Sentence alignment for gv-deu-20140413-19702.xml (html) - gv-swa-20140413-7174.xml (html)

#deuswa
1Afrika: 20 bis 40 Prozent der Gelder im Wassersektor gehen an Korruption verlorenAsilimia 20-40% ya Fedha Katika Sekta ya Maji Barani Afrika Hupotelea kwa Utoaji Rushwa
2Zugang zu sauberem Trinkwasser ist ein Menschenrecht.Upatikanaji wa maji ni haki ya binadamu.
3Quelle: actionaid.org, Verwendung genehmigt.Chanzo: actionaid.org kwa ruhusa
4Mustapha Sesay, Botschafter Westafrikas für die Integrität im Wassersektor schreibt [en] auf dem Blog des West Africa WASH Journalistennetzwerks [WASH ist ein Akronym für Wasser-, Sanitärversorgung und Hygiene] über Korruption in der Wasserbranche:Mustapha Sesay, Balozi wa Uadilifu wa Afrika Magharibi aliandika kuhusu ufisadi katika sekta ya maji kwenye mtandao wa Waandishi wa Habari wa WASH wa Afrika Magharibi :
5Der Zugang zu sauberem und bezahlbarem Wasser ist ein fundamentales Menschenrecht, aber es kommt ihm nicht die Aufmerksamkeit zu, die es benötigt.Suala la upatikanaji wa maji safi na kwa bei nafuu ni haki ya kibinadamu lakini hii haijapewa kipaumbele inavyohitajika sana.
6Die Korruption im Wassersektor blüht und betrifft Menschen aller Schichten, vom einfachen Mann über Politiker bis hin zu den Vorständen der Wasserinstitutionen und selbst den Nichtregierungsorganisationen, die in dieser Branche tätig sind.Utoaji rushwa katika sekta ya maji ni jambo la kawaida na inahusisha madaraja yote ya watu kuanzia mtu wa kawaida, wanasiasa, Wakuu wa Taasisi ya Maji na hata mashirika yasiyo ya serikali wanaofanya kazi katika hii sekta.
7Der Bericht “Korruption im Wassersektor” des Water Integrity Networks in einem Buch mit dem Titel “Schulungshandbuch zu Integrität im Bereich Wasser” besagt, dass es in Subsahara-Afrika bei 44 Prozent der Länder unwahrscheinlich ist, dass sie das Millenium-Entwicklungsziel zu Trinwasser erreichen werden. [Das Ziel lautet, dass bis 2015 der Anteil der Menschen ohne dauerhaft gesicherten Zugang zu hygienisch einwandfreiem Trinkwasser halbiert wird.].Ripoti juu ya “Utoaji rushwa katika sekta ya maji” kupitia mtandao wa Uadilifu wa maji katika kitabu chenye jina la “Mafunzo ya Mwongozo wa Uadilifu wa maji ” inasema kwamba katika jangwa la Sahara Afrika, asilimia arobaini na nne (44%) ya nchi haina uwezekano wa kufikia lengo la Maendeleo ya Milenia la upatikanaji wa maji ya kunywa, asilimia themanini na tano (85%) hawana uwezekano wa kufikia kipengele cha usafi wa mazingira.
8Bei 85 Prozent ist es unwahrscheinlich, dass sie das Ziel hinsichtlich sanitärer Anlagen erreichen.
9Schätzung der Weltbank zufolge gehen 20 bis 40 Prozent der Finanzen im Wassersektor an unredlichen Geschäftspraktiken verloren.Makadirio ya ripoti ya Benki ya Dunia inaonyesha kwamba asilimia (20 - 40%) ya fedha za sekta ya maji zinapotea kupitia mazoea ya udanganyifu.