Sentence alignment for gv-swa-20090721-242.xml (html) - gv-zht-20090716-3551.xml (html)

#swazht
1Kongo Brazzaville: Uchaguzi wa Rais Wakatisha Tamaa剛果共和國:對總統大選失望
2Siku ya Jumapili, Julai 12, watu wa Jamhuri ya Kongo walipiga kura katika uchaguzi ambao ulisusiwa na viongozi wa Upinzani kwa madai kwamba usingekuwa huru wala wa haki.
3Denis Sassou N'Guesso, ambaye ameitawala Kongo kwa takribani miaka 25 kama mkuu wa nchi, anatafuta kipindi kingine cha miaka saba madarakani.
4Pamoja na malalamiko kutoka upinzani, waangaliaji wa uchaguzi walisema kuwa upigaji kura ufanyika kwa amani, na kwamba idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura ilikuwa ndogo. Kwa mujibu wa chama kikuu cha upinzani, “asilimia 90” ya wapiga kura hawakujitokeza kupiga kura.剛果共和國於7月12日舉行大選,在野黨領袖以結果必然不公為由抵制選舉,已執政約25年的總統恩格索(Denis Sassou Nguesso)爭取連任,希望再掌權七年。
5Rais anayemaliza muda wake Denis Sassou N'Guesso na chama chake cha Rassemblement de la majorité présidentielle (RMP) anatabiriwa kushinda uchaguzi huo wakati ambapo tume ya uchaguzi inajiandaa kutangaza matokeo wakati wowote kuanzia Jumatatu jioni.
6Mwandishi wa BBC anadai kuwa alishuhudia fedha zikitembezwa katika vituo vya upigaji kura kusini mwa mji mkuu, kwa watu ambao baadae walisema kuwa waliombwa kumpigia kura Bw. Sassou-Nguesso.”
7Mwangalizi mmoja wa uchaguzi, akizungumza kwa masharti ya kutokutajwa jina, aliliambia shirikala habari la Ufaransa (AFP), “Kuna waangalizi wengi kuliko wapiga kura.”
8Katika kituocha habari cha Ufaransa cha France 24, watoa maoni wachache kutoka Kongo wametoa maoni yao kuhusu uchaguzi. Hapa chini ni sehemu ndogo ya maoni hayo:儘管在野陣營抗議,選舉觀察員表示過程一切平和,不過投票率很低,主要在野黨宣稱「九成」選民未前往投票,一般咸認現任總統恩格索及其政黨RMP將會勝選,選舉委員會預訂於7月13日晚間公佈結果。
9Maloumbi kuhusu kutishiwa kwa wapiga kura: Katika vijiji na wilaya fulani fulani watu walimpigia kura Sassou Nguesso kwa sababu ya kutishwa.英國廣播公司記者目擊「在首都南部一間投票所,有人直接在投票所外發錢,拿錢的民眾事後表示,人們要求他投票給恩格索」。
10Kaka yangu Jean Ibinga katika wilaya ya Nyanga alipokea cfa 1 000 000 [Sawa na dola la kimarekani 1 800] kutoka kwa wafuasi wa RMP ili awashawishi wazee waende kupiga kura kwa kuwapa kiasi cha cfa 2500 [Dola za Kimarekani 4.5].
11Uchaguzi haukwenda kwa namna inayokubalika, na baadhi ya viranja na manaibu waliwatisha watu ili wampigie kura mtawala wao Sassou.
12Kwangu huu ulikuwa uchaguzi wenye matokeo yaliyofahamika kabla ya muda.一位匿名選舉觀察員向國際通訊社法新社指出,「現場觀察員比選民還多」。
13Naiomba JUmuiya ya Kimataifa iutangaze uchaguzi wa Julai 12 kuwa ni batili na kumlazimisha Sassou kuunda serikali ya Kitaifa itakayokuwa na uwezo wa kujadili masuala ya nchi, vinginevyo vita vitatokea huko mbeleni.
14Upinzani uliopo unajiandaa kwa uwezekano kwa vita. Yoka kutoka Pointe Noire kuhusu kujtokeza kwa idadi ndogo ya wapiga kura:在法國新聞網站France 24上,幾位剛果民眾留言表達對這場選舉的看法,以下為部分內容整理:
15Mimi ni Mkongo na ninaishi Pointe Noire (Mji mkuu wa kiuchumi wa Kongo na jiji la pili kwa ukubwa).
16Ninaweza kuwaambia kwamba vituo vya upigaji kura vilikuwa vitupu tangu asubuhi mpaka jioni.Maloumbi提到選民遭恐嚇:
17Wakaazi wa Pointe Noire wamechoshwa na ahadi za Bw. Sassou wakati jiji hili linalozalisha mafuta ni la kwanza kwa utajiri nchini.有些村莊民眾是因為遭恐嚇,而投票支持恩格索,我弟弟Jean Ibinga在Nyanga區拿到RMP成員給他1800美元,而去說服高齡者投票,每位老人家平均拿到4.
18Zaidi ya asilimia 95 ya wa-Kongo hawakupiga kura.5美元,選舉過程讓人無法接受,有些地方長官 與議員也威嚇人民投票支持恩格索。
19Ni ukweli ambao utawala huu wa kikatili na kijinga nchini Brazzaville wanapaswa kuutambua. Kwa sababu ya hilo, utawala huu ni batili.對我而言,這是場還沒發生就已知結果的選舉,我呼籲國際社會宣佈7月12日選舉無效,強迫恩格索成立能處理全國事務的政 府,否則未來肯定會發生戰爭,目前在野黨已在準備應付可能的戰爭。
20Wakongo kutoka Kaskazini, Kusini, Mashariki na Magharibi wamesema HAPANA kwa Sassou. Mtoa maoni aliyeficha jina lake kutoka Kinshasa , Kongo (DRC), alijiuliza:來自黑角(Pointe Noire)地區的Yoka提到低投票率:
21Hivi anaweza kweli mtu kudanganya kwa kutumia asilimia 15 tu ya wapiga kura waliojitokeza ambao, kama tukifuatilia ripoti, walikuwa ndio wafuasi pekee wa Mgombea Sassou, wakati wengine walichagua kuususia uchaguzi? L'Africaniste:我是剛果人,居住於黑角(剛果經濟首府與國內第二大城),我確定投票所從早到晚都一片空盪盪,這座城市因鑽油而成全國首富之都, 居民已厭倦恩格索的承諾,超過95%的選民未前往投票,殘忍又詭異的剛果政權必須體認到這項事實,因為這個政權根本不合法,剛果東南西北各地民眾都向恩格 索說不。
22Ndio kila kitu kiko sawa sawa!
23Ndio Sassou anabaki madarakani! Ndio hakuigeuza Kongo iwe ahera?剛果民主共和國首都金夏沙(Kinshasa)的匿名留言者表示:
24Lakini wapinzani walifanya nini? Mipango ipi ya miradi ambayo wapinzani wa Kongo waliitoa kwa wananchi?依據新聞報導,若投票率只有15%,且只有恩格索的支持者前往投票,其他人都選擇抵制這場選舉,結果還有可能造假嗎?
25Hakuna isipokuwa kususia! Kitu ambacho si kingine zaidi ya kumpa Sassou ishara ya kushinda.L'Africaniste認為:
26Kwa hiyo asanteni waungwana wa upinzani kwa kumsaidia Sassou kushinda bila ugumu wowote.
27Acheni makelele yasiyo na kingine isipokuwa kuwachanganya watu! brazza-brazza kuhusu uchaguzi wa amani:一切都很完美!
28Uchaguzi wa uongo, lakini tuna amani. Amani ya walioelemewa na ufukara.恩格索繼續執政!
29Kama Bongo, Sassou atakuwa madarakani kwa zaidi ya vizazi viwili.
30Ni kawaida; tuna amani. Amani ya wanyenyekevu.他還沒有將剛果變成天堂嗎?
31Sassou anaipora Kongo. Lakini tuna amani.但在野黨做了什麼?
32Amani ya wenye njaa. Tunaishi katika kinyesi.剛果在野黨拿出什麼政見給人民?
33Lakini tuna amani. Amani ina thamani kuliko utu.除了抵制,什麼都沒有!
34Nyie wote mnaoishi ughaibuni hamjui kiasi cha thamami ya amani. Ninakubaliana nanyi kwamba amani inamwezesha Sassou kupora.結果也只是放手讓恩格索勝選,感謝各位在野黨的先生幫助恩格索輕鬆勝出,別再只會發出一堆讓民眾分心的噪音了!
35Kwa hiyo? Kuporwa ni kawaida.brazza-brazza提到選舉很和平:
36Yeye ni mwafrika na ni Dikteta ambaye amefanya uchaguzi wa uongo ili aendelee kuwa dikteta. Kwenye Tovuti ya Libération Yanice 18 aliileta hotuba ya hivi majuzi ya Obama akiwa Ghana:這是場假選舉,但我們擁有和平,因貧困而來的和平;恩格索就像加彭總統邦果(Omar Bongo),將會執政超過30年,很正常,但我們擁有和平,因服從而來的和平;恩格索掏空剛果,但我們擁有和平,因飢餓而來的和平;我們生活一團糟,但 我們擁有和平,和平比尊嚴更重要,你們這些外國人,根本不明白和平價值有多高,我也同意,和平讓恩格索予取予求,那又如何?
37Ni jana tu Obama alitoa hotuba nzuri kuhusu utawala mzuri na demokrasia, leo dikteta mwingine wa Kiafrika anajiandaa kuandikisha upya dhamana ya madaraka yake kwa miaka mingine 7 pamoja na kushindwa kwake kisheria kuhusu majengo yake nchini Ufaransa.遭到掏空也很正常,他是非洲 人,是獨裁者,會舉辦假選舉讓自己繼續做獨裁者。 在法國《解放報》網站上,Yanice 18提及美國總統歐巴馬(Barack Obama)最近在迦納的演說:
38Ukiangalia muda rais huyu aliodumu madarakani, miaka 25, inaonekana kama vile Obama alihubiri jangwani. Na Saboun aliongeza:昨天,歐巴馬才針對良好治理與民主,發表一篇很好的演說,今天,另一位非洲獨裁者準備讓自己再執政七年,不顧法院判決他在法國的不動產違法,看看這位總統已執政25年,歐巴馬就好像在對沙漠傳教。
39Kuchaguliwa tena kwa Sassou Nguesso, si ajabu.Saboun亦表示:
40Sijui kama uliliona hili, Obama hakutaja nchi yoyote ya Afrika iliyowahi kutawaliwa na Wafaransa katika hotuba yake.恩格索連任成功,毫不意外,不知道各位有沒有注意到,歐巴馬在演說中,沒有提到任何非洲法語國家,只是巧合嗎?
41Hivi kweli hili ni jambo lililotokea bila kukusudiwa?我很懷疑。
42Sidhani.校對:Soup