelaumiwa vikali kwa kutofanya juhudi za kutosha kukabili tatizo la VVU na UKIMWI nchini humo.外界批評前部長處理愛滋病問題不當,他鼓吹吃甜菜根、大蒜等食品能治療愛滋病,因此得到「甜菜根博士」的綽號,輿論更指控他造成社會對愛滋病藥物的困惑。
8Waziri huyo wa zamani wa afya alihamasisha matumizi ya vyakula kama vile beetroot, vitunguu saumu na vinginevyo kama tiba ya VVU na UKIMWI, jambo lililosababisha watu kumbatiza jina la “Dkt Beetroot”, na zaidi ameshutumiwa kwa kusababisha mkanganyo kuhusu matumizi ya dawa za kurefusha maisha (ARV).
9Stephen, akiandika kwenye tovuti ya irreverence, alimuita Tshabalala-Msimang kama aibu ya taifa na papo hapo akimwita Hogan kama tumaini lililorejea. Ciaran Parker, akitumia blogu yake ya Ciaran's Peculier [sic] Blog, anafafanua kuhusu msimamo wa Tshabalala-Msimang usiokubaliwa na wengi:irreverence網站的Stephen稱呼前部長為全國之恥,認為霍根是希望曙光;Ciaran's Peculier部落格的Ciaran Parker進一步說明前部長非正統的觀念:
10“Ingawa Kgalema Motlanthe ameahidi kutoleta mabadiliko makubwa, bado ameatosa baadhi wa mawaziri wenye utata mkubwa waliokuwa kwenye serikali ya Mbeki. Mmoja wao akiwa ni Waziri wa Afya, Dkt Manto Tshabalala-Msimang, aliyekuwa mwananadharia mkubwa katika hoja ya Mbeki ya sera za kukana uwepo wa UKIMWI.臨時總統雖表示將蕭規曹隨,但至少擺脫前政府受人爭議的幾位部長,包括主導過去愛滋病政策的前衛生部長Manto Tshabalala-Msimang,姆貝基政府否認人體免疫缺損病毒(HIV)導致愛滋病,前衛生部長亦認為逆濾過性病毒藥品雖對治療愛滋病有部分效果,但價格過於昂貴。
11Serikali ya Mbeki ilikataa katakata kuona uhusiano uliopo kati ya VVU na UKIMWI, na waziri wake wa afya alijenga hoja kwamba hata dawa za kurefusha maisha, ambazo kwa kweli zimeonyesha kusaidia katika juhudi za kukabili gonjwa hili, zilikuwa ghali mno … Wataalamu wa afya wanaofanya kazi nchini Afrika ya Kusini na ambao walipingana waziwazi na nadharia za kushangaza za waziri huyu walijikuta wakifanywa kuwa wahanga.”
12Mapema juma lililopita, wakati wa uzinduzi wa mkutano juu ya Chanjo ya UKIMWI ya Kimataifa ya 2008 (International AIDS Vaccine 2008) huko Cape Town, Hogan, alitangaza hadharani kwamba VVU husababisha UKIMWI na kwamba ni lazima kukabiliana nao kwa kutumia dawa za hospitalini.
13Pia alieleza kwamba serikali ilikuwa na nia ya dhati kuongeza nguvu katika programu za kuzuia uambukizaji wa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, dawa zinazozuia akina mama wajawazito wenye VVU kuwapatia watoto wao ambao hawajazaliwa maambukizo na kueleza kwamba chango madhubuti ya VVU ilikuwa ikihitajika mno.
14Wanasayansi, wanaharakati na wanablogu wengi wameeleza furaha yao kufuatia hotuba iliyotolewa na Hogan.…南非衛生單位專家若公開反對部長的怪異言論,就會遭到懲處。
15Haley, akiblogu katika tovuti inayoitwa ujasura kama mwanafunzi balozi, ana hili la kusema: “Kusema kweli, watu wengi ninaozungumza nao wanashangazwa na jambo hili - kwamba maafisa wa serikali waliochaguliwa kwa njia za kidemokrasi wanakana fikra … kwamba … VVU husababisha UKIMWI.2008年國際愛滋病疫苗研討會於十月中在南非開普敦舉行,霍根在開幕致詞公開表示,就是HIV病毒造成愛滋病,也應使用正規藥物治療,她亦強調政府將擴大母子傳染預防計畫,避免患病母親將愛滋傳染給孩子,而世界也亟需有效的疫苗。
16Hata hivyo, kwa bahati mbaya, hapa Afrika ya Kusini hivyo ndivyo hali ilivyokuwa … lakini sasa mambo yamebadilika, msimamo si huo tena.” Ray Hartley, anayeandika katika The Times, Afrika ya Kusini, anablogu akiongeza:聽完霍根致詞後,許多科學家、社運人士與部落客都鬆了一口氣,adventures as an ambassadorial scholar部落格的Haley指出:
17“‘Tunajua kwamba VVU husababisha UKIMWI.' Kwa kauli hii, Waziri wa Afya, Barbara Hogan, amehitimisha muongo mzima wa aibu ya kukana uwepo wa UKIMWI jambo ambalo limeigharimu Afrika ya Kusini idadi isiyohesabika ya maisha ya binadamu, wakati huohuo wale waliokuwa wakiishi na VVU wakiishia kuishi kana kwamba kwenye kivuli chao wenyewe.”我和多數人談起此事時,他們都很意外今日竟還有民選官員,會否認HIV病毒造成愛滋病,可惜先前南非情況就是這樣,不過現在不同了。
18Ni vigumu kueleza idadi kamili ya watu walioathiriwa na sera zilizopita juu ya VVU na UKIMWI, lakini Shirika la Treatment Action Campaign (TAC) (Kampeni ya Kutetea Tiba) linakadiria kwamba kiasi cha raia milioni mbili wa Afrika ya Kusini walikufa kutokana na kuugua UKIMWI katika kipindi ambapo Mbeki alikuwa madarakani, na kwamba walau jumla ya vifo 300,000 vingeweza kuepukwa endapo tu angetimiza baadhi ya mambo ya msingi ya kikatiba.
19Baadhi ya wanablogu wanasema kwamba wote wawili, Mbeki na Tshabalala-Msimang wametapakaa damu mikononi mwao. Soneka Kamuhuza, anayeandika kupitia blogu ya Things That Make You Go Mmmh! anamshutumu vikali Mbeki.Ray Hartley在The Times, South Africa部落格另表示:
20“Umawazo mgando wao [Mbeki na Tshabalala-Msimang], umbumbumbu wa kukusudia na kujitia kwao kuwa wanyofu kulichochea tu uendelevu wa janga hili.「我們知道HIV病毒導致愛滋病」,由這句話開始,衛生部長霍根終結南非令人羞恥的十年愛滋否認期,這段時間犧牲南非無數生命,也迫使患者生活在陰影中。
21Kutumia njia ya kutazama tatizo zima kwa upana badala ya chanzo chake, pasipo kuingiza na njia nyingine, hakuwezi kuwa njia madhubuti ya kutibu VVU, waliingiza nchi katika wakati mgumu kwa kutumia umbumbumbu wao ambao waliulinda kwa njia zote. Hivi sasa inakadiriwa kwamba Afrika ya Kusini inaongoza duniani kwa kuwa na idadi kubwa ya watu wanaoishi na VVU.我們難以計算多少人受過去的愛滋病政策影響,不過「治療行動運動」(TAC)指出在姆貝基執政期間,超過200萬南非民眾因愛滋病而死,若前總統能遵守憲法基本原則,至少能避免30萬人死亡。
22Kwa namna fulani, naona ushawishi wa Mbeki katika jambo hili … Katika nchi ambayo ina utajiri mkubwa wa maliasili, amehadaa rasilimali watu iliyo muhimu sana, kwa kuwanyima fursa ya watu kuamua na kuanza kupambana na tatizo hili la UKIMWI kikamilifu.”有些部落客指控前總統與前衛生部長手上染血,Things That Make You Go Mmmh!
23Wengi wanaamini kwamba Hogan atarekebisha mambo yaliyoharibika kwa sehemu fulani.部落格的Soneka Kamuhuza怪罪姆貝基:
24Makala katika Peripheries inaonyesha kwamba watu wanatarajia kwamba wakati wa kuwa na ukanaji wa UKIMWI huku ukipewa nguvu na msukumo wa kisiasa nchini Afrika ya Kusini tayari umefikia kikomo.前總統與前衛生部長對此事淡漠、短視與虛偽,致使愛滋病持續蔓延,過去的策略無法有效治療疾病,他們因忽視的態度重創全國。
25Hata hivyo, wapo ambao hawako kupaparikia mambo haraka hivyo. BillyC, akitoa maoni yake juu ya makala iliyoandikwa katika The Times, la Afrika ya Kusini anasema:目前估計,南非愛滋病患者人數高居全球之冠,我覺得處處都有姆貝基介入的影子,…在此天然資源豐富的國家,人民受到他的欺騙,失去對抗愛滋病的起始機會。
26“Barbara Hogan ana kazi kubwa mbele yake ili kurekebisha mambo ambayo kwa kiasi fulani tayari amekwishasababisha madhara kwa mfumo wa afya katika uangalizi wa Manto. Uwezo wa wafanyakazi, ari ya kazi, na viwango vya utendaji ukiachia mbali sera za afya na sheria, yote ni mambo ambayo hayana budi kushughulikiwa.許多人希望霍根能彌補部分傷害,peripheries部落格指出,許多人期待獲政治支持的愛滋否認態度能在南非終結,但其他人仍持保留態度,BillyC回應The Times, South Africa的文章時認為:
27Zaidi ya hilo, kuna uhamasishaji wa matumizi ya dawa na upungaji pepo wa kivuduu, vilevile uhusianishaji wa kishetani na sayansi ya magharibi vyote vikiwa vimejikita sawasawa katika mfumo wa kufikiri wa taifa. Itachukua miaka mingi ya kazi ngumu, yenye kujaa ujasiri na unyoofu ili kuturejesha katika mfumo wa afya ulio wa heshima na wenye ufanisi.霍根眼前還有重重險阻待克服,才能扭轉前政府造成的種種傷害,執行者的能力、士氣、衛生政策等都需要處理,使用草藥食療與醜化西方醫學等印象已深植於國民心中,必須經過多年的努力與奮鬥,才能讓我們重返有效且令人尊重的衛生體系,我們只能祈禱霍根如有神助、快馬加鞭,她必須加快腳步。
28Tumwombee Barbara Hogan apate kasi. Kusema kweli anaihitaji.”南非愛滋病象徵照片來自Flickr用戶 mvcorks
29Picha ya Utepe wa Ukimwi wa Afrika ya Kusini imetoka kwa mvcorks katika mtandao wa picha wa Flickr.校對:Sophie Chiang