Sentence alignment for gv-cat-20140311-8207.xml (html) - gv-swa-20140310-6825.xml (html)

#catswa
1Desapareix un avió malaisi amb 239 persones a bord Malaysia Airlines.Ndege ya Malaysia Haijulikani Ilipo Ikiwa na Abiria 239
2Fotografia de planegeezer a Flickr (llicència CC).Ndege ya Shirika la Ndege ya Malaysia.
3Tots els enllaços porten a pàgines web en anglès, excepte quan s'indica el contrari.Picha ya Flickr na planegeezer (CC License)
4El dissabte 8 de març, mitjans de notícies de tot el món van informar que un avió de Malaysia Airlines amb destinació a la Xina havia desaparegut.Siku ya Jumamosi ya Machi 8, mashirika ya habari duniani kote yaliripoti kuwa ndege ya Shirika la ndege la Malaysia iliyokuwa angani kuelekea China imepotea.
5El vol MH370, que es dirigia a Pequín des de Kuala Lumpur, va perdre el contacte amb els controladors aeris i, des d'aquell moment, ni les autoritats ni la línia aèria no han aconseguit localitzar l'aeronau.Ndege hiyo MH370 ilikuwa ikitokea Kuala Lumpur kwenda Beijing ilipoteza mawasiliano na waongoza ndege, ambapo shirika la ndege pamoja na mamlaka zinazohusika zikishindwa kufahamu kwa hakika iliko ndege hiyo.
6El vol portava a bord 227 passatgers i 12 tripulants de cabina.Ilikuwa na abiria 227 na wafanyakazi 12 wa ndege
7D'acord amb el diari The Guardian, l'aeronau va perdre el contacte per radar en espai aeri del Vietnam.Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, ndege hiyo ilipoteza mawasiliano na kifaa cha kuongozea ndege ikiwa kwenye anga la Vietnam.
8Des d'aleshores, la línia aèria ha publicat diverses actualitzacions sobre la situació a la seva pàgina de Facebook, i fins i tot una declaració del director general, Ahmad Jauhari Yahya:Shirika la ndege hiyo limekuwa likiandika kwenye ukurasa wake wa Facebook kutoa habari kuhusu mwenendo wa mambo, ikiwa ni pamoja na tamko lililotolewa na Mkurugenzi wake Mkuu Ahmad Jauhari Yahya:
9Lamentem profundament haver perdut el contacte amb el vol MH370, que ha partit de Kuala Lumpur amb destinació a Pequín a les 00:41 d'aquest matí.Tunasikitika sana kuwa tumepoteza mawasiliano yote na ndege namba MH370 iliruka kutoka Kuala Lumpur saa 6.41 usiku wa manane ikielekea Beijing.
10Estava previst que l'aeronau aterrés a l'aeroport internacional de Pequín a les 06:30, hora local de Pequín.Ndege hiyo ilikuwa itue kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Beijing saa 12.30 asubuhi kwa saa za Beijing.
11Els controladors aeris de Subang han informat que el contacte amb l'avió s'ha perdut avui a les 02:40 (hora local de Malàisia).Kituo cha Kuongozea ndege cha Subang kilitoa taarifa kuwa kimepoteza mawasiliano saa 8.40 usiku (kwa saa za Malaysia) leo.
12L'aeronau que operava el vol MH370 era un Boeing B777-200.Ndege MH370 ilikuwa aina ya Boeing B777-200.
13A bord de l'avió viatjava un total de 239 persones entre passatgers i tripulació: 227 passatgers (2 d'ells infants) i 12 membres de la tripulació.Ndege hiyo ilikuwa imebeba jumla ya watu 239 na wafanyakazi -hiyo ikiwa ni abiria 227 (watoto 2), na wafanyakazi 12. Abiria walikuwa wa mataifa 13 tofauti.
14Els passatgers eren de 13 nacionalitats diferents. La línia aèria Malaysia Airlines està treballant conjuntament amb les autoritats, que han posat en marxa l'equip de cerca i rescat per localitzar l'aeronau.Shirika la Ndege la Malaysia kwa sasa linafanya kazi kwa karibu na mamlaka ambao wanaendelea na zoezi la utafutaji na uokoaji kujaribu kujua ndege hiyo iko wapi.
15El nostre equip s'està posant en contacte els familiars més propers dels passatgers i dels membres de la tripulació.Timu yetu kwa sasa inawapigia simu warithi wa abiria na wafanyakazi.
16En un altre comunicat de premsa, la línia aèria ha identificat el pilot, el capità Zaharie Ahmad Shah, que té 18.365 hores d'experiència de vol.Taarifa nyingine kwa vyombo vya habari iliyotolewa na shirika hilo la ndege limemtambua rubani wa ndege hiyo kuwa ni Captain Zaharie Ahmad Shah, ambaye ana masaa 18,365 ya kurusha ndege kwenye mkanda wake.
17Molts usuaris han expressat la seva preocupació a Twitter:Kwenye mtandao wa Twita, watu wengi wameonyesha wasiwasi na hofu:
18He volat amb Malaysia Airlines @MAS moltes vegades, també en un dels seus 777-200 des de KL cap a Xangai.Flown Malaysia Airlines @MAS many times, including one of their 777-200s from KL to Shanghai.
19Els meus pensaments estan amb tots vosaltres en aquest moments tan durs.Thoughts with all at this hard time.
20Hi ha fonts que afirmen que l'avió de Malaysia [Airlines] s'ha estavellat, però no hi ha cap confirmació oficial.- Peter McGinley (@PeterMcGinley) March 8, 2014 Kuna taarifa kuwa ndege ya Malaysia imeanguka lakini hakuna taarifa rasmi za kuthibitisha hilo
21La desaparició del vol de la línia aèria Malaysia Airlines és exactament el que m'horroritza de volar.Ndege ya Shirika la ndege la Malaysia iliyopotea ndicho hasa kinachonifanya niogope kusafiri kwa ndege
22Creuo els dits perquè l'avió de Malaysia Airlines no s'hagi estavellat i les 239 persones a bord estiguin sanes i estàlvies.Naweza kujiapiza kuwa ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia haijaanguka na watu 239 walio kwenye ndege hiyo wako salama na wanaendelea vizuri
23Notícies molt impactants per a la indústria de l'aviació i les persones a bord!Habari za kusikitisha kuhusiana na tasnia ya usafiri wa anga na wale waliokuwepo kwenye ndege hiyo!
24BBC News - Malaysia Airlines perd el contacte amb un avió que es dirigia a Pequín.Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC), Shirika la Ndege la Malaysia limepoteza mawasiliano na ndege yao iliyokuwa ikisafiri kuelekea Beijing
25L'incident fins i tot va provocar una resposta per part del primer ministre malaisi, Najib Razak, a Twitter:Tukio hilo limemfanya Waziri Mkuu wa Malaysia, Najib Razak kujibu kupitia mtandao wa Twita:
26Els meus pensaments i oracions estan amb els familiars del vol #MH370.Mawazo na maombi yangu yako na familia za wanaosafiri na ndege #MH370.
27He ordenat que es prenguin totes les mesures possibles.Tumeagiza hatua zote zinazowezekana zichukuliwe
28Reuters ha informat que l'avió s'ha estavellat al mar de la Xina Meridional, però al moment d'escriure aquestes línies encara no s'ha fet cap declaració oficinal.Shirika la Habari la Reuters sasa limeripoti kuwa ndege hiyo ilianguka kwneye Bahari za China Kusini, hata hivyo, hakuna tangazo rasmi lililotolewa wakati wa kuandikwa kwa makala haya.