Sentence alignment for gv-swa-20090613-196.xml (html) - gv-zht-20090614-3156.xml (html)

#swazht
1Msumbiji: Shambulio Dhidi Ya Mgombea Urais莫三比克:總統參選人遭襲擊
2Wanablogu wa Msumbiji Carlos Serra [kireno] na Paulo Granjo [kireno] waliandika kuhusu shambulio dhidi ya mwanasiasa Daviz Simango lililofanywa kwenye mji wa kaskazini wa bandari ya Nacala.莫三比克部落客Carlos Serra[葡萄牙文]與Paulo Granjo[葡萄牙文]對政治人物Daviz Simango昨天在北邊的港口城市納卡拉(Nacala) 遭襲擊的事件發表看法。
3Pamoja na maoni kutoka kwenye ulimwengu wa blogu, chama cha Simango (@mdmwiki), pia kilitumia huduma ya Twita kuandika kuhusu shambulio hilo.除了部落圈的回應之外,Simango的政黨也在Twitter上(@mdmwiki)公布這項消息。
4Simango ni Meya wa Beira, na alizindua chama chake kipya cha MDM mapema mwaka huu, baada ya kutofautiana na chama cha upinzani cha RENAMO.Simango是貝拉市(Beira)的市長,今年上半年因為和傳統反對黨「莫三比克民族抵抗運動」(RENAMO)意見不合而成立了自己的新政黨「莫三比克民主運動」(MDM)。
5Siku chache zilizopita, yeye pamoja na chama chake walithibitisha mipango yao ya kugombea urais na kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa mwezi Oktoba.幾天前他和政黨才剛對外證實要角逐十月總統大選的計劃。 Simango在前往政黨會議的路上,聚集群眾當中的有心人士搶了警方的武器,朝他的車開槍。
6Simango alikuwa anaelekea kwenye mkutano wa chama wakati gari lake lilipotupiwa risasi watu waliokuwa ndani ya umati uliokusanyika ambao walipora silaha za askari polisi.他幸運逃過一劫,沒有外傷,但據媒體報導有三個人受到波及,包含一位受傷的警察。
7Alinusurika bila ya kudhurika lakini taarifa za vyombo vya habari zinasema kwamba watu watatu walijeruhiwa, akiwemo polisi.莫三比克獨立媒體初步研判,開槍的應該是RENAMO的成員。
8Taarifa za mwanzo kutoka vyombo huru vya habari nchini nMsumbiji zinaashiria kwamba watu waliopiga risasi walikuwa ni wanachama wa RENAMO.校對:Soup