Sentence alignment for gv-deu-20121130-13201.xml (html) - gv-swa-20121227-4474.xml (html)

#deuswa
1Mauretanische Lehrer brechen in Schulministerium einWalimu wa Mauritania Wavunja Ofisi ya Waziri wa Elimu
2[Alle Links in diesem Beitrag führen zu arabischen Webseiten.][Angalizo: Viunga vyote viko katika lugha ya Kiarabu]
3Eine Gruppe von Lehrern einer weiterführenden Schule brach aus Protest gegen die willkürliche Versetzung von 120 Lehrern in andere Schulen in das Büro des Bildungsministers ein.Kikundi cha walimu wa shule za sekondari kilivunja na kuingia katika ofisi ya Waziri wa Elimu wakipinga kuhamishwa holela kwawalimu 120 kwenda kwenye shule nyingine.
4Die Versetzungen sollten eine Strafe für die Lehrer sein, die sich im letzten Jahr bei den Streiks für die Verbesserung der Bedingungen der Beschäftigten im Bildungswesen einsetzten.Walimu hao wamekuwa wakihamishwa kuwaadhibu wale wote walioshiriki katika mgomo wa mwaka uliopita kushinikiza kuboreshwa kwa mazingira ya kazi katika sekta ya elimu.
5Die Lehrer sahen diese Handlung als Strafe für den Streik an, den sie hielten, um auf ihre Rechte und die Verletzung des Beamtenrechts in Mauretanien aufmerksam zu machen.Walimu walikichukulia kitendo hicho kama adhabu kufuatia hatua yao ya kugoma kudai haki zao na vilevile kupuuzwa kwa sheria za utumishi wa umma nchini Mauritania.
6Seinerseits kritisierte der Generalsekretär des unabhängigen Verbandes von Lehrern weiterführender Schulen Mohamed Ould Rabani die Versetzung als einen gefährlichen Präzedenzfall in der Geschichte Mauretaniens und bat seine Kollegen, sich den Beschlüssen des Ministeriums nicht unterzuordnen.Kwa upande wake, Mohamed Ould Rabani, Katibu Mkuu wa baraza hru la walimu wa shule za sekondari, waliuponda uhamisho huo kama hatua ya hatari katika historia ya Mauratania na kuwaomba wenzake kutokutii amri ya Wizara.
7Im selben Kontext demonstrierte eine andere Gruppe willkürlich versetzter Lehrer vor dem Büro des Bildungsministers Ahmed Ould Bah, indem sie den Beschluss verurteilte und forderte seinen sofortigen Rückzug.Katika mukhtadha huo huo, kikundi kingine cha walimu walihamishwa kiholela, walifanya maandamano mbele ya ofisi ya Waziri wa Elimu Ahmed Ould Bah, wakiupinga uamuzi huo na kudai kusitishwa mara moja hatua hiyo.
8Einige von ihnen protestierten auch vor dem Präsidentenpalast in Nouakchott und drohten an, von ihren Stellen zurückzutreten, falls der Beschluss nicht zurückgenommen werden sollte.Baadhi yao vile vile waliandamana mbele yamakazi ya rai huko Nouakchott na wakatishia kuacha kazi ikiwa uamuzi hautabatilika.
9Erwähnenswert ist, dass das Ministerium nach den Streiks des Verbandes das Gehalt hunderter Lehrer, die dabei mitgemacht hatten, einstellte.Ikumbukwe kuwa wizara imewasimamishia mishahara ya mamia ya walimu baada ya wao kushiriki maandamano yaliyoandaliwa na baraza hilo.
10Foto der demonstrierenden Lehrer, gepostet auf Twitter von @mejdmrPicha ya walimu wakiandamana iliyowekwa kwenye twita na
11Der Nationalverband für Lehrer weiterführender Schulen gab ein Statement heraus, in dem die willkürliche Versetzung verurteilt wird:Baraza la Taifa la Elimu ya Sekondari lilitoa tamko kulaani uhamisho holela:
12Das mauretanische Schulministerium versetzte eigenwillig Dutzende von Sekundarlehrern, weil sie an legitimen Streiks teilnahmen. Dies kann als gefährliche Verletzung der Rechte der Verbandsmitglieder betrachtet werden, besonders des Rechts, zu demonstrieren, das durch den Artikel 14 der Verfassung und durch von unserem Land unterzeichnete internationale Abkommen zugesichert wird, wie zum Beispiel das Internationale Arbeitsübereinkommen Nummer 87, das mit Verbandsfreiheiten verbunden ist.Wizata ya Elimu ya Mauritania imewahammisha kiholela makumi ya walimu wa sekondari kwa sababu ya ushiriki wao katika mgomo halali. hatua inayoonekana kuwa ni uvunjifu wa hatari wa haki za wanachama wa baraza hilo, hususani haki ya kuandamana, inayolindwa na ibara ya 14 ya katiba na pia inalindwa na mikataba ya kimataifa iliyotiwa saini na nchi yetu, kama Makubaliano ya Kimataifa ya Kazi namba 87, ambayo yanakuhusiana na haki za baraza.
13Tiguend postete in seinem Blog eine Zeugenaussage von einem der Lehrer, die von den Versetzungen betroffen sind. Sie trägt den Titel “Deswegen verdiene ich die Strafmaßnahme”, in der von der Ungerechtigkeit des Beschlusses gesprochen wird:Blogu ya Tiguend iliweka shuhuda za walimu walioathirika na uhamisho huo, zilizopewa jina “Hii ndiyo sababu kwa nini ninastahili kutimuliwa kazi” ambapo walizungumzia kukiukwa kwa haki kwa uamuzi huo:
14Ich habe 10 Jahre lang in der Gegend von Trarza gearbeitet und niemals in all diesen Jahren habe ich weniger als 17 Punkte [von insgesamt 20] in meiner Bewertung bekommen.Nimekuwa nikifundisha kwa miaka 10 katika mkoa wa Trarza na sijawahi katika kipindi chote hicho kupata chini ya alama 17 [kati ya 20] katika Tathmini ninayofanyiwa.
15Ich habe mit verschiedenen Direktoren zusammengearbeitet und mein Gehalt wurde nie ausgesetzt außer dieses Mal wegen meiner Beteiligung an dem Streik.Nimefanya kazi na waratibu mbalimbali na mshahara wangu haujawahi kusimamishwa isipokuwa wakati huu kwa sababu ya kushiriki mgomo.
16Ich besitze keine Aufzeichnungen über Abwesenheit oder dem Nachlassen meiner Pflichten und alles ist gut, Gott sei Dank. Bis der Direktor Mohamed Ould el Talib kam und einen Bericht an den Direktor der Rousou-Schule schickte und ihn bat, mir die Note 6/20 zu geben und mich wegen Klauens und Tratschens zu beschuldigen, womit er seit seiner illegalen Ernennung zum Verwaltungschef prahlte.Sina rekodi ya kukosa au kuzembea majukumu yangu na kila kitu kiko sawia, namshukuru Mungu, mpaka mratibu Mohamed Ould el Talib alikuja na kutuma ripoti kwa mratibu wa Rousou School ambaye ni mkubwa wake wa kazi, akimwomba anipe alama 6 kati ya 20 na kunituhumu kupiga umbeya na majungu, tabia ambayo amekuwa akijidai nayo tangu ameteuliwa kwa namna inayotia mashaka kuwa mtawala wa elimu.
17Das war der Grund, weswegen man mich willkürlich versetzte mit 16 anderen Lehren aus Trarza, deren einziger Fehler es war, an dem Streik teilgenommen zu haben, auch wenn sie wussten, dass das Gesetz dieses Recht gewährte und die Verfassung es für ein besseres Leben und eine würdigere Bildung schützte.Haya yote ndiyo yamekuwa sababu ya mimi kuhamishwa kienyeji pamoja na wenzangu 16 hapa Trarza ambao kosa letu pekee ni kushiriki mgomo tukijua kabisa kuwa sheria zinailinda haki hii na katiba ya nchi nayo inatulinda kwa ajili ya maisha na elimu ya kuheshimika.
18Mauritan.net sagt, das die Versetzung aus einer Beschwerde resultiert, die die Lehrer beschuldigt, “Streiks anzustiften und die Politik selbst in die Hand zu nehmen”:Tovuti ya Mauritan.net inasema kwamba uhamisho ni matokeo ya malalamiko, yakiwatuhumu walimu kwa “kulazimisha mgomo na kufanya siasa”:
19Die Versetzung der Lehrer beruht auf den Berichten von Direktoren durch die Gouverneure und den Briefen von Briefen der Gouverneure, die besagten, dass sie Streiks anstifteten und Politik betrieben.Uhamisho wa walimu ulizingatia taarifa za waratibu elimu kupitia kwa Magavana na barua za Magavana zilieleza kwamba walimu hao walifanya siasa kwa kushiriki mgomo huo batili.
20Dedda Cheikh Brahim kritisiert die Art, wie das mauretanische Regime mit den Protesten der Lehrer umgeht:Dedda Cheikh Brahim anakosoa namna utawala wa Mauritania unavyoshughulikia maandamano hayo ya walimu:
21In einer militärischen Demokratie sind Proteste strafbar und die Lehrer müssen jetzt auf legalem Weg dafür büßen.Katika demokrasia ya Kijeshi, maandamano huadhibiwa na walimu sasa wanalipa gharama ya kwa mujibu wa sheria
22Er fügt hinzu:Anaongeza:
23Die Lehrer wurden versetzt nachdem sie entschieden, sich auf ihre Rechte zu berufen.Walimu walihamishwa baada ya kuamua kudai haki zao.
24Es gibt einen Gott, Mauretanier.Mungu yupo ewe Mmauritania
25Der mauretanische Journalist Mohamed Ould Salem kritisierte den Bildungsminister ebenfalls scharf, dafür, dass er eine Krise im Bildungssektor hervorgerufen hat:Mwandishi Mohamed Ould Salem alimlaumu Waziri wa Elimu kwa kusababisha mzozo katika sekta ya elimu:
26Ould Bah atmet keinen gewöhnlichen Sauerstoff, sondern lebt von Krisen und Ungerechtigkeit.Ould Bah havuti hewa iliyozoeleka bali huishi kwa kuminya haki za watu na kutengeneza mizozo.
27Deshalb hat er beschlossen, 108 der besten Lehrer zu bestrafen, weil sie sich bei einem legalen Streik beteiligten.Ndio maana aliamua kuwaadhibu walimu bora 108 kwa sababu tu walishiriki kwenye mgomo uliofuata sheria.
28Ein weiterer Tag in Verbindung mit einem Krisenjahr im Bildungssektor mit 108 Lehrern, die sich der Strafversetzung widersetzen und Bildungsverbänden, die versprechen den Beschluss wieder zu Fall zu bringen und einem Minister, der sehr kreativ im Krisen machen und Fehler anhäufen ist.Tarehe mpya imeingia kwenye historia kwa mgogoro katika sekta ya elimu ambapo walimu 108 wamegomea uhamisho wa adhabu na baraza la elimu likiahidi kufutilia mbali uamuzi huo pamoja na waziri huyu mbunifu katika kutengeneza matatizo na kulimbikiza makosa
29Nasser Al Hachemi twittert:Nasser Al Hachemi alitwiti:
30Es ist eine Demütigung und Tyrannei.Ni unyanyasaji na uimla.
31Mein Herz ist mit euch, oh ihr Halter des Lichts.Moyo wangu uko nanyi enyi wabeba taa
32Der Aktivist Mejdi Ahmed gab ebenfalls seine Bemerkung über den Fall kund:Mwanaharakati Mejdi Ahmed pia alitia neno katika suala hili:
33Die Lehrer protestierten gestern in den Räumlichkeiten des Bildungsministers und forderten, sich von dem Beschluss, sie alle zu versetzen, wieder loszusagen - einen Beschluss, den sie ungerecht fanden.Walimu waliandamana jana katika maeneo ya Wizara ya Elimu wakiiomba (Wizara) kubatilisha uamuzi wa kuwahamisha -uamuzi waliouchukulia kuwa haukuwa wa haki.
34Al Cheikh Ould Horma twitterte auch:Al Cheikh Ould Horma alitwiti:
35In Mauretanien bestehen die Lehrer darauf, den Konflikt mit dem Minister zu ideologisieren, der seinerseits darauf besteht, die Forderung der Lehrer zu ideologisieren.Nchini Mauritania walimu wanasisitiza kuufanya mgogoro huu kuwa wa kiitikadi na waziri muhusika akijibu mapigo kwa kuyafanya madai yao kuwa ya kiitikadi
36Er schlussfolgerte:Alimalizia: <
37Das akademische Jahr in Mauretanien fängt bald an und der Kampf zwischen dem Minister und den Verbänden beginnt von vorn.Mwaka wa masomo unakaribia kuanza nchini Mauritania na vita ndio kwanza vimeanza kwa mara nyingine baina ya Waziri na baraza la walimu.
38Ein fataler Krieg.Ni vita hatari