Sentence alignment for gv-swa-20130225-4793.xml (html) - gv-zht-20130714-15424.xml (html)

#swazht
1Uhuru wa Vyombo vya Habari Nchini Myanmar Bado ni Giza緬甸:媒體自由 仍需改善
2Uamuzi wa Myanmar wa kuivunja bodi katili ya ukaguzi ulisifiwa na makundi mbalimbali ya watu kuwa ni hatua ya kuelekea kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari nchini Mynmar.緬甸政府廢除媒體事前審查制度的決定,為許多團體所讚賞,肯定緬甸促進媒體自由的進展。
3Lakini wafuatiliaji wa uhuru wa vyombo vya habari waliainisha vitisho vinavyoendelea, changamoto na mashambulizi waliyokwisha kuyapata waandishi wa habari waishio nchini Myanmar kwa mwaka uliopita.然而,媒體自由監督機構也指出,緬甸記者在過去一年來,不斷地經歷到威脅、困難與攻擊。
4Kwa mfano, waandishi wa habari wa kujitegemea wanaendelea kuwa katika hali ya hatari ya kukumbwa na vifungu mbalimbali vya sheria kama wataweka bayana hali ya sintofahamu katika uongozi au kuwakosoa viongozi wa ngazi za juu serikalini.舉例來說,獨立記者一旦提出政治爭議議題或批評高階層的政府官員,將不斷面臨許多訴訟問題。 2013年2月7日,緬甸議會組成委員會,調查「凌駕於法律之上」[緬]這篇網路部落格文章的作者。
5Mnamo tarehe 7 Februari, 2013, bunge la Mynmar liliunda tume ya kumchunguza wandishi kufuatia makala iliyoandikwa kwenye blogu iliyokuwa na kichwa cha habari “Juu ya Sheria” [my].此作者在部落格緬甸之聲[緬],以筆名「Dr.
6Makala iliandikwa na mtu aliyetumia jina la kubuni “Dr. Sate Phwar” kwenye blogu ya Sauti ya Myanmar (Voice of Myanmar) [my].Sate Phwar」撰寫這篇文章。
7Makala hiyo iliwakashifu wabunge kwa kutoizingatia katiba na pia kwa kujifanyia maamuzi bila kuzingatia ushauri wa Rais.他指控國會議員無視憲法,制定決策以自身為考量,而不理會總統的言論。
8Aliandika kwa kejeli:他諷刺地寫道:
9Kwanini msiongeze marekebisho haya mapya kwenye katiba ambayo kwa vyovyote ambavyo katiba itaelekeza, mwenyekiti wa Bunge na wenzake wanaweza kuamua wao wenyewe kwa kupiga kura Bungeni.blockquote>何不直接在憲法裡增加修正案,不論憲法的規定是什麼,緬甸國會議長與議員只要經由投票,彼此間就能做決定。
10Picha iliwekwa na iFreedom Media Group (Burma) ambalo liliandika kuwa mwandishi wa habari ashambuliwa na wavamizi wa ardhi kwenye makazi yake mapya.照片由緬甸媒體自由團體(Freedom Media Group)提供,此團體表示當地記者在安置區遭非法居民攻擊。
11Taarifa hiyo fupi iliongeza pia kuwa, “baadhi ya taarifa, zinasema kuwa, huu ni mpango ulioandaliwa na kikosi maalum cha polisi ili kuwafanya watu wawachukie wavamizi wa ardhi.”照片也補充說明,「某些新聞聲稱此攻擊由特殊警察籌畫,迫使人民仇恨非法居民」。
12Sambamba na hili, mwaka uliopita, jarida la nchini MyanmarThe Voice Weekly lilituhumiwa na wizara ya madini kwa kuikashifu pale jarida hili lilipotoa taarifa za wizara hii kuwa inatumia vibaya fedha pamoja na udanganyifu mwingine.去年,緬甸國內雜誌「每周之聲」因報導礦業部不當運用資金和詐欺,而遭礦業部提出誹謗告訴。
13Kwa bahati nzuri, wizara ilitupilia mbali tuhuma hizi mapema mwaka huu.幸好,礦業部已於今年初撤回告訴。
14Siku za hivi karibuni, waandishi wa habari, walipokea [my] angalizo kutoka katika kampuni ya Google kuwa yawezekana kukawa na mashambulio yaliyo andaliwa kutoka kwa “ washambuliaji waliofadhiliwa na serikali”.近期,許多記者收到來自谷歌的警訊[緬],警告不久的將來,將會有來自「國家贊助的攻擊者」發動攻擊。
15Angalizo hilo lilitolewa mara baada ya kurasa za Facebook za jarida la kujitegemea nchini Myanmar la The Voice Weekly [my] na Eleven Media Group [my] kuharibiwa nakikundi kinachojiita “Myanmar isiyojulikana”. Hata hivyo, serikali imekanusha kujihusisha kwa namna yoyote na shambulizi hili la uharibifu wa taarifa katika mtandao wa intaneti.此警訊發布前,當地雜誌「每周之聲」[緬]和「十一號媒體集團」[緬]的臉書頁面,遭名為「緬甸匿名者(Anonymous Myanmar)」的團體損壞。
16Labda kwa kuzingatia hujuma kwenye tovuti za habari, tovuti maalum [my] ya Rais wa Myanmar ilishambuliwa mnamo Februari 5, 2013 na wavamizi walioshukiwa kuwa ni wa kikundi kinachojulikana kwa jina la “Indonesian Fighter Cyber”.但是,政府否認與此次網路攻擊有所關聯。
17Pia, ni kawaida sana kukuta makundi ya watu wenye hila, picha za kupotosha na jumbe mbalimbali kwnye mitandao ya kijamii.或許是為了回敬媒體網站遭駭,緬甸總統的官方網站於2月5日遭到駭客攻擊。
18Wakati wa machafuko ya Rakhine mwaka 2012, picha za upotoshaji kutoka pande zote mbili za mgogoro zilisambaa kwenye mtandao wa intaneti.駭客可能是「印尼網路戰士(Indonesian Fighter Cyber)」中的成員。
19Wakati huo huo, Taw Win Daund aliweka picha katika ukurasa wake wa Facebook ambayo inadhaniwa kuwa ni picha ya watoa maoni waliokodishwa.仇恨團體、宣傳照片與訊息在社會媒體上能見度高。
20Picha hiyo aliipa kichwa cha habari:2012年,若開邦暴力衝突期間,衝突雙方的宣傳照片在網路上流傳。
21Watoa maoni waliokodishwa au wanafunzi wa mafunzo ya kijeshi?同時,Taw Win Daund在他的臉書頁面上,貼了一張大家認為是網路評論員的照片。
22Picha imewekwa na Taw Win Daund他為這張照片做註解:
23Watoa maoni waliokodishwa, wanahamasisha vurugu kati ya Rais Thein Sein na Makamu Mkuu wa Majeshi Min Aung Hlaing kwa kuandika maoni ya kejeli mwishoni mwa makala katika majarida ya Eleven Media, the Voice Weekly na 7 Days News journal.網路評論員在「十一號媒體集團」、「每周之聲」與「7 Days News」等雜誌文章下發布仇恨評論,渲染了總統登盛和上將Min Aung Hlaing彼此間的衝突。
24Kuna mitazamo tofauti katika picha hii.關於這張照片有不同說法。
25Steven Myo aliandika:Steven Myo評論說:
26Waandishi wanahusisha hata wale waliopata mafunzo huko Urusi.評論員裡也包含曾在俄羅斯學習的人。
27La Min Aung alikanusha madai hayo:是受僱的網路評論家還是軍校學生?
28Hii siyo sahihi, kutumia picha ya wanafunzi katika chuo cha mafunzo ya kijeshi ili kupotosha siyo vizuri.照片分享自Taw Win Daund。
29Hii itapelekea mgogoro miongoni mwa watu na pia katika jeshi.La Min Aung則反駁這種說法:
30Pamoja na kuwa ni vigumu kusema kama ni ukweli au sio mkweli, maoni ya kukejeli na matumizi ya lugha chafu ni kawaida sana katika kurasa za Facebook nchini Myanmar.利用軍事學院學生的照片來誤導大眾是很不好的事,這會使人民與軍隊對立。 雖然無從得知這是不是事實,但緬甸臉書上卻極為常見含有粗俗語言的仇恨言論。