Sentence alignment for gv-swa-20081021-28.xml (html) - gv-zht-20080920-1371.xml (html)

#swazht
1Madagascar: Kuishi ughaibuni hubadili uhusiano馬達加斯加:出國對人的改變
2Katika makala iliyochapishwa mwezi Machi, wachumi William Easterly na Yaw Nyarko wanaeleza kwamba katika nchi zilizo chini ya Jangwa la Sahara, kiasi cha fedha kinachotumwa na wahamiaji wanaotoka bara hilo ni wastani wa asilimia 81 ya misaada ya fedha kutoka nchi za kigeni kwa kila nchi.
3Dhima ya waMadagascar walio nchi za mbali kwa maendeleo ya nchi yao imewahi kujadiliwa hapo kabla katika ulimwengu wa wanablogu wa Madagascar.
4Hivi karibuni wanablogu walijadili athari ya kuishi ughaibuni kwa mienendo ya WaMadagascar na jinsi mabadiliko hayo yanavyoathiri uhusiano na marafiki na ndugu zao walio nyumbani.
5News2dago anasimulia ni kwa namna gani alipoteza urafiki wa karibu aliokuwa na rafiki yake mmoja wa tangu enzi za shule.
6Anaeleza kwamba uhusiano wao ulififia polepole mara tu baada ya rafiki yake kuondoka kwenda zake Ufaransa:
7Nilikuwa na uhusiano mzuri na rafiki yangu tangu tulipokuwa madarasa ya juu ya sekondari. Tuliketi dawati moja.News2dago描述老友前往法國後,兩人自求學以來的深厚關係如何逐漸消失[馬拉加西文]:
8Mara ya mwisho kumtia machoni ilikuwa mwaka 1992 wakati wa mahafali ya kumaliza elimu ya sekondari na kutunukiwa cheti. Rafiki yangu alipata bahati ya kuendelea na masomo ya juu nchini Ufaransa.我在中學認識一位好朋友,友誼相當深厚,我們於1992年自中學畢業,他很幸運至法國念大學,我自己選擇留在國內(這不怪任何人),此後經過多年,原本時常得知朋友的訊息,後來往來不再頻繁,有天我從共同的朋友那裡聽說他結婚了,我多次寄電子郵件給他都無回音。
9Mimi nilichagua kubaki nyumbani, ulikuwa uamuzi binafsi, hakuna wa kumlaumu kwa hili. Miaka ilipita na mawasiliano na rafiki yangu, ambayo mwanzoni nilipata mara kwa mara, polepole yalianza kufifia.News2dago還提到,他在2005年也曾有機會前往法國,但經過審慎考量,他決定待在國內,理由包括:馬達加斯加人到了法國似乎便失去同胞感、出國沒有人一起玩牌,而且他也把出國經費挪來發展目前的計畫,他說:「這比到國外與那些擁有漂亮學歷的人為伍要好得多。」
10Siku moja nilipata taarifa kutoka kwa mtu tuliyefahamiana naye kwamba rafiki yangu yule alikuwa amekwishafunga ndoa.他又說:
11Niliendelea kumwandikia barua-pepe lakini pasipo kupata jibu lolote. News2dago anaongeza kwamba yeye pia alipata fursa ya kusafiri kwenda Ufaransa mwaka 2005, lakini baada ya kutafakari vyema aliamua kubaki nyumbani.news2dago也曾提到,他的姪女從法國回到馬達加斯加,與在法國認識的馬國男子結婚,整場婚禮都是在法國籌備,連攝影師都遠從法國而來,新婚兩人向news2dago借用網路,預訂婚後要前往馬國西北部的Mahajanga旅遊,但兩人後來返回法國時,卻沒有向他道別。
12Anataja baadhi ya sababu za kufanya hivyo: udugu hupotea miongoni mwa WaMadagascar mara baada ya kufika Ufaransa, kila mmoja anakuwa na lwake, hakuna kukutana ili kucheza mchezo wa karata, pia alitumia pesa ambazo zingemuwezesha kwenda ughaibuni ili kuusimamisha mradi anaoufanya sasa.
13“Ni afadhali kufanya hivi kuliko kushughulika na watu walio ughaibuni na vyeti vyao vya mbwembwe vya elimu.”
14Anaongeza:出國似乎確實改變了一個人。
15Kuna kipindi nilimpigia simu ili tupige soga na kujikumbusha mambo ya zamani. Nilimwambia kwamba Mungu akipenda, huenda nitakuja huko kufanya kazi na kuwa mmoja wenu.Ravatorano則認為,故作冷漠或忽視舊友現象並不只僅於海外馬達加斯加人,但他認為人們起碼要尊重曾幫助自己的人;Simp則諷刺地說:「請原諒他們只是人…善意是好運的種籽,惡意則如達摩克里斯之劍(Damocles sword)。」
16“Kweli?” aliniuliza. Tangu nilipomweleza hayo, kila nikimpigia nakutana na ujumbe wa kunitaka kuacha ujumbe wa sauti.對於人們放棄真友誼,轉而追求功利性人際關係,lehilahytsyresy則指出可能的解釋:
17Katika habari inayohusiana na hiyo, news2dago alisema kwamba mpwa wake alirejea Madagascar kutokea Ufaransa ili kufunga ndoa na Mmadagascar mwenzake aliyekutana naye ughaibuni.
18Walihakikisha kwamba harusi nzima imepangwa vema, hata walileta mpiga picha mtaalamu kutoka Ufaransa. Walimwomba watumie kifaa chake cha kuunganisha intaneti ili kupanga fungate lao katika eneo la Mahajanga mara baada ya harusi.馬國人到了海外,便會感受到嚴苛現實、殘酷競爭與日常生活的壓力,為了求生,「與富人為友」的態度自然會出現,但後來這種態度便根深蒂固,就連對親人也是「唯利而親」。
19Pamoja na hayo yote hawakuona ulazima wa kuaga walipokuwa wanaondoka kurudi zao Ufaransa. Ama kwa hakika kuishi ughaibuni hubadilisha watu.校對:Portnoy
20Akieleza kuguswa na taarifa hiyo, Ravatorano anaamini kwamba tabia ya kujifanya kutojali au kuwapuuza marafiki wa zamani haipo tu miongoni mwa raia wa nchi moja ughaibuni.
21Hata hivyo, anaamini kwamba ni jambo stahiki kuonyesha heshima kwa watu waliokusaidia.
22Simp alidakia kishabiki: “Wasameheni kwani wao ni binadamu tu … matendo mema ndiyo mbegu za bahati njema na matendo maovu ni kama jambia la hukumu la Damocles.”
23lehilahytsyresy anajaribu kutoa maelezo ya sababu kwa nini watu wanatelekeza urafiki wa kweli kwa ajili ya urafiki wa kutumiana (mg):
24“Wamadagaska wanapobinywa na ukweli wa maisha ya ughaibuni,, ushindani mkali na maisha yaliyojaa madhila mengi kila siku, kwa hiyo ni jambo la kawaida kwamba mtazamo wa “ni rafiki ikiwa ni tajiri” utawale, maana mtazamo huu ni muhimu ili mtu upate kuishi.
25Kwa bahati mbaya, tabia hiyo huwaingia mno watu kiasi kwamba mtazamo huo huutumia hata dhidi ya ndugu zao, na hatimaye anakuwa ndugu wa kweli endapo tu ni “mtu aliye nazo”.