Sentence alignment for gv-swa-20100727-1576.xml (html) - gv-zht-20100727-7096.xml (html)

#swazht
1Thailand: Vurugu Zinazotokana na Ujumbe Mfupi wa Maneno wa Waziri Mkuu泰國:總理簡訊惹禍上身
2Mnamo Disemba 18, 2008, mamilioni ya wateja wa simu za viganjani wa Thailand walipokea ujumbe huu kutoka kwa Waziri Mkuu mpya Abhisit Vejjajiva: “Mimi, Waziri Mkuu mpya, ninakualika kushiriki kuitoa Thailand kwenye mgogoro.2008年12月18日,泰國數百萬手機用戶都收到一則手機簡訊,發文者是新任總理艾比希(Abhisit Vejjajiva):
3Kama unapenda kuwasiliana na mimi, tafadhali tuma tarakimu zako 5 kwenye namba 9191 (3 Baht)”. Kama mwenye simu akijibu ujumbe huo, sauti ya Waziri Mkuu Abhisit itatumwa kwa mwenye namba ya simu, ikisema:我是新總理,邀請各位幫助泰國脫離危機,如願意與我聯繫,請將您的五位數郵遞區號傳送至9191(費用3泰銖)。
4“Mimi, Abhisit Vejjajiva, Waziri Mkuu, nimeona kwamba ninyi raia wenzangu mnateseka, na mko kwenye shinikizo kubwa.若用戶回覆,就會收到一段總理本人親自錄製的語音留言:
5Kwa hiyo, nitajipanga kuelekeza maarifa na uwezo wangu wote ili kuisaidia nchi. Lakini siwezi kufaulu kama watu wa Thai hawana mshikamano.我是總理艾比希,明白各位同胞正在受苦,也面臨壓力,我將窮盡一切知識與能力協助國家,但泰國人民若無法和諧團結,我無法成功,懇求各位提供一個機會。
6Kwa hiyo, nawaomba nyote mnipe fursa.” Ujumbe來自總理的手機簡訊
7Kutuma ujumbe mfupi wa maneno kwa mtu pasipo kupata ridhaa yake ni jambo linalotazamwa kama ukiukwaji wa haki za faragha za wateja, alieleza mtetezi wa haki za walaji Saree Ongsomwang. Yeye alisema kwamba Abhisit hana budi kuendeleza mawasiliano yake na hadhira kupitia televisisheni na njia nyingine za mawasiliano ya ummaili kuepuka kutovunja haki za walaji.民主黨人士表示,這個構想來自總理本人, 再由財政部長Korn Chatikavanij負責執行,據稱部長聯絡國內三大電訊業者AIS、DTAC與True,希望合作將訊息發送給用戶,合作會議於12月16日舉行, 也是艾比希正式上任前一天,之所以要求回覆郵遞區號,則是希望瞭解回覆者的人口結構,也會記錄在資料庫之中。
8Saree, ambaye ni mmoja wa wajumbe wa kamati ya Taasisi ya Utetezi wa Walaji katika Mawasiliano ya Simu, aliongeza kwamba sheria inayosimamia mawasiliano ya simu nchini Thailand, kampuni zinazotoa huduma ya simu za mkononi haziruhusiwa kuweka hadharani orodha ya wateja wao pasipo kwanza kupata ridhaa yao.
9Pale makampuni hayo matatu yalipotuma ujumbe huo wenye utata kwa wateja wao, pasipo kutoza malipo, kwa niaba ya Waziri Mkuu au Chama Cha Demokrasia, jambo hilo lilileta migogoro ya kisheria na kisiasa.致力於爭取消費者權益的Saree Ongsomwang表示,未經當事人許可,便強迫發信給個人,已侵害消費者穩私權,認為艾比希若要與民眾建立聯繫,應透過電視或其他大眾傳播管道,才能避免損害消費者權利。
10Kwa mujibu wa Sheria ya Kupiga Vita Ufisadi ya mwaka 1999 (iliyorekebishwa mwaka 2007), watumishi wa umma, ikiwa ni pamoja na mawaziri, , hawaruhusiwi kupokea zawadi au takrima inayoziti Bhat 3,000.Saree Ongsomwang也是「電訊消費者保障研究所」成員,她指出根據泰國電訊法,電訊公司禁止未經用戶同意,即提供用戶名單,三家業者免費為總理或民主黨發送訊息給消費者,已引發司法與政治效應。
11Inakadiriwa kwamba utumaji wa ujumbe huo wa Waziri Mkuu unagharimu zaidi ya Baht milioni 10. Kwa maana hiyo, Abhisit anaweza kupelekwa mahakamani kujibu mashitaka ya kuvunja sheria hiyo, ndivyo alivyojenga hoja msemaji wa Chama cha Pheu Thai, Prompong Nopparit, ambapo aliihimiza Tume ya Kudhibiti Rushwa ya Taifa (NACC) kuanzisha uchunguzi wa kesi hiyo.
12Endapo Abhisit na Korn watapatikana na hatia, watavuliwa madaraka yao na kupigiwa marufuku kushika nafasi yoyote ya kisiasa kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Maoni yaliyotumwa kwenye mtandao wa intaneti yalikuwa tofautitofauti kwa wakati ule.依據1999年反貪污法(於2007年修訂),內閣閣員等政府人士不得收受超過3000泰銖的禮物或好處,散發總理的訊息估計費用超過1000萬泰銖,Pheu Thai黨發言人Prompong Nopparit指稱,艾比希應該遭到起訴,並呼籲全國反貪污委員會調查本案。
13Kwa ujumla, wengi walikubaliana kwamba ukiukwaji wa haki za faradha za walajio pamoja na siri za taarifa binafsi, pamoja na Waziri Mkuu kufanya mambo mengi ili kujijengea sifa binafsi kupitia vyombo vya habari.憲法規定,總理與財長兩人若遭判處有罪,就會遭到彈劾,且一段時間內均不得出任政治職務。
14Lakini wakati huohuo wengi wanafikiri pia kwamba nia yake ilikuwa njema, kwa hiyo hakuna shida, na kwamba apewe nafasi ili kuitumikia nchi.當時民眾對此事在網路上評價不一,多數人同意此舉可能侵犯隱私權及個人資料,也覺得總理在媒體上的公關行為太多,不過民眾也覺得,若此舉是出於善意則無可厚非,也應該給他機會服務國家。
15Baadhi ya maoni kupitia Yahoo!Yahoo!
16Answers:Answers上的部分留言:
17Non noN: “Nafikiri ni njia nyepesi ya kukusanya takwimu, maana ilidai kwanza sanduku la barua la mtu. Kwa hiyo, wanaweza kujua ni kutoka wilaya zipi, majimbo gani, ambapo majibu yanarejeshwa na kwa hiyo wanaweza kutathmini hali ya mambo.Non noN:我覺得這是民意調查,因為他要求提供郵遞區號,讓他們得知哪些地區和省分回應多寡,再評估這些情況,我個人認為希望看到泰國各地一片和諙是好事。
18Binafsi, nafikiri ni jambo jema na ninataka kuona mshikamano kila mahali nchini Thailand.”Nicky:三泰銖是誰收下?
19Nicky: “Je, nani anapata hiyo Baht 3?我可以選擇不要參加嗎?
20Je, naweza kujitoa?我的老手機記憶體快滿了。
21Nafasi yangu ya kuhifadhi kumbukumbu karibu imejaa. Ni ya muundo wa kizamani.”A-Mei:我覺得行銷過度。
22‘A-Mei': “Nafikiri hii inavuka mipaka ya kujitangaza.” Tanapon: “Ndiyo, inavuka mipaka.Tanapon:的確太誇張,但我們應給他個機會,用他的政績證明自己,總比我們互相爭鬥要好。
23Lakini hebu tumpe nafasi, ajithibitishe kwamba yeye anastahili kwa kazi zake.NH:若是出於善意,結果就會很好。
24Pengine ni bora hivyo kuliko sisi huku kubaki tunapambana.” NH: “Nafikiri, kama imefanyiwa kazi vema, matokeo yatakuwa mazuri.”2010年7月16日,全國反貪污委員會延後本案裁決,亦未明定最終裁決日期。
25Mnamo Julai 16, 2010, NACC imeahirisha tena kupitisha uamuzi juu ya kesi hiyo, na haijapanga tarehe nyingine ya kutoa uamuzi wa mwisho.校對:Soup