Sentence alignment for gv-swa-20120731-3643.xml (html) - gv-zht-20131002-15762.xml (html)

#swazht
1Tanzania: Mgomo wa Walimu Watikisa Nchi坦尚尼亞教師罷工造成社會動盪
2Walimu nchini Tanzania wamekuwa kwenye mgomo kuishinikiza serikali kuwalipa madai yao na kuboresha maslahi yao ikiwa ni pamoja na mishahara.坦尚尼亞的教師日前為了抗議政府尚未付出薪水而進行集體罷工,除此之外也希望藉此督促政府改善教師福利、提升工作環境品質與調高教師薪水。
3Mgomo huo uliofanyika baada ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kupitia Rais wake Bw. Gratian Mukoba kutoa notisi ya masaa 48 kwa Serikali tarehe 28 Julai 2012, ulianza Jumatatu ya tarehe 30 Julai 2012 na kudumu kwa siku takribani nne.坦尚尼亞教師協會的主席Gratian Mukoba在罷工的兩天前(2012年7月28日)即向政府提出警告。
4Kwa mujibu wa Chama cha Walimu, mgomo huo uliungwa mkono na asilimia 95.7 ya walimu wa shule za msingi, sekondari na vyuo vya ualimu.罷工自2012年7月30日開始並維持了四天,根據教師協會的說法,全國來自小學、中學以及教育機構的教師共有97.
5Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Bw. Gratian Mukoma.5%支持這次的罷工行動。
6Picha kwa hisani ya blogu ya Straikamkali坦尚尼亞教師協會的主席Gratian Mukoma。
7Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania wamekuwa ikifuatilia kwa karibu mgomo huo kutathimini madhara ya mgomo huo unaofanyika siku chache kabla ya zoezi la sensa ya watu na makazi lililopangwa kufanyika Agosti 26, 2012.照片:Straikamkali blog 坦尚尼亞全國人口普查預計在2012年8月26日進行,由於罷工發生在人口普查前,所以當地社群網站的使用者密切追蹤這次的罷工行動對於人口普查所造成的影響。
8Mtandao wa JamiiForums unaotumiwa na wastani wa watu 10,000 kwa kila dakika, ulikuwa na posti inayokusanya habari za maendeleo ya mgomo huo nchini kote.平均每分鐘有一萬人點閱的傑米論壇(The JamiiForums)透過網路更新關於這場全國性罷工的消息。
9Baadhi ya watumiaji wa mtandao huo walisumulia yaliyokuwa yanaendelea katika maeneo yao:發布坦尚尼亞各地的使用者在論壇上更新發生於各地區的罷工消息。
10Mtumiaji anayetumia jina la Rymg akiwa Mwanza alisema:來自姆萬紮(Mwanza)的Rymg說道:
11Sasa hivi wanafunzi kata ya ilemela mkoa wa mwanza wapo katika maandamano wakiwa na mabango tofauti yenye maandishi “tunataka haki zetu” wakielekea mahakama ya mwanzo wilaya ya ilemela kufungua kesi zidi ya waalimu kwa kukataa kuwafundisha…目前姆萬紮阿雷梅拉(Ilemela)區的學生正在進行示威遊行,學生欲對未盡教學職責的教師提出告訴,遊行隊伍正前往阿雷梅拉區司法法庭的路上。
12Agapetc aliyedai kuwa Korogwe naye alisimulia:學生揮舞著遊行標語「把權力與正義還給我們。」
13Hayawi hayawi sasa yamekuwa, walimu wa Halmashauri za Mji na Wilaya ya Korogwe wamegoma kwenda shule kwa kuunga mkono viongozi wao walioutangaza.來自科羅圭(Korogwe)的Agapetc說道: 科羅圭行政區及鎮委員會的教師們加入了罷工的行列,很多學校只有校長與資深的職員仍到校上班。
14Shule nyingi zimeonekana walimu wakuu na wakuu wa shule tu ndiyo waliohudhuria maofisini, pia imebainika kuwa walimu wa sekondari wanaongoza kwa kutoenda kazini wakati shule za msingi imebainika walimu ktk shule chache wameenda kazini.除此之外可以確定的是,主導罷工的教師來自中學,有些小學教師則選擇繼續到校任教。 來自三蘭港(Dar es Salaam) 其中一間小學的學生懇求政府幫助他們結束這場教師罷工。
15Wanafunzi wa mojawapo ya shule za msingi jijini Dar es Salaam, wakiandamana kuishinikiza serikali kutatua mgomo wa walimu unaoendelea.照片:khals-tanzanphotobank.blogspot.com
16Picha kwa hisani ya blogu ya khals-tanzanphotobank.blogspot.com坦尚尼亞其他地區則傳出學生因發動示威遊行而遭鎮壓。
17Hanang' shule ya sekondari Mahu wanafunzi wamefunga barabara ya kwenda Singida kwa kutumia madawati, hivi sasa polisi na ofisi ya elimu wamekwenda kule kutuliza hali.Naytsory敘述了在哈那恩(Hanang)所發生的事:
18Walimu wameitikia mgomo kwa zaidi ya 90% kwani shuleni wapo wapo wakuu wa shule na walimu wa field na wale wa kujitolea, shule za msingi wapo walimu wakuu tu.哈那恩馬虎中學的學生用課桌椅將通往辛吉達區(Singida)的道路封住,警察與教育官員也在現場試圖處理這個狀況。
19Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Patrick Lusiano Tsere, alipinga hatua ya walimu kugoma, akiamini hatua hiyo inalenga kuhujumu zoezi na sensa ya watu linalotarajiwa kufanyika nchini kote kuanzia tarehe 26 Agosti 2012.90%以上的教師都參與了這次的罷工行動,只有學校管理員與志工仍到校工作,小學裡甚至只剩下校長而已。 Patrick Lusiano Tsere透過臉書發表他對這次的罷工行動的不滿。
20Walimu wanatarajiwa kuwa makarani wakuu wa kuwezesha zoezi hilo:他表示這次教師罷工的目標就是要瓦解國家已計畫好的人口普查,他覺得教師在全國人口普查中所扮演的角色應該要像是資深的秘書,試圖讓全國人口普查有好的結果:
21Hivi hamjui zoezi la sensa linagharimu fedha nyingi kitaifa?!你們難道不知道進行一次人口普查要花掉非常多國家的資金嗎?!
22Hutaki hilo zoezi lifanyike unaelewa maana yake?!你們瞭解不讓人口普查進行的後果嗎?
23Kama wewe mwalimu badala ya kufuata barabara ya kisheria ya kudai haki zako, unaamua kuhamasisha walimu wahujumu zoezi la sensa, je katika taratibu zenu za madai ambazo zimeainishwa kisheria, kuna kipengere au kifungu kinachowapa nyie nguvu ya kisheria to resort to blackmailing the government?身為教師,你們並沒有依循法律的途徑去爭取權利,反而是鼓勵他人一起瓦解人口普查。
24Kama hio ndio attitude yenu walimu basi bila ya shaka watoto wetu watadumaa kimaadili.在你們的組織裡,你們所秉持的主張都是根據法律,但法律中有任何一項條款賦予你們勒索政府的權利嗎?
25John Mughobi Sagatti alikuwa na maoni tofauti na hayo kwenye ukurasa huo huo:假如這就是我國教師的態度,那毫無疑問的我們學生的舉止與禮節也不會好到哪裡去。
26Hivi Balozi serikali yetu imeshagoma mara ngapi?John Mughobi Sagatti則持有不同的看法:
27Mi naona kila siku inagoma tu na hakuna pa kuipeleka…Iwajibike uone kama matatizo haya yatajitokeza…Corrupt government will never ever deliver! itatumia ubabe tu kuendesha mambo yake…Let the ‘legitimate government' play its Part…人生與成功(Life and Success)的部落客Yasinta Ngonyani在網站上放了一張在罷工後所拍的照片,照片內容為一位學生扮演教師的角色在教導其他學生。 照片下方的說明為:
28Yasinta Ngonyani, mwanablogu wa Maisha na Mafanikio aliweka picha inayomwonyesha mwanafunzi mmoja akiwafundisha wenzake kufuatia mgomo wa walimu wa shule hiyo, naakaiwekea maelezo yafuatayo:學生決定扮演起老師的角色,這很清楚地顯示了老師在小孩生活中的重要性。 自由指揮台(Freepodium)的部落客拉Ramadhani Msangi則在網站上放上了一段罷工的影片。
29Mwanafunzi anapoamua kuchukua nafasi ya ualimu.在維特Twitter上展開一連串的討論:
30Hakika hapa ndipo inapoonekana walimu ni watu/walezi muhimu sana….Yericko Nyerere @YerickoNyerere :
31Ramadhani Msangi, mwanablogu wa JukwaaHuru aliweka mkususanyiko wa video za mgomo huo.我在等待總統的演講 @jmkikwete。
32Katika mtandao wa twita, majadiliano yaliendelea: Yericko Nyerere alitwiti:自從上個月他說政府沒有牽涉在綁架醫師烏里波卡(Ulimboka)的事件中後,我不知道他對於這次的教師罷工還會說甚麼。
33Nasubiri hotuba ya rais wangu @jmkikwete sijui atasema nini, mwezi jana alisema serikali yake haihusiki ya Ulimboka, Je mgomo huu wa Walimu?教育權利(Haki Elimu)@HakiElimu 那些幫忙在坦尚尼亞各地蒐集消息的人:
34Haki Elimuwalikusanya habari za mgomo huo kutoka maeneo mbalimbali nchini.點這裡看教師罷工在塔波拉(Tabora)所造成的傷害。
35@HakiElimu walitwiti: Rama S Msangi @mchambuzi alitwiti:Rama S Msangi @mchambuzi:
36I uploaded a @YouTube video Mgomo wa walimu huko Musoma我在YouTube上傳了一則在穆索馬(Musoma)發生的罷工影片。
37Wakati mgomo wa walimu ukiendelea, Rais Jakaya Kikwete alizungumza na wahariri wa vyombo vikuu vya habari tarehe 1 Agosti, 2012.2012年8月1日,在罷工進行的同時,總統賈卡亞˙基奎特(Jakaya Kikwete)在多位新聞編輯者前發表演說。
38Irenei Kiria alihoji kwa twiti:Irenei Kiria @Irenei2011在維特上說道:
39Mtumiaji mmoja wa mtandao wa JamiiForums aliripoti mtandaoni kuwa Rais amesema madai ya walimu hayatekelezeki.我請求那些有在注意教師罷工的人,提供總統對於這次罷工行動所作的結論讓我們知道。 在傑米論壇上有一則回應表示教師的訴求是不切實際的。
40Dada Subi wa blogu ya wavuti aliweka hotuba hiyo ya Rais pamoja na sauti katika Blogu yake.部落格網際網路(wavuti)中,修女Subi上傳了總統的演講到她的部落格上。
41Blogu ya TheHabari iliandika muhtasari wa tamko la Haki Elimu @HakiElimu Shirika linalojishughulisha na utetezi wa masuala ya elimu nchini Tanzania, kuhusu mgomo huo:部落格TheHabari提到了一則來自教育權利(Haki Elimu)對於此場罷工的簡短聲明。(
42HakiElimu inasisitiza kwamba nchi itafanikiwa kuboresha elimu endapo tu itawekeza kwa walimu kwa kuboresha mazingira ya kazi, maslahi ya walimu, kuwashirikisha walimu katika maamuzi kuhusu masuala ya elimu na kuwapa walimu mafunzo kazini.教育權利為坦尚尼亞一個專門處理教育方面問題的組織): 教育權利堅持,要讓這個國家的教育體制進步的唯一方法就是改善教師的工作環境。
43Elimu bora haiwezi kuletwa na walimu walio hoi教師有教育體制的決定權且有必要給他們職業訓練,沒有動力工作的教師無法傳授好的教育。
44Blogu hiyo iliendelea:部落格繼續說道:
45Viongozi wa Serikali wasiwabeze walimu; kwa kufanya hivyo wanawakatisha tamaa.政府官員不應該忽視教師,因為如此一來便會讓教師失去教書的動力。
46Hata kama baadhi ya walimu hawakusoma kwa miaka mingi kama ilivyo kwa fani nyingine, wana umuhimu mkubwa sana.即便教師沒有像專家一樣專精在該領域,但他們的確扮演著非常重要的角色,他們透過傳授知識培育著這個國家未來的棟樑。
47Ndio wanaowaandaa watanzania wa leo na kesho kimtazamo na kimaarifa.因此,要求更好的工作環境是教師的權利,而且政府也應該藉由傾聽與協商來達成他們的訴求。
48Hivyo, kudai kuboreshewa mazingira ya kazi ni haki yao; na Serikali inaweza kutimiza wajibu wake kwa kuwasikiliza na kushauriana nao bila ubabe na kejeli2012年8月2日星期四,最高法院判定這場罷工是違法的,理由為沒有遵循法律依據。
49Alhamisi ya tarehe 2 Agosti, 2012 Mahakama Kuu kitengo cha Kazi ilisitisha mgomo huo wa walimu kwa kwa maelezo kuwa haukuzingatia sheria.部落格網站地圖(TheMjengwablog)轉述:
50MjengwaBlogu iliripoti:法院判定教師罷工因為沒有遵循正確的程序而違法。
51Mahakama leo imetengua mgomo wa walimu uliokuwa ukiendelea nchi kwa madai kwamba mgomo siyo halali mahakama pia imeiamuru CWT kuwalipa fidia wanafunzi walioathirika na mgomo wa walimu法院也命令教師協會要補償那些受到這場罷工波及的學生。 教師罷工緊接著發生在醫師罷工事件之後,依然有人覺得並沒有完全處理好醫師罷工事件。
52Mgomo wa walimu ulifanyika katika kipindi kifupi baada ya mgomo mwingine wa Madaktari kuibua mjadala mkali katika jamii.譯者:Becky Tsai
53Wapo wanaodhani mgomo huo wa Madaktari haukutatuliwa.校對:FenFen