Sentence alignment for gv-deu-20100711-2100.xml (html) - gv-swa-20100713-1515.xml (html)

#deuswa
1Nigeria: Wer stimmte den Präsidenten um — Facebook oder FIFA?Naijeria: Nani Amemfanya Rais Abadili Msimamo — Facebook au FIFA?
2Nigeria ist nicht gerade für verantwortungsbewusste Eliten bekannt.Nigeria si nchi inayofahamika kuwa na viongozi wanaowasiliana na umma.
3Die einflussreichen Politiker haben kaum Kontakt zum Wähler und oft wird geklagt, die Stimmen der Menschen würden kein Gehör finden.Wanasiasa wa ngazi za juu hujishughulisha kwa nadra sana kuwasiliana na wapiga kura wao, na mara nyingi kuna malalamiko kwamba sauti za watu huwa hazipewi nafasi.
4Aber der gerade bestätigte Präsident Goodluck Jonathan könnte das ändern: Vor einigen Wochen richtete er einen Facebook-Account ein, und revidierte zwei Tage später eine kontroverse Entscheidung, nachdem hunderte Fans ihren Unmut bekundet hatten.Lakini Rais aliyethibitishwa hivi karibuni, Goodluck Jonathan anaelekea kubadili mtindo huu: wiki chache zilizopita alifungua anwani yake ya Facebook, na siku mbili baadaye alibadili uamuzi uliokuwa umejaa utata mwingi baada ya washabiki wengi walioudhiwa na uamuzi wake kuandika maoni yao makali kwenye ukurasa wake wa Facebook.
5Die umstrittene Entscheidung war eine Reaktion auf die traurige Leistung der nigerianischen Nationalmannschaft bei der Weltmeisterschaft.Uamuzi huo ulihusu uchezaji duni ambao ulionyeshwa na Timu ya Taifa ya Nigeria katika mashindano ya Kombe la Dunia.
6Nachdem das Team ausgeschieden war kündigte Jonathan an das Team für zwei Jahre zu suspendieren, während die Korruption bekämpft werden sollte.Mara baada ya timu hiyo kutupwa nje ya mashindano, Jonathan alitangaza kwamba timu hiyo ingefungiwa kwa muda wa miaka miwili wakati ambapo mipango ingewekwa ili kukabili ufisadi.
7“Das Problem des nigerianischen Fußballs ist strukturell”, sagte der Öffentlichkeitsberater des Präsidenten der Presse.““Tatizo la soka la Nigeria ni la kimfumo,” mshauri wa Rais wa masuala ya mawasiliano alieleza vyombo vya habari.
8“Wir müssen uns aus allen internationalen Fußballwettkämpfen heraushalten um unseren Laden in Ordnung zu bringen.”“Ipo haja ya kujitoa katika mashindano yote ya soka ya kimataifa ili tuweze kurekebisha mambo.”
9Aber viele Fans waren mit dieser Nachricht unzufrieden und beschwerten sich die Suspendierung sei ungerecht.Lakini mashabiki wengi hawakupendezwa na taarifa hizo, walilaumu kwamba kufungiwa huko kwa timu halikuwa jambo sahihi.
10Am 5. Juli nahm Jonathan seine Entscheidung zurück und schrieb bei Facebook folgende Nachricht:Mnamo tarehe 5 Julai, Jonathan alibadili uamuzi wake, na alituma ujumbe huu kwenye ukurasa wake wa Facebook:
11Ich habe Ihre Kommentare gelesen und sie bei der Regierungsenscheidung berücksichtigt, die Suspendierung Nigerias im internationalen Fußballs zurückzunehmen.Nimesoma maoni yenu na nimeyazingatia katika uamuzi wa serikali kubadili kusimamishwa kwa timu ya taifa ya Nigeria katika mashindano ya kimataifa ya soka.
12Ich hatte heute ein Treffen mit dem NFF [Nigerias Nationaler Fußballverband] und brachte meine Enttäuschung, aber auch die der Nigerianer auf dieser Seite zum Ausdruck, und mir wurde versichert, dass sich einiges verbessern wird …Nimekutana na NFF [Shirikisho la Taifa la Soka la Nigeria] leo na kuwafikishia kusikitishwa kwangu na kule kwa Wanigeria wengine kama kulivyoonyeshwa katika ukurasa huu na wamenihakikishia kwamba kutakuwa na mabadilio mazuri …
13Aber war Jonathans Sinneswandel wirklich eine Reaktion auf die Stimmen der Bürger auf Facebook?Lakini je ni kweli kwamba kubadilika huku kwa moyo wa Jonathan kulitokana na maoni ya raia waliopaaza sauti zao zenye hasira katika Facebook?
14Die FIFA war mit der Suspendierung ebenfalls nicht einverstanden, und gab dem Präsidenten eine Woche, sie zurückzunehmen.FIFA, ambayo ndiyo Shirikisho linaloongoza masuala ya soka ulimwenguni, nalo halikuwa limekubaliana na uamuzi wa kufungiwa timu hiyo, na ilitoa muda wa wiki moja kwa Raiskuubadili.
15Jonathans Entscheidung fiel genau auf die Deadline der FIFA, was bei vielen die Frage aufwarf, ob nicht der mächtige Fußballverband den Präsidenten umstimmte, und nicht die Nigerianer.Uamuzi wa Jonathan wa kufuta uamuzi wake wa awali uliangukia katika siku ile iliyokuwa kikomo cha muda aliopewa na FIFA, na jambo hili limewaacha wengi wakijiuliza endapo ilikuwa ni kwa msukumo wa wa shirikisho hilo lenye nguvu - wala si msukumo wa maoni ya watu - uliomfanya abadili uaumuzi wake.
16SolomonSydelle schreibt:SolomonSydelle anaandika:
17Das macht nun den Eindruck, Jonathan habe sich dem Druck einer internationalen Sportorganisation gebeugt.Jambo hili sasa linaonyesha kwamba Jonathan amefyata mkia kutokana na msukumo wa shirikisho hili la kandanda.
18Diese Wahrnehmung könnte Jonathan schaden, der nur noch wenige Wochen hat bis zur Präsidentenwahl… Mehr noch, der Schlammassel zwischen Jonathan und der FIFA wirft Fragen auf über das Vorgehen der Fußballvereinigung, die einen souveränen Staatschef herausfordert, wo es vermeidbar wäre.Mtazamo huo unaweza kumwangusha Jonathan ambaye hivi sasa bado ana miezi michache ya kukalia kiti cha urais kabla ya uchaguzi mkuu wa rais … Zaidi ya hilo, mgogoro huu kati ya JOnathan na FIFA unaibua maswali kuhusu tabia ya wakala hii ya soka, ambayo imeitishia hata uamuzi wa kiongozi wa taifa kwa njia ya mzunguko.
19Jonathan ist nicht der erste Staatschef in der Welt der Social Networks.Jonathan si kiongozi wa kwanza kujiunga na mtandao wa kijamii katika Intaneti.
20Venezuelas Hugo Chavez wurde im April medienwirksam Mitglied bei Twitter; Chiles Sebastián Piñera twittert gemeinsam mit dem gesamten Kabinett.Kiongozi wa Venezuela, Hugo Chavez, alijiunga na Twitter mwezi April; Rais wa Chile, Sebastián Piñera, naye pia hutumia Twitter, na si yeye tu bali ni pamoja na baraza lake zima la mawaziri.
21Aber die Frage bleibt, ob diese Personen die Plattformen wie Twitter und Facebook nutzen werden, um mit ihren Bürgern zu interagieren - oder ob es nur ein weiterer Weg ist, die bestehende Agenda zu verbreiten.Labda hapa swali kubwa ni kama viongozi wataendelea kutumia majukwaa kama Twitter na Facebook kuwasiliana na wapiga kura wao - au kama njia moja zaidi ya kueneza agenda ambayo tayari wamekuwa nayo.
22Nigeria steht vor einem Wahljahr und es wird erwartet, dass Jonathan wieder antritt. Populäre Schritte wie die Facebook Seite oder die Begnadigung der Super Eagles könnte nur ein Trick sein, Unterstützung vor der Wahl zu gewinnen.Nigeria inakaribia kuingia kwenye uchaguzi mkuu na inabashiriwa kwamba Jonathan ana mpango wa kugombea, kwa hiyo njia hizi za kisiku hizi kama kujiunga na Facebook na kuifunguliwa tena Super Eagles huenda zikawa tu ni janja yake ya kutaka kujipatia uungaji mkono mkubwa zaidi kabla ya uchaguzi.
23“Ist das nicht wieder unehrlich?“Je, hii si njia nyingine ya kucheza na maneno?
24Ein weiteres Muster um Nigerianern zu schmeicheln?” schrieb My pen and my paper.Je, hii si njia nyingine ya kujaribu kuwahadaa Wanigeria?” aliandika My pen and my paper.
25Wenn Mr. President seine Entscheidung revidiert sieht es für mich danach aus, dass er einfach nur irgendetwas sagen möchte.Kwa Rais kubadili uamuzi wake inaonekana kwangu kama jaribio la kugeuzageuza maneno ili mradi tu mtu asikike kwamba ameongea.
26Vielleicht.Pengine.
27Die Zeit wird zeigen, ob Jonathan nur nach einem politischen Vorteil sucht oder wirklich auf die Stimme seines Volkes hört.Wakati utaonyesha kama Jonathan anafanya mbinu tu kwa ajili ya maslahi ya kisiasa - au kama anasikiliza kweli maombi ya wananchi wake.
28Nigeria is not a country known for having responsive leaders.Nigeria is not a country known for having responsive leaders.
29High-level politicians rarely engage members the electorate, and it's commonly complained that the leaders are deaf to the voices of their people.High-level politicians rarely engage members the electorate, and it's commonly complained that the leaders are deaf to the voices of their people.
30But newly-confirmed President Goodluck Jonathan may be changing that: a few weeks ago he opened a facebook account, and two days later reversed a controversial decision after hundreds of disappointed reactions were posted on his wall.But newly-confirmed President Goodluck Jonathan may be changing that: a few weeks ago he opened a facebook account, and two days later reversed a controversial decision after hundreds of disappointed reactions were posted on his wall.
31The decision in question was the suspension of Nigeria's national football team after their dismal performance at the World Cup.The decision in question was the suspension of Nigeria's national football team after their dismal performance at the World Cup.
32After the team was eliminated from the tournament, Jonathan announced they would be suspended for two years [so that the Nigerian governing body could be revamped and purged of corruption].After the team was eliminated from the tournament, Jonathan announced they would be suspended for two years [so that the Nigerian governing body could be revamped and purged of corruption].
33But many fans were displeased with the news, complaining that the suspension was unfair.But many fans were displeased with the news, complaining that the suspension was unfair.
34On xx Jonthan reversed the decision, posting the following message on his facebook wall:On xx Jonthan reversed the decision, posting the following message on his facebook wall:
35But was his reversal really a result of citizens voicing their frustration on facebook?But was his reversal really a result of citizens voicing their frustration on facebook?
36FIFA, the international body governing football, also disagreed with Jonathan's decision, and gave him a week to reverse it.FIFA, the international body governing football, also disagreed with Jonathan's decision, and gave him a week to reverse it.
37FIFA has a strict policy against political intervention, and {XXX}FIFA has a strict policy against political intervention, and {XXX}
38President Jonathan's decision to reinstate the team fell exactly on the deadline set by FIFA, leading many to wonder if it was the powerful football organization - rather than the Nigerian people - that made Jonathan change his mind.President Jonathan's decision to reinstate the team fell exactly on the deadline set by FIFA, leading many to wonder if it was the powerful football organization - rather than the Nigerian people - that made Jonathan change his mind.
39SolomonSydelle writes:SolomonSydelle writes:
40This now gives the impression that Jonathan bowed under pressure to an international sporting organization.This now gives the impression that Jonathan bowed under pressure to an international sporting organization.
41That perception can be harmful for Jonathan who only has a few months in office before presidential elections… Furthermore, the snafu between Jonathan and FIFA raises questions about the behavior of the football agency, which challenged the decision of a sovereign leader in an avoidable way.That perception can be harmful for Jonathan who only has a few months in office before presidential elections… Furthermore, the snafu between Jonathan and FIFA raises questions about the behavior of the football agency, which challenged the decision of a sovereign leader in an avoidable way.
42Jonathan is not the first head of state to join the world of social networking, Hugo Chavav famously joined twitter in xxx and was followed by xxx.Jonathan is not the first head of state to join the world of social networking, Hugo Chavav famously joined twitter in xxx and was followed by xxx.
43But the question remains whether leaders will use such platforms to interact with their constituents - or merely as one more way to disseminate spread an already fixed agenda.But the question remains whether leaders will use such platforms to interact with their constituents - or merely as one more way to disseminate spread an already fixed agenda.
44Nigeria is approaching an election year and it is anticipated that Jonathan will want to stand as the candidate for the PDP, the country's ruling party since the transition to civilian government in [1999].Nigeria is approaching an election year and it is anticipated that Jonathan will want to stand as the candidate for the PDP, the country's ruling party since the transition to civilian government in [1999].
45Popular moves like joining facebook and reinstating the Super Eagles may merely be a ploy to win over support in advance of the election.Popular moves like joining facebook and reinstating the Super Eagles may merely be a ploy to win over support in advance of the election.
46“Is this not another play of words? is this not another design to flatter Nigerians?” wrote My pen and my paper.“Is this not another play of words? is this not another design to flatter Nigerians?” wrote My pen and my paper.
47For Mr. President to go back on his decision looks to me like an attempt to throw his words around for the sake of speaking.For Mr. President to go back on his decision looks to me like an attempt to throw his words around for the sake of speaking.
48He could just have stuck to his decision, let FIFA be FIFA and let Nigeria be Nigeria.He could just have stuck to his decision, let FIFA be FIFA and let Nigeria be Nigeria.
49Nigeria is a sovereign Nation.Nigeria is a sovereign Nation.
50It's FIFA that has something to loose, not Nigeria.It's FIFA that has something to loose, not Nigeria.