Sentence alignment for gv-deu-20130709-15912.xml (html) - gv-swa-20130712-5484.xml (html)

#deuswa
1Al Jazeera wegen parteiischer Ägypten-Berichterstattung beschuldigtAl Jazeera Yatuhumiwa Kutangaza “Habari za Upendeleo”
2Dieser Beitrag ist Teil unseres Dossiers Ägypter stürzen Mursi [en]Makala haya ni sehemu ya Habari zetu Maalumu za Wamisri Wamng'oa Morsi
3Al Jazeera steht in Ägypten in der Kritik wegen seiner Berichterstattung während und nach dem Sturz des früheren ägyptischen Präsidenten Mohamed Mursi am 4. Juli, die viele als “parteiisch” beschreiben. Der Fernsehsender mit Sitz in Qatar wird beschuldigt die Seite der Muslimbruderschaft einzunehmen und sein Sprachrohr zu sein.Al Jazeera iko kwenye wakati mgumu nchini Misri kwa kile kinachoelezwa na wengi kuwa ni “upendeleo” wake katika kutangaza habari zake wakati na baada ya kuondolewa madarakani kwa rais wa zamani wa Misri Mohamed Morsi mnamo Julai 4. Kituo hicho cha televisheni kilichopo nchini Qatar kinatuhumiwa kuegemea upande wa wafuasi wa Muslim Brotherhood na kugeuka kuwa mdomo wa kikundi hicho.
4Nachdem Mursi durch die Armee seines Amtes enthoben worden war, wurde Al Jazeeras ägyptisches Live-Programm, Al Jazeera Mubasher, sofort abgeschaltet.Baada ya Morsi kuondolewa madarakani na Jehsi, matangazo ya moja kwa moja kutoka Misri ya kituo hicho cha Al Jazeera, yaitwayo Al Jazeera Mubasher, ghafla yalikatika.
5Das Netzwerk gab bekannt:Kituo hicho kilitangaza:
6Al Jazeeras Live-Programm aus Ägypten wurde mit weiteren Fernsehsendern abgeschaltet.Matangazo ya moja kwa moja ya Al Jazeera kutoka Misri yameondolewa hewani pamoja na vituo vingine vya televisheni.
7Berichte von unseren Korrespondenten sagen, dass es während einer Livesendung geschah, als Sicherheitskräfte das Gebäude stürmten und den Moderator, Gäste und Produzenten verhafteten.Habari kutoka kwa waandishi wetu zinasema wakati matangazo ya moja kwa moja yakiendelea wanajeshi walivamia jengo na kumkamata mtangazaji, wageni waliokuwepo na watayarishaji wa kipindi hicho.
8Zwei Tage später stellte der Staatsanwalt in Kairo einen Haftbefehl [en] für den Nachrichtendirektor des Senders, Abdel Fattah Fayed, aus.Siku mbili baadae mwendesha mashitaka wa eneo la Downtown jijini Cairo alitoa hati ya kukamatwa kwa mkurugenzi wa habari wa kituo hicho Abdel Fattah Fayed.
9Fayed wird angeklagt, “die öffentliche Ordnung und die nationale Sicherheit bedroht zu haben, indem er aufhetzende Nachrichten sendete”.Fayed anashitakiwa kwa “kuhatarisha amani miongoni mwa raia na usalama wa taifa kwa kutangaza habari za kichochezi.”
10Er wurde zwei Tage lang festgehalten und dann auf Kaution freigelassen.Alishikiliwa kwa siku mbili na baadae aliachiwa kwa dhamana.
11Am 8. Juli fand eine Massenkündigung von 22 Mitarbeitern [en] statt, weil “die Berichterstattung nicht konform war mit den tatsächlichen Ereignissen in Ägypten”, wie sie behaupteten.Siku ya Julai 8, wafanyakazi 22 wa kituo hicho walijiuzulu kwa kile walichodai kuwa “matangazo yalikuwa hayaonyeshi matukio halisi ya hali ya mambo nchini Misri.”
12Andere Berichte [ar] sagen, dass 26 ägyptische Mitarbeiter gekündigt haben, davon vier im Hauptsitz in Doha.Habari nyingine [ar] zinasema wafanyakazi 26 raia wa Misri wamejiuzulu, wakiwemo wanne wanaofanya kazi kwenye ofisi kuu iliyoko Doha.
13Einer der Reporter, Wesam Fadhel kündigte angeblich in einem Facebookbeitrag [ar].Mmoja wa watangazaji, Wesam Fadhel inasemekana kuwa aliacha kazi kupitia posti yake kwenye mtandao wa Facebook [ar].
14Er lautet folgendermaßen:Ujumbe wake unasomeka:
15Ich habe heute bei Al Jazeera gekündigt.Ninaacha kazi Al Jazeera leo.
16Sie lügen offen.Kituo hiki kinadanganya mchana kweupe.
17Sie zeigen altes Filmmaterial von einem leeren Tahrir-Platz und behaupten, es sei vor Kurzem aufgenommen worden. Und sie zeigen diese Szenen stundenlang.Wanaonyesha picha za video zilizopigwa zamani kutoka kwenye viwanja vya Tahrir na kusema eti zimepigwa muda mfupi uliopita na kuzirudia rudia kwa masaa kadhaa hewani.
18Als ich Ahmed Abu Al Mahasen nach den Gründen fragte, sagte er, dass mich um meine eigenen Sachen kümmern solle.Nilipomwuliza Ahmed Abu Al Mahasen sababu ya kufanya hivyo alinijibu nisiingilie mambo yasiyonihusu.
19Al-Jazeera-Kameras sind jetzt live auf dem Tahrir-Platz.Kamera za Al Jazeera ziko Tahrir sasa hivi.
20Traurigerweise habe ich an einem Ort gearbeitet, von dem ich dachte er sei glaubwürdig, aber [ich realisiere jetzt, dass] seine Glaubwürdigkeit auf einer abscheulichen politischen Grundhaltung basiert.Nafadhaika, nimewahi kufanya kazi kwenye sehemu niliyodhani ina weledi lakini [sasa nimetambua] weledi wake unategemeana na hali ya kisiasa.
21Bei Twitter kommentiert Elijah Zarwan:Kwenye mtandao wa Twita, Elijah Zarwan anatoa maoni yafuatayo:
22@elijahzarwan: Al-Jazeera-Mitarbeiter in Ägypten kündigen nach “parteiischer Berichterstattung”: Kündigung am 1. Juni wäre mutig gewesen. http://tinyurl.com/mjculx8@elijahzarwan: Mfanyakazi wa Al-Jazeera Misri ameacha kazi kwa sababu ya “habari za upendeleo”: Angeacha kazi tarehe 1 June angekuwa ushujaa http://tinyurl.com/mjculx8
23Und Nezar AlSayyad fügt hinzu:Na Nezar AlSayyad anaongeza:
24@nezar: Al Jazeera ist für Islamisten in Ägypten das geworden, was Fox News seit Jahren für fundamentalistische Republikaner in den USA ist.@nezar: Kituo cha Jazeera kwa muda wa hivi karibuni kimekuwa cha Kiislamu kama ambavyo Fox News kimekuwa cha wahafidhina wa Republican nchini Marekani kwa miaka mingi.
25In einer weiteren Entwicklung twittert Rawya Rageh, Al Jazeeras Reporterin in Kairo, Fotos von bedrohlichen Flyern, die heute außerhalb des Al-Jazeera-Büros in Kairo verbreitet wurden:Katika hali isiyoeleweka sawia, Rawya Rageh, mwandishi wa Al Jazeera jijini Cairo, anatwiti picha za vipeperushi vya kutishia vilivyotupwa nje ya ofisi za Al Jazeera jijini Cairo leo:
26Ein bedrohlicher Flyer, der außerhalb des Al-Jazeera-Büros in Kairo verbreitet wurde.Kipeperushi cha vitisho kilichotupwa nje ya ofisi ya Al Jazeera, Cairo.
27Foto geteilt bei Twitter von @RawyaRagehPicha imewekwa kwenye mtandao wa twita na @RawyaRageh
28@RawyaRageh: Bedrohliche Flugblätter wurden in der Nähe des Al-Jazeera-Büros in Kairo verteilt - blutige Hand und Text “Lügen und andere Lügen” #Egypt@RawyaRageh: Threatening leaflets dropped near AlJazeera's offices in Cairo - bloodied hand & line ‘lies & other lies' #Egypt
29Eine lügende Kamera tötet eine Nation steht auf einem Flyer, der vor dem Al-Jazeera-Büro on Kairo fallengelassen wurde.“Kamera inayodanganya ni maafa ya taifa” ndivyo kinavyosomeka kipeperushi kilichotupwa nje ya ofisi ya Al Jazeera jijini Cairo.
30Foto geteilt von @RawyaRageh bei TwitterPicha imewekwa kwenye mtandao wa twita na @RawyaRageh
31@RawyaRageh: ‘Eine Kugel kann einen Menschen töten, eine lügende Kamera tötet eine ganze Nation” steht auf einen Flyer, der in der Nähe des Al-Jazeera-Büros fallengelassen wurde. #Egypt@RawyaRageh: ‘Risasi yaweza kumwua mtu, lakini kamera iliyojaa uwongo ni maafa kwa taifa' kinasema kipeperushi kimoja karibu na ofisi za Al Jazeera #Misri