Sentence alignment for gv-deu-20090320-570.xml (html) - gv-swa-20090324-104.xml (html)

#deuswa
1Der Papst in Kamerun (2): Von Priestern, Korruption und PolitikPapa Nchini Kameruni (2): Wazee Wa Kanisa, Upotofu na Siasa
2Der Kamrun-Besuch des Oberhaupts der Römisch-Katholischen Kirche im März 2009 hat kamerunische Blogger dazu veranlasst, die Suchscheinwerfer auf die politischen Auswirkungen (sollte es welche geben) eines päpstlichen Besuchs wie diesen in dem Land zu richten.Ziara ya kiongozi wa Kanisa La Katoliki nchini Kameruni mwezi huu wa Machi 2009 imepelekea baadhi ya wanablogu wa Kikameruni kuelekeza tochi zao kwenye matokeo ya kisiasa (kama yapo) yatakayotokana na ziara hiyo ya Papa nchini humo.
3So bloggt beispielsweise Neba Fuh auf Voice of the Oppressed:Neba Fuh anayeblogu kwenye Voice of The Oppressed ni mmoja wa wanablogu hao:
4Der verstorbene Papst Johannes Paul II besuchte die Kameruner bereits zwei Mal und die Auswirkungen auf die ohnehin schon verarmte Bevölkerung war nichts weiter als religöse Euphorie auf Kosten ihrer persönlichen Abgaben und der Staatskasse.Mara mbili, Hayati Papa Yohane Paulo wa Pili alizuru Kameruni na matokeo ya ziara hizo kwa umma wa watu ambao ni masikini hayakuwa zaidi ya furaha ya kidini iliyowagharimu michango binafsi pamoja na ile ya hazina ya serikali.
5Die unbeantwortete Frage von Biyas repressiver Gesetzgebung sind immer noch unbeantwortet.Maswali yasiyo na majibu kuhusu vitendo vya ukandamizaji vya (rais) Biya yalibaki bila ya majibu.
6Aloysius Agendia, ein Journalist und Ex-Seminarist, scheint in einem Artikel mit dem Titel Papst Benedikts XVI Besuch in AFRIKA: Mehr als spirituelle Rhetorik vorzuschlagen, die Kirche solle von Staaten und Politikern gemachte Gesetze, die nicht im Interesse der Menschen sind, verurteilen, anstatt sich hinter diplomatischen Roben zu verschanzen:Aloysius Agendia, mwanahabari ambaye pia ni mseminari wa zamani katika makala aliyoipa kichwa cha Ziara ya Papa Benedikti wa XVI AFRIKA: zaidi ya kauli za kiroho inaonekana kwamba angependa Kanisa lipinge vitendo vya dola na vya wanasiasa ambavyo vinaharibu maslahi ya umma badala ya kuvivika majoho ya kidiplomasia:
7Wir verstehen die Kirche und den Vatikan als Staat und als religiöse Instanz mit allerdings politischer Konnotation, die in ihrer Herangehensweise manchmal diplomatisch sein muss.Tunalielewa Kanisa na Vatikani kama dola, kadhalika kama chombo cha dini, japokuwa lina maana pia ya kisiasa, na wakati mwingine linapaswa kuwa na diplomasia katika mtazamo wake.
8Meiner Meinung nach darf wahre Religion Ungerechtigkeit, Unterdrückung, Ausnutzung, Kolonialismus in all seinen Formen und anderen Lastern nicht gleichgültig gegenüberstehen.Kwa maoni yangu, dini ya kweli haipaswi kufumbia macho maovu, ukandamizaji, unyonyaji, ukoloni katika mifumo yake yote pamoja na maovu mengine.
9Die Katholische Kirche hat viel getan und tut immer noch viel, aber es gibt noch sehr viel mehr zu tun.Kanisa Katoliki limefanya mengi na linaendelea kufanya lakini mengi zaidi bado yanapaswa kufanywa.
10Diplomatie, obwohl sie auf ihre eigene Weise gut ist, darf für die Kirche jedoch nicht zu alltäglichen Mittel werden, denn die Dinge müssen beim Namen genannt werden.Hata hivyo, diplomasia hata kama ni nzuri katika namna yake, haitakiwi kutumika sana katika Kanisa kwa sababu, beleshi ni lazima liitwe beleshi.
11Beim Versuch, wichtige Themen ständig “dezent” anzusprechen, geht die Nachricht entweder verloren oder die Bedeutung/Wichtigkeit wird stark abgemildert.Katika kujaribu kutumia mbinu “laini” ili kufafanua masuala mazito, ujumbe huweza kupotea au maana/na umuhimu, unaweza kuchujwa sana.
12Kirchenführer dürfen nicht nur mit den Mächtigen, Reichen und Einflussreichen speisen.Viongozi wa kanisa hawapaswi kuchagua kufanya karamu na wale walio madarakani, matajiri na wenye nguvu.
13Sie müssen sich nicht notwendigerweise auf die Seite der Opposition stellen, sie sollten jedoch den Schwachen, Unterdrückten, Kranken etc. beistehen.Siyo lazima wawe na pamoja na wapinzani, lakini, inawabidi wasimame pamoja na wanyonge, wanaokandamizwa, wagonjwa n.k
14Ihm ist klar, was er vom Papst erwartet:Anajua wazi ni nini anachotegemea kutoka kwa Papa:
15Als spiritueller Führer, der Hoffnung repräsentiert, darf er uns nicht nur damit vertrösten, abzuwarten und zu hoffen.Kama kiongozi wa kiroho anayewakilisha matumaini, hatakiwi kutuambia tuendelee kungoja na kutumaini.
16Wir erwarten von ihm, mutig genug zu sein, bei denen, die die Hoffnung der Kameruner und Afrikaner zerstören wollen, zumindest Gefühle gegenüber Menschen und ihren Mitbürgern anzumahnen.Tunatumaini kuwa atakuwa na ujasiri wa kutosha kuwaaambia wale wanaokinza matumaini ya Wakameruni na Waafrika wawe angalau na hisia kwa wanaadamu wenzao au wananchi wenzao.
17Auf der anderen Seite fragt sich Voice of the Oppressed, ob der Klerus, besonders in Kamerun, moralisch so überlegen ist, um von denen, die das Land regieren, einen Wandel zu fordern, wenn er selbst kein leuchtendes Vorbild ist:Kwenye upande mwingine, Voice of the Oppressed anajiuliza kama wazee wa kanisa hasa wale wa Kameruni wana maadili ya kutaka mabadiliko kutoka kwa wale wanaotawala nchi wakati wao wenyewe sio mifano angavu:
18Was kann eine moralisch bereits verarmte Gesellschaft von einem Bischof oder Priester lernen, der in seiner Gemeinde wahllos Kinder zeugt?Ni somo gani ambalo jamii iliyopotoka kimaadili inaweza kujifunza kutoka kwa askofu au padri ambaye anazaa watoto kiholela katika jamii yake?
19Was kann eine Gesellschaft von einem Priester lernen, der , mit der Entschuldigung, er sei einfach genauso menschlich wie alle anderen auch, in seiner Gemeinde über mehrere “Freundinnen” verfügt?Ni somo gani ambalo jamii inaweza kujifunza kutoka kwa padri mwenye wapenzi wa kike kadhaa kwenye jamii, kwa kisingizio kuwa ati “ni mwanaadamu” kama wanaadamu wengine?
20Oder die Auslandsreise einer Freundin finanzierte, außerhalb der Gemeinde, damit sie seine Kinder gebähren kann, und wenn er Urlaub oder Bildungsurlaub nimmt, er im Ausland von “seiner Frau” und seinen “Kindern” empfangen wird?Au anayedhamini safari ya rafiki huyo wa kike nje ya nchi, mbali na jamii, ili aweze kumzalia watoto, na pale anapochukua likizo au likizo ya masomo, anakaribishwa huko nje ya nchi na “mke” pamoja na “wanawe”?
21Oder ein Schuldirektor, der Priester ist, der mithilfe gefälschter Rechnungen und Bücher Schulgelder veruntreut?Au mkuu wa shule ambaye ni padri, ambaye anafuja fedha za shule kwa kutumia hundi na mahesabu ya kughushi?
22Oder Priester, die zu Raubtieren gegenüber verletzbaren Kindern wurden, die ihnen zur Verfügung gestellt wurden?Au padri ambaye amegeuka kuwa mwindaji wa watoto wasio na kinga ambao wamewekwa chini ya usimazi wake?
23Aloysius Agendia findet, Papst Benedikt XVI sollte die wahrgenommene Launenhaftigkeit katholischer Prälaten in Kamerun ansprechen:Kwa Aloysius Agendia Papa Benedikti wa XVI anapaswa aongelee mwenendo wa hovyo wa viongozi wa Kikatoliki nchini Kameruni:
24Der Heilige Vater sollte bei seinen Besuchen in Kamerun und Afrika Folgendes beachten.Wakati Baba Mtakatifu anapozuru Kameruni na Afrika, ni lazima akumbuke hili.
25Zu allererst benötigt die Katholische Kirche und besonders ihre (Hirten) in Kamerun echte “Erneuerung” und “Überholung”.Kwanza kabisa, Kanisa Katoliki na wengi wa (wachungaji) wake katika Kameruni wanahitaji “kurekebishwa” au “kukarabatiwa”.
26Die zahlreichen Geschichten über sexuelle Freizügigkeit, Extravaganz und Einstellung zum Flirten einiger unserer Priester, einige Bischöfe eingeschlossen, einige davon erzählen sogar vom Kindergebähren, andere von Unzucht mit Studenten, anderer Männer Ehefrauen, Gemeindemitgliedern etc. müssen angesprochen werden…Habari nyingi zinazohusu uzinzi, ufujaji na tabia za utongozaji kwa baadhi ya mapadri wetu wakiwamo maaskofu, ambao wengine wanafika mbali hata kuzaa watoto, wengine wanafanya ngono na wanafunzi wao, wake za watu, wanaparokia n.k, ni lazima viongelewe…
27Dieser Blogger glaubt, dass wenn die Korruptionsprobleme innerhalb der Römisch-Katholischen Kirche in Kamerun nicht vom Papst angegangen werden, habe der Besuch keine Bedeutung für ihn:Mwanablogu huyu anaamini kuwa kama masuala ya upotofu ndani ya Kanisa la Kikatoliki la Roma nchini Kameruni hatashughulikiwa na Papa, ziara hiyo haitakuwa na maana yoyote kwake:
28Die Kirche samt Ausstattung wird für “Darlehen” mit Hypotheken belastet, so als man Jesus Christus noch einmal für 950.000.000 FCFA verkaufen wolle, wie Judas es für 30 Silberstücke tat.Kuliweka rehani Kanisa na mali zake kwa ajili ya kuchukua “mikopo”, kama vile kumuuza Yesu Kristu tena kwa Faranga 950.000.000 kama vile Yuda alivyofanya kwa vipande 30 vya fedha.
29Hier geht es um eine berühmte Kathedrale in Kamerun, die als Sicherheit für ein von einem ihrer Bischöfe aufgenommenes Darlehen diente.Hii inatokana na kanisa linalojulikana sana nchini Kameruni kuwekwa kama dhamana kwa ajili ya mkopo aliochukua mmoja wa maaskofu wake.
30Dieser ernste und erschreckende Fall von Veruntreuung verdient, neben anderen Dingen, päpstliche Aufmerksamkeit.Kuna kesi za kutisha za ufujaji ambazo zinabidi kutupiwa macho na Papa.
31Dies sind Probleme, die, sollte der Papst es versäumen sie zumindest im Vertrauen mit seinen Priestern, anzusprechen, muss seine Mission in Kamerun, ich muss es zugeben, als weit hinter den Erwartungen zurückgeblieben, und warum nicht, als Blindgänger bezeichnet werden.Haya ni masuala ambayo ikiwa Papa atashindwa kuyashughulikia hata katika faragha na mapadri wake, basi ziara yake nchini Kameruni, ni lazima nikubali, kwamba itakuwa imeanguka chini ya matarajio.
32Wird der Papst es wagen?Je Papa atathubutu?
33Das könnte das nächste interessante Thema in der kamerunischen Blogosphäre werden.Hilo litakuwa ndio suala linafuatia kwenye ulimwengu wa blogu wa Kameruni.
34Hinweis: Teil 1 dieses Post befindet sich hier.Tafadhali Angalia: Sehemu ya kwanza ya makala hii inapatikana hapa.