Sentence alignment for gv-deu-20140402-19111.xml (html) - gv-swa-20140402-7073.xml (html)

#deuswa
1Muslime lügen nie… niemalsSiku ya Wajinga: Waislamu Hawaruhusiwi Kudanganya Kamwe
2Muslime lügen nicht. Nein zum Aprilscherz.Waislamu hawadanganyi …Hatuna siku ya wajinga.
3Bildnachweis: @al_tarb_al_a7mrPicha: @al_tarb_al_a7mr
4Trotz der Warnung, es sei der direkte Weg in die ewige Hölle, sich an Aprilscherzen zu beteiligen, da Muslime nicht lügen, haben sich Netzbürger aus der ganzen arabischen Welt dazu entschieden, den Tag zu nutzen, um ihre Regierungen zu kritisieren.Pamoja na maonyo, kufuata mkumbo wa Siku ya Wajinga kungesababisha hukumu ya moto wa milele kwa kuwa Waislamu hawapaswi kudanganya, watumiaji wengi wa mtandaoni Uarabuni kote, waliamua kuzikosoa serikali zao siku hii.
5Aus Saudi-Arabien scherzt Abdelrahman Al Kanhal:Kutoka Saudi Arabia, Abdelrahman Al Kanhal anatania:
6König Abdullah realisiert zwei Projekte, um die Justiz und die Bildung zu entwickeln.King Abdulla amekubali mradi mpya wa kuendeleza mahakama na elimu
7Und er fügt hinzu:Na anaongeza:
8Der Staat trifft eine historische Entscheidung und meint es damit erst, das Verkehrschaos zu beenden.Nchi hiyo ya kifalme imechukua hatua madhubuti kumaliza tatizo la msongamano wa magari barabarani
9Bezüglich des Fahrverbots für Frauen in der absoluten Monarchie, schreibt er:Na akikumbushia kuzuiwa kwa wanawake kuendesha magari nchini humo, anaendelea kuandika:
10Allein die Gesellschaft beschließt über das Recht der Frauen, Auto zu fahren… Wir verbieten ihnen nicht zu fahren, aber wir inhaftieren sie, wenn sie das tun, weil das der Meinung der Gesellschaft entspricht, die das ablehnt.Jamii yenyewe ndiyo yenye kuamua ikiwa ni haki kwa wanawake kuendesha ama la. Na hatuwapingi wanawake kuendesha ila tu kuwapeleka jela kama wataendesha kitendo kilicho kinyume na matakwa ya jamii
11Zu gleicher Zeit lügt der Ägypter Adham Morad über die Rückkehr des aus seinem Amt verdrängten Präsidenten und Muslimbruders Mohamed Morsi:Wakati huo huo, Mmsri Adham Morad anadanganya kuhusu kutudi kwa Rais Mohamed Morsi kiongozi wa Muslim Brotherhood aliyeng'olewa madarakani hivi karibuni:
12Morsi ist zurück, hahaha.Morsi amerudi!!
13Und ebenfalls in Ägypten, gibt sich Adilovic seinem Wunschdenken hin.Na, bado nchini Misri, Adilovic ana matamanio yake ya kimawazo.
14Er twittert:Anatwiti:
15Die ägyptische Regierung beschließt, die Löhne zu erhöhen, die Unterstützungszahlungen anzuheben und das Budget für den Bildungs- und Gesundheitsbereich aufzustocken. Und damit das Leben, die Freiheit und die soziale Gerechtigkeit [Slogan der Revolution in Ägypten 2011] zu fördern.Serikali ya Misri imeamua kuongeza mishahara, ruzuku, imeongeza bajeti ya huduma za elimu na afya na kuwapa wa-Misri maisha bora, uhuru na haki za kiraia
16Aus Bahrain twittert Ammar Al Aradi gleich eine ganze Reihe von Aprilscherzen, die von einigen ernst genommen werden.Kutoka Bahrain, Ammar Al Aradi, anawtiti mfululizo wa utani wa Siku ya Wajinga, ambao watu wengine walidhani ni kweli.
17Er stellt fest:Anabainisha:
18Ok, ganz offensichtlich haben einige ein paar meiner letzten Twitternachrichten zu ernst genommen.Ok apparently some ppl are taking my last few tweets too seriously.
19Es ist der 1. April.It's first of April.
20Besser damit jetzt aufhören, bevor noch jemand Ärger bekommt, haha.Let's stop before someone gets in trouble lol.
21Seine Witze sind unter anderem:- ammaro (@ammar456) April 1, 2014
22Kuwait denkt darüber nach, Haschisch für medizinische Zwecke zu legalisieren, nachdem Studien ergeben haben, dass über 60% aller Jugendlichen im Land es bereits konsumieren.Huu ni mmoja wa utani wake: Kuwait imehalalisha mirungi kwa ajili ya matumizi ya kitabibu baada ya ushahidi kuonyesha kuwa zaidi ya asilimia 60 ya vijana nchini humo tayari wanaitumia
23Zurück nach Saudi-Arabien, Ahmed Al Maani schlussfolgert:Tukirudi nchini Saudi Arabia, Ahmed Al Maani anahitimisha:
24Diese Sache [Aprilscherz] wird für die Araber ganz schön anstrengend, denn es gibt in diesem Monat sonst nichts außergewöhnliches für sie zu tun.Siku ya wajinga Duniani itakuwa inachosha tu kwa Waarabu kwa sababu haina lolote lisilofanywa na Waarabu siku nyingine