Sentence alignment for gv-swa-20111224-2345.xml (html) - gv-zht-20111227-12391.xml (html)

#swazht
1Rwanda: Watumiaji wa Twita Wajadili Mpango wa Rais Kagame wa Kugombea Awamu ya Tatu盧安達:卡加梅欲競選連任,推特用戶唇槍舌戰
2Rais wa Rwanda Paul Kagame hana matatizo na mjadala unaoendelea nchini mwake kuhusu ikiwa katiba ya nchi irekebishwe ili kumruhusu kugombea awamu ya tatu ama la.對於是否須修憲讓盧安達現任總統保羅卡加梅 (Paul Kagame) 繼續競選第三任,盧安達國人意見紛紜,卡加梅本人則是顯得泰然自若。
3Akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Kampala, Uganda, ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye tukio moja la vijana mjini humo, alidai kwamba raia wa Rwanda wanao uhuru wa kusema hawamhitaji tena, lakini vilevile wana uhuru wa kusema kuwa wanamtaka.卡加梅日前飛往烏干達坎培拉,擔任當地青年活動的特別嘉賓,他曾在記者會上表示,不管盧安達國民希不希望他繼續當總統,都可以自由表達自己的意見。
4Kiongozi huyu wa Rwanda anasifiwa kwa kumaliza mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 yaliyoangamiza zaidi ya watu 800,000.1994 年盧安達發生種族大屠殺,逾 80 萬人喪生,卡加梅因擊敗武裝勢力、終止大屠殺而舉世聞名。
5Katika miaka ya hivi karibuni, mashirika ya haki za binadamu yameonyesha kusikitishwa na rekodi inayoendelea kushuka ya haki za binadamu nchini humo.然而,近年來盧安達的人權紀錄日益惡化,讓人權組織相當憂心。
6Rais wa Rwanda Paul Kagame.盧安達總統保羅卡加梅。
7Picha imetolewa na David Shankbone chini ya Creative Commons (CC BY 2.0) Wanaharakati wa Rwanda wanaofanya kampeni kwa ajili ya demokrasia “walisikitishwa sana ” na tangazo hili.照片由 David Shankbone 提供,以創用 CC 授權 (CC BY 2.0)。
8Wanaharakati wanaamini kwamba Rais Kagame anatafuta awamu ya tatu kama mbinu ya kujikinga dhidi mashtaka yanayoweza kumkabili siku za usoni.盧安達民主異議人士表示卡加梅的言辭讓他們「不寒而慄」,他們認為卡加梅想藉由二度連任來逃避自己未來可能面臨的起訴案件。
9Kwa mfano, wanaonyesha ripoti iliyotolewa hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa (United Nations Mapping report) inayomtuhumu kwa makosa ya uhalifu wa kivita dhidi ya jamii ya kabila la wa-Hutu.這群異議人士還特別提到,在最近發表的聯合國勘查報告中,卡加梅遭控對胡圖族犯下戰爭罪行,報告更指出若是經法庭審判確定,表示遭殺害的胡圖族人數可能足以構成屠殺罪。
10Taarifa hiyo hiyo inasisitiza kwamba uhalifu huo unaweza kufikia kiwango cha mauaji ya kimbari kama yatathibitishwa na mahakama ya sheria.分析家也警告若是卡加梅競選第二次連任,不給反對黨執政機會,有可能逼迫反對勢力訴諸武裝行動,使得非洲大湖地區陷入動盪。
11Wachambuzi pia wana wasiwasi kuwa uamuzi huu wa kutafuta awamu nyingine unaweza kuhatarisha usalama katika ukanda wa Maziwa Makuu kwa kuwalazimu wapinzani wa Rwanda kutokuwa na namna nyingine zaidi ya kubeba silaha. Mjadala wa ukomo wa kipindi cha urais nchini Rwanda unaongozwa na waziri wa mambo ya ndani, Sheikh Musa Fazil Harerimana.內部安全大臣薛克法茲 (Sheikh Musa Fazil Harerimana) 主張限制總統任期,並提倡複婚 (polygamous marriage) 合法化(目前複婚為非法行為),卡加梅總統似乎也贊同薛克法茲的看法:
12Sheikh Fazil pia anafanya kampeni ya kutambuliwa kisheria kwa ndoa za mitala, ambazo kwa sasa haziruhusiwi.Sheikh 有權表達自己的意見,有時人們會希望我直接上前跟他說「請閉上尊嘴,不要再這樣講話了。」
13Rais Kagame anaonekana kukubaliana na Sheikh Fazil::但我不會這麼做,因為我不該干涉他的言論自由。
14Huyu Sheikh ana haki ya kujieleza na inakuwa kama watu wananitarajia niende kwa huyu bwana na kumwambia “Nyamaza.烏干達記者提姆凱力 (Timothy Kalyegira) 在推特 (Twitter) 上嘲諷連任的決定:
15Usizungumzie hili tena” Hapana. Hiyo siyo kazi yangu.@TimKalyegira:如果卡加梅不競選連任的話,那麼數以千計的盧安達老百姓一定會淚眼婆娑地跟國際媒體說,他們覺得自己被背叛了。
16Kwenye Twita, mwandishi wa habari wa Uganda Timothy Kalyegira aliukejeli uamuzi huu kwa maneno ya mzaha:英國記者伊恩拜爾 (Ian Birell) 同樣也很不以為然:
17@TimKalyegira: Maelfu ya wa-Nyarwanda wenye kutiririkwa na machozi hivi karibuni wataanza kuviambia vyombo vya habari vya kimataifa namna gani watajisikia kusalitiwa kama Kagame hatagombea kwa awamu ya tatu.@ianbirell:卡加梅說:「人民想讓我繼續當總統,可以自由表達他們的意見」。
18Mwandishi wa Uingereza Ian Birell vivyo hivyo alionyesha kutokufurahishwa:但是,他們當然無法自由表達卡加梅應該下台…
19@ianbirell: Watu wako huru kusema wananihitaji kuwa rais kwa mara nyingine, asema Kagame. Hawako huru, na kwa kweli ndivyo ilivyo, kusema aondoke…伊恩拜爾的留言立刻引來盧安達駐英國大使厄涅斯特 (Erneste Rwamucyo) 反彈,他說伊恩拜爾的想法是西式父權作風 (paternalism):
20Lakini maoni ya Ian Birell ndani ya muda mfupi yalivuta ghadhabu ya balozi wa Rwanda nchini Uingereza, Erneste Rwamucyo, aliyemtuhumu kwa kuwa na mtazamo wa tawala za kimagharibi:@ErnestRwamucyo:這種父權作風以及對非洲事務和非洲人好像「什麼都懂的態度」很不可取,每個人都應該受到尊重才對。
21@ErnestRwamucyo: Mtazamo huu wa tawala za kimagharibi na “ mtazamo wa kujifanya kujua kila kitu” kuhusu Afrika na viongozi wa Afrika si mzuri.拜爾先生則回應:
22Watu wana haki ya kuheshimiwa.@ianbirell:支持人權、反對專制獨裁政權根本無關父權作風。
23Maneno ambayo Bw. Birell aliyajibu:隨著爭論越演越烈,現在就連烏干達記者也跟著加入唇槍舌戰。
24@ianbirell: Hakuna kitu kinachofanana na uelekezaji wa kimagharibi kuhusu kuunga mkono haki za binadamu na kupinga tawala kandamizi na za kimabavu Kwa kadiri mjadala ulivyoendelea kupamba moto, majibizano makali yakiwahusisha waandishi kadhaa wa habari wa ki-Ganda yalijitokeza.一切都導因於鮑伯姆希瓦 (Bob Muheebwa) 詢問除了安德魯姆文達 (Andrew Mwenda) 和埃藍卡蘇賈 (Alan Kasuja) 以外,還有哪些烏干達記者有興趣採訪卡加梅總統,而其他記者則質疑為何姆文達和卡蘇賈的報導從不曾出現不滿卡加梅的字眼。
25Mambo yalianza pale Bob Muheebwa alipouliza ikiwa kulikuwa na waandishi wengine wa ki-Ganda nje ya Andrew Mwenda na Alan Kasuja waliopenda kumhoji Rais Kagame.喬治班寇勒 (George Bankole) 回答得更直接,留言明顯指涉姆文達和卡蘇賈:
26Waandishi walishangaa kwa nini Mwenda na Kasuja kamwe hawamkosoi Rais Kagame kwenye makala zao. Jibu la George Bankole halikuwa la moja kwa moja.@Snottyganda:@tijo5他們兩個都受不了金錢利誘吧 @mugumya@TimKalyegira@Gilespies@AndrewMwenda@kasujja
27Kwa kuonekana wazi kuwazungumzia waandishi hao wawili, Mwenda na Kasuja, alisema: @Snottyganda: @tijo5 Cos wote wamenunuliwa kwa pesa @mugumya@TimKalyegira@Gilespies@AndrewMwenda@kasujja烏干達《滾石報 (Rolling Stone)》總編輯蓋爾斯姆哈 (Giles Muhame) 似乎也同意班寇勒的說法:
28Giles Muhame, mhariri mtendaji wa gazeti la Uganda liitwalo Rolling Stone, alionekana kukubali:@Gilespies:@Snottyganda 我還能說什麼呢?
29@Gilespies: @Snottyganda Niongeze kipi tena hapo? @tijo5@mugumya@TimKalyegira@AndrewMwenda@kasujja@tijo5@mugumya@TimKalyegira@AndrewMwenda@kasujja
30Ndivyo alivyofanya pia mwandishi Timothy Kalyegira:記者提姆凱力也認同:
31@TimKalyegira: @Snottyganda@tijo5@mugumya@AndrewMwenda@kasujja Wengine wamenunuliwa kwa sifa tu za kuwa na mahusiano ya kirafiki na wakuu wa nchi.@TimKalyegira:@Snottyganda@tijo5@mugumya@AndrewMwenda@kasujja 其他人可能被能採訪國家元首的虛榮感迷惑了。
32Andrew Mwenda aliendelea kuwa kimya kwa suala hili, lakini Allan Kasujja baadae akakanusha madai hayo:安德魯姆文達對此事件三緘其口,不過埃藍卡蘇賈則在事後駁斥其他人的指控:
33@kasujja: @TimKalyegira @tijo5 @mugumya @AndrewMwenda Ninashangazwa na namna hoja zenu zilivyokuwa rahisi. Hivi haiwezekani nikasukumwa na haki@kasujja:@TimKalyegira @tijo5 @mugumya @AndrewMwenda 我真的很訝異你們看事情的角度怎麼會這麼單一,為什麼我的動機就一定是不正當的?
34Kwa mara nyingine, Timothy Kalyegira akajibu:提姆凱力則再次回應:
35@TimKalyegira: @kasujja Inaweza kuwa ni haki. Inafikirisha kwa wengine wetu, mbio hizi za waandishi wa ki-Ganda kuimba sifa za Kagame./@TimKalyegira:@kasujja 你的動機當然可以很正當,我們只是覺得很有趣,怎麼會有一群烏干達記者媒體爭相歌頌卡加梅。
36Rwanda hivi sasa inao ukomo wa vipindi viwili vya kikatiba kwa urais.目前盧安達的憲法規定總統任期兩任,每任為期七年,是非洲國家中單一任期最長的。
37Kila kipindi kina jumla ya miaka saba, ambacho ni kipindi kirefu kuliko vyote barani Afrika. Rais Kageme aliingia madarakani rasmi mwaka 2000 ingawa wengi wanaamini alikuwa madarakani kwa namna fulani tangu wakati wa mauaji ya kimbari yaliyoikumba nchi hiyo mwaka 1994.卡加梅總統於 2000 年正式上任,但不少人認為卡加梅自 1994 年大屠殺結束後就一直掌權至今。