# | swa | zht |
---|
1 | Palestina: Shule ya Umoja wa Mataifa Yashambuliwa na Makombora ya Israeli, Zaidi ya 40 wafariki | 巴勒斯坦:以色列轟炸聯合國學校 逾40亡 |
2 | Takriban majira ya saa 12 za jioni (GMT +2), Idhaa ya Kiingereza ya Al Jazeera iliripoti kuwa shule moja ya Umoja wa Mataifa ilipigwa wakati makombora mawili ya vifaru yalipolipuka nje ya shule hiyo. | 昨晚約六點(GMT+2)半島電視台英語頻道(Al Jazeera English)報導,位於加巴里雅(Jabaliya)的聯合國學校遭到攻擊,兩枚坦克砲彈在學校外圍爆炸,該所學校自數天前權充為臨時庇護所,供無家可歸或暫時撤離的加薩人居住。 |
3 | Shule hiyo, iliyopo Jabaliya, ilianza kutumiwa kama makazi ya raia wa Gaza waliozikimbia nyumba zao au waliopoteza makazi yao. | 根據半島電視台英語頻道表示,目前超過40人身亡。 |
4 | Kwa mujibu wa idhaa ya Kiingereza ya Al Jazeera, zaidi ya watu 40 wameuawa. | 該台並指出(全球皆可由Livestation.com網站收看),以色列軍隊先前已獲得所有聯合國學校的全球衛星定位位址。 |
5 | Katika idhaa ya televisheni ya Kiingereza ya Al Jazeera (inayopatikana duniani kote kupitia Livestation.com) ilitangazwa kuwa jeshi la Israeli, IDF limepewa ramani za setilaiti, GPS, za mashule ya Umoja wa Mataifa. | The Philistine快速發文敘述事件經過: 救護單位表示以色列空襲加薩聯合國學校,死亡人數攀升至30人。 |
6 | Blogu ya Philistine iliripoti kwa haraka juu ya tukio hilo: | 這起攻擊事件發生在北加薩一所學校十公尺以外,同時也是過去幾個小時以來,以色列第二次對聯合國學校發動死亡攻擊。 |
7 | Waganga na maafisa wa afya wanasema idadi ya waliofariki kutokana na shambulio hilo la anga la Israeli nje ya shule ya Umoja wa Mataifa kwenye ukanda wa Gaza imefikia 30. | 醫院領導人Bassam Abu Warda證實,第二起空襲事件,造成30人死亡。 |
8 | Shambulio hilo lilitokea kama yadi 10 hivi (mita) nje ya shule huko kaskazini mwa Gaza. | 兩起事件中,學校均充作臨時庇護所,供在以色列攻擊中流離失所的民眾避難。 |
9 | Ni shambulio la pili la Israeli lililopiga shule ya Umoja wa mataifa katika masaa machache yaliyopita. | 一名聯合國人道事務高級官員譴責暴力行徑,並要求展開調查。 |
10 | Mkurugenzi wa hospitali Bassa Abu Warda alithibitisha vifo 30 kutokana na shambulio la pili. | 以色列方面不表示意見。 |
11 | Katika mashambulio yote mawili, shule hizo zilitumiwa kama hifadhi ya watu waliopoteza makazi yao kutokana na mashambulizi ya Israeli. | Syria News Wire也快速發文表示: |
12 | Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa amelaani unyama huo na kutaka uchunguzi ufanywe. | 以色列轟炸加薩聯合國學校,現在已有40人死亡。 |
13 | Israeli haijatoa maoni yoyote. | 稍早聯合國安排400名巴勒斯坦人在學校避難。 |
14 | Blogu ya Syria News Wire kadhalika iliripoti kwa haraka ikieleza: | 倫敦Twitter用戶dominiccampbell對新聞反應激動: |
15 | Watu 40 wamefariki baada ya Israeli kutupa makombora kwenye shule ya Umoja wa Mataifa huko Gaza. | 圖說:現在以色列是不是打算宣稱,哈馬斯把聯合國學校搬到坦克攻擊射程內? |
16 | Wapalestina 400 walipewa hifadhi shuleni hapo na Umoja wa Mataifa. | 芬蘭Twitter用戶haloefekti則對沒有人出聲抗議表示震驚: |
17 | Mtumiaji wa huduma ya Twita domoniccampbell, aliyeko mjini London, alitoa maoni makali kuhusiana na taarifa hiyo: Mtumiaji wa Twita wa Kifini haloefekti anaelezea kustushwa kwake na uhaba wa shutma kuhusu shambulio hilo: | 圖說:等著看國際社會發動抗議-那是一所學校,是聯合國在加薩的學校,實在太瘋狂了! |