Sentence alignment for gv-deu-20150417-27607.xml (html) - gv-swa-20150416-8660.xml (html)

#deuswa
1Ugandischer Friedensaktivist für Friedensnobelpreis nominiertMpigania Amani wa Uganda awa Miongoni mwa Watakaoshindania Tuzo ya Amani ya Nobeli
2This is Uganda (ThisIs256) [Das ist Uganda] ist eine Online-Plattform für talentierte Schriftsteller in Uganda, die entschlossen sind, positive Geschichten über ihr Land zu schreiben und damit Berichte über Betroffenheitsjournalismus, Hunger, Ebola oder auch Tribalismus zu verbannen.
3Ihr Ziel ist es, ein authentisches, reflektiertes, ehrliches und objektives Bild von Uganda zu zeichnen, das in den großen westlichen Medien so nicht zu finden ist.This is Uganda (ThisIs256) ni jukwaa la waandishi waliobobea kutoka Uganda walio na utayari wa kuandika habari makini za kuihusu nchi yao, wakilenga kutokomeza uanahabari uchwara, njaa, Ebola, ukabila, pamoja na mambo mengine.
4Ihre neueste Geschichte handelt von Victor Ochen, einem ehemaligen Binnenflüchtling, der vom American Friends Service Committee (AFSC) [Amerikanisches Hilfskomitee der Freunde], einer Organisation der Quäker für soziale Gerechtigkeit, für den Friedensnobelpreis nominiert wurde.
5In der Vergangenheit nominierte das AFSC Desmond Tutu, Martin Luther King Jr. und US-Präsident Jimmy Carter, die alle mit dem Friedensnobelpreis ausgezeichnet wurden.Wanachojaribu kukifanya ni kuanzisha aina ya utafiti kuihusu Uganda ambao ni halisi, makini, wa kweli na usio wa kiupendeleo ambao kamwe usingalikuwa rahisi kuuona kwenye vyombo vikuu vya habari vya magharibi.
6Die Organisation nominierte außerdem erfolglos Mahatma Gandhi, der nie den Friedensnobelpreis erhielt, obwohl er zwischen 1937 und 1948 insgesamt fünf Mal nominiert war.Habari yao ya hivi karibuni ni ya kumhusu Victor Ochen,aliyekuwa mmoja wa wakimbizi wa ndani, aliyependekezwa na American Friends Service Committee (AFSC), ambayo ni taasisi ya utetezi wa haki za kiraia, kushindania Tuzo ya Amani ya Nobeli.
7Der 33-jährige Ochen gründete 2005 das African Youth Initiative Network (AYINET) mit Sitz in Lira, Uganda.Kwa kipindi cha nyuma, AFSC iliwapendekeza akina Desmond Tutu, Martin Luther King Jr., na Rais wa Marekani, Jimmy Carter, ambao wote walifanikiwa kushinda tuzo hii.
8Das Netzwerk leistet medizinische Hilfe für Opfer von Verbrennungen, Verstümmelungen jeglicher Art, Vergewaltigung und psychischer Folter. Außerdem fördert es Youth Leadership.Taasisi hii mara kadhaa ilimpendekeza Mahatma Gandhi, ambaye hata mara moja hakufanikiwa kutangazwa mshindi wa tuzo ya amani ya Nobeli, pamoja na kupendekezwa kuigombea mara tano kati ya miaka ya 1937 na 1948.
9AYINET hat sich zu einem internationalen Netzwerk medizinischer Fachleute entwickelt, die Opfern beim Wiederaufbau ihrer Häuser und Lebensgrundlage unterstützen.
10Mit den Worten von This is Uganda:
11Das, was Victor aus reinem Mitgefühl getan hat, hat ihm einen Platz auf dieser prestigeträchtigen Liste verschafft. Im Abia Camp, in dem mehr als 40.000 Menschen lebten, gründete er mit gleichaltrigen Freunden einen Friedensclub.Ochen, mwenye umri wa miaka 33, alianzisha taasisi ya African Youth Initiative Network, mnamo mwaka 2005 iliyo na mskani yake huko Lira, Uganda, taasisi iliyo na jukumu la kuwasaidia watu kurudia katika hali yao ya awali wakiwemo wale walioungua kwa moto, ukeketaji wa namna mbalimbali, ubakaji, pamoja na unyanyasaji wa kisaikolojia ikiwa ni pamoja na kuwahamasisha vijana katika masuala ya uongozi.
12Diese Initiative erzürnte die Ältesten. “Warum redest du über Frieden, den du nie gesehen hast?”Hadi sasa taasisi hii imeshapanuka kiasi cha kuwa mtandao wa kimataifa wa wataalamu wa tiba ambao jukumu lao ni kuwasaidia wahanga kujenga upya makazi yao na maisha yao.
13Ochen wurde zum Unternehmer.Kwa mujibu wa This is Uganda:
14Er riskierte sein Leben beim Arbeiten in einer Köhlerei, um so seine Schulgebühren bezahlen zu können.Kwa kile Victor alichokifanya kwa moyo wake wa dhati wa kujitolea, ndicho kilichomfanya kuwa mmoja wa watu waliopendekezwa kuwania tuzo hii iliyo ya heshima ya hali yajuu.
15Später besuchte er eine weiterführende Schule und hatte kaum noch Zeit für seinen Job als Köhler, also wurde er Schuster.Akiwa kijana mdogo katika kambi ya Abia iliyokuwa na watu zaidi ya 40,000, kambini hapo, aliweza kuanzisha kikundi cha amani akiwa na wenzake. Mkakati huu uliwakasirisha wazee kiasi cha kumuuliza “Kwa nini unaongelea amani ambayo hujawahi kuiona?”
16In der Schule reparierte er die Schuhe der anderen Kinder.Alijitolea; alihatarisha maisha yake kwa kuchoma mkaa ili apate ada ya shule.
17Eines Tages erhielt er den großen Auftrag die Schuhe der gesamten Fußballmannschaft seiner Schule zu reparieren, doch leider wurde das Geld gestohlen.Baadae alijiunga na elimu ya sekondari ambapo ni mara chache sana alipata muda wa kufanya biashara yake ya mkaa, hivyo alilazimika kuwa fundi viatu, alikuwa akirekebisha viatu vya watoto shuleni.
18Seine harte Arbeit und die Gunst der Lehrer halfen ihm durch seine Schulzeit.Wakati fulani Victor alijipatia kazi nzuri ya kufanya maboresho ya viatu vya timu ya shule ya mpira wa miguu, kwa bahati mbaya fedha aliyoipata iliibwa.
19Victors Herz war zu Hause, selbst als er mit der Straight Talk Foundation in Kampala arbeitete.Kusoma kwake kwa bidii na kupendwa kwake na walimu kulimuwezesha kusoma elimu ya upili.
20Der Kontakt mit den Leuten vor Ort machte ihm bewusst, dass die Menschen in Norduganda mehr wollten als nur Almosen und dass sie auch mehr verdient hatten.Victor alionesha uzalendo wa kweli kwa nchi yake hata pale alipokuwa akifanya kazi na taasisi ya straight talk foundation ya Kampala, alipokuwa akikutana na watu katika shughuli zake aligundua kuwa watu wa Kaskazini mwa Uganda kuna mengine zaidi walistahili na walihitaji mbali na vipeperushi.
21Daraufhin gab Ochen seinen Job auf und gründete das African Youth Initiative Network.Na hili ndilo lililomfanya akaacha kazi yake na kuanzisha Mradi wa Mtandao wa Vijana wa Kiafrika (African youth initiative Network).
22Die Initiative mobilisiert Kommunen, insbesondere Jugendliche, sich um Frieden, Menschenrechte und Versöhnung zu bemühen.Mradi huu unazikutanisha jamii na hususani vijana ili waweze kudumisha amani pamoja na kulinda haki za binadamu na kuleta maridhiano.
23Sie bieten psychologische Unterstützung für die ehemaligen Opfern des Konflikts, von denen viele unter seelischen Schmerzen leiden und denen es schwer fällt, zu vergeben.
24AYINET hat außerdem über 5.000 Menschen, die meisten von ihnen Frauen, denen die Lippen abgeschnitten wurden, mit wiederherstellenden Operationen unterstützt. Darüber hinaus fördert die Initiative einkommensschaffende Maßnahmen.Wanatoa msaada wa saikolojia ya inayohusiana na matatizo ya kijamii, wanatoa msaaada kwa wahanga wa migogoro iliyotokea kipindi cha nyuma, wengi wao wakiwa ni wale walio na maumivu makali ya kihisia na wanaohangaika kupata msamaha, pia wameshasaidia zaidi ya watu 5000 waliokuwa wanahitaji upasuaji wa kurekebisha sehemu za mwili hususani kwa wanawake ambao midomo yao ilikatwa.
25AYINET hat 100 Friedensclubs in Schulen und Universitäten in Norduganda gegründet und mehr als 6.000 junge Menschen haben das Programm zur Friedenskonsolidierung und Übergangsjustiz durchlaufen.Mradi huu ambao pia unawawezesha vijana katika shughuli mbalimbali za kuwapatia kipato, umesaidia pia kuaanzishwa kwa klabu 100 amani kaitka mashule na kwenye vyuo vikuu Kaskazini mwa Uganda na zaidi ya vijana 6000 wameshahudhuria mafunzo ya kuimarisha amani na upatikanaji wa waki.