Sentence alignment for gv-swa-20101211-1839.xml (html) - gv-zht-20101209-8499.xml (html)

#swazht
1Bi Harusi wa Miaka 14 Huko Malaysia馬來西亞:14歲的新娘
2Hivi karibuni ilitolewa taarifa kwamba ndoa ya kupangwa kati ya msichana mwenye umri wa miaka 14 na mwalimu mwenye umri wa miaka 23 ‘ilianzisha wito wa mjadala mpya juu ya ndoa za watoto wadogo'.媒體最近報導,有名14歲女孩將與23歲教師成婚,「再度引發人們討論兒童結婚問題」,依據馬來西亞的伊斯蘭律法,未滿16歲的穆斯林若要結婚,必須先獲得伊斯蘭法庭同意,法庭已准許本案兩人成婚。
3Chini ya sheria ya Syariah ya Malaysia, ambayo i8na mamlaka juu ya Waislamu, Waislamu walio chini ya umri wa miaka 16 wanatakiwa kupata idhini ya mahakama ya Syariah kabla ya ndoa kuruhusiwa.Glenda Larke認為縱然合法,兒童結婚也與戀童癖無異。
4Katika shauri hili, mahakama ilitoa ruksa kwa watu hao wawili kufunga ndoa. Glenda Larke anaamini kwamba ndoa za watoto hazina tofauti na ngono batili kati ya watu wazima na watoto, hata kama ni kwa mujibu wa sheria.14歲學童不是成人,她就算已有月經,也還不是女人,只是個孩子,她尊敬成人,宗教與文化教導她要聽從長者及家長的話,她既脆弱又容易受騙。
5Mtoto wa shule mwenye umri wa miaka 14 siyo mtu mzima. Si mwanamke kamili, hata kama ameshaanza kupata hedhi.要娶她的23歲男子已受過教育,不像有些文盲的心態仍停留在19世紀,認為孩童12歲就該工作、14歲就該結婚,這名男子根本就是戀童癖。
6Bado ni mtoto mdogo. Anafuata uongozi wa watu wazima.B.Joe強調,伊斯蘭法庭與女童家長並未捍衛兒童及未成年者的權利。
7Dini yake na utamaduni wake unauelekeza kutii wakubwa wake, hasa wazazi wake. Hajaerevuka na hana kinga.整件事最好笑之處,在於伊斯蘭法庭竟然批准,這樣怎麼保護未成年者的權利?
8Mwanaume mwenye mika 23 mbaye anamuoa - mwanaume mwenye elimu, ambaye si mtu fulani asiyejua kusoma ambaye jamii yake bado imejikita katika fikra ya karne ya 19 kwamba watoto wanapaswa kuanza kufanya kazi wakiwa na umri wa miaka 12 na kuolewa wakiwa na miaka 14 - kwa ujumla na wazi, ni mfanya ngono na watoto wadogo.
9B.Joe anaona kwamba haki za watoto na vijana chini ya umri wa miaka 18 hazifuatwi na mahakama ya Syariah pamoja na wazazi wa msichana huyo.為何家長不願多等幾年,讓女孩能自己做決定?
10Na sehemu inayochekesha katika makubaliano yote haya ni kwamba ndoa hiyo ilipitishwa na mahakama ya Syariah - je nini kimezitokea kinga za vijana chini ya umri wa ridhaa?Un:dhimmi也主張此事在道德上有錯:
11Kwa nini wazazi hawakuweza kusubiri kwa miaka mingine michache mpaka hapo mtoto Yule atakapoweza kufanya uamuzi yeye mwenyewe? Un:dhimmi pia anaamini kuwa jambo hili ni kosa kimaadili.一篇又一篇研究顯示,女孩若太早接觸性行為,不僅會讓未發育完成的生殖系統受損,也會造成長期心理創傷。
12Tafiti baada ya tafiti zinaonyesha kuwa wasichana wanaofanyishwa vitendo vya ngono katika umri wa mapema hivyo hupata madhara si tu katika mfumo wao wa uzazi ambao bado unakua, lakini pia hupata athari za kisaikolojia za muda mrefu.
13Hata hivyo, Fyzal alichukua msimamo usiofungamana na upande wowote katika suala hili.Fyzal採取中立角度:
14Katika hali hapo juu ridhaa ya mahakama ya Syariah ilipatikana. Na ina maana kwamba tunapaswa kuwa na imani katika Mahakimu wa Syariah - ni lazima walizingatia mazingira yote kabla ya kutoa ridhaa.上述案例已獲伊斯蘭法庭許可,我們應對伊斯蘭法官有信心,他們必然已考量所有因素,才會批准成婚。
15Ridhaa kama hiyo, ninaamini, ilitolewa na mahakimu wakiwa na imani kwamba mwanaume Yule atamuangalia vyema msichana na msichana huyo atakua vizuri chini ya uangalizi wa mwanaume huyo. Ikiwa mahakimu wangetia shaka, ridhaa ya namna hiyo isingetolewa.法官會批准,代表他們對這名男子有信心,能夠妥善照顧這個女孩,女孩也能在男子關愛下成長,若法官有疑慮,就不會允許此事。
16Kwa hiyo, nawasilisha kuwa katika masuala ya ndoa kati ya wasichana wa Kiislamu walio chini ya umri wa miaka 16, tuziachie mahakama za Syariah zifanye kazi yake.我認為就16歲以下穆斯林女孩結婚而言,就讓伊斯蘭法庭善盡職責,他們知道哪些情況能夠同意成婚。
17Wanafahamu ni wakati gani wa kutoa ruksa na wakati gani wa kutotoa ruksa.但我也主張,政府與伊斯蘭律法專家應公開討論,以處理此類問題。
18Lakini nina mtazamo kuwa majadiliano ya wazi bado yanatakiwa kati ya serikali na wataalamu wa Syariah ili kutatua suala hili.校對:Soup