Sentence alignment for gv-deu-20150822-31783.xml (html) - gv-swa-20150826-9003.xml (html)

#deuswa
1Vor Ort: Explosionen und Schüsse im Dolmabahçe Palast (Istanbul)Mlipuko na Milio ya Risasi Katika Kasri la Dolmabahçe huko Instanbul
2Die friedliche Außenfassade des Dolmabahçe Palastes.Muonekano wa nje wa kuvutia wa Kasri la Dolmabahçe.
3Foto von Jack Hennessy.Picha na Jack Hennessy.
4Dieser Partner-Post wurden von Jack Hennessy verfasst und ursprünglich vom Global Student Square veröffentlich.Hii ni makala ya ushirika iliyoandikwa na Jack Hennessy na kuchapishwa kwa mara ya kwanza na Global Student Square.
5Die Wiederveröffentlichung wurde genehmigt.Imechapishwa tena kwa ruhusa.
6Angeblich wurden bereits zwei Bewaffnete festgenommen, nachdem am Donnerstag aus dem Dolmabahçe Palast in Istanbul Schüsse und eine Explosion zu vernehmen waren. Der Palast ist eine beliebte Touristenattraktion und der Sitz des türkischen Premierministers Ahmet Davutoglu.Washukiwa wawili waliokuwa na bunduki wameshakamatwa mara baada ya kutokea kwa mlipuko ulioambatana na kurushiana risasi kwenye Kasri la Dolmabahçe,jijini Instanbul ambalo ni kivutio kikuu cha watalii na palipo na makazi ya Waziri Mkuu wa Uturuki, Ahmet Davutoglu.
7Die ängstliche Menge flüchtete durch die Tore in die Straßen, nachdem zwei Angreifer eine Blendgranate warfen und mehrere Runden aus ihren Automatikgewähren abschossen. Angeblich wurde dabei auch auf die Polizisten, die vor der Sehenswürdigkeit aus osmanischer Zeit Wache standen, gezielt.Watu walipatwa na taharuki huku wakikimbia na kuruka mageti na kisha kuingia mitaani pale wavamizi wawili walipotupa bomu la mkono pamoja na kuvurumisha mizunguko kadhaa ya risasi, shambulizi linalodhaniwa kuwa liliwalenga maafisa wa polisi waliokuwa wameweka doria katika eneo la Ottoman-era.
8Die Polizei sperrte den Tatort umgehend ab.Hata hivyo, polisi walifanikiwa kukabiliana mapema na wavamizi hao.
9Die Nachrichtenagentur Associated Press berichtete von einem leicht verletzten Polizisten.Associated Press lilitaarifu kuwa, polisi mmoja alijeruhiwa kidogo katika tukio hilo.
10Obwohl bisher noch keine Organisation die Verantwortung für den Angriff übernommen hat, berichtete, nach Angaben der Associated Press, die staatliche Nachrichtenagentur Anadolu News, dass die Angreifer Mitglieder der Revolutionären Bürgerbefreiungsarmee (DHKP-C) seien.Pamoja na kuwa hakuna kundi lolote lililotangaza kuhusika katika tukio hilo, kwa mujibu wa Associated Press Anadolu, moja ya vyombo vya habari vinavyomilikiwa na serikali lilitaarifu kuwa, washambuliaji hao walikuwa ni wanachama wa chama cha Kijeshi cha Wanaharakati wa Ukombozi wa Kimapinduzi, au DHKP-C.
11Die Zeitung The Guardian berichtet außerdem, dass die Nachrichtenagenturen sich auf Quellen innerhalb der Polizei berufen, die sagen, dass die DHKP-C für den Angriff verantwortlich ist.The Guardian pia lilitaarifu kuwa vyombo vya habari vya Uturuki viliwakariri maofisa wa polisi walioelezea kuwa DHKP-C ndio waliohusika kwenye shambulio hilo.
12Der Dolmabahçe Palast ist einer der noch wenigen, großartigen Überreste des Osmanischen Reiches in Istanbul.Dolmabahçe linabaki kuwa moja ya Makasri muhimu sana yaliyosalia ya Ngome ya Ottoman jijini Istanbul.
13Mustafa Kemal Atatürk, der Gründer des modernen türkischen Staates, verstarb 1938 dort.Mbunifu wa Uturuki ya kisasa, Mustafa Kemal Atatürk, alifariki akiwa kwenye Kasri hili mwaka 1938.
14Im Palast gibt es zwar eine Ausstellung für Touristen, doch in den anderen Arealen befinden sich Regierungsabteilungen, so auch der Sitz des türkischen Premierministers.Kasri hili ni eneo muhimu kwa ajili ya watalii, pamoja na kuwa maeneo mengine yanatumiwa na taasisi za serikali ikiwa ni pamoja na makazi ya Waziri Mkuu wa Uturuki.
15Dieser Vorfall ereignete sich inmitten der sich weiter zuspitzenden Anspannungen in der Türkei, denn der amtierende Präsident Reccip Tayyip Erdogan und seine Partei AKP führen weiter neue Offensiven gegen die Kurdische Armee im Norden Iraks und im Islamischen Staat in Syrien.Tukio hili linakuja kipindi ambacho kumekuwa na mvutano mkali nchini Uturuki, kwani Rais aliyepo madarakani, Reccip Tayyip Erdogani pamoja na Chama cha Utafutaji Haki (AKP) wakiwa wameonesha kwa mara nyingine chuki dhidi ya wanamgambo wa Kikurdi waliopo huko kaskazini mwa Iraki pamoja na wanamgambo wa Dola ya Kiislam nchini Syria.
16Bild: Google mapsImage: Google maps
17Am Mittwoch erst wurden 8 Soldaten in Siirt, einer südöstlichen Region der Türkei, nahe der Grenze zu Syrien und dem Irak, durch eine Autobombe getötet.Pia, siku ya Jumatano, wanajeshi watano waliuawa kufuatia mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa pembezoni mwa barabara huko Siirt, eneo la Kusini mwa Uturuki linalopakana na nchi za Siria na Iraki.
18Laut BBC wurde der PKK die Schuld für diesen Angriff angelastet.Kwa mujibu wa BBC, shambulio hilo linadhaniwa kuwa lilitekelezwa na wanamgambo wa PKK.
19“Die Türkei befindet sich im Ausnahmezustand,” sagt Eyup Kabogan, ein 27-jähriger Kellner im Pierre Loti Hotel in Sultanahmet (Istanbul), etwa fünf Kilometer vom Palast entfernt.“Uturuki ipo katika hali kuu ya tahadhari,” alisema, Eyup Kabogan, aliye na umri wa miaka 27, mfanyakazi katika hoteli ya Pierre Loti iliyopo Sultanahmet, katikati mwa Jiji la Istanbul takribani kilometa 5 Kusini mwa Kasri hili.
20“Sogar ich muss aufpassen, wo ich hingehe, wenn ich jetzt auf die Straße gehe.”“Kwa sasa, ninapaswa kuchukua tahadhari kila mtaa ninaopita.”
21“Ich bin Kurde, nur so nebenbei,” fügt Kabogan hinzu, “aber ich weiß, dass es auch andere Wege gibt, um (politische) Veränderungen zu erreichen.”“Hata hivyo, mimi ni Mkurdi,” anasema Kabogan, anaongeza, “lakini ninajua kuna namna nyingine ya kubadili hali ya mambo (kisiasa).”
22Touristen sollten sich von überfüllten Plätzen und Polizeistationen fernhalten, warnt uns Kabogan, obwohl er auch sagt, dass Terrororganisationen “nicht die Touristen ins Visier nehmen, sondern die Sicherheitsbeamten.”Kabogan alionya kuwa, watalii wanapaswa kuwa mbali na mikusanyiko mikubwa ya watu pamoja na kutokuwepo karibu na vituo vya polisi, pamoja na kuwa alitanabaisha kuwa, makundi ya waasi “hayawalengi watalii, bali maafisa wa usalama.”
23Die politische Landschaft der Türkei befindet sich im Wandel, nach Davutoglus Versuche von letzter Woche, eine Koalition mit Machtaufteilung zu schaffen.Hali ya siasa za Uturuki ipo katika misukosuko kufuatia kushindikana kwa jaribio la Davutoglu la wiki jana la kuunda serikali ya mseto.
24Am Donnerstag übergab er den Regierungsbildungsauftrag an Erdogan, schon weit vor den im November erwarteten Wahlen.Siku ya Jumanne, alitoa mamlaka kwa Rais Erdogan ya kuunda serikali mpya kabla ya chaguzi zinazotarajiwa kufanyika mwezi November.
25“Ich weiß gar nicht, was ich (über die heutige Attacke) sagen soll,” so der 21-jährige Türke Berk Coker, ein aufstrebender junger Student an der Stanford Universität (USA).“Sijui hata niseme nini (kufuatia shambulizi la leo),” alisema Berk Çoker, aliye na umri wa miaka 21, ambaye ni mturuki na kinda aliyepo Chuo Kikuu cha Stanford.
26Als Student der Computerwissenschaften plante Coker, nach dem Abschluss seines Praktikums als Softwareentwickler in San Francisco diesen Sommer, nach Hause zu fliegen.Coker, ambaye ni mtaalamu wa Sayansi ya Kompyuta, alikuwa na mipango ya kurejea nchini mwake mara baada ya kumaliza mafunzo yake ya ujasiriamali wa uhandisi wa vitumizi vya kompyuta, uliokuwa unafanyikia eneo la San Francisco Bay katika kipindi cha majira haya ya joto.
27“Wie sich auch durch die Angriffe und die noch immer unsichere Koalition zeigt, ist das politische Klima sehr angespannt und macht die Türkei damit zu einem unsicheren Reiseland,” meint Coker.“Kama inavyodhihirishwa kwa mashambulizi pamoja na kutofikia makubaliano ya serikali ya mseto, hali ya kisiasa bado ni tete sana, kiasi cha kuifanya nchi hii isiwe salama kuizuru,” Coker alisema.
28Als Antwort auf die steigende Gewalt hat die Regierung Erdogans, laut der Zeitung The Telegraph, bereits mehr als 2.000 angebliche Mitglieder des IS, der PKK und der DHKP-C festgenommen.Kufuatia machafuko yanazozidi kushamiri, kwa mujibu wa gazeti la The Telegraph, serikali ya Erdogan imeshawatia nguvuni zaidi ya washukiwa 2,500 wa makundi ya IS, PKK na DHKP-C.