# | deu | swa |
---|
1 | 14-jähriger Bürgerjournalist stirbt in Syrien Omar Qatifaan, ein 14-jähriger Junge, starb am 21. | Mwandishi Habari za Kiraia wa Miaka 14 Auawa Akiripoti Mapigano Nchini Syria |
2 | Mai. Er berichtete gerade über die Zusammenstöße des syrischen Militärs mit der Rebellenarmee südlich von Daraa al-Ballad an der jordanischen Grenze. | Omar Qatifaan, Mwanaharakati wa Habari mwenye umri wa miaka 14, aliuawa Mei 21, 2013 wakati alipokuwa anaripoti mapigano kati ya Jeshi la Syria na waasi wanaopinga serikali ya nchi hiyo kusini mwa al-Ballad eneo la Syria karibu na mpaka na Jordan. |
3 | Das Medienprojekt für Jugendliche Syrian Documents [en] (Syrische Dokumente) verbreitete die Nachricht von seinem Tod und das syrische Nachrichtenblog YALLA SOURIYA [en] nannte ihn den “Geist Syriens”. | Nyaraka kuhusu Syria zilizotolewa na Mradi wa vyombo vya habari vya vijana ziliripoti kuhusu kifo chake, na blogu ya habari nchini humo YALLA SOURIYA ilimwita kijana huyo kuwa “Roho wa Syria”. |
4 | Im syrischen Bürgerkrieg stieg - ebenso wie in den anderen Ländern des Arabischen Frühlings - die Zahl der Bürger, die direkt vor Ort über den Krieg zwischen den Regierungstruppen und den Rebellen berichten. | Mgogoro wa Syria, kama vile Mapinduzi mengine yaliyozikumba nchi za Kiarabu, zimesababisha kuongezeka kwa waandishi wa habari za kiraia wanaoripoti kutoka katika kwenye uwanja wa vita kuhusu mgogoro unaoendelea kati ya majeshi yanayounga mkono serikali na yale ya waasi. |
5 | Viele wurden und werden festgenommen, gefoltert oder sogar ermordet, während sie die Welt über die Geschichte der Revolution [en] informieren wollen. | Wengi wamekuwa kizuizini, kuteswa, na hata kuuawa wakiwa katika jitihada za kuutangazia ulimwengu habari za mapinduzi. Watoto pia wameumia kupindukia wakati wa vita, na maelfu wakiuawa wakati wa ghasia hadi wakati huu. |
6 | Die Kinder haben mit den tausenden Ermordeten bis heute einen schrecklichen Preis bei den Angriffen zahlen müssen. | Mwanaharakati wa Vyombo vya Habari Omar Qatifan alikuwa na umri wa miaka 14 alipouawa akiwa anaripoti habari za vita huko Daraa, Syria. |
7 | Social-Media-Aktivist Omar war 14 Jahr alt, als er getötet wurde, während er von einer Schlacht in Daraa al-Ballad berichtete. | |
8 | Quelle: Twitter-Account von @RevolutionSyria | Picha kutoka akaunti ya twita @RevolutionSyria |
9 | Ein anderer Aktivist drehte von Qatifaan nach dessen Tod ein Video. | Mwanaharakati mwingine wa vyombo vya habari alirekodi video ya Qatifaan mara tu alipouawa. |
10 | Es wurde bei YouTube veröffentlicht:SyrianDaysOfRage | Video hiyo iliwekwa kwenye YouTube na SyrianDaysOfRage: [NI VIDEO INAYOTISHA]: |