Sentence alignment for gv-deu-20091216-1416.xml (html) - gv-swa-20091215-873.xml (html)

#deuswa
1Tunesien: Student für Presse-Interview eingesperrtTunisia: Mwanafunzi Atupwa Gerezani kwa Kuhojiwa na Chombo cha Habari
2Nach Interviews mit Radio Monte Carlo International und Radio France International verschwand der tunesische Student Mohammed Soudani am 22. Oktober.Mwanafunzi raia wa Tunisia, Mohamed Soudani, 24, alitoweka mnamo tarehe 22 Oktoba 2009 nchini humo baada ya kufanya mahojiano na Redio Monte Carlo International na Redio France International.
3Soudani verschwand für 18 Tage, bis die tunesische Polizei seine Familie informierte, dass er in dem Murnaguiya Gefängnis, etwa 15 km von der Hauptstadt Tunis entfernt, eingesperrt sei.Soudani alikuwa ametoweka kwa muda wa siku 18 mpaka pale Polisi wa Tunisia walipowasiliana na familia yake kuwataarifu kwamba kijana huyo alikuwa ametupwa katika gereza la Murnaguiya, kiasi cha kilometa 15 kutoka katika mji mkuu wa Tunis.
4Laut einigen Quellen informierte die Polizei Soudanis Familie ferner, dass er vor Gericht gestellt wurde und aufgrund von “ordnungswidrigem Benehmen” ohne Rechtsbeistand zu vier Monaten Gefängnis verurteilt worden war.Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, polisi pia waliiarifu familia ya Soudani kwamba alikamatwa na kupelekwa mahakamani na kupatikana na hatia ya kosa la “kuwa na mwenendo mbaya” wakati wa kuwa kwake kizuini pasipo msaada wa mwanasheria na hivyo kuhukumiwa kifungo cha miezi minne gerezani.
5Sie erfuhren weiterhin, dass er gegen seine Verurteilung Berufung eingelegt hatte.Familia yake pia walikuja kufahamu baadaye kwamba kijana huyo alikuwa amekata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.
6Bei seinem Erscheinen vor Gericht am 6. Dezember wies er die gegen ihn eingereichte Anklage zurück und erklärte, dass er während seiner außergerichtlichen Haft aggressive gefoltert worden sei.Alipopelekwa mahakamani mnamo tarehe 6 Desemba, Soudani alikana mashtaka yaliyotolewa dhidi yake na kueleza kwamba aliteswa vibaya sana wakati alipokuwa ametupwa kizuizini kinyume cha sheria.
7Seine Anwälte baten um Aufschub, um den Fall untersuchen zu können und um Freilassung gegen Kaution.Wanasheria wake waliomba muda wa kuipitia upya kesi yake na kutaka aachiwe kwa dhamana.
8Der Freilassungs-Antrag wurde abgelehnt, während sein Prozess bis zum 14. Dezember 2009 verschoben wurde.Ombi hilo la kuachiwa kwa dhamana lilikataliwa na kesi kuahirishwa mpaka 14 Desemba 2009.
9Soudani wurde über seine früheren Tätigkeiten als Studentenführer der Allgemeinen Studentenunion von Tunesien interviewt.Soudani alihojiwa kuhusu shughuli zake wakati alipokuwa kiongozi wa wanafunzi katika Umoja Unaowaunganisha Wanafunzi wa Tunisia.
10Im vergangenen Jahr war er an einem 56-tägigen Hungerstreik zusammen mit vier anderen Studenten beteiligt, die ihr Recht forderten, wieder zur Schule gehen zu dürfen.Mwaka jana alishiriki katika mgomo wa kula uliodumu kwa muda wa siku 56 akiwa na wanafunzi wengine wanne wakidai haki ya kurejeshwa shuleni.
11Über ihre Hungerstreik-Erfahrungen hatten sie Tag für Tag in einem Blog berichtet, der in Tunesien zensiert wurde.Vijana hao pia wameandika makala mbalimbali kwenye blogu kuhusu mgomo wao wa kula wakieleza uzoefu wao wa siku hadi siku, na blogu hiyo imekuwa ikithibitiwa sana nchini Tunisia.
12Eine Facebook-Gruppe und ein Blog wurden angelegt, um Mohammed Soudani in seiner Notlage zu unterstützen.Ukurasa wa Facebook na blogu vimezinduliwa ili kumuunga mkono Mohamed Soudani katika kipindi hiki kigumu anachokipitia. Nasser Weddady amesaidia kuandika makala hii.