Sentence alignment for gv-deu-20150521-28675.xml (html) - gv-swa-20150530-8830.xml (html)

#deuswa
1Afrikas ZweitsprachenLugha za Pili Zinazoongozwa Kuzungumzwa Zaidi Afrika
2Don Osborne diskutiert einen auf der Webseite der Olivet Nazarene University veröffentlichten Artikel mit einer Grafik, aus der für die meisten Länder der Welt die jeweiligen Zweitsprachen hervorgehen.Don Osborne anajadili habari iliyowekwa kwenye tovuti ya Chuo Kikuu cha Olivet Nazarene ikionesha ramani ya “Lugha za pili kuzungumzwa zaidi duniani.” Anaeleza matatizo makuu kutokana na habari hiyo:
3Suala la kwanza ni kudhani kwamba “lugha inayozungumzwa zaidi kwenye nchi yoyote huwa wazi; mara nyingi, ni lugha ya taifa husika.”
4Er hebt zwei folgenschwere Probleme dieser Betrachtungsweise hervor:Barani Afrika hali ni tofauti, kama kusema “lugha inayozungumzwa zaidi” maana yake ni kuhesabu idadi ya wazungumzaji.
5Es wird unterstellt, dass “die meistgesprochene Sprache eines jeden Landes häufig ganz offensichtlich” ist, wenn man die jeweilige Amtssprache zugrunde legt.Kwa mfano nchini Mali, ambapo hali ya lugha iliangaziwa kwenye blogu hii katika kutazama uzungumzaji wa lugha - Kibambara kinaonekana kuwa lugha maarufu kuliko hata lugha rasmi ya Kifaransa.
6Zum Beispiel Mali: Das linguistische Profil des Landes ist in dem Blog anhand einer stark abflachenden und sehr breiten Häufigkeitsverteilung untersucht worden.Lugha rasmi si kigezo kinachoaminika katika kupima umaarufu wa lugha barani Afrika, zaidi ya mukhtadha (muhimu) wa matumizi rasmi na umaarufu wake. Kwa mifano ya nchi hizo mbili, kuna masuala mawili yanajitokeza:
7Danach wird jedoch [das als Zweitsprache bezeichnete] Bambara weitaus häufiger gesprochen als das offizielle Französisch.•Afrika Kusini inazo lugha 11 rasmi (tovuti ya Olivet imetaja Kizulu pekee kuwa lugha rasmi).
8Der Begriff “Amtssprache” ist eine Kategorie, die nicht hinreicht, um in Afrika die Rangfolge der Sprachen jenseits des anerkannt wichtigen Kontextes des amtlichen Gebrauchs und der Ausstrahlung auf ihre tatsächliche Nutzung zu bestimmen.Kwa hiyo moja wapo ya lugha rasmi inakuwa lugha ya pili kuzungumzwa. Pengine lugha hiyo inaweza kuwa ki-Xhosa kama inavyooneshwa, lakini mtazamo wa kutumia lugha rasmi kama kigezo hauonekani kufanya kazi katika mazingira haya.
9Bei zwei Ländern führt dieser Gesichtspunkt zu weiteren Problemen:•Rwanda ina lugha tatu rasmi (Kinyarwanda, Kifaransa, na Kiingereza), na Jamhuri ya Afrika ya kati inazo mbili (Ki-Sango na Kifaransa).
10Kwa sababu tovuti haijazingatia lugha hizi rasmi katika kujadili lugha za pili zinazozunguzwa zaidi, imejikuta ikidai kwamba Kiswahili ni lugha ya pili kuzungumzwa zaidi nchini Rwanda, na kwamba lugha za asili ndizo zinazotumika zaidi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati - jambo ambalo halitoi taswira halisi.
11Hier ist Teil 2 der Diskussion.Soma sehemu ya pili ya hoja zake hapa.