Sentence alignment for gv-swa-20080831-15.xml (html) - gv-zht-20080827-1304.xml (html)

#swazht
1Waziri matatani kwa cheti ‘feki’伊朗:閣員博士學歷造假
2Ali Kordan,Waziri wa Mambo ya Ndani wa Irani, Katika siku za hivi karibuni, ameshutumiwa vikali kwa kuonyesha Shahada ‘feki' ya Udaktari (PhD) aliyodai kupata kutoka katika chuo kikuu chenye sifa kubwa duniani cha Oxford cha nchini Uingereza.伊朗新任內政部長Ali Kordan最近飽受抨擊,因為他的英國牛津大學博士學位證實偽造,包括保守派的Alef等多個網站都張貼所謂「牛津榮譽法學博士」證書掃描檔案。
3Tovuti mbalimbali, pamoja na ile ya kihafidhina wa Alef, zimechapisha picha ya cheti hicho ‘feki' cha Kordan kinachoonyesha kwamba ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima na Chuo Kikuu cha Oxford. Alef inaonyesha makosa kadhaa ya kiuandishi yaliyojitokeza kwenye cheti hicho kinachodaiwa kuwa cha Oxford, kwa mfano, “to be benefitted from its scientific privileges”.Alef指出,這張所謂的牛津證書上有數個文法錯誤,例如「benefited」多了一個t,「entitled」也誤植為「intitled」。
4Pia neno“entitled” liliandikwa kimakosa “intitled”. Vilevile tovuti ya Alef imepandisha kwenye ukurasa wake faksi kadhaa ambazo iliandikiana na Chuo Kikuu cha Oxford kuhusiana na jambo hili.Alef也公布與牛津大學就此事交涉的數張傳真,該網站在伊朗隨後遭到過濾阻擋。
5Baada ya hapo tovuti hiyo ilizuiwa kuonekana nchini Iran. Wakati ambapo mamlaka nchini Irani inafanya upelelezi kuhusiana na jambo hili, Chuo Kikuu cha Oxford kimetangaza kwamba hakina kumbukumbu kwamba Bwana Kordan alipata kuhitimu katika chuo hicho.伊朗政府介入調查本案同時,牛津大學亦澄清並無Ali Kordan畢業於該校記錄。
6Mwanablogu wa Irani, Bwana Behi, anaandika:伊朗部落客Mr.
7Rais Ahmadinejad amefanya muujiza mwingine.Behi表示:
8Amemteua mtu anayedai kuwa na Shahada ya Udaktari katika Sheria kutoka Chuo Kikuu cha Oxford kama waziri wa mambo ya ndani! Yalipoibuliwa maswali kuhusu uhalisia wa shahada hiyo, huyo jamaa alijawa na jazba, alivitishia vyombo vya habari na kuonyesha cheti chake hiki.伊朗總統阿曼尼內賈德(Mahmoud Ahmadinejad)又創造一項奇蹟:他挑選的內政部長自稱是牛津大學法學博士!
9Cheti chenyewe kinatia mashaka makubwa na kinadhaniwa kuwa ni cha kughushi, tena kimejaa makosa ya kiuandishi na wakati huo huo majina yanayoonekana kwenye saini wala si ya yeyote miongoni mwa wanaofundisha katika Kitivo cha Sheria cha chuo hicho!當外界質疑證書真偽,他便惱羞成怒、威脅媒體,還製造出這份文件堵住媒體之口,但這項證據實在太可疑,不僅有文法錯誤,署名者根本不是法學院教職員!
10Ikiwa Ahmadinejad anataka kughushi katika uchaguzi ujao, basi heri atafute mtu makini wa kumsaidia katika kugushi pasipo kugundulika kwa urahisi. Lo, aibu kubwa hii!如果總統想要偽造下屆選舉,最好選個至少懂得遮羞的人,真是丟臉!
11Mohmmad Ali Abtahi, aliyekuwa Makamu wa Rais katika serikali ya kimageuzi na ambaye pia ni mwanablogu, anaandika kwamba enzi zake alipokuwa Naibu Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu, aliwahi kukutana na afisa mmoja wa Irani ambaye aliwahi ‘kununua' Shahada ‘feki' ya Udaktari.改革派前副總統兼部落客Mohmmad Ali Abtahi提到,他過去擔任文化暨伊斯蘭指導部副部長時,便曾遇過官員花錢買博士學位,據悉買文憑代價約1000美元。
12Abtahi anasema kwamba bei ya kununua cheti kama hicho ilikuwa ni karibu dola za Marekani 1000. Mwanablogu mwingine, Shirzad [Fa], anadai kwamba kuna uwezekano mkubwa kuwa Ali Kordan hana hata shahada ya kwanza.另一位部落客Shirzad[波斯文]表示,Ali Kordan似乎連學士證書都沒有:
13Mwanablogu huyu anaongeza: Inamaanisha kwamba miaka yote hii waziri huyu ametumia udanganyifu kulipwa kama mtu mwenye Shahada ya Udaktari … Mmoja wa wasaidizi katika Bunge la Irani aliwahi kumuuliza Kordan: “Ulipataje Shahada yako ya Udaktari katika Sheria wakati wewe unadai kwamba uliandika Utafiti (Thesis) wako kuhusu Elimu ya Kiislamu?”這代表他說謊多年,並以博士學歷領薪水,一名國會議員質詢Kordan:「你說論文主題有關伊斯蘭教育,那麼如何取得法律博士學位?」「
14“Je, ulifanya vipi utetezi wako wakati ambapo wewe huwezi kuzungumza Kiingereza?”你如果不會說英文,怎麼通過口試?」
15Kordan alijibu, “Nilikuwa na mfasiri.”Kordan回答:「我有翻譯員。」
16Mwanablogu Jomhour anaandika kwamba [Fa] Rais wa Irani, Mahmoud Ahmadinejad alimtetea Waziri wake kwa kuuliza, “Je, ni nani aliye na haja na makaratasi haya yanayoweza kuchanwa (yasiyo na maana)!” Mwanablogu huyu anauliza:Jomhour說[波斯文],伊朗總統仍為內政部長辯護,表示「我們不需要那些廢紙!」,但這位部落客想問:
17Endapo vyeti havina maana, ni makaratasi yanayoweza kuchanwa wakati wowote, hivi basi kwa nini Waziri wa Ahmadinejad alijihangaisha kutafuta walau cheti hicho feki … na hii si mara ya kwanza ambapo Rais Ahmadinejad anaita (anakebehi) nyaraka muhimu kuwa ni makaratasi yanayoweza kuchanwa wakati wowote kumaanisha kwamba hayana maana.若學歷無用、是廢紙,為何部長要佯裝成握有證書…這不是總統第一次稱官方文件為廢紙,之前聯合國決議反對伊朗核子計畫時,他也稱之為是無用的廢紙。
18Hapo mwanzo aliwahi kusema kuwa nyaraka zilizoonyesha msimamo wa Umoja wa Mataifa dhidi ya Mpango wa Nyuklia wa Irani kama makaratasi yasiyo na maana.總統的媒體顧問Ali Akbar Javanfekr表示[波斯文],科學部應對Kordan的博士學歷認定做出裁決,並建議最好不要帶入太多個人政治見解。
19Ali Akbar Javanfekr, Mshauri wa Rais Ahmadijad katika masuala ya mawasiliano na vyombo vya habari, anasema kwamba [Fa] Wizara ya Sayansi itoe uamuzi kuhusu Shahada ya Udaktari ya Kordan na anapendekeza kwamba tusiingize au kuhusisha katika siasa mtazamo na maoni binafsi kuhusu suala hili.校對:nairobi