Sentence alignment for gv-deu-20120809-9243.xml (html) - gv-swa-20120612-3107.xml (html)

#deuswa
1Äthiopien: Land, Geschichte und Gerechtigkeit in GambellaEthiopia: Ardhi, Historia na Haki katika Eneo la Gambella
2[Der englische Originalartikel wurde am 02.06.2012 veröffentlicht.
3Soweit nicht anders angegeben, sind alle Links auf Englisch.] Nachdem im April dieses Jahres die größte öffentliche Datenbank über internationale Landgeschäfte veröffentlicht wurde, berichtet das Blog des britischen Guardian über globale Entwicklung weiter über Geschäfte mit Ackerland.Blogu ya Maendeleo ya Kidunia inayoendeshwa na jarida la Uingereza la The Guardian inaendelea kuandika habari za kugawa ardhi baada ya kuwekwa wazi kwa taarifa kuu za umma zinazohusu mgawanyo wa ardhi mwezi Aprili.
4Eines der in dem Bericht erwähnten Länder ist Äthiopien, wo Dorfbewohner in der Region Gambella gezwungen werden, in vom Staat ausgewählte Dörfer umzuziehen, um den Landräubern Platz zu machen.Mojawapo ya nchi zilizoandikwa katika taarifa hiyo ni Ethiopia ambapo wanavijiji katika jimbo la Gambella wanalazimishwa kuhamia kwenye vijiji vilivyoandaliwa na serikali ili kuwapisha “wawekezaji” kutwaa ardhi yao.
5Gambella ist die ärmste Region Äthiopiens.Gambella ni eneo masikini zaidi nchini Ethiopia.
6Laut einem Bericht der englischsprachigen äthiopischen Wochenzeitung The Reporter hat die äthiopische Regierung begonnen, die Leistung der Investoren, die große Landflächen für die kommerzielle Landwirtschaft erworben haben, zu bewerten.Mwandishi wa gazeti la The Reporter Ethiopia la nchini humo, linalotoka mara mbili kwa juma, anasema kwamba serikali ya Ethiopia imeanza kutathmini ufanisi wa wawekezaji waliojipatia sehemu kubwa ya ardhi kwa lengo la kuanzisha miradi mikubwa ya kilimo.
7Obwohl dies für Aktivisten einen wichtigen Schritt im Kampf gegen den Landraub darstellt, haben die internationalen Mainstream-Medien dieser Entscheidung der äthiopischen Regierung kaum Beachtung geschenkt.Ingawa hiyo inaweza kuchukuliwa kama hatua muhimu kwa wanaharakati wanaopinga unyang'anyi wa ardhi, uamuzi wa serikali ya Ethiopia kutathimini ufanisi wa wawekezaji walionyakua ardhi umevuta macho ya vyombo vikuu vya habari vya kimataifa.
8Auszüge aus einem neuen Buch von Fred Pearce (Land Grabbing: Der globale Kampf um Grund und Boden) zeigen, dass der Landraub für die Armen der Welt größere Auswirkungen hat als der Klimawandel.Baadhi ya sura kutoka kwenye kitabu kipya cha Fred Pearce, (Tafsiri isiyo rasmi) ‘Wanyang'anyi ardhi: mapinduzi yaliyofichika ya Afrika', zinaonyesha kwamba unyang'anyi wa ardhi una madhara kwa mafukara hawa kuliko hata mabadiliko ya tabia nchi.
9In einem Interview erklärt Fred Pearce, die Armen würden in Missachtung ihrer historischen und kulturellen Rechte von ihrem Land vertrieben.Katika mahojiano, Fred Pearce anaonyesha kwamba watu masikini walikuwa wanahamishwa kutoka kwenye ardhi yao bila kuzingatia haki zao za kihistoria na kiutamaduni.
10Zielländer von Landgeschäften (laut dem Land Matrix Project)Nchi zilizolengwa kwa ugawaji huo wa ardhi kutoka kwenye Mradi wa Land Matrix
11Doch ein äthiopischer Regierungsbeamter widerspricht diesem Argument:Hata hivyo, afisa wa serikali ya Ethiopia anapingana na hoja hii:
12Er [ein Beamter des Landwirtschaftsministeriums] spielte Kritik herunter, Landpachten hätten “negative Folgen für die Gemeinden, die in der Nähe der Farmen leben”. Er sagte, man habe sich “gebührend bemüht, nachteilige Folgen dieser Investitionen für die in der Nähe lebende Bevölkerung auszuschließen” und werde dies “verstärkt fortsetzen”.Afisa kutoka Wizara ya Kilimo alipuuza ukosoaji huo kwamba ugawaji wa ardhi ‘umeleta athari hasi kwa jamii iliyokuwa ikiishi karibu na mashamba', akidai kwamba ‘umakini wa pekee umewekwa kuufanya uwekezaji huu usiwe na madhara kwa jamii inayoishi karibu na mashamba hayo na hatua hii itaendelea kwa mtindo ulioimarika'.
13Landaktivisten haben eine Online-Petition erstellt und führen eine Kampagne über Facebook und Twitter.Wanaharakati wa masuala ya ardhi wametengeneza hati ya malalamiko ya mtandaoni na wanafanya kampeni kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter.
14Die an wichtige britische und US-amerikanische Diplomaten gerichtete Petition lautet:Hati hiyo ya malalamiko inayowalenga wanadiplomasia wa Marekani na Uingereza inasomeka kama ifuatavyo:
15Ich bin extrem beunruhigt über Berichte von schwerwiegenden, absichtlichen und andauernden Menschenrechtsverletzungen an indigenen Völkern im Südwesten Äthiopiens.Ninaguswa sana na taarifa za uvunjifu wa makusudi unaoendelea wa haki za wenyeji wa kusini magharibi mwa Ethiopia.
16Durch das Umsiedelungsprogramm der Regierung werden mindestens 200.000 Indigene zwangsweise aus ihren angestammten Ländereien in der Region Gambella vertrieben und in neuen, vom Staat gebauten Dörfern angesiedelt.Mpango wa Serikali wa “kuunda vijiji vipya” unawaondoa kwa nguvu wenyeji wasiopungua 200,000 kutoka kwenye ardhi yao ya asili katika maeneo ya Gambella na kuwahamishia kwenye vijiji vilivyojengwa na serikali.
17Die Regierung hat ihnen in diesen Dörfern bessere Beschäftigungsperspektiven, Bildung und medizinische Versorgung versprochen; Beobachter von Human Rights Watch haben jedoch kaum Anzeichen dieser Dienstleistungen vorgefunden.Ingawa serikali imewaahidi kupatikana kwa ajira, elimu, na huduma za afya katika vijiji hivi. Watafiti wa Shirika la Kutetea Haki za Binadamu (Human Rights Watch) hawajapata ushahidi au wamepata ushahidi mdogo tu wa kuwapo kwa huduma hizi.
18Ganz im Gegenteil drohen die Vertriebenen zu verhungern, weil sie nicht länger Zugang zu ihren Bauernhöfen, Wäldern und Flüssen haben.Badala yake, watu waliohamishwa wanaishi kwa hofu ya kukumbwa na njaa kwa kuwa sasa hivi hawana mashamba tena, mapori na mito vyote viko mbali nao.
19Diejenigen, die sich gegen diese Menschenrechtsverletzungen aussprechen, werden häufig eingesperrt, gefoltert, vergewaltigt oder sonstwie von den Sicherheitskräften der Regierung eingeschüchtert.Wale waliopaza sauti zao dhidi ya unyanyasaji wa aina hii wameendelea kukamatwa na kuwekwa kizuizini, wanateswa, wanabakwa na vinginevyo kutishwa na vikosi vya kijeshi vya serikali.
20Wer versucht, in seine angestammten Ländereien zurückzukehren, muss feststellen, dass die Regierung sein Land bereits an ausländische Investoren verpachtet hat. Diese machen sich eilig daran, Wälder, Höfe und Sumpfgebiete mit Bulldozern einzuebnen, um den kommerziellen Anbau von Biokraftstoffen, Tee, Gewürzen, Reis und Zuckerrohr betreiben zu können, meist für den Export.Wale wanaojaribu kurudi kwenye ardhi zao za asili wanakuta tayari serikali imeshaigawa ardhi hiyo kwa wawekezaji wa kigeni ambao kwa haraka haraka wanasafisha maeneo hayo kwa kuondoa mapori, mashamba yaliyokuwepo na vichaka ili kupata nafasi ya kulima mazao ya kibiashara kama vile ufuta, chai, viungo, mchele, na sukari, ambapo mazao mengi yanakusudiwa kuuzwa nje ya nchi.
21Die daraus resultierende Umweltzerstörung untergräbt noch weiter die Ernährungssicherheit für die indigenen Völker.Matokeo yake mazingira yanaharibiwa na kuathiri hifadhi ya chakula kwa wenyeji.
22Eine Facebook-Gruppe namens Stoppt den Landraub in Gambella, Äthiopien beschreibt sich als:Kundi la Facebook liitwalo Zuia Unyang'anyi wa ardhi Gambelle, Ethiopia linaandika:
23ein Ort, an dem die internationale Gemeinschaft ihre Besorgnis über die Menschenrechtsverletzungen und die Umweltzerstörung äußern kann, die der Landraub in der äthiopischen Region Gambella verursacht.Nafasi kwa ajili ya jamii ya Kimataifa kupaza sauti yake dhidi ya uvunjifu wa haki za binadamu na uharibifu wa mazingira unaosababishwa na unyang'anyi wa ardhi unaoendelea eneo la Gambella nchini Ethiopia.
24Als Landraub oder Land Grabbing [de] bezeichnet man das umstrittene Thema des Landerwerbs im großen Stil, d.h. den Kauf oder die Pacht von großen Landflächen in Entwicklungsländern durch einheimische oder transnationale Unternehmen, Regierungen oder Individuen.Unyang'anyi wa ardhi ni suala tete linalohusu umilikishaji wa maeneo makubwa ya ardhi; ununuzi au kukodisha maeneo makubwa ya ardhi katika nchi zinazoendelea unaofanywa na makampuni ya nyumbani au ya kimataifa, serikali au watu binafsi.