Sentence alignment for gv-deu-20100113-1546.xml (html) - gv-swa-20100113-1084.xml (html)

#deuswa
1Togo nach tödlichem Angriff vom Afrika Cup disqualifiziertTogo Yaondolewa Kwenye Mashindano ya Kombe la Afrika baada ya Shambulizi Baya
2Nach dem tödlichen Angriff auf den Konvoi des Teams in Cabinda, einer Region in Angola, die schon seit Langem von separatistischen Gewalttätigkeiten beunruhigt wird, wurde Togos Fußball-Nationalmannschaft offiziell vom afrikanischen Cup der Nationen disqualifiziert.
3Mitglieder der togolesischen Fußball-Nationalmannschaft vor einem Warm-up Spiel in Biberach / Riss ein paar Tage vor dem World Cup (Quelle: Wikipedia) Der Co-Trainer und Medien Verbindungsmann wurden getötet und Torhüter Kodjovi “Dodji” Obilale schwer verletzt.Timu ya Taifa ya Togo sasa imeondolewa rasmi kutoka kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kufuatia shambulizi lililoelekezwa kwa msafara wa timu hiyo Ijumaa iliyopita katika eneo la Kabinda lililo nchini Angola na ambalo liko kwenye ukanda wa mapigano baina ya vikosi vya serikali na vile vya waasi wanaotaka kujitenga.
4Obilales Zustand soll stabil sein, nachdem er in Südafrika operiert worden ist, doch braucht er zum Atmen noch die Hilfe eines Beatmungsgerätes.Wachezaji wa timu ya Taifa ya Togo kabla ya mashindano ya utangulizi huku Biberach/Riss siku chache kabla ya Mashindano ya Kombe la Dunia (Chanzo: Wikipedia)
5FLEC, die Rebellen-Gruppe, die die Verantwortung für den Anschlag beansprucht, gab in einer Erklärung an, dass die Polizei-Eskorte und nicht die togolesischen Spieler ihr Angriffsziel war.Kundi la waasi linalojulikana kwa jina la FLEC na ambalo limedai kuhusika na shambulizi hilo lilieleza kwenye taarifa yake kwamba wao walikuwa wamelenga kushambulia msafara wa polisi na si timu ya wachezaji ya Togo.
6Die angolanische Regierung ihrerseits bezeichnete den Angriff als einen “Einzelfall” und hat die Sicherheit der anderen Teams garantiert.Kwa upande wake, serikali ya Angola, imeelezea kwamba shambulizi hilo limetokea “kwa bahati mbaya” na kwamba inazihakikishia timu nyingine usalama.
7In Cabinda gehen die Spiele wie geplant weiter.Hivi sasa mechi zinaendelea kama zilivyopangwa huko kwenye jimbo la Kabinda.
8Gemäß Presseberichten wollten viele Spieler weiterspielen doch hatte die togolesische Regierung das Team am Sonnabend zurückgerufen.Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, wachezaji walionyesha nia ya kutaka kuendelea na mashindano, lakini serikali ya Togo iliamua kuirudisha nyumbani timu hiyo siku ya Jumamosi.
9Als ihr Team nicht erschien, wurde Togo, das heute gegen Ghana spielen sollte, offiziell disqualifiziert.Togo ambayo ilikuwa icheze dhidi ya Ghana mapema leo, imeondolewa rasmi kwenye mashindano baada ya kushindwa kutokea uwanjani.
10Seit dem Angriff haben viele Togolesen schwierige Fragen darüber gestellt, was zu einer verhinderbaren Tragödie geworden war: Warum fuhr das Team im Bus und nicht im Flugzeug?Tangu kutokea kwa shambulizi hilo, wananchi wengi wa Togo wamekuwa wakiuliza maswali magumu kuhusu msiba huo ambao pengine ungeweza kuepukika: Kwa nini timu hiyo ilisafiri kwa basi na si kwa ndege?
11Hat die angolanische Regierung die Spiele in Cabinda austragen lassen, um zu beweisen, dass der Aufstand vorbei war?Je, nini hasa ilikuwa nia ya serikali ya Angola kuchagua kuendesha mashindano hayo katika jimbo la Kabinda, je, ilikuwa kwa nia ya kuonyesha kwamba imewashinda waasi?
12Ist der Fußball die ganze Tragödie wert, die ihm zu folgen scheint?Je, hivi, mchezo wa soka una manufaa makubwa ya kusababisha mtu ujiweke kwenye hatari ya msiba kama huo?
13Sollte man den Cup annullieren?Je, mashindano hayo yafutiliwe mbali?
14Weiterspielen?Je, mashindano yaendelee?
15Direkt nach dem Angriff gab es eine große Online Debatte, ob Togo sich zurückziehen sollte.Mara baada ya shambulizi hilo, kulizuka mjadala mkubwa wa mtandaoni kuhusu kama timu ya Togo ijitoe au la.
16Rêve d'Afrique, der Blog von Togo Schriftsteller Gerry Taama, argumentierte, die Spiele sollten weitergehen:Rêve d'Afrique, ambayo ni blogu ya raia wa Togo na mwandishi Gerry Taama alijenga hoja zake kwamba mchezo uendelee:
17Wenn CAN (African Cup of Nations) nicht annulliert wird (die anderen Teams entscheiden, die Veranstaltung zu boykottieren), dann sollten wir an diesen Spielen teilnehmen … Wir müssen bei diesem CAN dabei sein, unseren Platz einnehmen, unsere Toten ehren, unsere Liebe für sie ausdrücken und um ihnen zu zeigen, dass wir uns weigern, ihren Tot als vergeblich hinzunehmen.Labda kama Kombe la Mataifa ya Afrika litafutiliwa mbali (timu nyingine ziamue kususia mashindano hayo), vinginevyo sisi tushiriki kwenye mchezo huu…Hatuna budi kushiriki katika mashindano haya, kuingia kiwanjani ili kuwakumbuka waliokufa, kuelezea upendo wetu kwao, na tuonyeshe kwamba vifo vyao havikuwa bure.
18Spielen, sodass die Terroristen nicht gewinnen, Grausamkeiten dürfen nicht über das Gesetz oder unsere Werte triumphieren.Tushiriki ili kuwaonyesha magaidi kwamba hawakushinda, tusiruhusu ushenzi kushinda sheria au yale tunayoyapa thamani.
19Sich weigern zu spielen, heißt aufzugeben …Kama tukikataa kushiriki basi tutakuwa tumekubali kushindwa…
20Yipka-Au Village ist anderer Ansicht:Yipka-Au Village yeye hakubaliani:
21Wie können wir glauben, dass sie spielen wollen, nachdem sie gerade bei dem Versuch Fußball zu spielen knapp dem Tod entkommen sind, mit schwerverletzten Trainern, zwei Spielern und Ärzten??Je, tunawezaje kutumaini kwamba watacheza mara tu baada ya kuwa wamenusurika na kifo, tena huku wachezaji wawili, makocha na madaktari wakiwa wamejeruhiwa vibaya??
22Kangi Alem stimmt zu und geht noch einen Schritt weiter und argumentiert, dass der Afrika-Cup 2010 abgesagt werden sollte:Kwa upande wake, Kangi Alem, anakubali na anaongeza kusema kwamba Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya mwaka 2010 yafutwe:
23CAF [Confederation of African Football] trägt eine Verantwortung.Shirikisho la Soka Barani Afrika, CAF, linawajibika.
24Sie lies die Spieler durch ein als gefährlich bekanntes Gebiet fahren. Jetzt sollte sie das Richtige tun und CAN-2010 absagen!Liliruhusu wachezaji kupita katika eneo linalofahamika kwamba ni la hatari, kwa hiyo ni haki kabisa kuwajibika kwa kuyafuta mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afika ya mwaka 2010!
25Das ist meine Meinung, vielleicht etwas unsportlich, aber das ist meine Meinung.Hayo ni maoni yangu, labda kidogo yako kinyume na uanamichezo, lakini hayo ndiyo maoni yangu.
26CAF behauptet, die Reise-Route des Teams wäre unbekannt gewesen und dass den Teams geraten wurde, per Luft zu reisen.CAF limedai kwamba halikuwa na taarifa na mpango wa safari wa timu hiyo na kwamba daima limekuwa likizishauri timu kusafiri kwa ndege.
27Alem findet das “bizarr”, denn das Team wurde ja, dank der angolanischen Regierung, von einem bewaffneten Konvoi begleitet.Alem anaona kuwa hiki ni kama “jambo la ajabu” maana timu hiyo ilisindikizwa na kikosi cha askari waliobeba silaha, yote kwa hisani ya serikali ya Angola.
28Warum wird in Cabinda gespielt?Kwa nini mashindano yaendeshwe katika jimbo la Kabinda?
29Eine große Frage ist natürlich, warum die Spiele überhaupt in Cabinda ausgetragen wurden.Bila shaka hili ni swali kubwa kwamba hivi kwa nini mashindano yafanyike katika jimbo la Kabinda awali ya yote.
30Yikpa schreibt:Yikpa anaandika:
31Ich glaube, es war eine politische Entscheidung der angolanischen Regierung, unterstützt von CAF, die Spiele in Cabinda abzuhalten zum Beweis, dass die Region, reich an Öl, sicher genug war, um Investoren anzulocken. Der Angriff beweist jedoch das Gegenteil.Nafikiri huo ulikuwa ni uamuzi wa kisiasa kwa upande wa serikali ya Angola huku CAF wakiunga mkono kwamba mashindano yafanyike katika jimbo la Kabinda ili kuudhihirishia ulimwengu kwamba eneo hilo, ambalo lina utajiri mkubwa wa mafuta, lilikuwa salama kiasi cha kutosha kuvutia wawekezaji kwenda huko.
32Paul Archer, in einem Kommentar zu Alems Beitrag, schreibt:Shambulizi hili limethibitisha vinginevyo.
33Es muss gespielt werden, so ist das Leben nun mal!Paul Archer, akiandika maoni yake kwenye makala ya Alem, anasema:
34Die Rebellen waren auf ihrem eigenen Gebiet.Walikuwa kwenye eneo lililo chini ya waasi.
35Ich bin nicht damit einverstanden, aber ein Kriegsgebiet ist nun mal ein Kriegsgebiet.Sikubaliani na jambo hilo, maana uwanja wa vita ni uwanja wa vita.
36Sport & TragödienMichezo & Msiba
37David Kpelly schreibt zu Alems Blog, dass es nicht das erste Mal sei, dass der Sport, insbesondere der Fußball, mit Gewalttätigkeiten in Verbindung gebracht wird.David Kpelly, aliyeandika kwenye blogu ya Alem, alikumbusha kwamba tukio hilo halikuwa la kwanza katika michezo kuhusishwa na vitendo vya utumiaji nguvu au mashambulizi, hasa katika mchezo wa soka.
38In 2007 wurden in Sierra Leone bei einem Hubschrauberabsturz 13 Sportfunktionäre und Anhänger, einschließlich des Ministers für Sport, getötet.Mnamo mwaka 2007. Jumla ya viongozi wa michezo na washabiki 13, akiwemo Waziri wa michezo, waliuwawa nchini Sierra Leone, katika ajali ya helikopta.
39Er bemerkt ferner, dass nach dem Togo-Mali Spiel für den Afrika-Cup in 2006, mehrere Togolesen in Bamako getötet wurden.Pia anakumbusha kwamba baada ya mechi ya kufuzu kati ya Togo na Mali kwa ajili ya Kombe la Afrika la mwaka 2006, raia kadhaa wa Togo waliuwawa jijini Bamako.
40Er bezieht sich weiterhin auf den Vorfall im Kegue Stadion in Lome, bei welchem mehrere Fußballanhänger starben, ganz abgesehen von der Tragödie, die sich erst kürzlich in der Elfenbeinküste zugetragen hat, wo 19 Zuschauer bei einer Massenflucht getötet wurden.Vilevile anakumbushia juu ya tukio lililotokea katika uwanja wa Kegue jijini Lome ambapo washabiki kadhaa wa soka walikufa, yote hiyo ni ukiachia mbali tukio la hivi karibuni zaidi lililotokea nchini Ivory Coast ambapo watazamaji 19 walikufa kutokana na kukanyagana.
41Er schließt:Anahitimisha:
42In Afrika, Fußball, immer Fußball, er verursacht nicht wenige Opfer … Mein Gott!Barani Afrika, soka, ndiyo soka, … Mungu wangu!
43Fußball bringt zu viele Opfer!Mchezo wa Soka husababisha wahanga wengi mno!
44In ähnlicher Weise wundert sich ein anderer Leser, Sami, in Anbetracht dessen, was die Spiele manchmal umgibt: “volkstümliche Sportarten, die beinah primitive nationalistische Gefühle anregen, sind keine verkleideten Schlachtfelder” [Fr].Katika maoni yanayotaka kufanana na hayo, msomaji mwingine, Sami, anajiuliza kama endapo vurugu ambazo mara nyingine huambatana na michezo, “Michezo maarufu ambayo huchochea hisia za utaifa ambazo bado ni za kijima kabisa, je, hizi si viwanja vya vita vilivyojificha”.
45Das Spiel geht weiter Felix Makayaba, in einem Kommentar bei Reve d'Afrique bedauert, dass, beim Weiterspiel des African Cups, die Welt und sogar die Zuschauer in Togo die Tragödie bereits vergessen haben.Mchezo unaendelea Felix Makayaba, ambaye alitoa maoni yake katika Reve d'Afrique, anaomboleza hisia kwamba wakati Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika yakiendelea, ulimwengu, na hata watazamaji kule Togo, tayari wamekwishasahau msiba huo:
46CAN geht weiter und bereits jetzt gibt es eine festliche Ambiente rund um Togo.Wakati Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika yakisonga mbele, kutakuwa na shamrashamra za mashangilio kila mahali nchini Togo.
47Und der Schmerz über den Tod einiger Mitmenschen riskiert, vom Fußball überschattet zu werden.Na yale maumivu ya vifo vya baadhi yetu yakiwa katika hatari ya kufunikwa na soka.
48Ich habe Beweise: die Jubelschreie, die sich über das gesamte Lome verbreiteten, als das 4. Ausgleichstor des Teams von Mali geschossen wurde.Nina ushahidi, kelele za furaha zilizorindima huko Lome mara tu baada ya magoli 4 yaliyoletwa na timu ya Mali.
49Bereits jetzt fühlen sich die Menschen in Lome in der Haut ihrer malischen Brüder … Schon machen wir uns immer weniger Sorgen um die Toten in Angola, noch bevor sie begraben sind.Tayari wakazi wa Lome wameanza kujiweka katika nafasi ya ndugu zao wa-Mali… Tayari tumeanza kutojihangaisha na wenzetu waliofia kule Angola, yaani hata kabla hawajazikwa.
50Vielleicht ist das nur die menschliche Natur, dass trotz des fürchterlichen Verlustes das Leben weitergeht.Pengine ni kutokana na asili ya binadamu kwamba licha ya kupata hasara kubwa, maisha bado huendelea.
51Fasokan beschreibt die festliche Stimmung gestern in Bamako kurz vor dem Mali-Angola Spiel (das 4:4 endete).Fasokan anaelezea hisia za shamrashamra zilizotawala jiji la Bamako hivi karibuni kabla ya mechi kati ya Mali na Angola (ambayo ilimalizika kwa suluhu ya 4-4).
52Sie können Männer sehen, die grün, gelb und rot gekleidet sind und einige Frauen haben sich die malische Flagge um ihre Köpfe gewickelt, wie ein Schleier, nur um den ‘Mali Eagles' zu zeigen, dass alle hinter ihnen stehen.Unaweza kuwaona watu waliovalia kijani, njano na nyekundu, huku baadhi ya wanawake wakiwa wamejifunga bendera ya Mali vichwani mwao kama vilemba, na yote hii ni kuipelekea ujumbe timu ya Taifa ya Mali ya Eagles kwamba wana uungaji mkono mkubwa nyuma yao.