Sentence alignment for gv-cat-20130524-5608.xml (html) - gv-swa-20130515-4964.xml (html)

#catswa
1Rescaten una dona de la fàbrica esfondrada a Bangladesh després de 17 diesMwanamke Aokolewa Kwenye Kifusi Baada ya Siku 17
2El mateix dia en què el número de víctimes de l'esfondrament d'una fàbrica de nou pisos [en] a Savar als afores de Dhaka, capital de Bangladesh, arribava a les 1.055 [en], el qual és avui dia l'esfondrament d'un edifici que més morts ha causat des dels atemptats de l'11 de setembre, es va trobar amb vida la treballadora Resha Begum [en] després d'haver estat atrapada sota la runa durant 17 dies.Siku ifananayo na ile iliyogharimu maisha ya watu mara baada ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa tisa huko Savar pembezoni mwa mji mkuu wa Banglasesh, Dhaka idadi ya vifo imeongezeka hadi 1,055, hadi sasa hili ndilo jingo lililowahi kuporomoka na kuua idadi kubwa zaidi ya watu tangu lilipotokea shambulizi la kigaidi mnamo tarehe 9/11, mfanyakazi mmoja mwanamke ajulikanaye kwa jina la Reshma Begum amekutwa akiwa hai baada ya kuzuiwa na vifusi vya jengo hilo kwa siku 17.
3Begum treballava a la segona planta de l'edifici en la confecció de roba.Begum alikuwa akifanya kazi ya ushonaji katika ghorofa ya pili ya jengo hilo.
4Quan l'edifici es va esfondrar, la treballadora de 24 anys va quedar atrapada en una mesquita del soterrani on va sobreviure 416 hores respirant per una canonada i buscant galetes en les motxilles dels seus companys morts.Jingo lilipoporomoka, mwanamke huyo wa miaka 24 alizuiwa ndani ya msikiti uliokuwa sakafu ya ardhi na aliweza kustahimili kwa masaa 416 kwenye vifusi kwa kupumua kupitia kwenye bomba pamoja na kutafuta biskuti kwenyee vibegi vido vya mgongoni vya wenzake waliokuwa wameshapoteza maisha.
5En els primers dies després que l'estructura cedís el 24 d'abril de 2013 es van rescatar 2.428 persones de sota l'edifici esfondrat.Katika siku chache za kwanza mara baada ya jingo hilo kuporomoka mnamo Aprili 24, 2013, watu 2,428 wameshaokolewa kutoka katika vifusi vya jengo hilo.
6L'esperança de trobar altres supervivents entre la runa cada vegada és menor.Tumaini la kuwapata watu wengine wakiwa hai katika vifusi vya jengo hilo linazidi kufifia.
7Equips de rescat de Bangladesh treuen la treballadora de la confecció Reshma de sota la runa 17 dies després de l'esfondrament de la fàbrica a Savar.Waokoaji wa Bangladeshi wakimuokoa mfanyakazi wa kiwanda cha kutengenezea nguo ajulikaye kwa jina la Reshma kutoka kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka baada ya kufunikwa kwa vifusi vya jengo hilo kwa siku 17. picha na Rehman Asad.
8Imagte de Rehman Asad.Copyright Demotix (10/5/2013).
9Copyright Demotix (10/5/2013).Begum aliwaambia mawakala wa habari :
10Begum va dir a una agencia de notícies [bn]:kwa kiasi kikubwa niliweza kuishi kwa kunywa maji.
11Vaig sobreviure principalment gràcies a l'aigua.Nilibanwa mara tu baada ya jengo kuporomoka.
12Vaig quedar atrapada just després de l'esfondrament de l'edifici.Haraka nilielekea kwenye chumba kwa ajili ya maombi kama mkimbizi.
13Ràpidament em vaig refugiar a la sala de pregària. L'equip de rescat va tirar-hi aigua diverses vegades.Waokoaji walikuwa wakitupa chupa za maji ndani ya chumba hicho mara kwa mara.
14Vaig poder omplir dues ampolles que em van permetre sobreviure tots aquests dies.Niliweza kupata chupa mbili za maji ambazo ndizo zilizonifanya nikawa hai kwa siku zote hizi.
15La supervivència miraculosa de Begum ha causat commoció entre molta gent.Kuepuka kifo huku kwa miujiza kwa Begum kuliibua hisia kali miongoni mwa wtu wengi.
16En sentir les bones notícies, el bloguer Ashraf Shishir (@ashrafshishir) va escriure:Baada ya kusikia habari hizi nzuri, mwanablogu Ashraf Shishir (@ashrafshishir) aliandika:
17@ashrafshishir (Ashraf Shishir): Vaig plorar com un nen després de tantes vegades.@ashrafshishir (Ashraf Shishir): Nililia kama mtoto kwa muda mrefu.
18Reshmi o Reshma acaba de ser rescatada amb vida! …Reshmi au Reshma ni hivi punde tu ameokolewa akiwa hai!..
19La treballadora per al desenvolupament Shahana Siddiqui (@shahanasiddiqui) mirava de no plorar d'alegria.Muundaji wa nguo, Shahana Siddiqui (@shahanasiddiqui) alijitahidi kutoililia furaha.
20Va piular:Alitwiti:
21@shahanasiddiqui: M'aguanto les llàgrimes mentre llegeixo sobre el rescat miraculós de Reshma.@shahanasiddiqui: Niliacha kutoa machozi yangu mara baada ya kusikia kuokoka kimiujiza kwa Reshma!
22Temps d'alegria, temps d'orgull #Bangladesh #savar.Ni wakati wa furaha, ni muda wa kujisikia fahari.
23Membres de l'exèrcit i dels equips de rescat investiguen el punt concret de la Plaça Rana on van trobar viva Reshma sota les runes.Wanajeshi na waokoaji wakiangalia sehemu Rishma alipokuwa amezuiwa na kifusi cha jengo la Rana Plaza, mahali walipompata akiwa hai.
24Imatge de Firoz Ahmed.Picha na Firoz Ahmed.
25Copyright Demotix (10/5/2013)Copyright Demotix (10/5/2013)
26La baronessa Sayeeda Hussain Warsi [en] (@SayeedaWarsi), ministra d'estat d'afers estrangers del Regne Unit i de la Commonwealth, va escriure després de conèixer la notícia del rescat de Reshma:Baroness Sayeeda Hussain Warsi (@SayeedaWarsi), waziri mwandamizi wa Uingerezera anayehusika na mambo ya nje na ushirikiano wa makoloni ya Uingereza alitoa maoni yake mara baada ya kusikia habari za kuokolewa kwa Reshma:
27@SayeedaWarsi: Escenes extraordinàries i inspiradores d'una jove rescatada 17 dies després de l'esfondrament de la fàbrica a #Savar.@SayeedaWarsi: ni zaidi ya ajabu; tukiio la kutia moyo kwa mwanamke mdogo kuokolewa baada ya siku 17 kupita tokea jengo la Savar kuporomoka.
28Un raig d'esperança enmig de la tragèdia.Mwale wa matumaini katikati ya janga.
29Asif Touhid [en], un expert en màrqueting, va escriure a facebook:Asif Touhid, mtaalamu wa mauzo, aliandika katika Facebook:
30Reshma … Estimada germana, la teva audàcia per seguir viva em va inspirar i em va restaurar la fe en el meu poble. El periodista Kamrul Hasan (@_Kamrul_Hasan_) va donar les gràcies a tots els membres de l'equip de rescat que van treballar dur per treure Begum amb vida:Reshma … dada mpendwa,Dear sister, ushupavu wako wa kuishi kwenye vifusi kwa siku zote hizo kumenipa hamasa na kurejesha imani kwa watu wangu. blockquote> Mwandishi wa habari Kamrul Hasan (@_Kamrul_Hasan_) aliwashukuru waokoji wote kwa juhudi zao walizozionesha kwa kumuokoa Begum akiwa hai:
31@Kamrul_Hasan: Fins i tot això és possible!@Kamrul_Hasan: kumbe hili linawezekana!
32Felicitats Reshma, si us plau segueix sana i estàlvia.Hongera sana reshma, uishi maisha marefu na mazuri.
33Moltes gràcies a l'equip de rescat de l'exèrcit de Bangladesh pels seus esforços.Shukrani za pekee kwa jopo la waokoaji wa kijeshi kwa juhudi walizoweka.
34S'ha qüestionat el paper dels mitjans de comunicació, atès que van dirigir-se cap a Begum just després de ser rescatada amb l'objectiu d'entrevistar-la.Jukumu la vyombo vya habari lilihojiwa pale walipohamia kwa Begum na kujaribu kumhoji. Mwandishi wa habari Tanvir Ahmed aliwahoji waandishi wenzake katika ukurasa wa Facebook:
35El periodista Tanvir Ahmed [en] va recomanar als seus companys a facebook:Tafadhali mridhike na mahojiano na waokoaji pamoja na jopo la madaktari.
36Si us plau, conformeu-vos amb les entrevistes dels membres de l'equip de rescat i de l'equip mèdic.Msijisumbue kuuliza jinsi alivyoweza kuishi kwenye vifusi kwa siku zote hizo. Kwa nini nguo zake hazikutatuka?
37No l'atabaleu preguntant-li com va sobreviure tants dies o per què la seva roba no està feta malbé.Badala ya kujibu maswali yote haya, anahitaji huduma ya haraka ya matibabu. blockquote>
38En comptes de respondre aquestes preguntes, el que necessita és atenció mèdica urgent. Els familiars dels treballadors desapareguts o morts continuen sent optimistes fins i tot 17 dies després de l'accident.Ndugu wa waliokuwa fanyakazi katika kiwanda cha nguo waliopotea au kufariki wameendelea kuwa na matumaini ya kuwapata ndugu zao siku 17 baada ya tukio hili.
39Imatge de Shafiur Rahman.Picha na Shafiur Rahman.
40Copyright Demotix (10/5/2013)Copyright Demotix (10/5/2013)
41La indústria de roba confeccionada és la principal font d'exportació de Bangladesh, de manera que als ulls de molts l'esfondrament d'una fàbrica és una tara per a la imatge de Bangladesh.Biashara ya nguo zilizokuwa tayari ndio chanzo kikubwa kabisa cha pato la nje kwa nchi ya Bangladesh, kwa hiyo, kwa mtazamo wa wengi, kuanguka kwa jengo hilo kunachorwa kuwa ni taswira hasi ya nchi ya Bangladesh.
42Tenint en compte això, Abu Maksud [bn] va convertir Begum en la cara de Bangladesh en un comentari a facebook:Kwa kulizingatia hili, Abu Maksud alimchukulia Begum kama taswira ya Bangladesh katika makala aliyoiweka katika ukurasa wa Facebook:
43Bangladesh va sobreviure sota la runa durant 17 dies. Germana Reshma, has tornat del forat de la mort.Bangladesh iliweza kuishi kwenye kifusi kwa siku 17. Dada Rishma- umenusurika na kifo.
44Has demostrat que Bangladesh sobreviu fins i tot sota la runa.Umeonesha kuwa hata Bangladesh inaweza kuishi kwenye vifusi.
45Zafar Sobhan [en], editor del Dhaka Tribune, va concloure en una entrevista amb el lloc web australià News.com.au:Zafar Sobhan, mhariri wa Jukwaa la Dhaka, alitoa mjumuisho katika mahojiano na mtandao wa habari wa News.com.au:
46Reshma representa el millor de Bangladesh, la resistència de la nació a l'hora de fer front dificultats increïbles, el seu coratge, la seva força, la seva determinació de no donar-se mai per vençut sense importar les probabilitats.Reshma anawakilisha ubora wa Bangladesh, ustawi wa nchi ya Bangladesh unaambatana na magumu yasiyoelezeka, utiaji moyo wake, uimara wake, uthabiti wake wa kutokukata tamaa pamoja na changamoto nyingi. blockquote>