Sentence alignment for gv-deu-20150509-28083.xml (html) - gv-swa-20150627-8947.xml (html)

#deuswa
1“Wir können nicht auf der Menschlichkeit anderer herumtrampeln, ohne uns selbst dabei herabzuwürdigen”“Hatuwezi Kukandamiza Utu wa Wengine bila Kuukana utu Wetu Kwanza
2Die sechs inhaftierten Blogger: Atnaf Berahane, Mahlet Fantahun, Zelalem Kiberet, Befeqadu Hailu, Natnael Feleke, Abel Wabela.Wanablogu sita waliofungwa gerezani: Atnaf Berahane, Mahlet Fantahun, Zelalem Kiberet, Befeqadu Hailu, Natnael Feleke, Abel Wabela.
3Im April letzten Jahres wurden neun Blogger und Journalisten in Äthiopien inhaftiert.Mnamo mwezi wa Aprili, wanablogu tisa pamoja na waandishi wa habari walikamatwa nchini Ethiopia.
4Einige dieser Männer und Frauen hatten für das Bloggerkollektiv Zone9 gearbeitet, das über soziale und politische Themen in Äthiopien berichtet und sich für Menschenrechte und die Rechenschaftspflicht der Regierung eingesetzt hatte.Baadhi ya wanaume na wanawake hawa walikuwa wakifanya kazi na Zone9, blogu ya ushirika liyokuwa inazungumzia masuala ya kijamii na ya kisiasa nchini Ethiopia ikiwa ni pamoja na kuhamasisha uzingatiaji wa haki za binadamu na uwajibikaji wa serikali.
5Vier von ihnen haben außerdem für Global Voices geschrieben.Miongoni mwao, wanablogu wanne walikuwa ni waandishi wa Global Voices.
6Im Juli wurden sie nach dem Antiterror-Erlass des Landes unter Anklage gestellt.Mwezi Julai, walihukumiwa chini ya sheria ya nchi ya kupambana na ugaidi.
7Seitdem befinden sie sich hinter Gittern und ihr Verfahren wurde wieder und wieder verschoben.Tangu wakati huo, wameendelea kuwepo gerezani, huku shitaka lao likiwa linaahirishwa mara kwa mara.
8Die Global Voices-Community und insbesondere das Team Subsahara-Afrika haben sich die letzten zwölf Monate über stark dafür eingesetzt, um auf ihren Fall aufmerksam zu machen und dass, was sie selbst zu dem Diskurs im Internet beitragen, entsprechend zu würdigen.Jumuia ya Global Voices, na hususani timu ya Ukanda wa chini wa Jangwa la Sahara, umekuwa ukifanya juhudi za hali na mali kwa muda wa kipindi cha miezi 12 iliyopita ili ulimwengu ufahamu kesi yao pamoja na kusherehekea machango wao katika jukwaa la mtandaoni.
9In den folgenden Wochen möchten wir jede und jeden von ihnen mit einem besonderen Text, mit Kunst, Poesie oder einem Video hervorheben.Katika wiki zinazofuata, tunategemea kumzungumzia kila mwanablogu kwa kutumia kipande mahususi cha makala, sanaa, ushairi au video.
10In diesem ersten Beitrag spricht der nigerianische Autor und Dichter Nwachukwu Egbunike über unser Anliegen mit einer Mischung aus Prosa und Dichtung.Katika makala hii ya awali, Mwandishi wa Nigeria na mshairi, Nwachukwu Egbunike azungumza kwa niaba yetu kwa kutumia mchanganyiko wa nathari na ushairi.
11Wir können nicht auf der Menschlichkeit anderer herumtrampeln, ohne uns selbst dabei herabzuwürdigen.Hatuwezi Kukandamiza Utu wa Wengine bila Kuukana utu Wetu Kwanza.
12Die Igbo, stets praxisnah, drücken das greifbar in einem Sprichwort aus: “Onye ji onye n'ani, ji onwe ya” - “Der, der einen anderen in den Schlamm niederdrücken will, muss dabei selbst im Schlamm stehenbleiben.”Igbo, mara zote wakiwa wahalisia, wazungumzia hili kwa ufasaha kabisa kwenye msemo wao- “Onye ji onye n'ani, ji onwe ya” - “Yeyote atakaye kumzamisha mwingine kwenye tope lazima na yeye awe kwenye tope hilo ili aweze kumzamisha mwingine”
13Diese neun äthiopischen Blogger wurden, ohne dass es dafür eine Rechtfertigung gibt, ins Gefängnis geworfen von denen, die mit dem Allgemeinwohl betraut worden sind.Chinua Achebe Wanablogu hawa tisa wa Ethiopia bila sababu inayoeleweka waliwekwa kizuizini gerezani na wale wanaomanika kupewa jukumu na wengi la kuliongoza taifa la Ethiopia.
14Wir möchten in den nächsten Wochen ihre Geschichten erzählen.Matazamia yetu katika wiki zinazofuata ni kutoa simulizi zinazowahusu mmoja baada ya mwingine.
15Was bedeutet ein Name?Katika jina kuna nini?
16Die eigentliche Essenz der Menschlichkeit eines jeden.Ni kitu cha muhimu sana kwa utu wa mtu.
17Nach dem afrikanischen Weltbild können Namen nicht gelöscht werden.Mtazamo wa jumla wa Mwafrika ni kuwa, majina kamwe hayawezi kufutwa.
18Aber ein tyrannischer Staat will genau das.Lakini taifa la kiharamia linataka kufanya hivyo kirahisi tu.
19Das Verbrechen der Zone9-Blogger ist, dass sie es gewagt haben “Ubuntu” zu leben.Kosa la Wanablogu wa Zone9′ ati lilikuwa ni kuthubutu kuonesha dhamira yao ya kuupigania “Ubuntu”.
20Sie haben sich für ihre Gemeinschaft eingesetzt und sind dazu über ihre eigenen Interessen hinweggegangen.Waliihamasisha jamii yao kuachana na dhana ya ubinafsi.
21Ihre Arbeit bestand darin, sich gegen die Mauern des sprichwörtlichen Gefängnisses “Zone Neun” in Äthiopien zu stemmen und sie einzureißen.Jukumu lao kubwa lilikuwa ni kuondoa na kuangamiaza kabisa vikwazo vikubwa vya kauli mbiu yao ya gereza la “Zone Nine” la Ethiopia.
22Freiheit steht unter Anklage, freie Meinungsäußerung ist tot.Uhuru upo katika hali tete, uhuru wa kujieleza haupo.
23Die Stille der Angst lebt.Ukimya wa hofu unamea.
24Diese Männer und Frauen haben das Internet benutzt, um die Zone der Freiheit auszuweiten.Wakitumia mtandao wa intaneti, wanaume na wanawake hawa walipanua wigo wa uhuru.
25Dafür wurde ihnen mit erfundenen Terrorismusvorwürfen gedankt.Lakini, kwa bahati mbaya, kama zawadi yao, walijikuta kwenye uonevu usiomithilika kwa kushitakiwa kwa makosa ya ugaidi ya kusingiziwa.
26Sie sitzen jetzt im Gefängnis.Hadi wakati huu, wanablogu hawa bado wapo gerezani.
27Global Voices Advocacy möchte diese Namen lebendig halten und von ihrem Mut erzählen, so dass alle davon wissen.Mradi wa utetezi wa Global Voices unalenga kuendelea kuyaweka majina haya hai ikiwa ni pamoja na kutoa simulizi zinazowahusu ili kila mmoja awafahamu.
28Wir möchten nicht, dass sie in reduktionistischer Art zu Zahlen werden oder zu Märtyrern.Tunalenga kuzuia mfumo wa kurahisisha utu wao kwa kuwahesabu kama namba tu au kama watu waliokosa tumaini la kuishi.
29Sie haben Namen, sie haben Geschichten, sie haben Persönlichkeiten, sie haben ihre Marotten und ihre Schwächen.Wanayo majina, simulizi, haiba, tabia zao za kipekee, mapungufu.
30Namen, Geschichten In einer Zone zum Gallier Neun nicht niemand Geknebelt nicht stumm Unterdrückt nicht ausgelöscht.Majina, simulizi Zoned into Gaul Tisa siyo kutokuwepo Kulindwa siyo kunyamazishwa Kukandamizwa siyo kutokomezwa.
31Ihre Namen und Geschichten werden hier nacherzählt.Majina yao na hahari zao zitasimuliwa hapa.
32Wir wollen niemals vergessen und wir werden dafür sorgen, dass ihre Stimmen laut und stark bleiben, bis sie wieder frei sind.Kwa namna hii, tunataka kamwe tusiwasahau na kuelendelea kupaza sauti zao kwa uiamara, hadi pale watakapoachiwa huru.