Sentence alignment for gv-swa-20100227-1262.xml (html) - gv-zht-20100215-5638.xml (html)

#swazht
1Kadri Liberia inavyotulia, vijana waanza kuzungumzia ngono賴比瑞亞:局勢穩定,開始談性
2“Ninataka watoto wengine wote waliozaliwa Liberia -na duniani kote-kuishi maisha makamilifu yasiyo na maumivu na yaliyojawa na maua ya upendo, kama yangu,” anaandika Mahmud Johnson kwenye blogu ya vijana kuhusu VVU/UKIMWI kwenye jukwaa la Global 40.
3Ana umri wa miaka 18 mtangazaji mwenza wa zamani wa kipindi cha redio kwa vijana nchini Liberia, “Na Tuzungumzie Ngono”, ambacho kinachoshughulika na masuala yanayohusiana na maambukizi ya VVU/UKIMWI na kuzuia mimba zisizotarajiwa.
4Taratibu Liberia inapitia hatua kwa hatua kutoka kwenye karibu miaka 15 ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vilimalizika mwaka 2003 na kusonga mbele kuelekea kwenye maendeleo.
5Vizingiti vilivyobaki ni vikubwa. Karibu watu 250,000 waliuawa wakati wa vita, na malaki kadhaa walikimbilia nchi jirani au Ulaya na Marekani kama wakimbizi.在青年愛滋病團體Global 40 Forum的部落格裡,Mahmud Johnson寫道:「我希望無論在賴比瑞亞或全世界,其他孩子都能像我一樣,生活沒有痛苦又充滿愛」。
6Madhara ya vita kwa vijana Madhara ya vita kwa vijana yamewekwa vizuri kwenye kumbukumbu.他現年18歲,先前與人共同主持賴比瑞亞青年廣播節目「我們談性」,以愛滋病傳染及避孕相關問題為主。
7Mapigano yalipoanza, vikundi mbalimbali vya kijeshi vilitafuta wanajeshi kutoka kwenye rika la watoto. Pengine watoto wengi kiasi cha 250,000, wengine wadogo wa miaka 6, waliandikishwa, mara nyingi kwa nguvu.賴比瑞亞先前斷續內戰近15年,直至2003年終結,如今逐漸轉型,開始進行大型發展計畫,不過仍有重重阻礙,近25萬人在戰火中喪生,另有數十萬人在鄰國、歐洲及美國流亡。
8“Walilazimishwa kuwaua rafiki zao na wanafamilia wao ikiwa ni pamoja na wazazi, walibaka na kubakwa, walitumika kama watumwa wa ngono na Malaya, walifanya kazi nguvu, walitumia madawa ya kulevwa, walijihusisha na ulaji wa nyama za binadamu, utesaji na kuiibia jamii”, inasema taarifa ya tume ya Ukweli na Maridhiano ya Liberia.
9Wanawake na wasichana waliteseka sana. Tume hiyo ilipokea karibu visa 7,000 vya ngono ya nguvu.戰火對青年的影響
10Wasichana na wanawake wa umri wa miaka 15 mpaka 19 walikuwa kundi kubwa zaidi lililoathirika na visa hivyo vilivyotaarifiwa.
11Pamoja na miaka saba ya amani, habari mbaya bado zinaweza kutmiminika kutoka Liberia kama maporomoko ya maji. Waliberia watatu kati ya kumi wanaishi chini ya dola moja kwa siku, nusu tu ya watoto wa nchi hii wanahudhuria shule; asilimia hamsini ya kaya katika mji mkuu wa Monrovia wanaangukia kwenye kundi lenye uhakika wa chakula.戰爭對孩童的各種影響記錄很多,衝突開始後,交戰各方開始招募童兵,至多共有2萬兒童被迫參戰,最年幼者僅6歲,「賴比瑞亞真相和解委員會」的報告指出,「孩童被迫殺害家長等親友、強暴他人與遭人強暴、淪為性奴隸及娼妓、成為童工、使用毒品、吃人、虐待與掠奪社區」;女性亦受害甚深,「真相和解委員會」接獲近7000件性暴力通報案,其中多數受害者為15歲至19歲的女孩。
12Mwelekeo wa uchumi hauleti matumaini na vijana wanaorejea nchini mwao-baadhi yao wakiwa ni wanajeshi watoto wa zamani - katika uchumi unaoendelea kusababisha matatizo kwa serikali. Hili linaweza kusumbua sana hasa kwa sababu nusu ya idadi ya watu Liberia ni wenye umri chini ya miaka 20.儘管國家已回歸和平七年,壞消息至今仍不斷從賴比瑞亞傳出,75%的民眾生活花費每日低於一美元,只有半數孩子能上學,首都蒙羅維亞(Monrovia)擁有足夠食物,經濟前景仍一片灰暗,年輕人持續進入經濟運作(部分曾為童兵),導致政府面臨種種問題,尤其賴比瑞亞全國半數人口年齡低於20歲,致使情況格外嚴重。
13Katika blogu ya Ceasefire Liberia, mradi wa Rising Voices, Stephen R.在全球之聲發聲計畫所贊助支持的「停火賴比瑞亞」部落格上,Stephen R.
14Johnson anaandika:Johnson寫道:
15Vijana wa Liberia wanakabiliwa na changamoto nyingi katika kupata elimu ambayo itawapatia amana ya ujuzi na ufahamu kuwa wazalishaji katika soko la leo la ajira.賴比瑞亞年輕人很難獲得適當的技能及知識教育,讓他們不易在當前勞動市場發揮生產力,因此畢業後難以進入職場,最後只能失業,或是在鄉村、郊區或都會區非正式產業,從事低於才能所及的工作。
16Matokeo yake, mpito kutoka shule kwenda kazini mara nyingi zaidi huwa bila mafanikio na vijana wanaishia kuwa ama wasio na kazi au wenye kazi duni zisizo rasmi katika maeneo ya vijijini, mijini midogo na mijini.不過賴比瑞亞全國都決心讓過去走進歷史,國家經濟不斷成長,政府也努力更新基礎建設,包括基督教青年會(YMCA)等團體都在訓練以往的士兵就業或創業。
17Bado, nchi hiyo na watu wake wameazimia kuiacha nyuma historia yao.貧困與難題
18Uchumi wa nchi hiyo umekuwa ukikua na serikali inaimarisha miundombinu. Makundi kama YMCA yamekuwa yakiwafunza wapiganaji wa zamani kwa ajili ya ajira au kuanza biashara zao wenyewe.經濟情況惡劣也牽動其他問題,「賴比瑞亞青年聯盟」的Jerry B Tarbolo Jr.指出,貧窮迫使許多女性在性生活方面冒險,導致都會區愛滋病傳染率增加,若現況不變,愛滋病將主要影響到國內非常寶貴的年輕族群。
19Umasikini na maamuzi magumu Hata hivyo, matatizo yanayoendelea ya uchumi yamesababisha madhara mengi katika maeneo mengine. Umasikini umewalazimisha wanawake kufanya maamuzi magumu na ya hatari kuhusiana na maisha yao ya kimapenzi, anasema Jerry B.經濟求生與性暴力的關係在賴比瑞亞有其歷史淵源,聯合國人口基金於2008年研究賴比瑞亞Lofa郡的女性結果顯示,在戰爭期間,90%女性失去生計,96%女性失去家園、近75%失去親人,逾半數女性成為性暴力受害者,其中又有半數是以性行為做為報酬。
20Tarbolo Jr, kutoka Umoja wa Vijana wa Liberia.誤解愛滋病
21Anasema mchanganyiko huu umesaidia kukuza kiwango cha maambukizi ya VVU/UKIMWI katika maeneo ya mijini nchini Liberia. Kama hali hii itaendelea, ugonjwa huu utaathiri vibaya kizazi kipya, anasema, ambacho ni moja ya vyanzo vikuu vya Liberia.Pauline Wleh是在蒙羅維亞YMCA青年中心服務的護理諮商員,她指出,今日賴比瑞亞年輕人需要性衛生教育,她向國際非政府組織Merlin的撰稿員說明情況,該組織致力在弱勢國家建立衛生服務:
22Uhusiano kati ya kujikimu kiuchumi na ngono za nguvu vina kumbukumbu ndefu nchini Liberia. Utafiti wa UNFPA wa mwaka 2008 kwa wanawake wa jimbo la Lofa nchini Liberia uligundua kwamba wakati wa vita, wanawake tisa kati ya kumi walipoteza njia zao zinazowawezesha kuishi, asilimia 96 walipoteza malazi na karibu asilimia 75 waliwapoteza ndugu zao.多年戰亂影響正常教育體制,也摧毀衛生服務系統,故今日年輕人對愛滋病所知極其有限,因為缺乏知識,人們對愛滋病充滿污名及誤解,年輕人不敢與雙親談論此事,也無法取得所需資訊,不過他們可以利用籃球賽之間、離開電腦室回教室的零碎時間,到我這裡獲得解答、服務與建議。
23Zaidi ya nusu ya wanawake walikuwa waathirika wa ngono za nguvu, na kati ya hao, nusu waliripotiwa kutoa ngono kama namna ya kupata upendeleo wa namna fulani.
24Imani potofu za VVU/UKIMWI Paulie Wleh, muuguzi mnasihi wa Kituo cha vijana cha YMCA mijini Monrovia, anasema kitu kimoja ambacho Waliberia vijana leo wanakihitaji ni elimu kuhusu afya ya ngono.
25Alizungumza na mwandishi wa Merlin, AZISE ya kimataifa inayojenga huduma za afya katika mazingira magumu.她亦提到,人們有些態度顯然已改變:
26“Miaka ya migogoro hapa iliharibu mfumo wetu wa zamani wa elimu na kubomoa huduma za afya ndio maana vijana leo wanajua kidogo sana kuhusu VVU/UKIMWI.
27Kwa sababu ya kutokuwa na uelewa, kuna unyanyapaa wa hali ya juu na mikanganyiko kuhusiana na UKIMWI sasa. Vijana wanaogopa kuzungumza na wazazi wao na hakuna upatikanaji wa taarifa.青年中心開幕後兩年間,我見過數千名年輕人,但做過291次愛滋病篩檢,雖然人們願意和我溝通,可是因為害怕,很少人願意接受檢測。
28Lakini wanaweza kunijia wenyewe wakati wa michezo ya mpira wa kikapu au baada ya ziara ya kutembelea maabara ya tarakilishi kuniuliza maswali, kupata huduma na ushauri. ”多數不願接受檢測的孩子都表示「下次再做」,或是更誠實地說,「我不想知道結果,因為我不想為此擔心」。
29Anasema mabadiliko mengine katika dhana yamekuwa dhahiri.提升社會意識
30“Katika kipindi cha miaka miwili tangu kituo kifunguliwe, nimeona maelfu ya vijana lakini kati yao 291 walipata vipimo vya VVU. Ingawa watu wanahitaji sana kuongea nami, ni nadra sana kushawishika kuchukua vipimo vya VVU kwa sababu wanaogopa.”因為社會避談性事,也正是「我們談性」此類節目當初規劃的對象,這個節目由聯合國人口基金贊助部分經費,每週播出30分鐘,提供有關性及生殖衛生議題的資訊及訪談,內容全都針對年輕人量身訂做,每次節目由四位年輕主持人研究及編寫內容,他們全權負責所有研究、編輯及錄製內容。
31Wengi wao wanaochagua kutokupima afya zao, wanadai ‘watakuja siku nyingine,' au kwa ukweli zaidi ‘sipendi kujua hali yangu, kwa sababu sitaki kuhofu.'Mahmud Johnson寫道,「我擔任節目共同主持人,讓我瞭解年輕同胞面對愛滋病的實際情況」,他表示,經濟問題與性衛生同樣無法切割:
32Vita vya uelewa Ukwepaji huu wa jamii ni kile kilichofanya vipindi kama “Na tunzungumze kuhusu ngono” vibuniwe kuwaelimisha kinyume chake. Kipindi hicho cha kila wiki cha urefu wa dakika 30, kwa ufadhili wa UNFPA, kinawapa wasikilizaji wake dakika 30 za taarifa na mazungumzo kuhusu ngono na masuala ya afya ya uzazi, vyote vikiwa vimelengwa kwa vijana.由於節目相關團隊不時前往偏遠地區及村莊,教育當地青年愛滋病相關資訊,我因此親身瞭解許多人面對的經濟及傳統問題,也瞭解這些 議題如何影響賴比瑞亞愛滋病傳染情形;我也才知道原來對於愛滋病傳染及治療,年輕人懷有各種怪異迷思,國內大量年輕人完全不瞭解愛滋病傳播及防治,部分原 因在於國內識字率不斷下滑;縱然年輕人能夠就學,得到的愛滋病教育仍相當有限,因為學校並不教授生殖衛生相關議題,故賴比瑞亞年輕人對愛滋病及其他性病具 有諸多迷思,例如誤信吸大麻能預防感染愛滋病。
33Kila kipindi kinatafitiwa na kuandikwa na watangazaji wanne, wanaodhibiti utaratibu mzima, ikijumuisha utafiti, kuandika na kuigiza kila kipande.基於這些潛在危險迷思,節目製作團隊推出「迷思與事實」段落,每週都以當地口語破除多項迷思。
34“Kazi yangu kama mtangazaji mwenza wa kipindi cha ‘Na tuzungumze kuhusu ngono' imenipa ufahamu wa namna ya kufanya kazi kwenye uhalisia unaokabiliwa na vijana wenzangu wa Kiliberia katika vita dhidi ya VVU,” Mahmud Johnson anaandika.
35Anasema huwezi kutenganisha matatizo ya kiuchumi ya Liberia na masuala yanayohusu afya ya ngono.節目亦幫助年輕人認識愛滋病毒,當然也會談性。
36Kama timu ya kivuko ya kipindi hicho kwa kawida hutembelea kwenye maeneo ya makondeni na vijiji kwa ajili ya kipindi kuwafundisha vijana kuhusu VVU, nimeelewa sasa, kwa uzoefu wangu wenyewe, kuhusu masuala ya kiuchumi na kiutamaduni wanayokabiliana nayo watu wengi, na namna masuala hayo yanayochangia kusambaza virusi vya UKIMWI nchini Liberia.
37Nimeelewa pia imani potofu ambazo vijana wanazikumbatia kuhusu usambazaji virusi vya UKIMWI na matibabu yake.
38Asilimia kubwa kabisa ya vijana nchini Liberia haina ufahamu kuhusu uambukizaji na kukabiliana na VVU, na dhana hii imetokana si kwa sehemu ndogo, na kiwango kinachotisha cha ujinga (wa kutokujua kusoma na kuandika.)
39Hata vijana wanaokwenda shule wana taarifa kidogo sana kuhusu VVU, kama mfano masuala ya afya ya uzazi hayafundishwi kabisa katika shule za Liberia. Matokeo yake, imani potofu zinawafunika vijana kuhusu VVU na magonjwa mengine yanayoenezwa kwa ngono, zaidi ni imani kwamba kuvuta bangi kunazuia maambuzi ya VVU.如今廣播節目在賴比瑞亞全國播出,同時運用手冊、戲劇、說明會、焦點團體討論、同儕訓練等途徑,散播有關愛滋病傳染及避孕資訊, 因為節目廣受歡迎,民眾甚至拿節目開玩笑,指稱國內最近雞蛋短缺,就是因為雞隻現在都收聽「我們談性」,所以都遵守安全性行為!
40Kwa sababu ya imani hizi zenye hatari, kipindi cha redio kilianzisha sehemu ya “Imani zikipambanishwa na Ukweli wa mambo”, ambapo (katika lugha ya mtaani ya Kiliberia) tunazizungumzia imani hizo kwa mtindo wa kila wiki.
41Kipindi kinatoa nafasi muhimu kwa vijana kujifunza kuhusu virusi. Na, bila ya shaka, kuzungumzia ngono.我知道並非國內每位年輕人 都能聽到節目內容,但只要有一個人的生活因此改變,對我們這些節目主持人而言,也都是件重大成功。
42Leo, kipindi cha redio cha “Na tuzungumze kuhusu ngono” kinarushwa kote nchini Liberia, na kinatumia namna nyinginezo za kusisitiza kama vile vipeperushi, maigizo, maonyesho ya barabarani, majadilioano ya makundi lengwa, na elimu rika kusambaza ujumbe kuhusu maambukizi ya VVU na namna ya kuepuka mimba zisizotarajiwa.
43Kipindi hiki ni maarufu kiasi kwamba Walaiberia wengi hata wamekitumia kipindi kutania juu ya upungufu wa hivi karibuni wa wayai ya kuku katika masoko ya Liberia: Kuku wa Liberia sasa wanasikiliza kipindi cha “Na tuzungumze kuhusu Ngono!” na wanafanya ngono salama!
44Ninajua uhalisia kwamba si kila kijana nchini Liberia atafanyia kazi jumbe zinazotolewa kwenye kipindi.校對:Soup
45Lakini hata kama maisha ya mtu mmoja tu yatabadilika katika mchakato huo, hilo litakuwa ni fanikio kwangu kama mtangazaji mhanga wa kipindi cha “Na tuzungumze kuhusu Ngono.”